C:\Users\User\Desktop\KAZI ZOTE
ISSN 0856 - 0323 MWAKA WA 102 05 Januari, 2021 TOLEO NA. 1 GAZETI BEI SH. 1,000/= TOLEO MAALUM DODOMA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA O Linatolewa kwa Idhini ya Serikali na Kuandikishwa Posta kama Gazeti YALIYOMO Taarifa ya Kawaida Uk Matokeo Uchaguzi Mkuu wa Rais, 2020 ...................................................................................................... ...... Na. 30A 1 Matokeo Uchaguzi Mkuu wa Wabunge, 2020 ......................................................................................................Na. 30B 2/24 TAARIFA YA KAWAIDA Na 30A MATOKEO YA UCHAGUZI WA RAIS, 2020 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. MAGUFULI JOHN POMBE JOSEPH - CCM … 12,516,252 TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI MAHONA LEOPOLD LUCAS - NRA ……………… 80,787 SHIBUDA JOHN PAUL - ADA-TADEA ………… 33,086 MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA RAIS, 2020 MUTTAMWEGA BHATT MGAYWA - SAU ……… 14,922 (Imetolewa chini ya ibara ya 41(6) ya Katiba ya Jamhuri CECILIA AUGUSTINO MMANGA - DEMOKRASIA MAKINI ya Muungano wa Tanzania, 1977 ikisomwa pamoja na .............................................................................. 14,556 kifungu cha 38F(8) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi Sura MAGANJA YEREMIA KULWA - NCCR-Mageuzi … 19,969 ya 343) LIPUMBA IBRAHIM HARUNA - CUF ……………… 72,885 PHILIPO JOHN FUMBO - DP ………………………... 8,283 Kwa mujibu wa ibara ya 41(6) ya Katiba ya Jamhuri ya MEMBE BERNARD KAMILLIUS - ACT-Wazalendo … 81,129 Muungano wa Tanzania, 1977 pamoja na kifungu cha 35F QUEEN CUTHBERT SENDIGA - ADC ………………. 7,627 (8) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi Sura ya 343, Tume ya TWALIB IBRAHIM KADEGE - UPDP …………….. 6,194 Taifa ya Uchaguzi inatoa taarifa kwa umma kwamba matokeo RUNGWE HASHIM SPUNDA - CHAUMM…….... 32,878 ya Uchaguzi wa Rais uliofanyika tarehe 28 Oktoba, 2020 ni SEIF MAALIM SEIF - AAFP……………..……….. 4,635 kama inavyoonekana kwenye jedwali la taarifa hii.
[Show full text]