29 MEI, 2013 MREMA 1.Pmd
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA KUMI NA SITA NA KUMI NA SABA YATOKANAYO NA KIKAO CHA NNE (DAILY SUMMARY RECORD OF PROCEEDINGS) 7 NOVEMBA, 2014 MKUTANO WA KUMI NA SITA NA KUMI NA SABA KIKAO CHA NNE – 7 NOVEMBA, 2014 Kikao kilianza saa 3:00 Asubuhi kikiongozwa na Mhe. Job Y. Ndigai, Mb Naibu Spika ambaye alisoma Dua. MAKATIBU MEZANI 1. Ndg. Charles Mloka 2. Ndg. Lina Kitosi 3. Ndg. Hellen Mbeba I. MASWALI YA KAWAIDA Maswali yafuatayo yaliulizwa na wabunge na kupitia majibu Bungeni:- 1. Ofisi ya Waziri Mkuu – swali na. 38 la Mhe. Anne Kilango 2. Ofisi ya Waziri Mkuu – swali na. 39 la Mhe. Salum Khalfan Barwary 3. Ofisi ya Waziri Mkuu – swali na. 40 la Mhe. Moses Joseph Machali 4. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi – swali na. 41. La Mhe. Omar Rashid Nundu 5. Wizara ya Maendeleo ya Mifungo na Uvuvi – swali na. 42. La Mhe. Hilda Ngoye 6. Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi – swali na. 43. La Mhe. Zitto Kabwe Zuberi 7. Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Tecknolojia – swali na. 44 –la Mhe. Murtaza Mangungu 8. Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia - swali na. 45-la Mhe. Godfrey Mgimwa 9. Wizara ya Katiba na Sheria - swali na. 46 – la Mhe. Neema Mgaya Hamid 2 10. Wizara ya Katiba na Sheria- swali na. 47 – la Mhe. Assumpter Mshana 11. Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo – swali na. 48 la Mhe. Khatib Said Hji. 12. Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo - swali na. 49 la Mhe. -
Hotuba Ya Waziri Wa Mambo Ya Nje Na
HOTUBA YA WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA MHESHIMIWA BERNARD KAMILLIUS MEMBE (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KWA MWAKA WA FEDHA 2012/2013 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, kufuatia taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama (NUU), naomba sasa kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu lipokee, lijadili na kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa mwaka wa fedha 2012/2013. 2. Mheshimiwa Spika, awali ya yote napenda kutumia fursa hii kukupongeza wewe binafsi kwa kuliongoza kwa umahiri mkubwa Bunge hili la Bajeti la mwaka 2012/2013. Napenda pia kuwapongeza Mheshimiwa Job Ndugai (Mb.), Naibu Spika na Waheshimiwa Wenyeviti wanaokusaidia kuongoza Bunge hili kwa kazi nzuri wanayoifanya. 3. Mheshimiwa Spika, kwa namna ya pekee nachukua fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa uongozi wake mahiri wa Serikali ya Awamu ya Nne. Chini ya uongozi wake Taifa letu limeendeleza utamaduni wetu wa kudumisha amani, utulivu na mshikamano. Nawaomba Watanzania wote tuendelee kudumisha hali hiyo ili kuimarisha umoja wetu ambao ni tunu isiyopatikana kwa bei yoyote. 4. Mheshimiwa Spika, niruhusu niungane na Waheshimiwa Wabunge wengine wote walionitangulia kuwapongeza kwa dhati kabisa Waheshimiwa Wabunge wapya, Mawaziri na Naibu Mawaziri walioteuliwa na Mheshimiwa Rais mwezi Mei 2012. Nawapongeza Wenyeviti na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge waliochaguliwa kipindi hiki kutokana na mabadiliko yaliyotokea kwenye nafasi mbalimbali humu Bungeni na ndani ya Serikali. -
Hotuba Ya Bajeti Ya Wizara Ya Mambo Ya Nje 2012/2013 Posted: Monday August 06, 2012 1:06 PM BT
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje 2012/2013 Posted: Monday August 06, 2012 1:06 PM BT HOTUBA YA WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA MHESHIMIWA BERNARD KAMILLIUS MEMBE (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO W A KIMATAIFA KWA MWAKA WA FEDHA 2012/2013 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, kufuatia taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama (NUU), naomba sasa kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu lipokee, lijadili na kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa mwaka wa fedha 2012/2013. 2. Mheshimiwa Spika, awali ya yote napenda kutumia fursa hii kukupongeza wewe binafsi kwa kuliongoza kwa umahiri mkubwa Bunge hili la Bajeti la mwaka 2012/2013. Napenda pia kuwapongeza Mheshimiwa Job Ndugai (Mb.), Naibu Spika na Waheshimiwa Wenyeviti wanaokusaidia kuongoza Bunge hili kwa kazi nzuri wanayoifanya. 3. Mheshimiwa Spika, kwa namna ya pekee nachukua fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa uongozi wake mahiri wa Serikali ya Awamu ya Nne. Chini ya uongozi wake Taifa letu limeendeleza utamaduni wetu wa kudumisha amani, utulivu na mshikamano. Nawaomba Watanzania wote tuendelee kudumisha hali hiyo ili kuimarisha umoja wetu ambao ni tunu isiyopatikana kwa bei yoyote. 4. Mheshimiwa Spika, niruhusu niungane na Waheshimiwa Wabunge wengine wote walionitangulia kuwapongeza kwa dhati kabisa Waheshimiwa Wabunge wapya, Mawaziri na Naibu Mawaziri walioteuliwa na Mheshimiwa Rais mwezi Mei 2012. Nawapongeza Wenyeviti na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge waliochaguliwa kipindi hiki kutokana na mabadiliko yaliyotokea kwenye nafasi mbalimbali humu Bungeni na ndani ya Serikali. -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Ishirini na Nne – Tarehe 18 Julai, 2006 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kabla sijamwita muuliza swali la kwanza nina matangazo kuhusu wageni, kwanza wale vijana wanafunzi kutoka shule ya sekondari, naona tangazo halisomeki vizuri, naomba tu wanafunzi na walimu msimame ili Waheshimiwa Wabunge waweze kuwatambua. Tunafurahi sana walimu na wanafunzi wa shule zetu za hapa nchini Tanzania mnapokuja hapa Bungeni kujionea wenyewe demokrasia ya nchi yetu inavyofanya kazi. Karibuni sana. Wapo Makatibu 26 wa UWT, ambao wamekuja kwenye Semina ya Utetezi na Ushawishi kwa Harakati za Wanawake inayofanyika Dodoma CCT wale pale mkono wangu wakulia karibuni sana kina mama tunawatakia mema katika semina yenu, ili ilete mafanikio na ipige hatua mbele katika kumkomboa mwanamke wa Tanzania, ahsanteni sana. Hawa ni wageni ambao tumetaarifiwa na Mheshimiwa Shamsa Selengia Mwangunga, Naibu Waziri wa Maji. Wageni wengine nitawatamka kadri nitakavyopata taarifa, kwa sababu wamechelewa kuleta taarifa. Na. 223 Barabara Toka KIA – Mererani MHE. DORA H. MUSHI aliuliza:- Kwa kuwa, Mererani ni Controlled Area na ipo kwenye mpango wa Special Economic Zone na kwa kuwa Tanzanite ni madini pekee duniani yanayochimbwa huko Mererani na inajulikana kote ulimwenguni kutokana na madini hayo, lakini barabara inayotoka KIA kwenda Mererani ni mbaya sana -
Advertising with the Tanzania Procurement Journal
ISSN 1821 - 6021 15 November 2008 Vol. 1 No. 18 Price TSh 1500 Complying with the methods of procurements as stipulated in the Regulations Complying with tender preparation times as stipulated in the Regulations Advertisement of bid opportunities Establishment and composition of PMUs Establishment and composition of Tender Boards 0% 20% 40% 60% 80% 100% Areas of good performance as revealed by Procurement Audits carried out in the FY 2007/08 In this issue: PPRA Events PE’s Corner Awarded Contracts Procurement Opportunities Professional Papers Bidder’s Corner From the Press Cover-Nov-15-08.indd 1 11/14/08 10:00:52 AM UNIVERSITY COMPUTING CENTRE LIMITED. P. O. Box 35062, Dar-Es-Salaam, Tanzania. Tel: 255 (22) 2410645, 2410500-8 Ext. 2720 Mobile: 0754-782120, Fax: 255 (22) 2410690 H EK I RU MA NI UHU Email: [email protected] The University Computing Centre (UCC) is a limited company wholly owned by the University of Dar es Salaam (UDSM).It provides various computing services to the UDSM and to the general public. UCC has its head offi ce at University of Dar es Salaam (UDSM) Main campus in Dar es Salaam and has branches in Dar es Salaam City Centre, Arusha, Dodoma, Mwanza and Mbeya. UCC is NACTE certifi ed with registration NO. REG/EOS/026P SERVICES OFFERED BY UCC Ltd. Internet Services Web Designing, Hosting and Management Software Development and Systems Integration Network Design, Installation and Management Disaster Recovery and Business Continuity Planning ICT Policy and Strategy Development IT Security Policy and Procedures Development -
Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA KUMI NA SITA NA KUMI NA SABA YATOKANAYO NA KIKAO CHA SITA (DAILY SUMMARY RECORD OF PROCEEDINGS) 11 NOVEMBA, 2014 MKUTANO WA KUMI NA SITA NA KUMI NA SABA KIKAO CHA SITA – 11 NOVEMBA, 2014 I. DUA Saa 3.00 Asubuhi kikao kilianza kikiongozwa na Mhe. Naibu Spika (Mhe Job Y. Ndugai) na alisoma Dua. Makatibu Mezani 1. Ramadhani Abdallah Issa 2. Asia Minja 3. Hellen Mbeba II. MASWALI Maswali yafuatayo yaliulizwa na yalijibiwa:- 1. OFISI YA WAZIRI MKUU Swali . 67 – Mhe. Charles J.P. Mwijage Nyongeza (i) Mhe. Charles Mwijage (ii) Mhe. Joshua Nassari Swali. 68- Mhe. Hezekiah Chibulunje (K.n.y – Mhe. David Mallole) Nyongeza (i) Mhe. Hezekiah Chibulunje Swali. 69 – Mhe. Josephat Sinkamba Kandege Nyongeza (i) Mhe. Josephat Kandege 2. OFISI YA RAIS (UTAWALA BORA) Swali. 70 – Mhe. Amina Abdulla Amour 2 Nyongeza (i) Mhe. Amina Abdullah Amour 3. OFISI YA RAIS (MAHUSIANO NA URATIBU) Swali. 71 – Mhe. Leticia Mageni Nyerere Nyongeza i. Mhe. Leticia Nyerere ii. Mhe. Mohammed Habib Mnyaa 4. OFISI YA MAKAMU WA RIAS (MAZINGIRA) Swali. 72 – Mhe. Victor Kilasile Mwambalaswa Nyongeza i. Mhe. Victor Kilasile Mwambalaswa. 5. WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Swali. 73 – Mhe. Diana Mkumbo Chilolo Nyongeza i. Mhe. Diana Mkumbo Chilolo 6. WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA Swali. 74 – Mhe. Sylvestry Francis Koka Nyongeza i. Mhe. Sylvestry Koka ii. Mhe. Salim Masoud 7. WIZARA YA UCHUKUZI Swali. 75 – Mhe. Prof. David Mwakyusa (k.n.y Mhe. Luckson Mwanjale). Nyongeza i. Mhe. Prof. David Mwakyusa. 3 Swali. 76 – Mhe. -
Mkutano Wa Kumi Na Nane
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA KUMI NA NANE YATOKANAYO NA KIKAO CHA NANE (DAILY SUMMARY RECORD OF PROCEEDINGS) 04 FEBRUARI, 2015 MKUTANO WA KUMI NA NANE YATOKANAYO NA KIKAO CHA NANE (SUMMARY RECORD OF PROCEEDINGS - EIGHTH SITTING) TAREHE 4 FEBUARI, 2015 I. DUA: Dua ilisomwa saa 3.00 asubuhi na Mhe. Mussa Azan Zungu (Mb) na Kikao Kiliendelea. Makatibu Mezani: 1. Ndg. Justina Shauri 2. Ndg. Neema Msangi 3. Ndg. Joshua Chamwela II. HATI ZA KUWASILISHA MEZANI: Taarifa ya Mwaka ya Shughuli za Kamati ya Huduma za Jamii kwa Kipindi cha Januari, 2014 hadi Januari 2015. Taarifa ya Mwaka ya Shughuli za Kamati ya Maendeleo ya Jamii kwa Kipindi cha Januari, 2014 hadi Januari 2015. III. MASWALI: Maswali yafuatayo yaliulizwa na kujibiwa: 1. OFISI YA WAZIRI MKUU: SWALI NA. 83: Mhe. Dkt. David Malole (Mb) (liliulizwa Mhe. H. Chibulunje) Nyongeza: (i) Mhe. Hezekiah Chibulunje, (Mb) (ii) Mhe. Mohamed Ali Keissy, (Mb) (iii) Mhe. Diana Mkumbo Chilolo, (Mb) SWALI NA. 84: Mhe. Deogratias Ntukamazina, (Mb) 2 Nyongeza: (i) Mhe. Deogratias Ntukamazina, (Mb) (ii) Mhe. Pauline Philiph Gekul, (Mb) (iii) Mhe. Michael Lekule Laizer, (Mb) (iv) Mhe. Joseph Roman Selasini, (Mb) SWALI NA. 85. Mhe. Said Mohammed Mtanda, (Mb) Nyongeza: (i) Mhe. Said Mohamed Mtanda, (Mb) (ii) Mhe. Idd Mohamed Azzan, (Mb) 2. WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA SWALI NA. 86: Mhe. Ritta Enespher Kabati, (Mb) Nyongeza: (i) Mhe. Ritta Enespher Kabati, (Mb) (ii) Mhe. Hamad Ali Hamad, (Mb) (iv) Mhe. Benedict Ole Nangoro, (Mb) 3. WIZARA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI: SWALI NA. -
Akiwasilisha Bungeni Makadirio Ya Mapato Na Matumizi Ya Wizara Ya Ardhi, Nyumba Na Maendeleo Ya Makazi Kwa Mwaka Wa Fedha 2013/2014
HOTUBA YA WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI, MHESHIMIWA PROF. ANNA KAJUMULO TIBAIJUKA (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI KWA MWAKA WA FEDHA 2013/2014 DIRA YA WIZARA: Kuwa na uhakika wa miliki za ardhi, nyumba bora na makazi endelevu kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii. DHIMA: Kuweka mazingira yanayofaa kuleta ufanisi katika utoaji wa huduma za ardhi, nyumba na makazi. MAJUKUMU: Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi inayo majukumu yafuatayo:- i. Kuandaa sera na mikakati ya uendelezaji wa sekta ya ardhi; ii. Kuandaa mipango ya matumizi ya ardhi; iii. Kusimamia upangaji wa miji na vijiji; iv. Kupima ardhi na kutayarisha ramani; v. Kutoa hati za kumiliki ardhi na hatimiliki za kimila; vi. Kusajili hati za umiliki ardhi na nyaraka za kisheria; vii. Kuthamini mali; viii. Kuhamasisha na kuwezesha wananchi kuwa na nyumba bora; ix. Kutatua migogoro ya ardhi na nyumba; i x. Kusimamia upatikanaji na utunzaji wa kumbukumbu za ardhi; xi. Kusimamia ukusanyaji wa maduhuli ya Serikali yatokanayo na huduma za sekta ya ardhi; xii. Kusimamia Shirika la Nyumba la Taifa, Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi, Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Nyumba na Vifaa vya Ujenzi na Wakala wa Uendelezaji wa Mji Mpya wa Kigamboni; xiii. Kusimamia uendeshaji wa Vyuo vya Ardhi vya Tabora na Morogoro; na, xiv. Kusimamia maslahi na utendaji kazi wa watumishi wa sekta ya ardhi. Katika kutekeleza majukumu hayo, Wizara inaongozwa na Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025, Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini (MKUKUTA II), Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano (2011/12 – 2015/16), Malengo ya Milenia, Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2010, Mpango Mkakati wa Wizara (2012/13- 2016/17), Sera ya Taifa ya Ardhi ya mwaka 1995, Sera ya Maendeleo ya Makazi ya mwaka 2000 na miongozo mbalimbali ya Serikali. -
MAJADILIANO YA BUNGE ___MKUTANO WA TATU Kikao Cha
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA TATU Kikao cha Arobaini na Tatu – Tarehe 3 Juni, 2021 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, naomba tukae. Waheshimiwa Wabunge, tunaendelea na Mkutano wetu wa Tatu, leo ni Kikao cha Arobaini na Tatu. Katibu NDG. NENELWA MWIHAMBI, ndc – KATIBU WA BUNGE: HATI ZA KUWASILISHA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022. SPIKA: Ahsante sana Mheshimiwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, aah sasa hivi unavaa sketi ndefu, hataki ugomvi na Mgogo. (Kicheko) Tunaendelea, Katibu. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) NDG. NENELWA MWIHAMBI, ndc – KATIBU WA BUNGE: MASWALI KWA WAZIRI MKUU SPIKA: Maswali kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu, Mheshimiwa Waziri Mkuu karibu sana. (Makofi) Waheshimiwa Wabunge, nawakumbusha tena kuhusu maswali ya kisera sio matukio, sio nini, ni ya kisera. Tunaanza na Mheshimiwa Mbunge wa Liwale, Mheshimiwa Zuberi Mohamed Kuchauka, maswali kwa kifupi. MHE. ZUBERI M. KUCHAUKA: Mheshimiwa Spika, ahsante kwa kunipa nafasi ya kwanza kuuliza swali kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu. Mheshimiwa Spika, swali langu litahusu sekta ya korosho. Mwaka huu tumepata taarifa kwamba Serikali ilijipanga kutupatia pembejeo wakulima wa zao la korosho kwa maana kwamba waje kuzilipa baadaye kwenye mjengeko wa bei. Hata hivyo, kuna taharuki kubwa kwa wakulima wetu wa korosho baada ya Bodi ya Korosho kuleta waraka kwenye Halmashauri zetu, wakiwaambia kila mkulima akipeleka zao lile kwenye mnada kila kilo moja itakatwa shilingi 110 bila kujali kwamba mkulima yule amechukua pembejeo kwa kiwango gani. -
MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao Cha Arobaini Na Sita
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao cha Arobaini na Sita – Tarehe 15 Juni, 2020 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge tukae, tunaendelea na Mkutano wetu wa 19, Kikao cha 46, bado kimoja tu cha kesho. Katibu! NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE: HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa mezani na: NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO: Maelezo ya Waziri wa Fedha na Mipango kuhusu Muswada wa Sheria ya Fedha wa Mwaka 2020 (The Finance Bill, 2020). Muhtasari wa Tamko la Sera ya Fedha kwa Mwaka wa Fedha 2020/2021 (Monetary Policy Statement for the Financial Year 2020/2021). MHE. ALBERT N. OBAMA - K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA BAJETI:Maoni ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti Kuhusu Muswada wa Sheria ya Fedha wa Mwaka 2020 (The Finance Bill, 2020). 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) MHE. RHODA E. KUNCHELA - K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KWA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO: Maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kuhusu Muswada wa Sheria ya fedha wa mwaka 2020 (The Finance Bill, 2020). MHE. DKT. TULIA ACKSON - MAKAMU MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KANUNI ZA BUNGE: Azimio la Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kanuni za Bunge kuhusu Marekebisho ya Kanuni za Bunge SPIKA: Asante sana Mheshimiwa Naibu Spika, Katibu MASWALI NA MAJIBU (Maswali yafuatayo yameulizwa na kujibiwa kwa njia ya mtandao) Na. 426 Migogoro ya Mipaka MHE. -
Bunge La Tanzania ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Kumi na Saba – Tarehe 6 Julai, 2006 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kabla hatujaingia katika kipindi cha Maswali Majibu, ninalo tangazo moja tu. Naomba muwatambue wageni wa Mheshimiwa Richard Nyaulawa, Mbunge wa Mbeya Vijijini ambao ni Madiwani 23 na Maafisa wa Wilaya watano kutoka Mbeya Vijijini. Wapo sehemu hii ya kulia pale, naomba wasimame Waheshimiwa Madiwani. Ohoo hawajafika. Basi tunatambua kwamba labda bado wako njiani. Ahsante. (Makofi) MASWALI NA MAJIBU Na. 157 Barabara ya Mkendo/Shabani MHE. VEDASTUSI M. MANYINYI aliuliza:- Kwa kuwa barabara ya Mukendo/Shabani ni kioo cha Manispaa ya Musoma, na kwa kuwa barabara hiyo ni ya muda mrefu na lami yake imeharibika sana; na kwa kuwa, mwaka jana Serikali iliahidi kuikarabati barabara hiyo kuanzia Januari, mwaka 2006:- Je, ukarabati wa barabara hiyo utaaanza lini na kukamilika baada ya muda gani? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri, TAMISEMI, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Vedastusi Mathayo, Manyinyi, Mbunge wa Musoma Mjini kama ifuatavyo:- 1 Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ilikwishaagiza Miji yote iliyopandishwa hadhi kuwa Manispaa kuandaa makisio kati ya urefu wa kilomita 3 hadi 4 za barabara kwa ajili ya kuandaa mpango wa ukarabati. Halmashauri ya Manispaa ya Musoma ni kati ya Manispaa zilizokwishawasiliana makisio hayo. Aidha, katika mpango uliowasilishwa Halmashauri imepanga kukarabati barabara za Mkendo, Shabani, Sokoni, Kusaga na Indira Ganthi kwa kiwango cha lami zenye jumla ya urefu wa kilomita 4.8 kati ya barabara zake zote zenye urefu wa kilomita 14. -
Ofisi Ya Bunge S.L.P 941 Dodoma 27 Juni, 2013
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA KUMI NA MOJA YATOKANAYO NA KIKAO CHA HAMSINI NA NANE (DAILY SUMMARY RECORD OF PROCEEDINGS) OFISI YA BUNGE S.L.P 941 DODOMA 27 JUNI, 2013 YATOKANAYO NA KIKAO CHA HAMSINI NA NANE (DAILY SUMMARY RECORD OF PROCEEDINGS – FIFITY EIGTHTH SITTING) TAREHE 27 Juni, 2013 MAKATIBU MEZANI: (1) Ndg. Justina Shauri (2) Ndg. Charles Mloka (4) Ndg. Lawrence Makigi I. DUA: Dua ilisomwa saa 3.00 asubuhi na Kikao kilianza kikiongozwa na Mhe. Spika Anne S. Makinda, (Mb). II. HATI ZA KUWASILISHA MEZANI: WAZIRI MKUU: Utekelezaji Wa Taarifa ya Ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa Hesabu za Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa Mwaka ulioishia tarehe 30 Juni, 2012. WAZIRI WA FEDHA: Taarifa ya Majumuisho ya Mpango Mkakati wa kujibu Hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Wizara, Idara za Serikali na Mikoa (Vol. I na II) kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. III. MASWALI: Maswali ya yafuatayo yaliulizwa na kujibiwa:- (I) WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI – SWALI NA. 478, (II) WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI – SWALI NA. – 479, NA. 480 2 IV. MATANGAZO: Mheshimiwa Spika aliwatangazia Wabunge matangazo kama ifuatavyo:- - Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama kutakuwa na kikao saa 7.00 mchana katika Ukumbi Na. 133. - Wajumbe wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira watakuwa na kikao leo saa 7.00 mchana katika Ukumbi wa Basement. - Wajumbe wa Kamati ya Hesabu za Serikali kutakuwa na kikao leo saa 7.00 mchana katika Ukumbi wa Msekwa. - Wajumbe wa Kamati ya Huduma za Jamii watakuwa na kikao leo saa 7.00 mchana katika Ukumbi Msekwa C.