Majadiliano Ya Bunge ______
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
-
MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao Cha Arobaini Na Moja – Tareh
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA __________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao cha Arobaini na Moja – Tarehe 9 Juni, 2020 (Bunge lilianza Saa Nane Kamili Mchana) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Naomba tukae. Katibu! NDG. STEPHEN KAGAIGAI - KATIBU WA BUNGE: AZIMIO LA BUNGE Azimio la Bunge la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, kwa namna alivyoongoza Taifa katika mapambano dhidi ya Janga la Ugonjwa wa Corona (Covid – 19). MASWALI NA MAJIBU (Maswali yafuatayo yameulizwa na kujibiwa kwa njia ya mtandao) Na. 386 Upungufu wa Vituo wa Afya Tabora MHE. EMANUEL A. MWAKASAKA aliuliza:- Jimbo la Tabora mjini lina Kata 29 lakini - lina kituo cha kimoja tu cha afya. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) Je, Serikali ina mkakati gani wa kuongeza Vituo vya Afya katika Manispaa ya Tabora? WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA alijibu:- Mheshimiwa Spika, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Emmanuel Adamson Mwakasaka, Mbunge wa Tabora Mjini, kama ifuatavyo; Mheshimiwa Spika, halmashauri ina jumla ya vituo vya kutolea huduma za afya vya Serikali, vikijumuisha Hospitali mbili, Kituo cha Afya kimoja na Zahanati 22. Katika mwaka wa fedha 2020/21 Serikali imetenga shilingi milioni 100 kwa ajili ya kukamilisha maboma ya Zahanati ya Ituru na Igombe. Vilevile Serikali imetenga shilingi bilioni 1 kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa Hospitali ya Manispaa ya Tabora. Serikali itaendelea kujenga, kuratabati na kupanua vituo vya kutolea huduma za afya Manispaa ya Tabora kwa kadri ya upatikanaji wa fedha. Na. -
MKUTANO WA SABA Kikao Cha Ishirini Na Tano – Tarehe 15
NAKALA YA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA SABA Kikao cha Ishirini na Tano – Tarehe 15 Mei, 2017 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Mussa A. Zungu) Alisoma Dua MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu! NDG. CHARLES MLOKA – KATIBU MEZANI: HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018. MWENYEKITI: Ahsante. Katibu. NDG. CHARLES MLOKA – KATIBU MEZANI: Maswali. 1 NAKALA YA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) MASWALI NA MAJIBU Na. 200 Mgongano wa Kiutendaji – Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma MHE. LEONIDAS T. GAMA aliuliza:- Wananchi wa Songea Mjini wamekuwa wakiitumia Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma kama Hospitali yao ya Wilaya hivyo kufanya kuwepo na mgongano wa kiutendaji kati ya Mamlaka ya Mkoa inayoitambua Hospitali hiyo kama Rufaa ya ngazi ya Mkoa na Mamlaka ya Wilaya. Tarehe 10 Januari, 2016, Mheshimiwa Waziri wa Afya alifika kuona hali halisi na juhudi za wananchi wa Songea Mjini za kujenga Kituo cha Afya Mji Mwema ambacho kimefikia hatua kubwa, hivyo wakamwomba Waziri kituo hicho kipandishwe hadhi kuwa Hospitali ya Wilaya, Songea Mjini. (a) Je, Serikali haioni umuhimu wa kuiacha Hospitali ya Mkoa ifanye kazi ya Rufaa Kimkoa? (b) Je, Serikali haioni haja ya kupunguza msongamano katika hospitali hiyo kwa kuanzisha Hospitali ya Wilaya Songea Mjini? (c) Je, ni lini basi Serikali -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA NANE Kikao cha Thelathini na Tisa – Tarehe 2 AGOSTI, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) DUA Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013. SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, naomba mzime vipasa sauti vyenu maana naona vinaingiliana. Ahsante Mheshimiwa Naibu Waziri, tunaingia hatua inayofuata. MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Leo ni siku ya Alhamisi lakini tulishatoa taarifa kwamba Waziri Mkuu yuko safarini kwa hiyo kama kawaida hatutakuwa na kipindi cha maswali hayo. Maswali ya kawaida yapo machache na atakayeuliza swali la kwanza ni Mheshimiwa Vita R. M. Kawawa. Na. 310 Fedha za Uendeshaji Shule za Msingi MHE. VITA R. M. KAWAWA aliuliza:- Kumekuwa na makato ya fedha za uendeshaji wa Shule za Msingi - Capitation bila taarifa hali inayofanya Walimu kuwa na hali ngumu ya uendeshaji wa shule hizo. Je, Serikali ina mipango gani ya kuhakikisha kuwa, fedha za Capitation zinatoloewa kama ilivyotarajiwa ili kupunguza matatizo wanayopata wazazi wa wanafunzi kwa kuchangia gharama za uendeshaji shule? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Vita Rashid Kawawa, Mbunge wa Namtumbo, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) imepanga kila mwanafunzi wa Shule ya Msingi kupata shilingi 10,000 kama fedha za uendeshaji wa shule (Capitation Grant) kwa mwaka. -
16 MEI, 2013 MREMA 1.Pmd
16 MEI, 2013 BUNGE LA TANZANIA ________________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Ishirini na Saba – Tarehe 16 Mei, 2013 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge tukae. Waheshimiwa Wabunge Kikao cha Ishirini na Saba kinaanza. Mkutano wetu wa Kumi na Moja. HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI:- Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Uchukuzi kwa Mwaka wa Fedha 2013/2014. 1 16 MEI, 2013 MHE. PROF. JUMA A. KAPUYA (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA MIUNDOMBINU): Taarifa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Miundombinu Kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Uchukuzi kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013 na Maoni ya Kamati Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2013/2014. MHE. PAULINE P. GEKUL (K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI WA WIZARA YA UCHUKUZI): Taaqrifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani wa Wizara ya Uchukuzi Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2013/2014. MASWALI KWA WAZIRI MKUU NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge kama kawaida yetu siku ya Alhamisi tunakuwa na Kipindi cha Maswali kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu na swali la kwanza la siku ya leo linaulizwa na Mheshimiwa Stephen Hilary Ngonyani. MHE. STEPHEN H. NGONYANI: Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante sana. Kwanza nianze kwa kumpongeza Mheshimiwa Waziri Mkuu kwa kunipa chakula cha msaada kule kwenye jimbo langu. Swali linalokuja ni hivi. Mheshimiwa Naibu Spika, Kitengo cha Maafa ni Kitengo ambacho kiko chini ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, nchi nzima kinajua jinsi unavyosaidia wananchi. -
Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Bunge La Tanzania
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA SABA YATOKANAYO NA KIKAO CHA ISHIRINI 9 MEI, 2017 MKUTANO WA SABA KIKAO CHA ISHIRINI TAREHE 9 MEI, 2017 I. DUA: Saa 3:00 asubuhi Mhe. Najma Murtaza Giga (Mwenyekiti) alisoma Dua kuongoza Kikao cha Bunge. Makatibu Mezani: 1. Ndugu Theonest Ruhilabake 2. Ndugu Charles Mloka 3. Ndugu Neema Msangi II. HATI ZA KUWASILISHA MEZANI 1. Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji aliwasilisha Randama za Madirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 2. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi aliwasilisha Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018. 3. Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Mhe. Rose Cyprian Tweve aliwasilisha Taarifa ya Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017 pamoja na maoni ya Kamati kuhusu Bajeti ya Wizara hiyo kwa Mwaka 2017/2018. 4. Msemaji wa Upinzani kwa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Masoud Salim Abdallah aliwasilisha Taarifa ya Upinzani kuhusu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi juu ya Bajeti ya Wizara hiyo kwa Mwaka 2017/2018. 1 III. MASWALI OFISI YA RAIS (TAMISEMI) Swali Na. 165: Mhe. Seif Khamis Gulamali (kwa niaba ya Mhe. Selamani Jumanne Zedi) Nyongeza: Mhe. Marwa Ryoba Chacha Mhe. Kangi Alphaxard Lugola WIZARA YA MAJI NA UMWAGILIAJI Swali Na. 166: Mhe. Joseph Kizito Mhagama Nyongeza: Mhe. Joseph Kizito Mhagama Mhe. Cecil David Mwambe Mhe. -
The Proceeding of the Seminar for All Parliamentarians and White Ribbon Alliance on Safe Motherhood Tanzania That Took Place in Dodoma on 7Th February 2017
THE PROCEEDING OF THE SEMINAR FOR ALL PARLIAMENTARIANS AND WHITE RIBBON ALLIANCE ON SAFE MOTHERHOOD TANZANIA THAT TOOK PLACE IN DODOMA ON TH 7 FEBRUARY 2017 1 Contents 1. Introduction ........................................................................................................................................... 4 2. Opening of the Seminar ........................................................................................................................ 5 3. A brief Speech from the National Coordinator for WRATZ ................................................................ 5 4. Opening Speech by the Speaker of the Parliament ............................................................................... 7 5. A brief speech by a Representative from UNICEF ............................................................................... 8 6. Presentation by Dr. Ahmed Makuwani, ................................................................................................ 9 7. Hon. Dr. Faustine Ndugulile (MP) (CEmONC and Budget) .............................................................. 10 8. Hon. Dr. Jasmine Tisekwa Bunga (MP) (food and Nutrition) ............................................................ 10 9. Dr. Rashid Chuachua ( Under five years mortality) ........................................................................... 11 10. Hon. Mwanne Nchemba (MP)(Family Planning) .......................................................................... 11 11. Hawa Chafu Chakoma (MP) (Teenager pregnancies) ................................................................... -
NHIF Yafungua Milango Kwa Wananchi Wote
NHIFISBN NO. 798-9987-9484 AFYA | TANZANIA | TOLEONJEMA MAALUM | JAN. 2019 NHIF yafungua milango kwa wananchi wote. • Machinga na Bodaboda wajivunia kutambuliwa na NHIF. • Watu binafsi sasa kujiunga kwa urahisi. www.nhif.or.tz | info@nhif. Jarida la YALIYOMO NHIF AFYA NJEMA Maoni ya Mhariri.................................................................. 3 Neno la Mkurugenzi Mkuu ................................................ 4 Wasemavyo Wadau ............................................................ 5 NHIF Yafungua Milango kwa Wananchi Wote............... 6 Machinga Wajivunia Kutambuliwa na Nhif.................... 8 JARIDA HILI HUTOLEWA Boda Boda Kujiunga na NHIF kwa Gharama Nafuu... 9 NA KUCHAPISHWA NA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA Kauli za Wakuu wa Mikoa................................................. 10 S.L.P 1437 DODOMA TANZANIA Matukio Mbalimbali Katika Picha................................... 12 BODI YA UHARIRI Vifurushi Dodoma............................................................... 14 Mwenyekiti Vifurushi Mbeya.................................................................. 16 Anjela Mziray Vifurushi Mtwara................................................................ 18 WAJUMBE Celestin Muganga Vifurushi Lindi..................................................................... 20 David Sikaponda Vifurushi Kigoma................................................................ 22 Victor Wanzagi Rose Temba Vifurushi Mwanza.............................................................. 24 Cosmas Mogasa Derick -
7 Mei, 2020 1 Bunge La Tanzania
7 MEI, 2020 BUNGE LA TANZANIA __________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao cha Ishirini na Nne – Tarehe 7 Mei, 2020 (Bunge Lilianza Saa Nane Mchana) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa naomba tukae. Katibu. NDG. RAMADHANI ABDALLAH -KATIBU MEZANI HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII: Hotuba ya Bajeti ya Wizara na Randama ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa Mwaka wa Fedha 2020/2021. MHE. TIMOTHEO P. MNZAYA - (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA ARDHI MALIASILI NA UTALII): Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii kuhusu utekelezaji wa Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2020/2021. 1 7 MEI, 2020 SPIKA: Ahsante sana. Katibu ! NDG. RAMADHANI ABDALLAH -KATIBU MEZANI MASWALI NA MAJIBU (Maswali yafuatayo yameulizwa na kujibiwa kwa njia ya mtandao) Na. 222 Halmashauri Kutenga 10% kwa ajili ya Wanawake na Vijana MHE. GODFREY W. MGIMWA aliuliza:- Ilani ya Chama cha Mapinduzi inaeleza wazi juu ya kuwawezesha wananchi kiuchumi hasa kwenye suala la ujasiriamali:- Je, Serikali ipo tayari kutoa agizo la msisitizo kwa Halmashauri zote nchini kutenga fedha za asilimia 10 kwa wanawake na vijana bila kukosa kila mwaka kama inavyotakiwa? WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA alijibu:- Mheshimiwa Spika, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Godfrey William Mgimwa, Mbunge wa Kalenga, kama ifuatavyo;- Mheshimiwa Spika, Serikali imefanya marekebisho ya Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa, Sura 290 kwa kuongeza Kifungu cha 37A(1) – (4) kinachoelekeza Halmashauri zote kutenga asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halmashauri kwa ajili ya vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu Wenye Ulemavu. -
MKUTANO WA TATU Kikao Cha Kumi Na Saba
NAKALA YA MTANDAO (ONLINE DOCUMENT) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ______ MKUTANO WA TATU Kikao cha Kumi na Saba - Tarehe 11 Mei, 2016 (Bunge lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Mussa A. Zungu) Alisoma Dua MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu! NDG. JOSHUA CHAMWELA - KATIBU MEZANI: Hati za kuwasilisha mezani. HATI ZA KUWASILISHA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO: Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto kwa mwaka wa fedha 2016/2017. MHE. PETER J. SERUKAMBA - MWENYEKITI WA KAMATI YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII: Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa mwaka wa fedha 2015/2016, pamoja na Maoni ya Kamati, kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya mwaka fedha 2016/2017. 1 NAKALA YA MTANDAO (ONLINE DOCUMENT) MHE. GRACE V. TENDEGA – K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI KWA WIZARA YA AFYA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO: Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani kuhusu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, juu ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2016/2017. MWENYEKITI: Ahsante, Katibu. NDG. JOSHUA CHAMWELA- KATIBU MEZANI: Maswali. MASWALI NA MAJIBU MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, swali letu la kwanza linaenda Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Mheshimiwa Tebweta Omary. Na.140 Asilimia Tano ya Fedha kwa Ajili ya Vijana na Kina Mama kwa kila Halmashauri MHE. -
Hotuba Ya Bajeti
HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UFUNDI MHESHIMIWA PROF. JOYCE LAZARO NDALICHAKO (MB.) AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2016/17 DODOMA MEI, 2016 i ii “Natambua juhudi kubwa zimefanyika katika upanuzi wa elimu ya awali, msingi, sekondari na vyuo vikuu. Serikali ya awamu ya tano, itajielekeza katika kuongeza ubora wa elimu inayotolewa ikiwa ni pamoja na kuongeza mkazo katika masomo ya sayansi.” Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati akifungua rasmi Bunge la 11, tarehe 22 Novemba 2015. YALIYOMO YALIYOMO.................................................................. i ... VIFUPISHO ................................................................ iii 1.0 UTANGULIZI ..................................................... 1 2.0 DIRA, DHIMA NA MAJUKUMU YA WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UFUNDI ........................................................................... 4 DIRA NA DHIMA YA WIZARA .......................... 4 MAJUKUMU YA WIZARA .................................. 4 3.0 VIPAUMBELE VYA WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UFUNDI ............. 6 4.0 MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA BAJETI KWA MWAKA 2015/16 ................................................ 8 5.0 MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU KWA MWAKA 2015/16 NA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2016/17 .......................... 10 5.1 UTUNGAJI NA UTEKELEZAJI WA SERA YA ELIMU ................................................. 10 5.2 UPATIKANAJI WA FURSA ZA ELIMU NA MAFUNZO ........................................ -
Hotuba Ya Waziri Wa Ujenzi, Mheshimiwa Dkt
HOTUBA YA WAZIRI WA UJENZI, MHESHIMIWA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MPANGO WA MAENDELEO NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA WA FEDHA 2014/15 A. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, kufuatia taarifa iliyowasilishwa leo na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu ndani ya Bunge lako Tukufu, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu likubali kupokea na kujadili Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango na Bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa Mwaka wa fedha 2013/14. Aidha, naomba Bunge lako Tukufu lijadili na kupitisha Mpango na Bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2014/15. 2. Mheshimiwa Spika, awali ya yote napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunilinda na kunipa nguvu za kuiongoza Wizara ya Ujenzi na kuniwezesha kusimama hapa mbele ya Bunge lako Tukufu kuwasilisha bajeti hii ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2014/15. 3. Mheshimiwa Spika, kwa heshima kubwa nachukua fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kuendelea 1 kuiongoza nchi yetu vyema na kwa utekelezaji mahiri wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010. Mheshimiwa Rais amekuwa mstari wa mbele katika kutafuta fedha za kutekeleza miradi ya maendeleo iliyomo kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 ikiwemo miradi ya barabara. Aidha, nawapongeza Mheshimiwa Dkt. Mohamed Gharib Bilal, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa namna ambavyo wamemsaidia Mheshimiwa Rais kusimamia na kuongoza shughuli zote za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa umahiri.