Nakala Ya Mtandao (Online Document) 1 BUNGE LA TANZANIA
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
MKUTANO WA TATU Kikao Cha Hamsini Na Sita
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA TATU Kikao cha Hamsini na Sita – Tarehe 22 Juni, 2021 (Bunge Lilianza saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, naomba tukae. Waheshimiwa tunaendelea na Mkutano wetu wa Tatu, leo ni Kikao cha Hamsini na Sita na kabla hatujaendelea nitumie nafasi hii kuwashukuru sana wasaidizi wangu wote wakiongozwa na Mheshimiwa Naibu Spika, Mheshimiwa David Kihenzile, Mheshimiwa Zungu na Mheshimiwa Najma kwa kazi nzuri ambayo wameifanya wiki nzima kutuendeshea mjadala wetu wa bajeti. (Makofi) Sasa leo hapa ndio siku ya maamuzi ambayo kila Mbunge anapaswa kuwa humu ndani, kwa Mbunge ambaye Spika hana taarifa yake na hatapiga kura hapa leo hilo la kwake yeye. (Makofi) Katibu. NDG. NENELWA MWIHAMBI – KATIBU WA BUNGE: MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Maswali na tunaanza na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, swali la Mheshimiwa Deus Clement Sangu, Mbunge wa Kwela. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) Na. 465 Ujenzi wa Makao Makuu ya Halmashauri Katika Mji wa Laela MHE. DEUS C. SANGU aliuliza:- Je, ni lini Serikali itakamilisha ujenzi wa Ofisi za Makao Makuu ya Halmashauri ya Sumbawanga katika Mji wa Laela baada ya agizo la Serikali la kuhamisha Makao Makuu? SPIKA: Majibu ya swali hilo muhimu la watu wa Kwela, Mheshimiwa Naibu Waziri - TAMISEMI, Mheshimiwa Dkt. Festo Dugange tafadhali. NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. DKT. FESTO J. DUGANGE) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais -TAMISEMI, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Deus Clement Sangu, Mbunge wa Jimbo la Kwela kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga ni miongoni mwa Halmashauri 30 zilizohamia kwenye maeneo mapya ya utawala mwaka 2019. -
Tarehe 4 Februari, 2013
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA KUMI Kikao cha Tano – Tarehe 4 Februari, 2013 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) DUA Naibu Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU Na. 53 Hospitali ya Wilaya ya Nyang’hwale Kupatiwa Watumishi MHE. JOSEPHINE T. CHAGULLA aliuliza:- Hospitali ya Karumwa ambayo ni ya Wilaya mpya ya Nyang’hwale haina watumishi wa kutosha kwani ina daktari mmoja, Manesi watatu na mtaalam mmoja wa Maabara:- Je, Serikali ina mpango gani wa kupeleka watumishi wa kutosha katika hospitali hiyo? 1 NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU) alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Josephine Tabitha Chagulla, Mbunge wa Viti Maalum, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Naibu Spika, ni kweli kwamba Kituo cha Afya, Karumwa kilichoko katika Wilaya mpya ya Nyang’hwale kina Daktari mmoja, Manesi watatu na Mtaalam mmoja wa maabara. Kutokana na tatizo la upungufu wa watumishi wa sekta ya afya kuwepo katika hospitali, vituo vya afya na Zahanati zote nchini kikiwemo kituo cha afya Karumwa, Serikali imechukua jitihada za makusudi kuhakikisha kuwa udhahili wa wanafunzi wanaojiunga na fani za Udaktari na Uuguzi unaongezeka katika vyuo vikuu na vyuo vya ngazi ya Diploma na cheti. Aidha, Serikali imerejesha kada za chini za afya zilizokuwa zimefutwa. Mheshimiwa Naibu Spika, pamoja na jitihada hizo, hivi sasa Serikali kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inawapanga wahitimu wa fani za afya moja kwa moja katika vituo vya kazi baada ya kibali kutolewa na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA NANE Kikao cha Thelathini na Tisa – Tarehe 2 AGOSTI, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) DUA Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013. SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, naomba mzime vipasa sauti vyenu maana naona vinaingiliana. Ahsante Mheshimiwa Naibu Waziri, tunaingia hatua inayofuata. MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Leo ni siku ya Alhamisi lakini tulishatoa taarifa kwamba Waziri Mkuu yuko safarini kwa hiyo kama kawaida hatutakuwa na kipindi cha maswali hayo. Maswali ya kawaida yapo machache na atakayeuliza swali la kwanza ni Mheshimiwa Vita R. M. Kawawa. Na. 310 Fedha za Uendeshaji Shule za Msingi MHE. VITA R. M. KAWAWA aliuliza:- Kumekuwa na makato ya fedha za uendeshaji wa Shule za Msingi - Capitation bila taarifa hali inayofanya Walimu kuwa na hali ngumu ya uendeshaji wa shule hizo. Je, Serikali ina mipango gani ya kuhakikisha kuwa, fedha za Capitation zinatoloewa kama ilivyotarajiwa ili kupunguza matatizo wanayopata wazazi wa wanafunzi kwa kuchangia gharama za uendeshaji shule? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Vita Rashid Kawawa, Mbunge wa Namtumbo, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) imepanga kila mwanafunzi wa Shule ya Msingi kupata shilingi 10,000 kama fedha za uendeshaji wa shule (Capitation Grant) kwa mwaka. -
Tarehe 15 Aprili, 2011
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA TATU Kikao cha Nane – Tarehe 15 Aprili, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA: Taarifa ya Mwaka na Hesabu zilizokaguliwa za Tume ya Ushindani kwa Mwaka wa Fedha 2008/2009 (The Annual Report and Audited Accounts of the Fair Competition Commission (FCC) for the Financial Year 2008/2009). Taarifa ya Mwaka na Hesabu zilizokaguliwa za Wakala wa Usajili wa Biashara na Utoaji Leseni kwa Mwaka wa Fedha 2006/2007 na Mwaka wa Fedha 2007/2008 (The Annual Reports and Audited Accounts of Business Registrations and Licensing Agency (BRELA) for the Financial Years 2006/2007 and 2007/2008). MASWALI NA MAJIBU Na. 100 Mpango wa Kutwaa Ardhi kwa Ajili ya Kupanga na Kupanua Mji MHE. JOSEPH R. SELASINI (K.N.Y. MHE. PHILIPA G. MTURANO) aliuliza:- Serikali ina mpango wa kutwaa ardhi za Wananchi wa Kata ya Somangila, Mitaa ya Kizani na Mwera kupima viwanja kwa lengo la kupanua mji; na kwa mujibu wa Sheria ya Vijiji ya Mwaka 1999 na Kanuni zake zinazitaka mamlaka zinazotwaa ardhi za Vijiji kulipa fidia kamili ya haki na ilipwe kwa wakati:- (a) Je, ni Wakazi wangapi wa Mitaa ya Kizani na Mwera wamelipwa fidia ya mali zao, usumbufu, malazi, upotevu wa faida na usafiri? 1 (b) Je, mpaka hivi sasa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke imekamilisha zoezi la ulipaji fidia kwa mujibu wa Sheria husika? (c) Ni kiasi gani cha fedha kimeshatumika katika zoezi hilo? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, ninaomba kujibu swali la Mheshimiwa Philipa Mturano, Mbunge wa Viti Maalum, lenye sehemu (a), (b) na (c), kwa pamoja kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, ninapenda kumfahamisha Mheshimiwa Mbunge kuwa, hadi sasa hakuna Mkazi wa Mtaa wa Kizani na Mwera aliyelipwa fidia. -
Kamati Ya Uangalizi Wa Uchaguzi Tanzania Temco
KAMATI YA UANGALIZI WA UCHAGUZI TANZANIA TEMCO RIPOTI YA WATAZAMAJI WA UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA, 2015 MAY 2016 YALIYOMO YALIYOMO .......................................................................................................... I ORODHA YA MAJEDWALI .............................................................................. VI ORODHA YA VIELELEZO ............................................................................. VIII ORODHA YA VIAMBATANISHO ...................................................................... IX VIFUPISHO ......................................................................................................... X CHAPTER 1 MFUMO WA TEMCO WA UTAZAMAJI WA UCHAGUZI ............... 1 1.1 Usuli na Muktadha ............................................................................................................................ 1 1.2 Dira na Malengo ............................................................................................................................... 1 1.3 Upeo katika Utazamaji wa Chaguzi .................................................................................................. 2 1.4 Faida Zitokanazo na Utazamaji wa Chaguzi na Vigezo vyaTathmini .............................................. 4 1.5 Mfumo wa Utazamaji wa Uchaguzi Mkuu ....................................................................................... 5 1.6 Mpango wa Mgawanyo wa Vituo na Waangalizi ............................................................................. 9 1.7 Ripoti za Awali kuhusu -
Online Document)
Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA __________ MAJADILIANO YA BUNGE __________ MKUTANO WA ISHIRINI Kikao cha Saba – Tarehe 19 Mei, 2015 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe Anne S. Makinda) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, jana kipindi cha saa tano asubuhi, Ndugu yetu Mwandishi wa Habari na Mtangazaji wa TBC, Kanda ya Kati alikuwa kazini. Bahati mbaya afya yake ikabadilika ikabidi akimbizwe kwenye dispensary yetu hapa. Walipojaribu kumsaidia kule hali ikaonekana inazidi kuwa mbaya akakimbizwa kwenye hospitali ya Mkoa. Kwa bahati mbaya, saa tano usiku akawa ameaga dunia. Huyu kijana wetu anaitwa Samwel Chamlomo. Kwa hiyo, naomba tusimame dakika moja tumkumbuke kwa sababu alikuwa mwenzatu hapa. (Hapa Waheshimiwa Wabunge walisimama kwa dakika moja kumkumbuka Ndugu Samwel Chamlomo) SPIKA: Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake mahali pema peponi, amen. Ahsante, Katibu. HATI ZA KUWASILISHA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MAZINGIRA): Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira na Muungano) kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. MWENYEKITI WA KAMATI YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA: Taarifa ya Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala Kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) kwa Mwaka wa Fedha 2014/2015 pamoja na maoni ya 1 Nakala ya Mtandao (Online Document) Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. -
Tarehe 21 Mei, 2015
Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA ISHIRINI Kikao cha Tisa – Tarehe 21 Mei, 2015 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua TAARIFA YA SPIKA SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kwa mujibu wa Kanuni ya 33(1) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la 2013; tarehe 15 Mei, 2015 nilitoa taarifa kwamba Miswada tisa ya Sheria ya Serikali iliyopitishwa katika Mkutano wa Kumi na Tisa wa Bunge ilikwishapata kibali cha Mheshimiwa Rais na kuwa Sheria za nchi. Kwa taarifa hii ya leo, napenda kuliarifu Bunge hili Tukufu kwamba Miswada mitano iliyokuwa imebaki nayo imekwishapata kibali cha Mheshimiwa Rais na kuwa sheria ziitazwo:- Ya kwanza, Sheria ya Udhibiti na Usimamizi wa Dawa za Kulevya ya Mwaka 2015 (The Drug Control and Enforcement Act, 2015) Na. 5 ya Mwaka 2015. Ya pili, Sheria ya Usimamizi wa Maafa ya Mwaka 2015, (The Disaster Management Act, 2015) Na. 7 ya Mwaka 2015. Ya tatu, Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Uhamiaji ya Mwaka 2015 (The Immigration Amendment Act, 2015) Na. 8 ya Mwaka 2015. Ya nne, Sheria ya Usimamizi wa Kodi ya Mwaka 2015, (The Tax Administration Act, 2015) Na. 10 ya Mwaka 2015 na; Ya Tano, Sheria ya Bajeti ya Mwaka 2015 (The Budget Act) Na. 11 ya Mwaka 2015. 1 Nakala ya Mtandao (Online Document) Kwa hiyo, Waheshimiwa sasa hii ni Miswada ya kisheria. (Makofi) HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa na:- SPIKA: Waheshimiwa Wabunge hati za kuwasilisha mezani, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi! Mheshimiwa Naibu Waziri! NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI: Randama za Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa mwaka wa fedha 2015/2016. -
Bulombora Jkt- Kigoma
BULOMBORA JKT- KIGOMA NA SHULE JINSI JINA KIKOSI 1 AFRICAN TABATA HIGH SCHOOL M MARTINUS EUSTACE SOSPETER 821KJ 2 AGAPE LUTHERAN J SEMINARY M ERICK ELLY MGONJA 821KJ 3 AGAPE LUTHERAN J SEMINARY M JAMES JACOB MUSHI 821KJ 4 AGAPE MBAGALA SECONDARY SCHOOL M JAMES JOSEPH CHACHAGE 821KJ 5 AHMES SECONDARY SCHOOL M EDWIN DOUGLAS SAKIBU 821KJ 6 AHMES SECONDARY SCHOOL M FLAVIAN P LUGONGO 821KJ 7 AHMES SECONDARY SCHOOL M FREDY NYAKUNGA 821KJ 8 AILANGA LUTHERAN JUNIOR SEMINARY M BENJOHNSON B BEJUMLA 821KJ 9 AILANGA LUTHERAN JUNIOR SEMINARY M KELVIN MICHAEL KIPUYO 821KJ 10 ALLIANCE BOYS SECONDARY SCHOOL M EMMANUEL KISIBA 821KJ 11 ALLIANCE BOYS SECONDARY SCHOOL M FAISON F MAFWELE 821KJ 12 ALLIANCE BOYS SECONDARY SCHOOL M FRANK NYANTARILA 821KJ 13 ALLIANCE BOYS SECONDARY SCHOOL M KUBINGWA RAMADHAN OMARY 821KJ 14 ALLIANCE BOYS SECONDARY SCHOOL M MORICE BOAZ KIMORI 821KJ 15 AL-MUNTAZIR ISLAMIC SEMINARY M ABDALLAH ABDUL-QADIR MOHAMED 821KJ 16 AL-MUNTAZIR ISLAMIC SEMINARY M ABDALLAH I CHAUREMBO 821KJ 17 AL-MUNTAZIR ISLAMIC SEMINARY M FAHAD KHALEF MOHAMED 821KJ 18 AL-MUNTAZIR ISLAMIC SEMINARY M HASSAN ABBAS RUMBONA 821KJ 19 AL-MUNTAZIR ISLAMIC SEMINARY M KHALIFA ALLY 821KJ 20 AL-MUNTAZIR ISLAMIC SEMINARY M MOHAMEDAKRAM GAFUR ISSA 821KJ 21 ALPHA SECONDARY SCHOOL M ABDULKADIR M SHIENGO 821KJ 22 ALPHA SECONDARY SCHOOL M AHMED S KAJIRU 821KJ 23 ALPHA SECONDARY SCHOOL M DANIEL E SANGA 821KJ 24 ALPHA SECONDARY SCHOOL M EMMANUEL DICKSON KABUDI 821KJ 25 ALPHA SECONDARY SCHOOL M FRANCIS S MDAKI 821KJ 26 ALPHA SECONDARY SCHOOL M FRANCISCO XAVERY SITTA 821KJ 27 ALPHA -
1 Bunge La Tanzania
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ______________ MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Kumi na Nane – Tarehe 4 Julai, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alikalia Kiti HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA PAMOJA NA UTAWALA BORA: Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma pamoja na (Utawala Bora) kwa mwaka wa Fedha 2011/2012. Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Uhusiano na Uratibu kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. MHE. PINDI H. CHANA - MWENYEKITI WA KAMATI YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA: Taarifa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala Kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, pamoja na Utawala Bora, kwa Mwaka 2010/2011 pamoja na Maoni ya Kamati Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hizo kwa mwaka wa Fedha 2011/2012. MHE. DR. ABDALLAH O. KIGODA - MWENYEKITI WA KAMATI YA FEDHA NA UCHUMI: Taarifa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Kuhusu utekelezaji wa Majukumu ya Ofisi ya Rais, Uhusiano na Uratibu, kwa Mwaka 2010/2011 pamoja na Maoni ya Kamati Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hiyo kwa Mwaka wa Fedha, 2011/2012. 1 MHE. SUZAN A. J. LYIMO - MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI KUHUSU OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA, PAMOJA NA UTAWALA BORA: Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani wa Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma) pamoja na (Utawala Bora) Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hizo kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. -
August 2015 Has Been Used in Preparation of This Directory
Information as of 3 August 2015 has been used in preparation of this directory. PREFACE The Central Intelligence Agency publishes and updates the online directory of Chiefs of State and Cabinet Members of Foreign Governments weekly. The directory is intended to be used primarily as a reference aid and includes as many governments of the world as is considered practical, some of them not officially recognized by the United States. Regimes with which the United States has no diplomatic exchanges are indicated by the initials NDE. Governments are listed in alphabetical order according to the most commonly used version of each country's name. The spelling of the personal names in this directory follows transliteration systems generally agreed upon by US Government agencies, except in the cases in which officials have stated a preference for alternate spellings of their names. NOTE: Although the head of the central bank is listed for each country, in most cases he or she is not a Cabinet member. Ambassadors to the United States and Permanent Representatives to the UN, New York, have also been included. Key To Abbreviations Adm. Admiral Admin. Administrative, Administration Asst. Assistant Brig. Brigadier Capt. Captain Cdr. Commander Cdte. Comandante Chmn. Chairman, Chairwoman Col. Colonel Ctte. Committee Del. Delegate Dep. Deputy Dept. Department Dir. Director Div. Division Dr. Doctor Eng. Engineer Fd. Mar. Field Marshal Fed. Federal Gen. General Govt. Government Intl. International Lt. Lieutenant Maj. Major Mar. Marshal Mbr. Member Min. Minister, Ministry NDE No Diplomatic Exchange Org. Organization Pres. President Prof. Professor RAdm. Rear Admiral Ret. Retired Sec. Secretary VAdm. -
Majina Ya Vyeti Vya Kuzaliwa Vilivyohakikiwa Kikamilifu Wakala Wa Usajili Ufilisi Na Udhamini (Rita)
WAKALA WA USAJILI UFILISI NA UDHAMINI (RITA) MAJINA YA VYETI VYA KUZALIWA VILIVYOHAKIKIWA KIKAMILIFU ENTRY No/ NAMBA YA NA. JINA LA KWANZA JINA LA KATI JINA LA UKOO INGIZO 1 AMON ALISTIDIUS RUGAMBWA 411366659714 2 RICHARD NDEKA 1004525452 3 ROGGERS NDYANABO CLETUS 1004174782 4 SALUM ZUBERI MHANDO 17735/95 5 EMMANUEL DHAHIRI MVUNGI 648972721859 6 ROSEMERY NELSON JOSEPH 444681538130 7 ALBERT JULIUS BAKARWEHA 03541819 8 HUSSEIN SELEMANI MKALI 914439697077 9 BRIAN SISTI MARISHAY 2108/2000 10 DENIS CARLOS BALUA 0204589 11 STELLA CARLOS BALUA 0204590 12 AMOSI FRANCO NZUNDA 1004/2013 13 GIFT RAJABU BIKAMATA L.0.2777/2016 14 JONAS GOODLUCK MALEKO 60253323 15 JOHN AIDAN MNDALA 1025/2018 16 ZUBERI AMRI ISSA 910030285286 17 DEVIS JOHN MNDALA 613/2017 18 SHERALY ZUBERI AMURI 168/2013 19 DE?MELLO WANG?OMBE BAGENI 1002603064 20 MAHENDE KIMENYA MARO L. 9844/2012 21 AKIDA HATIBU SHABANI 1050000125 22 KILIAN YASINI CHELESI 1004357607 23 JESCA DOMINIC MSHANGILA L1646/2000 24 HUSNA ADAM BENTA 0207120 25 AGINESS YASINI CHALESS 9658/09 26 SAMWELI ELIAKUNDA JOHNSONI L 2047/2014 27 AMINA BARTON MTAFYA 267903140980 28 HUSNA JUMANNE HINTAY 04014382 29 INYASI MATUNGWA MLOKOZI 1000114408 30 EDWARD MWAKALINGA L.0.2117/2016 31 MTANI LAZARO MAYEMBE 230484751558 32 OBED ODDO MSIGWA L.3475/2017 33 REGINA MAYIGE GOGADI 1004035001 34 KULWA SOUD ALLY 317/2018 35 GEOFREY JOSEPHAT LAZARO 1004395718 36 GLORIA NEEMA ALEX 1003984320 37 DAUDI ELICKO LUWAGO 503096876515 38 NEEMA JUMA SHABAN 1363/96 39 MUSSA SUFIANI NUNGU 100/2018 40 SHAFII JUMBE KINGWELE 92/2018 41 RAMADHANI -
30 Oktoba, 2013
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ________________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________________ MKUTANO WA KUMI NA TATU Kikao cha Pili - Tarehe 30 Oktoba, 2013 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- MWENYEKITI WA KAMATI YA BAJETI: Maoni ya Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti juu ya Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2014/2015. MHE. DAVID E. SILINDE (K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI WA FEDHA NA UCHUMI): Maoni ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani wa Fedha na Uchumi juu ya Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2014/2015. 1 Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaanza na Maswali, Ofisi ya Waziri Mkuu na atakayeuliza swali letu la kwanza ni Mheshimiwa Ismail Aden Rage. MHE. ISMAIL A. RAGE: Mheshimiwa Spika, ahsante sana awali ya yote ninakupa pole ya msiba uliopata na ninaomba swali sasa lijibiwe. Na.15 Kusimama kwa Ujenzi wa Hospitali ya Kitete MHE. ISMAIL A. RAGE aliuliza:- Hospitali ya Kitete ilikuwa kwenye ukarabati lakini Mkandarasi amesimama muda mrefu:- Je, Serikali ni nini hatma ya kukamilisha majengo hayo? SPIKA: Ahsante sana Mheshimiwa Naibu Waziri majibu. NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA(ELIMU) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Ismail Aden Rage, Mbunge wa Tabora Mjini, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, ukarabati wa miundombinu katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora Kitete unafanyika kwa hisani ya Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB), utekelezaji wa mradi huu katika awamu ya kwanza ulianza tarehe 1/8/2009 na ulitakiwa kukamilika tarehe 27/4/2011.