Joint Declaration by Non Governmental Organisations on the Ongoing Human Rights Violations in Loliondo
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
Majadiliano Ya Bunge ______
NAKALA YA MTANDAO (ON LINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ______________ BUNGE LA KUMI NA MOJA ___________ MKUTANO WA KWANZA Kikao cha Kwanza - Tarehe 17 Novemba, 2015 (Bunge lilianza Saa Tatu Asubuhi) DKT. THOMAS D. KASHILILAH - KATIBU WA BUNGE: Naomba tukae. TANGAZO LA RAIS LA KUITISHA MKUTANO WA BUNGE DKT. THOMAS D. KASHILILAH - KATIBU WA BUNGE: Waheshimiwa Wabunge, kwa mujibu wa masharti ya Katiba, Mkutano huu wa Kwanza unaanza kwa Rais kuuitisha. Naomba kuchukua nafasi hii kusoma Tangazo la Rais kama ambavyo tumelipokea. Tangazo la Serikali Na. 513 la tarehe 6 Novemba, 2015. Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Sura ya Pili, hati iliyotolewa kwa mujibu wa Ibara ya 90(1). Hati ya Kuitisha Mkutano wa Bunge Jipya. KWA KUWA, Uchaguzi Mkuu ulifanyika tarehe 25 Oktoba, 2015 katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977; NA KWA KUWA, masharti ya Ibara ndogo ya kwanza ya Ibara ya 90 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, yanamtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuitisha Mkutano wa Bunge Jipya kabla ya kupita siku saba tangu Tume ya Uchaguzi kutangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu; NA KWA KUWA, matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 25 Oktoba, 2015 yalitangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi tarehe 29 Oktoba, 2015; HIVYO BASI, mimi John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa mamlaka niliyonayo chini ya Ibara ya 90(1) ya 1 NAKALA YA MTANDAO (ON LINE DOCUMENT) Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, naitisha Mkutano wa Bunge Jipya la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ufanyike katika ukumbi wa Bunge uliopo Mjini Dodoma tarehe 17 Novemba, 2015 kuanzia saa tatu asubuhi. -
Bunge Newsletter
BungeNe ewsletter Issue No 008 June 2013 New Budget Cycle Shows Relavance For the first time in recent Tanzania history the engage the government and influence it make sev- Parliament has managed to pass the next financial eral tangible changes in its initial budget proposals. year budget before the onset of that particular year. This has been made possible by the Budget Commit- This has been made possi- tee, another new innovation by Speaker Makinda. ble by adoption of new budget cycle. Under the old cycle, it was not possible to influence According to the new budget cycle, the Parliament the government to make changes in budgetary allo- starts discussing the budget in April as opposed to cations. That was because the main budget was read, old cycle where debate on the new budget started on debated and passed before the sectoral plans. After June and ends in the first or second week of August. the main budget was passed, it was impossible for the MPs and government to make changes in the When the decision was taken to implement the new sectoral budgets since they were supposed to reflect budget cycle and Speaker Anne Makinda announced the main budget which had already been passed. the new modalities many people, including Mem- bers of Parliament, were skeptical. Many stakehold- These and many other changes have been made possi- ers were not so sure that the new cycle would work. ble through the five components implemented under the Parliament five years development plan. “Govern- But Ms Makinda has managed to prove the doubt- ment and Budget Oversight and Accountability is one ers wrong. -
Hotuba Ya Bajeti Ya Wizara Ya Mambo Ya Nje 2012/2013 Posted: Monday August 06, 2012 1:06 PM BT
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje 2012/2013 Posted: Monday August 06, 2012 1:06 PM BT HOTUBA YA WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA MHESHIMIWA BERNARD KAMILLIUS MEMBE (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO W A KIMATAIFA KWA MWAKA WA FEDHA 2012/2013 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, kufuatia taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama (NUU), naomba sasa kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu lipokee, lijadili na kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa mwaka wa fedha 2012/2013. 2. Mheshimiwa Spika, awali ya yote napenda kutumia fursa hii kukupongeza wewe binafsi kwa kuliongoza kwa umahiri mkubwa Bunge hili la Bajeti la mwaka 2012/2013. Napenda pia kuwapongeza Mheshimiwa Job Ndugai (Mb.), Naibu Spika na Waheshimiwa Wenyeviti wanaokusaidia kuongoza Bunge hili kwa kazi nzuri wanayoifanya. 3. Mheshimiwa Spika, kwa namna ya pekee nachukua fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa uongozi wake mahiri wa Serikali ya Awamu ya Nne. Chini ya uongozi wake Taifa letu limeendeleza utamaduni wetu wa kudumisha amani, utulivu na mshikamano. Nawaomba Watanzania wote tuendelee kudumisha hali hiyo ili kuimarisha umoja wetu ambao ni tunu isiyopatikana kwa bei yoyote. 4. Mheshimiwa Spika, niruhusu niungane na Waheshimiwa Wabunge wengine wote walionitangulia kuwapongeza kwa dhati kabisa Waheshimiwa Wabunge wapya, Mawaziri na Naibu Mawaziri walioteuliwa na Mheshimiwa Rais mwezi Mei 2012. Nawapongeza Wenyeviti na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge waliochaguliwa kipindi hiki kutokana na mabadiliko yaliyotokea kwenye nafasi mbalimbali humu Bungeni na ndani ya Serikali. -
MAJADILIANO YA BUNGE ___MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao Cha Thelathini Na Sita
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA _________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Thelathini na Sita – Tarehe 27 Mei, 2019 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, nawaomba tukae. Waheshimiwa Wabunge tunaendelea na Mkutano wetu wa 15, leo ni Kikao cha 36. Katibu! NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE: HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA NISHATI: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Nishati kwa mwaka wa fedha 2019/2020. NAIBU WAZIRI WA MADINI: Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Madini kwa mwaka wa fedha 2019/2020. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) MHE. CATHERINE V. MAGIGE - K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI) Taarifa ya Kamati ya Nishati na Madini Kuhusu utekelezaji na Majukumu ya Wizara ya Madini kwa mwaka wa fedha 2018/2019 pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020. MHE. TUNZA I. MALAPO - K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KUHUSU WIZARA YA MADINI: Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni juu ya Wizara ya Madini kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020. SPIKA: Ahsante sana Mheshimiwa Tunza Malapo, tunakushukuru. Katibu! NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE: MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Tunaanza na TAMISEMI, swali la kwanza litaulizwa na Mheshimiwa Azza Hilal, Mbunge wa Viti Maalum - Shinyanga. -
Did They Perform? Assessing fi Ve Years of Bunge 2005-2010
Policy Brief: TZ.11/2010E Did they perform? Assessing fi ve years of Bunge 2005-2010 1. Introducti on On July 16th 2010, following the completi on of the 20th session of the Bunge, the President of Tanzania dissolved the 9th Parliament. This event marked the end of the term for Members of Parliament who were elected during the 2005 general electi ons. Now that the last session has been completed it allows us to look back and to consider how MPs performed during their tenure. Did they parti cipate acti vely and represent their consti tuencies by asking questi ons and making interventi ons, or were they silent backbenchers? The Bunge is the Supreme Legislature of Tanzania. The Bunge grants money for running the administrati on and oversees government programs and plans. The Bunge oversees the acti ons of the Executi ve and serves as watchdog to ensure that government is accountable to its citi zens. To achieve all this, Members of Parliament pass laws, authorize taxati on and scruti nize government policies including proposal for expenditure; and debate major issues of the day. For the Bunge to eff ecti vely carry out its oversight role, acti ve parti cipati on by Members of Parliament is criti cal. MPs can be acti ve by making three kinds of interventi ons: they can ask basic questi ons, they can ask supplementary questi ons and they can make contributi ons during debates. This brief follows earlier briefs, the last of which was released in August 2010. It presents seven facts on the performance of MPs, including rati ng who were the most acti ve and least acti ve MPs. -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Ishirini na Nne – Tarehe 18 Julai, 2006 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kabla sijamwita muuliza swali la kwanza nina matangazo kuhusu wageni, kwanza wale vijana wanafunzi kutoka shule ya sekondari, naona tangazo halisomeki vizuri, naomba tu wanafunzi na walimu msimame ili Waheshimiwa Wabunge waweze kuwatambua. Tunafurahi sana walimu na wanafunzi wa shule zetu za hapa nchini Tanzania mnapokuja hapa Bungeni kujionea wenyewe demokrasia ya nchi yetu inavyofanya kazi. Karibuni sana. Wapo Makatibu 26 wa UWT, ambao wamekuja kwenye Semina ya Utetezi na Ushawishi kwa Harakati za Wanawake inayofanyika Dodoma CCT wale pale mkono wangu wakulia karibuni sana kina mama tunawatakia mema katika semina yenu, ili ilete mafanikio na ipige hatua mbele katika kumkomboa mwanamke wa Tanzania, ahsanteni sana. Hawa ni wageni ambao tumetaarifiwa na Mheshimiwa Shamsa Selengia Mwangunga, Naibu Waziri wa Maji. Wageni wengine nitawatamka kadri nitakavyopata taarifa, kwa sababu wamechelewa kuleta taarifa. Na. 223 Barabara Toka KIA – Mererani MHE. DORA H. MUSHI aliuliza:- Kwa kuwa, Mererani ni Controlled Area na ipo kwenye mpango wa Special Economic Zone na kwa kuwa Tanzanite ni madini pekee duniani yanayochimbwa huko Mererani na inajulikana kote ulimwenguni kutokana na madini hayo, lakini barabara inayotoka KIA kwenda Mererani ni mbaya sana -
Mkutano Wa Pili
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA PILI YATOKANAYO NA KIKAO CHA TANO (DAILY SUMMARY RECORD OF PROCEEDINGS) 01 FEBRUARI, 2016 MKUTANO WA PILI YATOKANAYO NA KIKAO CHA TANO - TAREHE 01 FEBRUARI, 2016 I. DUA: Saa 3:00 asubuhi Mhe. Job Ndugai (Spika) alisoma DUA na kuliongoza Bunge. MAKATIBU MEZANI: 1. Charles Mloka 2. Lawrance Makigi 3. Asia Minja II. HAKI ZA KUWASILISHA MEZANI: Hati zifuatazo ziliwasilishwa mezani:- - Waziri wa Fedha na Mipango aliwasilisha Mapendekezo ya Mpango wa wa Taifa unaokusudiwa kutekelezwa na Serikali katika mwaka wa Fedha 2016/2017; - Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti aliwasilisha Taarifa ya Kamati juu ya Mapendekezo ya Mpango wa Taifa unaokusudiwa kutekelezwa na Serikali pamoja na Mwongozo wa kuandaa Mpango na Bajeti ya Serikali katika mwaka wa fedha 2016/2017; - Mhe. David Ernest Silinde – Msemaji wa Kambi ya Upinzani kwa Wizara ya Fedha na Mipango aliwasilisha Taarifa ya Upinzani juu ya mapendekezo ya Mpango wa Taifa unaokusudiwa kutekelezwa na Serikali pamoja na Mwongozo wa kuandaa Mpango na Bajeti ya Serikali katika mwaka wa Fedha 2016/2017. III. MASWALI: Maswali yafuatayo yaliulizwa:- 1. OFISI YA WAZIRI MKUU: Swali Na. 47: Mhe. Mwantumu Dau Haji Swali la nyongeza: Mhe. Mwantum Dau Haji 2. OFISI YA RAISI (TAMISEMI): Swali Na. 48: Mhe. Vedasto Edger Ngombale Swali la nyongeza: Mhe. Vedasto Edger Ngombale Swali Na. 49: Mhe. Lolesia Jeremiah Bukwimba Swali la nyongeza: Mhe. Lolesia Jeremiah Bukwimba Swali Na. 50: Mhe. Neema William Mgaya Swali la nyongeza: Mhe. Neema William Mgaya 3. WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI: Swali Na. 51: Mhe. Frank George Mwakasaka liliulizwa na Mhe. -
Maelezo Ya Mkurugenzi Mkuu Wa Takukuru Brigedia Jenerali
MAELEZO YA MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU BRIGEDIA JENERALI JOHN JULIUS MBUNGO WAKATI WA HAFLA YA UZINDUZI WA OFISI SABA ZA TAKUKURU WILAYA PAMOJA NA JENGO LA OFISI YA INTELIJENSIA CHAMWINO - DODOMA JULAI 22, 2020 Mhe. Dkt John Pombe Joseph Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mama Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kasim Majaliwa Majaliwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Mhe. George Simbachawene Waziri wa Mambo ya Ndani – ambaye anamwakilisha Waziri wetu Mhe. Kapt. Mstaafu George Mkuchika, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. 1 Mhe. Dkt Binilith Mahenge Mkuu wa Mkoa wa Dodoma; Viongozi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama wakiongozwa na CDF Venance Mabeyo Wakuu wa Idara wa Taasisi za Umma na Binafsi mlioko hapa, Viongozi wa Dini, Viongozi wa Vyama vya Siasa, Watumishi wenzangu wa TAKUKURU; Waandishi wa Habari; Mabibi na Mabwana Asalaam Aleykum, Tumsifu Yesu kristu. 2 Mheshimiwa Rais, SHUKRANI: Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa ninaomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa huruma na upendo kwa kukujalia wewe Mheshimiwa Rais afya njema ya mwili na roho, lakini pia kwa kutu kutanisha sisi sote hapa siku hii ya leo tukiwa na afya njema wote, huku tukifurahia Amani, Utulivu na Maendeleo ya nchi yetu ambayo wewe Mheshimiwa Rais, ndiye Mratibu Mkuu. Mheshimiwa Rais, Kwa namna ya kipekee kabisa, ninapenda kuchukua fursa hii pia kukushukuru wewe binafsi kwa kuridhia ombi letu la kuwa Mgeni Rasmi. Pia ninakushukuru kwa kutenga muda wako adhimu na kukubali kufanya shughuli hii ya uzinduzi wa majengo ya ofisi yaliyojengwa kwenye wilaya saba pamoja na Jengo la ofisi ya Intelijensia lililopo Dodoma Mjini. -
MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA NANE Kikao Cha
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE ______________ MKUTANO WA NANE Kikao cha Kumi na Tatu – Tarehe 29 Juni, 2007 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kabla sijamwita Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii kwa Kuwasilisha Hati. Naomba niwashukuru nyote jinsi tulivyoshirikiana kwa pamoja kuweza kumsindikiza mwenzetu Marehemu Amina Chifupa Mpakanjia, katika safari yake ya mwisho. Waheshimiwa Wabunge, napenda niwashukuru Kamati ya Uongozi na Tume ya Huduma za Bunge, lakini pia TWPG kwa kushirikiana vizuri sana kuweza kumsindikiza mwenzetu kwa heshima; na kipekee naomba Mheshimiwa Waziri Mkuu atutolee salamu za shukrani kwa Mheshimiwa Rais kwa jinsi ambavyo Mheshimiwa Rais alivyokuwa karibu nasi kila dakika kwa mawasiliano hadi hapo jana kule Njombe. Waheshimiwa Wabunge, narejea tena Mungu ailaze roho ya Marehemu Mheshimiwa Amina Chifupa Mpakanjia, mahali pema peponi. Amin. Hati ifuatayo iliwasilishwa mezani na:- NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII: Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Shirika la Hifadhi ya Taifa (TANAPA) kwa mwaka 2005/2006 (The Annual Report and Accounts of the Tanzania National Parks for the Year 2005/2006). MASWALI NA MAJIBU Na. 106 Ubovu wa Barabara za Jiji la Dar es Salaam MHE. MUSSA A. ZUNGU aliuliza:- 1 Kwa kuwa sura ya nchi yetu iko katika Jimbo la Ilala; na kwa kuwa barabara nyingi za Jiji la Dar es Salaam ni mbovu sana hali inayosababisha msongamano wa magari na -
1 Ministry of Education, Science, Technology And
MINISTRY OF EDUCATION, SCIENCE, TECHNOLOGY AND VOCATIONAL TRAINING THEMI HILL PRE AND PRIMARY SCHOOL HOLIDAY PACKAGE APRIL 2020 CIVICS GRADE VI NAME:........................................................................STREAM........................... DATE:...................................... 1. The following are the aspects of tradition and customs except:- a) Language c) Food b) Norms and value d) Education 2. ……………………..language had being used by Mwl. Nyerere and TANU to fight for independence a) Kiswahili c) French b) English d) Kinyamwezi 3. Lubega is one of the attire which is worn by a) Chagga tribe c) Nyamwezi tribe b) Maasai tribe d) Nyaturu tribe 4. The long form of the initial F. G. M is:- a) Female Genital Mutilation c) Female Genital Marriage b) Female Genital Muture d) Female General Management 5. Village chairpersons are elected during a) General election c) By election b) Local government election d) School election 6. At the ward level District Government is represented by:- a) District Commissioner c) Ward Executive Officer b) Regional Commissioner d) Village Executive Officer 7. The following are some of the outdated tradition and custom except:- a) Wife inheritance c) Early marriage b) Kiswahili language d) Forced marriage 8. Everything that a child must be given can be called:- a) Childs right c) Child’s gift b) Childs responsibility d) Child’s need 9. When was multiparty re- introduced in Tanzania a) 1977 c) 1995 b) 1992 d) 1999 10. The ruling party in Tanzania is:- a) CCM c) CHADEMA b) CUF d) NCCR Mageuzi 1 11. The following pictures are found on the coat of arm except:- a) A man and a woman c) Lake Tanganyika b) National Flag d) Mt Kilimanjaro 12. -
Tarehe 15 Aprili, 2019
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Kumi – Tarehe 15 Aprili, 2019 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu. NDG. MOSSY LUKUVI – KATIBU MEZANI: HATI ZA KUWASILISHA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO NA MAZINGIRA):- Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) kwa mwaka wa fedha 2019/2020. NAIBU SPIKA: Ahsante, Katibu. NDG. MOSSY LUKUVI – KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, maswali, tutaanza na Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Mheshimiwa Kiza Hussein Mayeye, Mbunge wa Viti Maalum, sasa aulize swali lake. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) Na. 78 Malipo Stahiki Kwa Walimu Waliopanda Daraja MHE. KIZA H. MAYEYE aliuliza:- Serikali imekuwa ikiwapandisha madaraja walimu lakini haitoi malipo stahiki kwa madaraja hayo mapya kwa kipindi kirefu tangu walipopandishwa madaraja yao:- Je, Serikali ina mpango gani wa kuhakikisha kwamba walimu wanapata stahiki zao mara wanapopandishwa madaraja? NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, majibu. NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. MWITA M. WAITARA) alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - TAMISEMI, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Kiza Hussein Mayeye, Mbunge wa Viti Maalum, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali ilisitisha kupandisha walimu na watumishi wengine madaraja katika mwaka wa fedha 2015/2016 na 2016/2017 kutokana na uhakiki wa watumishi uliohusisha uhalali wa vyeti, elimu na ngazi za mishahara. -
MKUTANO WA KWANZA Kikao Cha Tatu – Tarehe 12 Novemba, 2020
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA KWANZA Kikao cha Tatu – Tarehe 12 Novemba, 2020 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaweza kukaa. Waheshimiwa Wabunge, karibuni sana. Natumaini kupitia tablets zenu kila mmoja ameshaiona Order Paper ya leo yaani Orodha ya Shughuli za leo ambazo ni muhimu sana. Tutaanza na Kiapo cha Uaminifu kwa Waheshimiwa Wabunge ambao bado hawajaapa. Tuna Wabunge wanne wa ACT-Wazalendo na Mbunge mmoja wa Chama cha Mapinduzi. (Makofi) Bado sina hakika kama Wabunge wa ACT wapo, lakini sisi tutawataja kama utaratibu ulivyo hapa. Kama watakuwepo, basi tutawaapisha. (Makofi) Waheshimiwa Wabunge, ajenda itakayofuata ni uthibitisho ambao mtapaswa kuufanya kwa uteuzi wa Waziri Mkuu. Kwa hiyo, nawaomba Wabunge ambao wako nje au canteen na wapi, basi waingie ndani na ninyi mlioko ndani msitoke kwa sababu jambo hili ni kubwa na mkononi sina hilo jina hivi sasa, sina kabisa. Wakati ukifika basi Mpambe wa Mheshimiwa Rais tutamruhusu aingie hapa ndani na bahasha husika na nitakabidhiwa hapa mbele yenu. (Makofi) 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) Candidates ni ninyi wote, kwa hiyo, kila mtu akae sawa, isipokuwa mimi na AG. Maana yake mliobaki wote ni ma-candidate. Sasa usije ukatuangukia hapa, aah! Halafu itakuwa taabu. Tunawatakia kila la heri wote muweze kuteuliwa. (Kicheko/Makofi) Baada ya hapo tutakuwa na Uchaguzi wa Mheshimiwa Naibu Spika na pia tutakuwa na Kiapo cha Mheshimiwa Naibu Spika. Baada ya hapo tutaelezana mambo mengine yanayoendana na hayo. Basi, tuanze haya mambo. Katibu. NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE: KIAPO CHA UAMINIFU KWA WABUNGE (Kiapo Kinaendelea) 355.