yetu LIMEANDALIWA NA KITENGO CHA HABARI NA UHUSIANO CHA HALMASHAURI WA WILAYA YA CHATO www.chatodc.go.tz Email:
[email protected] Miradi ya Kimkakati Kuongeza Kiwango cha Mapato ya Ndani ya Halmashauri Vikundi Vyanufaika Uk.11 na Mikopo ya 10% Uk.2 Baraza Lapitisha Bajeti ya Shilingi Bilioni 49 UK. 2 2 yetu Januari-Machi 2019 Miradi ya Kimkakati Kuongeza Kiwango cha Mapato ya Ndani almashauri ya Wilaya ya Jumla ya fedha iliyotolewa kwa ya lengo la shilingi 2,266,934,000. Chato katika mwaka wa miradi hii miwili ilikuwa ni shilingi H Mkurugenzi Mtendaji wa Halmas- fedha 2018/2019 kwenye vipaum- 305,712,110. hauri ya Wilaya ya Chato Eliurd bele vyake ilipanga kuanzisha Kupitia miradi mipya hiyo ambayo Mwaiteleke amesema kuanza kwa miradi mipya ya kwa lengo la imeanza uzalishaji tangu mwezi miradi hiyo ni dalili ya kwamba kuongeza kiwango chake cha Machi 2019 Halmashauri ya Wilaya kwa mwaka 2018/2019 mapato mapato ya ndani ili kuweza lukidhi ya Chato inaelekea kupata ufum- yatakuwa ni zaidi ya asilimia 100. matarajio yake ya utoaji wa hudu- buzi wa tatizo la muda mrefu la ma kwa wananchi. “Pamoja na vyanzo vingine vya utoshelevu wa mapato ya ndani Halmashauri lakini kupitia miradi hii Kupitia maandiko mbalimbali yali- ya Halmashauri. ya kimakakati tunatarajia ma- pelekwa Ofisi ya Rais–TAMISEMI ti- Mwaka wa fedha 2017/2018 Hal- kusanyo yetu ya ndani yatakuwa mu ya Menejimenti ya Halmashauri mashauri ikupia vyanzo vya ndani ni zaidi ya mwaka uliopita kwa ki- ili ainisha miradi kadhaa ikiwemo hadi kufikia mwezi Juni 2018 wango kikubwa tu” alisema Mku- viwanda vikubwa na vya kati ili ilikusanya kiasi cha shilingi rugenzi Mtendaji.