Hotuba Ya Bajeti
HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UFUNDI MHESHIMIWA PROF. JOYCE LAZARO NDALICHAKO (MB.) AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2016/17 DODOMA MEI, 2016 i ii “Natambua juhudi kubwa zimefanyika katika upanuzi wa elimu ya awali, msingi, sekondari na vyuo vikuu. Serikali ya awamu ya tano, itajielekeza katika kuongeza ubora wa elimu inayotolewa ikiwa ni pamoja na kuongeza mkazo katika masomo ya sayansi.” Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati akifungua rasmi Bunge la 11, tarehe 22 Novemba 2015. YALIYOMO YALIYOMO.................................................................. i ... VIFUPISHO ................................................................ iii 1.0 UTANGULIZI ..................................................... 1 2.0 DIRA, DHIMA NA MAJUKUMU YA WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UFUNDI ........................................................................... 4 DIRA NA DHIMA YA WIZARA .......................... 4 MAJUKUMU YA WIZARA .................................. 4 3.0 VIPAUMBELE VYA WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UFUNDI ............. 6 4.0 MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA BAJETI KWA MWAKA 2015/16 ................................................ 8 5.0 MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU KWA MWAKA 2015/16 NA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2016/17 .......................... 10 5.1 UTUNGAJI NA UTEKELEZAJI WA SERA YA ELIMU ................................................. 10 5.2 UPATIKANAJI WA FURSA ZA ELIMU NA MAFUNZO ........................................
[Show full text]