Tarehe 30 Machi, 2021

Total Page:16

File Type:pdf, Size:1020Kb

Load more

N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C   U M EN T )

BUNGE LA TANZANIA

________

MAJADILIANO YA BUNGE

_________

MKUTANO WA TATU
Kikao cha Kwanza – Tarehe 30 Machi, 2021

(Bunge l ili a n za S a a T a t u A s u b uh i )

WIMBO WA TAIFA NA WIMBO WA JUMUIYA YA
AFRIKA MASHARIKI

(H a pa K w aya ya Bunge i lii m ba W i m bo wa T a i fa na Wim b o wa Jumu i y a ya Af r ika M a s h a r iki)

D U A

N a i b u S p i ka ( M he   . Dkt. T u l ia A c k s o n) A l is o ma Dua

NAIBU SPIKA: Wa heshimiwa Wa bunge, tuka e. Ka tibu.

NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE:
TAARIFA YA SPIKA

NAIBU SPIKA: Wa heshimiwa Wa bunge, nita leta kwenu
Ta a rifa ya Mhe shimiwa Spika , Mhe shimiwa J ob Yustino Nduga i.

Wa he shimiwa Wa bunge , ka ma a mba vyo wote tuna fa ha mu a liyekuwa Ra is wa Ja mhuri ya Muunga no wa Ta nza nia Ha ya ti Dkt. John Pombe Joseph Ma gufuli a lifa riki dunia ta rehe 17 Ma c hi, 2021 ka tika Hospita li ya Mzena , Jijini Da r es Sa la a m a likokuwa a kipa tiwa ma tiba bu.

1

N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C   U M EN T )

Wa he shimiw a Wa b unge , kufua tia msib a huo wa na nc hi wa Ta nza nia wa lipa ta fursa ya kutoa heshima za mwisho ka ma ifua ta vyo; ta rehe 20 ha di 21 Ma c hi, 2021 Mkoa ni Da r e s Sa la a m, ta re he 22 Ma c hi, 2021 Mkoa ni Dodoma a mba po pia ilifa nyika ha fla ya kita ifa . Ta rehe 23 Ma c hi, 2021 ilikuwa Za nziba r na ta rehe 24 Ma c hi, 2021 ilikuwa mkoa ni Mwa nza .

Wa heshimiwa Wa bunge, na zisikia kelele sina ha kika ka ma wote tuko pa moja kwenye ja mbo hili zito lililolipa ta Ta ifa letu. Ta rehe 25 ha di 26 mkoa ni G eita na C ha to.

Wa heshimiwa Wa bunge, ma zishi ya a liyekuwa Ra is wa Ja mhuri ya Muunga no wa Ta nza nia Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Ma gufuli ya lifa nyika siku ya Ijuma a ta rehe 26 Ma c hi, 2021 nyumba ni kwa ke C ha to, Mkoa ni G eita .

Wa heshimiwa Wa bunge, kwa kuwa leo ni siku ya kwa nza kwa Bunge hili kukuta na ta ngu ulipotokea msiba huo na omba Wa heshimiwa Wa bunge tusima me kwa da kika moja ili kumkumbuka mpendwa wetu.

(H a pa W a bunge wa l isi m ama kwa dak i ka m o j a kumkum b uka a l i y e   kuwa R a i s w a Jamhu r i y a Muungano wa
T a n z a n i a H a ya t i   Dkt. J ohn Pombe Jo s e   p h Magu f u l i)

NAIBU SPIKA: Bwa na a metoa na Bwa na a metwa a , jina la Bwa na lihimidiwe.

Wa heshimiwa Wa bunge, tuka e. Ka tibu.

NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE:
HATI ZA KUWASILISHA MEZANI

Ha ti zifua ta zo ziliwa silishwa Meza ni na :-

MHE. NAJMA MURTAZA GIGA:

2

N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C   U M EN T )

Azimio la Bunge la kuuta mbua na kuuenzi mc ha ngo wa Ra is wa Ta no wa Ja mhuri ya Muunga no wa Ta nza nia , Dkt. J ohn Pombe J ose ph Ma gufuli kwa utumishi wa ke uliotukuka .

MHE. JOSEPH K. MHAGAMA:

Azimio la Bunge la kumpongeza Mheshimiwa Sa mia
Suluhu Ha ssa n kuwa Ra is wa Ja mhuri ya Muunga no wa Ta nza nia .

NAIBU SPIKA: Ahsa nte sa na . Ka tibu.

NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE:
MASWALI NA MAJIBU

Na . 1

Ukamilishiji wa Ujenzi wa Ofisi ya Halmashauri ya
Wilaya ya Magu

MHE. BONIVENTURA D. KISWAGA a liuliza :-

J e , Se rika li ina mpa ngo ga ni wa kutoa fe dha ili kuka milisha ujenzi wa Ofisi ya Ha lma sha uri ya Wila ya ya Ma gu?

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA
SERIKALI ZA MITAA (MHE. DKT. FESTO J. DUGANGE) a lijibu:-

Mheshimiwa Na ibu Spika , kwa nia ba ya Wa ziri wa
Nc hi, O fisi ya Ra is, TAMISEMI, na omba kujibu sw a li la Mheshimiwa Boniventura Destery Kiswa ga , Mbunge wa Jimbo la Ma gu ka ma ifua ta vyo;

Mheshimiwa Na ibu Spika , ka tika kipindi c ha mia ka mita no iliyopita Serika li imeendelea na ujenzi wa ma jengo ya uta wa la ka tika Ha lma sha uri 100 ikiwemo Ha lma sha uri ya

3

N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C   U M EN T )

Wila ya ya Ma gu a mba zo kwa ujumla zimegha rimu kia si c ha shilingi bilioni 147.33.

Mheshimiwa Na ibu Spika , Serika li ina endelea na ujenzi wa jengo la Uta wa la la Ha lma sha uri ya Wila ya ya Ma gu a mba lo lita gha rimu shilingi bilioni ta no ha di kuka milika . Ha di mwezi Februa ri 2021, Serika li ilikuwa imekwisha toa shilingi bilioni ta tu kwa a jili ya ujenzi wa jengo hilo a mba lo ta ya ri limeezekwa . Ka tika mwa ka wa fedha 2020/2021 Serika li imetenga kia si c ha shilingi milioni 750 kwa a jili ya kuendelea na ha tua ya uka milisha ji wa jengo hilo.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Boniventura Kiswa ga swa li la nyongeza .

MHE. BONIVENTURA D. KISWAGA: Mheshimiwa Na ibu

Spika , na shukuru kwa ma jibu ma zuri ya Serika li.
Kwa kuwa ba jeti ina yoendelea sa sa tuko robo ya ta tu na Serika li ilitenga shilingi milioni 750, ni lini Serika li ita zileta hizi fedha za ba jeti ya mwa ka huu una oendelea ili tuweze kuendelea na ujenzi wa jengo hilo la Ha lma sha uri? (Makof i )

Swa li la pili, kwa kuwa jengo hili ni la muda mrefu na
Serika li imewekeza fedha nyingi za kutosha na ili ufa nisi wa shughuli za Ha lma sha uri uweze kwenda vizuri, je, mwa ka huu wa fedha Serika li ita tenga fedha za utoshelevu ili kuha kikisha kwa mba jengo hili lina ka milika na ma jengo mengine a mba yo ya ko kwenye nc hi hii? (Makof i )

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Na ibu Wa ziri, Ofisi ya Ra is,
TAMISEMI, ma jibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA
SERIKALI ZA MITAA (MHE. DKT. FESTO J. DUG ANG E):

Mheshimiwa Na ibu Spika , na omba kujibu ma swa li ma wili ya nyongeza ya Mheshimiwa Boniventura Kiswa ga , Mbunge wa Jimbo la Ma gu ka ma ifua ta vyo:-

4

N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C   U M EN T )

Mhe shimiw a Na ib u Sp ika , ka ma a mb a vyo nimeta ngulia kujibu kwenye swa li la msingi kwa mba Serika li kwa mwa ka huu wa fedha 2020/2021 imekwisha tenga shilingi milioni 750 kwa a jili ya kufa nya shughuli za uma lizia ji wa jengo la uta w a la ka tika Ha lma sha uri ya Ma gu. Na omb a nimha kikishie Mheshimiwa Mbunge wa Ma gu kwa mba fedha hizo ziko ka tika ha tua za mwisho za kutolewa ili ziweze kufikishwa ka tika Ha lma sha uri hiyo kwa a jili ya kutekeleza

shughuli hizo zilizoka diriwa . (Makof i )

Mheshimiwa Na ibu Spika , kuhusia na na jengo hili kuwa la muda mrefu ni kweli na Serika li ina ta mbua kwa mba jengo hili lina muda mrefu ta ngu limea nza kujengwa , na dha mira ya Serika li ni kuha kikisha kwa mba lina ka milika ma pema iwezeka na vyo na ndiyo ma a na ka tika ba jeti ya mwa ka uja o wa fedha Serika li ita tenga kia si c ha shilingi bilioni moja na milioni mia moja kwa a jili ya jengo la uta wa la la Ha lma sha uri ya Wila ya ya Ma gu. Kwa hiyo, na omba nimha kikishie Mheshimiwa Mbunge kwa mba Serika li ita tenga fedha hizo na zita fikishwa ili ziweze kuka milisha jengo hilo kwa a jili ya kuboresha huduma kwa wa na nc hi.

NAIBU SPIKA: Ahsa nte sa na . Mheshimiwa Na pe Moses
Nna uye swa li la nyongeza .

MHE. NAPE M. NNAUYE: Mheshimiwa Na ibu Spika ,

na kushukuru kwa kunipa na fa si niulize swa li dogo la nyongeza .
Mheshimiwa Na ibu Spika , Ha lma sha uri ya Mta ma tulipoka bidhiwa Ha lma sha uri hii na Mheshimiwa Ra is a litua hidi kwa mba ujenzi wa mjengo ya ke uta a nza ma pema na hivi ka ribuni Wa ziri Mkuu a lifa nya zia ra J imboni Mta ma na kutua hidi kwa mba hizi fedha za ujenzi zita kuja .

Sa sa je, Serika li iko ta ya ri kua nza kuleta hizi fedha ha ta ka ma ni kwa a wa mu ili ujenzi huu na a ha di ya Mheshimiwa Ra is ia nze kutekelezwa ?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Na ibu Wa ziri, Ofisi ya Ra is,
TAMISEMI ma jibu.

5

N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C   U M EN T )

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA
SERIKALI ZA MITAA (MHE. DKT. FESTO J. DUG ANG E):

Mheshimiwa Na ibu Spika , na omba kujibu swa li la nyongeza la Mheshimiwa Na pe Moses Nna uye, Mbunge wa Mta ma ka ma ifua ta vyo:-

Mheshimiwa Na ibu Spika , ni kweli kwa mba Serika li imedha miria kuha kikisha ina ka milisha a u ina a nza ujenzi wa ma jengo ya uta wa la ka tika Ha lma sha uri zile mpya a mba zo miongoni mwa o ni Ha lma sha uri hii ya Mta ma .

Mheshimiwa Na ibu Spika , ka tika mwa ka huu wa fedha jumla ya shilingi bilioni 80.42 zimetengwa na zita a nza kutole w a w a ka ti w ow ote kua nzia sa sa na ta ra tib u zina endelea ili zile Ha lma sha uri a mba zo kwa nza zilipa ta fedha za kua nza ujenzi zipa te fedha kwa a jili ya kuka milisha ma jengo ha yo la kini zile a mba zo zina hita ji kua nza ujenzi ziweze kupa ta fedha kwa a jili ya kua nza ujenzi wa ma jengo ya uta wa la .

Mheshimiwa Na ibu Spika , pili ka tika mwa ka wa fedha uja o pia Serika li ita tenga fedha kwa a jili ya kuha kikisha shughuli hizo za ujenzi wa ma jengo ya uta wa la zina ka milika . Kwa hivyo, na omba nimha kikishie Mbunge wa Mta ma , Mheshimiwa Na pe kwa mba Serika li ina ta mbua uhita ji wa kua nza ujenzi wa jengo la uta wa la ka tika Ha lma sha uri ya Na pe hiyo ya Mta ma na tuta ha kikisha fedha zina tengwa kwa a jili ya kua nza utekeleza ji wa mra di huo. (Makof i )

NAIBU SPIKA: Tuna endelea na Wiza ra ya Ma mbo ya
Nda ni ya Nc hi. Mheshimiwa Na jma Murta za G iga , Mbunge wa Viti Ma a lum sa sa a ulize swa li la ke.

Na . 2

Kuongezeka kwa Vitendo vya Ubakaji na
Udhalilishaji wa Watoto Nchini

MHE. NAJMA MURTAZA GIGA a liuliza :-

6

N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C   U M EN T )

(a ) Je, Serika li ina sema je kuhusia na na ongezeko la vitendo vya uba ka ji na udha lilisha ji wa wa toto nc hini?

(b) Je, kwa nini Serika li ha ifa nyi ta fiti kujua sa ba bu za kesi nyingi kushindwa kuwa tia ha tia ni wa ba ka ji na kuja na mpa ngo mpya wa kudhibiti vitendo hivyo?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Na ibu Wa ziri wa Ma mbo ya Nda ni ma jibu.

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI a lijibu:-

Mheshimiwa Na ibu Spika , kwa nia ba ya Wa ziri wa
Ma mbo ya Nda ni ya Nc hi na omba kujibu ma swa li ya Mheshimiwa Na jma Murta za G iga , Mbunge wa Viti Ma a lum yote ma wili kwa pa moja ka ma ifua ta vyo:-

Mhe shimiw a Na ibu Spika , ni w a jibu w a Se rika li kuwa linda wa na nc hi wa kiwemo wa toto dhidi ya ma kosa ya uba ka ji na udha lilisha ji. Ili kupa mba na na vitendo hivi Serika li imekuwa ikic hukua ha tua ka li ikiwemo kifungo c ha mia ka 30 jela kwa wa na ojihusisha a u kusa idia kufa nyika kwa vitendo hivi.

Mheshimiwa Na ibu Spika , ta fiti nyingi zimefa nywa na a sa si mba limba li za Serika li na zisizokuwa za Kiserika li na zime ba ini kw a mba kuna sa ba bu mba limba li a mba zo zina sa ba bisha . Sa ba bu hizi zikiwemo sa ba bu za muha li la kini pia kuna sa ba bu za kuma liza na nje ya Ma ha ka m a na wa ha nga kuc helewa kuripoti vituo vya polisi. Kwa kipindi c ha mwa ka 2020 jumla ya wa shta kiwa 1,183 wa lihukumiwa vifungo jela .

Mheshimiwa Na ibu Spika , kupitia Bunge la ko tukufu na omba kutoa w ito kw a Wa he shimiw a Wa bunge na wa na nc hi kwa ujumla kutoya fumbia ma c ho ma tukio ya udha liliisha ji na uba ka ji ikiwemo kutoa ta a rifa kwa vyombo vya dola vina vyohusika . Ahsa nte.

7

N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C   U M EN T )

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Na jma Murta za G iga swa li la nyongeza .

MHE. NAJMA MURTAZA GIGA: Mheshimiwa Na ibu

Spika , a hsa nte sa na , kwa nza niipongeze Serika li kwa jitiha da ina zoc hukua ka tika kupiga vita uka tili wa wa toto kwa sua la la uba ka ji. Ha ta hivyo nina ma swa li ma wili ya nyongeza .

Mheshimiwa Na ibu Spika , swa li la ngu la kwa nza lita lenga kwenye ma jibu a mba yo a meya toa Mheshimiwa Na ibu Wa ziri kuhusia na na ta fiti a mbya o a mefa nya na kututa ka sisi sa sa Wa bunge pa moja na wa na nc hi kwa ujumla kuweza kusa idia ka tika kuta tua c ha nga moto hizi.

Swa li la ngu liko kwa mba , je , ninyi ka ma Se rika li mme jip a nga je kuha kikisha kw a mb a vite ngo vyote vina vyoshughulikia ma sua la ya she ria na kutoa ha ki vina shirikia na kika milifu ili kuweza kutokomeza ma sua la ha ya a mba yo mmeya ta fiti?

Recommended publications
  • Nakala Ya Mtandao (Online Document)

    Nakala Ya Mtandao (Online Document)

    NAKALA YA MTANDAO (ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao cha Kumi na Mbili - Tarehe 30 Machi, 2015 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, maswali leo tunaanza na Ofisi ya Waziri Mkuu, Mheshimiwa Conchesta Rwamlaza, atauliza swali la kwanza. Na. 117 Mwakilishi wa Wazee katika Vyombo vya Maamuzi MHE. CONCHESTA L. RWAMLAZA aliuliza:- Kwa muda mrefu wazee wa nchi hii wamekuwa wakililia uwakilishi katika vyombo mbalimbali vya maamuzi kama vile Bunge, Halmashauri, Vijiji na kadhalika kama ilivyo kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu ili sauti zao zisikike:- Je, ni lini Serikali itasikia kilio cha wazee hawa? WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA, URATIBU NA BUNGE) alijibu:- Mheshimiwa Spika, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Conchesta Leonce Rwamlaza, Mbunge wa Viti Maalum, kama ifuatavyo:- Utaratibu wa kupata wawakilishi katika vyombo vya maamuzi kama vile Bunge, umeelezwa katika Ibara ya 66 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977. Ibara hii imefafanua aina za Wabunge na namna ya kuwapata. Utaratibu wa kuwapata wawakilishi katika Halmashauri umeelezwa 1 NAKALA YA MTANDAO (ONLINE DOCUMENT) katika Sheria ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Sura ya 292 yaani The Local Authority Election Act, Cap. 292. Aidha, utaratibu wa kuwapata wawakilishi katika vijiji hutawaliwa na Sheria ya Serikali za Mitaa, Sura ya 287 na Sheria ya Serikali za Mitaa, Sura ya 288. Mheshimiwa Spika, wawakilishi wanaowakilisha makundi mbalimbali katika Bunge, Halmashauri na Vijiji, kwa mfano, wanawake, vijana, watu wenye ulemavu na kadhalika, wamekuwa wakipatikana kupitia mapendekezo yanayowasilishwa na vyama vya siasa kwenye vyombo vinavyosimamia uchaguzi katika ngazi hizo.
  • MKUTANO WA TATU Kikao Cha Hamsini Na Sita

    MKUTANO WA TATU Kikao Cha Hamsini Na Sita

    NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA TATU Kikao cha Hamsini na Sita – Tarehe 22 Juni, 2021 (Bunge Lilianza saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, naomba tukae. Waheshimiwa tunaendelea na Mkutano wetu wa Tatu, leo ni Kikao cha Hamsini na Sita na kabla hatujaendelea nitumie nafasi hii kuwashukuru sana wasaidizi wangu wote wakiongozwa na Mheshimiwa Naibu Spika, Mheshimiwa David Kihenzile, Mheshimiwa Zungu na Mheshimiwa Najma kwa kazi nzuri ambayo wameifanya wiki nzima kutuendeshea mjadala wetu wa bajeti. (Makofi) Sasa leo hapa ndio siku ya maamuzi ambayo kila Mbunge anapaswa kuwa humu ndani, kwa Mbunge ambaye Spika hana taarifa yake na hatapiga kura hapa leo hilo la kwake yeye. (Makofi) Katibu. NDG. NENELWA MWIHAMBI – KATIBU WA BUNGE: MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Maswali na tunaanza na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, swali la Mheshimiwa Deus Clement Sangu, Mbunge wa Kwela. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) Na. 465 Ujenzi wa Makao Makuu ya Halmashauri Katika Mji wa Laela MHE. DEUS C. SANGU aliuliza:- Je, ni lini Serikali itakamilisha ujenzi wa Ofisi za Makao Makuu ya Halmashauri ya Sumbawanga katika Mji wa Laela baada ya agizo la Serikali la kuhamisha Makao Makuu? SPIKA: Majibu ya swali hilo muhimu la watu wa Kwela, Mheshimiwa Naibu Waziri - TAMISEMI, Mheshimiwa Dkt. Festo Dugange tafadhali. NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. DKT. FESTO J. DUGANGE) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais -TAMISEMI, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Deus Clement Sangu, Mbunge wa Jimbo la Kwela kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga ni miongoni mwa Halmashauri 30 zilizohamia kwenye maeneo mapya ya utawala mwaka 2019.
  • MKUTANO WA TATU Kikao Cha Kumi Na Tisa – Tarehe 29 Aprili, 2021

    MKUTANO WA TATU Kikao Cha Kumi Na Tisa – Tarehe 29 Aprili, 2021

    NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA TATU Kikao cha Kumi na Tisa – Tarehe 29 Aprili, 2021 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa, tukae. Katibu. NDG. MOSSY LUKUVI – KATIBU MEZANI: HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa mwaka wa fedha 2021/2022. NAIBU WAZIRI WA MADINI: Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Madini kwa mwaka wa fedha 2021/2022. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) MHE. SAADA MONSOUR HUSSEIN - K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI: Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kuhusu utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Madini kwa mwaka wa fedha 2020/2021 pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2021/2022. NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Katibu. NDG. MOSSY LUKUVI – KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa maswali, tutaanza na Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Mheshimiwa Simon Songe Lusengekile, Mbunge wa Busega, sasa aulize swali lake. Na. 158 Serikali Kukamilisha Ujenzi wa Zahanati – Busega MHE. SIMON S. LUSENGEKILE aliuliza:- Wananchi wa Kata ya Imalamate Wilayani Busega wamejenga zahanati na kumaliza maboma manne kwa maana ya zahanati moja kila kijiji:- Je, Serikali ina mpango gani wa kuwasaidia wananchi hao kuezeka maboma hayo ili waweze kupata huduma za afya kwenye zahanati hizo? NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mheshimiwa Dkt.
  • Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document) 1

    Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document) 1

    Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Kwanza – Tarehe 6 Mei, 2014 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) WIMBO WA TAIFA (Hapa Wabunge Waliimba Wimbo wa Taifa) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua KIAPO CHA UTII Wajumbe wafuatao waliapa Kiapo cha Utii na kukaa katika nafasi zao Bungeni:- Mhe. Godfrey William Mgimwa Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete TAARIFA YA SPIKA SPIKA: Ninapenda kuchukua nafasi hii, kuwapongeza Mheshimiwa Godfrey Mgimwa na Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete, kwa kuchaguliwa na kujiunga na sisi katika Bunge hili. Tunaamini kwamba, tutapata ushirikiano unaostahili. (Makofi) Waheshimiwa Wabunge, katika Mkutano wa Kumi na Nne, Bunge lilipitisha Miswada ya Sheria minne iitwayo; Muswada wa Sheria wa GEPF ya Mfuko wa Mafao ya Wastaafu wa Mwaka 2013 (The GEPF Retirement Benefit Fund Bill, 2013); Muswada Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali Namba Tatu wa Mwaka 2013 (The Written Laws (Miscellaneous Amendments) Number Three Bill, 2013); Muswada Sheria ya Kura ya Maoni (The Referendum Bill, 2013); na Muswada wa Sheria ya Marekebisho Kodi ya Ushuru wa Mwaka 2013 (The Excise Management and Tariffs (Ammendment Bill), 2013). Kwa Taarifa hii, ninapenda kuliarifu Bunge hili Tukufu kwamba, Miswada hiyo imekwishapata kibali cha Mheshimiwa Rais na kuwa Sheria za nchi ziitwazo; Sheria ya Kwanza ni Sheria ya GEPF ya Mafao ya Mfuko wa Mafao ya Wastaafu Namba Saba ya Mwaka 2013 (The GEPF Retirement Benefit Fund Act Number Seven of 2013); Sheria ya pili ni Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali Namba Nane ya Mwaka 2013 (The Written Laws (Miscellaneous Amendments) Number Three Act Number 8 of 2013); Sheria ya Tatu ni Sheria ya Kura ya Maoni Namba Kumi ya Mwaka 2013 (The Referendum Act Number 10 of 2013); na Sheria ya nne ni 1 Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) Sheria ya Marekebisho ya Kodi ya Ushuru Namba Kumi na Moja ya Mwaka 2013 (The Excise Management and Tariff Amendment Act Number 11 of 2013).
  • Single-Party Rule in a Multiparty Age: Tanzania in Comparative Perspective

    Single-Party Rule in a Multiparty Age: Tanzania in Comparative Perspective

    SINGLE-PARTY RULE IN A MULTIPARTY AGE: TANZANIA IN COMPARATIVE PERSPECTIVE A Dissertation Submitted to the Temple University Graduate Board in Partial Fulfillment of the Requirement of the Degree DOCTOR OF PHILOSOPHY by Richard L. Whitehead August, 2009 © by Richard L. Whitehead 2009 All Rights Reserved ii ABSTRACT Title: Single-Party Rule in a Multiparty Age: Tanzania in Comparative Perspective Candidate's Name: Richard L. Whitehead Degree: Doctor of Philosophy Temple University, 2009 Doctoral Advisory Committee Chair: Richard Deeg As international pressure for multiparty reforms swept Africa during the early 1990s, long- time incumbent, such as UNIP in Zambia, KANU in Kenya, and the MCP in Malawi, were simultaneously challenged by widespread domestic demands for multiparty reforms. Only ten years later, after succumbing to reform demands, many long-time incumbents were out of office after holding competitive multiparty elections. My research seeks an explanation for why this pattern did not emerge in Tanzanian, where the domestic push for multiparty change was weak, and, despite the occurrence of three multiparty elections, the CCM continues to win with sizable election margins. As identified in research on semi-authoritarian rule, the post-reform pattern for incumbency maintenance in countries like Togo, Gabon, and Cameroon included strong doses of repression, manipulation and patronage as tactics for surviving in office under to multiparty elections. Comparatively speaking however, governance by the CCM did not fit the typical post-Cold-War semi-authoritarian pattern of governance either. In Tanzania, coercion and manipulation appears less rampant, while patronage, as a constant across nearly every African regime, cannot explain the overwhelming mass support the CCM continues to enjoy today.
  • MKUTANO WA PILI Kikao Cha Nne – Tarehe 5 Februari, 2021 (Bunge

    MKUTANO WA PILI Kikao Cha Nne – Tarehe 5 Februari, 2021 (Bunge

    NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA __________ MAJADILIANO YA BUNGE __________ MKUTANO WA PILI Kikao cha Nne – Tarehe 5 Februari, 2021 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu. NDG. ASIA MINJA – KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, maswali tutaanza na Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Mheshimiwa Almas Athuman Maige, Mbunge wa Tabora Kaskazini sasa aulize swali lake. Kwa niaba yake Mheshimiwa Innocent Bilakwate. Na. 42 Ujenzi wa Vituo vya Afya kwa Nguvu za Wananchi MHE. INNOCENT S. BILAKWATE (K.n.y. MHE. ALMAS A. MAIGE) aliuliza:- Wananchi wa Jimbo la Tabora Kaskazini wamejitolea kujenga Vituo vya Afya katika Kata za llolangulu, Mabama, Shitagena na Usagari katika Kijiji cha Migungumalo:- Je, Serikali ipo tayari kuanza kuchangia miradi hiyo? 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, majibu. NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. DKT. FESTO J. DUGANGE) alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Almas Athuman Maige, Mbunge wa Tabora Kaskazini, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali inatambua mchango mkubwa wa wananchi katika ujenzi wa vituo vya kutolea huduma za afya kote nchini. Hivyo, Serikali ina dhamira ya dhati ya kuchangia nguvu hizo za wananchi katika kukamilishaji vituo hivyo ili vianze kutoa huduma kwa wananchi. Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali inaendelea kutekeleza mpango wa ukarabati na ujenzi wa vituo vya kutolea huduma za afya nchini ikiwemo kukamilisha maboma ya majengo ya kutolea huduma za afya yaliyojengwa na wananchi katika Mamlaka za Serikali za Mitaa, ambapo ujenzi wake ulisimama kwa kukosa fedha.
  • Tarehe 4 Aprili, 2017

    Tarehe 4 Aprili, 2017

    NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA SABA Kikao cha Kwanza – Tarehe 4 Aprili, 2017 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) WIMBO WA TAIFA (Hapa Waheshimiwa Wabunge Waliimba Wimbo wa Taifa) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Natoa nafasi kwa Waheshimiwa Wabunge mnaoingia, naomba mfanye haraka kidogo. Waheshimiwa Wabunge, nawakaribisha kwenye Mkutano wa Saba, Kikao cha Kwanza, Katibu! (Vigelegele) DKT. THOMAS KASHILILAH – KATIBU WA BUNGE: KIAPO CHA UAMINIFU Mheshimiwa Mbunge afuatae aliapa Kiapo cha Uaminifu:- Mhe. Salma Rashid Kikwete. (Vigelegele/Makofi) SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, nashukuru kwa makofi yenu. Tuendelee sasa maana nilikuwa nasubiri kidogo nione mama anakaa wapi ili akisimama kwenye maswali 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) nijue yupo wapi maana leo nataka nimpe swali la kwanza. Katibu tuendelee! (Makofi/Kicheko/Vigelegele) DKT. THOMAS KASHILILAH – KATIBU WA BUNGE: TAARIFA YA SPIKA SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, katika Mkutano wa Sita wa Bunge, Bunge lilipitisha Miswada ya Sheria ya Serikali miwili ifuatayo:- (i) Muswada wa Sheria ya Huduma ya Msaada wa Kisheria (The Legal Aid Bill, 2016); na (ii) Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali Na.4 wa Mwaka 2016 (The Written Laws (Miscellaneous Amendment) No. 4 Bill 2016) Kwa Taarifa hii, napenda kuliarifu Bunge hili Tukufu kwamba tayari Miswada hiyo miwili imepata kibali cha Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuwa sheria za nchi zinazoitwa:- (i) Sheria ya Huduma ya Msaada wa Kisheria Na.1 ya Mwaka 2017 (The Legal Aid Act No.1, 2017); na (ii) Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali Na.4 ya Mwaka 2017 (The Written Laws (Miscellaneous Amendment) No.4, Act No.2 2017).
  • Jarida La Nchi Yetu

    Jarida La Nchi Yetu

    NCHIJarida YETU la Mtandaoni Utamaduni, Sanaa na Michezo TOLEO NA.3 Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO TOLEO LA MACHI 2017 MWAKA WA FEDHA 2017-2018: BAJETI YA MAENDELEO JUU Miradi saba mikubwa ya kipaumbele kutekelezwa Lengo ni kufikia malengo ya Dira 2025 www.tanzania.go.tz i Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO Bodi ya Uhariri Mwenyekiti Dkt. Hassan Abbasi Mkurugenzi-Idara ya Habari-MAELEZO Wajumbe Zamaradi Kawawa Vincent Tiganya John Lukuwi Elias Malima Msanifu Jarida Hassan Silayo Huduma zitolewazo MAELEZO 1.Kuuza picha za Viongozi wa Taifa na matukio muhimu ya Serikali. 2.Kusajili Magazeti pamoja na Majarida 3.Kukodisha ukumbi kwa ajili ya mikutano na Waandishi wa Habari. 4.Rejea ya Magazeti na Picha za Zamani 5.Kupokea kero mbalimbali za wananchi. Jarida hili hutolewa na: Idara ya Habari-MAELEZO S.L.P 8031 Dar es Salaam-Tanzania Simu : (+255) 22 -2122771 Baruapepe:[email protected] Tovuti: www.maelezo.go.tz Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO ii TAHARIRI UJENZI BARABARA YA JUU UBUNGO MFANO WA MTAZAMO WA KIMAENDELEO WA JPM Miundombinu bora ni kichocheo cha maendeleo ya kiuchumi. Kwa kipindi kirefu jiji la Dar es Salaam limekuwa likikabiliwa na changamoto ya msongamano mkubwa wa magari kiasi kwamba watumishi wa Serikali na wananchi wengine kwa ujumla hutumia wastani wa saa 3 hadi 6 kwenda na kurudi kazini. Muda huu ni mwingi sana kuupoteza kila siku. Kwa hesabu za haraka huu ni muda mwingi kwa siku, kwa mwezi na hata kwa mwaka. Muda huu ungetumika katika uzalishaji, basi nchi yetu ingepiga hatua kubwa kiuchumi. Nia ya wazi ya Rais John Pombe Magufuli kuendeleza ujenzi wa barabara za juu (flyovers) inataraji kupunguza ama kuondoa changamoto hii.Tumeshuhudia hivi karibuni ujenzi wa barabara za juu katika eneo la Tazara ukiendelea ili kupunguza msongamano.
  • 1 Bunge La Tanzania

    1 Bunge La Tanzania

    NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Ishirini na Tano – Tarehe 9 Mei, 2018 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa tukae. Katibu. NDG. LINA KITOSI – KATIBU MEZANI: HATI ZA KUWASILISHA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI: Randama ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) NAIBU SPIKA: Katibu. NDG. LINA KITOSI - KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU Na. 207 Hospitali za Wilaya MHE. ESTHER L. MIDIMU aliuliza:- Wilaya ya Itilima na Busega ni Wilaya mpya na hazina Hospitali za Wilaya. Je, ni lini Serikali itajenga Hospitali za Wilaya kwenye Wilaya hizo? NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. JOSEPHAT S. KANDEGE) alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI naomba kujibu swali la Mheshimiwa Esther Lukago Midimu, Mbunge wa Viti Maalum, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Naibu Spika, Halmashauri za Wilaya ya Itilima na Busega zilianzishwa mwaka 2015 na zina idadi ya watu 346,170 kwa Itilima na 224,527 kwa Busega. Ni kweli kwamba Halmashauri hizi bado hazina Hospitali za Wilaya na wananchi wanapata huduma kupitia zahanati 45 na vituo vya afya saba ambapo kati ya hivyo zahanati 27 na vituo vya afya vitatu vipo Halmashauri ya Wilaya ya Itilima na zahanati 18 na vituo vya afya vinne vipo Halmashauri ya Wilaya ya Busega.
  • Anti-Corruption in Tanzania: a Political Settlements Analysis Antonio Andreoni1

    Working Paper 001 Anti-Corruption in Tanzania: A political settlements analysis Antonio Andreoni1 Revised version October 2017 1 SOAS, University of London Email: [email protected] Anti-Corruption in Tanzania: A political settlements analysis Contents Executive summary 4 Acknowledgments 5 1. Introduction 6 2. Major sectors and drivers of growth in Tanzania 9 3. Political settlement and political corruption in Tanzania 19 3.1. The Nyerere developmental state and the deep roots of clientelistic networks in Tanzania (1961-1985) 21 3.2. Privatisation, multi-partitism and corruption: the weakening of the dominant party under Mwinyi (1985-1995) 23 3.3. The Mkapa reforms and the response to corruption of a weak dominant party (1995-2005) 26 3.4. Grand corruption and competitive clientelism under Kikwete (2005-2015) 28 3.5. The “bulldozer” or the “builder”? The vulnerability of the authoritarian coalition and the potential developmental state under Magufuli 32 3.6. Tanzania Political Settlement evolution and scenario analysis 42 4. Anti-corruption framework and corruption evidence in Tanzania. 45 4.1. The legal and institutional anti-corruption framework 45 4.2. Corruption evidence and types of corruption 46 5. Strategic opportunities for anti-corruption evidence (ACE) strategies in Tanzania 52 6. References 57 Figures Figure 1: World Governance Indicators, Tanzania and comparators, 2005-2015 6 Figure 2: Most problematic factors for doing business in Tanzania, 2015 7 Figure 3: Tanzania and comparators: Real GDP Growth benchmarking 9 Figure 4:
  • Majadiliano Ya Bunge ______

    NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA __________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ BUNGE LA KUMI NA MOJA MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Ishirini na Moja – Tarehe 6 Mei, 2019 (Bunge lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Andrew J. Chenge) Alisoma Dua MWENYEKITI: Waheshimiwa tukae. Katibu. NDG. PAMELA PALLANGYO – KATIBU MEZANI: HATI ZA KUWASILISHA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa mwaka wa fedha, 2018/2019. MWENYEKITI: Ahsante. Katibu. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) NDG. PAMELA PALLANGYO – KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU MWENYEKITI: Swali letu la kwanza leo linaulizwa na Mheshimiwa Ruth Mollel, Mbunge wa Viti Maalum na linaelekezwa Ofisi ya Rais, TAMISEMI. Na. 166 Athari za Mtambo wa Kuchoma Takataka za Hospitali na Dawa Zilizokwisha Muda – Mkuranga MHE. RUTH H. MOLLEL aliuliza:- Mtambo wa kuchoma takataka za hospitali na dawa zilizokwisha muda wake upo katika Kijiji cha Dundani Wilayani Mkuranga. Uchomaji unapofanyika moshi mzito huingia kwenye nyumba na maeneo ya wananchi wanaoishi karibu na mtambo huo na kuhatarisha afya zao:- Je, Serikali ina mkakati gani wa kunusuru afya na maisha ya wananchi wanaoishi karibu na mtambo huo? NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. JOSEPHAT S. KANDEGE) alijibu:- Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Ruth Hiyob Mollel, Mbunge wa Viti Maalum, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Mwenyekiti, ni kweli kwamba upo mtambo wa kuchomea taka na dawa zilizokwisha muda wake uliojengwa na mwekezaji katika Kijiji cha Dundani, Wilaya ya Mkuranga.
  • Tarehe 11 Mei, 2017

    NAKALA YA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA SABA Kikao cha Ishirini na Mbili – Tarehe 11 Mei, 2017 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu. NDG. CHARLES MLOKA – KATIBU MEZANI: MASWALI KWA WAZIRI MKUU NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tutaanza na maswali kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu. Waheshimiwa Wabunge, tutaanza na Mheshimiwa Freeman Aikaeli Mbowe, Kiongozi wa Upinzani Bungeni. MHE. FREEMAN A. MBOWE: Mheshimiwa Naibu Spika, nakushukuru kwa kunipa nafasi ya kwanza ya kumuuliza Waziri Mkuu swali. Mheshimiwa Waziri Mkuu, Bunge kwa mujibu wa Katiba Ibara ya 63(2), ndicho chombo kikuu chenye mamlaka na wajibu wa kuisimamia na kuishauri Serikali. Katika Bunge hili, Bunge la Kumi na Mabunge mengine kadhaa, Bunge limekuwa linatoa Maazimio kadhaa kuitaka Serikali itoe taarifa na Serikali imekuwa inaahidi kutoa taarifa, lakini taarifa nyingi ambazo ni Maazimio ya Bunge yamekuwa hayatekelezwi na Serikali. 1 NAKALA YA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) Mheshimiwa Naibu Spika, kwa mfano, kuna Maazimio ya Bunge kuhusiana na Tokomeza mpaka leo Serikali haijaleta majibu. Kuna Maazimio ya Bunge kuhusiana na ESCROW na IPTL, Serikali mpaka leo haijatoa majibu. Kuna Maazimio ya Bunge kuhusu mabilioni ya Uswis, Serikali mpaka leo haijatoa majibu na Maazimio mengine mengi. (Makofi) Mheshimiwa Waziri Mkuu unaliambia nini Bunge na unaliambia nini Taifa. Wewe kama Kiongozi wa Serikali Bungeni, utapenda kusema kwamba