Hotuba Ya Bajeti
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
Majadiliano Ya Bunge ______
NAKALA YA MTANDAO (ON LINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ______________ BUNGE LA KUMI NA MOJA ___________ MKUTANO WA KWANZA Kikao cha Kwanza - Tarehe 17 Novemba, 2015 (Bunge lilianza Saa Tatu Asubuhi) DKT. THOMAS D. KASHILILAH - KATIBU WA BUNGE: Naomba tukae. TANGAZO LA RAIS LA KUITISHA MKUTANO WA BUNGE DKT. THOMAS D. KASHILILAH - KATIBU WA BUNGE: Waheshimiwa Wabunge, kwa mujibu wa masharti ya Katiba, Mkutano huu wa Kwanza unaanza kwa Rais kuuitisha. Naomba kuchukua nafasi hii kusoma Tangazo la Rais kama ambavyo tumelipokea. Tangazo la Serikali Na. 513 la tarehe 6 Novemba, 2015. Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Sura ya Pili, hati iliyotolewa kwa mujibu wa Ibara ya 90(1). Hati ya Kuitisha Mkutano wa Bunge Jipya. KWA KUWA, Uchaguzi Mkuu ulifanyika tarehe 25 Oktoba, 2015 katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977; NA KWA KUWA, masharti ya Ibara ndogo ya kwanza ya Ibara ya 90 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, yanamtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuitisha Mkutano wa Bunge Jipya kabla ya kupita siku saba tangu Tume ya Uchaguzi kutangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu; NA KWA KUWA, matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 25 Oktoba, 2015 yalitangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi tarehe 29 Oktoba, 2015; HIVYO BASI, mimi John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa mamlaka niliyonayo chini ya Ibara ya 90(1) ya 1 NAKALA YA MTANDAO (ON LINE DOCUMENT) Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, naitisha Mkutano wa Bunge Jipya la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ufanyike katika ukumbi wa Bunge uliopo Mjini Dodoma tarehe 17 Novemba, 2015 kuanzia saa tatu asubuhi. -
Zanzibar Human Rights Report 2015 by Zlsc
Zanzibar Human Rights Report 2015 TransformIfanye Justicehaki IweInto shaukuPassion Zanzibar Legal Services Centre i Funded by: Embassy of Sweden, Embassy of Finland The Embassy of Norway, Ford Foundation, and Open Society Initiatives for Eastern Africa, Publisher Zanzibar Legal Services Centre P.O.Box 3360,Zanzibar Tanzania Tel:+25524 2452936 Fax:+255 24 2334495 E-mail: [email protected] Website:www.zlsc.or.tz ZLSC May 2016 ii ZANZIBAR HUMAN RIGHTS REPORT 2015 Editorial Board Prof. Chris Maina Peter Mrs. Josefrieda Pereira Ms. Salma Haji Saadat Mr. Daudi Othman Kondo Ms. Harusi Miraji Mpatani Writers Dr. Moh’d Makame Mr. Mzee Mustafa Zanzibar Legal Services Centre @ ZLSC 2015 i ACKNOWLEDGEMENTS Zanzibar Legal Services Centre is indebted to a number of individuals for the support and cooperation during collection, compilation and writing of the 10th Human Rights Report (Zanzibar Chapter). The contribution received makes this report a worthy and authoritative document in academic institutions, judiciary, government ministries and other departments, legislature and educative material to general public at large. The preparation involved several stages and in every stage different stakeholders were involved. The ZLSC appreciate the readiness and eager motive to fill in human rights opinion survey questionnaires. The information received was quite useful in grasping grassroots information relevant to this report. ZLSC extend their gratitude to it’s all Programme officers especially Adv. Thabit Abdulla Juma and Adv. Saida Amour Abdallah who worked hard on completion of this report. Further positive criticism and collections made by editorial board of the report are highly appreciated and valued. Without their value contributions this report would have jeopardised its quality and relevance to the general public. -
Bunge Newsletter
BungeNe ewsletter Issue No 008 June 2013 New Budget Cycle Shows Relavance For the first time in recent Tanzania history the engage the government and influence it make sev- Parliament has managed to pass the next financial eral tangible changes in its initial budget proposals. year budget before the onset of that particular year. This has been made possible by the Budget Commit- This has been made possi- tee, another new innovation by Speaker Makinda. ble by adoption of new budget cycle. Under the old cycle, it was not possible to influence According to the new budget cycle, the Parliament the government to make changes in budgetary allo- starts discussing the budget in April as opposed to cations. That was because the main budget was read, old cycle where debate on the new budget started on debated and passed before the sectoral plans. After June and ends in the first or second week of August. the main budget was passed, it was impossible for the MPs and government to make changes in the When the decision was taken to implement the new sectoral budgets since they were supposed to reflect budget cycle and Speaker Anne Makinda announced the main budget which had already been passed. the new modalities many people, including Mem- bers of Parliament, were skeptical. Many stakehold- These and many other changes have been made possi- ers were not so sure that the new cycle would work. ble through the five components implemented under the Parliament five years development plan. “Govern- But Ms Makinda has managed to prove the doubt- ment and Budget Oversight and Accountability is one ers wrong. -
-
Cabo Ligado Mediafax
OBSERVATORY CONFLICT CONFLICT CABO LIGADO 14 May 2021 Cabo Ligado Monthly: April 2021 Cabo Ligado — or ‘connected cape’ — is a Mozambique conflict observatory launched by ACLED, Zitamar News, and Mediafax. VITAL STATS • ACLED records 20 organized political violence events in April, resulting in 45 reported fatalities • The vast majority of incidents and fatalities recorded took place in Palma district, where the contest for control of Palma town and outlying areas continued throughout the month • Other events took place in Pemba, Macomia, and Muidumbe districts VITAL TRENDS • Over a month after the initial insurgent attack on Palma town on 24 March, the area around the town is still under threat from insurgents, with clashes reported on 30 April and into May • Attacks on the Macomia coast also continued in May, targeting fishermen pursuing their livelihoods in the area IN THIS REPORT • Analysis of the Tanzania’s role in the Cabo Delgado conflict in the wake of late President John Pombe Magufuli’s death and Samia Suluhu Hassan’s ascension to the Tanzanian presidency Evaluation of child vulnerability in Cabo Delgado following the first confirmed sightings of children under arms in insurgent operations. • Update on international involvement in the Cabo Delgado conflict with a focus on the proposed Southern African Development Community intervention that leaked in April APRIL SITUATION SUMMARY April 2021 was a relatively quiet month in the Cabo Delgado conflict, as both sides appeared to pause to evaluate their positions following the insurgent occupation of Palma town that ran from 24 March to 4 April. From the government’s perspective, the occupation was a disaster. -
Hotuba Ya Bajeti Ya Wizara Ya Mambo Ya Nje 2012/2013 Posted: Monday August 06, 2012 1:06 PM BT
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje 2012/2013 Posted: Monday August 06, 2012 1:06 PM BT HOTUBA YA WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA MHESHIMIWA BERNARD KAMILLIUS MEMBE (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO W A KIMATAIFA KWA MWAKA WA FEDHA 2012/2013 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, kufuatia taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama (NUU), naomba sasa kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu lipokee, lijadili na kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa mwaka wa fedha 2012/2013. 2. Mheshimiwa Spika, awali ya yote napenda kutumia fursa hii kukupongeza wewe binafsi kwa kuliongoza kwa umahiri mkubwa Bunge hili la Bajeti la mwaka 2012/2013. Napenda pia kuwapongeza Mheshimiwa Job Ndugai (Mb.), Naibu Spika na Waheshimiwa Wenyeviti wanaokusaidia kuongoza Bunge hili kwa kazi nzuri wanayoifanya. 3. Mheshimiwa Spika, kwa namna ya pekee nachukua fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa uongozi wake mahiri wa Serikali ya Awamu ya Nne. Chini ya uongozi wake Taifa letu limeendeleza utamaduni wetu wa kudumisha amani, utulivu na mshikamano. Nawaomba Watanzania wote tuendelee kudumisha hali hiyo ili kuimarisha umoja wetu ambao ni tunu isiyopatikana kwa bei yoyote. 4. Mheshimiwa Spika, niruhusu niungane na Waheshimiwa Wabunge wengine wote walionitangulia kuwapongeza kwa dhati kabisa Waheshimiwa Wabunge wapya, Mawaziri na Naibu Mawaziri walioteuliwa na Mheshimiwa Rais mwezi Mei 2012. Nawapongeza Wenyeviti na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge waliochaguliwa kipindi hiki kutokana na mabadiliko yaliyotokea kwenye nafasi mbalimbali humu Bungeni na ndani ya Serikali. -
New Unified Platform for Settling Work Disputes Soon: Labour Ministry
1996 - 2021 SILVER JUBILEE YEAR Qatari banks Bottas takes pole see in asset for Portuguese growth: GP and denies KPMG Hamilton 100th Business | 13 Sport | 20 SUNDAY 2 MAY 2021 20 RAMADAN - 1442 VOLUME 26 NUMBER 8610 www.thepeninsula.qa 2 RIYALS International Workers’ Day this year coincides with the New unified platform for settling start of the implementation of the new and pioneering legislation that has strengthened the work environment that attracts workers, especially the work disputes soon: Labour Ministry legislations that facilitate the movement of workers QNA — DOHA International Workers’ Day is a workers. He said that the Min- in the national plan for vacci- between different employers and the non- tribute to all workers due to the istry is working in this regard nation against coronavirus and discriminatory minimum wage law for workers and The Ministry of Administrative interest they receive as partners to implement modern legis- the intensive efforts made by domestic workers. Development, Labour and in the development renaissance lation in accordance with the the state to provide free vacci- Social Affairs has announced in the State of Qatar, expressing highest standards through con- nation for all categories of H E Yousef bin Mohammed Al Othman Fakhroo the establishment of a unified deep gratitude and appreciation tinuous cooperation and coor- workers, he said. platform for complaints and to the workers who have helped dination with representatives He affirmed that the State disputes in the coming days. and continue to contribute to of employers and workers and will continue implementing The platform will allow the achievement of compre- various local and international measures to respond to the eco- employees and workers who hensive development. -
MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao Cha Arobaini Na Moja – Tareh
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA __________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao cha Arobaini na Moja – Tarehe 9 Juni, 2020 (Bunge lilianza Saa Nane Kamili Mchana) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Naomba tukae. Katibu! NDG. STEPHEN KAGAIGAI - KATIBU WA BUNGE: AZIMIO LA BUNGE Azimio la Bunge la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, kwa namna alivyoongoza Taifa katika mapambano dhidi ya Janga la Ugonjwa wa Corona (Covid – 19). MASWALI NA MAJIBU (Maswali yafuatayo yameulizwa na kujibiwa kwa njia ya mtandao) Na. 386 Upungufu wa Vituo wa Afya Tabora MHE. EMANUEL A. MWAKASAKA aliuliza:- Jimbo la Tabora mjini lina Kata 29 lakini - lina kituo cha kimoja tu cha afya. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) Je, Serikali ina mkakati gani wa kuongeza Vituo vya Afya katika Manispaa ya Tabora? WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA alijibu:- Mheshimiwa Spika, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Emmanuel Adamson Mwakasaka, Mbunge wa Tabora Mjini, kama ifuatavyo; Mheshimiwa Spika, halmashauri ina jumla ya vituo vya kutolea huduma za afya vya Serikali, vikijumuisha Hospitali mbili, Kituo cha Afya kimoja na Zahanati 22. Katika mwaka wa fedha 2020/21 Serikali imetenga shilingi milioni 100 kwa ajili ya kukamilisha maboma ya Zahanati ya Ituru na Igombe. Vilevile Serikali imetenga shilingi bilioni 1 kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa Hospitali ya Manispaa ya Tabora. Serikali itaendelea kujenga, kuratabati na kupanua vituo vya kutolea huduma za afya Manispaa ya Tabora kwa kadri ya upatikanaji wa fedha. Na. -
Republic of Burundi United Republic of Tanzania Joint
1 REPUBLIC OF BURUNDI UNITED REPUBLIC OF TANZANIA JOINT COMMUNIQUE ON THE OCCASION OF THE STATE VISIT TO THE REPUBLIC OF BURUNDI BY HER EXCELLENCY SAMIA SULUHU HASSAN, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA FROM 16th TO 17th JULY 2021 ---------------------------------------------------------------------------------------------------------- 1. At the invitation of His Excellency Evariste Ndayishimiye, President of the Republic of Burundi, Her Excellency Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania, undertook a State Visit to the Republic of Burundi from 16th to 17th July 2021. 2. Her Excellency Samia Suluhu Hassan led a high-level delegation including Ministers and other senior governmental officials of the United Republic of Tanzania. 3. The President of the United Republic of Tanzania expressed her gratitude to His Excellency Evariste NDAYISHIMIYE, President of the Republic of Burundi, the Government and the people of Burundi for the warm welcome extended to her and her delegation during her first and historic State visit to Burundi. 4. The two Heads of State noted with satisfaction and commended the existing excellent bilateral ties between the two countries that have a historic, solid foundation. 5. The two Leaders reaffirmed their shared commitment to strengthen the spirit of solidarity and cooperation in various sectors of common interest between the two Governments and peoples. 2 6. During her State visit, Her Excellency Samia Suluhu Hassan visited FOMI, an organic fertilizer industry in Burundi and the CRDB Bank on 16th July 2021. 7. At the beginning of the bilateral talks, the two Heads of State paid tribute to the Late Excellency Pierre Nkurunziza, former President of the Republic of Burundi, the Late Excellency Benjamin William Mkapa, the third President of the United Republic of Tanzania and the Late Excellency John Pombe Joseph Magufuli, the fifth President of the United Republic of Tanzania. -
MAJADILIANO YA BUNGE ___MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao Cha Thelathini Na Sita
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA _________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Thelathini na Sita – Tarehe 27 Mei, 2019 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, nawaomba tukae. Waheshimiwa Wabunge tunaendelea na Mkutano wetu wa 15, leo ni Kikao cha 36. Katibu! NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE: HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA NISHATI: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Nishati kwa mwaka wa fedha 2019/2020. NAIBU WAZIRI WA MADINI: Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Madini kwa mwaka wa fedha 2019/2020. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) MHE. CATHERINE V. MAGIGE - K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI) Taarifa ya Kamati ya Nishati na Madini Kuhusu utekelezaji na Majukumu ya Wizara ya Madini kwa mwaka wa fedha 2018/2019 pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020. MHE. TUNZA I. MALAPO - K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KUHUSU WIZARA YA MADINI: Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni juu ya Wizara ya Madini kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020. SPIKA: Ahsante sana Mheshimiwa Tunza Malapo, tunakushukuru. Katibu! NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE: MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Tunaanza na TAMISEMI, swali la kwanza litaulizwa na Mheshimiwa Azza Hilal, Mbunge wa Viti Maalum - Shinyanga. -
MKUTANO WA KUMI NA MBILI ___Kikao Cha Sita
Hii ni nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _________ MAJADILIANO YA BUNGE __________ MKUTANO WA KUMI NA MBILI __________ Kikao cha Sita - Tarehe 18 Juni, 2003 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Juma J. Akukweti) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU Na. 50 Upungufu wa Watumishi - Hospitali ya Wilaya ya Mbulu MHE. PHILIP S. MARMO aliuliza:- Kwa kuwa siku zilizopita Wizara imekiri upungufu mkubwa wa watumishi katika Hospitali ya Wilaya ya Mbulu katika fani zote kama Madaktari, Wauguzi, Wataalam wa X-ray na Famasia na mfano mmoja ukiwa ni kwamba mashine mpya za chumba cha X- ray hazitumiki kwa sababu ya ukosefu wa wataalam. Je, ni lini Serikali itawaajiri wataalam niliowataja ili kutatua tatizo hilo sugu? NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Philip Marmo, Mbunge wa Mbulu, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Naibu Spika, ni kweli kwamba tarehe 18 Julai, 2002 wakati nikijibu swali Na. 873 la Mheshimiwa Mbunge, nilikiri upungufu wa wataalam wa afya katika Hospitali ya Wilaya ya Mbulu. Naomba kumpongeza kwanza Mheshimiwa Philip Marmo, Mbunge wa Mbulu, kwa juhudi zake kubwa sana anazozichukua katika kutatua matatizo yaliyoko katika Hospitali ya Wilaya ya Mbulu ikiwa ni pamoja na upungufu wa watumishi. Halmashauri 1 za Wilaya nyingi hapa nchini bado zina upungufu wa wataalam katika fani mbalimbali. Ofisi ya Rais, pamoja na Idara Kuu ya Utumishi inajitahidi sana kutoa vibali vya ajira, lakini waombaji wa kazi hizo mara nyingi wamekuwa ni wachache. Mheshimiwa Naibu Spika, Hospitali ya Wilaya ya Mbulu ni moja ya Hospitali za Wilaya ambazo zina upungufu wa Madaktari, Wauguzi na wataalam wengine. -
Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi Rais Wa Zanzibar Na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi
Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi HOTUBA YA MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI, RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI KATIKA UZINDUZI WA BARAZA LA KUMI LA WAWAKILISHI TAREHE: 11 NOVEMBA, 2020 Mheshimiwa Zubeir Ali Maulid; Spika wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar, Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla; Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Omar Othman Makungu; Jaji Mkuu wa Zanzibar, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Ali Hassan Mwinyi na Mama Siti Mwinyi, Mheshimiwa Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dk. Amani Abeid Amani Karume na Mama Shadya Karume, Mheshimiwa Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein na Mama Mwanamwema Shein, Mheshimiwa Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mstaafu Balozi Seif Ali Iddi na Mama Asha Suleiman Iddi, 1 Waheshimiwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, Waheshimiwa Mabalozi Wadogo mliopo, Zanzibar, Wawakilishi wa Mashirika mbali mbali ya Kimataifa mliopo, Waheshimiwa Viongozi mbali mbali wa Serikali na Vyama vya Siasa, Ndugu Wageni Waalikwa, Ndugu Wanahabari, Mabibi na Mabwana, 2 Assalam Aleikum. UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, Naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehma kwa kutujaalia uhai na afya njema, na kutuwezesha kukutana katika siku hii ambayo ina nafasi yake katika historia ya nchi yetu. Leo tumekutana hapa kuzindua rasmi Baraza la Kumi la Wawakilishi la Zanzibar ambalo linaambatana na kuanza kwa Awamu ya Nane ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. SALAMU ZA POLE Mheshimiwa Spika, Kabla sijaendelea na hotuba yangu, nachukua fursa hii kutoa salamu za pole kwa uongozi na wanachama wa Chama cha ACT Wazalendo, Familia pamoja na Ndugu wa Marehemu Abubakar Khamis Bakar, aliyekuwa Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi Mteule wa Jimbo la Pandani.