Tanzania W Hiv/Aids S Nepad S Mwafaka Yltp D
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA TATU Kikao Cha Thelathini Na Saba
NAKALA YA MTANDAO (ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ______________ MKUTANO WA TATU Kikao cha Thelathini na Saba – Tarehe 6 Juni, 2016 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu! NDG. ZAINAB ISSA - KATIBU MEZANI: Maswali. MASWALI NA MAJIBU Na. 303 Upanuzi wa Hospitali ya Mkoa wa Pwani MHE. SILVESTRY F. KOKA aliuliza:- Upanuzi wa hospitali ya Mkoa ya Pwani ijulikanayo kama Hospitali ya Tumbi umesimama kwa takribani miaka mitatu, sasa nondo na zege la msingi na nguzo zinaoza:- Je, Serikali ina mpango gani wa kukamilisha ujenzi wa hospitali hiyo ili kuondoa hasara na kuleta tija katika huduma ya afya Kibaha? 1 NAKALA YA MTANDAO (ONLINE DOCUMENT) NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA: alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI naomba kujibu swali la Mheshimiwa Silvestry Francis Koka, Mbunge wa Kibaha Mjini, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali inatambua changamoto zinazoikabili hospitali ya rufaa ya Tumbi – Kibaha ambazo zimesababishwa kwa sehemu kubwa na ufinyu wa majengo ya kutolea huduma na uchache wa vifaa tiba. Hadi sasa Serikali imetumia shilingi bilioni 5.98 kwa ajili ya upanuzi wa hospitali hiyo. Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali katika bajeti ya mwaka wa fedha 2016/2017 imetenga shilingi bilioni 1.4 kwa ajili ya kuendeleza upanuzi wa hospitali ya Tumbi Kibaha ili kuboresha huduma za afya kwa wananchi. NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Silvestry Koka, swali la nyongeza. MHE. SILVESTRY F. KOKA: Mheshimiwa Naibu Spika, nashukuru. Pamoja na majibu mazuri ya Serikali na kwa niaba ya wananchi wa Kibaha nishukuru kwa kutupatia hiyo 1.4 bilioni katika upanuzi wa hospitali hii, nina maswali mawili ya nyongeza. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE _________________ MKUTANO WA KUMI NA NANE Kikao cha Kumi na Tatu – Tarehe 10 Februari, 2010 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI (MHE. OMAR YUSSUF MZEE): Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Benki ya Posta Tanzania, kwa Mwaka 2008 [The Annual Report and Accounts of The Tanzania Postal Bank for the Year 2008]. The Mid-Term Review of the Monetary Policy Statement of The Bank of Tanzania for the Year 2009/2010. MWENYEKITI WA KAMATI YA NISHATI NA MADINI: Taarifa ya Kamati ya Nishati na Madini juu ya Taarifa ya Serikali Kuhusu Ubinafsishwaji wa Mgodi wa Kiwira. Taarifa ya Kamati ya Nishati na Madini Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelezaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Mchakato wa Zabuni ya Kuzalisha Umeme wa Dharura Ulioipa Ushindi Kampuni ya Richmond Development Company LLC. Houston Texas - Marekani Mwaka 2006. MWENYEKITI WA KAMATI YA MIUNDOMBINU: Taarifa ya Kamati ya Miundombinu Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelzaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Uendeshaji Usioridhisha wa Shirika la Reli Tanzania uliofanywa na Kampuni ya RITES ya India. 1 Taarifa ya Kamati ya Miundombinu Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelezaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Utendaji wa Kazi Usioridhisha wa Kampuni ya TICTS. MASWALI NA MAJIBU Na. 145 Usimamizi wa Ukaguzi wa Fedha za Halmashauri MHE. HERBERT J. MNTANGI aliuliza:- Kwa kuwa, kiasi cha fedha kinachopelekwa katika Halmashauri za Wilaya, Manispaa na Jiji ni kikubwa na kinahitaji usimamizi wa ziada:- Kwa kuwa kitengo cha ukaguzi wa ndani kipo chini ya Mkurugenzi Mtendaji. -
Discussion Paper
View metadata, citation and similar papers at core.ac.uk brought to you by CORE provided by Stellenbosch University SUNScholar Repository Discussion Paper TANZANIA-CHINA ALL-WEATHER FRIENDSHIP FROM SOCIALISM TO GLOBALIZATION: A CASE OF RELATIVE DECLINE Jean-Pierre Cabestan and Jean-Raphaël Chaponnière Stellenbosch | May 2016 1/2016 1 ABSTRACT How close is the Tanzanian-Chinese partnership today? Bi-lateral trade and Chinese economic activity in Tanzania today is far more significant than in the 1970s; China’s “no strings attached” policy is still attractive and political solidarities and military co-operation have remained relatively strong. However, this bi-lateral relationship does not have the importance, nor the exclusiveness it enjoyed in the heydays of socialism. Today, China must compete economically, politically and culturally with the activism and soft power of a larger group of countries, particularly the United States. Although both in Dar es Salaam and in Beijing this relationship is still presented as “special”, it has lost the structural role that it had until the late 1970s in shaping Sino-African relations. Growing Sino-American and Sino-Western competition in Africa has increased Tanzania’s option and helped it, to some extent, to better defend its own interests. This paper examines Tanzanian-Chinese relations over the past half century and more particularly since 2005, highlighting how global political, strategic and economic shifts have affected and on the whole reduced, in relative terms, the importance of this bi-lateral relationship. The authors: Jean-Pierre Cabestan is Professor and Head, Department of Government and International Studies, Hong Kong Baptist University; Jean-Raphaël Chaponnière is Associate Researcher at Asia Centre, Paris. -
TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity?
TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? With Partial Support from a TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? ACKNOWLEDGEMENTS This review was compiled and edited by Tanzania Development Research Group (TADREG) under the supervision of the Steering Group of Policy Forum members, and has been financially supported in part by Water Aid in Tanzania and Policy Forum core funders. The cartoons were drawn by Adam Lutta Published 2013 For more information and to order copies of the review please contact: Policy Forum P.O Box 38486 Dar es Salaam Tel: +255 22 2780200 Website: www.policyforum.or.tz Email: [email protected] ISBN: 978-9987 -708-09-3 © Policy Forum The conclusions drawn and views expressed on the basis of the data and analysis presented in this review do not necessarily reflect those of Policy Forum. Every effort has been made to verify the accuracy of the information contained in this review, including allegations. Nevertheless, Policy Forum cannot guarantee the accuracy and completeness of the contents. Whereas any part of this review may be reproduced providing it is properly sourced, Policy Forum cannot accept responsibility for the consequences of its use for other purposes or in other contexts. Designed by: Jamana Printers b TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? TABLE OF CONTENTS POLICY FORUM’s OBJECTIVES ............................................................................................................. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA NANE Kikao cha Thelathini na Tisa – Tarehe 2 AGOSTI, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) DUA Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013. SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, naomba mzime vipasa sauti vyenu maana naona vinaingiliana. Ahsante Mheshimiwa Naibu Waziri, tunaingia hatua inayofuata. MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Leo ni siku ya Alhamisi lakini tulishatoa taarifa kwamba Waziri Mkuu yuko safarini kwa hiyo kama kawaida hatutakuwa na kipindi cha maswali hayo. Maswali ya kawaida yapo machache na atakayeuliza swali la kwanza ni Mheshimiwa Vita R. M. Kawawa. Na. 310 Fedha za Uendeshaji Shule za Msingi MHE. VITA R. M. KAWAWA aliuliza:- Kumekuwa na makato ya fedha za uendeshaji wa Shule za Msingi - Capitation bila taarifa hali inayofanya Walimu kuwa na hali ngumu ya uendeshaji wa shule hizo. Je, Serikali ina mipango gani ya kuhakikisha kuwa, fedha za Capitation zinatoloewa kama ilivyotarajiwa ili kupunguza matatizo wanayopata wazazi wa wanafunzi kwa kuchangia gharama za uendeshaji shule? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Vita Rashid Kawawa, Mbunge wa Namtumbo, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) imepanga kila mwanafunzi wa Shule ya Msingi kupata shilingi 10,000 kama fedha za uendeshaji wa shule (Capitation Grant) kwa mwaka. -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Ishirini na Nne – Tarehe 18 Julai, 2006 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kabla sijamwita muuliza swali la kwanza nina matangazo kuhusu wageni, kwanza wale vijana wanafunzi kutoka shule ya sekondari, naona tangazo halisomeki vizuri, naomba tu wanafunzi na walimu msimame ili Waheshimiwa Wabunge waweze kuwatambua. Tunafurahi sana walimu na wanafunzi wa shule zetu za hapa nchini Tanzania mnapokuja hapa Bungeni kujionea wenyewe demokrasia ya nchi yetu inavyofanya kazi. Karibuni sana. Wapo Makatibu 26 wa UWT, ambao wamekuja kwenye Semina ya Utetezi na Ushawishi kwa Harakati za Wanawake inayofanyika Dodoma CCT wale pale mkono wangu wakulia karibuni sana kina mama tunawatakia mema katika semina yenu, ili ilete mafanikio na ipige hatua mbele katika kumkomboa mwanamke wa Tanzania, ahsanteni sana. Hawa ni wageni ambao tumetaarifiwa na Mheshimiwa Shamsa Selengia Mwangunga, Naibu Waziri wa Maji. Wageni wengine nitawatamka kadri nitakavyopata taarifa, kwa sababu wamechelewa kuleta taarifa. Na. 223 Barabara Toka KIA – Mererani MHE. DORA H. MUSHI aliuliza:- Kwa kuwa, Mererani ni Controlled Area na ipo kwenye mpango wa Special Economic Zone na kwa kuwa Tanzanite ni madini pekee duniani yanayochimbwa huko Mererani na inajulikana kote ulimwenguni kutokana na madini hayo, lakini barabara inayotoka KIA kwenda Mererani ni mbaya sana -
Advertising with the Tanzania Procurement Journal
ISSN 1821 - 6021 15 November 2008 Vol. 1 No. 18 Price TSh 1500 Complying with the methods of procurements as stipulated in the Regulations Complying with tender preparation times as stipulated in the Regulations Advertisement of bid opportunities Establishment and composition of PMUs Establishment and composition of Tender Boards 0% 20% 40% 60% 80% 100% Areas of good performance as revealed by Procurement Audits carried out in the FY 2007/08 In this issue: PPRA Events PE’s Corner Awarded Contracts Procurement Opportunities Professional Papers Bidder’s Corner From the Press Cover-Nov-15-08.indd 1 11/14/08 10:00:52 AM UNIVERSITY COMPUTING CENTRE LIMITED. P. O. Box 35062, Dar-Es-Salaam, Tanzania. Tel: 255 (22) 2410645, 2410500-8 Ext. 2720 Mobile: 0754-782120, Fax: 255 (22) 2410690 H EK I RU MA NI UHU Email: [email protected] The University Computing Centre (UCC) is a limited company wholly owned by the University of Dar es Salaam (UDSM).It provides various computing services to the UDSM and to the general public. UCC has its head offi ce at University of Dar es Salaam (UDSM) Main campus in Dar es Salaam and has branches in Dar es Salaam City Centre, Arusha, Dodoma, Mwanza and Mbeya. UCC is NACTE certifi ed with registration NO. REG/EOS/026P SERVICES OFFERED BY UCC Ltd. Internet Services Web Designing, Hosting and Management Software Development and Systems Integration Network Design, Installation and Management Disaster Recovery and Business Continuity Planning ICT Policy and Strategy Development IT Security Policy and Procedures Development -
MKUTANO WA KUMI Kikao Cha Nne – Tarehe 1 Fe
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE ________________ MKUTANO WA KUMI Kikao cha Nne – Tarehe 1 Februari, 2013 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, Asalaam alleykum! Amani ya Bwana iwe nanyi! Heri ya mwaka mpya! Katibu tuendelee. MASWALI NA MAJIBU Na. 40 Ukamilishaji wa Ujenzi wa Zahanati ya Nalasi MHE. MTUTURA A. MTUTURA aliuliza:- 1 Zahanati ya Nalasi katika kijiji cha Nalasi, Jimbo la Tunduru Kusini, iliishapandishwa hadhi kuwa Kituo cha Afya kuanzia mwaka 2010 kufuatia ahadi aliyoitoa Mheshimiwa Rais kwa wananchi:- (a) Je, Serikali imefikia wapi katika utekelezaji wa ujenzi wa kituo cha afya? (b) Je, Serikali inatoa kauli gani kwa nguvu za wananchi kufyatua matofali zaidi ya 300,000 ilihali utekelezaji wa agizo hilo unachelewa? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Mtutura A. Mtutura, Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kusini, lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:- (a) Mheshimiwa Naibu Spika, ni kweli mnamo tarehe 12 Oktoba, 2010 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa katika ziara wilayani Tunduru aliahidi kufanya upanuzi wa Zahanati ya Nalasi iliyopo katika Kata ya Nalasi, kuwa kituo cha afya. Mheshimiwa Naibu Spika, ili kutekeleza agizo la Mheshimiwa Rais, Halmashauri katika mwaka wa fedha 2012/2013 iliwasilisha maombi maalum kwa Wizara ya Fedha ili kupata shilingi bilioni 2.4 zinazohitajika kujenga 2 majengo 12 na nyumba 14 za Watumishi katika kituo hicho lakini hazikupatikana. -
Tanzania Comoros
COUNTRY REPORT Tanzania Comoros 3rd quarter 1996 The Economist Intelligence Unit 15 Regent Street, London SW1Y 4LR United Kingdom The Economist Intelligence Unit The Economist Intelligence Unit is a specialist publisher serving companies establishing and managing operations across national borders. For over 40 years it has been a source of information on business developments, economic and political trends, government regulations and corporate practice worldwide. The EIU delivers its information in four ways: through subscription products ranging from newsletters to annual reference works; through specific research reports, whether for general release or for particular clients; through electronic publishing; and by organising conferences and roundtables. The firm is a member of The Economist Group. London New York Hong Kong The Economist Intelligence Unit The Economist Intelligence Unit The Economist Intelligence Unit 15 Regent Street The Economist Building 25/F, Dah Sing Financial Centre London 111 West 57th Street 108 Gloucester Road SW1Y 4LR New York Wanchai United Kingdom NY 10019, USA Hong Kong Tel: (44.171) 830 1000 Tel: (1.212) 554 0600 Tel: (852) 2802 7288 Fax: (44.171) 499 9767 Fax: (1.212) 586 1181/2 Fax: (852) 2802 7638 Electronic delivery EIU Electronic Publishing New York: Lou Celi or Lisa Hennessey Tel: (1.212) 554 0600 Fax: (1.212) 586 0248 London: Moya Veitch Tel: (44.171) 830 1007 Fax: (44.171) 830 1023 This publication is available on the following electronic and other media: Online databases CD-ROM Microfilm FT Profile (UK) Knight-Ridder Information World Microfilms Publications (UK) Tel: (44.171) 825 8000 Inc (USA) Tel: (44.171) 266 2202 DIALOG (USA) SilverPlatter (USA) Tel: (1.415) 254 7000 LEXIS-NEXIS (USA) Tel: (1.800) 227 4908 M.A.I.D/Profound (UK) Tel: (44.171) 930 6900 Copyright © 1996 The Economist Intelligence Unit Limited. -
Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA KUMI NA SITA NA KUMI NA SABA YATOKANAYO NA KIKAO CHA SITA (DAILY SUMMARY RECORD OF PROCEEDINGS) 11 NOVEMBA, 2014 MKUTANO WA KUMI NA SITA NA KUMI NA SABA KIKAO CHA SITA – 11 NOVEMBA, 2014 I. DUA Saa 3.00 Asubuhi kikao kilianza kikiongozwa na Mhe. Naibu Spika (Mhe Job Y. Ndugai) na alisoma Dua. Makatibu Mezani 1. Ramadhani Abdallah Issa 2. Asia Minja 3. Hellen Mbeba II. MASWALI Maswali yafuatayo yaliulizwa na yalijibiwa:- 1. OFISI YA WAZIRI MKUU Swali . 67 – Mhe. Charles J.P. Mwijage Nyongeza (i) Mhe. Charles Mwijage (ii) Mhe. Joshua Nassari Swali. 68- Mhe. Hezekiah Chibulunje (K.n.y – Mhe. David Mallole) Nyongeza (i) Mhe. Hezekiah Chibulunje Swali. 69 – Mhe. Josephat Sinkamba Kandege Nyongeza (i) Mhe. Josephat Kandege 2. OFISI YA RAIS (UTAWALA BORA) Swali. 70 – Mhe. Amina Abdulla Amour 2 Nyongeza (i) Mhe. Amina Abdullah Amour 3. OFISI YA RAIS (MAHUSIANO NA URATIBU) Swali. 71 – Mhe. Leticia Mageni Nyerere Nyongeza i. Mhe. Leticia Nyerere ii. Mhe. Mohammed Habib Mnyaa 4. OFISI YA MAKAMU WA RIAS (MAZINGIRA) Swali. 72 – Mhe. Victor Kilasile Mwambalaswa Nyongeza i. Mhe. Victor Kilasile Mwambalaswa. 5. WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Swali. 73 – Mhe. Diana Mkumbo Chilolo Nyongeza i. Mhe. Diana Mkumbo Chilolo 6. WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA Swali. 74 – Mhe. Sylvestry Francis Koka Nyongeza i. Mhe. Sylvestry Koka ii. Mhe. Salim Masoud 7. WIZARA YA UCHUKUZI Swali. 75 – Mhe. Prof. David Mwakyusa (k.n.y Mhe. Luckson Mwanjale). Nyongeza i. Mhe. Prof. David Mwakyusa. 3 Swali. 76 – Mhe. -
Mkutano Wa Kumi Na Nane
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA KUMI NA NANE YATOKANAYO NA KIKAO CHA NANE (DAILY SUMMARY RECORD OF PROCEEDINGS) 04 FEBRUARI, 2015 MKUTANO WA KUMI NA NANE YATOKANAYO NA KIKAO CHA NANE (SUMMARY RECORD OF PROCEEDINGS - EIGHTH SITTING) TAREHE 4 FEBUARI, 2015 I. DUA: Dua ilisomwa saa 3.00 asubuhi na Mhe. Mussa Azan Zungu (Mb) na Kikao Kiliendelea. Makatibu Mezani: 1. Ndg. Justina Shauri 2. Ndg. Neema Msangi 3. Ndg. Joshua Chamwela II. HATI ZA KUWASILISHA MEZANI: Taarifa ya Mwaka ya Shughuli za Kamati ya Huduma za Jamii kwa Kipindi cha Januari, 2014 hadi Januari 2015. Taarifa ya Mwaka ya Shughuli za Kamati ya Maendeleo ya Jamii kwa Kipindi cha Januari, 2014 hadi Januari 2015. III. MASWALI: Maswali yafuatayo yaliulizwa na kujibiwa: 1. OFISI YA WAZIRI MKUU: SWALI NA. 83: Mhe. Dkt. David Malole (Mb) (liliulizwa Mhe. H. Chibulunje) Nyongeza: (i) Mhe. Hezekiah Chibulunje, (Mb) (ii) Mhe. Mohamed Ali Keissy, (Mb) (iii) Mhe. Diana Mkumbo Chilolo, (Mb) SWALI NA. 84: Mhe. Deogratias Ntukamazina, (Mb) 2 Nyongeza: (i) Mhe. Deogratias Ntukamazina, (Mb) (ii) Mhe. Pauline Philiph Gekul, (Mb) (iii) Mhe. Michael Lekule Laizer, (Mb) (iv) Mhe. Joseph Roman Selasini, (Mb) SWALI NA. 85. Mhe. Said Mohammed Mtanda, (Mb) Nyongeza: (i) Mhe. Said Mohamed Mtanda, (Mb) (ii) Mhe. Idd Mohamed Azzan, (Mb) 2. WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA SWALI NA. 86: Mhe. Ritta Enespher Kabati, (Mb) Nyongeza: (i) Mhe. Ritta Enespher Kabati, (Mb) (ii) Mhe. Hamad Ali Hamad, (Mb) (iv) Mhe. Benedict Ole Nangoro, (Mb) 3. WIZARA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI: SWALI NA. -
Tanzania Page 1 of 22
Tanzania Page 1 of 22 2005 Human Rights Report Released | Daily Press Briefing | Other News... Tanzania Country Reports on Human Rights Practices - 2005 Released by the Bureau of Democracy, Human Rights, and Labor March 8, 2006 The United Republic of Tanzania is a multiparty state led by the president of the union (consisting of the mainland and the Zanzibar archipelago) and had a population of approximately 37 million. Zanzibar, although integrated into the country's governmental and party structure, has its own president, court system, and parliament and continued to exercise considerable local autonomy. In the union's December 14 presidential and legislative elections, Jakaya Kikwete was elected by mainland and Zanzibari voters as president of the union-- succeeding President Benjamin Mkapa--and the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party made significant gains in the National Assembly. Observers considered the union elections to be freer and fairer than previous elections, despite irregularities and politically motivated violence, mostly on Zanzibar. While civilian authorities generally maintained effective control of the security forces, there were some instances in which elements of the security forces acted independently of government authority. The government's human rights record remained poor; however, there were several significant improvements in some key areas, although problems remained. The government demonstrated more respect for citizens' right to change their government peacefully. Government efforts helped reduce mob killings during the year. There were no longer reports that city police in Dar es Salaam used excessive force against or confiscated the goods of petty street traders. The government took more steps to address judicial inefficiency and corruption.