Toleo Na.4 // Mei 2020

Yaliyomo // Sekta ya Madini Inaongoza Ujenzi Kiwanda cha Kuchakata kwa Ukuaji Nchini - Biteko Dhahabu Mwanza Washika Tume ya ... Na.04 kasi ... Na.05

Madini Profesa Msanjila Atoa Pongezi Udhibiti Utoroshaji Madini Nchini Ofisi ya Madini Singida Waimarika – Prof. Manya www.tumemadini.go.tz ... Na.06 ... Na.07

Tume ya Madini 2020 MABADILIKO YA JARIDA Tume ya Madini

Tunapenda kuwajulisha wasomaji wetu kuwa Jarida hili litaanza kutoka kila baada ya miezi mitatu ambapo toleo linalofuatia litatoka mwezi Septemba, 2020.

www.tumemadini.go.tz /TAHARIRI

Salamu Kutoka kwa Waziri wa Madini Maoni ya Mhariri

PONGEZI KWA WATUMISHI WA Tunajivunia Mafanikio WIZARA YA MADINI, MCHANGO Makubwa Sekta ya Madini WENU UMEONESHA TIJA KWENYE SEKTA

Aprili 21, 2020 niliwasilisha Bungeni Hotuba yangu ya Bajeti kuhusu Ili kuhakikisha kuwa Sekta ya Madini inakuwa na mchango mkubwa kwenye ukuaji wa Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2020/2021 uchumi wa nchi, Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dk. John Pombe Magufuli ilifanya Mabadiliko ya Sheria ya Madini ya Mwaka 2017 yaliyopelekea ambapo pia nilieleza utekelezaji wa Vipaumbele tulivyojiwekea kama uundwaji wa Tume ya Madini na kuondoa Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania Wizara kwa Mwaka 2019/2020. Ni dhahiri kuwa utekelezaji wa vipaum- (TMAA). bele vya Mwaka 2019/2020 vimekuwa tija katika maendeleo na ukuaji wa Sekta ya Madini pamoja na kuchangia na kukuza uchumi wa nchi yetu, Tangu kuanzishwa kwa Tume ya Madini, tumeshuhudia mabadiliko makubwa kwenye hilo halina shaka. Sekta ya Madini yaliyotokana na mafanikio kwenye usimamizi wa Sekta ya Madini huku wazawa wakinufaika na rasilimali za madini zilizopo nchini. Mafanikio yaliyopatikana tangu kuanzishwa kwa Tume ya Madini ni pamoja na Aidha, pamoja na mafanikio yote yaliyopatikana, siwezi kuacha uendelezaji wa wachimbaji wadogo ambapo mpaka sasa maeneo sita kwa ajili ya kutambua mchango na ushirikiano dhabiti walionipatia Watumishi wote wachimbaji madini wadogo yenye jumla ya ukubwa wa hekta 38,951.88 yametengwa. wa Wizara ya Madini, wakiwemo Viongozi wenzangu wa Wizara, Wenyeviti wa Bodi zote za Taasisi zilizo chini ya Wizara kwani utendaji Aidha, maeneo 13 yenye ukubwa wa hekta 22,970.00 yamependekezwa kwa ajili ya wao wa kazi na mshikamano umewezesha mafanikio yaliyopatikana wachimbaji wadogo. Maeneo hayo yapo Msasa na Matabe Mkoani Geita, Biharamulo na katika kipindi hiki na umeniwezesha mimi kama Waziri wa Madini Kyerwa Mkoani Kagera, Itigi Mkoani Singida, D-Reef, Ibindi na Kapanda Mkoani Katavi, Ngapa Mkoani Songea, Nzega Mkoani Tabora na Kitowelo Mkoani Lindi. kutekeleza majukumu ya Wizara kwa tija. Mafanikio mengine yaliyopatikana ni pamoja na uimarishwaji wa ukaguzi wa migodi Ninawaomba tuendelee na ushirikiano huo katika kipindi hiki tunapoka- katika masuala ya usalama, afya na utunzaji wa mazingira kwa kufanya ukaguzi milisha utekelezaji wa majukumu ya Mwaka huu wa Fedha 2019/2020 ili kwenye migodi Mikubwa, ya Kati na Midogo ambapo hadi Machi, 2020 jumla ya migodi hatimaye tuweze kufikia malengo yetu ikiwemo la ukusanyaji wa 123 ilikaguliwa ambapo migodi mikubwa ilikuwa minne ya kati minne na migodi maduhuli tuliyopangiwa na Serikali kwa Mwaka huu, la Shilingi midogo 115. 470,897,011,000 huku tukijiandaa kutekeleza Vipaumbele vya Mwaka Aidha, Serikali iliwaelekeza wamiliki wa migodi mikubwa na ya kati kuandaa mpango 2020/2021 zaidi ya tulivyofanya sasa. wa ufungaji migodi ambao utakuwa na gharama za kurejesha mazingira katika hali inayoweza kutumika kwa matumizi mengine ambapo hadi Machi, 2020 migodi 11 Pamoja na hayo, ninaendelea kuwasisitiza watumishi wa Wizara ya imewasilisha Mipango ya Ufungaji Migodi. Madini wakati wote tunapotekeleza majukumu yetu tuendelee kuchukua tahadhari ya Ugonjwa wa Covid-19 kwa kujikinga na kufuata ushauri Tume ya Madini imekuwa ikifanya ukaguzi wa kimkakati wa madini katika maeneo ya wachimbaji wa kati na wadogo ili kupata takwimu sahihi za uzalishaji katika migodi unaotolewa na Wizara yetu ya Afya na kuhakikisha pia tunawalinda na husika na kutumia taarifa hizo kulinganisha na takwimu za uzalishaji madini wengine. zinazowasilishwa Serikalini na wahusika.

Wito huu pia ninautoa kwa wadau wote wa madini tunapoendelea na Kutokana na ukaguzi huo Serikali ilifanikiwa kukusanya Mrabaha stahiki wa kiasi cha shughuli zetu katika maeneo yetu ya kazi ikiwemo ya uchimbaji na Shilingi 10,098,979,246.56 na Ada ya Ukaguzi shilingi 3,316,360,392.38 zilizotokana na kwenye biashara ya madini tuendelee kuchukua hatua za kujikinga na uzalishaji na mauzo ya tani 23,596,994.70 za madini ujenzi na tani 1,022,958.57 za kuwakinga wengine ili kwa pamoja tuijenge Tanzania ya Viwanda kupitia madini ya viwandani yenye jumla ya thamani ya shilingi 336,632,641,554.24. Sekta ya Madini Pia, Serikali ilifuta baadhi ya kodi zenye kero katika biashara ya madini kwa wachimbaji Nikirejea kwenye suala zima la kuhakikisha Sekta ya Madini inazidi kuwa wadogo. Kodi hizo ni kodi ya zuio (Withholding Tax – 5%) na kodi ya ongezeko la thamani yenye manufaa kwa taifa letu, kwa wadau wa madini na hususan (Value Added Tax -18%) pamoja na uanzishwaji wa masoko ya madini ambapo hadi wachimbaji wadogo wa madini, napenda kuendelea kusisitiza kuwa Machi, 2020 jumla ya masoko ya madini 28 na vituo vya ununuzi wa madini 28 yamean- serikali imedhamiria kuhakikisha wachimbaji wadogo wanachimba na zishwa nchini. kufanya biashara kwa faida huku Serikali ikiendelea kuweka mazingira Katika hatua nyingine, Tume ya Madini ilifanikiwa kuanzisha madawati maalum ya wezeshi waweze kutekeleza majukumu yao kikamilifu. ukaguzi katika viwanja vya ndege, Bandari na kwenye mipaka ya nchi kwa lengo la kudhibiti utoroshaji wa madini ambapo kazi husika hutekelezwa kwa kushirikiana na Kwa kuzingatia hilo, hivi karibuni nilikabidhi rasmi kwa Shirika letu la vyombo vya ulinzi na usalama na wadau wengine. Madini la Taifa (STAMICO) Viwanda Viwili vya Mfano vya kuchenjua Madini ya Dhahabu vya Lwamgasa- Geita na Katente Bukombe. Viwanda Hadi kufikia Machi, 2020 ukaguzi uliofanyika kupitia madawati yaliyopo katika viwanja vya ndege, bandari na mipaka, umewezesha kukamatwa kwa watoroshaji wa hivi vimejengwa mahususi kwa ajili ya kutoa mafunzo ya vitendo katika madini katika matukio 189 yaliyoripotiwa ambayo yalihusisha madini yenye thamani ya uchimbaji na uchenjuaji wa madini ya dhahabu kwa wachimbaji ili Dola za Marekani milioni 19.95 na shilingi bilioni 4.53. waweze kufanya shughuli zao kwa tija na hatimaye wakue. Aidha, Serikali ilifanikiwa kujenga ukuta wenye mzingo wa kilomita 24.5 kuzunguka Nipende kutoa wito kwa wachimbaji wadogo wa madini kuvitumia Migodi ya Mirerani ili kuzuia utoroshaji wa madini ya Tanzanite. Viwanda hivi kwa ajili ya kupata mafunzo yatakayowawezesha kuona Mafanikio mengine ni pamoja na utoaji wa leseni za madini 15,179 ambapo kati ya hizo umuhimu wa kutumia teknolojia rahisi na muhimu zitakazopelekea leseni 647 za utafutaji (PL), 65 za uchimbaji wa kati (ML) na 14,467 za uchimbaji mdogo kufanya kazi zao kwa tija na hatimaye kunufaika ipasavyo na rasilimali (PML). Katika mwaka wa fedha 2019/20 jumla ya leseni 2,376 za biashara ndogo (BL) na madini na hivyo kuwa sehemu muhimu ya washiriki na wamiliki wa 601 za biashara kubwa (DL) za madini zilitolewa. uchumi wa madini . Nachukua fursa hii kutoa shukrani kwa viongozi wa Tume ya Madini, Serikali za Mikoa na Wilaya pamoja na wadau wa madini nchini kwa ushirikiano mlionipa katika utekelezaji wa majukumu na kuweza kufikia mafanikio haya.

JIKINGE NA UGONJWA WA COVID- 19 NA Madini Yetu, Uchumi UWAKINGE NA WENGINE Wetu Tuyalinde!

Prof. Shukrani E. Manya Mhe. Doto Mashaka Biteko Katibu Mtendaji Waziri wa Madini Tume ya Madini Wizara ya Madini

Tume ya Madini 2 Toleo Na.4 // Aprili 2020

Yaliyomo // Sekta ya Madini inaongoza Ujenzi Kiwanda cha Kuchakata kwa ukuaji nchini - Biteko Dhahabu Mwanza Washika Tume ya ... Na.04 kasi ... Na.05

Madini Profesa Msanjila atoa Kongele Udhibiti utoroshaji wa madini nchini Ofisi ya Madini Singida waimarika – Prof. Manya www.tumemadini.go.tz ... Na.06 ... Na.07

Tume ya Madini 2020

Uzinduzi wa Hati UzinduziHalisia ya wa Jadini Hati Halisiaya bati... ya Na.1 Jadini ya bati... Na.1 Dkt. John Pombe Magufuli Madini News Rais wa Jamhuri ya Muungano Toleo Na.4 wa Tanzania Mei, 2020 HALIUZWI

KUHUSU SISI Tume ya Madini imeanzishwa chini Yaliyomo ya Sheria ya Madini ya Mwaka 2010 kama ilivyorekebishwa na Sheria (Miscellaneous Amendment) Act /HABARI NA MATUKIO 2017.

1 Sekta ya Madini Inaongoza kwa Ukuaji Tume ilianzishwa kupitia Gazeti la Nchini - Biteko . . . . . 04 Serikali Namba 27 iliyotolewa tarehe 7 Julai, 2017. 2 Ujenzi Kiwanda cha Kuchakata Dhahabu Mwanza Washika kasi . . . . 05 Tume imechukua majukumu yote ya kiutendaji ambayo yalikuwa 3 Profesa Msanjila Atoa Pongezi Ofisi ya yakifanywa na Idara ya Madini Madini Singida . . . . 06 chini ya Wizara ya Nishati na Madini na kazi zote ambazo 4 Udhibiti Utoroshaji Madini Nchini zilikuwa zikifanywa na Wakala wa Waimarika – Prof. Manya. . . . 07 Ukaguzi wa Madini wa Tanzania (TMAA) na Kitengo cha Uchambuzi wa Almasi (TANSORT). 5 Wamiliki wa Migodi ya Kati na Mikubwa Waanza Kuwasilisha Mipango ya Ufungaji Lengo la Tume ni kuimarisha wa Migodi . . . . 08 usimamizi wa Sekta ya Madini na kuhakikisha Serikali inafaidika 6 Ufutaji wa Baadhi ya Kodi Kwenye Madini kutokana na mapato yanayopatika- Waleta Unafuu kwa Wachimbaji Wadogo . . . . 09 na kwa namna endelevu.

7 Tume ya Madini Yatoa Leseni 15,179 . . . . 10 DIRA Kuwa Taasisi inayoongoza katika 8 Waziri Biteko Atoa Mwezi Mmoja Sekta ya Madini Afrika. Kampuni ya Mundarara Ruby Mines Kulipa Deni la Milioni 300. . . . 11 DHIMA Kuchochea na kurekebisha Sekta ya 9 Biteko ataka Mradi wa Uchimbaji Uchimbaji Madini ili kuhakikisha Dhahabu Singida kutochelewa . . . . 12 inatoa mchango endelevu na wenye tija katika uchumi wa Taifa. 10 Naibu Waziri Nyongo autaka uongozi wa Stamigold kushirikiana na wafanyakazi Mhariri Mkuu kuzalisha kwa ufanisi. . . . 13 Prof. Shukrani E. Manya

Mhariri Msaidizi 11 Naibu Waziri Nyongo Awataka Viongozi wa Greyson Mwase Vijiji Kushiriki Kutoa Elimu ya Uwekezaji Katika Sekta ya Madini Kupunguza Migogoro. . . . 15 Wajumbe William Mtinya Fidia ya Biloni 33 Yalipwa George Kaseza 12 Mha. Yahya Samamba Nyamongo. . . . 17 Dkt. Abdulrahman Mwanga Asteria Muhozya Andendekisye Mbije /PICHA NA MATUKIO Msanifu Jarida Matukio na Picha, 19 13 Aprili 2020 . . . . Kelvin Kanje

3 Tume ya Madini #4 /HABARI NA MATUKIO

Sekta ya Madini Inaongoza kwa Ukuaji Nchini - Biteko Makusanyo ya wastani kwa mwezi yapaa kutoka bilioni 39 mpaka bilioni 58 kwa mwezi Aprili

Kamishna wa Madini, Mhandisi David Mulabwa (kushoto) na Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Madini Issa Nchasi pamoja na washiriki wengine wakifuatilia elimu iliyokuwa inatolewa na Mwezeshaji wa warsha ya maandalizi ya kitabu cha viashiria hatarishi vya Wizara ya Madini Dkt. Ernest Mwasalwiba (hayupo pichani)

Nuru Mwasampeta na Tito Mselem, Dodoma

Waziri wa Madini, amesema ukuaji wa Sekta ya Akielezea warsha hiyo, Waziri Biteko alieleza kuwa Wizara imeamua Madini nchini unakua kwa kasi na kuifanya sekta kuwa ya kuandaa kitabu hicho ili kubaini na kufanyia kazi viashiria hatarishi kwanza kwa ukuaji kwa mwaka 2019 ikifuatiwa na sekta ya vinavyoweza kujitokeza wakati wa utekelezaji wa majukumu ya Wizara. ujenzi. Katika hatua nyingine, Waziri Biteko aliwataka washiriki wa warsha hiyo Waziri Biteko aliyasema hayo tarehe 18 Mei, 2020 kwenye kubaini viashiria hatarishi vinavyoikabili Wizara, kubuni mikakati ya ufunguzi wa warsha ya maandalizi ya kitabu cha viashiria kudhibiti viashiria hivyo na kuandaa daftari la viashiria hatarishi kwa hatarishi (Risk register) cha Wizara iliyofanyika kwa siku tano muda wa siku tano watakazokuwepo katika warsha hiyo. katika ukumbi wa Chuo cha Madini Dodoma (MRI) jijini Dodoma. Alisema maandalizi ya daftari la viashiria hatarishi ni utekelezaji wa maelekezo yaliyotolewa katika Waraka wa Hazina namba 12 wa mwaka Alisema kuwa, Wizara ya Madini imekuwa ikikusanya kiasi 2013 ukielekeza Taasisi zote za Umma zikiwemo wizara kuwa na mfumo cha wastani wa Shilingi bilioni 39 kwa mwezi lakini kwa thabiti wa kudhibiti viashiria hatarishi (Risk Management) na kuandaa mwezi Aprili makusanyo hayo yamepaa na kufikia kiasi cha daftari la viashiria hatarishi (Risk register) shilingi bilioni 58 jambo ambalo linaonesha mafanikio makub- wa ya kisekta. Katika hatua nyingine, Biteko aliwataka watendaji wa Wizara na Taasisi Hata hivyo, Waziri Biteko alitaka ukuaji huo wa Sekta ya zake kuendelea kuwakumbusha wachimbaji na wafanyabiashara wa Madini usaidie katika kukuza sekta nyingine za kiuchumi na madini kufuata sheria na taratibu zinazosimamia Sekta ya Madini ili hapo ndipo manufaa ya Sekta ya Madini yataonekana zaidi. waendelee kuendesha shughuli zao kwa faida na kulipa kodi mbalimbali Serikalini.

Tume ya Madini 4 Ujenzi Kiwanda cha Kuchakata Dhahabu Mwanza Washika kasi Stamico, Mkandarasi wamkosha Naibu Waziri Nyongo

Na Nuru Mwasampeta, Mwanza

Mradi wa ujenzi wa kiwanda cha Akizungumzia mabadiliko ya sheria ya Aidha, Dkt. Mwase alisema kuwa msaada kuchakata madini ya dhahabu madini ya mwaka 2017, Naibu Waziri utakaotolewa kwa wachimbaji wadogo Mwanza umeshika kasi huku ujenzi Nyongo alisema, kukamilika kwa kiwanda utasaidia kiwanda hicho kupata malighafi wake ukitarajiwa kukamilika ifikapo hicho kutakwenda sanjari na sheria inayo- zakutosha kwa ajili ya kulisha kiwanda mwezi Septemba 2020 na kuifanya wataka wafanyabiashara wa madini kutok- kinachotarajiwa kuzalisha kilo 480 za dhahabu ya Tanzania kusafirishwa usafirisha madini ghafi na badala yake dhahabu kwa siku yenye purity ya kiasi ikiwa tayari imechakatwa na hivyo madini yote kusafirishwa yakiwa cha 999.99 ambacho ni kiwango cha juu kuongeza thamani ya madini hayo yamechakatwa na kuongezewa thamani kabisa cha purity ya dhahabu duniani. katika soko la dunia. itakayopelekea kuuzwa kwa bei nzuri katika soko la Dunia. Kwa upande wake, Mkandarasi wa ujenzi Ujenzi wa kiwanda hicho ulianza wa kiwanda hicho, Libaan Yasir wa rasmi mwezi Machi, 2020 ambapo Katika hatua nyingine, Naibu Waziri Nyongo kampuni ya Aqe Associates LTD alikiri ujenzi wake mpaka sasa umefikia alikiri kufurahishwa na usimamizi wa kuwa mradi huo ulipangwa kukamilika asilimia 40, imeelezwa kuwa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) na kasi mwezi Desemba mwaka 2020 lakini kwa kukamilika kwa ujenzi wa kiwanda ya mkandarasi anayesimamia ujenzi wa namna alivyojipanga pamoja na timu yake hicho utapelekea suala la kisheria la kiwanda hicho na kuongeza kuwa Serikali watakamilisha ujenzi wa kiwanda hicho kutokusafirisha madini ghafi itakuwa ikitembelea eneo hilo mara kwa ifikapo mwezi Septemba, mwaka huu. kutekelezwa ipasavyo. mara ili kuhakikisha ujenzi wake unakamili- ka kwa wakati na kiwanda kufunguliwa kwa Hayo yalibainishwa Mei 12, 2020 wakati kama inavyotarajiwa. wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri wa Madini, Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa baada ya kutembelea eneo la ujenzi STAMICO, Dkt. Venance Mwase alisema Picha na Matukio wa kiwanda hicho na kupewa taarifa kuwa ukamilishwaji wa mradi huo utakwen- Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo ya maendeleo ya ujenzi unaoendelea da sambamba na mradi wa kuwawezesha na ujumbe ulioambatana naye wakiendelea kwa kasi mkoani Mwanza . wachimbaji wadogo katika suala zima la na ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa kiwanda cha kuchakata dhahabu kusafisha dhahabu waliyochimba katika mkoani Mwanza maeneo yao.

5 Tume ya Madini #4 Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Profesa Simon Msanjila (kulia) akizungumza na watumishi wa Ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Singida (hawapo pichani) tarehe 09 Mei, 2020. Kushoto ni Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Singida, Chone Malembo. Profesa Msanjila Atoa Pongezi Ofisi ya Madini Singida

Na Tito Mselem, Singida

Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Profesa Alisema pamoja na kuvuka lengo la Naye Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Emma- Simon Msanjila amewapongeza watumishi ukusanyaji wa maduhuli ya Serikali ni nuel Luhahula akizungumza katika ziara wa Ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wajibu wa kila mchimbaji kufuata hiyo alisema kuwa, ushirikiano mzuri baina wa Singida kwa kuvuka lengo la makusan- Sheria, Kanuni na taratibu zinazotolewa ya Ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa yo ya maduhuli ya Serikali kwa mwaka wa na Wizara ya Madini na kueleza kuwa, Singida na wachimbaji wadogo wa Sekenke fedha 2019-2020, baada ya kukusanya kwa changamoto nyingine zinazotokea One na Mchongomani pamoja na Kamati ya asilimia 216. wakati wa utekelezaji wa majukumu yao Usalama ya Wilaya umewezesha kufikia ni za kujitakia wenyewe. mafanikio hayo. Profesa Msanjila alitoa pongezi hizo wakati wa ziara ya kikazi mkoani humo tarehe 09 “Haiwezekani muende mkachimbe chini Kwa upande wake, Afisa Madini Mkazi wa Mei 2020 yenye lengo la kukagua shughuli ya nguzo za umeme, kwa kufanya hivyo Mkoa wa Singida Chone Malembo za uchimbaji wa madini, kusikiliza na mnakuwa mnahatarisha maisha ya alimweleza Katibu Mkuu wa Wizara ya kutatua kero mbalimbali. wachimbaji wadogo ambao ndiyo Madini kwamba changamoto zote za wanaoingia chini kuchimba jambo wachimbaji wadogo amekwishaziwasilisha “Nimefurahishwa sana na juhudi mnazozi- ambalo linaweza kuhatarisha maisha Tume ya Madini. fanya watumishi wa Ofisi ya Madini Mkoa ya watu. Tambueni kuwa Serikali ya wa Singida, mmedhihirisha wazi kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Akielezea mafanikio katika ukusanyaji wa mnaweza kusimamia vyema shughuli za inathamini zaidi maisha ya watu kuliko maduhuli kwa mwaka wa fedha 2019-2020, ukusanyaji wa maduhuli ya Serikali kitu kingine chochote,” alisisitiza Profe- Malembo alisema ofisi yake imevuka lengo nawapongeza sana kwa kazi nzuri.” sa Msanjila. la kukusanya zaidi ya shilingi Alisema Profesa Msanjila. 3,243,231,675.32 sawa na asilimia 216 ikilinganishwa na lengo lililowekwa la Mbali na kusikiliza na kutatua changamoto Aliendelea kusema kuwa, Serikali kukusanya shilingi bilioni 1.5 katika kipindi za watumishi wa Ofisi ya Afisa Madini iliufunga Mgodi wa Sakenke One husika. Mkazi wa Mkoa wa Singida, Profesa kutokana na ukiukwaji wa taratibu za Msanjila alitembelea Soko la Madini la uchimbaji na kuongeza kuwa, pamoja Wilaya ya Shelui, Mgodi ya Nabii Elia na na wahusika kuomba mgodi huo Nimefurahishwa sana na juhudi Mgodi wa Sakenke One na kuwataka ufunguliwe inabidi Tume ya Madini ifanye uchunguzi na kujiridhisha ndipo mnazozifanya watumishi wa Ofisi ya Madini wachimbaji wa Madini ya dhahabu Mkoa wa Singida, mmedhihirisha wazi kuhakikisha wanafuata kanuni, taratibu na mgodi huo utafunguliwa tena. kuwa mnaweza kusimamia vyema shughuli sheria za uchimbaji madini kwa mujibu wa za ukusanyaji wa maduhuli ya Serikali nawapongeza sana kwa kazi nzuri. sheria. Profesa Simon Msanjila Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini

Tume ya Madini 6 Udhibiti Utoroshaji Madini Nchini Waimarika – Prof. Manya

Mabilioni ya shilingi yaokolewa, Madawati maalum yaanzishwa Na Greyson Mwase, Dodoma

Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Profesa (kushoto) akizungumza na vyombo vya habari hivi karibuni. Kulia ni Mwenyekiti wa Tume ya Madini Profesa Idris Kikula.

Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini Profesa Profesa Manya alieleza kuwa baada ya kujengwa Aliendelea kusema kuwa hadi Shukrani Manya amesema kuwa, ikiwa ni ukuta, mwaka 2018 uzalishaji ulikuwa kilo 781.204 kufikia Machi, 2020 ukaguzi sehemu ya utekelezaji wa majukumu ya zenye thamani ya takriban shilingi bilioni 20.1 na uliofanyika kupitia madawati Tume ya Madini, taasisi imefanikiwa mapato ya serikali yalikuwa shilingi bilioni 1.437 yaliyoanzishwa umewezesha kudhibiti kwa kiwango kikubwa utoroshwaji na kusisitiza kuwa mwaka 2019 uzalishaji ulikuwa kukamatwa kwa watoroshaji wa wa madini uliokuwa unafanywa na wachim- kilo 2,772.17 zenye thamani ya takriban shilingi madini katika matukio 189 baji na wafanyabiashara wa madini wasio bilioni 30.075 ambapo mapato ya serikali yalikuwa yaliyoripotiwa ambayo yalihusi- waaminifu. ni shilingi bilioni 2.15. sha madini yenye thamani ya Dola za Marekani milioni 19.95 na Profesa Shukrani aliyasema hayo tarehe 12 “Mwaka huu kuanzia Januari hadi Machi, 2020 shilingi bilioni 4.53. Mei, 2020 jijini Dodoma alipokuwa akielezea uzalishaji ulikuwa ni kilo 207.1 ambapo mapato ya mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Tano Serikali yalikuwa ni shilingi milioni 85.23, ambayo Alisema kuwa, Tume ya Madini tangu kuingia madarakani na kuelezea siri ni mafanikio makubwa yaliyotokana na ukuta wa imeendelea kutoa elimu kwa ya mafanikio kwenye udhibiti wa utoroshaji Mirerani,” alisema Profesa Manya. umma kuhusu Sheria na Taratibu wa madini kuwa ni pamoja na ujenzi wa za kuingiza na kusafirisha madini ukuta wenye mzingo wa kilomita 24.5 kuzu- Aliongeza kuwa, Wizara ya Madini kupitia Tume nje ya nchi na madhara nguka Migodi ya Mirerani ili kuzuia utoros- ya Madini imeanzisha madawati maalum ya yatokanayo na utoroshwaji wa haji wa madini ya Tanzanite. ukaguzi katika viwanja vya ndege, bandari na madini hayo kwa Taifa pamoja na kwenye mipaka ya nchi kwa lengo la kudhibiti ukamilishaji wa ujenzi wa kituo Alisema kuwa ujenzi wa ukuta katika migodi utoroshaji wa madini ambapo kazi husika cha pamoja cha kutolea huduma ya Mirerani umezuia utoroshaji na hivyo hutekelezwa kwa kushirikiana na vyombo vya za biashara ya madini ya tanzan- kupelekea kuongezeka kwa mapato ya ulinzi na usalama na wadau wengine. ite (One Stop Centre) ndani ya serikali na kusisitiza kuwa takwimu za ukuta ili kuhakikisha kuwa kuna uzalishaji wa Tanzanite kwa wachimbaji Alifafanua kuwa maeneo ambayo udhibiti umei- udhibiti wa kutosha wa madini wadogo na wa kati miaka miwili nyuma marishwa ni pamoja na viwanja vya ndege vya Dar hayo na Taifa linanufaika kabla ya ukuta yaani mwaka 2016 na 2017 es Salaam, Kilimanjaro, Mwanza, Songwe na ipasavyo. zilikuwa takriban kilo 312.3 zenye thamani Arusha; Bandari ya Dar es salaam; na Mipaka ya ya takribani shilingi bilioni 4.2 ambapo nchi ikiwemo Holili, Namanga na Rusumo. mapato ya serikali yalikuwa shilingi milioni 238.

Tume ya Madini 7 Sehemu ya Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) uliopo Wilayani Geita Mkoani Geita. Wamiliki wa Migodi ya Kati na Mikubwa Waanza Kuwasilisha Mipango ya Ufungaji wa Migodi Na Greyson Mwase, Dodoma

Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Migodi na Mazingira Alisema lengo la migodi kuwa na mipango ya Aliongeza kuwa, wa Tume ya Madini, Dkt. Abdulrahman Mwanga ufungaji wa migodi pamoja na kusimamia katika kuhakikisha amesema kuwa, mara baada ya Serikali kupitia utekelezaji ni kuhakikisha mazingira yanaachwa uwasilishaji wa Tume ya Madini kuelekeza wamiliki wa migodi salama mara baada ya shughuli za uchimbaji wa mipango ya ufungaji mikubwa na ya kati kuandaa mipango wa ufungaji madini kumalizika. migodi inayozingatia migodi, hadi kufikia Machi, 2020 migodi ya madini uchimbaji wa madini 11 imewasilisha mipango ya ufungaji migodi. Katika hatua nyingine Dkt. Mwanga alieleza kuwa endelevu inatekelez- Tume ya Madini imeweka Wakaguzi wa Madini wa kwa ufanisi, Dkt. Mwanga aliyasema hayo tarehe 13 Mei, 2020 katika migodi yote Mikubwa na ya Kati nchini ili Serikali kupitia Tume jijini Dodoma alipokuwa akielezea mafanikio ya kuhakiki kiasi na thamani ya madini yanayozal- ya Madini imeandaa Kurugenzi yake kwenye usimamizi na ukaguzi wa ishwa na kusafirishwa nje ya nchi. rasimu ya Mwongozo migodi na mazingira ikiwa ni sehemu ya mafani- wa Ufungaji Migodi. kio ya Tume ya Madini tangu kuanzishwa kwake. Alieleza migodi mikubwa ya dhahabu inayosi- mamiwa kwa karibu na kufanyiwa ukaguzi wa Alisema migodi iliyowasilisha mipango ya mara kwa mara kuwa ni pamoja na Bulyanhulu ufungaji wa migodi kuwa ni pamoja na Dangote Gold Mine Limited (Kahama), Geita Gold Mining Cement Limited, NMGM – North Mara, Limited (Geita), North Mara Gold Mine Limited BGM – Bulyahulu, BZGM – Buzwagi, GGM-Geita, (Tarime), Shanta Mining Company Limited (Song- WDL – Mwadui, Twiga Cement Limited, Tanga we), Stamigold Company Limited (Biharamulo) na Cement Limited, TANCOAL, Joshua Pangea Minerals Limited (Kahama). Kazi – Chunya, na NLGM –New Luika.

8 Tume ya Madini #4 Ufutaji wa Baadhi ya Kodi Kwenye Madini Waleta Unafuu kwa Wachimbaji Wadogo

Na Greyson Mwase, Dodoma

Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Ukaguzi na Biashara ya Madini wa Tume ya Madini, George Kaseza. amesema kuwa kufutwa kwa baadhi ya kodi ambazo zilikuwa kero kwa wachimbaji wadogo wa madini kumeleta unafuu kwa wachimbaji wadogo wa madini kwenye shughuli za uchimbaji wa madini.

Mhandisi Kaseza aliyasema hayo tarehe 12 Mei, 2020 jijini Dodoma alipokuwa akielezea mafanikio ya Kurugenzi ya Leseni na TEHAMA, tangu kuanzishwa kwa Tume ya Madini.

Alieleza baadhi ya kodi zilizofutwa kuwa ni pamoja na kodi ya zuio (Withholding Tax – 5%) na kodi ya ongezeko la thamani (Value Added Tax -18%)

Alisema pamoja na ufutaji wa kodi hizo, Wizara ya Madini kupitia Tume ya Madini imeanzisha Masoko ya Madini katika Mikoa yote na maeneo yote yenye shughuli za uchimbaji wa Madini ya vito na metali ambapo hadi kufikia mwezi Machi, 2020 jumla ya Masoko ya Madini 28 na Vituo vidogo 28 vya ununuzi vimeanzishwa nchini.

Katika hatua nyigine, Kaseza alisema kuwa katika kipindi cha Novemba, 2015 hadi Machi, 2020 kiasi cha tani 200.22 za madini ya dhahabu zenye thamani ya Dola za Marekani bilioni 7.49 kilisa- firishwa nje ya nchi.

Aliongeza kuwa mrabaha (royalty) uliolipwa kutokana na uzalishaji huo wa dhahabu ulikuwa ni Dola za Marekani milioni 390.85 na ada ya ukaguzi (inspections fee) wa madini ni Dola za Marekani milioni 44.64.

Alisema kuwa kwa upande wa madini ya tanzanite, kiasi cha Karati 511,612.70 za tanzanite iliyokatwa na Gramu 8,325,276.67 za tanzanite daraja A - C na Gramu 52,627,619.40 za tanzanite ghafi daraja D na E zenye thamani ya jumla ya Dola za Marekani milioni 51.39 ziliuzwa.

Aliendelea kusema kuwa mrabaha stahiki uliokusanywa na Serikali ni Dola za Marekani 2,465,511 na Ada ya Ukaguzi Dola za Marekani 413,639 na kuongeza kuwa kiasi cha Karati 1,361,970 za almasi zenye thamani ya Dola za Marekani 329,018,437 ziliuzwa ambapo mrabaha stahiki ni Dola za Marekani milioni 18.01 ulikus- anywa na Ada ya Ukaguzi (inspection fee) wa madini iliyolipwa ilikuwa ni jumla ya Dola za Marekani 2,066,905.

Madini aina ya Dhahabu

Tume ya Madini 9 Tume ya Madini Yatoa Leseni 15,179

Na Greyson Mwase, Dodma

Mkurugenzi wa Leseni na TEHAMA wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amesema kuwa tangu kuanzishwa kwa Tume ya Madini mapema Julai, 2018 hadi mwezi Machi, 2020 jumla ya leseni za madini 15,179 zimetolewa.

Mhandisi Samamba aliyasema hayo tarehe 13 Mei, 2020 jijini Dodoma alipokuwa akielezea mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Tano tangu kuingia madarakani na kufafanua kuwa mafanikio hayo yametokana na mikakati iliyowekwa na Tume ya Madini katika utoaji wa leseni wa haraka kulingana na teknolojia mpya ya mtandao.

Alifafanua kuwa leseni zilizotolewa ni pamoja na leseni 647 za utafutaji (PL), 65 za uchimbaji wa kati (ML) na 14,467 za uchimbaji mdogo (PML).

Aliongeza kuwa katika mwaka wa fedha 2019/20 jumla ya leseni 2,376 za biashara ndogo (BL) na 601 za biashara kubwa (DL) za madini zimetolewa.

Aliongeza kuwa Wizara ya Madini kupitia Tume ya Madini imeboresha Mfumo wa Utoaji na Usimamizi wa Leseni za Madini kwa kuanzisha Online Mining Cadastre Transactional Portal (OMCTP) ambao unaruhusu kuomba leseni za madini na kufanya malipo kwa njia ya mtandao, hivyo kuongeza uwazi na kuwezesha upatikanaji wa taarifa muhimu kwa wadau wa Sekta ya Madini kwa wakati.

1010 Tume ya Madini #4 Waziri Biteko Atoa Mwezi Mmoja Kampuni ya Mundarara Ruby Mines Kulipa Deni la Milioni 300

Na Asteria Muhozya, Arusha

Waziri wa Madini, Doto Biteko ameipa Katika hatua nyingine, Waziri Biteko alitatua Katika ziara hiyo Waziri muda wa mwezi mmoja Kampuni ya Mund- mgogoro wa mitobozano uliodumu kwa kipin- Biteko aliambatana na Mkuu arara Ruby Mines kulipa Deni la Serikali la di cha takribani miaka mitatu kati ya Kampuni wa Mkoa wa Arusha Mrisho zaidi ya Shilingi Milioni 300 linalodaiwa hiyo ya Mundarara Ruby Mines na Sendeu Gambo, Kamati ya Ulinzi na na Serikali kwa kipindi cha Miaka Minane Aggrovate Investment ambazo zote zinafanya Usalama, Uongozi wa Wilaya (8). shughuli za uchimbaji wa madini ya ruby ya Longido, Mkurugenzi katika Kijiji cha Mundarara. Mtendaji wa Shirika la Madini Akizungumza katika ziara yake aliyoifanya la Taifa ( STAMICO) Dkt. hivi karibuni kwenye kampuni hiyo mkoani Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Venance Mwase, Kamishna Arusha, Waziri Biteko alisema kuwa deni Mrisho Gambo alisema kuwa ofisi yake itayas- Msaidizi wa Madini Francis hilo linajumuisha Mrabaha na Ada ya imamia maelekezo yote yaliyotolewa na Mihayo, Mkurugenzi wa Pango, madai ambayo Kampuni hiyo Wizara ya Madini. Leseni na TEHAMA Tume ya haijayalipa kwa kipindi tajwa huku ikien- Madini Mhandisi Yahaya delea na uchimbaji wa Madini ya Ruby Akizungumza na Waandishi wa Habari Mku- Samamba na Afisa Madini katika Kijiji cha Mundarara Wilayani rugenzi wa Kampuni ya Mundarara Ruby Mkazi Mkoa wa Arusha Longido Mkoa wa Arusha. Mines Davis Shayo, alisema kuwa hawezi Mhandisi Hamisi Kamando. kupingana na Serikali baada ya kutolewa kwa Pamoja na kutoa maagizo hayo, aliitaka maagizo hayo huku katika ombi lake la awali kampuni hiyo kutii agizo la kuchimba akiiomba Wizara kumpa muda zaidi wa kulipa katika eneo lake tu pasipo kuingilia deni lake kutokana na kipindi hiki cha ugonj- maeneo mengine, kukamilisha taratibu wa wa COVID - 19 kutokufanya kazi kwa faida. zote zinazohusu Leseni ya eneo lake na kuwasilisha Serikalini Cheti na Mpango wa Naye, Mkurugenzi na Mmiliki wa Kampuni ya Utunzaji mazingira. Sendeu Aggrovate Investment Gabriel Laizer, aliisifu hatua ya Waziri kuutatua mgogoro huo Waziri Biteko alisema kuwa, endapo na kueleza kuwa, haki imetendeka na Serikali kampuni hiyo itashindwa kukamilisha itegemee kupata mapato kutoka katika Mgodi masuala hayo ndani ya kipindi husika, wake na kuongeza kuwa, muda mwingi itafutiiwa leseni hiyo. aliutumia katika kuzuia mitobozano badala ya kuchimba.

Tume ya Madini 11 Biteko Ataka Mradi wa Uchimbaji Dhahabu Singida Kutochelewa

Na Asteria Muhozya, Dodoma

Waziri wa Madini, Doto Biteko ameieleza Kampuni ya Kikao hicho kiliyataja masuala hayo kuwa ni pamoja na mpango wa Shanta Shanta Mining Company Limited kuwa inao wajibu wa Mining kujiorodhesha kwenye soko la Hisa la Dar es Salaam, Mpango wa kuhakikisha Mradi wa Uchimbaji Dhahabu wa Singida Shanta Mining kuuza sehemu ya Hisa zake zilizopo kwenye mradi wa Resources PLC unaanzishwa kutokana na manufaa yake Singida Resources PLC kupitia DSE pamoja na hatua zilizofikiwa katika kiuchumi ikiwemo kuifungamanisha Sekta ya Madini na ulipaji wa fidia kwa wananchi wenye umiliki wa ardhi ili kupisha mradi huo. sekta nyingine na kiu ya wananchi kuona mradi huo ukitekelezwa. Aidha, Waziri Biteko alitumia kikao hicho kuipongeza kampuni husika na kueleza kuwa imekuwa ikifuata vizuri utekelezaji wa maagizo ya Serikali na Waziri Biteko aliyasema hayo Mei 13, 2020 jijini Dodoma hivyo kutumia fursa hiyo kuitaka kupokea ushauri uliotolewa katika kikao wakati wa kikao kilichofanyika kwa njia ya Video Confer- hicho na kuufanyia kazi. ence baina yake na Watendaji wa Wizara na Tume ya Madini, Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Edward Mpogolo, Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Edward Mpogolo, alisisitiza Kampuni ya Shanta Mining na Soko la Hisa la Dar es kampuni hiyo kuhakikisha inatekeleza mradi huo ikiwemo kuzingatia Salaam (DSE). matakwa ya kisheria wakati wa utekelezaji wake.

Kikao hicho kilifanyika ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo Naye Meneja Mkuu wa Kampuni ya Shanta Mining, Philbert Rweymamu, yaliyotolewa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa alimhakikishia Waziri Biteko kuwa kampuni hiyo itahakikisha mradi huo Tanzania ambapo kampuni hiyo iliwasili- unatekelezwa katika muda uliopangwa na kuiomba wizara kuisaidia sha kwake masuala kadhaa yaliyolenga kampuni hiyo kufikia malengo yake. kuendeleza mradi huo.

12 Tume ya Madini #4 Meneja wa uchimbaji wa Stamigold, Mhandisi Benson Mgimba (katikati) akitoa maelezo kwa Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo kuhusu namna shughuli za uchimbaji wa madini zinavyofanyika kwenye mgodi huo. Naibu Waziri Nyongo Autaka Uongozi wa Stamigold Kushirikiana na Wafanyakazi Kuzalisha kwa Ufanisi Na Nuru Mwasampeta, Kagera

Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo ameutaka Katika hatua nyingine Naibu Waziri Nyongo aliushukuru uongozi uongozi wa Mgodi wa Stamigold kuwajali wafanyakazi na wa mgodi huo kukubali maelekezo ya Serikali ya kuwataka kuuza kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuongeza uzalishaji dhahabu inayozalishwa mgodini hapo katika soko la ndani katika mgodi huo. ambapo faida ya shilingi milioni 132 imepatikana kutokana na uuzwaji wa dhahabu hiyo nchini. Naibu Waziri Nyongo aliyasema hayo tarehe 13 Aprili, 2020 kwenye ziara yake katika Mgodi wa Serikali wa Kwa upande wake Meneja wa Mgodi wa Stamigold, Mhandisi Gilay Stamigold unaosimamiwa na Shirika la Madini la Taifa Shamika akielezea changamoto zinazoukabili mgodi huo alieleza (STAMICO) na kukiri kuridhishwa na maendeleo ya kuwa mitambo inayotumika kwenye uzalishaji wa madini uzalishaji mgodini hapo. inaendeshwa kwa kutumia mafuta na kugharimu kiasi cha shilingi Bilioni 1.01 kwa mwezi kiasi ambacho ni kikubwa kwa mgodi na Katika hatua nyingine, Nyongo aliwataka viongozi wa kubainisha kuwa endapo wataunganishiwa umeme wa gridi ya mgodi huo kufanya kazi na wasambazaji na wataalamu taifa kiasi kitakachokuwa kikitumika ni shilingi milioni 300 pekee wa nje wenye uadilifu na ufanisi mkubwa ili kusaidia jambo ambalo litasaidia katika kupunguza gharama inayotumika katika kuongeza uzalishaji mgodini na kusisitiza kuwa hivi sasa. wasione shida kuvunja mikataba na kampuni zisizok- wenda na kasi wanayoitaka katika kuzalisha dhahabu Aliongeza kuwa tayari mazungumzo na Shirika la Umeme Nchini mgodini hapo. (TANESCO) yanaendelea katika kuhakikisha nishati ya umeme inapatikana na kuiomba Serikali kuwasaidia kuondokana na changamoto hiyo.

Tume ya Madini 13 Uzinduzi wa Hati Halisia ya Jadini ya bati... Na.1

www.tumemadini.go.tz Naibu Waziri Nyongo Awataka Viongozi wa Vijiji Kushiriki Kutoa Elimu ya Uwekezaji Katika Sekta ya Madini Kupunguza Migogoro

Na Nuru Mwasampeta, Mwanza

Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo ameutaka Kwa upande wake Mkurugenzi na mwekezaji wa migodi ya uongozi wa Kijiji cha Buhunda maarufu kama Lushokela Busolwa Mining, Baraka Ezekiel alisema wameshakusanya kilichopo Wilayani Misungwi mkoani Mwanza kutoa mchanga wa dhahabu utakaoweza kuchenjuliwa katika mgodi elimu ya uwekezaji kwa wananchi wake ili kuwa na wao mpya wa Misungwi kwa muda wa mwaka mmoja na kubain- uelewa juu ya masuala ya uwekezaji katika sekta ya isha kuwa, kwa sasa wanasubiri kukamilika kwa ujenzi wa mradi madini. huo uliokwamishwa kwa kiasi kikubwa na mlipuko wa janga la corona duniani. Naibu Waziri Nyongo alitoa maelekezo hayo Aprili 12, 2020 alipotembelea mradi mpya wa uchimbaji wa madini Akifafanua suala hilo, Baraka alisema, baadhi ya vipuri vya unaomilikiwa na Kampuni ya Busolwa Mining LTD uliopo kukamilisha ufungaji wa mitambo katika mgodi huo ulisimama katika Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza, baada ya kutokana na uzalishaji wa vipuri, hivyo nchini China kusimama, kuelezwa ugumu wa mwananchi mmoja katika kupisha lakini pia wataalamu waliokuwa wakisaidia ufungaji wa mitam- mradi kwa mwekezaji huyo na kudai naye anataka bo hiyo hawakuweza kurudi mara baada ya kusherehekea kuchimba sikukuu za mwaka mpya wa Kichina kutokana na mlipuko wa katika eneo hilo. ugonjwa wa corona uliopelekea mipaka nchini humo kufugwa.

“Hapa ni suala la uelewa tu, elimu ya uwekezaji katika sekta ya madini inatakiwa kwa wananchi, na watoaji wa Akizungumzia suala la ajira, Baraka alisema mgodi huo unatara- elimu wa kwanza ni ninyi viongozi wa Serikali za vijiji na jia kuajiri watumishi wa kudumu wapatao 88 miongoni mwao mitaa,” alisema Nyongo saba watatoka nje ya nchi kwa ajili ya kusaidia kuelekeza wazawa namna ya kuendesha mitambo hiyo na pia itatoa ajira "Mchimbaji akiomba na kupewa leseni mmiliki wa ardhi zisizo rasmi kwa watu 200 hivyo kufungua fursa za ajira kwa anapaswa kulipwa fidia na kupisha eneo hilo ili kupisha watanzania. shughuli za uchimbaji,"Nyongo alisisitiza. Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Misungwi, Juma Sweda Kufuatia changamoto ya utoaji wa mizigo bandarini, aliiomba Serikali kufungua soko la madini wilayani humo na Naibu Waziri Nyongo aliahidi kufanya mazungumzo na kubainisha kuwa tayari ofisi yake kwa kushirikiana na Ofisi ya uongozi wa Shirika la Taifa la Usafirishaji (TASAC) Madini wamekwisha andaa jengo kwa ajili ya soko hilo na kubai- kuhakikisha inaharakisha taratibu za utoaji wa mizigo nisha kuwa kinachokosekana ni mashine za kupimia purity ya bandarini ili vifaa hivyo vitolewe kwa wakati kwa ajili ya madini ya dhahabu sokoni hapo. utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo na kuwafa- nya wawekezaji kukamilisha miradi yao kama walivyok- Sweda alisema, kufunguliwa kwa soko hilo kutaisaidia Serikali usudia. katika suala zima la ukusanyaji wa mapato, lakini pia kuwapa fursa wachimbaji wadogo waliopo katika eneo hilo kuuza madini Kutokana na changamoto ya ugonjwa wa Corona unaoik- yao sokoni hapo kuliko kusafiri mpaka Mwanza jambo ambalo abili Dunia, uliopelekea baadhi ya vifaa vinavyohitajika linahatarisha usalama wao. kwa ajili ya ukamilishaji wa ufungaji wa mitambo mgod- ini hapo kutokupatikana kwa wakati, Naibu Waziri Akijibu hoja hiyo ya Mkuu wa Wilaya Sweda, Naibu Waziri Nyongo alisema, changamoto hiyo inaelekea ukingoni Nyongo alimwagiza Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Mwanza kwani nchi ya China ambako ndiko vilikoagizwa vifaa kuhakikisha soko hilo linawezeshwa mapema na kufunguliwa ili hivyo tayari viwanda mbalimbali vimefunguliwa na kuwezesha biashara ya madini wilayani hapo kufanyika sokoni vinazalisha hivyo watarajie ukomo wa changamoto hiyo hapo. ndani ya muda mfupi.

15 Tume ya Madini #4 Picha na Matukio Mkurugenzi wa Kampuni ya Busolwa Mining LTD, Baraka Ezekiel akielezea jambo kwa ujumbe ulioambatana na Naibu Waziri Nyongo wakati wa ziara ya kukagua, kusikiliza na kutatua changamoto za mwekezaji huyo.

Tume ya Madini 16

Fidia ya Bilioni 33 Yalipwa Nyamongo Na Mwandishi Maalum, Mara

Hatimaye Wakazi 1,639 wa Vijiji vya Matongo na Nyabichune Akizunguzia kuhusu matumizi ya zebaki, aliwataka wachimbaji wa katika eneo la Nyamongo Wilayani Tarime Mkoa wa Mara madini nchini kuachana na matumizi ya zebaki kwani madhara yake ni wamelipwa fidia ya jumla ya Shilingi Bilioni 33 baada ya kusub- makubwa pindi inapoingia mwilini. iri kwa kipindi cha miaka 10. Naye, Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angeli- Fidia hiyo imelipwa Mei 20, 2020 na Mgodi wa Barrick North na Mabula alisema zoezi la utoaji fidia lilichukua muda mrefu kwasaba- Mara ikiwa ni utekelezaji wa maagizo ya Rais wa Jamhuri ya bu wananchi hawakuwa wakitoa taarifa sahihi na baadhi kutegesha na Muungano wa Tanzania Dkt. aliyoyatoa wakati kutumia fursa hiyo kuwaasa wananchi kutoa ushirikiano na kuwa wa ziara yake Mkoani humo ambapo alitaka suala hilo ikiwemo wakweli kwenye masuala yote yanayohusu ulipaji fidia. la uchafuzi wa mazingira kufanyiwa kazi. Kwa upande wake, Meneja Mkuu wa Migodi ya Barrick Hilaire Diarra, Akizungumza wakati wa ufunguzi wa utoaji fidia na ugawaji wa alisema kuwa kampuni hiyo imeanza safari mpya ya amani, ufanisi wa hundi kwa wakazi hao waliopisha maeneo yao kwa ajili ya pamoja kwa maendeleo ya jamii. Aliongeza kwamba, kwa miaka mingi uendelezaji wa shughuli za mgodi huo, Waziri wa Madini Doto mahusiano kati ya mgodi na jamii hiyo yamekuwa siyo mazuri lakini Biteko aliwahakikishia wote wenye haki ya kulipwa fidia hiyo hivi sasa mgodi huo unaamini katika kuyajenga upya. kuwa watalipwa fedha zao. Aliongeza kuwa Kamati ya Maendeleo ya Jamii imeundwa ili kuangalia Aidha, alitoa pongezi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maende- vipaumbele katika eneo hilo na yote yatafanyika kupitia Kamati hiyo. leo ya Makazi na kueleza kuwa Wizara hiyo ilifanya kazi usiku na mchana kuhakikisha inamaliza mgogoro wa fidia ulioku- " Tumetembea miezi minne kufikia hapa, makinikia, ushuru, utafiti, wepo baina ya wananchi na mgodi huo. vibali vya kazi, wafanyakazi wa nje, Usajili wa Jina la Twiga. Nakumbu- ka mara ya mwisho Mhe. Waziri ulikuwa bado ukisisitiza suala la fidia Pia, alimpongeza Mthamini Mkuu wa Serikali kwa kazi ya liwe historia," alisema Diarra. uthamini iliyofanyika hatimaye kuwezesha wananchi wanaopaswa kulipwa fidia zao kulipwa na kuongeza, " maisha Wakizungumza katika Mahojiano Maalum na TBC ARIDHIO, Katibu ya kutegesha yamekwisha, Serikali haitakubali kushuhudia Mkuu wa Madini Profesa Simon Msanjila alisema suala hilo lilichukua watengeneza migogoro wakitengeneza migogoro hapa". muda mrefu hatimaye sasa wananchi na mgodi wamekubaliana, hivyo kupelekea kulipwa kwa fidia hiyo ya Shilingi Bilioni 33. Katika hatua nyingine, aliiagiza Bodi ya Kampuni ya Twiga Corporation Limited kuhakikisha inaufungamanisha Mgodi huo Naye, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya na shughuli za wananchi kiuchumi ili waweze kunufaika na Makazi Mary Makondo alisema wananchi waliofanyiwa uthamini uwepo wa Mgodi wake. wamepata fidia ya haki.

" Tunataka Sekta ya Madini ifungamanishwe na sekta nyingine Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Uhifadhi na za kiuchumi, lakini tunataka wananchi wa Nyamongo wafanane Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Dkt. Samwel Gwamaka alisema kuwa na dhahabu inayochimbwa hapa," alisisitiza Waziri Biteko. mamlaka hiyo inafanyia kazi malalamiko ya wananchi wanaozunguka migodi sambamba na kukagua iwapo taratibu za mazingira zinafuatwa. Vilevile, aliutaka Mgodi huo kuangalia na kuzifanyia kazi changamoto za kijamii zinazowakabili wananchi wanaozungu- Aliongeza kuwa, Barrick North Mara ni miongoni mwa migodi inayo- ka mgodi huo zikiwemo za maji, barabara na ili kujenga mahusi- fuatiliwa kuhakikisha uendeshaji wake hauleti madhara kwa wananchi. ano mazuri na jamii hiyo. Katika hatua nyingine, Mkurugenzi wa wateja wa Benki ya CRDB, Boma Kwa upande wake, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Raballa, alisema kuwa benki hiyo itahakikisha inatoa huduma bora za Muungano na Mazingira, Mussa Azzan Zungu alisema Wizara kibenki kwa wananchi waliolipwa fidia ikiwa ni pamoja na kutoa elimu yake imejiridhisha kuhusu usalama wa taka sumu na kuongeza kuhusu matumizi bora ya fedha walizozipata ikiwemo kuhakikisha kuwa mara kwa mara umekuwa ukifanyika ukaguzi kuhakiki- wanapata fedha hizo haraka. sha maji hayo hayaathiri wananchi wanaozunguka Mgodi huo. Pia, aliwahakikishia wananchi kuhusu ufuatiliaji wa sheria na Aidha, mbali na kushuhudia ufunguzi wa utoaji fidia, viongozi taratibu za mazingira kuhusu suala hilo. walioshiriki katika zoezi hilo pia walitembelea na kukagua Bwawa la kuhifadhi Tope Sumu ( TFS) katika Mgodi huo.

17 Tume ya Madini #4 Wawakilishi wa wananchi wakipokea hundi za malipo ya fidia Wawakilishi wa wananchi wakipokea hundi za malipo ya kutoka kwa viongozi mbalimbali fidia kutoka kwa viongozi mbalimbali

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Mazingira Mussa Azzan Zungu akifafanua jambo Makazi Angelina Mabula, akizungumza jambo wakati wakati wa zoezi la utoaji fidia kwa wananchi wa eneo la wa utoaji wa fidia kwa wananchi wa Vijiji vya Matongo Nyamongo. na Nyabichune Wilayani Tarime mkoa wa Mara.

Waziri wa Madini, Doto Biteko akionesha jambo wakati Bwawa la kuhifadhi Tope wa ukaguzi wa bwawa la Kuhifadhi Tope Sumu (TFS) Sumu (TFS) katika Mgodi wa Barrick North Mara. katika Mgodi wa Barrick North Mara.

18 Tume ya Madini /PICHA NA MATUKIO

Tarehe 22 Mei, 2020 Ofisi ya Madini Simiyu ilipata Kaimu Afisa Madini Mkazi, Godfrey Msumba baada ya OFISI YA AFISA MADINI aliyekuwa Afisa Madini Mkazi wa mkoa huo, Samwel Ayoub kustaafu. Makabidhino ya majukumu kwa Kaimu Afisa Madini Mkazi, Godfrey Msumba yalishu- MKAZI WA MKOA WA SIMIYU hudiwa na Mkurugenzi wa Huduma za Tume, William Mtinya na Afisa Utawala, Saashisha Mafuwe kutoka Makao Makuu ya Tume ya Madini. YAPATA KIONGOZI MPYA

Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Simiyu aliyemaliza muda wake wa utumishi Samwel Ayoub (kulia) akibadilishana nyaraka za ofisi na Godfrey Msumba (kushoto) aliyeteuliwa kuwa Kaimu Afisa Madini Mkazi wa Mkoa huo na kushuhudiwa na Mkurugenzi wa Huduma za Tume, William Mtinya (wa pili kushoto)

Kutoka kushoto mbele ni Kaimu Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Simiyu, Godfrey Msumba, Mkurugenzi wa Huduma za Tume, William Mtinya na Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Simiyu aliyemaliza muda wake wa utumishi Samwel Ayoub wakiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Ofisi ya Madini, Simiyu

19 Tume ya Madini #4 Tume ya Madini 2020 | Toleo Na.4

Jarida la Mtandaoni MAWASILIANO Telegramu "MADINI" Tume ya Simu: + 255-26 2320051 Nukushi: +255 26 2322282 Barua pepe: [email protected] Madini S. L. P 2292 , DODOMA. www.tumemadini.go.tz