N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C U M EN T )
BUNGE LA TANZANIA
________
MAJADILIANO YA BUNGE
_________
MKUTANO WA TATU
Kikao cha Kwanza – Tarehe 30 Machi, 2021
(Bunge l ili a n za S a a T a t u A s u b uh i )
WIMBO WA TAIFA NA WIMBO WA JUMUIYA YA
AFRIKA MASHARIKI
(H a pa K w aya ya Bunge i lii m ba W i m bo wa T a i fa na Wim b o wa Jumu i y a ya Af r ika M a s h a r iki)
D U A
N a i b u S p i ka ( M he . Dkt. T u l ia A c k s o n) A l is o ma Dua
NAIBU SPIKA: Wa heshimiwa Wa bunge, tuka e. Ka tibu.
NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE:
TAARIFA YA SPIKA
NAIBU SPIKA: Wa heshimiwa Wa bunge, nita leta kwenu
Ta a rifa ya Mhe shimiwa Spika , Mhe shimiwa J ob Yustino Nduga i.
Wa he shimiwa Wa bunge , ka ma a mba vyo wote tuna fa ha mu a liyekuwa Ra is wa Ja mhuri ya Muunga no wa Ta nza nia Ha ya ti Dkt. John Pombe Joseph Ma gufuli a lifa riki dunia ta rehe 17 Ma c hi, 2021 ka tika Hospita li ya Mzena , Jijini Da r es Sa la a m a likokuwa a kipa tiwa ma tiba bu.
1
N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C U M EN T )
Wa he shimiw a Wa b unge , kufua tia msib a huo wa na nc hi wa Ta nza nia wa lipa ta fursa ya kutoa heshima za mwisho ka ma ifua ta vyo; ta rehe 20 ha di 21 Ma c hi, 2021 Mkoa ni Da r e s Sa la a m, ta re he 22 Ma c hi, 2021 Mkoa ni Dodoma a mba po pia ilifa nyika ha fla ya kita ifa . Ta rehe 23 Ma c hi, 2021 ilikuwa Za nziba r na ta rehe 24 Ma c hi, 2021 ilikuwa mkoa ni Mwa nza .
Wa heshimiwa Wa bunge, na zisikia kelele sina ha kika ka ma wote tuko pa moja kwenye ja mbo hili zito lililolipa ta Ta ifa letu. Ta rehe 25 ha di 26 mkoa ni G eita na C ha to.
Wa heshimiwa Wa bunge, ma zishi ya a liyekuwa Ra is wa Ja mhuri ya Muunga no wa Ta nza nia Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Ma gufuli ya lifa nyika siku ya Ijuma a ta rehe 26 Ma c hi, 2021 nyumba ni kwa ke C ha to, Mkoa ni G eita .
Wa heshimiwa Wa bunge, kwa kuwa leo ni siku ya kwa nza kwa Bunge hili kukuta na ta ngu ulipotokea msiba huo na omba Wa heshimiwa Wa bunge tusima me kwa da kika moja ili kumkumbuka mpendwa wetu.
(H a pa W a bunge wa l isi m ama kwa dak i ka m o j a kumkum b uka a l i y e kuwa R a i s w a Jamhu r i y a Muungano wa
T a n z a n i a H a ya t i Dkt. J ohn Pombe Jo s e p h Magu f u l i)
NAIBU SPIKA: Bwa na a metoa na Bwa na a metwa a , jina la Bwa na lihimidiwe.
Wa heshimiwa Wa bunge, tuka e. Ka tibu.
NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE:
HATI ZA KUWASILISHA MEZANI
Ha ti zifua ta zo ziliwa silishwa Meza ni na :-
MHE. NAJMA MURTAZA GIGA:
2
N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C U M EN T )
Azimio la Bunge la kuuta mbua na kuuenzi mc ha ngo wa Ra is wa Ta no wa Ja mhuri ya Muunga no wa Ta nza nia , Dkt. J ohn Pombe J ose ph Ma gufuli kwa utumishi wa ke uliotukuka .
MHE. JOSEPH K. MHAGAMA:
Azimio la Bunge la kumpongeza Mheshimiwa Sa mia
Suluhu Ha ssa n kuwa Ra is wa Ja mhuri ya Muunga no wa Ta nza nia .
NAIBU SPIKA: Ahsa nte sa na . Ka tibu.
NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE:
MASWALI NA MAJIBU
Na . 1
Ukamilishiji wa Ujenzi wa Ofisi ya Halmashauri ya
Wilaya ya Magu
MHE. BONIVENTURA D. KISWAGA a liuliza :-
J e , Se rika li ina mpa ngo ga ni wa kutoa fe dha ili kuka milisha ujenzi wa Ofisi ya Ha lma sha uri ya Wila ya ya Ma gu?
NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA
SERIKALI ZA MITAA (MHE. DKT. FESTO J. DUGANGE) a lijibu:-
Mheshimiwa Na ibu Spika , kwa nia ba ya Wa ziri wa
Nc hi, O fisi ya Ra is, TAMISEMI, na omba kujibu sw a li la Mheshimiwa Boniventura Destery Kiswa ga , Mbunge wa Jimbo la Ma gu ka ma ifua ta vyo;
Mheshimiwa Na ibu Spika , ka tika kipindi c ha mia ka mita no iliyopita Serika li imeendelea na ujenzi wa ma jengo ya uta wa la ka tika Ha lma sha uri 100 ikiwemo Ha lma sha uri ya
3
N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C U M EN T )
Wila ya ya Ma gu a mba zo kwa ujumla zimegha rimu kia si c ha shilingi bilioni 147.33.
Mheshimiwa Na ibu Spika , Serika li ina endelea na ujenzi wa jengo la Uta wa la la Ha lma sha uri ya Wila ya ya Ma gu a mba lo lita gha rimu shilingi bilioni ta no ha di kuka milika . Ha di mwezi Februa ri 2021, Serika li ilikuwa imekwisha toa shilingi bilioni ta tu kwa a jili ya ujenzi wa jengo hilo a mba lo ta ya ri limeezekwa . Ka tika mwa ka wa fedha 2020/2021 Serika li imetenga kia si c ha shilingi milioni 750 kwa a jili ya kuendelea na ha tua ya uka milisha ji wa jengo hilo.
NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Boniventura Kiswa ga swa li la nyongeza .
MHE. BONIVENTURA D. KISWAGA: Mheshimiwa Na ibu
Spika , na shukuru kwa ma jibu ma zuri ya Serika li.
Kwa kuwa ba jeti ina yoendelea sa sa tuko robo ya ta tu na Serika li ilitenga shilingi milioni 750, ni lini Serika li ita zileta hizi fedha za ba jeti ya mwa ka huu una oendelea ili tuweze kuendelea na ujenzi wa jengo hilo la Ha lma sha uri? (Makof i )
Swa li la pili, kwa kuwa jengo hili ni la muda mrefu na
Serika li imewekeza fedha nyingi za kutosha na ili ufa nisi wa shughuli za Ha lma sha uri uweze kwenda vizuri, je, mwa ka huu wa fedha Serika li ita tenga fedha za utoshelevu ili kuha kikisha kwa mba jengo hili lina ka milika na ma jengo mengine a mba yo ya ko kwenye nc hi hii? (Makof i )
NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Na ibu Wa ziri, Ofisi ya Ra is,
TAMISEMI, ma jibu.
NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA
SERIKALI ZA MITAA (MHE. DKT. FESTO J. DUG ANG E):
Mheshimiwa Na ibu Spika , na omba kujibu ma swa li ma wili ya nyongeza ya Mheshimiwa Boniventura Kiswa ga , Mbunge wa Jimbo la Ma gu ka ma ifua ta vyo:-
4
N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C U M EN T )
Mhe shimiw a Na ib u Sp ika , ka ma a mb a vyo nimeta ngulia kujibu kwenye swa li la msingi kwa mba Serika li kwa mwa ka huu wa fedha 2020/2021 imekwisha tenga shilingi milioni 750 kwa a jili ya kufa nya shughuli za uma lizia ji wa jengo la uta w a la ka tika Ha lma sha uri ya Ma gu. Na omb a nimha kikishie Mheshimiwa Mbunge wa Ma gu kwa mba fedha hizo ziko ka tika ha tua za mwisho za kutolewa ili ziweze kufikishwa ka tika Ha lma sha uri hiyo kwa a jili ya kutekeleza
shughuli hizo zilizoka diriwa . (Makof i )
Mheshimiwa Na ibu Spika , kuhusia na na jengo hili kuwa la muda mrefu ni kweli na Serika li ina ta mbua kwa mba jengo hili lina muda mrefu ta ngu limea nza kujengwa , na dha mira ya Serika li ni kuha kikisha kwa mba lina ka milika ma pema iwezeka na vyo na ndiyo ma a na ka tika ba jeti ya mwa ka uja o wa fedha Serika li ita tenga kia si c ha shilingi bilioni moja na milioni mia moja kwa a jili ya jengo la uta wa la la Ha lma sha uri ya Wila ya ya Ma gu. Kwa hiyo, na omba nimha kikishie Mheshimiwa Mbunge kwa mba Serika li ita tenga fedha hizo na zita fikishwa ili ziweze kuka milisha jengo hilo kwa a jili ya kuboresha huduma kwa wa na nc hi.
NAIBU SPIKA: Ahsa nte sa na . Mheshimiwa Na pe Moses
Nna uye swa li la nyongeza .
MHE. NAPE M. NNAUYE: Mheshimiwa Na ibu Spika ,
na kushukuru kwa kunipa na fa si niulize swa li dogo la nyongeza .
Mheshimiwa Na ibu Spika , Ha lma sha uri ya Mta ma tulipoka bidhiwa Ha lma sha uri hii na Mheshimiwa Ra is a litua hidi kwa mba ujenzi wa mjengo ya ke uta a nza ma pema na hivi ka ribuni Wa ziri Mkuu a lifa nya zia ra J imboni Mta ma na kutua hidi kwa mba hizi fedha za ujenzi zita kuja .
Sa sa je, Serika li iko ta ya ri kua nza kuleta hizi fedha ha ta ka ma ni kwa a wa mu ili ujenzi huu na a ha di ya Mheshimiwa Ra is ia nze kutekelezwa ?
NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Na ibu Wa ziri, Ofisi ya Ra is,
TAMISEMI ma jibu.
5
N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C U M EN T )
NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA
SERIKALI ZA MITAA (MHE. DKT. FESTO J. DUG ANG E):
Mheshimiwa Na ibu Spika , na omba kujibu swa li la nyongeza la Mheshimiwa Na pe Moses Nna uye, Mbunge wa Mta ma ka ma ifua ta vyo:-
Mheshimiwa Na ibu Spika , ni kweli kwa mba Serika li imedha miria kuha kikisha ina ka milisha a u ina a nza ujenzi wa ma jengo ya uta wa la ka tika Ha lma sha uri zile mpya a mba zo miongoni mwa o ni Ha lma sha uri hii ya Mta ma .
Mheshimiwa Na ibu Spika , ka tika mwa ka huu wa fedha jumla ya shilingi bilioni 80.42 zimetengwa na zita a nza kutole w a w a ka ti w ow ote kua nzia sa sa na ta ra tib u zina endelea ili zile Ha lma sha uri a mba zo kwa nza zilipa ta fedha za kua nza ujenzi zipa te fedha kwa a jili ya kuka milisha ma jengo ha yo la kini zile a mba zo zina hita ji kua nza ujenzi ziweze kupa ta fedha kwa a jili ya kua nza ujenzi wa ma jengo ya uta wa la .
Mheshimiwa Na ibu Spika , pili ka tika mwa ka wa fedha uja o pia Serika li ita tenga fedha kwa a jili ya kuha kikisha shughuli hizo za ujenzi wa ma jengo ya uta wa la zina ka milika . Kwa hivyo, na omba nimha kikishie Mbunge wa Mta ma , Mheshimiwa Na pe kwa mba Serika li ina ta mbua uhita ji wa kua nza ujenzi wa jengo la uta wa la ka tika Ha lma sha uri ya Na pe hiyo ya Mta ma na tuta ha kikisha fedha zina tengwa kwa a jili ya kua nza utekeleza ji wa mra di huo. (Makof i )
NAIBU SPIKA: Tuna endelea na Wiza ra ya Ma mbo ya
Nda ni ya Nc hi. Mheshimiwa Na jma Murta za G iga , Mbunge wa Viti Ma a lum sa sa a ulize swa li la ke.
Na . 2
Kuongezeka kwa Vitendo vya Ubakaji na
Udhalilishaji wa Watoto Nchini
MHE. NAJMA MURTAZA GIGA a liuliza :-
6
N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C U M EN T )
(a ) Je, Serika li ina sema je kuhusia na na ongezeko la vitendo vya uba ka ji na udha lilisha ji wa wa toto nc hini?
(b) Je, kwa nini Serika li ha ifa nyi ta fiti kujua sa ba bu za kesi nyingi kushindwa kuwa tia ha tia ni wa ba ka ji na kuja na mpa ngo mpya wa kudhibiti vitendo hivyo?
NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Na ibu Wa ziri wa Ma mbo ya Nda ni ma jibu.
NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI a lijibu:-
Mheshimiwa Na ibu Spika , kwa nia ba ya Wa ziri wa
Ma mbo ya Nda ni ya Nc hi na omba kujibu ma swa li ya Mheshimiwa Na jma Murta za G iga , Mbunge wa Viti Ma a lum yote ma wili kwa pa moja ka ma ifua ta vyo:-
Mhe shimiw a Na ibu Spika , ni w a jibu w a Se rika li kuwa linda wa na nc hi wa kiwemo wa toto dhidi ya ma kosa ya uba ka ji na udha lilisha ji. Ili kupa mba na na vitendo hivi Serika li imekuwa ikic hukua ha tua ka li ikiwemo kifungo c ha mia ka 30 jela kwa wa na ojihusisha a u kusa idia kufa nyika kwa vitendo hivi.
Mheshimiwa Na ibu Spika , ta fiti nyingi zimefa nywa na a sa si mba limba li za Serika li na zisizokuwa za Kiserika li na zime ba ini kw a mba kuna sa ba bu mba limba li a mba zo zina sa ba bisha . Sa ba bu hizi zikiwemo sa ba bu za muha li la kini pia kuna sa ba bu za kuma liza na nje ya Ma ha ka m a na wa ha nga kuc helewa kuripoti vituo vya polisi. Kwa kipindi c ha mwa ka 2020 jumla ya wa shta kiwa 1,183 wa lihukumiwa vifungo jela .
Mheshimiwa Na ibu Spika , kupitia Bunge la ko tukufu na omba kutoa w ito kw a Wa he shimiw a Wa bunge na wa na nc hi kwa ujumla kutoya fumbia ma c ho ma tukio ya udha liliisha ji na uba ka ji ikiwemo kutoa ta a rifa kwa vyombo vya dola vina vyohusika . Ahsa nte.
7
N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C U M EN T )
NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Na jma Murta za G iga swa li la nyongeza .
MHE. NAJMA MURTAZA GIGA: Mheshimiwa Na ibu
Spika , a hsa nte sa na , kwa nza niipongeze Serika li kwa jitiha da ina zoc hukua ka tika kupiga vita uka tili wa wa toto kwa sua la la uba ka ji. Ha ta hivyo nina ma swa li ma wili ya nyongeza .
Mheshimiwa Na ibu Spika , swa li la ngu la kwa nza lita lenga kwenye ma jibu a mba yo a meya toa Mheshimiwa Na ibu Wa ziri kuhusia na na ta fiti a mbya o a mefa nya na kututa ka sisi sa sa Wa bunge pa moja na wa na nc hi kwa ujumla kuweza kusa idia ka tika kuta tua c ha nga moto hizi.
Swa li la ngu liko kwa mba , je , ninyi ka ma Se rika li mme jip a nga je kuha kikisha kw a mb a vite ngo vyote vina vyoshughulikia ma sua la ya she ria na kutoa ha ki vina shirikia na kika milifu ili kuweza kutokomeza ma sua la ha ya a mba yo mmeya ta fiti?