HABARIHabari ZA za NISHATInishati &MADINI &madini http://www.mem.go.tz

Toleo No. 51 Limesambazwa kwaBulletin Taasisi na Idara zote MEM Tarehe - 23-29 Januari , 2015 NewsToleo No. 164 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Machi 24 - 30, 2017 WAZIRIPROF. WA NISHATI MUHONGO NA MADINI AZINDUA RASMI ATANGAZA BODI YA TANESCO -Uk2 TAKWIMU MPYA ZA UMEME Zimetayarishwa na WabungeNBS, REA, TANESCO Waimwagia sifa MEM, TANESCO, REA Soma habariUk. 2

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa (katikati) akibonyeza king’ora kuashiria uzinduzi wa Mradi wa Usambazaji Umeme Vijijini Awamu ya Tatu kwa mikoa ya Songwe na Mbeya. Wengine katika picha ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos wa Makalla (wa pili kushoto) na Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini, Dkt Gideon Kaunda (wa tatu kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga (wa kwanza kulia).

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kushoto) akitaja takwimu mpya za umeme nchini wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Usambazaji Umeme Vijijini Awamu ya Tatu kwa mikoa ya Songwe na Mbeya. Uzinduzi ulifanyika katika kijiji cha Ilinga, wilayani Rungwe. Kulia ni Titus Mwisomba, Meneja Takwimu kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu UK >> 2

Waziri wa Nishati Mkurugenzi Mtend- Mkurugenzi Mkuu wa Naibu Waziri wa Nishati na Naibu Waziri wa Nishati na aji wa TANESCO, na Madini, Profesa Madini, anayeshughulikia Madini anayeshughulikia REA, Dk. Lutengano Sospeter Muhongo Mhandisi Felchesmi Mwakahesya UK Madini Stephen Masele Nishati, Mramba EU yachangia bilioni 15 miradi ya Umeme Vijijini >>4 JWTZ wapongezwa kunusuru mtambo wa Msimbati-Uk4 Ofisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za matukio mbalimbali kwa ajili ya News Bullettin hii ya Wizara ya Nishati na Madini Ofisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za matukio mbalimbali kwaWasiliana ajili nasi ya Kitengo News chaBullettin Mawasiliano hii kwa na simu Jarida Namba la +255 Wizara 22 2110490 ya Nishati Fax 2110389 na MadiniMob: +255 732 999263 au Fika Ofisi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263 au Fika Ofisi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: [email protected] Habari za nishati/madini http://www.mem.go.tz 2 Machi 24 - 30, 2017 NewsBulletin

PROF. MUHONGO ATANGAZA TAKWIMU MPYA ZA UMEME Na Teresia Mhagama, Kuhusu utekelezaji wa Miradi ya hanga alisema kuwa Wakala huo 2019 jumla ya vijiji 755 katika mikoa Mbeya Umeme Vijijini, alisema kuwa katika umeendelea kutekeza kazi ya hiyo vitakuwa na umeme ambayo kila mwaka wa Fedha, kila mkoa usambazaji umeme vijijini katika ni sawa na asilimia 89 ya vijiji vyote. aziri wa Nishati hupewa vijiji vya kuunganishwa na Mkoa wa Mbeya na Songwe Aliongeza kuwa vijiji 92 vilivyobaki na Madini, huduma ya umeme huku dhamira ambapo mpaka sasa katika vijiji 847, vitaanza kusambaziwa umeme Profesa Sospeter ikiwa ni kusambaza umeme kwenye tayari vijiji 451 vina umeme ambayo kuanzia mwaka 2019. Muhongo vijiji vyote Tanzania ambavyo ni ni sawa na asilimia 53. Mkandarasi atakayehusika ametangaza zaidi ya 12,000. Alisema kuwa REA III itapeleka na usambazaji wa umeme katika takwimuW mpya za kiwango cha Alisema kuwa katika miradi umeme katika vijiji 304 vya mikoa mikoa hiyo ni kampuni ya STEG utumiaji wa umeme nchini ambazo hiyo ya umeme vijijini, Serikali hiyo ambapo hadi kufikia Machi, International ya Tunisia. zinaonesha kuongezeka kwa fursa za imenunua vifaa mbalimbali kama matumizi ya umeme kwa wananchi. nguzo, nyaya na transfoma hivyo Takwimu hizo alizitangaza wananchi hawatalipia vifaa hivyo wilayani Rungwe mkoani Mbeya, wakati wa utekelezaji wa mradi bali tarehe 20 Machi, 2017 wakati wanachopaswa kulipia ni shilingi akizindua Mradi wa Usambazaji 27,000 tu ya kuunganishiwa umeme. Umeme Vijijini Awamu ya Tatu kwa Vilevile, alisema kuwa bajeti mikoa ya Mbeya na Songwe. iliyotengwa kwa ajili ya usambazaji “Takwimu hizi zimetayarishwa umeme vijijini nchini ni zaidi ya na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) shilingi Trilioni moja ambazo ni kwa kushirikiana na Wakala wa fedha za ndani na nje ya nchi. Nishati Vijijini (REA), Shirika la Kwa upande wake Mkuu wa Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla na Wizara ya Nishati na Madini,” alipongeza juhudi za usambazaji alisema Profesa Muhongo. umeme vijijini na kueleza kuwa Alisema kuwa hadi kufikia vijiji 247 vya mkoa huo tayari Desemba 2016, fursa ya kutumia vimeshapata umeme na katika REA umeme nchini (overall National III, vijiji 238 vitapata umeme na access level) imeongezeka hadi kubakiwa na vijiji 8 tu. kufikia asilimia 67.5 kutoka asilimia Makalla, alitoa ombi kuwa vijiji 10 ya mwaka 2007. hivyo 8 vitakavyosalia, viwekwe Aliongeza kuwa fursa ya kutumia katika mradi huo wa usambazaji umeme vijijini imeongezeka na umeme vijijini Awamu ya Tatu ili kufikia asilimia 49.5 kutoka asilimia vijiji vyote viwe na umeme kama 2 ya mwaka 2007 na kwa mijini fursa ilivyo kwa makao makuu zote za ya kutumia umeme imeongezeka wilaya katika mkoa huo ambazo hadi kufikia asilimia 97.3. zinapata huduma ya umeme. “Tunaposema fursa katika Aidha alitoa ombi kwa Wizara tawimu hizi, tuna maana kuwa na TANESCO kumaliza kero umeme umefika sehemu fulani na ya kukatika mara kwa mara wakati wowote ukihitaji kuwekewa kwa umeme mkoani humo unaupata, hicho ni kipimo cha kunakotokana na matengenezo kwanza kinachotumika duniani ya miundombinu ya umeme ili wakati wa kuandaa takwimu Mbeya iwe na nishati ya uhakika Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla (kulia) akizungumza wakati za umeme na kipimo cha pili itakayokidhi mahitaji ya majumbani wa uzinduzi wa Mradi wa Usambazaji Umeme Vijijini Awamu ya Tatu kinachotumika ni cha idadi ya watu na viwanda. kwa mikoa ya Songwe na Mbeya. Uzinduzi ulifanyika katika kijiji waliofungiwa umeme,” alisema Naye Mkurugenzi Mkuu wa cha Ilinga, wilayani Rungwe. Kushoto ni Waziri wa Nishati na Madini, ProfesaMuhongo. REA, Mhandisi Gissima Nyamo- Profesa Sospeter Muhongo.

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (mwenye koti la Bluu), Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos wa Makalla (kushoto kwa Waziri) na watendaji kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Wakala wa Ukaguzi wa Madini (TMAA) na viongozi wa kijiji cha Ilinga wakifurahia uzinduzi wa Mradi wa Usambazaji Umeme Vijijini Awamu ya Tatu kwa mikoa ya Songwe na Mbeya. http://www.mem.go.tz Habari za nishati/madini NewsBulletin Machi 24 - 30, 2017 3 MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, MAJADILIANO YANAENDELEA TAHARIRI TULIAHIDI, TUNATEKELEZA Mwezi Machi mwaka huu kuanzia tarehe 6 tumeshuhudia Uzinduzi wa Kitaifa wa Mradi Kabambe wa Usambazaji Umeme Vijini Awamu ya Tatu (Densification) katika Mikoa mbalimbali nchini. Tayari uzinduzi wa mradi huo umefanywa na Viongozi Waandamizi wa Wizara katika Mikoa ya Tanga, Dodoma, Mara, Pwani, Iringa, Mbeya na Songwe na utaendelea katika Mikoa mingine Hivi karibuni Mawaziri wa Nishati wa Serikali za Tanzania na Uganda nchini kulingana na makubaliano ya Mikataba walikutana nchini Uganda ili kujadili maendeleo ya utekelezaji wa Mradi na Wakandarasi, unaokwenda sambamba na wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi kuwatambulisha wakandarasi kwa mikoa husika ikiwa Bandari ya Tanga, Tanzania, linalojulikana kama East African Crude Oil Pipeline (EACOP). ni pamoja na katika Serikali za Mitaa. Lengo la mkutano huo lilikuwa ni kutekeleza maelekezo ya Marais Dkt. Kimsingi, uzinduzi huo unaashiria kuanza kwa John Pombe Magufuli wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Rais wa Utekelezaji wa REA III ambao unafanywa na jamhuri ya Uganda, Yoweri Mseveni, yaliotolewa wakati wa ziara ya kikazi Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kushirikiana na ya Rais Museveni nchini Tanzania, Marais hao waliwaelekeza Mawaziri wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), ambapo Wizara husika kukamilisha majadiliano ya Serikali kuhusu mradi huo kwa unatarajiwa kutekelezwa kwa kipindi cha miaka haraka ili kuwezesha ujenzi wa Mradi kuanza mara moja. mitano hadi mwaka 2021. Wengine walioshiriki mkutano huo ni Mawaziri wa Fedha na Ardhi wa REA Awamu ya III unatarajia kumaliza kazi ya Uganda na Tanzania, Wanasheria Wakuu, Makatibu Wakuu na Wakurugenzi kuunganisha huduma ya umeme katika vijiji 7867 wa Sheria, Ardhi, Nishati wa Tanzania na Uganda na Makampuni nchini ambavyo viliachwa katika Awamu ya Kwanza yanayowekeza katika mradi wa bomba hilo. Makampuni hayo yenye hisa na ya Pili ambayo utekelezaji wake utafikisha jumla ya katika visima vya mafuta nchini Uganda ni Total (France), CNOOC (China) na vijiji 12,262 Tanzania Bara vilivyofikiwa na huduma ya TULLOW (UK). umeme ifikapo mwaka 2021. Tayari kazi za awali za maandalizi ya ujenzi wa mradi zinaendelea ikiwemo Kama ambavyo Serikali kupitia Wizara ya Nishati Utafiti wa matumizi ya udongo, maandalizi ya utafiti wa ndani ya maji mahali na Madini iliahidi kuanza utekelezaji wa REA, itakapojengwa ghati ya kushusha mafuta na maandalizi ya ufatifi wa masuala hatimaye REA III imeanza kutekelezwa. ya mazingira na athari zake katika jamii. Vivyo hivyo, Wakandarasi wote watakaotekeleza Mradi wa bomba la EACOP, unatajwa kuwa mradi mwingine wa kihistoria, mradi husika wanapaswa kutekeleza majukumu na unatarajiwa kugharimu kiasi cha Dola za Marekani Bilioni 3.55, urefu wa yao kwa kuzingatia umuhimu wa huduma hiyo kwa kilomita 1,443 na uwezo wa kusafirisha mapipa 200,000 kwa siku. Mradi maendeleo ya nchi ili hatimaye kama Taifa liweze utakuwa na Manufaa kwa Taifa ikiwemo kutoa ajira za muda Mfupi na Mrefu kuingia katika uchumi wa Kati na nchi ya Viwanda na pia kuongeza vyanzo vya kodi kwa Taifa. kutokana na mchango wa sekta ya Nishati. Serikali zote mbili zinatarajiwa kukutana tena jijini Dar es Salaam tarehe Vilevile, tunapenda kutoa rai kwa wananchi wote 28 Machi, 2017 ili kukamilisha hatua ya mwisho ya majadiliano ya kusaini kuhakikisha wanalinda miundombinu kwa kwani makubaliano ya kuendeleza mradi huo. serikali imetumia gharama kubwa kuwekeza katika ujenzi wa miundombinu ya umeme. Tukumbuke kuwa, adhma ya Serikali ni KWA HABARI PIGA SIMU Five kuhakikisha kuwa, inapeleka umeme katika vijiji vyote kitengo cha mawasiliano nchini ikiwa ni umeme wa uhakika jambo ambalo Pillars of pia litawezesha mapinduzi ya viwanda vidogo vidogo Reforms kuanzia ngazi za vijiji na pia kuchochea shughuli TEL-2110490 nyingine za kiuchumi. increase efficiency Aidha, suala la umeme mwingi halina shaka FAX-2110389 FAX-2110389 Quality delivery kutokana na kukamilika kwa baadhi ya miradi ya Njia of goods/service za Usafirishaji umeme wa Msongo Mkubwa wa kV MOB-0732999263 400. satisfAction of the client Hakika kwa hili, tunatoa pongezi kubwa kwa Bodi ya uhariri Viongozi, Watendaji na Watumishi wa Wizara ya satisfaction of Msanifu: Lucas Gordon business partners Nishati na Madini, REA na TANESCO kwa kazi Waandishi: Veronica Simba, Asteria Muhozya, Greyson kubwa ya kuwaunganisha Watanzania na huduma Mwase, Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James , satisfAction of muhimu ya umeme. Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya shareholders Habari za nishati/madini http://www.mem.go.tz 4 Machi 24 - 30, 2017 NewsBulletin UMOJA WA ULAYA WACHANGIA BILIONI 15 MIRADI YA UMEME VIJIJINI

Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Mhandisi Gissima Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt (katikati), Nyamo-Hanga (Kushoto-waliokaa) na Mwakilishi kutoka Wizara ya akizungumza na Ujumbe kutoka Umoja wa Ulaya (Kulia) pamoja Fedha na Mipango, anayeshughulikia Mfuko wa Maendeleo wa Ulaya na baadhi ya viongozi kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Wizara (EDF), Goodlove Stephen (Kulia-waliokaa), wakitiliana saini Mkataba ya Fedha na Mipango na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) (Kushoto), wa Msaada wa Euro milioni 6.5 kutoka Umoja wa Ulaya (EU) na Euro katika hafla ya kutiliana saini Mkataba wa jumla ya Euro milioni 8, milioni 1.5 kutoka Serikali ya Tanzania, kusaidia Mfuko wa uendelezaji ambazo kati yake, Euro milioni 6.5 zimetolewa na EU na Euro milioni Miradi ya Umeme Vijijini. Wanaoshuhudia ni viongozi mbalimbali 1.5 zimetolewa na Serikali ya Tanzania, kwa ajili ya kusaidia Mfuko wa kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Wizara ya Fedha na Mipango na uendelezaji miradi ya Umeme Vijijini. Hafla hiyo ilifanyika hivi karibuni REA. Hafla hiyo ilifanyika hivi karibuni Makao Makuu ya Wizara, mjini Makao Makuu ya Wizara, mjini Dodoma. Dodoma. “Nawahamasisha wananchi wa Na Veronica Simba – maeneo hayo wajiandae kuupokea Mradi Dodoma husika kwa manufaa yao na Taifa kwa moja wa Ulaya (EU) ujumla,” alisisitiza. umetoa Euro milioni Alisema kuwa, Mradi huo 6.5 ambazo ni sawa na utakaochukua kipindi cha miezi 36 takriban shilingi bilioni kukamilika, utaanzia maeneo yaliyotajwa 15.3 za Tanzania kwa ajili lakini lengo ni kufikia maeneo yaU kusaidia Mfuko wa uendelezaji miradi mbalimbali nchini. ya umeme vijijini. Kwa upande wake, Mkuu wa Aidha, Serikali ya Tanzania Mahusiano kutoka EU, Jose Correia imechangia Euro milioni 1.5, sawa na Nunes alisisitiza kuwa, upatikanaji wa takribani shilingi za Tanzania bilioni 3.5 umeme ni moja ya sifa muhimu za hivyo kuwezesha kufikia jumla ya Euro kuwawezesha wananchi kiuchumi. “Ni milioni 8 ambazo ni zaidi ya shilingi kwa sababu hiyo, Umoja wa Ulaya kwa bilioni 18 za Tanzania. kushirikiana na Serikali ya Tanzania, Mkataba wa msaada huo, ulisainiwa tunalenga kuhakikisha kuwa wananchi hivi karibuni baina ya mwakilishi wa EU wanapata umeme wa uhakika na wa na Serikali ya Tanzania, Makao Makuu bei nafuu ili waweze kukabiliana na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt Medard Kalemani (Kulia) ya Wizara ya Nishati na Madini, mjini changamoto ya kuondoa umaskini.” akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), mara baada Dodoma. Naye mwakilishi kutoka Wizara ya hafla ya kutiliana saini Mkataba wa jumla ya Euro milioni 8, ambapo Akizungumza katika hafla ya utiaji ya Fedha na Mipango, Goodlove Euro milioni 6.5 zimetolewa na EU na Euro milioni 1.5 zimetolewa saini mkataba huo, Naibu Waziri Stephen alisisitiza kuwa, Tanzania inao na Serikali ya Tanzania, kwa ajili ya kusaidia Mfuko wa uendelezaji wa Nishati na Madini, Dk. Medard mkakati wa muda mrefu wenye lengo la Miradi ya Umeme Vijijini. Kutoka kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Kalemani alieleza kuwa, fedha hizo kutosheleza mahitaji ya ongezeko la idadi anayeshughulikia Nishati, Dkt Juliana Pallangyo na Naibu Katibu Mkuu zitatumika kujenga Kituo cha kupoza ya watu inayokua kwa kasi ili kuiondoa anayeshughulikia Madini, Profesa James Mdoe. umeme wa kilovolti 220/33 wilayani nchi katika umaskini. Kilombero Mkoa wa Morogoro pamoja “Inakadiriwa kuwa, usambazaji wa na miundombinu ya kusambazia umeme umeme unatakiwa kuongezeka na kufikia katika Wilaya za Kilombero na Ulanga. megawati 10,000 ili kuendana na ukuaji Naibu Waziri alifafanua kuwa, wa uchumi unaotakiwa kuibadilisha msaada huo uliotolewa ni kutoka Mfuko Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa kati wa Maendeleo wa Ulaya (European ifikapo mwaka 2025. Msaada huu kutoka Development Fund – EDF) ambao Umoja wa Ulaya utasaidia kuharakisha unalenga kusaidia Ukanda wa Kilimo mipango husika, ikiwemo lengo la Kusini mwa Tanzania. “Nia hasa ni kuongeza uunganishaji umeme kufikia kuwezesha mazingira ya mapinduzi ya asilimia 75 ifikapo mwaka 2025.” kilimo endelevu kwa Ukanda huo.” Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Dkt. Kalemani alieleza zaidi kuwa, Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Gissima Mradi huo utawasaidia wananchi Nyamo-Hanga, alibainisha kuwa wanaojishughulisha na kilimo hususan Mpango-Mkakati wa miaka mitano wa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt Medard Kalemani (katikati), katika Wilaya za Ifakara, Kilombero REA (2016/17 – 2020/21) unalenga akiushukuru Umoja wa Ulaya (EU) kwa kutoa msaada wa Euro milioni na Ulanga kutokana na upatikanaji wa kuwezesha azma ya Serikali kuhakikisha 6.5 ambazo ni sawa na takriban shilingi bilioni 15.3 za Tanzania kwa umeme wa uhakika katika maeneo yao vijiji 7,873 nchini, ambavyo havijapata ajili ya kusaidia Miradi ya Umeme Vijijini. Kulia ni wawakilishi wa EU na na hivyo kuwa kichocheo kikubwa kwa umeme, vinapatiwa huduma hiyo kufikia Kushoto ni Viongozi mbalimbali kutoka Wizara ya Nishati na Madini, uchumi wa viwanda. mwaka 2021. Wizara ya Fedha na Mipango na Wakala wa Nishati Vijijini (REA). http://www.mem.go.tz Habari za nishati/madini NewsBulletin Machi 24 - 30, 2017 5

WASEMAVYO WABUNGE KUHUSU UMEME VIJIJINI

Uzinduzi wa Mradi wa Umeme Vijijini Awamu ya Tatu (REA III) unaendelea katika Mikoa mbalimbali hapa nchini. Hivi karibuni, Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani alifanya uzinduzi huo mkoani Mara. Hafla hiyo ya uzinduzi ilihudhuriwa pia na wabunge mbalimbali kutoka Mkoa huo na baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini. Wabunge hao walisema yafuatayo:

“Salamu zetu zimfikie Mheshimiwa Rais na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo. Serikali inafanya vizuri sana kwenye masuala ya umeme vijijini. Mnatusaidia sana katika maeneo yetu.”

BONIFACE MWITA, MBUNGE WA BUNDA (CCM)

“Nishati ya umeme ni muhimu sana kwa maendeleo ya watu wetu. Kitu pekee kinachoweza kuwafanya wananchi wasihame kutoka vijijini kwenda mjini ni umeme. Ninafurahi kuona fursa kama hii kwa wananchi wetu kupelekewa umeme vijijini ili waweze kufanya kazi za uzalishaji kule vijijini. Naishauri Serikali isimamie umeme upatikane haraka zaidi ili wananchi waanze kufanya kazi za uzalishaji. Tutengeneze ajira vijijini.”

John Heche, Mbunge wa Tarime Vijijini (CHADEMA) na Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini

“Naomba wananchi wa Bunda mlinde miundombinu ya umeme na kutodai fidia. Miundombinu ya umeme ni ghali sana. Serikali inapoteza hela nyingi sana. Tusichome nguzo. Kuiba mafuta ya Transfoma iwe mwiko.”

Ally Kessy, Mbunge wa Nkasi (CCM) na Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini

“Naishukuru Serikali kutoa kipaumbele kwa Mkoa wetu. Kati ya ile Mikoa 10 iliyopewa kipaumbele katika huduma ya umeme vijijini katika awamu ya I ni pamoja na sisi. Ni imani yangu tutaendelea kushirikiana na Serikali ili kuhakikisha tunawaletea wananchi wetu maendeleo.”

Vedastus Mathayo, Mbunge wa Musoma Mjini (CCM)

“Kwa niaba ya wananchi wa Mwibara, wewe Mheshimiwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, tufikishie salamu zetu kwa Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli na kwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na kwako wewe mwenyewe, Dk Medard Kalemani. Mmetutendea haki wananchi wa Mwibara kutusambazia umeme. Tunaomba awamu hii, vijiji vyote vilivyobaki vipate umeme. Mwibara tunategemea zaidi uvuvi. Wananchi wa Mwibara wakipata umeme wa uhakika, watachochea maendeleo ya uchumi kupitia uvuvi.”

Kangi Logola, Mbunge wa Mwibara (CCM)

IMEANDALIWA NA VERONICA SIMBA Habari za nishati/madini http://www.mem.go.tz 6 Machi 24 - 30, 2017 NewsBulletin DK KALEMANI AZINDUA REA III MARA, DODOMA

Na Veronica Simba - utakuwa kichocheo kikubwa katika Bunda kusukuma maendeleo,” alisisitiza. Vilevile, Naibu Waziri aibu Waziri alibainisha kuwa, lengo la Serikali wa Nishati na ni kuwapatia wananchi wote Madini, Dkt umeme pasipo kubagua aina ya Medard Kalemani, makazi wanayoishi. “Mahali amezindua Mradi popote mwananchi anapoishi, Nwa Umeme Vijijini Awamu ya ndipo tutakapomtundikia umeme. Tatu (REA III), katika Mikoa ya Hatutajali ni nyumba ya nyasi au Mara na Dodoma. ya ghorofa.” Katika Mkoa wa Mara, Akifafanua zaidi, alisema kuwa, uzinduzi ulifanyika mwishoni mwa ili kufanikisha azma ya Serikali wiki katika Wilaya ya Bunda, Kijiji kupeleka umeme katika maeneo cha Mariwanda na kuhudhuriwa yote, Wizara ya Nishati na Madini na viongozi mbalimbali wa imebuni mikakati mbalimbali Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (mwenye miwani- Serikali, Wabunge na wananchi ikiwa ni pamoja na kuunganisha katikati), akibonyeza kitufe maalum kuashiria uzinduzi rasmi wa Mradi wa umeme wa jua au umeme jadidifu Umeme Vijijini Awamu ya Tatu (REA III) kwa Mkoa wa Mara. Wanaoshuhudia ilhali mkoani Dodoma uzinduzi ni baadhi ya wabunge wa Mkoa wa Mara, baadhi ya wajumbe wa Kamati ya ulifanyika katika Kijiji cha Kigwe, kulingana na hali halisi ya mahali Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Mwalimu Wilaya ya Bahi. husika. Lydia Bupilipili na wananchi. Akizungumza na wananchi Sambamba na uzinduzi huo, kwa nyakati tofauti katika hafla Naibu Waziri aliwatambulisha hizo za uzinduzi, Dk Kalemani kwa wananchi na viongozi wa alibainisha malengo ya REA III Mikoa husika, Wakandarasi ambapo alisema kuwa lengo la watakaotekeleza Miradi hiyo, kwanza la Mradi huo kabambe ili kurahisisha ufuatiliaji wa ni kupeleka umeme kwenye utekelezaji wa kazi zao pamoja na vitongoji vyote ambavyo vijiji vyake kuwapatia ushirikiano stahiki. vimeshapata umeme. Awali, akitoa hotuba ya “Katika Mradi wa REA II, utangulizi katika hafla hizo za tulikuwa tunapeleka umeme katika uzinduzi, Mkurugenzi Mkuu Kituo tu cha Kijiji, siyo Kijiji chote. wa Wakala wa Nishati Vijijini REA III itafika katika vitongoji (REA), Mhandisi Gissima Nyamo- vyote.” Hanga aliwataka wananchi Naibu Waziri alitaja lengo watakaounganishiwa umeme jingine la REA III kuwa ni kukamilisha utandazaji wa nyaya kupeleka umeme kwenye vijiji katika nyumba zao mapema ili vyote ambavyo havijapata umeme. mkandarasi atakapofika katika Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (katikati), akifurahia Sambamba na hayo, alibainisha maeneo yao, wawe tayari kulipia na pamoja na baadhi ya wabunge wa Mkoa wa Mara, baadhi ya wajumbe wa malengo mengine kuwa ni kuunganishiwa umeme. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Mkuu wa Wilaya ya Bunda, kupeleka umeme kwenye Taasisi Aidha, alibainisha kwamba, Mwalimu Lydia Bupilipili na wananchi, baada ya kukata utepe kuashiria zote za umma na nyingine zilizo kwa nyumba ambazo utandazaji uzinduzi rasmi wa Mradi wa Umeme Vijijini Awamu ya Tatu (REA III) kwa Mkoa rasmi hata kama siyo za umma. wa nyaya utakuwa haujakamilika, wa Mara. Uzinduzi ulifanyika katika Kijiji cha Mariwanda, Wilaya ya Bunda. “Taasisi hizo ni pamoja na wananchi wanaweza kuomba Vituo vya Afya/Zahanati, Misikiti, kufungiwa kifaa cha Umeme Makanisa, Masoko, Shule pamoja Tayari (UMETA) ambacho na Taasisi nyingine muhimu. hakihitaji nyumba nzima Pia, kwenye mitambo ya maji,” kutandazwa waya. alifafanua. Mhandisi Nyamo-Hanga Aidha, aliwashukuru aliwaomba watendaji katika wananchi kuitikia Mradi huo Serikali za Kata na Vijiji, wa Serikali ambao alibainisha kubainisha maeneo maalum ya kuwa utatekelezwa ndani ya viwanda ambayo katika mradi kipindi cha miaka minne hadi huo yatafikishiwa miundombinu mitano. Hata hivyo, aliwataka ya umeme mkubwa ili kuwezesha wananchi kuutumia umeme wajasiriamali vijijini kupatiwa watakaounganishiwa katika umeme utakaowezesha shughuli mbalimbali za kiuchumi. kuanzishwa kwa viwanda vidogo “Tunapenda sana umeme huu vidogo na vikubwa vijijini kwa utumike kwenye shughuli za kilimo gharama nafuu. hususan kilimo cha umwagiliaji, Gharama ya utekelezaji wa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt Medard Kalemani, (kushoto), kuendeshea mitambo ya maji, Mradi wa REA III kwa Mkoa wa akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Mwalimu Lydia Bupilipili, kifaa cha lakini hata kuanzisha viwanda Dodoma ni shilingi bilioni 75 na Umeme Tayari (UMETA) kwa niaba ya wananchi wake wakati wa hafla ya vya kati ili kukuza uchumi wetu. kwa Mkoa wa Mara ni shilingi uzinduzi wa Mradi wa Umeme Vijijini Awamu ya Tatu (REA III) kwa Mkoa wa Tunaamini kuwa umeme huu bilioni 41.15. Mara. http://www.mem.go.tz Habari za nishati/madini NewsBulletin Machi 24 - 30, 2017 7 Prof. Muhongo azindua REA III Iringa

Na Teresia Mhagama utasaidia kutekeleza Dira ya Maendeleo ya mwaka 2025 ambapo ili nchi iwe aziri wa Nishati na ya kipato cha kati kufikia mwaka huo, Madini, Profesa lazima umeme utumike katika sehemu Sospeter Muhongo mbalimbali kama vile kwenye viwanda, amezindua mradi wa mashamba, majumbani, huduma usambazaji umeme za kijamii na katika ufugaji ili kuleta vijijiniW Awamu ya Tatu (REA III) katika mageuzi ya kiuchumi katika Sekta hizo. mkoa wa Iringa ambapo jumla ya vijiji Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa 194 vitaunganishwa na huduma ya wa Iringa, Amina Masenza, alisema umeme hadi kufikia mwaka 2021. kuwa tayari vijiji 160 katika mkoa Mradi huo utatekelezwa katika huo vina nishati ya umeme na mkoa vipindi viwili tofauti ambapo sehemu ya unaendelea kuandaa mazingira kwa ajili awali itahusisha upelekaji umeme katika ya mradi wa REA wa Awamu ya Tatu, vijiji 162 kwa gharama ya shilingi bilioni ili utakapoanza maeneo yote muhimu Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (wa kwanza kulia) akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Image wilayani Kilolo 47.4 na inatarajiwa kukamilika mwezi yapate umeme na kuutumia. Alisema kuwa, changamoto iliyopo (hawaonekani pichani) kabla ya kuzindua Mradi wa Usambazaji Umeme Machi 2019. Vijijini Awamu ya Tatu (REA III) katika Mkoa wa Iringa. Kulia kwa Waziri ni Sehemu ya Pili ya mradi huo itaanza mkoani humo katika Sekta ya Nishati ya umeme ni uharibifu wa mazingira Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Gissima Nyamo-hanga na wengine kutekelezwa baada ya sehemu ya katika vyanzo vinavyopeleka maji katika ni Watendaji wa kampuni zitakazohusika na usambazaji wa umeme kwanza kukamilika ambapo jumla ya mkoani Iringa, Namis na Nakroi. mabwawa ya kuzalishia umeme suala vijiji 32 vitapatiwa umeme na kufanya ambalo wanalishughulikia ili kutunza vijiji vyote vya Mkoa huo kuwa na vyanzo hivyo. umeme. Aidha aliishukuru Wizara kwa Akizindua mradi huo katika kijiji cha kuendelea kusambaza umeme vijijini hali Image wilayani Kilolo, Profesa Muhongo inayoleta faida mbalimbali katika vijiji alisema kuwa miradi ya REA III ina hivyo ikiwemo kuongezeka kwa kipato vipengele vitatu vya utekelezaji ambapo cha wananchi. kipengele cha kwanza kinahusika na Mbunge wa Kilolo, Venance kuendelea kusambaza umeme katika Mwamoto alishukuru kwa uzinduzi maeneo yenye miundombinu ya umeme huo kufanyika wilayani humo kwa kuwa ambapo utekelezaji umeanza katika wilaya hiyo inachangia katika uzalishaji mikoa Sita na ni endelevu. wa umeme nchini kwani ina vyanzo Alisema kuwa kipengele cha pili vitano vinavyopeleka maji katika Bwawa kinahusika na kufikisha umeme katika la kuzalisha umeme la Kihansi. maeneo ambayo hayajafikiwa na Aidha aliiomba Serikali kusambaza Gridi ya Taifa na kipengele cha Tatu umeme katika vijiji ambavyo havikupata kinahusika na kusambaza umeme umeme katika mradi wa REA Awamu Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati) kwenye maeneo ambayo ni vigumu ya Pili. akikata utepe ili kuzindua Mradi wa Usambazaji Umeme Vijijini kufikiwa na huduma ya umeme wa gridi Uzinduzi huo ulifanyika tarehe Awamu ya Tatu (REA III) katika mkoa wa Iringa. Kulia kwa Waziri ni kama vile milimani na visiwani ambapo 21 Machi, 2017 ambapo kampuni Mkuu wa mkoa wa Iringa, Amina Masenza. watapata umeme kwa kutumia nishati zitakazohusika na usambazaji wa jadidifu. umeme mkoani humo ni Namis na Alisema kuwa upatikanaji wa umeme Nakroi.

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akisalimiana na Mkuu wa wilaya ya Kilolo, Asia Abdallah (kushoto) wakati alipofika katika Baadhi ya wananchi katika Kijiji cha Image mkoani Iringa wakimsikilia kijiji cha Image wilayani Kilolo ili kuzindua mradi wa usambazaji umeme Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (hayupo pichani) vijijini Awamu ya Tatu (REA III) katika mkoa wa Iringa. Kulia ni Mkuu wa wakati wa hafla ya uzinduzi wa mradi wa usambazaji umeme vijijini mkoa wa Iringa, Amina Masenza Awamu ya Tatu (REA III) katika mkoa wa Iringa. Habari za nishati/madini http://www.mem.go.tz 8 Machi 24 - 30, 2017 NewsBulletin ZIARA YA DKT. KALEMANI MKOANI DODOMA, MARA

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (katikati), akifunua kitambaa kilichofunika jiwe la msingi, kuashiria uzinduzi rasmi wa Mradi wa Umeme Vijijini Awamu ya Tatu (REA III) kwa Mkoa wa Mara. Wanaoshuhudia ni Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Mwalimu Lydia Bupilipili, baadhi ya wabunge wa Mkoa wa Mara, baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini na wananchi.

Timu ya wafanyakazi wa Mkandarasi aliyeshinda zabuni kuunganisha Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (kulia), umeme vijijini Awamu ya Tatu (REA III) kwa Mkoa wa Dodoma. akiwazawadia na kujumuika kucheza na kikundi cha ngoma kutoka Mkandarasi aliyeshinda zabuni hiyo ni Mrisho Masoud wa Kampuni ya Bunda kilichokuwa kikitumbuiza katika hafla ya uzinduzi wa Mradi wa O.K Electrical & Electronics Services Ltd. Umeme Vijijini Awamu ya Tatu (REA III) Mkoa wa Mara.

Sehemu ya umati wa wananchi wakiwa kwenye hafla ya uzinduzi wa Mradi wa Umeme Vijijini Awamu ya Tatu (REA III) katika Mikoa ya Dodoma na Mara. http://www.mem.go.tz Habari za nishati/madini NewsBulletin Machi 24 - 30, 2017 9 TANESCO WATAKIWA KUWASHIRIKISHA WANANCHI UTEKELEZAJI MIRADI YA USAMBAZAJI UMEME

Na Rhoda James- Tanga Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo aliwataka amati ya Kudumu Watumishi wa Tanesco na REA ya Bunge ya Nishati kuzingatia maagizo ya Kamati hiyo na Madini imelitaka na kuyatekeleza pamoja na kuzingatia Shirika la Umeme malalamiko mbalimbali ya wananchi Nchini (Tanesco) wa Kijiji cha Tongoni kama vile kuwashirikishaK wananchi wa maeneo kubadilisha Transforma iliyowekwa na husika wakati wa utekelezaji wa miradi Mkandarasi wa Sengerema Engineering ya usambazaji wa umeme. Group Ltd ambayo inalalamikiwa Hayo yamesemwa na Mwenyekiti kutofanya kazi vizuri na kusababisha wa Kamati ya Kudumu ya Bunge umeme kuwa mdogo. ya Nshatia na Madini na Mbuge wa Dkt. Pallangyo pia aliwataka Ludewa, Deo Ngalawe wakati wa ziara Tanesco kuhakikisha kuwa wananchi ya kamati hiyo iliyolenga kukagua hatua wa Tongoni ambao waliotandaza nyaya Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini na Mbuge wa Ludewa, Deo Ngalawa (katikati) mara tu baada ya kufika iliyofikiwa ya utekelezaji wa Miradi ya za umeme kuunganishiwa umeme katika Kituo cha Hale mkoani Tanga kwa ajili ya Kukagua kituo Umeme Vijini (REA 11) hivi karibuni haraka iwezekanavyo kwa kuwa hicho ili kujionea hali halisi ya kituo hicho na ukarabati unaotarajiwa Mkoani Tanga. wameshalipia. kufanyika hizi karibuni. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Uzalishaji Ngalawe alisema Watumishi wa Kwa upande wake Kaimu Meneja wa Umeme Tanesco, Mhadisi Abdallah Ikwasa pamoja na Meneja wa Kanda ya Tanga, Mhadisi Stellah Hiza wakiwaongoza kwenda kwenye Tanesco na Wakala wa Nishati Vijijini wa Shirika la Umeme Nchini mkoani ukumbi wa Mkutano hivi karibuni mkoani Tanga. (REA) ni lazima wawashirikishe Tanga, Kasim Rajabu alisema Miradi wananchi katika ngazi zote za ya Umeme Vijijini awamu ya 11 katika utekelezaji wa miradi ya usambazaji wa Mkoa wa Tanga imekamilika kwa umeme vijijini. asilimia 100. “Tumewatembelea wanakijiji wa Miradi hii imekuwa ikitekelezwa Tongani Mkoani Tanga wananchi kwa wilaya zote nane za Mkoa wa wanalalamika kutokushirikishwa, Tanga ambazo ni Tanga Vijijini, washirikisheni maana mtapata maoni Muheza, Korogwe, Handeni, Kilindi, na mawazo mazuri kutoka kwa Lushoto, Pangani na Mkinga ambazo wananchi hawa.” Alisema Ngalawe. zinapata umeme wake kutoka Gridi ya Aidha, kwa upande wake Naibu Taifa kupitia vituo vya Hale, Kasiga, na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Tanga (Majani Mapana.)

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (kulia) akielekea kukagua Kituo cha Hale kilichopo Mkoani Tanga. Kushoto kwake ni Meneja wa Kanda ya Tanga, Mhandisi Stellah Hiza na Wengine ni Viongozi Waandamizi kutoka Tanesco.

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini na Mbuge wa Ludewa, Deo Ngalawa (wa tatu kutoka kushoto) akikagua Kituo cha Hale kilichopo mkoani Tanga, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (mwenye suti nyeusi katikati) akikagua Kituo cha Hale kilichopo Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini mkoani Tanga. Wengine katika Picha ni Wabunge wa Kamati ya Kudumu wakiwa katika ukumbi wa Hale mkoani Tanga wakisikiliza mtoa mada ya Nishati na Madini pamoja na Wataalamu kutoka Shirika la Umeme (hayupo pichani), pamoja na Viongozi Waandamizi kutoka TANESCO. Nchini (TANESCO). Habari za nishati/madini http://www.mem.go.tz 10 Machi 24 - 30, 2017 NewsBulletin Tanesco, REA tatueni matatizo yaliyojitokeza REA II

Na Rhoda James- Tanga

hirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na Wakala wa Nishati Vijijini (REA), wametakiwa kutatua matatizo yaliyojitokezaS katika utekelezaji wa miradi ya REA Awamu ya Pili (ii) ya Umeme Vijijini kabla ya kuendelea na utekelezaji wa REA Awamu ya Tatu. Agizo hilo lilitolewa hivi karibuni na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini na Mbunge wa Ludewa, Deo Wabunge wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini pamoja na Wanakijiji wa Tongoni Ngalawa wakati wa ziara ya kamati wakimsikiliza Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini (hayupo pichani) katika hiyo ya siku tano mkoani Tanga na kijiji cha Tongoni mkoani Tanga. Dar es Salaam kwa lengo la kukagua Ngalawa aliitaka TANESCO na uwezo wake na kutaka Transfoma pili. utekelezaji wa miradi ya REA REA kutatua matatizo ya Awamu zinazotumika ziwe imara ili kuondoa Aidha, kwa nyakati mbalimbali Awamu ya Pili ya Umeme Vijijini ya Pili ambayo ni pamoja na tatizo la malalamiko toka kwa wananchi. Ngalawa aliwapongeza Wafanyakazi hivi karibuni mkoani Tanga. Transforma ambazo zinatafautiana “Wananchi wengi wanalalamika wa Tanesco kwa kuendelea kufanya umeme kuwa mdogo, hili tatizo kazi nzuri katika kituo cha Hale linatokana na Transforma kuwa ambapo aliridhishwa na kazi yao tofauti na ni lazima Transforma pamoja na kuwa miundombinu na ziwe imara ili kuepusha tatizo hilo.” mitambo ya kituo hicho ni ya zamani Alisema Ngalawe. na kutoa wito kwa Shirika la Umeme Pia aliongeza kuwa tatizo lingine Nchini kuharakisha utekelezaji ni pamoja na kutofikiwa kwa umeme wa Ukarabati wa Kituo hicho kwa kaya ambazo zipo ndani ya unaotarajia kuanza mwezi Septemba mradi wa umeme vijijini awamu ya mwaka huu.

Viongozi Waandamizi kutoka Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Wakala wa Umeme Vijijini (REA) pamoja na Wanakijiji wa Kijiji cha Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo akisaini kitabu cha wageni Tongoni mkoani Tanga wakimsikiliza Kaimu Meneja wa Tanesco katika kijiji cha Tongoni mkoani Tanga mara baada ya kuwasili katika wakati akiwasilisha mada kuhusu Miradi ya Umeme mkoani Tanga kijiji hicho. (hayupo pichani). http://www.mem.go.tz Habari za nishati/madini NewsBulletin Machi 24 - 30, 2017 11 HAFLA YA UZINDUZI WA REA III IRINGA

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (wa tatu kulia mstari wa nyuma) pamoja na viongozi mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuzindua mradi wa usambazaji umeme vijijini Awamu ya Tatu (REA III) katika mkoa wa Iringa. Wa nne kulia ni Mkuu wa mkoa wa Iringa, Amina Masenza, wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga na wa tano kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini, Dkt Gideon Kaunda. Waliosimama mbele ni Wanafunzi wa Sekondari ya Wasichana wa Jamii ya Kimasai wilayani Kilolo. »»01 »»03

PICHA 1:

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini, Dkt Gideon Kaunda akizungumza na Wananchi wakati wa Hafla ya uzinduzi huo, uliofanyika katika kijiji cha Image wilayani Kilolo mkoani Iringa. Kushoto ni Waziri wa Nishati »»02 na Madini, Profesa Sospeter Muhongo. PICHA 2:

Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga (wa kwanza kulia), Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (wa pili kulia), Mbunge wa Kilolo, Venance Mwamoto (wa tatu kulia) wakisoma maombi ya wananchi ya kuunganishiwa umeme katika Mradi wa usambazaji umeme vijijini Awamu ya Tatu, katika hafla hiyo. PICHA 3:

Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Gissima Nyamo-hanga (wa kwanza kulia) Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini, Dkt Gideon Kaunda (wa pili kulia) na Mbunge wa Kilolo, Venance Mwamoto (wa kwanza kushoto) wakiwa pamoja na Wanafunzi wa Sekondari ya Wasichana wa Jamii ya Kimasai wilayani Kilolo ambao pia watafaidika na mradi wa usambazaji umeme vijijini Awamu ya Tatu (REA III). Habari za nishati/madini http://www.mem.go.tz 12 Machi 24 - 30, 2017 NewsBulletin ZIARA YA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI, GEITA Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ipo Mkoani Geita waandamizi na wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini na Taasisi kwa ziara ya siku nne Machi 21 hadi Machi 24, 2017 ya kutembelea miradi zake mbalimbali ya Nishati pamoja na baadhi ya migodi ya Madini. Kamati hiyo tayari imetembelea migodi ya dhahabu ya Blue Reef na Katika ziara hiyo inayoongozwa na Mwenyekiti wa Kamati husika, Doto Buckreef Gold Company Limited iliyopo Rwamgasa na Miradi ya Umeme Biteko- Mbunge wa Jimbo la Bukombe imejumuisha baadhi ya viongozi Vijijini kwenye vijiji vya Nyakato na Buzirayombo wilayani Chato.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Madini, Profesa James Mdoe (kulia) akifurahia jambo na Mjumbe anayeshughulikia Madini, Profesa James Mdoe (katikati) wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Mwantakaje akizungumza jambo kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita, Juma (katikati) ambaye ni Mbunge wa Bububu. Kushoto ni Kaimu Meja Jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga (kulia). Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Kamishna wa Madini Nchini, Mhandisi Ali Samaje. Mhandisi Hamis Komba.

Naibu Katibu Mkuu Wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Madini, Profesa James Mdoe (kulia) akizungumza jambo kwenye Mkutano wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, na Mkuu wa Mkoa wa Geita (hawapo pichani). Wengine ni Kaimu John Heche- Mbunge wa Tarime Vijijini (kushoto) akijadiliana Kamishna wa Madini Nchini, Mhandisi Ali Samaje (katikati) na jambo na Kaimu Kamishna wa Madini Nchini, Mhandisi Ali Kamishna Msaidizi wa Madini anayeshughulikia Wachimbaji wadogo, Samaje. Benjamin Mchwampaka.

Naibu Katibu Mkuu Wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Madini, Profesa James Mdoe (kulia) akizungumza na baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini mara baada ya kuwasili kwenye mgodi wa dhahabu wa Blue Reef wa Rwamgasa. http://www.mem.go.tz Habari za nishati/madini NewsBulletin Machi 24 - 30, 2017 13 ZIARA YA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI, GEITA

Naibu Katibu Mkuu Wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Madini, Profesa James Mdoe (kushoto), Kaimu Kamishna wa Madini Nchini, Mhandisi Ali Samaje (katikati) na Mmiliki wa Mgodi wa dhahabu wa Blue Reef, Christopher Kadeo Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, wakimsikiliza Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Doto Biteko- Mbunge wa Jimbo la Bukombe (aliyesimama) Nishati na Madini, Doto Biteko- Mbunge wa Jimbo la Bukombe akizungumza wakati wa ziara ya Kamati yake kwenye mgodi wa Blue (hayupo pichani) wakati wa ziara ya Kamati kwenye mgodi huo. Reef uliopo Rwamgasa mkoani Geita.

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, wakijadiliana jambo wakati wa ziara yao kwenye mgodi wa dhahabu - Mbunge wa Karagwe (aliyesimama) wa Blue Reef uliopo Rwamgasa mkoani Geita. Kutoka kushoto ni akizungumza wakati wa ziara ya Kamati hiyo kwenye mgodi wa Daimu Mpakate (Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kusini), Mbunge wa dhahabu wa Blue Reef wa Rwamgasa mkoani Geita. Wengine Jimbo la Nkasi Kaskazini, Ally Kessy, Mbunge wa Viti Maalum Mkoani waliokaa mbele ni Wajumbe wa Kamati hiyo. Mara, Joyce Sokombi na Mbunge wa Bububu, Mwantakaje Juma.

Baadhi ya wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini na Taasisi zilizo chini yake walioambatana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kwenye ziara katika mgodi wa dhahabu wa Blue Reef wa Rwamgasa wa mkoani Geita. Habari za nishati/madini http://www.mem.go.tz 14 Machi 24 - 30, 2017 NewsBulletin HAFLA YA UZINDUZI WA MRADI WA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI AWAMU YA TATU (REA III) KWA MIKOA YA SONGWE NA MBEYA

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ( wa kwanza Meneja wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Kanda ya Nyanda za kulia), Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini, Dkt Gideon Kaunda (wa Juu Kusini Magharibi, Salome Mkondola (kulia) akizungumza wakati wa pili kulia) na Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Gissima Nyamo-hanga Hafla ya uzinduzi wa Mradi wa Usambazaji Umeme Vijijini Awamu ya Tatu (wa kwanza kushoto) wakiwa katika Hafla ya uzinduzi wa Mradi wa kwa mikoa ya Songwe na Mbeya. Uzinduzi ulifanyika katika kijiji cha Ilinga, Usambazaji Umeme Vijijini Awamu ya Tatu kwa mikoa ya Songwe na wilayani Rungwe. Kushoto ni Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Mbeya. Uzinduzi ulifanyika katika kijiji cha Ilinga, wilayani Rungwe. Muhongo na katikati ni Meneja wa TANESCO Mkoa wa Mbeya, .

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ( wa kwanza kushoto), akiwatambulisha watendaji kutoka kampuni ya STEG International (Wa nne mpaka Saba kutoka kulia), kwa Mkuu wa Mbeya, Amos Makalla (wa tatu kushoto) katika Hafla ya uzinduzi wa Mradi wa Usambazaji Umeme Vijijini Awamu ya Tatu kwa mikoa ya Songwe na Mbeya. Uzinduzi ulifanyika katika kijiji cha Ilinga, wilayani Rungwe. Wengine Kikundi cha Utamaduni katika kijiji cha Ilinga mkoani Mbeya kikitumbuiza katika picha ni Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Gissima Nyamo-hanga katika Hafla ya uzinduzi wa Mradi wa Usambazaji Umeme Vijijini Awamu ya (wa kwanza kulia) na Meneja wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Tatu kwa mikoa ya Songwe na Mbeya. Uzinduzi ulifanyika katika kijiji cha Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Magharibi, (wa tatu kulia). Ilinga, wilayani Rungwe.

Viongozi mbalimbali wakitaza kikundi cha Utamaduni kikitumbuiza wakati wa Hafla ya uzinduzi wa Mradi wa Usambazaji Umeme Vijijini Awamu ya Tatu kwa mikoa ya Songwe na Mbeya. Katikati (nyuma) ni Waziri wa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ( kulia), akiwa na Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, watendaji kutoka kampuni Mkuu wa Idara ya Ufundi-TANESCO, John Issa ambaye ameshika kifaa ya STEG International (waliovaa Wa Nne mpaka Saba kutoka kulia), Mkuu kiitwacho Umeme Tayari (UMETA) ambacho hufungwa kwenye nyumba wa Mbeya, Amos Makalla (wa tatu kulia), Mkurugenzi Mkuu wa REA, ndogo bila kuhitaji kusuka nyaya za umeme ndani ya nyumba, elimu Mhandisi Gissima Nyamo-hanga (wa pili kushoto) na Meneja wa Shirika la kuhusu kifaa hicho ilitolewa kwa wananchi katika Hafla ya uzinduzi wa Umeme Tanzania (TANESCO), Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Magharibi, Mradi wa Usambazaji Umeme Vijijini Awamu ya Tatu kwa mikoa ya Songwe (wa kwanza kushoto) na wa tatu kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati na Mbeya. Uzinduzi ulifanyika katika kijiji cha Ilinga, wilayani Rungwe. Vijijini, Dkt Gideon Kaunda. http://www.mem.go.tz Habari za nishati/madini NewsBulletin Machi 24 - 30, 2017 15