NHIFISBN NO. 798-9987-9484 AFYA | | TOLEONJEMA MAALUM | JAN. 2019

NHIF yafungua milango kwa wananchi wote.

• Machinga na Bodaboda wajivunia kutambuliwa na NHIF. • Watu binafsi sasa kujiunga kwa urahisi.

www.nhif.or.tz | info@nhif. Jarida la YALIYOMO NHIF AFYA NJEMA Maoni ya Mhariri...... 3 Neno la Mkurugenzi Mkuu ...... 4

Wasemavyo Wadau ...... 5

NHIF Yafungua Milango kwa Wananchi Wote...... 6

Machinga Wajivunia Kutambuliwa na Nhif...... 8

JARIDA HILI HUTOLEWA Boda Boda Kujiunga na NHIF kwa Gharama Nafuu... 9 NA KUCHAPISHWA NA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA Kauli za Wakuu wa Mikoa...... 10 S.L.P 1437 DODOMA TANZANIA Matukio Mbalimbali Katika Picha...... 12

BODI YA UHARIRI Vifurushi Dodoma...... 14 Mwenyekiti Vifurushi Mbeya...... 16 Anjela Mziray Vifurushi Mtwara...... 18 WAJUMBE Celestin Muganga Vifurushi Lindi...... 20 David Sikaponda Vifurushi Kigoma...... 22 Victor Wanzagi Rose Temba Vifurushi Mwanza...... 24 Cosmas Mogasa Derick Ndyetabula Vifurushi Arusha...... 26

Vifurushi Kilimanjaro...... 28 MHARIRI WA HABARI Grace Michael Vifurushi Tanga...... 30

MSANIFU KURASA Charles Madangi

2 NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ Maoni ya Mhariri VIFURUSHI NI MKOMBOZI KWA WATANZANIA Kwa muda mrefu kundi kubwa la Watanzania lilikuwa nje ya Mfumo wa bima ya afya hali iliyoibua malalamiko mengi ndani ya jamii kutokana na ukweli kwamba gharama za matibabu ni kubwa kwa mwananchi ambaye hana bima ya afya.

Hali hiyo ilijenga dhana kwamba wanaostahili kuwa na bima ya afya ni watu wenye uwezo huku kundi lingine la Watanzania wakibaki kutamani kuwa nazo lakini wakajikuta wakikwama kwa kushindwa kutimiza vigezo au kumudu gharama zilizokuwepo.

Kutokana na mahitaji hayo na kilio hicho kusikika kwa mamlaka mbalimbali ikiwemo Mfuko wa Taifa wa Bima ya “ Mwishoni mwa mwezi Novemba Afya, ambao umepewa dhamana ya kuhakikisha unaweka tunategemea kuanza huduma za utaratibu rahisi kwa wananchi kujiunga na bima ya afya, bima ya afya zitakazomwezesha mpango kabambe wa vifurushi vya bima ya afya uliandaliwa. kila Mtanzania kujiunga na bima ili Mpango huo wenye vifurushi vya Najali Afya, Wekeza Afya Watanzania wote waweze kuhudumiwa na Timiza Afya uliozinduliwa mwishoni mwa mwaka jana mkoani Dar es Salaam, umetoa fursa kwa mwananchi yeyote kwa kutumia bima .” kuwa na uwezo wa kujiunga na bima ya afya kulingana na Mhe. (Mb) mahitaji yake. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kutokana na kuzinduliwa rasmi kwa mpango huo ni wazi 14 Novemba, 2019 kuwa milango sasa iko wazi kwa kila mwananchi kujiunga na akajihakikishia upatikanaji wa huduma za matibabu wakati wowote.

Pamoja na kuanzishwa kwa mpango huu unaolenga kuwakomboa wananchi na kuwaondolea adha ya kukosa matibabu kwa kushindwa kumudu gharama za matibabu, wapo baadhi ya wananchi ambao wanapotosha jamii wakieleza kwamba mpango huu ni wa gharama kubwa na uko kibiashara. Upotoshaji huu unalenga kuwaumiza zaidi wananchi na kuwachelewesha kufanya maamuzi ya msingi ya kujiunga na huduma za bima ya afya. Hakuna ubishi kuwa viwango vya michango vilivyowekwa kwa sasa ni nafuu kwa mwananchi ukilinganisha na gharama za matibabu kwa sasa.

Michango hiyo ambayo huanzia Sh. 192,000 kwa mtu “Sisi kama Wizara ya Afya, Maendeleo mmoja kwa mwaka ni sawa na takriban Sh. 500 tu kwa siku, ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kiwango ambacho kila mwananchi anaweza kujiwekea na tunaamini kuwa bima ya afya ndio hatimaye akawa ndani ya mfumo wa bima ya afya. Jambo la msingi ni kwa wananchi kuelimika na kuona umuhimu wa njia sahihi ya wananchi kupata suala hili kwa faida yao na taifa kwa ujumla. huduma za matibabu kiurahisi. Matibabu ni gharama na bima ya afya Hakuna mwananchi anayeweza kufanya shughuli zake ndio njia sahihi.” za kila siku bila kuwa na afya njema hivyo kupitia vifurushi hivi Mhe. Ummy Mwalimu ni vyema kila mmoja akatoa kipaumbele ili aweze kujizatiti Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, kwa kuwa na bima ya afya maana ugonjwa huja bila hodi. Jinsia, Wazee na Watoto NHIF tunasema TUMEKUSIKIA, JIPIMIE. 20 Januari, 2020 [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 3 Bw. Bernard Konga Mkurugenzi Mkuu NHIF

‘VIFURUSHI NI FURSA KWA KILA MTANZANIA KUWA NA BIMA YA AFYA’ Wasomaji wa Jarida letu Mwishoni mwaka jana, NHIF na uimarishaji wa mifumo yetu ya la NHIF AFYA NJEMA, nitumie tulizindua mpango wa vifurushi kuhuduma ikiwemo ya utambuzi wa fursa hii kumshukuru Mungu kwa vipya vya Bima ya Afya ambavyo wanachama, mifumo ya mawasiliano kutuwezesha kukutana tena katika vinajulikana kwa majina ya Najali na mifumo ya ulipaji madai. safu hii tukiwa na lengo moja tu la Afya, Wekeza Afya na Timiza Afya kuelimishana, kuhamasishana juu ya ambavyo mwananchi anajiunga kwa Kwa kuwa dhamira kubwa ya umuhimu wa kuwa na bima ya afya ili hiari kulingana na mahitaji yake. Mfuko ni kuhakikisha kila Mtanzania kujihakikishia upatikanaji wa huduma anakuwa ndani ya huduma za NHIF, za matibabu wakati wowote. Katika kuandaa vifurushi hivi niwahakikishie kuwa tutaendelea na mambo ya msingi yaliyozingatiwa uhamasishaji na kampeni mbalimbali Naamini kila mmoja wetu ni pamoja na ukubwa wa familia, za kuwafikia wananchi katika maeneo anaafiki kuwa suala la afya ni gharama za huduma lakini lengo yao ili kila mwananchi apate elimu ya suala nyeti na ambalo halitakiwi kubwa likiwa ni kumhakikishia bima ya afya na hatimaye achukue kuchanganywa na kitu chochote kwa mwananchi upatikanaji wa matibabu hatua za kujiunga. kuwa bila afya njema huwezi kushiriki wakati wowote. jambo lolote lile liwe na kijamii ama Mfuko unaendelea kuimarisha la kimaendeleo. Tangu kuzinduliwa kwa ofisi zake za mikoa ambazo zina lengo mpango huu, kumekuwa na mwitikio la kusogeza huduma kwa wananchi Kutokana na umuhimu huo, wa wananchi kujiunga hali inayotupa ili kuepukana na changamoto Chama Tawala cha Mapinduzi nguvu ya kuendelea kuhamasisha na za wanachama kukosa huduma kupitia Ilani yake ya mwaka 2015 kuwafikia wananchi katika maeneo wanapohitaji. ilielekeza kuwekwa utaratibu rahisi yao. utakaomuwezesha kila mwananchi Kutokana na haya yote, nitoe rai kujiunga na bima ya afya. Mbali na Pamoja na mafanikio haya kwa wananchi wote kutumia fursa hii agizo hilo, Rais wetu Dkt. John Pombe ambayo tunayaona kupitia mpango ya mpango wa vifurushi vya Bima ya Magufuli naye amekuwa mstari huu, kumekuwepo na upotoshaji Afya ili upate huduma za matibabu wa mbele kuhamasisha wananchi unaofanywa na baadhi ya watu kupitia utaratribu wa bima ya afya kuchukua hatua za kujiunga na bima wachache juu ya mpango huu, lakini ambao ndio utaratibu bora na nafuu. ya afya. nikiwa Mtendaji Mkuu wa Taasisi hii Aidha niwaombe sana watoa huduma niwahakikishie kuwa mpango wa kuhakikisha mnatoa huduma bora Mfuko wa Taifa wa Bima ya vifurushi umezingatia hali halisi ya kwa wanachama wetu, mnatoa Afya ambao tumepewa jukumu la mahitaji yaliyopo kwa sasa. ufafanuzi sahihi pale inapotokea kusimamia suala hii, tumetekeleza changamoto na kuzingatia maagizo hayo kwa kuyaweka kwa Mfuko pia umejipanga katika makubaliano baina yetu. vitendo ili kila mwananchi wa kada kuhakikisha huduma kwa wanachama yoyote awe na fursa ya kujiunga pale wake zinapatikana kiurahisi na kwa anapohitaji. ubora zaidi ambapo tumeendelea 4 NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ WASEMAVYO WANACHAMA WA VIFURUSHI VYA BIMA YA AFYA

“Mimi nimehamasika kujiunga na kifurushi hiki kwa sababu mchango kwa mwaka ni rahisi sana. Nimehamasika kwani nikiingia hospitalini bila bima ya afya nitatumia si chini ya laki mbili na bado huduma haijakamilika. Kwahiyo mimi nimehamasika kujiunga na kifurushi hiki.”

Muhamed Dauda Mwanza

“Kadi hii inamwezesha mwanamke yeyote kupata matibabu. Inakusaidia kupata matibabu kokote nchini wakati wowote maradhi yakikupata hata kama huna hela kwa ajili ya matibabu.” “Kwa miaka minne sijawahi kulazwa wala Tausi Kitumbo kuumwa lakini najihisi kuwa nina tatizo kama Kigoma sina Bima ya Afya.”

Yusuph Musa Tanga

“Ni bima ambayo nina hakika itanisadia nikiwa na pesa au sina pesa. Lakini pia ni bima itakayoniondolea hofu ya maisha “Kwetu sisi afya ni kila kitu maana binadamu kwa kipindi kirefu.” kama huna afya hakuna kitakacho endelea mbele. Afya ndo mwanzo wa maisha na ndio Aloyce Tibilaba maana mimi na familia yangu yote tumeona Mwananchi Kigoma tukate bima ya afya.”

Mwasa Jingi Lindi [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 5 NHIF YAFUNGUA MILANGO KWA WANANCHI WOTE

Matukio ya uzinduzi wa Vifurushi vya Bima ya Afya Mnazi Mmoja, Dar es salaam - Novemba 28, 2019

Katika jitihada za Mpango huu ulizinduliwa hatua iliyosababisha kundi kubwa kuhakikisha Watanzania wengi rasmi Novemba 28, mwaka jana la wananchi takribani asilimia 92 zaidi wanapata huduma za afya na Mwenyekiti wa Bodi ya NHIF, kuwa nje ya utaratibu wa Bima ya kupitia Mfuko wa Taifa wa Bima Mama ambaye Afya. ya Afya (NHIF), Mfuko umepokea aliutangazia umma kuwa, mpango maoni ya wananchi na wadau huo unampa fursa kila mwananchi “Kundi kubwa la wananchi mbalimbali, ikiwemo Kamati ya kuwa na fursa ya kujiunga na NHIF lilishindwa kujiunga na NHIF Kudumu ya Bunge ya Huduma tofauti na ilivyokuwa hapo awali. kutokana na mfumo uliokuwepo za Jamii ,pia maagizo mbalimbali lakini kuja kwa mpango huu, ya viongozi wa Serikali na Akielezea mpango huo, hakuna mwananchi hata mmoja maelekezo ya Ilani ya CCM, Mfuko Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, aliyeachwa nje ya Mfuko. umefanikiwa kuanzisha mpango Bwana Bernard Konga alisema Tumefungua milango kwa wa Vifurushi vya Bima ya Afya kwa kuwa mfumo uliokuwepo ulilenga wananchi wote.” alisema Bwana wananchi wote. watumishi wa Umma ambao Konga. hujiunga kwa mujibu wa Sheria 6 NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ Alisema kuwa uanzishwaji Anne Makinda alisema NHIF afya mpango ambao umeandaliwa wa vifurushi hivi vyenye majina imejielekeza katika kumhudumia kwa kuzingatia mahitaji halisi ya NAJALI AFYA, WEKEZA AFYA mtanzania wa kila aina na sio ya huduma za matibabu na kwa na TIMIZA AFYA na Kauli mbiu kufanya biashara kama ilivyoanza gharama nafuu. “Tumekusikia Jipimie”, ni suluhisho kupotoshwa na baadhi ya watu. la changamoto iliyokuwepo kwa Naye Mwenyekiti wa kuwa sasa mfumo utawezesha “NHIF imeanzisha vifurushi Kamati ya Kudumu ya Bunge watu kujiunga kulingana na hivi ili kujibu hitaji la wananchi ya Huduma za Maendeleo ya mahitaji yao. kuwezeshwa kuwa kwenye mfumo Jamii, Mhe. wa bima ya afya lakini kubwa aliupongeza Mfuko kwa Alisema mpango huu zaidi ni kuwahakikishia wananchi kutekeleza maagizo ya Bunge na utawezesha watu kuchangia kwa huduma za matibabu wakati Serikali ambayo yaliutaka Mfuko kuchagua vifurushi wanavyohitaji wowote hivyo sio kweli kwamba kuja na mfumo utakaowajumuisha kulingana na uhitaji wa huduma, vifurushi hivi vimeanzishwa kwa wananchi wote. umri na ukubwa wa familia. lengo la biashara,” alisisitiza Mathalani, mtu peke yake, Mama Makinda. “Ndugu zangu Watanzania wanandoa, mtu na mtoto mmoja nisiwafiche suala la afya ni suala hadi watoto wanne. Viwango Alisema kuwa NHIF ambalo halitakiwi kuchanganywa vya uchangiaji wa vifurushi hivi ilianzishwa na Serikali sio kwa na siasa ndani yake. Mafanikio huanzia Shilingi 192,000 kwa lengo la kufanya biashara bali huchangiwa na mwananchi kuweza mwaka, vimezingatia hali ya kuweka utaratibu mzuri na bora kujitibia wakati anapougua na wananchi lakini pia idadi na utakaowarahisishia wananchi ukiona kuna mwanasiasa analeta gharama za huduma muhimu za kupata huduma za matibabu siasa ndani ya jambo hili huyo ni afya na uhai na uendelevu wa wakati wowote kupitia mchango mwanasiasa uchwara achana naye Mfuko huu. wao waliochanga kabla ya kuugua. maana anakupotosha tu,” alisema Mhe. Serukamba. “Kupitia utaratibu huu, “Ukitaka kwenda hospitali mwanachama atapata huduma leo, kumuona daktari ni fedha Kutokana na hali hiyo, katika ngazi mbalimbali za vituo nyingi na hapo bado hujalipia aliwaomba wananchi kutumia vya kutolea huduma za afya hadi matibabu. Bima ya afya ni fursa hii ambayo imetolewa na ngazi ya Hospitali ya Taifa. Aidha, mchango unaochangia kabla ya NHIF kwa kufungua milango kwa utaratibu wa rufaa utatumika kuugua halafu ukiugua utatibiwa Watanzania wote bila kujali umri kwenda ngazi ya Hospitali ya tu hata kama gharma ni zaidi ya wake ama kada aliyopo. Rufaa ya Kanda na Hospitali ya mchango wako uliochanga kwa Mfuko kwa sasa Rufaa ya Taifa,” alisema Bw. Konga. mwaka mzima”-Alisema Mama unaendelea na uhamasishaji Makinda. katika mikoa mbalimbali kwa Akizundua mpango huo, lengo la kuwaelimisha wananchi Spika Mstaafu, Mwenyekiti wa Aliwataka Watanzania waweze kuona umuhimu na Bodi ya NHIF na Mgeni Rasmi kujiunga na Bima ya Afya kupitia hatimaye kujiunga na huduma za katika uzinduzi huo Mama mpango wa vifurushi vya bima ya bima ya afya. [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 7 Stephen Lusinde Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wamachinga Tanzania

MACHINGA WAJIVUNIA KUTAMBULIWA NA NHIF JUMUIYA ya Wamachinga wametuona na kututambua. Hatua ni ngumu sana kwani unakwenda nchini imejivunia kutambuliwa hii ni muhimu kwetu kwa kuwa ina hospitali ukiwa na hofu ya gharama na kujumuishwa katika utaratibu lengo la kutuhakikishia huduma za lakini kwa utaratibu huu ambao maalum utakaowezesha matibabu na kutuondoa kwenye wenzetu wa NHIF wameuweka, wanachama wake kujiunga na hofu ya kupoteza mitaji yetu wakati tunatembea kifua mbele, tutapata Mfuko na Taifa wa Bima ya Afya kwa tunapougua,” alisema Bwana tiba popote nchini kwa vifurushi gharama nafuu zaidi. Lusinde. hivi,” alisema Bw. Lusinde.

Akizungumza katika maeneo Alisema kuwa kundi la Alitumia fursa hiyo mbalimbali, Makamu Mwenyekiti Machinga ni kundi kubwa ambalo kuwahamasisha Wamachinga wote wa Jumuiya ya Wamachinga Taifa kazi zake zinahitaji wawe na afya nchini kuchangamkia mpango huo Bw. Stephen Lusinde amesema njema wakati wote kwa sababu ambao wanajiunga kwa mchango kuwa kundi hilo linajivunia hatua kazi zao zinawahitaji wawepo wa Shilingi 100,000 kwa mwaka na hiyo na kuipongeza Serikali kupitia barabarani wakati wote. Hivyo kwa kunufaika katika zaidi ya vituo 7,600 NHIF kwa kuweka utaratibu ambao kuwa ndani ya mfumo wana uhakika Tanzania Bara na Zanzibar. umetambua kundi hilo. wa matibabu wakati wowote bila kutumia mitaji yao kwenye Wakionesha furaha “Sisi wamachinga matibabu. yao, viongozi wa Jumuiya ya tunashukuru mno na tunajivunia Wamachinga walikabidhi vyeti vya kuona tumetambuliwa na “Nampongeza sana Mhe. shukrani kwa Mwenyekiti wa Bodi kuwekewa utaratibu wetu. Rais Joseph Pombe Magufuli na ya NHIF Mama Anne Makinda Mmachinga hapo awali alitengwa Serikali ya Awamu ya Tano kwa ambaye pia wamempa jina la Mama na alionekana hafai kutokana na ujumla kwa kuwa na maono ya Vifurushi pamoja na Mkurugenzi aina ya shughuli anazofanya lakini kuhakikisha Machinga tunakuwa na Mkuu wa NHIF Bw. Bernard Konga Serikali yetu inatujali na NHIF uhakika wa matibabu. Awali ilikuwa kwa hatua hiyo. 8 NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ Michael Haule Mwenyekiti wa Umoja wa Madereva Bodaboda na Bajaji Tanzania

BODABODA KUJIUNGA NA NHIF KWA GHARAMA NAFUU Katika kuhakikisha kila ya afya na wengi wamepoteza kundi linakuwa na utaratibu rafiki Akizungumza kwa maisha kutokana na kukosa wa kujiunga na Mfuko wa Taifa nyakati tofauti katika kampeni huduma bora za matibabu pindi wa Bima ya Afya (NHIF), kundi la ya uhamasishaji wa wananchi wanapopata ajali. Kwa sasa suala Bodaboda linajiunga na Mfuko na kujiunga na NHIF, Mwenyekiti wa hilo ni historia, sisi ni kama kunufaika na huduma zake kupitia Umoja wa Madereva Bodaboda wafalme tunajidai na kadi zetu, mpango maalum unaohusisha na Bajaji Taifa Bw. Michael Haule tunaipongeza NHIF kwa kutuweka umoja wao. anasema kuwa ujio wa mpango katika kundi maalum na kutupatia huu ni uthibitisho kwamba Serikali kifurushi chetu,” alisema Bw. Utaratibu wa kundi ya Awamu ya Tano ni ya kila mtu Haule. hili umezingatia hali halisi ya na watu wote ni sawa kutokana vipato na shughuli zao ambapo na kundi hilo kuwekewa utaratibu Alisema suala la suala la watachangia kiasi cha Shilingi rahisi wa kujiunga na bima ya afya vifurushi limekuja kuwa mkombozi 100,000/= tu kwa mwaka na kwa gharama nafuu kabisa. na kuokoa maisha ya madereva kuwawezesha kunufaika na bodaboda kwa kuwapa uhakika huduma za matibabu katika vituo “Zamani ilikuwa ni wa kuendelea na shughuli zao vya kutolea huduma zaidi ya 7600 ngumu sana kumkuta dereva wa kwani bila afya hakuna maendeleo nchini. bodaboda anamiliki kadi ya bima wanayoweza kuyafikia. [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 9 KAULI ZA WAKUU WA MIKOA....

“Afya haina siasa, ukitaka kuamini afya haina siasa nenda kalazwe pale hospitalini uone wanasiasa wangapi wanakuja kukuona. Wengine wanapenda kukutumia ukiwa mzima lakini ukiugua anasema huyu hanifai kabisa. Sasa chukua uamuzi leo kata kifurushi chako cha bima ya afya ili afya yako iwe kwenye mikono salama.”

Mhe. Albert Chalamila Mkuu wa Mkoa wa Mbeya

“Ni lazima Watanzania tubadilike, afya ndio kila kitu. Watanzania tumekuwa ni wachangiaji wakubwa kwenye mambo ya anasa na kusahau kuwa afya ndio msingi wa mambo hayo yote. NHIF wamepunguza mchango na sasa unachangia kuanzia 192,000/- tu kwa mwaka kwa mtu mmoja, sasa tujiunge tuwe na uhakika wa matibabu. ”

Mhe. Gelasius Byakanwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara

“Mpango wa Vifurushi vya Bima ya Afya una lengo la kujenga taifa lenye afya, lenye nia na uwezo wa kuzalisha mali. Mkoa wa Lindi tunalibeba kama ajenda yetu nami niko tayari kuwa balozi wa vifurushi hivi ndani na nje ya Lindi.”

Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Lindi

“Katika hili NHIF mmefanya jambo jema sana, mmekuwa wasikivu wa maoni ya watu ambao walitaka kuwe na fursa ya kila mmoja kujiunga na huduma za bima ya afya, maana kwa sasa gharama za matibabu ni kubwa na bila kuwa na bima ya afya, wananchi wanajikuta wanaingia kwenye umasikini.”

Mhe. Simon Odonga Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mkuu wa Wilaya ya Chemba 10 NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ “Mpango wa Vifurushi vya Bima ya Afya ni mfumo bora ambao umejaribiwa duniani, tujiunge na mpango huu utakaosaidia kuokoa maisha pale tunapopata magonjwa. Mpango huu utakupa uhakika wa matibabu muda wowote”

Brigedia Jenerali (Mstaafu) Emmanuel Maganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma

“Mpango huu ni mpango madhubuti sana kwa afya za watanzania, huduma za matibabu kwa sasa ni gharama sana hivyo kwa mchango wa fedha kidogo tu ambazo zinanzia 192,000 kwa mwaka unajihakikishia matibabu wakati wote na mahali popote pale unapokuwa nchini.”

Dkt. Philis Nyimbi Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mkuu wa Wilaya ya Ilemela

“Mimi ni balozi mkubwa sana wa mpango huu wa bima ya afya kwa sababu mimi na familia yangu ni wanufaika na najua umuhimu wake hasa wakati mtu anapopatwa na maradhi. Unapokuwa na kadi unakuwa na amani ndani ya familia yako wakati wote”

Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Arusha

“Wakati wa amani ukiwa huna maradhi unatakiwa uwekeze na NHIF kwa kukata kadi ya Bima ya Afya na wakati wa vita ambao ni wa maradhi, NHIF ni ya uokoaji kwa kujitibia, jiunge na NHIF ili uwe na uhakika wa matibabu wakati wowote.”

Mhe. Anna Mghwira Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro

“Suala la bima ya afya sio la kubishana bali kutekeleza. Kumekuwa na mazoea fulani au utaratibu wa Watanzania wengi kuona afya ni suala la mchezo, hatupendi kuchukua tahadhari juu ya afya zetu. Umefika wakati wa kila mtanzania kuona afya ni nyenzo kubwa katika kujiletea maendeleo maana bila ya afya njema huwezi kufanya jambo lolote la kijamii ama la kimaendeleo,” Mhe. Martin Shigella Mkuu wa Mkoa wa Tanga [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 11 MATUKIO MBALIMBALI KATIKA PICHA

Wananchi wa mkoa wa Dar es salaam wakipata elimu na kujisajili na Vifurushi vya Bima ya Afya katika viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es salaam.

Wamachinga wa Kariakoo Jijini Dar es salaam wakipata elimu ya bima ya afya kwenye mchakato wa kuwasajili kwenye mfumo huo.

Maofisa wa NHIF Arusha wakiwaelimisha na kuwasajili wananchi wa Arusha mtaa kwa mtaa kwenye mpango wa Vifurushi vya Bima ya Afya.

Watumishi wa NHIF Mtwara wakiwaelimisha wananchi na wafanya biashara kuhusu Vifurushi vya Bima ya Afya katika maeneo yao. 12 NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ Wananchi wa mkoa wa Dar es salaam wakipata elimu ya bima ya afya na kujisajili katika maeneo mbalimbali.

Wakazi wa Kilimanjaro wakipata elimu kuhusu Vifurushi vya Bima ya Afya na kujiunga.

Wananchi wakipata elimu ya bima ya afya kwenye Mnada wa Mwembetogwa mkoani Iringa.

Wakazi wa Tanga wakipata elimu kuhusu vifurushi vya bima ya afya na kujiunga. [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 13 VIFURUSHI DODOMA NHIF KUWAJUMUISHA WANANCHI WOTE - ODUNGA Mkuu wa Wilaya ya Desemba 13, mwaka jana mmekuwa wasikivu wa maoni Chemba Bw. Simon Odunga wakati wa uzinduzi wa kampeni ya watu ambayo walitaka kuwe ameupongeza Mfuko wa ya uhamasishaji wananchi na fursa ya kila mmoja kujiunga Taifa wa Bima ya Afya kwa kujiunga na huduma za NHIF na huduma za bima ya afya. kuja na mpango wa vifurushi kupitia mpango wa vifurushi Kwa sasa gharama za matibabu unaojumuisha makundi vya Najali Afya, Wekeza Afya ni kubwa na bila kuwa na bima tofauti tofauti ndani ya jamii na Timiza Afya ambavyo ya afya wananchi wanajikuta na kuwawezesha kila mmoja vimewalenga wananchi wote wanaingia kwenye umasikini kujipimia kwa uwezo wake hususan walioko katika sekta kwa kuuza mali zao lakini kupitia na hivyo kuwa na uhakika wa isiyo rasmi. mpango huu kila mwananchi huduma za afya. atajipimia kulingana na mahitaji “Katika hili NHIF yake,” alisema Bw. Odunga. Pongezi hizi alizitoa mmefanya jambo jema sana, 14 NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ Mkurugenzi Mkuu njema na thabiti ya Rais wetu kuhakikisha inaendelea na wa Mfuko wa Taifa ya Bima ambaye anataka huduma uhamasishaji na utoaji wa ya Afya Bw. Bernard Konga za bima ya afya ziwe kwa elimu katika maeneo yote. alihamasisha wananchi kila mtanzania. Kuanza kwa kutumia fursa hiyo ambayo mpango huu kwetu ni faraja Kwa upande wa Wizara tayari imeanzishwa ili waweze kubwa na tuna imani wananchi ya Afya, Maendeleo ya Jamii, kupata huduma za matibabu mtatumia fursa hii kujiunga na Jinsia Wazee na Watoto kwa utaratibu rafiki wa bima ya kuwa na uhakika wa kupata iliyowakilishwa na Bw. Edward afya. matibabu,” alisema Bw. Konga. Mbanga aliwataka watumishi wa NHIF kuendelea kutoa “Jambo hili tulianza Alisema kuwa tangu elimu kwa wananchi kujiunga kulifanyia kazi muda mrefu kwa kuzinduliwa kwa mpango huu na vifurushi hivyo na kupuuza kuzingatia maoni ya wananchi, kuna mwamko mkubwa wa kelele za baadhi ya watu maagizo ya Viongozi serikalini wananchi kujiunga na huduma wanaobeza mpango huo. ikiwemo Bunge, Wizara na nia hizi hatua inayopelekea Mfuko

Matukio mbalimbali ya uzinduzi wa kampeni za uhamasishaji wa wananchi kujiunga na Vifurushi vya Bima ya Afya katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma tarehe Disemba 13, 2019 ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Mhe. Anne Makinda Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Tanzania na Mwenyekiti wa Bodi ya NHIF

[email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 15 VIFURUSHI MBEYA WAPUUZENI WANASIASA WANAOPOTOSHA JUU YA VIFURUSHI – CHALAMILA

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya vya Bima ya Afya katika uwanja “Ndugu zangu, Afya haina Mhe. Albert Chalamila amewataka wa stendi ya Kabwe, Jijini Mbeya siasa, Afya ni uhai tusidanganywe, watanzania kujikatia Bima ya Afya Desemba 16, mwaka jana. tujitenge na siasa za kupotosha kupitia mpango wa vifurushi na juu ya mfumo huu wa bima. Awali, kuwapuuza baadhi ya wanasiasa Alisema kuwa ili nchi kwa mtu mmoja ilikuwa ni lazima wanaopotosha mpango huu yoyote iweze kujipatia maendeleo uwe na zaidi ya milioni moja wenye lengo la kuwahakikishia katika sekta zote ni muhimu kwa ili kuwa na bima ya afya, lakini wananchi upatikanaji wa huduma wananchi kuwa na afya bora na kwa utaratibu huu wa vifurushi za afya wakati wote. ndio maana Serikali imeendelea sasa unapata kadi ya bima ya kuwekeza katika sekta hii ikiwemo afya kuanzia shilingi laki moja na Mhe. Chalamila aliyasema kuja na Vifurushi vya Bima ya Afya tisini na mbili tu”- Alisema Mhe. hayo wakati wa uzinduzi wa ili kuwafikia watanzania wengi Chalamila. kampeni za kuhamasisha zaidi. wananchi kujiunga na Vifurushi 16 NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ Matukio mbalimbali ya uzinduzi wa kampeni za uhamasishaji wa wananchi kujiunga na Vifurushi vya Bima ya Afya katika viwanja vya Stendi ya Kabwe jijini Mbeya tarehe Disemba 16, 2019 ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Mhe. Albert Chalamila Mkuu wa Mkoa wa Mbeya.

Aidha Mhe. Chalamila DUNDULIZA ambao utamwezesha huduma za matibabu kwani Mfuko aliongeza kuwa ugonjwa haupigi mwananchi kujiwekea fedha hautatoa kibali kwa hospitali hodi hivyo ni vizuri kila mtanzania kidogo kidogo hadi akamilishe yoyote ambayo itanyanyasa kufanya maamuzi ya kujikatia kulipia bima yake. wanufaika wake. bima kwani wapo watu wengi wamekuwa wakipoteza maisha “Tunamalizia mazungumzo Naye Mkurugenzi kutokana na gharama kubwa za na mabenki mbalimbali ili tuweke wa Huduma za Wanachama, matibabu. Mfumo huu wa vifurushi utaratibu mzuri utakaowawezesha Bw. Christopher Mapunda ni suluhisho kwa changamoto wananchi kujiwekea fedha kidogo aliyemuwakilisha Mkurugenzi hiyo. kidogo na mwisho wake wajipatie Mkuu alisema kuwa uanzishwaji bima ya afya na tunaamini mpango wa Vifurushi ni fursa kwa wananchi Awali akizungumza katika huu utakuwa mkombozi kwa kujiunga na bima ya afya kuanzia uzinduzi huo, Mwenyekiti wa wengi,” alisema Mama Makinda. kiwango cha 192,000/= na Bodi ya Wakurugenzi wa Mfuko kuwawezesha kupata huduma wa Taifa wa Bima ya Afya Mhe. Mama Makinda pia ya uhakika ya matibabu hasa Anne Makinda alisema kuwa ili aliwataka baadhi ya watoa kutokana na kuongezeka kwa kurahisisha utaratibu wa kujiunga, huduma kubadilika kwa gharama za matibabu siku hadi Mfuko upo katika utaratibu kuwahudumia vizuri wanachama siku. wa kuanzisha mpango wa wa NHIF wanapokwenda kupata [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 17 VIFURUSHI MTWARA ACHENI ANASA KATENI BIMA YA AFYA- MHE. BYAKANWA Mkuu wa Mkoa wa na Vifurushi vya Bima ya Afya kitu. Watanzania tumekuwa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa mkoani Mtwara. wachangiaji wakubwa kwenye amewataka wananchi kujiwekea mambo ya anasa na kusahau utaratibu wa kujikatia bima ya Mhe. Byakanwa alisema kuwa afya ndio msingi wa mambo afya na kuacha kutumia pesa kuwa umekuwa ni utaratibu kwa hayo yote. NHIF wamepunguza nyingi katika mambo ya anasa na watanzania wengi kupeleka fedha gharama kutoka Milioni Moja na kusahau kuhusu afya zao. nyingi katika vyama vya kufa na laki tano za hapo awali na sasa kuzikana badala ya kuwekeza unalipa kuanzia laki moja na tisini Mhe. Byakanwa amesema fedha hizo katika afya zao. na mbili tu kwa mwaka mzima hayo Desemba 19, mwaka jana kwa mtu mmoja. Tujiunge ili tuwe wakati wa uzinduzi wa kampeni ya “Ni lazima watanzania na uhakika wa matibabu,” alisema kuhamasisha wananchi kujiunga tubadilike. Afya ndio kila Mhe. Byakanwa. 18 NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ Aidha, Mhe. Byakanwa idadi kubwa ya watanzania kuwa za kugharamikia matibabu kwa alisema kuwa Mpango huu wa na Bima ya Afya. watu wasiojiweza ikiwemo wazee Vifurushi vya Bima ya Afya ni wasiojiweza. msingi wa kujenga taifa lenye Mbunge wa Jimbo la uwezo wa kuzalisha mali, taifa Nanyamba, Mhe. Abdallah “Utaratibu unasema hivyo, lililo tayari kwenda katika uchumi Chikota, aliishukuru NHIF kuja hata Sera ya Afya ya Mwaka wa kati, taifa lililo tayari kujenga na mpango huu kwani Bunge 2007 ukurasa wa 29 inasema uchumi wa viwanda na taifa lenye limekuwa likiibana Serikali kwa Serikali inatambua uwepo wa watu wenye afya njema. muda mrefu kuhakikisha wanakuja watu wasio na uwezo kutoka na mpango ambao utawajumuisha makundi ya watoto, wazee na kina Pia akizungumza wakati watanzania wengi zaidi. mama wajawazito. Utaratibu huu wa uzinduzi huo Mwenyekiti wa unalenga wazee wenye uwezo na Bodi ya Wakurugenzi wa Mfuko Mfuko wa Taifa wa Bima hauondoi taratibu za serikali za wa Taifa wa Bima ya Afya Mhe. ya Afya umezindua vifurushi vipya kugharamia makundi hayo. Ndio Anne Makinda alisema kuwa taifa vya Bima ya Afya vilivyopewa maana utaratibu wa msamaha lolote lenye kuhitaji maendeleo majina ya NAJALI AFYA, TIMIZA kwa makundi hayo bado upo na lazima liwe na wananchi wenye AFYA na WEKEZA AFYA vyenye unaendelea kama kawaida hivyo afya hivyo watanzania hawana lengo la kujumuisha watanzania mpango wa vifurushi ni wa hiari budi kuweka utaratibu wa kukata wengi zaidi hasa walio katika ajira kwa kila mwananchi anayeona bima ya afya ili kuwa na uhakika zisizo rasmi. anahitaji na atajipimia kulingana wa matibabu. na mahitaji yake.” alisema Bw. Naye Mkurugenzi Mkuu Konga. Naye Mkuu wa Wilaya wa Mfuko wa Taifa ya Bima ya ya Mtwara, Mhe. Evod Mmanda, Afya, Bw. Bernard Konga, alisema aliwapongeza NHIF kwa kuja na kuwa utaratibu wa vifurushi vya mpango huu wa Vifurushi vya bima ya afya hauondoi taratibu Bima ya Afya vitakavyowezesha mbalimbali zilizowekwa na Serikali

Matukio mbalimbali ya uzinduzi wa kampeni za uhamasishaji wa wananchi kujiunga na Vifurushi vya Bima ya Afya mkoani Mtwara tarehe Disemba 18, 2019 ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Mhe. Gelasius Byakanwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara.

[email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 19 VIFURUSHI LINDI VIFURUSHI VITATUWEZESHA KUWA NA AFYA NJEMA- MHE. ZAMBI

Mpango wa vifurushi na afya njema na wenye uwezo vifurushi mkoani Lindi, Mkuu vya Bima ya Afya una lengo la wa kufanya kazi. wa Mkoa wa Lindi Mhe. Godfrey kuhakikisha nchi ya Tanzania Zambi alisema huu ni wakati inakuwa ni Taifa lenye afya Akizungumza wakati kwa watanzania kuchangamkia na lenye nia ya kuzalisha mali wa uzinduzi wa mpango wa fursa hiyo ili kuwa na uhakika kuelekea uchumi wa kati kwa uhamasishaji wa Wananchi wa matibabu. kuwa wananchi wake watakuwa kujiunga na mpango wa 20 NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ Matukio mbalimbali ya uzinduzi wa kampeni za uhamasishaji wa wananchi kujiunga na Vifurushi vya Bima ya Afya mkoani Lindi Disemba 20, 2019 ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Mhe. Godfrey Zambi Mkuu wa Mkoa wa Lindi.

“Niwapongeze sana huu kwa uhakika wa huduma za Mkurugenzi Mkuu wa NHIF kwa kuja na mpango huu, matibabu. Mfuko Bw. Bernard Konga alisema mpango huu ni suluhisho kwa kuwa hatua hii ya uzinduzi wa watanzania wengi ambao awali Naye Mwenyekiti wa Bodi vifurushi ni sehemu ya utekelezaji hawakuwa na uwezo wa kujiunga ya Wakurugenzi ya NHIF, Mama wa dhamira ya kuhakikisha na bima ya afya, leo hii kwa Shs Anne Makinda alisema kuwa Bima watanzania wanakuwa na uhakika 192,000 tu unakuwa na uhakika ya Afya ndio ufunguo wa afya ya wa huduma za matibabu kuanzia wa matibabu kwa mwaka mzima, kila mwananchi na pia ni uhai. ngazi ya zahanati hadi hospitali ya sasa tunakwenda kutengeneza Taifa ambapo huduma kwa ngazi taifa lenye watu wenye afya kwa Mama Makinda aliongeza ya hospitali za Kanda na Taifa ajili ya uzalishaji”-Mhe. Zambi. kuwa mwananchi akiwa na kadi zitapatikana kwa utaratibu wa ya Bima ya Afya ni sawa na kuwa rufaa. Aidha, Mhe. Zambi alisema na fedha, dawa na daktari wakati kuwa mpango wa vifurushi hivi ni wowote hivyo akawaomba mzuri kwa kuwa umezingatia idadi wananchi kuchukua hatua za ya huduma muhimu za afya na kujiunga haraka na kuwa na kinga uhai wa Mfuko hivyo watanzania hiyo. hawana budi kujiunga na mpango [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 21 VIFURUSHI KIGOMA TUSIFANYE SIASA NA AFYA ZA WANANCHI - MHE. SERUKAMBA Mwenyekiti wa na mpango wa vifurushi Kamati ya Kudumu ya vipya vya Mfuko wa Taifa Bunge ya Maendeleo wa Bima ya Afya mnamo ya Jamii, Mhe. Peter Januari 7, mwaka huu, Mhe. Serukamba amesema suala Serukamba alisema kuwa la Afya za Watanzania sio mafanikio ya mwananchi suala la kufanyia siasa. ni kuwa na uhakika wa kupata matibabu kupitia Akizungumza bima ya Afya. kwenye uzinduzi wa kampeni ya uhamasishaji wa wananchi kujiunga 22 NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ Matukio mbalimbali ya uzinduzi wa kampeni za uhamasishaji wa wananchi kujiunga na Vifurushi vya Bima ya Afya mkoani Kigoma Januari 7, 2020 ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Brigedia Jenerali (Mstaafu) Emmanuel Maganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma.

Kutokana na hilo “Mhe. Rais halali na ndio nyumba kwa nyumba ili kuhimiza amewaomba wananchi mkoani maana amefanikiwa kufanya wananchi kujiunga na vifurushi Kigoma kutosikiliza upotoshaji mambo makubwa hivyo na sisi vipya. na badala yake wachangamkie wananchi tujitume na kutimiza mpango huu ambao umelenga wajibu wetu hasa wa kuhakikisha Naye Mwenyekiti wa CCM kumkomboa mwananchi. tunakuwa na uhakika wa huduma mkoa wa Kigoma, Bw. Amandus za matibabu” alisema Mama Nzamba alisema kuwa kitendo “Mhe. Rais ametupunguzia Makinda. cha mwananchi kujiunga na sana mzigo, sasa watoto wanasoma vifurushi ni kuishi kwa mpango na bure hivyo kwa suala hili la afya Akizindua mpango huo, malengo yanayomfikisha kwenye tuhakikishe na sisi tunajiunga na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, maendeleo. Bima ya Afya,” alisema. Brigedia Jenerali Mstaafu Emmanuel Maganga aliweka “Tunaweza kabisa kujiunga Mwenyekiti wa Bodi ya wazo kuwa ili mtu awe na uhakika endapo tutakuwa na malengo na NHIF, Mama Anne Makinda na maisha yake ni lazima awe na katika hili tuwe kama watalii ambao amesema kuwa katika kipindi hiki uhakika wa matibabu. huwekeza fedha na kuzitumia kwa watumishi wa Mfuko wataanza kipindi fulani kutimiza lengo lao. kupita majumbani na maofisini kwa Alisema kuwa kutokana Hivyo tuchangamkie sana mpango lengo la kutoa elimu ya masuala na umuhimu wa mpango huo, wa vifurushi,” alisema Bw. Nzamba. ya Bima ya Afya ili wananchi anaagiza viongozi wa mkoa wa wachukue maamuzi ya kujiunga. Kigoma kuhakikisha wanalibeba suala la vifurushi vipya kwa kwenda [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 23 VIFURUSHI MWANZA TUMEKUSUDIA KUHUDUMIA WATANZANIA WENGI ZAIDI - BW. KONGA

Mkurugenzi Mkuu wa Aliyasema hayo katika “Tumeleta mfumo Mfuko wa Taifa wa Bima ya viwanja vya Furahisha jijini Mwanza wa vifurushi ili kumwezesha Afya (NHIF) Bw. Bernard Konga wakati wa uzinduzi wa kampeni mtanzania mmoja mmoja amesema kuwa, ifikapo mwaka ya uhamasishaji wa wananchi kujiunga na Bima ya Afya ili kuwa 2025 inakusudiwa asilimia 75 ya kujiunga na NHIF kupitia vifurushi na uhakika wa matibabu wakati watanzania wawe wamejumuishwa vipya. wowote, “ alisema Bw. Konga. katika mfumo wa bima ya afya.

24 NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ Matukio mbalimbali ya uzinduzi wa kampeni za uhamasishaji wa wananchi kujiunga na Vifurushi vya Bima ya Afya katika viwanja vya Furahisha jijini Mwanza Januari 11, 2020 ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Mhe. Anne Makinda Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Bodi ya NHIF.

Alisema kuwa Mfuko kuwa kwa nyakati hizi ambazo Naye Dkt. Philis Nyimbi umejipanga kuhakikisha unatoa Tanzania inaingia katika makundi ambaye alimuwakilisha Mkuu wa huduma bora za matibabu kwa ya nchi za uchumi wa kati ni lazima Mkoa wa Mwanza alisema kuwa wanachama wake kwa kuboresha wananchi wake wawe na utaratibu mpango wa vifurushi ni mzuri kitita cha mafao na kuwa na maalum wa kupata huduma za kwani utawezesha kundi kubwa mtandao mpana wa vituo vya matibabu ambao unawawezesha la watazania kujiunga na mpango kutolea huduma. kupata huduma wakati wowote ili wa bima ya afya. wawe na afya njema na hatimaye “Tunaamini mpaka waweze kuzalisha zaidi. “Mpango huu ni mpango kufika mwaka 2025 tutakuwa madhubuti sana kwa afya za tunahudumia idadi kubwa ya “Ufike wakati sasa suala watanzania, huduma za matibabu wananchi kutokana na kuweka la bima ya afya liwe moja ya kwa sasa ni gharama sana hivyo utaratibu rafiki wa kila Mtanzania vipaumbele katika maisha yako. kwa mchango wa fedha kidogo tu kuwa na fursa ya kujiunga na Utaratibu huu umebuniwa ambazo zinaanzia 192,000/- kwa huduma za bima ya Afya, “ alisema mahsusi kumwezesha mtanzania mwaka unajihakikishia matibabu Bw. Konga. yeyote kunufaika na bima ya afya. wakati wote na mahali popote Bila ya kuwa na bima ya afya hauna pale unapokuwa nchini,” alisema Akizindua mpango wa maisha ya uhakika, gharama za Dkt. Philis Nyimbi. uhamasishaji wa wananchi matibabu kwa sasa ni kubwa sana kujiunga na Mfuko kupitia vifurushi lakini bima inakufanya uwe salama vipya, Mwenyekiti wa Bodi ya NHIF, zaidi,” alisema Mama Makinda. Mama Anne Makinda alisema [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 25 VIFURUSHI ARUSHA

WANAOPINGA VIFURUSHI HAWAWATAKII MEMA WANANCHI - RC GAMBO Mkuu wa Mkoa wa Arusha wananchi kujiunga na NHIF matatizo hatakuja kukusaidia Bw. Mrisho Gambo amesema kupitia vifurushi vipya katika soko hivyo tuwapuuze na tujiunge na kuwa wanaopinga utaratibu la Mbauda jijini Arusha. mapango huu wa bima ya afya,” wa vifurushi vya bima ya afya alisema Mhe. Gambo. hawawatakii mema watanzania. “Ukisikia mtu anapinga Hayo aliyasema wakati akizindua mpango huu hakutakii mema, mpango wa uhamasishaji wa kwani pindi unapopatwa na

26 NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ Kutokana na umuhimu huo, Mhe. Alisema kuwa pamoja Naye Mwenyekiti wa Bodi Gambo amewataka viongozi wa na Serikali ya Awamu ya Tano ya NHIF, Mama Anne Makinda mkoa pamoja na viongozi wa dini kuboresha Mfumo wa Bima ya amesisitiza wananchi juu kuweka kushirikiana kwa pamoja katika Afya pia imeendelea kuboresha kipaumbele katika suala zima la kuwahimiza na kuwakumbusha miundombinu ya maeneo ya bima ya Afya ndani ya familia zao. wananchi juu ya kuwa na bima ya kutolea huduma ili mwananchi afya. anapokuwa na kadi yake ya bima “Ukifanya kazi matumizi ya anakuwa na uhakika wa matibabu kwanza iwe afya yako, tusiweke Alisema mpango wa yenye kiwango bora. rehani maisha yetu, hautaweza vifurushi vya bima ya afya kuwa na maendeleo kama hauna unamwezesha mwananchi kupata “Mimi ni balozi mkubwa uhakika wa huduma za matibabu,” tiba popote pale nchini bila ya sana wa mpango huu wa bima alisema Mama Makinda. usumbufu wowote. ya afya kwa sababu mimi na familia yangu ni wanufaika na Alisema kuwa kadi “Bima ya Afya chini ya najua umuhimu wake hasa wakati ya vifurushi inamwezesha Uenyekiti wa Mhe. Mama Anne mtu anapopatwa na maradhi, mwanachama kupata huduma Makinda imekuwa ni bima ya afya unapokuwa na kadi unakuwa na za matibabu popote anapokuwa iliyoimara sana, nakupongeza sana amani ndani ya familia yako wakati ndani ya nchi. kwa kazi kubwa uliyoifanya wewe wote,” alisema. na bodi yako,” alisema.

Matukio mbalimbali ya uzinduzi wa kampeni za uhamasishaji wa wananchi kujiunga na Vifurushi vya Bima ya Afya mkoani Arusha Januari 14, 2020 ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Mhe. Mrisho Gambo Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

[email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 27 VIFURUSHI KILIMANJARO JIUNGENI NA NHIF SASA MSISUBIRI KUUGUA- MAMA MGHWIRA

Watanzania wametakiwa kujiunga magonjwa. wa kampeni ya uhamasishaji wa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya wananchi kujiunga na mpango wa Afya kabla ya kuugua ili waweze Rai hiyo ilitolewa na Mkuu Vifurushi vya Bima ya Afya mkoani kupata huduma za matibabu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mama Kilimanjaro Januari 16, mwaka huu. kiurahisi wakati wanapopatwa na Anna Mghwira katika uzinduzi

28 NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ Matukio mbalimbali ya uzinduzi wa kampeni za uhamasishaji wa wananchi kujiunga na Vifurushi vya Bima ya Afya mkoani Kilimanjaro Januari 16, 2020 ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Mhe. Anna Mghwira Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

“Jiungeni na NHIF ili kuwa wengi zaidi. hivyo mwananchi kuwa na bima na uhakika wa matibabu badala ya afya ni muhimu kwani kwa nchi ya kusubiri kuugua ndipo waanze Akizungumza katika yoyote inayoendelea suala hili ni kutafuta kadi ya bima ya afya. uzinduzi huo, Mwenyekiti wa Bodi la msingi sana. Wakati wa amani ambao ni wakati ya Wakurugenzi ya NHIF Mama upo mzima unatakiwa uwekeze Anne Makinda alisema kuwa Kutokana na umuhimu huo, na NHIF kwa kukata kadi ya bima Mpango wa vifurushi vya Bima aliwaomba wananchi wa Mkoa wa ya afya na wakati wa vita ambao ya Afya hauzuii taratibu nyingine Kilimanjaro kuchangamkia fursa ni wa maradhi NHIF ni ya uokoaji za Serikali ikiwemo Sera ya Afya ya vifurushi ili wawe ndani ya kwa kujitibia. Jiungeni na NHIF ili inayotambua afya bure kwa watu utaratibu wa kupata huduma za muwe na uhakika wa matibabu” wasio na uwezo ikiwemo Wazee matibabu wakati wowote. amesema RC Mghwira. hivyo wananchi wasiwe na hofu ya makundi ambayo yanatambuliwa Aidha Mama Mghwira na Serikali katika kupata huduma naye hakusita kuipongeza Bodi za matibabu. na Menejimenti ya NHIF kwa kuja na mpango huu wa Vifurushi vya Pia, Mama Makinda alisema Bima ya Afya ambavyo vina lengo kuwa Tanzania sasa inaingia katika la kuwajumuisha watanzania makundi ya nchi za uchumi wa kati [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 29 VIFURUSHI TANGA SUALA LA BIMA YA AFYA SIO LA KUBISHANA- RC SHIGELLA Hayo aliyasema wakati mchezo na hatupendi kuchukua Mkuu wa Mkoa wa Tanga wa uzinduzi wa kampeni wa tahadhari juu ya afya zetu. Wakati Mhe. Martin Shigella amesema uhamasishaji wa wananchi umefika wa kila mtanzania kuona kuwa jambo linalohusu kujiunga kujiunga na Vifurushi vya Bima afya ni nyenzo kubwa katika na Mfuko wa Taifa wa Bima ya ya Afya mkoani humo Januari 18, kujiletea maendeleo maana bila Afya sio jambo la kubishana mwaka huu. ya afya njema huwezi kufanya bali ni la kutekeleza kwa kuwa jambo lolote la kijamii ama la afya ndio msingi wa maendeleo “Kumekuwa na mazoea kimaendeleo.” alisema Mhe. na unapokuwa na uhakika wa fulani au utaratibu wa watanzania Shigella. matibabu unakuwa na amani. wengi kuona afya ni suala la 30 NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ Matukio mbalimbali ya uzinduzi wa kampeni za uhamasishaji wa wananchi kujiunga na Vifurushi vya Bima ya Afya mkoani Tanga Januari 18, 2020 ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Mhe. Martin Shigella Mkuu wa Mkoa wa Tanga.

Aidha Mhe. Shigella Uzinduzi huo, Mwenyekiti wa Bw. Bernard Konga, yeye aliongeza kuwa mpango wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mfuko aliwahakikishia wananchi wa mkoa Vifurushi vya Bima ya Afya ni wa Bima ya afya Mama. Anne wa Tanga kuwa watakapojiunga mkombozi katika sekta ya afya, Makinda amewataka watanzania na NHIF hawatajutia uamuzi hivyo watanzania watumie fursa kujiunga na mpango wa Bima ya huo kutokana na namna hiyo ili waweze kufaidi maboresho Afya ambao ndio mfumo bora wa huduma zilizovyoboreshwa kwa makubwa yanayaoendelea afya duniani kote. wanachama wa Mfuko. kutekelezwa na Serikali ya awamu ya tano katika sekta ya afya. “Popote unapoenda “Tumeanzisha mpango duniani suala la bima ya afya ni huu lakini jambo kubwa Kutokana na umuhimu muhimu sana, bima ya afya ndio ambalo tumejipanga ni katika huo, Mhe. Shigella aliagiza mkombozi, bima ya afya ndio kuwahudumia wanachama wetu. viongozi wote mkoani huo itakayokusaidia popote pale Tunao mtandao mkubwa wa vituo kuhakikisha wanalibeba suala la na muda wowote hata kama vya kutolea huduma za matibabu uhamasishaji kwa wananchi katika ukiwa huna pesa. Vifurushi hivi hivyo kwa wananchi watakaojiunga maeneo yote ya mkoa wa Tanga vitakuwezesha kupata matibabu na NHIF hawatajutia huduma.” ili wananchi wafahamu umuhimu popote pale nchini” alisema alisema Bw. Konga. wake na hatimaye wachukue Mama. Makinda. hatua za kujiunga. Kwa upande wake Akizungumza katika Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 31 MAFAO KWA WANACHAMA WA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF) KUPITIA VIFURUSHI VYA BIMA YA AFYA

3 Dawa zote zinazoruhusiwa Dawa zote zinazoruhusiwa Dawa zote zinazoruhusiwa katika vituo vya Zahanati na katika vituo vya Zahanati, katika vituo vya Zahanati, Kituo cha Afya kwa kuzinga- Kituo cha Afya, na Hospitali Kituo cha Afya, Hospitali ya ya Wilaya kwa kuzingatia Wilaya na Hospitali ya Rufaa tia muongozo wa matibabu ya Mkoa kwa kuzingatia Tanzania. muongozo wa matibabu Tanzania. muongozo wa matibabu Tanzania.

Zinapatikana mpaka ngazi ya Zinapatikana mpaka ngazi ya Zinapatikana mpaka ngazi ya Hospitali za Mkoa na kwa rufaa hadi Hospitali za Mkoa na kwa rufaa hadi Hospitali za Mkoa na kwa rufaa hadi Hospitali za Rufaa za Kanda na Taifa Hospitali za Rufaa za Kanda na Taifa Hospitali za Rufaa za Kanda na Taifa

32 NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ MAFAO KWA WANACHAMA WA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF) KUPITIA VIFURUSHI VYA BIMA YA AFYA

Mwananchi anapokuwa na uhakika wa NHIF imeanzisha vifurushi hivi ili kujibu “matibabu hapo ndipo ana mafanikio maana “hitaji la wananchi kuwezeshwa kuwa kwenye ataweza kushiriki shughuli za maendeleo, mfumo wa bima ya afya lakini kubwa zaidi ni 3 Dawa zote zinazoruhusiwa Dawa zote zinazoruhusiwa Dawa zote zinazoruhusiwa ukiona mwanasiasa anapotosha suala la kuwahakikishia wananchi huduma za matibabu katika vituo vya Zahanati na katika vituo vya Zahanati, katika vituo vya Zahanati, Kituo cha Afya kwa kuzinga- Kituo cha Afya, na Hospitali Kituo cha Afya, Hospitali ya vifurushi huyo ni mwanasiasa uchwara wakati wowote hivyo sio kweli kwamba vifurushi ya Wilaya kwa kuzingatia Wilaya na Hospitali ya Rufaa tia muongozo wa matibabu ya Mkoa kwa kuzingatia maana afya si ya kufanyia siasa. hivi vimeanzishwa kwa lengo la biashara. Tanzania. muongozo wa matibabu Tanzania. muongozo wa matibabu Tanzania. Mhe. Peter Serukamba (Mb) Mhe. Anne Makinda Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Muungano wa Tanzania na Jamii Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi- NHIF

MICHANGO YA VIFURUSHI VYA NAJALI AFYA WEKEZA AFYA NA

Zinapatikana mpaka ngazi ya Zinapatikana mpaka ngazi ya Zinapatikana mpaka ngazi ya Hospitali za Mkoa na kwa rufaa hadi Hospitali za Mkoa na kwa rufaa hadi Hospitali za Mkoa na kwa rufaa hadi Hospitali za Rufaa za Kanda na Taifa Hospitali za Rufaa za Kanda na Taifa Hospitali za Rufaa za Kanda na Taifa

[email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 33 Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Mfuko waTaifa wa Bima ya Afya (NHIF), Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Makao Makuu, Ofisi ya Mkoa Kilimanjaro, Ofisi ya Zanzibar, Jengo la NHIF, Tambukareli, Mtaa wa Horombo, Jengo la Makao Makuu ya ZIC, Ghorofa ya Nne, Barabara ya , Jengo la Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Barabara ya , S.L.P 1437, DODOMA. Serikali (NAO), S.L.P 4888, ZANZIBAR. Simu: +255 26 2963887/8 Ghorofa ya Chini, Simu: +255 2422372247 Barua pepe: [email protected] S.L.P 8998,MOSHI. Fax: +255 2422372242 Simu: +255 27-2755143 Barua pepe: [email protected] Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Nukushi: +255 27-2754264 Ofisi ya Mkoa Ilala, Barua Pepe: [email protected] Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Jengo la Ushirika, Ghorofa ya 15 Ofisi ya Mkoa Manyara, S.L.P 7195, DAR ES SALAAM. Mfuko waTaifa wa Bima ya Afya (NHIF), Jengo la BAWASA, Mkabala na TRA, Simu- +255 22 2116097 Ofisi ya Mkoa Arusha, S.L.P 430, BABATI. Nukushi: +255 22 2116091 Jengo la NSSF Kaloleni Plaza, Ghorofa ya Pili, Simu: +255 27 2510022 Barua pepe: [email protected] S.L.P 16110, ARUSHA. Nukushi: +255 27 2510022 Simu: +255 27 205006 Barua Pepe: [email protected] Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ( NHIF), Fax: +255 27 2545100 Ofisi ya Mkoa Temeke, Barua Pepe: [email protected] Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Kurasini, Bendera Tatu, Ofisi ya Mkoa Lindi, S. L. P 45777, DAR ES SALAAM. Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Jengo la CWT, Ghorofa ya kwanza, Simu: +255 22 285 6459/285 6538 Ofisi ya Mkoa Ruvuma, Mtaa wa Msonobalini, Barua Pepe: [email protected] Jengo la CWT mkoa wa Ruvuma, S.L.P. 51, LINDI. Ghorofa ya Pili, Simu: +255 23 2202901 Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Mtaa wa Zanzibar, Nukushi: +255 23-2202901 Ofisi ya Mkoa Kinondoni, PSSSF Business S.L.P 160, SONGEA. Barua pepe: [email protected] Complex, Sam Nujoma road, Simu: +255 25-2602908 S. L. P 32668, DAR ES SALAAM. Fax: +255 25-2602908 Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Simu: +255 22 270 1832 Barua pepe: [email protected] Ofisi ya Mkoa Simiyu, Barua Pepe: [email protected] Jengo la Nsagali, Mtaa Wa Salunda, Mfuko waTaifa wa Bima ya Afya (NHIF), Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), S.L.P 471, BARIADI. Ofisi ya Mkoa Morogoro, Ofisi ya Mkoa Kagera, Simu: +255 28 2700151 Barabara ya Boma, Mtaa wa Uswahilini, Barua pepe: [email protected] Jengo la Kenya Commercial Bank (KCB), Jengo la CWT, Ghorofa ya Pili, Ghorofa ya Pili, S.L.P 1950, BUKOBA. Mfuko wa Taifa Bima ya Afya (NHIF), S.L.P. 955, MOROGORO. Simu: +255 028 2221193 Jengo la NHC, Simu: +255 23 2613835 Nukushi: +255 028 2221193 S.L.P 223, MPANDA. NUKUSHI: +255 23 2613836 Barua pepe: [email protected] Simu: +255 25 2957117 Barua Pepe: [email protected] Barua pepe: [email protected]

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Mfuko wa Taifa Wa Bima ya Afya (NHIF), Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Ofisi ya Mkoa Dodoma, Ofisi ya Mkoa Singida, Mtaa wa Mgendela, Jengo la NHIF, Tambukareli, Jengo la NHC Singidani Complex, S.L.P 1085, NJOMBE. Barabara ya Jakaya Kikwete, Barabara ya Arusha, Simu: +255 26 2782199 Ghorofa ya Chini, S.L.P 762, SINGIDA. Barua pepe: [email protected] S.L.P 2221,DODOMA. Simu/Nukushi: +255 26 2502236 Simu; +255 26-2963120 Barua pepe: [email protected] Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Nukushi +255 26-2963121 Majengo ya Halmashauri (w), Barua Pepe: [email protected] Mfuko waTaifa wa Bima ya Afya (NHIF), S.L.P 482, GEITA. Ofisi ya Mkoa kigoma, Simu: +255 28 2520170 Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Barabara ya Lumumba, Simu ya Kiganjani: +255 735 000112 Ofisi ya Mkoa Pwani, Jengo la NHC Biashara House, Barua pepe: [email protected] Jengo jipya la Hospitali ya Tumbi, Ghorofa ya Pili, Mtaa wa Tumbi, S.L.P 1165, KIGOMA. Mfuko wa Taifa waBima ya Afya (NHIF), S.L.P 30438,KIBAHA. Simu: +255 28 2802650 Jengo la TMDA, Ghorofa ya pili, Simu:+255 23 2402191 Nukushi; +255 28 2802651 Nyakato, Buzuruga, Nukushi: +255 23 2402192 Barua pepe: [email protected] S.L.P 1187, MWANZA. Barua Pepe: [email protected] Simu: +255 28 2501040 Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Nukushi: +255 28 2541758 Mfuko Wa Taifa Wa Bima Ya Afya (NHIF), Ofisi ya Mkoa Mara, Barua pepe: [email protected] Ofisi ya Mkoa Tanga, Makutano ya Mtaa wa Ghandhi na Kusaga, Mtaa wa Swahili, Jengo la NHC, Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Jengo la Old Revenue, Ghorofa ya kwanza, Jengo la NSSF, S.L.P 5486, TANGA. S.L.P 1348, MUSOMA. Barabara ya Mwanza, SIMU Na. +255 27 2645415 Simu: +255 28 2620554 S.L.P 230, SHINYANGA. Nukushi +255 27 2645316 Nukushi: +255 28 2620556 Simu: +255 28 2763708 Barua pepe: [email protected] Barua Pepe: [email protected] Nukushi: +255 28 2763708 Barua pepe: [email protected] Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Mfuko waTaifa wa Bima ya Afya (NHIF), Ofisi ya Mkoa Rukwa, Ofisi ya Mkoa Iringa, NHIF Building, Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Jengo la ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mtaa wa Gangilonga, Jengo la Posta, Barabara ya Nyerere, S. L. P 2486, IRINGA. Barabara ya TANU, S. L. P 225, SUMBAWANGA. Simu: +255 26 270 1276 S.L.P 484, MTWARA. Simu: 0 25 2800354 Nukushi: +255 26 270 1279 Simu: +255 23 2333880 Nukushi: 0 25 2800448 Barua pepe: [email protected] Barua pepe: [email protected] Barua Pepe: [email protected] Mfuko waTaifa wa Bima ya Afya (NHIF), Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Ofisi ya Mkoa Mbeya, Jengo la Mkola, Ofisi ya Mkoa Tabora, Jengo la NHIF Tower, Barabara ya Tunduma, Jengo la Tabora Plaza, Ghorofa ya Tatu Barabara ya Karume, S.L.P 186, Mbozi, SONGWE. Barabara ya Lumumba, Ghorofa ya Kwanza, Simu: +255 25 2580157 S.L.P 1654, TABORA S.L.P 6137, MBEYA Barua pepe: [email protected] Simu: +255 26 2604037 Simu:+255 25 2500656 Nukushi: +255 26 2605463 Nukushi: +255 25 2500555 Barua Pepe: [email protected] Barua Pepe: [email protected] Huduma kwa wateja bila malipo 0800 110063 [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ 34 NHIF AFYA NJEMA | JANUARI - 2020 [email protected] | www.nhif.or.tz | @NHIFTZ