ZANZIBAR SERIKALI KWA MAENDELEO YA WANANCHI

TOLEO NO. 024 ISSN 1821 - 8253 MACHI - APRILI 2016

Wananchi wa Zanzibar wameamua Wamemchagua tena Dk. Shein kuwa Rais Maoni ya Mhariri Bodi ya Wahariri

Mhariri Mkuu Muelekeo wetu uwe kuleta maendeleo Hassan K. Hassan endelevu ananchi wa Zanzibar pamoja wengi waliotarajia kwamba ingemalizika kwa Mhariri Msaidizi na wenzao wa Bara amani, utulivu na usalama kama ilivyotokea. Ali S. Hafidh wanastahiki kujipongeza Hii kwa mara nyengine ilidhihirisha namna kufuatiaW kumalizika kwa salama, amani na Wazanzibari walivyokomaa kisiasa na utulivu kwa uchaguzi mkuu ambao ni moja kufahamu maana halisi ya amani na athari za Waandishi kati ya majukumu muhimu ya kikatiba na uvunjifu wa amani. Said J.Ameir kidemokrasia. Hatua hiyo imeliwezesha taifa Kuna msemo wa kiswahili usemao Rajab Y. Mkasaba kupata viongozi halali waliochaguliwa na “iliyopitayo si ndwele, tugange ijayo”. Wakati wananchi kuiongoza nchi kwa kipindi cha umefika sasa kwa wananchi wote kuona haja, Haji M. Ussi miaka mitano ijayo. umuhimu au ulazima wa kuendeleza harakati Said K. Salim Uzoefu wa Tanzania, Barani Afrika na za kuleta maendeleo endelevu badala ya Yunus S. Hassan kwengineko duniani, kipindi cha uchaguzi kuendelea kukaa vijiweni kuzungumzia siasa Mahfoudha M. Ali ndicho kipindi pekee chenye kuvuta hisia ambazo wakati wake umeshamalizika. za watu wengi wakiwemo wanasiasa na Ni ukweli uliowazi kwamba hivi sasa Amina M. Ameir wanajamii wa rika na jinsia tofauti. Katika kumekuwa na fursa nyingi za kuweza kipindi hiki wanasiasa hutumia njia za kujikwamua na umasikini iwapo kila mtu Mpiga Picha aina mbali mbali kuwashawishi wananchi ataamua kufanyakazi kwa bidii. Serikali kuwapigia kura kupitia vyama vyao vya siasa imeshafanya juhudi kubwa za kueneza Ramadhan O. Abdalla au njia nyengine zozote. huduma za maji safi na salama vijijini, umeme Harakati za siasa kuelekea kwenye na mtatandao wa barabara za lami. Msanifu uchaguzi mkuu huambatana na mambo Sekta ya kilimo imeimarishwa sana kwa mengi ikiwemo takrima, vitisho, kuchafuliana kuinua hadhi taasisi ya utafiti ya Kizimbani Aziz I. Suwed majina kwa lengo la kushushiana hadhi pamoja na Chuo cha Kilimo, mambo ambayo mbele ya jamii na kujitafutia njia za kupata yamewawezesha wakulima kupata mbegu ushindi. Lakini kubwa zaidi ni wasi wasi juu ya bora na vile vile kuwa na wataalamu wa UTAMBULISHO uwezekano wa kuvunjika kwa hali ya amani na kutosha kuweza kuwashauri wakulima namna utulivu hasa kwa nchi kama Tanzania, ambayo bora zaidi ya kulima na kupata mazao bora Wapenzi wasomaji wa Jarida la kwa muda mrefu imekuwa ndiyo darasa la yenye tija kubwa. Ikulu tunafuraha kukukaribisheni kujifunza amani mbele ya mataifa mengine Kutokana na juhudi hizo, kilimo cha katika uendelezaji wa juhudi za duniani. biashara kimeendelea kukua badala ya kile Kutokana na hali hiyo ya wasi wasi, kilimo kilichokuwa kimezoeleka, huduma Afisi ya Rais na Mwenyekiti wa baadhi ya mataifa duniani na mashirika za afya zimeimarika na huduma za usafiri Baraza la Mapinduzi kuimarisha yanayoshughulikia kusafirisha watuzimekuwa bora zaidi katika miaka ya hivi mawasiliano na wananchi. kibiashara au kiutalii yamekuwa yakitoa karibuni kuliko miaka mingine yote iliyopita. indhari kwa wananchi na wateja wao Hali halisi inaonesha kuwa wananchi wengi Ni lengo la Ofisi ya Rais kukuza wanapopanga kuzitembelea nchi ambazo na hasa vijijini wameanza kuzichangamkia mawasiliano na wananchi kwa katika kipindi hicho zinafanya uchaguzi. fursa hizo na wengi wao wameanza kunufaika. kutumia njia tofauti kama vile Hatua hiyo hupelekea nchi husika kuwa na Hata hivyo, hali bado siyo nzuri kwenye upungufu mkubwa wa watalii katika kipindi taasisi za umma na mashirika ya Serikali. Jarida, vipeperushi pamoja na cha uchaguzi. Kumekuwa na tatizo kubwa la uwajibikaji vyombo vyengine vya habari. Katika kukabiliana na athari ambazo miongoni mwa watumishi wa umma. Licha zingeweza kutokea kabla, wakati na baada ya ya Serikali kujaribu kuinua kwa kiasi kikubwa Tunakaribisha maoni yenu ili uchaguzi, Serikali ya Jamhuri ya Muungano maslahi yao, watumishi wa umma wamekuwa tuweze kufikia lengo hilo. wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya waonekana wakisuasua katika kutekeleza Zanzibar ziliwahakikishia wananchi pamoja majukumu yao ya kazi. na washirika wa maendeleo kwamba uchaguzi Aidha, vitendo vya kukwepa kuwajibika, Jarida hili limetolewa na Idara ya Mawasiliano utakuwa wa amani, huru na wa haki na wizi na ubadhirifu wa mali ya serikali, rushwa, Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la kwamba kila mtu atapata kuitumia haki yake uhujumu wa uchumi na ukiukwaji wa Mapinduzi Zanzibar. ya kupiga kura bila ya usumbufu wowote. makusudi wa maadili ya uongozi ni mambo Pamoja na kuripotiwa baadhi ya ambayo hayanabudi kuchukuliwa hatua dosari zilizopelekea kufutwa kwa uchaguzi zinazofaa. Mambo haya hayana tija katika P.O.BOX: 2422 wa Zanzibar wa tarehe 25 Oktoba, 2015, maendeleo ya nchi yetu Zanzibar - Tanzania uchaguzi wa marudio wa tarehe 20 Machi, Tuendelee kupokea misaada ya wafadhili 2016, ulifanyika kwa mafanikio makubwa na pale tu tunapopewa. Hata hivyo, misaada Phone: +255 223 081/5 kila mwananchi alipata kutumia haki yake ya hiyo kamwe isitufanye kusahau wajibu wetu Fax: 024 223 3722 kumchagua kiongozi aliyemtaka. katika kuleta maendeleo endelevu ya taifa Ni dhahiri kwamba kuna kila sababu letu. Maendeleo ya nchi huletwa na wananchi Email: [email protected] kwa Watanzania na hasa Wazanzibari wenyewe. kujipongeza kwa hatua hiyo ambayo sio watu

Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 2 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. akiwa mgombea Urais wa Zanzibar kwa kipindi cha pili cha Uongozi kupitia CCM akipokea cheti cha Ushindi wa Uchaguzi Mkuu wa marudio kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jecha Salim Jecha wakati wa utoaji wa matokeo ya uchaguzi huo yaliyotolewa katika ukumbi wa Salama, Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja, tarehe 21 Machi, 2016 Wananchi wa Zanzibar wameamua Wamemchagua tena Dk. Shein kuwa Rais

TUME IMEMTANGAZA, AMEAPISHWA NA AMEUNDA SERIKALI

arehe 21 Machi, 2016 imekuwa ni siku nyengine ya kihistoria kwa wananchi wa TZanzibar na Tanzania kwa jumla, kwa kushuhudia tukio la Dk. Ali Mohamed Shein kutangazwa tena na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar kuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kufuatia ushindi mkubwa wa nafasi hiyo alioupata katika uchaguzi wa marudio uliofanyika Machi 20, 2016. Licha ya chama kikuu cha upinzani Zanzibar CUF kutoshiriki uchaguzi, idadi kubwa ya Wananchi waliojitokeza kupiga kura ilitosha kuthibitisha kuwa wananchi wengi wa Zanzibar bado wamekuwa na imani na kiongozi huyo kuwaongoza kwa kipindi kingine cha miaka mitano ijayo. Tume ya uchaguzi Zanzibar ilimtangaza Dk. Ali Mohamed Shein kuwa mshindi kwenye uchaguzi huo kwa kupata asilimia 91.4 ya kura zote halali zilizopigwa. Uchaguzi huo ambao ulivishirikisha vyama 14 vya siasa, ulikuwa huru na wa haki. Kurejewa kwa uchaguzi mkuu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akionesha cheti wa Zanzibar kunafuatia kufutwa kwa cha Ushindi wa Uchaguzi Mkuu wa marudio mara baada ya kutangazwa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, katika ukumbi wa Salama, Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja, tarehe 21 Machi, 2016 uchaguzi wa awali na matokeo yake

3 Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na wagombea wa nafasi ya Urais kupitia Chama cha Tadea Bw. Juma Ali Khatib na chama cha ADC Bw. Hamad Rashid baada ya kutangazwa mshindi na kukabidhiwa cheti cha ushindi na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jecha Salim Jecha wakati wa utoaji wa matokeo ya uchaguzi mkuu wa marudio yaliyotolewa katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja, tarehe 21 Machi, 2016 uliofanyika Oktoba 25, 2015 ambao, Vikwazo vingine ni kufanyika wa upigaji kura, kuhesabu na kutoa kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Tume uhamishaji wa visanduku vya kura matokeo ya uchaguzi huo. Kadhalika ya Uchaguzi Zanzibar Bwana Jecha na kuhesabiwa katika maeneo nje ya nambari katika fomu za matokeo ya Salim Jecha, alilazimika kuufuta vituo kinyume na utaratibu, kutolewa vituo vingi vya Pemba kuonekana uchaguzi huo na matokeo yake nje ya vituo na kupigwa kwa mawakala kufutwa na kuandikwa upya nambari kutokana na kukabiliwa na vikwazo wa vyama vingine, hasa wa chama cha nyengine juu yake. vingi katika kutekeleza majukumu yake TADEA huko Pemba na kuvamiwa Hatua Tume ya Uchaguzi Zanzibar aliyokabidhiwa kikatiba na kisheria. kwa vituo na vijana wanaoonekana ya kumtangaza Dk. Shein kuwa Alivitaja baadhi ya vikwazo hivyo kuandaliwa na vyama vya siasa na mshindi na kumkabidhi cheti cha kuwa ni pamoja na kutofahamiana kwa kufanya fujo kwa kupiga watu na kuzuia ushindi katika uchaguzi huo, inaashiria wajumbe ndani ya Tume na kufikia watu wasiokuwa wa vyama vyao kufika mwanzo wa safari nyengine ya kipindi hatua ya baadhi yao kuvua mashati na katika vituo vya kupiga kura na kupiga cha pili cha miaka mitano ya uongozi kuanza kupigana, baadhi ya wajumbe kura. wake wa awamu ya saba wa Serikali ya badala ya kuwa makamishna wa Tume Aidha, Mwenyekiti alivitaja vikwazo Mapinduzi ya Zanzibar. wamekuwa wawakilishi wa vyama vingine kuwa ni pamoja na vyama vya Akizungumza na wananchi vyao, wakati vipo vyama vingi zaidi siasa kuonekana kuingilia majukumu mbali mbali waliohudhuria kwenye ambavyo havikupata fursa ya kuwa na ya Tume, ikiwemo kujitangazia ushindi hafla ya kutangazwa matokeo, Rais makamishna ndani ya Tume hiyo lakini na kupeleka mashinikizo kwa Tume, mteule aliahidi kufanyakazi kwa vimeshiriki katika uchaguzi huo. Vile kuwepo malalamiko mengi kutoka mashirikianona wananchi wote wa vile kuligundulika kasoro nyingi katika vyama mbali mbali yanayoashiria Zanzibar bila ya ubaguzi wa aina yoyote uchaguzi. kutoridhika na mchakato mzima kama vile ubaguzi wa kiitikadi, kidini, kijinsia, uzawa au umajimbo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein wakipongezwa na Mgombea wa Urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo Bw. Khamis Iddi Lila (wa pili kulia) baada ya kutangazwa mshindi wakati wa matokeo ya uchaguzi huo, tarehe 21 Machi, 2016. Picha ya Kulia ni viongozi mbali mbali pamoja na wananchi waliofika kushuhudia tukio hilo katika ukumbi wa Salama, Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja

Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 4 Rais Mteule wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akiapishwa kuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu katika uwanja wa Amaan Mjini Unguja, tarehe 24 Machi, 2016 KUAPISHWA KWA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI wa Tanzania Mhe. Majaliwa, Viongozi wastahafu wa Zanzibar na wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Wakuu wa vikosi vya ulinzi na usalama na viongozi wengine kadhaa. Kiapo cha Mheshimiwa Rais ni kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar kifungu cha 31.(1) kinachoeleza kuwa “Mtu anayechukua madaraka ya Urais, kabla ya kuanza wadhifa huo atakula kiapo cha uaminifu na kiapo cha kazi kama kitakavyowekwa na Baraza la Wawakilishi lakini kwa hali yoyote itabidi ashike madaraka hayo kabla ya kupita siku saba baada ya kuchaguliwa”. Inaelezwa kwenye katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984. Sherehe za kuapishwa zilikuwa Rais Mteule wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akipigiwa mizinga 21 ikiwa ni salamu za utiifu zimepambwa na shamra shamra za kutoka kwa majeshi ya ulinzi na usalama mara baada ya kuwasili katika uwanja Amaan Mjini kila aina ikiwemo kukagua gwaride Unguja kwa ajili ya kuapishwa, tarehe 24 Machi, 2016 la kuapishwa la vikosi vya ulinzi na atokeo ya uchaguzi kadhaa kutoka Tanzania Bara, Mabalozi usalama, mizinga 21 ilipigwa kuashiria wa Rais yalifuatiwa na wawakilishishi wa nchi na mashirika kuanza kwa uongozi mpya wa Serikali, na sherehe zilizofana mbali mbali ya kimataifa. Miongoni ngoma na nyimbo za vijana wa halaiki, za kuapishwaM kwa Dk. Shein, ambazo mwa waliohudhuria sherehe hizo tumbuizo za muziki wa taarab asilia na zilifanyika katika uwanja wa Amaan ni pamoja na Rais wa Jamhuri ya muziki wa kizazi kipya ilikonga nyoyo tarehe 24/03/2016 na kuhudhuriwa Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. John za waliohudhuria hafla hiyo muhimu na maelfu ya wananchi wa Zanzibar Joseph Pombe Magufuli, Makamu kwa historia ya Zanzibar. kutoka miji na vijiji mbali mbali vya wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Wakati wa usiku Dk. Shein Unguja na Pemba. Aidha Sherehe Tanzania Mhe. , alijumuika na wana CCM na wananchi hizo zilihudhuriwa viongozi wengine Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wengine wa Zanzibar katika taarab

5 Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akiwapungia mkono wananchi baada ya zoezi la kuapishwa pamoja na kukagua gwaride la Vikosi vya Ulinzi na Usalama lenye muundo wa Alfa unaoashiria mwanzo wa Uongozi wake kwa kipindi cha pili cha Serikali ya awamu ya saba katika Uwanja wa Amaan tarehe 24 Machi, 2016

rasmi iliyofanyika katika ukumbi wa Salama Bwawani, ambapo vikundi vitatu vya taarab vilitumbuiza. Vikundi hivyo ambavyo ni mashuhuri kisiwani Unguja ni Kikundi cha Mila na Utamaduni maarufu kama Culture Musical Club, Big Star na Zanzibar Modern Taarab. Vikundi hivyo vilitia fora na kutoa burudani iliyokonga nyoyo za wageni waalikwa na wananchi wengine waliohudhuria hafla hiyo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akikagua gwaride la Vikosi vya Ulinzi na Usalama lenye muundo wa Alfa katika Uwanja wa Amaan baada Vikundi vya Culture na Zanzibar ya kuapishwa, tarehe 24 machi, 2016 Modern Taarab ambavyo vinajumuisha pia wasanii wakongwe katika fani ya muziki huo ‘vilizisuuza’ nyoyo za washabiki wa nyimbo za zamani wakati kukundi cha Big Star kilihanikiza washabiki wa Taarab kwa kupiga nyimbo zake kwa mtindo wa kileo zaidi. Katika Burudani hiyo kila kikundi kilipewa nafasi ya kutumia muda wa dakika 40 ambapo kikundi cha Culture kilifungua pazia kwa kupiga nyimbo ya “mpewa hapokonyeki” ambao ulilipua vifijo na vigelegele na kuwafanya wapenzi kujimwaga ukumbini kucheza. Kwa upande wake Zanzibar Modern Taarab vibao vyao “Kupata au kukosa” Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akipeana kilichoimbwa na Rukiya Ramadhani mkono na Kaimu Mkuu wa JKU Kanali Ali Mtumweni Hamadi wakati aliposalimiana na Wakuu na kingine “Mshayasema Kimeniathiri wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama baada ya kumalizika zoezi la kuapishwa katika Uwanja wa Amaan, tarehe 24 machi, 2016

Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 6 Mwimbaji wa Kikundi cha Zanzibar One Modern Taarab Bi Rukia Ramadhan akiimba wimbo Natosheka na Ndo ndo ndo katika Taarab rasmi ya kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein kwa ushindi mkubwa wa kishindo alioupata katika uchaguzi wa marudio, iliyofanyika katika ukumbi wa Salama, Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja, tarehe 24 Machi, 2016. Taarab hiyo ilitumbuizwa na Vikundi vya Culture Musical Club, Big Star na Zanzibar One Modern Taarab

nini kilichoimbwa na Saada Nassor viliwatia kiwewe washabiki na kuviacha viti vyao. Kikundi cha Big Star ambacho kinamilikiwa na , kilionesha umahiri wake kwa kuja na nyimbo zilizouchangamsha ukumbi na kuwafanya wageni na washabiki kukosa kukalia viti vyao muda wote waliotumbuiza. Kibao cha “Hongera Dk. Shein” Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein, Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe. Abdalla Mwinyi Khamis, kilichoimbwa na Tahir Khamis Mama Asha Balozi na Mama Fatma Karume wakifuatilia burudani ya taarab ya kufurahia kilinogesha furaha za wana CCM na ushindi wa Dk. Shein katika ukumbi wa Salama, Hoteli ya Bwawani, tarehe 24 Machi, 2016 ikawa hekaheka ukumbini. Miongoni mwa viongozi waliohudhuria burudani hiyo ni pamoja na wajumbe wa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM akiwemo Balozi , Katibu Mkuu wa CCM na Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai. Walikuwepo pia mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwemo Waziri wa Habari, Utamaduni, Michezo na Wasanii Nape Nnauye na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano Januari Makamba. Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein na Mke wa Makamo wa Pili wa Rais Mama Asha Suleiman Iddi wakitunza wakati wa Taarab rasmi ya kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein katika ukumbi wa Salama, Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja, tarehe 24 Machi, 2016

7 Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akimuapisha Mhe. Said Hassan Said kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar, tarehe 26 Machi, 2016. Picha nyengine za chini zinaonesha matukio mbali mbali yaliyojitokeza katika hafla hiyo

KUTEULIWA MWANASHERIA MKUU NA KUAPISHWA

iongozi wa mwanzo kuanza kuteuliwa na Dk. Shein katika Serikali mpyaK aliyoiunda alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Said Hassan Said, ambaye ameteuliwa kuendelea na wadhifa wake huo tarehe 25 Machi, 2016. Mwanasheria Mkuu ambaye aliapishwa siku iliyofuata tarehe 26 Machi, 2016, ndiyr mshauri wa kisheria wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na atatekeleza shughuli nyengine zozote za kisheria zitakazopelekwa kwake au atakazoagizwa na Rais au kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya 1984 au sheria nyenginezo zozote.

Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 8 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akimuapisha Balozi Seif Ali Iddi kuwa Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar,, tarehe 30 Machi, 2016. Picha nyengine za chini zinaonesha matukio mbali mbali yaliyojitokeza katika hafla hiyo

KUTEULIWA KWA MAKAMU WA PILI WA RAIS NA KUAPISHWA

arehe 28 Machi, 2016, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziT Dk. Ali Mohamed Shein alimteua tena Balozi Seif Ali Iddi kuwa Makamo wa Pili Rais na kumuapisha tarehe 30 Machi, 2016. Kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar Makamo wa pili wa Rais atateuliwa kutoka miongoni mwa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kutoka katika chama anachotoka Rais na atakuwa ndiye mshauri mkuu wa Rais katika kutekeleza kazi zake na pia atakuwa ndiye kiongozi wa shughuli za serikali katika Baraza la Wawakilishi. Balozi Seif Ali Iddi ni muwakilishi wa kuchaguliwa na wananchi katika jimbo la Mahonda, Mkoa wa Kaskazini Unguja.

9 Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akikagua gwaride la kikosi cha FFU akiongozwa na Kamanda wa FFU Mjini Magharibi S.S.P Anani wakati wa Uzinduzi wa Baraza la 9 la Baraza la Wawakilishi liliopo Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar, tarehe 05 Aprili, 2016

UZINDUZI WA BARAZA LA TISA LA WAWAKILISHI

Dk. Ali Mohamed Shein Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi

arehe 05 Aprili, 2016, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Baadhi ya Mabalozi wa nchi mbali mbali wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini wakimsikiliza MapinduziT Dk. Ali Mohamed Shein Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hotuba yake ya uzinduzi wa Baraza la 9 iliyofanyika katika ukumbi wa baraza hilo liliopo amelizindua rasmi Baraza la tisa la Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar, tarehe 05 Aprili, 2016 Wawakilishi. Kabla ya kulihutubia na kulizindua Baraza hilo, Dk. Shein wa Zanzibar, Rais wa Zanzibar alielezea – 2020 na nyengine nje ya Ilani hiyo. alikagua gwaride la vikosi vya ulinzi na mipango ya Serikali yake katika kipindi Aidha, alisisitiza umuhimu wa kuleta usalama ambalo liliandaliwa maalum cha miaka mitano ijayo huku akisisitiza mabadiliko ya kiutendaji, kuwajibika kwa ajili ya sherehe hiyo. kutekeleza ahadi zote alizoahidi wakati katika kazi, kuimarisha uchumi na Katika hotuba yake kwa wajumbe wa wa kampeni. Ahadi hizo ni zile zilizomo maendeleo, utawala bora, amani, Baraza la Wawakilishi na wananchi wote ndani ya Ilani ya CCM ya mwaka 2015 utulivu na usalama katika nchi.

Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 10 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akitia saini kitabu cha wageni katika Ofisi ya Baraza la Wawakilishi mara baada ya kuwasili kulizindua Baraza la 9 la Wawakilishi huko kwenye ukumbi wa Baraza hilo Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar, tarehe 05 Aprili, 2016. Kulia ni Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe.Zubeir Ali Maulid

Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake ya uzinduzi wa Baraza la 9 uliyofanyika katika ukumbi wa baraza hilo Mbweni, tarehe 05 Aprili, 2016

Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakisimama wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein wakati alipoingia katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi liliopo Mbweni kabla ya kulizindua tarehe 05 Aprili, 2016

11 Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza na wahariri na waandishi wa vyombo vya habari kabla ya kutangaza Baraza la Mawaziri Ikulu Mjini Unguja, tarehe 05 Aprili, 2016

KUTANGAZWA KWA MAWAZIRI NA MANAIBU MAWAZIRI arehe 9 Machi, 2016, wake ungekubaliwa na kila mtu kwa yatakayowezesha na kurahisisha Rais wa Zanzibar na kuwa vigezo vya uteuzi ni vingi na utendaji na uwajibikaji katika serikali Mwenyekiti wa Baraza la zaidi uteuzi wa nafasi hizo unazingatia kuanzia kwa watumishi wa umma hadi MapinduziT Dk. Ali Mohamed Shein pia mahitaji na mweleko wa serikali viongozi. alikamilisha uteuzi wa safu ya uongozi inayoundwa. “Tumepitisha sheria na kanuni zote wa Serikali kwa kutangaza Baraza la Sisi tunaamini kama ambavyo kilichobaki ni kusimamiwa tu na pia Mawaziri lenye wizara 13 kutoka 16 Mheshimiwa Rais anavyoamini kuwa tumeweka mazingira ya kuhakikisha la Awamu ya Kwanza wa Uongozi wa Baraza hili lina uwezo wa kutekeleza watu wanafanyakazi na watu Serikali ya Awamu ya Saba. Katika malengo ya serikali na kukidhi matarajio wanapenda kazi yao” Dk. Shein alisema Makala haya Mwandishi wetu anaeleza ya wananchi ambao ndio walengwa hayo kuwajibu waandishi wa habari. zaidi. wakuu. Lakini kitu ambacho ni wazi na Ni tukio lililokuwa likisubiriwa Jambo kubwa na muhimu Mheshimiwa Rais amekiri kuwa bado kwa hamu na wananchi wote tangu kwa Baraza hilo na Serikali nzima katika kipindi kilichopita usimamizi kutangazwa matokeo ya uchaguzi tarehe ambalo Mheshimiwa Rais alisisitiza haukuwa mzuri na suala hilo hata 21 Machi, 2016 ambapo Dk. Shein ni uwajibikaji usio na mashaka na baadhi ya wananchi wamekuwa aliibuka mshindi dhidi ya wagombea unaozingatia uwazi zaidi. wakihoji jambo hilo. wengine. Masuala haya mawili yamekuwa Kwa wote waliokabidhiwa madaraka Mheshimiwa Rais alitangaza Baraza nguzo katika uongozi wa Awamu ya hata kama ni madogo kama vile afisa lililo na mchanganyiko wa sura mpya Saba chini ya Dk. Shein, ambayo ni masijala jambo hili si la kufanyia na za zamani, wazee kwa vijana na miongoni mwa ahadi zake zilizogusa mchezo. Mathalan haipendezi na ni kutoa taswira halisi ya mwelekeo wa hisia za wananchi wa Zanzibar katika ishara mbaya ikafika wakati wananchi Serikali ya Awamu ya pili ya Uongozi maelezo yake ya kwanza wakati kama alivyoeleza mwandishi mmoja wa Awamu ya Saba. alipoeleza kwa mara ya kwanza nia yake wa habari kuhoji kuwa kama watu Wamo waliotarajiwa na ya kugombea nafasi hiyo mwaka 2010. hawatekelezi maagizo ya Mheshimiwa wasiotarajiwa pia kama ambavyo Kama alivyoeleza wakati wa Rais watamsikiliza nani tena. Mheshimiwa Rais alivyoeleza wakati kutangaza Baraza kuwa kipindi cha Ndio maana Mheshimiwa Rais akijibu moja ya maswali ya waandishi miaka mitano ya kwanza kazi kubwa alieleza bayana kuwa atawaondoa wa habari kuwa si wakati wote uteuzi ilifanyika kuweka mazingira bora viongozi “wasiosimamia maagizo

Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 12 serikali ambao Mheshimiwa Rais anaouzungumzia hautaonekana ikiwa kutakuwa na urasimu au hata kutokuwepo ushirikiano na vyombo vya habari. Changamoto ambayo Mheshimiwa Rais ameitoa kwa vyombo vya habari kuuelezea umma nini serikali inafanya na wapi imepiga hatua na wapi imerudi nyuma. Kwa maana nyingine hata ule ‘utendaji haki’ alioupigia chapuo Mheshimiwa Rais kwa vyombo vya habari katika kuandika na kuripoti masuala mbalimbali ya serikali hautawezekana kama urasimu hautaondoshwa katika utoaji habari katika serikali na taasisi zake. Mheshimiwa Rais ameweka wazi vipaumbele vya Serikali katika hotuba yake akizindua Baraza la tisa la Wawakilishi ambapo kama viongozi na watendaji wa serikali hawatazingatia masuala hayo ya uwajibikaji na uwazi itakuwa shida kuvifikia. Kwa hivyo hadi Baraza la Mapinduzi lilipoapishwa, Viongozi wa ya serikali” na kwamba serikali pande zote, tujitahidi kutenda haki, serikali, watendaji na hata watumishi “itawashughulikia kwa mujibu tulipoweza mueleze, tulipokosea wa kawaida walikwishafahamu vyema wa sheria” viongozi na watendaji tuelezwe. Sitawapiga chenga, ujumbe wa Mheshimiwa Rais kwa wasiotekeleza wajibu wao wa tutakutana na wizara zitafanya hivyo kuwa wengi wamekuwa wakifuatilia kusimamia kazi katika maeneo yao. hivyo” Dk. Shein alisisitiza. kwa karibu matukio yote hayo kupitia Mfano huu wa mifugo mijini, Katika mnasaba huu aliahidi vyombo mbalimbali vya habari. ni kero ambayo Mheshimiwa Rais kuziagiza tena wizara na idara za serikali Kwa hivyo, tunatarajia kushuhudia amekuwa akiisemea mara nyingi lakini kuweka utaratibu maalum wa kutoa mabadiliko makubwa katika utendaji uongozi wa Mkoa umekuwa ukisuasua taarifa za Serikali kwa vyombo vya wa Baraza la Mapinduzi na Wizara kulitekeleza. Imeelezwa mara kwa mara habari ambavyo mara zote amekuwa zenyewe na taasisi za serikali na hatimae athari za mifugo kuzurura mjini na hata akitambua nafasi na mchango wake wananchi kupata kile wanachokitarajia huko mashamba sehemu za barabarani. katika kuleta maendeleo ya nchi. kutoka kwa serikali yao. Hapa hatua zinapaswa kuchukuliwa. Dk. Shein aliwaeleza waandishi wa Kama ilivyoelezwa awali Baraza Katika kusisitiza uwazi Dk. Shein habari kuwa hakubaliani na urasimu la Mapinduzi lina mchanganyiko wa ameahidi kuendelea kuongoza serikali unaofanywa na baadhi ya watendaji wazoefu na vijana wenye uwezo hivyo inayozingatia utawala bora na moja serikalini ambao unakwamisha utendaji wana kila sababu za kuonesha uwezo wao ya sifa za utawala bora ni uwazi katika wa vyombo vya habari na kuelekeza huo kwa kutekeleza wajibu wao kwa kasi utendaji. mamlaka husika kulishughulikia suala zaidi, ufanisi zaidi na kuongoza kwa mfano Kwa hivyo alirejea dhamira ya hilo mara moja. wa uwajibikaji kwa wanaowaongoza. Serikali ya kufanya kazi kwa karibu na Ni jambo la kushangaza kama Baada ya kupata mafanikio vyombo vya habari katika kuimarisha alivyoeleza mwenyewe Mheshimiwa makubwa katika utekelezaji wa Ilani ya uwazi na uwajibikaji serikalini na Rais kuona kuwa watendaji wanakuwa Uchaguzi katika miaka mitano iliyopita, kwamba kila inapowezekana atakutana wagumu kutoa habari wakati yeye Mheshimiwa Rais amewaahidi wananchi nao vyombo hivyo kuzungumzia hatua binafsi anakutana na waandishi mara kuwa mambo mazuri bado yanakuja na mbalimbali za utendaji wa serikali yake. kwa mara katika shughuli zake za wa kuyaleta mambo hayo ni sisi sote lakini “Uwazi zaidi, ukweli zaidi na nyinyi utendaji. kiongozi na mtendaji wa serikali ndio ndio mtakaothibitisha. Mtusaidie Ni ukweli usiopingika kuwa muonesha njia. Uongozi ni kuonesha kutekeleza kazi yetu hii. Tuwe wakweli huo uwazi zaidi wa utendaji wa njia. Inawezekana timiza wajibu wako.

13 Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 MAWAZIRI WALIOTEULIWA

Mhe. Issa Haji Ussi Gavu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti Mhe. Haroun Ali Suleiman wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Haji Omar Kheri. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Sheria Utumushi wa Umma na Tawala za Mikoa na Idara Utawala Bora Maalum za SMZ

Mhe. Mohammed Aboud Mohammed Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe. Dk. Khalid Salum Mohammed Mhe. Balozi Amina Sakum Ali Waziri wa Fedha na Mipango Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko MANAIBU MAWAZIRI

Mhe. Choum Kombo Khamis Naibu Waziri wa Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo

Mhe. Juma Makungu Juma Naibu Waziri wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira

Mhe. Khamis Juma Maalim Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Mhe. Harusi Said Suleiman Naibu Waziri wa Afya

Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 14 Mhe. Salama Aboud Talib Waziri wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira Mhe. Mahmoud Thabit Kombo Waziri wa Afya Mhe. Riziki Pembe Juma Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali

Mhe. Rashid Ali Juma Waziri wa Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Mhe. Hamad Rashid Mohammed Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Mhe. Moudline Castico Waziri wa Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto

Mhe. Juma Ali Khatib Waziri asiyekua na Wizara Maalum Mhe. Balozi Ali Karume Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji Mhe. Said Soud Said Waziri asiyekua na Wizara Maalum

Mhe. Lulu Msham Abdulla Naibu Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mhe. Mohammed Ahmada Salum Mifugo na Uvuvi Naibu Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Mhe. Mmanga Mjengo Mjawiri Usafirishaji Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali

15 Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 Matukio mbali mbali katika Picha

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Wilson M. Masilingi alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kumsalimia Rais, tarehe 04 Aprili, 2016

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akishiriki kusoma Hitma pamoja na viongozi wengine na wananchi ya kumuombea dua Rais wa Kwanza wa Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume iliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar, tarehe 07 Aprili, 2016

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza na wananchi walioathirika na mvua kubwa zilizonyesha Jumamosi ya tarehe 16 Aprili 2016 usiku ambazo zilisababisha maafa mbali mbali kwa wananchi hao. Ziara hiyo ya Rais imefanyika tarehe 20 Aprili, 2016

Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 16 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza na Makamo wa Rais wa Shirika la Maendeleo la Korea Kusini “KOICA GLOBAL” Bw. Kwon Taemyon akiwa na ujumbe wake walipofika Ikulu Mjini Zanzibar pamoja na mwenyeji wa Ujumbe huo Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Mhe. Hamad Rashid Mohamed(hayupo pichani), tarehe 14 Aprili, 2016

Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein (katikati) Mama Fatma Karume (wa pili kulia) pamoja na Wake wa Viongozi wakiwa katika Hitma ya kumuombea dua Rais wa Kwanza wa Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume iliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar, tarehe 07 Aprili, 2016

Baadhi ya Wananchi wa Mjini na Mashamba waliojumika kwa pamoja katika Hitma ya kumuombea dua Rais wa Kwanza wa Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume iliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar, tarehe 07 Aprili, 2016

17 Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 BAADHI YA DONDOO MUHIMU KAMA ZILIVYOKARIRIWA KUTOKA KWENYE HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI DK. ALI MOHAMED SHEIN KATIKA UZINDUZI WA BARAZA LA TISA LA WAWAKILISHI TAREHE 5, APRILI 2016.

KAZI ILIYO MBELE YETU Dhamira ya Serikali katika kipindi hiki cha pili, cha • Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Awamu ya Saba, Awamu ya Saba ni kuongeza ukusanyaji wa mapato ya ndani katika kipindi chake cha pili itaweka vipaumbele kwa sekta kutoka TZS bilioni 362.8 mwaka 2014/2015 hadi kufikia mbali mbali kwa kuzingatia Ilani ya Uchaguzi Mkuu ya CCM TZS bilioni 800 ifikapo mwaka 2020/2021. Waheshimiwa ya mwaka 2015 – 2020 pamoja na ahadi nilizozitoa kwa Wajumbe tuna wajibu na kazi kubwa ya kufanya ili tuweze wananchi, wakati nikiomba ridhaa ya kunichagua pamoja kuyafikia malengo hayo na Zanzibar iweze kwenda sambamba na wagombea wenzangu wa Chama cha Mapinduzi katika na kasi ya ukuaji wa uchumi wa nchi nyingi zinazoendelea. Uchaguzi Mkuu uliomalizika. Katika kipindi hiki, tutajitahidi kupanga vipaumbele UCHUMI vichache vinavyotekelezeka kwenye wizara zetu, kwa • Lengo la Serikali ninayoiongoza, ni kuhakikisha kutumia uwezo tulio nao na mapato yetu. Tunataka tuanze kuwa kasi ya ukuaji wa uchumi inafikia asilimia 8-10 katika kujitegemea na hilo ni lazima tuliweze. Nataka Mawaziri na miaka mitano ijayo. Shabaha yetu tufikie kiwango cha Makatibu Wakuu washirikiane katika kulifanikisha jambo hili. uchumi wa nchi zenye kipato cha kati, kama ilivyoelekezwa na Tutaendelea kupokea misaada kutoka kwa wahisani wetu pale kusisitizwa katika Ilani ya Uchaguzi Mkuu ya CCM ya mwaka tutakapopewa na tutashirikiana nao kwa ajili ya maendeleo 2015-2020, Dira ya Maendeleo 2020 pamoja na mipango yetu. mingine ya maendeleo. UWEKEZAJI VITEGA UCHUMI Tutahakikisha kwamba tunaimarisha ustawi wa wananchi • Katika kuendeleza juhudi za kuvutia uwekezaji kwa kuongeza zaidi Pato la Mtu binafsi kutoka kiwango katika Maeneo Huru ya Uchumi ya Fumba, Serikali imefunga tulichokifikia hivi sasa, cha wastani wa TZS milioni 1.552 mkataba na Bakhresa Group of Companies ili kujenga miundo sawa na Dola za Kimarekani 939 hadi kufikia kiwango cha mbinu katika eneo ambalo Mpango Mkuu wa Uwekezaji Pato la Mtu binafsi kwa nchi zenye kipato cha kati ambacho umeshaidhinishwa katika kipindi hiki cha miaka 5. Jumla kinaanzia Dola za kimarekani 1,046. ya kilomita 13 za barabara kuu zimeanza kujengwa ambazo zitagharimu jumla ya TZS. bilioni 15.6 na barabara ndogo

Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 18 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akitoa hotuba yake ya uzinduzi wa Baraza la 9 la Wawakilishi huko kwenye ukumbi wa Baraza hilo Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar, tarehe 05 Aprili, 2016. zenye urefu wa kiasi cha kilomita 20 zitajengwa kwa kiwango Katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, tumepata cha lami zitakazogharimu TZS. bilioni 20. mafanikio makubwa katika kulifufua zao hilo. Tulianzisha mpango maalum wa miaka 10 wa kulifufua na kuliendeleza Jumla ya miradi mikubwa mitano (5) itajengwa kwenye zao hili na kwa kulifanyia mageuzi makubwa Shirika la ZSTC eneo hilo, katika kipindi hiki. Miradi hiyo ni ujenzi wa Miji ambalo kwa sasa linaendeshwa kwa ufanisi mkubwa. ya Kisasa wa Kibiashara “Fumba Satellite City” katika eneo la Fumba, ujenzi wa Mji wa kisasa wa Makaazi “Fumba Town • Kwa mara nyengine, nawaahidi wananchi kuwa Development” katika eneo la Nyamanzi, ujenzi wa Mji wa Serikali itaendelea kuwalipa wakulima wa karafuu asilimia 80 kisasa wa Nyumba za Biashara na Makaazi pamoja na ujenzi ya bei ya karafuu ya soko la dunia kama nilivyoahidi katika wa Maeneo ya Kupumzikia Watu “Fumba Uptown Living” kipindi kilichopita. Serikali itaendelea kuwapa mikopo na katika eneo la Fumba. miche wakulima kutoka kwenye vitalu tulivyovianzisha. Tutaendeleza vita dhidi ya magendo na tutaendelea Vile vile, eneo lenye ukubwa wa hekta 102 limetengwa kuliimarisha Shirika la ZSTC, ili liendelee kusimamia huko Fumba, kwa ajili ya ujenzi wa viwanda ambapo viwanda vizuri biashara ya karafuu na viungo vyengine ili lijiendeshe viwili vya ujenzi wa nyumba katika vijiji vya Kororo na kibiashara na liendelee kupata faida. Wito wangu kwa Nyamanzi tayari vimeshajengwa. wananchi na wakulima wa karafuu ni kuwa, tushikamane katika kuyaendeleza mafanikio haya. Vile vile, Serikali Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, Serikali kupitia itaendeleza ujenzi wa barabara za ndani zinazoelekea kwenye Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) itaendelea na maeneo yenye karafuu nyingi. Jumla ya barabara nne ujenzi wa nyumba za kisasa uliokwishaanza katika eneo la zitajengwa kwenye maeneo mbali mbali katika kipindi hiki. Mbweni - Unguja, ambao unajumuisha majengo 18 ya ghorofa 7 kila moja. Majengo hayo yatakapomalizika yatakuwa na VIWANDA jumla ya vyumba 252. • Nataka niwahakikishie wananchi kuwa katika kipindi cha miaka mitano ijayo, nitasimamia utekelezaji wa BIASHARA ahadi hiyo niliyoitoa wakati wa Kampeni huku tukishirikiana • Kwa kutambua umuhimu wa zao la karafuu kwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tutazidisha uchumi na historia ya Zanzibar na watu wake, Serikali kasi ya kutafuta wawekezaji wenye mitaji mikubwa, uwezo na inaendeleza juhudi mbali mbali za kuliimarisha zao hili. dhamira ya kweli ya kujenga viwanda katika eneo huru la huko

19 Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 Micheweni vitakavyokuwa na uwezo mkubwa wa kutoa ajira MIFUGO kwa vijana wetu, kama tulivyokwishaanza kwa eneo la Fumba. • Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, Serikali Kadhalika, Serikali itaendeleza viwanda katika Maeneo itaendelea kuhimiza na kuimarisha ufugaji wa ng’ombe wa Maalum ya Kiuchumi (SEZ) na kuwavutia wawakezaji wenye maziwa na nyama, ufugaji wa mbuzi pamoja na kuku wa mitaji mikubwa kuwekeza katika miundombinu ya viwanda nyama na mayai, ili kuongeza tija na kipato cha wafugaji. vinavyotoa ajira kwa wingi. UVUVI NA MAZAO YA BAHARINI UTALII • Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, Serikali • Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, tutaongeza itaendeleza juhudi katika kusimamia utekelezaji wa Sera na kasi ya kuiimarisha sekta ya utalii ili tuweze kulifikia Sheria za Uvuvi ili kuimarisha usimamizi wa rasilimali za lengo lililobainishwa katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya bahari na uhifadhi wa mazingira na kuendeleza jitihada za mwaka 2015 – 2020, la kufikia idadi ya watalii 500,000, kuwahamasisha wavuvi wadogo katika kuanzisha vikundi vya wanaoitembelea Zanzibar kwa mwaka, ifikapo mwaka 2020. ushirika na kuwapatia mafunzo na mikopo nafuu ya zana za kisasa ili kuongeza mapato yao. Tutaendelea kuwashajiisha wawekezaji ili waje wawekeze katika ujenzi wa hoteli za kisasa na utoaji wa huduma huku Vile vile, Serikali itaandaa mpango na mazingira ya tukiwa tumeelekeza nguvu kubwa katika kuimarisha utalii kuvutia Sekta Binafsi kuwekeza katika uvuvi wa bahari kuu, unaozingatia hifadhi ya mazingira na kuulinda utamaduni utengenezaji wa boti za uvuvi, ujenzi wa vyumba vya baridi wetu. Katika kipindi hiki, Chuo cha Utalii cha Maruhubi (cold rooms) pamoja na viwanda vya kusindika samaki. kitaunganishwa na Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar Aidha, wavuvi hasa vijana watahamasishwa na kupatiwa (SUZA), ili kuimarisha utoaji wa mafunzo ya utalii kwa kutoa mafunzo na zana za kisasa zitakazowawezesha kuvua katika shahada za fani mbali mbali. Mafunzo haya yatasaidia katika kina kirefu cha maji. kuimarisha sekta ya utalii na kuongeza ajira za vijana. Serikali itanunua vihori 500 vya kuchukulia mwani Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, Serikali itaongeza na kuvisambaza kwa wakulima wa mwani 3,000 Unguja juhudi za kuziimarisha sehemu za kihistoria na kufanya na Pemba ili kuongeza uzalishaji wa mwani. Aidha, matengenezo ya Makumbusho pamoja na kufanya uhifadhi itawahamasisha wafugaji wa samaki, chaza, kaa, kamba na wa mapango ya asili kwa lengo la kuyatunza na kuchochea majongoo ili kuendeleza uzalishaji wa mazao hayo. Vile vile, shughuli za utalii. Kadhalika, Serikali itaendeleza utekelezaji juhudi zitachukuwa katika kutafuta masoko kwa mazao ya wa Mpango wa Uhifadhi wa Mambo ya Kale na kuanzisha baharini. Aidha, tutasimamia Mpango Shirikishi wa Maeneo Taasisi ya Nyaraka na Kumbukumbu za Kale pamoja na vituo ya Hifadhi ya Bahari yakiwemo maeneo ya Tumbatu, vya kuhifadhia kumbukumbu katika kila Mkoa. Chumbe – Bawe, Minai kwa Unguja na Kisiwa Panza, Kokota na Mwambe kwa upande wa Pemba. Tutahakikisha kwamba KILIMO jamii inayozunguka maeneo hayo inanufaika na uhifadhi huo. • ...... Tutayaendeleza mafanikio pamoja na kuzitafutia ufumbuzi changamoto zinazoendelea kuwakabili wakulima Kwa kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wetu. Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, Serikali itaendelea wa Tanzania, tutaandaa Sera ya Uvuvi wa Bahari Kuu ili kuimarisha sekta ya kilimo kwa kuendelea kutoa ruzuku ya kuwavutia wawekezaji wa ndani na wa nje wawekeze katika asilimia 75 ya gharama za pembejeo za kilimo na huduma za Sekta ya Uvuvi wa bahari kuu, wajenge viwanda vya kusindika matrekta kwa wakulima kama tulivyoanza katika kipindi cha samaki, waanzishe Chuo cha Mafunzo ya Uvuvi na wajenge kwanza. Aidha, Serikali itaendeleza programu za mapinduzi Bandari ya Uvuvi. Tayari Kampuni ya Hairu ya Sri Lanka ya kilimo na usimamizi wa rasilimali za misitu na kuongeza imetiliana saini Makubaliano ya Awali ya kuanzisha uwekezaji idadi ya mabwana/mabibi shamba kutoka 172 mwaka 2014 katika uvuvi kwa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya hadi kufikia mmoja kwa kila shehia ifikapo mwaka 2020. Vile Zanzibar. Vile vile, Serikali imetiliana saini mkataba na vile, tutaendeleza mafunzo kwa wakulima na kutilia mkazo Shirika la Kimataifa la Kilimo na Chakula (FAO) kwa ajili ya matumizi ya kanuni za kilimo bora katika uzalishaji wa mazao kuanzisha Mradi wa kuendeleza shughuli za ufugaji wa samaki, ya chakula na biashara pamoja na matumizi ya zana za kisasa. utakaogharimu Dola za Kimarekani milioni 3.23. Mradi huu Vile vile, Serikali itaendeleza utafiti wa mbegu za mazao ya utatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitatu na utajumuisha chakula, biashara, mboga na matunda na kuhakikisha kwamba ujenzi wa kituo cha kuzalisha vifaranga vya samaki, huko Beit- matumizi ya takwimu na matokeo ya utafiti huo, yanawafikia el-Ras. Fedha za mradi huo zitatolewa na Serikali ya Korea wakulima na yanatumika katika kufanya uamuzi. kupitia Shirika la Ushirikiano wa Maendeleo la Kimataifa la Korea ( KOICA).

Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 20 ARDHI kuwashajiisha wawekezaji. Tutahakikisha kwamba sekta • Katika kipindi hiki cha pili cha miaka mitano, binafsi inaimarishwa na kuwa chanzo kikuu cha ajira. Vyama Serikali itaendelea na juhudi zake za kuimarisha matumizi vya ushirika navyo vitaunganishwa ili viwawezesha wananchi ya ardhi na kutatua migogoro iliyobakia na kuimarisha kubadili maisha yao ili wajiendeleze kiuchumi. SACCOS na huduma za Mahakama za Ardhi katika Mikoa yote ya Asasi ndogo za fedha zitaimarishwa na kupatiwa mafunzo Unguja na Pemba. Tutaendelea kuwaelimisha wananchi juu ya kitaalamu, uongozi na kuwaongezea mitaji, ili ziweze ya umuhimu wa kutambua na kufuata sheria mbali mbali za kutekeleza shughuli zake kwa ufanisi kwa lengo la kuongeza ardhi zinazohusiana na utambuzi, upimaji na usajili wa ardhi. ajira. Aidha, Serikali, itaendeleza kazi ya upimaji wa viwanja na utoaji wa hati kwa ajili ya matumizi mbali mbali ya kiuchumi Serikali itaendelea na jitihada zake za kuimarisha maslahi na kijamii, kwa kuzingatia mpango wa kitaifa wa Matumizi ya wafanyakazi pamoja na mazingira ya kufanyia kazi. bora ya Ardhi. Tutaendelea kuimarisha miundo ya utumishi, ili wafanyakazi waendelee kufaidika na elimu, uwezo na uzoefu walioupata MAZINGIRA wakiwa kazini pamoja na viwango vya elimu walivyonavyo. • ...... Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, Serikali Hata hivyo, nataka nikumbushe kuwa, wafanyakazi sote italiangalia upya, suala la uchimbaji mawe na mchanga tufahamu kuwa mshahara ni matunda na tunzo mtu anayopata na ukataji ovyo wa minazi. Serikali itaandaa mbinu mpya kutokana na juhudi aliyoifanya katika uzalishaji. Kuna baadhi katika kulishughulikia suala hilo. Nitahakikisha kuwa juhudi ya watu wamejenga tabia ya kudai mishahara mikubwa na za uhifadhi wa mazingira zinaendelea kupata ufanisi huku kuilaumu Serikali kuwa haipandishi mishahara bila ya wao tukitambua kuwa dunia imekabiliwa na changamoto mbali kuwa na ari na dhamira ya kweli ya kujitahidi kufanya kazi na mbali zitokanazo na uharibifu wa mazingira na mabadiliko ya kuzalisha. tabia ya nchi. Changamoto hizo zimekuwa na athari zaidi na katika nchi za Visiwa. …….Kwa pamoja tunawajibika kulitekeleza kwa vitendo agizo langu nililolitoa mwaka 2011, mara tu baada ya kuingia VYAMA VYA USHIRIKA NA SACCOS madarakani kuwa “tubadilike na tusifanye kazi kwa mazoea”. • Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, Serikali Tulijitahidi kubadilika na kuyaondoa mazoea. Lakini ni itayaendeleza mafanikio yaliyopatikana pamoja na kuendelea ukweli usiopingika matatizo bado yapo, viwango vya utendaji kuimarisha Mfuko wa Uwezeshaji wa Wananchi Kiuchumi ili na nidhamu kazini bado havijaongezeka sana. Ni jukumu letu kuongeza uwezo wake wa kutoa mikopo kwa wajasiriamali na tufanye kazi kwa bidii na tuipende kazi. Kwani wapo baadhi wafanyabiashara wadogo. Sambamba na juhudi hizo, Serikali ya wafanyakazi ambao hawapendi kufanyakazi (kwa vitendo itakiimarisha kituo cha kulelea wajasiriamali kilichoko vyao), na wengine hawataki kufanyakazi, lakini wao ndio wa Mbweni pamoja na kuendelea kutoa mafunzo mbali mbali mwanzo wanaotaka mishahara mikubwa, posho nzuri, safari kwa lengo la kuwajengea wananchi uwezo wa kujiajiri na za kila wakati na kuhudhuria kwenye semina na mikutano kila kuondokana na umasikini. mara.

Aidha, Serikali itaanzisha vituo 10 vya huduma za Wapo baadhi ya wafanyakazi kwenye taasisi muhimu biashara; kimoja kila Wilaya ili kuongeza tija katika shughuli zinazotoa huduma kwa wananchi, ambao hawajali kazi za wajasiriamali na wafanyabiashara wadogo pamoja na kutoa zao na wanakwepa wajibu wao. Upo ushahidi kutoka kwa mikopo 5,000 yenye thamani ya TZS. bilioni 2.5. Mikopo baadhi ya wananchi kwamba wanapokwenda kutaka huduma hii itawanufaisha jumla ya wananchi 50,000 kutoka kwenye wanadharauliwa, wanapuuzwa, na wengine wananyanyaswa makundi mbali mbali ya wananchi hususan wanawake, vijana na wengine hutakiwa watoe kitu chochote. Baadhi ya na watu wenye walemavu. wafanyakazi wenye tabia hizi walichukuliwa hatua za kinidhamu, lakini bado hawajajirekebisha. Wafanyakazi wa KAZI, AJIRA NA UTUMISHI WA UMMA namna hii huwavunja moyo wananchi na hupelekea wananchi • Suala la ajira bado ni changamoto katika nchi waichukie Serikali yao bila ya sababu za msingi. yetu kama ilivyo katika Mataifa mengine. Tuna matumaini makubwa ya kupata mafanikio katika ongezeko la nafasi za kazi Zaidi ya hayo, wapo baadhi ya watumishi wenye tabia katika kipindi kijacho kutokana na mikakati tuliyojipangia. ya kutoroka kazini, kuchelewa na hawazijali kanuni ziliopo Miaka mitano iliyopita, zilipatikana nafasi za ajira 5,370 za utumishi wa umma. Wao hujifanya wababe mbele ya katika taasisi mbali mbali za serikali na nafasi 25,006 katika viongozi wao. Wafanyakazi wenye sifa mbaya nilizozielezea sekta binafsi zikijumuisha ajira za nje ya nchi. katika kipindi hiki tutawachukulia hatua watakapobainika na kama hapana budi tutawafukuza kazini. Hatuwezi kuwa na Tutahakikisha jitihada za Serikali za kutekeleza mageuzi wafanyakazi waliokuwa hawana nidhamu. Sasa basi, imetosha. ya uchumi zinafanikiwa katika sekta ya utalii na viwanda kwa Waliopewa dhamana ya kuziongoza Idara mbali mbali za

21 Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 Serikali watapaswa watekeleze wajibu wao kwa kuwasimamia Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, Serikali itatekeleza wafanyakazi walio chini yao. Pindi kama hawatawawajibisha mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya kisasa ya kuhudumia wafanyakazi wao, basi watawajibishwa wao. Lengo letu liwe mizigo katika eneo la Mpigaduri itakayoanza kujengwa kutoa huduma kwa wananchi, kwani sote tunawajibika kwao; baadae mwaka huu kwa mkopo kutoka Serikali ya Jamhuri ya kwa kuzingatia misingi ya utawala bora. Watu wa China. Vile vile, bandari ya Malindi itaendelezwa kwa kuongeza vifaa vya huduma kwa abiria pamoja na mizigo. Nataka niwahakikishie wananchi kuwa nitatekeleza ahadi Bandari ya Mkoani Pemba itaendelezwa kwa kuipatia vifaa nilizozitoa wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka vya kisasa vya kuhudumia abiria na mizigo. Aidha, bandari ya 2015, za kuimarisha maslahi ya wafanyakazi katika sekta mbali Wete nayo inatarajiwa kujengwa kwa juhudi za sekta binafsi, mbali ukiwemo utoaji wa kima cha chini cha mshahara cha ambapo muwekezaji amejitokeza na yupo tayari kuifanya TZS. 300,000 kwa mwezi ndani ya kipindi cha mwaka mmoja kazi hiyo. Kadhalika, Gati ya Mkokotoni nayo itajengwa baada ya kuingia madarakani. Kadhalika, ahadi yangu kwa kwa kukamilisha kazi ya ujenzi wa jeti kwa ajili ya huduma Idara Maalum za SMZ ya maslahi yao yalingane na wenzao za usafiri wa wananchi hasa wa Tumbatu na usafirishaji wa wa SMT ipo pale pale. Tumuombe Mwenyezi Mungu atupe mizigo kwa majahazi. uwezo wa kukusanya mapato vizuri, ili Serikali ipate uwezo wa kuzitekeleza ahadi hizo. Shirika la Meli na Uwakala, litafanyiwa mabadiliko makubwa ili liweze kujiendesha kibiashara na kununua meli MIUNDOMBINU nyengine mpya ya abiria ndogo na moja ya mafuta. • Kwa lengo la kuimarisha zaidi miundombinu ya barabara katika kipindi cha miaka mitano ijayo, Serikali NISHATI itaendeleza kazi ya utunzaji na matengenezo ya barabara • Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, Serikali zilizokwishajengwa na kufanya marekebisho katika maeneo itaendelea na juhudi za kuufikisha umeme katika vijiji na yanayotuama maji ya mvua na kuathiri ubora wa barabara visiwa vidogo vidogo, vilivyobakia ikiwemo Kisiwa cha hizo. Kadhalika, tutakamilisha ujenzi wa barabara ya Jendele Fundo, ambapo huduma hizi zinatarajiwa kupatikana katika – Cheju-Kaebona (km 11.7) na barabara ya Koani hadi Jumbi mwaka wa fedha 2016/2017. Juhudi za kutafuta umeme wa (km 6.3) kwa kiwango cha lami kwa Unguja na barabara ya nishati mbadala zimefikia hatua kubwa kwa kushirikiana na Ole hadi Kengeja (km 35), Makanyageni hadi Kangani (km washirika wa maendeleo ambapo utafiti wa kutumia upepo 6.5), Finya hadi Kicha (km 8.8) na barabara kutoka Mgagadu unaendelea. Aidha, Shirika la Umeme la Zanzibar (ZECO) hadi Kiwani (km 7.6) kwa kiwango cha lami kwa upande wa litafanyiwa mabadiliko, ili liweze kutoa huduma bora zaidi Pemba. kwa wananchi na kujiendesha kibiashara.

Kadhalika, Serikali itajenga jumla ya kilomita 160.8 za UCHIMBAJI WA MAFUTA NA GESI barabara kwa kiwango cha lami kwa Unguja katika maeneo • Kwa mara nyengine tena, napenda nimpongeze mbali mbali ya Mikoa yote na jumla ya kilomita 51.1 kwa kwa dhati, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya kiwango cha lami huko Pemba kwa maeneo yote ya Mikoa ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Pemba. Barabara zote hizi zimefafanuliwa vizuri kwenye Ilani Kikwete, kwa kuhakikisha kwamba, kabla ya kuondoka kwake ya CCM ya Uchaguzi Mkuu na mipango yake ya ujenzi tayari madarakani suala la Zanzibar kuchimba mafuta yake wenyewe imepangwa. Kazi nyengine zitakazoshughulikiwa na Serikali linapatiwa ufumbuzi. Tulishirikiana kwa dhati katika kulipatia ni kuendeleza kazi ya uwekaji wa taa za kuongozea magari kwa ufumbuzi suala hili. Hivi sasa, Zanzibar ina uwezo wa kisheria kuweka taa katika sehemu sita, ili kupunguza msongamano wa kuchimba mafuta yake kwa mujibu wa Sheria Namba 21 ya katika baadhi ya maeneo ya miji hasa katika mji wa Unguja, mwaka 2015 iliyopitishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano Wete na Chake chake. wa Tanzania. Sina shaka, Baraza hili la Tisa litasimama imara katika kuendeleza pale tulipofika katika kipindi kilichopita Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, Serikali itakamilisha na litaharakisha katika utungaji wa sheria tunazozihitaji ili ujenzi wa jengo jipya la abiria katika Kiwanja cha Ndege cha tuweze kuyachimba mafuta na gesi na kufaidika na nishati hizi Kimataifa cha Abeid Amani Karume (AAKIA), ili kuongeza muhimu. idadi ya abiria wanaotumia kiwanja hicho pamoja na kiwango cha mizigo ili kuongeza mapato ya Serikali. Kiwanja cha ndege HUDUMA ZA JAMII cha Pemba nacho kitapanuliwa ili ziweze kutua ndege kubwa za aina ya Boeing 737, jengo la abiria litajengwa upya na ELIMU miundombinu na huduma za abiria, ndege na mizigo katika • Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, Serikali Kiwanja cha Ndege cha Pemba itaimarishwa. itayaendeleza mafanikio hayo katika sekta ya elimu pamoja na kuchukua hatua za kuimarisha elimu katika ngazi mbali mbali. Kuhusu Elimu ya Maandalizi, Serikali itasimamia utekelezaji

Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 22 wa Sera ya Makuzi na Malezi ya Mtoto na itaanzisha vituo Serikali vile vile, itakiimarisha Chuo cha Taaluma za 150 vya Tucheze Tujifunze katika Wilaya nne za Unguja na Sayansi ya Afya kwa kukiunganisha na Chuo Kikuu cha Taifa Pemba. cha Zanzibar, ili kiweze kutoa wataalamu wenye elimu ya kiwango cha shahada katika fani mbali mbali. Kadhalika, Kwa upande wa Elimu ya Msingi, Serikali itaongeza madaktari na madaktari mabingwa wa fani mbali mbali kiwango halisi cha uwandikishaji hadi kufikia asilimia 100 watapatiwa mafunzo ili tuweze kujitosheleza na mahitaji mwaka 2020, itajenga skuli mpya 10 za ghorofa katika maeneo yaliyopo. Vile vile, idadi ya madaktari wanaofundishwa yenye upungufu na msongamano mkubwa wa wanafunzi. katika kitivo cha udaktari katika Chuo Kikuu cha SUZA na vyengine itaongezwa, ili lengo la Serikali lililowekwa kwenye Kadhalika, Serikali itaendelea kulipia gharama za mitihani Mpango wa Afya wa mwanzo hapo 1965 wa daktari mmoja ya kidatu cha tatu na mitihani ya Taifa kwa watahiniwa wa ahudumie watu 6,000 liweze kufikiwa. Hivi sasa daktari Kidatu cha Nne na cha Sita. Hatua hii ina lengo la kuwaondolea mmoja anahudumia watu 8,885 (1:8885). wazazi mzigo wa kuchangia huduma za elimu ya watoto wao. Vile vile, tafiti mbali mbali katika maeneo ya Afya ya Serikali itajenga vituo vipya vya Mafunzo ya Amali huko mama na mtoto, maradhi ya kuambukiza na yasiyoambukiza Makunduchi kwa Unguja na Daya Mtambwe huko Pemba. zitaendelezwa pamoja na mifumo ya utoaji huduma za Aidha, mafunzo ya ualimu yataimarishwa katika ngazi mbali afya. Huduma za matibabu ya wagonjwa walioathirika na mbali. Katika kipindi hiki ujenzi wa dakhalia katika Chuo dawa za kulevya na afya ya akili zitaimarishwa na kujenga Kikuu cha Taifa (SUZA) utaanza na ujenzi wa Chuo Kikuu kituo maalumu kwa waathirika wa dawa za kulevya. Serikali kipya katika eneo la Dole utaanza kwa kushirikiana na Serikali itaongeza bidii katika kukabiliana na matumizi ya dawa za ya Saudi Arabia. Vile vile, nafasi za masomo ya elimu ya juu kulevya ili kuwanusuru vijana ambao ni nguvu kazi ya Taifa. zitaongezwa kwa kuuimarisha Mfuko wa Bodi ya Mikopo, ili Aidha, Serikali itaimarisha upatikanaji, ugawaji, usambazaji lengo la kuwanufaisha wanafunzi 22,404 ifikapo mwaka 2020 na udhibiti wa dawa, vifaa vya utibabu, dawa za uchunguzi wa liweze kufanikiwa. maradhi na “reagents” zenye ubora. Vile vile, Serikali itaandaa Sheria ya Uanzishaji wa Mfuko wa Bima ya Afya na kusimamia Katika kipindi kijacho, Serikali itaongeza idadi ya utekelezaji wa mfuko huo. Kadhalika, Serikali itaandaa watu wanaojua kusoma, kuandika na kuhesabu pamoja na utaratibu mzuri wa namna wananchi watakavyochangia kuimarisha Elimu Mjumuisho kwa ajili ya watoto wenye huduma za afya wanapoelezwa kufanya hivyo. Hivi sasa mahitaji maalumu. Vile vile, Serikali itaimarisha na itaendeleza hakuna mpango unaofahamika katika jambo hili. michezo na utamaduni maskulini ambapo kipindi cha miaka mitano ijayo somo la michezo litaanzishwa katika skuli sita MAJI za sekondari zilizoteuliwa. Skuli nne Unguja na mbili huko • Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, Serikali Pemba. itaendelea kuimarisha usambazaji wa huduma ya maji safi na salama kwa wananchi kutoka asilimia 87 mwaka 2015 hadi AFYA asilimia 97 mwaka 2020 kwa mijini na kutoka asilimia 70 • Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, Serikali mwaka 2015 hadi asilimia 85 kwa vijijini ifikapo mwaka 2020. itaongeza jitihada za kuziimarisha huduma za afya kwa Vile vile, itaendeleza jitihada za kuimarisha miundombinu kuendelea kuishirikisha sekta binafsi. Azma yetu ya kuifanya ya maji ili kupunguza upotevu wa maji. Vyanzo vya maji hospitali ya Mnazi Mmoja kuwa ya Rufaa itaendelezwa vitahifadhiwa, vitatunzwa na vitalindwa pamoja na maeneo kwa kuzikamilisha zile huduma muhimu ambazo bado ya kuhifadhia maji. Vile vile, wananchi watahamasishwa juu zinashughulikiwa. ya umuhimu wa uhifadhi, utumiaji na uchangiaji wa huduma ya maji safi na salama. Utafiti wa matumizi ya nishati ya jua Kadhalika, Serikali itatekeleza mpango wake wa kujenga katika visima na vyanzo vya maji utafanywa, kwa lengo la Hospitali ya kisasa ya Rufaa katika eneo la Binguni Unguja. kupatikana huduma hizi kwa ufanisi. Ujenzi wa Hospitali ya Abdalla Mzee unaoendelea hivi sasa unatarajiwa kukamilika ifikapo Septemba, 2016. Hospitali ya VYOMBO VYA HABARI Wete Pemba nayo itaimarishwa ili hospitali zote mbili zifikie • Katika kipindi cha miaka 5 ijayo, Serikali itahakikisha daraja na kiwango cha Hospitali za Mkoa. Aidha, Hospitali ya kwamba uhuru wa vyombo vya habari unaendelea vijiji ya Makunduchi na Kivunge kwa Unguja zimefika hatua kuimarishwa na vyombo hivyo vinatimiza wajibu wake kwa kubwa ya kuwa Hospitali za Wilaya na kazi bado inaendelea weledi na kuzingatia maadili ya kazi zao. Serikali itaimarisha kufanywa. Kazi kama hiyo inafanyika kwa hospitali ya matumizi ya TEHAMA na kuendeleza mageuzi ya sekta ya Vitongoji na Micheweni. Habari, ili kuongeza ufanisi na weledi.

Uk.18

23 Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 Vile vile, Shirika la Habari la Zanzibar (ZBC) litaimarishwa KUYAENDELEZA MAKUNDI MAALUM kwa kulipatia mitambo, vifaa vya kisasa ili kuukamilisha VIJANA utaratibu wa matumizi ya “Digital” kwa TV na Redio. Aidha, • Kwa lengo la kuzipatia ufumbuzi changamoto mafunzo ya wafanyakazi wake katika kada mbali mbali zinazowakabili vijana, Serikali katika kipindi kijacho cha yatatolewa ndani na nje ya nchi. Tutaendelea kuwashajihisha miaka mitano, itachukua hatua za kuuimarisha mfuko wawekezaji ili wawekeze katika vyombo vya habari binafsi. maalum wa vijana, ili vijana wengi zaidi waweze kunufaika na mfuko huo na kwenye kazi mbali mbali pamoja na kujiajiri Kuhusu Kiwanda cha Upigaji Chapa na Mpiga Chapa katika kilimo cha kisasa na kuanzisha “green house’ moja Mkuu wa Serikali, Serikali itakiimarisha na kukiongezea vifaa kwa kila Wilaya. Aidha, Serikali itawahamasisha vijana 5,000 na wataalamu. Vile vile, Serikali itakiimarisha Chuo cha waliomaliza vyuo Vikuu kuanzisha vikundi vya uzalishajimali Uandishi wa Habari ili kiwe chachu ya kuendeleza tasnia ya na utoaji wa huduma na kuwapatia mafunzo na mikopo ili habari na kuendeleza vipaji vya uandishi wa habari. waweze kujiajiri. Kadhalika, Baraza la Vijana litaendelezwa, ili kuongeza ushiriki wa vijana katika ngazi mbali mbali za Hata hivyo, tasnia ya habari imekabiliwa na changamoto uamuzi. Aidha, jitihada za Serikali za kuongeza ajira kwa ya matumizi mabaya ya intaneti na mitandao ya kijamii. kushirikiana na sekta binafsi, zitaendelezwa. Matarajio yangu ni kuwa wakati utakapofika mtahakikisha mnajadili na mnairidhia Sheria ya Makosa ya Matumizi ya WANAWAKE Mitandao ya Mwaka 2015 iliyopitishwa na Bunge la Jamhuri • Kwa lengo la kuwawezesha wanawake kiuchumi, ya Muungano wa Tanzania ili sheria hii iweze kutumika kijamii na kisiasa katika miaka mitano ijayo, Serikali hapa Zanzibar. Lengo letu tuwe na matumizi ya mitandao itayaendeleza yale mafanikio yote yaliyopatikana. Vile vile, yanayozingatia sheria, heshima, faragha na haki za wananchi itaendelea kusimamia upatikanaji wa haki za wanawake na pamoja na utunzaji wa siri za Serikali. kupiga vita mila na desturi zinazowabagua au kuwadhalilisha na kusimamia utekelezaji wa sheria na mikataba yote ya UTAMADUNI NA MICHEZO Kimataifa inayohusu ustawi wa wanawake. Aidha, Serikali • Katika kipindi hiki cha pili, Serikali itaendelea na itaanzisha jumla ya vikundi 500 vya wanawake na kuwapatia juhudi za kuulinda, kuudumisha na kuutangaza utamaduni mafunzo ya ujasiriamali pamoja na mikopo ili waweze wa Mzanzibari kwa kuendelea kuandaa matamasha ya kujiajiri wenyewe. Kadhalika, kituo kiliopo Kibokwa cha utamaduni. Aidha, tutawaelimisha wananchi hasa vijana juu kuwafundisha wanawake kutengeneza vifaa vya umeme wa jua ya matumizi bora ya mitandao pamoja na kufanya ukaguzi kitaendelea kuimarishwa ili kiwafundishe wanawake wengi wa kazi za sanaa mbali mbali. Tutaendelea na jitihada za zaidi. Vile vile, kampeni ya kupinga udhalilishaji wanawake kuimarisha lugha ya Kiswahili na kuzifanya lahaja za Zanzibar na watoto itaendelezwa kwa kasi, ili hatimae matatizo haya kuwa ni chimbuko la Kiswahili fasaha. Vile vile, tutaendelea yasiwepo kwenye jamii zetu. kuimarisha tasnia ya sanaa kwa kuongeza kasi ya kutafuta na kukuza vipaji vya wasanii pamoja na kuimarisha maslahi yao WAZEE kwa kuimarisha mfumo uliopo wa matumizi ya hakimiliki. • Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, Serikali Vile vile, tutazidisha juhudi zetu katika kuyaendeleza itaongeza juhudi katika kuziimarisha huduma za kijamii na mafanikio tuliyoyapata katika sekta ya michezo kwa mahitaji muhimu wanayopewa wazee wanaotunzwa katika kuyaimarisha mashindano ya riadha ya Wilaya na nyumba za wazee za Unguja na Pemba. Kadhalika, Serikali kuliimarisha Bonanza la michezo la vikundi vya mazoezi. itaanza kutekeleza Mpango wa kuwapatia Pencheni maalum Jitihada zetu za kuimarisha michezo katika maskuli, bila ya wazee wote waliofikia umri wa miaka 70 bila ya kujali historia shaka zitafanikiwa. Kadhalika, tutakamilisha matengenezo ya ya kazi walizokuwa wakizifanya. Vile vile, Serikali itaandaa Kiwanja cha Mao Tse Tung na kujenga viwanja vya michezo utaratibu maalum wa kuwapatia wazee huduma za matibabu kwa kila Wilaya. Tutahamasisha ushiriki wa michezo na bure. ufanyaji wa mazoezi ya viungo kama ni hatua muhimu ya kuimarisha afya za wananchi. Tutaendeleza michezo ya asili WATOTO ya Zanzibar, ikiwemo mashindano ya resi za ngalawa, bao, • Ili kuhakikisha haki za watoto zinaendelea kulindwa, karata, mchezo wa ng’ombe na mengineyo. katika kipindi kijacho Serikali itayaendeleza yale mafanikio yote yaliyopatikana. Vile vile, itaziimarisha Mahkama za watoto na Watu wenye ulemavu nao tutawahamasisha kwa kuwapatia kusimamia uanzishwaji na uendeshaji wa mabaraza ya watoto na vifaa pamoja na vyama vya michezo vinavyohusika, ili waweze kamati za wazazi katika Shehia, Wilaya na Mikoa yote ya Zanzibar, kushiriki kikamilifu katika kuendeleza michezo. Wasanii ili kupinga vitendo vya udhalilishaji dhidi ya watoto. Kadhalika, wataendelea kusaidiwa, wataendelezwa na wale walioijengea jitihada zetu za kupiga vita ajira za watoto zitaendelezwa pamoja nchi yetu heshima katika ulimwengu wa utamaduni, na kusimamia utekelezaji wa sheria na mikataba ya Kimataifa wataenziwa na watapewa heshima yao. inayohusu haki, usawa na hifadhi ya mtoto.

Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 24 WATU WENYE ULEMAVU Lakini Serikali nayo inaichukia na inaipiga vita, • Watu wenye ulemavu wana haki kwa mujibu ndio maana tunafanya jitihada za kushughulika nayo na wa Katiba ya Zanzibar ya 1984, kutambuliwa utu wao, tumelazimika kutunga Sheria ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu kuendelezwa, kuheshimiwa, kushirikishwa na kulindwa dhidi Uchumi. Kwa upande mwengine, wananchi nao wanaichukia ya vitendo vinavyowabagua. Katika kipindi hiki, tutaendeleza rushwa na hawavipendi vitendo vinavyoambatana nayo. kusimamia utekelezaji wa mipango na programu mbali mbali Wapo wananchi wanaovijua vitendo vinavyoashiria rushwa zenye lengo la kuwaendeleza watu wenye ulemavu. Mfuko ambavyo vinafanywa katika maofisi yetu, inasemekana baadhi wa Watu Wenye Ulemavu tuliouanzisha kipindi kilichopita yao wanadiriki kuvisema. Tutawachunguza viongozi na utaimarishwa na tutahakikisha kuwa huduma muhimu na watumishi wanaofanya vitendo hivyo, kwa kuzingatia sheria mahitaji ya nyenzo zote pamoja na dawa zinapatikana bila ya na taasisi zake, ili tuujue ukweli na hatimae tuchukue hatua. malipo. Aidha, tutaendeleza na utoaji wa mafunzo na elimu Iwapo mambo hayo yanayofanyika, wanayoyasema baadhi ya kwa wazazi, walezi na walimu juu ya namna ya kuwakuza wananchi; ndio hayo yanayoitwa majipu, basi nataka niahidi, watoto wenye ulemavu na tutayazingatia makaazi yao tutayatumbua na moyo wake tutautoa. wanayoishi. Nataka niwahakikishie wananchi kwamba, kauli yangu hii DEMOKRASIA NA UTAWALA BORA si maneno matupu bali yataambatana na vitendo.

• Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, Serikali Vile vile, katika jitihada zetu za kusimamia matumizi itaongeza kasi katika kuziendeleza juhudi za Demokrasia bora ya fedha za umma, Serikali itadhibiti na kuzuwia safari na utawala bora kwa lengo la kuongeza ufanisi. Pamoja za nje za kikazi zisizo za lazima. Semina, kongamano na na mambo mengine, Serikali ina mpango wa kujenga mikutano inayofanywa kwa kutoa posho wakati wa saa za kazi, jengo jipya la Mahkama Kuu huko Tunguu, kukamilisha itawekewa utaratibu mpya. Serikali itahakikisha kuwa ubora ujenzi wa Mahkama ya Watoto Mahonda na kuyafanyia wa miradi inayotekelezwa na ununuzi wa vifaa na huduma matengenezo makubwa majengo ya mahkama ya Mfenesini, mbali mbali zinalingana na thamani ya fedha zilizotumika Mwanakwerekwe na Wete na kuzisogeza huduma za Mahkama (Value for Money). Zipo taarifa kwamba kuna ubabaishaji karibu na wananchi. mkubwa unafanyika, katika ununuzi wa vifaa na nyenzo. Ni jukumu la Watendaji Wakuu na wale wote wenye dhamana ya Katika kusimamia maadili ya viongozi na nidhamu ya manunuzi na kuidhinisha miradi, kuzingatia Sheria Namba utumishi, Serikali katika kipindi kilichopita ilianzisha Sheria 9 ya 2005 ya Manunuzi na Uondoshaji wa Mali za Umma, ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Namba. 1 ya 2012 na wahakikishe kwamba taratibu zote za manunuzi zinafuatwa. Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Namba 8 ya mwaka 2015. Kufuatia sheria hiyo, Serikali ilianzisha Mamlaka Nachukua nafasi hii, kuwahimiza viongozi watakaopewa ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi na hivi karibuni nyadhifa mbali mbali kuwa wabunifu katika kupanga na nitaianzisha Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma. kutekeleza mipango iliyo kwenye dhamana walizokabidhiwa. Ni vigumu kwenda katika kasi tunayoitaka ikiwa kila kiongozi Katika kipindi hiki, nitahakikisha kwamba Tume ya atategemea maelekezo na mipango kutoka kwa Rais au Maadili ya Viongozi wa Umma, inafanya kazi ipasavyo ili Makamu wake ndipo atekeleze wajibu wake. Nawahimiza viongozi wote waliotajwa katika sheria ya Maadili ya Viongozi viongozi watakaopewa dhamana kutumia utaalamu wao wa Umma wanatangaza mali zao kwa mujibu wa sheria hio. kwa kuleta maendeleo na lazima waielewe mipango na Kila kiongozi atatakiwa atekeleze wajibu wake kwa wakati sheria zinazohusiana na majukumu waliyopewa na taasisi uliowekwa. Katika kupambana na rushwa na uhujumu wa wanazozifanyia kazi na kuzitekeleza ipasavyo. Lazima uchumi, Serikali haitomvumilia mtu yeyote atakayebainika waifanye kazi ya kuwasimamia watumishi walio chini kuzibeza na kutaka kuzirudisha nyuma jitihada za Serikali yao na wale watakaozikiuka sheria na taratibu watapaswa kutokana na udhaifu wake wa kimaadili. wawachukulie hatua na kuwawajibisha. Kama hawatafanya hivyo, basi na wao watawajibishwa. Hapana asiyejua kuwa rushwa ni adui wa haki na Mwenyezi Mungu ameikataza rushwa. Katika kulikemea jambo hili, Katika utekelezaji wa utawala bora, nitaendelea Mwenyezi Mungu katika aya ya 188 ya Surat Al-Baqarah kuhakikisha kuwa Mihimili yetu Mitatu, (Serikali, Baraza la ametuasa kwa kusema:”Wala msiliane mali zenu kwa batili Wawakilishi na Mahkama), kila mmoja unafanya kazi ukiwa na kuzipeleka kwa mahakimu ili mpate kula sehemu ya mali huru na kwa mujibu wa sheria zilizobainishwa katika Katiba ya watu kwa dhambi, na hali mnajua”. Kadhalika, ipo hadithi ya Zanzibar ya mwaka 1984. Tutahakikisha kila muhimili mashuhuri ambapo, Mtume Muhammad (SAW) amesema unapata fedha za kuendesha shughuli zake kwa mujibu wa kwamba: “Mwenyezi Mungu amemlaani mtoa rushwa na uwezo wa Bajeti ya Serikali na si zaidi ya hilo. Hapatakuwa mpokeaji rushwa na anaeshuhudia na anaeandika”. na fedha za ziada, zaidi ya zile zitakazopitishwa katika bajeti.

25 Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 IDARA MAALUM ZA SMZ cha siasa zaidi ya CCM chenye wingi wa Viti vya Majimbo • Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, Serikali katika Baraza la Wawakilishi. Kwa kuzingatia msingi huo, na itazidi kuziimarisha Idara Maalum za SMZ kwa kuwapatia kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 39(3) cha Katiba ya watendaji wake mafunzo, vifaa vya kisasa na kuimarisha Zanzibar ya 1984, hakuna Chama cha siasa ambacho kinakidhi maslahi yao kadri hali itakavyoruhusu ili kuwawezesha masharti ya kustahiki kutoa Makamo wa Kwanza wa Rais kutekeleza majukumu yao ipasavyo. Nitatekeleza ahadi yangu ili kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Huo ni uamuzi wa niliyoitoa kwao wakati wa Kampeni za uchaguzi ya kuangalia wananchi wa kukipa ushindi mkubwa Chama cha Mapinduzi upya maslahi yao ili yalingane na wenzao wa SMT kwa lengo na hawakutoa nafasi ya kumchagua Makamu wa Kwanza wa la kuwapunguzia ukali wa maisha na kuongeza ufanisi katika Rais. Huo ni uamuzi wao wa kidemokrasia. Kadhalika, uteuzi kazi zao. Kama nilivyoeleza hapo mwanzo kwamba, suala wa nafasi ya Makamo wa Pili wa Rais umewekewa masharti na hili litategemea uwezo wa Serikali katika kukusanya mapato. kifungu cha 39(6), kuwa:- Uamuzi si tatizo na tayari nishaufanya. (i) Atateuliwa kutoka miongoni mwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi. USHIRIKIANO NA NCHI NYENGINE NA (ii) Atoke katika chama anachotoka Rais. Uteuzi WAZANZIBARI WANAOISHI NJE nilioufanya wa kumteua Makamu wa Pili wa Rais • Katika uongozi wangu, nitahakikisha Zanzibar, umekidhi matakwa ya kifungu cha 39(6) cha Katiba ikiwa ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya Zanzibar ya 1984. inaendelea kuwa na uhusiano na mashirikiano mema na nchi mbali mbali duniani pamoja na Mashirika ya Kimataifa juu ya Nimelazimika nilieleze jambo hili la kikatiba, kwa sababu masuala mbali mbali ya kiuchumi, kisiasa na kijamii. Serikali wapo waliodhani kuwa yupo Mgombea anayestahiki kuwa ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kushirikiana na Serikali Makamu wa Kwanza wa Rais, lakini Rais amekataa kumteua ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuimarisha na hivyo Katiba imekiukwa. Nililolifanya, la kumteua Balozi ushirikiano na Jumuiya ya Afrika Mashariki pamoja na Seif Ali Iddi kuwa Makamo wa Pili wa Rais ni sahihi na ni kwa Jumuiya nyengine za Kikanda ambazo Jamhuri ya Muungano mujibu wa Katiba na nimechukua hatua ya kuunda Serikali wa Tanzania ni mwanachama. kwa kuzingatia Katiba ya Zanzibar ya 1984. Katika kipindi cha pili cha Awamu ya Saba, nitahakikisha tunazidi kukiimarisha Kitengo maalum nilichokianzisha Nataka niwahakikishie Waheshimiwa Wajumbe wa Baraza cha kuratibu masuala ya Wazanzibari Wanaoishi Nchi za lako tukufu, kwamba Serikali nitakayoiunda itasimamia Nje ili kiendelee kuwashajiisha kushiriki katika shughuli za misingi ya haki, uwajibikaji, uwazi na usawa kwa wananchi maendeleo ya nchi yetu. wote, bil ya kumbagua mtu yeyote kutokana na itikadi yake, Napenda nitoe shukurani zangu za dhati kwa dini yake, jinsia au eneo analotoka. Mimi ni Rais wa wananchi “Wanadiaspora” kwa michango mikubwa wanayoendelea wote wa Zanzibar. Nitashirikiana na viongozi mbali mbali, kuitoa, ya hali na mali, kwa ajili ya kuendeleza sekta za wa vyama vya siasa, viongozi wa dini, na kadhalika. Zanzibar kiuchumi na kijamii hasa kuendeleza elimu, afya, biashara na ni yetu sote, viongozi wa vyama vya siasa tuna jukumu uwekezaji. Nawaomba waendelee kuwa pamoja nasi kwani; la kushikamana na kuwatumikia wananchi kwa ajili ya ‘Mtu Kwao ndio Ngao’. maendeleo yao.

KUWAUNGANISHA WANANCHI WA ZANZIBAR Nataka nirudie ule usemi wangu wa mwanzo kwamba, • ………….Sote tunafahamu kwamba tarehe 20 viongozi jukumu letu hivi sasa, kila mmoja wetu na sote kwa Machi, 2016, tulikuwa na Uchaguzi Mkuu wa marudio pamoja tufanye kazi kwa bidii na maarifa tupate maendeleo ulioendeshwa na kusimamiwa na Tume ya Uchaguzi ya tunayoyakusudia. Uchaguzi umekwisha na washindi Zanzibar kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya 1984 na wamepatikana [ndio sisi tuliomo humu ndani na wengine Sheria ya Uchaguzi Nambari 11 ya mwaka 1984. Madhumuni nitawachagua] ili tuiongoze nchi yetu kwa kipindi cha miaka ya uchaguzi huo yalikuwa ni kuchaguliwa kwa viongozi wa mitano ijayo, hadi hapo utakapofanyika uchaguzi mwengine vyama vya siasa wakataoingoza Serikali ya Mapinduzi ya mwaka 2020. Hakuna uchaguzi Mkuu mwingine. Zanzibar kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Katika Uchaguzi Mkuu huo wa Marudio wa tarehe 20 KUIMARISHA MUUNGANO Machi, 2016 nafasi ya Rais iligombewa na vyama 14 vya • Suala la kulinda na kudumisha Muungano wetu wa siasa na hakukuwa na Chama chochote zaidi ya Chama cha Serikali mbili, kwangu halina mbadala. Nitaendelea na juhudi Mapinduzi, kilichopata matokeo ya kura za Uchaguzi wa Rais za kudumisha Muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar kwa zaidi ya asilimia 10. Mimi nikiwa Mgombea wa Urais wa wa Serikali mbili, ulioasisiwa mwaka 1964 ambao unatimiza CCM, nilipata asilimia 91.4. Kadhalika, hakukuwa na Chama Miaka 52 ifikapo tarehe 26 Aprili 2016.

Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 26 MAONI YA WANANCHI KUHUSIANA NA USHINDI MKUBWA WA DK. SHEIN KWENYE UCHAGUZI MKUU WA TAREHE 20 MACHI, 2016

umekuwa na mijadala Katika kipindi cha miaka mitano Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi tofauti inayoendelea iliyopita chini ya uongozi wa Dk. Ali Dk. Ali Mohamed Shein alikaririwa kuhusiana na uamuzi wa Mohamed Shein, Zanzibar imepiga na vyombo vya habari kutoka kwenye kidemokrasiaK wa wananchi wa Zanzibar hatua kubwa ya kupigiwa mfano kisiasa. mazungumzo yake na wananchi wa kumrejesha tena madarakani Dk. Ali Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar akisema kuwa “….ni vigumu kuamini Mohamed Shein kuiongoza Zanzibar yenye Muundo wa Umoja wa Kitaifa kwamba kwenye Baraza la Mapinduzi kwa kipindi kingine cha miaka mitano ilikuwa ni ya kwanza ya aina yake kuna Mawaziri kutoka vyama viwili ijayo. Afrika, na iliundwa wakati Zanzibar vya CCM na CUF wakati Baraza hilo Mijadala hiyo imekuwa ikijikita ikitokea kwenye uhasama mkubwa linapojadili masuala yenye maslahi zaidi kwenye tathmini ya utekelezaji wa kisiasa baina ya vyama viwili vikuu na Zanzibar. Sote tunakuwa kitu wa masuala mbali mbali katika kipindi vinavyopingana kwa sera na mwelekeo. kimoja tunajadili masuala ya nchi yetu kilichopita cha uaongozi wake, ikiwemo Wengi walitarajia kwamba muundo tukitekeleza Ilani ya CCM 2010 – 2015; utekelezaji wa ahadi alizozitoa, hali huo wa serikali kwa vyovyote vile kama isingekuwa kukwazwa na taratibu ya uchumi, siasa na huduma za jamii usingeweza kudumu kwa zaidi ya za kisheria, natamani sana nikualikeni nchini. Wachache wamezungumzia mwaka mmoja kutokana na uzoefu, siku moja mje kushuhudia” alisema Dk. kitendo cha Chama cha upinzani cha hulka, sera na tabia za baadhi ya Shein kwenye mmoja ya mikutano yake kususia uchaguzi huo kutokana na viongozi ndani ya vyama vinavyounda na wananchi Pemba. kitendo hicho kutokuwa na athari serikali hiyo. Kilichomuwezesha Dk. Shein yoyote kwenye uchaguzi huo. Pamoja na dhana hiyo waliyokuwa kufanikiwa vyema kisiasa kwenye Hata hivyo, siasa katika kipindi nayo baadhi ya watu wa Zanzibar, awamu hiyo ni upeo wake mkubwa chote cha uchaguzi na hata kabla na Tanzania na hata nje ya Tanzania, katika kuifahamu demokrasia, baada ya kipindi hicho, imeonekana kwa ujumla watu walishuhudia miaka kuheshimu katiba na utawala wa sheria. kuwa ni suala nyeti linalogusa nyoyo mitano ya serikali hiyo ikimalizika kwa Katika utawala wa demokrasia suala za watu wengi wa Zanzibar na ni wazi amani na maelewano, ingawa kulikuwa la uvumilivu wa kisiasa linachukuwa kwamba suala hili linahitaji umahiri na changamoto nyingi za kisiasa ndani nafasi ya pekee, na uzoefu unaonesha na tahadhari ya aina yake katika ya kipindi hicho. kuwa viongozi wengi wa kisiasa kulishughulikia. Mara kadhaa Rais wa Zanzibar na wanashindwa katika jambo hilo.

27 Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 Lakini suala jengine muhimu alilolizingatia Dk. Shein ni uhuru wa mtu kutoa maoni yake kama lilivyoelezwa katika katiba zote mbili za Tanzania – Katiba ya Zanzibar na ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Inasemekana kwamba sifa hizi zimechangia kwa kiasi kikubwa katika ushindi wa kishindo, alioupata Dk. Ali Mohamed Shein kwenye uchaguzi Mkuu wa Machi 20, 2016. Uongozi wa Dk. Shein katika kilipindi cha miaka mitano iliyopita vile vile umeleta mafanikio makubwa ya kiuchumi Zanzibar. Serikali imepiga hatua ya kupigiwa mfano katika kujenga misingi imara ya uchumi ndani ya kipindi cha miaka mitano iliyopita. Katika kipindi hicho cha miaka mitano ya kwanza, uchumi wa Zanzibar ulikua kwa asilimia 6.6, kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa tokea kuanza kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Bila ya shaka kasi hiyo ya ukuaji wa pato la taifa ilichangiwa zaidi kutokana na kuimarika kwa sekta ya huduma na sekta ya viwanda, kuongezeka kwa idadi ya watalii walioingia nchini pamoja na kuendelea kuwepo kwa hali ya amani na utulivu. Vile vile wananchi wengi wanazungumzia kwa matumaini makubwa juu ya jitihada zilizofanyika kuinua pato la taifa ambalo liliweza maji safi na salama, wananchi wengi aliyochomekewa na wananchi kila kuongezeka kutoka TZS bilioni 1,050.8 wameonekana kufurahishwa zaidi na walipopata nafasi ya kufanya hivyo, kwa mwaka 2010 hadi kufikia TZS bilioni uamuzi wa Rais wa kuamua kuondoa kuahidi kuwa baada ya uchaguzi mkuu 2,133.5 mwaka 2014 ambalo ni sawa na michango yote iliyokuwa ikitolewa atakapoingia madarakani atatumbua ongezeko la asilimia 103. na wazazi katika elimu ya msingi, na majipu na mioyo yake. Mafanikio hayo sambamba na kwamba wanasubiri kwa hamu kuona Majibu ya masuali hayo nayo ongezeko la pato la mtu binafsi ambalo ufanisi katika utekelezaji wa dhamira ya yaliwapa matumaini makubwa nalo limeongezeka kutoka TZS 856,000 serikali ya kuendelea kulipia gharama za wananchi wapiga kura, wakifarajika na sawa na Dola za Kimarekani 613 mitihani ya kidato cha tatu na mitihani hatua za Rais wa Jamhuri ya Muungano mwaka 2010 hadi kufikia TZS milioni ya taifa kwa watahiniwa wa kidato cha Mhe. Dk. John Pombe Magufuli, 1,552 sawa na Dola za Kimarekani nne na cha sita. mgombea wa CCM ambaye anaendelea 939 mwaka 2014, yalimpa sifa ya Malalamiko yaliyoonesha wananchi kujizolea sifa kutokana na hatua mbali ziada Dk. Ali Mohamed Shein kuweza kukerwa na vile vile kuchoshwa na mbali za kupambana na ufisadi, ambazo kuchaguliwa kwa kishindo kuiongoza vitendo vya udhalilishwaji wa kijinsia, amekuwa akizichukua mara tu baada ya tena Zanzibar, tofauti na wagombea rushwa na ubadhirifu wa mali ya kushika ofisi. wengine walioshiriki kwenye uchaguzi umma, yamekuwa yakisikika katika Aidha, wananchi wameonesha huo. maskani, baraza na vijiwe kadhaa kutiwa moyo kwa kumuona Dk. Ali Kuhusu huduma za jamii, pamoja na kabla ya uchaguzi mkuu. Wananchi Mohamed Shein yuko mstari wa mbele wananchi wengi kuonesha kuridhishwa wengi walionekana kufurahia kauli katika harakati mbali mbali zinazolenga na jitihada mbali mbali za serikali katika za Dk. Shein kwenye mikutano yake kupiga vita vitendo vya udhalilishaji kuimarisha huduma za elimu, afya mbali mbali alipokuwa akijibu masuali wa watoto na unyanyasaji wa kijinsia

Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 28 Baadhi ya wananchi waliohudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein wakisikiliza kwa makini hotuba yake kabla ya wao kutoa maoni yao kuhusu ushindi wa Dk. Shein katika uchaguzi mkuu wa marudio iliofanyika tarehe 20 Machi, 2016 pamoja na kulizungumzia kwa uchungu wanaachwa bila ya kuchukuliwa hatua kwamba binadamu wote ni sawa mkubwa suala hilo kila anapopata fursa za kisheria. Kinyume chake, watoto mbele ya sheria, na wote wanayo haki, ya kufanya hivyo. wa wanyonge ambao hufanya makosa bila ya ubaguzi wowote, kulindwa Kwa kuwa hatua hiyo ni utekelezaji madogo k.m kuiba ndizi, kuku, nazi na kupata haki sawa mbele ya sheria. wa Ilani ya CCM, wapiga kura wengi au bidhaa za vyakula mashambani, Ni wazi changamoto hizi zinabaki walipata matumaini zaidi kwa Dk. Shein hufikishwa kwenye vyombo vya sheria kwenye vyombo vya sheria na mamlaka na hivyo kuzidi kummiminia kura. na kuhukumiwa kifungo cha muda zinazosimamia sheria na kanuni za Suala gumu ambalo linaendelea mrefu jela. utumishi wa umma ikiwemo tume ya kuwasumbua wananchi wengi na Wapo wengine wenye kufanya maadili itakayoundwa baadae. kuliona kuwa ni changamoto kubwa makosa madogo ya kibinadamu kwenye Hili ni kwa upande mmoja, kwa serikali, ni namna itakavyoweza sehemu zao za kazi na kuchukuliwa lakini kwa upande mwengine taasisi kukabiliana na wahalifu wa makosa hatua kali za kinidhamu, lakini wapo zinazoshughulikia masuala ya sheria mbali mbali hasa makosa ya jinai wenye kufanya makosa makubwa na nazo hazina budi kuendelea kutoa elimu ikiwemo kesi za udhalilishaji. kuisababishia serikali hasara kubwa. ya uraia kwa wananchi ili nao hatimaye Ugumu wa suala hilo umeonekana Kwa bahati mbaya watu wa aina hiyo waweze kutambua haki zao kwa mujibu pale ambapo baadhi ya watu huachwa bila ya kuchukuliwa hatua wa sheria, kuwasilisha madai yao wanaonekana wazi kuwa wanavunja zozote za kinidhamu. mahakamani na kutoa ushahidi pale sheria za nchi, wanahatarisha amani Ni matumaini ya wengi kwamba, inapobidi kufanya hivyo. ya nchi ambayo ndiyo pekee yenye awamu ya pili ya Serikali chini ya kuwapa watu kuishi kwa matumaini, uongozi wa Dk. Shein itaimarisha watoto wanaharibiwa lakini wahusika zaidi utawala wa sheria kwa kuzingatia

29 Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 DKT. ALI MOHAMED SHEIN AMEFANYA UTEUZI WA MAKATIBU WAKUU NA NAIBU MAKATIBU WAKUU

ais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa 4. OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa i. Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu RDkt. Ali Mohamed Shein amefanya wa Pili wa Rais – Nd. Joseph Abdulla uteuzi wa viongozi katika Wizara mbali mbali Meza za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kama ii. Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya ifuatavyo:- Makamu wa Pili wa Rais Nd. Ahmed Kassim Haji 1. OFISI YA RAIS NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI 5. WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO i. Katibu wa Baraza la Mapinduzi i. Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na na Katibu Mkuu Kiongozi – Dkt. Mipango – Nd. Khamis Mussa Omar Abdulhamid Y. Mzee ii. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya ii. Katibu Mkuu – Ofisi ya Rais na Fedha na Mipango – Nd. Ali Khamis Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Juma. – Nd. Salum Maulid Salum iii. Naibu Katibu wa Baraza la Mapinduzi 6. WIZARA YA BIASHARA, VIWANDA NA – Nd. Abdulla MASOKO i. Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara, 2. OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA, Viwanda na Masoko – Nd. Bakari Haji SERIKALI ZA MITAA NA IDARA Bakari MAALUM ZA SMZ i. Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Tawala 7. WIZARA YA AFYA za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara i. Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya – Maalum za SMZ – Nd. Radhia Rashid Dkt. Juma Malik Akili Haroub ii. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya ii. Naibu Katibu Mkuu, Ofis ya Rais, Afya – Nd. Halima Maulid Salum Tawala za Mikoa , Serikali za Mitaa iii. Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya na Idara Maalum za SMZ – Nd. Kai – Dkt. Jamala Adam Taib Bushir Mbarouk 8. WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA 3. OFISI YA RAIS, KATIBA, SHERIA, AMALI UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA i. Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu BORA na Mafunzo ya Amali – Nd. Khadija i. Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Katiba, Bakari Juma Sheria, Utumishi wa Umma na ii. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara Utawala Bora – Nd. Asha Ali Abdulla ya Elimu na Mafunzo ya Amali ii. Naibu Katibu Mkuu, Ofis ya Rais, anaeshughulikia masuala ya Katiba Sheria, Utumishi wa Umma Mipango na Uendeshaji - Nd. Abdulla na Utawala Bora anaeshughulikia Mzee Abdulla masuala ya Utumishi wa Umma – iii. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara Nd. Yakout Hassan Yakout ya Elimu na Mafunzo ya Amali iii. Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, - anaeshughulikia masuala ya Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma Taaluma - Nd. Madina Mjaka Mwinyi na Utawala Bora anaeshughulikia masuala ya Katiba, Sheria na Utawala 9. WIZARA YA ARDHI, MAJI, NISHATI NA Bora – Nd. Kubingwa Mashaka MAZINGIRA Simba. i. Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira - Nd. Ali Khalil Mirza.

Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016 30 10. WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI i. Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi – Nd. Juma Ali Juma ii. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi – Nd. Maryam Juma Abdulla

11. WIZARA YA KAZI, UWEZESHAJI, WAZEE, VIJANA, WANAWAKE NA WATOTO i. Katibu Mkuu wa Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto – Nd. Fatma Gharib Bilal ii. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto – Nd. Maua Makame Rajab

12. WIZARA YA HABARI, UTALII, UTAMADUNI NA MICHEZO i. Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo – Nd. Omar Hassan Omar ii. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo – Dkt. Amina Ameir Issa

13. WIZARA UJENZI, MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI i. Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji - Nd. Mustafa Aboud Jumbe ii. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji- Nd. Shomari Omar Shomari

Uteuzi huo umeanza tarehe 18 Aprili 2016.

31 Ikulu Zanzibar Machi - Aprili 2016