Majadiliano Ya Bunge ______
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
-
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE _________________ MKUTANO WA KUMI NA NANE Kikao cha Kumi na Tatu – Tarehe 10 Februari, 2010 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI (MHE. OMAR YUSSUF MZEE): Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Benki ya Posta Tanzania, kwa Mwaka 2008 [The Annual Report and Accounts of The Tanzania Postal Bank for the Year 2008]. The Mid-Term Review of the Monetary Policy Statement of The Bank of Tanzania for the Year 2009/2010. MWENYEKITI WA KAMATI YA NISHATI NA MADINI: Taarifa ya Kamati ya Nishati na Madini juu ya Taarifa ya Serikali Kuhusu Ubinafsishwaji wa Mgodi wa Kiwira. Taarifa ya Kamati ya Nishati na Madini Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelezaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Mchakato wa Zabuni ya Kuzalisha Umeme wa Dharura Ulioipa Ushindi Kampuni ya Richmond Development Company LLC. Houston Texas - Marekani Mwaka 2006. MWENYEKITI WA KAMATI YA MIUNDOMBINU: Taarifa ya Kamati ya Miundombinu Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelzaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Uendeshaji Usioridhisha wa Shirika la Reli Tanzania uliofanywa na Kampuni ya RITES ya India. 1 Taarifa ya Kamati ya Miundombinu Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelezaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Utendaji wa Kazi Usioridhisha wa Kampuni ya TICTS. MASWALI NA MAJIBU Na. 145 Usimamizi wa Ukaguzi wa Fedha za Halmashauri MHE. HERBERT J. MNTANGI aliuliza:- Kwa kuwa, kiasi cha fedha kinachopelekwa katika Halmashauri za Wilaya, Manispaa na Jiji ni kikubwa na kinahitaji usimamizi wa ziada:- Kwa kuwa kitengo cha ukaguzi wa ndani kipo chini ya Mkurugenzi Mtendaji. -
Coversheet for Thesis in Sussex Research Online
A University of Sussex DPhil thesis Available online via Sussex Research Online: http://sro.sussex.ac.uk/ This thesis is protected by copyright which belongs to the author. This thesis cannot be reproduced or quoted extensively from without first obtaining permission in writing from the Author The content must not be changed in any way or sold commercially in any format or medium without the formal permission of the Author When referring to this work, full bibliographic details including the author, title, awarding institution and date of the thesis must be given Please visit Sussex Research Online for more information and further details Accountability and Clientelism in Dominant Party Politics: The Case of a Constituency Development Fund in Tanzania Machiko Tsubura Submitted for the Degree of Doctor of Philosophy in Development Studies University of Sussex January 2014 - ii - I hereby declare that this thesis has not been and will not be submitted in whole or in part to another University for the award of any other degree. Signature: ……………………………………… - iii - UNIVERSITY OF SUSSEX MACHIKO TSUBURA DOCTOR OF PHILOSOPHY IN DEVELOPMENT STUDIES ACCOUNTABILITY AND CLIENTELISM IN DOMINANT PARTY POLITICS: THE CASE OF A CONSTITUENCY DEVELOPMENT FUND IN TANZANIA SUMMARY This thesis examines the shifting nature of accountability and clientelism in dominant party politics in Tanzania through the analysis of the introduction of a Constituency Development Fund (CDF) in 2009. A CDF is a distinctive mechanism that channels a specific portion of the government budget to the constituencies of Members of Parliament (MPs) to finance local small-scale development projects which are primarily selected by MPs. -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Ishirini na Nne – Tarehe 18 Julai, 2006 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kabla sijamwita muuliza swali la kwanza nina matangazo kuhusu wageni, kwanza wale vijana wanafunzi kutoka shule ya sekondari, naona tangazo halisomeki vizuri, naomba tu wanafunzi na walimu msimame ili Waheshimiwa Wabunge waweze kuwatambua. Tunafurahi sana walimu na wanafunzi wa shule zetu za hapa nchini Tanzania mnapokuja hapa Bungeni kujionea wenyewe demokrasia ya nchi yetu inavyofanya kazi. Karibuni sana. Wapo Makatibu 26 wa UWT, ambao wamekuja kwenye Semina ya Utetezi na Ushawishi kwa Harakati za Wanawake inayofanyika Dodoma CCT wale pale mkono wangu wakulia karibuni sana kina mama tunawatakia mema katika semina yenu, ili ilete mafanikio na ipige hatua mbele katika kumkomboa mwanamke wa Tanzania, ahsanteni sana. Hawa ni wageni ambao tumetaarifiwa na Mheshimiwa Shamsa Selengia Mwangunga, Naibu Waziri wa Maji. Wageni wengine nitawatamka kadri nitakavyopata taarifa, kwa sababu wamechelewa kuleta taarifa. Na. 223 Barabara Toka KIA – Mererani MHE. DORA H. MUSHI aliuliza:- Kwa kuwa, Mererani ni Controlled Area na ipo kwenye mpango wa Special Economic Zone na kwa kuwa Tanzanite ni madini pekee duniani yanayochimbwa huko Mererani na inajulikana kote ulimwenguni kutokana na madini hayo, lakini barabara inayotoka KIA kwenda Mererani ni mbaya sana -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA KUMI NA TATU Kikao cha Tatu – Tarehe 30 Oktoba, 2008 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua MASWALI KWA WAZIRI MKUU NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge kama kawaida yetu siku ya Alhamisi kazi zetu zinaanza kwa maswali kwa Waziri Mkuu kwa muda wa dakika 30. Kwa hiyo Mheshimiwa Waziri Mkuu mwulizaji wa swali la kwanza leo ni Mheshimiwa Mzee John Samwel Malecela. MHE. JOHN S. MALECELA: Mheshimiwa Naibu Spika, napenda kukushukuru kwa kunipa nafasi ya kuuliza swali la kwanza. Mheshimiwa Waziri Mkuu hivi sasa kuna tatizo la uandikishaji wa vijiji vipya, vijiji ambavyo zamani vilikuwa kama vitongoji lakini sasa vimekuwa vijiji vingi na vikubwa na pia kuna tatizo la ugawaji wa kata. Sasa mambo yote haya yanashughulikiwa na TAMISEMI. Je, Serikali haingeona uwezekano wa kukasimu madaraka ya uandikishaji wa vijiji yaende kwenye Halmashauri za Wilaya na suala la uandikishaji wa ugawaji wa kata liende kwa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, kwa hiyo kuondoa msongamano ambao sasa hivi uko TAMISEMI kiasi kwamba viko vijiji ambavyo vimependekezwa na Halmashauri zaidi ya miaka 10 iliyopita lakini mpaka sasa hakuna kilichofanyika? WAZIRI MKUU: Mheshimiwa Naibu Spika, naomba nimjibu Mheshimiwa Mzee Malecela swali lake zuri sana kama ifuatavyo. Mheshimiwa Naibu Spika, sababu ya kuendeleza utaratibu huu wa kutaka jambo hili liwe linaamuliwa katika ngazi hii ni kwamba kuna masuala ya kifedha ambayo yanaendana sambamba na uanzishwaji wa vijiji, kata na maeneo mengine mapya. Kwa hiyo, kwa msingi huo Serikali bado inaona ni vizuri uamuzi kama huo ukaendelea kubaki 1 mikononi mwetu ili hilo liweze kuwa ni jambo ambalo linatu-guide katika kuamua vijiji vingapi safari hii turuhusu itakuwa na component ya Watendaji na kata ngapi kwa sababu utaongeza mambo mengine ndani ya kata. -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE ______________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Moja – Tarehe 5 Agosti, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA: Randama ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Viwanda na Biashara kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. NAIBU WAZIRI WA KAZI NA AJIRA: Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Kazi na Ajira kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. MHE. JENISTA J. MHAGAMA - MWENYEKITI WA KAMATI YA MAENDELEO YA JAMII: Taarifa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Kazi na Ajira kwa Mwaka 2010/2011 Pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. MHE. REGIA E. MTEMA - MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI KWA WIZARA YA KAZI NA AJIRA: Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani juu ya Wizara ya Kazi na Ajira kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. MASWALI NA MAJIBU Na. 373 Kuboreshwa kwa Maslahi ya Madiwani MHE. FELISTER A. BURA aliuliza:- Madiwani ni nguzo muhimu katika kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi na nia ya Serikali ni kuboresha maslahi ya Madiwani iil waweze kutimiza wajibu wao ipasavyo;- Je, ni lini maslahi ya Madiwani yataboreshwa? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri Mkuu, ninaomba kujibu swali la Mheshimiwa Felister Bura, Mbunge wa Viti Maalum, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Naibu Spika, ni kweli kwamba, Waheshimiwa Madiwani ni nguzo muhimu katika kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi wa Chama cha Mapinduzi. -
Majadiliano Ya Bunge Mkutano Wa Kumi Na Sita
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _____________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA KUMI NA SITA Kikao cha Arobaini – Tarehe 28 Julai, 2009 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Job Y. Ndugai) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA VIWANDA, BIASHARA NA MASOKO: Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko kwa Mwaka wa Fedha 2009/2010. MHE. MOHAMMED AMOUR CHOMBOH (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA VIWANDA NA BIASHARA): Taarifa ya Kamati ya Viwanda na Biashara kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko kwa Mwaka 2008/2009 pamoja na maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2009/2010. MHE. KHADIJA SALUM ALLY AL-QASSMY (K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI KUHUSU WIZARA YA VIWANDA, BIASHARA NA MASOKO):- Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani Kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko kwa Mwaka wa Fedha 2009/2010. NAIBU WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII: Randama za Makadirio ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa Mwaka wa Fedha 2009/2010. MASWALI NA MAJIBU 1 Na. 289 Mabaraza ya Ardhi ya Kata MHE. DR. FESTUS B. LIMBU aliuliza:- Kwa kuwa, Serikali imeanzisha Mabaraza ya Ardhi ya Kata katika Jimbo la Magu:- (a) Je, ni zipi stahili za Wajumbe wa Mabaraza hayo na wanasimamiwa na chombo gani? (b) Je, ni lini Wajumbe hao watapatiwa semina? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA alijibu:- Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Dokta Festus Bulugu Limbu, Mbunge wa Magu, lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:- (a)Mheshimiwa Mwenyekiti, Mabaraza ya Ardhi ya Kata ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria Mabaraza ya Kata sura ya 206 toleo la mwaka 2002. -
1 Bunge La Tanzania
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Ishirini na Tano – Tarehe 9 Mei, 2018 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa tukae. Katibu. NDG. LINA KITOSI – KATIBU MEZANI: HATI ZA KUWASILISHA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI: Randama ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) NAIBU SPIKA: Katibu. NDG. LINA KITOSI - KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU Na. 207 Hospitali za Wilaya MHE. ESTHER L. MIDIMU aliuliza:- Wilaya ya Itilima na Busega ni Wilaya mpya na hazina Hospitali za Wilaya. Je, ni lini Serikali itajenga Hospitali za Wilaya kwenye Wilaya hizo? NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. JOSEPHAT S. KANDEGE) alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI naomba kujibu swali la Mheshimiwa Esther Lukago Midimu, Mbunge wa Viti Maalum, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Naibu Spika, Halmashauri za Wilaya ya Itilima na Busega zilianzishwa mwaka 2015 na zina idadi ya watu 346,170 kwa Itilima na 224,527 kwa Busega. Ni kweli kwamba Halmashauri hizi bado hazina Hospitali za Wilaya na wananchi wanapata huduma kupitia zahanati 45 na vituo vya afya saba ambapo kati ya hivyo zahanati 27 na vituo vya afya vitatu vipo Halmashauri ya Wilaya ya Itilima na zahanati 18 na vituo vya afya vinne vipo Halmashauri ya Wilaya ya Busega. -
Majadiliano Ya Bunge Mkutano Wa Kumi Na Mbili
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ______________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA KUMI NA MBILI Kikao cha Ishirini na Sita – Tarehe 17 Julai, 2008 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Anne S. Makinda ) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, leo ni siku ya alhamisi, kwa hiyo tuna kipindi kile cha Maswali kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu kama kawaida yetu. Katibu tuendelee na Order Paper. MASWALI KWA WAZIRI MKUU NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, atakayeuliza swali la kwanza ni Mheshimiwa Mgana Msindai. MHE. MGANA I. MSINDAI: Mheshimiwa Naibu Spika……! MHE. HAMAD RASHID MOHAMED: Mwongozo wa Spika. NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Mgana Msindai samahani naomba ukae. Nilikuwa sijamwangalia Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni. Kwa kawaida utaratibu wetu hapa akiwepo Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni inabidi yeye apewe nafasi ya kwanza ya kuuliza swali. Sasa nilikuwa nimepitiwa. Mheshimiwa Hamad Rashid Mohamed, Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni. MHE. HAMAD R. MOHAMED: Mheshimiwa Naibu Spika, nakushukuru sana. Swali kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu. Mheshimiwa Waziri Mkuu mwaka 1992 Mahakama ya Rufaa katika kesi ya Seif Sharrif Hamad, Waziri Kiongozi wa SMZ ilibaini kuwa kuna utata mkubwa katika 1 vifungu vingi vya Katiba na Mahakama ya Rufaa ikapendekeza kwa Mamlaka mbili kwamba zikae kitako ili kutatua matatizo hayo pamoja na vifungu vingine vya Katiba ambavyo vina utata. Tokea wakati huo mpaka leo Mamlaka hizo mbili hazijachukua hatua yoyote mpaka tumefikia leo kuna matatizo. Je, Mheshimiwa -
16 Aprili, 2012 1 Bunge La Tanzania
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) 16 APRILI, 2012 BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA SABA Kikao cha Tano – Tarehe 16 Aprili, 2012 (Mkutano ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU Na. 52 Ahadi ya Rais Kununua Gari la Wagonjwa (Ambulance) - Kituo cha Afya Mlangali MHE. DEO H. FILIKUNJOMBE aliuliza:- Mwaka 2008, Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshim iwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, aliahidi kuwapatia wananchi wa Mlangali gari jipya la wagonjwa Ambulance:- 1 16 APRILI, 2012 (a) Je, Serikali ina mpango gani wa kutekeleza ahadi hiyo? (b) Je, gari hilo linaweza kupatikana leo baada ya Bunge kuahirishwa? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Deo Haule Filikunjombe Mbunge wa Ludewa lenye sehemu (a) na (b) kwa pamoja kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, nakubaliana na Mheshimiwa Mbunge kwamba Mheshimiwa Rais mwaka 2008 aliahidi kutoa gari kwa ajili ya kituo cha afya Mlangali katika Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa. Kwa kuzingatia ahadi ya Mheshimiwa Rais na adha ya usafiri waliyo nayo wananchi wa Mlangali, tarehe 1 Aprili, 2011 Serikali ilipeleka gari la kubebea wagonjwa katika kituo cha Afya Mlangali kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wanaohitaji rufaa. Gari lililonunuliwa ni Toyota Land Cruiser Hardtop lenye Na. Za usajili SM 9192. Gari hili lilikabidhiwa kituo cha afya Mlangali tangu Septemba, 2011. 2 16 APRILI, 2012 Mheshimiwa Spika, nachukua nafasi hii na fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Deo Filikunjombe kwa jitihada kubwa alizofanya kwa wananchi wake wa Ludewa kwa kuamua kununua magari mawili (hiace ) ambapo yanatumika kusafirishia wagonjwa wa rufaa katika Wilaya ya Ludewa. -
Kina I Afrika
HABARI INFORMATION OM TANZANIA ÌRG39 årg .RNr 4 2007 Tema: Flyktingar 5RINNEHÌLLET,AKE6ICTORIAPROJEKT NYPRESIDENTOCHREGERING KYRKOPROJEKTOCHSKOLUTBYTEUr innehållet: Stor mottagning av flyktingar från Burundi och Rwanda - Guldgrävarhistorier TIDNINGEN HABARI SVETAN ORDFÖRANDENS utges av www.svetan.org SPALT SVENSK-TANZANISKA BOX 22003 FÖRENINGEN 104 22 STOCKHOLM SVETAN e-post: [email protected] REDAKTION e-post: [email protected] *** Lars Asker, redaktör tel 08-38 48 55 (hem), 08-685 57 30 (arb) Tanzania är ett land som känne- mobil 0705 85 3 10 STYRELSE tecknas av fred. Där fanns förvisso Friherregatan 133, 165 58 Hässelby e-post: [email protected] den kortvariga konflikten med Oloph Hansson tel 08-88 36 64 (hem) Uganda och revolutionen på Zan- Tantogatan 67, 118 4 Stockholm Fredrik Gladh, ordförande tel 08-768 36 77 (hem) zibar. Men invånarna lyfter alltid Eva Löfgren tel 08-36 48 88 (hem), mobil 070 11 98 68 fram freden i landet som det största Sten Löfgren tel 08-36 48 88 (hem), mobil 0708 90 59 59 mobil 0705 81 34 53 Ann Lorentz - Baarman, kassör värdet. Men omgivningen är inte fax 08-760 50 59 alltid så lugn, vilket gör att säker- Enköpingsvägen 14, 175 79 Järfälla Lars Asker, ledamot het är en stor fråga. Konflikten i Jennifer Vidmo mobil 0703 5 46 09 Björn Wetterhall, ledamot Harriet Rehn, ledamot östra Kongo skapar nu stora om- Folke Strömberg tel 08-91 73 7 (hem), 08-508 9489 (arb) Marie Bergström, ledamot flyttningar av flyktingar, läget i Årstavägen 113, 10 58 Årsta Burundi är instabilt och Rwanda Sten Löfgren, ledamot har fortfarande minnena av folk- Torbjörn Öckerman, ledamot mordet inte försvunnit. -
1450872983-17Machi20
Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE _________________ MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao cha Kwanza - Tarehe 17 Machi, 2015 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) WIMBO WA TAIFA (Hapa Wabunge Waliimba Wimbo wa Taifa) D U A Spika (Mhe. Anna S. Makinda) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu, hatua inayofuata! TAARIFA YA SPIKA SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, toka tuondoke kipindi kilichopita na tulipoanza shughuli za Kamati, tulipata msiba mkubwa. Ndugu yetu Mheshimiwa John Damiano Komba, alifariki tarehe 28 Februari, 2015 na tukamzika tarehe 3 Machi, 2015, nyumbani kwao Lituhi Mbinga katika Mkoa wa Ruvuma. Mheshimiwa John Komba, kama mlivyoelezwa wakati wa msiba, alikuwa kazini mpaka wakati umauti unampata. Ilikuwa siku hiyo wanajiandaa kwenda Nchi ya Ethiopia kwa shughuli za Kamati kama ilivyo kawaida na katika maandalizi hayo ndiyo jioni yake aliondoka duniani. Kwa hiyo, kilikuwa kifo cha ghafla sana. Kwa sababu hiyo, Waheshimiwa Wabunge, nawaombeni msimame, tuomboleze kwa muda wa dakika moja. (Hapa Wabunge walisimama kwa dakika moja kumkumbuka aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi, Marehemu Mheshimiwa Capt. John Damiano Komba aliyefariki dunia tarehe 28 Februari, 2015) SPIKA: Mwenyezi Mungu, aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi; amen. Ahsante, tukae. Taarifa ya pili, Waheshimiwa Wabunge, kama mlivyosikia kwenye Vyombo vya Habari, Waziri Mkuu hivi sasa yupo Japani na badala yake amemteua Mheshimiwa John Samuel Sitta, Waziri wa Uchukuzi, aweze kushika nafasi ya kuongoza shughuli za Serikali hapa Bungeni kwa kipindi hiki ambacho hatakuwepo. Sasa tunakukabidhi. (Makofi) Katibu, hatua inayofuata! 1 Nakala ya Mtandao (Online Document) MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaanza na maswali ya Ofisi ya Waziri Mkuu na atakayeuliza swali letu la kwanza ni Mheshimiwa Josephine Genzabuke.