Hotuba Ya Waziri Wa Ujenzi, Mheshimiwa Dkt
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
-
MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao Cha Arobaini Na Moja – Tareh
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA __________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao cha Arobaini na Moja – Tarehe 9 Juni, 2020 (Bunge lilianza Saa Nane Kamili Mchana) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Naomba tukae. Katibu! NDG. STEPHEN KAGAIGAI - KATIBU WA BUNGE: AZIMIO LA BUNGE Azimio la Bunge la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, kwa namna alivyoongoza Taifa katika mapambano dhidi ya Janga la Ugonjwa wa Corona (Covid – 19). MASWALI NA MAJIBU (Maswali yafuatayo yameulizwa na kujibiwa kwa njia ya mtandao) Na. 386 Upungufu wa Vituo wa Afya Tabora MHE. EMANUEL A. MWAKASAKA aliuliza:- Jimbo la Tabora mjini lina Kata 29 lakini - lina kituo cha kimoja tu cha afya. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) Je, Serikali ina mkakati gani wa kuongeza Vituo vya Afya katika Manispaa ya Tabora? WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA alijibu:- Mheshimiwa Spika, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Emmanuel Adamson Mwakasaka, Mbunge wa Tabora Mjini, kama ifuatavyo; Mheshimiwa Spika, halmashauri ina jumla ya vituo vya kutolea huduma za afya vya Serikali, vikijumuisha Hospitali mbili, Kituo cha Afya kimoja na Zahanati 22. Katika mwaka wa fedha 2020/21 Serikali imetenga shilingi milioni 100 kwa ajili ya kukamilisha maboma ya Zahanati ya Ituru na Igombe. Vilevile Serikali imetenga shilingi bilioni 1 kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa Hospitali ya Manispaa ya Tabora. Serikali itaendelea kujenga, kuratabati na kupanua vituo vya kutolea huduma za afya Manispaa ya Tabora kwa kadri ya upatikanaji wa fedha. Na. -
MKUTANO WA SABA Kikao Cha Ishirini Na Tano – Tarehe 15
NAKALA YA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA SABA Kikao cha Ishirini na Tano – Tarehe 15 Mei, 2017 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Mussa A. Zungu) Alisoma Dua MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu! NDG. CHARLES MLOKA – KATIBU MEZANI: HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018. MWENYEKITI: Ahsante. Katibu. NDG. CHARLES MLOKA – KATIBU MEZANI: Maswali. 1 NAKALA YA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) MASWALI NA MAJIBU Na. 200 Mgongano wa Kiutendaji – Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma MHE. LEONIDAS T. GAMA aliuliza:- Wananchi wa Songea Mjini wamekuwa wakiitumia Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma kama Hospitali yao ya Wilaya hivyo kufanya kuwepo na mgongano wa kiutendaji kati ya Mamlaka ya Mkoa inayoitambua Hospitali hiyo kama Rufaa ya ngazi ya Mkoa na Mamlaka ya Wilaya. Tarehe 10 Januari, 2016, Mheshimiwa Waziri wa Afya alifika kuona hali halisi na juhudi za wananchi wa Songea Mjini za kujenga Kituo cha Afya Mji Mwema ambacho kimefikia hatua kubwa, hivyo wakamwomba Waziri kituo hicho kipandishwe hadhi kuwa Hospitali ya Wilaya, Songea Mjini. (a) Je, Serikali haioni umuhimu wa kuiacha Hospitali ya Mkoa ifanye kazi ya Rufaa Kimkoa? (b) Je, Serikali haioni haja ya kupunguza msongamano katika hospitali hiyo kwa kuanzisha Hospitali ya Wilaya Songea Mjini? (c) Je, ni lini basi Serikali -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA NANE Kikao cha Thelathini na Tisa – Tarehe 2 AGOSTI, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) DUA Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013. SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, naomba mzime vipasa sauti vyenu maana naona vinaingiliana. Ahsante Mheshimiwa Naibu Waziri, tunaingia hatua inayofuata. MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Leo ni siku ya Alhamisi lakini tulishatoa taarifa kwamba Waziri Mkuu yuko safarini kwa hiyo kama kawaida hatutakuwa na kipindi cha maswali hayo. Maswali ya kawaida yapo machache na atakayeuliza swali la kwanza ni Mheshimiwa Vita R. M. Kawawa. Na. 310 Fedha za Uendeshaji Shule za Msingi MHE. VITA R. M. KAWAWA aliuliza:- Kumekuwa na makato ya fedha za uendeshaji wa Shule za Msingi - Capitation bila taarifa hali inayofanya Walimu kuwa na hali ngumu ya uendeshaji wa shule hizo. Je, Serikali ina mipango gani ya kuhakikisha kuwa, fedha za Capitation zinatoloewa kama ilivyotarajiwa ili kupunguza matatizo wanayopata wazazi wa wanafunzi kwa kuchangia gharama za uendeshaji shule? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Vita Rashid Kawawa, Mbunge wa Namtumbo, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) imepanga kila mwanafunzi wa Shule ya Msingi kupata shilingi 10,000 kama fedha za uendeshaji wa shule (Capitation Grant) kwa mwaka. -
16 MEI, 2013 MREMA 1.Pmd
16 MEI, 2013 BUNGE LA TANZANIA ________________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Ishirini na Saba – Tarehe 16 Mei, 2013 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge tukae. Waheshimiwa Wabunge Kikao cha Ishirini na Saba kinaanza. Mkutano wetu wa Kumi na Moja. HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI:- Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Uchukuzi kwa Mwaka wa Fedha 2013/2014. 1 16 MEI, 2013 MHE. PROF. JUMA A. KAPUYA (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA MIUNDOMBINU): Taarifa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Miundombinu Kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Uchukuzi kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013 na Maoni ya Kamati Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2013/2014. MHE. PAULINE P. GEKUL (K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI WA WIZARA YA UCHUKUZI): Taaqrifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani wa Wizara ya Uchukuzi Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2013/2014. MASWALI KWA WAZIRI MKUU NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge kama kawaida yetu siku ya Alhamisi tunakuwa na Kipindi cha Maswali kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu na swali la kwanza la siku ya leo linaulizwa na Mheshimiwa Stephen Hilary Ngonyani. MHE. STEPHEN H. NGONYANI: Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante sana. Kwanza nianze kwa kumpongeza Mheshimiwa Waziri Mkuu kwa kunipa chakula cha msaada kule kwenye jimbo langu. Swali linalokuja ni hivi. Mheshimiwa Naibu Spika, Kitengo cha Maafa ni Kitengo ambacho kiko chini ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, nchi nzima kinajua jinsi unavyosaidia wananchi. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ______________ MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Nane – Tarehe 20 Juni, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU Na. 76 Mpango wa Kurasimisha Ardhi Vijijini MHE. PETER J. SERUKAMBA (K.n.y. MHE JENISTA J. MHAGAMA) aliuliza:- Mpango wa kurasimisha ardhi vijijini unakwama kwa kuwa Halmashauri nyingi zinashindwa kutenga fedha kutokana na ufinyu na ukomo wa Bajeti. Je, Serikali haioni kuwa ni wakati muafaka wa kutenga fungu la kuwezesha mkakati huo? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama, Mbunge wa Peramiho, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, mpango wa kurasimisha ardhi ni azma ya Serikali kuwawezesha wananchi kiuchumi na kuondokana na umaskini. Mpango huu unalenga kupima ardhi za Vijiji na kuwapatia wananchi Hati za kumiliki za kimila (Certificate of Occupancy) ili kuzitumia kama dhamana kupata mikopo katika mabenki. Mkakati huu unatekelezwa chini ya Mpango wa Kurasimisha rasilimali na biashara za wanyonge nchini (MKURABITA). 1 Malengo mengine ya mpango huo ni kuondoa migogoro ya ardhi kwa kuweka mipaka kati ya vijijini na vijiji na kupanga matumizi bora ya ardhi kwa kutenga maeneo kwa ajili ya matumizi bora na matumizi mbalimbali kama vile wafugaji, kilimo na uwekezaji. Mheshimiwa Spika, Wizara yenye dhamana ya masuala ya ardhi hutenga fedha kwa ajili ya kujenga uwezo katika ngazi za Mamlaka za Serikali za Mitaa. Aidha, Serikali inao mfuko (Revolving Fund) unatumika kuziwezesha Halmashauri kupima ardhi na kufanya marejesho ili fedha hizo zitumike kwa ajili ya kupima ardhi katika Halmashauri nyingine. -
(Online Document) 1 BUNGE LA TANZANIA
Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _____________ MAJADILIANO YA BUNGE ______________ MKUTANO WA ISHIRINI Kikao cha Sita – Tarehe 18 Mei, 2015 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe Anne S. Makinda) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kutokana na maagizo yaliyotolewa humu wiki iliyopita kuhusu Hati za kuwasilisha Mezani. Kama kuna kundi lolote, Kamati, Serikali au Upinzani hawajaleta Hati hazisomwi. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais! Mheshimiwa Naibu Waziri! HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa mezani na:- NAIBU WAZIRI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO): Randama za Makadirio ya Matumizi kwa Ofisi ya Makamu wa Rais na Taasisi zake kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA: Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma) pamoja na (Utawala Bora) kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS (MAHUSIANO NA URATIBU): Hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. MHE. JASSON S. RWEIKIZA - MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA: 1 Nakala ya Mtandao (Online Document) Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma), (Utawala Bora na Mahusiano na Uratibu) kwa mwaka wa fedha 2014/2015 pamoja na maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. MHE. ESTHER N. MATIKO - MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI KWA OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA, UTAWALA BORA NA MAHUSIANO NA URATIBU: Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni Kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Fedha kwa Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Utawala Bora na Mahusiano na Uratibu kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016 SPIKA: Waheshimiwa Wabunge tunaanza maswali Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Mheshimiwa Engineer Athumani Mfutakamba. -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document) 1
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Kwanza – Tarehe 6 Mei, 2014 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) WIMBO WA TAIFA (Hapa Wabunge Waliimba Wimbo wa Taifa) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua KIAPO CHA UTII Wajumbe wafuatao waliapa Kiapo cha Utii na kukaa katika nafasi zao Bungeni:- Mhe. Godfrey William Mgimwa Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete TAARIFA YA SPIKA SPIKA: Ninapenda kuchukua nafasi hii, kuwapongeza Mheshimiwa Godfrey Mgimwa na Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete, kwa kuchaguliwa na kujiunga na sisi katika Bunge hili. Tunaamini kwamba, tutapata ushirikiano unaostahili. (Makofi) Waheshimiwa Wabunge, katika Mkutano wa Kumi na Nne, Bunge lilipitisha Miswada ya Sheria minne iitwayo; Muswada wa Sheria wa GEPF ya Mfuko wa Mafao ya Wastaafu wa Mwaka 2013 (The GEPF Retirement Benefit Fund Bill, 2013); Muswada Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali Namba Tatu wa Mwaka 2013 (The Written Laws (Miscellaneous Amendments) Number Three Bill, 2013); Muswada Sheria ya Kura ya Maoni (The Referendum Bill, 2013); na Muswada wa Sheria ya Marekebisho Kodi ya Ushuru wa Mwaka 2013 (The Excise Management and Tariffs (Ammendment Bill), 2013). Kwa Taarifa hii, ninapenda kuliarifu Bunge hili Tukufu kwamba, Miswada hiyo imekwishapata kibali cha Mheshimiwa Rais na kuwa Sheria za nchi ziitwazo; Sheria ya Kwanza ni Sheria ya GEPF ya Mafao ya Mfuko wa Mafao ya Wastaafu Namba Saba ya Mwaka 2013 (The GEPF Retirement Benefit Fund Act Number Seven of 2013); Sheria ya pili ni Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali Namba Nane ya Mwaka 2013 (The Written Laws (Miscellaneous Amendments) Number Three Act Number 8 of 2013); Sheria ya Tatu ni Sheria ya Kura ya Maoni Namba Kumi ya Mwaka 2013 (The Referendum Act Number 10 of 2013); na Sheria ya nne ni 1 Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) Sheria ya Marekebisho ya Kodi ya Ushuru Namba Kumi na Moja ya Mwaka 2013 (The Excise Management and Tariff Amendment Act Number 11 of 2013). -
MKUTANO WA 18 TAREHE 5 FEBRUARI, 2015 MREMA 1.Pmd
5 FEBRUARI, 2015 BUNGE LA TANZANIA _________________ MAJADILIANO YA BUNGE __________________ MKUTANO WA KUMI NA NANE Kikao cha Tisa – Tarehe 5 Februari, 2015 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua MASWALI KWA WAZIRI MKUU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, leo sijamwona. Kwa hiyo tunaendelea na Maswali kwa Waziri Mkuu na atakayeanza ni Mheshimiwa Murtaza A. Mangungu. MHE. MURTAZA A. MANGUNGU: Mheshimiwa Spika, nashukuru. Mheshimiwa Waziri Mkuu, kwa vipindi tofauti vya Bunge Mheshimiwa Peter Msigwa, Mheshimiwa Mussa Zungu na hata Mheshimiwa Murtaza A. Mangungu wamekuwa wakiuliza swali kuhusiana na manyanyaso wanayoyapata wafanyabiashara Wadogo Wadogo pamoja na Mamalishe. Kwa kipindi hicho chote umekuwa ukitoa maagizo na maelekezo, inavyoonekana mamlaka zinazosimamia hili jambo haziko tayari kutii amri yako. 1 5 FEBRUARI, 2015 Je, unawaambia nini Watanzania na Bunge hili kwa ujumla? WAZIRI MKUU: Mheshimiwa Spika, naomba nimjibu Mheshimiwa Murtaza Mangungu swali lake kama ifuatavyo:- Suala hili la vijana wetu ambao tunawajua kama Wamachinga, kwanza nataka nikiri kwamba ni suala kubwa na ni tatizo kubwa na si la Jiji la Dar es Salaam tu, bali lipo karibu katika miji mingi. Kwa hiyo, ni jambo ambalo lazima twende nalo kwa kiwango ambacho tutakuwa na uhakika kwamba tunalipatia ufumbuzi wa kudumu. Kwa hiyo, ni kweli kwamba mara kadhaa kuna maelekezo yametolewa yakatekelezwa sehemu na sehemu nyingine hayakutekelezwa kikamilifu kulingana na mazingira ya jambo lenyewe lilivyo. Lakini dhamira ya kutaka kumaliza tatizo hili la Wamachinga bado ipo palepale na kwa bahati nzuri umeuliza wakati mzuri kwa sababu jana tu nimepata taarifa ambayo nimeandikiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI ambayo wanaleta mapendekezo kwangu juu ya utaratibu ambao wanafikiri unaweza ukatatua tatizo hili ambalo lipo sehemu nyingi. -
Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Bunge La Tanzania
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA KUMI NA SITA NA KUMI NA SABA YATOKANAYO NA KIKAO CHA KUMI NA TISA (DAILY SUMMARY RECORD OF PROCEEDINGS) 28 NOVEMBA, 2014 MKUTANO WA KUMI NA SITA NA KUMI NA SABA YATOKANAYO NA KIKAO CHA KUMI NA TISA (SUMMARY RECORD OF PROCEEDINGS – NINETEENTH SITTING) TAREHE 28 NOVEMBA, 2014 I. DUA: Mhe. Spika Anne S. Makinda alisoma Dua saa 3.00 asubuhi na Kikao kiliendelea. MAKATIBU MEZANI: 1. Ndg. Theonest Ruhilabake 2. Ndg. Lawrence Makigi 3. Ndg. Neema Msangi II. MASWALI Maswali yafuatayo yaliulizwa na kujibiwa; 1. OFISI YA WAZIRI MKUU Swali Na. 229: Mhe. Hamoud Abuu Jumaa Nyongeza: (i) Mhe. Hamoud Abuu Jumaa (ii) Mhe. Murtaza Ally Mangungu Swali Na. 230: Mhe. Suzan A. J. Lyimo Nyongeza: (i) Mhe. Suzan A. J. Lyimo (ii) Mhe. Michael L. Laizer (iii) Mhe. Mch. Peter Msigwa Swali Na. 231: Mhe. Ismail Aden Rage [kny: Mhe. Dkt. Hamis Kigwangalla] Nyongeza: (i) Mhe. Ismail Aden Rage (ii) Mhe. Ezekia Dibogo Wenje 2 2. WIZARA YA NISHATI NA MADINI Swali Na. 232: Mhe. Faith Mohammed Mitambo [kny: Mhe. Fatma Mikidadi] Nyongeza: (i) Mhe. Faith Mohammed Mitambo Swali Na. 233: Mhe. John Paul Lwanji Nyongeza: (i) Mhe. John Paul Lwanji (ii) Mhe. Joseph Osmund Mbilinyi Swali Na. 234: Mhe. John Damiano Komba [kny. Mhe.Juma Abdallah Njwayo] Nyongeza: (i) Mhe. John Damiano Komba (ii) Mhe. Mtutura Abdallah Mtutura (iii) Mhe. Moshi Selemani Kakoso 3. WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI Swali Na. 235: Mhe. AnnaMaryStella John Mallac Nyongeza: (i) Mhe. AnnaMaryStella John Mallac (ii) Mhe. Rukia Kassim Ahmed Swali Na. -
1 BUNGE LA TANZANIA ___MAJADILIANO YA BUNGE ___MKUTANO WA KUMI NA MBILI Kikao Cha Saba – Tarehe 12 Septemba
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA KUMI NA MBILI Kikao cha Saba – Tarehe 12 Septemba, 2018 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Mussa A. Zungu) Alisoma Dua MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu. NDG. NEEMA MSANGI – KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, tunaanza na maswali. Swali letu la kwanza ni la Ofisi ya Rais – TAMISEMI, litaulizwa na Mheshimiwa Ibrahim Mohamedali Raza, Mbunge wa Kiembesamaki, kwa niaba Mheshimiwa Ali Khamis. Na. 83 Kuwaondoa Ombaomba – Dar es Salaam MHE. KANALI MST. MASOUD ALI KHAMIS (K.n.y. MHE. IBRAHIM HASSANALI MOHAMMEDALI) aliuliza:- Jiji la Dar es Salaam linakabiliwa na tatizo la ombaomba wengi na katika baadhi ya maeneo wamejenga miundombinu ya kulala. Je, ni lini Serikali itachukua hatua ya kuwaondoa ombaomba katika Jiji la Dar es Salaam? 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) MWENYEKITI: Mheshimiwa Naibu Waziri, majibu. NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. JOSEPH G. KAKUNDA) alijibu:- Mheshimiwa Mwenyekiti, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Ibrahim Mohamedali Raza, Mbunge wa Kiembesamaki, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Mwenyekiti, ni kweli kwamba wapo ombaomba katika baadhi ya maeneo ya Jiji la Dar-es-Salaam kwa sababu vipo vivutio vingi ikiwemo watu wenye imani mbalimbali ambao huwapatia fedha na vitu vingine kama sehemu ya ibada. Kuzagaa kwa ombaomba kimekuwa chanzo kimojawapo cha uchafuzi wa mazingira. Mheshimiwa Mwenyekiti, kutokana na changamoto za ombaomba mara kadhaa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar-es-Salaam imetekeleza hatua mbalimbali za kuwaondoa, ikiwemo kuwakamata na kuwasafirisha makwao, lakini wamekuwa wakirudi. Mfano mwezi Septemba, 2013 ombaomba 253 na watoto 135 walirejeshwa kwao ambapo watoto 33 walirejeshwa shuleni. -
Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Bunge La Tanzania
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA SABA YATOKANAYO NA KIKAO CHA ISHIRINI 9 MEI, 2017 MKUTANO WA SABA KIKAO CHA ISHIRINI TAREHE 9 MEI, 2017 I. DUA: Saa 3:00 asubuhi Mhe. Najma Murtaza Giga (Mwenyekiti) alisoma Dua kuongoza Kikao cha Bunge. Makatibu Mezani: 1. Ndugu Theonest Ruhilabake 2. Ndugu Charles Mloka 3. Ndugu Neema Msangi II. HATI ZA KUWASILISHA MEZANI 1. Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji aliwasilisha Randama za Madirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 2. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi aliwasilisha Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018. 3. Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Mhe. Rose Cyprian Tweve aliwasilisha Taarifa ya Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017 pamoja na maoni ya Kamati kuhusu Bajeti ya Wizara hiyo kwa Mwaka 2017/2018. 4. Msemaji wa Upinzani kwa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Masoud Salim Abdallah aliwasilisha Taarifa ya Upinzani kuhusu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi juu ya Bajeti ya Wizara hiyo kwa Mwaka 2017/2018. 1 III. MASWALI OFISI YA RAIS (TAMISEMI) Swali Na. 165: Mhe. Seif Khamis Gulamali (kwa niaba ya Mhe. Selamani Jumanne Zedi) Nyongeza: Mhe. Marwa Ryoba Chacha Mhe. Kangi Alphaxard Lugola WIZARA YA MAJI NA UMWAGILIAJI Swali Na. 166: Mhe. Joseph Kizito Mhagama Nyongeza: Mhe. Joseph Kizito Mhagama Mhe. Cecil David Mwambe Mhe.