Hai Yetu Jarida la Halmashauri

TOLEO MAALUMU, 2020 Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2015-2020 chini ya Serikali ya Awamu ya Tano Katika Wilaya ya Hai TAHARIRI i

Karibu mpenzi msomaji wa Jarida la Hai Yetu, ikiwa ni Toleo Maalumu kwa ajili ya kuangazia Miaka Mi- tano ya Serikali ya Awamu ya Tano chini ya uongo- zi mahiri wa Rais kipenzi cha watu, mchapakazi wa mfano, jemedari John Pombe Magufuli. Jarida hili litaangazia utekelezaji wa Ilani ya CCM pamoja na miradi mbalimbali iliyofanyika katika Wilaya ya Hai kwa kipindi cha Bodi ya Uhariri mwaka 2016 hadi 2020 ikiwemo Miradi ya sekta za Afya, Elimu, Utawala, Maji. Yohana Elia Sintoo Mkurugenzi Mtendaji (W) Utekelezaji wa miradi hii ya maendeleo ni juhudi za serikali kuhakikisha kuwa wananchi wanasogezewa Riziki Lesuya – Afisa Habari (W) huduma muhimu katika maeneo yao ili kuwaondolea adha ya kutembea umbali mrefu kutafuta huduma hizo kutoka kwenye maeneo yao na kusababisha wa- Herick Marisham - Afisa Mipango (W) nanchi kupoteza muda wa kuzalisha mali. Msanifu Kurasa Aidha jarida hili litaangazia mipango mbalimbali ya Adrian Lyapembile - Afisa Habari kuinua wananchi kiuchumi kwa kupitia Mpango wa Kunusuru kaya Masikini unaosimamiwa na TASAF, mpango wa kutoa mikopo yenye masharti nafuu kwa wanawake, vijana na vikundi vya watu wenye Mawasiliano ulemavu ambao kwa maelekezo ya serikali kila hal- mashauri hutenga asilimia kumi 10% ya mapato yake Mkurugenzi Mtendaji (W) ya ndani ili kutoa mikopo kwa makundi hayo ili ku- Halmashauri ya Wilaya ya Hai saidia juhudi za kuwaongezea wananchi kipato kwa S. L. P. 27 kufanya uzalishaji. Hai - Kilimanjaro Jarida hili litakupitisha kwenye maeneo mbalimbali Simu: 27-2974369 ya Wilaya ya Hai kuangazia yale yote yaliyofanyika Fax: 27-2974368 hususani yale yanayogusa maisha ya mwananchi kwenye kata 17 za wilaya hiyo. Tovuti: www.haidc.go.tz Barua pepe: [email protected] Blogu: www.wilayayahai.blogspot.com

Yohana Elia Sintoo Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Hai ii Wasifu wa Wilaya

Wilaya ya Hai ni moja kati ya wilaya 6 za Mkoa wa Kilimanjaro. Wilaya hii ilitengwa kutoka Wilaya ya Moshi mwaka 1975, ikipakana na wilaya ya Moshi kwa upande wa Mashariki, Arumeru na Siha upande wa Magharibi, Simanjiro upande wa Kusini, Rombo na hifadhi ya Mlima Kilimanjaro upa- nde wa Kaskazini. Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2012 Wilaya ya Hai ina jumla ya wakazi 210,533 kati yao wanawake 108,076 na wanaume 102,457 huku kasi ya ongezeko la watu ni asilimia 1.9 kwa mwaka, hivyo maoteo kwa mwaka 2020 ni watu 251,838 ambapo kati yao wanawake ni 128,747 na wana- ume 123,091. Wilaya ya Hai ina eneo la ukubwa wa Hekta 101,100 ambapo hekta 46,506 zinafaa kwa kilimo, hekta 27,297 zinafaa kwa mifugo, hekta 14,154 ni misitu na hekta 13,143 ni miamba. Shughuli za kiuchumi ni pamoja na biashara, Kili- mo, Utalii, Ufugaji huku Kilimo kikichukua 80% ya shughuli za wakazi wote wa Wilaya. Katika Wilaya ya Hai kuna kanda 4 zenye tabianchi tofauti kwa sababu iko kwenye mteremko wa Mlima Kilimanjaro Kanda ya Kilele cha Mlima iko juu ya kimo cha mita 1,800 Usawa wa Bahari pamoja na kilele cha Kibo ikiundwa zaidi na maeneo ya mbuga na hifadhi ya Taifa hivyo hakuna wakazi wa kudumu ikichukua asilimia 27 za eneo la wilaya. Kanda ya Juu iko kwenye kimo kati ya mita 1,666 na 1,800 juu ya Usawa wa Bahari ambayo inafaa kwa kilimo cha kahawa na ndizi. Wananchi walio wengi ni wakulima wadogo wanaofuga ng’ombe wa maziwa na kuuza maziwa. Kanda ya Kati ipo kwenye kimo kati ya mita 900 hadi 1,666 juu ya Usawa wa Bahari ikiwa inapokea mvua kati ya milimita 700 hadi 1250 kwa mwaka ikifa- nana na kanda ya juu kwa shughuli za kilimo na ufugaji. Kanda ya Chini iko kwenye kimo chini ya mita 900 juu ya Usawa wa Baha- ri ambapo mvua inapungua hadi milimita 500-700 kwa mwaka. Mazao yan- ayostawi ni pamoja na maharagwe, mahindi, alizeti na mpunga. Ufugaji wa ng’ombe wa kienyeji, mbuzi na kondoo unafanyika kwenye ukanda huu. Ofisi ya Rais TAMISEMI 1 Ofisi ya Rais TAMISEMI Halmashauri ya Wilaya ya Hai Halmashauri ya Wilaya ya Hai Bilioni 3 Zaimarisha Huduma ya Maji Wilayani Hai

Wilaya ya Hai ni moja ya maeneo yanayonufaika na utekelezaji wa kifungu hicho cha ilani ya ucha- guzi kwa kutekelezwa miradi kad- haa ya maji ikiwemo upanuzi wa skimu ya Losaa-Kia iliyogharimu shilingi 2,764,314,975.00 ambayo inahudumia vituo 34 katika vi- jiji vya Sanya station, Tindigani, Mtakuja na Chemka ambapo hadi sasa huduma ya maji inapatika- na katika vituo vyote na wakazi wapatao 19,729 wanapata hudu- ma ya maji. Mradi wa skimu ya maji ya Lya- mungo–Umbwe unaohudumia kata za Narumu, Masama Kusini, Mnadani, Machame Mashariki na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. akizin- dua moja ya miradi iliyotekelezwa na serikali katika kipindi cha miaka mitano Weruweru umefanyiwa ukarabati ya mwanzo wa utawala wake. wa miundombinu ili kufanikisha jukumu la usambazaji maji kwa “Maji ni uhai” ni moja ya mise- kwenye shughuli zao za kila siku. gharama ya shilingi 65,399,435.00. mo maarufu kwa wananchi wengi Ilani ya Uchaguzi ya chama kin- Mpango wa ‘Lipa kwa Matokeo’ nchini Tanzania; msemo huu un- achoongoza Serikali Chama cha (Payment by Results) umesaid- afahamika na watu wa rika zote na Mapinduzi Ibara ya 54 (iii) inazu- ia wilaya ya Hai kupata kiasi cha unathibitishwa na wataalamu wa ngumzia Kuongeza upatikanaji wa shilingi 515,075,227.44 zilizosaid- afya hasa pale wanapoelezea kuwa huduma za maji katika miji mikuu ia kufanya ujenzi mpya wa miun- mwili wa mwanadamu unaundwa ya wilaya, miji midogo na maeneo ya dombinu ya bomba na kuonge- kwa asilimia 70% na maji. miradi ya Kitaifa kutoka asilimia 57 za vituo vipya 34vya kuchotea Matumizi ya maji kwa mwanadamu mwaka 2015 hadi kufikia asilimia 90 maji ambavyo vina uwezo wa yanaanza kwenye kunywa, kupik- mwaka 2020. kuhudumia wakazi wapatao ia, kuoga, kuosha na matumizi Akizungumzia sekta ya maji wakati 8,500. Vilula 19 vimekamilika na mengine kiasi cha kufanya bidhaa wa hotuba yake ya kufunga mkutano vimeanza kutumika huku kazi muhimu kwenye maisha ya mwana- wa 19 wa Bunge; Rais wa Jamhuri ya ya kukamilisha vilula vingine 15 damu na kwamba siku ya mwana- Muungano wa Tanzania Dkt. John bado inaendelea. Mpango huo damu haiwezi kupita bila kutumia Magufuli amesema jumla ya miradi umefanyika kwenye kata za Masa- bidhaa hii muhimu. ya maji 1,423 kati yao miradi 1,268 ma Kusini na Bomang’ombe am- Katika kufahamu umuhimu wa maji ni ya vijijini na miradi 155 ni ya mji- bazo kwa kiasi kikubwa zimeku- kwene jamii; serikali imeweka mi- ni na kuongeza upatikanaji wa maji wa na ongezeko la wakazi. kakati madhubuti ya kuimarisha vijijini kwa 47% mwaka 2015 hadi Wilaya ya Hai inaendelea kuim- miradi mbalimbali ya maji ili ku- 70.1% mwaka 2020 na mijini kutoka arisha upatikanaji wa maji kwa hakikisha wananchi wanapata maji 74% mwaka 2015 hadi kufikia 84% kutegemea vyanzo vya maji vina- kwa mahitaji yao ya nyumbani na mwaka 2020. vyopatikana ndani ya wilaya hiyo. Ofisi ya Rais TAMISEMI 2 Halmashauri ya Wilaya ya Hai Serikali Yakabidhi Ardhi kwa Mjane Aliyedhulumiwa

ma sijui mama, eneo hilo nimemzi- ka mume wangu na mdogo wangu hapohapo; nimezalia watoto wan- gu hapohapo na nimepata wajukuu hapo, basi wakaanza kunipiga vita sasa.” Bibi Shila amemshukuru Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya kwa kumsaidia kupata eneo hilo na zaidi akimwombea baraka na maisha marefu Rais John Magufuli aliyem- wita mtetezi wa wanyonge. Baada ya maelekezo hayo Sabaya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akitoa amemwagiza Mkurugenzi Mtenda- maelekezi ya kazi kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya ji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Hai Ndg. Yohana Sintoo katika eneo la Bomang’ombe wilayani Hai. Yohana Sintoo akishirikiana na Afisa Rais wa Jamhuri ya Muungano Ardhi wilaya kusimamia umiliki wa Sabaya. wa Tanzania Dkt. John Magufuli eneo la Bibi Shila kwa kumpatia ofa Bibi Hawa Shila alifikia uamuzi ameagiza kupatiwa eneo la ardhi na hati pamoja na kutengeneza ra- wa kumwandikia barua Rais Bibi Hawa Shila mkazi wa Kijiji mani na miundombinu inayohitajika magufuli baada ya kuhamishwa cha Kimashuku Kata ya Mnadani kwa kuzingatia mipaka ya eneo hilo. kwenye eneo la mnadani lililo- wilayani Hai ili apate eneo la Eneo la ekari moja ambalo ame- po Kata ya Mnadani wilayani makazi na kufanya shughuli za kabidhiwa Bibi Shila linatokana Hai ambapo ameishi kwa zaidi kilimo. na ekari tisa zilizokuwa za serikali ya miaka 40 huku akidaiwa kui- Akitoa maelekezo ya Rais kwenye zilizopo Kijiji cha Kimashuku Kata shi eneo hilo kinyume na tara- mkutano wa Kijiji hicho; Mkuu ya Mnadani ambazo zimegawiwa tibu. wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sa- kwa kijiji hicho mwezi June 2020 “Walinifukuza nikawauliza sasa baya amesema kuwa Bibi Shila kwa ajili ya kujenga soko, zahanati wanangu niende wapi wakase- alimwandikia barua Rais wa Jam- na kufanya shughuli za maendeleo. huri ya Muungano wa Tanzania kuomba usaidizi wa kuzuia ku- hamishwa eneo ambalo ameishi kwa zaidi ya miaka 40 au kupatiwa eneo jingine la makazi na kilimo ili aweze kujikimu na kuendesha maisha yake. “Mheshimiwa Rais ameona barua yako na amenielekeza kuhakiki- sha kuwa unapata haki yako. Leo nimekuletea barua ya kukupa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya akizungumza na wana- nchi wa Kijiji cha Kimashuku kutatua mgogoro wa ardhi akiambatana na eneo la kufanya shughuli za kili- Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Hai Wang’uba Maganda, Katibu Tawala mo na eneo la makazi” Amesema Upendo Wella, Mkurugenzi Yohana Sintoo na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya. Ofisi ya Rais TAMISEMI 3 Ofisi ya Rais TAMISEMI Halmashauri ya Wilaya ya Hai Halmashauri ya Wilaya ya Hai Makamu wa Rais Azindua Wodi ya Wanawake

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa- hutubia wananchi wa Wilaya ya Hai mara baada ya kuzindua jengo la Wodi ya Wanawake katika hospitali ya wilaya hiyo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Makamu wa Rais pia amewasihi ambapo amesema kuwa kiwango Muungano wa Tanzania Mhe. wahudumu wa afya katika hospi- cha ukusanyaji wa mapato kime- Samia Suluhu Hassan amefanya tali hiyo na nyinginezo kuifanya ongezeka kwa zaidi ya 200%. ziara ya kikazi katika wilaya ya Hai kazi hiyo kwa uaminifu na uadili- Aidha Makamu wa Rais ameke- na kuzindua jengo la wodi ya wa- fu ili kujipatia thawabu kwa Mun- mea tabia ya baadhi ya viongo- nawake katika hospitali ya wilaya gu. zi wanaosababisha migogoro ya hiyo ikiwa ni utekelezaji wa kazi Amesema kuwa kutakuwa hakuna ardhi ikiwa ni pamoja na vyama za Serikali unaofanywa na serikali maana ya kuwa na miundombinu vya ushirika na kuagiza mamlaka ya wamu ya Tano chini ya Dr John mizuri kama wodi na mingine husika kushughulikia na kutatua Pombe Magufuli. wakati watoa huduma wasiposim- migogoro hiyo. Akizindua wodi hiyo ambayo ime- amia kufanya kazi yao kwa weledi Makamu wa Rais amehitimi- jengwa kwa fedha mapato ya ndani na kuwajali wagonjwa wanaopati- sha ziara yake ya kikazi mkoani ya halmashauri kwa kutumia fed- wa huduma. Kilimanjaro ambapo alitembe- ha zinazokusanywa na hospitali Katika hatua nyingine Makamu wa lea wilaya za mkoa huo akiwa hiyo kupitia mpango wa Bima ya Raisi amehutubia mamia ya wana- ameambatana na Waziri wa Ar- Afya Makamu wa Rais ameponge- nchi waliokusanyika katika eneo dhi, Nyumba na Maendeleo ya za juhudi za halmashauri hiyo la Ofisi ya Kijiji cha Kwasadala Makazi; Mhe. ujenzi wa wodi na kusema ni jam- huku akisifu jitihada zinazofany- pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi bo la mfano na linafaa kuigwa na wa na halmashauri kupitia Mkuu ya Rais-TAMISEMI Mhe. Sele- halmashauri nyingine. wa Wilaya hiyo Lengai Ole Sabaya mani Jaffo. Ofisi ya Rais TAMISEMI 4 Halmashauri ya Wilaya ya Hai

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akimfariji mmoja wa Muonekano wa ndani wa wodi ya wanawake katika Hos- wagonjwa aliowakuta wakipata huduma kwenye Hospitali ya pitali ya Wilaya ya Hai ambalo limeanza kutumika baada Wilaya ya Hai kabla ya kufanya uzinduzi rasmi wa huduma katika ya kuzinduliwa na Makamu wa Rais jengo hilo

Jengo la Wodi ya Wanawake katika Hospitali ya Wilaya ya Hai ambalo limeanza kutumika baada ya kukamilisha ujenzi wake na kupunguza adha ya wagonjwa kutumia jengo moja lililotenganishwa wanaume na wanawake na kufan- ya hospitali kuwa na wodi tofauti za wanawake na wanaume

Ujenzi wa jengo la Duka la Dawa kwenye Hospitali ya Wilaya ya Hai imesaidia kuimarisha upatikanaji wa dwa saa 24 kila siku za wiki kwa wagonjwa wote wa hospitali ya wilaya na wanaotibiwa kwenye vituo vingine vya kutolea huduma za afya Ofisi ya Rais TAMISEMI 5 Ofisi ya Rais TAMISEMI Halmashauri ya Wilaya ya Hai Halmashauri ya Wilaya ya Hai Serikali Inatambua Mchango wa Sekta Binafsi

elimu yamezidi kubore- shwa ikiwa ni pamoja na ujenzi wa shule za msingi elfu kumi na saba, shule za secondari pamoja na ujenzi unaoendelea katika chuo cha ualimu Patandi cha jijini Arusha. Waziri Mkuu amemwa- giza Mkurugenzi wa hal- mashauri ya Wilaya ya Hai kutembelea shule zin- Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwahutubia wananchi wa Wilaya ya Hai azomilikiwa na taasisi za kwenye ziara yake ya kikazi ya siku moja katika wilaya hiyo dini na binafsi ili kujua Serikali imesema in- shi ya Mtakatifu fanywa na mashiri- changamoto wanazok- atambua jitihada zin- Pamachius iliyojeng- ka ya dini pamoja abiliana nazo na kushauri azofanywa na taasi- wa na Kanisa Katho- na taasisi binafsi ni namna bora ya kuzitatua. si za dini pamoja na liki; Waziri Mkuu mchango tosha wa Aidha ameiagiza idara ya mashirika binafsi kati- wa Jamuhuri ya Mu- kusaidia elimu hasa ukaguzi wa elimu kupitia ka kuchangia masuala ungano wa Tanza- katika kuyapa ki- na kukagua shule zote ili ya elimu hapa nchini. nia Kassim Majali- paumbele makundi kuona kama zinakidhi vi- Akizungumza wakati wa amesema kuwa maalumu. genzo ikiwa ni pamoja na wa uzinduzi wa Shule jitihada za kuwekeza Wakati wa uzinduzi kuwa na mitaala sahihi ya Sekondari Jumui- katika elimu zinazo- wa shule hiyo Wa- inayotakiwa kutumika. ziri Mkuu amesema Naye Askofu wa Jimbo kuwa Serikali ita- Kuu Katholiki Arusha toa kiasi cha shilingi Muhashamu Baba Asko- million kumi kusaid- fu Isack Aman amesema ia kuendeleza miun- kuwa kanisa liliona kuna dombinu ya shule hitaji la msingi la kujen- hiyo. ga shule zenye kupokea Amesema serikali wanafunzi wenye mahi- imeboresha sekta ya taji maalum ili kuhakiki- Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sha kunakuwepo na fursa Mhe. Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi kuashiria uz- elimu na tayari kwa induzi wa Shule ya Sekondari Mchanganyika ya Pamachius sasa mazingira ya sawa kwa wote. Ofisi ya Rais TAMISEMI 6 Halmashauri ya Wilaya ya Hai Mifumo ya Kielektroniki Yaiboresha Wilaya ya Hai na daktari, kupata vipimo maabara hadi anapopatiwa dawa. Mfumo huo umesaidia kuimarisha utunzaji na upatikanaji wa kumbukum- bu, utoaji wa taarifa za dawa,fedha, wa- tumishi n.k, kuzuia mianya ya upotevu wa mapato yanayopatikana kwa tozo mbalimbali za uchangiaji huduma za afya pamoja na kurahisisha zoezi la ufuatiliaji wa taarifa za mgonjwa. Mfumo mwingine unaotumika kati- ka Wilaya ya Hai ni mfumo wa mapato Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI aki- kagua ujenzi wa miundombinu ikiwemo mifumo ya kielektroniki (LGRCIS) ambao unasimamia zoezi la kwenye Hospitali ya Wilaya ya Hai kukusanya maduhuli ya serikali kielek- troniki kwa kutumia mashine za mauzo Maendeleo ya Sayansi na usimamizi wa waziri wa au POS ambazo zinapatikana kwenye Teknolojia yamepelekea wizara hiyo Selemani Jafo kila eneo la kukusanyia ushuru wa Hal- mabadiliko makubwa imefaidika na maendeleo mashauri huku kila pesa inayokusanywa kwenye maisha ya mwa- ya Teknolojia hasa baada inatolewa risiti na kiasi hicho kuoneka- nadamu hasa katika karne ya serikali kuanza kutumia na kwenye mfumo mkuu hivyo kuondoa hii ya 21 inayotambuliwa mifumo ya kielektroniki mianya ya upotevu wa mapato. kama karne ya Teknolojia. kusimamia utoaji wa hudu- Mfumo wa malipo ya serikali (GEPG) ni Tanzania ikiwa sehemu ma mbalimbali za serikali moja ya mafanikio makubwa katika kui- ya Dunia inakutana na katika wilaya hiyo ambapo marisha ukusanyaji wa maduuli ya seri- matokeo ya mabadiliko Afisa TEHAMA wa Hal- kali kwani malipo yote yanafanyika kwa ya teknolojia yanayosaid- mashauri ya Wilaya ya Hai namba ya ankara (control number) inay- ia kuimarisha utendaji Anold Malisa anaelezea omwezesha mlipaji kuwasilisha malipo wa kazi mbalimbali iki- baadhi ya mifumo inayotu- yake kupitia benki au mitandao ya simu wemo maboresho katika mika katika Halmashauri kutoka mahali popote duniani. mawasiliano, utunzaji wa hiyo. kumbukumbu, Uwazi na Mfumo unaosimamia Inaendelea uk...... 7 utawala bora pamoja na utoaji huduma kwenye vi- matumizi ya mifumo ya tuo vya kutolea huduma kielektroniki katika ute- za afya (GoT-HOMIS) ni kelezaji wa kazi za serikali mfumo wa kielektroni- na kurahisisha utoaji wa ki unaosimamia shughu- huduma kwa wananchi. li nzima za kutoa hudu- Wilaya ya Hai kwa kupi- ma za afya kwa kuratibu tia Wizara ya Tawala za mwenendo wa mgonjwa Afisa Ustawi wa Jamii akimhudumia mteja wake Mikoa na Serikali za Mi- tangu anapofika kuandik- kwa kutumia mfumo kielektroniki wa kutolea hudu- taa (TAMISEMI) chini ya ishwa Hospitali, kukutana ma za afya. Ofisi ya Rais TAMISEMI 7 Ofisi ya Rais TAMISEMI Halmashauri ya Wilaya ya Hai Halmashauri ya Wilaya ya Hai Mifumo ya Kielektroniki ..... Inatoka uk...... 6 kwa namba ya ankara hadi ngazi ya Wizara pamoja na kuimarisha (control number) in- na Kitaifa. Mfumo huu upatikanaji wa taarifa ayomwezesha mlipaji umesaidia sana kura- za matumizi ya fedha kuwasilisha malipo hisisha maandalizi na kwenye halmashauri yake kupitia benki utekelezaji wa masuala pamoja na vituo vya au mitandao ya simu ya kibajeti na fedha. huduma. kutoka mahali po- Mfumo wa matumizi Pamoja na mifumo pote duniani. umegawanyika ka- hiyo, Halmashauri ya (www.haidc.go.tz). Planrep ni mfumo wa tika sehemu mbili Wilaya ya Hai ina- Matumizi ya TE- mipango ya bajeti na kukiwa na mfumo wa faidika kwa kutumia HAMA kwenye ute- kutoa taarifa za fedha matumizi ngazi ya hal- mifumo mbalimbali kelezaji wa kazi za inayotoa nafasi kwa mashauri (EPICOR) na ya kielektroniki ka- Serikali katika Wilaya kila idara na vitengo mfumo wa matumizi tika sekta za Afya, ya Hai ni kichocheo ndani ya halmashau- ngazi ya vituo vya ku- Elimu sekondari na chanya katika kuleta ri kufanya maandal- tolea huduma (FFARS) Elimu msingi, mi- maendeleo ya jamii izi ya mipango yao ya unaotumika kwenye fumo ya upashanaji ya watu wa Hai kwa kifedha kielektron- vituo vya huduma za habari ikiwemo ba- ujumla wao lakini pia iki ikiwa ni msaada afya na shule zote za rua pepe zenye kikoa inagusa maendeleo ya mkubwa kupunguza serikali ambao ma- cha Kitanzania (.tz), mtu mmojammoja na matumizi ya kusafi- tumizi yake yamesaidia tovuti za serikali ze- hatimaye kuwafan- ri kuwasilisha bajeti kudhibiti upotevu wa nye kubeba taarifa ya watu wote waweze kwani mfumo un- fedha, kuthibiti ma- za mambo mbalim- kupata huduma stahi- aunganisha ngazi ya tumizi holela ya fedha bali yanayofanyika ki kwa haraka zaidi. Vituo, Wilaya, mkoa ikiwemo fedha mbichi kwenye halmashauri

Watumishi wa Idara ya Afya kwenye Hospitali ya Wilaya ya Hai wakiwahudumia wananchi kwa kutumia mfumo wa kielektroniki. Kushoto ni Daktari akimhudumia mgonjwa na kulia ni mfamasia akimpatia dawa mgonjwa kwa kutumia mfumo wa kutolea huduma za afya GOTHOMIS. Ofisi ya Rais TAMISEMI 8 Halmashauri ya Wilaya ya Hai Waziri Lukuvi Atoa Suluhisho Mgogoro wa Ardhi Lambo Estate “Tunaishukuru sana serikali kwa hatua hii, ni kitu ambacho hatu- kutegemea kwani tangu mwaka 1996 mimi mwenyewe nafuatilia suala hili na hatukuwahi kupata su- luhu, namshukuru sana Rais John Pombe Magufuli pamoja na serikali yote” Hii ni kauli ya Saidi Omari ambaye ni miongoni mwa wananchi walio- hudhuria kikao kati ya Waziri wa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lu- Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya kuvi akizungumza na waliokuwa wafanyakazi wa Lambo Estate kutatu mgogoro wa ardhi. Makazi William Lukuvi na wanan- chi wa kijiji cha Nshara pamoja na ja menejimenti ya bodi ya vyama endapo hawataweza kufanya hivyo bodi ya mradi wa umoja wa vyama hivyo Waziri Lukuvi amesema ser- taratibu za kulirudisha eneo hilo vitatu vya ushirika vya Foo, Nronga ikali ya Awamu ya Tano haiwezi kwa serikali zitachukuliwa. na Wari katika shamba la Lambo Es- kuona wanyonge wakiendelea ku- Akizungumza katika eneo hilo la tate. teseka kwa sababu ya watu wach- machine tools, Mhe. Lukuvi amea- Katika kikao hicho Waziri Lukuvi ache na kwa sababu hiyo ameagiza giza wananchi wote waliomilikish- ameagiza kaya 78 za wananchi walio- wananchi hao wasifukuzwe katika wa maeneo katika eneo hilo lenye kuwa wafanyakazi wa mashamba ya eneo hilo. ukubwa wa zaidi ya ekari 1000 mkonge (Lambo Estate) wilayani “Hamuwezi kujikusanya huko wa- na wameshindwa kuliendeleza Hai Mkoani Kilimanjaro kupe- janja wachache na kutaifisha ardhi wapewe notisi ya siku tisini ili tara- wa ekari 156 ikiwa ni utatuzi wa za vijiji alafu mnawakodisha wana- tibu za kuchukua eneo hilo na kwa mgogoro kati ya wananchi hao na nchi ardhi na kutumia fedha hizo, wale waliopimiwa na hawana hati mradi wa umoja wa vyama hivyo. huu ni ukoloni kabisa safari hii tut- ya umiliki orodha yake ifikishwe Agizo hilo limekuja baada ya anyoosha maneno yote haya yaliy- kwake na wapewe taarifa ya kuto- mgogoro wa shamba la hilo na opinda kwani serikali hii ya awamu kuwa na umiliki wa eneo hilo. baadhi ya wananchi wa kijiji cha ya tano haitacha mambo haya yap- “Asiye na hati niorodhesheni tu ni- Nshara ulioanza tangu miaka ya tis- ite hivi” amesisitiza Lukuvi. tatoa idhini ili tutangaze watanza- ini baada ya wanachi hao kutuma Kufuatia hatua hiyo amemwagiza nia wengine na wawekezaji wageni maombi serikalini wakiomba ku- Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole wenye uwezo wa kuwekeza waje pewa eneo la makazi ikifuatiwa na Sabaya kusimamia zoezi la upimaji wawekeze, eneo hili limekaa muda tukio la ajira yao kukoma ambapo wa ardhi hiyo ili kuziwezesha kaya mrefu pasipo kuendelezwa na lipo mwaka 2001 wafanyakazi hao wali- hizo kupata hekari 2 kwa ajili ya mjini” fungua kesi kwa kutoridhika na sta- makazi na shughuli za kilimo na Naye Mkuu wa Wilaya ya Hai Len- hiki walizolipwa na mradi huo. uzalishaji wa chakula kwa masharti gai Ole Sabaya amemweleza Waziri Mwaka 2003 Mahakama iliamuru ya kutouza maeneo watakayopewa. kuwa amepokea maagizo yote yaliy- wafanyakazi hao waendelee kui- Katika hatua nyingine Waziri Lu- otolewa kwenye ziara hiyo na kuwe- shi kwenye nyumba za ushirika na kuvi ameuagiza uongozi wa NDC ka bayana kuwa atayatekeleza kwa wapewe hekari 50 kwa ajili ya ku- kulipa kabla ya mwezi Disemba nguvu zote ili haki ya kila mhusi- wawezesha kufanya shughuli za kili- kodi ya ardhi ya eneo wanaolimi- ka ipatikane lakini pia kuiwezesha mo pasipo kujenga makazi ya kudu- ki na kufanyia kazi tangu walipok- serikali kukusanya mapato stahi- mu. abidhiwa eneo hilo ili kuwawezesha ki kutokana na kodi zitakazolipwa Akizungumza na wananchi pamo- kupewa hati miliki ya eneo hilo na kwenye maeneo hayo. Ofisi ya Rais TAMISEMI 9 Ofisi ya Rais TAMISEMI Halmashauri ya Wilaya ya Hai Halmashauri ya Wilaya ya Hai TAMISEMI Yapongeza Juhudi Kuboresha Maisha Wilayani Hai

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Seri- kali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Mwita Waitara ame- wataka watumishi na vion- gozi katika Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro kuen- delea kufanya kazi kwa bidii na kuimarisha maendeleo ya wananchi kama inavyo- elekezwa na Ilani ya Ucha- guzi ya Chama Cha Mapin- duzi inayosimamia serikali. Akizungumza kwenye mkutano na watumishi wa Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Mwita Waitara wilaya hiyo, Naibu Wazi- ri Waitara amesema kuwa kazi, Mkuu wa Wilaya ya rahia wazo la kupata kituo cha Wizara ya TAMISEMI in- Hai Lengai Ole Sabaya am- afya kwenye maeneo yao am- aunga mkono juhudi zin- emweleza Naibu Waziri wa bacho kitawapunguzia adha azochukuliwa na viongozi TAMISEMI kuwa wilaya in- ya kutembea umbali mrefu hususan Mkuu wa Wilaya aendelea kutatua changamo- kupata huduma huku waki- hiyo Lengai Ole Sabaya to za wananchi kwenye ma- ahidi kuwa tayari kushiriki- zikiwa na juhudi za kubore- suala ya ardhi, ushirika na ana na serikali kwa kuchan- sha maisha ya wakazi wa aina nyingine za madhila gia nguvukazi ili kukamilisha wilaya. ikiwemo kuondoa matabaka ujenzi wa kituo hicho. “Endeleeni kutafuta haki miongoni mwa wananchi. Naibu Waziri Ofisi ya Rais za wananchi waliodhulu- Naye Mganga Mkuu wa TAMISEMI Mwita Waitara miwa; wale walioguswa Wilaya ya Hai Dkt. Irene amefanya ziara ya kikazi ya wakija kwetu tutaangalia Haule amesema kwa siku moja kwenye wilaya ya kama mmewaonea, lakini kushirikiana na vyama vya Hai ambapo amepata wasaa kama mmesimamia haki ushirika wilaya imean- wa kuzungumza na watumi- sisi kama TAMISEMI tut- za ujenzi wa kituo cha afya shi wa Wilaya hiyo wakiwemo awaunga mkono”. Amese- kwenye Kijiji cha Longoi ki- wakuu wa shule za sekond- ma. takachohudumia wakazi wa ari, waratibu wa elimu ngazi Aidha amewashauri vion- kata za Masama Rundugai, ya kata, watendaji wa vijiji gozi na watumishi kute- Weruweru na Mnadani zenye na kata pamoja na wakuu wa keleza majukumu yao kwa Zaidi ya wakazi 30,000 kiki- idara na vitengo pamoja na kuzingatia sheria na tarat- toa huduma zote za kawaida watumishi wa makao makuu ibu husika bila kupendelea na dharura. ya halmashauri. wala kumuonea mtu yeyote. Kwa nyakati tofauti baadhi ya Awali akitoa tathmini ya wananchi wameonesha kufu- Ofisi ya Rais TAMISEMI 10 Halmashauri ya Wilaya ya Hai Migogoro ya Wakulima Wafugaji Kupatiwa Ufumbuzi

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mi- fugo na Uvuvi Prof. Elisante Ole Gabriel ameitaka jamii ya wafuga- ji kufuga kibiashara kwa kuwa na mifugo michache yenye afya nzuri na kutii sheria za nchi ili kuzua migogoro baina yao na wakulima Amesema serikali ya awamu ya tano inawathamini na kuwapen- da wafugaji kwa kuwa wana haki sawa na wakulima na wafanyakazi hivyo nao wanao wajibu wa kutii mamlaka na sheria zilizopo. Amesema wizara yake inatekele- za ilani ya Chama Cha Mapinduzi ambapo ibara ya 25 kifungu a hadi q inawazungumzia wafugaji na kuwaondoa hofu iliyopo miongo- zi Mtendaji na ofisi ya Mkuu mpango wa matumizi bora ili ni mwao ya kwamba serikali hai- kutenga eneo la kulishia mifugo wathamini. wa Wilaya. Akizungumza kabla ya kum- na eneo la wakulima ili kupun- “Mhe. Waziri Mpina amenitu- guza migogoro kati ya wakulima ma niwaambie na niwahakikishie karibisha Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvu- na wafugaji. wananchi wa Hai hasa wafuga- Ameongeza kuwa wafugaji wana- ji kuwa Rais John Magufuli ni vi kwenye mkutano wa had- hara uliofanyika katika kijiji tegemea mifugo katika kukidhi kipenzi cha wafugaji, hivyo ame- mahitaji yao ya kifamilia pamo- wataka mmtunzie heshima hiyo cha Sanya Station kata ya Kia Wilayani Hai, Sabaya amese- ja na uchumi wao hivyo ameasa na mjue kuwa serikali inatambua maeneo yaliyotengwa kwa ajili haki ya wafugaji na mtembee kifua ma serikali haiwezi kuvumilia kuona migogoro hiyo ikien- ya wafugaji kuheshimiwa ili kue- mbele” amesema Prof. Gabriel. puka changamoto ambazo zin- Amesema kuwa mifugo haiwezi delea na kuwaasa watendaji na wenyeviti kuepuka kuwa aarudisha nyuma maendeleo. kuendelezwa bila ya kuwaendele- Kwa upande wao wananchi za wafugaji kwa kua vyote vinat- sehemu ya mgogoro kutasaid- ia kwa kiasi kikubwa kumali- waliopata nafasi ya kuzungumza egemeana na kwamba wizara in- kwa niaba ya wenzao wameiom- aendelea kuboresha na kufanyia za migogoro hiyo. “Kwa namna yoyote ile seri- ba serikali kuwatengea maeneo kazi changamoto za wafugaji kwa rasmi ya malisho na kuwajengea kuwa mifugo inachangia kwa kiasi kali haitavumilia unyanyasaji wowote utakaofanywa kwa majosho ya mifugo na kuwa- kikubwa katika ukuaji wa uchu- pa elimu ya kuhudumia mifugo mi akitolea mfano wa ng’ombe na wafugaji wala haitavumil- ia kuona wafugaji wanaonea na kutambua magonjwa yan- mazao yake ambayo imeajiri kun- ayowasumbua, maombi ambayo di kubwa la wananchi. wakulima, hivyo ni maru- fuku kwa wafugaji kuingiza Katibu Mkuu aliahidi yatafany- Kwa upande wake Mkuu wa iwa kazi mapema. Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya mifugo kwenye mashamba ya wakulima na kila mkulima Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo amewaagiza wenyeviti wa viton- na Uvuvi Prof. Elisante Ole Ga- goji, vijiji na watendaji wa vijiji na abaki katika eneo lake ili kue- puka migogoro.“ Alisisitiza briel amefanya ziara ya kikazi ya kata kutopokea fedha zozote zin- siku moja katika Wilaya ya Hai azotokana na migogoro kati ya Sabaya. Naye Katibu wa wafuga- akiwa na lengo kuu la kufaha- wakulima na wafugaji katika mae- mu changamoto zinazowakabili neo yao badala yake watoe taarifa ji nchini Magembe Mkaoye ameiomba serikali kuweka wafugaji ikiwa ni hatua ya kuim- ya migogoro hiyo kwa Mkurugen- arisha shughuli za ufugaji nchini. Ofisi ya Rais TAMISEMI 11 Ofisi ya Rais TAMISEMI Halmashauri ya Wilaya ya Hai Halmashauri ya Wilaya ya Hai Serikali Yajivunia Mafanikio Sekta ya Madini Mwanza na hakuna aliyejua kilichopatikana. “Serikali iliagiza kuwa mash- ine zote za kusafisha dhahabu ziwekwe ndani ya mkoa husi- ka na hadi sasa zipo mash- ine zaidi ya 20 zinazosafisha dhahabu kukiwa na uangali- azi wa maafisa wa serikali na kufanikiwa kuongeza dhaha- bu kutoka kilo 70 – 160 kwa mwezi na kuongeza mapato ya serikali kwenye dhaha- Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbas akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji bu kutoka millioni 400 kwa wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Ndg. Yohana Sintoo alipotembelea halmashauri hiyo. mwezi hadi zaidi ya shilingi million 900.” Ameongeza. Serikali inajivunia mafan- Dkt. Abbas amebaini- huduma mbalimbali. Aidha, Dkt. Abbas amewa- ikio yanayotokana na ma- sha kuwa sekta nzima ya Akilinganisha hali il- taka wananchi kuendelea geuzi katika sekta ya madi- madini nchini imeonge- ivyokuwa kabla ya mare- kuiamini serikali yao na kui- ni yaliyopatikana ndani ya za makusanyo kutoka kebisho yaliyofanyika, unga mkono hasa wakati huu miaka mitatu ya mwanzo ya chini ya shilingi Bili- Dkt. Abbas anasema wa kutekeleza miradi mikub- serikali ya awamu ya Tano oni 190 na hadi kufikia kuwa mapato ya serikali wa itakayobadilisha kwa kiasi inayoongozwa na Rais John mwezi Julai 2018 mapato kutokana na madini yali- kikubwa maisha ya jamii nzi- Pombe Magufuli. yamefikia shilingi billi- kuwa kati ya shilingi mil- ma ya Tanzania kwani kwa Akizungumza na wananchi oni 301 ikiwa ni ishara ioni 71 – 74 kwa mwaka, kuongeza mapato ya serikali wa mkoa wa Kilimanjaro ya kuongezeka kwa ki- kwenye machimbo ya kunaipa nguvu katika kutoa na maeneo jirani kupitia asi kikubwa mapato ya Tanzanite ambayo miezi huduma bora kwa wananchi kituo cha redio Boma Hai serikali ambayo ndiyo 8 baada ya kujengwa uku- wake. siku ya Jumapili 09/12/2018 yanatumika kuwapatia ta unaodhibiti utoroshaji Akizungumzia maendeleo ya Msemaji Mkuu wa Serika- wananchi huduma za wa madini na kuongeza kufikia uchumi wa kati kwa li amesema kuwa serikali elimu bila malipo pamo- uwazi katika upatikanaji kuwa na viwanda, Dkt. Ab- imefanya mageuzi makub- ja na maboresho kwenye wa mapato ya serikali. bas amesema kuwa hadi sasa wa kwenye sekta ya madini. “Mererani wamepe- wa lengo la kukusanya matokeo chanya yanazidi shilingi billion 1.5 am- kuonekana kwani wapo wa- bayo kwa muda wa miezi naonufaika na viwanda kwa 5 hadi kufikia mwezi No- kupata ajira moja kwa moja vemba tayari wamefan- lakini pia wapo wale wana- ikiwa kukusanya shilin- onufaika kwa uwepo wa vi- gi millioni 800 ikiwa ni wanda kwenye maeneo yao. zaidi ya nusu ya lengo.” “Takribani watanzania Amesisitiza Dkt. Abbas. 26,000 wameajiriwa moja Kwa upande wa dhahabu kwa moja kwenye viwanda ya mkoani Geita, nchi il- na zaidi ya wananchi 100,000 Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbas na wameweza kuanzisha biasha- Mwenyekiti wa Chama cha Maafisa Habari wa Serikali (TAG- ikuwa inapoteza mapato kwenye kusafisha dha- ra na kujiajiri kwa sababu CO) Paschal Shelutete wakizungumza na wananchi wa Wilaya ya viwanda vilivyopo” Ame- ya Hai na mikoa ya Kanda ya Kaskazini kupitia kituo cha Redio habu ambapo mwanzo Boma Hai kinachomilikiwa na Halmashauri ya wilaya ya Hai shughuli hizo zilifanyika ongeza. Ofisi ya Rais TAMISEMI 12 Halmashauri ya Wilaya ya Hai Halmashauri ya Hai Yashauriwa Kuongeza Mikopo Wajasiriamali

Wito umetolewa kwa Hal- mashauri ya Wilaya ya Hai kutoa kiwango kikubwa cha fedha wanazowapa wa- nawake, vijana na wenye ulemavu ili kuwawezesha kutekeleza miradi yenye tija kwa jamii husika. Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Taifa wa Umoja wa Vijana wa Cha- ma cha Mapinduzi (UVC- CM) Comrade Kheri James Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Kheri James akiwasalimi wananchi wa kwenye mkutano wa ndani Wilaya ya Hai akiwa na Mkuu wa Wilaya ya hiyo Lengai Ole Sabaya na wanachama wa cha- duzi kuwa wanao waji- ma hicho uliofanyika ka- bu wa kutekeleza kwa yetu ilipokuwa, ili- wakumbushwa wana- tika ukumbi wa Filomena chama na Taifa kwa po na inapoelekea; chama kuwa hakuna wilayani Hai. ujumla hasa katika kila mmoja anajua kiongozi mwenye Amesema mikopo hiyo kipindi hiki ambapo uelekeo wa nchi hii.” mgombea katika kin- iangalie uwezekano wa wa- nchi inapitia mabadi- “Ukishakuwa na yang’anyiro cha ku- naokopeshwa kuzalisha aji- liko makubwa kwenye miundombinu ya wania uteuzi wa CCM ra za watu wengine ili ku- sekta zote kuelekea uhakika kwa anga, kwa nafasi ya ubunge saidia kupunguza tatizo la maendeleo endelevu. miundombinu ya wa jimbo la Hai. ukosefu wa ajira lakini pia “Leo hapa Hai nata- uhakika kwa maji, Nao Mwenyekiti wa kuwezesha wakopaji kuten- ka niwakumbushe miundombinu ya UVCCM Mkoa wa geneza kipato cha kaya zao. umuhimu wa kuilinda barabara; uchumi Kilimanjaro Ivan Aidha James ametumia nchi yetu, kuipenda wetu utakuwa wapi Moshi na Mwenyekiti mkutano huo kuwakumbu- nchi yetu na kuith- baada ya leo” wa UVCCM Wilaya sha vijana na wanachama amini nchi yetu. Nchi Amewataka vijana ya Hai Cedrick Pan- wote wa Chama cha Mapin- kujiandaa kushiri- gani wamemwaki- ki kwenye uchaguzi kishia Mwenyekiti mkuu utakaofan- wa UVCCM Taifa yika miezi michache kuwa wataendelea ijao kwa kupiga kushirikiana na vijana kura na kupigiwa na makundi mengine kura kwa wale wa- kwenye jamii kuhaki- takaogombea nafasi kisha kuwa chama mbalimbali. chao kinapata ushindi Kwa upande wa kishindo kwenye Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Kheri James akiwasi- mwingine Mkuu wa li kwenye eneo la mkutano akipokelewa na Mwenyekiti uchaguzi mkuu ujao. wa UVCCM Wilaya ya Hai Cedrick Pangani na viongozi Wilaya ya Hai Len- wengine wa chama wa Mkoa wa Kilimanjaro gai Ole Sabaya ame- Ofisi ya Rais TAMISEMI 13 Ofisi ya Rais TAMISEMI Halmashauri ya Wilaya ya Hai Halmashauri ya Wilaya ya Hai Kamati ya Siasa CCM Mkoa Kilimanjaro Yaridhishwa Utekelezaji Miradi Hai

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Ndg. Yohana Sintoo akitoa maelezo ya ujenzi wa maabara shule ya sekondari Tambarare katika wilaya hiyo mbele ya kamati ya siasa ya CCM Mkoa wa Kilimanjaro

KAMATI ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa maeneo hayo. mkoa wa Kilimanjaro imesema kuwa imeridhi- Boisafi amesema kuwa halmashauri imeweza kutoa fed- ka na hali ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya ha za makusanyo ya ndani kwa ajili ya kukopesha vikun- kimaendeleo inayotekelezwa na halmashauri ya di vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu amba- Wilaya ya Hai po ni agizo la serikali la kila halmashauri kutenga fedha Kauli hiyo inatolewa na Mwenyekiti wa CCM, za mikopo asilimia 10 ya makusanyo halisi ya ndani. Mkoani Kilimanjaro, Patrick Boisafi baada ya kutem- Aidha ameipongeza halmashauri kwa kutekeleza ilani belea miradi sita ya kimaendeleo ikiwemo ya elimu , kwa kutoa mikopo ya fedha kiasi cha zaidi ya milioni 109 afya na miundombinu ya barabara. kwa vikundi 27 kati ya vikundi hivyo 18 ni wanawake , 6 Boisafi amesema kuwa utekelezaji wa ilani ya uch- ni vya vijana na vikundi vitatu vya watu wenye ulemavu aguzi ya mwaka 2015 /2020 katika wilaya ya Hai vimenufaika na mkopo huo. umelekelezwa kwa kuzingatia ubora na viwango Hata hivyo, amewataka watumishi wa umma kuwa vinavyostahili kutokana na ushirikiano na usima- mstari wa mbele kuelezea miradi inayotekelezwa na mizi mzuri wa wataalamu pamoja na viongozi wa serikali ya awamu ya tano chini ya Uongozi wa Rais na Chama hicho ngazi ya wilaya. mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt John Magufuli ili wanan- Akiwa katika mradi wa shule ya Sekondari ya Tam- chi wengi wafahamu umuhimu wa juhudi za maendeleo barare iliyoanza kupokea wanafunzi mwaka huu zinazofanywa na serikali. amesema kuwa uanzishwaji wa shule hiyo umesaidia kuboresha elimu kwa wanafunzi wanaofaulu kuingia kidato cha kwanza ambao walikuwa wanatembea umbali wa kilometa 24 kwenda na kurudi hadi shule ya sekondari ya KIA Mwenyekiti huyo amesema kupatikana kwa usajili wa shule hiyo kutapunguza adha ya watoto wa vijiji vya Mtakuja na Tindigani kutembea mwendo mrefu kufuata elimu na pia uanzishwaji huo utasaidia ku- Muonekano wa Maabara kwenye Shule ya Se- punguza tatizo la mimba za utotoni kwa wanafunzi kondari Tambarare baada ya ujenzi kukamilika Ofisi ya Rais TAMISEMI 14 Halmashauri ya Wilaya ya Hai Nyumba za Watumishi Zapunguza Adha kwa Walimu Wilaya ya Hai

Jengo la nyumba wa walimu Six in one shule ya Sekondari Sawe Mafanikio katika utekelezaji wa majuku- mu huchangiwa na mambo mengi ikiwe- mo utayari wa watekelezaji, upatikanaji wa mahitaji muhimu, ushirikiano wa washiriki lakini pia mazingira rafiki ya utekelezaji wa majukumu husika. Katika sekta ya elimu kuna mambo kadhaa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Ndugu ya msingi yanayotakiwa kuzingatiwa ili ku- Yohana Sintoo akitoa maelezo ya ujenzi wa nyumba wa walimu Six in one shule ya Sekondari Sawe kwa kamati ya siasa ya CCM Mkoa fanikisha jukumu la kuelimisha wanafunzi wa Kilimanjaro katika ngazi mbalimbali za elimu. hizo zimetolewa na serikali shule hizo wameonesha kui- Wilaya ya Hai imetambua umuhimu wa kuu ikiwa ni utekelezaji wa shukuru Serikali kwa kujen- kuimarisha mazingira ya kutolea elimu ili ilani ya Chama cha Mapin- ga nyumba hizo ambazo kwao kuwafanya walimu watekeleze majuku- duzi ya mwaka 2015-2020 imewasaidia sana kuwajengea mu yao kwa ufasaha lakini pia kuwafanya inayolenga kuongeza idadi utulivu na kuwafanya wate- wanafunzi wapokee kwa usahihi mafunzo ya nyumba za kuishi walimu keleze wajibu wao wa kufundis- yanayotolewa. ili kuimarisha sekta ya elimu ha wanafunzi kwa ufanisi zaidi. Upatikanaji wa nyumba mpya za kuishi wa- kwa shule za msingi na se- Pamoja na kupatikana nyumba tumishi kwenye shule za Sekondari Kikafu kondari. hizo mbili zenye uwezo wa ku- na Sawe kumesaidia kuwapatia walimu na Kuwepo kwa makazi ya kaliwa na familia sita kila moja watumishi wengine makazi ya uhakika na uhakika kwa walimu kume- bado halmashauri ya wilaya kusaidia kupunguza adha wanayopata wa- saidia kwanza kuwaweka ya Hai inaendelea kutafuta tumishi wanapopanga kwenye nyumba za walimu karibu na mazingira uwezekano wa kujenga nyum- watu binafsi. ya shule na kupelekea walimu ba za namna hiyo kwenye shule Shilingi millioni 300 zimetumika kuwapatia kutumia muda mwingi Zaidi zilizopo wilayani humo ili ku- watumishi makazi ya uhakika katika shule kuwahudumia na kuwasaidia punguza na hatimaye kumali- hizo kwa kujenga nyumba zenye uwezo wa wanafunzi kwenye masomo za kabisa tatizo la nyumba za kutumiwa na familia sita kila moja na kufa- na malezi. makazi ya walimu na kufanya nya familia 12 kupata makazi. Wakizungumza kwa nyakati walimu wote wakae karibu na Fedha za kufanikisha ujenzi wa nyumba tofauti; baadhi ya walimu wa shule wanazofundisha. Ofisi ya Rais TAMISEMI 15 Ofisi ya Rais TAMISEMI Halmashauri ya Wilaya ya Hai Halmashauri ya Wilaya ya Hai Shirika la Nyumba Lakamilisha Ujenzi Ofisi ya DC Hai SHIRIKA la Nyumba nchini(N- HC) limesema litaendelea kute- keleza miradi mbalimbali inayok- abidhiwa na Serikali Kuu huku likizingatia viwango vinavyokub- alika kitaalam. Ahadi hiyo imetolewa na Mkuru- genzi Mkuu wa shirika hilo Dkt. Maulid Banyani, wakati wa hafla ya kukabidhi jengo jipya la ofisi ya Jengo jipya la Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Hai lililojengwa katika Mkuu wa Wilaya ya Hai, mkoani kipindi cah uongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano Kilimanjaro, iliyofanyika wilayani hata mradi huu usingewe- humo. ya Mkoa wa Kilimanjaro Bi za kukamilika kwa wakati “Tunaishukuru Serikali, hususan Lyidia Riwa amelipongeza uliowekwa na hapa ndipo ya Awamu ya Tano chini ya Rais Shirika la Nyumba kwa ku- umuhimu wa maono ma- Dkt. John Magufuli kwa kuende- kamilisha mradi huo kwa zuri aliyokuwa nayo Rais lea kuiamini NHC na kuipa mira- muda na ubora uliotarajiwa. wetu unapoonekana”, Ame- di mbalimbali ambapo kwa sasa “Nitoe rai kwa uongozi wa ongeza Dkt. Banyani. kuna miradi zaidi ya 40 ambayo Serikali wilaya ya Hai ku- Akitoa taarifa ya mradi huo, inatekelezwa na NHC hapa nchi- hakikisha jengo hili linatun- Yusuph Bigambo kutoka ni”, amesema. zwa vyema ili liweze kudumu wakala wa Majengo Tanza- Dkt. Banyani Amesema NHC ku- kutokana na kuwa Serikali nia (TBA), ambao walisan- endelea kuaminiwa na Serikali na imetumia pesa nyingi kati- ifu na kusimamia mradi kupewa miradi hiyo ni kazi nzuri ka kutekeleza mradi huu hii huo kama Mshauri Elekezi ambazo zimekuwa zikifanywa na ikiwa ni sehemu ya ahadi ya Mkuu kwa ushirikiano na shirika hilo wakati wa kutekeleza Rais Dkt. Magufuli ya kuwe- Mshauri Elekezi Msaidizi miradi mbalimbali ambapo alise- po na ofisi bora nchini kote”, upande wa Umeme na Mi- ma shirika hilo litaendelea kufan- alisema. tambo. ya kazi kwa weledi. . Akitoa shukrani kwa niaba “Mradi huu ambao ume- Aidha amempongeza Rais Dkt. ya uongozi wa wilaya ya Hai, tekelezwa na NHC kama Magufuli kwa kuwa na maono Katibu Tawala wa wilaya Mkandarasi Mkuu ulianza yaliyopelekea Watanzania ku- hiyo Upendo Wela, ameis- rasmi Mei, 2019 na kuka- endelea kufanya kazi huku wa- hukuru Serikali kwa kutoa milika Mei, 2020; mpaka kichukua tahadhari wakati Dunia fedha zilizowezesha ujenzi sasa umegharimu jumla ya ikiendelea kupambana na ugon- wa jengo ambapo amesema shilingi 1,092,327,322.92”, jwa wa COVID-19 unaosababish- miundombinu bora hiyo alisema. wa na virusi vya Corona. itakuwa chachu ya viongozi Akizungumza kwa nia- “Kama tungelazimishwa kujif- wa Serikali ya wilaya hiyo ba ya Katibu Tawala Mkoa ungia ndani kama mojawapo ya kuongeza ufanisi wa utenda- wa Kilimanjaro, Mhandisi tahadhari ya kuepusha maam- ji wake hasa katika kuwa- Dkt. Hatib Kazungu, Katibu bukizi mapya ya virusi vya Corona hudumia wananchi. Tawala Msaidizi Sekretarieti Ofisi ya Rais TAMISEMI 16 Halmashauri ya Wilaya ya Hai DC Hai Alitaka Jeshi Kuzuia Uhalifu

Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya akizungumza na askari wa jeshi la akiba wilayani humo. Waliokaa kwenye viti ni Katibu Tawala Wilaya ya Hai Upendo Wella na Kaimu Mkurugenzi wa Hal- mashauri ya Hai Elia Machange Mkuu wa wilaya ya Hai kutambua wageni wote wa- mu na kuzingatia kiapo walichoapa ili Mkoani Kilimanjaro Len- naoingia wilayani hapo na kutekeleza majukumu yao kikamilifu. gai Ole Sabaya amelitaka shughuli wanazozifanya kwa Naye kaimu Mkurugenzi Mtendaji Jeshi la akiba kwa kushirik- muongozo wa polisi kata wa Halmashauri ya wilaya ya Hai Elia iana na jeshi la polisi kuan- lengo likiwa ni kuhakikisha Machange amesema kuwa halmashau- za mara moja oparesheni kuwa wilaya ya Hai inakuwa ri iko tayari kushirikiana na jeshi hilo za mara kwa mara zitaka- salama wakati wote. wakati wote huku akilipongeza kwani zo wezesha kujua maeneo Pia amewatahadharisha ku- limekuwa na mchango mkubwa wa yote yanayohusika na uu- tokumuonea mtu yoyote kulinda amani ndani ya wilaya. zaji wa madawa ya kulevya wakati wa oparesheni hiyo pamoja na utengenezaji wa huku akiwaasa kutokujiin- pombe haramu aina ya gon- giza katika biashara ya uu- go ndani ya wilaya. zaji wa madawa ya kulevya Sabaya ametoa agizo hilo pamoja na pombe haramu wakati wa kikao kazi na na kwamba atakayebainika askari wa jeshi hilo la aki- kufanya hivyo atachukuliwa ba katika viwanja vya Hal- hatua kali za kisheria na ki- mashauri hiyo ambapo nidhamu. amesema hivi sasa ni wa- Kwa upande wake Katibu jibu wao kuhakikisha wa- Tawala wa Wilaya ya Hai Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Saba- nafanya oparesheni hiyo Upendo Wella amewataka ya akizungumza na viongozi wa dini kuhusu ambayo pia itasaidia kujua, kuwa na uzalendo, nidha- masuala ya amani ya wilaya na Taifa. Ofisi ya Rais TAMISEMI 17 Ofisi ya Rais TAMISEMI Halmashauri ya Wilaya ya Hai Halmashauri ya Wilaya ya Hai Wilaya ya Hai Yajenga Kituo cha Afya kwa Mapato ya Ndani Zaidi ya wanachi 27,000 mingi sana umeku- wa kata za Weruweru, wa ukituhumiwa kwa Mnadani na Masama Run- ubadhilifu wa fedha. dugai wanatarajia kun- “Milioni 358 itamali- ufaika na huduma ya afya za jengo la maabara ya kutoka katika kituo cha upimaji, jengo la wag- afya kinachojengwa kati- onjwa wa nje na jengo ka kijiji cha Longoi kata ya la mama na mtoto na Weruweru kinachokadi- akina mama waliokuwa riwa kugharimu zaidi ya wanatoka hapa wanav- Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya akizindua ujenzi wa kituo cha afya kwa kuchimba msingi wa jengo. shilingi milioni 500 kutoka uka kale kadaraja ka reli katika mapato ya ndani. usiku wa manane wa- hospitali ya Wilaya. huduma za afya na waka- Akizungumza katika uz- napitia Shirimgungani Naye Mkurugenzi Mtenda- ti mwingine wamekuwa induzi wa ujenzi wa kituo hadi Mijongweni hadi ji wa Halmashauri ya wakipoteza ndugu zao hicho uliofanyika katika Shirimatunda hawatak- Wilaya ya Hai Yohana Sin- kutokana na huduma Kijiji cha Longoi; Mkuu wa wenda tena; huduma too ameahidi kuzisimamia hizo kuwa mbali. Wilaya ya Hai Lengai Ole zenu sasa zimeletwa kikamilifu fedha hizo na Wilaya ya Hai ina jum- Sabaya amesema ujenzi wa hapa” alisema Sabaya. kuhakikisha kuwa ujenzi la ya vituo vya kutolea kituo hicho ni maelekezo Awali akisoma taari- wa kituo hicho unakami- huduma 60 ambavyo kati ya Rais wa Jamhuri ya Mu- fa ya ujenzi wa kituo lika kwa wakati huku aki- ya hivyo vituo 2 Ni hospi- ungano wa Tanzania Dr. hicho Mganga Mkuu wataka wananchi wa eneo tali ya wilaya na hospitali John Magufuli kwenda kwa wa Wilaya Dkt. Irene hilo kutoiba wala kuhari- teule ya Machame am- wasaidizi wake kuhakikisha Haule amesema wazo bu miundombinu ya mra- bapo kati ya hivyo vimo wananchi wanasogezewa la ujenzi wa kituo hicho di huo na kwamba yeyote vituo vya binafsi na vya huduma muhimu kwenye cha Afya lilitolewa na atakaebainika atachukuli- mashirika ya dini. maeneo yao. mkuu huyo wa wilaya wa hatua za kisheria. Ujenzi wa kituo hicho cga Amesema fedha za awali za kwa kushirikiana na Nao baadhi ya wanan- afya unaendelea na hadi ujenzi wa kituo hicho kia- kamati ya ulinzi na chi wa Kijiji cha Longoi; mwezi Ogasti 2020 jum- si cha shilingi 358,552,415, Usalama na kwamba Mwajuma Athumani na la ya majengo matatu ya zimetokana na michango kitawasadia wananchi Miraji Athumani wameis- Maabara, Wagonjwa wa ya vyama vya ushirika wa kata hizo ambao hukuru serikali kwa kuona nje na jengo la mama na wilayani humo na kwam- baadhi yao wamekuwa umuhimu wa kuwapelekea mtoto yamekamilika na ba kukamilika kwa ujenzi wakitembea umbali wa kituo hicho cha afya kwani yapo tayari kuanza kutoa huu utaupa heshima ush- zaidi ya km 20 kufuata wamekuwa wakitumia huduma. irika ambao kwa miaka huduma za Afya katika gharama kubwa kufuata Ofisi ya Rais TAMISEMI 18 Halmashauri ya Wilaya ya Hai Watumishi 1000 Waajiriwa Kuimarisha Huduma Hai

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Yohana Sintoo akizungumza na watumishi wa halmashauri hiyo ikiwa ni sehemu ya kuim- arisha utendaji wa kazi. Serikali ya Jamhuri ya Muun- hasa ikikumbukwa kwamba ser- gano wa Tanzania inaendelea ikali za mitaa zinahudumia wa- kupoteza sifa za kuendelea na kutengeneza mazingira ya ku- nanchi kwenye nyanja za elimu, ajira walizokuwa wakizitumikia wahudumia wananchi wake afya, miundombinu na sekta hivyo kuachishwa kazi. kwenye sekta mbalimbali zin- nyingine hivyo kuwepo na aina Kwa sasa halmashauri hiyo ina azosimamiwa na serikali kuu, tofauti ya watumishi wa sekta watumishi 2,166 ambao wana- idara na taasisi za umma pamoja husika. fanya kazi katika idara 13 na na mamlaka za serikali za mitaa. Ili kuimarisha utoaji huduma vitengo 6 vinavyohudumia wa- Halmashauri ya Wilaya ya Hai kwa wananchi kwenye sekta nanchi kwenye sekta zilizo chi- chini ya Wizara ya Tawala za zilizopo kwenye halmashauri ya ni ya mamlaka ya serikali za Mikoa na Serikali za Mitaa ni wilaya ya Hai; serikali imefan- mitaa kukiwa na upungufu wa moja ya wanufaika wa mipan- ya maboresho kadhaa ikiwemo watumishi 906 katika sekta za go ya serikali kuimarisha utoa- kuongeza watumishi, kupandi- elimu msingi, kilimo, mipango, ji huduma bora kwa wananchi sha vyeo watumishi waliopo afya, mifugo na walimu wa say- pamoja na kuongeza elimu ya ansi kwa shule za sekondari. watumishi. Serikali imeendelea kutafuta Mwaka 2016/2017, serikali ilifa- suluhisho la upungufu wa wa- nya zoezi la uhakiki wa watumi- tumishi kwenye halmashauri shi katika kubaini uhalali wa kwa kuajiri watumishi wa kada kitaaluma wa watumishi husi- mbalimbali ikiwemo kuajiriwa ka ambapo jumla ya watumi- watu shi 61 walibainika kughushi na Inaendelea...... uk 19 Ofisi ya Rais TAMISEMI 19 Ofisi ya Rais TAMISEMI Halmashauri ya Wilaya ya Hai Halmashauri ya Wilaya ya Hai Watumishi 1000 . . . Inatoka ...... uk 19 mishi wapya 103 wa kada za afya, walimu wa shule za msingi na sekondari, watumi- shi wa sekta za ardhi pamoja na watumishi wa kilimo, um- wagiliaji na ushirika. Aidha, serikali imewapandi- sha vyeo watumishi wa kada mbalimbali kwa zoezi maalu- mu ambapo kwa mwaka wa Uwepo wa mamlaka za serikali fedha 2015/2016 watumishi wa mishahara ya watumishi za mitaa ni utaratibu wa seri- 632 wamepandishwa vyeo wa umma kulingana na kada kali kusogeza mamlaka kwenye kati yao walimu walikuwa 567 zao na vyeo vyao. maeneo ya karibu na wananchi na 65 walikuwa mchangan- Katika kuimarisha utawala ili kuimarisha utoaji huduma yiko wa watumishi wa kada bora katika halmashauri ya za elimu, afya, maji, upatikanaji nyingine huku zoezi jingine la wilaya ya Hai; serikali imea- na ukarabati wa miundombinu kupandisha vyeo watumishi jiri afisa tarafa mmoja kuziba na huduma nyingine kwa ngazi wa umma lilifanyika mwaka nafasi iliyokuwa wazi huku ya wilaya, halmashauri, tarafa, wa fedha 2017/2018 ambalo ikiajiri watendaji wa kata 8 kata na kijiji. lilihusu watumishi 610 huku wakiziba nafasi zilizokuwa 401 wakiwa walimu na 209 wazi kwenye kata 17 za wilaya kada nyingine. hiyo na watendaji 38 wa vi- Zoezi la kuwapandisha vyeo jiji na kufanya vijiji vyote 62 watumishi wa umma linak- kuwa na watendaji ili kuhaki- wenda sambamba na kuwa- kisha kuwa wananchi wana- badilishia kiwango cha msha- pata huduma kuanzia ngazi hara kulingana na utaratibu ya kijiji hadi halmashauri. Ofisi ya Rais TAMISEMI 20 Halmashauri ya Wilaya ya Hai Mikopo ya Halmashauri Yainua Uchumi wa Wananchi

Katibu Tawala Wilaya ya Hai Upendo Wella na Mkurugenzi Mtendaji wakikabidhi hundi kwa kikundi kilichokidhi kupata mkopo wa halmashauri. Wanaoshuhudia ni Meneja wa benki ya NMB Hai Medard Mali- sa na Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Lucas Msele Serikali imeweka utaratibu 35,702,028/= na Watu wenye ni Kikundi cha AGROP kinachojishu- wa kuwaendeleza wananchi Ulemavu ni 9,000,000/=. ghulisha na mradi wa kusindika mbog- wake kiuchumi kwa kutumia Ikiwa ni juhudi za kuwafikia amboga na matunda. mikopo yenye masharti nafuu wananchi wengi iwezeka- Kikundi hiki kimefanikiwa kupata mko- inayotolewa na halmashauri. navyo; jumla ya vikundi 27 po wa shilingi 9,000,000 na kuanzisha Halmashauri ya Wilaya ya vimepatiwa mkopo kati ya miradi ya kuzalisha Wine ya Rozela, Ba- Hai haipo nyuma kutekeleza hivyo vikundi vya Wanawake nana Beverage, Tomato Sauce pamoja na mpango huo wa serikali kwa ni 18, Vikundi vya Vijana ni kuzalisha Chilli Sauce. kutenga 10% ya makusan- 6 na vikundi vya Watu Wenye Aidha kikundi kina mipango ya kupa- yo yake kutoa mikopo kwa Ulemavu ni 3 vilivyonufaika ta Bar code ili kuweza kupanua wigo wananchi wake waliojiunga na Mkopo huo wenye lengo la wa kuuza bidhaa zake ndani na nje ya kwenye vikundi ikiwemo vi- kuwainua wananchi kiuchu- nchi; kupata eneo la kujenga kiwanda ili kundi vya wanawake, vijana mi. kuongeza uzalishaji lakini pia kutoa aji- na watu wenye ulemavu. Kwa kipindi cha Mwaka wa ra kwa vijana wengi zaidi na kuchangia Katika mgawanyo wa fedha fedha 2019/2020 hadi mwezi kwenye juhudi za serikali za kumaliza hizo; asilimia 4% ni kwa aji- Julai Halmashauri imetoa changamoto ya upungufu wa ajira kwa li ya kukopesha vikundi vya Jumla ya Tsh 179,602,904. wananchi. Wanawake; asilimia 4% ni Upatikanaji wa fedha hizo Wakishuhudia mafanikio yaliyopatikana kwa ajili ya kukopesha vikun- umesaidia wananchi wengi kupitia shughuli za kikundi cha AGROP di vya Vijana na asilimia 2% kuimarisha shughuli zao za baadhi ya wanakikundi wameishukuru ni kwa ajili ya vikundi vya uzalishaji mali ikiwemo kili- serikali kwa maono chanya yaliyopelekea Watu Wenye Ulemavu. mo na ufugaji kwa kuonge- kufikiwa maamuzi ya kutoa mikopo Kwa mwaka wa fedha za mtaji, kuongeza maeneo yenye masharti nafuu ambayo kupitia 2018/2019, Halmashauri ya kilimo pamoja na kufan- hiyo wananchi wanafaidika na kuimari- imetoa kiasi cha shilingi 109, ya shughuli zao kwa kufua- ka kiuchumi. 973,528/= kwa ajili ya ku- ta maelekezo ya wataalamu vikopesha Vikundi vya Wan- wa sekta husika na hatimaye awake, Vijana na Watu Wenye kuinua pato la kikundi na la Ulemavu. Kati ya fedha hizo mwanakikundi mmojammo- Mkopo uliotolewa kwa Vi- ja. kundi vya Wanawake ni Tshs. Moja ya kikundi kilichofaidi- 65,271,500/=, Vijana ni Tshs ka na mkopo wa halmashauri Ofisi ya Rais TAMISEMI 21 Ofisi ya Rais TAMISEMI Halmashauri ya Wilaya ya Hai Halmashauri ya Wilaya ya Hai Serikali Yafanya Maboresho Sekta ya Afya Wilayani Hai ya kupatiwa elimu juu ya uzazi wa mpango na kujizuia na maambukizi ya magonjwa ya zinaa. Hali hii ime- sababisha kupungua kwa vifo vya watoto wachanga kutoka asimia 16% mwaka 2014 hadi kufikia asilimia 4% mwaka 2018. Kutokana na usimamizi madhubuti, wilaya ya Hai imeweza kufanya vizuri katika matukio mbalimbali ya kitaifa na mkoa ambapo kwa upande wa star Mwonekano wa ndani kwenye jengo jipya la wodi ya wanawake rating (tuzo za nyota) wamefanikiwa kwenye hospitali ya wilaya ya Hai kushika nafasi ya pili kimkoa hii iki- wa na maana ya kuboreka kwa hudu- Halmashauri ya Wilaya ya Hai in- lika kwake kumeondoa adha ya ma za afya katika Wilaya hiyo. aendelea kutoa huduma za afya kwa wananchi wa Hai waliokuwa wa- Wilaya ya Hai ni miongoni mwa wananchi wake pamoja na wanan- nalazimika kupata huduma hiyo Wilaya chache zenye kituo jumuishi chi wa maeneo jirani kama ambavyo kwenye hospitali za wilaya ya jira- kinachotumika kutoa huduma kwa Ilani ya Chama cha Mapinduzi in- ni au hata Hospitali ya Mkoa. wananchi hasa wale waliofanyiwa aelekeza katika ibara ya 50 (i) 64-76. Aidha Wilaya ya Hai imeanzisha matukio ya ukatili wa kijinsia kin- Halmashauri imeweza kununua ujenzi wa kituo cha afya katika achofanya kazi kwa kushirikiana na dawa za kiasi cha shilingi ukanda wa tanmbarare kikiwa Jeshi la polisi, daktari na ustawi wa 2,681,637,491.95 na hivyo kufanya Sera ya uzazi salama imejikita ka- jamii. Uwepo wa kituo hiki unasaidia kiwango cha upatikanaji wa dawa tika kumlenga mama mjamzito kuwapunguzia wahanga wa matukio kufikia asilimia 97 ukilinganisha na kujifungua katika kituo cha ku- hayo usumbufu wa kuwafikia watoa mwaka 2015 ambapo upatikanaji tolea huduma za Afya ili kuhaki- huduma ambao kwenye kituo hiki wa dawa kwenye vituo vya kutolea kisha usalama wake na wa mtoto. wote wanapatikana kwenye eneo huduma ilikuwa ni asilimia 70, len- Tangu kuwepo kwa uhamasishaji moja. Kwa mwaka 2015 hadi 2018 go kuu ni kuondoa kabisa tatizo la na mafunzo ya uzazi salama kwa jumla ya kesi 22,368 zimeripotiwa na upatikanaji wa dawa katika vituo jamii kumekuwa na ongezeko kushughulikiwa katika ofisi ustawi vya afya. kubwa la wajawazito kuhudhuria wa jamiii na watoto 2,128 wameun- Ili kuhakikisha kuwa wananchi kliniki na pia kujifungua katika ganishwa na familia zao. wanapata huduma ya dawa saa 24 vituo vya kutolea huduma. Kume- Katika kutekeleza sera ya kuwajali na na kwa bei nafuu hasa kwa wana- kuwa na ongezeko la wajawazito kuwahudumia wazee, wilaya ya Hai chama wa bima na wasio na bima; kwa asilimia 330% kwa mwaka imefanikiwa kuwafikia jumla ya wa- Halmashauri imetumia shilingi 2020 ukilinganisha na asilimia zee 4,199 waliopatiwa vitambulisho 41,485,900 kujenga duka la dawa 32.11% mwaka 2014. Pia kume- vinavyowasaidia kupata matibabu na kwa kutumia fedha zinazopatikana kuwa na ongezeko la mahudhurio zoezi linaendelea ili kuwafikia wazee na huduma ya bima ya afya linalo- ya kliniki kwa wanaume ambao wote wenye uhitaji. toa huduma saa 24 kwa wananchi. wamekuwa wakifika na kwa ajili Uwepo wa duka hili unawasaidia wananchi kupata dawa kwa wakati na kwa bei nafuu na imewapungu- zia kwenda umbali mrefu kwa ajili ya kutafuta huduma hiyo lakini pia duka hilo linatumika kama chanzo cha mapato kwa halmashauri hiyo. Kwa namna nyingine Serikali ime- kamilisha ujenzi wa wodi ya wan- awake katika hosptali ya Wilaya ya Mwonekano wa jengo jipya la Mwonekano wa jengo jipya la Hai iliyogharimu kiasi cha shilingi wodi ya wanawake kwenye hospi- duka la dawa kwenye hospitali ya tali ya wilaya ya Hai 220,509,025; wodi ambayo kukami- wilaya ya Hai Ofisi ya Rais TAMISEMI 22 Halmashauri ya Wilaya ya Hai Wilaya ya Hai Yaimarisha Huduma za Kinywa na Meno Serikali katika Wilaya ya Hai imeendelea kuimarisha hudu- ma za afya kwa kujenga jengo jipya na kununua vifaa vya kisa- sa kwa ajili ya kitengo cha kiny- wa na meno kwenye hospitali ya wilaya hiyo. Akikagua maendeleo ya jengo hilo na vifaa vilivyonunuliwa, Mkurugenzi Mtendaji wa Hal- mashauri ya Wilaya ya Hai Yo- hana Sintoo amewataka wataal- amu wa afya kwenye wilaya hiyo Mkurugenzi Mtendaji wa Hal- kutunza vifaa na miundom- mashauri ya Wilaya ya Hai Yohana binu iliyopatikana kwa fedha za Sintoo akikagua vifaa vilivyonunuliwa watanzania. kuboresha huduma za afya kwenye Aidha Sintoo amewataka wata- hospitali ya wilaya hiyo alamu wa afya hususani wa kitengo cha afya ya kinywa na pongeza serikali kwa kuwapa- Serikali inaendelea kutekele- meno kutoa huduma bora kwa tia jengo linalokidhi mahita- za mikakati ya kuimarisha wananchi wote ili kuonesha tha- ji ya kitengo hicho lakini pia utoaji huduma za afya kwenye mani halisi ya uwekezaji unao- kununua vifaa vya kisasa vya wilaya ya Hai kwa kuhakiki- fanywa na serikali kwa lengo la kutolea huduma. sha kuwa wananchi wanapata kuhudumia wananchi wake. Kirita amewahakikishia wa- huduma bora za afya ikiwemo Akizungumzia ujenzi wa jen- nanchi kupata huduma bora kujenga wodi kwenye hospi- go hilo; Mganga Mfawidhi wa kwa kuzingatia uwepo wa tali ya wilaya, kujenga duka la Hospitali ya Wilaya ya Hai wataalamu na vifaa husika ku- dawa, kununua dawa na vifaa Dkt. Ananoela Urassa amese- toa huduma za afya ya kiny- tiba kwa matumizi ya hospi- ma kuwa jengo hilo limejengwa wa na meno huku akibainisha tali na vituo vingine vya ku- kwa shilingi milioni 84 likiwa kuwa vifaa vilivyonunuliwa tolea huduma. na vyumba vya mapokezi, ku- ni vya kisasa ikiwemo kiti ki- Katika kuongeza miundom- pumzikia, chumba cha daktari, nachoweza kutolea zaidi ya binu ya afya serikali inajenga sehemu ya mafaili ya wagonjwa huduma kumi kulingana na kituo cha afya kwenye kata ya na chumba kitakapowekwa kiti mahitaji au matatizo aliyo- Weruweru pamoja na ujenzi cha huduma za meno. nayo mgonjwa. wa zahani kwenye vijiji kad- Amesema pamoja na jengo hilo; haa vya wilaya ya Hai. serikali imenunua kiti maalumu cha huduma za kinywa na meno kwa shilingi milioni 47 kitak- achotumiwa kutolea huduma hizo. Kwa upande wake Mratibu wa Kitengo cha Afya ya Kinywa na Meno Dkt. Faridu Kirita amei- Ofisi ya Rais TAMISEMI 23 Ofisi ya Rais TAMISEMI Halmashauri ya Wilaya ya Hai Halmashauri ya Wilaya ya Hai Wilaya ya Hai Yanufaika Maboresho Elimu Msingi ipiki 17 kwa ajili wa waratibu elimu kata waliopo katika wilaya ya Hai kwa ajili ya kusaidia ku- fanya ufuatiliaji wa karibu kwa shule na hivyo kusababisha kuwa na matokeo mazuri am- bapo kwa matokeo ya mwaka 2019 Wilaya ya Hai ilishika na- fasi ya pili kimkoa na nafasi ya Mwalimu na Wanafunzi wa Shule ya Msingi Gezaulole wakifu- 20 kitaifa huku hali ya ufaulu wa rahia moja ya madarasa yaliyojengwa katika mpango wa kuboresha mitihani wa darasa la saba uki- elimu. ongezeka kutoka 91.24% mwaka po kwa darasa la awali wame- Wilaya ya Hai ni moja ya wilaya 2015 hadi 92.8% mwaka 2019. ongezeka kutoka wanafunzi zinazofaidika na mpango wa seri- Halmashauri inaendelea 3,843 mwaka 2015 hadi kufikia kali kuimarisha sekta ya elimu am- kuboresha miundombinu ya 4,160 mwaka 2020. bapo pamoja na shughuli nyingine shule kwa kukarabati na kujenga Kitendo cha kutoa elimu bila zinazoendelezwa na serikali kama vyumba vya madarasa, nyumba malipo kimepelekea watoto am- kuimarisha miundombinu, kuajiri za walimu, vyoo safi na salama bao wazazi wao hawakuwa na walimu na kufanikisha upatikanaji pamoja na vifaa vya kufundishia uwezo wa kuwalipia ada kupata wa vitabu na vifaa serikali inafani- na kujifunzia katika ngazi zote nafasi ya kuandikishwa shuleni. kisha wanafunzi wote kupata elimu kwa kutumia mapato ya ndani. Katika kuendana na ongezeko la bila malipo. Hadi sasa Halmashauri ya wanafunzi; uhamasishaji umefa- Katika kipindi cha mwaka 2015 Wilaya ya Hai inazo shule za nywa na ofisi ya Mkuu wa Wilaya hadi 2020 serikali imetoa kiasi cha Msingi 128 zikiwemo za Serikali kwa kushirikiana na Mkurugen- shilingi 2,465,942,651.46 kwa ajili 105 na shule za binafsi 23 am- zi Mtendaji na kufanikiwa ku- ya kugharamia elimu bila malipo. bapo idadi ya wanafunzi katika jenga vyumba 35 vya madarasa, Hatua hii ya kufanya elimu itolewe shule za Serikali ni 35,282 huku matundu 120 ya vyoo. bila malipo imefanya kuwepo kwa kukiwa na wavulana 17,929 na Serikali imeendelea kuboresha ongezeko la wanafunzi wanaoan- wasichana 17,353 wakati shule mazingira ya ufundishaji na dikishwa kwa ajili ya elimu msin- za binafsi zina wanafunzi 5,565 ufuatiliaji wa shule ambapo kwa gi kutoka 4,201 mwaka 2015 hadi kati yao wavulana 2,830 na wasi- mwaka 2018 serikali ilitoa pik- kufikia 4,474 mwaka 2020 amba- chana 2,735. Ofisi ya Rais TAMISEMI 24 Halmashauri ya Wilaya ya Hai EP4R Yasaidia Kupunguza Msongamano Darasani Shule ya Msingi

Moja ya vyumba vya madarasa vilivyojengwa na serikali kupitia Utaratibu wa EP4R kwenye Shule ya Msingi Chekereni

Baada ya serikali ya awamu wakisongamana darasani wango cha lenta kwa nguvu ya ya tano kutangaza elimu ambapo kwa mwaka 2015 wananchi na fedha hizo zime- kutolewa bila ada kwa wa- jumla ya wanafunzi 157 wa- tumika kufanya umaliziaji. nafunzi na kuhamasisha likuwa wanatumia chumba Kazi zilizofanywa kwenye wazazi kuandikisha watoto kimoja cha darasa. mradi huo ni pamoja na wote wenye umri wa kwenda Ujenzi wa vyumba vya kupaua, kupanga mawe, ku- shule kuhakikisha kuwa wa- madarasa kupitia mradi huu weka sakafu, kupiga plasta, naandikishwa imepelekea umesaidia kupunguza idadi kuweka milango na madirisha kuongeza idadi ya wanafun- ya wanafunzi na kwa mwa- pamoja na kuweka samani iki- zi na kwa upande mwingine ka 2020 wanafunzi wanao- wemo madawati, meza na viti kuibua changamoto ya uha- tumia chumba kimoja cha vya mwalimu. ba wa vyumba vya madara- darasa ni 45 tu na wanapa- Ukamilishwaji wa mradi huu sa. ta nafasi ya kujifunza vizuri umeinua kwa kiasi kikubwa Serikali imefanikisha ujenzi kwa nafasi. ari ya wanafunzi kupenda ku- wa vyumba vya madarasa Mradi huu uliofadhili- soma kwani wanapata nafa- kwenye shule mbalimbali za wa kwa ruzuku ya seri- si ya kwenye madarasa lakini msingi katika wilaya ya Hai kali kupitia mpango wa pia imesaidia kuwapatia na- ikiwemo Shule ya Msingi EP4R umegharimu Shilingi fasi watoto wote wenye umri Chekereni iliyopo kata ya 25,000,000/= kwa kumaliz- wa kwenda shule na hatimaye Masama Rundugai. ia ujenzi wa vyumba 2 vya kuongeza ufaulu kwenye miti- Wanafunzi katika shule madarasa ambavyo mabo- hani. hii ya Msingi walikuwa ma yamejengwa hadi ki- Ofisi ya Rais TAMISEMI 25 Ofisi ya Rais TAMISEMI Halmashauri ya Wilaya ya Hai Halmashauri ya Wilaya ya Hai Elimu Sekondari Yapewa Umuhimu Wilayani Hai Elimu ya sekondari ni hatua muhimu kwenye maendeleo ya mwanadamu katika nyanja ya kielimu kwani ni hatua ya pili ya makuzi ya mwanafunzi baada ya kuhitimu mafunzo ya darasa la saba ikiwa ni ngazi ya elimu ambapo mwanafunzi anaanza kutengenezewa msingi wa eneo la kubobea baada ya mafun- Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri zo hasa afikapo kidato cha tatu ya Wilaya ya Hai Yohana Sintoo akiwa na baadhi ya wanafunzi waliofanya vizuri miti- anapochagua mchepuo wa ku- hani aliowaalika ofisini kwake kuwazawadia. soma ikiwa ni sayansi, Sanaa au biashara. keleza elimu bila malipo ili Mipango mbalimbali inayofan- Halmashauri ya Wilaya ya Hai kuwawezesha wanafunzi wote yika kuimarisha upatikanaji na kwa sasa ina shule 46 za sekond- waweze kupata elimu bila uba- hali ya utoaji elimu imesaidia ari kati ya hizo 30 ni za serikali guzi. kuongeza ufaulu wa wanafun- na 16 ni za binafsi na taasisi za Pamoja na fedha za kuhudumia zi kwenye mitihani ya kitaifa kidini. Katika shule za serikali elimu bure, serikali imeendelea ambapo ufaulu wa kidato cha kuna jumla ya wanafunzi 12,740 kuongeza nyumba za walimu kwa mwaka 2019 umeongeze- ikiwa wavulana ni 6,244 na kutoka 97 mwaka 2015 hadi ka na kufikia asilimia 86 na wasichana 6,496 huku shule za 99 mwaka 2020 kwa kujenga kushika nafasi ya 7 kimkoa serikali zikiwa na walimu 567. nyumba mbili zenye uwezo wa huku matokeo ya kidato cha Kwenye sekta ya elimu hususani kutumiwa na familia sita kila nne kuongezeka kutoka asili- upande wa elimu sekondari, mia 61% mwaka 2015 hadi 81% kwenye halmashauri hii Ilani ya mwaka 2019 na ufaulu wa kida- uchaguzi ya Chama cha Mapin- to cha sita kuendelea kuimari- duzi ya mwaka 2015-2020 imete- ka kutoka 99.71% mwaka 2015 kelezwa kwa namna mbalimbali hadi 99.91% mwaka 2020 ikiwa ikiwemo mapokezi ya kiasi cha ni pamoja na kufanikiwa kutoa shilingi 3,427,170,065.50 kwa mwanafunzi mmoja kwenye na- ajili ya ujenzi wa miundombinu fasi kumi bora za kitaifa. kwenye shule za sekondari na moja (six-in-one). shilingi 5,926,461,980.19 kute- Kuongeza vyumba vya mada- rasa kutoka vyumba 308 hadi vyumba 316 pamoja na kuonge- za matundu ya vyoo kutoka 456 mwaka 2015 hadi 460 mwaka 2018 na kuongeza maabara ku- toka 6 hadi 25. Ofisi ya Rais TAMISEMI 26 Halmashauri ya Wilaya ya Hai Ujenzi wa Ukuta Waimarisha Usalama Se- kondari ya Wasichana Machame Shule ya sekondari ya Uwepo wa uzio huo una- kwa wanafunzi bila kuzin- Wasichana Machame ni saidia kuweka shule kwenye gatia kanuni za afya. shule ya serikali iliyoanzish- mazingira salama zaidi Kupungua kwa utoro wa wa mwaka 1947 ikiwa kama huku ikihakikisha usalama wanafunzi ni moja ya ma- shule ya wamisionari katika wa walimu, wanafunzi na fanikio yaliyopatikana kwa wilaya ya Hai, mkoani Kili- mali zao hivyo kusaidia wa- kujengwa kwa uzio huo kwa manjaro. najamii wa shule hiyo kute- kuzingatia umuhimu wa Shule hii ina utajiri wa watu keleza wajibu wao wa msingi nidhamu kwenye safari ya mashuhuri waliowahi kuso- wa kufundisha na kujifunza kutafuta elimu. ma shuleni hapo akiwemo bila kuhofia usalama wao Uwepo wa uzio umesaid- Bi. Sifaeli Shuma ambaye binafsi na mali zao. ia kuziba njia zisizo rasmi ni shujaa wa Muungano wa Uzio wenye urefu wa mita zilizokuwa zinatumiwa na Tanganyika na Zanzibar 1,068 umejengwa kwa ku- wanafunzi kutoroka eneo la na ndiye aliyebeba kibuyu tumia matofali huku seh- shule na kuwasababisha ku- cha udongo wa Tangan- emu ya uzio wenye urefu wa kosa baadhi ya vipindi vya yika na kumkabidhi Hayati mita 460 umejengwa kwa masomo. Mwalimu J.K Nyerere kabla kutumia waya ikiwa ni juhu- Shule ya sekondari ya wasi- ya kuuchanganya na udon- di za makusudi za serikali chana Machame ikiwa moja go wa Zanzibar; pia yupo kuimarisha usalama kwenye ya shule kongwe nchini im- aliyekuwa Naibu Waziri wa viunga vya shule hiyo. jiwekea mikakati ya kufanya Ardhi Bi. Ritha Mlaki. Uzio uliogharimu kiasi cha vizuri kwenye mitihani ya Ujenzi wa uzio kuzungu- shilingi 160,645,520 ume- ndani ya mkoa na ile ya Tai- ka maeneo ya shule hiyo ni saidia pamoja na mambo fa kwa kuimarisha shughuli moja ya hatua za muhimu mengine; kuimarisha afya za kujifunza na kufundisha zinazochukuliwa na seri- za wanafunzi kwani uzio wanafunzi kwa kuzingatia kali kuimarisha shughuli huo umesaidia juhudi za mtaala wa elimu lakini pia za ufundishaji na kujifunza kudhibiti aina ya vyaku- kutoa malezi bora kwa wa- kwenye shule hiyo huku len- la wanavyokula wanafunzi nafunzi wote. go kuu likiwa kuinua ufaulu hasa vile vinavyopikwa mi- wa wanafunzi. taani na kuuzwa kinyemela Ofisi ya Rais TAMISEMI 27 Ofisi ya Rais TAMISEMI Halmashauri ya Wilaya ya Hai Halmashauri ya Wilaya ya Hai Bweni Lachangia Kuanzishwa Kidato cha Tano Ujenzi wa Maabara Kuimarisha Elimu

Mwonekano wa Bweni la wanafunzi kwenye Shule ya Sekondari Harambee Ujenzi wa bweni hili umafanyika ili kuonge- za wigo wa shule zenye kupokea wanafunzi wa kidato cha tano na sita. Baada ya serikali kuanza kutoa elimu bila ada kwenye ngazi ya elimu ya msingi na sekondari hadi kidato cha nne kumetokea ongezeko kubwa la wanafunzi wanaojiunga na kidato cha tano. wanaosoma mchepuo Sambamba na kutoa elimu bure; serikali pia Hapo ndipo kulipo- wa Sanaa huku maan- imeimarisha kazi nzima ya kutoa elimu kwa kua- tokea uhitaji wa shule dalizi yakiendelea jiri walimu, kuboresha miundombinu na kufani- zenye kidato cha tano kuiongezea sifa ikiwe- kisha upatikanaji wa vitabu na mahitaji mengine na cha sita ili ku- mo ujenzi wa maaba- ya vifaa vya kujifunzia. wapokea wanafunzi ra ili iweze pia kupata Kuimarika kwa sekta ya afya hususani ujenzi wanaomaliza kidato usajili wa mchepuo wa wa zahanati kwenye vijiji, vituo vya afya kwenye cha nne na kufaulu sayansi. kata pamoja na upatikanaji mzuri wa dawa ume- vizuri kuingia kidato Bweni hilo la ghorofa pelekea wanafunzi kutumia vizuri muda wa cha tano. moja lenye uwezo wa masomo na hivyo kuinua kiwango cha ufaulu. Ujenzi wa bweni kupokea wanafunzi kwenye shule ya se- 120 limejengwa kwa kondari Harambee gharama ya Shilin- umesaidia kuanzisha gi 203,086,000 ikiwa elimu ya kidato cha ni ushirikishwaji kati tano kwa ajili ya wa- ya serikali kuu, hal- nafunzi wasichana mashauri ya wilaya ya na shule hiyo imesa- Hai, wananchi pamoja jiliwa kwa wanafunzi na wadau mbalimbali. Ofisi ya Rais TAMISEMI 28 Halmashauri ya Wilaya ya Hai Ujenzi wa Maabara Kuimarisha Elimu

Maabara kwenye Shule ya Sekondari Harambee

Baada ya kukamilika Ujenzi huo umehusisha taka. ujenzi wa bweni kwa ajili vyumba vitatu vya maabara, Vyumba vya maabara vilivyo- ya kupokea wanafunzi wa uwekaji wa mfumo wa gesi jengwa kwa thamani ya kidato cha tano na kuan- kwa ajili ya matumizi wakati Shilingi milioni 48,257,850 za masomo kwa michepuo wa masomo, kuweka mfumo vimekamilika na kwa sasa vi- ya Sanaa; mipango ya wa umeme pamoja na mifu- natumika kuongezea michepuo ya mo wa maji na shimo la maji sayansi ikaendelea kuka- milishwa kwa kuanzisha ujenzi wa maabara zita- kazotumiwa na wanafunzi kwenye kujifunzia maso- mo ya sayansi. Lengo kuu la mradi huu wa ujenzi wa maabara ni kuwawezesha wanafun- zi kujifunza kwa vitendo masomo wanayofundish- wa kwa nadharia ili kuim- Maabara kwenye Shule ya Sekondari Tambarare arisha uelewa wao. Ofisi ya Rais TAMISEMI 29 Ofisi ya Rais TAMISEMI Halmashauri ya Wilaya ya Hai Halmashauri ya Wilaya ya Hai

HALMASHAURI YA WILAYA YA HAI TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI WA CHAMA CHA MAPINDUZI 2015 KWA KIPINDI CHA JANUARI 2016 - JUNI 2020 KIASI IDARA/SEKTA MRADI/SHUGHULI MAHALI ULIPO KILICHOTOLEWA Umaliziaji wa chumba cha darasa Shule ya msingi Nkwasaringe Machame Uroki 20,000,000

Umaliziaji wa chumba cha darasa Shule ya msingi Orori Narumu 20,000,000 Ujenzi na umaliziaji wa chumba cha darasa Shule ya msingi Gezaulole Bomang'ombe 35,500,000 Umaliziaji wa chumba cha darasa Shule ya msingi Hai Bomang'ombe 20,000,000

ELIMU MSINGI Ujenzi na maliziaji wa vyumba vya madaras aShule ya msingi Bomani Bomang'ombe 60,000,000

Umaliziaji wa vyumba vya madarasa Shule ya msingi Bondeni Masama Magharibi 40,000,000

Umaliziaji wa vyumba vya madarasa Shule ya msingi Chekereni Masama Rundugai 25,000,000

Umaliziaji wa nyumba ya mwalimu Shule ya msingi Chekereni Masama Rundugai 25,925,000

Umaliziaji wa nyumba ya mwalimu Shule ya msingi Njoro Mnadani 28,500,000

Ukarabati wa Choo cha wanafunz iShule ya msingi Kambi ya Raha Muungano 1,000,000 Ujenzi wa Choo cha walimu Shule ya msingi mijongweni Mnadani 7,000,000

Ujenzi wa choo cha wanafunzi Shule ya msingi Kyuu Masama Magharibi 12,000,000

Ujenzi wa Jiko la kupikia chakula cha wanafunzi Shule ya msingi Kyeeri Machame Magharibi 3,450,000

Ujenzi wa vyumba vya madarasa Shule ya msingi Mkalama Masama Rundugai 23,400,000

Ujenzi wa vyumba vya madarasa Shule ELIMU MSINGI ya msingi Uhuru Bomang'ombe 38,043,000 Ofisi ya Rais TAMISEMI 30 Halmashauri ya Wilaya ya Hai Ofisi ya Rais TAMISEMI 31 Ofisi ya Rais TAMISEMI Halmashauri ya Wilaya ya Hai Halmashauri ya Wilaya ya Hai Ofisi ya Rais TAMISEMI 32 Halmashauri ya Wilaya ya Hai Ofisi ya Rais TAMISEMI 33 Ofisi ya Rais TAMISEMI Halmashauri ya Wilaya ya Hai Halmashauri ya Wilaya ya Hai

Limeandaliwa na:

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Hai S. L. P. 27 Hai - Kilimanjaro email: [email protected] Blogu: www.wilayayahai.blogspot.com Tovuti: www. haidc.go.tz Ofisi ya Rais TAMISEMI 34 Halmashauri ya Wilaya ya Hai