Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE _________________ MKUTANO WA KUMI NA NANE Kikao cha Kumi na Tatu – Tarehe 10 Februari, 2010 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI (MHE. OMAR YUSSUF MZEE): Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Benki ya Posta Tanzania, kwa Mwaka 2008 [The Annual Report and Accounts of The Tanzania Postal Bank for the Year 2008]. The Mid-Term Review of the Monetary Policy Statement of The Bank of Tanzania for the Year 2009/2010. MWENYEKITI WA KAMATI YA NISHATI NA MADINI: Taarifa ya Kamati ya Nishati na Madini juu ya Taarifa ya Serikali Kuhusu Ubinafsishwaji wa Mgodi wa Kiwira. Taarifa ya Kamati ya Nishati na Madini Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelezaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Mchakato wa Zabuni ya Kuzalisha Umeme wa Dharura Ulioipa Ushindi Kampuni ya Richmond Development Company LLC. Houston Texas - Marekani Mwaka 2006. MWENYEKITI WA KAMATI YA MIUNDOMBINU: Taarifa ya Kamati ya Miundombinu Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelzaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Uendeshaji Usioridhisha wa Shirika la Reli Tanzania uliofanywa na Kampuni ya RITES ya India. 1 Taarifa ya Kamati ya Miundombinu Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelezaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Utendaji wa Kazi Usioridhisha wa Kampuni ya TICTS. MASWALI NA MAJIBU Na. 145 Usimamizi wa Ukaguzi wa Fedha za Halmashauri MHE. HERBERT J. MNTANGI aliuliza:- Kwa kuwa, kiasi cha fedha kinachopelekwa katika Halmashauri za Wilaya, Manispaa na Jiji ni kikubwa na kinahitaji usimamizi wa ziada:- Kwa kuwa kitengo cha ukaguzi wa ndani kipo chini ya Mkurugenzi Mtendaji. -
Bspeech 2008-09
HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA, MHESHIMIWA STEPHEN MASATO WASIRA (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA KWA MWAKA 2008/2009 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu baada ya kuzingatia taarifa iliyowasilishwa hapa Bungeni leo na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kilimo Mifugo na Maji inayohusu Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika, sasa lijadili na kukubali kupitisha makadirio ya Matumizi ya Kawaida na ya Maendeleo ya Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika kwa mwaka wa Fedha wa 2008/2009. 2. Mheshimiwa Spika, awali ya yote nitumie fursa hii kuungana na Watanzania wenzangu kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuchaguliwa kwake kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika. Kuchaguliwa kwake, na mchango wake alioutoa tangu kuchaguliwa kwake kuwa Mwenyekiti wa Umoja huo umelijengea Taifa letu heshima kubwa katika medani ya kimataifa. Aidha, uongozi wake na juhudi zake za kupambana na maovu katika jamii yetu, licha ya kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa ajili ya Uchaguzi wa Mwaka 2005 ni kielelezo dhahiri kuwa ni kiongozi anayejali haki na maendeleo ya nchi yetu. Juhudi zake hizo zimedhihirisha uwezo wake mkubwa wa kuongoza na utumishi wake uliotukuka aliouonyesha katika nyadhifa mbali mbali alizowahi kushika katika Serikali na Chama cha Mapinduzi. Wananchi wanaendelea kuwa na imani na matumaini makubwa kwa uwezo wake katika kuliongoza Taifa letu. 1 3. Mheshimiwa Spika, nitumie fursa hii pia kumpongeza Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda (MB) kwa kuteuliwa kwake kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. -
Tanzania Human Rights Report 2008
Legal and Human Rights Centre Tanzania Human Rights Report 2008: Progress through Human Rights Funded By; Embassy of Finland Embassy of Norway Embassy of Sweden Ford Foundation Oxfam-Novib Trocaire Foundation for Civil Society i Tanzania Human Rights Report 2008 Editorial Board Francis Kiwanga (Adv.) Helen Kijo-Bisimba Prof. Chris Maina Peter Richard Shilamba Harold Sungusia Rodrick Maro Felista Mauya Researchers Godfrey Mpandikizi Stephen Axwesso Laetitia Petro Writers Clarence Kipobota Sarah Louw Publisher Legal and Human Rights Centre LHRC, April 2009 ISBN: 978-9987-432-74-5 ii Acknowledgements We would like to recognize the immense contribution of several individuals, institutions, governmental departments, and non-governmental organisations. The information they provided to us was invaluable to the preparation of this report. We are also grateful for the great work done by LHRC employees Laetitia Petro, Richard Shilamba, Godfrey Mpandikizi, Stephen Axwesso, Mashauri Jeremiah, Ally Mwashongo, Abuu Adballah and Charles Luther who facilitated the distribution, collection and analysis of information gathered from different areas of Tanzania. Our 131 field human rights monitors and paralegals also played an important role in preparing this report by providing us with current information about the human rights’ situation at the grass roots’ level. We greatly appreciate the assistance we received from the members of the editorial board, who are: Helen Kijo-Bisimba, Francis Kiwanga, Rodrick Maro, Felista Mauya, Professor Chris Maina Peter, and Harold Sungusia for their invaluable input on the content and form of this report. Their contributions helped us to create a better report. We would like to recognize the financial support we received from various partners to prepare and publish this report. -
Tanzania Human Rights Report 2016
Tanzania Human Rights Report 2016 LEGAL AND HUMAN RIGHTS CENTRE & ZANZIBAR LEGAL SERVICES CENTRE NOT FOR SALE Tanzania Human Rights Report - 2016 Mainland and Zanzibar - i - Tanzania Human Rights Report 2016 Part One: Tanzania Mainland - Legal and Human Rights Centre (LHRC) Part Two: Zanzibar - Zanzibar Legal Services Centre (ZLSC) - ii - Tanzania Human Rights Report 2016 Publishers Legal and Human Rights Centre Justice Lugakingira House, Kijitonyama P. O. Box 75254, Dar es Salaam, Tanzania Tel: +255222773038/48, Fax: +255222773037 Email: [email protected] Website: www.humanrights.or.tz & Zanzibar Legal Services Centre P. O. Box 3360, Zanzibar, Tanzania Tel: +2552422384 Fax: +255242234495 Email: [email protected] Website: www.zlsc.or.tz Partners The Embassy of Sweden The Embassy of Norway Oxfam Rosa Luxemburg UN Women Open Society Initiatives for Eastern Africa Design & Layout Albert Rodrick Maro Munyetti ISBN: 978-9987-740-30-7 © LHRC & ZLSC 2017 - iii - Tanzania Human Rights Report 2016 Editorial Board - Part One Dr. Helen Kijo-Bisimba Adv. Imelda Urio Ms. Felista Mauya Adv. Anna Henga Researchers/Writers Paul Mikongoti Fundikila Wazambi - iv - Tanzania Human Rights Report 2016 About LHRC The Legal and Human Rights Centre (LHRC) is a private, autonomous, voluntary non- Governmental, non-partisan and non-profit sharing organization envisioning a just and equitable society. It has a mission of empowering the people of Tanzania, so as to promote, reinforce and safeguard human rights and good governance in the country. The broad objective is to create legal and human rights awareness among the public and in particular the underprivileged section of the society through legal and civic education, advocacy linked with legal aid provision, research and human rights monitoring. -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE ______________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Moja – Tarehe 5 Agosti, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA: Randama ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Viwanda na Biashara kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. NAIBU WAZIRI WA KAZI NA AJIRA: Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Kazi na Ajira kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. MHE. JENISTA J. MHAGAMA - MWENYEKITI WA KAMATI YA MAENDELEO YA JAMII: Taarifa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Kazi na Ajira kwa Mwaka 2010/2011 Pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. MHE. REGIA E. MTEMA - MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI KWA WIZARA YA KAZI NA AJIRA: Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani juu ya Wizara ya Kazi na Ajira kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. MASWALI NA MAJIBU Na. 373 Kuboreshwa kwa Maslahi ya Madiwani MHE. FELISTER A. BURA aliuliza:- Madiwani ni nguzo muhimu katika kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi na nia ya Serikali ni kuboresha maslahi ya Madiwani iil waweze kutimiza wajibu wao ipasavyo;- Je, ni lini maslahi ya Madiwani yataboreshwa? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri Mkuu, ninaomba kujibu swali la Mheshimiwa Felister Bura, Mbunge wa Viti Maalum, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Naibu Spika, ni kweli kwamba, Waheshimiwa Madiwani ni nguzo muhimu katika kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi wa Chama cha Mapinduzi. -
Melody Mwaka Huu Zanzibar Huenda Ikawa Mbaya Zaidi Kauli Ya Waziri Mathias Chikawe… Bundi Kalia Juu Ya Nyumba Mchana
Sauti ya Waislamu Tamko la Masheikh kuhusu Mahakama ya Kadhi ISSN 0856 - 3861 Na. 1163 RABIUL THANI 1436, IJUMAA , FEBRUARI 6 - 12, 2015 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Uk.16 Mkurugenzi TAMPRO afunguliwa kesi ya ugaidi Asimamishwa kizimbani na mkewe Ombi la dhamana kwa mkewe lakwama Watuhumiwa walalamika kukosa hewa Melody mwaka huu Zanzibar huenda ikawa mbaya zaidi Kauli ya Waziri Mathias Chikawe… Bundi kalia juu ya nyumba mchana Picha Juu, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TAMPRO, Ustadhi Haruna Mussa Lugeye. Chini Waziri wa Mambo ya Ndani, Mheshimiwa Mathias mkewe Bi. Mwajumbe Wendu Chikawe. Soma Uk. 10. Bakari. Kura ya Maoni…. Hatari tupu kwa Zanzibar Vereje wa-Bara wapige kura! Ya nini hadaa na janja yote hii… Kuinyima Zanzibari sauti ya kuamua? Soma Uk. 13 AN-NUUR 2 Tahariri RABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 6 - 12, 2015 mfuko wako. wanataaluma wa zinazotoa mwanya kwa AN-NUUR Kuna tetesi kwamba ndani ya Jeshi la Polisi askari wetu kudhulumu S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 hata faini za vyombo wenye fani mbalimbali. haki za watu badala ya Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. vya moto barabarani Programu iliidhinishwa kulinda usalama wa www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected] watu. Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top (Notification) nazo zipo rasmi na Baraza la Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam halisi na za kughushi. Mawaziri tarehe Tunafahamu kuwa jeshi ni chombo cha dola Lakini hakuna wa 31.03.2012 na kuifanya cha kudhibiti wakorofi, kuchunguza licha ya itambulike rasmi kama wahuni na wahalifu. -
Majadiliano Ya Bunge Mkutano Wa Kumi Na Mbili
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA KUMI NA MBILI Kikao cha Arobaini na Saba – Tarehe 18 Agosti, 2008 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA: Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2008/2009. MHE. WILSON M. MASILINGI - MWENYEKITI WA KAMATI YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA: Taarifa ya Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama kuhusu utekelezaji wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa Mwaka wa Fedha uliopita, pamoja na maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2008/2009. MHE. SAVELINA S. MWIJAGE (K.n.y. MHE. MASOUD ABDALLAH SALIM - MSEMAJI WA KAMBI YA UPINZANI WA WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA): 1 Taarifa ya Msemaji wa Kambi ya Upinzani kuhusu utekelezaji wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga kwa Mwaka wa Fedha uliopita, pamoja na maoni ya Upinzani kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2008/2009. MASWALI NA MAJIBU Na. 407 Malipo ya Watendaji Katika Uandikishaji wa Wapiga Kura MHE. SIJAPATA F. NKAYAMBA aliuliza:- Kwa kuwa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura lilianzishwa nchini kote na Walimu pamoja na watendaji ndio waliohusika katika zoezi la uandikishaji na kwa kuwa kazi ilifanyika kwa mwezi mmoja lakini malipo yalitolewa nusu (laki nne tu) na kwa kuwa baadhi -
Did They Work for Us? Assessing Two Years of Bunge Data 2010-2012
Did they work for us? Assessing two years of Bunge data 2010-2012 1. Introduction The ninth session of the Bunge (Parliament) was adjourned on 9 November 2012, two years since the commencement of the first session on 9 November 2010 following the general election. These Bunge sessions have been broadcast through private and public TV stations allowing citizens to follow their representatives’ actions. Another source of information regarding MP performance is provided by the Parliamentary On-line Information System (POLIS) posted on the Tanzania Parliament website (www.bunge.go.tz) An important question for any citizen is: how did my MP represent my interests in Parliament? One way to assess performance of MPs is to look at the number of interventions they make in Bunge. MPs can make three types of interventions: they can ask basic questions submitted in advance; they can add supplementary questions after basic questions have been answered by the government; or they can makecontributions during the budget sessions, law amendments or discussions on new laws. This brief presents six facts on the performance of MPs, from November 2010 to November 2012, updating similar analyses conducted by Twaweza in previous years. It includes an assessment of who were the least and most active MPs. It also raises questions on the significance of education level when it comes to effectiveness of participation by MPs in parliament. The dataset can be downloaded from www.twaweza.org/go/bunge2010-2012 The Bunge dataset includes observations on 351 members: MPs who were elected and served (233), MPs in Special Seats (102), Presidential Appointees (10) and those from the Zanzibar House of Representatives (5) and the Attorney General. -
At the Edge of Democracy: Tanzania Towards 2020
~ TANZANIA ======:::--. ELECTIONS WATCH AT THE EDGE OF DEMOCRACY: TANZANIA TOWARDS 2020 APRE-ElECTION REPORT TANZANIA ELECTIONS WATCH (TEW) A SUMMARY OF THE TEW PRE- ELECTION REPORT AT THE EDGE OF DEMOCRACY: TANZANIA TOWARDS 2020 Acronyms ACT Alliance for Change and Transparency AfCHPR African Court of Human and Peoples Rights ALAT Association of Local Government Authorities of Tanzania ASP Afro-Shirazi Party ATCL Air Tanzania Company Ltd BAKWATA Baraza Kuu la Waislamu Tanzania CBT Cashew Board of Tanzania CCM Chama cha Mapinduzi CHADEMA Chama cha Demokrasia na Maendeleo CMG Clouds Media Group COSTECH Commission for Science and Technology CPI Corruption Perception Index CPT Christian Professionals of Tanzania CRDP Convention on the Rights of Persons with Disabilities CSL Centre for Strategic Litigation CSO Civil Society Organisation CSSC Christian Social Services Commission CTN Coastal Television Network CUF Civic United Front DC District Commissioner DCI Director of Criminal Investigations DED District Executive Directors EAC East African Community EACJ East African Court of Justice EITI Extractives Industries Transparency Initiative EU European Union GNU Government of National Unity HIPC Highly Indebted Poor Countries ICNL International Center for Non-Profit Law ICTR International Criminal Tribunal for Rwanda IFI international Financial Institutions IMF International Monetary Fund LGA Local Government Authorities LGBT Lesbian, gay, bisexual and transgender LGRP Local Government Reform Program LHRC Legal and Human Rights Centre MCC Millennium -
1 Bunge La Tanzania
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ______________ MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Kumi na Nane – Tarehe 4 Julai, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alikalia Kiti HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA PAMOJA NA UTAWALA BORA: Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma pamoja na (Utawala Bora) kwa mwaka wa Fedha 2011/2012. Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Uhusiano na Uratibu kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. MHE. PINDI H. CHANA - MWENYEKITI WA KAMATI YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA: Taarifa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala Kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, pamoja na Utawala Bora, kwa Mwaka 2010/2011 pamoja na Maoni ya Kamati Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hizo kwa mwaka wa Fedha 2011/2012. MHE. DR. ABDALLAH O. KIGODA - MWENYEKITI WA KAMATI YA FEDHA NA UCHUMI: Taarifa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Kuhusu utekelezaji wa Majukumu ya Ofisi ya Rais, Uhusiano na Uratibu, kwa Mwaka 2010/2011 pamoja na Maoni ya Kamati Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hiyo kwa Mwaka wa Fedha, 2011/2012. 1 MHE. SUZAN A. J. LYIMO - MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI KUHUSU OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA, PAMOJA NA UTAWALA BORA: Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani wa Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma) pamoja na (Utawala Bora) Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hizo kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. -
1458125901-Hs-15-39
Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ________________ MAJADILIANO YA BUNGE ______________________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Thelathini na Tisa – Tarehe 24 Juni, 2014 (Mkutano Ulianza Saa 3.00 Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anna S. Makinda) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu! MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaanza Maswali na Ofisi ya Waziri Mkuu, atakayeuliza swali la kwanza Mheshimiwa Maryam Salum Msabaha. Na. 293 Tatizo la Uchafu Katika Jiji la Dar es Salaam MHE. MARYAM S. MSABAHA aliuliza:- Jiji la Dar es Salaam linaongoza kwa uchafu na ombaomba, jambo ambalo linasababisha kero kwa wakazi wake na wageni wanaofika nchini. (a) Je, Serikali ina mikakati gani ya kumaliza tatizo la ukusanyaji wa taka katika Jiji hilo? 1 Nakala ya Mtandao (Online Document) (b) Je, Serikali inasema nini katika kutumia taka kutengeneza vitu vingine kama mbolea au kutumia taka hizo kufua umeme kama zinavyofanya nchi nyingine? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Maryam Salum Msabaha, Mbunge wa Viti Maalum, lenye sehemu (a) na (b), kama ifuatavyo:- (a) Mheshimiwa Spika, changamoto inayolikabili Jiji la Dar es Salaam kuhusu usafi ni kuwepo kwa kiwango kikubwa cha uzalishaji wa taka ikilinganishwa na uwezo wa Jiji kuzoa taka hizo. Uzalishaji wa taka katika Jiji kwa sasa ni wastani wa tani 4,252 kwa siku wakati uwezo uliopo wa kuzoa taka ni wastani wa tani 2,126 kiasi cha 50% kwa siku. Mheshimiwa Spika, ili kukabiliana na changamoto hii Jiji limetumia shilingi bilioni moja (bilioni 1) kwa ajili ya kununulia mtambo mpya wa kusukuma taka, yaani Buldozer D.8, ununuzi wa malori mawili yenye tani 18 kwa ajili ya kuzoa taka na ununuzi wa Compactor moja kwa ajili ya kushindilia taka. -
Post-Conference Report
Under the Patronage of: Supported by: The United Republic of Tanzania 6th International Conference on ICT for Development, Education and Training The Key Networking Event for Developing eLearning Capacities in Africa Post-Conference Report Mlimani City Conference Centre Organiser: Dar es Salaam, Tanzania, May 25 – 27, 2011 www.elearning-africa.com Platinum Sponsor: Gold Sponsors: Silver Sponsors: Conference Sponsors: Supporting African Participation: EAST Challenge Sponsors: Offi cial Carrier: THE EVENT eLearning Africa has grown to become an essential fi xture in the diaries of educators, entrepreneurs, offi cials and politicians from Africa and beyond. eLearning Africa 2011 in a nutshell This year, it attracted a total of 1702 participants from over 90 countries. 1702 participants from over 90 Some 322 speakers from 57 countries shared best practices and ideas in countries 65 parallel sessions, presenting new ways of learning in Africa and other parts of the world. The conference also brought together 25 ministers and 322 speakers and chairpersons deputy ministers and more than 50 government offi cials from 21 countries from 57 countries throughout Africa for a discussion at the annual Ministerial Round Table 25 ministers and one head of about the future role of ICTs in African education. state from 10 countries (Angola, Djibouti, Kenya, Malawi, An exhibition with 52 exhibitors from 16 countries accompanied the Namibia, Niger, Sierra Leone, 1 conference, showcasing innovative technologies and educational resources. South Africa, Tanzania and Zimbabwe) The conference was held in English, French and Kiswahili. 52 exhibitors from 16 countries Conference participants were delighted with the many speeches, presentations, discussions and special networking events, which demonstrated a new mood of determination to innovate and improve Geographical Representation learning for all.