Hai Yetu Jarida La Halmashauri
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao Cha Sita – Tarehe 9 Aprili, 2019
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Sita – Tarehe 9 Aprili, 2019 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Andrew J. Chenge) Alisoma Dua MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu! NDG. RUTH MAKUNGU – KATIBU MEZANI: HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI: Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. MWITA M. WAITARA): Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kwa mwaka wa fedha 2019/2020. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mwaka wa fedha 2019/2020. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) NAIBU WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA: Taarifa ya Mwaka na Hesabu zilizokaguliwa za Chuo Kikuu Mzumbe kwa mwaka ulioisha tarehe 30 Juni, 2017 (The Annual Report and Audited Accounts of Mzumbe University for the year ended 30th June, 2017). MWENYEKITI: Katibu! NDG. RUTH MAKUNGU – KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU MWENYEKITI: Swali letu la kwanza leo linaelekezwa Ofisi ya Waziri Mkuu na linaulizwa na Mheshimiwa Dkt. Raphael Masunga Chegeni, Mbunge wa Busega. MHE. RASHID A. SHANGAZI: Mheshimiwa Mwenyekiti, nipo hapa kwa niaba. MWENYEKITI: Wewe unatoka Busega? MHE. RASHID A. SHANGAZI: Hapana, ila hili ni la kitaifa. MWENYEKITI: Aaa, sawa, kwa niaba. Na. 43 Kauli Mbiu ya Kuvutia Wawekezaji Nchini MHE. RASHID A. SHANGAZI (K.n.y. MHE. DKT. -
Ofisi Ya Rais, Menejimenti Ya Utumishi Wa Umma Na Utawala Bora Kwa Mwaka Wa Fedha Wa 2019/20
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI – OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA. KAPT (MST) GEORGE H. MKUCHIKA (Mb.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA WA FEDHA 2019/20 APRILI, 2019 A. UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba, kutokana na taarifa iliyowasilishwa ndani ya Bunge lako Tukufu na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa iliyochambua bajeti ya Ofisi ya Rais, Ikulu (Fungu 20 na 30), Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma (Fungu 33), Menejimenti ya Utumishi wa Umma (Fungu 32), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (Fungu 67), Tume ya Utumishi wa Umma (Fungu 94), Bodi ya Mishahara na Masilahi katika Utumishi wa Umma (Fungu 09), na Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa (Fungu 04). Bunge lako Tukufu sasa lipokee na kujadili Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha wa 2018/19. Aidha, naliomba Bunge lako Tukufu likubali kupitisha Mpango wa Utekelezaji na Makadirio ya Fedha kwa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa Mwaka wa Fedha wa 2019/20. 2. Mheshimiwa Spika, Awali ya yote, napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupatia uwezo wa kutekeleza majukumu ya kuwahudumia wananchi. Pia namshukuru Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora; Ninamuahidi kuwa nitatekeleza wajibu wangu kwa ufanisi na uadilifu wa hali ya juu. Aidha, nawashukuru wapiga kura wa Jimbo la Newala Mjini kwa ujumla kwa kuendelea kunipa ushirikiano wakati wote ninapoe ndelea kuwawakilisha. -
Tarehe 12 Aprili, 2019
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Tisa – Tarehe 12 Aprili, 2019 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Andrew J. Chenge) Alisoma Dua MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu. NDG. NEEMA MSANGI - KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU MWENYEKITI: Swali letu la kwanza asubuhi ya leo linaelekezwa kwa Ofisi ya Rais – TAMISEMI na linaulizwa na Mheshimiwa Shaabani Omari Shekilindi, Mbunge wa Lushoto. Na. 68 Kukarabati Shule za Msingi na Sekondari - Lushoto MHE. SHAABANI O. SHEKILINDI aliuliza:- Serikali imekuwa na utaratibu wa kukarabati shule zake za msingi na sekondari nchini:- Je, ni lini Serikali itazifanyia ukarabati Shule za Msingi Kwemashai, Bandi, Milungui, Kilole na Shule za Sekondari za Ntambwe, Ngulwi - Mazashai na Mdando? 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) MWENYEKITI: Ahsante. Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Mheshimiwa Waitara. NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. MWITA M. WAITARA) alijibu:- Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Shaabani Omari Shekilindi, Mbunge wa Lushoto, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Mwenyekiti, katika kipindi cha mwaka 2018/2019, Serikali kupitia Program ya Lipa Kulingana na Matokeo (EPforR) imepeleka jumla ya shilingi milioni 467 kwa ajili ya ujenzi wa mabweni mawili, matundu sita ya vyoo na madarasa mawili katika Shule ya Msingi Shukilai (Shule ya Elimu Maalum) na ujenzi wa mabweni mawili Shule ya Sekondari Magamba, ujenzi wa bweni moja na madarasa mawili Shule ya Sekondari Umba. Mheshimiwa Mwenyekiti, vilevile katika mwaka wa Fedha 2018/2019, Serikali imetoa shilingi bilioni 29.9 kwa ajili ya ukamilishaji wa maboma 2,392 ya madarasa nchi nzima ambapo kati ya fedha hizo Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto imepewa kiasi cha Sh.512,500,000 kwa ajili ya kukamilisha maboma 46 ya madarasa shule za sekondari. -
MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao Cha Nane
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA _______ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao cha Nane – Tarehe 14 Aprili, 2020 (Bunge Lilianza Saa Nane Mchana) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Wabunge, tukae, Katibu. NDG. MOSSY LUKUVI - KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU (Maswali yafuatayo yameulizwa na kujibiwa kwa njia ya mtandao) Na. 64 Kampuni Zinazofanya Kazi Ndani ya Mgodi wa Geita MHE. UPENDO F. PENEZA aliuliza:- Kampuni ambazo zinafanya kazi ndani ya Mgodi wa Geita Gold Mine(contractors) zimekuwa zikilalamikiwa na wananchi wanaofanya kazi kwa kutopeleka fedha kwenye Mifuko ya Jamii na kutowapa mikataba:- Je, Serikali inachukua hatua gani kukomesha malalamiko hayo? WAZIRI MKUU alijibu:- 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) Mheshimiwa Naibu Spika, Mgodi wa Geita Gold Mine (GGM) ni moja ya waajiri walioandikishwa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) na watumishi wanaofanya kazi katika mgodi huo wamegawanyika katika makundi mawili ambayo ni wale walioajiriwa moja kwa moja na GGM na wale walioajiriwa na wakandarasi wanaotoa huduma ndani ya mgodi huo. Mheshimiwa Naibu Spika, mwezi Februari 2020, jumla ya shilingi bilioni 5.01 zililipwa na Mgodi wa GGM kama mchango wa mwezi Januari, 2020 kwa watumishi 2,038 walioajiriwa moja kwa moja na GGM na kuandikishwa na NSSF. Katika mwezi huo huo, jumla ya wanachama 6,128 ambao wameajiriwa na wakandarasi 39 wanaotoa huduma ndani ya mgodi huo walikuwa wameandikishwa na NSSF na kuchangiwa wastani wa shilingi bilioni 1.3 Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali kupitia OWM-KVAU imekuwa ikifanya kaguzi katika maeneo mbalimbali ya kazi ikiwemo ya migodini kwa lengo la kuimarisha utekelezaji wa Sheria za Kazi. -
Tarehe 15 Aprili, 2019
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Kumi – Tarehe 15 Aprili, 2019 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu. NDG. MOSSY LUKUVI – KATIBU MEZANI: HATI ZA KUWASILISHA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO NA MAZINGIRA):- Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) kwa mwaka wa fedha 2019/2020. NAIBU SPIKA: Ahsante, Katibu. NDG. MOSSY LUKUVI – KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, maswali, tutaanza na Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Mheshimiwa Kiza Hussein Mayeye, Mbunge wa Viti Maalum, sasa aulize swali lake. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) Na. 78 Malipo Stahiki Kwa Walimu Waliopanda Daraja MHE. KIZA H. MAYEYE aliuliza:- Serikali imekuwa ikiwapandisha madaraja walimu lakini haitoi malipo stahiki kwa madaraja hayo mapya kwa kipindi kirefu tangu walipopandishwa madaraja yao:- Je, Serikali ina mpango gani wa kuhakikisha kwamba walimu wanapata stahiki zao mara wanapopandishwa madaraja? NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, majibu. NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. MWITA M. WAITARA) alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - TAMISEMI, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Kiza Hussein Mayeye, Mbunge wa Viti Maalum, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali ilisitisha kupandisha walimu na watumishi wengine madaraja katika mwaka wa fedha 2015/2016 na 2016/2017 kutokana na uhakiki wa watumishi uliohusisha uhalali wa vyeti, elimu na ngazi za mishahara. -
Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Bunge La Tanzania Mkutano Wa Saba Yatokanayo Na Kikao Cha Ishirini Na Sita 16 Mei, 2017
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA SABA YATOKANAYO NA KIKAO CHA ISHIRINI NA SITA 16 MEI, 2017 MKUTANO WA SABA KIKAO CHA ISHIRINI NA SITA TAREHE 16 MEI, 2017 I. DUA: Saa 3:00 asubuhi Mhe. Mussa Azzan Zungu (Mwenyekiti) alisoma Dua na kuongoza Bunge. Makatibu mezani: 1. Ndugu Theonest Ruhilabake 2. Ndugu Asia Minja 3. Ndugu Joshua Chamwela II. HATI ZA KUWASILISHA MEZANI (i) Mhe. Charles John Mwijage aliwasilisha Mezani Randama ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018. (ii) Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi aliwasilisha Mezani Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018. (iii) Mhe. Jumanne Kidera Kishimba aliwasilisha Mezani Taarifa ya Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018. (iv) Mhe. Masoud Abdallah Salim aliwasilisha Mezani Taarifa ya Kambi ya Upinzani kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018. 1 III. MASWALI OFISI YA RAIS (TAMISEMI) Swali Na. 209: Mhe. Dkt. Pudenciana Kikwembe Nyongeza: Mhe. Dkt. Pudenciana Kikwembe Mhe. Pauline Gekul Mhe. David Cosato Chumi Swali Na. 210: Mhe. Eng. Atashasta Justus Nditiye Nyongeza: Mhe. Eng. Atashasta Justus Nditiye Mhe. Josephine Johnson Genzabuke Mhe. Almas Athuman Maige Mhe. Cecilia Daniel Paresso Mhe. Savelina Silvanus Mwijage WIZARA YA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO Swali Na. 211: Mhe. Daniel Edward Mtuka Nyongeza: Mhe. Daniel Edward Mtuka Mhe. Daimu Iddy Mpakate Swali Na. 212: Mhe. Mussa Bakari Mbarouk Nyongeza: Mhe. Mussa Bakari Mbarouk Mhe. Saumu Heri Sakala Mhe. Moshi Selemani Kakoso Swali Na. -
MKUTANO WA KWANZA Kikao Cha Tatu – Tarehe 12 Novemba, 2020
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA KWANZA Kikao cha Tatu – Tarehe 12 Novemba, 2020 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaweza kukaa. Waheshimiwa Wabunge, karibuni sana. Natumaini kupitia tablets zenu kila mmoja ameshaiona Order Paper ya leo yaani Orodha ya Shughuli za leo ambazo ni muhimu sana. Tutaanza na Kiapo cha Uaminifu kwa Waheshimiwa Wabunge ambao bado hawajaapa. Tuna Wabunge wanne wa ACT-Wazalendo na Mbunge mmoja wa Chama cha Mapinduzi. (Makofi) Bado sina hakika kama Wabunge wa ACT wapo, lakini sisi tutawataja kama utaratibu ulivyo hapa. Kama watakuwepo, basi tutawaapisha. (Makofi) Waheshimiwa Wabunge, ajenda itakayofuata ni uthibitisho ambao mtapaswa kuufanya kwa uteuzi wa Waziri Mkuu. Kwa hiyo, nawaomba Wabunge ambao wako nje au canteen na wapi, basi waingie ndani na ninyi mlioko ndani msitoke kwa sababu jambo hili ni kubwa na mkononi sina hilo jina hivi sasa, sina kabisa. Wakati ukifika basi Mpambe wa Mheshimiwa Rais tutamruhusu aingie hapa ndani na bahasha husika na nitakabidhiwa hapa mbele yenu. (Makofi) 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) Candidates ni ninyi wote, kwa hiyo, kila mtu akae sawa, isipokuwa mimi na AG. Maana yake mliobaki wote ni ma-candidate. Sasa usije ukatuangukia hapa, aah! Halafu itakuwa taabu. Tunawatakia kila la heri wote muweze kuteuliwa. (Kicheko/Makofi) Baada ya hapo tutakuwa na Uchaguzi wa Mheshimiwa Naibu Spika na pia tutakuwa na Kiapo cha Mheshimiwa Naibu Spika. Baada ya hapo tutaelezana mambo mengine yanayoendana na hayo. Basi, tuanze haya mambo. Katibu. NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE: KIAPO CHA UAMINIFU KWA WABUNGE (Kiapo Kinaendelea) 355. -
Majadiliano Ya Bunge
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Ishirini na Moja – Tarehe 3 Mei, 2018 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, naomba tukae. Tunaendelea na Mkutano wetu wa Kumi na Moja, Kikao cha leo ni cha Ishirini na Moja, Katibu. NDG. NENELWA WANKANGA – KATIBU MEZANI: HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO: Taarifa ya Utendaji wa Soko la Bima nchini kwa kipindi cha Mwaka ulioishia 31 Desemba, 2016 (The Annual Insurance Market Performance Report for the year ended 31st December, 2016). NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI: Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) MHE. SALUM MWINYI REHANI (K.n.y. MHE. MUSSA A. ZUNGU - MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA): Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama kuhusu utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019. NAIBU SPIKA: Ahsante sana umesoma kwa niaba ya Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje; Waziri Kivuli hana cha kuweka mezani, Katibu tunaendelea. NDG. NENELWA WANKANGA - KATIBU MEZANI: MASWALI KWA WAZIRI MKUU SPIKA: Maswali kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu karibu. -
Issued by the Britain-Tanzania Society No 121 Sept 2018
Tanzanian Affairs Issued by the Britain-Tanzania Society No 121 Sept 2018 Defections to CCM Govt defends Steigler’s Gorge Project Obituary - Derek Ingram Ben Taylor: POLITICS Changes at the top of government and party President Magufuli carried out a minor cabinet reshuffle in July, the most prominent act of which was the sacking of the ambitious Home Affairs Minister, Mwigulu Nchemba. In his place, the President President Magufuli at the controls of the new Air Tanzania Boeing 787-800 Dreamliner (See “Transport”) - photo State House cover photo: Steigler’s Gorge where new dam is proposed (see “Tourism & Environmental Conservation”) photo © Greg Armfield / WWF Politics 3 promoted Kangi Lugola from his position as Deputy Minister of State in the Vice President’s Office for Union Affairs and the Environment. The reshuffle also saw Isack Kamwelwe and Prof Makame Mbarawa swap places as Minister of Water and Irrigation and Minister of Works, Transport and Communication, with Prof Mbarawa moving to the water docket. While not a cabinet post, the President also appointed a new chairman of the National Electoral Commission, Justice Semistocles Kaijage. This followed a few weeks after the long-standing CCM Secretary General, Abdul-Rahman Kinana, resigned from his post. President Magufuli, as party chairman, moved swiftly to appoint Dr Bashiru Ally as his replacement. The appointment was confirmed by the party’s National Executive Committee (NEC). President Magufuli, while not mentioning former Minister Nchemba by name, appeared to explain the reasons for his sacking in a speech two days later. He listed a long series of problems at the Home Affairs Ministry, including a controversial TSh 37bn contract where the Controller and Auditor General (CAG) said in his report that the work was not done, despite the payment of billions of shillings. -
Majadiliano Ya Bunge
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Sitini na Moja – Tarehe 29 Juni, 2018 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Najma Murtaza Giga) Alisoma Dua MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Tunaanza Kikao chetu cha Sitini na Moja, Katibu. NDG. NENELWA WANKANGA – KATIBU MEZANI: HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA, BUNGE, KAZI, VIJANA, AJIRA NA WENYE ULEMAVU): Taarifa ya Mwaka ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (Workers Compensation Fund) kwa Mwaka wa Fedha ulioishia Tarehe 30 Juni, 2016. Taarifa ya Mwaka ya Utekelezaji wa Shughuli za Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) kwa Mwaka wa Fedha ulioishia Tarehe 30 Juni, 2016. MWENYEKITI: Ahsante sana, Katibu. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) NDG. NENELWA WANKANGA – KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, tunaanza na Ofisi ya Rais, TAMISEMI, swali la Mheshimiwa Mulugo, Mbunge wa Songwe. Na. 510 Hospitali ya Kanisa Katoliki – Mbeya (Songwe) MHE. PHILIPO A. MULUGO aliuliza:- Je, Serikali haioni haja ya kuipandisha hadhi Hospitali Teule ambayo inamilikiwa na Kanisa Katoliki Dayosisi ya Mbeya iwe Hospitali Teule ya Wilaya ili wananchi wa Songwe waweze kupata huduma stahili? MWENYEKITI: Mheshimiwa Naibu Waziri, majibu ya swali hilo. NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. JOSEPH S. KANDEGE) alijibu:- Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Philipo Augustino Mulugo, Mbunge wa Songwe kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Mwenyekiti, mnamo tarehe 2 Januari, 2018, Halmashauri ya Wilaya ya Songwe ilisaini mkataba na Kanisa Katoliki, Jimbo la Mbeya uliopandisha hadhi ya Hospitali ya Mwambani kuwa Hospitali Teule ya Wilaya ya Songwe. -
Tarehe 16 Aprili, 2019
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Kumi na Moja – Tarehe 16 Aprili, 2019 (Bunge lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Mussa A. Zungu) Alisoma Dua MWENYEKITI: Tukae. Katibu. NDG. ATHUMAN B. HUSSEIN – KATIBU MEZANI: HATI ZA KUWASILISHA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2019/2020. NAIBU WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS, MUUNGANO NA MAZINGIRA: Hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) kwa mwaka wa fedha 2019/2020. MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA (MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA): Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Makamu 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) wa Rais (Muungano) kwa mwaka wa fedha 2018/2019 pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hiyo kwa mwaka wa fedha 2019/2020. MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA VIWANDA, BIASHARA NA MAZINGIRA (MHE. KANALI (MST) MASOUD ALI KHAMIS): Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) kwa mwaka wa fedha 2018/2019 pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa fedha 2019/2020. MHE. LATHIFAH H. CHANDE (K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI KWA OFISI YA MAKAMU WA RAIS, MUUNGANO NA MAZINGIRA - MHE. -
Rights Report 2020
HUMAN RIGHTS PROTECTION AND THE THREAT POSED BY COVID19 IN TANZANIA TANZANIA HUMAN RIGHTS REPORT 2020 For a Just and Equitable Society “When the fundamental principles of human rights are not protected, the center of our institution no longer holds. It is they that promote development that is sustainable; peace that is secure; and lives of dignity.” Former UN High Commissioner for Human Rights Zeid Ra’ad Al Hussein ii THRR 2020 Publishers Legal and Human Rights Centre Justice Lugakingira House, Kijitonyama P. O. Box 75254, Dar es Salaam, Tanzania Tel: +255222773038/48, Fax: +255222773037 Email: [email protected] Website: www.humanrights.or.tz ISBN: 978-9987-740-57-4 © LHRC February 2021 THRR 2020 iii Writers Mr. Fundikila Wazambi Ms. Victoria Lugendo Editors Ms. Anna Henga Mr. Fulgence Massawe Ms. Felista Mauya Ms. Naemy Sillayo iv THRR 2020 TABLE OF CONTENTS ACKNOWLEDGEMENT ............................................................................................ X ABOUT LHRC ............................................................................................................. XI INTRODUCTION .......................................................................................................XII Major Developments in 2020 .....................................................................................................xii Scope and Nature of the Report ............................................................................................. xiii Objectives of the report ............................................................................................................