HABARI ZA NISHATI NewsBulletin Toleo Namba 1 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote NISHATI Aprili 1-30, 2019 MRADI WA UMEME WA RUFIJI WAZIDI KUSHIKA KASI

Hafla fupi ya utiaji saini wa Mkataba wa Ujenzi wa mradi wa umeme wa mto Rufiji (MW 2115), mkataba ulisainiwa kati ya Serikali ya na Kampuni ya ujenzi kutoka Misri ya Arab Contractors, Ikulu jijini Dar es Salaam Disemba 12, 2018. Wanaoshuhudia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Waziri Mkuu wa Misri Dkt. Mostafa Madbouly (waliokaa mbele).

UK. Karibuni tuhabarishane kupitia Jarida la Nishati 3

JARIDA HILI LINATOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI, WIZARA YA NISHATI Wasiliana nasi kwa simu namba +255-26-2322018 Nukushi +255-26-2320148 au Fika Ofisi ya Mawasiliano Barabara ya Kikuyu, S.L.P. 2494, 40474 Dodoma NewsBulletin HABARI ZA NISHATI | Aprili 1 - 30, 2019 HABARI 2 MRADI WA UMEME WA RUFIJI WAZIDI KUSHIKA KASI kufanyiwa usanifu miaka ya 1970 lakini gharama za utekelezaji zilikuwa kubwa na kwa kipindi hicho umeme uliokuwa ukihitajika ni megawati 100 tu. Leo mahitaji ya umeme ni makubwa, nchi inahitaji kutekeleza mradi huu sasa na si baadaye. Mkandarasi wa mradi huu ana majukumu makubwa manne ambayo ni kujenga bwawa kuu lenye uwezo wa kuhifadhi maji mita za ujazo bilioni 35, kujenga kituo cha kufua umeme kitakachokuwa na mashine Tisa zenye uwezo wa kuzalisha umeme wa megawati 235 kila moja hivyo kwa ujumla zitazalisha megawati 2115. Kazi nyingine za mkandarasi ni kujenga kituo cha kupoza na kukuza umeme cha kV 400 na kujenga njia za kusafirisha umeme utakaoingia katika Gridi ya Taifa kwa kutumia njia kuu mbili ambazo ni kutoka eneo la mradi kwenda Chalinze ili kuunganishwa na njia ya kutoka Chalinze kwenda Dodoma na Dar es Salaam. Moja ya nyumba inayojengwa na mkandarasi anayetekeleza mradi wa umeme wa Rufiji Njia nyingine ya umeme ya kV 400 ambapo katika eneo hilo kunajengwa kambi ya muda ya wafanyakazi wa mradi huo. itajengwa kutoka Rufiji kuelekea Kibiti ambapo takribani Vijiji 21 vitafaidika na umeme huo. Na Teresia Mhagama akabidhiwe eneo hilo. Mradi wa umeme wa Rufiji una manufaa Kazi za awali zilizokuwa zikiendelea mbalimbali ikiwemo, kuongeza kiwango angu Serikali ya Tanzania chini kufanyika hadi kufikia tarehe hiyo ni ujenzi cha umeme katika Gridi ya Taifa, kuvutia ya uongozi wa Rais, Dkt John wa kambi ya muda ya wafanyakazi, upelekaji shughuli za utalii ambazo zitaingiza kipato Pombe Magufuli ilipoamua wa vifaa na mitambo itakayotumika wakati wa kwa nchi, maji ya bwawa yataweza kutumika kutekeleza mradi wa umeme wa ujenzi pamoja na kazi za kuchukua sampuli za kwa shughuli za umwagiliaji na hivyo Rufiji (MW 2115) utakaotokana udongo na maji kwa ajili ya utafiti. kuchochea kilimo cha kisasa, pia vijiji 37 na maporomoko ya maji ya Mto Rufiji, Baada ya kukagua kazi hizo za maandalizi, na vitongoji 142 vinavyopitiwa na mradi viongoziT mbalimbali kutoka Wizara na Taasisi Dkt Kalemani alieleza kuridhishwa na vitasambaziwa umeme. zinazohusika na mradi huo zilihakikisha hatua iliyofikiwa sasa na mkandarasi katika Pamoja na faida nyingine nyingi, kwamba zinashiriki kikamilifu katika maandalizi hata hivyo alieleza kuwa, bado utekelezaji wa mradi utapelekea kupungua kuhakikisha kuwa uamuzi huo unatekelezeka. Serikali kupitia Wizara ya Nishati itaendelea kwa gharama za nishati kwani nchi ambazo Hivyo kila Taasisi inayohusika na mradi kumsimania mkandarasi ili amalize kazi ndani zinatumia umeme wa maji kwa wingi huo ilihakikisha kuwa, inasimamia utekelezaji ya muda uliopangwa. gharama zake za umeme zipo chini kuliko wa miundombinu wezeshi itakayomwezesha Mradi wa umeme wa Rufiji, ulianza zinazotumia vyanzo vingine vya nishati. mkandarasi wa mradi huo kufanya kazi zake kwa ufanisi. Baadhi ya miundombinu hiyo wezeshi ambayo utekelezaji wake umekamilika ni ujenzi wa barabara, maji, umeme, makazi na reli. Februari 14, 2019 ulimwengu ulishuhudia Serikali ya Tanzania na Mkandarasi (JV Arab Contractors and Elsewedy Electric) wakitiliana saini makabidhiano ya eneo la ujenzi wa Mradi wa Umeme wa Rufiji. Baada ya makabidhiano hayo, Waziri wa Nishati, Dkt alimwagiza mkandarasi wa mradi huo kutoondoka eneo la mradi kwa kuwa miundombinu wezeshi ya kumwezesha kukaa katika eneo hilo imeshakamilika na anatakiwa kufanya kazi ndani ya muda aliopangiwa. Hii ni kwa sababu, kwa mujibu wa Mkataba, Mkandarasi huyo amepewa miezi sita ya maandalizi ya mradi yanayohusisha upelekaji wa vifaa mbalimbali vitakavyotumika wakati wa ujenzi na baada ya maandalizi hayo kukamilika, amepewa miezi 36 ya ujenzi wa mradi. Mkandarasi wa mradi huo, hakurudi Makamu wa Rais wa kampuni ya Elsewedy Electric, Mhandisi Wael Hamdy (kushoto, waliokaa) nyuma katika kutekeleza agizo hilo la Serikali na Mwanasheria kutoka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mwesiga Mwesiga (kulia, kwani hadi kufikia tarehe Machi 14, 2019 tayari kazi za maandalizi ya mradi zilifikia waliokaa) wakisaini makubaliano ya kukabidhiana eneo la mradi wa umeme wa Rufiji (MW asilimia 40 ikiwa ni mwezi mmoja tu kutoka 2115) kati ya Serikali ya Tanzania na Mkandarasi (JV Arab Contractors and Elsewedy Electric). HABARI ZA NISHATI | Aprili 1 - 30, 2019 NewsBulletin 3 TAHARIRI

HABARI ZA NISHATI Karibuni tuhabarishane NewsBulletin kupitia Jarida la Nishati

BODI YA ili ni toleo la kwanza la Baada ya kugawanywa iliyokuwa Jarida la Wizara ya Nishati Wizara ya Nishati na Madini na kuwa linaloitwa Nishati News na Wizara mbili tofauti; tunalazimika Bulletin. Jarida hili litakuwa kuwa na Jarida jipya la Wizara ya UHARIRI likitoka mara moja kila Nishati, ambalo ndilo hili. mwezi. Uanzishwaji wa Jarida hili umelenga kuifikia familia kubwa ya H Tunaamini kupitia Jarida hili, nishati, ambayo inajumuisha wadau Mwenyekiti wetu mbalimbali walio ndani na nje ya mtaendelea kuongeza uelewa wa sekta nchi. ya nishati, hususan kazi mbalimbali Dkt. Hamisi Mwinyimvua zinazofanywa na Wizara pamoja na (Katibu Mkuu Tumelenga kuwafikia wadau ili Taasisi zake. Sambamba na utoaji Wizara ya Nishati) kuwahabarisha na kuwaelimisha taarifa, mnakaribishwa kuwasilisha kuhusu kazi zinazotekelezwa na maoni/ushauri, maswali na kero serikali katika sekta ya nishati. Aidha, mbalimbali kuhusiana na sekta ya Jarida hili litatumika kutoa taarifa na nishati; nasi tutazipokea na kuzifanyia Wajumbe matangazo mbalimbali yanayohusu kazi. Wizara ya Nishati na Taasisi zilizo chini Mhandisi Innocent Luoga yake. Tafadhali tuandikie: (Kaimu Kamishna wa Mhariri Mkuu, Umeme na Nishati Mbadala) Bila shaka wengi wa wasomaji wetu, mtakumbuka kuwa hii siyo Nishati News Bulletin mara ya kwanza sisi kutoa Jarida la Wizara ya Nishati, Mwanamani Kidaya Wizara. Tulikuwa tukitoa Jarida la S.L.P. 2494 – Dodoma (Kaimu Kamishna wa Wizara ya Nishati na Madini lililokuwa Barua Pepe: nishatinewsbulletin@nishati. Petroli na Gesi) likifahamika kama MEM News Bulletin. go.tz Veronica Simba (Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini) Katunika Ki-nishati Waandishi Veronica Simba Teresia Mhagama Zuena Msuya

Wasiliana nasi kwa simu namba +255-26-2322018 Nukushi: +255-26-2320148 au

Fika Ofisi ya Mawasiliano Barabara ya Kikuyu, S.L.P. 2494, 40474 Dodoma NewsBulletin HABARI ZA NISHATI | Aprili 1 - 30, 2019 HABARI 4 Waziri wa Nishati, azindua Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na kutoa maelekezo Na Teresia Mhagama - Dodoma

ebruari 16, mwaka huu, Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani, alizindua Bodi mpya ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), na kutoa maelekezo mbalimbali kwa Bodi hiyo yatakayopelekea kazi ya usambazaji umeme Fvijijini kufanyika kwa kasi na ufanisi. Kikao cha Waziri na Bodi hiyo kilifanyika jijini Dodoma na kuhudhuriwa na Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu pamoja na viongozi wengine wa Wizara akiwemo Katibu Mkuu, Dkt. Hamisi Mwinyimvua, Kaimu Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga, Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, Raphael Nombo, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Amos Baadhi ya wajumbe wa Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ambayo imezinduliwa na Maganga na watendaji wengine kutoka wizara Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani. na REA. Akizungumza na Bodi hiyo, Dkt Kalemani Waziri wa Nishati, Dkt alieleza sababu mbalimbali za kuvunjwa Medard Kalemani (katikati) kwa Bodi iliyopita Novemba 12, 2018 kuwa akizungumza wakati wa ni kushindwa kutekeleza majukumu yake uzinduzi wa Bodi mpya ya ipasavyo na kushindwa kusimamia vizuri Wakala wa Nishati Vijijini Wakala wa Nishati Vijijini. “Leo tunawakabidhi majukumu yenu (REA). Katika kikao hicho pia lakini suala la msingi ni kuwatumikia walihudhuria Watendaji wa wananchi kwani tunawajibika kwao hivyo Wizara ya Nishati na Wakala yaliyotokea kwenye Bodi iliyopita, yasitokee wa Nishati Vijijini (REA). kwenye Bodi yenu”, alisema Dkt Kalemani. Kushoto kwa Waziri ni Naibu Alitaja majukumu ya Bodi hiyo kuwa ni kusimamia Wakala wa Nishati Vijijini ili Waziri wa Nishati, Subira utekeleze majukumu yake kwa ufanisi na Mgalu. weledi na kusimamia shughuli za Wakala ili zifanyike kwa malengo na Dira ya Serikali ya kusambaza umeme katika vijiji vyote nchini. utekelezaji wa kusambaza umeme katika vijiji, Dkt John Pombe Magufuli kumteua Bw. Aliongeza kuwa, majukumu mengine ya vitongoji na miradi mbalimbali ya kijamii Michael Nyagoga kuwa Mwenyekiti wa Bodi Bodi hiyo ni kusimamia Fedha za Mfuko wa na kuwasimamia ipasavyo wakandarasi hiyo Februari 14, 2019. Nishati Vijijini ili tija yake ionekane na kuitaka wa umeme vijijini ili kazi zao ziende kwa Wajumbe wa Bodi hiyo ni Oswald Bodi hiyo kutokuwa chanzo cha migogoro haraka kwani wengi wao hawafanyi kazi zao Urassa, Mhandisi Styden Rwebangila, inayoweza kuchelewesha au kukwamisha kazi inavyotakiwa. Francis Songela, Louis Accaro, Dailin za Wakala. Dkt. Kalemani amezindua Bodi hiyo baada Leonard, Henry Mwimbe na Dkt. Andrew Aidha, ameiagiza Bodi hiyo kuharakisha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Komba.

Kutoka kushoto ni Kaimu Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani (katikati) Innocent Luoga, Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, Wizara ya Nishati, akimkabidhi Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Nishati Raphael Nombo na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Vijijini, Michael Nyagoga kitabu cha Sheria ya Nishati Mhandisi Amos Maganga, wakimsikiliza Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani Vijijini ya mwaka 2005 ikiwa ni muongozo wa majukumu (hayupo pichani) wakati akizungumza na Bodi mpya ya REA. ya Bodi hiyo katika kusimamia Wakala huo. HABARI ZA NISHATI | Aprili 1 - 30, 2019 NewsBulletin 5 HABARI MIPANGO YA SERIKALI KUHUSU GESI YA KUSINI IKO PALEPALE - MGALU Na Veronica Simba – Lindi

aibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu amewataka watanzania kuondoa shaka kuhusu mipango ya serikali kufuatia gesi iliyogunduliwa mikoa ya kusini, kwani haijabadilika na inaendelea kutekelezwa. NAliyasema hayo hivi karibuni kijijini Ntauna, Kata ya Rondo, Lindi Vijijini, alipokuwa akihitimisha ziara yake ya siku nne mkoani Lindi ambapo alikagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umeme, kuwasha umeme katika vijiji mbalimbali na kuzungumza na wananchi. “Nataka niwaaminishe wana-kusini, yale ambayo serikali iliahidi baada ya kugundua gesi, mipango yake iko palepale na inafanyiwa kazi,” alisema. Akifafanua zaidi, Naibu Waziri Mgalu alisema moja ya mambo ambayo serikali iliahidi ni umeme wa uhakika utakaowezesha uwekezaji. Alisema hadi sasa, taratibu za kukamilisha ujenzi wa Mradi wa kuzalisha umeme wa gesi Mtwara wenye megawati 300 na Somanga Fungu wenye megawati 330 ziko Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (kulia) akiwasha rasmi umeme katika kijiji cha Ntauna, Kata katika hatua za mwisho. ya Rondo, Lindi Vijijini, akiwa katika ziara ya kazi, hivi karibuni. Wengine pichani ni Mkuu wa Wilaya “Mradi utaanza ndani ya mwaka huu wa fedha ambao utawezesha mikoa hii kuzalisha ya Lindi, Shaibu Ndemanga (kushoto), Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye (wa pili-kushoto) umeme wa kutosha kuweza kuingizwa kwenye na Afisa wa TANESCO Lindi. Gridi ya Taifa.” mkandarasi husika kuboresha utendaji wake ili alisisitiza. Aidha, aliongeza kuwa, jambo jingine kuhakikisha anafikia malengo ya kukamilisha Naye Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape kubwa ni kuviwezesha viwanda vya maeneo kazi yote kwa mujibu wa mkataba ifikapo Juni Nauye, aliipongeza Serikali ya Awamu ya husika kupata umeme wa gesi ambapo 30, mwaka huu ambapo ndipo mradi wa umeme Tano kwa upande wa nishati ambapo alisema alisema tayari kiwanda cha saruji cha Dangote vijijini awamu ya tatu, mzunguko wa kwanza imekuwa ikifanya kazi nzuri sana. kimeshaunganishiwa. utakuwa unahitimishwa. “Tunawashukuru sana Wizara ya Nishati Pia, alisema, serikali inaendelea Naibu Waziri alisema yeyé pamoja na kwa kazi nzuri wanayoifanya. Kama kuna kuzungumza na viwanda vya mbolea ili vizalishe viongozi wengine wa Lindi akiwemo Mkuu Wizara inafanya vizuri, basi Wizara hii inafanya mbolea inayotokana na gesi ili pamoja na wa Mkoa, Wakuu wa Wilaya na Wabunge vizuri.” mambo mengine viongeze ajira kwa wananchi. wamekubaliana kumsimamia mkandarasi husika Hata hivyo, Nnape alisema anatambua Vilevile, alisema kwa Mkoa wa Lindi, eneo katika kuhakikisha anatimiza wajibu wake kiu kubwa ya umeme waliyonayo wananchi la Likongo, serikali inatarajia kujenga kiwanda ipasavyo. na kuwasihi kuwa wastahimilivu maana zoezi cha kusindika gesi iwe katika hali ya kimiminika Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya la kuunganisha umeme ni hatua kwa hatua, ambapo Rais ametoa mwongozo Lindi, Shaibu Ndemanga, ambaye alifuatana awamu kwa awamu. Alisema anayo imani wa kufanya mazungumzo na mbia mmoja na Waziri wakati akihitimisha ziara yake, kubwa kwamba vijiji vyote vitafikiwa na mmoja. Alisema mazungumzo yanaendelea aliwahakikishia wananchi wa eneo husika huduma hiyo kabla ya mradi kuisha. vizuri. kuwa yeyé pamoja na viongozi wenzake Mkurugenzi wa kampuni ya State Grid, Katika hatua nyingine, Naibu Waziri watamsimamia mkandarasi husika ili ambayo ndiyo inatekeleza uunganishaji alizungumzia tathmini ya ziara yake mkoani kuhakikisha kazi inatekelezwa kwa ufanisi. wa umeme mkoani Lindi, Charles Mlawa, Lindi, ambapo alisema imekuwa yenye “Tumekabidhiwa hawa tuwasimamie, akizungumza na waandishi wa habari baada mafanikio. kwa hiyo nichukue nafasi hii kuwathibitishia ya ziara hiyo, aliahidi kutekeleza maelekezo Alisema, kazi ya kuwaunganishia wananchi kwamba tutawasimamia kwelikweli ili umeme vijijini inaendelea na ametoa wito kwa kuhakikisha zoezi hili linakamilika vizuri sana,” yote yaliyotolewa na Naibu Waziri katika kuhakikisha kazi hiyo inafanyika kwa ufanisi. Naibu Waziri wa Katika ziara hiyo, viongozi wa ngazi Nishati, Subira Mgalu mbalimbali walipongeza utendaji kazi akizungumza wakati wa wa Wizara pamoja na Shirika la Umeme hafla ya uwashaji rasmi Tanzania (TANESCO) na kuomba jitihada zinazofanyika ziendelee. wa umeme katika kijiji Katika Miradi ya Umeme Vijijini, cha Mvuleni, Lindi Vijijini, Mzunguko wa Kwanza (REA III – 1), jumla hivi karibuni. Kushoto kwa ya vijiji takribani 133 vitaunganishiwa Naibu Waziri ni Mkuu wa umeme kwa gharama ya shilingi bilioni Wilaya ya Lindi, Shaibu 31.9. Matarajio ni kuwaunganishia wananchi Ndemanga na wa pili takribani 5337. Akiwa Lindi vijijini, Naibu Waziri kutoka kushoto ni Mbunge aliwasha umeme katika vijiji vya Ntauna, wa Mtama, Nape Nnauye. Mvuleni na Tulieni. NewsBulletin HABARI ZA NISHATI | Aprili 1 - 30, 2019 HABARI 6 Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini yapongeza mradi wa umeme Makambako-Songea Kabla ya kukagua kituo cha kupoza umeme cha Songea, Kamati hiyo ilikagua vituo vya Makambako na Madaba pamoja na njia ya usafirishaji umeme kutoka Makambako hadi Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani Songea ambapo watendaji mbalimbali kutoka (wa kwanza kushoto) akitoa maelezo kwa Wizara ya Nishati na Shirika la Umeme Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Tanzania (TANESCO), walihudhuria. ya Nishati na Madini wakati walipotembelea Pamoja na pongezi hizo, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, aliiagiza Wizara pamoja kituo cha kupoza umeme cha Makambako TANESCO kuhakikisha wanapeleka umeme mkoani Njombe. Wa Pili kushoto ni katika vijiji vyote vilivyopangwa kupelekewa Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mariamu Ditopile umeme kupitia mradi huo na kutoruka kijiji Mzuzuri. Moja ya nguzo, kati ya nguzo 711 (Tower erection) inayosafirisha umeme wa msongo wa kV 220 kutoka Makambako hadi Songea iliyojengwa kupitia mradi wa umeme wa Makambako- Songea. Na Teresia Mhagama - Ruvuma

amati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, chini ya Mwenyekiti, Mariamu Ditopile Mzuzuri, imeipongeza Serikali Baadhi ya mitambo ya umeme katika kituo Kaimu Kamishna wa Umeme na Nishati kwa kutekeleza mradi wa umeme cha kupoza umeme cha Makambako mkoani Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga wa Makambako- Songea (kV 220) ambao Njombe ambacho kimejengwa kupitia mradi (aliyenyoosha mkono) akitoa maelezo kwa Kumewezesha mikoa ya Ruvuma na Njombe wa umeme wa Makambako- Songea. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na kupata umeme wa uhakika kutoka Gridi ya Taifa. Madini kuhusu kituo cha kupoza umeme cha Kamati hiyo, imetoa pongezi hizo wilayani chochote ambacho kimepitiwa na mradi. Songea ambacho kimejengwa kupitia mradi Songea, Mkoa wa Ruvuma, baada ya kukagua Aidha, aliiagiza Wizara ya Nishati na wa umeme wa Makambako-Songea. Wa Pili utekelezaji wa mradi huo ambao umehusisha TANESCO kuhakikisha wanahamasisha wananchi kutumia umeme huo kwa matumizi kulia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mariamu ujenzi wa njia ya umeme ya msongo wa kV Ditopile Mzuzuri. 220 kutoka Makambako hadi Songea, ujenzi mbalimbali ikiwemo ya viwandani kwani mikoa wa vituo vya kupoza umeme vya Makambako, hiyo sasa ina umeme wa kutosha na wa uhakika na Serikali inahitaji wateja wengi zaidi ili cha Makambako, Waziri wa Nishati, Dkt. Madaba na Songea na usambazaji umeme Medard Kalemani aliieleza Kamati hiyo kuwa, katika vijiji 122. kuongeza mapato. Awali, katika kituo cha kupoza umeme mradi huo umekamilika mwaka 2018 na kazi inayoendelea sasa ni usambazaji wa umeme katika Vijiji vya awali 122 ambapo Vijiji 105 tayari vimeshaunganishwa na nishati hiyo. Dkt. Kalemani aliongeza kuwa, mradi huo umetekelezwa na Serikali ya Tanzania kupitia TANESCO kwa kushirikiana na Serikali ya Sweden kupitia Shirika lake la Maendeleo (SIDA) ambapo jumla ya gharama za mradi ni shilingi bilioni 216 na jumla ya wateja wa awali 22,000 watafaidika na mradi huo. Kwa upande wake, Kaimu Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga, alisema miundombinu hiyo ya usafirishaji umeme (kV 220) imejengwa kwa umbali wa kilomita 250 na jumla ya nguzo (Tower erection) 711 zimesimikwa. Aliongeza kuwa, kufika kwa umeme wa Gridi katika mikoa hiyo, kumefanya wananchi wahamasike kuutumia na kutoa mfano kuwa, Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (wa pili - kushoto) akiongoza Wajumbe wa Kamati ya awali matumizi ya umeme kwa Mkoa wa Ruvuma yalikuwa ni takriban megawati 9 Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kutembelea kituo cha kupoza umeme cha Makambako lakini sasa yameongezeka na kufikia megawati mkoani Njombe. Wa Pili kulia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mariamu Ditopile Mzuzuri na wa 11 huku kazi ya kuwasambazia nishati hiyo kwanza kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka. wananchi ikiendelea. HABARI ZA NISHATI | Aprili 1 - 30, 2019 NewsBulletin 7 HABARI Maandalizi ya ujenzi mradi wa umeme wa Rufiji yafikia zaidi ya asilimia 40 Na Teresia Mhagama - Pwani

aziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani ameieleza Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kuwa, kazi mbalimbali za maandalizi ya ujenzi wa mradi wa umeme wa Rufiji (MW W2115) zinazofanywa na Mkandarasi kampuni ya ubia ya Arab Contractors na Elsewedy Electric zimefikia zaidi ya asilimia 4O. Aliyasema hayo alipokuwa akitoa taarifa ya mradi husika kwa Wajumbe wa Kamati hiyo Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge waliotembelea eneo la mradi lililopo wilayani ya Nishati na Madini, Dunstan Kitandula ya Nishati na Madini, pamoja na Waziri Rufiji, Mkoa wa Pwani. (katikati), Waziri wa Nishati, Dkt. Medard wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (wa nne Dkt. Kalemani, alisema kuwa, Mkandarasi Kalemani (wa kwanza kushoto) na Mjumbe kutoka mbele) wakiwa katika eneo ambalo huyo ameanza kazi za maandalizi mara baada wa Kamati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo litatumika kutekeleza mradi wa umeme wa ya kukabidhiwa eneo hilo la mradi mwezi wa la Manonga, Seif Gulamali (wa Pili kulia) Rufiji (MW 2115) mara baada ya kufanya Pili mwaka huu. Akieleza zaidi, alisema miongoni mwa kazi wakimsikiliza mtaalam kutoka kampuni ya ziara katika eneo la mradi huo. ubia ya Arab Contractors na Elsewedy Electric ambazo Mkandarasi anaendelea kutekeleza Kamati ya Nishati na Madini, Dunstan kwa sasa ni ujenzi wa kambi ya muda ya wakati akizungumzia mradi wa umeme wa Kitandula, baada ya kukagua miundombinu wafanyakazi, uletaji wa vifaa na mitambo Rufiji (MW 2115). iliyotekelezwa na Serikali pamoja na kazi za itakayotumika wakati wa ujenzi pamoja na maandalizi zinazofanywa na Mkandarasi, kazi za kuchukua sampuli za udongo na maji Vilevile, Waziri alisema pamoja na aliipongeza Serikali kwa kuamua kuutekeleza kwa ajili ya utafiti. kuridhishwa na hatua ya maandalizi mradi huo na kuusimamia kikamilifu. Aidha, aliongeza kuwa, mara baada iliyofikiwa, Serikali kupitia Wizara ya Nishati Alisema kuwa, Kamati hiyo inafuatilia ya kukamilisha kazi hizo za maandalizi bado itaendelea kumsimamia mkandarasi ili kwa karibu utekelezaji wa mradi husika ili Mkandarasi huyo anatakiwa kumaliza kazi ya amalize kazi ndani ya muda uliopangwa. uweze kukamilika kwa wakati kutokana na ujenzi ndani ya miezi 36. Kwa upande wake, Mwenyekiti wa umuhimu wake nchini ambapo pia alitoa wito kwa Wizara kutorudi nyuma katika usimamizi wa mradi. Pia, alitoa wito kwa wafanyabiashara hapa nchini kuchangamkia fursa zinazopatikana katika mradi kwani Serikali itatumia takribani shilingi Trilioni 6.5 kutekeleza mradi huo hivyo ni muhimu watanzania wafaidike na fedha hizo. Katika ziara hiyo, Kamati pia ilikagua miundombinu wezeshi iliyotekelezwa na Serikali ikiwemo barabara, umeme, nyumba za wafanyakazi na sehemu maalumu ya kushushia mizigo katika Stesheni ya TAZARA katika Kituo cha Fuga. Viongozi mbalimbali waliambatana na Kamati hiyo akiwemo Kaimu Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani, (katikati), akizungumza na Wataalamu Innocent Luoga, Mkurugenzi Mtendaji wa wanaosimamia na wanaotekeleza mradi wa umeme wa Rufiji (MW 2115) mara baada ya kufika TANESCO, Dkt. Tito Mwinuka pamoja na katika eneo la mradi huo akiwa ameambatana na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya wataalamu kutoka kampuni inayotekeleza Nishati na Madini. mradi huo. Kaimu Kamishna wa Moja ya nyumba Umeme na Nishati Jadidifu, inayojengwa Mhandisi Innocent Luoga na mkandarasi (kushoto) akiwaongoza anayetekeleza baadhi ya Wajumbe wa mradi wa umeme Kamati ya Kudumu ya Bunge wa Rufiji ambapo ya Nishati na Madini mara katika eneo hilo walipofika katika eneo kunajengwa kutakapotekelezwa mradi wa kambi ya muda umeme wa Rufiji (MW 2115), ya Wafanyakazi wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani. wa mradi huo. NewsBulletin HABARI ZA NISHATI | Aprili 1 - 30, 2019 HABARI 8 KIGOMA KUPATA UMEME WA GRIDI MWAKANI

mkoani humo, Dkt Kalemani alisema kuwa, jumla ya vijiji 149 vitapelekewa umeme kupitia mradi wa usambazaji umeme wa Awamu ya Tatu mzunguko wa kwanza. Aliongeza kuwa, ili kuongeza kasi ya utekelezaji wa mradi huo wa usambazaji umeme mkoani Kigoma, Serikali imeweka wakandarasi wawili wanaosambaza umeme vijijini ambao ni Urban & Rural na CCCE- Etern. Aidha, alimuagiza mkandarasi wa umeme katika Wilaya ya Kibondo na Kakonko (Urban & Rural) kuhakikisha anamaliza kazi ya usambazaji umeme katika vijiji vya wilaya hizo ifikapo Juni mwaka huu. Kwa nyakati tofauti wananchi katika vijiji vya Kewe na Rugunga waliishukuru Serikali kwa kuwapelekea nishati ya umeme kwa shilingi 27,000 tu ambayo pia imefika Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani akizungumza na wananchi katika Kijiji cha Rugunga katika Taasisi za umma kama Zahanati na wilayani Kibondo, Mkoa wa Kigoma kabla ya kuwasha umeme katika Kijiji hicho. kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi. Na Teresia Mhagama

erikali imesema, Mkoa wa Kigoma utaanza kupata umeme wa Gridi kuanzia mwezi Aprili mwakani hali itakayopelekea Mkoa huo kupata umeme wa uhakika na Serikali kuokoa fedha zinazotumika kununua mafuta Sya kuendeshea mitambo ya umeme kwa sasa. Hayo yalisemwa hivi karibuni na Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani wakati wa ziara yake ya kukagua kazi ya usambazaji umeme vijijini katika Wilaya ya Kakonko na Kibondo mkoani Kigoma ambapo pia Wataalam kutoka Wizara ya Nishati, Shirika aliwasha umeme katika Kijiji cha Kewe na la Umeme Tanzania (TANESCO) na Wakala Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (wa Rugunga. “Serikali imeshaanza utaratibu wa ujenzi wa Nishati Vijijini (REA), wakimsikiliza Waziri nne kutoka kulia) akikata utepe kuashiria kutoka Disemba mwaka jana na njia hiyo ya wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (hayupo uwashaji wa umeme katika Kijiji cha Kewe umeme ya msongo wa kilovoti 132 itajengwa pichani) wakati alipokuwa akizungumza wilayani Kakonko. Wa Tano kutoka kulia ni kutokea Tabora kupitia Urambo, kwenda na wananchi katika Kijiji cha Kewe wilayani Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Kakonko, Luis Nguruka mpaka Kidawe wilayani Kigoma,” Kakonko. Bura. alisema Dkt Kalemani. Alisema kuwa, mradi huo wa ujenzi wa njia ya umeme ambao utagharimu shilingi bilioni 84 utahusisha pia ujenzi wa vituo vitatu vya kupoza umeme. Kuhusu hali ya usambazaji umeme

Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Luis Bura akizungumza na wananchi katika Kijiji cha Rugunga wilayani humo wakati wa hafla ya uwashaji umeme katika Kijiji hicho. Kushoto Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani (mwenye shati ya bluu) akiwakabidhi kifaa cha kwake ni Waziri wa Nishati, Dkt Medard UMETA wananchi katika Kijiji cha Kewe ambacho kitawawezesha kuunganishiwa umeme bila Kalemani. kuingia gharama ya kufunga nyaya ndani ya nyumba (wiring). HABARI ZA NISHATI | Aprili 1 - 30, 2019 NewsBulletin 9 HABARI DKT. KALEMANI AKAGUA REA III KASULU, BUHIGWE NA KIGOMA VIJIJINI

Na Teresia Mhagama - Kigoma anasimamia suala ya uchoraji wa ramani za Akizungumzia suala hilo, Dkt. Kalemani kuingiza umeme ndani ya nyumba za wananchi alisema kuwa, Mkandarasi ambaye ni kampuni aziri wa Nishati, Dkt. Medard kwani kuna baadhi ya watu binafsi wanaofanya ya CCCE Etern ameanza kazi Januari mwaka Kalemani amefanya ziara kazi hizo wamekuwa wakiwatoza wananchi huu tofauti na wakandarasi wa umeme katika ya kikazi katika Wilaya ya gharama kubwa bila kujali tofauti ya ukubwa maeneo mengine nchini ambao walianza kazi Kasulu, Kigoma Vijijini na au udogo wa kazi. mwaka jana, hii ni kwa sababu ya masuala ya Buhigwe mkoani Kigoma kwa Vilevile, Dkt. Kalemani alimtaka Meneja kisheria yaliyojitokeza hapo awali lakini sasa lengo la kukagua mradi wa usambazaji umeme huyo kuhakikisha kuwa watu wanaofanya kazi Mkandarasi huyo anaendelea na kazi. Wvijijini Awamu ya Tatu (REA III) ambapo pia za kufunga nyaya za umeme ndani ya nyumba Akiwa wilayani Buhigwe, Dkt. Kalemani aliwasha umeme katika baadhi ya vijiji. za wananchi wanatambulika na TANESCO alikagua miundombinu ya umeme katika Akiwa wilayani Kasulu, Dkt. Kalemani ili kuepusha utapeli na kufanya kazi chini ya Kijiji cha Bulimanyi ambacho tayari alikagua kazi zinazofanywa na mkandarasi viwango vinavyotakiwa. kimeshafikishiwa umeme na kaya zaidi ya katika Kijiji cha Ruhita ambapo alikuta Kijiji Awali, Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali 10 zimeshaunganishwa na nishati hiyo na hicho bado hakijaunganishwa umeme na Simon Anange alimweleza Dkt. Kalemani kumuagiza Mkandarasi kupeleka umeme kumuagiza Mkandarasi, kampuni ya CCCE kuwa, wananchi wa Kijiji hicho wamesubiri katika vijiji vyote vya Wilaya hiyo. Etern kufikisha umeme kijijini hapo ndani ya umeme kwa muda mrefu baada ya kupata Dkt. Kalemani pia alikagua miundombinu siku 15. ahadi ya kupelekewa nishati hiyo, hivyo ya umeme katika Kijiji cha Mkigo wilayani Aidha, alimtaka Meneja wa TANESCO, wanaomba Mkandarasi akamilishe kazi Kigoma Vijijini, ambapo pamoja na Wilaya ya Kasulu kuhakikisha kuwa, hiyo mapema ili waweze kufanya shughuli kuzungumza na wananchi, aliwasha umeme mbalimbali ikiwemo za kiuchumi. katika Kijiji hicho.

Wananchi katika Waziri wa Kijiji cha Bulimanyi Nishati, Dkt. wilayani Buhigwe, Medard Mkoa wa Kigoma Kalemani wakimsikiliza akizungumza na Waziri wa Nishati, wananchi katika Dkt. Medard Kijiji cha Mpigo Kalemani (hayupo wilayani Kigoma pichani) wakati Vijijini, Mkoa wa alipofika kijijini Kigoma kabla hapo kukagua ya kuwasha miundombinu ya umeme katika umeme. Kijiji hicho. MATUKIO PICHANI

Kaimu Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga (kushoto) na Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Dkt. Tito Mwinuka (katikati) wakikagua eneo Viongozi mbalimbali wa Serikali mkoani Lindi, wataalamu kutakapotekelezwa kutoka Wizara ya Nishati, Wakala wa Nishati Vijijini (REA) mradi wa umeme na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), wakimsikiliza wa Rufiji (MW Naibu Waziri wa Nishati Subira Mgalu (aliyesimama), wakati 2115), wilayani akizungumza na wananchi wa kijiji cha Mvuleni, Lindi Vijijini, Rufiji, Mkoa wa alipokuwa katika ziara ya kazi, hivi karibuni. Naibu Waziri Pwani. aliwasha rasmi umeme katika kijiji hicho. NewsBulletin HABARI ZA NISHATI | Aprili 1 - 30, 2019 HABARI 10 KATIBU MKUU NISHATI AWAPONGEZA WATAALAMU TANESCO

Na Henry Kilasila - utokanao na gesi asilia cha Ubungo II, Meneja wa kituo Mhandisi Lucas Busunge, alisema TANESCO kituo hicho kina mashine tatu za kufua umeme kila moja ikizalisha Megawati 43 na hivyo kufanya jumla ya Megwati 129. atibu Mkuu Wizara ya Nishati, Aidha, kwa sasa kituo hicho kiko Dkt. Hamisi Mwinyimvua, kwenye matengenezo makubwa ya kinga amewapongeza wataalamu wa Shirika la Umeme Tanzania yaani (Preventive maintanence), kwa jina la (TANESCO) kwa kazi kubwa ya kitaalamu matengenezo hayo huitwa Level C kuhakikisha umeme unawafikia wateja. Inspection na hufanyika baada ya mitambo KDkt. Mwinyimvua ametoa pongezi hizo kutembea zaidi ya masaa 40,000 tangu kituo hivi karibuni wakati alipotembelea vituo kianze kuzalisha umeme, alisema Mhandisi vya kufua umeme wa gesi vya Ubungo I, Busunge. Ubungo II na Songas pamoja na kukagua kazi “Matengenezo haya yatahusisha mitambo Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. Hamisi yote mitatu na mtambo wa kwanza ulianza ya kufunga transfoma mpya kwenye Kituo Mwinyimvua (katikati), akiwa katika ziara kutengenezwa Januari 9, 2019 katika mtambo Kikuu cha kupoza na kusambaza umeme cha kukagua miradi ya umeme Dar es Salaam, hivi namba mbili na yatafanyika kwa awamu kwa Ubungo. karibuni. kuzima mtambo mmoja baada ya mwingine Dkt. Mwinyimvua ambaye alifuatana na hadi yatakapokamilika na tunatarajia kazi hii kununua Transfoma kubwa yenye uwezo wa Kaimu Kamishna wa Umeme na Nishati ya kufanya matengenezo itakamilika Juni 5, kusukuma takribani Megawati 240 kutoka Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga, alisema 2019,” alifafanua. kwenye msongo wa kilovoti 220 kuelekea “Tunazitambua changamoto zinazowakabili, Matengenezo hayo yanaambatana na Msongo wa kilovoti 132 ili kuongezea nguvu lakini niwapongeze kwa kazi nzuri mnayofanya marekebisho ya kufanya mitambo isizime kwa umeme unaotumika katika mikoa ya Dar es ya kuhakikisha huduma ya umeme inawafikia masaa 40 kila baada ya umeme wa Gridi ya Salaam, Zanzibar na Pwani, ameongeza Meneja wateja.” Taifa kukatika kama ilivyo hivi sasa ambapo Akitoa taarifa ya Kituo cha kufua umeme Miradi wa TANESCO Mhandisi Stephene Gridi ya Taifa ikitoka basi mitambo inasimama Manda. kwa masaa 40 kabla ya kurejea katika hali yake “Tunao umeme wa kutosha, kilichokuwa ya kawaida. kinasumbua ni namna ya kuushusha umeme “Marekebisho hayo yataiwezesha mitambo huo wa msongo wa kilovoti 220 hadi msongo kuweza kuanzisha Gridi kama ilivyo katika wa kilovolti 132. Kazi tunayofanya hivi sasa vituo vya Kidatu kuweza kurejesha umeme ni kufunga transfoma mpya ambayo itatatua kwa haraka. Hivyo, marekebisho haya changamoto hiyo.” Alisema Katibu Mkuu yatawezesha mitambo kurejesha umeme kwa haraka jijini Dar es Salaam wakati umeme wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Hamisi wa Gridi ya Taifa unapokatika,” alibainisha Mwinyimvua. Mhandisi Busunge. Pia, Dkt. Mwinyimvua aliwapongeza Katika siku za hivi karibuni kunekuwepo TANESCO kwa ubunifu walioufanya wa na changamoto ya upatikanaji umeme kwa kufanya marekebisho kwenye mitambo wakati wote baadhi ya maeneo ya jiji la Dar yake mitatu ya Kituo cha kufua umeme wa es Salaam ambapo imeelezwa kuwa sehemu gesi asilia cha Ubungo II ambapo baada ya kubwa ya wakazi wa jiji hilo, Zanzibar na marekebisho hayo, umeme ukitoka kwenye Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. Hamisi Pwani hutegemea Kituo Kikuu cha kupoza na Gridi ya Taifa, basi mitambo hiyo inaweza Mwinyimvua (wa tatu kutoka kulia), akiwa kusambaza umeme cha Ubungo. kuingilia kati na hivyo kulifanya jiji la Dar katika ziara kukagua miradi ya umeme Dar es Kutokana na upungufu huo, Serikali es Salaam kuwa salama kwa maana ya Salaam, hivi karibuni. kupitia TANESCO imechukua hatua ya kutoathirika kwa kutoka kwa Gridi ya Taifa. MATUKIO PICHANI

Mbunge wa Jimbo la Sehemu ya umati Mtama, Nape Nnauye wa wananchi wa akizungumza, kijiji cha Mvuleni, wakati wa ziara ya Lindi Vijijini, Naibu Waziri wa wakimsikiliza Nishati, Subira Mgalu Naibu Waziri wa (mwenye kilemba Nishati, Subira cha njano - meza Mgalu (hayupo kuu) kijijini Ntauna, pichani) alipokuwa Kata ya Rondo, Lindi akizungumza nao Vijijini, hivi karibuni. kabla ya kuwasha Naibu Waziri rasmi umeme aliwasha rasmi kijijini hapo, hivi umeme kijijini hapo. karibuni. HABARI ZA NISHATI | Aprili 1 - 30, 2019 NewsBulletin 11 HABARI NCHI ZA MASHARIKI MWA AFRIKA ZADHAMIRIA KUIMARISHA UCHUMI KWA KUUZIANA UMEME

“Ni matumaini yangu kuwa mifumo unganishi mingi zaidi ya umeme, itaendelea kujengwa katika ukanda wetu ili itusaidie kupata matokeo chanya zaidi na hivyo kuimarisha uchumi wa nchi zetu,” alisisitiza. Kwa upande wake, Naibu Waziri Mgalu, akizungumzia manufaa mengine ambayo Tanzania inayapata kupitia umoja huo wa EAPP, alisema ni pamoja na kusaidiwa na Washirika wa Maendeleo ambao wanafadhili miradi mbalimbali ya umoja huo. “Kwa mfano sasa tumeanza ujenzi wa Mradi mkubwa wa laini ya msongo wa kilovolti 400 ambayo inatoka Singida hadi Namanga pamoja na ujenzi wa laini ya msongo wa kusafirisha umeme wa kilovolti 400 ambao unatoka Iringa, Mbeya, Tunduma, Songea hadi Baadhi ya Mawaziri/Naibu Mawaziri wanaohusika na Umeme kutoka nchi za ukanda wa Mashariki Sumbawanga. Miradi hii inafadhiliwa na Benki mwa Afrika ambazo zimeunganishiwa mifumo ya kusafirisha umeme baina yake (Eastern Africa ya Dunia,” alifafanua. Power Pool – EAPP). Katikati ni Mwenyekiti wa Baraza hilo la Mawaziri la EAPP, Mhandisi Irene Suala jingine muhimu lililojadiliwa na kupitishwa na Mkutano huo, ni maboresho ya Muloni (Uganda) na wa pili kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Nishati (Tanzania), Subira Mgalu. mkataba wa ushirikiano kwa nchi wanachama Walikuwa katika Mkutano wao wa 14 uliofanyika Entebbe, Uganda, hivi karibuni. wa EAPP. Na Veronica Simba – maji, upepo, jua, gesi asilia na vingine vingi, Mkutano huo wa Baraza la Mawaziri Entebbe lakini bado tunakabiliwa na umaskini wa ulitanguliwa na Mkutano wa Kamati Tendaji nishati hiyo adhimu,” alifafanua. ambayo ni ngazi ya wataalamu kutoka nchi za umoja huo. Akizungumzia mifumo mbalimbali ya chi zilizopo Mashariki mwa Naibu Waziri alimwakilisha Waziri wa umeme inayounganisha nchi hizo, ambayo Afrika, hivi karibuni kwa kauli Nishati Dkt. Medard Kalemani katika mkutano ikitumika vizuri itaunufaisha ukanda husika; moja, ziliweka dhamira yenye nia huo ambapo pia aliambatana na Balozi wa ya kuimarisha uchumi wao kwa aliitaja kuwa ni pamoja na njia ya kusafirisha Tanzania nchini Uganda, Dkt. Aziz Mlima kuuziana umeme kupitia mifumo umeme wa msongo wa kilovolti 500 kutoka pamoja na timu ya wataalamu akiwemo ya kusafirisha nishati hiyo, iliyounganishwa Ethiopia hadi Kenya, kilovolti 400 kutoka Kamishna wa Umeme na Nishati Mbadala, Nkatika ukanda husika. Tanzania hadi Kenya na msongo wa kilovolti Mhandisi Innocent Luoga na Mkurugenzi Hayo yalibainishwa hivi karibuni, katika 220 kutoka Kenya hadi Uganda. Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania Mkutano wa 14 wa Baraza la Mawaziri Nyingine ni njia ya kusafirisha umeme (TANESCO), Dkt. Tito Mwinuka. wanaohusika na umeme kutoka nchi za wa kilovolti 220 kutoka Uganda hadi Rwanda Nchi wanachama wa EAPP ni Tanzania, ukanda huo, ambazo zimeunganishiwa pamoja na mifumo unganishi ya umeme kati Uganda, Kenya, Burundi, Ethiopia, Libya, mifumo ya kusafirisha umeme baina yake ya Rwanda, Burundi na DRC. Sudan, Misri, Rwanda, DRC na Djibouti. (Eastern Africa Power Pool – EAPP) Akizungumza mara baada ya Mkutano huo uliofanyika mjini Entebbe nchini Uganda, Naibu Waziri wa Nishati (Tanzania), Subira Mgalu, alieleza kuwa, nchi wanachama wa EAPP wamelenga kuhakikisha wananchi wao wanakuwa na umeme wa kutosha, uhakika na wenye gharama nafuu. Akifafanua zaidi, Naibu Waziri alitoa mfano wa Ethiopia na Misri ambao alisema wanazalisha umeme mwingi, hivyo wanaweza wakauzia nchi nyingine za ukanda husika ikiwemo Tanzania kwa bei nafuu. Awali, akifungua Mkutano husika, Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Umoja huo, Mhandisi Irene Muloni (Uganda), alibainisha kuwa hakuna nchi yoyote duniani iliyoendelea katika sekta ya viwanda, pasipo kuwa na umeme mwingi, wa uhakika na wenye gharama nafuu. Aliongeza kuwa, ni kwa sababu hiyo, nchi wanachama wa EAPP, zimedhamiria kwa dhati Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wanaohusika na Umeme kutoka nchi za ukanda wa kuimarisha uchumi wa viwanda kwa kuungana Mashariki mwa Afrika ambazo zimeunganishiwa mifumo ya kusafirisha umeme baina yake na kushirikiana katika kutumia kikamilifu (Eastern Africa Power Pool – EAPP), Mhandisi Irene Muloni – Uganda (mbele-koti la bluu), akiwa vyanzo vyake vyote vya uzalishaji umeme katika picha ya pamoja na wajumbe wa Baraza hilo pamoja na wa Kamati Tendaji, wakati ambavyo zimejaaliwa. “Pamoja na nchi zetu kujaaliwa vyanzo wa Mkutano wa 14 wa Baraza hilo uliofanyika Entebbe, Uganda, hivi karibuni. Wa Sita kutoka mbalimbali vya kuzalisha umeme vikiwemo kushoto, mstari wa mbele ni Naibu Waziri wa Nishati (Tanzania), Subira Mgalu. NewsBulletin HABARI ZA NISHATI | Aprili 1 - 30, 2019 HABARI KATIKA PICHA 12 NCHI ZA MASHARIKI MWA AFRIKA ZADHAMIRIA KUIMARISHA UCHUMI KWA KUUZIANA UMEME

Naibu Waziri wa Nishati Subira Mgalu (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe wa Tanzania ulioshiriki katika Mkutano wa 14 wa Baraza la Mawaziri wanaohusika na Umeme kutoka nchi za ukanda wa Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wanaohusika na Umeme kutoka nchi Mashariki mwa Afrika zilizounganishiwa mifumo ya kusafirisha umeme za ukanda wa Mashariki mwa Afrika ambazo zimeunganishiwa mifumo baina yake (Eastern Africa Power Pool – EAPP). Kulia kwa Naibu Waziri ya kusafirisha umeme baina yake (Eastern Africa Power Pool – EAPP), ni Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Dkt. Aziz Mlima. Mkutano huo Mhandisi Irene Muloni – Uganda (katikati), akiongoza Mkutano wa 14 ulifanyika hivi karibuni, Entebbe, Uganda. wa Baraza hilo uliofanyika Entebbe Uganda, hivi karibuni. Wa kwanza kushoto ni Naibu Waziri wa Nishati (Tanzania), Subira Mgalu.

Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (wa pili-kulia), akijadiliana Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (wa pili-kulia), akijadiliana na na Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Dkt. Aziz Mlima (kushoto), Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Dkt. Aziz Mlima (kushoto), Kamishna Kamishna wa Umeme na Nishati Mbadala, Mhandisi Innocent wa Umeme na Nishati Mbadala, Mhandisi Innocent Luoga (wa pili- Luoga (wa pili-kushoto) na Katibu Mtendaji wa EAPP Mhandisi kushoto) na Katibu Mtendaji wa EAPP Mhandisi Lebbi Changullah Lebbi Changullah (kulia), kabla ya kuanza kwa Mkutano wa 14 wa (kulia), kabla ya kuanza kwa Mkutano wa 14 wa Baraza la Mawaziri Baraza la Mawaziri wanaohusika na Umeme kutoka nchi za ukanda wanaohusika na Umeme kutoka nchi za ukanda wa Mashariki mwa wa Mashariki mwa Afrika ambazo zimeunganishiwa mifumo ya Afrika ambazo zimeunganishiwa mifumo ya kusafirisha umeme baina kusafirisha umeme baina yake (Eastern Africa Power Pool – EAPP). yake (Eastern Africa Power Pool – EAPP). Mkutano huo ulifanyika Entebbe Mkutano huo ulifanyika Entebbe Uganda, hivi karibuni. Uganda, hivi karibuni.

Matukio mbalimbali wakati wa Mkutano wa 14 wa Baraza la Mawaziri wanaohusika na Umeme kutoka nchi za ukanda wa Mashariki mwa Afrika ambazo zimeunganishiwa mifumo ya kusafirisha umeme baina yake (Eastern Africa Power Pool – EAPP). Mkutano huo ulifanyika Entebbe Uganda, hivi karibuni. HABARI ZA NISHATI | Aprili 1 - 30, 2019 NewsBulletin 13 HABARI

Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu, (katikati), akizungumza mbele ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini wakati walipofika katika Kijiji cha Ngano wilayani Iringa kukagua mradi wa usambazaji umeme vijijini wa Awamu ya Tatu. Wa Pili kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mariamu Ditopile Mzuzuri na Wa Tatu kulia ni Kaimu Kamisha wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga. Kamati ya Bunge yakagua mradi wa umeme Iringa na kupongeza Wizara ya Nishati

Na Teresia Mhagama - Mzuzuri alisema kuwa, haitaleta maana Iringa kama Wakandarasi wa umeme vijijini watasambaza umeme katika makazi ya watu pekee kisa tu wako katika wigo waliopangiwa amati ya Kudumu ya Bunge na kuacha Taasisi muhimu za kijamii hivyo ya Nishati na Madini, chini ya aliipongeza Wizara ya Nishati kwa kuitikia uenyekiti wa Mariamu Ditopile agizo hilo la Kamati na kulifanyia kazi. Mzuzuri, imefanya ziara ya kikazi Aidha, Kamati hiyo ya Bunge imeipongeza mkoani Iringa iliyokuwa na lengo Wizara ya Nishati, kwa kufanyia kazi ushauri na kukagua kazi ya utekelezaji wa mradi wa wa kupunguza bei za umeme ambapo sasa Kusambazaji umeme vijijini ili kijiridhisha bei ya kuunganisha umeme vijijini ni shilingi endapo fedha zinazoidhinishwa na Bunge la 27,000 tu, iwe kwa miradi inayotekelezwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zinatumika na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) au kwa malengo yaliyokusudiwa. Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya TANESCO. Kamati hiyo ilikagua utekelezaji wa Bunge ya Nishati na Madini wakikata utepe “Sisi kama Kamati tunapata faraja, pale mradi wa usambazaji umeme vijijini wa kuashiria uzinduzi wa umeme katika Kitongoji tunapotoa ushauri na nyie mnaufanyia kazi, Awamu ya Tatu (REA III) katika Kijiji cha cha Ikuvala wilayani Kilolo, Mkoa wa Iringa. tunawatia moyo muendelee kufanya kazi kwa bidii ili mradi yale tunayoyapanga kwa pamoja Ngano, wilayani Iringa na katika Kitongoji Wa kwanza kulia ni Naibu Waziri wa Nishati, cha Ikuvala kilichopo wilayani Kilolo yaweze kufanikiwa zaidi na zaidi,” alisema Subira Mgalu. Mzuzuri. Akitoa taarifa ya usambazaji umeme vijijini ambapo waliambatana na Naibu Waziri wa mkoani Iringa, Naibu Waziri Mgalu, alisema Nishati, Subira Mgalu, Mkuu wa Wilaya ya kuwa vijiji 179 mkoani humo vimepangwa Iringa, Richard Kasesela, Kaimu Kamishna kupelekewa umeme kupitia miradi mbalimbali wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi ikiwemo REA III na mradi wa Backbone Innocent Luoga na watendaji kutoka Shirika la ambapo gharama zake ni takriban shilingi Umeme Tanzania (TANESCO). bilioni 30. Pamoja na kukagua utekelezaji wa mradi Naibu Waiziri alitumia fursa hiyo huo, Kamati hiyo ilipata fursa ya kuwasha kuwakumbusha wananchi kuwa bei ya rasmi umeme katika Kisima cha Maji, Shule kuunganisha umeme vijijini ni shilingi 27,000 ya Msingi na Zahanati katika Kijiji cha Ngano tu bila kujali kama mradi unatekelezwa na wilayani Iringa pamoja na kuwasha umeme TANESCO au REA kwani Serikali imedhamiria katika Kitongoji cha Ikuvala, wilayani Kilolo. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge kurahisisha zoezi la kuwapelekea wananchi “Tunaipongea Wizara kwa kuzingatia agizo umeme. ya Nishati na Madini, Mariamu Ditopile la Kamati ya Bunge kwa kuhakikisha umeme Aidha, alilisisitiza kuhusu matumizi Mzuzuri akibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi unafika katika Taasisi za Umma na Kijamii, ya vifaa vya UMETA kwa wananchi vijijini wa umeme katika Kitongoji cha Ikuvala kwani wakati tunakagua mradi huu mwaka na kuwataka wakandarasi kuhakikisha wilayani Kilolo, Mkoa wa Iringa. Wa kwanza jana, tuliongelea suala la wigo wa wakandarasi wanawapatia wananchi vifaa hivyo kulia ni Naibu Waziri wa Nishati, Subira na tuliwashauri kwamba umeme ufike katika kwani baada ya kukamilika kwa mradi, Taasisi za kijamii ikiwemo zahanati na Shule,” Serikali itakagua endapo wakandarasi hao Mgalu. alisema Mzuzuri. wametekeleza agizo hilo la Serikali. NewsBulletin HABARI ZA NISHATI | Aprili 1 - 30, 2019 HABARI 14

ili kujadiliana namna bora ya kuharakisha majadiliano ya mkataba wa uwekezaji kati ya Majadiliano mradi Serikali ya Tanzania na wawekezaji wa mradi huo. “Serikali imeamua kutekeleza mradi huu kutokana na na umuhimu wake katika ukuaji wa LNG kuanza Aprili wa uchumi wa nchi, hivyo tumeshapanga kuwa majadiliano ya mradi huo yaanze mwezi wa Nne na yakamilike mwezi wa Tisa mwaka huu,” alisema, Dkt Kalemani. Dkt. Kalemani alitoa angalizo kuwa, majadiliano hayo yalenge katika kuhakikisha kuwa pande zote mbili zinafaidika na mradi huo na kwamba kila upande ulenge katika kufanikisha mradi husika na siyo kuukwamisha. Kwa upande wake, Makamu Mwandamizi wa Rais wa kampuni ya Equinor, Dkt. Mette Halvorsen Ottoy alisema kuwa, kampuni hiyo kutoka nchini Norway imedhamiria kutekeleza mradi huo ambao pamoja na kuendeleza gesi asilia nchini utaendelea kudumisha uhusiano mzuri uliopo kati ya nchi ya Norway na Tanzania. Mradi wa uchakataji na uuzaji gesi iliyo Watendaji wa kampuni ya Equinor wakiwa katika kikao na Waziri wa Nishati, Dkt. Medard katika hali ya kimiminika (Liquefied Natural Gas-LNG project) unatarajiwa kutekelezwa Kalemani kilicholenga kujadili namna bora ya kuharakisha majadiliano ya mkataba wa mkoani Lindi ambapo kampuni zinazohusika uwekezaji kati ya Serikali ya Tanzania na wawekezaji wa mradi wa uchakataji na uuzaji gesi iliyo na mradi huo ni Equinor, Shell, Pavillion na katika hali ya kimiminika (Liquefied Natural Gas-LNG project). Ophir. Kikao hicho pia kilihudhuriwa na Na Teresia Mhagama - mwezi wa Nne mwaka huu. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika Dodoma Dkt Kalemani aliyasema hayo hivi karibuni la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), jijini Dodoma wakati wa kikao chake na Mhandisi Kapuulya Musomba, Kaimu aziri wa Nishati, Dkt Medard watendaji wa kampuni ya Equinor ambayo ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Kalemani, ameeleza kuwa, moja ya kampuni zitakazotekeleza mradi huo. wa Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA), Serikali imeamua kuanza Watendaji wa kampuni hiyo walifika Charles Sangweni na watendaji kutoka rasmi majadiliano ya mradi kuonana na Waziri wa Nishati jijini Dodoma Wizara ya Nishati. wa uchakataji na uuzaji gesi iliyo katika hali ya kimiminika (Liquefied WNatural Gas-LNG project) mwanzoni mwa

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Mhandisi Kapuulya Musomba akifuatilia kikao kati ya Waziri wa Nishati, Dkt Medard Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (kushoto) na Makamu Mwandamizi wa Rais wa Kalemani na watendaji wa kampuni ya kampuni ya Equinor, Dkt. Mette Halvorsen Ottoy, wakijadiliana kuhusu mradi wa uchakataji na Equinor. uuzaji gesi iliyo katika hali ya kimiminika (Liquefied Natural Gas-LNG project). HABARI ZA NISHATI | Aprili 1 - 30, 2019 NewsBulletin 15 HABARI NAIBU WAZIRI NISHATI AWATAKA WANA- PWANI WACHANGAMKIE UMEME WA REA

Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu akizungumza na wananchi wa Kata ya Ngarambe, wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani, akiwa katika ziara ya kazi, hivi karibuni.

Na Veronica Simba – Pwani mradi mkubwa wa umeme wa maji ya mto Rufiji maarufu kama Stiegler’s, ambao tayari aibu Waziri wa Nishati, Subira mkandarasi amekabidhiwa rasmi kuanza Mgalu ametoa rai kwa wananchi kuujenga; kuwa utakuwa mkombozi mkubwa wa Mkoa wa Pwani, hususan kwa wananchi wa Pwani ambao ndiyo mkoa wanaopitiwa na Mradi wa unaoubeba mradi husika. Umeme Vijijini kupitia Wakala Akiwa wilayani Rufiji, aliwataka kuzitumia wa Nishati Vijijini (REA), kuchangamkia fursa fursa zitakazotokana na utekelezaji wa mradi Nhiyo kutokana na unafuu wa gharama zake. wa umeme wa Rufiji katika eneo lao kwa Alitoa rai hiyo hivi karibuni, kwa nyakati kuwa wabunifu ili kujiongezea kipato kupitia Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu tofauti akiwa katika ziara ya kazi kukagua shughuli mbalimbali. (kulia), akiwakabidhi wauguzi wa Zahanati utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umeme, “Mradi wa Stiegler’s utaanza na ni fursa za Ngarambe na Tapika wilayani Rufiji, vifaa kuwasha umeme na kuzungumza na wananchi kwenu wana-Rufiji. Rai yangu tujipange mbalimbali zikiwemo Taa zinazotumia umeme katika wilaya za Rufiji na Kibiti. kutumia fursa hizo. Rufiji hii itakuwa Alisema, gharama za uunganishaji nyingine.” jua (solar) ili kuboresha utoaji huduma kwa umeme wa REA kwa kila mwananchi Akiwa katika Kata ya Ngarambe, Naibu wagonjwa. Naibu Waziri alikuwa katika ziara ya ni shilingi 27,000 tu lakini pindi mradi Waziri alitoa msaada wa taa zinazotumia kazi wilayani humo hivi karibuni. huo utakapoisha muda wake, gharama za nguvu ya jua (solar), kwa wauguzi wa uunganishaji zitakuwa kubwa zaidi. Hivyo, Zahanati za Ngarambe na Tapika wilayani aliwaasa wananchi kutumia fursa hiyo Rufiji, ili kusaidia utoaji huduma kwa ipasavyo kwa kujitokeza kwa wingi kulipia ili wagonjwa, wakati wakisubiri kufikiwa na waunganishiwe. huduma ya umeme. Pia, alitoa msaada wa Aidha, Naibu Waziri aliwataka wananchi mashuka katika Zahanati hizo. walio katika maeneo ambayo miradi Kwa upande wao, viongozi mbalimbali mbalimbali ya umeme ilikwishapita na wakiwemo Wakuu wa Wilaya za Kibiti na hawakufikiwa, kutulia kwani iko miradi Rufiji, viongozi wa Halmashauri na Mbunge mingine itakayotekelezwa katika maeneo yao wa Kibiti, walipongeza jitihada ambazo hususan mradi wa ujazilizi (Densification). zimekuwa zikifanywa na Serikali ya Awamu Akifafanua, alisema, hakuna mwananchi ya Tano, kupitia Wizara ya Nishati, katika au eneo ambalo litaachwa pasipo kupelekewa kuhakikisha maeneo mbalimbali yanafikiwa huduma ya umeme; ndiyo maana serikali na huduma ya umeme. Waliomba jitihada hizo ziendelee kwa kasi kupitia Wizara ya Nishati, inaendelea na Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (mwenye utekelezaji wa miradi mbalimbali inayolenga ili kuyafikia maeneo yote hususan ya vijijini. kuyafikia maeneo yote na kuhakikisha Katika ziara hiyo, Naibu Waziri Mgalu kilemba cha pinki) akiwa katika picha ya wananchi wote wanapata umeme, zoezi aliambatana na viongozi na wataalamu pamoja na baadhi ya viongozi wa Halmashauri linalofanyika hatua kwa hatua. mbalimbali kutoka wizarani, TANESCO ya Wilaya ya Rufiji, maafisa kutoka wizarani, Vilevile, Naibu Waziri Mgalu aliutaja na REA. Alitembelea vijiji vya Ngarambe, REA na TANESCO. Naibu Waziri alikuwa katika Azimio, Umwe, Kitembo na Mkupuka. ziara ya kazi wilayani humo, hivi karibuni. NewsBulletin HABARI ZA NISHATI | Aprili 1 - 30, 2019 HABARI 16

mambo mengine, akaeleze amejipanga vipi kukamilisha kazi husika ndani ya muda wa makubaliano. Awali, Naibu Waziri Mgalu alitembelea na kukagua Kituo cha kufua umeme kwa kutumia gesi asilia cha Somanga kilichopo wilayani Kilwa, ambapo alieleza kwamba Serikali imedhamiria kupeleka umeme wa uhakika na wa kutosha katika mikoa yote ya Kusini. Aidha, Naibu Waziri alitembelea pia vijiji vya Kisangi na Mkwanyule pamoja na Kilwa Kisiwani ambapo alizungumza na wananchi kuhusu masuala mbalimbali ya umeme pamoja na kupokea kero zao. Akiwa Kilwa Kisiwani, alimsisitiza Mkandarasi anayetekeleza Mradi wa Umeme Jua mahala hapo, ambaye ni Kampuni ya Green Leaf, kuhakikisha anakamilisha kazi hiyo kwa wakati, kabla ya Juni 30 mwaka Naibu Waziri wa Nishati Subira Mgalu (mwenye kinasa sauti), akizungumza na wananchi huu, ambapo Mkataba wake utakwisha. Naibu Waziri alikuwa katika ziara ya kazi wa Kijiji cha Nangambi Naipuli, Kata ya Mingumbi, wilayani Kilwa, Mkoa wa Lindi, akiwa ya siku Nne mkoani Lindi. Katika ziara hiyo, katika ziara ya kazi hivi karibuni. alifuatana na wataalamu mbalimbali kutoka wizarani, Wakala wa Nishati Vijijini (REA) pamoja na kutoka Shirika la Umeme Tanzania NAIBU WAZIRI NISHATI AKERWA (TANESCO). NA MKANDARASI MBABAISHAJI

Na Veronica Simba – Lindi atafanya zoezi hilo pale ambapo idadi ya wananchi waliounganishiwa umeme aibu Waziri wa Nishati, Subira itakapokuwa ya kuridhisha, tofauti na idadi Mgalu amekemea vikali utendaji ndogo ya waliounganishiwa sasa ambayo ni kazi mbovu wa Mkandarasi State watano tu. Grid, anayetekeleza mradi wa “Huu ni utapeli mtupu, mimi sitafanya umeme vijijini Mkoa wa Lindi, kazi hii. Siwashi umeme na naenda kutoa kutokana na kufanya kazi chini ya kiwango na taarifa kwenye mamlaka zinazohusika Nkutokamilisha wigo wake kwa wakati kama kwamba mkandarasi anababaisha.” mkataba unavyoelekeza. Akifafanua, Naibu Waziri alieleza kuwa Akizungumza na wananchi wa Kijiji Mkandarasi huyo amekuwa mwenye kiburi cha Nangambi Naipuli, Kata ya Mingumbi, na asiyejirekebisha na kwamba taarifa za wilayani Kilwa, Mkoa wa Lindi, hivi karibuni, utendaji wake mbovu tayari zinafahamika Naibu Waziri alisema Serikali imemvumilia hadi wizarani hivyo hakuna haja ya kuendelea kwa muda mrefu Mkandarasi huyo, ambaye kumvumilia, bali ni lazima hatua stahiki Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu pia anatekeleza mradi huo katika Mkoa wa zichukuliwe dhidi yake. (mwenye kilemba cha kijani), akiwasili Morogoro. Kufuatia hali hiyo, Afisa Tawala wa Wilaya Kufuatia utendaji huo duni wa ya Kilwa, ambaye alimwakilisha Mkuu wa Kilwa kisiwani, mkoani Lindi, kwa ajili ya mkandarasi husika, Naibu Waziri alikataa Wilaya hiyo, Christopher Ngubiagai, alimtaka kukagua utekelezaji wa miradi ya umeme kuwasha umeme katika kijiji hicho, kama Mkandarasi husika kuripoti ofisini kwake, na kuzungumza na wananchi, akiwa katika ilivyokuwa imepangwa, na kuelekeza kuwa akiwa na Hadidu za Rejea ili pamoja na ziara ya kazi, hivi karibuni.

Mkazi wa kijiji cha Mkwanyule, Kata ya Masoko, wilayani Kilwa, Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (mwenye kilemba – Rehema Sudi (kulia), akitoa maoni yake kuhusu masuala ya katikati), akiwa katika usafiri wa Boti ndogo pamoja na Ujumbe umeme, kwa Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (mwenye wake, kuelekea Kilwa kisiwani, mkoani Lindi, akiwa katika ziara ya kilemba), wakati wa ziara yake eneo hilo hivi karibuni. kazi hivi karibuni. HABARI ZA NISHATI | Aprili 1 - 30, 2019 NewsBulletin 17 HABARI

Wataalamu wa nishati kutoka nchi wanachama wa Eastern Africa Power Pool (EAPP), wakiwa katika picha ya pamoja, kabla ya kuanza mkutano wao uliojadili masuala mbalimbali kuhusu mifumo ya kusafirisha umeme iliyounganishwa katika nchi husika. Mkutano huo ulifanyika mwishoni mwa Februari, mwaka huu mjini Entebbe, Uganda. TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA 26 KUHUSU MIFUMO YA USAFIRISHAJI UMEME Na Veronica Simba – Timu ya wataalamu wa nishati kutoka Entebbe Tanzania, iliyoshiriki katika mkutano uliojadili kuhusu mifumo ya kusafirisha umeme amishna wa Umeme na iliyounganishwa katika nchi za Mashariki mwa Nishati Mbadala, Mhandisi Afrika (Eastern Africa Power Pool – EAPP), mjini Innocent Luoga, kutoka Entebbe, Uganda. Kamishna wa Umeme na Wizara ya Nishati, hivi Nishati Mbadala, Mhandisi Innocent Luoga karibuni aliongoza timu ya wataalamu wa nishati kutoka Tanzania, (katikati), Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Kkushiriki katika mkutano wa 26 wa Dkt. Tito Mwinuka (wa pili – kulia), Mhandisi Kamati Tendaji unaojadili mifumo ya Christopher Bitesigirwe kutoka Wizara ya kusafirisha umeme, iliyounganishwa Nishati (kulia), Mhandisi Meksesius Kalinga katika nchi zilizopo Mashariki mwa kutoka TANESCO (kushoto) pamoja na Mhandisi Afrika (Eastern Africa Power Pool – EAPP) Pius Gaspar kutoka TANESCO (wa pili - kushoto). Mkutano huo uliofanyika mwishoni mwa Februari, mwaka huu katika mji wa Entebbe nchini Uganda, ulihusisha ngazi ya wataalamu kutoka nchi wanachama, ukiwa ni utangulizi wa mkutano wa 14 wa Baraza la Mawaziri wa sekta husika uliofanyika siku moja baadaye. Miongoni mwa masuala yaliyojadiliwa, ni pamoja na maboresho ya mkataba wa ushirikiano kwa nchi wanachama wa EAPP. Aidha, mkutano ulijadili masuala Kamishna wa Umeme na Nishati ya biashara ya kuuziana na kusafirisha umeme kupitia mifumo ya EAPP na SAPP Mbadala, Mhandisi Innocent Luoga, Mhandisi Christopher Bitesigirwe kutoka Wizara ya Nishati (Southern Africa Power Pool). akiwa katika kikao hicho cha EAPP (kushoto) na Mhandisi Meksesius Kalinga kutoka TANESCO Nchi wanachama wa EAPP ni ngazi ya wataalamu. (kulia), wakiwa katika kikao cha EAPP ngazi ya wataalamu. Tanzania, Uganda, Kenya, Ethiopia, Libya, Mkurugenzi Sudan, Misri, Rwanda, DRC na Djibouti. Mtendaji Mbali na Kamishna Luoga, wataalamu wengine walioshiriki mkutano wa huo kutoka Tanzania ni Mkurugenzi TANESCO, Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania Dkt. Tito (TANESCO) Dkt. Tito Mwinuka, Mwinuka Mhandisi Christopher Bitesigirwe kutoka (wa kwanza Wizara ya Nishati, Mhandisi Meksesius Kalinga kutoka TANESCO pamoja na – kulia), Mhandisi Pius Gaspar kutoka TANESCO. akiwa Katika mkutano wa 14 wa Baraza la katika kikao Mawaziri uliofanyika siku moja baadaye, cha EAPP Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu ngazi ya alimwakilisha Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani. wataalamu. NewsBulletin HABARI ZA NISHATI | Aprili 1 - 30, 2019 MATUKIO PICHANI 18

Matukio mbalimbali wakati wa Mkutano wa 14 wa Baraza la Mawaziri wanaohusika na Umeme kutoka nchi za ukanda wa Mashariki mwa Afrika ambazo zimeunganishiwa mifumo ya kusafirisha umeme baina yake (Eastern Africa Power Pool – EA HABARI ZA NISHATI | Aprili 1 - 30, 2019 NewsBulletin 19 HABARI NAIBU WAZIRI NISHATI ATAKA BUSARA ITUMIKE KUUNGANISHA

UMEME VIJIJINI Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu, akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kihuwe, Na Veronica Simba – Wilaya ya Nachingwea, Mkoa wa Lindi, akiwa Nachingwea katika ziara ya kazi hivi karibuni, ambapo pia aliwasha rasmi umeme katika kijiji hicho. aibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu amewataka wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme hususan vijijini, Naibu Waziri alisema kazi hiyo subirá kwani kazi ya kuunganisha umeme vijijini kutumia busara katika inaendelea kufanyika kwa ufanisi ambapo sasa inatekelezwa hatua kwa hatua. kazi hiyo ili iwaongoze kufanya serikali imewaelekeza wakandarasi wa miradi Katika ziara hiyo, Naibu Waziri alifuatana maamuzi sahihi hususan uunganishaji hiyo kuhakikisha wanawasha umeme katika na wataalamu mbalimbali kutoka wizarani, Numeme katika taasisi na miradi ya umma. vijiji vitatu kila wiki kwa kila mkandarasi. Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na kutoka Alitoa wito huo kwa nyakati tofauti, Hata hivyo, aliwataka wananchi kuwa na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). akiwa katika ziara ya kazi wilayani Nachingwea, Mkoa wa Lindi, hivi karibuni. Akizungumza ofisini kwa Mkuu wa Naibu Waziri wa Mkoa na baadaye katika vijiji vya Kihuwe, Nishati, Subira Muungano na Mapochero, ambavyo Mgalu (mwenye aliviwashia umeme rasmi; Naibu Waziri kinasa sauti) alisisitiza kuwa pamoja na kila mkandarasi akifurahi pamoja na kuwa na wigo wa eneo analopaswa kuunganisha umeme, lakini siyo busara wananchi wa kijiji kwake kuruka taasisi za umma na miradi cha Kihuwe, Wilaya muhimu kama vile ya maji, afya na mingineyo ya Nachingwea, kwa sababu tu iko nje ya wigo. Mkoa wa Lindi, “Unafika eneo, unaona Zahanati ile pale, hivi karibuni, mara akina mama wanajifungua gizani; Shule ile pale, kuna hosteli, unaziachaje bila umeme baada ya kuwasha sababu tu hazipo ndani ya wigo! Mkandarasi rasmi umeme katika unapaswa kutumia busara, ikibidi tuandikie kijiji hicho. sisi Serikali, tuone namna gani gharama husika zitalipwa ili maeneo kama hayo Sehemu ya umati wa yasikose umeme,” alisema. wanafunzi wa Shule ya Katika hatua nyingine, Naibu Waziri Sekondari Namatula, alisema kuwa serikali inaendelea kujivunia kugundulika kwa gesi katika mikoa ya kusini iliyopo wilayani na kwamba watanzania wanapaswa kufahamu Nachingwea, Mkoa wa kwamba serikali imedhamiria kuitumia Lindi, wakimsikiliza Naibu ipasavyo. Waziri wa Nishati, Subira Akifafanua, alisema gesi inapaswa Mgalu (hayupo pichani), itumike katika viwanda vya mbolea, majumbani na katika kuzalisha umeme. alipokuwa akizungumza Hivyo, aliwataka wananchi kupuuza maneno nao, kabla ya kuwasha yanayosemwa na baadhi ya watu kuwa rasmi umeme katika serikali haitoi tena kipaumbele kwa gesi shule hiyo, hivi karibuni. iliyogunduliwa mikoa ya kusini. Naibu Waziri alifafanua zaidi kuwa, ili Baadhi ya wataalamu kupata umeme mwingi, wenye bei nafuu kutoka Wizara ya na wa uhakika; ni lazima serikali ihakikishe inatumia vyanzo mbalimbali vya kuzalisha Nishati, TANESCO na REA umeme ikiwemo maji, upepo, jua, gesi, wakimsikiliza Naibu Waziri tungamotaka na vinginevyo. wa Nishati (hayupo pichani) “Ndiyo maana tunaanzisha miradi alipokuwa akizungumza mbalimbali ya kuzalisha umeme ambayo na wananchi wa kijiji inatumia vyanzo mbalimbali, siyo gesi peke yake. Ni muhimu mkalitambua hilo kwamba, cha Muungano, wilayani kama nchi, hatuwezi kutumia gesi peke yake Nachingwea, Mkoa katika kuzalisha umeme, tukaacha vyanzo wa Lindi, hivi karibuni, vingine. Inabidi tutumie vyanzo vyetu vyote alipokuwa katika ziara ya tulivyojaaliwa na Mungu.” kazi ambapo aliwasha rasmi Akizungumzia utekelezaji wa miradi ya kupeleka umeme maeneo mbalimbali ya nchi umeme katika kijiji hicho. NewsBulletin HABARI ZA NISHATI | Aprili 1 - 30, 2019 MATUKIO PICHANI 20 ZIARA YA NAIBU WAZIRI NACHINGWEA

Mmoja wa wakazi wa Kijiji cha Kihuwe, wilayani Nachingwea, Mkoa wa Lindi, Samwel Ndungo akiuliza swali na kueleza changamoto kwa Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (hayupo pichani), alipofika katika kijiji hicho kuwasha rasmi umeme na kuzungumza na wananchi, akiwa katika ziara ya kazi, hivi karibuni.

Mmoja wa wakazi wa Kijiji cha Kihuwe, wilayani Nachingwea, Mkoa wa Lindi, Matthew Ntunga akiuliza swali na kueleza changamoto kwa Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (hayupo pichani), alipofika katika kijiji hicho kuwasha rasmi umeme na kuzungumza na wananchi, akiwa katika ziara ya kazi, hivi karibuni.

Mmoja wa wakazi wa Kijiji cha Kihuwe, wilayani Nachingwea, Mkoa Sehemu ya umati wa wananchi wa kijiji cha Mapochelo, Wilaya ya wa Lindi, William Hassan akiuliza swali na kueleza changamoto kwa Nachingwea, Mkoa wa Lindi wakimsikiliza Naibu Waziri wa Nishati, Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (hayupo pichani), alipofika Subira Mgalu (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza na wananchi katika kijiji hicho kuwasha rasmi umeme na kuzungumza na wa kijiji hicho, hivi karibuni alipokuwa katika ziara ya kazi ambapo pia wananchi, akiwa katika ziara ya kazi, hivi karibuni. aliwasha rasmi umeme katika kijiji hicho. HABARI ZA NISHATI | Aprili 1 - 30, 2019 NewsBulletin 21 HABARI Na Veronica Simba – MGALU AWATAKA WAKANDARASI UMEME Ruangwa VIJIJINI KUWA NA MAGENGE KILA WILAYA aibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu amewataka wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini kuweka magenge yenye vifaa vya kazi katika kila wilaya nchi nzima ili kuboresha Nutendaji kazi wao. Alitoa maagizo hayo kwa nyakati tofauti jana, hivi karibuni akiwa katika ziara ya kazi katika vijiji kadhaa vya Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi. Akizungumzia kuhusu umuhimu wa kuwaunganishia umeme wananchi wengi wa vijijini, Naibu Waziri alisema ni lazima wakandarasi husika wahakikishe wanakuwa na genge lenye vitendea kazi katika kila wilaya ili kusiwepo na sababu au kisingizio Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Mtakuja, cha kuchelewa kuunganisha umeme katika Kata ya Nandanga wilayani Ruangwa, Mkoa wa Lindi, kabla ya kuwasha rasmi umeme maeneo yao. katika eneo hilo, alipokuwa katika ziara ya kazi hivi karibuni.

Naibu Waziri Akiwa katika siku ya tatu ya ziara yake wa Nishati, mkoani Lindi, Mgalu aliviwashia umeme Subira Mgalu vijiji vya Chimbila B, Mtakuja na Nandanga akikata utepe vilivyoko wilayani Ruangwa, ambapo pia kuashiria alisisitiza kuwa taasisi za umma zipewe uzinduzi rasmi kipaumbele katika kuunganishiwa umeme wa umeme kwa manufaa ya wananchi. katika Zahanati Katika hatua nyingine, Naibu Waziri ya Nandanga, aliwataka wakandarasi kuwapa kipaumbele wilayani wenye ulemavu pamoja na wazee katika Ruangwa, zoezi la kuunganishiwa umeme kwa kutumia Mkoa wa Lindi, vifaa vya Umeme Tayari (UMETA) ambavyo hivi karibuni. serikali imetoa 250 bure kwa kila eneo. Aidha, aliwaagiza wasimamizi wa miradi Naibu Waziri ya umeme vijijini kutoka Shirika la Umeme wa Nishati, Tanzania (TANESCO) na Wakala wa Nishati Subira Mgalu Vijijini (REA) kuhakikisha wanasimamia akiwasha utekelezaji wa agizo hilo. rasmi umeme Vilevile, alihamasisha wananchi katika kujitokeza kwa wingi kulipia gharama za Zahanati ya kuunganishiwa umeme ambazo ni shilingi 27,000 tu kupitia mradi wa umeme vijijini ili Nandanga, waweze kupatiwa nishati hiyo na waitumie wilayani kwa shughuli mbalimbali za kujiongezea Ruangwa, kipato hivyo kuboresha maisha yao. Mkoa wa Alisisitiza kuwa, serikali imepitisha Lindi, hivi azimio la kuwaunganishia umeme wananchi karibuni. wote walioko vijijini kwa gharama ya shilingi 27,000 tu pasipo kujali aina ya mradi Naibu Waziri wa unaohusika. Nishati, Subira Mgalu “Mwananchi yeyote wa kijijini (kulia) akikabidhi ataunganishiwa umeme kwa shilingi 27,000 Jenereta lililotolewa tu. Uwe ni umeme wa REA au TANESCO na Waziri Mkuu au wowote ule, gharama ni hiyo. Mkitozwa gharama tofauti, toeni taarifa kwa mamlaka katika Kituo cha husika zichukue hatua mara moja.” Afya Nkowe, Kata Pia, aliwaelekeza Wakuu wa Wilaya ya Nkowe, wilayani katika maeneo yote nchini kuwasimamia Ruangwa, Mkoa wa wakandarasi hao wa miradi ya umeme vijijini Lindi akiwa katika na kuchukua hatua stahiki pindi wanapoona ziara ya kazi, hivi hawatekelezi kazi zao kama wanavyotakiwa. karibuni. Naibu Waziri alikuwa katika ziara ya kazi ya siku nne mkoani Lindi. NewsBulletin HABARI ZA NISHATI | Aprili 1 - 30, 2019 MATUKIO PICHANI 22 ZIARA YA NAIBU WAZIRI RUANGWA

Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (mwenye kilemba) akizungumza na wataalamu kutoka Wizara ya Nishati, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Wakala wa Nishati Vijijini (REA), wakati akikagua utekelezaji wa miradi ya umeme Manispaa ya Lindi, hivi karibuni.

Sehemu ya umati wa wananchi wa kijiji cha Chimbila B, Kata ya Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mnacho, Kata ya Mnacho Mnacho, wilayani Ruangwa, Mkoa wa Lindi, wakimsikiliza Naibu wilayani Ruangwa, Mkoa wa Lindi, wakimsikiliza Naibu Waziri Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (hayupo pichani), alipofanya wa Nishati, Subira Mgalu (hayupo pichani), alipofanya ziara ziara eneo hilo na kuwasha rasmi umeme hivi karibuni. eneo hilo na kuwasha rasmi umeme hivi karibuni.

Wataalamu kutoka Wizara ya Nishati, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Wakala wa Nishati Vijijini (REA). HABARI ZA NISHATI | Aprili 1 - 30, 2019 NewsBulletin 23 MAKALA NISHATI TUKO KAZINI…. Hali ya upatikanaji umeme nchini imeimarika

Na Veronica Simba asilia asilimia kilovoti 132. 55.73, mafuta Kuhusu usambazaji idhani kuna atakayepinga mazito asilimia 7.80 umeme vijijini kupitia Mradi kwamba nishati ya umeme ni na tungamotaka asilimia unaotekelezwa na Wakala wa mojawapo ya kichocheo muhimu 0.66. Nishati Vijijini (REA), takwimu katika kukuza uchumi na kuleta Aidha, anaeleza zaidi kuwa, kati zinaonesha hadi sasa, vijiji 1,925 kati ya maendeleo ya nchi yoyote ile. ya megawati 1,602 zinazozalishwa, 3,559 vimewashiwa umeme. megawati 1,565 zimeunganishwa kwenye Pamoja na kutekeleza miradi husika; SUpatikanaji wa umeme mwingi, Gridi ya Taifa na megawati 36 zipo nje ya Wizara ya Nishati inatekeleza mikakati wa uhakika, na wenye gharama nafuu Gridi. ya kuvutia uwekezaji katika sekta ya ni suala muhimu sana kwa nchi yetu Takwimu mbalimbali za Wizara, nishati. Katika suala hilo, TANESCO ya Tanzania, ambayo imedhamiria zinaonesha kuwa, kati ya maeneo imekamilisha uchambuzi wa zabuni ili kuhakikisha inaingia kwenye uchumi wa yaliyo nje ya Gridi ya Taifa, maeneo ya kupata Kampuni zenye sifa kwa ajili kipato cha kati ifikapo mwaka 2025. Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ya kutekeleza miradi ya umeme jua Aidha, dhamira ya serikali ya awamu yamepungua na kubaki megawati (megawati 150), upepo (megawati 200) ya tano, inayoongozwa na Jemedari, 36 ikilinganishwa na megawati 74 na megawati 600 za umeme wa makaa ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli, ya zilizokuwepo mwaka 2015 kutokana na mawe. Umeme utakaotokana na Miradi kuhakikisha nchi inaingia kwenye jitihada za serikali za kuyaunganisha hii unategemewa kuingizwa katika Gridi uchumi wa viwanda; inahitaji kichocheo maeneo hayo katika Gridi. ya Taifa. muhimu cha umeme wa uhakika. Maeneo yaliyounganishwa ni Aidha, ujenzi wake unategemewa Ni kwa sababu hiyo, Wizara pamoja na Mikoa ya Ruvuma, Mtwara, kuanza kutekelezwa mwaka 2019 na Lindi pamoja na Wilaya za Ngara na ya Nishati, imeendelea kuchukua kukamilika mwaka 2021. Biharamulo. hatua mbalimbali katika kuhakikisha Kwa upande wa umeme wa Kaimu Kamishna wa Umeme na miundombinu ya kuzalisha umeme jotoardhi, serikali imeendelea kusimamia Nishati Mbadala, Mhandisi Innocent nchini inaimarishwa ili izalishe umeme utekelezaji wa miradi husika katika Luoga, anaeleza kwamba, katika kipindi kwa wastani wake wa juu. Jitihada maeneo ya Ngozi na Kiejo – Mbaka cha kuanzia mwezi Julai, 2018 hadi hizo zimezaa matunda kwani hali ya mwezi Machi 2019, Wizara imetekeleza (Mbeya), Songwe (Songwe) na Natroni upatikanaji umeme nchini imeendelea miradi mbalimbali ya umeme wa nishati (Arusha) kwa ajili ya kuzalisha umeme kuimarika. jadidifu ikiwemo ya Rufiji (megawati na matumizi mengine. Akizungumzia hali ya uimarikaji wa 2,115), Kinyerezi II (megawati 240), Kwa mujibu wa Kamishna Luoga, umeme nchini, Katibu Mkuu wa Wizara Kinyerezi I extension (megawati 185), miradi ya Ngozi na Songwe, imefikia ya Nishati, Dkt. Hamisi Mwinyimvua Rusumo (megawati 80), Ruhudji hatua ya uchorongaji wa visima vya anaeleza kwamba hadi kufikia mwishoni (megawati 358), Rumakali (megawati majaribio ili kuhakiki kiasi na ubora wa mwa mwezi Februari, 2019 uwezo wa 222) na Mtwara (megawati 300). rasilimali ya jotoardhi katika maeneo jumla wa mitambo ya kuzalisha umeme Vilevile, Kamishna Luoga anataja hayo. (installed capacity) nchini umeongezeka miradi ya ujenzi wa njia za kusafirisha Utekelezaji wa miradi yote hadi kufikia megawati 1,601.896 kutoka umeme kuwa ni pamoja na wa Iringa niliyoianisha katika Makala hii, megawati 1,204.52 ya mwaka 2015. – Mbeya – Tunduma – Sumbawanga unadhihirisha dhamira ya dhati ya Dkt. Mwinyimvua anasema ongezeko (kilovoti 400), Makambako hadi serikali kupitia Wizara ya Nishati, katika hilo limewezesha kuwa na umeme wa Songea (kilovoti 220), Rufiji – Chalinze kuhakikisha nchi inakuwa na umeme ziada wa wastani wa zaidi ya megawati – Kinyerezi na Chalinze – Dodoma mwingi, wa uhakika na wenye gharama 300 ambapo matumizi ya juu ya umeme (kilovoti 400), Singida – Arusha – nafuu. kwa sasa katika Gridi ya Taifa, yalifikia Namanga (kilovoti 400), Bulyanhulu Uwepo wa umeme wa uhakika megawati 1,116.58 Novemba 30, 2018. – Geita; Rusumo – Nyakanazi (kilovoti utawezesha kufanikisha azma ya uchumi Anasema, umeme unaozalishwa 220), Tabora – Urambo – Kaliua – wa viwanda na hata nchi kuingia kwenye unatokana na vyanzo mbalimbali (Energy Kidahwe mkoani Kigoma (kilovoti 132) uchumi wa kipato cha kati ifikapo mwaka Mix) ambapo maji ni asilimia 35.81, gesi pamoja na Tabora – Ipole – Katavi wenye 2025.