Jarida la

NchiUtamaduni, Yetu Sanaa na Michezo

Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO JARIDA LA MTANDAONI TOLEO LA Juni-Julai 2018 Dreamliner: Ndoto Iliyotimia Rais Magufuli: Itaongeza Mapato, Heshima ya Nchi Vyombo vya Habari Kimataifa Vyaisifu Tabasamu la Obama Serengeti

www.maelezo.go.tz i Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO Bodi ya Uhariri Mwenyekiti Dkt. Hassan Abbasi Mkurugenzi-Idara ya Habari-MAELEZO Wajumbe Rodney Thadeus Jonas Kamaleki John Lukuwi Elias Malima Casmir Ndambalilo Msanifu Jarida Hassan Silayo Huduma zitolewazo MAELEZO 1.Kutangaza Utekelezaji wa Serikali. 2.Kuuza Picha za Viongozi wa Taifa na Matukio Muhimu ya Serikali. 3.Kusajili Magazeti na Majarida 4.Kukodisha Ukumbi kwa Ajili ya Mikutano na Waandishi wa Habari. 5.Rejea ya Magazeti na Picha za Zamani 6.Kupokea Kero Mbalimbali za Wananchi. Jarida hili hutolewa na:

Idara ya Habari-MAELEZO S.L.P 25 Dodoma-Tanzania Baruapepe:[email protected] Blogu: blog.maelezo.go.tz Website: www.maelezo.go.tz Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO ii

TAHARIRI NI BAJETI ILIYOLENGA KUINUA MAISHA YA WANANCHI Bajeti ya Serikali iliyowasilishwa na kupitishwa Bungeni hivi karibuni ni bajeti inayolenga kuwainua wananchi na kuboresha maisha yao. Tumeona jinsi Wabunge wa Chama Tawala na Vyama vya Upinzani wakiiunga mkono kwa namna ilivyoondoa kero zilizokuwa zikiwasumbua wananchi hasa wa kipato cha chini. Kwa mara ya kwanza ndani ya kipindi cha miaka takribani 57 ya uhuru, Bajeti Kuu ya Serikali haikupandisha bei za vinywaji na sigara zinazotengenezwa nchini ili kulinda viwanda vya hapa nchini. Kwa jinsi hii wananchi wa kipato cha chini wataweza kupata bidhaa hizi bila ongezeko la bei. Kuondoa ushuru kwenye taulo za kike ni jambo ambalo Bajeti Kuu ya Serikali imelifanya na kufurahiwa na wabunge wengi hasa wanawake ambao ni wawakilishi wa wananchi. Baadhi ya wanafunzi wa kike wamekuwa wakishindwa kwenda shule wanapoingia katika hedhi kwa kukosa hela ya kununua taulo hizo kutokana na bei kuwa kubwa. Ni jambo la kupongezwa na wananchi wengi kwa ujumla. Bajeti pia imelenga kuboresha kilimo, ikiwemo miundombinu yake kama vile ya umwagiliaji. Ikumbukwe kuwa kilimo ni shughuli ya kiuchumi inayotegemewa na watanzania wengi, hivyo kuboresha sekta hii ni kuonesha jinsi Serikali inavyowajali watu wake. Serikali imezidi kutenga fedha kwa ajili ya miradi mikubwa ambayo itaboresha maisha ya wananchi ikiwemo ya ujenzi wa Reli ya Kisasa (Standard Gauge), barabara na madaraja.Aidha, serikali imetenga fedha kwa ajili ya mradi mkubwa wa kuzalisha umeme wa Stiegler’s Gorge na pia ununuzi wa ndege ili kuboresha usafiri wa anga. Kuboreshwa kwa usafiri wa anga kutafanikisha shughuli za utalii na hivyo kuongeza pato la Taifa ambalo litaakisi kuongeza kipato cha mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla. Uboreshwaji wa miundombinu ya usafiri na usafirishaji utawezesha mazao kufika kirahisi sokoni na kumwezesha mkulima kupata kipato. Jarida la Nchi Yetu linaunga mkono bajeti hii ambayo imeonesha ukweli ulio wazi kuwa Serikali ya Awamu ya Tano inalenga kuwajali wananchi kwa kuhakikisha kwamba huduma zote zinaboreshwa, jambo ambalo litawafanya waifurahie na kujivunia nchi yao. Hii ni kusema kwamba Bajeti ya 2018/19 ni ya wananchi. Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO 1 Dreamliner: Ndoto Iliyotimia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika eneo la rubani alipoipokea ndege mpya na ya kisasa aina ya Boeing 787-8 Dreamliner baada ya ndege hiyo ambayo imenunuliwa na Na. Mwandishi Wetu- MAELEZO. Serikali kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa anzania kwa mara nyingine jijini Dar es Salaam. Ttena imeuthibitishia ulimwengu kuwa kuna tofauti kubwa kati ya maneno haya mawili; mageuzi na mageresho. Mwaka 2015 wakati akiomba kura kwa wananchi, Rais Dkt. John Pombe Magufuli aliahidi mageuzi.

Anatekeleza mageuzi. Sasa ameendeleza mageuzi hayo kwa kupokea ndege nyingine kubwa, mpya na ya kwanza kwa toleo la kisasa la Boeing 787-8 Dreamliner. Katika mapokezi ya ndege hiyo Rais Magufuli, viongozi mbalimbali wa Serikali pamoja na mamia ya wananchi si tu wamepokea ndege hiyo lakini wamethibitisha kile Rais anachokisema mara Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi akitia sahihi pamoja na Katibu Mkuu (Sekta ya Uchukuzi), Dkt. kwa ajili kwa mara: “Watanzania ya makubaliano ambayo Serikali imeikodisha Ndege yake mpya aina ya Boeing 787-8 Dreamliner kwa Shirika la Ndege la ATCL kwa ajili ya kufanyia biashara ya usafiri wa anga. “Tuunge Mkono Jitihada za Kupinga Rushwa na Ufisadi na TuimarisheLimeandaliwa Uchumi na wa Idara Viwanda ya Habari-MAELEZO kwa Maendeleo Yetu” 2 Dreamliner: Ndoto Iliyotimia

tukiamua, tunaweza.” Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe pamoja na Makamu wa Rais , Waziri Mkuu Ndugu zangu sisi ni taifa kubwa pamoja na viongozi wengine mara baada ya kuwasili kwa Ndege mpya aina ya Boeing 787-8 Dreamliner ambayo imenunuliwa na Serikali. na lenye rasilimali nyinyi sana hivyo ni aibu kutokuwa na aliposema kwa kukosa ndege ndege, tuko watu milioni 50 na kufanya safari za majaribio hasa za kimataifa ni kama ushee na tumebarikiwa kuwa nchini mpaka Septemba mwaka Tanzania ilikuwa uchi duniani. na kila kitu kuanzia madini ya huu, itaanza mara moja safari kila aina, wanyama pamoja na za kimataifa ikianzia na India, “Leo kwa kutuletea ndege hii vivutio mbalimbali, haiingii akilini Thailand na China. Rais naye Mheshimiwa Rais nakupongeza kutokuwa na maendeleo, na akasema hii ni zaidi ya ndege: sana, umetuvika nguo mbele ujio wa ndege hii umedhihirisha ya uso wa kimataifa kwani kwamba watanzania jina la Tanzania nalo litasikika tunaweza,” alisema Rais Magufuli “Ndege hii itawasaidia katika medani za kimataifa akionekana mwenye furaha. wafanyabiashara wa ndani na katika usafiri wa anga,” nje ya nchi, italeta watalii na alisema Mzee Mrema kauli ni fahari yetu kimataifa. Nchi Ni Zaidi ya Ndege iliyoungwa mkono na kiongozi nyingi zinazopokea watalii Tunaweza leo kujadili sana ujio mwingine wa upinzani John wengi zina mashirika yao ya wa ndege hii pia iliyobatizwa jina Momose Cheyo alipongeza: ndege hivyo na sisi ndege hii kuwa “ya ndoto zetu” na kujadili itatusaidia.” Ni sahihi. Takwimu usasa wake na upya wake “Nilipogombea Urais miaka za njia wanazotumia watalii na ufahari wake. Lakini jambo kadhaa nyuma na kuahidi duniani kwenda kwenye vivutio kubwa na la muhimu ni umuhimu mapesa wengi hamkunielewa. mbalimbali zinaonesha kuwa wake kwa uchumi wa nchi. Leo Magufuli anawaletea asilimia 70 wanatumia au mapesa. Ndege hii ni wanahitaji usafiri wa ndege. Ndio maana akizungumza mapesa kwa watanzania, katika mapokezi hayo aliyepata itachangia katika uchumi Katika mapokezi hayo ya kuwa Naibu Waziri Mkuu na na kuleta watalii wengi.” kihistoria ya ndege, Rais Magufuli Waziri wa Mambo ya Ndani, Akishadidisha faida hizo Rais aliwashukuru watanzania kwa Mzee Augustine Lyatonga Magufuli katika hotuba yake kumuunga mkono kwa kuchapa Mrema alisisimua wengi pale alisema baada ya ndege hiyo 3 Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO

“Ndugu zangu sisi ni taifa kubwa na lenye rasilimali nyinyi sana hivyo ni aibu kutokuwa na ndege, tuko watu milioni 50 na ushee na tumebarikiwa kuwa na kila kitu kuanzia madini ya kila aina, wanyama pamoja na vivutio mbalimbali, haiingii akilini kutokuwa na maendeleo, na ujio wa ndege hii umedhihirisha kwamba watanzania tunaweza”.

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI Rais wa Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. kazi lakini kwa kulipa kodi kwani John Pombe Magufuli akiteta jambo na Msemaji Mkuu ndege hiyo imenunuliwa kwa fedha za watanzania wenyewe. wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi ndani ya ndege ya Boeing Dreamliner

Mabingwa wa Usafiri Ulaya wa Kusimamia Usafiri anga nchini yamevigusa wa Anga Wanena wa Anga, Dakar, Senegali, vyombo mbalimbali vya Akizungumzia ndege aina anasema wamejipanga kimataifa. Shirika kubwa ya Dreamliner na hususani na wana mikakati mitatu: la Habari la China Global ambayo imenunuliwa na Television Network (CGTN) Tanzania, bingwa wa masuala “Ndege hii watu wasidhani lilieleza kuwa Rais Magufuli ya usafiri wa anga aliyeko nchini tumekurupuka tu kuileta, amedhamiria kufanya mambo Marekani, Mubelwa Bandio tulikuwa na mkakati wa makubwa na anajiandaa amesema Tanzania imelamba manunuzi uliohusu tununue kuleta Dreamliner nyingine. dume kwani ndege hiyo ni ya ndege gani na kwa nini. Nalo Shirika kongwe la Habari la kisasa na inatumia mafuta kwa China, Xinhua, liliieleza habari pungufu ya mpaka asilimia 20 Tukaweka mkakati wa hiyo kwa anuani isemayo: ikitumia mfumo wa umeme maboresho ya kiutendaji na na mafuta. “Inatumia zaidi tunao mkakati wa kibiashara “Tanzania receives first Boeing umeme badala ya mafuta.” ambao ulianza kutekelezwa 787-8 Dreamliner to strengthen Naye rubani aliyeileta ndege na sasa tunauhusika zaidi.” national airline.” Mtandao hiyo kutoka Seatle, Marekani Mhandisi Matindi ambaye mashuhuri duniani kwa taarifa hadi Dar es Salaam, Tanzania pia ni mhitimu wa masuala za usafiri na teknolojia ya anga anasema tu kwa kifupi ya usimamizi wa Biashara www.intelligent-aerospace. hajawahi kuona ndege ya (MBA) kutoka Chuo Kikuu com ulieleza ujio wa ndege kisasa kama hii na safari yote cha Birmingham, Uingereza, hiyo kwa kuhitimisha kuwa ya saa 17 kutoka Marekani anasema katika ushindani wa ndege hiyo itaanzia safari ilikuwa maridhawa kabisa. kibiashara wamejipanga vyema za ndani na kisha za nje: kwa sababu wanaijua vyema Akizungumzia uendeshaji sekta husika na amewataka “The Intelligent Aerospace Take: wake, Mtendaji Mkuu wa ATCL, watanzania wasitiwe wasiwasi The plane will eventually service Mhandisi mwenye shahada na “manabii wa uongo.” an intercontinental route to ya umahiri katika usimamizi Mumbai, but first, Air Tanzania is wa biashara, Ladislaus Matindi Dunia Yaizungumzia putting its new aircraft through ambaye pia ni bingwa wa its paces with domestic flights usafiri wa anga aliyepata kuwa Tanzania to Dar es Salaam and Moshi.” Mkurugenzi Katika Mpango Mageuzi yanayoendelea wa Afrika na Jumuiya ya katika sekta ya usafiri wa Mtandao wa Aviation Tribune “Tuunge Mkono Jitihada za Kupinga Rushwa na Ufisadi na TuimarisheLimeandaliwa Uchumi na wa Idara Viwanda ya Habari-MAELEZO kwa Maendeleo Yetu” 4 nao haukusita kuizungumzia ndege hiyo ya Tanzania. Taarifa ya mtandao huo wa kimataifa iko hapa:http://aviationtribune. com/airlines/africa/air- tanzania-takes-delivery-of-its- first-boeing-787-dreamliner/.

Dreamliner pia ililigusa Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) ambapo habari yake moja ilizingumzia mambo matano makuu aliyoyasema Rais Magufuli katika mapokezi hayo: https://www.bbc. com/swahili/habari-44762097 Shirika la kimataifa la habari za uchumi na biashara la Bloomberg nalo lilianza kuizungumzia ndege hiyo na kuonesha matumaini kwa Tanzania kuimarika kibiashara hata kabla haijafika Dar es Salaam: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akikagua ndege mpya na ya kisasa Ndege nyingine kubwa aina aina ya Boeng 787-8 Dreamliner ambayo imenunuliwa na ya Boeing Dreamliner ya abiria 262 itawasili nchini Januari, Serikali mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege 2020 wakati Novemba mwaka wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam hivi huu ndege nyingine mbili aina karibuni. ya C Series Bombardier zenye uwezo wa kuchukua abiria 132 zitawasili nchini kuendeleza mageuzi katika sekta za usafiri wa anga, biashara na utalii. 5 Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO Tabasamu la Obama Serengeti

Rais Mstaafu wa Marekani, Barack Obama akilakiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Augustino Mahiga Na. Mwandishi Wetu- MAELEZO. alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) akitokea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti alikotalii kwa muda wa siku nane. akati Watanzania Wwakifurahia kutimia kwa ndoto ya ujio wa Dreamliner siku chache zilizopita Rais Mstaafu wa Marekani, Baraka Obama akiwa na familia yake naye alitimiza ndoto yake ya miaka mingi.

Katika kitabu chake “Dreams From My Father” Obama alieleza jinsi akiwa angani kwenda katika ardhi ya baba yake miaka ya 1980 alivyopita juu ya ardhi nzuri yenye nyasi na wanyama wazuri ya Serengeti ambako pia alikwenda baadhi ya maeneo na kutamani kufika mbali zaidi. Hatimaye Obama ametimiza ndoto yake kwa kufurahia maisha Serengeti kwa siku 8 alizokaa Tanzania. Rais Mstaafu wa Marekani, Barack Obama na Mkewe Michele Obama wakiwa ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO 6 Tabasamu la Obama Serengeti

Rais Mstaafu wa Marekani, Barack Obama akipokea zawadi Maalum kutoka kwa Balozi Augustino Mahiga alipowasili Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) akitokea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti alikotalii kwa muda wa siku nane.

Rais Mstaafu wa Marekani, Barack Obama akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Anna Maghwira Rais Mstaafu wa Marekani, Barack Obama akisalimiana na alipowasili Uwanja wa Ndege wa KIA akitokea Hifadhi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro ACP Hamisi Issa Taifa ya Serengeti alipowasili Uwanja wa Ndege KIA akitokea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. 7 Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO

Mnangagwa Afanya Ziara ya Kihistoria

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akiwa amesimama pamoja na mgeni wake Rais wa Zimbabwe Mhe. Na. Mwandishi Wetu- MAELEZO. Emmerson Mnangagwa wakati nyimbo za mataifa mawili ya Tanzania na Zimbabwe zikipigwa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius iara ya Rais wa Zimbabwe, Nyerere mara baada ya Rais huyo kuwasili nchini. ZEmerson Mnangagwa aliyoifanya hivi karibuni nchini Tanzania kwa mwaliko wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli, inatarajia kufungua milango ya uwekezaji na kukuza biashara baina ya nchi hizo.

Akiongea baada ya kufanya mazungumzo na Rais Mnangagwa Ikulu jijini Dar es Salaam, Rais Magufuli ameeleza kwamba wamekubaliana kuimarisha zaidi uchumi wa nchi zao tofauti na uhusiano wa zamani baina ya nchi hizo ambao ulikuwa wa kisiasa zaidi.

“Mwaka 2016 biashara kati ya Tanzania na Zimbabwe ilikuwa Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa akikagua gwaride la heshima mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius ni shiingi bilioni 18.3, sawa na Nyerere “Tuunge Mkono Jitihada za Kupinga Rushwa na Ufisadi na TuimarisheLimeandaliwa Uchumi na wa Idara Viwanda ya Habari-MAELEZO kwa Maendeleo Yetu” 8

dola za Marekani milioni 8.5, mwaka 2017 biashara ilikua na kufikia shilingi bilioni 21.1 sawa na dola za Marekani milioni Mnangagwa Afanya Ziara ya Kihistoria 9.5. Kwa sasa kuna miradi 25 ya Zimbabwe nchini yenye thamani ya dola za Marekani milioni 32.02,” alifafanua Rais Magufuli wakati akielezea umuhimu wa kuendeleza biashara kati ya nchi hizo mbili.

Katika mazungumzo hayo, Rais Magufuli ameeleza kuwa wamekubaliana kupitia Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) kukuza biashara ambapo kuna mikataba ya ulegezaji masharti ya kibiashara katika Jumuiya hiyo ili kuwezesha biashara kufanyika kwa urahisi.

Katika kuimarisha biashara na kukuza uwekezaji nchini, Rais Magufuli amemhakikishia Rais Mnangagwa kuwa Tanzania kuna hekta milioni 44 za ardhi inayofaa kwa kilimo na hekta milioni 29 zinafaa kwa kilimo cha umwagiliaji pamoja na fursa nyingi za uwekezaji katika sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi. Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa akiangalia moja ya sufuria waliyokuwa wakiitumia katika matumizi yao ya kila siku wakati wakisoma katika Shule ya Kwa upande wake, Rais Mafunzo ya Ufundi na Jeshi ya wapigania Uhuru ya Chama cha FRELIMO. Mnangagwa alisema kuwa amefurahia kuona chuo watanzania na wazimbabwe hicho kikiendelea ambapo Aidha, alisema amefarijika ni kama ndugu na kwamba mwaka 1963 walitumia chuo kuona kambi hiyo waliokuwa Tanzania imekuwa mstari wa hicho kama kambi ya kijeshi wakitumia wakati wa harakati mbele katika kuunga mkono katika harakati za kupigania za ukombozi wa nchi za kusini jitihada za ukombozi wa bara uhuru wa nchi za Kusini mwa mwa Afrika sasa kuwa ni la Afrika, hivyo uhusiano huo Afrika ikiwemo Zimbabwe. Chuo cha Mifugo na Kilimo. hauna budi kuendelezwa. Chuo cha Wazazi Kaole, “Naishukuru Serikali ya Tanzania kilichoanzishwa mwaka 1963 Aidha, katika siku yake ya na Msumbiji kwa kuendelea kilitumika kutoa mafunzo ya pili ya Ziara hapa nchini Rais kutunza sehemu hii. Pia na mimi ufundi kwa wapigania uhuru huyo alikitembelea Chuo cha ninapenda kuchangia kiasi cha wakati wa ukombozi wa nchi Wazazi Kaole kilichopo mjini fedha dola elfu 10 za Kimarekani,” za kusini mwa Afrika, ambapo Bagamoyo na kukikabidhi baadaye kilikabidhiwa kwa dola za kimarekani elfu 10 alieleza Rais Mnangagwa. chama cha TANU kabla ya ikiwa ni mchango wake kwa Rais Mnagangwa alisema kuwa kuwa . chuo hicho ambacho aliwahi amefurahi kufika chuoni hapo Rais Emmerson Mnangangwa kupatiwa mafunzo ya ufundi tena, ikiwa ni miaka 58 tangu aliwasili nchini Juni 28 kwa wakati wa harakati za ukombozi amalize masomo katika chuo ziara ya siku mbili ambapo wa nchi za kusini mwa Afrika. hicho ambacho kilikuwa kambi alikubaliana na mwenyeji Akizungumza akiwa Chuoni ya kijeshi kikiwa na wakufunzi wake Rais Magufuli kuendeleza hapo, Rais Mnangagwa alisema 58 kutoka nchi za Zimbabwe, ushirikiano wa kihistoria uliopo Afrika kusini na Msumbiji. baina ya Tanzania na Zimbabwe. 9 Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO

Makamu wa Rais Awataka Viongozi Dar Kulinda Kuta za Bahari

Muonekano wa sehemu ya ukuta wa bahari wenye urefu wa Mita 920 uliojengwa pembezoni mwa barabara ya Barack Obama uliozinduliwa hivi karibuni na Na. Mwandishi Wetu- MAELEZO. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya wa Maendeleo ili kukabiliana bustani ya majani katika kingo Muungano wa Tanzania, Mhe. athari za mabadiliko ya tabia za barabara za ukuta wa Samia Suluhu Hassan ameutaka nchi na hivyo kuleta tishio ufukwe huo na kufanya kuwa Uongozi wa Jiji la Dar es Salaam katika maendeleo ya kijamii chanzo cha mapato cha Jiji hilo. kuweka mikakati madhubuti na kiuchumi kwa wananchi. ya kulinda na kuhifadhi Aidha Mhe. Samia alisema miundombinu ya ukuta wa “Ujenzi wa ukuta huu ni njia Serikali itaendelea kushirikiana na fukwe za bahari ili kukabiliana mojawapo ya kujihami na wadau mbalimbali wa mazingira na athari za mabadiliko ya tabia kupunguza athari za mabadiliko ikiwemo Mfuko wa Dunia wa nchi ikiwemo kusogea kwa ya tabia nchi, tukiutunza kuhimili mabadiliko ya tabia bahari na milipuko ya magonjwa vizuri ukuta huu utaweza nchi na kuongeza kuwa Serikali ya wanyama na binadamu. kuishi kwa miaka zaidi ya ya Awamu ya Tano itaendelea 70, tukitunza miundombinu kusimamia utekelezaji wa miradi Akizungumza katika uzinduzi yake tutaweza kufurahia inayoendelea ya ujenzi ya wa ukuta wa fukwe ya bahari mandhari ya maliasili ya bahari” ukuta wa fukwe za bahari katika eneo la Coco Beach Jijini Dar es alisema Makamu wa Rais. maeneo mbalimbali nchini. Salaaam, Mhe. Samia alisema ukuta huo ni miongoni mwa Aliitaka Halmashauri ya Jiji Kwa upande wake, Waziri wa mipango na mikakati ya muda la Dar es Salaam kuimarisha Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais mrefu iliyobuniwa na Serikali miundombinu ya ukuta huo, (Muungano na Mazingira), Mhe. kwa kushirikiana na Wadau kujenga vibaraza na kupanda alisema “Tuunge Mkono Jitihada za Kupinga Rushwa na Ufisadi na TuimarisheLimeandaliwa Uchumi na wa Idara Viwanda ya Habari-MAELEZO kwa Maendeleo Yetu” 10

Makamu wa Rais Awataka Viongozi Dar Kulinda Kuta za Bahari

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu mbali na ujenzi wa ukuta huo Hassan akizindua ukuta uliojengwa kwenye kingo za Bahari ya Hindi pembezoni katika eneo la Coco Beach, mwa barabara ya Barack Obama, kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba na Mwenyekiti Mkazi wa Kampuni Serikali pia inatekeleza miradi ya Shell Bw. Axel Knospe. ya ujenzi wa kuta hizo katika itaendelea kutafuta rasilimali utelekezaji wa miradi yote eneo la Kigamboni Jijini Dar fedha katika mifuko ya mazingira minne ya Kilimani, Kigamboni, es Salaam, Pangani Mkoani ya dunia ili kukabiliana na athari Barack Obama na Pangani. Tanga, Kilimani Zanzibar hizo kwa ustawi wa vizazi vijavyo. na Kisiwa Panza, Pemba. Aliongeza kuwa utekelezaji Naye Katibu Mkuu Ofisi ya wa mradi huo ni sehemu ya Makamu wa Rais (Muungano manufaa ya ushiriki wa Tanzania Serikali ya Awamu na Mazingira), Mhandisi Joseph katika mahusiano ya kimataifa Malongo alisema ujenzi wa ya Tano“ itaendelea hususani nafasi ya uanachama ukuta huo ulianza mwaka 2012 wa mkataba wa kimataifa kusimamia kupitia mkataba wa Umoja wa wa mabadiliko ya tabia nchi utekelezaji wa miradi Mataifa wa kudhibiti mabadiliko na hivyo kunufaika na mifuko ya tabia nchi kwa kushirikiana inayoendelea ya mbalimbali iliyosaidia udhibiti na Halmashauri za Manispaa wa athari za mabadiliko ya tabia ujenzi ya ukuta wa ya Ilala, Kinondoni, Temeke nchi katika nchi zinazoendelea. na Chuo Cha Kumbukumbu fukwe za bahari ya Mwalimu Nyerere (MNMA). Akifafanua zaidi, Waziri katika maeneo Makamba alisema mabadiliko Mhandisi Malongo alisema mbalimbali nchini. ya tabia nchi yameleta athari ukuta huo una urefu wa kubwa katika sekta za uzalishaji mita 920, ambapo jumla ya Mhe. Samia Suluhu mali ikiwemo kilimo, ufugaji, Dola ya Kimarekani milioni uvuvi na nishati hivyo Serikali Hassan 5.08 zimetumika katika “Tuunge Mkono Jitihada za Kupinga Rushwa na Ufisadi na 11 TuimarisheLimeandaliwa Uchumi na Idara wa ya Viwanda Habari-MAELEZO kwa Maendeleo Yetu”

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa, akiongoza zoezi la upimaji wa VVU wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kuhamasisha upimaji wa VVU hususani kwa wanaume na kuanza ARV mapema unapogundulika kuwa na maambukizi, uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, kauli mbiu: Mwanaume jali Afya yako Pima VVU. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Ahimiza Upimaji V V U, Kuanza Mapema Dawa Kupunguza Makali

Majaliwa alisema lengo la kampeni wawe wamepunguza makali ya VVU. hiyo ni kuwasaidia watu wanaoishi na VVU kuishi maisha bora na marefu. “Kwa vile tunazindua kampeni ya Na. Georgina Misama- MAELEZO kupima na kuanza matumizi ya dawa Mhe. Majaliwa amesema, Serikali za kupunguza makali ya VVU mara Serikali imewasisitiza Watanzania hasa imeamua kuanzisha kampeni moja, yaani Test and Treat, natoa wanaume kupima maambukizi ya Virusi hiyo ili kutekeleza malengo ya 90 rai kwa Wizara ya Afya, Maendeleo Vya Ukimwi (VVU) na kuanza mapema Tatu katika mapambano dhidi ya ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kutumia dawa za kupunguza makali ugonjwa wa UKIMWI ifikapo mwaka kwa kushirikiana na OR-TAMISEMI, kwa wale wataokutwa na maambukizi. 2020. Malengo hayo ya 90 tatu kuhakikisha vitendanishi na dawa za yanalenga kufikisha asilimia 90 ya kupunguza makali ya VVU zinapatikana Akizindua kampeni ya kuhamasisha watanzania watakaofahamu hali katika kila kituo kitakachotoa Watanzania hasa wanaume kupima zao za maambukizi, asilimia 90 ya huduma katika kila Mkoa na Wilaya,” na kuanza kutumia mapema waliopimwa VVU na kugundulika alieleza Mheshimiwa Majaliwa. dawa za kupunguza makali ya waanze kutumia dawa kupunguza VVU, iliyofanyika jijini Dodoma hivi makali ya VVU mara moja tofauti na Alifafanua kuwa, kampeni hiyo karibuni, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya ilivyokuwa awali ambapo ilitegemea inayojulikana kwa jina la ‘Furaha Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim na kiwango cha CD4 za muathirika, Yangu’, yenye kauli mbiu inayosema na asilimia 90 ya wanaotumia dawa Pima, Jitambue, Ishi kwa furaha, Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO 12

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa, akipokea tuzo ya heshima kutoka kwa Waziri wa Nchi OR TAMISEMI Mhe. Suleiman Jaffo (kushoto) Waziri wa Nchi OWM Mhe. (wa pili kushoto) na Waziri wa Afya Mhe. (kulia) ishara ya kuwa kinara wa kuhamasisha wanaume kupima VVU na kuanza ARV iwapo wanapogundulika kuwa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI. itadumu kwa kipindi cha miezi sita na Kwa upande wake Waziri wa Afya Tanzania iliridhia wananchi wake kupima Serikali imeridhia utaratibu huo kwa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na kuanza kutumia dawa za kupunguza kuwa una manufaa kwa mtumiaji wa na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu, makali ya Virusi Vya Ukimwi kwa wale dawa na jamii kwa ujumla. “Naahidi alisema kuwa kati ya shilingi bilioni waliokutwa na maambukizi. Dawa nitakuwa balozi wa kampeni hii kwa 269 zilizotengwa kwa mwaka wa hizo zimeonesha mafanikio makubwa, Waziri Mkuu Ahimiza Upimaji V V U, Kuanza kuhamasisha wananchi katika ziara fedha 2017/18, wizara yake imetenga na hivi sasa Serikali imetangaza kuwa zangu zote kupima na kuanza dawa bilioni 5.3 kwa ajili ya kununulia ifikapo mwaka 2019 Serikali itaanza mapema. Nitakuwa na kaulimbiu ya dawa za magonjwa nyemelezi kutoa dawa mpya za kupunguza Mapema Dawa Kupunguza Makali “Mwanaume jali afya yako, pima VVU” kwa watu wanaoishi na VVU. nguvu za VVU zenye ufanisi mkubwa. na ninaomba viongozi wenzangu na wanasiasa mniunge mkono” Katika kuhakikisha kampeni ya Kwa mujibu wa Wataalamu wa Mheshimiwa Waziri Mkuu alisisitiza. “Furaha Yangu” inafanikiwa, Serikali afya, kutumia dawa za kupunguza imeongeza vituo vya kupima VVU na makali ya VVU kwa usahihi, Aidha, Mhe. Waziri Mkuu aliwahimiza kutoa ushauri nasaha kutoka vituo kunapunguza haraka nguvu za wanacnhi kuanza kutumia 5,700 mwaka 2015 hadi kufikia vituo VVU na pia kadri mtu anavyotumia dawa watakazopewa mara 6,005 Machi 2018. Aidha, vituo 4365 dawa hizo ndivyo anavyopunguza tu wanapogundulika kuwa na vinatoa huduma ya kuzuia maambukizi uwezekano wa kuambukiza maambukizi ya VVU bila hata kusubiri kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto. watu wengine kwa asilimia 70”. CD4 kushuka sana. Kwa mujibu wa takwimu za utafiti uliofanyika 2016/17 “Mwaka 2011 maambukizi ya VVU zinaonyesha kuwa nchini Tanzania kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto “Mwanaume jali ni asilimia 52.2 tu ya wanaoishi na yalikuwa juu, kiasi cha asilimia 12 ya afya yako, pima VVU wenye umri wa miaka 15 hadi watoto nchini walikuwa wakizaliwa 64 walitoa taarifa kuwa wanajua na VVU. Hivi sasa maambukizi hayo VVU na naomba hali zao za maambukizi ya VVU yameshuka hadi kufikia asilimia 4.9. Hata viongozi wenzangu na ambapo wanawake ni asilimia 55.9 na hivyo Serikali imedhamiria kuhakikisha wanasiasa mniunge wanaume ni asilimia 45.3 na kwamba kuwa hakuna mtoto anayezaliwa mkono” kkiwango cha hamasa kwa wanaume akiwa na VVU”, alisema Waziri Ummy. Mhe. Kassim Majaliwa kutembelea huduma za upimaji wa VVU zipo chini ukilinganisha na wanawake. Mwezi Oktoba mwaka 2016, Serikali ya 13 Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO Ni Bajeti ya Kuipeleka Tanzania katika Uchumi wa Kati

Ndege mpya aina ya Boeng 787-8 Dreamliner ambayo imenunuliwa na Serikali ikitua katika Ardhi ya Tanzania wakati ikitokea nchini Marekani.

Muungano wa Tanzania Waziri Fedha mapato ya ndani na TSh trilioni 2.1 sawa na Mipango Dkt. na asilimia 12.7 kutoka vyanzo vya nje. Na. Mwandishi Wetu- MAELEZO alisema makadirio hayo yamezingatia upatikanaji wa mapato ya Serikali Aidha kuhusu mikopo kwenye mwaka Mwezi Juni Mwaka huu Tanzania kutoka katika vyanzo mbalimbali. huu wa fedha, Serikali inatarajia imeshuhudia kuwasilishwa Bungeni kukopa TSh Trilioni 5.7 kutoka katika kwa Bajeti ya mwaka 2018/2019 “Serikali katika mpango wa 2018/19 soko la ndani. Kati ya fedha hizo, Sh4.6 ambapo Serikali inatarajia kukusanya imepanga kutumia TSh trilioni 20.4 kwa trilioni zitatumika kulipa hati fungani na kutumia TSh trilioni 32 ikiwa matumizi ya kawaida sawa na asilimia na dhamana za Serikali zinazoiva. ni ongezeko la TSh Bilioni 800 63 na kwamba kiasi hicho kitajumuisha Alisema TSh trilioni 1.1 zinazozidi ikilinganishwa na bajeti iliyopiota TSh Trilioni 10 zitakazotumika kulipa ndio mikopo mipya ambayo ni ambayo ilikuwa ya TSh trilioni 31.7. deni la Taifa, wakati TSh trilioni 7.3 sawa na asilimia 0.9 ya Pato la zikiwa ni mishahara ya watumishi Taifa.”Kuongeza kasi ya utekelezaji Katika kutekeleza bajeti hiyo ya serikali na TSh trilioni 3 ni kwa matumizi wa miradi, Serikali inatarajia msukumo mkubwa umeelekezwa mengineyo,” alisema Dkt. Mpango. kukopa TSh3.1 kutoka soko la nje. katika ujenzi wa miundombinu pamoja na utekelezaji wa miradi mikubwa ya Waziri wa fedha na Mipango alisema Akielezea miradi itakayotekelezwa maendeleo ikiwemo Ujenzi wa kipande kuwa TSh trilioni 12 ambazo ni asilimia Waziri Mpango alisema Sh trilioni cha Reli ya Kati kwa gharama ya 37 zimetengwa kutumika kwa ajili ya 1.4 zitatumika kuimarisha reli ya fedha za kitanzania Shilingi 1.4 trilioni. kutekeleza miradi ya maendeleo na kati na fedha zote zitapatikana katika kiasi hicho, TSh trilioni 9.8 sawa na kutoka kwenye vyanzo vya ndani. Mbele ya Bunge la Jamhuri ya asilimia 82.3 zitatokana na vyanzo vya Pia Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO 14

Tanzania (TBS), katika kusimamia ubora wa bidhaa hapa nchini. Ni Bajeti ya Kuipeleka Tanzania katika Katika hotuba hiyo Waziri mpango aliwatoa hofu watanzania kwa kuwahakikishia kuwa nchi ina akiba ya Uchumi wa Kati kutosha ya fedha za kigeni ambapo hadi Desemba mwaka 2017 akiba ya fedha za kigeni ilikuwa Dola za kimarekani bilioni 5.9 ikilinganishwa na Dola za kimarekani bilioni 4.3 katika kipindi kama hicho mwaka 2016.

“ Mheshimiwa Spika Kiasi cha akiba ya fedha za kigeni kilichofikia Desemba mwaka 2017 kilikuwa kinatosha kugharamia ununuzi wa bidhaa kwa kipindi cha miezi sita hivyo kuzidi kiwango cha angalau miezi 4.5 kilichowekwa kukidhi matakwa ya hatua za utangamano wa umoja wa fedha kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki,” alisema Dkt Mpango.

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango akionesha begi Kwa mwelekeo wa bajeti hii ni dhahiri lenye hotuba ya Bajeti ya Serikali ya mwaka wa fedha 2018/2019 bungeni Tanzania itaendelea kukua kiuchumi Dodoma hivi karibuni. kama nchi na kwa mwananchi mmoja mmoja kwa kuwa miradi limetengewa TSh bilioni 495 kukamilisha kulipa tozo ya ardhi pamoja na mingi mikubwa itaajiri watanzania ununuzi wa ndege ya pili aina ya Boeing kulitangaza kama eneo la uwekezaji. wengi na kutoa fursa za kibiashara 787 Dreamliner na Bombardier Q400-8. Kiasi cha Sh10 bilioni zimetengwa kwa kwa wananchi wa maeneo ajili ya bidhaa za ngozi huko Zuzu, ambayo miradi hiyo inatekelezwa. Kwa upande wa mradi wa kufua mkoani Dodoma na TSh bilioni 2 ni kwa umeme wa maji katika Bonde la Mto ajili ya kuimarisha Shirika la Viwango Rufiji alisema TSh Bilioni 700 zimetengwa ikiwa ni kwa ajili ya ujenzi wa ofisi, bwawa na njia za kupitisha maji.

Aidha mradi mwingine wa kimkakati ni mradi wa makaa ya mawe wa Mchuchuma uliotengewa TSh bilioni 5 ili kufanikisha uzalishaji wa umeme wa 220KV, pamoja na kiasi cha Sh5 bilioni ka ajili ya maandalizi ya ujenzi wa kiwanda cha chuma cha Liganga.

Kiwanda cha General Tyre Arusha kimetengewa TSh bilioni 500 kwaajili ya kuandaa upembuzi yakinifu, ununuzi wa mitambo na mashine na kulitangaza eneo hilo kwa ajili ya kupata wawekezaji pamoja na kulipa tozo ya ardhi.

Kwa mujibu wa Waziri Mpango mradi wa magadi soda katika Bonde la Engaruka umetengewa TSh bilioni 10 kwa ajili ya kuratibu na kulipa fidia kwa wananchi watakaopisha eneo hilo, kufanya Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasilisha hotuba utafiti wa faida za kiuchumi, kusimamia ya Bajeti ya Serikali ya mwaka wa fedha 2018/2019 bungeni Dodoma hivi ujenzi wa miundombimu wezeshi, karibuni. “Tuunge Mkono Jitihada za Kupinga Rushwa na Ufisadi na 15 TuimarisheLimeandaliwa Uchumi na Idara wa ya ViwandaHabari-MAELEZO kwa Maendeleo Yetu” UFUFUAJI WA VIWANDA VYA KOROSHO WAIPAISHA MTWARA •Asilimia 95 ya waajiriwa ni wanawake.

Na: Judith Mhina - MAELEZO

itihada za Serikali ya Awamu ya JTano inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, zimezaa matunda na kuwanufaisha wananchi wa Mkoa wa Mtwara.

Hayo yamebainika Mkoani humo, baada ya Idara ya Habari-MAELEZO kupata fursa ya kutembelea viwanda viwili vilivyofufuliwa vya Micronix System LTD kilichopo Manispaa ya Mtwara Mikindani na kingine Wilaya ya Newala.

Akiongea na Mwandishi Wetu, Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara, Bw. Alfred Luanda amesema Mkoa wa Mtwara umebahatika kuwa na Baadhi ya wafanyakazi katika kiwanda cha Micronics System Limited viwanda vikubwa ambavyo vimeleta wakiweka bidhaa ya Korosho iliyobanguliwa kwenye vifungashio kwa neema kwa wakazi wa eneo hilo, na ajili ya kusafirishwa nje ya nchi kwa matumizi kuondoa matatizo mbalimbali ambayo wa Mtwara na wakazi wa wilaya zake za kilimo zinapatikana zinapohitajika. yalikuwa yanawakabili wananchi kupata ajira kwa asilimia kubwa hususan Akitoa ushauri kwa Tanzania kuhusiana wa mikoa ya kusini kwa miaka mingi. wakinamama ambao ni asilimia 95 na zao la korosho Kawath amesema wameajiriwa kwenye viwanda hivyo. kuwa, ili Tanzania iendeelee kuwa Akielezea ufufuaji wa viwanda vya kinara katika korosho inapaswa kubangua korosho katika Mkoa wa Akiongea na muwekezaji wa kiwanda kuendelea kuongeza viwanda vya Mtwara amesema “Mkoa una kila cha kubangua korosho cha Micronics kubangua korosho hapa nchini sababu ya kuishukuru Serikali kwa System LTD kilichopo Newala Bw. badala ya kuuza korosho ghafi kwani mipango mizuri ya ufufuaji wa viwanda Sunil Kawath amesema “Kiwanda inaweza kuzifanya nchi wanazoziuzia vya kubangua korosho. Kwa sasa kilianza kubangua gunia tisa zenye kupanda miti ya korosho na baadaye wakina mama wengi wamepata uzito wa kilo 100, kila siku, lakini kwa kuacha kununua kutoka Tanzania. ajira za uhakika. Pia viwanda sasa tunabangua gunia 150 hadi 160. hivi vimekuwa mfano kwa wale Akielezea faida za korosho na masoko waliovinunua na kuacha kubangua Aidha, korosho ya Tanzania ni bora aliyonayo, Kawath amesema masoko korosho wakidai biashara sio nzuri zaidi duniani na huzalishwa kipindi mengi kwa sasa ni nchini India, Vietnam, na kutoa visingizio, hii imethibitisha ambacho nchi nyingine hazizalishi Falme za kiarabu, Marekani na Kenya. Tanzania ya viwanda inawezekana”. hivyo soko lake ni bora na la uhakika” Kawath amesema anafurahishwa na Aidha, korosho hutumika kutengeneza Nakuhakikishia tangu Serikali ya Awamu ulimaji wa korosho katika maeneo ya chocolate, vinywaji mbalimbali vya ya Tano ilipovalia njuga suala la kufuatilia Mtwara Mji, Newala, Masasi na Tunduru baridi, pia hutumika kutengeneza keki, viwanda hivyo vilivyobinafsishwa na ambapo uzalishaji umeongezeka biskuti na vitafunwa vya aina mbalimbali kuhoji wahusika kutozalisha kama mara dufu. Wakati kiwanda kimeanza ambavyo hupendwa sana duniani. ilivyokusudiwa imesaidia kwa kiasi kufanya kazi uzalishaji ulikuwa kubwa kufufua viwanda vilivyodorora. mdogo, lakini mwaka hadi mwaka Kawath alimalizia kwa kusema uzalishaji unaongezeka. Nina uhakika Kiwanda cha Micronix System LTD, Pia jitihada za Serikali kutafuta wakulima wanapata elimu bora kimeajiri zaidi ya wafanyakazi 1200 wawekezaji ambao wako makini na ya ukulima wa korosho kutoka kwa ambao wanajumuisha viwanda ubanguaji wa korosho umepelekea mji wataalam wetu na pia pembejeo vya Mtwara Mikindani, Newala “Tuunge Mkono Jitihada za Kupinga Rushwa na Ufisadi na TuimarisheLimeandaliwa Uchumi na Idara wa ya Viwanda Habari-MAELEZO kwa Maendeleo Yetu” 16 na Tunduru ambavyo vyote ni vya muwekezaji kutoka nchini India.

Naye mkulima wa korosho katika kijiji cha Kitangiri Mjengo, katika Wilaya ya Newala, Bw Rashid Musa amesema binafsi anamiliki miti 4200 ya korosho ambayo kwa misimu miwili iliyopita aliweza kuvuna zaidi ya tani 104 ambazo zimempatia takribani Shilingi milioni 300 .

“Korosho kwangu ndio kila kitu maana nimefanikiwa kujenga nyumba za wageni sita zenye hadhi, makazi yangu mwenyewe nyumba tatu tofauti na kuwapeleka watoto wangu shule ya Tusiime Jijini Dar- es-salaam na magari kadhaa ya kazi na ya starehe”. alieleza Mussa.

Hata hivyo anaeleza kuwa anaona ana deni kubwa kwa watanzania kwa kuwa nia na madhumuni yake ni kuwa mkulima wa mfano Baadhi ya wafanyakazi katika kiwanda cha aweze kuwafundisha wengine ili waweze kufanikiwa kiuzalishaji kama Micronics System Limited wakifanya uchambuzi yeye.Anasema nidhamu katika wa korosho. kufuata ushauri wa wataalamu wa kilimo na matumizi sahihi wa mazao mengine kama mikunde Bi. Malolo ameishukuru Serikali kwa pembejeo za kilimo yamemsadia ambayo inarutubisha ardhi. Pamoja kumpatia mafunzo mbalimbali ya kumletea mafanikio aliyonayo. na kupata faida ya kuzalisha chakula ukulima wa korosho pamoja na kingine kwenye eneo hilo hilo. kuhudhuria maonesho ya NaneNane Pia aliongeza kuwa pamoja na kulima katika Mikoa ya Lindi, Dodoma, korosho analima mahindi ambayo Naye Mkulima wa kijiji cha Mcholo Bibi Mbeya, Arusha na maonesho ya msimu huu amevuna gunia 100, Halima Malolo amesema “Nina jumla Sabasaba Jijini Dar-es-salaam. njugu mawe gunia 20 , Muhogo tani ya hekari 4 ambazo nalima korosho 10 . Mkulima huyo ana ng’ombe wa na nimeweza kuzalisha tani 4 ambazo “Hii imenisaidia kuwa na uelewa mpana maziwa 20, kuku wa nyama na mayai na zimenipatia kipato cha kuweza wa utafutaji wa Masoko na kuwa na mashine ya kusaga na kukoboa nafaka. kujikimu mimi na familia yangu”. mtandao mzuri wa kuuza korosho Akimalizia maelezo yake Mkulima huyo ninazozalisha”. alimaliza Bi Malolo. amesema kuwa ukulima wa korosho ni Bi Malolo ameongeza kuwa uzalishaji sehemu ya ulinzi wa mazingira kwa kuwa kwa sasa ni mzuri unalipa ila changamoto Akiongea na mmoja wa wafanyakazi Korosho ni mti unaohitaji mvua kiasi, na iliyopo kwa kinamama wazalishaji wa kiwanda cha Micronix System LTD una uwezo wa kuwa kijani bila kupoteza na wabanguaji wadogowadogo ni Bi Rotha Minja ameishukuru Serikali ukijani wake kwa mwaka mzima. kupata mashine za kukaushia korosho ya Awamu ya Tano kwa kufufua ili nao waweze kubangua na kukausha viwanda vya kubangua korosho Aidha, korosho hupunguzwa matawi na kupata masoko ya ndani na nje kwani vimesaidia kwa kiasi kikubwa na kuweza kutumika kama chanzo cha ya nchi ambao wanapenda zaidi kuboresha hali za maisha, ikiwa ni nishati ya kuni , matunda yake kama korosho nyeupe tofauti na za kahawia pamoja na kumudu kuhudumia kinywaji au tunda unaloweza kulila na ambazo zinapendwa na Watanzania. watoto na kuwasomesha wakiwa zaidi hutumika kutengeneza Pombe nadhifu, wameshiba na wenye afya. ambayo ni chanzo kingine cha mapato. Aidha, tunaomba Serikali ya Awamu ya Tano ifikirie kutupatia Pamoja na hayo kiwanda kimetupatia Korosho ina uwezo wa kuwa na kilimo mashine za kukaushia korosho. bima ya afya ya mwaka mmoja mchanganyiko yaani unaweza kulima kila mfanyakazi na familia yake, sisi “Tuunge Mkono Jitihada za Kupinga Rushwa na Ufisadi na 17 TuimarisheLimeandaliwa Uchumi na Idara wa ya Viwanda Habari-MAELEZO kwa Maendeleo Yetu”

tunachangia makato ya mfuko wa Mwekezaji wa Kiwanda cha kubangua korosho cha Micronics System LTD hifadhi ya jamii wa NSSF kwa asilimia kilichopo Newala, Mkoani Mtwara Bw. Sunil Kawath akitoa maelezo kwa Maafisa 10 na muajiri anakatwa asilimia 10. wa Serikali waliotembelea kiwanda hicho hivi karibuni.. kuweka kumbukumbu. Pia, uwasilishaji mkulima fedha yake taslim bila kukopwa. “Isitoshe tunapata chakula cha mchana wa kilo hizo za korosho katika chama hapa kazini kwa kweli kama Tanzania kikuu cha ushirika – MUCOS na kufanya ya viwanda iko hivi tunakila sababu mnada wa wazi ambao unampatia kila ya kumuombea Mhe Rais wetu Mungu ampe maisha marefu azidi kuboresha hali zetu za maisha”. Alieleza Bi Ritha.

Msimu wa kilimo wa mwaka 2015/2016 korosho ghafi ilikuwa ikiuzwa Shilingi 1000 hadi 1200 kwa kilo. Msimu uliofuata wa 2016/2017 korosho ghafi ilipanda bei hadi kufikia 2000 mpaka 3600 kwa kilo na msimu KUTOKA KAMUSI KUU YA KISWAHILI wa mwaka 2017/2018 bei ilipanda zaidi na kufikia Tshs 4000 kwa kilo. KIJUNGUJIKO Mafanikio haya ya zao la korosho hayakuja kwa bahati tu ni pamoja na juhudi za makusudi kabisa Serikali kupambana na wale wote waliokuwa na nia ovu ya kuliharibia zao la korosho. Pamoja kurekebisha baadhi ya mambo yaliyokuwa yanakwamiza zao Mfanyakazi wa Kiwanda cha kubangua korosho cha Micronics System LTD hili ikiwa ni pamoja na upatikanaji wa sehemu ya Mtwara, Mjini Bi. Rotha Minja akieleza namna wanavyofungasha pembejeo kwa wakati, kupokea kilo Korosho iliyobanguliwa kwa ajili ya kusafirishwa nje ya Nchi. za mkulima mmoja mmoja kwa usahihi katika vyama vya ushirika vya msingi na Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO 18 NUKUU YA LEO

KUTOKA KAMUSI KUU YA KISWAHILI KIJUNGUJIKO A. Kiasi au kiwango kidogo cha malipo/fedha ambacho hakitoshelezi mahitaji kwa mwezi

B. Chakula kidogo kinachopikwa na kuishia kuliwa jikoni.

6 “Tuunge Mkono Jitihada za Kupinga Rushwa na Ufisadi na 19 TuimarisheLimeandaliwa Uchumi na Idara wa ya Habari-MAELEZOViwanda kwa Maendeleo Yetu” NCHI YETU KATIKA PICHA

Wataalamu wa ujenzi kutoka kampuni ya Yapi Merkezi Jengo la Hospitali ya kisasa ya Mkoa wa Simiyu ambalo wakiwa wamekamilisha kuweka daraja la kwanza eneo ujenzi wake utakamilika mwaka huu ikiwa ni miongoni la Shaurimoyo, Dar es Salaam ikiwa ni miongoni mwa mwa majengo ambayo yametumia kiasi cha Bil.1. 7 vipande 100 vya madaraja ya juu yatakayoiwezesha treni zilizotolewa na Serikali. ya SGR kupita juu kwa kilometa 2.8 kukwepa muingiliano na magari katikati ya jiji la Dar es Salaam.

Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi akitazama nguo ambazo zimetengenezwa hapa nchini kupitia Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe. Charles uwekezaji chini ya Mamlaka ya Kusimamia Kanda Maalum Mwijage akipata maelezo kutoka kwa Mtafiti Msaidizi wa za Kiuchumi (EPZA) alipotembelea Maonesho ya Kimataifa CAMARTEC, Mhandisi. Noela Byabachwezi kuhusu zana za ya Dar es Salaam hivi karibuni kilimo zinazotengenezwa na kampuni hiyo, alipotembelea Maonesho ya Kimataifa ya Dar es Salaam hivi karibuni Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO 20 NCHI YETU KATIKA HISTORIA

Mabalozi wa Tanzania waliopo nchi za nje Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage wakitembelea kijiji cha cha Kawawa Nyerere (katikati) akishiriki katika uzinduzi wa mbio Mkoani Mtwara ili kuona makazi mapya ya za magari za East Afrika Safari Machi 30, 1972 wananchi, Machi 17, 1969

Wanakijiji cha Ujamaa cha Lulanzi, Iringa wakiwa Hayati Waziri Mkuu, Edward Moringe Sokoine kiwandani wakitengeneza Makoroboi na Ndoo akiongea na wakazi wa kijiji cha Ujamaa na Ulinzi cha Mazinguri Wilaya ya Masasi ambapo aliwaomba kuwa makini na hila za mabepari, Septemba 13, 1977 21 Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO MV Mwanza Mkombozi wa Wananchi Kigongo – Busisi

Kivuko cha MV. Mwanza kikiwa ndani ya Ziwa Victoria, kivuko hicho kitaanza kutoa huduma ya usafiri na usafirishaji wa abiria na mizigo kati ya Kigongo Misungwi na Busisi Sengerema mkoani Mwanza.

Na. Mwandishi Wetu -MAELEZO kulazimika kuvuka upande mmoja wa Kampuni ya Songoro Marine Transport Bwana Salehe Songoro, asi ya uimarishaji wa miundombinu kwenda upande wa pili kwa njia kivuko cha MV Mwanza kitaanza ya usafiri na usafirishaji kwa njia ya maji hivyo kuwepo umuhimu wa K kufanya kazi ya kuvusha abiria kutoka ya maji na utekelezaji wa ahadi kuongezeka kwa vyombo vya usafiri Kigongo wilayani Misungwi kwenda vinazidi kuonekana baada ya majini ili kurahisisha maendeleo ya Busisi - Sengerema kuanzia Julai kukamilika kwa ujenzi wa kivuko kipya wananchi na ukuaji wa uchumi. mwaka huu hatua itakayoondoa adha cha MV Mwanza, Juni Mwaka huu. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John iliyokuwepo katika eneo hilo la Busisi. Ujio wa kivuko hiki ambacho Mongela amepongeza Wakala wa Kivuko cha MV Mwanza kilianza Watanzania wameshuhudia kwa mara Ufundi na Umeme (TAMESA) kwa kuundwa Mwezi Juni, 2016 na Kampuni ya kwanza kikiingia majini kwa majaribio usimamizi mzuri wa mradi wa ujenzi wa ya Songoro Marine Transport ya Jijini ni utekelezaji wa ahadi aliyoitoa Rais Kivuko cha MV Mwanza uliofanywa Mwanza kwa gharama ya shilingi bilioni wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kampuni ya kizalendo ya Songoro 8.9, uwezo wa kubeba abiria zaidi ya Mhe. Dkt John Pombe Magufuli kwa Marine Boatyard Ltd ya Jijini Mwanza na 800, magari 36 na uwezo wa kwenda wananchi wa Mkoa wa Mwanza na kueleza kuwa kukamilika kwa ujenzi wa kasi ukilinganisha na vivuko vingine vitongoji vyake wakati wa kampeni za kivuko hicho kutaondoa changamoto vitatu vilivyopo, MV Sengerema, kugombea kiti cha urais mwaka 2015. za usafiri na usafirishaji si tu kwa wakazi wa eneo la Busisi, bali hata kwa abiria MV Sabasaba na MV Misungwi. Ziwa Victoria ni miongoni mwa wa nchi za maziwa makuu wanaofanya Machi, mwaka 2017 aliyekuwa Waziri maziwa yenye visiwa vingi vidogo shughuli zao kupitia Ziwa Victoria. wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano vidogo ambapo wakazi wake Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mtendaji Prof, alipokuwa Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO 22

Kivuko cha MV. Mwanza kikiwa juu ya mifuko ya hewa kabla ya kushushwa majini akikagua maendeleo ya ujenzi wa ndani ya Ziwa Victoria katika ufukwe wa karakana ya kampuni hiyo Ilemela hivi kivuko cha MV Kazi ambacho pia karibuni Mkoani Mwanza. kimetengenezwa jijini Dar es salam na hata nchi jirani za Rwanda na Burundi. Tuunge mkono juhudi zinazofanywa na Kampuni ya Songoro Marine Transport Serikali kuimarisha huduma za usafiri na kukabidhiwa Machi 12, 2017 alitoa Tanzania ya viwanda yenye uchumi wa na usafirishaji kwa njia ya maji kwa rai TAMESA kushiriki kikamilifu shughuli za kati kufikia mwaka 2025 inawezekana. kutumia miundombinu hii iliyoboreshwa matengenezo ya vivuko ili kupata ujuzi ili kuleta maendeleo yetu na taifa. wa ufungaji wa mifumo kutoka Kampuni zinazotengeneza vivuko vya serikali.

“Hakikisheni mnapata ujuzi kama walionao hawa, hatutaki kutumia fedha za Serikali kwa ajili ya kukarabati au kutengeneza vivuko wakati ninyi TAMESA mpo”, alisema Prof. Mbarawa.

Hatua ya Kampuni ya Songoro Marine Transport kushiriki katika ujenzi wa vivuko mbalimbali hapa nchini inatoa taswira nzuri kwa umma na kuonesha namna ambavyo Serikali ipo tayari kutoa nafasi kwa wazawa kushiriki katika ujenzi wa maendeleo ya nchi yao.

Kuongezeka kwa kivuko cha MV Mwanza ambacho kimetengenezwa kisasa zaidi huku kikiwa na uwezo wa Wananchi wakishuhudia kivuko cha MV. Mwanza kikishushwa majini baada ya kwenda kwa kasi kuliko vivuko vingine ujenzi wake kukamilika ambapo kitaanza kutoa huduma ya kusafirisha mizigo kati vilivyopo eneo la Busisi, kitaongeza ya Kigongo Misungwi na Busisi Sengerema mkoani Mwanza. kwa abiria wa mikoa ya Mwanza kuelekea Geita, Kigoma, Kagera na 23 Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO

Maafisa kutoka DAWASA, wakiangalia sehemu ya mabwawa ikiwa ni harakati za kuweka mfumo wa maji safi katika kambi ya wajenzi, eneo la kuzalisha umeme wa Stiegler’s kwa sasa ‘The Rufiji Hydropower Project (RHPP) wilayani Rufiji mkoani Pwani. Wanaobeza Mradi wa Stieglers Gorge Wapuuzwe

umeme wa stieglers Gorge kwa sasa Na. Mwandishi Wetu - MAELEZO tunapoelekea katika uchumi wa kati unaoshabihishwa na ukuaji wa viwanda ‘The Rufiji Hydropower Project (RHPP), hakuwezi kufanikiwa kama hakuna ni kwamba gharama za matengenezo Kumekuwa na mwendelezo wa umeme wa kutosha na wa uhakika. ya mtambo wa kuzalisha umeme kwa mjadala katika mitandao ya kijamii kutumia gesi kwa mwaka,mfano kituo kuwa mradi wa umeme kwa kutumia Mosi, wanaobeza juhudi hizi hawajui kimoja tu cha Kinyerezi I ni Shilingi bilioni maji unaotarajiwa kuanza kujengwa kwamba mataifa makubwa duniani 15, wakati gharama za matengenezo katika kipindi hiki cha Serikali ya pia yanategemea uzalishaji wa ya kituo cha kuzalisha umeme kwa njia Awamu ya Tano hauna tija wala nishati ya umeme kwa kutumia maji. ya maji cha kidatu ni Shilingi bilioni 2.5 hauna manufaa kwa watanzania. tu kwa mwaka, kwa hali ya kawaida Pili uzalishaji wa umeme kwa kutumia na kwa mtanzania hata asiye na Hoja hii mufilisi ambayo kwa kiasi maji ndio pekee unaozifanya nchi za elimu ni kipi rahisi kati ya hivyo viwili?. kikubwa imebebwa na wanasiasa Scandinavia kuzalisha umeme mwingi uchwara ambao wamekosa hoja, na wa uhakika ambao wanaweza Kwa mujibu wa wataalam wa masuala inalenga kuwaaminisha wananchi pia kuwauzia nchi majirani tena ya umeme uzalishaji wa umeme kwa kuwa kila kinachofanyika na Serikali kwa bei nafuu kabisa, japo wana kutumia gesi unahitaji fedha nyingi za ya Rais Magufuli hakilengi kuinua vyanzo vingine vya umeme kama matengenezo kwenye mitambo yake maisha yao kama adhma ya Serikali umemejua, upepo na kadhalika. kwa kuwa mitambo yake huchemka kabla ya uchaguzi ilivyokusudia. sana kwa zaidi ya digrii 2000 hivyo kuhitaji Kwa taarifa ya wanaobeza mradi wa matengenezo ya mara kwa mara lakini Kufilisika kwa hoja kwa wanasiasa hasa Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO 24

wa umeme. Mfano ukitegemea umeme wa upepo siku kusipokuwepo na upepo ina maana hakutakuwa na umeme. Pia ukitegemea umeme wa jua siku kama hakuna jua ama mvua imenyesha mfululizo kwa wiki nzima inamaana hakutakuwa na umeme.

Ni vyema wale wanaobeza uanzishwaji wa mradi huu kwa kudandia hoja bila kufanya utafiti wa kina basi waelewe kuwa mradi huu ni muhimu sana kwa taifa hasa tunapoelekea katika Tanzania ya viwanda.

Pia mradi huu haukuibuka tu katika awamu hii ya uongozi wa Rais Magufuli, kwa mara ya kwanza mradi uliibuliwa mwaka 1980 na wataalam waliofanya utafiti na upembuzi yakinifu wakati ule walieleza kwenye taarifa zao kwamba mradi huo hauna athari zozote za kimazingira. Sehemu ya Bwawa ambalo DAWASA wamejenga kwa ajili ya kuweka mfumo wa maji safi katika kambi ya wajenzi eneo la kuzalisha umeme wa Stiegler’s kwa sasa Mradi haukuanza katika miaka ile ‘The Rufiji Hydropower Project (RHPP). kwa kukosekana kwa fedha lakini kwa sasa fedha za kutekeleza mradi huo zipo na nia ya dhati ipo hivyo uungwe mkono ili tusonge mbele. pia kuhitaji kubadilisha vifaa kila baada Kwa ufafanuzi huo ni wazi kuwa ya muda flani, hii ni tofauti na matumizi umuhimu wa mradi wa Rufiji Hydropower ya maji ambapo mtambo wa kuzalisha Project ni mkubwa tunapoelekea wanaobeza umeme huchemka kwa digrii 50 tu Tanzania ya viwanda na hii ni kutokana hivyo kutohitaji matengenezo ya mara na ukweli kwamba vyanzo vingine juhudi hizi hawajui kwa mara na yenye gharama kubwa. vya umeme sio vya uhakika sana kwamba mataifa kutokana na mifumo yake ya uzalishaji makubwa duniani pia yanategemea uzalishaji wa nishati ya umeme kwa kutumia maji.

Kipimo cha kupimia kina cha maji (water gauge) katika sehemu ya Mto Rufiji uliopo katika wilaya ya Rufiji mkoani Pwani, utakapojengwa mradi wa Stieglers Gorge wa kuzalisha umeme kwa kutumia nguvu za maji (The Rufiji Hydropower Project -RHPP) ambao utazalisha umeme wa Megawati 2100 . 25 Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO Serikali Yasisitiza Matumizi ya Nishati Mbadala Kuhifadhi Mazingira

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Bw. Leonard Kushoka (wa pili kulia) mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 300 mara baada ya kuibuka mshindi wa shindano la teknolojia ya nishati mbadala wa mkaa mwaka 2018, wengine pichani ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba (mwenye suti ya bluu) na Mwenyekiti Mkazi wa Kampuni ya Shell Bw. Axel Knospe.

maadhimisho ya siku ya Mazingira kupunguza uharibifu wa misitu yetu,” duniani iliyofanyika Juni 5 mwaka huu. alisema Mheshimiwa Majaliwa. Na. Fatma Salum - MAELEZO Mheshimiwa Majaliwa aliziagiza Kwa upande wake Waziri wa Nchi Serikali imewasisitiza wananchi na Wizara na Taasisi zote za Serikali Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano Taasisi za Serikali kuacha matumizi ambazo zinatumia mkaa kama na Mazingira), January Makamba, ya mkaa na badala yake watumie nishati kuacha mara moja na badala alisema kuwa maadhimisho hayo nishati mbadala ili kuepuka yake zitumie nishati mbadala ili kitaifa yalifanyika Jijini Dar es Salaam changamoto za uharibifu mkubwa kupunguza uharibifu mkubwa wa kwa lengo la kuwapa fursa wananchi wa mazingira unaoendelea nchini mazingira unaoendelea hapa nchini. wa Jiji la Dar es Salaam kuelimishwa nzima kutokana na matumizi ya mkaa. na kuhamasishwa kupambana na “Baadhi ya Taasisi za Serikali changamoto za uharibifu wa mazingira Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano kama Magereza, Jeshi, shule na unaolikumba jiji hilo, ikiwemo mafuriko, wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa hospitali zinaongoza kwa matumizi uchafuzi wa mazingira utokanao na aliyasema hayo hivi karibuni wakati makubwa ya mkaa na kuni kwenye plastiki, kubomoka kwa kuta za fukwe akizindua Wiki ya Mazingira katika kupikia, hivyo naziagiza taasisi hizo za Bahari ya Hindi pamoja na utumiaji Viwanja vya Mnazi Mmoja, Jijini kuacha kutumia kuni na mkaa ili wa kiasi kikubwa cha nishati ya mkaa. Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO 26

Waziri Makamba alieleza kuwa uharibifu wa misitu unasababisha kuwepo kwa changamoto nyingine za mazingira kama vile ukame, majangwa, uharibifu wa ardhi, upotevu wa mimea asilia, upotevu wa viumbe hai mbalimbali, upungufu wa upatikanaji wa maji na upungufu wa uzalishaji kwenye kilimo.

Aidha Waziri Makamba alitoa wito kwa mikoa mingine nchini kushiriki kikamilifu katika utunzaji wa mazingira kwa kuhamasishana, kelimishana masuala yanayohusu hifadhi ya mazingira.

Tarehe 5 Juni, 2018 watanzania waliungana na nchi nyingine duniani kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani.

Maadhimisho ya Siku ya Mazingira yaliamuliwa mwaka 1972, katika mji wa Stockholm nchini Sweden, Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi kwenye mkutano wa kwanza wa Mtendaji wa Kampuni ya Space Engineering Limited, Bw. Philip Mtui kuhusu mkaa Umoja wa Mataifa uliohusu Mazingira. uliotengenezwa kutokana na takataka na kufungashwa kwenye kiroba tayari kwa kuuzwa wakati alipotembelea banda la Kampuni hiyo kabla ya kuzindua Wiki ya Mazingira kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam, Mei 31, 2018. Mwaka huu maadhimisho hayo Katikati ni Mkuu wa mkoa wa Pwani Mhandisi, Evarest Ndikilo. kimataifa yalifanyika nchini India katika mji wa New Delhi. Kauli mbiu Waziri Makamba alieleza kuwa katika miji mikubwa ikiwemo Dar es ya maadhimisho hayo kimataifa matumizi makubwa ya mkaa hayapo Salaam, ambako wastani wa tani ni “Beat Plastic Pollution” ambayo tu katika Jiji la Dar es Salaam bali 500,000 za mkaa hutumiwa kila mwaka. inahimiza jamii kuepuka uchafuzi pia katika maeneo mengine ya wa mazingira utokanao na plastiki. nchi, hivyo kutokana na matumizi makubwa ya nishati hiyo, kaulimbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni; “Mkaa Gharama; Tumia Nishati Mbadala”.

“Nasisitiza kuwa sote tuna jukumu la kuanza kubadilika kutoka kwenye matumizi ya mkaa na kuanza kutumia nishati mbadala wa mkaa.

Tukumbuke kwamba suala la kuhifadhi mazingira ni jukumu letu sote na tunapaswa kulitekeleza kwa vitendo,”alisema Makamba.

Alibainisha kuwa takwimu zinaonyesha kwamba mpaka mwaka 2017 kiasi cha hekta 46,942 za misitu huharibiwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, (Muungano na Mazingira), Mhe. January kila mwaka kwa ajili ya kupata mkaa Makamba akipata maelezo juu ya hatua mbalimbali za uzalishaji wa nishati mbadala kutoka kwa Bw. Leonard Kushoka. ambapo matumizi makubwa yako 27 Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO

Tanzania Yatangaza Fursa Zake za Uwekezaji Ughaibuni

Sehemu ya washiriki wa kongamano la Biashara na Uwekezaji kati ya Ujerumani na Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wakifuatilia mawasilisho ya mada ya juu ya hali ya uchumi kwa nchi za Afrika Mashariki

Na. Immaculate Makilika na Latifa Kigoda-MAELEZO kuwekeza nchini, ambapo pia walipata fursa ya kuwasilisha changamoto uwekezaji nchini ili kuvutia wawekezaji anzania ni kati ya nchi chache wanazokabiliana nazo katika kutoka maeneo mbalimbali duniani Tulimwenguni ambazo zimejaliwa mazingira ya uwekezaji hapa nchini. kuja kuwekeza, Mkurugenzi Mtendaji kuwa na raslimali za kila aina kama vile huyo wa TIC, aliendelea na kufanya madini ya aina mbalimbali yakiwemo Waziri Mahiga amewataka watanzania mikutano hiyo katika nchi za Uholanzi Tanzanite ambayo hupatikana waishio nje kuja kuchangamkia na Ujerumani ambapo amesaini Tanzania pekee, nishati kama vile gesi fursa za uwekezaji, “ fursa zilizopo makubaliano ya ushirikiano na Taasisi asilia, vivutio vya utalii ikiwemo Mlima Tanzania hazihitaji kusubiri mabadiliko ya Biashara za Kimataifa ya Uholanzi Kilimanjaro ambao ni mrefu kuliko yote ya Katiba Mpya ili kuzipata, muda (DCIB) pamoja na kufanya mkutano barani Afrika, pamoja na mbuga za ni sasa wa kuingia katika ubia wa na baadhi ya wafanyabiashara wa wanyama za Serengeti, Ngorongoro, kibiashara, kuwekeza katika sekta taifa hilo wenye nia ya kuja kuwekeza Manyara, Mikumi na nyinginezo. zenye fursa ikiwemo kilimo na katika sekta mbalimbali ikiwa ni uwekezaji wa viwanda unaoendelea pamoja na mafuta, gesi, kilimo, Ili kuhakikisha utajiri huo unatumika kwa sasa” alieleza Waziri Mahiga. afya, usafirishaji, viwanda, fedha, vizuri kwa manufaa ya taifa, mapema mazingira, nishati na mawasiliano. mwezi huu, Waziri wa Mambo ya Nje Aidha, katika mkutano huo Mkurugenzi na Ushirikianio wa Afrika Mashariki Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Makubaliano hayo yatakayodumu Balozi Dkt.Augustine Mahiga, Balozi Tanzania Geoffrey Mwambe, kwa kipindi cha miaka mitano yana wa Tanzania nchini Sweden Dkt. aliwasilisha mada iliyoeleza kuhusu malengo ya kubadilishana taarifa Wilbroad Silaa, Mkurugenzi Mtendaji fursa za uwekezaji na mahitaji ya za fursa na mazingira ya uwekezaji, wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania vipaumbele vya Taifa, huku akisisitiza kuratibu ujio wa wafanyabiashara (TIC) Bw. Geoffrey Mwambe pamoja Tanzania ni tajiri kuliko nchi nyingine wa Uholanzi kuja kuwekeza pamoja na Mkurugenzi Mtendaji Shirika la duniani, hasa katika maeneo ya na kufanya biashara nchini, pia Utangazaji la Taifa Dkt. Ayoub Rioba raslimali ikiwemo ardhi yenye rutuba, Watanzania kwenda Uholanzi. wameshiriki katika mkutano wa fursa lakini pia inashika nafasi ya saba kwa Halikadhalika, kukijengea uwezo za uwekezaji Tanzania uliofanyika vivutio barani Afrika, sambamba na Kituo cha Uwekezaji kufanya kazi huko Stockholm nchini Sweden. kuwa na mazingira yanayovutia. zake za kutafiti, kuhamasisha na kufanikisha uwekezaji na kukuza Lengo la mkutano huo likiwa ni kuwataka Aidha, katika kuendeleza mkakati sekta binafsi ya Tanzania hususan wanadiaspora na wageni kuja huo wa serikali wa kutangaza fursa za Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO 28 wawekezaji wa ndani na wajasiriamali kupitia mafunzo mbalimbali.

Katika hatua nyingine, Mwambe aliwahakikishia wawekezaji wa kutoka nchini Ujerumani na duniani kwa ujumla kuwa Tanzania ni nchi yenye fursa nyingi na mahali salama kwa uwekezaji ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki na Afrika, hivyo wawekezaji wenye mitaji na teknolojia wanakaribishwa kuja kuwekeza kwenye sekta mbalimbali ambazo kwa sasa ni kipaumbele cha Taifa hususan eneo la viwanda, kilimo, madini, mifugo, uvuvi, miundombinu, uzalishaji na usambazaji umeme na miundombinu kwa ujumla.

Naye mwakilishi wa Benki ya Stanbic kwa Kanda ya Afrika Mashariki Bw. Jibran Qureishi ameeleza kuwa kwa sasa Tanzania inafanya vizuri katika masuala ya kiuchumi ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla. Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Bw. Geoffrey Matokeo hayo chanya ni kutokana na Mwambe, (kulia waliokaa) na Mwenyekiti wa Taasisi ya Biashara za Kimataifa ya uongozi mahiri wa Mheshimiwa Rais Uholanzi (DCIB), Bw. Hans Biesheuvel (Kushoto waliokaa) wakisaini makubaliano Dkt. John Pombe Magufuli aliyeanzisha ya ushirikiano. vita ya kupambana na rushwa na kuwa ni ya kuzalisha umeme wa kupunguza urasimu kwa lengo la Stiegler’s Gorge, ujenzi wa reli ya Hivyo ni vyema watanzania kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji. kisasa pamoja na upanuzi wa bandari. wakaendelea kudumisha amani iliyopo Bw. Qureishi alisema kuwa “Tanzania Hakuna shaka kuwa, mtaji mkubwa sambamba na kukuza matumizi ya ina nafasi kubwa ya kuendelea kufanya na jambo adhimu linavutia kuja lugha hii adhimu ambayo ni ya pili kwa vizuri zaidi katika nyanja ya uchumi kuwekeza nchini Tanzania ni uwepo kuwa na wazungumzaji wengi barani na kwa miaka ya hivi karibuni baada wa amani na matumizi ya lugha ya Afrika, huku ikiwa lugha ya 10 kwa kuwa ya kukamilika kwa miradi mikubwa ya Kiswahili ni kati ya nyenzo muhimu na wazungumzaji wengi zaidi duniani maendeleo inayotekelezwa na Serikali zitakazotumika kulifikisha Taifa hili ambapo inakadiriwa kuzungumzwa na kwa kutumia rasilimali za ndani na sio katika uchumi wa kati ifikapo 2025 watu takribani milioni 200 duniani kote. mikopo kama ilivyokuwa imezoeleka”. na kulipatia maendeleo zaidi. Huku akitaja baadhi ya miradi hiyo 29 Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO Mfumo wa TEHAMA Waboresha Huduma za Jamii vituo vya kazi yaani POA,kutasaidia kuondoa malalamiko ya kukosekana kwa uwiano wa watumishi kati ya kituo kiomoja na kingine katika halmashauri zetu hapa nchini.

Akizungumza jijini Mbeya wakati wa mafunzo ya matumizi ya mifumo ya WISN na POA kwa Watumishi wa Sekta ya Afya, Utawala na Serikali za Mitaa, Mkuu wa Timu ya Mifumo ya Rasilimali Watu kutoka Mradi wa Kuimarisha Mifumo ya Sekta za Umma (PS3), Dkt. Josephine Kimaro, amesema kuwa lengo la mifumo hiyo ni kusaidia kuboresha huduma zinazotolewa kwa wananchi kupitia vituo vya kutolea huduma za afya.

Akifafanua, Dkt. Kimaro amesema kuwa Ofisi ya Rais- TAMISEMIkwa kushirikiana na mradi wa PS3 wanafanya kazi yakuhakikisha watumishi katika sekta ya afya wanapelekwa kwenye maeneo yenye uhitaji, ili kuongeza ubora wa huduma zinazotolewa kwa kuzingatia dhamira ya Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa Afisa TEHAMA, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), na Rais Dkt. John Pombe Magufuli. Bw. Robert Dudu akiwaelekeza Maafisa TEHAMA kutoka Halmashauri za Mikoa ya Dodoma, Singida, Arusha, Shinyanga, Kigoma na Manyara namna mfumo mpya wa malipo (epicor 10.2) unavyofanya kazi, hivi karibuni Jijini Dodoma. Kwa upande wake Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali kuwahudumia wananchi wanyonge watu mkoa wa Mbeya, Bw. Marko Na. Frank Mvungi - MAELEZO hasa katika maeneo ya vijijini. Ili Masaya, amesema kuwa mifumo hiyo huduma hiyo itolewe kwa ufanisi imekuja wakati muafaka na itasaidia anzania imepata mafanikio watendaji wote wanalazimika kutumia kurahisisha uandaaji wa mipango ya makubwa katika kutoa huduma za T mifumo ya TEHAMA kwa ajili ya ajira kwa watumishi wapya kulingana jamii kwa kutumia mifumo ya TEHAMA mawasiliano na ukusanyaji wa mapato. na mahitaji, na kubainisha maeneo iliyoko katika Mamlaka za Serikali za Mitaa watakapopelekwa baada ya kuajiriwa. Ni dhahiri kwamba mabilioni ya shilingi Hatua ya kuimarishwa kwa mifumo ya yanayotumika kila mwezi kugharamia “Mifumo hii inaongea, hali Teknolojia ya Habari na Mawasiliano elimu bure na pia katika kununua itakayosadia kubainisha uwiano wa (TEHAMA) katika mamlaka hizo ni madawa kwa ajili ya hosipitali, vituo majukumu kati ya mtumishi mmoja chachu katika utoaji wa huduma vya afya na Zahanati, yanatokana na na mwingine katika vituo vya kutolea bora za jamii kama vile afya, elimu na matumizi mazuri ya mifumo madhubuti huduma, hivyo tutabaini watumishi hata ukusanyaji wa mapato ambapo ya TEHAMA. Huduma hizo ni ishara ya wanatekeleza majukumu mengi kwa sasa wigo wake umepanuka wazi katika kusimamia rasilimali zilizopo zaidi kuliko inavyotakiwa ili tuweze zaidi kuliko ilivyokuwa awali kabla kwa maslahi ya wananchi wanyonge kuongeza watumishi wengine ya kuwepo kwa mifumo huo. katika eneo hilo,” alisisitiza Masaya Hapana shaka kuwa kuimarishwa Akieleza zaidi, amesema kuwa moja ya Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano kwa mifumo kama ule wa kubainisha hatua zitakazochukuliwa ili kuhakikisha Dkt. John Pombe Magufuli mara mahitaji ya watumishi katika vituo vya kuwa mifumo hiyo inaleta matokeo nyingi amekuwa akipambanua kutolea huduma za afya (WISN) na chanya,mkoa huo utaongeza kuwa Serikali yake imejikita katika ule unaotumika katika kuwapangia Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO 30

usimamizi kwa watoa huduma katika sambamba na kuendeshwa kwa ya dhati ya kushirikiana na wadau kama vituo vya kutolea huduma ili takwimu mafunzo kwa watumiaji wa mifumo mradi wa uimarishaji mifumo katika zinazokusanywa kupitia mifumo hiyo wa sekta zote husika ikiwemo sekta za umma (PS3) kuimarisha mifumo ziwe halisi na hivyo kusaidia katika wahasibu, wagavi, waweka hazina, mingine kama Epicor 10.2 iliyoboreshwa kuimarisha huduma kwa wananchi. maafisa Tehama, waganga wakuu hali itakayosaidia halmashauri na wa wilaya, watunza kumbukumbu mikoa kutekeleza dhana ya uwazi Dhamira yangu si kuchambua mifumo za afya na makatibu wa afya. na uwajibikaji kwa wananchi. hii bali kuonesha kinaga ubaga jinsi Serikali ya awamu ya Tano ilivyojikita Mafunzo hayo yanaendeshwa na Ofisi Nae Mkuu wa Timu ya Mifumo ya katika kuwahudumia wananchi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali TEHAMA kutoka PS3, Bw. Desderi wanyonge kwa kuweka mifumo za Mitaa (TAMISEMI) kwa ufadhili wa Wangaa alieleza “Faida za mifumo imara na inayoendana na mahitaji Serikali ya Marekani kupitia Shirika la hii ni pamoja na kuongeza uwazi na na changamoto zinazowakabili Maendeleo ya Kimataifa la Marekani uwajibikaji katika mamlaka za serikali wananchi katika maeneo ya (USAID) na kutekelezwa kupitia mradi za mitaa ambapo wananchi sasa kutolea huduma hasa za afya. wa uimarishaji wa mifumo ya sekta wanaweza kushiriki kikamilifu katika za umma (PS3). Mradi huu ni wa kusimamia rasilimali fedha zinazotolewa Kuwepo kwa uwiano wa watumishi miaka mitano na unatekelezwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo”. kutokana na uwepo wa mifumo ya katika mikoa 13 ya Tanzania bara. WISN na POA katika vituo vya Afya si Kupitia mifumo kama PlanRep Serikali tu kutaboresha huduma zinazotolewa Akizungumza katika mahojiano inatumia gharama ndogo katika bali ni chachu kwa Taifa letu kukuza maalum jijini Mbeya mkurugenzi wa kuandaa mipango na bajeti na uchumi na ustawi wa watu wake, lengo TEHAMA kutoka Ofisi ya Rais - TAMISEMI utoaji wa ripoti katika halmashuri zote au azma ya kuwa na wananchi wenye Bw. Erick Kitali alibainisha kuwa,moja hapa nchini. Kazi zote zinazofanyika afya bora liliasisiwa na Serikali ya ya mambo makubwa yanayopaswa katika halmashuri na mikoa hutumia Awamu ya kwanza chini ya Mwalimu kuzingatiwa na kusisitizwa ni swala la mfumo huu katika kuwasilisha bajeti Julius Kamnbarage Nyerere ambaye uzalendo kwa watumiaji wa mifumo na mipango Ofisi ya Rais TAMISEMI. alijipambanua katika kupigana na hii katika kuwahudumia wananchi. maadui maradhi, ujinga na umasikini. Kujengwa kwa mifumo hii kumeenda Amesema Serikali imeonesha dhamira

PONGEZI KWA RAIS, DKT. JOHN POMBE MAGUFULI 31 Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO

rutuba. Hivyo tukijikita katika matumizi sahihi ya rasilimali maji na tekinolojia ya umwagiliaji tutazalisha kwa tija mazao ya chakula na biashara, malisho ya mifugo na samaki”. Alieleza Rais Magufuli.

Alisema Uwepo wa Programu ya ASDP II ni kielelezo tosha kuwa Tanzania imeazimia kuzalisha kwa wingi kwa kuwa na watu zaidi ya milioni 50, ikilinganishwa na milioni 10 iliyokuwepo mara baada ya uhuru. Ambapo asilimia 70 ya idadi ya watu hivi sasa huishi kwa kutegemea kilimo cha mazao, ufugaji na uvuvi.

Alikielezea kilimo kama uti wa mgongo wa Taifa letu na kinachangia ukuaji wa uchumi kwa takriban asilimia 3.7 na kwamba Programu hiyo imelenga kutumia ipasavyo rasilimali maji na kujikita katika ujenzi wa miundombinu na matumizi ya teknolojia ya umwagiliaji ambayo itazalisha kwa tija mazao mbalimbali, pia programu itakuja na mbinu za hifadhi maji yatokanayo na mvua kwa ajili ya uzalishaji.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt akisisitiza Kulingana na takwimu alizozitoa jambo kwa wadau wa sekta ya kilimo wakati wa uzinduzi wa Program ya Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo Awamu ya Pili (ASDP II) hivi karibuni jijini Dar es Taifa ya Umwagiliaji Mhandisi, Dkt. Salaam. Eliakimu Chitutu, Tanzania kwa sasa ina ufanisi wa matumizi ya maji ulioongezeka kutoka asilimia 30 hadi ASDP II Mkombozi Sekta ya asilimia 60 kwa kila msimu mmoja. Aidha mpaka sasa kuna miradi Kilimo na Ufugaji 2,947 ya umwagiliaji nchi nzima”. Hata hivyo, Rais Magufuli alieleza “Tanzania imebahatika kuwa na kutoridhishwa na kiwango hicho cha vyanzo vingi vya maji kama maziwa, Na. Judith Mhina - MAELEZO umwagiliaji na kuhimiza uanzishwaji na mito, mabwawa, na ardhi nzuri yenye uendelezwaji wa kilimo cha mazao, Hivi karibuni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli alizindua Programu ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo Awamu ya Pili (ASDP II) iliyoanza mwaka wa fedha 2017-2018 na itamalizika mwaka 2027- 2028.

Akizindua Programu hiyo, Rais Magufuli alisema kuwa, Programu hiyo ikifanya vema katika matumizi ya rasilimali maji, kujenga miundombinu na matumizi endelevu ya tekinolojia ya umwagiliaji, itawanufaisha wakulima na kuvutia wengi kuingia katika uzalishaji na kuongeza kasi ya uanzishwaji wa viwanda Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli akionesha vitakavyotoa ajira hasa kundi la vijana. kitabu cha Program ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo Awamu ya Pili (ASDP II) kwa wadau wa sekta ya kilimo (hawapo pichani) mara baada ya kuzindua program hiyo hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO 32

ufugaji wa samaki, n.k Kati ya miradi hiyo, kuna ambayo ipo kwenye hali nzuri na mingine inahitaji ukarabati. Naye Afisa Mawasiliano wa Programu ya ASDP II Bi Happy Mlaki amesema kuwa progranu itatekelezwa katika mikoa na wilaya zote za Tanzania Bara ambapo inakusudia kuwafikia wakulima wengi zaidi kulingana na miradi yenye mahitaji katika maeneo yao.

Wito wa Rais Magufuli kwa wale wote watakaohusika katika utekelezaji wa Programu hii, ni kuzingatia thamani ya fedha kwa kila kazi itakayofanyika. Pia kuhakikisha shughuli za kiutawala haziwi na matumizi makubwa ya fedha ikilinganishwa na makusudio matatu ya awali yaliyoainishwa katika Programu hiyo.

Akielezea mchango wa uzalishaji wa chakula, Waziri wa Kilimo, Dkt. amethibitisha kuwa Tanzania inakusudia kuwa ghala kuu la chakula barani Afrika kwa kuwa kwa miaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli akimkabidhi miwili mfululizo imeweza kuzalisha kwa Rais Mstaafu wa Serikali ya awamu ya pili, Dkt. , nakala ya asilimia 120 msimu wa mwaka 2016 na programu ya kuendeleza kilimo awamu ya pili (ASDP II) mara baada ya uzinduzi asilimia 123 msimu wa mwaka 2017, wa program hiyo hivi karibuni jijini Dar es Salaam. pamoja na soko la uhakika la Afrika malisho ya mifugo na ufugaji wa samaki. umwagiliaji endelevu. Hadi kufikia takriban watu milioni 300 kwa sasa. Teknolojia hii ya umwagiliaji itafanikisha Februari 2017 hekta zaidi ya 400,000 kuzalisha kwa tija na kupelekea kupata sawa na asilimia 1.6 la eneo lote masoko ya ndani na kuhimili soko la nje linalofaa kwa umwagiliaji lilifikiwa”. lenye mahitaji makubwa wakati wote. Akionyesha mafanikio ya tekinolojia Uzalishaji wa aina hii utaifanya nchi ya umwagiliaji Chitutu alisema kuwa na uhakika wa usalama wa kilimo cha Umwagiliaji kimechangia chakula na kuzalisha kwa ubora ongezeko la mpunga kutoka tani unaotakiwa kitaifa na kimataifa. Aidha, mbili, mpaka kufikia tani 5. Mahindi viwanda vitaongezeka kwa kuwa uzalishaji kutoka tani 3.7 mpaka malighafi za mazao zinapatikana, kufikia tani tano kwa hekta moja. Tukiwa na matumizi ya rasilimali maji, kujenga wakulima watapata malipo mazuri na “ kuwavutia vijana kuingia katika sekta Uzalishaji wa vitunguu umeongezeka miundombinu na ya kilimo na kupata ajira viwandani. kutoka tani 13 hadi tani 26 kwa hekta. matumizi endelevu ya Uzalishaji wa nyanya umeongezeka tekinolojia ya umwagiliaji, Alisisitiza kuwa teknolojia ya umwagiliaji kutoka tani tano hadi tani 18 kwa hekta. itasaidia kuwanufaisha ni muhimu kwa kuwa nchi itaepuka wakulima na kuwavutia uzalishaji wa msimu wa mvua tu, ambao Kwa sasa eneo la uzalishaji la mazao kuingia katika uzalishaji hauna nafasi katika soko la kimataifa. ya umwagiliaji ni hekta 450,000 na kuongeza kasi ya Pia, ASDP II imebuni na kutafuta ambapo ASDP II imekusudia kufikia uanzishwaji wa viwanda mbinu zaidi zitakazoweza kukabiliana 600,000 mwaka 2028, na ifikapo 2030 vitakavyotoa ajira na majanga mbalimbali kama vile lengo ni Kuongeza eneo la umwagiliaji hasa kundi la vijana. mafuriko, maporomoko ya udongo, mpaka kufikia hekta milioni moja. ukame, magonjwa na dhoruba nyingine za kimazingira ili kuhimili na kuweza Programu ya ASDP I ilianza mwaka wa Rais Dkt. Magufuli kuzalisha hata nyakati hizo ngumu. fedha 2006/2007 na kukamilika mwaka Akifafanua maeneo yaliyoainishwa 2012/2013, Kwa kujenga jumla ya kuwa yanafaa kwa umwagiliaji Chitutu miradi 241 ya umwagiliaji litekelezwa amesema “kuna Jumla ya hekta kwa kulima mazao ya mpunga, miwa, milioni 294 kwa ajili ya kuendeleza zabibu, kilimo cha mpunga mseto na LIMEANDALIWA NA

Idara ya Habari-MAELEZO S.L.P 25 Dodoma-Tanzania Simu : (+255) 22 -2122771 Baruapepe:[email protected] Tovuti: www.maelezo.go.tz Blogu: blog.maelezo.go.tz

@TZMsemajiMkuu Msemaji Mkuu wa Serikali MaelezoTv