HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA MHESHIMIWA PROF. JOYCE LAZARO NDALICHAKO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2017/18

DODOMA MEI, 2017

i ii YALIYOMO

VIFUPISHO ...... v DIRA ...... vii DHIMA ...... vii MAJUKUMU ...... vii UTANGULIZI ...... 1 MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO NA BAJETI YA KWA MWAKA 2016/17 ...... 6 KAZI ZILIZOTEKELEZWA MWAKA 2016/17 ...... 7 USIMAMIZI WA SERA NA SHERIA ZA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA ...... 7 UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU KATIKA TAASISI ZA ELIMU ...... 8 ITHIBATI NA UTHIBITI WA ELIMU NA MAFUNZO 17 SHUGHULI ZILIZOFANYWA NA TAASISI NA MASHIRIKA KWA MWAKA 2016/17 ...... 32 USIMAMIZI WA UTEKELEZAJI WA PROGRAMU NA MIRADI ...... 75 MPANGO NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2017/18 ...... 79 URATIBU WA TAASISI NA WAKALA ZILIZO CHINI YA WIZARA ...... 89 SHUKRANI ...... 139 MAOMBI YA FEDHA KWA MWAKA 2017/18 ..... 141 KUTOA HOJA ...... 143 VIAMBATISHO ...... 144

iii iv VIFUPISHO ATC Arusha Technical College CKD Chuo Kikuu cha Dar es Salaam COSTECH Commission for Science and Technology DAAD Deutscher Akademischer Austausch Dienst DfID Department for International Development DIT Dar es Salaam Institute of Technology ESMIS Education Sector Management Information System EU European Union ESPJ Education and Skills for Productive Jobs FDC Folk Development Colleges GPS Global Positioning System IAEA International Atomic Energy Agency ICT Information and Communication Technologies IUCEA Inter-University Council for East Africa KKK Kusoma, Kuandika na Kuhesabu LANES Literacy and Numeracy Education Support MMES Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari MTUSATE Mfuko wa Kuendeleza Sayansi na Teknolojia v MUHAS Muhimbili University of Health and Allied Sciences MVTTC Morogoro Vocational Teacher Training College NACTE National Council for Technical Education NECTA National Examinations Council of NTA National Technical Award TANESCO Tanzania Electric Supply Company OVC Orphans and Vulnerable Children SADC Southern Africa Development Community SIDA Swedish International Development Agency SLADS School of Library Archives and Documentation Studies SWASH Schools Water Sanitation and Hygiene TEA Tanzania Education Authority TEHAMA Teknolojia ya Habari na Mawasiliano TET Taasisi ya Elimu Tanzania UDSM University of Dar es Salaam ToTs Training of Trainers UKIMWI Upungufu wa Kinga Mwilini UNESCO United Nations Educational Scientific and Cultural Organization UNICEF United Nations Children’s Fund VETA Vocational Education and Training Authority VVU Virusi vya Ukimwi vi DIRA, DHIMA NA MAJUKUMU YA WIZARA DIRA: Kuwa na Mtanzania aliyeelimika na mwenye maarifa, stadi, umahiri, uwezo na mitazamo chanya ili kuweza kuchangia katika kuleta maendeleo ya Taifa. DHIMA: Kuinua ubora wa elimu na mafunzo na kuweka mifumo na taratibu zitakazowezesha kupata idadi kubwa ya Watanzania walioelimika na wanaopenda kujielimisha zaidi ili waweze kuchangia katika kufikia malengo ya maendeleo ya Taifa letu. MAJUKUMU Kwa mujibu wa Hati Idhini iliyotolewa tarehe 22 Aprili, 2016, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inatekeleza majukumu yafuatayo: i. Kutunga na Kutekeleza Sera za Elimu, Utafiti, Huduma za Maktaba, Sayansi, Teknolojia, Ubunifu na Uendelezaji wa Mafunzo ya Ufundi; ii. Kuendeleza Elimumsingi kwa kutoa Ithibati ya Mafunzo ya Ualimu na Maendeleo ya Kitaalamu ya Walimu; iii. Kusimamia Uendelezaji wa Mafunzo katika Vyuo vya Maendeleo ya

vii Wananchi; iv. Kusimamia Mfumo wa Tuzo wa Taifa; v. Kuainisha Mahitaji ya Nchi katika Ujuzi na Kuuendeleza; vi. Kuweka Viwango vya Taaluma ya Ualimu; vii. Kusimamia Ithibati na Uthibiti Ubora wa Shule; viii. Kusimamia Huduma za Machapisho ya Kielimu; ix. Kutegemeza/Kuimarisha Utumiaji wa Sayansi, Uhandisi, Teknolojia na Hisabati; x. Kuendeleza Wataalamu wa ndani katika Sayansi, Teknolojia na Ubunifu; xi. Kuratibu na kusimamia utafiti na ubunifu katika fani za Sayansi na Teknolojia; xii. Uendelezaji wa Rasilimaliwatu na Uongezaji Tija ya Watumishi walio chini ya Wizara; na xiii. Kuratibu Shughuli za Idara, Mashirika, Wakala, Programu na Miradi iliyo chini ya Wizara. viii A. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, kufuatia taarifa iliyowasilishwa ndani ya Bunge lako Tukufu na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, naomba kutoa hoja kwamba sasa Bunge lako Tukufu lipokee na kujadili Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka 2016/17. Aidha, naliomba Bunge lako Tukufu lijadili na kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2017/18. 2. Mheshimiwa Spika, Naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia afya njema na kutuwezesha kushiriki Mkutano huu na kwa namna ya pekee napenda kumshukuru kwa dhati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kwa kuendelea kuniamini na kunipa fursa ya kulitumikia Taifa letu na kuwatumikia wananchi wenzangu katika nafasi hii. Ninaahidi kuwa nitaendelea kutekeleza majukumu yangu kwa ufanisi na uadilifu wa hali ya juu. Ninamuomba Mwenyezi Mungu aniongoze na kunisimamia katika kazi zangu zote.

3. Mheshimiwa Spika, Napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza Mheshimiwa Dkt.

1 John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa uongozi wake thabiti na wenye mafanikio makubwa kwa maendeleo ya Watanzania. Ninamshukuru sana Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa pamoja na Waziri Mkuu Mheshimiwa Majaliwa (Mb) kwa maelekezo mazuri na miongozo wanayonipa katika kutekeleza kazi zangu za kila siku. Aidha, ninampongeza Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi , Mheshimiwa Dkt. Ally Mohamed Shein kwa kuiongoza vema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. 4. Mheshimiwa Spika, Kwa namna ya pekee ninakushukuru na kukupongeza wewe Mheshimiwa Spika, Naibu Spika na Wenyeviti wa Bunge kwa kuongoza Vikao vya Bunge hili kwa weledi wa hali ya juu. 5. Mheshimiwa Spika, Nawapongeza pia Waheshimiwa Wabunge wote walioteuliwa na Mheshimiwa Rais ambao wameungana nasi katika Bunge hili. Wabunge hao ni Mheshimiwa Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi (Mb), Mheshimiwa Salma Rashid Kikwete (Mb), Mheshimiwa Anne Kilango Malecela (Mb), na Mheshimiwa Abdalla Majura Bulembo (Mb). Aidha, nampongeza pia Mheshimiwa Mchungaji

2 Getrude Rwakatare (Mb) kwa kuteuliwa na kuingia kwenye Bunge lako Tukufu katika nafasi ya Viti Maalum pamoja na Mheshimiwa Catherine Nyakao Ruge aliyeteuliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo kujaza nafasi ya Viti Maalum iliyoachwa wazi na Marehemu Mheshimiwa Elly Macha. 6. Mheshimiwa Spika, Vilevile, nampongeza Mheshimiwa Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi (Mb) kwa kuteuliwa na Mheshimiwa Rais kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Aidha, nawapongeza Waheshimiwa Mawaziri wenzangu wote na Naibu Mawaziri kwa kazi kubwa wanayoifanya katika Serikali hii ya awamu ya tano, ya kuleta maendeleo ya kweli kwa Watanzania. Tunaomba Watanzania wote waendelee kutuunga mkono ili nchi yetu iweze kusonga mbele kwa kasi kubwa zaidi. 7. Mheshimiwa Spika, Natoa pia pongezi zangu za dhati kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii chini ya Mwenyekiti wake Mheshimiwa Peter Joseph Serukamba (Mb) kwa kuichambua Bajeti ya Wizara yangu. Ushauri ambao umekuwa ukitolewa na Kamati hii umeiwezesha na utaendelea kuiwezesha Wizara yangu kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi zaidi. 3 8. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2016/17 Bunge lako Tukufu liliwapoteza wabunge wenzetu; Mheshimiwa Hafidh Ally Tahir (Mb) aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Dimani - CCM na Mheshimiwa Dkt. Elly Marko Macha (Mb) aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum – CHADEMA. Pia, Taifa letu lilimpoteza Mheshimiwa Samwel John Sitta aliyekuwa Spika Mstaafu wa Bunge la Tisa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa masikitiko makubwa natoa pole kwa familia zao, marafiki zao na watanzania wote walioguswa na misiba hiyo. Tunamwomba Mwenyezi Mungu azilaze roho zao mahali pema Peponi. 9. Mheshimiwa Spika, kwa masikitiko makubwa sana napenda kuungana na watanzania wenzangu katika maombolezo tuliyonayo kutokana na msiba mzito uliolikumba Taifa letu. Vifo vya wanafunzi 32, walimu 2 na dereva wa shule ya Msingi ya St. Lucky Vicent, viliyotokana na ajali ya gari iliyotokea Mkoani Arusha tarehe 06/05/2017 vimeacha simanzi na majonzi makubwa kwa watanzania wote. 10. Mheshimiwa Spika, Msiba huu umewagusa pia majirani na marafiki zetu ndani na nje ya nchi. Kwa namna ya pekee kabisa namshukuru sana Rais wa Kenya Mheshimiwa

4 ambaye alimtuma Waziri wa Elimu wa Kenya, Mheshimiwa Dkt. Fred Okeng’o Matiang’i kushiriki katika mazishi ya watoto wetu wapendwa, walimu na dereva wao. Serikali ilifarijika sana kwa ushirikiano waliotuonesha na kwa faraja kubwa waliyotupatia katika kipindi hiki kigumu cha majonzi makubwa. Tunasema Asante Sana. 11. Mheshimiwa Spika, Kwa mara nyingine natoa pole sana kwa wazazi/walezi, ndugu, jamaa, marafiki, uongozi shule, walimu, wanafunzi wa St. Lucky Vicent na wote waliopoteza wapendwa wao katika ajali hiyo mbaya. Hakika, Taifa limepoteza vijana ambao walikuwa wanajizatiti kielimu ili waweze kulitumikia taifa lao kwa weledi. Tunamuomba Mwenyenzi Mungu azilaze roho zao Mahali Pema Peponi. Aidha, tuendelee kuwakumbuka katika sala zetu, majeruhi watatu waliosalimika katika ajali hiyo na kwa kuwaombea kwa Mwenyezi Mungu awape uponyaji wa haraka ili waweze kuendelea na masomo yao. 12. Mheshimiwa Spika, Baada ya maelezo hayo ya utangulizi sasa naomba nitoe taarifa ya utekelezaji wa kazi za Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka wa fedha 2016/17 na Mpango wa Bajeti ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2017/18.

5 MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2016/17 13. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji wa Mpango wa Bajeti kwa Mwaka 2016/17 ulizingatia Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ya Mwaka 2015 - 2020, Mpango wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano wa 2016/17 – 2020/21, Malengo ya Maendeleo Endelevu 2030 na Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025. Aidha, utekelezaji wa Mpango ulizingatia pia Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014, Sera ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (1996), Sera ya Taifa ya Utafiti na Maendeleo (2010), Sera ya Taifa ya Baioteknolojia (2010) na Sera ya Taifa ya Teknolojia za Nyuklia (2013), pamoja na ahadi na maagizo ya Viongozi Wakuu wa Serikali. B.1 Bajeti iliyoidhinishwa Mwaka 2016/17 14. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2016/17 Bunge lako Tukufu liliidhinisha kiasi cha Shilingi 1,396,929,798,625.00 ambapo Shilingi 499,272,251,000.00 zilikuwa ni kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi 897,657,547,625.00 zilikuwa ni kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo. 15. Mheshimiwa Spika, Hadi kufikia tarehe 30 Aprili, 2017, jumla ya Shilingi 979,785,341,945.18 zilikuwa zimetolewa kati ya fedha zote zilizoidhinishwa kwa 6 ajili ya Wizara yangu ambapo Shilingi 350,008,368,423.59 ni kwa ajili ya Matumizi ya kawaida, sawa na asilimia 70.1 ya Bajeti iliyoidhinishwa. 16. Mheshimiwa Spika, Fedha za Maendeleo zilizotolewa ni Shilingi 629,776,872,521.59, sawa na asilimia 70.2 ya Bajeti ya Maendeleo. Aidha, fedha zilizotumika hadi kufikia tarehe 30 Aprili, 2017 zilikuwa ni Shilingi 924,821,633,369.42, sawa na asilimia 94.4 ya fedha zilizotolewa. Kati ya fedha hizo, Shilingi 345,545773,733.57 zimetumika kwa Matumizi ya kawaida na Shilingi 579,275,859,725.85 zimetumika kwenye Miradi ya Maendeleo.

KAZI ZILIZOTEKELEZWA MWAKA 2016/17 B.2 Usimamizi wa Sera na Sheria za Elimu, Sayansi na Teknolojia 17. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu ina jukumu la kuandaa na kusimamia utekelezaji wa Sera, Sheria na Kanuni katika Sekta ya Elimu ili kuhakikisha kuwa elimu katika ngazi zote inatolewa kulingana na Sheria, Kanuni na Miongozo inayokidhi mahitaji na inayolenga ufanisi katika utoaji wa elimu nchini. Katika mwaka wa fedha 2016/17 Wizara yangu imefanya uchambuzi wa mahitaji ya Mfumo 7 bora wa kisheria utakaowezesha kuwepo kwa usimamizi na uendeshaji fanisi zaidi wa elimu na mafunzo nchini. 18. Mheshimiwa Spika, uchambuzi uliofanyika, pamoja na mambo mengine, ulibaini kuwepo kwa Sheria mbalimbali zinazosimamia maeneo mahususi ya kielimu kama vile Elimumsingi na Sekondari, Elimu ya Ualimu, Elimu ya Juu, Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Mitihani ya Taifa na Mitaala. Aidha, katika mfumo huo, imependekezwa kuwepo kwa Sheria moja kuu ya elimu kwa kuzingatia Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014. Taasisi zilizo chini ya Wizara zitaendelea na utekelezaji wa majukumu chini ya Sheria zao mahususi kwa kuzingatia muktadha wa Sheria kuu. B.3 Uboreshaji wa Miundombinu Katika Taasisi za Elimu 19. Mheshimiwa Spika, Serikali ya Awamu ya Tano inatambua umuhimu wa kuwa na Rasilimali watu walioelimika na watakaoweza kuleta chachu ya maendeleo yatakayowezesha nchi yetu kujenga uchumi wa viwanda. Katika mwaka 2016/17 Wizara yangu ilifanya yafuatayo:

8 Ukarabati wa Shule Kongwe 20. Mheshimiwa Spika Wizara yangu imegharimia ukarabati wa Shule za Sekondari Kongwe 25 ambao unafanyika kama ifuatavyo: (i) Ukarabati wa Shule 10 za Jangwani, Azania, Kibaha, Kigoma, Tosamaganga, Songea Wasichana, Malangali, Milambo, Minaki, Ihungo na Nangwa unasimamiwa na Wakala wa Majengo Tanzania –TBA; (ii) Shule 9 za Mpwapwa, Musoma Ufundi, Mtwara Ufundi, Ifakara, Kantalamba, Tanga Ufundi, Ifunda Ufundi, Moshi Ufundi na Bwiru Wavulana zinasimamiwa na Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya – MUST; na (iii) Shule 5 za Iyunga, Zanaki, Kibiti, Ndanda na Tambaza zinakarabatiwa chini ya uongozi wa Shule na Kamati ya Shule. Ujenzi wa Shule ya Sekondari Ihungo 21. Mheshimiwa Spika, Mwezi Septemba 2016 Taifa letu lilipata pigo kutokana na tetemeko lililotokea katika mkoa wa Kagera. Tetemeko hilo lilisababisha uharibifu wa miundombinu ikiwemo miundombinu ya Elimu. Napenda kulifahamisha Bunge lako

9 Tukufu kuwa Serikali ya Uingereza kupitia Idara yake ya Kimataifa ya Maendeleo (DfID) iliipatia Serikali yetu kiasi cha £2.23, sawa na takribani shilingi bilioni 6, kwa ajili ya kujenga upya shule ya Sekondari ya Ihungo ambayo majengo yake yaliharibika kabisa kutokana na tetemeko la ardhi. Kazi ya kujenga upya shule hiyo inayofanywa na Wakala wa Majengo Tanzania imefikia hatua ya kuezeka na itakamilika mwezi Agosti 2017. Ukarabati wa Shule ya Msingi ya Mugeza Mseto 22. Mheshimiwa Spika, Shule ya Msingi ya Mugeza Mseto ambayo inachukua wanafunzi wenye mahitaji maalum ni miongoni mwa shule ambazo majengo yake yaliathirika na tetemeko. Napenda kutoa shukrani za dhati kwa UNICEF kwa msaada wa $318,000 walioutoa wa kufanya ukarabati wa shule hiyo, kujenga mabweni 4, zahanati 1 na Vyoo 2. Kazi inafanyika chini ya usimamizi wa Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba na imefikia hatua ya kupaua. Napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru wadau wote walioungana na Serikali katika kurejesha miundombinu ya Elimu.

10 Ukarabati wa Vyuo vya Ualimu 23. Mheshimiwa Spika, Napenda pia kuliarifu Bunge lako Tukufu kuwa Wizara yangu imegharimia ukarabati wa miundombinu ya madarasa, maabara, vyoo, mabweni, mifumo ya maji taka na maji safi katika Vyuo vya Ualimu kumi (10) vya Tabora, Korogwe, Kleruu, Butimba, Morogoro, Tukuyu, Kasulu, Songea, Mpwapwa na Marangu kwa lengo la kuongeza udahili wa wanachuo wanaosomea masomo ya Sayansi, Hisabati, TEHAMA na Ualimu wa Elimu ya Awali. Kazi iliyofanyika imeondoa changamoto zote za miundombinu katika vyuo hivyo na kufanya mazingira ya kujifunzia kuwa ya kuvutia zaidi.

Ujenzi wa Miundombinu Mipya katika Vyuo vya Ualimu 24. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2016/17, Wizara yangu i m e e n d e l e a na ujenzi na ukarabati Vyuo vinne vya Ualimu vya Kitangali, Mpuguso, Ndala na Shinyanga ambao unafadhiliwa na Serikali ya Canada pamoja na mchango wa Serikali. Hatua ya ujenzi iliyofikiwa katika vyuo hivyo ni kama ifuatavyo:

(i) Chuo cha Kitangali: ujenzi wa nyumba 3 za Wakufunzi umekamilika

11 kwa asilimia 63, nyumba ya Mkuu wa Chuo imekamilika kwa asilimia 54. Ujenzi wa madarasa, maktaba, ukumbi wa mihadhara na majengo mawili ya mabweni yenye uwezo wa kuchukua jumla ya wanafunzi 388 unaendelea;

(ii) Chuo cha Mpuguso: ujenzi wa mabweni mawili yenye uwezo wa kuchukua jumla ya wanafunzi 380 umekamilika kwa asilimia 55, Nyumba ya Mwalimu imekamilika kwa asilimia 85. Ujenzi wa maktaba, Maabara, ukumbi wa mihadhara, ukumbi wa mkutano na ujenzi wa vyoo unaendelea;

(iii) Chuo cha Ndala: ujenzi wa nyumba 3 za walimu, nyumba ya Mkuu wa Chuo, majengo 2 ya ghorofa yenye uwezo wa kuchukua jumla ya wanafunzi 380 na ujenzi wa vyoo unaendelea;

(iv) Chuo cha Shinyanga: ujenzi wa jengo la walimu la ghorofa mbili umekamilika kwa asilimia 80. Ujenzi wa majengo 2 ya bweni, ujenzi wa uzio, jengo la mabweni, majengo 2 ya madarasa, ujenzi wa maktaba na ujenzi wa ukumbi wa mihadhara unaendelea.

12 Ujenzi wa Mabweni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam 25. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2016/17, Serikali imewezesha ujenzi wa mabweni mapya 20 katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Mabweni hayo yenye uwezo wa kulaza wanafunzi 3,840 yamejengwa na Wakala wa Majengo ya Serikali chini ya usimamizi wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa. Ujenzi huo ambao umekamilika ndani ya miezi nane, utasaidia kuondoa adha waliyokuwa wanapata wanafunzi wanapopanga mitaani. Idadi ya wanafunzi watakaolala katika Mabweni haya ni kubwa kuliko idadi ya wanafunzi takriban 2,700 wanaolala katika Mabweni yaliyopo ndani ya Chuo tangu kilipoanza mwaka 1964. Mabweni mapya yalizinduliwa tarehe 15/4/2017 na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Ujenzi wa Maktaba ya Kisasa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam 26. Mheshimiwa Spika, ujenzi wa Maktaba mpya ya kisasa katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam unaendelea na utagharimu Dola za Kimarekani Milioni 41 sawa na Shilingi bilioni 86.1 ambazo zinafadhiliwa na Serikali ya China. Ujenzi 13 huu unatarajiwa kukamilika mwezi Machi 2018. Maktaba hii itakuwa na uwezo wa kutumiwa na wanafunzi 2,500 kwa wakati mmoja na itakuwa na huduma ya vyumba vya kuendesha Semina, Mikutano pamoja na Mihadhara. Maktaba hii itakuwa ni moja kati ya Maktaba kubwa katika Afrika Mashariki na Kati. Ujenzi wa Hospitali ya Kufundishia ya Mloganzila 27. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2016/17 Wizara yangu kupitia Chuo Kikuu cha Tiba na Sayansi Shirikishi Muhimbili ilikamilisha Ujenzi wa Hospitali ya Taaluma na Tiba ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi, Muhimbili (MUHAS). Hospitali hii imejengwa katika eneo la Mloganzila lenye ukubwa wa ekari 3,800. Hospitali hii ni ya kisasa kwa miundombinu na vifaa tiba vinavyotumia teknolojia ya kisasa. Hivyo itawezesha utoaji wa mafunzo ya kiwango cha hali ya juu kwa wanafunzi wa Udaktari, Ufamasia na Uuguzi. Lengo la Serikali ni kuwa na wataalamu wabobezi kwenye eneo la Afya na Tiba. Kituo cha Taifa cha Uratibu wa Hewa ya Ukaa - SUA 28. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2016/17 Chuo Kikuu cha Sokoine cha 14 Kilimo, kimekamilisha ujenzi wa jengo la Kituo cha Taifa cha Uratibu wa Hewa ya Ukaa National Carbon Monitoring Centre. Jengo hilo lenye ghorofa moja lina ofisi za walimu, vyumba vya mihadhara, vyumba viwili vya semina ambapo chumba kimoja kina uwezo wa kukaa wanafunzi 60 na chumba kingine kina uwezo wa kukaa wanafunzi 72 na ukumbi wa mikutano. Aidha, jengo hili lina vifaa vya kisasa ambavyo vinatumika kwa ajili ya utafiti na kufundishia hivyo kuweka mazingira yenye ubora wa kufanyia tafiti, ufundishaji, na ujifunzaji. Kukamilika kwa ujenzi huu kumeongeza nafasi za kufundishia wanafunzi 464. Kituo cha Mafunzo na Utafiti wa Viumbe Hai 29. Mheshimiwa Spika, Napenda pia kulifahamisha Bunge lako Tukufu kuwa ujenzi wa Kituo cha Mafunzo na Utafiti wa Mazingira na Viumbe Maji katika Ndaki ya Sayansi ya Tiba ya Wanyama na Binadamu, kupitia programu ya Training and Research in Aquatic and Environmental Health in Eastern and Southern Africa (TRAHESA) katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo awamu ya kwanza umekamilika. Kituo hiki ni cha kipekee kabisa katika eneo la Afrika na Maziwa Makuu katika umahiri wa Sayansi ya Tiba kwa viumbe vya majini.

15 Kituo kinatoa mafunzo yenye kiwango cha hali ya juu ambayo hunufaisha wanafunzi kutoka ndani na nje ya nchi. Ujenzi wa Maabara ya Sayansi - SUA 30. Mheshimiwa Spika ujenzi wa Maabara 4 za Kemia, Baiolojia, Makrobaiolojia na Mimea kwa ajili ya Kitivo cha Sayansi Kampasi ya Solomon Mahlangu ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo. Ujenzi huu utaongeza nafasi za kufundishia kwa vitendo kwa wanafunzi 400 wa masomo ya Sayansi kwa wakati mmoja na kuongeza ofisi 22 za Wahadhiri. Ujenzi wa madarasa na miundombinu ya Shule 31. Wizara yangu imeendelea kushirikiana na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa katika kuratibu uboreshaji wa miundombinu kwenye Shule za Msingi na Sekondari. Wizara yangu imeratibu ujenzi wa miundombinu katika Shule 274 (Msingi 142 na Sekondari 132) katika Halmashauri 119 ambapo ujenzi wa jumla ya Madarasa 1,081, Vyoo 2,802, Mabweni 200, Mabwalo 9, Majengo ya Utawala 6, na nyumba za walimu 11 pamoja na uchimbaji wa visima vya maji katika Shule 4 umefanyika. Ujenzi huu ulitumia njia ya Force Account kupitia Kamati za Shule ambayo imesaidia kupunguza gharama za ujenzi na kuongeza 16 ufanisi katika ukamilishaji wa ujenzi. 32. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu inatambua umuhimu wa kuwa na vyoo bora, upatikanaji wa maji safi na salama pamoja na utoaji wa Elimu ya Afya na utunzaji wa mazingira shuleni. Katika mwaka 2016/17, Jumla ya Shule 1,116 (Msingi 1,023 na Sekondari 93) zilijengewa miundombinu ya vyoo bora na kusambaziwa maji safi na salama pamoja na kuunda vikundi vya usafi vya wanafunzi ili kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia na kuongeza mahudhurio. 33. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu imechapisha jumla ya Miongozo ya Huduma ya Maji, Afya na Usafi wa Mazingira 3500. Miongozo hii imesambazwa kwenye Mikoa ya Katavi, Songwe, Geita, Njombe, na Simiyu. Miongozo hiyo itasaidia kuweka mipango ya muda mfupi na mrefu ya kuondoa tatizo la upungufu wa vyoo na maji shuleni.

B.4 Ithibati na Uthibiti wa Elimu na Mafunzo 34. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu inatambua kwamba Elimu Bora ni muhimu na ina nafasi ya pekee katika kufanikisha maendeleo ya jamii na Taifa kwa ujumla, ikiwemo kutimiza azma ya Serikali ya Awamu ya Tano ya kujenga uchumi wa viwanda na kufikia uchumi 17 wa kati ifikapo mwaka 2025. Hivyo, Wizara yangu imeendelea kuboresha na kuimarisha Mfumo wa Ithibati na Uthibiti Ubora wa Elimu. Katika mwaka 2016/17, kazi zilizofanyika ni kama ifuatavyo: Ithibati ya Shule za Msingi na Sekondari 35. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu imeendelea kusimamia Ithibati ya Shule ambapo Shule 83 zikiwemo shule za Awali na Msingi 71 na Sekondari 12 zilizokidhi vigezo zilipata usajili. Aidha, vibali vya ujenzi wa shule 95 zisizo za Serikali vilitolewa, Wamiliki 86 walithibitishwa. Aidha, Wizara ilitoa vibali vya kuongeza Tahasusi za masomo ya Sayansi kwa shule 54 za Sekondari zilizotimiza vigezo kati ya shule 79 zilizowasilisha maombi. 36. Mheshimiwa Spika, Sheria ya Elimu sura Namba 353 ya Mwaka 1978, na rekebisho lake la mwaka 1995 na 2002 pamoja na kifungu cha 1V sehemu (c) Kipengele 29 (a) kikisomwa pamoja na kipengele cha 28 vinampa mamlaka Kamishna wa Elimu kutoa usajili kwa shule na kuzifungia shule zote ambazo hazijafuata taratibu. Katika Mwaka 2016/17, Wizara yangu ilifunga shule 10 za kutwa kwa kutoa huduma ya elimu bila kusajiliwa. Hivyo napenda kutoa wito kwa wamiliki wote wa shule kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu 18 kwani Wizara yangu haitasita kuchukua hatua kwa yeyote anayekiuka taratibu. Uthibiti Ubora wa Shule za Msingi, Sekondari na Elimu ya Ualimu 37. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu inatambua kwamba Uthibiti Ubora wa Shule ni jambo muhimu katika kuimarisha ubora wa elimu na mafunzo yanayotolewa nchini. Hadi kufikia Aprili 2017, Wizara yangu ilikuwa imekagua shule 7,727 zikiwemo shule za Msingi 6,413 na Sekondari 1,314 sawa na asilimia 71.4 ya shule 10,818 zilizolengwa kukaguliwa. Aidha, ushauri ulitolewa kwa Walimu wa masomo ili kuboresha ufundishaji na ujifunzaji. Walimu Wakuu, Wakuu wa Shule na Wamiliki wa Shule nao walipata ushauri wa namna ya kuongeza ufanisi katika usimamizi na uendeshaji wa Shule. 38. Mheshimiwa Spika, ili kuimarisha Mfumo wa Uthibiti Ubora ndani ya Shule, Wakuu wa Shule za Sekondari 22 na Walimu Wakuu wa Shule za Msingi 312 wamepewa elimu kuhusu Uthibiti Ubora wa ndani ya shule, ambapo shule za Msingi na Sekondari 334 za Mfano zimewezeshwa kuunda Kamati za Uthibiti Ubora wa ndani ya shule na kuweza kujitathmini zenyewe, kubaini changamoto na kuweza kuchukua hatua za utatuzi zilizo ndani ya uwezo 19 wao. Hatua hizo zitasaidia kupunguza changamoto zinazojitokeza kwa wakati. 39. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu inaendelea na uandishi wa Kiunzi cha Uthibiti Ubora wa Shule (Quality Assurance Framework) pamoja na kuandaa zana za Uthibiti Ubora wa Shule. Mwongozo huo utakamilika Juni 2017 na utasambazwa katika ofisi zote za Uthibiti Ubora wa Shule Kanda na Wilaya pamoja na wadau wote wa Elimu kwa ajili ya utekelezaji. Ni matarajio ya Wizara kuwa kwa kutumia mwongozo huo, uthibiti ubora utafanyika kwa ufanisi zaidi. Uboreshaji wa Mazingira ya kufundishia na kujifunzia 40. Mheshimiwa Spika, Mazingira ya kufundisha na kujifunza yana mchango mkubwa katika kuinua ubora wa elimu katika ngazi zote. Katika mwaka 2016/17, Wizara yangu ilihuisha Mitaala na Mihtasari ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi Darasa la I – VI ili izingatie umahiri na kuendana na malengo ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014. Aidha, Wizara yangu inatambua kuwa uwepo wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia na umahiri wa walimu ni mambo muhimu katika kuboresha elimu nchini.

20 Upatikanaji wa Vitabu Shuleni 41. Mheshimiwa Spika, ili kuhakikisha upatikanaji wa vitabu shuleni Wizara yangu imechapisha na kusambaza vitabu shuleni kwa ajili ya Elimu ya Msingi na Sekondari. Jumla ya nakala 6,862,800 za vitabu vya Darasa la II (Awamu ya Pili) na nakala 6,818,181 za vitabu vya Darasa III tayari vimekamilika na kupelekwa shuleni. Vielelezo Na. 1a na 1b vinaonesha mgawanyo wa vitabu vya Darasa la II na III kwa kila Wlaya.

42. Mheshimiwa Spika, Kwa upande wa Sekondari, nakala 1,958,628 za vitabu vya Sekondari Kidato cha I-IV (Kielelezo Na. 2 – Vitabu vilivyosambazwa kwa Wilaya) na nakala 151,055 za vitabu kwa shule za sekondari Kidato cha 5 na 6 vimesambazwa shuleni (Kielelezo Na. 3 Vitabu Vilivyosambazwa kwa Wilaya).

43. Mheshimiwa Spika, pamoja na mafanikio ya kusambaza vitabu shuleni, Wizara imebaini kuwa vipo baadhi ya vitabu ambavyo vina makosa ya kimaudhui. Uchambuzi wa kina unafanyika kwa vitabu vyote vilivyochapishwa mwaka 2016/17 ili kubaini endapo dosari zilizobainika katika baadhi ya vitabu hazijajitokeza kwenye vitabu vingine.

21 44. Mheshimiwa Spika, Mchakato wa kuchukua hatua za kinidhamu kwa mujibu wa taratibu za utumishi umekwishaanza kwa watumishi ambao vitabu walivyoidhinisha kuwa viko sahihi vimebainika kuwa na makosa. Napenda kulihakikishia Bunge lako Tukufu kuwa hatua kali zitachukuliwa dhidi ya wahusika ili kukomesha tabia ya uzembe kwenye kazi muhimu za taifa. Aidha, baada ya uchambuzi kukamilika kwa vitabu vyote vilivyochapwa, Wizara itafanya pia maamuzi kuhusu hatua za kuchukua dhidi ya vitabu ambavyo vitabainika kuwa na dosari.

Vitabu kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum 45. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu inatambua umuhimu wa kuwawezesha wanafunzi wenye Mahitaji Maalum ili wasome kwa ufanisi. Wizara ilichapisha pia nakala 12,400 za vitabu vya kiada kwa Darasa la I katika maandishi ya Nukta Nundu na kusambazwa katika Shule za Msingi 63 zenye Wanafunzi wasioona (Kielelezo Na. 4). Vitabu vya Darasa la II na III kwa wanafunzi wasioona vinaendelea kuchapishwa. Vitabu vya masomo ya Fizikia, Kemia na Hisabati kwa Kidato cha I – II vimesambazwa shuleni kama inavyooneshwa katika Kielelezo Na. 5. 22 Kuimarisha Umahiri wa Walimu katika Ufundishaji 46. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2016/17 Wizara yangu imetoa mafunzo kuhusu Mtaala ulioboreshwa kwa Walimu 32,015 wanaofundisha Darasa la III na IV kutoka mikoa yote 26 ya Tanzania Bara; na Walimu 519 wanaofundisha wanafunzi viziwi na wasioona wa Darasa la I & II. Mafunzo haya yalilenga kuwajengea uwezo walimu katika ufundishaji na ujifunzaji. Walimu walioshiriki katika mafunzo hayo wameonyesha ari kubwa ya kuimarisha ufundishaji katika shule zao. Ni matarajio ya Wizara kuwa ufanisi wa walimu katika ufundishaji utaendelea kuimarika. 47. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu imetoa pia mafunzo kwa wawezeshaji wa Kitaifa 260 Trainers of Trainers – (ToTs) katika Mikoa 26 kuhusu ufundishaji wa masomo ya Ufundi ambao watatumika kuendesha mafunzo kwa walimu wengine wa masomo ya Ufundi katika ngazi ya Shule za Sekondari. Vilevile Wizara yangu imeandaa Mwongozo wa Mafunzo Kazini kwa walimu wa masomo ya Ufundi wanaofundisha katika Shule za Sekondari. Ununuzi na Usambazaji wa Vifaa vya Maabara 48. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu 23 imenunua vifaa vya maabara vyenye thamani ya Shilingi bilioni 16.9 kwa Shule za Sekondari 1,696 na vimeanza kusambazwa shuleni ili kuimarisha ufundishaji na ujifunzaji wa Masomo ya Sayansi kwa nadharia na vitendo. Vifaa hivyo vitasambazwa kwa kuzingatia idadi ya shule ambapo ujenzi wa maabara umekamilika (Kielelezo Na. 6.) Ushiriki katika mashindano ya insha 49. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu imeendesha mashindano ya uandishi wa Insha kwa wanafunzi wa sekondari 163 kutoka shule 80 na imetunuku zawadi kwa washindi 10 watakaoingia kwenye mashindano ya Jumuiya ya Afrika Mashariki na washindi 3 watakaoingia kwenye Mashindano ya Southern Africa Development Community (SADC). Lengo la mashindano hayo ni kuwajengea wanafunzi uwezo wa kufikiri, kuandika kwa ubunifu katika mambo mbalimbali.

Madeni ya Walimu yasiyo ya Mishahara na Motisha kwa Halmashauri 50. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu kupitia mradi wa Lipa Kulingana na Matokeo imelipa madeni ya walimu yasiyo ya mishahara yenye thamani ya Shilingi 10,505,160,275.00 kwa walimu 22,420 24 kuanzia Julai 2016 hadi Aprili 2017. 51. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu imeendelea kuratibu utoaji motisha kwa Halmashauri 179 zilizohakikiwa mwaka 2015/16 ambapo jumla ya Shilingi bilioni 22,360,574,170.60 zilitolewa kufuatana na viwango vya utekelezaji wa viashiria vya utendaji katika sekta ya elimu. Mgawanyo wa matumizi ya fedha hizo ulikuwa asilimia 35 ya fedha hizi zitumike kwa ajili ya kurekebisha Ikama ya walimu wa Shule za Msingi ndani ya Halmashauri, asilimia 30 ujenzi wa madarasa na matundu ya vyoo, asilimia 25 ukamilishaji wa maabara na madarasa na asilimia 10 kwa ajili ya ufuatiliaji na tathmini. Kiasi cha fedha za motisha kilichotolewa kwa kila Halmashauri kimewekwa kama Kielelezo Na 7.

Elimu Nje ya Mfumo Rasmi 52. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu imeandaa Mwongozo wa Uanzishaji na Uendeshaji wa Vituo vya Elimu Nje ya Mfumo Rasmi unaoendana na mazingira ya sasa kwa lengo la kutoa elimu kwa watu walioikosa itakayowasaidia kumudu mazingira yao. Vilevile, imeandaa Mwongozo wa ufundishaji wa KKK kwa watoto wanaosoma nje ya Mfumo Rasmi kwa lengo la kuwasaidia 25 walimu watakaofundisha madarasa ya Elimu Nje ya Mfumo Rasmi kwa lengo la kuwasaidia walimu watakaofundisha madarasa ya Elimu Nje ya Mfumo Rasmi; Pia, ilihamasisha vijana na watu wazima wasiojua kusoma, kuandika na kuhesabu kutoka mikoa ya Iringa na Singida kujiunga katika madarasa ya kisomo. Mafunzo ya Walimu 53. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu inatambua umuhimu wa kuwa na walimu wenye sifa, maarifa na weledi katika kuinua viwango na ubora wa elimu. Katika mwaka 2016/17 Wizara yangu imefanya yafuatayo katika eneo la Mafunzo ya Ualimu: (i) imetoa mafunzo kwa Walimu wa Masomo ya Sayansi 1,946 kwa lengo la kuboresha ufundishaji wa masomo haya katika shule za sekondari za umma na kununua kompyuta 290 kwa ajili ya vituo 20 kwa lengo la kuimarisha ufundishaji wa TEHAMA katika shule za sekondari; (ii) imeandaa Kiongozi cha Mwalimu wa Masomo ya Sayansi kwa wanafunzi wasioona na wenye uoni hafifu. Uwepo wa kiongozi hiki utasaidia wanafunzi wasioona wa sekondari kwa mara ya kwanza kuwezeshwa

26 kusoma masomo ya sayansi. (iii) imeendelea kutoa Mafunzo kwa walimu 17,307 katika Vyuo vya Ualimu 35 vya Serikali na Kuratibu Mafunzo kazini kwa wakufunzi 194 wa masomo ya Sayansi na Hisabati kwa kutumia TEHAMA. Lengo ni kuandaa walimu mahiri katika ufundishaji na ujifunzaji wa masomo ya Sayansi na Hisabati kwa kutumia TEHAMA. (iv) imeendesha Mafunzo kabilishi kwa wakufunzi 344 wanaofundisha Mtaala wa Stashahada Maalum ya masomo ya Sayansi, Hisabati na TEHAMA katika vyuo 7 vya Ualimu vya Mpwapwa, Butimba, Morogoro, Kasulu, Korogwe, Tukuyu na Songea. (v) imeanza kupitia mtaala wa Ualimu ngazi ya Cheti na Stashahada ili kuendana na mtaala wa Elimumsingi ulioboreshwa na pia kuzingatia mahitaji ya sasa.

(vi) imetoa mafunzo kwa Wakufunzi 22 juu ya uingizwaji wa masuala mtambuka katika ufundishaji. Masuala hayo ni pamoja na: Elimu Jumuishi, Usawa wa Kijinsia, Haki na Usalama wa Mtoto, Afya na

27 Mazingira Salama ya Shule, Stadi za Maisha, Elimu ya Jinsia na Virusi vya UKIMWI, na Elimu ya Mazingira. (vii) ilitoa mafunzo kwa Wakufunzi 24 kutoka vyuo vya Ualimu Mpuguso, Tandala na Tukuyu juu ya uchopekaji wa stadi za KKK katika masomo ya darasa la III hadi la VI.

(viii) imenunua na kusambaza vifaa na Kemikali kwa ajili ya maabara za Vyuo vya Ualimu vya Kasulu, Korogwe, Tukuyu, Butimba, Songea, Kleruu, Morogoro, Mpwapwa na Tabora ili kuimarisha ufundishaji na ujifunzaji kwa vitendo; (ix) imenunua vifaa vya TEHAMA zikiwemo Kompyuta 30, Kompyuta Mpakato 2 na Projekta 2 kwa kila chuo kwa vyuo vyote 10 ili kuimarisha ufundishaji wa walimu tarajali wa masomo yote hasa wanaosomea ufundishaji wa somo la TEHAMA.

Kuimarisha Utoaji wa Elimu kwa Wanafunzi wenye Mahitaji Maalum 54. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu inatambua umuhimu wa elimu katika kuleta maendeleo ya Taifa na kwamba elimu ni haki ya msingi ya kila Mtanzania.

28 Hivyo, Wizara yangu imeendelea kutoa fursa ya elimu kwa wanafunzi wenye Mahitaji Maalum kwa kununua vifaa mbalimbali vya kielimu na visaidizi kwa wanafunzi wenye baki ya usikivu na wasioona. Kielelezo Na. 8 kinaonesha vifaa vilivyosambazwa na usambazaji wake kiwilaya.

55. Mheshimiwa Spika, Vifaa vilivyonunuliwa vinajumuisha Mashine za kuandikia maandishi ya nukta nundu (Braille) 932; Vivunge (kits) vyenye vifaa vya msingi vya kujifunzia kwa wanafunzi wasioona 1,495; karatasi za kuandikia maandishi ya nukta nundu rimu 2,548; Karatasi za kurudufishia maandishi ya nukta nundu rimu 1,150; na Shime sikio - Hearing Aids kwa ajili ya wanafunzi wenye baki ya usikivu (hard of hearing) 1,150. 56. Mheshimiwa Spika, Vifaa hivi vitawezesha kuongeza fursa za kushiriki kwa ufanisi katika Elimu kwa Wanafunzi wenye mahitaji maalum. Aidha, Wizara yangu imeendelea kununua vivunge vya upimaji kwa ajili ya kubaini mahitaji ya ujifunzaji kwa watoto wanaoandikishwa shule. Vifaa hivi vimesambazwa katika mikoa yote Tanzania Bara. Kiambatisho Na. 9 kinaonesha aina ya vivunge na usambazaji wake. 29 57. Mheshimiwa Spika, Ili kuimarisha ufundishaji wa masomo ya Fizikia, Kemia na Hisabati kwa wanafunzi wasioona, Wizara yangu imeandaa Miongozo mitatu ya kufundishia na vitabu ili kuwawezesha Wanafunzi kujifunza masomo hayo kwa ufanisi zaidi. Aidha, nakala 4,400 za vitabu vikiwemo 1,400 vya Fizikia, 1,400 vya Kemia na 1,600 vya Hisabati vimechapishwa kwa maandishi ya Nukta Nundu na kusambazwa katika Shule zote 25 za Sekondari zenye Wanafunzi Wasioona. Kiambatisho Na. 10 kinaonesha usambazaji wa vitabu hivyo. 58. Mheshimiwa Spika, Vifaa hivi vitawezesha kuongeza fursa za kushiriki kwa ufanisi katika Elimu kwa Wanafunzi wenye mahitaji maalum. Aidha, Wizara yangu imeendelea kununua vivunge vya upimaji kwa ajili ya kubaini mahitaji ya ujifunzaji kwa watoto wanaoandikishwa shule. 59. Mheshimiwa Spika, Ili kuimarisha ufundishaji wa masomo ya Fizikia, Kemia na Hisabati kwa wanafunzi wasioona, Wizara yangu imeandaa Miongozo mitatu ya kufundishia na vitabu ili kuwawezesha Wanafunzi kujifunza masomo hayo kwa ufanisi zaidi. Aidha, vitabu vya Fizikia, Kemia na Hisabati vimechapishwa kwa maandishi ya Nukta Nundu na

30 kusambazwa katika Shule zote 25 za Sekondari zenye Wanafunzi Wasioona. Kuimarisha upatikanaji wa Takwimu za Elimu 60. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu imeimarisha Mfumo wa Upatikanaji na Utoaji wa Takwimu za Elimu (Education Sector Management Information System - ESMIS) kwa kutoa mafunzo juu ya matumizi ya mfumo huo kwa Maafisa Elimu Taaluma wa Mikoa yote Tanzania Bara na Maafisa Elimu wa Vifaa na Takwimu wawili kutoka kila Halmashauri. Upatikanaji wa takwimu kwa wakati utawezesha kufanya tathmini ya utekelezaji wa Sera, kuandaa mipango ya elimu na kutoa maamuzi stahiki. Kuimarisha Sayansi, Teknolojia na Ubunifu. 61. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu ina jukumu la kusimamia na kuendeleza Sayansi, Teknolojia na Ubunifu pamoja na matumizi yake katika kuchochea maendeleo ya uchumi wa viwanda. Katika mwaka 2016/17, Wizara yangu imeandaa rasimu ya Mwongozo wa Kutambua Wabunifu na Wagunduzi nchini National Inventions and Innovations Guidelines kwa lengo la kuendeleza bunifu na gunduzi zao ili kuchochea maendeleo ya Taifa. Aidha, imefanya mapitio ya Mkataba wa 31 Makubaliano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Uswisi ili kuimarisha ushirikiano na kupanua wigo wa ushirikiano kwa kuzihusisha taasisi nyingine za Tafiti na kuongeza maeneo ya ushirikiano kwenye nyanja za Sayansi, Teknolojia na Ubunifu.

SHUGHULI ZILIZOFANYWA NA TAASISI NA MASHIRIKA KWA MWAKA 2016/17 62. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu imeendelea kuratibu kazi za Taasisi, Wakala na Vyuo vya Elimu ya Juu vya Umma. Shughuli zilizofanyika katika mwaka 2016/17 ni kama ifuatavyo: Taasisi ya Elimu Tanzania 63. Mheshimiwa Spika, Taasisi ya Elimu Tanzania inalo jukumu la kuandaa Mitaala na Mihtasari, kutoa Miongozo kuhusu vifaa vya kufundishia na kujifunzia, kutoa Mafunzo kwa Walimu kazini na kufanya utafiti na ufuatiliaji wa utekelezaji wa Mitaala katika Elimu ya Awali, Msingi, Sekondari na Ualimu. Katika mwaka 2016/17 Taasisi ya Elimu ilifanya kazi zifuatazo: (i) Ilipitia Mtaala na mihtasari ya Elimu ya Awali, Darasa la I –VI kwa lugha ya Kiswahili na Kiingereza na kuandaa Miongozo ya walimu ya 32 Elimu ya Awali, Darasa la I –VI kwa lugha ya Kiswahili na Kiingereza. (ii) ilikamilisha Miswada 18 ya vitabu vya Darasa la IV hadi la VI vinavyokidhi mahitaji ya utekelezaji wa mtaala, pamoja na kuandika Vitabu vya Kiada aina 22 kwa kuzingatia Mtaala ulioboreshwa. (iii) ilisambaza nakala 60,672 za Mtaala, nakala 303,360 za Mihtasari na nakala 1,840,183 za vitabu vya kiada Darasa la III – VI. (iv) ilifanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa mtaala kwa Darasa la I na II katika mikoa 10 ya Tanzania Bara. Mikoa hiyo ni: Dar es Salaam, Mtwara, Lindi, Ruvuma, Tabora, Geita, Dodoma, Singida, Arusha na Mbeya. (v) imehuisha Mihtasari ya Masomo ya Mchepuo ya Sayansi Kimu, Ufundi na Kilimo Kidato cha 1- 4 na kuchapisha Vitabu vya kiada aina 30 vya Kidato cha 1 - 4 na aina 15 za vitabu kwa Kidato cha 5-6. Aidha, imeandaa Mihtasari 18 ya Sekondari Kidato cha 1-6 inayoendana na Mtaala wa mwaka 2005; na kusambaza nakala 1,531,627 za vitabu vya kiada kwa Kidato cha 1 – 6 katika mikoa 20 ya Tanzania Bara. 33 (vi) imetoa Mafunzo kwa wawezeshaji 22 wa kitaifa kutoka katika Vyuo vya Ualimu, Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Agha Khan Foundation, Right to Play na Idara ya Uthibiti Ubora wa Shule, wakufunzi 375 na walimu 16,129 wa Elimu ya Awali katika vituo 19 Tanzania Bara; na mafunzo kwa Wakuu wa Vyuo 22 kutoka Vyuo vya Serikali na watatu (3) kutoka Vyuo Visivyo vya Serikali vinavyotoa mafunzo ya Elimu ya Awali kuhusu uendeshaji wa mafunzo ya Walimu wa Elimu ya Awali. Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) 64. Mheshimiwa Spika, Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) ina majukumu ya kuratibu, kuthibiti, kugharimia, kutoa na kukuza Mafunzo ya Ufundi Stadi nchini. Katika Mwaka 2016/17, Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) ilitekeleza kazi zifuatazo: (i) Ilidahili Wanafunzi 11,672 wa Mafunzo ya Ufundi Stadi ya muda mrefu katika Vyuo 28 vya Ufundi Stadi vya VETA wakiwemo Wanawake 3,286 na Wanaume 8,386 ikilinganishwa na lengo la udahili wa 34 wanafunzi 10,463. (ii) Ili kuongeza fursa za kujiunga na Mafunzo ya Ufundi Stadi, iliendelea na ujenzi wa Vyuo vya Ufundi Stadi kama ifuatavyo:- (a) Ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi cha Njombe Wilayani Ludewa umeanza katika ngazi ya uchimbaji msingi. (b) Ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi Namtumbo ambao upo katika hatua ya ujenzi wa misingi ya majengo mbalimbali. (c) Ujenzi wa Jengo la Utawala katika Chuo cha Ufundi Stadi Kihonda pamoja na majengo mawili ya karakana za umeme wa magari na ufundi seremala umefikia hatua za kuanza kupauliwa. (iii) Ujenzi wa Karakana ya kisasa ya Useremala katika Chuo cha Ufundi Stadi cha Mkoa wa Dodoma kwa ajili ya ufundishaji na utengenezaji wa samani za kisasa uko katika hatua za mwisho. Karakana hii itatumika pia katika kutengeneza samani kwa ajili ya biashara na hivyo kukiongezea chuo mapato na kupunguza utegemezi kwa Serikali;

35 (iv) Ukarabati wa awamu ya kwanza wa Chuo cha Ufundi Stadi cha Busokelo uliohusisha Karakana 3, Jengo la Utawala na Madarasa 2. Kwa sasa wanafunzi 60 wamedahiliwa katika Chuo hicho na kuanza mafunzo mwezi Machi, 2017 katika fani tatu (3) za Ubunifu, Ushonaji na Teknolojia ya Nguo; Useremala na Ufungaji Umeme; (v) Ukarabati wa Chuo cha Ufundi Stadi cha Nkowe kilichopo wilayani Ruangwa umefanyika na tayari Chuo kimepokea wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza wapatao 28 katika Fani za Ufundi wa Umeme, Ujenzi, na Ushonaji. Tunatarajia baada ya ukarabati wa bweni la Wasichana kukamilika, idadi ya wanafunzi wa kike hasa katika fani ya Ushonaji itaongezeka; na (vi) imepata mkadarasi kwa ajili ya kukarabati Chuo cha Ufundi Stadi cha Wilaya ya Karagwe ambapo kazi itaanza rasmi mwezi Juni, 2017 baada ya kukamilika kwa taratibu za mkataba. (vii) kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu VETA ilifanya makubaliano ya kurasimisha ujuzi wa 36 mafundi stadi 3,900 waliopata ujuzi nje ya mfumo rasmi wa mafunzo; (viii) imetoa mafunzo mbalimbali kwa Wakufunzi/Walimu, Watumishi wa VETA na Wajasiriamali wapatao 1,437 kuhusu kuandaa, kufundisha na kupima mitaala inayozingatia umahiri na masuala ya upatikanaji wa taarifa za kazi. Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu – (HESLB) 65. Mheshimiwa Spika, Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu ina jukumu la kutoa Mikopo kwa Wanafunzi wahitaji waliodahiliwa katika Taasisi za Elimu ya Juu kwa ajili ya masomo ya Shahada. Bodi pia ina jukumu la kukusanya marejesho ya mikopo iliyotolewa kwa Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu. Katika mwaka 2016/17, Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu ilifanya yafuatayo: (i) ilitoa mikopo kwa jumla ya wanafunzi 122,374 ambapo wanafunzi 28,785 ni wapya ambao mkopo wao unagharimu Shs 104,613,516,187 na wanafunzi 93,559 ni wanaoendelea na masomo ambao unagharimu Shs 379,180,441,499. (ii) ilitoa ruzuku ya Shs. 37 4,627,160,700.00 kwa wanafunzi 1,584 wanaoendelea na masomo ndani ya nchi na Shs. 811,091,544.00 kwa wanataaluma 44 wanaoendelea na mafunzo ya uzamivu nchini Ujerumani. (iii) ilitoa mikopo wanafunzi 448 wanaoendelea na masomo katika Vyuo Vikuu mbalimbali nje ya nchi ambapo jumla ya Shs 5,362,054,708.00 zilitumika hadi kufikia Aprili, 2017. (iv) inaendelea kutekeleza mikakati ya kukusanya madeni ikiwa ni pamoja na utoaji elimu kwa wanufaika na waajiri kuhusu umuhimu na faida kurejesha mikopo kwa wakati. (v) imeendelea kuimarisha ushirikiano na Mamlaka nyingine hususan Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Wizara ya Fedha na Mipango, Mifuko ya Hifadhi za Jamii, Taasisi za Kifedha, Idara ya Uhamiaji na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kwa lengo la kuwatambua Waajiri na Wanufaika Waajiriwa. Ushirikiano utawezesha kutumia Kanzi –Data za Taasisi nyingine ili kubaini wanufaika wengi zaidi. 38 66. Mheshimiwa Spika, Napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru waajiri kwa ushirikiano mkubwa wanaoutoa katika kuhakikisha wanufaika wa mikopo wanafanya marajesho kwa wakati. Aidha, nitumie fursa hii kuwataka wanufaika wote ambao hawajaanza kufanya marejesho kutekeleza wajibu huo mara moja ili kuepuka usumbufu wa kuchukuliwa hatua za kisheria.

Kituo cha Maendeleo Dakawa 67. Mheshimiwa Spika, Kituo cha Maendeleo Dakawa kina jukumu la kutunza na kuhifadhi majengo, vifaa, na miundombinu yote iliyokabidhiwa na chama cha ANC kwa ajili ya kulinda historia ya Ukombozi wa Afrika Kusini. Wizara yangu inao mpango wa kukiendeleza kituo hiki na kukitumia katika kutoa Elimu ya Sayansi, TEHAMA na Ufundi ili kukifanya kuwa Kitovu cha utoaji wa Elimu ya Sayansi na Teknolojia (Centre of Excellence for Science and Technology). Ili kutimiza azma hiyo katika Mwaka 2016/2017, Kituo cha Maendeleo Dakawa kimetekeleza yafuatayo; i. Kimeanza taratibu za kupata Hati Miliki ya Kituo kilichokabidhiwa kwa Serikali na chama cha ANC cha Afrika Kusini; ii. Kimefanya ukarabati na matengenezo ya mitambo ya kusukuma maji safi; 39 na iii. Kimeanza maandalizi ya kuandaa Muundo wa Kisheria wa Uendeshaji wa Kituo. Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi (FDCs)

68. Mheshimiwa Spika, Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi (FDCs) vina jukumu la kusimamia Mafunzo ya Ufundi Stadi na Elimu ya Wananchi kulingana na mahitaji ya jamii husika na kutengeneza Programu za Mafunzo hayo. Katika mwaka 2016/17 Wizara ilifanya yafuatayo: (i) ukarabati wa miundombinu ya Madarasa, Mabweni, Karakana pamoja na kutoa vifaa vya kufundishia na kujifunzia kwa Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi (FDCs) vya Kasulu, Rubondo, Gera, Kisarawe, Karumo, Sengerema na Bariadi ili viweze kuendelea kutoa mafunzo ya ufundi stadi. (ii) imesambaza vifaa vya ufundi katika fani za magari, umeme wa magari, umeme, uashi, useremala, uchomeleaji, ushonaji, fotokopia, na kompyuta ili kuimarisha ufundishaji. (iii) Imefanya kikao na Wakuu wa Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi hapa Dodoma tarehe 3 Machi, 2017 40 ambapo changamoto za Vyuo hivi zilijadiliwa zikiwemo uchakavu wa miundombinu, uboreshaji wa mitaala, migogoro ya ardhi, madeni ya wazabuni na madai ya Watumishi. Maazimio 17 yalitolewa na yanafanyiwa kazi ili kutatua changamoto zilizopo katika Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi. Chuo Kikuu Cha Ushirika Moshi 69. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2016/17 Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi kimefanya ukarabati wa ofisi 11 za Mikoa ili kuboresha usimamizi wa ofisi za Mikoa kwa kupitia mradi wa Market Infrastructure, Value Addition and Rural Finance Support (MIVARF). Ukarabati uliofanyika na uwekaji wa samani umegharimu Jumla ya shilingi 230,780,457.00. Aidha, Chuo kimefanya ukarabati wa vyumba vya mihadhara, mabweni, nyumba za makazi ya wahadhiri na ofisi. Kazi hii imeboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia katika Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi. Chuo Kikuu Cha Mzumbe 70. Mheshimiwa Spika, katika Chuo Kikuu cha Mzumbe Wizara imefanya ukarabati na ujenzi wa miundombinu kwenye Kampasi ya Mbeya wenye thamani ya 41 Shilingi bilioni 1.5. Aidha, uimarishaji wa miundombinu umeendelea kwa kujenga Jengo la Taaluma na Utawala ambalo litagharimu shilingi bilioni 2.7. Hadi sasa Serikali imeshatoa shilingi milioni 800 kwa ajili ya ujenzi huo. Aidha, Chuo kimepokea mkopo wa shilingi Milioni 500 kutoka TEA kwa ajili ya ujenzi wa jengo hilo. Kazi zilizokwishafanyika ni pamoja na ujenzi wa msingi, nguzo na jamvi ghorofa ya kwanza. Kukamilika kwa kazi hizi kutaongeza fursa za masomo kwa wanafunzi wa fani za uongozi na kuboresha mazingira ya kufundishia na ujifunzaji katika Kampasi ya Mbeya. Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa 71. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2016/2017 Wizara yangu kupitia Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa kimetekeleza kazi zifuatazo: (i) Kimeongeza udahili wa wanafunzi kutoka wanafunzi 3,682 mwaka 2015/2016 hadi kufikia wanafunzi 4,135 mwaka 2016/2017, wakiwemo wanawake 886 ambao ni sawa na asilimia 24; (ii) Kimefanya ukarabati wa maeneo ya kujifunzia kwa kujenga madawati ya kujisomea (reading platforms); (iii) Kimeazisha shahada ya uzamili katika 42 Sayansi na Elimu kwa masomo ya Biolojia na Kemia; na (iv) Kimefanya ukarabati wa mabweni ya wanafunzi na kuendelea na ujenzi wa ukumbi wa mihadhara; Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania (OUT) 72. Mheshimiwa Spika, Kimekamilisha ukarabati wa Kituo cha Chuo Kikuu Huria cha Tanzania cha Geita kwa kuboresha kumbi za Mihadhara na Ofisi za Wahadhiri, kazi iliyogharimu Shilingi milioni 31.2. Aidha, ukarabati wa miundombinu unaendelea katika Kituo cha Mwanza kwa kuongeza kumbi za Mihadhara na Vyumba vya mitihani, ambapo Shilingi milioni 100 zimetumika. Ukarabati wa Vituo hivi utaboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia na hivyo kutoa Elimu yenye ubora zaidi. Baraza la Mitihani la Tanzania – NECTA 73. Mheshimiwa Spika, Baraza la Mitihani la Tanzania lina jukumu la kuendesha Mitihani ya Taifa na kutunuku vyeti kwa wahitimu. Katika mwaka 2016/17, limefanya kazi zifuatazo: (i) limeendesha upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne uliofanyika mwezi Novemba, 2016 ambapo jumla ya watahiniwa 1,017,776 walifanya mtihani kati ya 1,054,191 waliokuwa 43 wamesajiliwa. Upimaji wa Kitaifa wa Kidato cha Pili ambapo, jumla ya watahiniwa 410,519 walifanya upimaji huo kati ya 435,075 waliokuwa wamesajiliwa; (ii) limeendesha Mtihani wa Taifa wa Kumaliza Elimu ya Msingi Mwaka 2016 ambapo jumla ya watahiniwa 789,479 walifanya mtihani huo kati ya 795,739 waliokuwa wamesajiliwa; pamoja na Mitihani ya Kidato cha Nne na Maarifa ambapo jumla ya watahiniwa 414,608 walifanya mitihani hiyo kati ya 429,033 waliokuwa wamesajiliwa. (iii) limekamilisha usajili wa watahiniwa wa Kidato cha Sita (ACSEE) 2017 ambapo jumla ya watahiniwa 74,801 wanaendelea kufanya Mtihani huo ulioanza tarehe 2 Mei, 2017. (iv) limeimarisha usalama wa mitihani na kurahisisha kazi ya ufungaji wa mitihani ya Taifa kwa kununua mashine ya Kielektroniki ya kuhesabu na kufunga karatasi za mitihani (poly wrapping and Packing machine). (v) Imekamilisha kazi ya kuunda mfumo wa Kompyuta utakaotumika

44 kuwasajili wanafunzi wote wa shule za msingi nchini. Katika mfumo huu, kila mwanafunzi atasajiliwa na kupatiwa namba ya pekee ya utambulisho ambayo itamtambulisha katika hatua zote za mafunzo atakazoendelea nazo. (vi) Lilifanya uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma wa Serikali za Mitaa, Taasisi/Mashirika ya Umma, Wakala wa Serikali na taarifa yake kukabidhiwa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma. Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) 74. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu kupitia Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima ina jukumu la kutekeleza Sera ya Elimu ya watu Wazima na Elimu Nje ya Mfumo Rasmi. Katika mwaka 2016/2017 Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima imetekeleza kazi zifuatazo; (i) Imejenga kumbi mbili za mihadhara na ofisi mbili za wafanyakazi katika Kampasi ya Morogoro (WAMO). Ujenzi upo katika hatua ya kupaua; (ii) Imefanya ukarabati wa Madarasa mawili yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 50 kila moja, Jengo la utawala, Jengo la Maktaba, Chumba 45 kimoja cha Mgahawa, chumba cha Kompyuta, bweni moja na vyoo vya wanafunzi katika Kampasi ya Luchelele Mwanza; (iii) Imedahili wanafunzi 855 katika program za muda mrefu za Shahada, Stashahada na Astashahada; (iv) Imenunua Vitabu 346 kwa ajili ya mafunzo ya Shahada na Stashahada na kuwekwa katika maktaba za TEWW Dar es salaam (120) na Mwanza (226); na (v) Imesajili vituo vipya 72 vinavyotoa Elimu ya Sekondari nje ya mfumo rasmi na kufanya jumla ya vituo kuwa 420. Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) 75. Mheshimiwa Spika, Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu una majukumu ya kuandaa na kuendesha mafunzo ya muda mfupi na mrefu katika uongozi na uendeshaji wa elimu; kufanya utafiti, kuandaa na kusambaza makala na vitabu pamoja na kutoa ushauri wa kitaalamu katika mambo yanayohusu uongozi na uendeshaji wa elimu. Katika mwaka 2016/17, ADEM ilifanya shughuli zifuatazo:

46 (i) imekarabati majengo 2 ya mihadhara na mfumo wa umeme, kufunga viti na meza 831 na kununua seti ya Komputa 117 kwa ajili ya uendeshaji wa mafunzo katika Kampasi ya Bagamoyo. (ii) iliandaa na kuendesha mafunzo ya muda mfupi na mrefu katika uongozi na uendeshaji wa elimu ambapo imetoa mafunzo ya Cheti cha Uongozi na Usimamizi wa Elimu (CELMA) kwa Walimu Wakuu 706 kutoka Mikoa ya Iringa, Mbeya, Njombe na Songwe. (iii) imetoa mafunzo ya Usimamizi wa Shule na ujenzi wa miundombinu na majengo kwa Wakuu wa Shule 1,200. (iv) imetoa mafunzo kuhusu usimamizi wa elimu katika ngazi ya shule kwa wajumbe 129,609 wa Kamati za Shule za Msingi zipatazo 11,647 kwenye Mikoa 19. (v) imenunua magari 3 kwa ajili ya matumizi ya Wakala na imefadhili watumishi 3 masomo ya Shahada ya Uzamivu ambao wanaendelea na masomo kwenye Vyuo vya hapa nchini.

47 Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania 76. Mheshimiwa Spika, Huduma bora za Maktaba zinachangia katika utoaji wa Elimu bora katika nchi yoyote ile. Wizara yangu katika mwaka 2016/17 kupitia Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania imefanya kazi zifuatazo: (i) imewezesha upatikanaji wa vitabu 68,801, magazeti 10,698 na majarida 461. (ii) imeendelea kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu uanzishaji, upangaji na uendeshaji wa Maktaba za shule na vyuo katika shule 88, (msingi 46 na sekondari 42), katika Jiji la Dar es Salaam na katika Taasisi za All Together in Dignity to Overcome Poverty Awali na Msingi (ATD), Mahabusu ya Watoto ya Jiji la Dar es Salaam, Ubalozi wa Marekani, Tanzania House of Talent (THT), Fore Plan Clinic na Alliance Francee Library. (iii) imeimarisha maktaba 43 kwenye Mikoa na Halmashauri kwa kuanzisha reading corners za kujifunzia stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu.

77. Mheshimiwa Spika, Naomba nitumie fursa hii kutoa wito kwa Waheshimiwa Wabunge 48 tushirikiane kuhimiza Halmashauri zote nchini pamoja na Wadau kuona umuhimu wa kuanzisha Maktaba na kuhamasisha wananchi kujenga utamaduni wa kusoma Vitabu, Vijarida na Machapisho mbalimbali. Wizara yangu iko tayari kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu uanzishwaji na uendeshaji wa Maktaba. Mamlaka ya Elimu Tanzania – TEA 78. Mheshimiwa Spika, Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) ina jukumu la kusimamia Mfuko wa Elimu na kuhamasisha uchangiaji ili kuongeza nguvu za Serikali katika kugharamia miradi ya elimu. Katika mwaka 2016/17 Mamlaka ya Elimu Tanzania ilifanya kazi zifuatazo: (i) ilifuatilia katika shule 40 za Msingi na Sekondari katika Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Morogoro na Iringa zilizopatiwa vifaa vya kuboresha mazingira ya elimu vikiwemo madawati, vifaa vya TEHAMA na mabati ili kuhakiki ubora wa vifaa, matumizi na hatua za utekelezaji wa miradi kulingana na kiasi cha fedha kilichotolewa. (ii) ilifuatilia miradi 15 inayoendelea ya ujenzi wa nyumba za walimu katika shule za sekondari za Uleling’ombe - Kilosa, Luegu - Namtumbo, Isanzu 49 - Mkalama, Kinamapula - Ushetu, Ndoloeleji - Itilima, Kandawale - Kilwa zilizopo katika maeneo magumu kufikika ili kuhakiki maendeleo ya kazi za ujenzi. Tume ya Taifa ya UNESCO 79. Mheshimiwa Spika, Tume ya Taifa ya UNESCO ina majukumu ya kuratibu na kutekeleza Programu za UNESCO nchini katika nyanja za Elimu, Sayansi Asilia, Sayansi Jamii, Utamaduni, Mawasiliano na Habari. Katika mwaka 2016/17, Tume ya Taifa ya UNESCO imeandaa, imechapisha na kusambaza nakala 700 za Jarida la Tanzania na UNESCO Toleo namba 13, imefadhili Walimu 35 wa shule za sekondari waliopata Mafunzo ya juu ya Competence Based Assessment, imefanya mikutano kupitia Kamati za kitaifa ili kuboresha mahusiano na utekelezaji wa programu za UNESCO na kuratibu mkutano wa vijana wa kikanda pamoja na mikutano mingine ili kuwajengea uwezo katika masuala ya amani, uongozi na stadi za kimaisha. Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) 80. Mheshimiwa Spika, Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) lina jukumu la kusimamia Ithibati na Uthibiti Ubora wa Elimu ya Ufundi nchini. Katika mwaka 50 2016/17, NACTE ilifanya kazi zifuatazo: (i) Ilidahili wanafunzi 96,694 wa elimu ya ufundi katika Vyuo 551 vilivyosajiliwa na NACTE. (ii) Ilihakiki Mitaala 15 ya Programu za Mafunzo kutoka Vyuo 4 vya Elimu ya Ufundi; (iii) iliidhinisha mitaala 9 inayozingatia mahitaji ya soko la ajira na viwango vya Kitaifa na Kimataifa iliyoandaliwa na Taasisi ya Ustawi wa Jamii, Chuo cha Bahari Dar es Salaam, na Chuo cha Taifa cha Usafirishaji. (iv) ilifanya post validation kwa Mitaala 16 kutoka Vyuo 5 vya Elimu ya Ufundi na ilifanya uhakiki wa awali (prevalidation) kwa Mitaala 45 ya Programu mbalimbali za mafunzo. (v) iliandaa mfumo wa udahili na kuchakata matokeo ya Watahiniwa Kanuni na Miongozo ya Uthibiti wa Ubora wa Rasilimali Watu katika Vyuo vya Elimu ya Ufundi nazo ziliandaliwa. (vi) itaendelea kutengeneza na kuboresha mifumo ya kieletroniki itakayosaidia kuhakikisha ubora wa Elimu ya Ufundi ikiwemo Mifumo ya ukusanyaji wa takwimu za 51 wanafunzi; usimamizi wa rasilimali watu Vyuoni na mfumo wa kutoa vyeti na transcript kwa Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Ufundi. (vii) ilikagua Vyuo 88 vya Elimu ya Ufundi na kufanya tathmini juu ya ubora wa utoaji wa mafunzo ambapo baadhi ya vyuo vilifungiwa kwa sababu mbalimbali (viii) itaendelea kuimarisha Ofisi za Kanda ikiwemo kuwaongezea Nguvukazi na vitendea kazi ili kuwafikishia walengwa wote huduma bora. Wizara inategemea kufanya utafiti katika maeneo yanayohusu utoaji wa Elimu ya Ufundi na kutoa ushauri stahiki ili kuhakikisha elimu ya ufundi inakidhi haja ya soko la ajira. Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania 81. Mheshimiwa Spika, Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania ina jukumu la kuhakiki ubora wa Elimu ya Juu kwa kutoa Ithibati. Katika mwaka 2016/17 Tume ya Vyuo Vikuu ilifanya yafuatayo: (i) iliratibu mfumo wa udahili wa pamoja ambapo jumla ya wanafunzi 69,539 walidahiliwa. Idadi hii iliongezeka ikilinganishwa na mwaka 2015/16 ambapo walidahiliwa wanafunzi 52 64,919. Aidha, kati ya wanafunzi hao waliodahiliwa mwaka 2016/17 wanafunzi 44,765 wako katika Vyuo vya Serikali na 24,774 katika vyuo binafsi (Kielelezo 11a na 11b). (ii) imeendelea kusimamia ubora wa Elimu ya Juu kwa kukagua Vyuo Vikuu 98 ili kuhakiki Ubora wa Mitaala, ufundishaji vyuoni na uwezo wa vyuo katika utoaji wa Elimu ya Juu nchini. Maeneo yaliyozingatiwa katika ukaguzi huo ni pamoja na uwepo wa Wahadhiri wa kutosha na wenye sifa, uwepo wa miundombinu stahiki, uwepo wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia, uwezo wa maabara na karakana kulingana na mahitaji ya mafunzo husika pamoja na uongozi wa Vyuo. Aidha, Vyuo vilivyobainika kuwa na kasoro vitaendelea kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na Taratibu; (iii) ilishiriki kwenye vikao vya kikanda vinavyohusiana na Elimu ya Juu ikiwa ni pamoja na vikao vya Inter – University Council for East Africa, Southern Africa Development Community na Kamati ya Ufundi ya Elimu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa lengo la kupata uzoefu na kuongeza weledi katika kusimamia

53 ubora wa Elimu ya Juu; (iv) imeendelea kuratibu utoaji wa ufadhili kwa wahadhiri 44 wanaoendelea na masomo ya ngazi ya uzamivu nchini Ujerumani; (v) ilifanya ukaguzi wa Chuo Kikuu kinachopendekezwa kuanzishwa cha Greenbird kilichopo Mwanga, Mkoani Kilimanjaro na kubaini kuwa hakijakidhi vigezo vya kuwa Chuo Kikuu. (vi) ilitambua Tuzo 547 za ngazi mbali mbali zilizotolewa katika Vyuo vya Elimu ya Juu nchi za nje; (vii) iliandaa Maonesho ya 11 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia ambapo Vyuo vya Elimu ya Juu sitini (60) vya ndani na nje ya nchi vilishiriki. Chuo Cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA) 82. Mheshimiwa Spika, Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA) kina jukumu la kutoa mafunzo katika Fani za Sayansi Jamii, kufanya utafiti; na kutoa ushauri. Katika mwaka 2016/2017 kilitekeleza majukumu yafuatayo: (i) Kimeandaa mitaala minne ya Ngazi ya Shahada katika fani za Elimu. 54 (ii) kimeandaa Mitaala na Vifaa vya ufundishaji wa Stashahada ya Elimu ya Msingi; Stashahada ya Maktaba na Habari na kiliwezesha Wahadhiri 44 kupata mafunzo kwa lengo la kufundisha kwa ufanisi Stashahada ya Elimu ya Msingi na Stashahada ya Maktaba na Habari. (iii) kimeandaa Mitaala ya Shahada za Uzamili za Miradi na Usimamizi Master in Project Planning and Management, Human Resources Management, Educational Planning and Administration na Gender and Development pamoja na mafunzo kwa Kozi fupi 6 juu ya maadili na uongozi na (iv) kimechapisha Tafiti 37 katika Majarida ya Kimataifa ya Tafiti za Kisayansi. Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) 83. Mheshimiwa Spika, Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) ina jukumu la kuratibu na kuendeleza utafiti na ubunifu nchini. Aidha, Tume hiyo imepewa jukumu la kisheria la kusimamia Mfuko wa Taifa wa Uendelezaji Sayansi na Teknolojia (MTUSATE). Katika kukuza na kuendeleza teknolojia nchini COSTECH imefanya yafuatayo:

55 (i) Imekamilisha maandalizi ya kufungua kumbi za ubunifu (innovation spaces) na Atamizi/Virtual Incubator katika Mikoa ya Mwanza na Iringa. Vyuo Vikuu vya Dodoma, Dar es Salaam, Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela na Zanzibar State University (SUZA) vimeelekezwa kuanzisha atamizi ili kukuza ubunifu miongoni mwa vijana. Atamizi hizi zinachochea uendelezaji wa ubunifu katika sekta mbalimbali na kuongeza ajira kwa vijana; (ii) imeendelea kufadhili Watafiti 27 wanaoendelea na mafunzo ya Shahada ya Uzamili (4) na Uzamivu (23); (iii) kwa kushirikiana na Taasisi ya Teknolojia ya Denmark, imetoa elimu juu ya miliki ubunifu na uhawilishaji wa teknolojia (intelectual propert right) kwa watafiti na wanasayansi (30) toka taasisi za utafiti na elimu ya juu. Mafunzo hayo yanalenga kuwawezesha watafiti kulinda ubunifu wao; (iv) Imefadhili miradi ya tafiti 18 katika maeneo ya Viwanda, Afya, Kilimo, Mifugo na Maliasili ili matokeo ya utafiti yaweze kuleta majawabu ya changamoto katika jamii; 56 (v) Kupitia mfuko wa MTUSATE imefadhili wanafunzi (2) wanaoendelea na mafunzo ya uzamili (4) na uzamivu (23). Aidha COSTECH imeanza utaratibu wa kudahili wanafunzi wapya (50) kujiunga na shahada ya uzamili (35) na uzamivu (15); (vi) Ili kufanikisha usambazaji wa matokeo ya utafiti yaweze kuwafikia wadau wengi, COSTECH imeanza ukarabati wa chumba cha studio maalum kwa ajili ya kuandaa vipindi vya redio, televisheni na machapisho ya kisayansi katika ili viweze kurushwa katika vyombo mbalimbali vya habari. Kwa lengo la kuhimiza utamaduni wa kutumia sayansi, teknolojia na ubunifu katika kutatua matatizo yanayoikabili jamii; na (vii) imefanyika ukarabati na kununua vifaa vya maabara katika Kituo cha Utafiti wa Uvuvi (TAFIRI – Sota) kilichopo mkoa wa Mara. Aidha, ukarabati wa Taasisi ya utafiti wa mifugo Tanga (TALIRI) unaendelea. Ukarabati huu utaboresha miundo mbinu ya utafiti na kufanya matokeo ya utafiti yawe na ubora zaidi.

57 Chuo cha Ufundi Arusha 84. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2016/17, Chuo cha Ufundi Arusha kilitekeleza kazi zifuatazo: (i) Kimeandaa mtaala utakaotumika katika Kituo cha Kikuletwa kutoa Mafunzo ya Ufundi Stadi Ngazi ya Cheti katika fani za Hydropower Maintenanace; Domestic Electrical Installation; Plumbing and Pipe fitting; na Blockwork and Masonry; (ii) Kimetoa mafunzo ya ukarabati wa Miundombinu pamoja na Mitambo ya kuzalisha umeme utokanao na nguvu za maji Hyropower kwa Wanataaluma 19 wa Chuo ili kuwajengea uwezo, zaidi katika fani zao; (iii) Kimekamilisha mchakato wa kuanzisha mafunzo Ufundi Sanifu Ngazi ya Stashahada ambayo yanatarajiwa kuanza Mwezi Oktoba, 2017 katika fani ya Electrical and Hydropower Maintenance; (iv) Kimeanza kufanya Usanifu wa jengo lenye Madarasa na Maabara za Programu za Madini na Vito, Uhandisi wa Vifaa Tiba, Uhandisi wa Mawasiliano ya Anga na Teknolojia ya Mawasiliano ya Habari katika Chuo

58 cha Ufundi Arusha ili kuongeza udahili katika fani hizo; (v) Kimefanya tafiti zinazolenga kuendeleza matumizi ya teknolojia ya umwagiliaji wa matone kwa kutengeneza vifaa ambavyo matundu yake hayazibi kirahisi ili kuimarisha maendeleo ya kilimo cha umwagiliaji katika maeneo yenye ukame; (vi) kimeendelea kupima uimara wa udongo, kokoto na lami zinazotumika katika ujenzi wa barabara ili kuanisha ubora wake na kutoa ushauri wa matumizi sahihi wakati wa ujenzi wa barabara; (vii) Kimeendelea kuboresha fimbo inayowasidia walemavu wa macho (electronic blind stick) katika kutambua sehemu za mapitio yao ili kuwaongoza kwa urahisi na kwa gharama nafuu; (viii) Kimefanya ukarabati wa Jengo la zamani katika Chuo cha Ufundi Arusha kwa kulibadili matumizi yake ili kiwe kituo cha kufundishia stadi za kazi katika ufundi bomba, ufundi rangi na ufundi uashi. Jengo hilo lina uwezo wa kuchukua wanafunzi 94 kwa wakati mmoja na litaongeza idadi ya mafundi mahiri;

59 (ix) Kimeendelea na utekelezaji wa Mradi wa ukarabati wa miundombimu kwa ajili ya kuendeleza Kituo cha Mafunzo na Utafiti wa Nishati Jadidu pamoja na uzalishaji Umeme utokanao na Maji katika kituo cha kikuletwa kilichopo Wilayani Hai; (x) Kimekamilisha ujenzi wa Majengo mapya 4 na ukarabati wa majengo saba (7) ya zamani; (xi) Kimekamisha Mpango Kazi wa Biashara (Business Plan) wa kuanzisha Kampuni ya Kikuletwa Power Public Company Limited (KPPCL) inayomilikiwa na Chuo cha Ufundi Arusha kwa ajili ya kushughulikia uzalishaji umeme katika Kituo cha Kikuletwa umekamilika; na (xii) Kinaendela kuunda Helikopta ya gharama nafuu na salama kwa safari fupi nchini ili kurahisisha usafiri katika maeneo yasiyofikika kwa magari. Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam - (DIT) 85. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2016/2017 Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam imefanya shughuli zifuatazo: (i) imeendelea kutoa mafunzo ya teknolojia kwa wanafunzi na wafanyakazi wa viwandani ili waweze 60 kuongeza ujuzi mpya katika taaluma mbalimbali; (ii) imeanzisha kozi ya Stashahada ya Ufundi Sanifu Maabara kwenye Kampasi ya Mwanza; Kozi hii itazalisha wataalam ambao watasaidia kukabiliana na uhaba wa mafundi sanifu wa maabara katika shule za sekondari, hospitali, vituo vya afya na zahanati; pamoja na kuongeza Mafundi Sanifu wanaohitajika katika viwanda vilivyopo na vitakavyoanzishwa hapa nchini; (iii) imefanya ukarabati wa miundombinu ya karakana ya magari katika Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam kwa kununua na kusimika mashine ya kisasa ya utambuzi wa matatizo ya magari; na (iv) imekamilisha ujenzi wa Teaching Tower Complex. Jengo hili litakuwa na uwezo wa kuhudumia wanafunzi 984 kwa wakati mmoja hivyo litasaidia kuongeza udahili wa wanafunzi wa kozi mbalimbali za sayansi na teknolojia ambao unahitajika sana kuiwezesha Serikali kufikia azma yake ya kujenga uchumi wa viwanda.

61 Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mbeya 86. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2016/17, Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mbeya kilitekeleza majukumu yafuatayo: (i) Kilikamilisha Mtaala wa kufundishia fani mpya ya stashahada ya Highway Engineering katika Chuo cha Sayansi Teknolojia Mbeya na mafunzo yameanza kutolewa kwa wanafunzi 14 waliodahiliwa; Utoaji wa mafunzo katika fani hiyo utasaidia kuongezeka upatikanaji wa wataalamu na wahandisi wa miundombinu ya barabara ambapo kwa sasa kuna uhaba mkubwa; (ii) Kimekamilisha mitaala ya Stashahada, Shahada ya Uzamili na Uzamivu katika maeneo ya Automotive Engineering, Oil and gas safety and reliability Engineering, Renewable Energy Engineering, Structural Engineering, Civil engineering na Water Resources Engineering. Uanzishwaji wa mafunzo haya utasaidia kuongeza idadi ya wanafunzi wapatao 240 kwa mwaka na hivyo kuongeza wataalamu mbalimbali hususani katika fani ya

62 Mafuta na Gesi ambayo ina uhaba wa wataalamu na hivyo inategemea zaidi wataalamu kutoka nje ya nchi; (iii) Kimeandaa Mitaala ya mafunzo ya Shahada za Laboratory Science and Technology na Biomedical Equipment Engineering; (iv) Kiliimarisha ufundishaji na ujifunzaji kwa kufadhili Watumishi 94 katika mafunzo ya muda mrefu ngazi ya Shahada ya Kwanza, Uzamili na Uzamivu ili kuwawezesha watumishi kufanya kazi zao kwa ufanisi zaidi; (v) Kimeanzisha atamizi ya teknolojia kwa ajili ya kuchochea ubunifu na maendeleo ya teknolojia. Atamizi hii inajikita katika maeneo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Uundaji wa mitambo na vifaa mbalimbali, Sayansi na Biashara. Atamizi hii ni chachu ya kuleta maendeleo ya viwanda katika sekta ya uchumi na Biashara pamoja na kuongeza ubunifu na ajira kwa vijana.

Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania 87. Mheshimiwa Spika, Tume ya Nguvu za Atomiki ina jukumu la kusimamia na kudhibiti matumizi salama ya mionzi. Katika mwaka 2016/17 imetekeleza 63 majukumu yafuatayo: (i) imechambua maombi 244 ya uingizaji nchini, usafirishaji na utumiaji wa vyanzo vya mionzi ili kubaini kama maombi hayo yanakidhi matakwa ya Sheria Na. 7 ya Nguvu za Atomiki ya Mwaka 2003. Uchambuzi huo unahusisha chanzo cha mionzi, sifa za kitaaluma za msafirishaji na mtumiaji wa chanzo cha mionzi operator, mpango wa uhifadhi wa kudumu wa mabaki ya chanzo husika na mpango wa kudhibiti endapo janga linalohusisha chanzo cha mionzi litatokea; (ii) imekagua vituo 131 vinavyotumia vyanzo vya mionzi kwa kuangalia ubora wa jengo la kuhifadhi au kutumia chanzo cha mionzi, ubora wa chanzo chenyewe cha mionzi, sifa za kitaaluma za mtumiaji wa chanzo cha mionzi (Operator) na usahihi wa taarifa za nyaraka za chanzo cha mionzi na kutoa ushauri kwa lengo la kuhakikisha usalama kwa watumiaji, raia na mazingira. Kati ya vituo 131, vituo 102 vilikidhi matakwa ya sheria, vituo 26 vilikutwa na dosari kadhaa na zikapewa muda kurekebisha kasoro hizo na vituo 2 vilifungiwa baada ya kuona 64 vimekiuka matakwa ya sheria kwa kiasi kikubwa na kituo kimoja (1) kimesitisha chenyewe utoaji huduma ya uchunguzi wa magonjwa. (iii) imekamilisha Taarifa sita (6) za kituo cha kupima viasili vya mionzi kwenye hewa ya anga kijulikanacho kama “Radionuclide Monitoring Station- RN64” kilichopo katika jengo la Idara ya Fizikia katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kuzituma kwenye Shirika la Kimataifa la Kuzuia Majaribio ya Silaha za Kinyuklia lenye Makao Makuu Vienna Austria. Taarifa hizo zilionyesha kuwa katika kipindi hicho kulikuwa hakuna uchafuzi wa mazingira unaotokana na majaribio ya kinyuklia. Vilevile, taarifa hizo zilionyesha viwango vya kawaida vya chembechembe za vyanzo asili vya mionzi ambavyo havina athari yoyote kwa binadamu na mazingira; (iv) ilifungua ofisi zake katika miji ya Songea, Sirari na Mtwara kwa lengo la kuimarisha usimamizi na udhibiti wa mionzi katika mipaka ya nchi; (v) imefanya upembuzi wa awali (Geophysical survey) na michoro sanifu ya kiuhandisi ya ujenzi wa 65 Maabara ya Kisasa ya upimaji wa viwango vya mionzi kwa binadamu na mazingira katika eneo la Tume ya Nguvu za Atomiki huko Arusha. Ujenzi wa maabara hii ya Tume utaboresha utoaji wa huduma, utafiti, kuongeza mapato na ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya TAEC. Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Arusha – NM-AIST 88. Mheshimiwa Spika, Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojiaya Nelson Mandela ina jukumu la kutoa Elimu na Mafunzo katika ngazi ya Uzamili na Uzamivu pamoja na kufanya utafiti katika ngazi ya Ubobezi. Katika mwaka 2016/17, NM- AIST ilitekeleza kazi zifuatazo: (i) Imekamilisha ujenzi wa kituo cha kuendeleza Ubunifu na Ujasiriamali katika fani ya TEHAMA ICT Resource Centre na kuweka mifumo ya TEHAMA kwenye Kituo hiki imemalizika na kitahudumia wanafunzi wasiopungua 30 kila mwaka; (ii) Imekamilisha michoro na makisio ya gharama ya ujenzi wa jengo la Idara ya Miliki na uwanja wa mahafali; na imekamilisha kazi ya kuweka mipaka ya ardhi eneo la Karangai kwa asilimia 80; na 66 (iii) Imeanza utekelezaji wa Mradi wa Vituo viwili mahiri vya Taaluma na Utafiti Afican Centres of Excellence wenye thamani ya takriban USD 12,000,000; ambapo wanafunzi 29 wa Shahada za Uzamili na Uzamivu wamesajiliwa. Kati ya vituo hivyo, kimojawapo ni kwa ajili ya kuwa mahiri kwenye masuala ya maji, nishati na usafi wa mazingira wakati kituo cha pili kinajenga umahiri katika Kilimo lishe na usalama wa chakula. Vile vile, Vituo hivi vitaongeza fursa za kufanya utafiti, kuimarisha ufundishaji na kujenga uhusiano mzuri kati ya Taasisi na sekta binafsi.

(iv) Imeanza utekelezaji wa mradi wa kuongeza uwezo wa tafiti za sayansi na teknolojia Afrika uliofadhiliwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) wenye thamani ya Shilingi bilioni 8.2. Kupitia mradi huu wanafunzi 51 wa Uzamili na Uzamivu wamedahiliwa;

(v) imekamilisha Mtaala wa Shahada ya Uzamili katika utafiti wa Afya ya Jamii (Masters in Research of Public Health -MRPH) na tayari umeshafanyiwa ithibati tayari kwa matumizi. Mtaala huu utaanza kutumika kwenye udahili mwaka 2017/18;

67 (vi) Imefanya tafiti zilizolenga kutambua mambo yafuatayo: (a) magonjwa ya wanyama ambayo yana uwezekano wa kuambukiza wanadamu ili kudhibiti maambukizi ya maradhi ya wanyama kwenda kwa binadamu; (b) magonjwa ya wanyama kupitia nyama yanayoweza kuambukiza binadamu ili kudhibiti maambukizi ya magonjwa ya wanyama kupitia nyama; (c) mapungufu ya teknolojia ya kuchuja maji kwenye maeneo yenye upungufu wa miundombinu ya maji kwa wananchi Mkoani Arusha na kuiboresha ili kupata huduma ya maji safi na salama; na

(d) magonjwa ambayo yana uwezekano wa kuathiri afya za mifugo ili kuboresha afya za mifugo.

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam 89. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2016/17 Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimefanya kazi zifuatazo: (i) Kimefanya tafiti zilizolenga 68 kutengeneza teknolojia rahisi ya kutenganisha madini ya shaba ili kuwawezesha Mafundi Mchundo na Wachimbaji wadogo wadogo kutenganisha shaba kwa ufanisi na tija; Kufuatilia mienendo ya Tembo kwa kutumia teknolojia ya Global Position System katika maeneo Hifadhi za Mayowosi, Igosi, Ugalla, Uyungu, Gisima, Luganzo na Gombe kwa lengo kudhibiti mauaji ya Tembo yanayotokana na ujangili; Kutengeneza mfumo wa ukusanyaji wa takwimu za afya vijijini na katika vituo vya afya nchini ili kuboresha ufuatiliaji na tathmini ya huduma za afya vijijini; na (ii) Kimefanya ukarabati wa bweni namba 1, 3, 4, 5, 6 na 7 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa kurekebisha mifumo ya maji safi na maji taka. Aidha, uwekaji wa samani na ukarabati wa miundombinu ya kufundishia kama vile vyumba vya mihadhara, vyumba vya semina na ofisi za walimu umefanyiwa kazi iliyogharimu jumla ya Shilingi bilioni 1.2.

69 Chuo Kikuu cha Dodoma 90. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2016/17 Chuo Kikuu cha Dodoma kimefanya tafiti zifuatazo: (i) Kuainisha matumizi ya mtandao wa simu za mkononi katika ufuatiliaji wa ubora wa dawa katika mnyororo wa usambazaji (Pharmaceutical Supply Chain in Tanzania) ili kuboresha usambazaji wa dawa nchini; (ii) Kutambua malisho bora ya kuku wa kienyeji katika wilaya za Kongwa na Kiteto ili kuongeza uzalishaji wa kuku walioboreshwa na hivyo kuimarisha hali ya kipato cha kaya kwa wananchi wanaoishi maeneo yenye ukame; (iii) Kutambua usugu wa vimelea vya magonjwa katika maeneo yanayozunguka mbuga ya Serengeti ili kudhibiti magonjwa hayo na kuongeza uzalishaji wa wanyama wanaofugwa katika eneo hilo; na (iv) Kuanza utafiti wa Kuunda Mfumo wa Upimaji wa Stadi za Kuandika, Kusoma na Kuhesabu (KKK) na kuandaa maudhui ya Kielektroniki ili kuimarisha Ufundishaji na Ujifunzaji wa Stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu.

70 Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo 91. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2016/17 Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo cha kimefanya tafiti zifuatazo: (i) Kupunguza madhara yanayotokana na panya waharibifu wa mazao kwa kutumia harufu ya mkojo wa paka (Felissilvestricatus urine); kwa lengo la kuboresha uhifadhi wa mazao; (ii) Kuongeza uzalishaji wa zao la maharage kwa kuongeza kinga na ustahimilivu wa maradhi ya virusi (Angular Leaf Spot na Bean Common Masaic Virus) na bakteria (Common Bacterial Blight) kwa lengo kuinua kipato cha kaya za vijijini hasa wanawake; (iii) Kutambua vyakula vya samaki vinavyotokana na mimea ya asili ili kuongeza uzalishaji wa samaki kwa ajili maendeleo endelevu ya kilimo cha samaki nchini; (iv) Kutambua vimelea kinga (vaccine) kwa ajili ya magonjwa ya nguruwe ili kuongeza uzalishaji, kuinua kipato na lishe bora katika kaya; (v) Kuzuia madhara ya magonjwa ya brucellosis na Homa ya Bonde la Ufa (Rift Valley Fever) kwa Wanyama 71 wanaofugwa kwa kubuni madawa ya kinga ili kuimarisha afya za Wanyama hao; na (vi) Kuzuia magonjwa ya kupumua kwa kuku wa kienyeji (control of respiratory diseases) kwa kubuni chanjo ya magonjwa hayo ili kuongeza uzalishaji na kuinua kipato cha kaya za vijijini hasa wanawake. Chuo Kikuu cha Tiba na Sayansi Shirikishi – Muhimbili 92. Mheshimiwa Spika, Chuo Kikuu cha Tiba na Sayansi Shirikishi –Muhimbili kimefanya tafiti zifuatazo:

(i) Kuainisha matumizi sahihi ya dawa ya mseto katika kudhibiti na kutibu ugonjwa wa malaria na hivyo kuongeza usalama kwa watumiaji wa dawa hizo;

(ii) Kutambua magonjwa ambayo yana uwezekano wa kuathiri afya ya Wanawake wajawazito na Watoto wachanga katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kuanzisha Kanzidata ili kuboresha afya ya mama Wajawazito na huduma ya Watoto wachanga;

(iii) Kupunguza madhara na vifo miongoni mwa wagonjwa walioathirika na Virusi 72 vya UKIMWI kwa kufanya majaribio ya chanjo ya virusi vya UKIMWI na namna ya kuitoa ili iweze kufanya kazi katika kiwango kinachotakiwa;

(iv) Kupunguza vifo vinavyotokana na Kifua Kikuu kwa kubainisha uwezo wa dawa ya Isoaniazid ili kupambana na ugonjwa huo kwa gharama nafuu; (v) Mheshimiwa Spika, Wizara yangu inaendelea na ukarabati mkubwa wa miundombinu ya majengo ya mihadhara, ofisi, Maabara na Mabweni yanayotumiwa na wanafunzi 4,010 wa fani za Udaktari wa Binadamu, Udaktari wa Magonjwa ya Kinywa na Meno, Ufamasia Uuguzi na Sayansi ya Mazingira katika Chuo Kikuu cha Tiba na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili. Aidha, ukarabati wa miundombinu ya maji, ofisi na vyumba vya kufundishia umeendelea katika kituo cha kufundishia cha Satellite – Bagamoyo. Kituo hiki hupokea wanafunzi kwa ajili ya mafunzo ya vitendo na utafiti;

Chuo Kikuu cha Ardhi 93. Mheshimiwa Spika, Chuo Kikuu cha Ardhi kimefanya tafiti zifuatazo: (i) Kujenga miundombinu kwa kutumia 73 mchanganyiko wa saruji, mchanga na kemikali maalumu pamoja na kingo za plastiki zinazoweza kutumika mara nyingi bila kuharibika ili kupunguza gharama za ujenzi wa majengo yenye ubora na uimara unaokusudiwa; (ii) Kutambua uwezekano wa kutokea majanga ya Bahari katika Bandari ya Tanga kwa kutumia takwimu na taarifa sahihi ili kuwawezesha watumiaji wa Bandari, Wavuvi, Watalii, Watafiti na Watoa Elimu kutoa maamuzi sahihi ya kuepukana na majanga kutokana mabadiliko ya tabia ya bahari; na (iii) Kupunguza athari za milipuko ya volcano ya Mlima Oldonyo Lengai kwa kuweka Vituo vya upimaji vyenye vifaa maalumu vya kuwezesha Watafiti kupata taarifa sahahi ya hali ya msuguano wa miamba kwa wakati wote ili kutoa tahadhari kwa Wananchi kwa wakati kuepusha madhara.

Chuo Kikuu cha Mzumbe 94. Mheshimiwa Spika, Chuo Kikuu cha Mzumbe kimefanya tafiti zifuatazo: (i) Kutathmini matokeo chanya ya kilimo cha mkataba cha miwa ili kimarisha matumizi ya ardhi na kuongeza ajira 74 kwa wananchi wanaopakana na mashamba ya miwa nchini; (ii) Kutathmini mchango wa kilimo cha mkataba wa zao la tumbaku ili kubainisha manufaa ya bei ya tumbaku katika soko la dunia kwa wakulima wadogo nchini; (iii) Kutambua matumizi bora na endelevu ya nishati ili kuzifanya Kampasi za Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki kuwa ni maabara hai za matumizi bora na endelevu ya nishati; na (iv) Kubainisha mchango wa mazao ya asali na upasuaji wa mbao ili kuongeza kipato cha Wajasiriamali katika Wilaya ya Mvomero.

USIMAMIZI WA UTEKELEZAJI WA PROGRAMU NA MIRADI 95. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2016/17 Wizara yangu imeendelea kusimamia utekelezaji wa miradi na programu mbalimbali katika Sekta ya Elimu Sayansi na Teknolojia. Miradi na programu hizi zimeiwezesha Wizara yangu kuongeza fursa na kuinua ubora wa elimu nchini.

75 Programu ya Kukuza Stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) 96. Mheshimiwa Spika, Katika juhudi za kuhakikisha kwamba watoto wanaojiunga na Elimu ya Msingi pamoja na walio nje ya mfumo rasmi wanamudu vema stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu, Wizara yangu inaendelea na uratibu wa utekelezaji wa Programu ya Kukuza Stadi za Kusoma Kuandika na Kuhesabu - Programu ya Literacy and Numeracy Education Support (LANES). Lengo la programu hii ni kuhakikisha kuwa watoto wanaojiunga na Darasa la I-IV na walio nje ya mfumo rasmi wanajua kusoma kuandika na kuhesabu. Aidha programu hii imewezesha upatikanaji wa vitabu vya kiada na ziada pamoja, nyenzo za kufundishia na uwezeshwaji wa walimu kumudu ufundishaji wa Stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu.

Programu ya Maendeleo ya Elimu ya Sekondari Awamu II (MMES II) 97. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu imeendelea kutekeleza Programu ya Maendeleo ya Elimu ya Sekondari Awamu ya Pili (MMES II) kwa ushirikiano na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kuanzia mwaka 2010 hadi programu hii ilipofungwa rasmi mwezi Desemba 2016. Katika kipindi cha Julai

76 2016 Wizara kupitia mradi huu ulifanya yafuatayo: kutoa mafunzo kwa walimu wa sayansi na hisabati, kuandaa kiongozi cha mwalimu kwa masomo ya sayansi kwa wanafunzi wenye uono hafifu na kununua vifaa vya kufundishia TEHAMA. Vilevile, Andiko la Programu ya Maendeleo ya Elimu ya Sekondari Awamu ya Tatu (MMES III) lipo katika hatua ya mwisho ya maandalizi. Programu Lipa Kulingana na Matokeo (Programme for Results – ( P4R) 98. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu imeendelea kutekeleza Programu ya Lipa Kulingana na Matokeo Programme for Results - P4R kwa kufadhili Sekta ya Elimu ambapo Serikali hushirikiana na Washirika wa Maendeleo ambao ni Benki ya Dunia (World Bank), Idara ya Maendeleo ya Kimataifa ya Uingereza (Department for International Development - DfID) na Wakala wa Maendeleo ya Kimataifa Sweden (Swedish International Development Agency-SIDA). Programu hii inalenga kujenga uwezo wa Serikali wa kutekeleza vipaumbele vyake ilivyojiwekea na Serikali inapatiwa fedha kutokana na utekelezaji wa vipaumbele hivyo kwa kutumia viashiria vya utekelezaji vilivyokubalika kati ya Serikali na Washirika wa Maendeleo. Kupitia programu hii, Wizara yangu imelipa madeni ya walimu yasiyo 77 ya mishahara, imekarabati vyuo kumi vya ualimu, imejenga madarasa na kutoa motisha kwa halmashauri. Mradi wa Kuimarisha Mafunzo ya Elimu ya Ualimu 99. Mheshimiwa Spika, tarehe 24 Machi, 2017 Wizara yangu kwa kushirikiana na Serikali ya Canada imeingia mkataba wa kuboresha Mafunzo na Elimu ya Ualimu unaojulikana kama Teacher Education Support Project (TESP). Mkataba huo utatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitano (2016/17 – 2020/2021) ambapo kiasi cha Dola za Canada 53,000,000 sawa na shilingi bilioni 83 zitatolewa na Serikali ya Canada. Mradi huu utahusisha Vyuo 35 vya Ualimu vinavyofundisha walimu wa Msingi na Sekondari. Lengo kuu la Mradi wa TESP ni kuboresha Mafunzo ya Elimu ya Ualimu inayotolewa katika Vyuo 35 vya Ualimu nchini.

Mradi wa Elimu na Kukuza Stadi za Kazi na Ujuzi 100. Mheshimiwa Spika, Mradi huu umeandaliwa ili kuwezesha utekelezaji wa Mkakati wa Kitaifa wa Kukuza na Kupanua Stadi za Kazi na Ujuzi. Mkakati huu uliandaliwa na Wizara yangu kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi Vijana na Ajira, na Watu WenyeUlemavu. Mradi utajikita katika 78 kuongeza fursa za upatikanaji wa stadi za kazi na kuongeza ujuzi katika sekta sita za kipaumbele za kukuza uchumi ambazo ni kilimo na kilimo uchumi, utalii, uchukuzi, ujenzi, nishati na madini; na TEHAMA. Uchaguzi wa sekta hizi umezingatia mahitaji makubwa ya waajiri katika sekta hizo; mchango wa sekta katika uchumi; upungufu mkubwa wa wataalamu; uwezo wa kuongeza ajira; na mahusiano kati ya sekta hizi na nyingine. 101. Mheshimiwa Spika, lengo kuu la mradi huu wa kukuza ujuzi ni kuimarisha na kupanua upatikanaji na ukuzaji wa stadi za kazi na ujuzi katika ngazi za ufundi na ufundi stadi, Elimu ya Juu na sekta isiyo rasmi kwenye maeneo lengwa. Aidha, mradi unalenga kuimarisha mfumo wa kitaasisi wa kusimamia, kuratibu na kugharimia uendelezaji stadi za kazi katika ngazi ya kitaifa na kisekta kwa kushirikiana na sekta binafsi. C. MPANGO NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2017/18 102. Mheshimiwa Spika, Mpango wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa Mwaka 2017/18 umezingatia Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (2015-2020), Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025 na Ahadi za Viongozi Wakuu wa Serikali. Aidha, imezingatia pia Mpango wa Taifa wa 79 Maendeleo wa Miaka Mitano wa 2016/17 – 2020/2021, Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014, Sera ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (1996), Sera ya Taifa ya Utafiti na Maendeleo (2010), Sera ya Taifa ya Baioteknolojia (2010), Sera ya Taifa ya Teknolojia za Nyuklia (2013) na Malengo ya Maendeleo Endelevu 2030. 103. Mheshimiwa Spika, Katika Mwaka 2017/18 Wizara yangu imepanga kufanya shughuli zifuatazo: Kuimarisha Mazingira ya Utoaji wa Elimumsingi na Sekondari 104. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu itaendelea kuboresha mazingira ya shule ili kuhakikisha elimu inayotolewa inakidhi ubora unaotakiwa. Katika Mwaka 2017/18 shughuli zifuatazo zitatekelezwa kwa lengo la kuimarisha utoaji elimu: (i) kufanya mapitio ya Sheria ya Elimu, Sura 353 pamoja na Sheria za Taasisi zilizo chini ya Wizara ili ziendane na maudhui ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 kwa lengo la kuimarisha mifumo ya utendaji kazi na kuongeza ufanisi; (ii) kukamilisha taratibu za uanzishwaji wa Bodi ya Kitaalamu ya Walimu ambayo ina lengo la kusimamia taaluma ya Walimu hapa nchini. 80 (iii) kupitia Programu ya Lipa Kulingana na Matokeo - P4R Wizara itaendelea kuratibu ujenzi wa Vyumba vya Madarasa 2,000 kwa Shule za Msingi na Sekondari na ukarabati wa Shule Kongwe za Sekondari 17, ili kukabiliana na changamoto ya uhaba wa Madarasa na kuwafanya Wanafunzi kujifunza kwa ufanisi zaidi; (iv) itagharimia ujenzi na ukarabati wa Miundombinu ya Maji na Vyoo katika Shule za Msingi 1000 na Sekondari 200 kwenye Mikoa ya Dodoma, Mara, Tabora, Mwanza, Kagera, Kigoma, Arusha, Kilimanjaro, Tanga, Simiyu, na Shinyanga kupitia Program ya Huduma ya Maji Elimu ya afya na Usafi wa Mazingira shuleni (SWASH). (v) itahakiki shule za sekondari 700 katika mikoa 26 zitakazohusishwa kwenye mradi wa SWASH pamoja na kufanya ufuatiliaji na utoaji ushauri wa ujenzi kwa kutumia miongozo inayotolewa katika ngazi ya halmashauri. (vi) itaendelea kusajili Shule za Awali, Msingi, Sekondari na Vituo vinavyotoa Elimu Nje ya Mfumo Rasmi na kutilia mkazo uanzishwaji

81 wa Shule zenye mwelekeo wa Sayansi, Kilimo, Teknolojia na Ufundi. (vii) itahuisha Miongozo kuhusu ujenzi wa miundombinu ya Shule za Msingi, Sekondari na Vituo vinavyotoa Elimu Nje ya Mfumo Rasmi na kufanya ufuatiliaji katika Shule, Vyuo na Vituo vya Elimu Nje ya Mfumo Rasmi ili kuhakiki uzingatiaji wa masharti ya usajili. Kuimarisha Utoaji wa Elimu Maalum 105. Mheshimiwa Spika, Ili kuongeza fursa za Elimu na Mafunzo kwa Wanafunzi wenye Mahitaji Maalum kwa Mwaka 2017/18, Wizara yangu itafanya yafuatayo: (i) itaimarisha utoaji wa Elimu Maalum na Elimu Jumuishi katika Shule za Msingi na Sekondari kwa kuhuisha miongozo kuhusu miundombinu na vifaa visaidizi kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu; (ii) itapitia utaratibu wa kupima na kutathmini maendeleo ya Wanafunzi wenye mahitaji maalum kwa lengo la kuongeza ushiriki na ujifunzaji kwa Wanafunzi wenye mahitaji maalum. (iii) itatoa mafunzo kwa Walimu wanaofundisha wanafunzi wenye 82 mahitaji maalum wa Darasa la I - IV ambao hawakupata mafunzo katika Mwaka 2016/17. Lengo la mafunzo haya ni kuboresha ufundishaji na ujifunzaji wa stadi za KKK na masomo ya Darasa la III hadi la IV kwa kuzingatia Mtaala ulioboreshwa. Kuimarisha Mafunzo Elimu ya Ualimu 106. Mheshimiwa Spika, Katika kuendeleza na kuimarisha mafunzo ya ualimu, katika mwaka 2017/18 shughuli zifuatazo zitafanyika: (i) kuendelea na ujenzi na ukarabati wa Vyuo 6 vya Ualimu vya Kleruu, Mpwapwa, Dakawa, Tabora, Butimba na Marangu. Vilevile, itafanya ukarabati wa miundombinu ya Maktaba na Maabara za TEHAMA katika Vyuo vya Ualimu 35 ili kuweka mazingira rafiki ya kujisomea kwa Wakufunzi na Wanachuo. (ii) kuandaa na kuchapisha vitabu na nyenzo muhimu za kujifunzia na kufundishia ili kuwawezesha Wakufunzi na Wanachuo kupata rejea za kutosha na kuwezesha ujifunzaji. (iii) itahuisha mitaala ya mafunzo ya Walimu Tarajali katika Vyuo vya Ualimu ili kuendana na mahitaji ya 83 Mtaala Ulioboreshwa na kuhakikisha kuwa mafunzo yanayotolewa yanalenga kuongeza umahiri na weledi kwa wahitimu. (iv) itatoa mafunzo kazini kwa Wakufunzi wa Vyuo vya Ualimu ili kuimarisha uwezo wao katika kumwandaa Mwalimu mwenye umahiri na weledi.

(v) kupitia mradi wa Tutors Education Program (TEP) unaofadhiliwa na Serikali ya Canada, Wizara yangu itatoa Mafunzo kwa Wakufunzi wa Hisabati, Sayansi na ICT/TEHAMA (In service Training) kwa Vyuo 35 vya Ualimu ili kuwaongezea ufanisi katika Ufundishaji. (vi) itawajengea uwezo Viongozi wa Vyuo vya Ualimu katika uandaaji wa Mpango wa Maendeleo na Uongozi ili kuweza kusimamia vizuri utekelezaji wa mtaala na majukumu ya uendeshaji wa Vyuo. (vii) itafanya mapitio ya Mtaala wa Stashahada ya Elimu ya Ualimu ili kupata Mtaala unaokidhi mahitaji ya sasa na kwa kuzingatia pia Mtaala wa Elimu Msingi ulioboreshwa.

84 Kuboresha Mazingira ya Wathibiti Ubora wa Shule 107. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu pia inatambua kuwa Wathibiti ubora wa shule wanakabiliwa na changamoto ya kutokuwa na mazingira wezeshi ya kufanya kazi zao kwa ufanisi. Hivyo, katika mwaka 2017/18 Wizara itajenga Ofisi 50 za Uthibiti Ubora wa Shule za Wilaya. Ujenzi wa Ofisi hizi utazingatia Wilaya ambazo zipo katika Majengo ya kupanga, Wilaya mpya ambazo hazina Ofisi na Wilaya ambazo tayari zimetenga maeneo ya ujenzi. Ujenzi wa Ofisi hizo utaboresha mazingira ya kufanyia kazi, kupunguza gharama za kulipia pango na kuelekeza fedha hizo kwenye shughuli nahsusi zinazolenga kuthibiti ubora wa shule. 108. Mheshimiwa Spika, Sambamba na ujenzi wa ofisi, katika Mwaka 2017/18, Wizara yangu imepanga pia kufanya yafuatayo katika eneo la la Uthibiti Ubora ya Shule:

(i) itakagua Ubora wa Elimu katika Shule 11,021 zikiwemo Shule za Msingi 8,513, Sekondari 2,375, Vyuo vya Ualimu 133 na Vituo vinavyotoa Elimu ya Watu Wazima na Vituo vya Elimu Nje ya Mfumo Rasmi na kutoa ushauri wa kitaalamu na kitaaluma kwa Walimu kwa lengo la kuboresha ufundishaji na ujifunzaji. 85 (ii) itaboresha mazingira ya kufanyia kazi kwa kuongeza vitendea kazi katika Ofisi za Uthibiti Ubora wa Shule katika wilaya 20 na Kanda 11. Vifaa vitakavyonunuliwa ni pamoja na Kompyuta 100, Photocopy Machine 31, Printer 31 na Scana 31 na Samani za Ofisi. (iii) itafungua ofisi za Uthibiti Ubora wa Shule katika baadhi Wilaya mpya za Ubungo, Kigamboni, Chalinze, Nanyamba, Uvinza, Kakonko, Butiama, Ushetu, Msalala na Mlele ili kusogeza huduma za Uthibiti Ubora wa Shule karibu na Wadau. Vigezo vilivyotumika kuchagua Wilaya hizo ni kutokana na idadi ya Shule zilizopo katika Wilaya zilizoanzishwa, umbali kutoka ofisi ya Uthibiti Ubora wa Shule ya Wilaya ya jirani (Wilaya mama) na utayari wa Wakurugenzi wa Halmashauri husika katika kusaidia uanzishaji wa ofisi. (iv) itaendelea kufanya ufuatiliaji na tathimini ya utekelezaji wa Sera, Nyaraka na Miongozo kuhusu uboreshaji wa Elimumsingi na Sekondari, pamoja na kufanya tafiti kwa lengo la kubaini changamoto zinazojitokeza katika utoaji wa

86 Elimumsingi na Sekondari na kuzipatia ufumbuzi. (v) itafanya ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji wa Sera ya Elimu ya Mwaka 2014 na kutumia mapendekezo yake katika kuimarisha utendaji kazi katika ngazi mbalimbali.

Mradi wa Elimu na Kukuza Stadi za Kazi na Ujuzi (ESPJ) 109. Mheshimiwa Spika, Wizara yangu kupitia Mradi wa Elimu na kukuza stadi za kazi na ujuzi itatekeleza yafuatayo katika mwaka 2017/18:

(i) Kuandaa Mwongozo wa Utekelezaji kwa kuhusisha Wadau;

(ii) Kukamilisha uundwaji wa Baraza la Kitaifa la kuendeleza na kusimamia Stadi za Kazi;

(iii) Kutengeneza Mfumo wa namna ya kuunda na kutumia Student Voucher Scheme kwa kushirikiana na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu pamoja na Wadau;

(iv) Kuandaa Mfumo Huishi wa Taarifa (online information system) kuhusu Utoaji wa Elimu na Mafunzo katika 87 Vyuo na Taasisi zote za Elimu na Mafunzo kwa kushirikiana na TCU na NACTE, na VETA; na

(v) Kujenga uwezo wa Taasisi zinazosimamia na kuratibu Elimu ya Juu na Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi nchini. Programu ya Lipa Kulingana na Matokeo 110. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2017/18, Wizara yangu kupitia Programu ya Lipa Kulingana na Matokeo itaendelea kuratibu utoaji wa motisha kwa Halmashauri zote pamoja na kufanya Ufuatiliaji na Tathmini ya Uendeshaji wa Shule ili kuimarisha ubora wa utoaji elimu nchini. Vilevile Wizara itanunua Vifaa vya Maabara Awamu ya Pili ambapo awamu ya mwisho inategemewa kukamilika mwaka 2018/19. Wizara pia itasomesha Wahadhiri 100 katika Shahada ya Uzamivu kwenye fani zilizo na uhaba mkubwa wa wahadhiri katika Vyuo Vikuu vya Umma ili kuhakikisha elimu inayotolewa nchini ina ubora unaotakiwa. Aidha, shule ya kisasa ya Sekondari itajengwa katika mkoa wa Dodoma kwa lengo la kuongeza miundombinu ya elimu katika makao makuu ya nchi.

88 URATIBU WA TAASISI NA WAKALA ZILIZO CHINI YA WIZARA 111. Mheshimiwa Spika, Wizara itaendelea kuratibu shughuli za Taasisi na Wakala tunazozisimamia. Shughuli zilizopangwa kufanyika mwaka 2017/18 katika Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ni kama ifuatavyo:

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania 112. Mheshimiwa Spika, Katika Mwaka 2017/18, Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania itafanya yafuatayo: (i) itaendeleza na kuboresha huduma za maktaba kwa kujenga maktaba ya Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka cha Bagamoyo (SLADS), (ii) itafanya upanuzi na ukarabati wa jengo la Maktaba ya Dodoma pamoja na ukarabati wa majengo ya Maktaba za Mikoa ya Tabora, Rukwa na Mwanza; na (iii) itaanza ujenzi wa Maktaba za Mikoa ya Singida na Shinyanga ili kutoa fursa kwa Wananchi wa Mikoa hiyo kupata huduma za Maktaba. (iv) itaongeza machapisho/vitabu 40,000 kwa ajili ya watu wazima na watoto pamoja na kuboresha upatikanaji wa 89 vifaa vya TEHAMA ili kuongeza ari ya usomaji katika jamii. (v) itaendelea kutoa ushauri wa kitaalam juu ya uanzishaji na uendeshaji wa Maktaba za Shule, Vyuo, Taasisi na Halmashauri za Miji, Manispaa na Wilaya nchini; na (vi) itatoa mafunzo ya Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka kwa wafanyakazi wa Maktaba katika Ngazi ya cheti na Diploma. Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Tanzania (TEWW) 113. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2017/18 Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima itatekeleza yafuatayo: (i) Kuandaa mkakati wa kusaidia kupunguza idadi ya wasiojua kusoma na kuandika kwa kuandaa mafunzo ya wawezeshaji wa programu za kisomo na kufanya kampeni ya Kisomo (Literacy Programmes); (ii) Kuongeza udahili wa wanafunzi katika programu mbalimbali wakiwemo vijana na watu wazima wanaopata Elimu ya sekondari nje ya mfumo rasmi kutoka 18,675 mpaka 20,000 na wanafunzi 1,500 wa programu za astashahada na stashahada; 90 (iii) Kuboresha programu za mafunzo kwa kudurusu mitaala; (iv) Kujenga na kukarabati majengo katika mikoa ya Rukwa (uzio), Morogoro WAMO (Maktaba na Vyoo), Kilimanjaro (ukarabati), Kagera ( Ofisi) na Dar es Salaam (Library Extension); (v) Kuimarisha uwezo wa Maktaba ya TEWW kwa kununua na kuweka vitabu 1,000 vya kiada na ziada na kutumia TEHAMA katika usomaji; na

(vi) Kujenga na kuweka mtandao wa TEHAMA (Local Area Network - LAN) ili kuimarisha miundombinu ya ufundishaji na ujifunzaji.

Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) 114. Mheshimiwa Spika, Katika Mwaka 2017/18, Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu utafanya shughuli zifuatazo:

(i) Ukarabati wa jengo la zamani na mabweni 3 ya Wanafunzi na kuanza ujenzi wa ukumbi wa mihadhara katika Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu Kampasi ya Bagamoyo na kuanza ujenzi katika vituo vya Mwanza na Mbeya;

91 (ii) Itafanya Tafiti 4 za kielimu kuhusu uendeshaji na Usimamizi bora wa taasisi za kielimu na kutoa Ushauri Elekezi juu ya Uongozi na Uendeshaji wa Elimu nchini. Tafiti 4 zitakazofanyika zitahusu utafiti kuhusu ufanisi wa mafunzo ya KKK yaliyotolewa kwa walimu wanaofundisha madarasa ya awali; athari za mafunzo ya Cheti cha Uongozi na Usimamizi wa Elimu katika kuimarisha utendaji kazi wa Walimu Wakuu wa Shule za Msingi katika Mikoa ya Njombe, Mbeya, Songwe na Iringa; ufanisi wa mrejesho kutoka kwa Wathibiti Ubora, katika kuimarisha ufundishaji na ujifunzaji katika Elimu Msingi na tathmini ya maandalizi ya kupambana na majanga katika Taasisi za kielimu. (iii) Itatoa mafunzo ya Stashahada ya Uongozi wa Elimu kwa viongozi 1,500 wa idara mbalimbali za Elimu; mafunzo ya Stashahada ya Ukaguzi wa Shule kwa Wakaguzi 1,000 kutoka katika Wilaya zote za Tanzania Bara; na mafunzo ya cheti cha Uongozi na Uendeshaji wa Elimu kwa Walimu Wakuu wa Shule za Msingi 706 kutoka katika Mikoa ya Iringa, Mbeya na Njombe; 92 (iv) Itatoa mafunzo ya muda mfupi ya Uongozi na Uendeshaji wa Elimu kwa Wajumbe 10,000 wa Bodi za Shule za Sekondari kuhusu mbinu bora za usimamizi wa Elimu ya Sekondari katika Shule; na mafunzo ya awali ya Uongozi na Uendeshaji wa Elimu kwa Wakuu wapya wa Shule za Sekondari 1,500 kutoka katika Mikoa yote ya Tanzania Bara; na (v) Itatoa Mafunzo ya Uongozi na Uendeshaji wa Elimu kwa Wakuu 300 wa Shule za Sekondari zisizo za Serikali, Mafunzo ya Uongozi na Uendeshaji wa Elimu na Stadi za KKK kwa Wathibiti Ubora wa Shule 1,400, mafunzo ya Uongozi na Uendeshaji wa Elimu na Stadi za KKK kwa Maafisa Elimu 528 na mafunzo kwa Walimu 45,000 wa Darasa la I na II kuhusu Stadi za KKK kwa Mikoa ya Tanzania Bara.

Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi (FDC) 115. Mheshimiwa Spika, Mwaka 2016 usimamizi wa Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi ulihamishiwa katika Wizara yangu. Kwa kuzingatia hali halisi ya vyuo hivyo, Wizara itaboresha hatua kwa hatua mazingira yake ya kujifunzia na

93 kufundishia ili kuhakikisha kuwa vinatoa mafunzo yanayokidhi mahitaji ya sasa. 116. Katika mwaka 2017/18 Wizara itafanya yafuatayo: (i) itaendelea kuchambua hali halisi ya Rasilimali zilizopo katika Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi ikiwemo Wakufunzi, Watumishi wasio Wakufunzi, Miundombinu, Vifaa vya kujifunzia na kufundishia kwa lengo la kubaini mahitaji halisi na kuweka mpango wa muda mrefu wa uboreshaji wa vyuo hivyo. (ii) itakarabati na kuboresha miundombinu ya Vyuo 10 vya Maendeleo ya Wananchi ili kuweka mazingira bora ya kutolea Mafunzo ya Ufundi Stadi na kuongeza udahili. (iii) itawajengea uwezo Wakufunzi wa Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi kwa kuwapatia mafunzo ya muda mfupi na mrefu ili waweze kutoa elimu bora ya nadharia na vitendo kwa wanafunzi. (iv) itaendelea kuvipatia Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi Vifaa, Mitambo na Mashine za kisasa za kufundishia na kujifunzia ili viweze kutoa elimu na mafunzo bora kwa walengwa. 94 (v) Itafuatilia upimaji maeneo ya Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi kuviwezesha kupata Hati Miliki ya Ardhi. Hatua hii inalenga kuondoa changamoto ya uvamizi wa ardhi katika Vyuo hivyo. Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi 117. Mheshimiwa Spika, Katika Mwaka 2017/18, NACTE itafanya yafuatayo: (i) Itaendesha mafunzo kwa Maofisa Udahili katika Taasisi na Vyuo kuhusu namna ambavyo vinaweza kusaidia wanafunzi kufanya udahili; (ii) itakagua na kusajili Vyuo 50 vyenye sifa ya kutoa Mafunzo ya Elimu ya Ufundi, kukagua na kutoa miongozo itakayoviwezesha Vyuo 100 kupata ithibati kwa kuzingatia vigezo vilivyowekwa. Aidha, itafuatilia na kutathmini Vyuo 350 vya Elimu ya Ufundi ili kuhakikisha mafunzo yanayotolewa ni yenye ubora na yanakidhi mahitaji ya soko la ajira. Vilevile, itaratibu utengenezaji wa Mitaala 45, kuhuisha Mitaala 10 na kuhakiki Mitaala 50 inayozingatia umahiri katika Vyuo vya Elimu na Ufundi nchini ili kukidhi mahitaji ya soko la ajira;

95 (iii) itaendelea kutengeneza na kuboresha Mifumo ya Kieletroniki itayosaidia kuhakikisha ubora wa Elimu ya Ufundi ikiwemo Mifumo ya ukusanyaji wa Takwimu za Wanafunzi; usimamizi wa Rasilimali watu Vyuoni na Mfumo wa Kutoa Vyeti na transcript kwa Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Ufundi. Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi - VETA 118. Mheshimiwa Spika, Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (Vocational Education and Training Authority) ilianzishwa mwaka 1994 kwa Sheria ya Bunge Sura ya 82 kwa lengo la kutoa mafunzo ya ufundi stadi na kusimamia ithibati na uthibiti wa mafunzo ya ufundi stadi nchini. 119. Katika mwaka wa fedha wa 2017/18 Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imepanga kutimiza malengo yafuayayo:- (i) itaendelea kufuatilia ujenzi wa Vyuo vya Ufundi Stadi vya Mikoa ya Njombe, Geita, Simiyu na Rukwa; (ii) itaanza ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi cha Mkoa wa Kagera ambao umechelewa kuanza kutokana na

96 kutokuwepo kwa miundombinu muhimu kama vile umeme na barabara inayofikika kwa urahisi katika eneo lililotengwa. Mamlaka husika zinafanyia kazi suala la miundombinu na ujenzi wa Chuo utaanza mara baada ya ufumbuzi wa changamoto hizo kupatikana; (iii) itakamilisha ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi cha Wilaya ya Namtumbo pamoja na ukarabati wa Chuo cha Ufundi Stadi cha Wilaya Karagwe; (iv) itaanza ujenzi wa Vyuo vya Ufundi Stadi katika Wilaya za Chato, Chunya, Kilindi, Nyasa na Ukerewe pamoja na ujenzi wa Karakana ya Mitambo ya Kilimo na Vyumba vinne (4) vya Madarasa katika Chuo cha Ufundi Stadi cha Mkoa wa Arusha kilichopo Oljoro; (v) itakamilisha ujenzi wa Karakana za Useremala, Umeme wa Magari na Jengo la Utawala katika Chuo cha Mkoa Morogoro-Kihonda; pamoja na kukamilisha ujenzi wa Karakana kumi na moja (11) za Vyuo vya Ufundi Stadi vya Mikoa ya Lindi (4), Pwani (3), na Manyara (4);

97 (vi) itajenga mabweni mawili katika Chuo cha Ualimu wa Ufundi Stadi Morogoro; (vii) itanunua vifaa vya kufundishia na kujifunzia katika Chuo cha Ualimu wa Ufundi Stadi Morogoro na kununua vitabu vya kiada na ziada kwa Vituo 7 vya Kanda za Vyuo vya Ualimu; (viii) itasimamia mafunzo ya ufundi stadi nchini na kuendelea na usajili wa Vyuo na kutoa Ithibati na Uthibiti wa Mafunzo ya Ufundi Stadi nchini; (ix) itaendesha mafunzo na kusimamia mafunzo ya ufundi stadi ya muda mrefu na muda mfupi katika Vyuo vya Ufundi Stadi 761 nchini vikiwemo 29 vinavyomilikiwa na VETA na kusimamia utoaji wa mafunzo ya Ualimu wa Ufundi Stadi katika Chuo cha Walimu wa Ufundi Stadi Morogoro (MVTTC) kwa Walimu 700; (x) itawezesha mafundi 8,320 kutoka sekta isiyo rasmi kutambuliwa na kurasimishwa baada ya kufanyiwa tathmini (Recognition of Prior Learning) katika fani mbalimbali kwa kushirikiana na wadau ikiwemo ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu; 98 (xi) itawajengea uwezo wa kufanya kazi kwa vitendo wahitimu wa ufundi stadi katika vituo atamizi vya wahitimu (incubators); (xii) itaongeza wigo wa waajiri wanaotoa mafunzo ya Uanagenzi (Apprenticeship) na kuboresha stadi za kazi/ujuzi kwa Wajasiriamali 3,000 kupitia Programu ya Integrated Training for Entrepreneurship Promotion – INTEP.

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania 120. Mheshimiwa Spika, Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (Tanzania Commission for Universities-TCU) ni Taasisi ya Serikali iliyoundwa mwaka 2005 chini ya Sheria ya Vyuo Vikuu Sura ya 346 ya Sheria za Tanzania, kufuatia maboresho yaliyofanywa na Serikali kwa lililokuwa Baraza la Ithibati la Elimu ya Juu (HEAC) lililoanzishwa kwa Sheria ya Elimu Sura ya 523 ya Sheria za Tanzania. 121. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2017/18, Tume ya Vyuo Vikuu itafanya kazi zifuatazo: (i) itaendelea kusimamia ubora wa Elimu ya Juu kwa Kupitia Mifumo na Miongozo mbalimbali inayotumika kusimamia Uthibiti na Ithibati ya Elimu ya Juu nchini na Kukagua 99 Vyuo 25 vya Elimu ya Juu kwa lengo la kuhakiki ubora wake. (ii) itafanya tathmini kwa programu 100 za masomo katika Vyuo Vikuu nchini na Kufanya tathmini na kutambua Tuzo 3,000 za ngazi za Shahada zilizotolewa katika Vyuo vya Elimu ya Juu nchi za nje; (iii) itaanzisha Mfumo wa kutumia TEHAMA katika ukusanyaji taarifa kutoka vyuo vya Elimu ya Juu nchini ili kurahisisha upatikanaji wa taarifa kwa wakati kwa ajili ya mipango na maamuzi ya kisera na kiutendaji; na (iv) Itashiriki katika makongamano na mikutano ihusuyo uimarishaji na Uthibiti wa Ubora wa Elimu ya Juu katika ukanda wa Afrika Mashariki na kimataifa kwa lengo la kuongeza ujuzi na weledi katika kuthibiti ubora wa elimu ya juu nchini. Chuo cha Ufundi Arusha 122. Mheshimiwa Spika, Chuo Chuo cha Ufundi Arusha (ATC) kilianzishwa mwaka 1978 kwa lengo la kutoa mafunzo ya ufundi sanifu katika fani mbalimbali za elimu ya ufundi. Mwaka 2007 Chuo kilianza kujitegemea kiutendaji (Autonomus Institution) kupitia Tamko (Establishment Order) Namba 78 chini ya sheria ya Bunge 100 namba 9 ya mwaka 1997 ya Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE). Katika mwaka 2017/2018 Chuo Cha Ufundi Arusha (ATC) kitatekeleza yafuatayo: (i) Kudahili wanafunzi 1,065 wa mwaka wa kwanza, Astashahada (55), Stashahada (800) na Shahada (210); (ii) Kuanzisha program mpya za stashahada katika fani mbalimbali za kiufundi na teknolojia kwa kuzingatia sera za kitaifa na mahitaji ya soko ambazo ni pamoja na “Pipe Works, Oil and Gas Engneering” na “Electrical and Hydropower Engineering”; (iii) Kujenga Jengo la Madarasa na Maabara kwa fani za Madini na Vito, Uhandisi wa Vifaa Tiba, Uhandisi wa Mawasiliano ya Anga na Teknolojia ya Mawasiliano ya Habari; (iv) Kukarabati na kununua vifaa vya karakana za Useremala, Uhandisi Magari na Uhandisi Mitambo; (v) Kuboresha elimu ya ufundi kwa kugharimia mafunzo ya muda mrefu na mfupi kwa wafanyakazi (wanataaluma 15 na waendeshaji 10) na kuajiri wafanyakazi wapya 104 (waendeshaji 22 na wanataaluma 82); (vi) Kuhuisha mitaala 12 ya programu zilizopo za Ufundi Sanifu (NTA 4-6);

101 (vii) Kutekeleza Mpango Mkakati wa kuanzisha Mafunzo ya Umeme utokanao na nishati ya maji na uundaji wa mitambo midogo ya kuzalisha umeme utokanao na nishati ya Maji na kufufua kituo cha uzalishaji umeme cha Kikuletwa; (viii) Kuendeleza shamba la mafunzo ya kilimo na umwagiliaji la Oljoro; (ix) Kuendeleza ushirikiano na nchi wahisani, mashirika ya kimataifa, Vyuo vya Elimu ya Juu na vya Ufundi vilivyo nchini na vya kimataifa; (x) Kuendelea na utafiti wa kupima uimara wa udongo, kokoto na lami zinazotumika katika ujenzi wa barabara ili kuanisha ubora wake na kutoa ushauri wa matumizi sahihi wakati wa ujenzi wa barabara na pia kuongeza umahiri wa mafundi sanifu kwenye ujenzi wa barabara; (xi) Kuendelea kuboresha fimbo inayowasidia walemavu wa macho electronic blind stick katika kutambua sehemu za mapitio yao ili kuwaongoza kwa urahisi. Hii itasaidia upatikanaji nwa fimbo hizo kwa gharama nafuu; (xii) Kitaendelea kuunda Helikopta ya gharama nafuu na salama kwa safari fupi nchini ili kurahisisha usafiri katika maeneo yasiyofikika kwa 102 usafiri wa gari kwa urahisi; na (xiii) Kitaboresha Mafunzo kwa kununua mashine na mitambo ya kisasa, kwa fedha zilizotolewa na Serikali ya Austria kama mkopo wa masharti nafuu wa Euro 6,000 sawa na takriban shs billioni 14. Aidha, Chuo kitaimarisha ufundishaji na kutoa mafunzo yenye lengo la kujenga uwezo kwa wanataaluma ili waweze kutumia mitambo ya kisasa itakayonunuliwa. Baraza la Mitihani la Tanzania 123. Mheshimiwa Spika, Katika Mwaka 2017/18, Wizara yangu kupitia Baraza la Mitihani imepanga kutekeleza yafuatayo:

(i) Kuendesha Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi kwa watahiniwa 900,000 wanaotarajiwa kufanya mtihani huo Septemba, 2017; (ii) Kuendesha Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne kwa watahiniwa 1,060,000 wanaotarajiwa kufanya upimaji huo Novemba, 2017; (iii) Kuendesha upimaji wa Kitaifa wa kidato cha Pili kwa watahiniwa 450,000 wanaotarajiwa kufanya upimaji huo mwezi Novemba, 2017; (iv) Kuendesha Mtihani wa Kidato cha

103 Nne kwa watahiniwa 440,000 na wa mtihani wa Maarifa kwa watahiniwa 15,000 wanaotarajiwa kufanya mitihani hiyo Novemba, 2017; (v) Kuendesha Mtihani wa Kidato cha Sita kwa watahiniwa 73,000 wanaotarajiwa kufanya Mtihani huo Mei, 2018; na (vi) Kuendesha Mtihani wa Cheti na Diploma ya Ualimu wa marudio kwa watahiniwa 5,000 wanaotarajiwa kufanya Mtihani huo Mei, 2018. Taasisi ya Elimu Tanzania 124. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2017/18, Wizara kupitia Taasisi ya Elimu Tanzania imepanga kutekeleza yafuatayo:

(i) Kuchapa vitabu vya Kiada kwa Darasa la IV na Masomo ya Elimu ya Sekondari kwa Kidato cha I-VI;

(ii) Kutathmini machapisho mbalimbali yaliyoandikwa na makampuni/watu binafsi ikiwemo yale yaliyo katika mfumo wa kielektroni;

(iii) Kuboresha Mtaala wa Elimu ya Ualimu na kuandaa moduli zake;

(iv) Kuratibu na kuendesha programu 104 za ufundishaji na ujifunzaji kwa kutumia TEHAMA; na

(v) Kuendesha mafunzo kazini kwa Walimu wa Elimumsingi na Sekondari ili kuboresha utendaji kazi wao. Tume ya Taifa ya UNESCO 125. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2017/18, Tume ya Taifa ya UNESCO imepanga kutekeleza yafuatayo: (i) Kuratibu mafunzo kwa ufadhili wa UNESCO; na kuandaa Mikutano kwa ajili ya kuwajengea uwezo vijana ili kutekeleza shughuli za UNESCO kwa kujenga uelewa wa Malengo endelevu; na (ii) Kuandaa maandiko matano ya Miradi ya kuboresha elimu kwa ajili ya ufadhili kutoka UNESCO na Wadau wengine; na kuandaa Jarida la Tanzania na UNESCO Toleo namba 14. Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu 126. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2017/18, Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imepanga kutekeleza yafuatayo: i. Kutoa Mikopo na Ruzuku kwa

105 wanafunzi wanufaika na mikopo. ii. Kuboresha vigezo vya utambuzi ili kuwawezesha Wanafunzi wasio na uwezo wa kiuchumi kupata Elimu ya Juu kupitia Mikopo na Ruzuku; iii. Kupunguza utegemezi wa kifedha kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali kwa asilimia 35%; na iv. Kutambua vyanzo vingine vya kuchangia Mfuko wa Mikopo ya Elimu ya Juu na Ufundi kwa ajili ya kukopesha wanufaika wengi. Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia 127. Mheshimiwa Spika, Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia itaendelea kuratibu maandiko yatokanayo na tafiti mbalimbali Policy Briefs katika Taasisi za utafiti ili kuwezesha maamuzi kufanyika kwa kutumia ushahidi wa kisayansi. 128. Katika mwaka 2017/18 itafanya shughuli zifuatazo: (i) itafadhili miradi mipya na inayoendelea ya utafiti katika maeneo ya Viwanda, TEHAMA, Kilimo, Afya, Mazingira na Maliasili. (ii) Wafadhili watafiti kutoka Taasisi

106 za utafiti za umma wataendelea kuwezeshwa kusoma shahada za uzamivu katika vyuo vya ndani ya nchi. (iii) itaendelea kuimarisha matumizi ya matokeo ya utafiti na ubunifu kutoka taasisi za ndani ya nchi ili yaweze kuleta manufaa ya kibiashara. Chuo Kikuu cha Dar es Salaam 129. Mheshimiwa Spika, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (CKD) ni Chuo Kikuu cha umma ambacho kilianzishwa rasmi tarehe 1 Julai, 1970 na kupata ithibati ya Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Namba 005, mnamo tarehe 24 Novemba, 2006. 130. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2017/18 kitatekeleza yafuatayo: (i) Kuongeza idadi ya wanafunzi wa shahada za awali kutoka 24,182 hadi 25900 (ongezeko la asilimia 7). Wanafunzi wa shahada na stashahada za uzamili wataongezeka kutoka 2092 hadi 2510 (ongezeko la silimia 20) na wa stashahada na astashahada wataongezeka kutoka kutoka 182 hadi 218 (ongezeko la asilimia 20). (ii) Kuongeza idadi ya miradi ya utafiti, hasa yenye ufadhili wa washirika wetu wa maendeleo ambapo maandiko ya 107 miradi yamewasilishwa na mengine yanaendelea kutayarishwa; (iii) Kuongeza idadi ya majarida ya kimataifa ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kutoka 5 kwa sasa hadi 21 na kuyafanya yafikike kwa njia ya mtandao; (iv) Kupanua wigo wa “Juma la Utafiti” na kuonyesha matokeo ya tafiti za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kupitia runinga na redio; (v) Kutoa mafunzo maalum ya utafiti na uchapishaji kwa wanataaluma 100 na wanafunzi 100 wa shahada za uzamili; (vi) Kuanzisha kituo cha kuatamia ubunifu mpya (incubator) kitakachojumuisha maeneo mbalimbali ya kitaaluma. (vii) Kutoa mafunzo maalum ya ushauri wa kitaalam kwa wanataaluma 100 na wafanyakazi 50 wa kada nyinginezo. Pia kutoa mafunzo ya kisasa kwa jamii, ya muda mfupi na wa kati, katika nyanja mbalimbali na teknolojia mpya na za kisasa; na (viii) Kupanua wigo wa kutangaza huduma za ushauri kwa njia mbalimbali, kama kushiriki maonesho ya kitaifa na kimataifa na/au kutumia runinga, 108 magazeti, machapisho na vipeperushi. (ix) Kukarabati bweni Na. 5 la Kampasi ya Mwl. J.K. Nyerere Mlimani na kufanya ukarabati wa miundombinu ya maji safi na maji taka; (x) Ujenzi wa awamu ya pili ya Kituo cha Buyu (Zanzibar) kwa ajili ya Taasisi ya Sayansi za Bahari; Kujenga ofisi mpya ya michezo katika viwanja vya michezo vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Kuongeza ghorofa mbili na samani katika mabweni mapya yanayojengwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa ufadhili wa Serikali; na sehemu ya gharama za kujenga miundombinu na kununua vifaa kwa ajili ya hospitali maalum ya mafunzo ya udaktari bingwa; (xi) kununua samani na vifaa vya maabara kwa ajili ya majengo mapya na kufanya ununuzi wa vitabu na mashubaka kwa ajili ya Maktaba mpya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam; na (xii) Kuongeza Vifaa tiba katika Kituo cha Afya cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kufanyia matengenezo viwanja na kuongeza vifaa vya michezo.

109 Chuo Kikuu cha Dodoma 131. Mheshimiwa Spika, Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ni Chuo cha umma kilichoanzishwa baada ya kutiwa saini kwa Hati Idhini ya Chuo tarehe 5 Machi, 2007 na kwa kuzingatia sheria ya vyuo vikuu Namba 7 ya mwaka 2005.

132. Mheshimiwa Spika, Malengo ya Chuo kwa mwaka 2017/2018 ni haya yafuatayo; (i) Kudahili wanafunzi wapya 8,412 wa shahada ya kwanza, Kudahili wanafunzi wapya 3,124 wa Stashahada na Astashahada, Kudahili wanafunzi wapya 348 wa shahada za Uzamili na Uzamivu. Chuo kina lengo la kuwa na jumla ya wanafunzi 28,367 kwa mwaka wa masomo 2017/2018; (ii) Kuanza ujenzi wa Ukumbi mmoja wa Mihadhara katika Chuo cha Sayansi Asilia na Hisabati; Ujenzi wa Ukumbi mmoja wa Mihadhara katika Chuo cha Sayansi za Ardhi; na Ujenzi wa Madarasa na Ofisi katika Chuo cha Sayansi Asilia na Hisabati pamoja na Chuo cha Sayansi za Ardhi;

110 (iii) Kuanza Ujenzi wa Awamu ya pili Chuo cha Sayansi za Afya; Pamoja na Ujenzi wa nyumba 100 za Wafanyakazi Awamu ya Kwanza (nyumba nane (8) za ghorofa kwa ajili ya familia nane kila moja – 64 na nyumba 36 kwa ajili ya Viongozi ikiwa ni pamoja na Makamu Mkuu wa Chuo, Manaibu Makamu Wakuu wa Chuo, Wakuu wa Vyuo, Wakurugenzi na Wakuu wa Skuli; (iv) Ununuzi wa magari 20; Ununuzi wa kompyuta; Ununuzi wa vifaa vya maabara; na (v) Ununuzi wa Samani za Ofisi, Makazi, Madarasa, Maabara na Mabweni ya wanafunzi; na Ukarabati wa Mabweni, Madarasa na majengo mengine ya Chuo; (vi) Kununua vifaa muhimu vya kufundishia pamoja na zana za kufundishia; (vii) Kuwapeleka masomoni wafanyakazi 268. Kati ya hao 177 ni watakao kwenda kuanza masomo na 91 ni wafanyakazi wanaoendelea na masomo (shahada ya Uzamivu 81, shahada ya Uzamili 86, Shahada za Awali 15, Stashahada 23,

111 Astashahada 14, mafunzo ya muda mfupi 32, na watakaosomeshwa nje ya nchi 17); na (viii) kuajiri wafanyakazi wapya 445 ili kukidhi ikama ya wafanyakazi. Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo 133. Mheshimiwa Spika, Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo kilianzishwa tarehe 1 Julai, 1984 chini ya Sheria Na.6 ya mwaka 1984 iliyopitishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 11 Aprili, 1984 na kurekebishwa na Sheria Na.14 ya mwaka 1984. Sheria hiyo ilifutwa kwa Sheria namba 7 ya mwaka 2005 ya Vyuo Vikuu ambayo ilikipa Chuo mamlaka ya kuwa na Hati idhini yake ya mwaka 2007.

134. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2017/18 Chuo kitatekeleza yafuatayo: (i) Kuanzisha shahada mpya za kwanza sita (6) na shahada za uzamili tisa (9) na masomo yasiyo ya shahada katika fani nne (4) ili kuendana na mahitaji ya soko la ajira; na (ii) Kuongeza udahili wa wanafunzi wa mwaka wa kwanza wakiwemo wanafunzi wa shahada za kwanza kutoka 3,004 hadi 4,456, shahada za juu (Uzamili na Uzamivu) kutoka 166;

112 (iii) kufanya tafiti mbalimbali zaidi ya 150 katika kulenga uboreshaji na uzalishaji wa mzao ya Kilimo, Mifugo, Uvuvi n.k ili kupunguza umaskini kwa Wananchi. (iv) Kuongeza utoaji wa Elimu na Ushauri kwa wakulima kwa kutumia mbinu mbalimbali kama semina, kozi fupi, warsha, luninga na radio; (v) Kuendesha programu 80 za utoaji wa Elimu na Ushauri wa kitaalamu kwa washiriki 350 wakiwemo Wakulima, Maafisa Ugani na Watafiti; (vi) Kukarabati vyumba 6 vya mihadhara vilivyomo Kampasi ya Solomon Mahlangu pamoja na Kumbi na Hosteli za Taasisi ya Elimu ya Kujiendeleza; (vii) Kuendelea kuboresha nyumba za wafanyakazi kwa kukarabati nyumba 60; (viii) Kuendelea kuboresha mabweni ya wanafunzi kwa kukarabati mabweni 4; (ix) Kuboresha mazingira ya kufundishia na kusomea ikiwa ni pamoja na kuongeza kiwango cha upatikanaji wa vifaa na zana za kufundishia; (x) Kukamilisha miradi ambayo inaendelea ikiwepo Mradi wa Ujenzi wa Maabara katika Kampasi ya 113 Solomon Mahlangu; (xi) Kuongeza miundombinu mipya ya kufundishia ambayo ni pamoja na ujenzi wa Ukumbi wa Mihadhara, Ujenzi wa Maabara, Ujenzi wa Viti vya Kusomea na Hosteli moja ya wanafunzi wa Uzamili na Jengo la Ofisi za Wafanyakazi; na (xii) Kuendelea kujenga mahusiano na Taasisi nyingine ndani na nje ya nchi. Chuo Kikuu Mzumbe 135. Mheshimiwa Spika, Chuo Kikuu Mzumbe kilianzishwa kwa Sheria ya Chuo Kikuu Mzumbe Na. 9 ya mwaka 2001. Kwa sasa, Chuo kinatekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Hati idhini ya Chuo ya mwaka 2007 iliyotolewa chini ya Kifungu cha 25 cha Sheria ya Vyuo Vikuu ya Mwaka 2005. 136. Mheshimiwa Spika, Chuo Kikuu Mzumbe kwa mwaka 2017/18 kimepanga kutekeleza yafuatayo; (i) Kudahili wanafunzi wapya 5,092 katika programu mbalimbali (astashahada - 250, stashahada - 200, shahada ya kwanza – 3,463, shahada ya umahiri – 1,174 na shahada ya uzamivu – 5). (ii) Kukamilisha utafiti katika maeneo 41 na kutoa ushauri wa kitaalamu katika maeneo 50 ya menejimenti, 114 uongozi, teknolojia na sayansi ya jamii kwa ujumla. (iii) Kukarabati mabweni nane (8) ya wanafunzi Kampasi Kuu Mzumbe; (iv) Kukarabati ofisi za watumishi Kampasi ya Dar es Salaam; (v) Kukarabati na kujenga miundombinu ya Kampasi ya Mbeya; (vi) Kujenga kumbi mbili (2) za mihadhara Kampasi Kuu Mzumbe; (vii) Kujenga jengo la kitaaluma kwa ajili ya programu za Sayansi na Teknolojia Kampasi Kuu Mzumbe; (viii) Kuendelea na ujenzi wa jengo la Utawala Kampasi Kuu Mzumbe; (ix) Kujenga miundombinu ya barabara, umeme, maji safi na majitaka Kampasi Kuu Mzumbe; (x) Kujenga mtambo wa kuchomea taka hatarishi katika Kituo cha Afya Kampasi Kuu Mzumbe; (xi) Kuboresha mfumo wa uhasibu wa kompyuta (Sage ERP ACCPAC); (xii) Kuboresha maabara za kompyuta Kampasi Kuu Mzumbe; (xiii) Kuanzisha maabara ya kompyuta katika Kituo cha Mwanza; (xiv) Kuboresha Mfumo na usambazaji wa 115 maji Kampasi Kuu Mzumbe; (xv) Kuendeleza eneo la Tegeta Kampasi ya Dar es Salaam; (xvi) Kugharimia mafunzo ya watumishi 36 ambapo 18 katika ngazi ya shahada ya umahiri na 18 katika ngazi ya shahada ya uzamivu; na (xvii) Kuchapisha vitabu kumi na moja (11), makala za kufundishia nane (8) na makala nyingine 59. Chuo Kikuu Huria cha Tanzania 137. Mheshimiwa Spika, Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kilianzishwa kwa sheria ya Bunge Na. 17 ya mwaka 1992. Sheria hiyo ilianza kutumika rasmi kufuatia tangazo katika Gazeti la Serikali Na. 55 la mwezi Machi, 1993. Hata hivyo, kufuatia uanzishwaji wa Sheria ya Vyuo Vikuu Na. 7 ya mwaka 2005, Chuo kwa sasa kinaendeshwa kwa kutumia Hati Idhini yake ya mwaka 2007. 138. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka wa fedha 2017/18, shughuli mbalimbali zimepangwa kutekelezwa na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kama ifuatavyo: (i) Kudahili jumla ya wanafunzi 11,100 wa fani mbalimbali ambapo 1000 watadahiliwa ngazi ya Cheti, 1500 watadahiliwa ngazi ya stashahada, 7500 watadahiliwa kwenye Shahada 116 ya kwanza, 1,000 watadahiliwa shahada ya Uzamili na 100 watadahili shahada ya Uzamivu;

(ii) Kufanya utafiti katika maeneo ya Mazingira, TEHAMA, Nishati, Kilimo na Chakula, Uongozi na Biashara, Maendeleo ya Utalii, Sheria, Uthibiti wa Ubora, Utawala na Maendeleo, Watu wenye Ulemavu na Mahitaji Maalumu, Maliasili, Umaskini, Utamaduni, Haki za Binadamu, Maendeleo ya Watu na Mawasiliano; (iii) Kutoa huduma za ushauri wa kitaalamu katika nyanja za Mazingira, TEHAMA, Nishati, Kilimo na Chakula, Uongozi na Biashara, Maendeleo ya Utalii, Sheria, Uthibiti wa Ubora, Utawala na Maendeleo, Watu wenye Ulemavu na Mahitaji Maalumu, Maliasili, Umaskini, Utamaduni, Haki za Binadamu, Maendeleo ya Watu na Mawasiliano; (iv) Kujenga Maabara ya Sayansi, hosteli za Wanafunzi na Vyumba vya Madarasa Makao Makuu Bungo, Kibaha; (v) Kujenga ofisi za Wafanyakazi, ukumbi wa Mihadhara na vyumba vya Maabara ya kompyuta katika vituo vya Mikoa ya Dodoma, Kigoma, Mwanza, Lindi na Manyara; 117 (vi) Kukarabati vituo vya Mikoa vya Morogoro (Awamu ya II), Songwe, Kilimanjaro, Lindi, Zanzibar na Simiyu pamoja na Vituo vya Uratibu vya Chato, Kibondo, Kasulu, Nachingwea na Serengeti; (vii) Kutoa mafunzo kwa wafanyakazi na wanafunzi kwa ajili ya kuongeza ujuzi na matumizi ya TEHAMA hasa katika ‘Learning Management System’; (viii) Kuweka kozi zote kwenye mfumo wa mtandao (Moodle) ili kurahisisha kujifunza na ufundishaji; (ix) Kununua samani kwa ajili ya vituo vya Mwanza, Songwe, na Geita na vifaa vya ofisi; na (x) Kufuatilia kwa ukaribu upatikanaji wa hati Miliki za viwanja vya Chuo katika Mikoa mbalimbali na kujenga uzio kwenye viwanja ambavyo havina uzio. Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili 139. Mheshimiwa Spika, Chuo kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi (MUHAS) ni muendelezo wa kilichokuwa Chuo Kikuu Kishiriki cha Afya (MUCHS) ambacho kilianzishwa kwa Sheria ya Bunge, Sheria Na. 9 ya 1991, wakati kitivo cha tiba cha Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam kilipobadilishwa na kuwa Chuo Kikuu 118 Kishiriki. Mnamo mwaka 2007, MUCHS ilibadilishwa na kuwa MUHAS (Article 1 of the Charter of Incorporation). 140. Mheshimiwa Spika, Malengo ya Chuo kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi kwenye Bajeti kwa Mwaka 2017/18 ni kama ifuatavyo; (i) Kudahili wanafunzi 1,370 wakiwemo wa Stashahada 340; wa Shahada ya Kwanza 660; wa Uzamili 360 na wa Uzamivu 10; (ii) Kufanya tafiti mbalimbali zikiwemo tafiti za:- • Magonjwa yanayoambukiza (infectious diseases) yakiwemo UKIMWI, Malaria na Kifua Kikuu; • Magonjwa yasioambukiza (non-communicable diseases) yakiwemo Kisukari, magonjwa ya moyo, ugonjwa wa selimundu (Sickle cell disease); • Afya ya uzazi na watoto; • Magonjwa yasiyopewa kipaumbele (neglected tropical diseases); na • Tafiti za mfumo wa afya nchini (health system); (iii) Kuendelea kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusiana na afya za binadamu;

119 (iv) Kuendelea kutoa huduma kwa wagonjwa katika Hospitali ya Taifa ya Rufaa, Muhimbili. Vilevile wanataaluma wa Chuo watatembelea baadhi ya Mikoa kushiriki katika utoaji huduma kwa jamii; (v) Kufanya ukarabati wa hosteli, ofisi, maabara na nyumba za wafanyakazi pamoja, ukarabati wa mfumo wa kusambaza maji chuoni (Muhimbili), uwekaji wa ‘lifti’ kwenye jengo jipya pamoja na ukarabati wa uwanja wa michezo; (vi) Kuanza Ujenzi wa majengo ya kufundishia, mabweni, maabara na nyumba za wafanyakazi wa hospitali –Kampasi ya Mloganzila; (vii) Kuanza Ujenzi wa Kituo Mahiri cha Magonjwa ya Moyo na Mishipa ya Damu; (viii) Kuongeza na kuboresha miundombinu ya mawasiliano (ICT infrastructure) pamoja na elimu katika nyanja hiyo kwa wanafanyakazi; na (ix) Kuajiri wafanyakazi kwenye maeneo yenye upungufu na kuwaongezea elimu;

120 Chuo Kikuu Ardhi 141. Mheshimiwa Spika, Chuo Kikuu Ardhi kilianzishwa tarehe 31/9/2008 kutokana na Sheria ya Vyuo Vikuu ya mwaka 2005 (Universities Act, 2005) na baada ya kukidhi kanuni za usajili wa vyuo (TCU, Chartering Registration and Accreditation Procedures Regulation, 2006) pamoja na Hati Idhini ya mwaka 2007 (Ardhi University Charter 2007). 142. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka wa fedha 2017/18 Chuo Kikuu Ardhi kinatarajia kutekeleza yafuatayo: (i) Kudahili wanafunzi 4,622 katika fani mbalimbali, kati yao wanafunzi 4,372 ni wa Shahada ya kwanza na 250 ni wa Stashahada za Juu, Uzamili na Uzamivu; (ii) Kufanya tafiti mpya kumi na nne (14) katika maeneo mbalimbali yahusuyo ujenzi, usimamizi wa mazingira na matumizi bora ya ardhi. Chuo pia kitaendelea kufanya tafiti thelathi (30) zilizokwishaanza; (iii) Kutoa machapisho 200 yanayotokana na tafiti mbalimbali katika majarida ya nchini na nje ya nchi; (iv) Kutoa ushauri wa kitaalamu katika nyanja za ujenzi, usimamizi wa mazingira na matumizi bora ya ardhi kwenye miradi nane (8). Chuo pia 121 kitatoa huduma kwa jamii kupitia ‘public outreach programs’ tano (5); (v) Kukarabati majengo yafuatayo: (a) hosteli za wanafunzi awamu ya IX (b) madarasa, (c) karakana ya useremala, (d) tanki la kuhifadhia maji la ujazo wa lita 600,000, (e) jengo la uchapishaji, (f) nyumba za wafanyakazi na (g) barabara na maegesho ya magari; (vi) Kuhuisha mitaala ya mafunzo na kuandaa mitaala mipya (curicula review); (vii) Kugharamia mafunzo ya wafanyakazi katika shahada za uzamivu 45, uzamili 54, shahada ya kwanza 12 na diploma na cheti 20; (viii) Kukamilisha ujenzi wa jengo la madarasa na ofisi la ‘Lands Building’ awamu ya tano; (ix) Kujenga hosteli za wanafunzi 2000 awamu ya I; (x) Kujenga jengo la maabara (Multipurpose Laboratory); (xi) Kujenga miundombinu mipya ya TEHAMA; na (xii) Kujenga mfumo wa maji taka, kuunganisha majengo pamoja na kujenga mfumo wa umeme wa jua katika majengo yaliyoko kwenye matumizi. 122 Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Saalam (DUCE) 143. Mheshimiwa Spika, Chuo Kikuu Kishiriki Cha Elimu Dar es salaam kilianzishwa kupitia tangazo la Serikali Na. 202 lililochapishwa tarehe 22 Julai 2005 chini ya kifungu 55(1) cha Sheria Na. 12 ya mwaka 1970 ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam. Chuo Kilipewa Hati idhini (Charter) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2010. 144. Mheshimiwa Spika, Malengo ya DUCE katika Mwaka wa Fedha 2017/2018 ni kama ifuatavyo: (i) Kudahili jumla ya wanafunzi 2,000 kati yao 700 wa fani ya sayansi; (ii) Ujenzi wa kituo cha utafiti; (iii) Kuimarisha miundombinu ya TEHAMA na kukarabati miundombinu ya umeme; (iv) Kupata ardhi nyingine kubwa zaidi kwa ajili ya upanuzi wa Chuo na pia kufanya upanuzi wa maabara za sayansi, vyumba vya madarasa (Awamu ya II) na mfumo mku wa maji taka. Kukarabati majengo na miundombinu ya Chuo; (v) Kuendelea kushirikiana na Vyuo na Taasisi za ndani na nje ya nchi katika utafiti na mafunzo, hususani kwa shahada za uzamili na uzamivu;

123 (vi) Kununua vifaa vya kufundishia na kujifunzia kwa ajili ya wanafunzi wenye mahitaji maalum na Kununua vifaa vya maabara pamoja na madawa (chemicals); na (vii) Kuajiri jumla ya wafanyakazi 178 kati yao walimu 75 na waendeshaji 103. Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere 145. Mheshimiwa Spika, Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA) kilianzishwa kwa Sheria ya Bunge Namba 6 ya mwaka 2005. 146. Mheshimiwa Spika, Malengo ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere katika utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2017/18 ni kama ifuatavyo: (i) Kuongeza udahili wa wanafunzi kutoka 5,173 mwaka wa fedha 2016/2017 mpaka kufikia 5,900 kwa mwaka wa fedha 2017/2018 na pia kuanza kutoa mafunzo ngazi ya uzamili kwa kuanzia na programu angalau mbili katika Kampasi ya Kivukoni Dar es Salaam. (ii) Kuimarisha miundo na uendeshaji wa idara ya Tafiti na Machapisho na kuimarisha kitengo cha udhibiti ubora ili kuweza kuboresha Elimu inayotolewa kwa kuweka kitengo kwa kila idara na kuboresha mitaala ili 124 iweze kwenda na wakati; (iii) Kutoa, elimu, usimamizi wa fedha, utunzaji wa kumbukumbu kwa sekta binafsi na sekta ya umma; na (iv) kukarabati miundombinu ya chuo hasa madarasa,nyumba za wafanyakazi na ununuzi wa samani; Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya 147. Mheshimiwa Spika, Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (Mbeya University of Science and Technology – MUST) kilianzishwa mwaka 2012 chini ya Sheria ya Vyuo Vikuu Namba 7 ya mwaka 2005 baada ya kupandishwa hadhi na Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kwa iliyokuwa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia Mbeya. MUST ilitunukiwa Hati Idhini ya Chuo Kikuu (Mbeya University of Science and Tecknology Charter 2013) mnamo tarehe 20 Agosti 2013. 148. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2017/18 Chuo kitatekeleza yafuatayo: (i) kuongeza udahili wa wanafunzi kutoka wanafunzi 3,982 kwa mwaka wa masomo 2016/2017 hadi kufikia wanafunzi 4,300 kwa mwaka wa masomo 2017/2018, (ii) Kuandaa na kukarabati miundombinu ya Chuo katika Kampasi ya Rukwa 125 kwa ajili ya kuanza kutoa mafunzo katika ngazi ya stashahada (Ordinary Diploma) kwa mwaka wa masomo 2017/2018; na pia kuendelea na kukamilisha ujenzi wa jengo la Maktaba ili kukidhi mahitaji ya huduma bora za maktaba kwa wanafunzi na wahadhiri; (iii) Kuandaa mpango kabambe wa upanuzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya ili kuwa na miundombinu stahiki kwa maendeleo ya Chuo Kikuu; pamoja na kufanya ukarabati wa miundombinu chakavu ya maji, umeme na majengo ya Chuo Kikuu; (iv) Kufanya tathimini ya mali za wananchi waishio katika eneo la hekta 511 la Chuo Kikuu ili kupisha shughuli za upanuzi wa Chuo Kikuu; (v) Kuongeza eneo la Kampasi ya Rukwa kutoka hekta 48 hadi kufikia hekta 500 ili kuwezesha upanuzi wa shughuli za Kampasi hapo baadaye; Kufanya upembuzi yakinifu kwa ajili ya kuanza ujezi wa Ndaki ya Uhandisi na Teknolojia (College of Engineering and Technology); (vi) Kuanza ujenzi wa kituo cha Atamizi za Teknolojia (Technology Incubation Centre) kwa lengo la kuchochea na kuongeza ubunifu wa teknolojia mpya

126 kwa maendeleo ya jamii; (vii) Kuanza kutoa mafunzo ya ualimu wa sayansi na mafunzo ya sayansi na teknolojia ya maabara katika ngazi ya shahada ya kwanza ili kuongeza upatikanaji wa walimu wa masomo ya sayansi katika shule za sekondari na vyuo vya ufundi nchini; na (viii) Kukamilisha uandaaji wa mitaala mipya ya kufundishia katika ngazi ya stashahada, shahada kwanza, stashahada ya uzamili, shahada ya uzamili na shahada ya uzamivu. Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela – NM-AIST 149. Mheshimiwa Spika, Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Arusha (The Nelson Mandela African Institute of Science and Techology in Arusha-NM-AIST Arusha) ilianzishwa mwaka 2009 chini ya Sheria ya Vyuo Vikuu Namba 7 ya mwaka 2005. Taasisi hii ina jukumu la kutoa elimu na mafunzo katika ngazi ya uzamili na uzamivu pamoja na kufanya utafiti katika ngazi ya ubobezi. Malengo ya Taasisi kwa kipindi kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ni kama ifuatavyo:- (i) Kuongeza Udahili wa wanafunzi kutoka 213 hadi 350 kufikia Juni 2018;

127 (ii) Kufanya mapitio ya mitaala na programu za mafunzo kufikia Juni 2018; pamoja na kusambaza maarifa na kubadilishana mitaala/programu za mafunzo kufikia Juni 2018; (iii) Kufanya Utafiti na uchambuzi yakinifu kwa ajili ya Kampasi ya Tengeru kufikia juni 2018; (iv) Kuandaa Mpango Mkuu wa matumizi ya ardhi Kampasi ya Tengeru kufanyika kufikia Juni, 2018; (v) Kubuni michoro na ujenzi wa jukwaa, vyoo na barabara kwa ajili ya viwanja cha michezo na mfumo wa maji safi kwa vyanzo vipya vya maji; (vi) kubuni na kujenga mfumo wa uondoaji maji taka, kujenga mabweni ya Wanafunzi, kujenga majengo ya ofisi kampasi ya Tengeru kwa ajili ya wafanyakazi 200, vyumba vya madarasa 10 na kumbi 6 ya mikutano pamoja na kubuni na kujenga Kituo cha Afya kufikia Juni, 2018; na (vii) Kuanzisha maabara maalum kwa kununua vifaa vya sayansi ya miamba kufikia Juni, 2018 na kufanya ununuzi wa kompyuta mpakato 9 ifikapo Juni, 2018.

128 Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam 150. Mheshimiwa Spika, Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kilianzishwa kwa Sheria ua Bunge Na.6 ya mwaka 1997. Taasisi ina jukumu la kutoa mafunzo katika ngazi ya ufundi sanifu na uhandisi; kufanya utafiti na kutoa ushauri wa kitaalamu katika nyanja za Ufundi, Teknolojia na Uhandisi; 151. Mheshimiwa Spika, Taasisi hii ina malengo yafuatayo katika mwaka wa fedha 2017/2018. (i) Kudahili wanafunzi wapya 1,500 na kuendelea kuhudumia wanafunzi 2,926 wanaoendelea hivyo kuwa na jumla ya wanafunzi 4,426; (ii) Kufanya mapitio ya programu za Stashahada, Shahada na Shahada ya Uzamili pamoja na Kuanzisha kozi mpya za Stashahada ya Uhandisi katika Ujenzi na Barabara; Shahada ya Uhandisi katika Madini; na Shahada ya Uzamili ya Uhandisi katika Nishati Endelevu; (iii) Kuanzisha kozi ya stashahada ya utengenezaji viatu na kuendelea kutoa mafunzo ya muda mfupi na ya kitaalam katika teknolojia ya ngozi kwa lengo la kuongeza thamani ya zao la ngozi kwa wafugaji; (iv) Kukamilisha ujenzi wa jengo la DIT 129 Teaching Tower awamu ya pili na ya mwisho; na (v) Kutekeleza miradi 30 ya huduma za ushauri wa kitaalamu kwa jamii na Kutekeleza mradi wa TELMS awamu ya pili unaofadhiliwa na Serikali ya Italia. Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi 152. Mheshimiwa Spika, Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi, kilipata Hati Idhini tarehe 23 Februari, 2015 baada ya kutimiza vigezo vya TCU vya kuwa Chuo Kikuu kamili. Chuo hiki kilianza kama Koleji ya Ushirika mwaka 1963 na baadaye kuwa Chuo Kikuu Kishiriki cha Ushirika chini ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo kuanzia 2004 hadi tarehe 4 Septemba 2014. Hiki ni Chuo pekee nchini kilichobobea katika kuandaa wataalamu wa Elimu ya Ushirika na fani zinazoshabihiana na ushirika. 153. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha mwaka wa fedha wa 2017/2018 Chuo kimepanga kutekeleza malengo yafuatayo: (i) Kusajili wanafunzi 4,000 kwa mwaka wa masomo 2017/2018 na Kuendeleza mafunzo ya wafanyakazi 70, hususani Wahadhiri katika ngazi za Uzamili na Uzamivu; (ii) Kujenga maktaba yenye uwezo wa kuchukua wasomaji 2500 kwa wakati mmoja; 130 (iii) Kukarabati miundombinu ya zamani; kumbi za mihadhara, madarasa, mabweni, barabara za ndani, majengo ya ofisi, mfumo wa mawasiliano wa ndani na nyumba za makazi; na (iv) Kuendelea kutoa na kueneza elimu ya ushirika nje ya Chuo ili kuchochea ari ya maendeleo katika jamii kwa kushirikiana na wadau wengine, hususani Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi; Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO); Shirikisho wa Vyama vya Ushirika Tanzania (TFC) na vyama vya ushirika nchini na katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa 154. Mheshimiwa Spika, Chuo Kikuu Kishiriki Cha Elimu Mkwawa kilianzishwa kupitia tangazo la Serikali Na. 202 la tarehe 22 Julai 2005 chini ya Kifungu 55(1) cha Sheria Na. 12 ya mwaka 1970 ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam. Chuo Kilipewa Hati Idhini na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2010. Chuo hiki kimejikita kuandaa waalimu wa shahada ya kwanza wa sayansi na sayansi za jamii kwa lengo la kuhudumia shule za sekondari nchini. 155. Mheshimiwa Spika, Malengo ya Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa katika

131 mwaka 2017/18 ni pamoja na: (i) Kuboresha ufundishaji wa kiugunduzi na kutumia teknolojia katika ufundishaji katika programu zote za elimu kwa kuunga mkono matumizi ya teknolojia katika ufundishaji na ujifunzaji na ufundishaji wa kiugunduzi, kuongeza udahili wa wanafunzi na kuanzisha Maktaba ya kisasa; (ii) Kutoa mafunzo ya kina katika programu za elimu katika ngazi zote kuanzia elimu ya awali, ngazi ya kati mpaka ngazi ya juu ya kada ya ualimu kwamba Taasisi itarekebisha na kuboresha mitaala katika program za elimu na kutekeleza utafiti na uzinduzi wa programu ya elimu ya mazoezi na sayansi ya michezo (PESS); (iii) Kuboresha na kutoa mafunzo anuai katika programu za kitaaluma na kiweledi katika nyanja tofauti tofauti kwa kuanzisha programu 3 mpya za shahada ya kwanza, shahada ya umahili na programu mpya za astashahada na stashahada ya uzamili; (iv) Kuimarisha uwezo wa Rasilimali watu katika utendaji na utoaji huduma kwa jamii kwa kuimarisha kitengo cha masomo ya uzamili, utafiti

132 na huduma kwa jamii, kuongeza matokeo yanayotokana na utafiti na ubunifu kutoka machapisho 50 hadi machapisho 250, kukuza na kujenga ushirikiano na mahusiano ya umma; (v) Kutangaza Programu za mafunzo yanayotolewa na Chuo kwa kuimarisha Uongozi, Usimamizi na Utawala bora, kuhamasisha na kusimamia ipasavyo rasilimali na fedha za Chuo katika kuimarisha programu za elimu zinazotolewa na Taasisi; na (vi) Kuboresha na kuimarisha vitendea kazi na miundombinu ya kufundishia na ujifunzaji kwa kumalizia ujenzi wa ukumbi wa mihadhara, ujenzi wa maabara 2 za sayansi, ujenzi wa ofisi na ukarabati wa miundo mbinu ya chuo, uwekaji wa umeme wa jua na uchimbaji wa visima vya maji safi. Tume ya Taifa ya UNESCO 156. Mheshimiwa Spika, Tume ya Taifa ya UNESCO ni chombo kinachosimamia utekelezaji wa programu za UNESCO nchini. Jukumu lake kuu ni kuratibu utekelezaji wa Progamu za UNESCO nchini katika Nyanja zake tano ambazo ni Elimu, Sayansi Asilia, Sayansi Jamii, Utamaduni na Mawasiliano na Habari. 157. Mheshimiwa Spika, Kazi zilizopangwa katika kipindi cha mwaka wa fedha 133 2017/18 ni kama ifuatavyo: (i) Kuratibu utekelezaji wa sheria/ miongozo ya UNESCO nchini ikiwa na pamoja na ushiriki wa Tume yaTaifa ya UNESCO katika mikutano ya UNESCO, kuratibu utekelezaji wa programu mbalimbali za UNESCO na pia kuratibu/kutekeleza miradi (participation program) kwa kadri inavyowezekana; (ii) Kutaarifu wadau na Kuratibu ufadhili wa UNESCO kimasomo pamoja na Kuitangaza Tume ya Taifa ya UNESCO kupitia vyombo vya habari; (iii) Kushiriki katika kuadhimisha siku 5 za UNESCO na Serikali pamoja na kushirikiana na wadau mbalimbali kisekta; (iv) Ufuatiliaji wa jarida toleo la 13 la Tanzania na UNESCO na kuandaa jarida toleo la 14 la Tanzania na UNESCO; (v) Kuandika mawazo ya miradi (angalau miradi 5) kwa UNESCO na wadau wengine ili kunufaisha Taifa letu; (vi) Kuandaa Mikutano kwa ajili ya kuwajengea uwezo vijana ili kuendana na shughuli za UNESCO lakini pia na kumudu kasi ya Malengo ya Dunia Endelevu na kufanya Mkutano na wadau wote ili kuboresha mahusiano; 134 na (vii) Kuanzisha mahusiano na Tume za Taifa za nchi zilizopo katika kanda za Mashariki ya kati ya Afrika. Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) 158. Mheshimiwa Spika, Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) imeundwa kwa sheria ya Bunge Na. 7 ya mwaka 2003 (The Atomic Energy Act No. 7 of 2003). Majukumu ya Tume ni kusimamia na kudhibiti matumizi salama ya vyanzo vya mionzi, kuhamasisha matumizi salama ya teknolojia ya nyuklia na kuishauri Serikali juu ya utekelezaji wa mikataba ya kimataifa kuhusu teknolojia hiyo; 159. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka wa fedha 2017/2018, Tume itatekeleza mambo yafuatayo: (i) Kupokea na kutathmini maombi 500 ya leseni mbalimbali ili kuona kama yanakidhi matakwa ya sheria na kanuni za usalama na kinga ya mionzi ya mwaka 2004; (ii) Kuendelea na ukaguzi wa migodi 6 mikubwa inayofanya kazi na migodi mingine itakayobainika, ili kubaini hali ya usalama inayoendelea katika migodi hiyo; pamoja na kuendelea kukagua vituo vyenye vyanzo vya mionzi vipatavyo 150 ili kubaini hali 135 ya usalama wa wafanyakazi na jamii inayovizunguka; (iii) Kusajili vyanzo vya mionzi vipatavyo 1,045 ili kuvitambua na kuhifadhi mabaki ya mionzi yasilete madhara katika mazingira na viumbe hai; (iv) Kuendelea na upimaji wa viwango vya mionzi katika sampuli angalau 4,000 za vyakula na mbolea pamoja na kuendelea na upimaji wa viwango vya mionzi (Personnel Dosimetry Service) kwa Wafanyakazi 1,600; (v) Kukusanya, kusafirisha na kuhifadhi mabaki ya vyanzo vya mionzi yasiyotumika kutoka vituo vinne na kuyahifadhi katika jengo maalumu (Central Radioactive Waste Management Facility- CRWMF) lililopo Arusha; (vi) Kuendelea kuendesha kituo cha kupima mionzi katika hewa ya anga (Radionuclide Monitoring Station-TZP-RN64) kilichopo katika kampasi kuu ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam) chini ya mkataba wa kimataifa wa Comprehensive Nuclear Test-Ban Treaty of Nuclear Weapons (CTBT); (vii) Kuendelea kuratibu miradi mipya sita (6) ya kitaifa, na miradi ya kikanda (AFRA) itakayoanza mwaka 136 wa fedha 2017/18 na miradi ambayo bado inaendelea na utekelezaji kwa mwaka wa fedha 2016/17 ambayo inagharamiwa na Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomiki Duniani (International Atomic Energy Agency- IAEA); na (viii) Kufungua vituo vya Kanda ya Kati katika Mkoa wa Dodoma na Kanda ya Nyanda za Juu katika Mkoa wa Mbeya. Kituo cha Maendeleo DAKAWA 160. Mheshimiwa Spika, Kituo cha Maendeleo Dakawa kina majukumu ya Kutunza na Kuhifadhi majengo, vifaa, na miundombinu yote iliyokabidhiwa na ANC kwa ajili ya kulinda historia ya Ukombozi wa Afrika Kusini. Mipango ya Wizara ni pamoja na kukiendeleza kituo na kukitumia katika kutoa Elimu ya Sayansi, TEHAMA na Ufundi. 161. Mheshimiwa Spika, Kazi zitakazotekelezwa katika mwaka 2017/18 ni kama ifuatavyo: (i) Kuhakikisha kuwa Mazingira ya Kituo yamehifadhiwa na kubaki kama ilivyokuwa enzi za ANC; (ii) Kuendelea kufuatilia Hati Miliki ya Kituo kilichokabidhiwa na Serikali toka ANC ya Afrika Kusini; na (iii) Kuendelea kufuatilia Uandaaji wa 137 Muundo wa Kisheria wa Uendeshaji wa Kituo. Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) 162. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2017/18, Mamlaka ya Elimu Tanzania imepanga kutoa ufadhili katika Taasisi na maeneo yafuatayo; (i) Ujenzi wa nyumba nane (8) za walimu katika Shule za Sekondari zilizopo kwenye mazingira magumu na maeneo yasiyofikika kwa urahisi; (ii) Ujenzi wa vyoo 50 katika shule zenye upungufu mkubwa wa vyoo baada ya kufanya tathmini; (iii) Kutoa mikopo ya elimu kwa Taasisi za Elimu 10 kwa ajili ya kuwezesha ujenzi wa miundombinu na ununuzi wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia; (iv) Ujenzi na uimarishaji wa miundombinu ya elimu kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika Taasisi 20 za Elimu na Mafunzo; na (v) Kuendelea na ukarabati kwa Shule Kongwe za Sekondari za Serikali nchini; na kuendelea na ujenzi wa mabweni ya wanafunzi wa kike katika Shule za Sekondari kwenye mazingira magumu na maeneo yasiyofikika kwa urahisi.

138 D. SHUKRANI 163. Mheshimiwa Spika, Napenda kutambua mchango mkubwa wa Viongozi wenzangu katika kufanikisha majukumu ya Wizara yangu. Kipekee kabisa namshukuru sana Mheshimiwa Mhandisi (Mb) Naibu Waziri kwa ushirikiano mkubwa anaonipa. Aidha, namshukuru Katibu Mkuu, Dkt Leonard Douglas Akwilapo; Manaibu Makatibu Wakuu; Profesa Simon Samwel Msanjila na Dkt. Ave Maria Semakafu, Kamishna wa Elimu, Wakurugenzi, Wakuu wa Vitengo na Wakuu wa Taasisi mbalimbali zilizo chini ya Wizara yangu kwa ushirikiano wao wa karibu katika kutekeleza majukumu ya kila siku ya Wizara yetu. Pia namshukuru Bi. Maimuna Kibenga Tarishi aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara yangu hadi alipohamishiwa kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge). 164. Napenda pia kuwashukuru, Viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi, Watumishi wa Wizara, Wanataaluma, Wanafunzi na wadau wote wa Elimu kwa ushirikiano wao katika kuendeleza Elimu, Sayansi na Teknolojia. Ninatambua na kuthamini sana mchango wenu mzuri katika kuhakikisha kuwa sekta ya elimu nchini inaendelea kuimarika.

139 165. Mheshimiwa Spika, Napenda kuwa- shukuru wadau wote wa Sekta ya Elimu, Sayansi na Teknolojia wakiwemo Washirika wa Maendeleo, Viongozi mbalimbali na wananchi wote ambao wamechangia sana katika kufanikisha utekelezaji wa Mipango ya Elimu, Sayansi na Teknolojia. 166. Mheshimiwa Spika, Washirika mbalimbali wa Maendeleo na wadau wa Elimu wamechangia katika kufanikisha Mipango ya Elimu, Sayansi na Teknolojia. Kwa kuwa si rahisi kuwataja wote, napenda kuchukua fursa hii kwa niaba ya Wizara yangu, kuwashukuru na kuwatambua baadhi yao kama ifuatavyo: Serikali ya Algeria, Canada, China, Cuba, India, Italia, Japan, Urusi, Denmark, Finland, Norway, Marekani, Mauritius, Msumbiji, Misri, Sweden, Uingereza, Ujerumani, Korea Kusini, Uturuki, Ubelgiji na Jumuiya ya Afrika Mashariki. 167. Mheshimiwa Spika, Napenda pia kuyashukuru baadhi ya mashirika yaliyochangia katika kufanikisha Programu za Elimu, Sayansi na Teknolojia: AgaKhan Education Services, Airtel, Tigo, Vodacom, Benki Kuu, Benki ya Barclays, Benki ya CRDB, Benki ya Taifa ya Biashara, Benki ya NMB, Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika, British Council, Campaign for Female Education (CAMFED), Care International, Children 140 International, Children’s Book Project, Commonwealth Secretariat, DAAD, DfID, Education Quality Improvement Programme (EQUIP-T), FEMINA, Ford Foundation, GIZ, Global Partnership for Education, International Labour Organisation (ILO), International Reading Association, Irish Aid, Inter University Council of East Africa (IUCEA), Japan International Cooporation Agency (JICA), Korea International Cooporation Agency (KOICA), Peace Corps, Plan International, Rockefeller Foundation, Swedish International Development Agency (Sida), Sight Savers International, Mtandao wa Elimu Tanzania (TENMET), Umoja wa Nchi za Ulaya, United Nations Development Programme (UNDP), UNESCO, UNICEF, USAID na WaterAid. E. MAOMBI YA FEDHA KWA MWAKA 2017/18 168. Mheshimiwa Spika, Ili kuwezesha utekelezaji wa malengo yaliyopangwa katika mwaka 2017/18, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inaomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi 1,366,685,241,000.00 ili kutekeleza majukumu yake. 169. Mheshimiwa Spika, Katika maombi haya: (i) Shilingi 88,544,393,736.00 ni kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida ya Wizara ambapo 141 Shilingi 70,202,722,328.00 ni kwa ajili ya mishahara na Shilingi 18,341,671,408.00 ni kwa ajili ya Matumizi Mengineyo; (ii) Shilingi 331,299,025,264.00 zinaombwa kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida ya Wakala na Taasisi zilizo chini ya Wizara. Kati ya fedha hizo, Shilingi 318,393,044,000.00 ni kwa ajili ya mishahara, na Shilingi 12,905,981,264.00 ni kwa ajili ya Matumizi Mengineyo; (iii) Shilingi 916,841,822,000.00 zinaombwa kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo ambapo, Shilingi 606,769,616,000.00 ni fedha za ndani na Shilingi 310,072,206,000.00 ni fedha kutoka kwa washirika wa maendeleo; na 170. Mheshimiwa Spika, Ninaliomba pia Bunge lako Tukufu liidhinishe jumla ya Shilingi 663,123,262,000.00 kwa ajili ya Tume ya Taifa ya UNESCO. Kati ya Fedha hizo, Shilingi 330,830,000.00 ni kwa ajili ya Mishahara na Shilingi 332,292,000.00 ni kwa ajili ya Matumizi Mengineyo.

142 171. Mheshimiwa Spika, napenda kuhitimisha kwa kutoa shukrani zangu za dhati kwako wewe na kwa Waheshimiwa Wabunge wote kwa kunisikiliza. Hotuba hii inapatikana pia katika tovuti ya Wizara kwa anwani ya: http://www.moe. go.tz.

KUTOA HOJA 172. Mheshimiwa Spika, Naomba kutoa hoja

143 JUMLA 29802 25319 21571 10508 20185 15349 16760 139494 76541 - - Kielelezo 1A Najif unza Sanaa na Mi chezo 3405 2893 2465 1201 2306 1754 1915 15939 8746 - Najifunza Najifunza Kutunza Afya na Mazingi ra 3405 2893 2465 1201 2306 1754 1915 15939 8746 - - Najifun za Ku soma 7664 6511 5547 2702 5191 3947 4310 35872 19683 - - Najif unza Kuand ika 7664 6511 5547 2702 5191 3947 4310 35872 19683 - DARASA LA II - Najif unza Kuhesa bu 7664 6511 5547 2702 5191 3947 4310 35872 19683 - HAL MASHAURI Arusha Arusha CC Karatu Longido Meru Monduli Ngorongoro Jumla Ndogo Ilala MC - MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KWA DARASA LA II NA III MKOA Arusha D’ Sa laam 144 JUMLA 73910 87795 238246 22861 31670 27497 37445 22091 5659 38546 41443 227212 55379 - - Najif unza Sanaa na Mi chezo 8446 10032 27224 2612 3619 3142 4279 2524 647 4405 4736 25964 6328 - Najifunza Najifunza Kutunza Afya na Mazingi ra 8446 10032 27224 2612 3619 3142 4279 2524 647 4405 4736 25964 6328 - - Najifun za Ku soma 19006 22577 61266 5879 8144 7071 9629 5681 1455 9912 10657 58428 14241 - - Najif unza Kuand ika 19006 22577 61266 5879 8144 7071 9629 5681 1455 9912 10657 58428 14241 - - Najif unza Kuhesa bu 19006 22577 61266 5879 8144 7071 9629 5681 1455 9912 10657 58428 14241 - HAL MASHAURI Kinondoni MC Temeke MC Jumla Ndogo Bahi Chamwino Chemba Dodoma MC Kondoa Kondoa TC Kongwa Mpwapwa Jumla Ndogo Bukombe MKOA Dodoma Geita 145 JUMLA 79847 146216 37865 39190 25494 383991 35106 12538 25190 7792 28886 109512 62947 34069 - - Najif unza Sanaa na Mi chezo 9124 16708 4327 4478 2913 43878 4011 1433 2878 890 3301 12513 7193 3893 - Najifunza Najifunza Kutunza Afya na Mazingi ra 9124 16708 4327 4478 2913 43878 4011 1433 2878 890 3301 12513 7193 3893 - - Najifun za Ku soma 20533 37600 9737 10078 6556 98745 9028 3224 6478 2004 7428 28162 16187 8761 - - Najif unza Kuand ika 20533 37600 9737 10078 6556 98745 9028 3224 6478 2004 7428 28162 16187 8761 - - Najif unza Kuhesa bu 20533 37600 9737 10078 6556 98745 9028 3224 6478 2004 7428 28162 16187 8761 - HAL MASHAURI Chato Geita Geita TC Mbogwe Nyang’hwale Jumla Ndogo Iringa Iringa MC Kilolo Mafinga TC Mufindi Jumla Ndogo Biharamulo Bukoba MKOA Iringa Kagera 146 JUMLA 9884 37976 43492 23168 97178 39096 347810 7611 27524 20144 15411 20513 91203 35978 - - Najif unza Sanaa na Mi chezo 1129 4339 4970 2647 11104 4467 39742 870 3145 2302 1761 2344 10422 4111 - Najifunza Najifunza Kutunza Afya na Mazingi ra 1129 4339 4970 2647 11104 4467 39742 870 3145 2302 1761 2344 10422 4111 - - Najifun za Ku soma 2542 9766 11184 5958 24990 10054 89442 1957 7078 5180 3963 5275 23453 9252 - - Najif unza Kuand ika 2542 9766 11184 5958 24990 10054 89442 1957 7078 5180 3963 5275 23453 9252 - - Najif unza Kuhesa bu 2542 9766 11184 5958 24990 10054 89442 1957 7078 5180 3963 5275 23453 9252 - HAL MASHAURI Bukoba MC Karagwe Kyerwa Missenyi Muleba Ngara Jumla Ndogo Mlele Mpanda Mpanda MC Mpimbwe Nsimbo Jumla Ndogo Buhigwe MKOA Katavi Kigoma 147 JUMLA 27166 45137 39483 40972 32381 25416 48979 295512 15330 27570 10764 10395 18593 - - Najif unza Sanaa na Mi chezo 3104 5158 4512 4682 3700 2904 5597 33768 1752 3150 1230 1188 2125 - Najifunza Najifunza Kutunza Afya na Mazingi ra 3104 5158 4512 4682 3700 2904 5597 33768 1752 3150 1230 1188 2125 - - Najifun za Ku soma 6986 11607 10153 10536 8327 6536 12595 75992 3942 7090 2768 2673 4781 - - Najif unza Kuand ika 6986 11607 10153 10536 8327 6536 12595 75992 3942 7090 2768 2673 4781 - - Najif unza Kuhesa bu 6986 11607 10153 10536 8327 6536 12595 75992 3942 7090 2768 2673 4781 - HAL MASHAURI Kakonko Kasulu Kasulu TC Kibondo Kigoma Kigoma/Ujiji MC Uvinza Jumla Ndogo Hai Moshi Moshi MC Mwanga Rombo MKOA K’njaro 148 JUMLA 26248 9657 118557 25529 21245 7622 11082 16938 12969 95385 39152 7784 32190 - - Najif unza Sanaa na Mi chezo 2999 1104 13548 2917 2428 871 1266 1935 1482 10899 4474 889 3678 - Najifunza Najifunza Kutunza Afya na Mazingi ra 2999 1104 13548 2917 2428 871 1266 1935 1482 10899 4474 889 3678 - - Najifun za Ku soma 6750 2483 30487 6565 5463 1960 2850 4356 3335 24529 10068 2002 8278 - - Najif unza Kuand ika 6750 2483 30487 6565 5463 1960 2850 4356 3335 24529 10068 2002 8278 - - Najif unza Kuhesa bu 6750 2483 30487 6565 5463 1960 2850 4356 3335 24529 10068 2002 8278 - HAL MASHAURI Same Siha Jumla Ndogo Kilwa Lindi Lindi MC Liwale Nachingwea Ruangwa Jumla Ndogo Babati Babati TC Hanang - MKOA Lindi Man yara 149 JUMLA 23531 15928 10064 18276 146925 36939 26318 45848 33641 20424 38245 48678 58844 18211 - - Najif unza Sanaa na Mi chezo 2689 1820 1150 2088 16788 4221 3007 5239 3844 2334 4370 5562 6724 2081 - Najifunza Najifunza Kutunza Afya na Mazingi ra 2689 1820 1150 2088 16788 4221 3007 5239 3844 2334 4370 5562 6724 2081 - - Najifun za Ku soma 6051 4096 2588 4700 37783 9499 6768 11790 8651 5252 9835 12518 15132 4683 - - Najif unza Kuand ika 6051 4096 2588 4700 37783 9499 6768 11790 8651 5252 9835 12518 15132 4683 - - Najif unza Kuhesa bu 6051 4096 2588 4700 37783 9499 6768 11790 8651 5252 9835 12518 15132 4683 - HAL MASHAURI Kiteto Mbulu Mbulu TC Simanjiro Jumla Ndogo Bunda Bunda TC Butiama Musoma Musoma MC Rorya Serengeti Tarime Tarime TC MKOA Mara 150 JUMLA 327148 10352 31751 21509 29449 34379 34699 24939 187078 21162 10780 33175 - - Najif unza Sanaa na Mi chezo 37382 1183 3628 2458 3365 3928 3965 2850 21377 2418 1232 3791 - Najifunza Najifunza Kutunza Afya na Mazingi ra 37382 1183 3628 2458 3365 3928 3965 2850 21377 2418 1232 3791 - - Najifun za Ku soma 84128 2662 8165 5531 7573 8841 8923 6413 48108 5442 2772 8531 - - Najif unza Kuand ika 84128 2662 8165 5531 7573 8841 8923 6413 48108 5442 2772 8531 - - Najif unza Kuhesa bu 84128 2662 8165 5531 7573 8841 8923 6413 48108 5442 2772 8531 - HAL MASHAURI Jumla Ndogo Busokelo Chunya Kyela Mbarali Mbeya Mbeya CC Rungwe Jumla Ndogo Gairo Ifakara TC Kilombero - MKOA Mbeya Moro goro 151 JUMLA 42262 14116 31737 26864 34855 15454 230405 28431 9838 16367 9542 12716 19980 - - Najif unza Sanaa na Mi chezo 4829 1613 3627 3070 3983 1766 26329 3249 1124 1870 1090 1453 2283 - Najifunza Najifunza Kutunza Afya na Mazingi ra 4829 1613 3627 3070 3983 1766 26329 3249 1124 1870 1090 1453 2283 - - Najifun za Ku soma 10868 3630 8161 6908 8963 3974 59249 7311 2530 4209 2454 3270 5138 - - Najif unza Kuand ika 10868 3630 8161 6908 8963 3974 59249 7311 2530 4209 2454 3270 5138 - - Najif unza Kuhesa bu 10868 3630 8161 6908 8963 3974 59249 7311 2530 4209 2454 3270 5138 - HAL MASHAURI Kilosa Malinyi Morogoro Morogoro MC Mvomero Ulanga Jumla Ndogo Masasi Masasi TC Mtwara Mtwara MC Nanyamba Nanyumbu MKOA Mtwara 152 JUMLA 10287 9706 27965 144832 58316 40695 59366 50137 49970 52474 54307 58362 423627 14824 - - Najif unza Sanaa na Mi chezo 1176 1109 3196 16550 6664 4650 6784 5729 5710 5996 6206 6669 48408 1694 - Najifunza Najifunza Kutunza Afya na Mazingi ra 1176 1109 3196 16550 6664 4650 6784 5729 5710 5996 6206 6669 48408 1694 - - Najifun za Ku soma 2645 2496 7191 37244 14996 10465 15266 12893 12850 13494 13965 15008 108937 3812 - - Najif unza Kuand ika 2645 2496 7191 37244 14996 10465 15266 12893 12850 13494 13965 15008 108937 3812 - - Najif unza Kuhesa bu 2645 2496 7191 37244 14996 10465 15266 12893 12850 13494 13965 15008 108937 3812 - HAL MASHAURI Newala Newala TC Tandahimba Jumla Ndogo Buchosa Ilemela MC Kwimba Magu Misungwi Mwanza CC Sengerema Ukerewe Jumla Ndogo Ludewa MKOA Mwanza 153 JUMLA 10492 10565 9348 15936 16784 77949 12258 29282 7897 13147 14964 5786 - - Najif unza Sanaa na Mi chezo 1199 1207 1068 1821 1918 8907 1401 3346 902 1502 1710 661 - Najifunza Najifunza Kutunza Afya na Mazingi ra 1199 1207 1068 1821 1918 8907 1401 3346 902 1502 1710 661 - - Najifun za Ku soma 2698 2717 2404 4098 4316 20045 3152 7530 2031 3381 3848 1488 - - Najif unza Kuand ika 2698 2717 2404 4098 4316 20045 3152 7530 2031 3381 3848 1488 - - Najif unza Kuhesa bu 2698 2717 2404 4098 4316 20045 3152 7530 2031 3381 3848 1488 - - HAL MASHAURI Makambako TC Makete Njombe Njombe TC Wang ing’ombe Jumla Ndogo Bagamoyo Chalinze Kibaha Kibaha TC Kisarawe Mafia MKOA Pwani 154 JUMLA 40143 35878 159355 34656 56970 60185 28068 179879 4663 27198 13117 25058 - - Najif unza Sanaa na Mi chezo 4587 4100 18209 3960 6510 6877 3207 20554 533 3108 1499 2863 - Najifunza Najifunza Kutunza Afya na Mazingi ra 4587 4100 18209 3960 6510 6877 3207 20554 533 3108 1499 2863 - - Najifun za Ku soma 10323 9226 40979 8912 14650 15477 7218 46257 1199 6994 3373 6444 - - Najif unza Kuand ika 10323 9226 40979 8912 14650 15477 7218 46257 1199 6994 3373 6444 - - Najif unza Kuhesa bu 10323 9226 40979 8912 14650 15477 7218 46257 1199 6994 3373 6444 - - HAL MASHAURI Mkuranga Rufiji Jumla Ndogo Kalambo Nkasi Sumbawanga Sumbawan ga MC Jumla Ndogo Madaba Mbinga Mbinga TC Namtumbo - MKOA Rukwa Ruvu ma 155 JUMLA 19455 12759 20898 41680 164828 38339 29632 35873 44268 26210 56292 230614 - - Najif unza Sanaa na Mi chezo 2223 1458 2388 4763 18835 4381 3386 4099 5058 2995 6432 26351 - Najifunza Najifunza Kutunza Afya na Mazingi ra 2223 1458 2388 4763 18835 4381 3386 4099 5058 2995 6432 26351 - - Najifun za Ku soma 5003 3281 5374 10718 42386 9859 7620 9225 11384 6740 14476 59304 - - Najif unza Kuand ika 5003 3281 5374 10718 42386 9859 7620 9225 11384 6740 14476 59304 - - Najif unza Kuhesa bu 5003 3281 5374 10718 42386 9859 7620 9225 11384 6740 14476 59304 - HAL MASHAURI Nyasa Songea Songea MC Tunduru Jumla Ndogo Kahama TC Kishapu Msalala Shinyanga Shinyanga MC Ushetu Jumla Ndogo - MKOA Shin yanga 156 JUMLA 40342 22705 40660 46322 45105 36255 231389 28329 26996 14450 23854 19051 26816 16289 - - Najif unza Sanaa na Mi chezo 4610 2594 4646 5293 5154 4143 26440 3237 3085 1651 2726 2177 3064 1861 - Najifunza Najifunza Kutunza Afya na Mazingi ra 4610 2594 4646 5293 5154 4143 26440 3237 3085 1651 2726 2177 3064 1861 - - Najifun za Ku soma 10374 5839 10456 11912 11599 9323 59503 7285 6942 3716 6134 4899 6896 4189 - - Najif unza Kuand ika 10374 5839 10456 11912 11599 9323 59503 7285 6942 3716 6134 4899 6896 4189 - - Najif unza Kuhesa bu 10374 5839 10456 11912 11599 9323 59503 7285 6942 3716 6134 4899 6896 4189 - HAL MASHAURI Bariadi Bariadi TC Busega Itilima Maswa Meatu Jumla Ndogo Ikungi Iramba Itigi Manyoni Mkalama Singida Singida MC MKOA Simiyu Singida 157 JUMLA 155785 10710 50067 26355 20505 107637 52891 67920 56760 11830 26450 28824 64223 39637 - - Najif unza Sanaa na Mi chezo 17801 1224 5721 3012 2343 12300 6044 7761 6486 1352 3022 3294 7339 4529 - Najifunza Najifunza Kutunza Afya na Mazingi ra 17801 1224 5721 3012 2343 12300 6044 7761 6486 1352 3022 3294 7339 4529 - - Najifun za Ku soma 40061 2754 12875 6777 5273 27679 13601 17466 14596 3042 6802 7412 16515 10193 - - Najif unza Kuand ika 40061 2754 12875 6777 5273 27679 13601 17466 14596 3042 6802 7412 16515 10193 - - Najif unza Kuhesa bu 40061 2754 12875 6777 5273 27679 13601 17466 14596 3042 6802 7412 16515 10193 - HAL MASHAURI Jumla Ndogo Ileje Mbozi Momba Tunduma TC Jumla Ndogo Igunga Kaliua Nzega Nzega TC Sikonge Tabora MC Tabora/Uyui Urambo MKOA Songwe Tabora 158 JUMLA 348535 21119 53645 11962 40097 37459 8074 51087 15917 23763 7385 24840 295348 - - Najif unza Sanaa na Mi chezo 39827 2413 6130 1367 4582 4280 923 5838 1819 2715 844 2838 33749 - Najifunza Najifunza Kutunza Afya na Mazingi ra 39827 2413 6130 1367 4582 4280 923 5838 1819 2715 844 2838 33749 - - Najifun za Ku soma 89627 5431 13795 3076 10311 9633 2076 13137 4093 6111 1899 6388 75950 - - Najif unza Kuand ika 89627 5431 13795 3076 10311 9633 2076 13137 4093 6111 1899 6388 75950 - - Najif unza Kuhesa bu 89627 5431 13795 3076 10311 9633 2076 13137 4093 6111 1899 6388 75950 - HAL MASHAURI Jumla Ndogo Bumbuli Handeni Handeni TC Kilindi Korogwe Korogwe TC Lushoto Mkinga Muheza Pangani Tanga CC Jumla Ndogo MKOA Tanga 159 43446 39760 32023 12116 34594

JUMLA JUMLA 5458256 - - - - Najif unza Sanaa na Mi chezo 623704 Najif unza URAIA NA MAA DILI 7214 6602 5317 2012 5744 - - - - Najifunza Najifunza Kutunza Afya na Mazingi ra 623704 Najifun za SAY ANSI NA TEKNO LOJIA 7220 6607 5322 2013 5749 - - - - Najif unza MAAR IFA YA JAMII 7220 6607 5322 2013 5749 Najifun za Ku soma 1403616 -

- English English for STD Three 7264 6648 5354 2026 5784 - Najif unza Kuand ika 1403616 - - - Najif unza KISWA HILI 7264 6648 5354 2026 5784 - - Najif unza Kuhesa bu 1403616 Najifun za HISA BATI 7264 6648 5354 2026 5784 - - HAL MASHAURI HAL MASHAURI Arusha Arusha CC Karatu Longido Meru - MKOA JUMLA KUU CHANZO: TET MKOA Aru sha Kielelezo Na. 1B Na. Kielelezo DARASA LA III LA DARASA 160 19917 22158 204014 115450 121647 JUMLA 130079 367176 26585 46991 37548 - - Najif unza URAIA NA MAA DILI 3307 3679 33875 19169 20198 21598 60965 4414 7802 6234 - - - Najifun za SAY ANSI NA TEKNO LOJIA 3310 3682 33903 19186 20216 21617 61019 4418 7809 6240 - - Najif unza MAAR IFA YA JAMII 3310 3682 33903 19186 20216 21617 61019 4418 7809 6240 English English for STD Three 3330 3705 34111 19303 20339 21749 61391 4445 7857 6278 - - Najif unza KISWA HILI 3330 3705 34111 19303 20339 21749 61391 4445 7857 6278 - - Najifun za HISA BATI 3330 3705 34111 19303 20339 21749 61391 4445 7857 6278 - - HAL MASHAURI Monduli Ngoron goro Jumla Ndogo Ilala MC Kinondoni MC Temeke MC Jumla Ndogo Bahi Chamwino Chemba - MKOA D’ Sa laam Dodoma 161 JUMLA 58111 34756 8014 52513 45101 309619 46724 82866 147963 41370 41976 29450 - - Najif unza URAIA NA MAA DILI 9649 5771 1330 8719 7488 51407 7758 13759 24568 6869 6970 4890 - - - Najifun za SAY ANSI NA TEKNO LOJIA 9657 5776 1332 8727 7495 51454 7765 13771 24589 6875 6976 4894 - - Najif unza MAAR IFA YA JAMII 9657 5776 1332 8727 7495 51454 7765 13771 24589 6875 6976 4894 English English for STD Three 9716 5811 1340 8780 7541 51768 7812 13855 24739 6917 7018 4924 - - Najif unza KISWA HILI 9716 5811 1340 8780 7541 51768 7812 13855 24739 6917 7018 4924 - - Najifun za HISA BATI 9716 5811 1340 8780 7541 51768 7812 13855 24739 6917 7018 4924 - HAL MASHAURI Dodoma MC Kondoa Kondoa TC Kongwa Mpwapwa Jumla Ndogo Bukombe Chato Geita Geita TC Mbogwe Nyang’hwale MKOA Geita 162 JUMLA 390349 43476 18690 40083 10234 41904 154387 57727 46209 11896 39426 - - Najif unza URAIA NA MAA DILI 64814 7219 3103 6655 1699 6958 25634 9585 7673 1975 6546 - - - Najifun za SAY ANSI NA TEKNO LOJIA 64870 7225 3106 6661 1701 6964 25657 9593 7679 1977 6552 - - Najif unza MAAR IFA YA JAMII 64870 7225 3106 6661 1701 6964 25657 9593 7679 1977 6552 English English for STD Three 65265 7269 3125 6702 1711 7006 25813 9652 7726 1989 6592 - - Najif unza KISWA HILI 65265 7269 3125 6702 1711 7006 25813 9652 7726 1989 6592 - - Najifun za HISA BATI 65265 7269 3125 6702 1711 7006 25813 9652 7726 1989 6592 - - HAL MASHAURI Jumla Ndogo Iringa Iringa MC Kilolo Mafinga TC Mufindi Jumla Ndogo Biharamu lo Bukoba Bukoba MC Karagwe MKOA Iringa Kagera 163 JUMLA 48647 27776 97437 44856 373974 6602 32896 26897 18064 26747 111206 - - Najif unza URAIA NA MAA DILI 8077 4612 16178 7448 62094 1096 5462 4466 3000 4441 18465 - - - Najifun za SAY ANSI NA TEKNO LOJIA 8084 4616 16193 7454 62148 1097 5467 4470 3002 4445 18481 - - Najif unza MAAR IFA YA JAMII 8084 4616 16193 7454 62148 1097 5467 4470 3002 4445 18481 English English for STD Three 8134 4644 16291 7500 62528 1104 5500 4497 3020 4472 18593 - - Najif unza KISWA HILI 8134 4644 16291 7500 62528 1104 5500 4497 3020 4472 18593 - - Najifun za HISA BATI 8134 4644 16291 7500 62528 1104 5500 4497 3020 4472 18593 - HAL MASHAURI Kyerwa Missenyi Muleba Ngara Jumla Ndogo Mlele Mpanda Mpanda MC Mpimbwe Nsimbo Jumla Ndogo MKOA Katavi 164 JUMLA 39217 26615 51806 39072 44189 43226 30227 60060 334412 21027 46502 - - Najif unza URAIA NA MAA DILI 6512 4419 8602 6487 7337 7177 5019 9972 55525 3491 7721 - - - Najifun za SAY ANSI NA TEKNO LOJIA 6517 4423 8609 6493 7344 7184 5023 9981 55574 3494 7728 - - Najif unza MAAR IFA YA JAMII 6517 4423 8609 6493 7344 7184 5023 9981 55574 3494 7728 English English for STD Three 6557 4450 8662 6533 7388 7227 5054 10042 55913 3516 7775 - - Najif unza KISWA HILI 6557 4450 8662 6533 7388 7227 5054 10042 55913 3516 7775 - - Najifun za HISA BATI 6557 4450 8662 6533 7388 7227 5054 10042 55913 3516 7775 - HAL MASHAURI Buhigwe Kakonko Kasulu Kasulu TC Kibondo Kigoma Kigoma/ Ujiji MC Uvinza Jumla Ndogo Hai Moshi - - - MKOA Kigo ma Kili manja ro 165 JUMLA 15999 16539 31352 37255 14380 183054 32413 32137 10682 14653 26537 19032 - - Najif unza URAIA NA MAA DILI 2656 2746 5206 6186 2388 30394 5382 5336 1774 2433 4406 3160 - - - Najifun za SAY ANSI NA TEKNO LOJIA 2659 2749 5210 6191 2390 30421 5387 5341 1775 2435 4410 3163 - - Najif unza MAAR IFA YA JAMII 2659 2749 5210 6191 2390 30421 5387 5341 1775 2435 4410 3163 English English for STD Three 2675 2765 5242 6229 2404 30606 5419 5373 1786 2450 4437 3182 - - Najif unza KISWA HILI 2675 2765 5242 6229 2404 30606 5419 5373 1786 2450 4437 3182 - - Najifun za HISA BATI 2675 2765 5242 6229 2404 30606 5419 5373 1786 2450 4437 3182 - - HAL MASHAURI Moshi MC Mwanga Rombo Same Siha Jumla Ndogo Kilwa Lindi Lindi MC Liwale Nachin gwea Ruangwa MKOA Lindi 166 JUMLA 135454 50150 11189 45701 25011 26264 17830 22578 198723 46670 32722 45971 - - Najif unza URAIA NA MAA DILI 22491 8327 1858 7588 4153 4361 2961 3749 32997 7749 5433 7633 - - - Najifun za SAY ANSI NA TEKNO LOJIA 22511 8334 1859 7595 4156 4365 2963 3752 33024 7756 5438 7640 - - Najif unza MAAR IFA YA JAMII 22511 8334 1859 7595 4156 4365 2963 3752 33024 7756 5438 7640 English English for STD Three 22647 8385 1871 7641 4182 4391 2981 3775 33226 7803 5471 7686 - - Najif unza KISWA HILI 22647 8385 1871 7641 4182 4391 2981 3775 33226 7803 5471 7686 - - Najifun za HISA BATI 22647 8385 1871 7641 4182 4391 2981 3775 33226 7803 5471 7686 - HAL MASHAURI Jumla Ndogo Babati Babati TC Hanang Kiteto Mbulu Mbulu TC Simanjiro Jumla Ndogo Bunda Bunda TC Butiama - MKOA Man yara Mara 167 JUMLA 44195 25922 60813 52297 60663 16555 385808 16425 43038 35431 41694 46730 - - Najif unza URAIA NA MAA DILI 7338 4304 10097 8683 10072 2749 64058 2727 7146 5883 6923 7759 - - - Najifun za SAY ANSI NA TEKNO LOJIA 7345 4308 10106 8691 10081 2751 64116 2730 7152 5888 6929 7766 - - Najif unza MAAR IFA YA JAMII 7345 4308 10106 8691 10081 2751 64116 2730 7152 5888 6929 7766 English English for STD Three 7389 4334 10168 8744 10143 2768 64506 2746 7196 5924 6971 7813 - - Najif unza KISWA HILI 7389 4334 10168 8744 10143 2768 64506 2746 7196 5924 6971 7813 - - Najifun za HISA BATI 7389 4334 10168 8744 10143 2768 64506 2746 7196 5924 6971 7813 - HAL MASHAURI Musoma Musoma MC Rorya Serengeti Tarime Tarime TC Jumla Ndogo Busokelo Chunya Kyela Mbarali Mbeya MKOA Mbeya 168 JUMLA 53242 40258 276818 26906 14983 53629 66575 18309 46496 37980 - - Najif unza URAIA NA MAA DILI 8840 6685 45963 4467 2488 8904 11054 3040 7720 6306 - - - Najifun za SAY ANSI NA TEKNO LOJIA 8848 6690 46003 4471 2490 8912 11064 3043 7727 6312 - - Najif unza MAAR IFA YA JAMII 8848 6690 46003 4471 2490 8912 11064 3043 7727 6312 English English for STD Three 8902 6731 46283 4499 2505 8967 11131 3061 7774 6350 - - Najif unza KISWA HILI 8902 6731 46283 4499 2505 8967 11131 3061 7774 6350 - - Najifun za HISA BATI 8902 6731 46283 4499 2505 8967 11131 3061 7774 6350 - - HAL MASHAURI Mbeya CC Rungwe Jumla Ndogo Gairo Ifakara TC Kilombe ro Kilosa Malinyi Morogoro Morogoro MC - MKOA Moro goro 169 JUMLA 48542 23073 336493 42033 14899 21555 15109 16926 25748 16018 - - Najif unza URAIA NA MAA DILI 8060 3831 55870 6979 2474 3579 2509 2810 4275 2660 - - - Najifun za SAY ANSI NA TEKNO LOJIA 8067 3834 55920 6985 2476 3582 2511 2813 4279 2662 - - Najif unza MAAR IFA YA JAMII 8067 3834 55920 6985 2476 3582 2511 2813 4279 2662 English English for STD Three 8116 3858 56261 7028 2491 3604 2526 2830 4305 2678 - - Najif unza KISWA HILI 8116 3858 56261 7028 2491 3604 2526 2830 4305 2678 - - Najifun za HISA BATI 8116 3858 56261 7028 2491 3604 2526 2830 4305 2678 - - - HAL MASHAURI Mvomero Ulanga Jumla Ndogo Masasi Masasi TC Mtwara Mtwara MC Nanyam ba Nanyum bu Newala MKOA Mtwara 170 JUMLA 13495 39804 205587 70157 54583 75733 60990 67184 60864 - - Najif unza URAIA NA MAA DILI 2241 6609 34136 11649 9063 12575 10127 11155 10106 - - - Najifun za SAY ANSI NA TEKNO LOJIA 2243 6615 34166 11659 9071 12586 10136 11165 10115 - - Najif unza MAAR IFA YA JAMII 2243 6615 34166 11659 9071 12586 10136 11165 10115 English English for STD Three 2256 6655 34373 11730 9126 12662 10197 11233 10176 - - Najif unza KISWA HILI 2256 6655 34373 11730 9126 12662 10197 11233 10176 - - Najifun za HISA BATI 2256 6655 34373 11730 9126 12662 10197 11233 10176 - - HAL MASHAURI Newala TC Tanda himba Jumla Ndogo Buchosa Ilemela MC Kwimba Magu Misungwi Mwanza CC - MKOA Mwan za 171 JUMLA 68165 69092 526768 24735 15693 15091 14239 18465 24641 - - Najif unza URAIA NA MAA DILI 11318 11472 87465 4107 2605 2506 2364 3066 4091 - - - Najifun za SAY ANSI NA TEKNO LOJIA 11328 11482 87542 4110 2608 2508 2366 3069 4095 - - Najif unza MAAR IFA YA JAMII 11328 11482 87542 4110 2608 2508 2366 3069 4095 English English for STD Three 11397 11552 88073 4136 2624 2523 2381 3087 4120 - - Najif unza KISWA HILI 11397 11552 88073 4136 2624 2523 2381 3087 4120 - - Najifun za HISA BATI 11397 11552 88073 4136 2624 2523 2381 3087 4120 - - - - HAL MASHAURI Sengere ma Ukerewe Jumla Ndogo Ludewa Makam bako TC Makete Njombe Njombe TC Wang ing’ombe MKOA Njombe 172 JUMLA 112864 16369 37314 11740 20790 19665 7172 46802 46115 205967 - - Najif unza URAIA NA MAA DILI 18739 2718 6195 1949 3452 3265 1191 7771 7657 34198 - - - Najifun za SAY ANSI NA TEKNO LOJIA 18756 2720 6201 1951 3455 3268 1192 7778 7664 34229 - - Najif unza MAAR IFA YA JAMII 18756 2720 6201 1951 3455 3268 1192 7778 7664 34229 English English for STD Three 18871 2737 6239 1963 3476 3288 1199 7825 7710 34437 - - Najif unza KISWA HILI 18871 2737 6239 1963 3476 3288 1199 7825 7710 34437 - - Najifun za HISA BATI 18871 2737 6239 1963 3476 3288 1199 7825 7710 34437 - - - HAL MASHAURI Jumla Ndogo Bagam oyo Chalinze Kibaha Kibaha TC Kisarawe Mafia Mkuran ga Rufiji Jumla Ndogo MKOA Pwani 173 JUMLA 39852 51395 54019 38056 183322 7709 41358 19425 - - Najif unza URAIA NA MAA DILI 6617 8534 8969 6319 30439 1280 6867 3225 - - - Najifun za SAY ANSI NA TEKNO LOJIA 6623 8541 8977 6324 30465 1281 6873 3228 - - Najif unza MAAR IFA YA JAMII 6623 8541 8977 6324 30465 1281 6873 3228 English English for STD Three 6663 8593 9032 6363 30651 1289 6915 3248 - - Najif unza KISWA HILI 6663 8593 9032 6363 30651 1289 6915 3248 - - Najifun za HISA BATI 6663 8593 9032 6363 30651 1289 6915 3248 - - - HAL MASHAURI Kalambo Nkasi Sum bawanga Sum bawanga MC Jumla Ndogo Madaba Mbinga Mbinga TC - - MKOA Ruk wa Ruvu ma 174 JUMLA 32095 27860 19350 30884 54982 233663 43841 41952 47507 51340 - - Najif unza URAIA NA MAA DILI 5329 4626 3213 5128 9129 38797 7279 6966 7888 8524 - - - Najifun za SAY ANSI NA TEKNO LOJIA 5334 4630 3216 5132 9137 38831 7286 6972 7895 8532 - - Najif unza MAAR IFA YA JAMII 5334 4630 3216 5132 9137 38831 7286 6972 7895 8532 English English for STD Three 5366 4658 3235 5164 9193 39068 7330 7014 7943 8584 - - Najif unza KISWA HILI 5366 4658 3235 5164 9193 39068 7330 7014 7943 8584 - - Najifun za HISA BATI 5366 4658 3235 5164 9193 39068 7330 7014 7943 8584 - - - HAL MASHAURI Namtum bo Nyasa Songea Songea MC Tunduru Jumla Ndogo Kahama TC Kishapu Msalala Shinyan ga - MKOA Shin yanga 175 JUMLA 24390 43182 252212 44966 27452 46580 57568 54565 51932 283063 - - Najif unza URAIA NA MAA DILI 4050 7170 41877 7466 4558 7734 9559 9060 8623 47000 - - - Najifun za SAY ANSI NA TEKNO LOJIA 4053 7176 41914 7473 4562 7741 9567 9068 8630 47041 - - Najif unza MAAR IFA YA JAMII 4053 7176 41914 7473 4562 7741 9567 9068 8630 47041 English English for STD Three 4078 7220 42169 7518 4590 7788 9625 9123 8683 47327 - - Najif unza KISWA HILI 4078 7220 42169 7518 4590 7788 9625 9123 8683 47327 - - Najifun za HISA BATI 4078 7220 42169 7518 4590 7788 9625 9123 8683 47327 - - HAL MASHAURI Shinyan ga MC Ushetu Jumla Ndogo Bariadi Bariadi TC Busega Itilima Maswa Meatu Jumla Ndogo - MKOA Simi yu 176 JUMLA 45743 37272 19096 25901 31783 42057 24936 226788 17421 71365 28469 - - Najif unza URAIA NA MAA DILI 7595 6188 3171 4300 5277 6983 4141 37655 2892 11849 4727 - - - Najifun za SAY ANSI NA TEKNO LOJIA 7602 6194 3173 4304 5282 6989 4144 37688 2895 11860 4731 - - Najif unza MAAR IFA YA JAMII 7602 6194 3173 4304 5282 6989 4144 37688 2895 11860 4731 English English for STD Three 7648 6232 3193 4331 5314 7032 4169 37919 2913 11932 4760 - - Najif unza KISWA HILI 7648 6232 3193 4331 5314 7032 4169 37919 2913 11932 4760 - - Najifun za HISA BATI 7648 6232 3193 4331 5314 7032 4169 37919 2913 11932 4760 - HAL MASHAURI Ikungi Iramba Itigi Manyoni Mkalama Singida Singida MC Jumla Ndogo Ileje Mbozi Momba - - MKOA Singi da Son gwe 177 JUMLA 25682 142937 62583 48098 59595 12943 32185 33913 64242 28594 - - Najif unza URAIA NA MAA DILI 4264 23732 10391 7986 9895 2149 5344 5631 10667 4747 - - - Najifun za SAY ANSI NA TEKNO LOJIA 4268 23754 10400 7993 9904 2151 5349 5636 10676 4752 - - Najif unza MAAR IFA YA JAMII 4268 23754 10400 7993 9904 2151 5349 5636 10676 4752 English English for STD Three 4294 23899 10464 8042 9964 2164 5381 5670 10741 4781 - - Najif unza KISWA HILI 4294 23899 10464 8042 9964 2164 5381 5670 10741 4781 - - Najifun za HISA BATI 4294 23899 10464 8042 9964 2164 5381 5670 10741 4781 - HAL MASHAURI Tunduma TC Jumla Ndogo Igunga Kaliua Nzega Nzega TC Sikonge Tabora MC Tabora/ Uyui Urambo - MKOA Tabo ra 178 JUMLA 342153 29696 44924 14926 41214 41070 9527 64092 19767 30472 7937 - - Najif unza URAIA NA MAA DILI 56810 4931 7459 2478 6843 6819 1582 10642 3282 5059 1318 - - - Najifun za SAY ANSI NA TEKNO LOJIA 56861 4935 7466 2480 6849 6825 1583 10651 3285 5064 1319 - - Najif unza MAAR IFA YA JAMII 56861 4935 7466 2480 6849 6825 1583 10651 3285 5064 1319 English English for STD Three 57207 4965 7511 2496 6891 6867 1593 10716 3305 5095 1327 - - Najif unza KISWA HILI 57207 4965 7511 2496 6891 6867 1593 10716 3305 5095 1327 - - Najifun za HISA BATI 57207 4965 7511 2496 6891 6867 1593 10716 3305 5095 1327 - HAL MASHAURI Jumla Ndogo Bumbuli Handeni Handeni TC Kilindi Korogwe Korogwe TC Lushoto Mkinga Muheza Pangani MKOA Tanga 179 JUMLA 36652 340277 6817088 - - Najif unza URAIA NA MAA DILI 6086 56499 1131899 - - - Najifun za SAY ANSI NA TEKNO LOJIA 6091 56548 1132896 - - Najif unza MAAR IFA YA JAMII 6091 56548 1132896 English English for STD Three 6128 56894 1139799 - - Najif unza KISWA HILI 6128 56894 1139799 - - Najifun za HISA BATI 6128 56894 1139799 - HAL MASHAURI Tanga CC Jumla Ndogo - MKOA JUM LA KUU CHANZO: TET

180 JUMLA 5862 8910 2967 861 4212 1854 1443 26109 - I-IV NA CHA CHA I-IV NA Kielelezo Na.2 English for Sec for English ondary School Book One 1954 2970 989 287 1404 618 481 8703 - Geography for Sec for Geography ondary Schools- Book One 1954 2970 989 287 1404 618 481 8703 IDADI YA VITABU YA IDADI V-VI MGAWANYO WA KIWILAYA - KIDATO CHA I CHA - KIDATO KIWILAYA WA MGAWANYO History for – for History Secondary School One Form For 1954 2970 989 287 1404 618 481 8703 HALMASHAURI (V) ARUSHA JIJI ARUSHA KARATU LONGIDO MERU MONDULI NGORONGORO Ndogo Jumla MGAWANYO WA VITABU KWA SHULE ZA SEKONDARI KIWILAYA KWA KIDATO CHA CHA KIDATO KWA KIWILAYA ZA SEKONDARI SHULE KWA VITABU WA MGAWANYO MKOA Arusha 181 JUMLA 15825 18429 15558 49812 1590 2895 2001 5280 996 2334 - English for Sec for English ondary School Book One 5275 6143 5186 16604 530 965 667 1760 332 778 - Geography for Sec for Geography ondary Schools- Book One 5275 6143 5186 16604 530 965 667 1760 332 778 IDADI YA VITABU YA IDADI MGAWANYO WA KIWILAYA - KIDATO CHA I CHA - KIDATO KIWILAYA WA MGAWANYO History for – for History Secondary School One Form For 5275 6143 5186 16604 530 965 667 1760 332 778 HALMASHAURI ILALA (M) KINONDONI (M) TEMEKE (M) Ndogo Jumla BAHI CHAMWINO CHEMBA DODOMA MJI KONDOA (V) KONDOA MKOA Salaam D’ Dodoma 182 JUMLA 2997 2997 21090 2901 4494 3123 7578 2235 1668 21999 4506 - English for Sec for English ondary School Book One 999 999 7030 967 1498 1041 2526 745 556 7333 1502 - Geography for Sec for Geography ondary Schools- Book One 999 999 7030 967 1498 1041 2526 745 556 7333 1502 IDADI YA VITABU YA IDADI MGAWANYO WA KIWILAYA - KIDATO CHA I CHA - KIDATO KIWILAYA WA MGAWANYO History for – for History Secondary School One Form For 999 999 7030 967 1498 1041 2526 745 556 7333 1502 HALMASHAURI KONGWA MPWAPWA Ndogo Jumla BUKOMBE CHATO MJI GEITA ( V) GEITA MBOGWE NYANG’HWALE Ndogo Jumla (H/W) IRINGA MKOA Geita Iringa 183 JUMLA 2901 3627 1476 4467 16977 2976 2118 3438 3474 3225 2757 - English for Sec for English ondary School Book One 967 1209 492 1489 5659 992 706 1146 1158 1075 919 - Geography for Sec for Geography ondary Schools- Book One 967 1209 492 1489 5659 992 706 1146 1158 1075 919 IDADI YA VITABU YA IDADI MGAWANYO WA KIWILAYA - KIDATO CHA I CHA - KIDATO KIWILAYA WA MGAWANYO History for – for History Secondary School One Form For 967 1209 492 1489 5659 992 706 1146 1158 1075 919 HALMASHAURI (M) IRINGA KILOLO MJI MAFINGA MUFINDI Ndogo Jumla BIHARAMULO (M) BUKOBA (H/W) BUKOBA KARAGWE KYERWA MISSENYI MKOA Kagera 184 JUMLA 7461 3180 28629 1086 1509 1977 1458 6030 2010 1347 1815 - English for Sec for English ondary School Book One 2487 1060 9543 362 503 659 486 2010 670 449 605 - Geography for Sec for Geography ondary Schools- Book One 2487 1060 9543 362 503 659 486 2010 670 449 605 IDADI YA VITABU YA IDADI MGAWANYO WA KIWILAYA - KIDATO CHA I CHA - KIDATO KIWILAYA WA MGAWANYO History for – for History Secondary School One Form For 2487 1060 9543 362 503 659 486 2010 670 449 605 HALMASHAURI MULEBA NGARA Ndogo Jumla MLELE (H/W) MPANDA (M) MPANDA NSIMBO Ndogo Jumla BUHIGWE KAKONKO (V) KASULU MKOA Katavi Kigoma 185 JUMLA 2169 2169 3258 2796 2880 18444 4041 7095 2988 2364 - English for Sec for English ondary School Book One 723 723 1086 932 960 6148 1347 2365 996 788 - Geography for Sec for Geography ondary Schools- Book One 723 723 1086 932 960 6148 1347 2365 996 788 IDADI YA VITABU YA IDADI MGAWANYO WA KIWILAYA - KIDATO CHA I CHA - KIDATO KIWILAYA WA MGAWANYO History for – for History Secondary School One Form For 723 723 1086 932 960 6148 1347 2365 996 788 HALMASHAURI MJI KASULU KIBONDO (M) KIGOMA (V) KIGOMA UVINZA Ndogo Jumla HAI (V) MOSHI (M) MOSHI MWANGA - MKOA Kiliman jaro 186 JUMLA 5067 4773 1587 27915 2184 1680 1023 1305 2037 1332 9561 - English for Sec for English ondary School Book One 1689 1591 529 9305 728 560 341 435 679 444 3187 - Geography for Sec for Geography ondary Schools- Book One 1689 1591 529 9305 728 560 341 435 679 444 3187 IDADI YA VITABU YA IDADI MGAWANYO WA KIWILAYA - KIDATO CHA I CHA - KIDATO KIWILAYA WA MGAWANYO History for – for History Secondary School One Form For 1689 1591 529 9305 728 560 341 435 679 444 3187 HALMASHAURI ROMBO SAME SIHA Ndogo Jumla KILWA (V) LINDI (M) LINDI LIWALE NACHINGWEA RUANGWA Ndogo Jumla MKOA Lindi 187 JUMLA 1503 4140 3219 1767 1656 1842 1458 15585 3396 2835 3147 - English for Sec for English ondary School Book One 501 1380 1073 589 552 614 486 5195 1132 945 1049 - Geography for Sec for Geography ondary Schools- Book One 501 1380 1073 589 552 614 486 5195 1132 945 1049 IDADI YA VITABU YA IDADI MGAWANYO WA KIWILAYA - KIDATO CHA I CHA - KIDATO KIWILAYA WA MGAWANYO History for – for History Secondary School One Form For 501 1380 1073 589 552 614 486 5195 1132 945 1049 HALMASHAURI (M) BABATI (V) BABATI HANANG’ KITETO MJI MBULU (V) MBULU SIMANJIRO Ndogo Jumla (V) BUNDA MJI BUNDA BUTIAMA MKOA Manyara Mara 188 JUMLA 3333 3300 4998 4023 4065 1785 30882 1641 1383 4221 3192 - English for Sec for English ondary School Book One 1111 1100 1666 1341 1355 595 10294 547 461 1407 1064 - Geography for Sec for Geography ondary Schools- Book One 1111 1100 1666 1341 1355 595 10294 547 461 1407 1064 IDADI YA VITABU YA IDADI MGAWANYO WA KIWILAYA - KIDATO CHA I CHA - KIDATO KIWILAYA WA MGAWANYO History for – for History Secondary School One Form For 1111 1100 1666 1341 1355 595 10294 547 461 1407 1064 HALMASHAURI (M) MUSOMA (V) MUSOMA RORYA SERENGETI TARIME MJI TARIME Ndogo Jumla BUSOKELO CHUNYA KYELA MBARALI MKOA Mbeya 189 JUMLA 6399 3819 4011 24666 1416 1527 3378 4278 1455 2655 - English for Sec for English ondary School Book One 2133 1273 1337 8222 472 509 1126 1426 485 885 - Geography for Sec for Geography ondary Schools- Book One 2133 1273 1337 8222 472 509 1126 1426 485 885 IDADI YA VITABU YA IDADI MGAWANYO WA KIWILAYA - KIDATO CHA I CHA - KIDATO KIWILAYA WA MGAWANYO History for – for History Secondary School One Form For 2133 1273 1337 8222 472 509 1126 1426 485 885 HALMASHAURI JIJI MBEYA (H/W) MBEYA RUNGWE Ndogo Jumla GAIRO MJI IFAKARA KILOMBERO KILOSA MALINYI MOROGORO (V) MKOA Morogoro 190 JUMLA 5055 3435 1806 25005 1710 858 1320 1383 1383 834 - English for Sec for English ondary School Book One 1685 1145 602 8335 570 286 440 461 461 278 - Geography for Sec for Geography ondary Schools- Book One 1685 1145 602 8335 570 286 440 461 461 278 IDADI YA VITABU YA IDADI MGAWANYO WA KIWILAYA - KIDATO CHA I CHA - KIDATO KIWILAYA WA MGAWANYO History for – for History Secondary School One Form For 1685 1145 602 8335 570 286 440 461 461 278 HALMASHAURI MOROGORO (M) MVOMERO ULANGA Ndogo Jumla (V) MASASI MJI MASASI (V) MTWARA (M) MTWARA MJI NANYAMBA NANYUMBU MKOA Mtwara 191 JUMLA 1314 1095 3105 13002 4797 6699 4593 4857 4047 7752 4839 - English for Sec for English ondary School Book One 438 365 1035 4334 1599 2233 1531 1619 1349 2584 1613 - Geography for Sec for Geography ondary Schools- Book One 438 365 1035 4334 1599 2233 1531 1619 1349 2584 1613 IDADI YA VITABU YA IDADI MGAWANYO WA KIWILAYA - KIDATO CHA I CHA - KIDATO KIWILAYA WA MGAWANYO History for – for History Secondary School One Form For 438 365 1035 4334 1599 2233 1531 1619 1349 2584 1613 HALMASHAURI (V) NEWALA MJI NEWALA TANDAHIMBA Ndogo Jumla BUCHOSA ILEMELA KWIMBA MAGU MISUNGWI JIJI MWANZA SENGEREMA MKOA Mwanza 192 JUMLA 4533 42117 2052 1806 1875 2652 1413 2802 12600 - English for Sec for English ondary School Book One 1511 14039 684 602 625 884 471 934 4200 - Geography for Sec for Geography ondary Schools- Book One 1511 14039 684 602 625 884 471 934 4200 IDADI YA VITABU YA IDADI MGAWANYO WA KIWILAYA - KIDATO CHA I CHA - KIDATO KIWILAYA WA MGAWANYO History for – for History Secondary School One Form For 1511 14039 684 602 625 884 471 934 4200 - HALMASHAURI UKEREWE Ndogo Jumla LUDEWA MAKETE MAKAMBAKO MJI MJI NJOMBE (V) NJOMBE WANG ING’OMBE Ndogo Jumla MKOA Njombe 193 JUMLA 1494 2430 1149 2196 1572 540 3273 2370 15024 1971 2769 - English for Sec for English ondary School Book One 498 810 383 732 524 180 1091 790 5008 657 923 - Geography for Sec for Geography ondary Schools- Book One 498 810 383 732 524 180 1091 790 5008 657 923 IDADI YA VITABU YA IDADI MGAWANYO WA KIWILAYA - KIDATO CHA I CHA - KIDATO KIWILAYA WA MGAWANYO History for – for History Secondary School One Form For 498 810 383 732 524 180 1091 790 5008 657 923 HALMASHAURI BAGAMOYO CHALINZE (V) KIBAHA MJI KIBAHA KISARAWE MAFIA MKURANGA RUFIJI Ndogo Jumla KALAMBO NKASI MKOA Pwani Rukwa 194 JUMLA 3270 2442 10452 735 1740 2799 2400 2148 3417 - English for Sec for English ondary School Book One 1090 814 3484 245 580 933 800 716 1139 - Geography for Sec for Geography ondary Schools- Book One 1090 814 3484 245 580 933 800 716 1139 IDADI YA VITABU YA IDADI MGAWANYO WA KIWILAYA - KIDATO CHA I CHA - KIDATO KIWILAYA WA MGAWANYO History for – for History Secondary School One Form For 1090 814 3484 245 580 933 800 716 1139 HALMASHAURI SUMBAWANGA (M) SUMBAWANGA (V) Ndogo Jumla MADABA MJI MBINGA (V) MBINGA NAMTUMBO NYASA (M) SONGEA MKOA Ruvuma 195 JUMLA 1617 2937 17793 3510 2814 2469 2418 3117 2025 16353 - English for Sec for English ondary School Book One 539 979 5931 1170 938 823 806 1039 675 5451 - Geography for Sec for Geography ondary Schools- Book One 539 979 5931 1170 938 823 806 1039 675 5451 IDADI YA VITABU YA IDADI MGAWANYO WA KIWILAYA - KIDATO CHA I CHA - KIDATO KIWILAYA WA MGAWANYO History for – for History Secondary School One Form For 539 979 5931 1170 938 823 806 1039 675 5451 HALMASHAURI (V) SONGEA TUNDURU Ndogo Jumla MJI KAHAMA KISHAPU MSALALA SHINYANGA (M) (V) SHINYANGA USHETU Ndogo Jumla MKOA Shinyanga 196 JUMLA 2790 1893 3516 2160 3693 2097 16149 2802 2439 954 1506 - English for Sec for English ondary School Book One 930 631 1172 720 1231 699 5383 934 813 318 502 - Geography for Sec for Geography ondary Schools- Book One 930 631 1172 720 1231 699 5383 934 813 318 502 IDADI YA VITABU YA IDADI MGAWANYO WA KIWILAYA - KIDATO CHA I CHA - KIDATO KIWILAYA WA MGAWANYO History for – for History Secondary School One Form For 930 631 1172 720 1231 699 5383 934 813 318 502 HALMASHAURI (V) BARIADI MJI BARIADI BUSEGA ITILIMA MASWA MEATU Ndogo Jumla IKUNGI IRAMBA ITIGI MANYONI MKOA Simiyu Singida 197 JUMLA 1686 2058 2835 14280 1617 5421 1011 900 1623 10572 2796 - English for Sec for English ondary School Book One 562 686 945 4760 539 1807 337 300 541 3524 932 - Geography for Sec for Geography ondary Schools- Book One 562 686 945 4760 539 1807 337 300 541 3524 932 IDADI YA VITABU YA IDADI MGAWANYO WA KIWILAYA - KIDATO CHA I CHA - KIDATO KIWILAYA WA MGAWANYO History for – for History Secondary School One Form For 562 686 945 4760 539 1807 337 300 541 3524 932 HALMASHAURI MKALAMA (M) SINGIDA (V) SINGIDA Ndogo Jumla ILEJE MBOZI MOMBA SONGWE TUNDUMA Ndogo Jumla KALIUA MKOA Songwe Tabora 198 JUMLA 4080 3594 1167 1551 3132 2850 1815 20985 2535 1050 2409 - English for Sec for English ondary School Book One 1360 1198 389 517 1044 950 605 6995 845 350 803 - Geography for Sec for Geography ondary Schools- Book One 1360 1198 389 517 1044 950 605 6995 845 350 803 IDADI YA VITABU YA IDADI MGAWANYO WA KIWILAYA - KIDATO CHA I CHA - KIDATO KIWILAYA WA MGAWANYO History for – for History Secondary School One Form For 1360 1198 389 517 1044 950 605 6995 845 350 803 HALMASHAURI IGUNGA NZEGA DC NZEGA MJI SIKONGE (M) TABORA (V) TABORA URAMBO Ndogo Jumla BUMBULI MJI HANDENI (V) HANDENI MKOA Tanga 199 JUMLA 2157 936 3276 3912 1035 2382 741 3339 1410 25182 537213 - English for Sec for English ondary School Book One 719 312 1092 1304 345 794 247 1113 470 8394 179071 - Geography for Sec for Geography ondary Schools- Book One 719 312 1092 1304 345 794 247 1113 470 8394 179071 IDADI YA VITABU YA IDADI MGAWANYO WA KIWILAYA - KIDATO CHA I CHA - KIDATO KIWILAYA WA MGAWANYO History for – for History Secondary School One Form For 719 312 1092 1304 345 794 247 1113 470 8394 179071 HALMASHAURI KILINDI MJI KOROGWE (V) KOROGWE LUSHOTO MKINGA MUHEZA PANGANI JIJI TANGA (V) TANGA Ndogo Jumla TET CHANZO: MKOA JUMLA 200 JUMLA 4845 8601 2874 1983 4941 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 1615 2867 958 661 1647 Kielelezo Na. 2 Na. Kielelezo CHA IV CHA

IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 1615 2867 958 661 1647 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 1615 2867 958 661 1647 JUMLA 5790 6942 2745 1728 3846 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 1930 2314 915 576 1282 Book Three School Secondary English for English for 1930 2314 915 576 1282 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 1930 2314 915 576 1282 JUMLA 6327 7551 2859 1629 3840 Two Secondary English for English for School Book 2109 2517 953 543 1280 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 2109 2517 953 543 1280 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 2109 2517 953 543 1280 - HALMASHAURI Arusha Arusha CC Karatu Longi do Meru MGAWANYO WA VITABU KWA SHULE ZA SEKONDARI KIWILAYA KIDATO CHA II-IV CHA KIDATO KIWILAYA ZA SEKONDARI SHULE KWA VITABU WA MGAWANYO MKOA Arusha

201 JUMLA 2523 1659 27426 15717 15795 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 841 553 9142 5239 5265 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 841 553 9142 5239 5265 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 841 553 9142 5239 5265 JUMLA 2073 1575 24699 14667 13794 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 691 525 8233 4889 4598 Book Three School Secondary English for English for 691 525 8233 4889 4598 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 691 525 8233 4889 4598 JUMLA 2184 1848 26238 13017 13290 Two Secondary English for English for School Book 728 616 8746 4339 4430 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 728 616 8746 4339 4430 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 728 616 8746 4339 4430 - - HALMASHAURI Mon duli Ngorongoro Jumla Ndogo Ilala MC Kinon doni MC - MKOA D’ Sa D’ laam 202 JUMLA 15705 47217 942 2052 987 5892 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 5235 15739 314 684 329 1964 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 5235 15739 314 684 329 1964 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 5235 15739 314 684 329 1964 JUMLA 14235 42696 1173 2184 1248 4665 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 4745 14232 391 728 416 1555 Book Three School Secondary English for English for 4745 14232 391 728 416 1555 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 4745 14232 391 728 416 1555 JUMLA 13518 39825 1335 2205 1809 4488 Two Secondary English for English for School Book 4506 13275 445 735 603 1496 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 4506 13275 445 735 603 1496 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 4506 13275 445 735 603 1496 - - - HALMASHAURI Temeke Temeke MC Jumla Ndogo Bahi Cham wino Chem ba Dodo ma MC - MKOA Dodo ma 203 JUMLA 882 1077 2085 2448 16365 2442 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 294 359 695 816 5455 814 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 294 359 695 816 5455 814 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 294 359 695 816 5455 814 JUMLA 1263 1122 2334 2301 16290 2517 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 421 374 778 767 5430 839 Book Three School Secondary English for English for 421 374 778 767 5430 839 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 421 374 778 767 5430 839 JUMLA 2202 1209 2631 2397 18276 2559 Two Secondary English for English for School Book 734 403 877 799 6092 853 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 734 403 877 799 6092 853 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 734 403 877 799 6092 853 - - - - - HALMASHAURI Kon doa Kon doa TC Kong wa Mp wapwa Jumla Ndogo Bu kombe MKOA Geita 204 JUMLA 3750 4722 2310 1782 1212 16218 5130 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 1250 1574 770 594 404 5406 1710 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 1250 1574 770 594 404 5406 1710 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 1250 1574 770 594 404 5406 1710 JUMLA 3447 6126 2445 2190 1524 18249 4041 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 1149 2042 815 730 508 6083 1347 Book Three School Secondary English for English for 1149 2042 815 730 508 6083 1347 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 1149 2042 815 730 508 6083 1347 JUMLA 3927 7575 3018 2520 1773 21372 4122 Two Secondary English for English for School Book 1309 2525 1006 840 591 7124 1374 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 1309 2525 1006 840 591 7124 1374 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 1309 2525 1006 840 591 7124 1374 - HALMASHAURI Chato Geita Geita TC Mbog we Nyang’hwale Jumla Ndogo Iringa MKOA Iringa 205 JUMLA 3861 3498 1743 4329 18561 2601 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 1287 1166 581 1443 6187 867 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 1287 1166 581 1443 6187 867 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 1287 1166 581 1443 6187 867 JUMLA 2688 2841 1221 3720 14511 2277 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 896 947 407 1240 4837 759 Book Three School Secondary English for English for 896 947 407 1240 4837 759 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 896 947 407 1240 4837 759 JUMLA 2499 2868 1203 3819 14511 2628 Two Secondary English for English for School Book 833 956 401 1273 4837 876 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 833 956 401 1273 4837 876 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 833 956 401 1273 4837 876 - - - HALMASHAURI Iringa Iringa MC Kilolo Mafin ga TC Mufin di Jumla Ndogo Bihara mulo MKOA Kagera 206 JUMLA 3324 2529 3066 2349 2325 5385 2214 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 1108 843 1022 783 775 1795 738 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 1108 843 1022 783 775 1795 738 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 1108 843 1022 783 775 1795 738 JUMLA 3204 1704 2604 2307 2505 4926 2526 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 1068 568 868 769 835 1642 842 Book Three School Secondary English for English for 1068 568 868 769 835 1642 842 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 1068 568 868 769 835 1642 842 JUMLA 2988 1566 2937 2706 2508 6429 2850 Two Secondary English for English for School Book 996 522 979 902 836 2143 950 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 996 522 979 902 836 2143 950 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 996 522 979 902 836 2143 950 - - HALMASHAURI Bukoba Bukoba MC Karag we Kyerwa Mis senyi Muleba Ngara MKOA

207 JUMLA 23793 222 687 1476 468 927 3780 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 7931 74 229 492 156 309 1260 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 7931 74 229 492 156 309 1260 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 7931 74 229 492 156 309 1260 JUMLA 22053 255 1008 1392 459 1116 4230 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 7351 85 336 464 153 372 1410 Book Three School Secondary English for English for 7351 85 336 464 153 372 1410 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 7351 85 336 464 153 372 1410 JUMLA 24612 294 1470 1647 609 1302 5322 Two Secondary English for English for School Book 8204 98 490 549 203 434 1774 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 8204 98 490 549 203 434 1774 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 8204 98 490 549 203 434 1774 HALMASHAURI Jumla Jumla Ndogo Mlele Mpanda Mpanda MC Mpimbwe Nsimbo Jumla Ndogo MKOA Katavi 208 JUMLA 1767 969 1695 1803 2187 1788 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 589 323 565 601 729 596 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 589 323 565 601 729 596 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 589 323 565 601 729 596 JUMLA 1401 942 1221 1308 1455 1653 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 467 314 407 436 485 551 Book Three School Secondary English for English for 467 314 407 436 485 551 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 467 314 407 436 485 551 JUMLA 1731 1008 1503 1320 1977 2067 Two Secondary English for English for School Book 577 336 501 440 659 689 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 577 336 501 440 659 689 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 577 336 501 440 659 689 - - - - HALMASHAURI Buhig we Kakon ko Kasulu Kasulu TC Kibon do Kigo ma - MKOA Kigo ma 209 JUMLA 3333 1653 15195 3135 7626 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 1111 551 5065 1045 2542 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 1111 551 5065 1045 2542 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 1111 551 5065 1045 2542 JUMLA 2526 1470 11976 3006 6882 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 842 490 3992 1002 2294 Book Three School Secondary English for English for 842 490 3992 1002 2294 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 842 490 3992 1002 2294 JUMLA 2466 2220 14292 3654 6804 Two Secondary English for English for School Book 822 740 4764 1218 2268 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 822 740 4764 1218 2268 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 822 740 4764 1218 2268 - HALMASHAURI Kigo ma/ Ujiji MC Uvinza Jumla Ndogo Hai Moshi - - MKOA Kili manja ro 210 JUMLA 4482 3522 5802 4704 1506 30777 1671 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 1494 1174 1934 1568 502 10259 557 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 1494 1174 1934 1568 502 10259 557 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 1494 1174 1934 1568 502 10259 557 JUMLA 3252 3441 4734 4935 1596 27846 1611 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 1084 1147 1578 1645 532 9282 537 Book Three School Secondary English for English for 1084 1147 1578 1645 532 9282 537 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 1084 1147 1578 1645 532 9282 537 JUMLA 2724 3285 4725 5049 1743 27984 2133 Two Secondary English for English for School Book 908 1095 1575 1683 581 9328 711 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 908 1095 1575 1683 581 9328 711 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 908 1095 1575 1683 581 9328 711 - HALMASHAURI Moshi Moshi MC Mwan ga Rombo Same Siha Jumla Ndogo Kilwa MKOA Lindi 211 JUMLA 1230 1062 1515 1452 870 7800 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 410 354 505 484 290 2600 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 410 354 505 484 290 2600 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 410 354 505 484 290 2600 JUMLA 1398 819 1257 2094 1086 8265 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 466 273 419 698 362 2755 Book Three School Secondary English for English for 466 273 419 698 362 2755 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 466 273 419 698 362 2755 JUMLA 1566 1017 1599 1965 1227 9507 Two Secondary English for English for School Book 522 339 533 655 409 3169 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 522 339 533 655 409 3169 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 522 339 533 655 409 3169 - - HALMASHAURI Lindi Lindi MC Liwale Nach ingwea Ruang wa Jumla Ndogo MKOA

212 JUMLA 3735 1536 2337 1053 1950 1719 1272 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 1245 512 779 351 650 573 424 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 1245 512 779 351 650 573 424 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 1245 512 779 351 650 573 424 JUMLA 3831 1383 2058 1566 1719 1422 1392 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 1277 461 686 522 573 474 464 Book Three School Secondary English for English for 1277 461 686 522 573 474 464 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 1277 461 686 522 573 474 464 JUMLA 4092 1365 2382 1977 1932 1527 1542 Two Secondary English for English for School Book 1364 455 794 659 644 509 514 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 1364 455 794 659 644 509 514 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 1364 455 794 659 644 509 514 - HALMASHAURI Babati Babati TC Hanang Kiteto Mbulu Mbulu TC Siman jiro - MKOA Man yara 213 JUMLA 13602 1863 1707 2268 1776 3432 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 4534 621 569 756 592 1144 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 4534 621 569 756 592 1144 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 4534 621 569 756 592 1144 JUMLA 13371 2094 1734 2112 1845 2802 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 4457 698 578 704 615 934 Book Three School Secondary English for English for 4457 698 578 704 615 934 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 4457 698 578 704 615 934 JUMLA 14817 3387 2364 2652 2439 2919 Two Secondary English for English for School Book 4939 1129 788 884 813 973 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 4939 1129 788 884 813 973 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 4939 1129 788 884 813 973 - - - HALMASHAURI Jumla Jumla Ndogo Bunda Bunda TC Butia ma Muso ma Muso ma MC MKOA Mara 214 JUMLA 2646 2583 2793 1728 20796 1983 1554 3426 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 882 861 931 576 6932 661 518 1142 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 882 861 931 576 6932 661 518 1142 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 882 861 931 576 6932 661 518 1142 JUMLA 2664 2586 2781 1395 20013 1536 1698 3636 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 888 862 927 465 6671 512 566 1212 Book Three School Secondary English for English for 888 862 927 465 6671 512 566 1212 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 888 862 927 465 6671 512 566 1212 JUMLA 3909 3114 2976 1359 25119 1605 2172 3885 Two Secondary English for English for School Book 1303 1038 992 453 8373 535 724 1295 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 1303 1038 992 453 8373 535 724 1295 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 1303 1038 992 453 8373 535 724 1295 - HALMASHAURI Rorya Serengeti Tarime Tarime TC Jumla Ndogo Bu sokelo Chunya Kyela MKOA Mbeya 215 JUMLA 2676 3345 8106 4674 25764 1026 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 892 1115 2702 1558 8588 342 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 892 1115 2702 1558 8588 342 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 892 1115 2702 1558 8588 342 JUMLA 2664 2916 6555 3876 22881 984 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 888 972 2185 1292 7627 328 Book Three School Secondary English for English for 888 972 2185 1292 7627 328 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 888 972 2185 1292 7627 328 JUMLA 2772 3372 6126 3840 23772 1401 Two Secondary English for English for School Book 924 1124 2042 1280 7924 467 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 924 1124 2042 1280 7924 467 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 924 1124 2042 1280 7924 467 - - HALMASHAURI Mbara li Mbeya Mbeya CC Rung we Jumla Ndogo Gairo - MKOA Moro goro 216 JUMLA 1416 3081 4077 999 1773 5766 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 472 1027 1359 333 591 1922 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 472 1027 1359 333 591 1922 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 472 1027 1359 333 591 1922 JUMLA 1371 3135 4038 1191 2337 4638 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 457 1045 1346 397 779 1546 Book Three School Secondary English for English for 457 1045 1346 397 779 1546 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 457 1045 1346 397 779 1546 JUMLA 1260 2802 4002 1275 2595 4257 Two Secondary English for English for School Book 420 934 1334 425 865 1419 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 420 934 1334 425 865 1419 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 420 934 1334 425 865 1419 - - - HALMASHAURI Ifakara Ifakara TC Kilombe ro Kilosa Malinyi Moro goro Moro goro MC MKOA

217 JUMLA 2583 1281 22002 1674 1068 996 1773 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 861 427 7334 558 356 332 591 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 861 427 7334 558 356 332 591 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 861 427 7334 558 356 332 591 JUMLA 2982 1455 22131 2769 1254 1296 1617 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 994 485 7377 923 418 432 539 Book Three School Secondary English for English for 994 485 7377 923 418 432 539 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 994 485 7377 923 418 432 539 JUMLA 3510 1509 22611 2544 1083 1731 1605 Two Secondary English for English for School Book 1170 503 7537 848 361 577 535 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 1170 503 7537 848 361 577 535 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 1170 503 7537 848 361 577 535 - HALMASHAURI Mvome ro Ulanga Jumla Ndogo Masasi Masasi TC Mtwara Mtwara Mikindani MC MKOA Mtwara 218 JUMLA 867 540 687 864 1386 9855 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 289 180 229 288 462 3285 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 289 180 229 288 462 3285 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 289 180 229 288 462 3285 JUMLA 1515 1260 1194 1254 3189 15348 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 505 420 398 418 1063 5116 Book Three School Secondary English for English for 505 420 398 418 1063 5116 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 505 420 398 418 1063 5116 JUMLA 1773 1452 1395 1341 3297 16221 Two Secondary English for English for School Book 591 484 465 447 1099 5407 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 591 484 465 447 1099 5407 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 591 484 465 447 1099 5407 - - - HALMASHAURI Nan yamba Nanyum bu Newala Newala TC Tanda himba Jumla Ndogo MKOA

219 JUMLA 2835 6654 3327 3687 2514 8520 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 945 2218 1109 1229 838 2840 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 945 2218 1109 1229 838 2840 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 945 2218 1109 1229 838 2840 JUMLA 3393 4992 3993 3978 3300 7104 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 1131 1664 1331 1326 1100 2368 Book Three School Secondary English for English for 1131 1664 1331 1326 1100 2368 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 1131 1664 1331 1326 1100 2368 JUMLA 4050 5592 4797 4533 4095 6837 Two Secondary English for English for School Book 1350 1864 1599 1511 1365 2279 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 1350 1864 1599 1511 1365 2279 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 1350 1864 1599 1511 1365 2279 - - - - HALMASHAURI Bucho sa Ilemela MC Kwim ba Magu Mis ungwi Mwan za CC - MKOA Mwan za 220 JUMLA 3897 3882 35316 1644 1854 1797 1407 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 1299 1294 11772 548 618 599 469 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 1299 1294 11772 548 618 599 469 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 1299 1294 11772 548 618 599 469 JUMLA 4113 5034 35907 1551 1572 1512 1209 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 1371 1678 11969 517 524 504 403 Book Three School Secondary English for English for 1371 1678 11969 517 524 504 403 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 1371 1678 11969 517 524 504 403 JUMLA 4983 6672 41559 1794 1575 1305 1134 Two Secondary English for English for School Book 1661 2224 13853 598 525 435 378 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 1661 2224 13853 598 525 435 378 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 1661 2224 13853 598 525 435 378 - - - HALMASHAURI Senger ema Uk erewe Jumla Ndogo Ludewa Makam TC bako Makete Njombe MKOA Njombe 221 JUMLA 2310 3255 12267 1383 3117 1218 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 770 1085 4089 461 1039 406 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 770 1085 4089 461 1039 406 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 770 1085 4089 461 1039 406 JUMLA 1986 2715 10545 1413 2664 1449 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 662 905 3515 471 888 483 Book Three School Secondary English for English for 662 905 3515 471 888 483 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 662 905 3515 471 888 483 JUMLA 1857 2487 10152 1365 2700 1248 Two Secondary English for English for School Book 619 829 3384 455 900 416 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 619 829 3384 455 900 416 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 619 829 3384 455 900 416 HALMASHAURI Njombe TC Wangin g’omb e Jumla Ndogo Bagamoyo Chalinze Kibaha DC MKOA Pwani 222 JUMLA 2523 1308 471 1854 2160 14034 1173 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 841 436 157 618 720 4678 391 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 841 436 157 618 720 4678 391 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 841 436 157 618 720 4678 391 JUMLA 2184 1491 618 2157 2166 14142 1374 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 728 497 206 719 722 4714 458 Book Three School Secondary English for English for 728 497 206 719 722 4714 458 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 728 497 206 719 722 4714 458 JUMLA 2133 1404 546 2136 2295 13827 1452 Two Secondary English for English for School Book 711 468 182 712 765 4609 484 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 711 468 182 712 765 4609 484 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 711 468 182 712 765 4609 484 - HALMASHAURI Kibaha Kibaha TC Kisarawe Mafia Mkuranga Rufiji Jumla Ndogo Kalam bo MKOA Rukwa 223 JUMLA 1809 1257 3207 7446 708 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 603 419 1069 2482 236 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 603 419 1069 2482 236 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 603 419 1069 2482 236 JUMLA 2103 1368 3165 8010 567 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 701 456 1055 2670 189 Book Three School Secondary English for English for 701 456 1055 2670 189 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 701 456 1055 2670 189 JUMLA 2343 2097 3276 9168 843 Two Secondary English for English for School Book 781 699 1092 3056 281 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 781 699 1092 3056 281 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 781 699 1092 3056 281 - - - - - HALMASHAURI Nkasi Sum bawan ga Sum bawan ga MC Jumla Ndogo Mada ba - MKOA Ruvu ma 224 JUMLA 2427 1407 1785 1248 1038 3306 1788 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 809 469 595 416 346 1102 596 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 809 469 595 416 346 1102 596 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 809 469 595 416 346 1102 596 JUMLA 2829 1434 2037 1677 1080 2577 1971 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 943 478 679 559 360 859 657 Book Three School Secondary English for English for 943 478 679 559 360 859 657 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 943 478 679 559 360 859 657 JUMLA 2907 1356 2400 1800 1401 2574 2883 Two Secondary English for English for School Book 969 452 800 600 467 858 961 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 969 452 800 600 467 858 961 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 969 452 800 600 467 858 961 - - HALMASHAURI Mbinga Mbinga TC Namtum bo Nyasa Songea Songea MC Tundu ru MKOA

225 JUMLA 13707 2670 2229 2562 2355 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 4569 890 743 854 785 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 4569 890 743 854 785 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 4569 890 743 854 785 JUMLA 14172 2244 2808 2559 2187 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 4724 748 936 853 729 Book Three School Secondary English for English for 4724 748 936 853 729 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 4724 748 936 853 729 JUMLA 16164 2520 3201 2571 2937 Two Secondary English for English for School Book 5388 840 1067 857 979 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 5388 840 1067 857 979 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 5388 840 1067 857 979 - - - HALMASHAURI Jumla Jumla Ndogo Kaha ma TC Kis hapu Msalala Shin yanga - MKOA Shin yanga 226 JUMLA 2535 1533 13884 1647 1806 2895 2040 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 845 511 4628 549 602 965 680 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 845 511 4628 549 602 965 680 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 845 511 4628 549 602 965 680 JUMLA 2001 1629 13428 1854 1695 2820 1779 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 667 543 4476 618 565 940 593 Book Three School Secondary English for English for 667 543 4476 618 565 940 593 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 667 543 4476 618 565 940 593 JUMLA 2322 2085 15636 2487 2079 3405 2292 Two Secondary English for English for School Book 774 695 5212 829 693 1135 764 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 774 695 5212 829 693 1135 764 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 774 695 5212 829 693 1135 764 - HALMASHAURI Shin yanga MC Ushetu Jumla Ndogo Bariadi Bariadi TC Busega Itilima MKOA Simiyu 227 JUMLA 2847 1425 12660 2373 1878 966 1152 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 949 475 4220 791 626 322 384 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 949 475 4220 791 626 322 384 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 949 475 4220 791 626 322 384 JUMLA 2808 1680 12636 2433 1965 765 1146 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 936 560 4212 811 655 255 382 Book Three School Secondary English for English for 936 560 4212 811 655 255 382 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 936 560 4212 811 655 255 382 JUMLA 3072 2097 15432 2487 2364 783 1386 Two Secondary English for English for School Book 1024 699 5144 829 788 261 462 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 1024 699 5144 829 788 261 462 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 1024 699 5144 829 788 261 462 - HALMASHAURI Maswa Meatu Jumla Ndogo Ikungi Iramba Itigi Man yoni - MKOA Singi da 228 JUMLA 1143 2562 2199 12273 1347 4833 576 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 381 854 733 4091 449 1611 192 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 381 854 733 4091 449 1611 192 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 381 854 733 4091 449 1611 192 JUMLA 1302 2469 1731 11811 1317 4983 618 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 434 823 577 3937 439 1661 206 Book Three School Secondary English for English for 434 823 577 3937 439 1661 206 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 434 823 577 3937 439 1661 206 JUMLA 1644 2775 1863 13302 1662 5643 864 Two Secondary English for English for School Book 548 925 621 4434 554 1881 288 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 548 925 621 4434 554 1881 288 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 548 925 621 4434 554 1881 288 - HALMASHAURI Mkala ma Singida Singida MC Jumla Ndogo Ileje Mbozi Momba - MKOA Song we 229 JUMLA 1278 8034 2349 1977 1650 723 2499 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 426 2678 783 659 550 241 833 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 426 2678 783 659 550 241 833 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 426 2678 783 659 550 241 833 JUMLA 1107 8025 2427 1749 1713 609 2187 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 369 2675 809 583 571 203 729 Book Three School Secondary English for English for 369 2675 809 583 571 203 729 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 369 2675 809 583 571 203 729 JUMLA 1230 9399 3144 2127 2061 792 2007 Two Secondary English for English for School Book 410 3133 1048 709 687 264 669 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 410 3133 1048 709 687 264 669 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 410 3133 1048 709 687 264 669 - HALMASHAURI Tundu ma TC Jumla Ndogo Igunga Kaliua Nzega Nzega TC Sikonge MKOA Tabora 230 JUMLA 3024 1932 1353 15507 1638 1974 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 1008 644 451 5169 546 658 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 1008 644 451 5169 546 658 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 1008 644 451 5169 546 658 JUMLA 2580 2481 1470 15216 2202 2763 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 860 827 490 5072 734 921 Book Three School Secondary English for English for 860 827 490 5072 734 921 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 860 827 490 5072 734 921 JUMLA 2589 2595 1524 16839 3036 2766 Two Secondary English for English for School Book 863 865 508 5613 1012 922 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 863 865 508 5613 1012 922 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 863 865 508 5613 1012 922 - - HALMASHAURI Tabora Tabora MC Tabora/ Uyui Uram bo Jumla Ndogo Bum buli Handeni MKOA Tanga 231 JUMLA 1254 1641 2346 1446 3456 1359 2322 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 418 547 782 482 1152 453 774 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 418 547 782 482 1152 453 774 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 418 547 782 482 1152 453 774 JUMLA 1116 2199 3948 1209 4410 1374 3036 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 372 733 1316 403 1470 458 1012 Book Three School Secondary English for English for 372 733 1316 403 1470 458 1012 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 372 733 1316 403 1470 458 1012 JUMLA 1326 2316 4347 1332 4584 1740 3363 Two Secondary English for English for School Book 442 772 1449 444 1528 580 1121 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 442 772 1449 444 1528 580 1121 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 442 772 1449 444 1528 580 1121 - - HALMASHAURI Handeni Handeni TC Kilindi Korog we Korog we TC Lushoto Mkinga Muheza MKOA

232 JUMLA 741 5640 Course Schools- Book for Book for Secondary Book Four Geography 247 1880 7939 156032 CHA IV CHA IDADI YA VITABU YA IDADI School Secondary Book Four English for English for 247 1880 7939 156032 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA-KIDATO KIWILAYA-KIDATO VITABU WA MGAWANYO School 1850 to 1850 to Present- Present- Secondary Form Four Form Africa from 247 1880 7939 156032 JUMLA 591 5139 27987 456438 Form Form Three Africa School from 1850 from Secondary to Present- Present- to 197 1713 9329 152146 Book Three School Secondary English for English for 197 1713 9329 152146 KIDATO CHA III CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI Three Geography MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Course Book Schools-Book for Secondaryfor 197 1713 9329 152146 JUMLA 798 5019 30627 496584 Two Secondary English for English for School Book 266 1673 10209 165528 Two Geography Course Book Schools-Book for Secondaryfor 266 1673 10209 165528 KIDATO CHA II CHA KIDATO IDADI YA VITABU YA IDADI The Two MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA- VITABU WA MGAWANYO Century- of Africanof Secondary School Form School Form Development Societies Up to Societies to Up the Nineteenth the Nineteenth 266 1673 10209 165528 - HALMASHAURI Pan gani Tanga CC Jumla Ndogo MKOA JUMLA KUU JUMLA CHANZO: TET CHANZO: 233

264 686 693 469 348 309 1642 4411 JUMLA 0 0 82 67 69 197 209 624 Kielelezo Na.3 Physics 0 0 83 52 40 77 107 359 Kiswahili 23 60 61 94 43 113 106 500 History 84 33 69 55 51 37 194 523 Geography 0 40 54 27 66 84 26 297 English Language 0 0 73 37 124 310 116 660 Chemistry A: MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA V CHA KIDATO KIWILAYA VITABU WA A: MGAWANYO 0 0 81 36 44 330 141 632 Biology - 0 75 36 45 Basic 151 349 160 816 matics Mathe Applied Applied CC Jumla Jumla Meru Ndogo Karatu Arusha Arusha SHAURI HALMA- Longido Monduli Ngorongoro MKOA Arusha MGAWANYO WA VITABU KWA SHULE ZA SEKONDARI KIWILAYA -KIDATO CHA V NA VI V NA CHA -KIDATO KIWILAYA ZA SEKONDARI SHULE KWA VITABU WA MGAWANYO 234 833 241 311 224 173 3324 4157 1726 1232 JUMLA 0 66 69 48 74 721 787 317 163 Physics 0 0 39 75 35 117 270 387 115 Kiswahili 62 10 95 64 17 54 152 280 432 History 0 23 13 49 114 252 366 191 129 Geography 0 80 52 75 31 16 18 120 200 English Language 0 74 44 30 47 496 570 425 217 Chemistry A: MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA V CHA KIDATO KIWILAYA VITABU WA A: MGAWANYO 0 0 77 65 57 451 528 471 239 Biology - 0 0 53 17 Basic 153 734 887 169 239 matics Mathe Applied Applied TC MC MC Jumla Jumla Ndogo Temeke Temeke Ilala MC Dodoma SHAURI Kondoa Kondoa Kondoa HALMA- Kongwa Chemba Mpwapwa MKOA Dodoma D’ Salaam D’ 235 64 401 784 981 845 356 3971 2166 1308 JUMLA 0 0 0 68 59 98 671 130 198 Physics 0 76 76 264 138 139 353 100 298 Kiswahili 37 42 97 339 162 152 356 105 261 History 27 30 97 432 146 127 303 120 174 Geography 0 38 89 60 23 192 104 231 158 English Language 0 0 43 68 763 108 219 148 106 Chemistry A: MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA V CHA KIDATO KIWILAYA VITABU WA A: MGAWANYO 0 0 52 83 97 832 232 180 106 Biology - 0 52 83 31 Basic 478 139 274 105 107 matics Mathe Applied Applied TC MC Bahi Jumla Jumla Jumla Iringa Iringa Chato Ndogo Ndogo SHAURI HALMA- Mufindi Mafinga Mafinga Geita TC Bukombe Geita Iringa MKOA

236 66 413 588 142 568 957 3524 6446 1982 1347 JUMLA 0 0 0 0 0 88 838 995 200 363 Physics 72 33 25 35 193 116 783 278 130 226 Kiswahili 0 55 57 13 161 103 727 338 193 199 History 0 64 70 41 371 826 292 124 115 146 Geography 69 71 18 17 14 18 381 175 130 117 English Language 0 0 27 28 73 594 875 209 108 334 Chemistry A: MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA V CHA KIDATO KIWILAYA VITABU WA A: MGAWANYO 0 0 32 79 34 89 600 918 242 299 Biology - 0 0 0 0 98 Basic 698 941 248 120 107 matics Mathe Applied Applied MC Jumla Jumla Iringa Ngara Kilolo Ndogo SHAURI Muleba Bukoba Bukoba HALMA- Karagwe Missenyi Biharamulo MKOA Kagera 237 259 177 313 331 365 5650 1249 1685 JUMLA 0 0 0 0 65 651 307 307 Physics 0 92 58 83 35 799 233 112 Kiswahili 0 0 79 55 75 79 855 209 History 38 26 55 33 788 120 184 129 Geography 0 50 38 47 14 61 489 135 English Language 0 0 0 39 89 752 169 169 Chemistry A: MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA V CHA KIDATO KIWILAYA VITABU WA A: MGAWANYO 0 0 0 48 89 743 207 207 Biology - 0 0 48 24 89 Basic 573 241 241 matics Mathe Applied Applied TC MC Jumla Jumla Jumla Jumla Ndogo Ndogo Kasulu Kasulu SHAURI HALMA- Mpanda Mpanda Mpimbwe Buhigwe MKOA Katavi Kigoma 238 318 446 277 486 1453 3503 1305 2727 1312 JUMLA 0 0 19 123 207 271 329 106 272 Physics 71 87 33 140 236 101 695 245 128 Kiswahili 83 97 85 41 84 233 577 118 186 History 53 51 82 39 89 122 192 635 254 Geography 0 63 40 73 20 20 136 314 140 English Language 0 0 33 80 173 334 171 480 244 Chemistry A: MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA V CHA KIDATO KIWILAYA VITABU WA A: MGAWANYO 0 0 41 88 165 343 207 580 237 Biology - 0 0 42 79 Basic 195 398 296 513 238 matics Mathe Applied Applied Hai MC Siha Same Jumla Jumla Moshi Moshi Ndogo Uvinza SHAURI Kigoma HALMA- Kigoma/ Ujiji MC Ujiji Kibondo MKOA Kilimanjaro 239 0 530 301 497 195 164 1563 1432 2636 11461 JUMLA 0 0 0 0 39 90 22 341 119 1477 Physics 0 11 21 98 57 67 394 188 202 1086 Kiswahili 0 55 27 74 63 50 408 361 112 1253 History 0 64 64 81 46 26 278 134 431 1307 Geography 0 24 13 43 29 21 149 169 595 102 English Language 0 0 0 0 0 52 287 284 120 1598 Chemistry A: MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA V CHA KIDATO KIWILAYA VITABU WA A: MGAWANYO 0 0 0 0 0 63 275 345 126 1795 Biology - 0 0 0 0 0 69 Basic 180 305 739 matics Mathe Applied Applied 2350 Lindi Kilwa Jumla Jumla Moshi Liwale Ndogo Rombo SHAURI HALMA- Ruangwa Mwanga Nachingwea Lindi MC Lindi MKOA

240 143 403 217 270 274 1687 1307 1146 JUMLA 0 0 0 0 0 49 49 112 Physics 0 40 13 51 445 138 242 226 Kiswahili 0 0 45 10 326 129 184 292 History 17 57 39 37 53 281 203 216 Geography 3 0 41 79 40 208 163 119 English Language 0 0 44 83 59 62 120 186 Chemistry A: MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA V CHA KIDATO KIWILAYA VITABU WA A: MGAWANYO 0 0 54 71 126 101 226 107 Biology - 0 0 0 0 69 54 54 Basic 124 matics Mathe Applied Applied TC MC Jumla Jumla Jumla Jumla Ndogo Babati Mbulu Mbulu Mbulu Ndogo SHAURI Hanang HALMA- Musoma Musoma Babati TC Mara MKOA Manyara 241 156 440 278 116 135 403 2674 1651 1291 JUMLA 0 0 0 0 0 25 92 117 143 Physics 44 92 29 33 47 116 587 237 217 Kiswahili 0 45 92 38 39 138 644 316 205 History 49 70 42 15 28 41 461 306 264 Geography 18 77 52 34 19 25 344 187 177 English Language 0 0 0 0 16 82 160 146 118 Chemistry A: MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA V CHA KIDATO KIWILAYA VITABU WA A: MGAWANYO 0 0 0 0 7 77 191 120 144 Biology - 0 0 0 7 0 39 Basic 170 196 166 matics Mathe Applied Applied TC TC Jumla Jumla Rorya Bunda Bunda Ndogo Tarime Tarime SHAURI Chunya HALMA- Butiama Busokelo Serengeti MKOA Mbeya 242 71 283 313 393 947 792 1227 2094 7252 JUMLA 0 0 0 56 90 197 338 734 115 Physics 0 72 59 69 81 120 193 967 121 Kiswahili 84 33 89 10 78 147 217 117 1091 History 63 47 81 27 95 145 268 120 1174 Geography 0 37 14 30 98 41 89 115 658 English Language 0 0 49 27 87 190 365 895 165 Chemistry A: MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA V CHA KIDATO KIWILAYA VITABU WA A: MGAWANYO 0 0 59 34 84 152 342 817 186 Biology - 0 27 52 41 84 Basic 178 256 916 186 matics Mathe Applied Applied CC Gairo Kyela Kilosa Jumla Jumla Ndogo Mbeya Mbeya SHAURI Mbarali HALMA- Rungwe Ifakara TC Ifakara MKOA Morogoro 243 0 976 857 642 331 1177 4820 1047 JUMLA 0 18 111 172 152 640 105 212 Physics 0 54 81 39 45 138 475 121 Kiswahili 0 57 96 41 96 90 184 542 History 8 0 61 69 89 135 167 605 Geography 0 43 31 16 88 31 111 315 English Language 0 0 90 156 216 714 150 186 Chemistry A: MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA V CHA KIDATO KIWILAYA VITABU WA A: MGAWANYO 0 0 82 67 155 206 747 170 Biology - 0 0 Basic 125 159 228 782 155 224 matics Mathe Applied Applied MC MC Jumla Jumla Masasi Newala Ndogo Mtwara Mtwara Ulanga SHAURI HALMA- Morogoro Mikindani Mikindani Masasi TC Mvomero MKOA Mtwara 244 75 87 223 562 597 2318 2554 1374 JUMLA 0 0 0 85 335 606 370 129 Physics 0 76 39 43 66 30 320 249 Kiswahili 0 0 69 36 17 332 213 136 History 0 33 52 31 22 199 212 129 Geography 0 0 45 40 80 15 180 135 English Language 0 0 57 19 336 442 324 151 Chemistry A: MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA V CHA KIDATO KIWILAYA VITABU WA A: MGAWANYO 0 0 86 23 237 385 396 159 Biology - 0 0 0 72 65 23 Basic 379 312 matics Mathe Applied Applied TC CC MC Magu Jumla Jumla Ndogo Ilemela Ilemela Newala Newala Kwimba SHAURI Mwanza Mwanza HALMA- Misungwi Tandahimba MKOA Mwanza 245 299 758 300 676 1860 7034 1400 3433 JUMLA 0 58 50 47 402 262 417 1592 Physics 25 58 30 122 510 145 168 426 Kiswahili 20 45 37 117 483 136 175 413 History 33 80 20 153 599 169 110 412 Geography 7 55 68 19 34 325 112 240 English Language 51 65 32 328 214 122 484 1321 Chemistry A: MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA V CHA KIDATO KIWILAYA VITABU WA A: MGAWANYO 49 79 38 315 192 148 506 1364 Biology - 56 79 38 Basic 368 840 214 148 535 matics Mathe Applied Applied TC TC Jumla Jumla Jumla Jumla Ndogo Ndogo Makete Ludewa Njombe SHAURI HALMA- Njombe Makambako Makambako Sengerema MKOA Njombe 246 729 832 219 504 113 1001 1390 1277 1116 6564 JUMLA 0 0 44 197 338 272 164 233 260 1464 Physics 0 0 56 62 59 18 88 58 283 150 Kiswahili 0 55 10 55 33 41 75 32 269 126 History 87 90 82 12 77 51 74 53 23 473 Geography 0 0 0 28 38 15 29 18 84 128 English Language 0 90 28 189 313 282 139 161 200 1374 Chemistry A: MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA V CHA KIDATO KIWILAYA VITABU WA A: MGAWANYO 0 0 49 160 319 258 144 133 200 1263 Biology - 0 0 19 Basic 229 320 228 163 169 201 matics Mathe Applied Applied 1310 - Rufiji Sum Jumla Jumla Kibaha Ndogo SHAURI Chalinze HALMA- Kisarawe bawanga Kalambo Mkuranga Bagamoyo Kibaha TC Kibaha MKOA Pwani Rukwa 247 46 471 861 213 451 1949 1069 JUMLA 0 0 0 0 134 178 225 Physics 0 5 49 130 225 563 149 Kiswahili 89 31 19 16 205 452 141 History 78 72 42 79 10 226 125 Geography 50 27 17 82 15 103 237 English Language 0 0 56 85 39 169 204 Chemistry A: MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA V CHA KIDATO KIWILAYA VITABU WA A: MGAWANYO 0 0 68 37 48 105 187 Biology - 0 0 0 0 19 48 Basic 221 matics Mathe Applied Applied - - bo TC MC Sum Nkasi Jumla Jumla Nyasa Ndogo SHAURI Mbinga Mbinga HALMA- bawanga bawanga Namtum MKOA Ruvuma 248 341 418 919 421 152 1779 2355 4033 JUMLA 0 0 74 225 111 437 548 118 Physics 0 0 97 203 139 154 279 669 Kiswahili 0 45 65 207 106 165 226 542 History 0 57 96 70 256 122 329 604 Geography 0 48 92 10 141 105 164 409 English Language 0 0 42 47 243 118 393 511 Chemistry A: MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA V CHA KIDATO KIWILAYA VITABU WA A: MGAWANYO 0 0 51 31 235 157 369 526 Biology - 0 0 33 33 65 Basic 269 158 224 matics Mathe Applied Applied MC Jumla Jumla Jumla Jumla Ndogo Ndogo Songea Songea SHAURI Msalala HALMA- Madaba Kishapu Tunduru - Shin yanga MKOA Songwe 249 63 95 84 369 355 312 1455 1188 JUMLA 0 0 0 43 14 249 174 190 Physics 0 30 51 43 23 30 147 136 Kiswahili 0 0 42 45 13 17 165 114 History 9 9 0 20 64 18 172 109 Geography 0 18 28 11 11 78 15 79 English Language 0 9 66 47 10 75 211 194 Chemistry A: MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA V CHA KIDATO KIWILAYA VITABU WA A: MGAWANYO 0 68 58 16 12 45 224 191 Biology - 0 0 0 0 82 62 Basic 209 175 matics Mathe Applied Applied - - ga TC TC Jumla Jumla ga MC Ndogo Maswa Ushetu Bariadi Bariadi SHAURI HALMA- Kahama Kahama Shinyan Shinyan MKOA Simiyu 250 407 156 432 192 257 435 1991 1471 2508 JUMLA 0 0 0 30 99 394 125 301 525 Physics 0 32 28 53 58 198 149 288 133 Kiswahili 0 59 52 48 62 73 190 123 285 History 0 53 38 27 45 29 180 155 265 Geography 0 40 18 18 27 73 31 134 136 English Language 0 0 51 62 79 49 330 250 391 Chemistry A: MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA V CHA KIDATO KIWILAYA VITABU WA A: MGAWANYO 0 0 62 58 53 60 310 224 335 Biology - 0 0 80 20 67 60 Basic 255 196 283 matics Mathe Applied Applied TC MC Itigi Jumla Jumla Jumla Meatu Ikungi Ndogo Ndogo Iramba SHAURI Singida Singida HALMA- Tunduma Tunduma MKOA Singida Songwe 251 98 459 992 409 877 121 378 2471 4256 JUMLA 0 0 0 93 93 68 180 515 763 Physics 0 0 82 32 72 215 117 124 345 Kiswahili 0 0 66 40 64 139 103 175 382 History 0 23 31 83 56 29 30 201 316 Geography 0 0 40 71 28 20 41 138 227 English Language 0 0 0 59 43 108 261 409 713 Chemistry A: MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA V CHA KIDATO KIWILAYA VITABU WA A: MGAWANYO 0 36 44 86 30 140 168 375 659 Biology - 0 39 44 75 30 Basic 143 212 534 851 matics Mathe Applied Applied MC Ileje Jumla Jumla Jumla Nzega Kaliua Mbozi Ndogo Ndogo Igunga Tabora Tabora SHAURI HALMA- Urambo MKOA Tabora 252 70 655 589 135 478 1792 3719 JUMLA 103221 0 0 83 52 308 118 561 Physics 14913 0 0 58 39 110 130 337 12179 Kiswahili 0 72 21 50 44 110 297 History 12191 23 47 56 32 33 124 315 12188 Geography 0 0 14 44 20 100 178 7006 English Language 0 0 33 407 136 131 707 14913 Chemistry A: MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA V CHA KIDATO KIWILAYA VITABU WA A: MGAWANYO 0 0 20 346 150 159 675 14916 Biology - 0 0 0 26 Basic 463 160 649 matics Mathe Applied Applied 14915 TC TC CC Jumla Jumla Tanga Tanga Ndogo SHAURI HALMA- Muheza Lushoto Handeni Handeni Korogwe Korogwe Korogwe KUU Tanga MKOA JUMLA JUMLA CHANZO: TET CHANZO: 253 -

JUM LA 70 286 569 294 189 117 91 1616 191 1526 - Phys ics 13 116 82 32 42 0 0 285 18 460 - Kiswa hili 0 0 30 32 19 32 29 142 37 146 - Histo ry 16 27 57 42 43 47 19 251 60 148 - Geog raphy 41 14 94 42 23 28 15 257 42 145 - English Lan guage 0 4 8 6 8 10 2 38 8 22 - Chemis try 0 77 150 65 40 0 12 344 12 329 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA VI Biology 0 48 148 75 14 0 14 299 14 276 - - - HAL MASHAU RI Arusha CC Arusha Karatu Longido Meru Monduli Ngoron goro Jumla Ndogo Temeke MC Ilala MC - MKOA Arusha D’ Sa laam Kielelezo Na. 3 Na. Kielelezo 254 - JUM LA 1717 696 126 479 138 112 42 56 1649 86 253 464 - Phys ics 478 147 39 75 39 38 0 0 338 20 0 86 - Kiswa hili 183 12 0 49 37 0 16 19 133 16 46 58 - Histo ry 208 23 13 45 25 10 14 20 150 11 64 84 - Geog raphy 187 75 0 63 8 8 11 15 180 8 62 76 - English Lan guage 30 5 0 7 3 2 1 2 20 3 10 12 - Chemis try 341 209 26 115 26 25 0 0 401 13 33 79 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA VI Biology 290 225 48 125 0 29 0 0 427 15 38 69 - - HAL MASHAU RI Jumla Ndogo Dodoma MC Kondoa Kondoa TC Mpwapwa Kongwa Chemba Bahi Jumla Ndogo Bukombe Chato Geita TC MKOA Dodoma Geita 255 - JUM LA 803 491 289 619 1619 157 3175 353 329 672 40 0 - Phys ics 106 32 0 56 471 0 559 0 84 230 0 0 - Kiswa hili 120 55 89 151 80 34 409 133 30 13 15 0 - Histo ry 159 77 99 154 98 39 467 123 25 37 0 0 - Geog raphy 146 92 96 115 226 34 563 76 49 69 9 0 - English Lan guage 25 11 5 24 7 7 54 21 2 2 1 0 - Chemis try 125 104 0 62 392 20 578 0 84 166 7 0 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA VI Biology 122 120 0 57 345 23 545 0 55 155 8 0 - - - HAL MASHAU RI Jumla Ndogo Iringa MC Mafinga TC Mufindi Iringa Kilolo Jumla Ndogo Bihara mulo Bukoba Bukoba MC Karagwe Missenyi MKOA Iringa Kagera 256 - JUM LA 243 498 2135 89 62 358 509 78 59 354 579 171 - Phys ics 0 0 314 0 0 87 87 0 0 35 66 0 - Kiswa hili 62 116 369 35 25 47 107 10 22 0 119 74 - Histo ry 103 126 414 32 22 45 99 0 19 211 119 60 - Geog raphy 65 143 411 17 12 39 68 25 15 20 94 28 - English Lan guage 13 19 58 5 3 6 14 2 3 0 41 9 - Chemis try 0 44 301 0 0 58 58 19 0 46 61 0 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA VI Biology 0 50 268 0 0 76 76 22 0 42 79 0 - - HAL MASHAU RI Muleba Ngara Jumla Ndogo Mpimbwe Mpanda Mpanda MC Jumla Ndogo Buhigwe Kasulu Kasulu TC Kigoma/ Ujiji MC Kigoma MKOA Katavi Kigoma 257 - JUM LA 489 39 1769 585 740 155 578 1322 1201 857 5438 427 216 155 - Phys ics 49 0 150 151 58 33 161 203 280 65 951 67 44 16 - Kiswa hili 134 14 373 59 31 15 51 259 145 72 632 92 20 45 - Histo ry 131 14 554 84 64 16 40 175 121 171 671 60 22 44 - Geog raphy 91 9 282 61 117 21 46 238 141 229 853 47 30 44 - English Lan guage 17 2 74 13 8 2 3 59 24 18 127 15 2 6 - Chemis try 41 0 167 101 215 36 153 148 230 140 1023 59 51 0 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA VI Biology 26 0 169 116 247 32 124 240 260 162 1181 87 47 0 - - HAL MASHAU RI Kibondo Uvinza Jumla Ndogo Moshi MC Hai Siha Same Mwanga Rombo Moshi Jumla Ndogo Kilwa Lindi Lindi MC MKOA K’njaro Lindi 258 - JUM LA 123 26 71 1018 48 205 41 111 93 498 372 56 - Phys ics 0 0 0 127 0 0 0 19 0 19 0 0 - Kiswa hili 53 9 28 247 18 67 8 0 17 110 89 15 - Histo ry 35 9 25 195 19 82 6 0 0 107 91 18 - Geog raphy 27 7 14 169 6 43 10 15 20 94 82 21 - English Lan guage 8 1 4 36 5 13 0 0 4 22 13 2 - Chemis try 0 0 0 110 0 0 8 36 24 68 40 0 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA VI Biology 0 0 0 134 0 0 9 41 28 78 57 0 - - - HAL MASHAU RI Liwale Nachin gwea Ruangwa Jumla Ndogo Babati TC Hanang Mbulu TC Mbulu Babati Jumla Ndogo Musoma MC Bunda TC MKOA Manyara Mara 259 - JUM LA 401 94 0 23 215 1161 861 200 125 151 201 599 1059 - Phys ics 64 0 0 0 43 107 94 0 0 0 47 97 218 - Kiswa hili 83 38 0 10 30 265 198 36 34 47 39 73 109 - Histo ry 94 37 0 0 27 267 232 86 46 31 43 104 144 - Geog raphy 66 15 0 11 25 220 198 35 40 27 48 107 156 - English Lan guage 13 4 0 2 3 37 26 4 5 3 5 15 17 - Chemis try 45 0 0 0 49 134 69 18 0 20 19 106 217 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA VI Biology 36 0 0 0 38 131 44 21 0 23 0 97 198 - - HAL MASHAU RI Butiama Serengeti Rorya Tarime Tarime TC Jumla Ndogo Busokelo Chunya Kyela Mbarali Mbeya Mbeya CC Rungwe MKOA Mbeya 260 - JUM LA 3196 0 379 227 360 278 340 1584 287 152 - Phys ics 456 0 57 0 63 74 83 277 52 0 - Kiswa hili 536 0 30 81 51 28 16 206 25 55 - Histo ry 686 0 31 81 78 31 33 254 28 49 - Geog raphy 611 0 47 51 61 25 46 230 43 40 - English Lan guage 75 0 4 14 10 5 2 35 4 8 - Chemis try 449 0 101 0 52 63 87 303 70 0 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA VI Biology 383 0 109 0 45 52 73 279 65 0 - - HAL MASHAU RI Jumla Ndogo Gairo Ifakara TC Kilosa Morogoro MC Mvomero Ulanga Jumla Ndogo Mtwara Mikindani MC Masasi TC - MKOA Moro goro Mtwara 261 - JUM LA 563 0 82 30 1114 942 5930 259 252 50 532 - Phys ics 146 0 0 0 198 264 1051 49 75 0 175 - Kiswa hili 30 0 35 14 159 90 1183 30 12 0 26 - Histo ry 49 0 29 16 171 68 549 61 8 0 37 - Geog raphy 55 0 14 0 152 115 659 28 9 16 41 - English Lan guage 5 0 4 0 21 18 180 10 2 0 4 - Chemis try 123 0 0 0 193 213 1000 33 73 16 136 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA VI Biology 155 0 0 0 220 174 1308 48 73 18 113 - - - - HAL MASHAU RI Masasi Newala TC Newala Tanda himba Jumla Ndogo Mwanza CC Ilemela MC Kwimba Magu Misungwi Sengere ma MKOA Mwanza 262 - JUM LA 7965 628 154 242 123 199 1346 342 553 604 205 435 - Phys ics 1614 149 28 0 0 19 196 101 179 153 70 140 - Kiswa hili 1341 78 27 92 52 19 268 13 0 44 28 10 - Histo ry 723 90 24 102 44 20 280 20 14 50 18 22 - Geog raphy 868 96 32 33 20 37 218 39 45 49 6 50 - English Lan guage 214 11 2 15 7 2 37 2 0 8 3 0 - Chemis try 1471 112 21 0 0 47 180 94 165 158 37 115 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA VI Biology 1734 92 20 0 0 55 167 73 150 142 43 98 - - - HAL MASHAU RI Jumla Ndogo Njombe TC Makam bako TC Makete Njombe Ludewa Jumla Ndogo Bagamoyo Chalinze Kibaha Kibaha TC Kisarawe MKOA Njombe Pwani 263 - JUM LA 28 385 2552 84 37 145 201 467 471 133 206 - Phys ics 0 106 749 0 0 0 39 39 111 0 0 - Kiswa hili 0 29 124 33 17 38 36 124 33 0 69 - Histo ry 0 39 163 33 11 34 39 117 25 19 74 - Geog raphy 0 42 231 11 9 29 34 83 77 36 53 - English Lan guage 0 2 15 7 0 5 6 18 5 5 10 - Chemis try 28 92 689 0 0 18 26 44 117 34 0 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA VI Biology 0 75 581 0 0 21 21 42 103 39 0 - - - - - HAL MASHAU RI Mkuranga Rufiji Jumla Ndogo Kalambo Sum bawanga Sum bawanga MC Nkasi Jumla Ndogo Mbinga Mbinga TC Namtum bo MKOA Rukwa Songwe 264 - JUM LA 0 810 107 137 491 1009 1744 172 0 106 90 - Phys ics 0 111 0 0 66 230 296 77 0 20 0 - Kiswa hili 0 102 35 58 126 124 343 0 0 2 26 - Histo ry 0 118 42 16 97 101 256 16 0 7 26 - Geog raphy 0 166 24 51 68 178 321 24 0 10 23 - English Lan guage 0 20 6 12 11 18 47 2 0 0 4 - Chemis try 0 151 0 0 68 198 266 25 0 33 5 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA VI Biology 0 142 0 0 55 160 215 28 0 34 6 - - HAL MASHAU RI Nyasa Jumla Ndogo Madaba Songea Tunduru Songea MC Jumla Ndogo Kishapu Msalala Shinyanga Kahama TC - MKOA Ruvuma Shinyan ga 265 - JUM LA 49 0 417 20 121 538 190 869 55 271 85 0 - Phys ics 0 0 97 0 71 128 26 225 0 60 0 0 - Kiswa hili 37 0 65 9 0 64 0 73 16 51 27 0 - Histo ry 0 0 49 6 0 51 17 74 21 55 31 0 - Geog raphy 9 0 66 0 13 47 35 95 16 29 24 0 - English Lan guage 3 0 9 1 0 10 0 11 2 7 3 0 - Chemis try 0 0 63 2 26 133 52 213 0 40 0 0 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA VI Biology 0 0 68 2 11 105 60 178 0 29 0 0 - - - HAL MASHAU RI Shinyan ga MC Ushetu Jumla Ndogo Bariadi Bariadi TC Maswa Meatu Jumla Ndogo Ikungi Iramba Itigi Singida MKOA Simiyu Singida 266 - JUM LA 474 885 158 190 257 605 108 247 0 839 73 - Phys ics 112 172 0 0 56 56 0 63 0 221 0 - Kiswa hili 29 123 49 60 56 165 38 0 0 68 29 - Histo ry 45 152 32 54 50 136 34 0 0 84 26 - Geog raphy 73 142 13 48 24 85 0 24 0 106 14 - English Lan guage 5 17 4 9 8 21 2 0 0 19 4 - Chemis try 115 155 28 0 38 66 0 81 0 184 0 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA VI Biology 95 124 32 19 25 76 34 79 0 157 0 - - HAL MASHAU RI Singida MC Jumla Ndogo Tunduma TC Mbozi Ileje Jumla Ndogo Igunga Kaliua Nzega Tabora MC Urambo MKOA Songwe Tabora 267 - JUM LA 1267 816 0 451 185 63 90 1605 47914 - Phys ics 284 172 0 77 45 0 0 294 8585 - Kiswa hili 135 33 0 68 0 20 34 155 7009 - Histo ry 144 44 0 41 0 23 36 144 7009 - Geog raphy 144 74 0 48 17 18 11 168 7010 - English Lan guage 25 2 0 9 0 2 9 22 1122 - Chemis try 265 264 0 108 57 0 0 429 8587 MGAWANYO WA VITABU KIWILAYA KIDATO CHA VI Biology 270 227 0 100 66 0 0 393 8592 - - HAL MASHAU RI Jumla Ndogo Tanga CC Korogwe Korogwe TC Muheza Handeni TC Lushoto Jumla Ndogo MKOA Tanga JUMLA KUU CHANZO: TET 268 - JUM LA 156 444 36 60 36 300 156 300 60 - A/ MAZIN GIRA 26 74 6 10 6 50 26 50 10 Kielelezo Na. 4 - KUSO MA 2 26 74 6 10 6 50 26 50 10 - M/SA NAA 26 74 6 10 6 50 26 50 10 - KUHES ABU 26 74 6 10 6 50 26 50 10 IDADI YA VITABU - KUAN DIKA 26 74 6 10 6 50 26 50 10 1 KUSOMA 26 74 6 10 6 50 26 50 10 - HALMASHAU RI DODOMA M CHAMWINO KONDOA BABATI V BABATI HANANG IRAMBA IKUNGI MPIMBWE SHULE/ KITENGO BWAWANI BUIGIRI IBONI DUDIYE DAREDA KATI KATESH A KIZEGA/ S/M IKUNGI S/M MAJI MOTO 1 2 3 4 5 6 7 8 9 “USAMBAZAJI WA VITABU VYA MAANDISHI YA NUKTA NUNDU VYA DARASA LA KWANZA NUNDU YA NUKTA VYA MAANDISHI WA VITABU“USAMBAZAJI KWA WANAFUNZI WASIOONA” 269 - JUM LA 300 120 168 168 492 324 108 360 144 348 288 324 - A/ MAZIN GIRA 50 20 28 28 82 54 18 60 24 58 48 54 - KUSO MA 2 50 20 28 28 82 54 18 60 24 58 48 54 - M/SA NAA 50 20 28 28 82 54 18 60 24 58 48 54 - KUHES ABU 50 20 28 28 82 54 18 60 24 58 48 54 IDADI YA VITABU - KUAN DIKA 50 20 28 28 82 54 18 60 24 58 48 54 1 KUSOMA 50 20 28 28 82 54 18 60 24 58 48 54 - - - HALMASHAU RI KASULU KIGOMA V UVINZA KIBONDO TABORA M SIKONGE KYELA RUNGWE LUDEWA WANG’IN GOMBE NJOMBE M SUMBAWAN GAM - SHULE/ KITENGO KABANGA MAZOEZI BITALE MAALUMU UVINZA MAALUMU NENGO FURAHA SIKONGE MWENGE KATUMBA II MUNDINDI ILEMBULA KIBENA MALAN GALI 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 270 - JUM LA 192 108 150 348 390 234 300 144 144 156 120 144 150 192 468 330 - A/ MAZIN GIRA 32 18 25 58 65 39 50 24 24 26 20 24 25 32 78 55 - KUSO MA 2 32 18 25 58 65 39 50 24 24 26 20 24 25 32 78 55 - M/SA NAA 32 18 25 58 65 39 50 24 24 26 20 24 25 32 78 55 - KUHES ABU 32 18 25 58 65 39 50 24 24 26 20 24 25 32 78 55 IDADI YA VITABU - KUAN DIKA 32 18 25 58 65 39 50 24 24 26 20 24 25 32 78 55 1 KUSOMA 32 18 25 58 65 39 50 24 24 26 20 24 25 32 78 55 - HALMASHAU RI MBOZI ILEJE KILWA LINDI V MASASI KIBITI SONGEA M ARUSHA J ARUSHA V MERU LONGIDO SAME HAI MOSHI M LUSHOTO TANGA J SHULE/ KITENGO MWENGE MSIA MTANGA NYANGAO MASASI KITUNDU LUHIRA THEMI KIOGA PATANDI LONGIDO SAME ST. FRANCIS MWERENI IRENTE PONGWE 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 271 - JUM LA 180 96 108 108 132 324 132 360 120 330 120 150 114 - A/ MAZIN GIRA 30 16 18 18 22 54 22 60 20 55 20 25 19 - KUSO MA 2 30 16 18 18 22 54 22 60 20 55 20 25 19 - M/SA NAA 30 16 18 18 22 54 22 60 20 55 20 25 19 - KUHES ABU 30 16 18 18 22 54 22 60 20 55 20 25 19 IDADI YA VITABU - KUAN DIKA 30 16 18 18 22 54 22 60 20 55 20 25 19 1 KUSOMA 30 16 18 18 22 54 22 60 20 55 20 25 19 - HALMASHAU RI IRINGA V MUFINDI KILOLO MOROGORO M MVOMERO KILOSA RORYA MUSOMA M NYAMAGANA MISUNGWI SENGEREMA MAGU UKEREWE - - - SHULE/ KITENGO KIPERA MAKALALA POMERINE MAFIGA A MIEMBENI MAZ INYUNGU UTEGI MWIS ENGE IBESHI MITINDO SENGERE MA ITUMBILI NANSIO 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 272 - JUM LA 84 72 60 132 36 36 120 444 360 40 324 - A/ MAZIN GIRA 14 12 10 22 6 6 20 74 60 6 54 - KUSO MA 2 14 12 10 22 6 6 20 74 60 6 54 - M/SA NAA 14 12 10 22 6 6 20 74 60 7 54 - KUHES ABU 14 12 10 22 6 6 20 74 60 7 54 IDADI YA VITABU - KUAN DIKA 14 12 10 22 6 6 20 74 60 7 54 1 KUSOMA 14 12 10 22 6 6 20 74 60 7 54 - HALMASHAU RI BARIADI BUSEGA NYANG’HWALE CHATO GEITA M MBOGWE MULEBA BUKOBA M SHINYANGA M UBUNGO ILALA - - - - - SHULE/ KITENGO NKOLOLO ‘A’ NGASAMO SHIBAL ANGA CHATO “A” MWATU LOLE KASANDA LALA KAGONDO ‘B’ MUGEZA BUHANGI JA KIBAMBA UHURU MCHANG NYKO 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 273 - JUM LA 120 36 12400 - A/ MAZIN GIRA 20 6 2066 - KUSO MA 2 20 6 2066 - M/SA NAA 20 6 2067 - KUHES ABU 20 6 2067 IDADI YA VITABU - KUAN DIKA 20 6 2067 1 KUSOMA 20 6 2067 - HALMASHAU RI TEMEKE KINONDONI JUMLA - - CHANZO: WyEST SHULE/ KITENGO TUANGO MA KIJITON YAMA 62 63

274 264 252 232 240 240 212 192 184 JUMLA II 60 54 52 56 64 50 40 36 Kielelezo Na. 5 I 60 54 52 56 64 50 40 36 HISABATI II 36 36 32 32 28 28 28 28 IDADI YA VITABU I KEMIA 36 36 32 32 28 28 28 28 II 36 36 32 32 28 28 28 28 I 36 36 32 32 28 28 28 28 FIZIKIA 1 - - WINO RI KILOSA MCHAM KISHAPU MOSHI M IRINGA M MPWAPWA TABORA M KOROGWE HALMASHAU - - SS DC GA SS MVUMI KILOSA KOROG TABORA LUGALO GIRLS S. SHULE/ KITENGO SHINYAN WE GIRLS MOSHI SS MPWAPWA 1 2 3 4 5 6 7 8 “USAMBAZAJI WA VITABU VYA MAANDISHI YA NUKTA NUNDU VYA KIADA NUNDU YA NUKTA “USAMBAZAJI WA VITABU VYA MAANDISHI WASIOONA WANAFUNZI HISABATI KWA NA KEMIA YA FIZIKIA, VYA MASOMO KIDATO CHA I NA II KATIKA SHULE ZA SEKONDARI” 275 184 164 164 164 164 156 136 152 148 JUMLA II 36 30 30 30 30 30 20 20 18 I 36 30 30 30 30 30 20 20 18 HISABATI II 28 26 26 26 26 24 24 28 28 IDADI YA VITABU I KEMIA 28 26 26 26 26 24 24 28 28 II 28 26 26 26 26 24 24 28 28 I 28 26 26 26 26 24 24 28 28 FIZIKIA 1 - - GA MC RI MASASI KYELWA TANGA J BUKOBA MUHEZA KARAGWE SONGEA M BAGAMOYO HALMASHAU SUMBAWAN - - - SS S S NO SS DWIKA TANGA WA S WA LAMBA BOYS S KANTA MABILA UFUNDI LUGOBA SONGEA SHULE/ MLINGA LUHINDA KITENGO LUGAMB GIRLS S 9 10 11 12 13 14 15 16 17

276 156 156 132 132 116 140 140 180 4400 JUMLA II 18 18 18 18 18 18 18 18 800 I 18 18 18 18 18 18 18 18 HISABATI 800 II 30 30 24 24 20 26 26 36 700 IDADI YA VITABU I KEMIA 30 30 24 24 20 26 26 36 700 II 30 30 24 24 20 26 26 36 700 I 30 30 24 24 20 26 26 36 FIZIKIA 1 700 - RI KILOSA MASASI IRAMBA LONGIDO MSOMA M TABORA M MTWARA M MTWARA HALMASHAU NYAMAGANA SS SS S BOYS CHIDYA CHIDYA MSOMA UFUNDI MGUGU UFUNDI TABORA TUMAINI SHULE/ MTWARA MTWARA MKOLANI KITENGO LONGIDO 18 19 20 21 22 23 24 25 CHANZO: WyEST

277 Kielelezo Na. 6 ORODHA YA MIKOA NA HALMASHAURI ZINAZOPOKEA VIFAA VYA MAABARA TANZANIA BARA (IDADI YA SHULE KWA KILA HALMASHAURI IMEONYESHWA) NA KANDA MIKOA HALMASHAU- IDADI RI YA SHULE 1 Kaskazini Manyara Babati DC 29 Magharibi Kiteto 5 Hanang 14 Simanjiro 5 Babati TC 5 Mbulu 3 Shule Kongwe 1 Arusha Arusha MC 3 Arusha DC 3 Karatu 3 Longido 6 Meru 17 Monduli 9 Ngorongoro 6 Shule Kongwe 2 JUMLA 111 2 Magharibi Tabora Uyui 4 Igunga 3 Sikonge 8 Kaliua 7 278 NA KANDA MIKOA HALMASHAU- IDADI RI YA SHULE Urambo 14 Nzega TC 24 NzegaDC 15 Tabora MC 19 Shule Kongwe 3 Shinyan- Kahama 6 ga Shinyanga MC 7 ShinyangaDC 8 Kishapu 8 Msalala 14 Ushetu 15 Shuke Kon- 1 gwe Simiyu Maswa 7 Meatu 8 Bariadi DC 7 Itilima 5 Bariadi TC 5 Busega 17 Shule Kongwe 0 JUMLA 205 3 Kati Dodoma Dodoma MC 13 Chemba 3 Kondoa 4

279 NA KANDA MIKOA HALMASHAU- IDADI RI YA SHULE Kongwa 6 Bahi 8 Mpwapwa 6 Chamwino 11 Shule Kongwe 5 Singida Manyoni 3 Mkalama 4 Singida MC 3 Singida DC 3 Iramba 4 Shule Kongwe 1 JUMLA 74 4 Kusini Mtwara Tandahimba 22 Newala 20 Nanyamba 9 Mtwara MC 10 Mtwara DC 11 Masasi DC 19 Nanyumbu 9 Masasi MC 5 Shule Kongwe 4 Lindi Kilwa DC 4 Lindi DC 1 Lindi MC 6 Liwale 5

280 NA KANDA MIKOA HALMASHAU- IDADI RI YA SHULE Nachingwea 20 Ruangwa 4 Shule Kongwe 2 JUMLA 151 5 Ziwa Mwanza Ilemela 20 Buchosa 4 Kwimba 26 Magu 4 Misungwi 4 Nyamagana 8 Sengerema 24 Ukerewe 6 Shule Kongwe 7 Mara Bunda MC 2 Bunda DC 10 Butiama 4 Musoma MC 4 Musoma DC 5 Rorya 3 Serengeti 5 Tarime DC 4 TarimeTC 4 Shule Kongwe 2 Geita Bukombe 5 Chato 4

281 NA KANDA MIKOA HALMASHAU- IDADI RI YA SHULE Geita DC 3 Geita MC 4 Mbogwe 3 Nyang`wale 3 Shule Kongwe 0 JUMLA 168 6 Nyanda Mbeya Mbeya MC 3 za Juu Mbalali 16 Kyela 22 Rungwe 27 Mbeya DC 3 Busokelo 15 Shule Kongwe 4 Songwe Mbozi 12 Tunduma 5 Ileje 5 Momba 3 Chunya 5 Shule Kongwe 0 Katavi Mpanda MC 9 Mpanda DC 6 Mpimbwe 4 Nsimbo 6 Mlele 3

282 NA KANDA MIKOA HALMASHAU- IDADI RI YA SHULE Shule Kongwe 1 Rukwa Sumbawanga 14 DC Sumbawan- 15 gaTC Kalambo 6 Nkasi 16 Shule Kongwe 2 JUMLA 202 7 DSM DSM Ilala 39 Temeke/Ki- 40 gamboni Kinondoni/ 38 Ubungo Shule Kongwe 5 JUMLA 122 8 Kaskazini Kiliman- Moshi MC 11 Mashariki jaro Moshi V 2 Mwanga 7 Rombo 30 Same 5 Siha 7 Hai 20 Shule Kongwe 8 Tanga Bumbuli 5 283 NA KANDA MIKOA HALMASHAU- IDADI RI YA SHULE Kilindi 18 KorogweTc 6 Lushoto 9 Mkinga 4 Muheza 7 Pangani 7 Tanga MC 7 Handani MC 3 Handen DC 5 Korongwe DC 3 Shule Kongwe 4 JUMLA 168 9 Mashariki Pwani Bagamoyo 4 Chalinze 2 Kibaha DC 19 Kibiti 4 Kisarawe 6 Mafia 6 Mkuranga 11 Rufiji 9 Shule Kongwe 5 Morogoro Morogoro DC 26 Ulanga 13 Kilosa 27 Morogoro MC 6 Kilombelo 10

284 NA KANDA MIKOA HALMASHAU- IDADI RI YA SHULE Ifakara 6 Gairo 9 Malinyi 9 Mvomero 18 Shule Kongwe 6 JUMLA 196 10 Ziwa Kigoma Buhigwe 2 Magharibi Kibondo 2 Kakonko 7 Uvinza 1 Kasulu 2 Kigoma DC 4 Kigoma MC 2 Kasulu TC 2 Shule Kongwe 1 Kagera Karagwe 10 Kyelwa 8 Bukoba MC 7 Ngara 9 Biharamulo 7 Misenyi 6 Muleba 8 Bukoba DC 10 Shule Kongwe 3 JUMLA 91

285 NA KANDA MIKOA HALMASHAU- IDADI RI YA SHULE 11 Nyanda za Iringa Iringa DC 24 Juu Kusi- ni Kilolo 22 Mufindi 6 Mafinga 7 Iringa MC 5 Shule Kongwe 5 Njombe Njombe DC 10 Wanging`ombe 15 Makete 17 Makambako 7 Njombe TC 12 Ludewa 13 Shule Kongwe 0 Ruvuma Nyasa 17 Namtumbo 6 Tunduru 10 Mbinga DC 3 Songea MC 13 Songea DC 7 Madaba 5 Mbinga TC 2 Shule Kongwe 2 JUMLA 208 JUMLA YA SHULE 1696

286 Kielelezo Na. 7

FEDHA ZILIZOTOLEWA KAMA MOTISHA KWA HAMASHAURI KATIKA MPANGO WA P4R Na HALMASHAURI JUMLA YA FEDHA 1 Kaliua DC 704,627,856 2 Muleba DC 681,208,297 3 Geita DC 657,954,115 4 Bunda DC 538,189,807 5 Rorya DC 419,338,115 6 Nzega DC 415,222,770 7 Ngara DC 384,769,590 8 Itilima DC 364,387,825 9 Kongwa DC 363,652,691 10 Chato DC 336,207,850 11 Bumbuli DC 335,573,664 12 Kinondoni MC 318,776,689 13 Kilolo DC 291,162,417 14 Kyerwa DC 271,006,960 15 Moshi DC 212,985,508 16 Tanga CC 196,763,890 17 Mpwapwa DC 195,151,176 18 Rombo DC 189,686,922 19 Iringa MC 186,558,717 20 Biharamulo DC 184,099,389 21 Serengeti DC 182,071,340 22 Magu DC 181,663,969 23 Longido DC 180,115,061

287 Na HALMASHAURI JUMLA YA FEDHA 24 Nzega TC 174,305,985 25 Busega DC 170,630,861 26 Sengerema DC 170,112,599 27 Uvinza DC 165,873,859 28 Ruangwa DC 164,893,801 29 Kwimba DC 162,122,239 30 Ikungi DC 146,527,035 31 Ngorongoro DC 145,904,994 32 Nyasa DC 145,505,813 33 Iringa DC 144,602,017 34 Bunda TC 144,183,480 35 Morogoro DC 142,980,191 36 Mbeya CC 142,376,242 37 Musoma MC 137,520,211 38 Manyoni DC 135,717,929 39 Gairo DC 127,974,874 40 Njombe TC 126,434,753 41 Sumbawanga MC 125,648,715 42 Rungwe DC 125,504,018 43 Liwale DC 122,499,374 44 Mwanza CC 121,167,809 45 Geita TC 119,325,006 46 Arusha MC 118,279,817 47 MAFINGA TC 116,936,960 48 Nyang’hwale DC 113,231,986 49 Handeni DC 113,097,096 50 Arusha DC 112,705,806 288 Na HALMASHAURI JUMLA YA FEDHA 51 Ifakara 111,633,480 52 Dodoma MC 111,603,403 53 Rufiji DC 110,469,218 54 Meru DC 106,051,032 55 Kilindi DC 104,296,117 56 Babati TC 103,905,334 57 Namtumbo DC 103,519,247 58 Korogwe TC 103,385,553 59 NANYAMBA DC 103,262,162 60 Simanjiro DC 102,473,308 61 Nsimbo DC 102,121,393 62 Misenyi DC 102,093,157 63 Meatu DC 100,755,087 64 Hai DC 100,680,735 65 Mafia DC 100,079,395 66 Kibaha DC 99,883,211 67 Bukoba MC 99,134,670 68 Bariadi DC 98,358,006 69 Busokelo DC 97,312,540 70 Karagwe DC 97,282,643 71 Ulanga DC 93,377,305 72 Mwanga DC 92,998,837 73 Mbulu DC 90,936,742 74 Singida MC 89,925,682 75 Mkinga DC 89,108,535 76 Chemba DC 89,108,327 77 Ludewa DC 87,175,602 289 Na HALMASHAURI JUMLA YA FEDHA 78 Siha DC 86,817,091 79 Songea MC 86,451,924 80 Pangani DC 86,281,327 81 Morogoro DC 86,257,621 82 Handeni TC 85,593,480 83 Ukerewe DC 84,386,960 84 MADABA DC 84,386,960 85 Muheza DC 84,386,960 86 Chamwino DC 83,993,220 87 Kalambo DC 83,901,306 88 Misungwi DC 83,426,566 89 Nkasi DC 83,158,146 90 Kakonko DC 82,311,013 91 Temeke MC 82,260,807 92 Shinyanga MC 82,146,934 93 Mufindi DC 82,096,926 94 Sikonge DC 81,794,007 95 Tunduma TC 81,682,201 96 Mvomero DC 81,494,684 97 Kigoma/Ujiji MC 81,366,239 98 Moshi MC 81,300,459 99 Tabora/Uyui DC 81,228,725 100 Sumbawanga DC 81,184,659 101 Nanyumbu DC 81,160,997 102 Kisarawe DC 81,148,414 103 Kasulu TC 81,037,864 104 MALINYI DC 80,954,339 290 Na HALMASHAURI JUMLA YA FEDHA 105 Bukoba DC 80,835,448 106 Mbarali DC 80,693,776 107 Mlele DC 80,688,319 108 Ilemela MC 80,677,918 109 Mbogwe DC 80,456,170 110 Tabora MC 80,381,956 111 Kibondo DC 80,378,829 112 Kilosa DC 80,371,025 113 Lindi DC 80,357,431 114 Kishapu DC 80,312,064 115 Makete DC 80,308,007 116 Makambako TC 80,298,105 117 Buhigwe DC 80,270,711 118 Bariadi TC 80,270,561 119 Momba DC 80,266,351 120 Karatu DC 80,247,177 121 Kibaha TC 80,139,278 122 Urambo DC 80,072,652 123 Bukombe DC 79,866,219 124 Kigoma DC 79,762,984 125 Igunga DC 79,694,551 126 Monduli DC 79,607,189 127 Mbinga DC 79,581,339 128 Lushoto DC 79,417,533 129 Singida DC 79,384,665 130 Kyela DC 79,359,141 131 Shinyanga DC 79,340,046 291 Na HALMASHAURI JUMLA YA FEDHA 132 Tandahimba DC 79,330,222 133 Ilala MC 79,317,588 134 Hanang DC 79,294,587 135 Newala DC 79,163,776 136 Musoma DC 79,052,213 137 Kahama TC 79,048,949 138 Mbeya DC 78,996,821 139 Tarime TC 78,913,490 140 Mkuranga DC 78,870,574 141 Tarime DC 78,813,711 142 Mpanda DC 78,772,349 143 Mpanda TC 78,737,110 144 Kiteto DC 78,617,504 145 Mbozi DC 78,574,899 146 Wang’ing’ombe 78,561,610 147 Mkalama DC 78,529,069 148 Kondoa DC 78,480,378 149 Kilwa DC 78,330,720 150 Nachingwea DC 78,325,363 151 Lindi MC 78,256,689 152 Masasi DC 78,217,143 153 Tunduru DC 78,192,085 154 Ushetu DC 78,190,901 155 Maswa DC 78,184,479 156 Chunya DC 78,173,661 157 Mtwara DC 78,116,732 158 Bahi DC 78,096,233 292 Na HALMASHAURI JUMLA YA FEDHA 159 Iramba DC 78,091,055 160 Ileje DC 78,078,530 161 Butiama DC 78,074,522 162 Msalala DC 78,071,602 163 Korogwe DC 78,038,379 164 Mtwara MC 78,016,570 165 Kilombero DC 77,984,339 166 Same DC 77,966,451 167 Njombe DC 77,958,719 168 Babati DC 77,817,822 169 Masasi TC 77,685,692 170 Songea DC 77,647,902 171 Kasulu DC 77,031,629 172 ITIGI DC 76,913,480 173 Bagamoyo DC 76,159,654 174 Chalinze DC 74,743,480 175 Kondoa TC 74,743,480 176 Newala TC 74,743,480 177 Buchosa DC 74,743,480 178 Mbinga TC 74,743,480 179 Mbulu TC 74,743,480 22,360,574,171

Vigezo 1. Urekebishaji wa ikama ndani ya Halmashauri kati ya 35 - 50 2. Uwasilishaji wa takwimu kwa wakati na usahihi 3. Uwasilishaji wa taarifa ya matumizi ya fedha za ruzuku shuleni kwa wakati na usahihi 293 JUMLA 9 26 18 23 15 71 73 13

Repair Kit 2 2 2 3 2 1 2 5 1 pins

Hearing Aid 6 4 5 3 2 3 Cords 2& 3 pins 17 17 Kielelezo Na. 8 (each)

Speech Trainner 1 0 0 1 0 1 1 0

Receiver 2& 3 6 4 5 3 2 3 pins (each) 17 17

Body worn 6 4 5 3 2 3 hearing aid 17 17

Hearing Aid BTE 5 4 5 3 2 3 Model (set) 17 16 JUMLA 40 18 54 17 101 241 114

Pvc braillon 5 5 paper 15 20 65 30

Abacus 3 2 3 5 6 3 2

Braille paper 5 8 20 20 48 82 45

Braille Ma- 4 2 6 2 chines 13 28 12

Universal braille 8 4 5 kit 10 15 60 24

- - NI M HALI MASHAURI ARUSHA J ARUSHA V MERU LONGIDO KARATU ILALA M TEMEKE M KINONDO 1 2 3 4 5 6 7 8 S/N VIFAA MAALUM VYA KIELIMU NA VISAIDIZI VYA WASIOONA NA VYA NA VISAIDIZI VYA WASIOONA VIFAA MAALUM VYA KIELIMU VILIVYOSAMBAZWAZA MSINGI SHULE YA USIKIVU KWENYE WENYE BAKI NA SEKONDARI 294 JUMLA 9 22 48 10 45 27 17 18 10 51

Repair Kit 2 1 3 2 2 1 2 2 2 2 6 pins

Hearing Aid 5 2 2 6 3 4 2 Cords 2& 3 pins 11 11 11 (each)

Speech Trainner 1 1 0 0 0 1 0 0 0 1

Receiver 2& 3 5 2 2 6 4 4 2 pins (each) 11 11 11

Body worn 5 2 2 6 4 4 2 hearing aid 11 11 11

Hearing Aid BTE 5 2 2 6 4 4 2 Model (set) 11 10 11 JUMLA 10 10 15 11 11 183 384 164

Pvc braillon paper 60 80 30

Abacus 1 3 7 3 1 3 2 2

Braille paper 4 3 6 4 4 74 75 147

Braille Ma- 2 3 3 2 2 chines 20 55 20

Universal braille 3 3 3 3 3 kit 26 95 36 - - BONI M V HALI MASHAURI KIGAM UBUNGO MPWAWA DODOMA DODOMA KONDOA KONGWA BUKOMBE NYANG’HWALE CHATO GEITA M 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 S/N 295 JUMLA 5 19 23 70 22 14 13 28 18 19

Repair Kit 2 3 2 4 2 2 1 3 2 1 3 pins

Hearing Aid 4 5 5 3 3 6 4 1 4 Cords 2& 3 pins 12 (each)

Speech Trainner 0 1 2 0 0 0 1 0 0 0

Receiver 2& 3 4 5 5 3 3 6 4 1 4 pins (each) 18

Body worn 4 5 5 3 3 6 4 1 4 hearing aid 18

Hearing Aid BTE 4 5 5 3 3 6 4 1 4 Model (set) 16 JUMLA 11 49 71 15 27 38 23 155

Pvc braillon paper 25 20

Abacus 2 2 3 3 2 3 3 3

Braille paper 4 5 25 70 23 15 20 10

Braille Ma- 2 8 5 5 5 chines 10 25 10

Universal braille 3 3 4 5 5 kit 12 32 17 - - HALI MASHAURI GEITA V MBOGWE IRINGA V IRINGA M MUFINDI KILOLO KARAGWE BIHARA MULO KYERWA NGARA MULEBA BUKOBA V 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 S/N 296 JUMLA 5 48 11 16 10 19 10 10 25 32 27 25

Repair Kit 2 1 2 3 1 2 2 2 2 1 4 2 1 pins

Hearing Aid 2 3 1 2 4 2 2 6 7 6 6 Cords 2& 3 pins 12 (each)

Speech Trainner 1 1 1 0 0 1 0 0 1 0 1 1

Receiver 2& 3 2 3 1 2 4 2 2 6 7 6 6 pins (each) 12

Body worn 2 3 1 2 4 2 2 6 7 6 6 hearing aid 12

Hearing Aid BTE 2 3 1 2 4 2 2 5 7 6 5 Model (set) 10 JUMLA 20 49 48 43 18 40 194 157

Pvc braillon 0 5 paper 30 30 10 10 10

Abacus 5 3 3 3 3 3 2 3

Braille paper 8 8 72 70 20 20 20 15

Braille Ma- 5 6 5 5 3 7 chines 31 19

Universal braille 4 5 5 kit 56 35 10 10 10 - M M HALI MASHAURI BUKOBA MPIMBWE MPANDA NSIMBO KAKONKO KIGOMA KASULU KIGOMA V UVINZA KIBONDO SAME HAI MOSHI V 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 S/N 297 JUMLA 9 9 50 72 15 15 49 32 23 24 14

Repair Kit 2 3 3 2 2 2 1 1 4 3 3 1 pins

Hearing Aid 3 3 2 2 7 5 5 3 Cords 2& 3 pins 12 18 12 (each)

Speech Trainner 1 0 1 1 1 0 0 0 0 1 1

Receiver 2& 3 3 3 2 2 7 5 5 3 pins (each) 12 18 12

Body worn 3 3 2 2 7 5 5 3 hearing aid 12 18 12

Hearing Aid BTE 3 3 2 2 7 5 5 3 Model (set) 10 15 10

JUMLA 9 38 19 13 73 232 131

Pvc braillon 0 0 0 paper 20 20 10

Abacus 6 3 3 1 3 3 2

Braille paper 5 2 24 64 10 30 120

Braille Ma- 6 3 2 2 chines 32 16 12

Universal braille 5 5 3 3 kit 54 28 18 - HALI MASHAURI MOSHI M MWANGA KILWA LINDI V BABATI V KITETO MBULU BABATI M HANANG BUNDA V BUTIAMA SERENGETI BUNDA M RORYA 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 S/N 298 JUMLA 25 88 15 14 90 62 73

Repair Kit 2 4 2 1 6 3 4 pins 10

Hearing Aid 5 3 3 Cords 2& 3 pins 19 21 15 17 (each)

Speech Trainner 1 3 1 1 2 1 1

Receiver 2& 3 5 3 3 pins (each) 19 21 15 17

Body worn 5 3 3 hearing aid 19 21 15 17

Hearing Aid BTE 5 3 3 Model (set) 18 19 13 17

JUMLA 8 17 21 21 81 73 14 140 306

Pvc braillon 0 0 0 0 paper 15 45 10 10

Abacus 3 1 3 3 6 3 3 3 3

Braille paper 2 8 5 70 10 10 35 30 140

Braille Ma- 2 2 3 3 2 chines 20 42 15 14

Universal braille 3 4 5 5 4 kit 32 73 18 16 - - - M HALI MASHAURI MUSOMA J MBEYA KYELA RUNGWE MORO GORO M IFAKARA KILOSA MVOMERO MTWARA M MASASI NYAMAGA NA 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 S/N 299 JUMLA 14 45 25 31 28 16 95 13 13 10

Repair Kit 2 2 4 1 3 3 3 4 1 1 2 pins

Hearing Aid 3 6 7 6 3 3 3 2 Cords 2& 3 pins 10 23 (each)

Speech Trainner 0 1 0 0 1 1 1 0 0 0

Receiver 2& 3 3 6 7 6 3 3 3 2 pins (each) 10 23

Body worn 3 6 7 6 3 3 3 2 hearing aid 10 23

Hearing Aid BTE 3 6 7 6 3 3 3 2 Model (set) 10 21 JUMLA 35 58 31 17 87 40 31 141

Pvc braillon 5 5 5 paper 25 10 10 10

Abacus 3 3 3 3 3 3 3 3

Braille paper 6 50 10 15 10 40 15 10

Braille Ma- 4 7 5 3 4 5 chines 25 18

Universal braille 8 8 5 8 kit 38 23 16 13 - - - HALI MASHAURI KWIMBA ILEMELA MISUNGWI SENGERE MA MAGU UKEREWE LUDEWA WANG’IN GOMBE NJOMBE M KIBITI KISARAWE MAFIA 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 S/N 300 JUMLA 23 14 49 17 24 12 10 15 15 11

Repair Kit 2 2 2 4 5 2 3 2 2 3 2 pins

Hearing Aid 5 3 3 5 2 2 3 3 2 Cords 2& 3 pins 11 (each)

Speech Trainner 1 0 1 0 2 1 0 1 0 1

Receiver 2& 3 5 3 3 5 2 2 3 3 2 pins (each) 11

Body worn 5 3 3 5 2 2 3 3 2 hearing aid 11

Hearing Aid BTE 5 3 3 5 2 2 3 3 2 Model (set) 11 JUMLA 53 271 222

Pvc braillon 5 paper 50 40

Abacus 3 6 5 Braille paper 25 95 80

Braille Ma- chines 10 47 41 Universal braille kit 10 73 56 - - - - - HALI MASHAURI MKURAN GA BAGAM OYO CHALINZE NKASI SUM BAWANGA M MBINGA M NAMTUM BO TUNDURU SONGEA M KAHAMA 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 S/N 301 JUMLA 5 6 6 30 11 21 35 14 19 72 12

Repair Kit 2 5 2 1 4 2 5 1 3 2 5 1 pins

Hearing Aid 6 2 1 4 1 7 3 4 1 3 Cords 2& 3 pins 17 (each)

Speech Trainner 1 1 0 1 0 2 1 0 0 1 0

Receiver 2& 3 6 2 1 4 1 7 3 4 1 3 pins (each) 17

Body worn 6 2 1 4 1 7 3 4 1 3 hearing aid 17

Hearing Aid BTE 6 2 1 4 1 7 3 4 1 2 Model (set) 15

JUMLA 8 7 10 60 27 236 174 507

Pvc braillon 0 0 5 0 paper 45 10 30 55

Abacus 6 1 3 3 4 3 1 11

Braille paper 2 2 2 90 25 70 10 230

Braille Ma- 2 2 4 2 chines 42 10 25 73

Universal braille 3 3 5 2 53 12 45

kit 138 - - HALI MASHAURI SHINYAN GA M BARIADI BARIADI V BUSEGA ITILIMA SINGIDA M IRAMBA IKUNGI TUNDUMA MBOZI ILEJE TABORA M URAMBO 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 S/N 302 JUMLA 15 10 25 14 60

Repair Kit 2 2 2 4 1 2 pins

Hearing Aid 3 2 5 3 Cords 2& 3 pins 15 (each)

Speech Trainner 1 0 1 1 0

Receiver 2& 3 3 2 5 3 pins (each) 15

Body worn 3 2 5 3 hearing aid 15

Hearing Aid BTE 3 2 5 3 Model (set) 13 JUMLA 57 181 244 101

Pvc braillon 5 paper 25 40 20

Abacus 3 3 3 3 Braille paper 25 80 35 100

Braille Ma- 8 chines 23 40 18 Universal braille kit 16 30 81 25 - HALI MASHAURI SIKONGE HANDENI MUHEZA KOROGWE MKINGA LUSHOTO TANGA J 105 106 107 108 109 110 111 S/N CHANZO: WyEST 303 JUMLA 18 12 12 132 66 132 24 Kielelezo Na. 9 KAGERA KITUO: MGEZA MSETO 3 2 2 22 11 22 4 IRINGA KITUO: MTWIVILA 3 2 2 22 11 22 4 GEITA KITUO: MBUGANI 3 2 2 22 11 22 4 DODOMA KITUO: DODOA VIZIWI 3 2 2 22 11 22 4 DSM KITUO: MTONI M 3 2 2 22 11 22 4 1. UTAMBUZI WA KIWANGO CHA UFAHAMU ARUSHA KITUO: PATANDI 3 2 2 22 11 22 4 VIFAA Puzzles Small bells Toys Rattles Soap Manila Sheets Beads of different sizes S/N 1 2 3 4 5 6 7 VIVUNGE VYA UPIMAJI ILI KUBAINI MAHITAJI MAALUMU YA UJIFUNZAJI KWA WATOTO WANAO ANDIKISHWA SHULE 304 JUMLA 29 29 30 54 60 12 KAGERA 5 5 5 9 10 2 IRINGA 5 5 5 9 10 2 GEITA 4 4 5 9 10 2 DODOMA 5 5 5 9 10 2 DSM 5 5 5 9 10 2 ARUSHA 5 5 5 9 10 2 VIFAA E-test chart Mats Balls of different sizes Weighing Machine Picture wall chart Shirts and Blouse S/N 8 9 10 11 12 13 305 JUMLA 127 12 18 18 KAGERA 21 2 3 3 IRINGA 21 2 3 3 GEITA 21 2 3 3 DODOMA 21 2 3 3 DSM 21 2 3 3 ARUSHA 22 2 3 3 - - VIFAA Hard plastic block and shoe with laces and brushes Shoe laces and brshes 2. UTAMBUZI WA KIWANGO CHA USIKIVU Ad vanced Digital Speech audiom eter Otoscope S/N 14 15

306 JUMLA 18 18 18 18 6 6 55 KAGERA 3 3 3 3 1 1 9 IRINGA 3 3 3 3 1 1 9 GEITA 3 3 3 3 1 1 9 DODOMA 3 3 3 3 1 1 9 DSM 3 3 3 3 1 1 10 ARUSHA 3 3 3 3 1 1 9 - VIFAA Isolation Liquid Impres sion mass Dental plaster sound level meter Pumice Brush In the Ear Hearing Aid Repair Kit for 2pin S/N 307 JUMLA 18 6 18 18 18 12 KAGERA 3 1 3 3 3 2 IRINGA 3 1 3 3 3 2 GEITA 3 1 3 3 3 2 DODOMA 3 1 3 3 3 2 DSM 3 1 3 3 3 2 ARUSHA 3 1 3 3 3 2 - - - VIFAA Ear Light (Hand free) Ear mould Syring Tuning Fork 3. UTAM BUZI WA KIWAN GO CHA UONI Vision screen ing snelle chart Pin hole Mganifier S/N 308 JUMLA 12 18 10 JUMLA 18 28 28 - MARA KITUO. MWE SEGE 2 3 KAGERA 3 5 5 - - MAN YARA KITUO MAISA KA 2 3 2 IRINGA 3 4 4 - LINDI KITUO: NYAN GAO 2 3 2 - GEITA 3 4 4 - K’NJA RO KITUO: MWERE NI 2 3 2 DODOMA 3 5 5 - KIGOMA KITUO: KABAN GA 2 3 2 DSM 3 5 5 - - KATAVI KITU O:AZI MIO 2 3 2 ARUSHA 3 5 5 - - VIFAA Puzzles Small bells Toys VIFAA Train cases with ad justable glasses Prisms Tele scope S/N S/N 1 2 3 1. UTAMBUZI WA KIWANGO CHA UFAHAMU 309 JUMLA 132 66 132 24 26 26 30 54 60 MARA 22 11 22 4 4 4 5 9 10 - MAN YARA 22 11 22 4 5 5 5 9 10 LINDI 22 11 22 4 5 5 5 9 10 - K’NJA RO 22 11 22 4 4 4 5 9 10 KIGOMA 22 11 22 4 4 4 5 9 10 KATAVI 22 11 22 4 4 4 5 9 10 VIFAA Rattles zoap Manila Sheets Beads of different sizes E-test chart Mats Balls of different sizes Weighing Machine Picture wall chart S/N 4 5 6 7 8 9 10 11 12

310 JUMLA 12 132 12 12 12 MARA 2 22 2 2 2 - MAN YARA 2 22 2 2 2 LINDI 2 22 2 2 2 - K’NJA RO 2 22 2 2 2 KIGOMA 2 22 2 2 2 KATAVI 2 22 2 2 2 - - VIFAA Shirts and Blouse Hard plastic block and shoe with laces and brushes Ad vanced Digital Speech audiom eter Otoscope S/N 13 14 15 2. UTAMBUZI WA KIWANGO CHA USIKIVU 311 JUMLA 12 12 12 12 6 60 MARA 2 2 2 2 1 10 - MAN YARA 2 2 2 2 1 10 LINDI 2 2 2 2 1 10 - K’NJA RO 2 2 2 2 1 10 KIGOMA 2 2 2 2 1 1 10 KATAVI 2 2 2 2 1 1 10 - - VIFAA Isolation Liquid Impres sion mass Dental plaster sound level me ter Pumice Brush In the Ear Hearing Aid Repair Kit for 2pin S/N 312 JUMLA 12 6 12 12 12 12 MARA 2 1 2 2 2 2 - MAN YARA 2 1 2 2 2 2 LINDI 2 1 2 2 2 2 - K’NJA RO 2 1 2 2 2 2 KIGOMA 2 1 2 2 2 2 KATAVI 2 1 2 2 2 2 - - VIFAA Ear Light (Hand free) Ear mould Syring Tuning Fork Vision screen ing snelle chart Pin hole Mgani fier S/N 3. UTAMBUZI WA KIWANGO CHA UONI 313 - JUM LA 12 8 JUMLA 12 25 25 - PWANI KITUO: MLAN DIZI 2 MARA 2 4 4 - NJOMBE KITUO: NJOMBE VIZIWI 2 MAN YARA 2 4 4 - - MTWARA KITU O:MASA SI 2 2 LINDI 2 4 4 - - K’NJA RO 2 4 4 MWANZA KITUO BUGAN DO 2 2 - - MORO GORO KI TUO: K NDEGE 2 2 KIGOMA 2 5 5 1. UTAMBUZI WA KIWANGO CHA UFAHAMU KATAVI 2 4 4 MBEYA KITUO. MWENGE 2 2 - - scope VIFAA Puzzles PEA Small bells VIFAA Train cases with ad justable glasses Prisms Tele S/N S/N 1 2 314 - JUM LA 18 135 66 135 16 24 24 29 PWANI 3 22 11 22 4 4 5 NJOMBE 3 23 11 23 4 4 5 MTWARA 3 23 11 23 4 4 4 4 MWANZA 3 23 11 23 4 4 4 5 - MORO GORO 3 22 11 22 4 4 4 5 MBEYA 3 22 11 22 4 4 4 5 - - VIFAA Toys Rattles zoap Manila Sheets Beads of dif ferent sizes E-test chart Mats Balls of dif ferent sizes S/N 3 4 5 6 7 8 9 10 315 - JUM LA 54 54 12 132 12 PWANI 9 9 2 22 2 NJOMBE 9 9 2 22 2 MTWARA 9 9 2 22 2 MWANZA 9 9 2 22 2 - MORO GORO 9 9 2 22 2 MBEYA 9 9 2 22 2 - - - VIFAA Weigh ing Ma chine Picture wall chart Shirts and Blouse Hard plastic block a with SHOE laces and brush es S/N 11 12 13 14 15 316 - JUM LA 12 12 12 12 12 PWANI 2 2 2 2 2 NJOMBE 2 2 2 2 2 MTWARA 2 2 2 2 2 MWANZA 2 2 2 2 2 - MORO GORO 2 2 2 2 2 2. UTAMBUZI WA KIWANGO CHA USIKIVU MBEYA 2 2 2 2 2 - - - - - VIFAA Ad vanced Digital Speech audi ometer Oto scope Isola tion Liquid Impres sion mass Dental plaster S/N 317 - JUM LA 12 6 4 54 12 6 PWANI 2 1 9 2 1 NJOMBE 2 1 9 2 1 MTWARA 2 1 1 9 2 1 MWANZA 2 1 1 9 2 1 - MORO GORO 2 1 1 9 2 1 MBEYA 2 1 1 9 2 1 - VIFAA Sound level meter Pumice Brush In the Ear Hear ing Aid Repair Kit for 2pin Ear Light (Hand free) Ear mould Syring S/N 318 - JUM LA 12 12 12 12 12 30 PWANI 2 2 2 2 2 5 NJOMBE 2 2 2 2 2 5 MTWARA 2 2 2 2 2 5 MWANZA 2 2 2 2 2 5 - MORO GORO 2 2 2 2 2 5 3. UTAMBUZI WA KIWANGO CHA UONI MBEYA 2 2 2 2 2 5 - - - VIFAA Tuning Fork Vision screen ing snelle chart Pin hole Mgani fier Train cases with adjust able glasses Prisms S/N 319 - - JUM LA 30 JUM LA 12 8 12 132 66 132 24 - PWANI 5 SON GWE KITUO: VWAWA 22 11 22 4 - - NJOMBE 5 SHIN YANGA KITUO: BU HANGIJA 22 11 22 4 - - MTWARA 5 SINGI DA KITUO: TU MAINI 3 2 3 22 11 22 4 SIMIYU KITUO: 3 2 3 22 11 22 4 MWANZA 5 - - RUVU MA KITUO: LUILA 3 2 3 22 11 22 4 MORO GORO 5 - - RUKWA KITUO: MA LANGA LI 3 2 3 22 11 22 4 UTAMBUZI WA KIWANGO CHA UFAHAMU MBEYA 5 - VIFAA Tele scope VIFAA Puzzles Small bells Toys Rattles zoap Manila Sheets Beads of different sizes S/N S/N 1 2 3 4 5 6 7 320 - JUM LA 24 24 27 54 54 12 132 12 - SON GWE 4 4 4 9 9 2 22 2 - SHIN YANGA 4 4 4 9 9 2 22 2 - SINGI DA 4 4 4 9 9 2 22 2 SIMIYU 4 4 5 9 9 2 22 2 - RUVU MA 4 4 5 9 9 2 22 2 RUKWA 4 4 5 9 9 2 22 2 - VIFAA E-test chart Mats Balls of different sizes Weighing Machine Picture wall chart Shirts and Blouse Hard plas tic block SHOE laces and brushes S/N 8 9 10 11 12 13 14 15 321 - JUM LA 12 12 12 12 12 12 5 - SON GWE 2 2 2 2 2 2 - SHIN YANGA 2 2 2 2 2 2 1 - SINGI DA 2 2 2 2 2 2 1 SIMIYU 2 2 2 2 2 2 1 - RUVU MA 2 2 2 2 2 2 1 RUKWA 2 2 2 2 2 2 1 2. UTAMBUZI WA KIWANGO CHA USIKIVU - - VIFAA Advanced Digital Speech au diometer Otoscope Isolation Liquid Impression mass Dental plaster Sound lev el meter Pumice Brush S/N 322 - JUM LA 54 12 5 12 12 12 16 - SON GWE 9 2 2 2 2 3 - SHIN YANGA 9 2 1 2 2 2 3 - SINGI DA 9 2 1 2 2 2 3 SIMIYU 9 2 1 2 2 2 3 - RUVU MA 9 2 1 2 2 2 2 3. UTAMBUZI WA VIWANGO VYA UONI RUKWA 9 2 1 2 2 2 2 - VIFAA In the Ear Hearing Aid Repair Kit for 2pin Ear Light (Hand free) Ear mould Syring Tuning Fork Vision screen ing snelle chart Pin hole Mganifier S/N 323 - JUM LA 12 24 24 - SON GWE 2 4 4 - SHIN YANGA 2 4 4 - SINGI DA 2 4 4 SIMIYU 2 4 4 - RUVU MA 2 4 4 RUKWA 2 4 4 VIFAA Train cases with adjustable glasses Prisms Telescope S/N 324 1. UTAMBUZI WA KIWANGO CHA UFAHAMU S/N VIFAA TABORA TANGA JUMLA KITUO: KITUO: PON- TABORA GWE VIZIWI 1 Puzzles 2 2 4 2 Small bells 2 2 4 3 Toys 3 3 6 4 Rattles 22 22 44 5 zoap 12 22 34 6 Manila 22 22 44 Sheets 7 Beads of 4 4 8 different sizes 8 E-test 4 4 8 chart 9 Mats 4 4 8 10 Balls of 5 5 10 different sizes 11 Weighing 7 7 14 Machine 12 Picture 9 9 18 wall chart 13 Shirts and 2 2 4 Blouse 14 Hard plas- 22 22 44 tic block a

325 S/N VIFAA TABORA TANGA JUMLA Shoe with 2 2 4 laces and brushes 2. UTAMBUZI WA KIWANGO CHA USIKIVU 15 Advanced 2 2 4 Digital Speech audiome- ter Otoscope 3 3 6 Isolation 2 2 4 Liquid Impres- 2 2 4 sion mass Dental 2 2 4 plaster Sound 2 2 4 level me- ter Pumice Brush In the Ear 1 1 2 Hearing Aid Repair Kit 9 9 18 for 2pin Ear Light 2 2 4 (Hand free)

326 S/N VIFAA TABORA TANGA JUMLA Ear mould 25 25 50 Syring Tuning 2 2 4 Fork 3. UTAMBUZI WA KIWANGO CHA UONI Vision 2 2 4 screen- ing snelle chart Pin hole 2 2 4 Mganifier 3 3 6 Train 2 2 4 cases with adjustable glasses Prisms 4 4 8 Telescope 4 4 8 CHANZO: WyEST

327 - 264 252 232 240 240 212 192 184 184 164 JUMLA 60 54 52 56 64 50 40 36 36 30 Kielelezo 10 II 60 54 52 56 64 50 40 36 36 30 HISABATI I 36 36 32 32 28 28 28 28 28 26 II 36 36 32 32 28 28 28 28 28 26 IDADI YA VITABU KEMIA I 36 36 32 32 28 28 28 28 28 26 II 36 36 32 32 28 28 28 28 28 26 FIZIKIA I - - - HAL MASHAURI MPWAPWA MCHAM WINO KILOSA IRINGA M KOROGWE MOSHI M KISHAPU TABORA M SONGEA M SUMBAWAN GA MC - SHULE/ KITEN GO MPWAPWA MVUMI DC KILOSA SS LUGALO KOROGWE GIRLS MOSHI SS SS SHINYANGA TABORA GIRLS S. SONGEA BOYS S KANTALAMBA S S WASIOONA KIDATO CHA I NA II KATIKA SHULE ZA SEKONDARI 1 2 3 4 5 6 7 8 9 DA VYA MASOMO YA FIZIKIA, KEMIA NA HISABATI KWA WANAFUNZI 10 USAMBAZAJI WA VITABU VYA MAANDISHI YA NUKTA NUNDU KIA

328 164 164 164 156 136 152 148 156 156 132 132 116 140 30 30 30 30 20 20 18 18 18 18 18 18 18 30 30 30 30 20 20 18 18 18 18 18 18 18 26 26 26 24 24 28 28 30 30 24 24 20 26 IDADI YA VITABU 26 26 26 24 24 28 28 30 30 24 24 20 26 26 26 26 24 24 28 28 30 30 24 24 20 26 26 26 26 24 24 28 28 30 30 24 24 20 26 - - - HAL MASHAURI BAGAM OYO KYELWA BUKOBA KARAGWE MUHEZA TANGA J MASASI MASASI M MTWARA NYAMAGA NA KILOSA MSOMA M TABORA M - - SHULE/ KITEN GO LUGOBA SS MABILA S LUGAMBWA LUHINDA S MLINGANO SS TANGA UFUNDI DWIKA GIRLS S S CHIDYA MTWARA UFUNDI MKOLANI MGUGU MSOMA UFUN DI TABORA BOYS 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23

329 140 180 4400 18 18 800 18 18 800 26 36 700 IDADI YA VITABU 26 36 700 26 36 700 26 36 700 - HAL MASHAURI IRAMBA LONGIDO - SHULE/ KITEN GO TUMAINI SS LONGIDO SS JUMLA 24 25

330 JUMLA 265 28 52 685 412 1,129 82 Kielelezo 11A Males 111 3 44 524 291 722 69 Selected Applicants Females 154 25 8 161 121 407 13 Admission Capacity 972 20 66 2,200 2,000 1,240 60 Ownership Private Private Public Private Private Public Public Tanzania Commission for Universities Institution AbdulRahman Al- Sumit Memorial University Aga Khan University Algerian Scholarships Archbishop James University College Archbishop Mihayo University College of Tabora Ardhi University Arusha Technical College Undergraduate Admission Statistics for 2015/2016 Cycle Sn 1 2 3 4 5 6 7 331 505 191 2 184 93 807 294 106 1 135 51 464 Selected Applicants 211 85 1 49 42 343 Admission Capacity 410 160 100 160 180 1,550 Ownership Private Public Private Public Public Public Institution Catholic University of Health and Allied Sciences Center for Foreign Relations Dar es Salaam Centre for Development Cooperation (Arusha) College of African Wildlife Management Mweka College of Business Education Mwanza College of Business Education Dar es Salaam Sn 8 9 10 11 12 13 332 207 248 691 92 1,968 85 69 274 95 102 579 85 1,441 63 43 136 Selected Applicants 112 146 112 7 527 22 26 138 Admission Capacity 800 300 649 100 2,000 300 1,200 280 Ownership Public Public Public Public Public Public Private Private Institution College of Business Education Dodoma Community Development Training Institute Dar es Salaam Institute of Technology Dar Es Salaam Maritime Institute Dar es Salaam University College of Education Eastern Africa Statistical Training Centre Eckernforde Tanga University Hubert Kairuki Memorial University Sn 14 15 16 17 18 19 20 21 333 745 304 2,607 24 15 640 659 129 399 147 1,617 12 8 385 227 99 Selected Applicants 346 157 990 12 7 255 432 30 Admission Capacity 1,030 170 3,650 300 300 1,400 475 240 Ownership Public Public Public Public Private Public Public Public Institution Institute of Accountancy Arusha Institute of Adult Education Institute of Finance Management Institute of Finance Management Mwanza Institute of Procurement and supply Institute of Rural Development Planning Institute of Social Work Institute of Tax Administration Sn 22 23 24 25 26 27 28 29 334 321 15 724 347 1,165 223 7 431 286 783 Selected Applicants 98 8 293 61 382 Admission Capacity 280 150 1,470 965 6,840 Ownership Private Private Private Private Private Institution International Medical and Technological University Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology Jordan University College Josiah Kibira University College Kampala International University Dar es Salaam Conventional Sn 30 31 32 33 34 335 631 374 1,053 1,516 1,081 212 76 47 383 282 929 1,179 602 136 49 36 Selected Applicants 248 92 124 337 479 76 27 11 Admission Capacity 595 600 790 1,650 840 880 900 60 Ownership Private Private Public Public Public Private Private Public Institution Kilimanjaro Christian Medical College Marian University College Mbeya University of Science and Technology Mkwawa University College of Education Moshi Cooperative University Mount Meru University Mount Meru University(Mwanza Centre) Mozambique Scholarships Sn 35 36 37 38 39 40 41 42 336 605 954 1,163 2,274 936 1,984 634 897 418 681 848 1,188 480 1,529 441 656 Selected Applicants 187 273 315 1,086 456 455 193 241 Admission Capacity 635 1,700 2,270 1,910 1,260 4,441 17,400 1,700 Ownership Public Private Private Public Public Public Public Private Institution Muhimbili University of Health and Allied Sciences Muslim University of Morogoro Mwenge Catholic University Mzumbe University Mzumbe University – Mbeya University College National Institute of Transport Open University of Tanzania Ruaha Catholic University Sn 43 44 45 46 47 48 49 50

337 591 2,541 3 59 1,858 378 412 1,838 2 30 1,218 265 Selected Applicants 179 703 1 29 640 113 Admission Capacity 1,050 2,625 50 650 4,300 700 Ownership Private Public Private Private Private Private Institution Sebastian Kolowa Memorial University Sokoine University of Agriculture St Johns University of Tanzania (Msalato Centre) St Johns University of Tanzania (St. Mark’s Centre) St. Augustine Univeristy in Tanzania St. Augustine University in Tanzania Mbeya Center Sn 51 52 53 54 55 56 338 317 130 232 1,409 480 209 101 162 880 355 Selected Applicants 108 29 70 529 125 Admission Capacity 650 500 175 2,410 640 Ownership Private Private Private Private Private Institution St. Augustine University of Tanzania(Arusha Centre) St. Augustine University of Tanzania(Bukoba Centre) St. Francis University College of Health and Allied Sciences St. Johns University of Tanzania St. Joseph University College of Agricultural Sciences and Technology Sn 57 58 59 60 61 339 1,662 480 209 1 763 1,313 307 163 619 Selected Applicants 349 173 46 1 144 Admission Capacity 1,700 400 400 120 1,000 Ownership Private Private Private Private Private Institution St. Joseph University College of Engineering and Technology St. Joseph University College of Health and Allied Sciences St. Joseph University College of Information Technology St. Joseph University College of Management and Commerce St. Joseph University in Tanzania Arusha Campus Sn 62 63 64 65 66 340 817 201 264 771 1,909 641 114 348 116 140 425 962 451 46 Selected Applicants 469 85 124 346 947 190 68 Admission Capacity 871 3,100 1,800 1,201 2,000 3,850 800 Ownership Public Private Private Public Public Private Private Institution State University of Zanzibar Stefano Moshi Memorial University College Stella Maris Mtwara University College Tanzania Institute of Accountancy (TIA) Mbeya Tanzania Institute of Accountancy DSM Teofilo Kisanji University Teofilo Kisanji University Dar es Salaam College Sn 67 68 69 70 71 72 73 341 13 927 10 956 665 158 60 10 530 4 645 290 125 52 Selected Applicants 3 397 6 311 375 33 8 Admission Capacity 400 1,550 1,000 3,365 1,380 300 315 Ownership Private Public Public Private Private Private Private Institution Teofilo Kisanji University(Tabora Centre) The Mwalimu Nyerere Memorial Academy DSM The Mwalimu Nyerere Memorial Academy Zanzibar Tumaini University Makumira Tumaini University Dar es Salaam College Tumaini University Mbeya Center Unique Academy Dar es Salaam Sn 74 75 76 77 78 79 80 342 59 299 20 238 5,676 7,954 904 211 49 165 12 158 3,792 5,702 553 174 Selected Applicants 10 134 8 80 1,884 2,252 351 37 Admission Capacity 80 1,400 150 1,260 6,380 9,975 3,100 75 Ownership Private Private Private Private Public Public Private Public Institution United African University of Tanzania University of Arusha University of Arusha(Buhare Centre) University of Bagamoyo University of Dar es Salaam University of Dodoma University of Iringa Development Water Management Institute Sn 81 82 83 84 85 86 87 88 343 143 740 65,064 72 324 42,839 Selected Applicants 71 416 22,225 Admission Capacity 380 1,610 133,360 Ownership Public Private Institution Zanzibar Institute of Financial Administration Zanzibar University Sn 89 90 Total

344

Total 349 19 1108 1029 1285 150 247 Kielelezo 11B Males 126 8 760 686 769 125 173 - Selected Ap plicants Females 223 11 348 343 516 25 74 - - Admis sion Ca pacity 972 20 2020 2000 1280 145 500 Tanzania Commission for Universities Ownership Private Private Private Private Public Public Private Institution AbdulRahman Al- Sumait Memorial Univers. Aga Khan Univers. Archbishop James Univers. College Archbishop Mihayo Univers. College of Tabora Ardhi Univers. Arusha Technical College Cardinal Rugambwa Memorial Univers. College Undergraduate Admission Statistics for 2016/2017 Cycle Sn 1 2 3 4 5 6 7

345 462 171 177 107 659 266 318 278 86 131 62 414 125 155 - Selected Ap plicants 184 85 46 45 245 141 163 - - Admis sion Ca pacity 435 160 160 440 2150 1250 600 Ownership Private Public Public Public Public Public Public Institution Catholic Univers. of Health and Allied Sciences Center for Foreign Relations Dar es Salaam College of African Wildlife Management Mweka College of Business Education Mwanza College of Business Education Dar es Salaam College of Business Education Dodoma Community Development Training Institute Sn 8 9 10 11 12 13 14 346 699 68 1905 46 4 435 306 732 593 63 1223 32 2 272 184 408 - Selected Ap plicants 106 5 682 14 2 163 122 324 - - Admis sion Ca pacity 690 100 1900 300 200 900 280 1140 Ownership Public Public Public Public Public Private Private Public Institution Dar es Salaam Institute of Technology Dar Es Salaam Maritime Institute Dar es Salaam Univers. College of Education Eastern Africa Statistical Training Centre Eastern and South. African Mgt Instit Eckernforde Tanga Univers. Hubert Kairuki Memorial Univers. Institute of Accountancy Arusha Sn 15 16 17 18 19 20 21 22 347 209 2414 127 35 981 32 581 87 1339 56 14 553 21 207 - Selected Ap plicants 122 1075 71 21 428 11 374 - - Admis sion Ca pacity 350 4800 200 250 2400 200 575 Ownership Public Public Public Private Public Public Public Institution Institute of Adult Education Institute of Finance Management Institute of Finance Management Mwanza Institute of Procurement and supply Institute of Rural Development Planning Instit. of Rural Develop. Plan. Lake Zone Centre (MWZ) Institute of Social Work Sn 23 24 25 26 27 28 29 348 19 321 47 1052 249 1483 32 9 196 30 618 183 1009 30 - Selected Ap plicants 10 125 17 434 66 474 2 - - Admis sion Ca pacity 100 300 150 1440 765 4640 40 Ownership Public Public Private Private Private Private Public Institution Institute of Social Mwanza Work- Campus Institute of Tax Administration Jomo Kenyatta Univers. of Agriculture and Tech. Jordan Univers. College Josiah Kibira Univers. College Kampala Intern. Univers. Dsm Conventional Karume Institute of Science and Technology Sn 30 31 32 33 34 35 36 349 2 382 559 712 1554 674 364 288 0 238 355 602 1085 371 230 183 - Selected Ap plicants 2 144 204 110 469 303 134 105 - - Admis sion Ca pacity 200 375 740 745 1550 1000 1860 590 Ownership Public Private Private Public Public Public Private Private Institution Kenyatta Univers.- Arusha Centre Kilimanjaro Christian Medical College Marian Univers. College Mbeya Univers. of Science and Technology Mkwawa Univers. of Education College Moshi Cooperative Univers. Mount Meru Univers. Mount Meru Univers.(Mwanza Centre) Sn 37 38 39 40 41 42 43 44 350 12 409 786 1411 2679 869 2938 1208 1015 7 281 531 818 1316 441 2107 800 633 - Selected Ap plicants 5 128 255 593 1363 428 831 408 382 - - Admis sion Ca pacity 100 510 2000 2020 2790 1080 4540 34700 1540 Ownership Private Public Private Private Public Public Public Public Private Institution MS Training Centre for Development Cooperation Muhimbili Univers. of Health and Allied Sciences Muslim Univers. of Morogoro Mwenge Catholic Univers. Mzumbe Univers. Mzumbe Univers. - Mbeya Univers. College National Institute of Transport Open Univers. of Tanzania Ruaha Catholic Univers. Sn 45 46 47 48 49 50 51 52 53 351 591 2816 138 512 2585 486 1713 353 1914 67 317 1440 296 962 - Selected Ap plicants 238 902 71 195 1145 190 751 - - Admis sion Ca pacity 850 2920 780 750 4300 650 2415 Ownership Private Public Private Private Private Private Private Institution Sebastian Kolowa Memorial Univers. Sokoine Univers. of Agriculture St Johns Univers. of Tanzania (St. Mark’s Centre) St. Augustine Univers. in Tanzania Mbeya Center St. Augustine Univers. of Tanzania St. Augustine Univers. of Tanzania(Arusha Centre) St. Johns Univers. of Tanzania Sn 54 55 56 57 58 59 60 352 207 1 745 187 393 107 193 143 1 400 116 280 53 116 - Selected Ap plicants 64 0 345 71 113 54 77 - - Admis sion Ca pacity 200 160 1044 3150 2650 200 1850 Ownership Private Private Public Private Private Public Public Institution St. Joseph Univers. Col. of Health and Allied Sc. St. Joseph Univers. Col. of Mgt and Com. State Univers. of Zanzibar Stefano Moshi Memorial Univers. College Stella Maris Mtwara Univers. College Tanzania Institute of Accountancy - MWANZA Tanzania Institute of Accountancy - SINGIDA Sn 61 62 63 64 65 66 67 353 728 2520 928 194 55 1670 382 1195 592 112 36 917 - Selected Ap plicants 346 1325 336 82 19 753 - - Admis sion Ca pacity 1800 2200 4155 700 400 3375 Ownership Public Public Private Private Private Public Institution Tanzania Institute of Accountancy (TIA) Mbeya Tanzania Institute of Accountancy DSM Teofilo Kisanji Univers. Teofilo Kisanji Univers. Dar es Salaam College Teofilo Kisanji Univers.(Tabora Centre) The Mwalimu Nyerere Memorial Academy DSM Sn 68 69 70 71 72 73 354 274 1254 800 245 97 26 541 33 174 719 396 145 87 26 290 25 - Selected Ap plicants 100 535 404 100 10 0 251 8 - - Admis sion Ca pacity 1500 3065 1380 300 375 110 1400 150 Ownership Public Private Private Private Private Private Private Private Institution The Mwalimu Nyerere Memorial Academy Zanzibar Tumaini Univers. Makumira Tumaini Univers. Dar es Salaam College Tumaini Univers. Mbeya Center Unique Academy Dar es Salaam United African Univers. of Tanzania Univers. of Arusha Univers. of Arusha(Buhare Centre) Sn 74 75 76 77 78 79 80 81 355 5480 7499 896 271 114 1254 69,539 3424 4836 523 218 49 551 42,180 - Selected Ap plicants 2056 2663 373 53 65 703 27,359 - - Admis sion Ca pacity 6380 9650 4120 105 480 1771 155,527 Ownership Public Public Private Public Public Private Institution Univers. of Dar es Salaam Univers. of Dodoma Univers. of Iringa Develop. Mgt Water Instit. Zanzibar Institute of Financial Administration Zanzibar Univers. Sn 82 83 84 85 86 87 Total 356