Tarehe 30 Machi, 2021

Tarehe 30 Machi, 2021

<p><em>N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C &nbsp; U M EN T ) </em></p><p><strong>BUNGE LA TANZANIA </strong></p><p>________ </p><p><strong>MAJADILIANO YA BUNGE </strong></p><p>_________ </p><p><strong>MKUTANO WA TATU </strong><br><strong>Kikao cha Kwanza – Tarehe 30 Machi, 2021 </strong></p><p><em>(Bunge l ili a n za S a a T a t u A s u b uh i ) </em></p><p><strong>WIMBO WA TAIFA NA WIMBO WA JUMUIYA YA </strong><br><strong>AFRIKA MASHARIKI </strong></p><p><em>(H a pa K w aya ya Bunge i lii m ba W i m bo wa T a i fa na Wim b o wa Jumu i y a ya Af r ika M a s h a r iki) </em></p><p><strong>D U A </strong></p><p><em>N a i b u S p i ka ( M he &nbsp; . Dkt. T u l ia A c k s o n) A l is o ma Dua </em></p><p><strong>NAIBU SPIKA: </strong>Wa heshimiwa&nbsp;Wa bunge, tuka e. Ka tibu. </p><p><strong>NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE: </strong><br><strong>TAARIFA YA SPIKA </strong></p><p><strong>NAIBU SPIKA: </strong>Wa heshimiwa&nbsp;Wa bunge, nita leta&nbsp;kwenu <br>Ta a rifa&nbsp;ya Mhe&nbsp;shimiwa Spika&nbsp;, Mhe&nbsp;shimiwa J&nbsp;ob Yustino Nduga i. </p><p>Wa he shimiwa&nbsp;Wa bunge ,&nbsp;ka ma&nbsp;a mba vyo&nbsp;wote tuna fa ha mu&nbsp;a liyekuwa&nbsp;Ra is&nbsp;wa Ja&nbsp;mhuri ya&nbsp;Muunga no&nbsp;wa Ta nza nia&nbsp;Ha ya ti&nbsp;Dkt. John Pombe Joseph Ma&nbsp;gufuli a&nbsp;lifa riki dunia ta&nbsp;rehe 17 Ma&nbsp;c hi,&nbsp;2021 ka tika&nbsp;Hospita li ya&nbsp;Mzena ,&nbsp;Jijini Da r es Sa la a m a likokuwa&nbsp;a kipa tiwa&nbsp;ma tiba bu. </p><p>1</p><p><em>N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C &nbsp; U M EN T ) </em></p><p>Wa he shimiw a&nbsp;Wa b unge ,&nbsp;kufua tia&nbsp;msib a&nbsp;huo wa na nc hi wa&nbsp;Ta nza nia&nbsp;wa lipa ta&nbsp;fursa ya kutoa heshima za mwisho ka&nbsp;ma ifua&nbsp;ta vyo;&nbsp;ta rehe&nbsp;20 ha&nbsp;di 21 Ma&nbsp;c hi,&nbsp;2021 Mkoa ni&nbsp;Da r&nbsp;e s&nbsp;Sa la a m,&nbsp;ta re he&nbsp;22 Ma&nbsp;c hi,&nbsp;2021 Mkoa&nbsp;ni Dodoma a&nbsp;mba po&nbsp;pia ilifa&nbsp;nyika ha&nbsp;fla ya kita&nbsp;ifa .&nbsp;Ta rehe&nbsp;23 Ma c hi, 2021 ilikuwa&nbsp;Za nziba r na&nbsp;ta rehe 24 Ma c hi, 2021 ilikuwa mkoa ni Mwa nza . </p><p>Wa heshimiwa&nbsp;Wa bunge,&nbsp;na zisikia&nbsp;kelele sina ha&nbsp;kika ka ma&nbsp;wote tuko pa moja kwenye ja mbo hili zito lililolipa ta Ta ifa letu. Ta rehe 25 ha di 26 mkoa ni G eita&nbsp;na C&nbsp;ha to. </p><p>Wa heshimiwa&nbsp;Wa bunge,&nbsp;ma zishi&nbsp;ya a&nbsp;liyekuwa Ra&nbsp;is wa Ja&nbsp;mhuri ya&nbsp;Muunga no wa Ta nza nia Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Ma gufuli ya lifa nyika&nbsp;siku ya Ijuma&nbsp;a ta&nbsp;rehe 26 Ma c hi,&nbsp;2021 nyumba ni kwa ke&nbsp;C ha to,&nbsp;Mkoa ni G eita . </p><p>Wa heshimiwa&nbsp;Wa bunge,&nbsp;kwa kuwa leo ni&nbsp;siku ya kwa nza&nbsp;kwa Bunge hili&nbsp;kukuta na&nbsp;ta ngu ulipotokea&nbsp;msiba huo na omba&nbsp;Wa heshimiwa&nbsp;Wa bunge tusima me kwa da kika moja ili kumkumbuka&nbsp;mpendwa wetu. </p><p><em>(H a pa W a bunge wa l isi m ama kwa dak i ka m o j a kumkum b uka a l i y e &nbsp; kuwa R a i s w a Jamhu r i y a Muungano wa </em><br><em>T a n z a n i a H a ya t i &nbsp; Dkt. J ohn Pombe Jo s e &nbsp; p h Magu f u l i) </em></p><p><strong>NAIBU SPIKA: </strong>Bwa na&nbsp;a metoa&nbsp;na Bwa&nbsp;na a&nbsp;metwa a , jina la Bwa&nbsp;na lihimidiwe. </p><p>Wa heshimiwa&nbsp;Wa bunge,&nbsp;tuka e. Ka tibu. </p><p><strong>NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE: </strong><br><strong>HATI ZA KUWASILISHA MEZANI </strong></p><p>Ha ti zifua ta zo ziliwa silishwa&nbsp;Meza ni na :- </p><p><strong>MHE. NAJMA MURTAZA GIGA: </strong></p><p>2</p><p><em>N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C &nbsp; U M EN T ) </em></p><p>Azimio la Bunge la kuuta&nbsp;mbua na kuuenzi&nbsp;mc ha ngo wa Ra&nbsp;is wa&nbsp;Ta no&nbsp;wa Ja&nbsp;mhuri ya&nbsp;Muunga no&nbsp;wa Ta&nbsp;nza nia , Dkt. J&nbsp;ohn Pombe J&nbsp;ose ph&nbsp;Ma gufuli&nbsp;kwa utumishi&nbsp;wa ke uliotukuka . </p><p><strong>MHE. JOSEPH K. MHAGAMA: </strong></p><p>Azimio la Bunge la kumpongeza Mheshimiwa Sa&nbsp;mia <br>Suluhu Ha&nbsp;ssa n&nbsp;kuwa Ra&nbsp;is wa&nbsp;Ja mhuri&nbsp;ya Muunga&nbsp;no wa Ta nza nia . </p><p><strong>NAIBU SPIKA: </strong>Ahsa nte&nbsp;sa na . Ka tibu. </p><p><strong>NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE: </strong><br><strong>MASWALI NA MAJIBU </strong></p><p>Na . 1 </p><p><strong>Ukamilishiji wa&nbsp;Ujenzi wa&nbsp;Ofisi ya&nbsp;Halmashauri ya </strong><br><strong>Wilaya ya Magu </strong></p><p><strong>MHE. BONIVENTURA D. KISWAGA </strong>a liuliza :- </p><p>J e ,&nbsp;Se rika li&nbsp;ina mpa&nbsp;ngo ga&nbsp;ni wa&nbsp;kutoa fe&nbsp;dha ili kuka milisha&nbsp;ujenzi wa&nbsp;Ofisi ya&nbsp;Ha lma sha uri&nbsp;ya Wila&nbsp;ya ya Ma gu? </p><p><strong>NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA </strong><br><strong>SERIKALI ZA MITAA (MHE. DKT. FESTO J. DUGANGE) </strong>a lijibu:- </p><p>Mheshimiwa Na&nbsp;ibu Spika&nbsp;, kwa nia&nbsp;ba ya Wa&nbsp;ziri wa <br>Nc hi,&nbsp;O fisi&nbsp;ya Ra&nbsp;is, TAMISEMI, na&nbsp;omba kujibu sw&nbsp;a li&nbsp;la Mheshimiwa Boniventura Destery Kiswa ga , Mbunge wa Jimbo la Ma&nbsp;gu ka ma&nbsp;ifua ta vyo; </p><p>Mheshimiwa Na&nbsp;ibu Spika&nbsp;, ka&nbsp;tika kipindi&nbsp;c ha&nbsp;mia ka mita no&nbsp;iliyopita Serika&nbsp;li imeendelea&nbsp;na ujenzi&nbsp;wa ma&nbsp;jengo ya uta&nbsp;wa la&nbsp;ka tika&nbsp;Ha lma sha uri 100 ikiwemo Ha lma sha uri ya </p><p>3</p><p><em>N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C &nbsp; U M EN T ) </em></p><p>Wila ya&nbsp;ya Ma&nbsp;gu a mba zo kwa&nbsp;ujumla zimegha&nbsp;rimu kia si c ha shilingi bilioni 147.33. </p><p>Mheshimiwa Na&nbsp;ibu Spika , Serika li ina endelea&nbsp;na ujenzi wa jengo la Uta&nbsp;wa la&nbsp;la Ha&nbsp;lma sha uri&nbsp;ya Wila&nbsp;ya ya Ma&nbsp;gu a mba lo lita gha rimu shilingi bilioni ta no ha di kuka milika . Ha di mwezi Februa&nbsp;ri 2021, Serika&nbsp;li ilikuwa&nbsp;imekwisha toa&nbsp;shilingi bilioni ta&nbsp;tu kwa a&nbsp;jili ya&nbsp;ujenzi wa&nbsp;jengo hilo a&nbsp;mba lo&nbsp;ta ya ri limeezekwa .&nbsp;Ka tika&nbsp;mwa ka&nbsp;wa fedha 2020/2021 Serika&nbsp;li imetenga kia&nbsp;si c ha&nbsp;shilingi milioni 750 kwa&nbsp;a jili ya&nbsp;kuendelea na ha&nbsp;tua ya uka&nbsp;milisha ji wa&nbsp;jengo hilo. </p><p><strong>NAIBU SPIKA: </strong>Mheshimiwa Boniventura Kiswa&nbsp;ga swa&nbsp;li la nyongeza&nbsp;. </p><p><strong>MHE. BONIVENTURA D. KISWAGA: </strong>Mheshimiwa Na&nbsp;ibu </p><p>Spika ,&nbsp;na shukuru kwa&nbsp;ma jibu ma zuri ya&nbsp;Serika li. <br>Kwa kuwa ba&nbsp;jeti ina yoendelea&nbsp;sa sa&nbsp;tuko robo ya ta tu na Serika&nbsp;li ilitenga&nbsp;shilingi milioni 750, ni lini Serika li ita zileta&nbsp;hizi fedha za ba&nbsp;jeti ya&nbsp;mwa ka&nbsp;huu una&nbsp;oendelea ili&nbsp;tuweze kuendelea na ujenzi&nbsp;wa jengo hilo la Ha&nbsp;lma sha uri?&nbsp;<em>(Makof i ) </em></p><p>Swa li la&nbsp;pili, kwa kuwa jengo hili ni la muda mrefu na <br>Serika li imewekeza&nbsp;fedha nyingi&nbsp;za kutosha na ili&nbsp;ufa nisi wa shughuli za&nbsp;Ha lma sha uri uweze&nbsp;kwenda vizuri, je, mwa ka huu wa fedha Serika&nbsp;li ita tenga&nbsp;fedha za utoshelevu ili&nbsp;kuha kikisha kwa mba&nbsp;jengo hili lina ka milika&nbsp;na ma&nbsp;jengo mengine a mba yo ya ko&nbsp;kwenye nc&nbsp;hi hii?&nbsp;<em>(Makof i ) </em></p><p><strong>NAIBU SPIKA: </strong>Mheshimiwa Na&nbsp;ibu Wa ziri, Ofisi ya&nbsp;Ra is, <br>TAMISEMI, ma jibu. </p><p><strong>NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA </strong><br><strong>SERIKALI ZA MITAA (MHE. DKT. FESTO J. DUG&nbsp;ANG E): </strong></p><p>Mheshimiwa Na&nbsp;ibu Spika , na omba&nbsp;kujibu ma swa li ma wili ya nyongeza ya Mheshimiwa Boniventura Kiswa&nbsp;ga , Mbunge wa Jimbo la Ma&nbsp;gu ka ma&nbsp;ifua ta vyo:- </p><p>4</p><p><em>N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C &nbsp; U M EN T ) </em></p><p>Mhe shimiw a&nbsp;Na ib u&nbsp;Sp ika ,&nbsp;ka ma&nbsp;a mb a vyo nimeta ngulia&nbsp;kujibu kwenye swa&nbsp;li la&nbsp;msingi kwa mba&nbsp;Serika li kwa mwa&nbsp;ka huu wa fedha 2020/2021 imekwisha tenga shilingi milioni 750 kwa&nbsp;a jili ya&nbsp;kufa nya&nbsp;shughuli za&nbsp;uma lizia ji wa&nbsp;jengo la uta&nbsp;w a la&nbsp;ka tika&nbsp;Ha lma sha uri&nbsp;ya Ma&nbsp;gu. Na&nbsp;omb a nimha kikishie Mheshimiwa Mbunge wa Ma gu kwa mba fedha hizo ziko ka&nbsp;tika ha&nbsp;tua za mwisho za kutolewa ili&nbsp;ziweze kufikishwa ka&nbsp;tika Ha&nbsp;lma sha uri&nbsp;hiyo kwa a&nbsp;jili ya&nbsp;kutekeleza </p><p>shughuli hizo zilizoka diriwa . <em>(Makof i ) </em></p><p>Mheshimiwa Na&nbsp;ibu Spika , kuhusia na na jengo hili kuwa la muda mrefu ni&nbsp;kweli na&nbsp;Serika li ina ta mbua&nbsp;kwa mba&nbsp;jengo hili lina&nbsp;muda mrefu ta&nbsp;ngu limea&nbsp;nza kujengwa&nbsp;, na dha&nbsp;mira ya Serika&nbsp;li ni kuha&nbsp;kikisha kwa&nbsp;mba lina&nbsp;ka milika&nbsp;ma pema iwezeka na vyo na&nbsp;ndiyo ma a na&nbsp;ka tika&nbsp;ba jeti ya&nbsp;mwa ka&nbsp;uja o wa fedha Serika&nbsp;li ita&nbsp;tenga kia&nbsp;si c ha&nbsp;shilingi bilioni moja&nbsp;na milioni mia&nbsp;moja kwa a&nbsp;jili ya&nbsp;jengo la uta&nbsp;wa la&nbsp;la Ha&nbsp;lma sha uri ya Wila&nbsp;ya ya Ma&nbsp;gu. Kwa hiyo, na&nbsp;omba nimha&nbsp;kikishie Mheshimiwa Mbunge kwa&nbsp;mba Serika&nbsp;li ita tenga&nbsp;fedha hizo na zita&nbsp;fikishwa ili&nbsp;ziweze kuka&nbsp;milisha jengo hilo kwa a&nbsp;jili ya kuboresha huduma kwa wa&nbsp;na nc hi. </p><p><strong>NAIBU SPIKA: </strong>Ahsa nte sa na . Mheshimiwa Na pe Moses <br>Nna uye&nbsp;swa li la&nbsp;nyongeza . </p><p><strong>MHE. NAPE M. NNAUYE: </strong>Mheshimiwa Na&nbsp;ibu Spika&nbsp;, </p><p>na kushukuru kwa&nbsp;kunipa na&nbsp;fa si niulize swa li dogo la nyongeza . <br>Mheshimiwa Na&nbsp;ibu Spika&nbsp;, Ha&nbsp;lma sha uri&nbsp;ya Mta&nbsp;ma tulipoka bidhiwa&nbsp;Ha lma sha uri hii na&nbsp;Mheshimiwa Ra&nbsp;is a litua hidi kwa mba&nbsp;ujenzi wa&nbsp;mjengo ya&nbsp;ke uta&nbsp;a nza&nbsp;ma pema&nbsp;na hivi ka ribuni&nbsp;Wa ziri&nbsp;Mkuu a&nbsp;lifa nya&nbsp;zia ra&nbsp;J imboni&nbsp;Mta ma&nbsp;na kutua hidi kwa mba&nbsp;hizi fedha&nbsp;za ujenzi&nbsp;zita kuja . </p><p>Sa sa&nbsp;je, Serika li iko ta ya ri kua nza&nbsp;kuleta hizi&nbsp;fedha ha&nbsp;ta ka ma&nbsp;ni kwa&nbsp;a wa mu&nbsp;ili ujenzi huu na&nbsp;a ha di ya&nbsp;Mheshimiwa Ra is ia nze&nbsp;kutekelezwa ? </p><p><strong>NAIBU SPIKA: </strong>Mheshimiwa Na&nbsp;ibu Wa ziri, Ofisi ya&nbsp;Ra is, <br>TAMISEMI ma jibu. </p><p>5</p><p><em>N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C &nbsp; U M EN T ) </em></p><p><strong>NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA </strong><br><strong>SERIKALI ZA MITAA (MHE. DKT. FESTO J. DUG&nbsp;ANG E): </strong></p><p>Mheshimiwa Na&nbsp;ibu Spika , na omba&nbsp;kujibu swa li la&nbsp;nyongeza la Mheshimiwa Na&nbsp;pe Moses Nna&nbsp;uye, Mbunge wa Mta&nbsp;ma ka ma&nbsp;ifua ta vyo:- </p><p>Mheshimiwa Na&nbsp;ibu Spika&nbsp;, ni kweli kwa&nbsp;mba Serika&nbsp;li imedha miria&nbsp;kuha kikisha&nbsp;ina ka milisha&nbsp;a u&nbsp;ina a nza&nbsp;ujenzi wa ma jengo&nbsp;ya uta&nbsp;wa la&nbsp;ka tika&nbsp;Ha lma sha uri zile&nbsp;mpya a&nbsp;mba zo miongoni mwa o ni Ha lma sha uri hii ya&nbsp;Mta ma . </p><p>Mheshimiwa Na&nbsp;ibu Spika&nbsp;, ka&nbsp;tika mwa&nbsp;ka huu wa fedha jumla ya shilingi&nbsp;bilioni 80.42 zimetengwa&nbsp;na zita&nbsp;a nza kutole w a&nbsp;w a ka ti&nbsp;w ow ote&nbsp;kua nzia&nbsp;sa sa&nbsp;na ta&nbsp;ra tib u zina endelea&nbsp;ili zile&nbsp;Ha lma sha uri&nbsp;a mba zo&nbsp;kwa nza&nbsp;zilipa ta fedha za kua&nbsp;nza ujenzi&nbsp;zipa te&nbsp;fedha kwa a&nbsp;jili ya&nbsp;kuka milisha ma jengo&nbsp;ha yo&nbsp;la kini&nbsp;zile a&nbsp;mba zo&nbsp;zina hita ji&nbsp;kua nza&nbsp;ujenzi ziweze kupa&nbsp;ta fedha kwa a&nbsp;jili ya&nbsp;kua nza&nbsp;ujenzi wa&nbsp;ma jengo ya uta&nbsp;wa la . </p><p>Mheshimiwa Na&nbsp;ibu Spika , pili ka tika&nbsp;mwa ka&nbsp;wa fedha uja o&nbsp;pia Serika&nbsp;li ita&nbsp;tenga fedha kwa a&nbsp;jili ya&nbsp;kuha kikisha shughuli hizo za ujenzi wa ma jengo ya uta wa la zina ka milika . Kwa hivyo, na&nbsp;omba nimha&nbsp;kikishie Mbunge wa Mta&nbsp;ma , Mheshimiwa Na&nbsp;pe kwa&nbsp;mba Serika&nbsp;li ina&nbsp;ta mbua&nbsp;uhita ji&nbsp;wa kua nza&nbsp;ujenzi wa&nbsp;jengo la uta&nbsp;wa la&nbsp;ka tika&nbsp;Ha lma sha uri&nbsp;ya Na pe hiyo ya Mta ma na tuta ha kikisha fedha zina tengwa kwa a jili ya&nbsp;kua nza&nbsp;utekeleza ji wa&nbsp;mra di huo. <em>(Makof i ) </em></p><p><strong>NAIBU SPIKA: </strong>Tuna endelea&nbsp;na Wiza&nbsp;ra ya Ma&nbsp;mbo ya <br>Nda ni ya&nbsp;Nc hi.&nbsp;Mheshimiwa Na&nbsp;jma Murta&nbsp;za G&nbsp;iga ,&nbsp;Mbunge wa Viti&nbsp;Ma a lum&nbsp;sa sa&nbsp;a ulize&nbsp;swa li la ke. </p><p>Na . 2 </p><p><strong>Kuongezeka kwa Vitendo vya Ubakaji na </strong><br><strong>Udhalilishaji wa&nbsp;Watoto Nchini </strong></p><p><strong>MHE. NAJMA MURTAZA GIGA </strong>a liuliza :- </p><p>6</p><p><em>N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C &nbsp; U M EN T ) </em></p><p>(a )&nbsp;Je, Serika&nbsp;li ina sema je&nbsp;kuhusia na&nbsp;na ongezeko la vitendo vya uba&nbsp;ka ji na&nbsp;udha lilisha ji wa&nbsp;wa toto&nbsp;nc hini? </p><p>(b) Je, kwa nini Serika li ha ifa nyi ta fiti kujua&nbsp;sa ba bu za kesi nyingi kushindwa&nbsp;kuwa tia&nbsp;ha tia ni wa ba ka ji na&nbsp;kuja na mpa ngo&nbsp;mpya wa kudhibiti&nbsp;vitendo hivyo? </p><p><strong>NAIBU SPIKA: </strong>Mheshimiwa Na&nbsp;ibu Wa&nbsp;ziri wa&nbsp;Ma mbo ya Nda&nbsp;ni ma jibu. </p><p><strong>NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI </strong>a lijibu:- </p><p>Mheshimiwa Na&nbsp;ibu Spika&nbsp;<strong>, </strong>kwa nia&nbsp;ba ya Wa&nbsp;ziri wa <br>Ma mbo&nbsp;ya Nda&nbsp;ni ya&nbsp;Nc hi&nbsp;na omba&nbsp;kujibu ma&nbsp;swa li&nbsp;ya Mheshimiwa Na&nbsp;jma Murta&nbsp;za G&nbsp;iga ,&nbsp;Mbunge wa Viti&nbsp;Ma a lum yote ma&nbsp;wili kwa&nbsp;pa moja&nbsp;ka ma&nbsp;ifua ta vyo:- </p><p>Mhe shimiw a&nbsp;Na ibu&nbsp;Spika ,&nbsp;ni w&nbsp;a jibu&nbsp;w a&nbsp;Se rika li kuwa linda&nbsp;wa na nc hi wa kiwemo wa toto dhidi ya&nbsp;ma kosa&nbsp;ya uba ka ji na&nbsp;udha lilisha ji. Ili kupa mba na&nbsp;na vitendo hivi Serika li imekuwa ikic&nbsp;hukua ha&nbsp;tua ka&nbsp;li ikiwemo kifungo c ha mia ka 30 jela kwa wa&nbsp;na ojihusisha&nbsp;a u&nbsp;kusa idia&nbsp;kufa nyika&nbsp;kwa vitendo hivi. </p><p>Mheshimiwa Na&nbsp;ibu Spika , ta fiti nyingi zimefa nywa&nbsp;na a sa si&nbsp;mba limba li&nbsp;za Serika&nbsp;li na&nbsp;zisizokuwa za Kiserika&nbsp;li na zime ba ini&nbsp;kw a mba&nbsp;kuna sa&nbsp;ba bu&nbsp;mba limba li&nbsp;a mba zo zina sa ba bisha . Sa ba bu hizi zikiwemo sa ba bu za&nbsp;muha li la kini pia kuna sa&nbsp;ba bu&nbsp;za kuma&nbsp;liza na&nbsp;nje ya Ma&nbsp;ha ka m&nbsp;a na wa ha nga&nbsp;kuc helewa&nbsp;kuripoti vituo vya polisi. Kwa kipindi c ha mwa ka&nbsp;2020 jumla ya wa&nbsp;shta kiwa&nbsp;1,183 wa&nbsp;lihukumiwa vifungo jela . </p><p>Mheshimiwa Na&nbsp;ibu Spika&nbsp;, kupitia Bunge la&nbsp;ko tukufu na omba&nbsp;kutoa w&nbsp;ito kw&nbsp;a Wa&nbsp;he shimiw a&nbsp;Wa bunge&nbsp;na wa na nc hi&nbsp;kwa ujumla kutoya&nbsp;fumbia ma&nbsp;c ho&nbsp;ma tukio&nbsp;ya udha liliisha ji na&nbsp;uba ka ji ikiwemo&nbsp;kutoa ta&nbsp;a rifa&nbsp;kwa vyombo vya dola vina&nbsp;vyohusika . Ahsa nte. </p><p>7</p><p><em>N A K A L A M T A N D A O(O N LINE D O C &nbsp; U M EN T ) </em></p><p><strong>NAIBU SPIKA: </strong>Mheshimiwa Na&nbsp;jma Murta&nbsp;za G&nbsp;iga swa&nbsp;li la nyongeza&nbsp;. </p><p><strong>MHE. NAJMA MURTAZA GIGA: </strong>Mheshimiwa Na&nbsp;ibu </p><p>Spika , a hsa nte sa na , kwa nza&nbsp;niipongeze Serika&nbsp;li kwa&nbsp;jitiha da ina zoc hukua&nbsp;ka tika&nbsp;kupiga vita uka&nbsp;tili wa&nbsp;wa toto&nbsp;kwa sua&nbsp;la la uba&nbsp;ka ji.&nbsp;Ha ta&nbsp;hivyo nina ma&nbsp;swa li ma wili ya&nbsp;nyongeza . </p><p>Mheshimiwa Na&nbsp;ibu Spika&nbsp;, swa&nbsp;li la&nbsp;ngu la kwa&nbsp;nza lita lenga&nbsp;kwenye ma&nbsp;jibu a&nbsp;mba yo&nbsp;a meya toa&nbsp;Mheshimiwa Na ibu&nbsp;Wa ziri&nbsp;kuhusia na&nbsp;na ta&nbsp;fiti a&nbsp;mbya o&nbsp;a mefa nya&nbsp;na kututa ka&nbsp;sisi sa sa&nbsp;Wa bunge pa moja na wa na nc hi kwa ujumla kuweza kusa&nbsp;idia ka&nbsp;tika kuta&nbsp;tua c&nbsp;ha nga moto&nbsp;hizi. </p><p>Swa li&nbsp;la ngu&nbsp;liko kwa&nbsp;mba ,&nbsp;je ,&nbsp;ninyi ka&nbsp;ma Se&nbsp;rika li mme jip a nga je&nbsp;kuha kikisha&nbsp;kw a mb a&nbsp;vite ngo&nbsp;vyote vina vyoshughulikia&nbsp;ma sua la&nbsp;ya she&nbsp;ria na kutoa ha&nbsp;ki vina shirikia na&nbsp;kika milifu ili kuweza&nbsp;kutokomeza ma&nbsp;sua la&nbsp;ha ya a mba yo mmeya ta fiti? </p>

View Full Text

Details

  • File Type
    pdf
  • Upload Time
    -
  • Content Languages
    English
  • Upload User
    Anonymous/Not logged-in
  • File Pages
    177 Page
  • File Size
    -

Download

Channel Download Status
Express Download Enable

Copyright

We respect the copyrights and intellectual property rights of all users. All uploaded documents are either original works of the uploader or authorized works of the rightful owners.

  • Not to be reproduced or distributed without explicit permission.
  • Not used for commercial purposes outside of approved use cases.
  • Not used to infringe on the rights of the original creators.
  • If you believe any content infringes your copyright, please contact us immediately.

Support

For help with questions, suggestions, or problems, please contact us