Mkutano 22 Mkuu wa 26 Mei wa Wanahisa 2021

Arusha International Conference Center (AICC) Ukumbi wa Simba 2 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 Tumerahisisha Miamala Lipa bili zako kirahisi kupitia SimBanking

PIGA

AU PAKUA APP KWENYE

Mkutano Mkuu wa 26Tunakusikiliza wa Wanahisa, 2021 3 YALIYOMO 05 TAARIFA YA MKUTANO MKUU 07 FOMU YA UWAKILISHI 15 DONDOO ZA MKUTANO

4 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 Taarifa ya Mkutano

Mwenyekiti na Wanahisa,

Yah: Taarifa ya Mkutano Mkuu wa Ishirini na Sita Taarifa inatolewa kwamba Mkutano Mkuu wa Ishirini na Sita wa CRDB Bank Plc utafanyika siku ya Jumamosi tarehe 22 Mei 2021, katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC), Ukumbi wa Simba, kuanzia saa tatu kamili (Saa 3.00) asubuhi kujadili dondoo zifuatazo: 1. Kufungua Mkutano. 2. Kuchagua Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu. 3. Kuridhia Dondoo. 4. Kuthibitisha kumbukumbu za Mkutano Mkuu wa Ishirini na Tano uliopita. 5. Kujadili yatokanayo na kumbukumbu za Mkutano Mkuu wa Ishirini na Tano. 6. Kujadili na kupokea Taarifa ya Bodi ya Wakurugenzi na Taarifa ya Hesabu zilizokaguliwa za mwaka 2020. 6.1.Taarifa ya Bodi ya Wakurugenzi. 6.2.Hesabu zilizokaguliwa kwa mwaka ulioishia tarehe 31 Disemba 2020. 6.3.Gawio kwa mwaka 2020.

7. Kuidhinisha Mabadiliko ya Katiba ya Benki - Azimio Maalum 8. Kuidhinisha ada ya Wakurugenzi. 9. Kuteua Wakaguzi wa Hesabu. 10. Kuchagua Wajumbe wa Bodi 10.1. Mjumbe mmoja wa Bodi atakayewakilisha kundi la wanahisa wenye hisa kati ya asilimia moja na kumi (1% na 10%). 10.2. Mjumbe mmoja wa Bodi atakaewakilisha kundi la wanahisa wenye hisa chini ya asilimia moja (1%).

11. Kujadili mapendekezo kutoka kwa Wanahisa. 12. Mengineyo kwa idhini ya Mwenyekiti. 13. Kupanga mahali na tarehe ya Mkutano ujao. 14. Kufunga Mkutano.

MAELEZO

1. Daftari la Wanahisa litafungwa tarehe 14/05/2021 na litafunguliwa tena tarehe 15/05/2021. 2. Mapendekezo kutoka kwa wanahisa yatakayojadiliwa katika dondoo namba 10 yatumwe na yamfikie Katibu kabla ya Alhamisi tarehe 07/05/2021 saa 10.00 jioni. 3. Makabrasha ya Mkutano yatapatikana matawini na yanaweza kuchukuliwa kuanzia tarehe 10/05/2021, vinginevyo yatapatikana Arusha kwenye ukumbi wa mkutano tarehe 21 hadi 22 Mei 2021. Pia makabrasha ya mkutano mkuu yatapatikana kwenye tovuti ya benki kuanzia tarehe 10/05/2021 4. Wanahisa wanaotaka kuhudhuria Mkutano Mkuu watajigharamia usafiri na malazi. 5. Mkutano huu utaendeshwa kwa mifumo miwili, kutakuwa na baadhi ya wanahisa watakaohudhuria binafsi na baadhi watajiunga kwa njia ya mtandao. Maelezo yatatolewa namna ya kujiunga.

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 5 TAARIFA YA SEMINA KWA WANAHISA Taarifa inatolewa kwamba kutakuwa na Semina kwa Wanahisa itakayolenga kutoa elimu kuhusu “Ununuzi wa hisa kidigitali katika soko la hisa Ia ”, “Uhamasishaji wa wanahisa kuchukua gawio lao”, “Umuhimu na Taratibu za Kuandaa wosia na mirathi”, “Uwekezaji Fedha kupitia huduma na bidhaa za benki’ na “Mabadiliko ya Katiba ya Benki”. Semina hiyo itafanyika Ijumaa, tarehe 21/05/2021 katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC), Ukumbi wa Simba kuanzia saa 3.00 asubuhi. Kwa mawasiliano tumia anuani ifuatavyo:

Katibu CRDB Bank Plc Office Accommodation Scheme- Mtaa wa Azikiwe, Ghorofa ya 4 S. L. P. 268 Dar-Es-Salaam Simu. na. 022 - 2114237, 2117442 - 7 - Fax na. 022 – 2131005 Namba ya kiganjani 0753 260 176 Namba ya WhatsApp 0767 757 215 Barua pepe – [email protected]

KWA IDHINI YA BODI

J. B. Rugambo

KATIBU

19 Aprili, 2021

6 6 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 Fomu ya Uwakilishi

MKUTANO MKUU WA 26 WA WANAHISA

1. Mimi/Sisi______CDS A/C NO: ______nikiwa/tukiwa wanahisa wa Benki ya CRDB mwenye/wenye haki ya kupiga kura ninamteua /tunamteua: ______wa______aniwakilishe/ atuwakilishe kuhudhuria, kuzungumza na kupiga kura kwa niaba yangu/yetu katika Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Benki ya CRDB utakaofanyika tarehe 22 Mei, 2021 na pale utakapoahirishwa.

MUHIMU: a. Kifungu namba 138 cha Sheria ya Makampuni kinampa mamlaka mwanahisa kumteua mtu mwingine kuhudhuria, kupiga kura na kuzungumza kwa niaba yake katika Mkutano Mkuu wa wanahisa. Mwakilishi anayeteuliwa sio lazima awe mwanahisa. b. Ibara ya 59 ya Katiba ya Benki ya CRDB inaelekeza taarifa za uwakilishi wa mwanahisa kutumwa katika ofisi rasmi/ iliyosajiliwa ya Kampuni katika kipindi kisichopungua saa 72 kabla ya muda uliopangwa kwa ajili ya Mkutano.

2.Nimeweka/tumeweka alama “X” kuonesha ninavyotaka/tunavyotaka kura yangu/ yetu ipigwe kwenye maazimio yafuatayo:

Na MAAZIMIO NDIYO HAPANA SIJAAMUA 1 Kupokea Taarifa ya Wakurugenzi. 2 Kupokea Taarifa ya Hesabu zilizokaguliwa kwa mwaka ulioshia tarehe 31 Desemba, 2020. 3 Gawio kwa Mwaka 2020 4 Kuidhinisha Mabadiliko ya Katiba ya Benki - Azimio Maalum linalohitaji 75% ya kura 5 Kuidhinisha ada ya Wakurugenzi 6 Kuteua Wakaguzi wa nje wa Hesabu. 7 Kupanga Mahali, Tarehe na Ukumbi wa Mkutano Mkuu ujao.

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 7 3. UCHAGUZI WA WAJUMBE WA BODI

Kila mwanahisa atajaza sehemu moja tu kwa ajili ya uchaguzi. Sehemu A itajazwa na wanahisa wanaomiliki hisa chini ya asilimia moja (1%). Sehemu B itajazwa na wanahisa wanaomiliki hisa kati ya asilimia moja na kumi (1% - 10%).

Ninamuelekeza/tunamuelekeza mwakilishi/wawakilishi wangu/wetu kupiga kura kama ifuatavyo:

A. Kuchagua mgombea mmoja kati ya wafuatao kuwa mjumbe wa Bodi atakayewakilisha kundi la wanahisa wenye hisa chini ya asilimia moja na kumi (1%)

(Weka alama “X” kwenye jina la mgombea unaemchagua kuwa Mjumbe wa Bodi) UCHAGUZI WA MJUMBE MMOJA WA BODI ATAKAYEWAKILISHA KUNDI LA WANAHISA WENYE HISA CHINI YA ASILIMIA MOJA (1%)

NA Jina Kura i) Prof. Faustine Karrani Bee ii) Poniwoa Andrew Godlove Mbisse iii) Grace Philotea Joachim

B Kuchagua mgombea mmoja kati ya wafuatao kuwa mjumbe wa Bodi atakayewakilisha kundi la wanahisa wenye hisa kati ya asilimia moja na kumi (1% - 10%)

(Weka alama “X” kwenye jina la mgombea unaemchagua kuwa Mjumbe wa Bodi)

UCHAGUZI WA MJUMBE MMOJA WA BODI ATAKAYEWAKILISHA KUNDI LA WANAHISA WENYE HISA KATI YA ASILIMIA MOJA NA KUMI (1 – 10 %)

NA Jina Kura i) Rose Felix Metta ii) Gerald Paul Kasaato iii) Hilda Shenyagwa Noor

Saini ya Mwanahisa ______Namba ya Simu: ______Barua Pepe: ______

8 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 WASIFU WA WAGOMBEA WA KUNDI LA WANAHISA CHINI YA ASILIMIA MOJA (SUMMARY OF CANDI- DATES’ CVs)

Name/Age/Address Curent position Educational Work Experience Jina/Umri/Anuani Kazi ya Sasa Qualific tion Uzoefu Elimu/Taaluma 1 Name: PROF. 2019 to date 2001 -2007 2019 to date FAUSTINE Vice Chancellor PhD (Doctor of Vice Chancellor, KARRANI BEE and Professor, Literature and University of University of Philosophy) in Dodoma (UDOM) Address: P.O. Box Dodoma (UDOM) Development Moshi Co-operative 259, Dodoma Studies with University (MoCU) 2018 to date specialization in Age: 62 CRDB Bank Non- Rural Finance, 2015 – 2019 Executive Board University of South Vice Chancellor No. of Shares: Member. Africa (UNISA), 41,536 Pretoria 2014 – 2019 2020 to date Professor CDS A/c No: Kilimanjaro 1991 – 1992 572223 Cooperative Bank Master in 2009 – 2014 Limited (KCBL) Development Associate Non-Executive Studies – Professor, Moshi Board Member. Agriculture and University College Rural Development, of Co-operative and The Institute of Business Studies Social Studies in The Hague, 2004 – 2009 Senior Netherlands Lecturer, Moshi University College 1985 – 1988 of Co-operative and Bachelor in Business Studies Economics – Agriculture and 1988 – 2004 Rural Development, Worked at Co- University of Dar es operative College Salaam (UDSM) Moshi, in various capacities, rising in 1990 -2020 ranks from Tutor II Made various to Senior Lecturer. publications on Social transformation, Economics, Commerce, Management, Developing Domestic Agricultural Markets, Microfinance, and Cooperatives.

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 9 Name/Age/Address Curent position Educational Work Experience Jina/Umri/Anuani Kazi ya Sasa Qualific tion Uzoefu Elimu/Taaluma 2 Name: PONIWOA 2020 to date 2012 Mwalimu ANDREW Independent Certified Risk Commercial Bank GODLOVE MBISSE Consultant in Analyst, Plc Address: P. O. Box Business International 2019 – 2020 60420, Management Academy of Head, Risk Dar es Salaam Policy Plan Business and Management & (BCMP) and Financial Compliance Age: 44 Continuity. Management Department (IABFM) No. of Shares: 3,825 June – December 2009 2019 CDS A/c No: ACPA, National Ag. Head of Internal 148003 Board of Audit Accountants and Auditors (NBAA) January – June 2019 Head, Risk 1999 – 2002 Management & Bachelor (Hons) of Compliance Commerce Department and (Finance), Ag. Secretary to the University of Dar es Board of Directors Salaam (UDSM) 2016 – 2018 Head, Risk Management & Compliance Department

2006 – 2016 Azania Bank Ltd - Worked in various capacities, rising in ranks from Principal Internal Auditor to Manager, Risk Management & Compliance Unit. 2002 – 2006 Auditor in Charge, KPMG .

10 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 Name/Age/Address Curent position Educational Work Experience Jina/Umri/Anuani Kazi ya Sasa Qualific tion Uzoefu Elimu/Taaluma 3 Name: GRACE 2015 to date 2009 – 2010 2013 – 2015 PHILOTEA Managing Partner, Masters in Head of Risk, JOACHIM Joachim and International Governance & Jacobs Attorneys Commercial Law Credit Legal, Address: P.O. (LLM), University of Stanbic Bank Box 3979, 2019 to date Kent, Canterbury- Tanzania Dar es Salaam Strategis Insurance UK Tanzania Limited 2012 – 2013 Age: 36 2005 – 2008 Collateral Baccalaureus Manager, Stanbic No. of Shares: Legum (LLB), Bank Tanzania 117,339 University of CDS A/c No: Pretoria, South 184703 Africa.

Member of International Bar Association (IBA)

2012 – 2019 Attended various Trainings, Workshops and Seminars in Banking, Finance, Loan Documentation, and Loan Appraisal.

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 11 WASIFU WA WAGOMBEA WA KUNDI LA WANAHISA KATI YA ASILIMIA MOJA NA KUMI (SUMMARY OF CANDIDATES’ CVs)

Name/Age/Address Curent position Educational Work Experience Jina/Umri/Anuani Kazi ya Sasa Qualific tion Uzoefu Elimu/Taaluma 1 Name: ROSE FELIX 2018 to date 2004 – 2005 LAPF Pension Fund METTA Regional Manager, Postgraduate Address: P.O. Box National Social Diploma in Social 2009 – 2018 31304, Security Fund Security Financing, Director of Dar es Salaam (NSSF) University of Planning and Maastricht, Investments Age: 52 2012 to date Netherlands Board Member 2008 – 2009 No. of Shares: CRDB Bank Plc 1997 – 1999 Compliance 26,796 Master in Business Manager, 2018 to date: Administration CDS A/c No: 87718 Board Member (Finance), 1993 – 2008 & 581610 Mkulazi Holding University of Dar es National Social Company Salaam Security Fund (NSSF) 2019 to date: 1990 – 1993 - Worked in Board Chairperson Bachelor of Arts in various capacities – CRDB Insurance Economics rising in ranks from Broker Planning Officer, to 201 Board 2016– 2020 Senior Principal Attended courses Finance Officer. in Company Direction; Chartered Director and Diploma in Company Direction

2012 – 2015 Attended various courses in Pension Fund Investment Appraisal, Risk Analysis and Post Investment monitoring, Risk Management and Leadership.

12 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 Name/Age/Address Curent position Educational Work Experience Jina/Umri/Anuani Kazi ya Sasa Qualific tion Uzoefu Elimu/Taaluma 2 Name: GERALD 2015 to date 2011 2011 - 2014 PAUL KASAATO Chief Investment Masters of Business National Social Officer, National Administration, Security Fund – Address: P. O. Box Social Security University of Exeter Uganda 8270, Kampala, Fund, Uganda – UK Worked in various Uganda capacities, rising in 2006 ranks from Portfolio Age: 42 MSc. International Manager, Acting Finance & Head of No. of Shares: Investment, London Investments to 196,456,402 South Bank Chief Investment University – UK Officer. CDS A/c No: 504460 & 250915 2003 2008 -2009 (NSSF-Uganda) BSc. (Hons) Finance & Accounting, Oxford Investment Brookes University Manager, National – UK Housing & Construction 2016 – 2019 Company – Uganda Attended various executive trainings 2006 – 2008 in Management, Manager Venture Capital Investment & Financing, Project Treasury, National and Infrastructure Insurance Company Financing, Mergers – Uganda and Acquisition and Corporate Finance. 2003 - 2005 Associate Audit/ 2006 – 2019 Tax, PTAP/Philips, Attended various Kobbs & Co – courses and London trainings and obtained professional certification in Accountancy and Management. CFA Charter holder, Fellow: Association of Chartered Certified Accountants – UK, FCCA, and Fellow: Chartered Management Institute (CMI-UK, ACMI.

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 13 Name/Age/Address Curent position Educational Work Experience Jina/Umri/Anuani Kazi ya Sasa Qualific tion Uzoefu Elimu/Taaluma 3 Name: HILDA 2008 to date 2017 AON Tanzania Ltd, SHENYAGWA Senior Member of the Dar es Salaam, NOOR Underwriter, Chartered Tanzania Address: P.O. Tanzania Insurance Institute Box 42 DSM Reinsurance (CII), UK 2003 - 2007 Company Limited Reinsurance Age: 43 (TAN-RE) 2008 – 2010 Broking Assistant Master of Business Afro - Asian Administration Insurance (MBA) Eastern and Services, London, Southern African U.K. Management Institute (ESAMI), DSM

2001 - 2003 Bachelor of Business Administration (BBA) majoring in Economics and Finance, Institut Supérieur de Gestion (ISG), Paris, France.

1998 - 1999 French Language and Civilisation Certificate, University of Paris IV

14 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 Dondoo za Mkutano Dondoo Na.1 KUFUNGUA MKUTANO, KUSOMA TAARIFA NA KUTHIBITISHA KAMA AKIDI INAYOTAKIWA IMETIMIA

Kanuni: Kifungu Na. 39 cha Katiba ya Benki kinasema kuwa idadi ya wajumbe itakiwayo itafiki a ikiwa wajumbe waliohudhuria wanawakilisha nusu ya hisa zote za Benki. Jumla ya Hisa - 2,611,838,584 Nusu ya Hisa zote - 1,305,919,292

Dondoo Na. 2 KUCHAGUA MWENYEKITI NA MAKAMU MWENYEKITI WA MKUTANO MKUU Kanuni: 1. Kwa mujibu wa kifungu Na. 41 cha Katiba ya Benki, Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu watachaguliwa na wajumbe wa mkutano kutoka miongoni mwao. Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu au asipokuwepo, Makamu Mwenyekiti ataendesha Mkutano Mkuu akiwa kama Mwenyekiti. Kipindi cha Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti kitakwisha mwishoni mwa mkutano uliowachagua kuwa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti. Iwapo Mkutano Mkuu utaahirishwa kwa mujibu wa kifungu Na. 45, kipindi cha Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti kitaishia mwishoni mwa mkutano ulioahirishwa. 2. Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wastaafu wanaweza kuchaguliwa tena. 3. Kwa mujibu wa kifungu Na. 49 uchaguzi utakuwa kwa njia ya kura ya wazi au siri. 4. Katibu atapokea mapendekezo kutoka kwa wajumbe. Kutakuwa na mapendekezo yasiyozidi matano (5). 5. Wagombea watapewa dakika 3 za kujitambulisha kwa wajumbe. 6. Uchaguzi kwa njia ya kura utasimamiwa na Katibu. 7. Katibu atatangaza matokeo ya uchaguzi. Mgombea mwenye kura nyingi zaidi atakuwa ndiye Mwenyekiti na mgombea anayemfuatia kwa wingi wa kura atakuwa ndiye Makamu Mwenyekiti.

Dondoo Na. 3 KURIDHIA DONDOO Kukubaliana na dondoo za mkutano zilizowasilishwa.

Dondoo Na. 4 KUTHIBITISHA KUMBUKUMBU ZA MKUTANO MKUU WA ISHIRINI NA TANO MUHTASARI WA MKUTANO MKUU WA ISHIRINI NA TANO WA WANAHISA WA CRDB BANK PLC ULIOFANYIKA KWA NJIA YA KIDIJITALI SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 27 JUNI, 2020

NA. JINA WADHIFA 1. Dkt. Ally H. Laay Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu 2. Prof. Faustine K. Bee Makamu M/kiti wa Mkutano Mkuu 3. John B. Rugambo Katibu wa Mkutano Mkuu

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 15 BODI YA WAKURUGENZI WA CRDB BANK PLC

4. Mhandisi Boniface C. Muhegi Mjumbe wa Bodi 5. Jes Klausby Mjumbe wa Bodi 6. Hosea E. Kashimba Mjumbe wa Bodi 7. Rose F. Metta Mjumbe wa Bodi 8. Abdul A. Mohamed Mjumbe wa Bodi 9. Prof. Neema M. Mori Mjumbe wa Bodi 10. Dkt. Fred M. Msemwa Mjumbe wa Bodi 11. Martin S. Warioba Mjumbe wa Bodi

BODI YA WAKURUGENZI WA CRDB BANK BURUNDI S.A.

13. Jean Sindayigaya Mjumbe wa Bodi 14. Kahumbya K. Bashige Mjumbe wa Bodi 15. Bruce M. Mwasenga Meneja Mkuu

BODI YA WAKURUGENZI WA CRDB INSURANCE BROKER LIMITED

16. Omary H. Mwaimu Mjumbe wa Bodi 17. Arthur A. Mosha Meneja Mkuu

WAKURUGENZI WAANDAMIZI WA BENKI 18. Abdulmajid M. Nsekela Mkurugenzi Mtendaji 19. Dkt. Joseph O. Witts Afisa Mkuu wa Biashara 20. Frederick B. Nshekanabo Afisa Mkuu wa Fedha na Naibu Afisa M uu Uendeshaji 21. Leslie Mwaikambo Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Huduma za Benki 22. Leo P. Ndimbo Mkurugenzi wa Uboreshaji Biashara 23. Tully Esther Mwambapa Mkurugenzi wa Masuala ya Kampuni na Mahusiano ya Umma 24. Prosper G. Nambaya Mkurugenzi wa Wateja Wakubwa 25. Xavery Makwi Mkurugenzi wa Mikopo 26. Siaophoro L. Kishimbo Mkurugenzi Raslimali Watu 27. Deusdedit P. Massuka Mkurugenzi wa TEHAMA 28. Godfrey N. Sigalla Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Ndani 29. Pendason P. Nyamlilo Mkurugenzi wa Manunuzi 30. Boma O. Raballa Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki 31. Mabula J. Isaac Mkurugenzi wa Vihatarishi na Uthibiti 32. Alexander S. Ngusaru Mkurugenzi wa Hazina

16 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 Wanahisa/Wawakilishi/Washiriki

33. Alfred Phillip 76. Agatha Justin Njau 34. Aatish Kanyalal Sachdev & Hemal 77. Aggrey.J Nkondola Kanayalal Sachdev 78. Agnes Basil Lufunda 35. Abbas A. O. Iwodyah 79. Agnes Kakala Bittegeko (Admin) 36. Abbas Export Ltd Salvatory Balthazary Bittegeko (De 37. Abdallah Ali Othman Ceased) 38. Abdallah Daniel Mgonja 80. Agnes Kondowe Ponera 39. Abdallah Hamis 81. Agnes M. Robert 40. Abdallah Hassan Namkudai 82. Agnes M. Shio 41. Abdallah Mohamed Ungullu 83. Agnes Wilfred Mmari (Admin) Wilfred Stephano Mmari (Deceased) 42. Abdallah Seif Mbonde 84. Agness Warioba &/Or Natasha Mashala 43. Abdiel Gershom Abayo &/Or Gwamak Kassunga 44. Abdul Ibrahim Mabula 85. Agrey Ayubu Kyando 45. Abdul Omary Seseme 86. Agrey Raymond Mwenyembegu (Admin) 46. Abdulrahim Rashid Ramadhan Angelina S Kikungwe (Decease D) 47. Abdulrahman Ramadhan Meghji 87. Agripina Patrick Boisafi 48. Abduly Ally Mohamed 88. Ahmed Omar Mohamed 49. Abed Mwasajone 89. Ahmed Rabii Nganya 50. Abeid Said Kamugisha 90. Aikande Elitira Mengi 51. Abera Wilson Kitambi 91. Airtel Uganda Staff Provident Fund 52. Abigail Andrew Moshi 92. Aisha C. Itf Daudi C. Nyerere 53. Abraham Aidan Chimbuli 93. Aisha Charles Nyerere 54. Abraham Kombe 94. Aisha Nassor Suleiman 55. Abraham Rutashobya Byamungu 95. Ajay Shashikant Sidpara 56. Abubakar Omary Muba 96. Alatupa Isaack Fungo 57. Abubakar Rajab Ibrahim 97. Albert Elly Kananda 58. Abubakari Mohamed Bui 98. Albert Liberatus Kafuru Itf Faith Albert 59. Action’s For Development Programs - Kafuru Mbozi 99. Albinus Balthasar Ntwale 60. Adam Iddy Urrasa 100. Albinus Mketa Makalle 61. Adam Isaeli Elinewinga 101. Alex Abson Sanga 62. Adam Mohamed (Admin) Fatuma Ahmed 102. Alex Aggrey Mwaseba (Deceased) 103. Alex Andrea Matovu 63. Adamson G L Kariwa 104. Alex Elia Simfukwe 64. Adamson Kariwa 05. Alex John Kaaya 65. Adelardus Joseph Mumwi 106. Alex Remigius Soko 66. Adelina Cylas Mtalemwa (Admin) 107. Alexander Nikwanduka Mtawa 67. Adelina Samuel Kanuda 108. Alexander Raphael Mlay 68. Adeline Salome Mushi Itf Sallyrose Louise 109. Alfa Charles Moshi Lugembe 110. Alfred Andindilile Lwinga 69. Adelmercy Philip Msoma 111. Alfred Huruma Mang’era 70. Adp Mbozi Trust Fund 112. Ali Mohamed Mniwa 71. Adram Niyo Nkware 113. Allen Castro Simba 72. Adron Aron Ndassiwa 114. Ally J Mudimi 73. Afra Abel Mwalongo 115. Ally Juma Hamisi 74. Afres Valentine Itf Elias Mushi 116. Ally Mohamed Mnyanga 75. Afzal Mohamed Kassamia 117. Ally Saidi Jobbe

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 17 118. Aloys Joseph Mwamanga 163. Anna Wilson Makasi. 119. Aloystus Baitirwake Kasita 164. Anna Wilson Sawala 120. Alpheo Patrick Mbuya 165. Anne Clauder Mbughuni 121. Alphonce Lukengelo Ngavatula 166. Anold Augustine Mutafungwa 122. Alphonce Theotim Kalula 167. Anthony Ambikile Nsojo 123. Alphoncina Nanai Itf Gloria Francis Nanai 168. Anthony Arbogast Mseke 124. Amanda Martin Kizigha 169. Anthony Marceliani Njau 125. Amandus France Komba 170. Anthony Mtani Mutalagala. 126. Amani Jumaa Mbuya 171. Anthony Mwalyanga Mwasonya 127. Amani Pelesi Fungo 172. Anthony Ngereza Cheche 128. Amin Anainy Njau 173. Antonini Ambrose Mrimi 129. Amina Omary Mengashaki 174. Apollo Temu 130. Amina Zuberi Ndeka & Ujope Zuberi 175. Apostolic Life Community Of Priests Ndeka (Admin) Zuberi Yakub Ndeka 176. Arafa Ally Nyangomo (Deceased) 177. Aristides Bahati Philip Ntomola 131. Aminiel Andrea Sikawa 178. Arnold Andrew Mwangakala 132. Amos Anatory Jacob 179. Arusha Art Ltd 133. Amyn Shamshudin Rajabali Itf Farhaz 180. Asajile John Kapungu Amyn Rajabali 181. Asha Abdallah Ramadhani Itf Juma Omar 134. Anack Ismail Kibona Lweno 135. Anasia Gasper Maleko 182. Asha Mohamed Gayo 136. Anastazia John Shirima 183. Ashura Jumbe (Admin) Yusufu 137. Anatoli Tarimo Abdulrahman Makame (Deceased) 138. Andrew Abraham Mwangakala 184. Ashura Shaban Kackoy 139. Andrew Barnaba Sanga 185. Athanasia Herman Mashao 140. Andrew Chanuo Ndakidemi 186. Athanasius B Mutasingwa 141. Andrew Eligi Kellei 187. Attu Simon Kallinga 142. Andrew Enock Kabelege 188. Aubrey Desmon Linje 143. Andrew Mudulu Ng’imba 189. August Benedict Kowero 144. Andrewleon Saashisha Quaker 190. Augusta Upendo Rweyemamu 145. Anense Felix Mlay 191. Augustino Victory Mgani 146. Angela Julius Machenje 192. Aunali &/Or Salim Mohamed Abdulrazak 147. Angela Ndambilize Kagaruki 193. Aunali F Rajabali &/ Or Sajjad F Rajabali 148. Angelina Charles Mtowa 194. Ayoub Athuman Wakanai (Admin) 149. Angelister John Mworia Athumani Hemedi Wakanai (Deceased) 150. Angelitha Jacob Msaki 195. Babu, Mohamed 151. Aniseta Michael Mushi 196. Babu, Mohamed Mohamed Abdallah 152. Anjelina Sweya Dotto (Admin) Samuel Babu Crdb Shija Maganga (Deceased). 177863 197. Bahati Wariaeli Mbise 153. Anna Augustino Msofe 198. Bainasi Wamunza 154. Anna Beatrice Mtamike 199. Baltazar Zakayo Kaaya 155. Anna Eliezer Masasi 200. Balthazar John Madale 156. Anna Greyson Mrema 201. Balvinder Singh Virdi 157. Anna Kapingu Itf Alice Shallom Frdrick 202. Bandali Gulamhussein 158. Anna Lusubilo Nswilla 203. Bandali Gulamhussein Batchu 159. Anna Manoa Boge 204. Baraka D. Stephano 160. Anna Mtalemwa Cylas 205. Baraka Protas Kongoche 161. Anna Mwaitebele Alexander 206. Barikieli Elidaima Somboi 162. Anna Simon David Makala 207. Barnabas H. Langay

18 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 208. Baston Eric Mongi 253. Chandrakant Vijay Okhai 209. Batchu 254. Charles Ezekiel Nnko 210. Beatrice Peter 255. Charles James Miho 211. Beda Mutagahywa 256. Charles Lawuo Zabdiel 212. Benitus Baraka Isuja 257. Charles Malongo 213. Benson Budodi Jackson 258. Charles Moses Lyimo 214. Benson Mwakyusa 259. Charles Stephen Kimei 215. Bent Claudi Itf Niels C. Mortensen 260. Charles William Hiza 216. Bernadetha Leonard Ndauka 261. Cheche, Anthony 217. Bernard Celestine Mazigo 262. Cheche, Anthony Anthony Ngereza 218. Bernard Cornel Kilembe Cheche 219. Bernard Katunzi Rwanshane 263. Chedi Ng’endia Masambaji 220. Bethod Justus Mchemba 264. Chiku Athuman Issa Itf Lulu Hemedi Issa 221. Bethuel Elinaja Temu 265. Chiku Issa 222. Bhoke John Rotente 266. Chiku Issa Issa 223. Bidex Import & Export Co. Ltd 267. Children’s Career Plan Unit Trust Scheme 224. Blandina Buganzi Kilama 268. Chriss Gabriel Munisi 225. Blandina Mususa Ngeleja Itf Brigette 269. Christer Lawrence Mapunda William 270. Christian Celestine Panduka 226. Bnym Re Acadian Frontier Markets 271. Christina Maro Osena Equity Fund 272. Christina Thomas Geleja 227. Bnym Re Vanderbilt University 273. Christopher Charles Mwalugenge 228. Boaz Ambindwile Mwaikambo 274. Christopher James Mulazi 229. Boisafi, atrick 275. Christopher Mwita Gachuma 230. Boisafi, atrick Patrick Peter Boisafi 276. Christopher Yustin Ngonyani 231. Boniface Wambura Mgoyo 277. Chrysanthus Stanislaus Chenga 232. Boniphace Maliwa Shillingo 278. Clarence Byemerwa Bitegeko 233. Bosco Mohamed 279.C lavery Kasongi Mkwawa 234. Bravo James Teri 280. Clement.N Mganga 235. Brigitha Evarist Kimario 281. Cletus Alphonce Kafyulilo 236. Bruno Baltazary Shao 282. Cmg Investment Ltd 237. Bupe J. Mwabukusi 283. Collins Kibiki 238. Bupe Jeremiah Mazengo 284. Consolata Mongella 239. Caroline Lotto Mollel 285. Consolata Thomas Nagai 240. Caroline Mathew Lyatuu 286. Constansia Albinus Kibajiro 241. Caroline Simon Kakwezi 287. Cornelius Alexander Sanga 242. Caroline Willium Sekule 288. Cosmas Simon Chikoti 243. Cassian Patrick Mangi 289 Crinton Michael Mushi 244. Casto Cosmas Mushi 290. Cristopher Mwita Gachuma 245. Castor Paul Mihambo 291. D.F. Mistry Company (1974) Ltd 246. Catherine Elly Temu 292. Damas Dismas 247. Catherine Kulwa Ibambasi 293. Danford Phinias Gambaliko 248. Cecilia Ludovick Ringia 294. Danida Investment Fund 249. Cecylia Mathias Shirima 295. Daniel Amaniel Denga 250. Century Bottling Limited Staff Provident 296. Daniel Azael Maeda Fund 297. Daniel Bonaventura Salekio 251. Chabu Elius Mishwaro 298. Daniel Ivan Lyatuu 252. Chaby Wyclife Barasa 299. Daniel Jeremia Kessi

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 19 300. Daniel Munwawishwima Ndabi Hans 301. Daniel Ofori 345. Doris Bariki Masamu 302. Daniel Pius Mdetele 346. Doris Berchmans Nchimbi 303. Daniel Wilson Charo 347. Dorothy Kokuteta Kataraia 304. Danison Luhasha 348. Dorothy Liberatus Mtenga 305. Daphine Joachim Kipuyo (Admin) 349. Dorothy Michael Mtweve Gabriel Joachim Kipuyo (Deceased) 350. Dr. Ezekiel Yohana Mpuya 306. Darusi Mohamed Nakuweka 351. Dr. Nsubili Isaga Mwalukasa 307. Datius Gerald Rutashobya 352. Duet Africa Opportunities Master Fund Ic 308. Daudi Shafii Msu a 353. Eddah Winston Mleche 309. Daudi Willson Ntoke 354. Eddah Winstone Mleche Itf Cuthbert W. 310. Dausen Edwin Temu Mleche 311 .David Aminiel Mwanri 355. Eddah Winstone Mleche Itf William W. 312. David D. Mahene Mleche 313. David Mwanga Naburi(Admin) Meeda 356. Eddah Wistone Mleche Itf Jane Winstone Reuben Naburi(Deceased) Mleche 314. David Onesmo Mayonjo 357. Edgar Moita Nanyaro 315. David Stanley Kabadi 358 .Edith Stanslaus Shayo 316. David Stephen Lwechungura 359. Edmund Henry Kagimbo 317. Davinco Limited 360. Edward Andrew Otieno 318. Davis Nico Kyando 361. Edward Beneth Kavalambi 319. Denis Ranga Ezekia 362. Edward K. Sanda 320. Denis Thomas Ngatuni 363. Edward Mussa Mbogai 321. Deodatus Arbogast Kessy 364. Edward Rhoden Mwamilawa 322. Deogratias Emmanuel Mrosso 365. Edward Simon Masanga 323. Deogratias Mashinagwi Shidende 366. Edwin Joseph Sanga 324. Deogratiasmorice Kasenene Kakiziba 367. Edwin Magoti Mujuma 325. Deogratilis N Ngowi 368. Edwin Vedasto Kente 326. Deogratis Wilfred Rugeiyamba 369. Eleuter Donatus Nziku 327. Deogratius Mujuni Kaindoa 370. Eleutheri Kalisti Sukums 328. Deos Boniface Mmasi 371. Elia Elias Sylivester 329. Deusdedit M. Rugangila 372. Elia Nelson Mtweve 330. Devota Michael Mlay 373. Eliaichi Elisa Mollel 331. Devotha Edward Baisi 374. Eliakunda Casmir Kimbi 332. Diana Raphael Kyara 375. Eliamani Augustino Nanyaro 333. Digitian Investment Incorporated 376. Elias Karol Temu 334. Dinnah John Kishiki 377. Elias William Budodi 335. Diwan Rashidi Mkambara 378. Elikana Mbogora Manumbu 336. Domician Rogacian Njau (Administrator) 379. Elikira Benjamin Nkya Itf Albert Elikira Rogasia Philip Njau (Deceas Ed) 380. Elisha Martin Mkandya 337. Dominic Elias Nyumbanitu 381. Elisifa King’ori Kinasha 338. Donald Damas Manyama 382. Eliuta M. Msigwa 339. Donald Mmari 383. Eliza Peter Temu 340 .Dorah Ngaliga 384. Eliza Twisubilege Kita 341. Doreen Malyi Shekibula 385. Elizabeth Amos Mwaikambo 342. Dorice G.J Ngikari 386 .Elizabeth Magnus 343. Dorice Gervas Ngikari Itf Gaitlynn Neema 387. Elizabeth Martin Nzagi Hans 388. Elizabeth Ngoye 344. Dorice Gervas Ngikari Itf Gibbon Imara 389. Elizabeth Simon Mushi

20 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 390. Elizabeth Stephen Mponda 436. Evarist Dominic Masengo 391. Elizabeth Xavery Malapwa 437. Evelyne John Mushi 392. Elly Goodluck Minja 438. Evod Marki Lyamuya 393. Elly Simon Mbise 439. Ezeky Michael Mwaikono 394. Elmon Alexander 440. Fanuel Makoko John 395 .Elvis Rwegayula Ntatilwa (Admin) Elias 441. Faraja Deo Tarimo Mujwahuzi Ntatilwa (Deceas Ed) 442. Farles Vahomile Aram 396. Emanuel Amaniel Mjema 443. Fatuma Awadh Mushi Itf Marua Louqman 397. Emanuel Mgulu Hassan 398. Emil Daimon Zambi 444. Fatuma Emmanuel Oloo 399. Emilian M. E. Mushi 445 .Faudhiath Hussein Kangesa 400. Emilian P. Busara 446. Fausta Balthazar Nguzo 401. Emilian Paschalis Busara 447. Fausta Benedict Lema 402. Emily Juma Mtauka 448. Fausta Michael Urassa 403. Emma Mkakilema Oriyo 449. Fauz A Abood 404 .Emmanuel Dismas Bashome 450. Fayyed, Ritha & Devotha 405. Emmanuel Glasius 451. Fedelis D. Kadidi And/Or Priscilla R. 406. Emmanuel Heriel Matechi Msyaliha 407. Emmanuel Hosea Kileo 452. Felician Stephen Maro 408. Emmanuel Mutakayana 453. Felister Faustine Missana 409. Emmanuel Patroba Mhache 454. Felix Ngodo Mugasha 410. Emmanuel Paul Mlay 455. Festo Josephat 411. Emmanuel Peter Ngufuli 456. Fidel Ayubu Nyamkina 412. Emmanuel Stephano Mollel 457. Fides Neema Bonaventura Mrina (Admin) Bonaventura Mrina (Deceas Ed) 413 .Engelbert Linus Chuwa 458. Fikiri Melkiory Mnyenyelwa 414 .Enny Shaibu Rajab 459. Filemon Japhece Martin 415. Enterprise Finance Ltd 460. Filimina Timotheo Mwaitenda 416 .Erasto Mbulingwa Shenkalwa 461. Filmedia Hamson Ghikas And/Or Richard 417. Erick Donald Mgoda Hamson Ghikas 418. Erick Jackson Kitali 462. Flora Rajab Yongolo 419. Erick Muchuruza 463. Florah Adam Kijogoo 420. Ernest Anael Kaaya 464. Florian .S. Rwegoshora 421. Ernest Lucas Matimbwi (Admin.) 465. Florian Alibagaya Kalemera 422. Ernest William Budodi 466 .Fortunata Julius Massawe 423 .Eshimendi Wambura Magesa 467. Fortunata Linus Chuwa 424 .Essau Harran Amenye 468. Fortunatha H. Lushinge 425. Esther Emil Mutasa 469. Fr. Peter Claver Kindimba 426. Esther Joseph Kasubi 470. Francis Pius Ndowo 427. Esther M Nkuba 471. Francis Reuben Kimaro 428 .Esther Peter Kalonga 472. Francis S Humuli 429. Estomih John Antony 473. Francis Winfred Ligubi 430. Eunice Philemon Mulokozi (Admin) 474. Francisca Daniel Dago Robert L. Mulokozi (Deceased) 475. Frank Albert Sandi 431. Eutropia Gabriel Kimaro 476. Frank Benedict Komba 432. Eva Bethuel Mtega 477 .Frank Joachim Msae 433. Eva J. Mwaigomole (Admin) Jaffari Mwaigomole Mpoki (Deceased) 478. Frank Julius Mollel 434. Eva Robert Raphael 479. Frank Simon Kakwezi 435. Evance Narcis Tarimo 480. Fransia Meleckzedeck Urio

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 21 481. Fransiska Kitema (Administrator) 527. Gift Elibahati Ayo 482. Fred Award Manyelele 528. Gladness Iddi Mruma (Admin) Iddi.A 483. Frederick Shadrack Ringo &/Or Natujwa Mruma (Deceased) Daniel Kijo-Ringo 529. Gloria Minza Kinigwa &/Or George 484. Frederick Vendelini Masawe Mugele 485. Fredrick Tluway Sumaye 530. Glory James Kisanga 486. Frida Cyprian Minja. 531. Godbless David Mollel Itf Loserian G. Mollel 487. Frowin Gabriel Nyoni 532. Godbless Gasper Kileo 488. Furahisha John Chaula 533. Godfrey Conrad Mosha534.Godfrey John 489. G & G Investment Maganga 490. Gabriel Michael Kessi 535. Godfrey M. Mbago 491. Gabriel Niyonkuru Ssebuyoya 536. Godfrey Musa Semwenda 492. Gabriella Bwigane Kaisi 537. Godfrey Thadey Mushi 493 .Gadiel Loisoroye Laizer 538. Godfrey/Lyne Ukio 494. Gak Patel & Co. Ltd 539. Godson Richard Rulasuma 495. Gasper H. Kileo 540. Godwin Lengina Masangwa 496. Gasper Zahoro Balyomi 541. Godwin Salira 497 Geoffrey And Stella Dausen Shooz 542. Godwin Samwel Mpinzile 498. Geofrey Abraham Silumbu 543. Goodluck Bilasi Mato 499. Geofrey E Ritte 544. Goodluck Elias Tesha 500. Geofrey Ignas Simba 545. Goodluck Misango Justus 501. Geofrey Leonard Nyamwihula 546. Grace Jane Mwegoha 502. Geofrey Tumsifu Anael 547. Grace Joachim 503. Geofrey Wilfred Ndanzi 548 Grace Kemilembe Baisi 504. George A. Matandala 549. Grace Mamngodo Mazengo 505. George Boniface Baraka 550. Grace Martin Nakomolwa 506. George Daniel Yambesi 551. Grace Nathan Simwinga 507. George Gislar Mwingira (Admin) Gislar 552. Grace Peter Mbonea Mkiramweni Kassian Mwingira (Deceased) (Admin) Che-Chihwalo J.G Ndalama 508. George Jonas Nakenya (Deceased) 509. George Karwani Mbyazita 553. Grace Robert Mzoo 510. George Kimote Ndossi 554. Grayson Godfrey Maleko 511. George Mutagulwa Chamushala 555. Grea Martin Mollel 512. Georgia Aloysius 556. Gregory Lekundayo Urassa 513. Gerald Absanto Sumari 557. Habby Redemtus Longo Bugalama 514. Gerald Godfrey Mosha 558. Hadija Kombo Mansour 515. Gerald Michael Mnyawami 559. Hamadi Hemed Hemed 516. Gerald Philip Temba 560. Hamis Maulid Lyoba 517. Gerald Valerian Kimario 561. Hamis Salum Mbinga 518. Gerson Hosea Malangalila Lwenge 562. Hamisi Abdallah Mkunga 519. Gerson Isaac Nyadzi 563. Hamisi Hussein Samuli 520. Gervas J M Ngikari 564. Hamisi J Nguli 521. Gervas Junior Ngikari 565. Hamisi Saidi Sheghembe 522. Gervas Paul Lufing 566. Hamphrey Mujuni Kimonge 523. Getrude Mbuya 567. Hance Mtegu Michael 524. Giafar Mohamed Beder 568. Hanifa Mohamed Yusuf 525. Gibson Hosea Munisi &/Or Matthew 569 Hannah Gilbert Nzowa Gibson Munisi 570. Hans Aingaya Macha 526. Gideon Martin Kapange

22 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 571. Hans Macha 617. Isaac Kayetan Nditi 572. Happiness Silas Mlaki 618. Isaac Lyampinga Mgwassa 573. Happiness Simbaufoo Nkya 619. Isaria Kawedi Mwende 574. Harry Andrew Mkocha 620. Is-Haki Haji Juma Harakati 575. Harry Msamire Kitilya And/Or Zan 621 .Ismail Kitano Chacha Securities Ltd 622 .Israel M. A. & Lilian M. A. Secha 576. Harun Idd Joho 623 .Ivan Bernadini Massawe 577. Hashim Abdul Kweyamba 624. Jackson Alfred Lohay 578. Hashim Ally Kakwekwe 625. Jackton Achola Ochieng 579. Hasnain Gulamabbas Fazel Meghji 626. Jacob Mathias Bulunja 580. Hasnain Murtaza Dinani 627. Jacqueline Jessica Nyachiro Makokha Itf 581. Hawa Abdallah. Alexis Rosa Misabo 582. Hawa Abdi Sasya 628. Jamadari Group Farm Ltd 583. Hawa Salim Liseki 629. Jambel Samwel Wandwi 584. Hemed Hamad 630. Jambo Oil &Ginnieries Co.Ltd 585. Henrick Salomo Lupembe 631. James Kasembe 586. Henry & Mrs Leah Mwakyoma 632. James Mneesi Teri 587. Henry Hermans Mosha 633. Jane B. Itf Lukundo N. Baseka 588. Henry John Kawishe 634. Jane Chrisant Maganga 589. Henry John Mgingi 635. Jane Kassian Mtey 590. Henry Nicholaus Felix 636. Jane Kazoba 591. Herbert Potipher Ligate 637. Jane Kessiah Mulungu 592. Herka John Mongi (Admin) John Joel 638. Janet Jonathan Marwa Mongi (Deceased) 639. Janeth Joseph Kihanda 593. Hezron Kibaun Sanga 640. January Ambrose Mlee 594. Hulda Naftal Ngaleson 641. aquline Alfred Lohay 595. Humphrey Eliangiringa Mmbando 642. Jasbir Singh Virdi 596. Humphrey Peter Ndossi 643. Jasbir Virdi 597. Hurbert Benedict Mariki 644. Jenipher Elibariki Tondi 598. Husna Daudi Msangi 645. Jesca Lotto Mollel 599. Hussein Ahmad Hamis Shemng’ombe. 646. Jethwa, Trushal 190521 647. Joachim Kimadale Mmassy 600. Hussein Ally Chilumba 648. Job Nsobi Mwakasala 601. Hussein Bakari Kinguyu 649. Jobaga Asagwile Mwaigomole And 602. Ibrahim Ambieza Gores Patrice Peter Mwaigomole (Admi N) 603. Ibrahim Saidi Chande Asagwile Peter Mwaigomole (Deceased) 604. Ignace Isdory Massao 650. Joe Amani Bendera 605. Illuminatha Nkorongo Matindi 651. Joel Estomihi Makupa 606. Ilulu Saccos Ltd 652. Joely Allphonce Meella 607. Imani Anyosisye Mwakalobo 653 John Abia Shoo 608. Immanueli Daniel Mnzava 654. John Africa Kavishe 609. Imna Malele 655. John Almasy Mohamed 610. Innocent Arbogast 656. John Changalucha 611. Innocent Emmanuel Rugemalila 657. John Donacian Njau 612. Innocent John Kisigiro 658. John Emmnauel Ringo 613. Innovex Development Consulting Ltd 659. John Faustin Matei 614. Inviolata Karoli Lekule 660. John Frank Mganga 615. Irene Thomas Temu 661. John Haule 616. Irene.A Mhidze 662. John Jasper Mawi

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 23 663. John Joseph Kambona 705. Jumaam Selemani Kiure 664. John Lamba 706. Justice Albert Sayuki 665. John Matesi Mawazo 707. Justin Kasila Noah 666. John Paul Bassu 708. Justine Andrew Katanga 667. John Philipo 709. Kaanael Martin Mtenga 668. John Yona Mabula 710. Kadodo Iddi Mwanyoka 669. Johnson Benson Mlau 711 .Kagera Coop Union (1990) Ltd 670. Jonas Samwel Simkoko 712. Kailesh Kantilal Popat 671. Joseph Bruno Francis 713 Kakkad, Dhiraj Dhiraj Chintan Kakkad 672. Joseph Bujaga Charles 714. Kakkad, Pratish Pratish Maganlal Kakkad 673. Joseph Chaviruka Mrindoko 715. Kakkad, Shilpa 674. Joseph Christopher Ndesanjo Machange 716. Kamwesige Mujuni Mtembei 675. Joseph Ernest Gamba 717. Karama Akram Sultan 676. Joseph Francis Maji 718 .Karamjeet Singh Virdi 677. Joseph Kagirwa Kaika 719. Karim.B Walji 678. Joseph Masabala 720. Katano Chacha Munanka 679. Joseph Matanga Kahungwa 721. Kaundime Iddy Rehani 680. Joseph Mshabaa Kavishe 722 .Kawaya Elizabeth Sirocha 681. Joseph Octavian Mhagama 723. Kcu Msimbati 682. Joseph Robert Mbassa 724. Kelvin Beita Kafanabo 683. Josephat Geoffrey Mandara 725. Kelvin Michael Nshangeki 684. Joshua Kristian Kileo 726. Kennedy Kimandai Lyimo 685. Joshuah T. Katunzi 727. Kerbina Joseph Moyo 686. Josiah. M. Masabala Itf Janel Goodness 728. Kessia Moses Musa Josiah 729. Kianga Joel Mdundo 687. Jovin Nyamma Koyo Masanja 730 .Kigongo William Budodi 688. Joyce Aloyce Russa Itf Mbarushimana 731. Kileo, Samson Edwin Nyamubi 732. Kimara Catholic Church SaccoS LTD 689. Joyce Emmanuel Mshomi 733. Kimbimka A. Rajab 690 .Joyce Samweli Msigwa 734 .Kimboka Pasian Stambuli 691. Jpmcb Fbo Duet Gamla Liv Africa 735. Kitoka, Leonard Opportunities 736. Klaus Sinesius Fasha 692. Jpmcb Fbo Duet Victoire Africa Index Fund Ic 737. Kolping Society Of Tanzania 693. Jpmcb-Lb Designated First Rand Bank 738. Kresensia Dominick Swai Ltd 739. Kulthum Nancy Shushu 694. Juliane Andrew Massawe 740. Kuruthum Karawa Mushi 695. Juliet Peter Pesambili 741. Kyara Kippi Warioba 696. Julieth Gwido Mpalanzi & Hamad Sarai 742. Ladislaus Kevin Kiwanga Mbwana (Admin) Ahmed Gwido 743. Lameck Godfrey Noah Mpalanzi (Deceased) 744 Latifa Ahmed Mindu (Admin) Ahmed 697. Julieth Ngosa Nambeya Mindu (Deceased) 698. Julio Mhando Mhegele. 745 .Laura Nyamutondo Munema 699 .Julius John Ritte 746. Laurent Lazaro Ndalichako 700. Julius Kambara Mtanke 747. Laurenti K. Laurian 701. Julius Mshiu 748. Laurentsia Lulu Rwekaza 702 .Juma Elias Ngede 749. Lauteli&Dimeli Pesambili Kanoni 703. Juma Munyigomboli Kaundama 750. Lazaro Leonard Kasenegala 704. Jumaam Esmail Kalutu 751 Lazaro Matiti Masatu

24 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 752 .Lembris Saning’o Laizer (Admin) 797. Machaku Hassan Geni Saning’o Likindubulu (Deceased) 798. Madda Humphrey Mfinang 753. Lemburis Abel Ole Sirikwa 799. Maddy Miriam Ng’maryo 754 Leokardia Christopher Kimaro 800. Mafikiri onstantine Mushi 755. Leonard Gallus Mkanula 801. Mafwimbo Mulungu Bihemo 756. Leonarda Katakweba 802. Magdalena Einhard Mwenda 757. Leonce Philemon Pendael 803. Magdallena Bilindaya Bwahama 758. Leonidas Pancras Ishansha 804. Magreth Joseph Tom 759. Leopold Kihumo 805. Magreth Vicent Mmasy 760 .Levison Yohana Kiula 806. Maheshkumar Jethalal Shah 761. Lewis Mtemi Nzali 807. Maimuna Kibenga Tarishi 762. Libe Valentine Mushi 808. Malcom Saleh Hamis 763 Libina Paul Lukumay 809 .Malewa Samwel Malewa 764 .Lightness Joel Mnzava 810. Manase Didasi Kavishe 765. Lightness Majembe 811. Manoj Gulab Patel 766. Lighton John Msalilwa 812. Manongi Cliff Ntimbwa 767. Lilian Lemi Mhamela 813. Marcel Mutakyamirwa 768. Lindi Development Fund 814. Margareth.J Mziray 769 Lindi Region Coop Union (1984) Ltd 815. Maria Vincent Assenga 770. Linford Stephen Mwemezi 816. Marianna Paschal Balampama 771. Lisa Clara Pilla 817 .Martha Adams Lyimo 772. Lizzy Elibariki Msechu 818. Martha.G. Ngwenya 773 .Ljk Holdings Limited 819 .Martin A. Kizigha Itf Owen Martin 774. Local Government Loans Board Kizigha 775. Loserian Wilson Saiterie 820. Martin Amon Mwateba 776. Louis Yudatadei Ndesingo 821. Martin Jackson Kusekwa 777. Lourenco Agnelo Gonsalves 822. Martin Jonas Mmari 778. Loveness Jacob Nyumayo 823. Martin Luther Kitilla 779. Lucas Rutta Busigazi 824. Martin Marijan Kizigha 780. Lucasvitalis Kauleti 825. Martins Luther Chodota 781. Lucy Bernard Mosha 826. Mary David Kijo 782. Lucy Charles Lukaya 827. Mary Jacob Mponela (Admin) Gadi P 783. Lucy Damas Simirya Lwasye (Deceased) 784 .Lucy Henry Kateka 828. Mary Macha 785. Lugazo Ally Semndili 829. Mary Mathew Sapali 786 Lukelo Winstone Ngajilo 830. Mary Maurice Casmir 787. Lupembe Saccos 831. Mary Mhangilwa Nyanda (Admin) John Paul Sunga (Deceased) 788. Lusekelo Haidi 832. Mary Oliva Mtambalike 789 .Lussan Tusanje Tweve (Admin) Paulina Amos Tweve (Deceased) 833 .Mary Stanley Mwanda 790. Luther Eliuforo Mneney 834. Maryelizabeth Augustino Kimario (Admin) Of Liboria David Kisella 791. Lydia Matzindiko Joachim (Deceased) 792. Lyimo, Martha 835. Masasi-Mtwara Co-Operative Union Ltd 793. M/S Mkoreha Rural Primary Coop Society 836. Mashiku Paul Majo Ltd 837. Masimba Clement Kaka 794. M/S Mpowora Rural Primary Coop Society 838. Masoud Ally Kilanga 795. M/S. Super Doll Trailer Co. Ltd 839. Maswi Chacha Wambura 796. Mabusi Babilas Chikongoe 840. Mathias Abel Kingali

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 25 841. Mathias Lukubanija Likenejo 887. Mucho M. Mizinduko Itf Angela Uwimana 842. Matiko & Anna J.P. Machonchoryo Mizinduko 843. Matrida Godfrey Mapunda 888. Muhdin Hamza Syridion 844. Maulidi.S Twaha 889. Mushi, Zamzam 845 .Maximilian Samwel Mutalemwa 890. Musibha Mohamed Nyakulinga 846. Mdoe Omar Muhaji 891. Musoma Food Co Ltd 847. Meghji, Hasnain 892. Mussa Mohammed Mdoe 848. Mehboob Abdul Karim 893. Mussa Sokwele Nnichidika 849. Meseyeck Cornell Itf Deogratius Aloice 894. Mustafa Masoud Mwakasese 850. Meshack Dickson Makigo 895. Mwajuma Jumaam Kiure 851. Michael Alfred Chabai 896. N.C.X Mwihava 852. Michael Msabaha Tarimo 897. Nadhifa Zubery 853. Mika Samwel Obed 898 .Naiman Marses Kivuyo 854. Miriam Nicodemus Nyang’ura 899. Namana Abbas Kaila. 209514 855. Miss. Lulu Anna Sumari 900. Namikupa R. P. C. S. Ltd 856. Misufini A semblies Of God Church 901. Nancy Cleophas Tibanyenda Itf Anthony Manzi Mizinduko 857. Miule Rural Primary Coops Ltd 902. Nancy David Msobi 858. Mji Mkuu Savings And Credit Society Ltd. 903. Nancy Pendo Riwa 859. Mnanka Gebani Winani 904. Nanhyanga Rural Primary Coop. Society 860. Mohamed Abdallah Babu Ltd 861. Mohamed H. Warsame 905. Nankwai Theonas Kinyonto (Admin) 862 .Mohamed Hassan Mpwato Theonas Louis Kinyonto (Decease D) 863. Mohamed Issa Buzohera 906. Narcis Chande Lubamba 864 .Mohamed Maulid Mohamed Songambele 907. Nasra Hassan Kunenge 865. Monica Mona Nkwande 908 .Nathaniel Paul Lugongo 866. Monica Mtende 909. National Health Insurance Fund 867. Monica Thadeo Mapunda 910 .National Social Security Fund Genesis 868. Moraf Motors Ltd (K) Investment Management Limited 869. Moses Jackson Nyinondi Managed Accoun 870 .Mosha, Henry 911. National Social Security Fund 871. Mpandakati Tobacco Growers Coop 912. Nazael Amos Madalla Society 913. Nazir Karamagi 872. Mpapa A.M.C.S. Ltd 914. Nazir Mohamedali Siwji Haji Or 873 .Mpeka Paul Mpeka Mahjabeen Nazir Haji 874 .Mpokigwa J. Mwabukusi 915. Ndeakemfoo Ndemfoo Shoo 875. Mr. Andrew Donald Mgunda 916. Neema Colman Riwa 876. Mr. Edmund Fidelis Rutatina 917. Neema Geoffrey Mori 877. Mr. Elly Dismas Mtaki 918. Nelismanjery Kokumanya Kamuhabwa 878. Mr. Henry George Mbotto 919. Nelson Gichohi Mboya 879. Mr. Mugisha Rweyumamu Rweyunga 920. Ngateu Rural Coop Society Ltd 880. Mr. Ngeleja Athumani Mcharo 921. Ngateu Rural Savings & Credit Scheme 881. Mr. Zaharani Juma Kalungwa And / Or 922. Nicholas William Budodi Veronica Faustine Mtei 923. Nicholous Samson Mkisi 882. Mrosso Leonard Kamando 924. Nicodemus Peter Ngufuli 883. Mrs Tunu Rajabu Juma 925. Nirav Kamalnayan Bhatia 884. Msafiri Ally Said 926. Nitike Grace Nsekela 885. Mtesigwa Omukwaya Maugo 927. Nitwa Musa Msemembo 886. Mubarak Mohamed Mniwa 928. Nobert Charles Chaula

26 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 929. Noel Kilimba Manase 970. Peter Lwimiko Wihanzi 930. Noel Nicholaus Makyao Itf Nickson Noel 971. Peter Mathew Abong’o Makyao 972. Peter Moses Gimbuyi 931. Noel Nkoswe 973. Peter Nyamtimba Kuguru 932. North Western Diocese E.L.C.T 974. Peter.G Mpogole 933. Nouriya Habib Suleiman 975. Philip Sadick Mchau 934. Nsimbo Tobacco Growers Coop Society 976. Philipo Simon Kullaya Ltd 977. Phisher Raymond Ndanshau 935. Ntarru Othman 978. Phortunatus Mankaga Kenyunko 936 .Nunuu Said Saleh 979. Prince John Martine 937. Nuru Sengo Msengwa 980. Prisca Banagi Russa 938. Odetha Vianney Nyarubaji 981. Prisca Kokushubila Mwebuga 939. Odilo K. Nyamwihura 982. Privatus Rwehumbiza Jemson 940. Odilo Kahyarara Nyamwihura 983. Pro Share Capital Limited 941. Omari Hemed Mwaimu 984. Prosper Clement Mtewele (Admin) 942. Omary Hassan Njiku Clement Mtewele (Deceased) 943. Onesmo Jeremia Kitomari 985. Public Service Social Security Fund 944. Onjection Humula Byobangamba 986. Queen Petro Chinyama 945. Orbit Securities Co Ltd- Fund 987. Rabii Yahaya Membe 946. Orbit Securities Co Ltd Itf Christopher 988 Rachel Joram Metta Itf Mathew David W.Hartland-Peel & Graciela M.Schar Kweka 947. Orbit Securities Co. Ltd Itf Paul William 989. Rahel Timothy Mwavika Itf Gift Lusungu Bwiso Msigwa 948. Orbit Securities Co. Ltd Itf Tim Sandeman 990. Rajabu Khamis Juma &/Or Staermose 991. Ramadhani Msafiri Msib 949. Orbit Securities Co. Ltd. Itf Tan Chor 992. Ramadhani Mzee Kaswa Leng 993. Ramadhani Salum Ngalison 950. Orbit Securities Co. Ltd. Itf Zinga Agriculture Ltd 994. Randy Menson Nyangusi 951. Orbit Securities Company Limited 995. Ranjan Maheshkumar Shah 952. Oscar Barton Mbilikile 996. Raphael Augustino Mrema 953. Oscar Selemani Kikwembe 997. Raphael Castor Ligallama 954. Oswald Martin Urassa 998. Raphael Masumbuko Rutamaga 955. Pascal Paul Norbert 999. Raphael Mkeya 956.P ascali Casmir Minja 1000. Rashidye Luchiya Suleimani 957. Pascas David Maingu 1001. Regina Joseph Mroni 958. Passionist Fathers 1002 .Regina Protas Mmanda 959. Patrick Misana Mususa 1003. Regina Tungu 960. Patrick Peter Boisafi 1004. Reginald Paul Kessy 961. Paul Marwa Matiku 1005. Regular Income Unit Trust Scheme 962. Paul Matanda Malya 1006. Rehema Faraji Kimaro 963. Paulina Amani Madale 1007. Rehema Kawawa Luduko 964. Paulinus Dominic Mligo 1008 Rehema Omari Hamisi 965. Perfektus Joseph Urio 1009. Renalda M. Riwa 966. Perpetua Aloys Pagula 1010. Restuta Mariam Murusuri 967. Perpetua Tabu Magore 1011. Reuben David Swai 968. Peter Chambua 1012. Revina Ferdinand Tibenda (Admin) Deogratias Aniceth Rwelamila(De 969 .Peter L. D. Simkoko (Admin) Lotan Ceased) Nkasime Smkoko 1013. Revocatus Mugaya Mtaki

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 27 1014. Rexford Boniphace Pascal Makoye 1060. Sarah D. Mwandikile 1015. Rhoda William Mndolwa 1061. Sarapion Kaizilege 1016. Richmond Bwire Robert 1062. Saudin Jacob Mwakaje 1017. Rift Valley Cooperative Union Ltd 1063. Savonarola Mathew Senga 1018. Risper Naboth Nickodemas 1064. Sc (T) Nominee Re Standard Chartered 1019 Robert Elias Singu Bank Uganda Re: Kinyara Sugar Works Ltd Spf-Tz. 1020. Robert James Mhindi 1065. Sc (T) Nominee Re: Standard Chartered 1021. Robert Michael Kazinza Bank Uganda Re: Barclay Bank 1022 Robert Wilfred Kyomo Uganda Staff Pension Fund-Tz 1023. Romani Boniface Momburi 1066. Sc (T) Nominee Re: Standard Chartered 1024. Rose Charles Kimei Bank Uganda Re: Centenary Bank Staff 1025. Rose Daniel Yongolo Defined ontribution Scheme 1026. Rose Godwin Samwel 1067. Sc (T) Nominee Re: Standard Chartered Bank Uganda Re: Eadb Staff 1027. Rose Haji Mwalimu Provident Fund -Tz 1028. Rose Martin Swebe 1068. Sc (T) Nominee Re: Standard Chartered 1029. Rose Selwyn Kazimoto Bank Uganda Re: National Social 1030. Rosemary Nditiye Kimaro Security Fund Staff Provident Fund 1031. Roseta Suleiman 1069. Sc (T) Nominee Re: Standard Chartered 1032. Rozalia Henry Lupembe Bank Uganda Re: Nile Breweries Staff 1033. Rural Primary Cooperative Society Provident Fund-Tz Nanjota 1070. Sc (T) Nominee Re: Standard Chartered 1034. Ruth Nicholas Mbwanji Bank Uganda Re: Scb Pension Trust Fund-Tz. 1035. Sabunada Kamani 1071. Sc (T) Nominee Re: Standard Chartered 1036. Sadick Simon Kisiwa (Admin) Simon Bank Uganda Re: Uganda Breweries Staff Kisiwa Mgaya (Deceased) Provident Fund-Tz 1037. Sadock Raphael Mollel 1072. Sc (T) Nominee Re: Standard Chartered 1038. Said Abeid Kamugisha Bank Uganda Re:National Social Security 1039. Said Noordin Yusuph Fund 1040. Said Sumia Ngonyani 1073. Scb (T) Nominee Ltd Scb Mauritius Re 1041. Saidi Hashim Pamui Banque Pictet And Cie Sa A/C Patrick Schegg 1042. Sajjad Mohamed Karim 1074. Scb (T) Nominee Ltd Standard Chartered 1043. Sakina Surji Kara. Bank (Mauritius) Re Altree Custody 1044. Salim Ahmed Lossindilo Services Ltd - 008 - Tanzania 1045. Salim Ali Rashid 1075. Scb (T) Nominee Ltd Standard Chartered 1046. Salma Rashid Khatib Bank (Mauritius) Re Scb Ghana Ac For 1047. Salmin Amani Ngume Databank Brokerage Tz 1048. Salome Mguluma Budodi 1076. Scb (T) Nominee Re: Scbke Nominee Account A/C Ke0000011422 Re 1049 Salum Chande Mbega 1077. Scb (T) Nominee Re: Scbu Re: Bank Of 1050. Salum Masudi Hassan Uganda Rbs-Pinebridge-Tz 1051. Salvatory Kamugisha Rweikiza. 1078. Scb (T) Nominee Re: Scbu Re: National 1052. Samson Nyang’ana Muniko Social Security Fund-Pinebrid Ge 1053. Samson Samiael Kileo Investment East Africa-Tz 1054. Samwel Elia Kiwelu 1079. Scb (T) Nominee Re: Scbu Re: The Bank 1055. Samwel Gaspar Zenda Of Uganda Staff Defined ontribution Scheme. 1056. Samwel Gideon 1080. Scb (T) Nominee Re: Scbu Re: Vivo 1057. Samwel Mathias Bundu Energy Uganda Limited Staff Provident 1058. Sandra Joseph Mungai Fund-Tz 1059. Sandra Novatus Felician 1081. Scb (T) Nominee Re: Standard Chartered

28 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 Kenya Nominee Account A/C 1115. Sifa Hulali Mahamoud University of Nairobi Pension Scheme 1116. Sija Batchu 2007 1117. Silas L. Makweta 1082. Scb (T) Nominee Re: Standard Chartered 1118. Simon Aloyce Mrema Kenya Nominee Account A/C 1905a Re Coca-Cola Ea Provident Fund 1119. Simon Amossi Ngoi 1083. Scb (T) Nominee Re: Standard Chartered 1120. Simon Frank Mwanjela Kenya Nominee Account A/C 9283 - 1121. Simon Kipuyo Likinjiye Gcs Re National Hospital Insurance Fund 1122. Simon Mshabaa &/Or Mary Lucas Srbs. 504387 Moshiro 1084. Scb (T) Nominees Re: Scb Mu A/C Tntc 1123. Simon Raphael Maganga Montlake Ucits Platform Icav Subfund 1124. Simplis Josephat Lakshi Drakens Africa Ex S.A Ucits Fund 1125. Siraju Juma Monalisa 1085. Scb (T) Nominees Standard Chartered Bank (Mauritius) Re Scb Ghana As 1126. Solly Gebashe Custodian For Databank Re Frontier 1127. Solomon Stockbrokers Limited 1086. Scb (T) Nominees: Scbke Nominee A/C 1128. Solomon, Miriam Scb Kenya Staff Retirement Benefits 1129. Songea A. M. C. U Scheme 2006-Genafrica 1130.S onia Stratton Ndege 1087. Scb (T) Re: Ssb+T Re: Ssb+T Re: Change 1131. Sophia Geoffrey Mgaya Global Frontier Markets, Lp Fund-Cgpa 1132. Sophia Ramadhan Nkokoo Itf Ahmed 1088. Scbt Nominee Re: Ssb+T Ac Re: Conrad Athumani Ambayuu N Hilton Foundation-00fg 1133. Sosthenes Lweyemamu 1089. Scbt Nominee Re: Ssb+T Ac Re: Eskom Pension And Provident Fund - Hkch 1134. Stahili Simon Sholle 1090. Scbt Nominee Re: Ssb+T Re: Kimberlite 1135. Stanbic Bank Uganda Re Nssf Uganda Frontier Master Africa Fund Lp Rckm 1136. Stanbic Nominees Imara Sp Reid (Ispr) 1091. Sebastian Peter Lohay 1137. Stanbic Nominees Ltd - Imara S.P. Reid 1092. Sekela Afwilile Mwangakala (Pty) Ltd 1093. Seleman Bakari Kiyeu 1138. Stanslaus Wimcheslaus Kulyake 1094 Seleman Paris Lyimo 1139. Stella John Njau 1095. Selestine Semwambi Mchome 1140. Stella Josephat Tirweshobwa 1096. Selina A Itf Irene Amedeus Masawe 1141. Stella Matatu Lasway 1097. Selina A Itf Julius Amedeus Masawe 1142. Stephen Duncan Mwaipopo 1098 Senyaeli Moses Nnko 1143. Stephen Dunstan Mapunda 1099. Serafina Ma weta 1144. Stephen John Nyaki 1100. Seraphine Leonard Lesiriam 1145. Stephen Joram Kaale 1101 .Severin Bartar Mwanyika 1146. Stephen Kajuga Basimwaki 1102. Severin Ndaskoi 1147. Stephen Mkalimoto Sengayavene 1103. Shaban Lorene Lagwen 1148. Steven Ledwaba 1104 .Shadrack Alfred Gabagambi 1149. Steven Steven Magani 1105. Shah Garments (Tanzania) Ltd 1150. Straton Patrice Ndakidemi 1106. Shakwanande Roland Natai 1151. Subira Lukasa Mwaipetanya 1107. Sharif Issa Mwinyi 1152. Sujjadhussain Kassamali Tajri And/Or Mrs. Kulsumbai Sajjad Hussein Tajri 1108. Sharifa Munisi 1153. Sura John Massawe 1109. Shedrack Siphael Nnko 1154. Sushil Kaur Virdi 1110. Shilimyaufoo Jonathan Munisi 1155. Swalehe Kiyaka Mbwana 1111. Shilpa Pratish Kakkad 1156. Sydney Augustino Bakari 1112. Shubila Theonest Kyaruzi 1157. Sydney Magulu Lugoe 1113. Shukuru Abass Nassoro 1158. Sylivanus Rweyendela Bwahama 1114. Siah Danny Mushy 1159. Sylvia Shubby Kasihwaki &/Or Emmanuel

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 29 Shikael Kissanga 1202. Vedasto Ruta Muganyizi Muhikambele 1160. Tabitha Maro 1203. Venance.P.N Seggu 1161. Tafawa Stiven Pima 1204. Veneranda Kuhanga Limbe 1162 .Tandahimba Rural Primary Coop Society 1205. Verdiana Rubinga 1163. Arms Limited 1206. Veronica Robert Nyahende 1164. Tanu Ibrahim Deule 1207. Vicent Bernard Msaki 1165. Tarsanjit S Virdi 1208. Vicent Binamungu Mulungwana 1166. Teofora Francis Madilu 1209. Vicent Boniface Mhada 1167. Thaker Singh 1210. Vicent M. Itf Hilary Laswai 1168. Thea Dominick Kaesha 1211. Victor Clement Rutaihwa (Admin) 1169 .Thecla Yovine Mwaibula Clement Rutaihwa (Deceased) 1170. Theobald Joseph Nyambo 1212. Victor Cosmas Mhina 1171. Theophil Julian Akaro 1213. Victor Fanuel Mdundo 1172. Theresia Jonathan Mahongo (Admin) 1214. Victor Ladislaus Massawe Jonathan Madede Mahongo (Dec 1215 Victor S. Monge (Admin) M. M. H. Monge Eased) (Deceased) 1173. Thereza Alice Ngunangwa Itf Lina 1216. Victor Tilwabahoile Malaika Nyamizi 1217. Victoria Bikogwa Bulegeya 1174. Thobias Nicholausi Mosha 1218. Victoria K. Nyigo 1175. Thobias.A Mgeni 1219. Vincent Kilago Buluba 1176. Thomas Israel Kwayu 1220. Vincent Patrick Rimoy 1177. Thomas Jones Mbise 1221. Violet Alfayo Shoo 1178. Thomas Marcelli Mtei 1222. Violet Sailen Possy. 1179. Thomas Mark Tukay 1223. Vision Control & Superintendence Ltd 1180. Thomas Matogolo Mongella 1224. Visram, Salim Salim Mohamedali Visram 1181. Tibaijuka, Anna Kemilembe Amelia 1225. Vivian Leonard Tibaijuka 1226. Vumilia Mtaki Tilumanywa 1182. Timothy Bukombe Mandago Shindika 1227. Vupe Ursula Ligate 1183. Timothy Simon Fasha 1228. Walter Eliuforo 1184. Tina Chenge 1229. Wande Abdullah Mandari (Admin) Rukia 1185. Trishanjit Singh Virdi Abdallah Msagikwa (Decease D) 1186. Trushal Naresh Jethwa 1230. Watoto Fund (Watoto Unit Trust Scheme 1187. Tumaini Akirwa Munisi 1231. Wema Harun Songoro 1188. Tumaini Endrew Msechu 1232. Wemaeli Aminieli Msechu 1189. Tuntufye Laston Mwaiteleke 1233. Wenceslaus Rwiza 1190. Tusajigwe Isaga Mwalukasa 1234. Weraeli Estomihi Masaoe 1191. Twaliki Mohamed Mpakasini 1235. Western Zone Tobacco Growers 1192. Twihuvila Y. Makweta (Admin) Jackson Cooperative Union Ltd Mvangila Makwetta (Deceased) 1236. Widson Swalala Itf Moane Widson 1193. Ummy Mohamed Wayayu Swalala 1194. Umoja Fund Unit Trust Scheme 1237. Wiilhelmina Athanas Rugoleka (Admin) 1195. Umoja Wa Kusaidiana Kimbugu Athanas Anania Rugoleka (Deceased) 1196. Upendo Emmanuel Maro 1238. Wilbard Evarist Usinga 1197. Ura Staff Retirement Benefit Scheme 1239. Wilfred Francis Teti Pinebridge 1240. Wilfred Omary Mdong’ala 1198. Urmila Arvind Patel 1241. Willbard Shoo Abeli 1199. Ushirika Wa Wauza Samaki Mwaloni 1242. William Bernardi Tamba 1200. Uzogole A.M.C.S. Ltd 1243. William Mwana Kilele 1201. V. H. Shah & Co 1244. Willpeace Emilian Busara

30 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 1245. Wilson Baruti 1261. Yusuph Mbaruku Nyembo 1246. Wilson Thomas Shayo 1262. Zaaminali Shabbir Ladha 1247. Wilson Ulindula Anangisye 1263. Zacharia Majula Ekelege 1248. Winfrida Windeline Lymo 1264. Zacharias R. Gordian 1249. Winston Christopher Luvanda 1265. Zainab Karama 1250. Wiston I.T.F. Baraka Kibona 1266. Zainab Laicer 1251. Wiston Laus Mutabilwa 1267. Zakayo Maganga 1252. Wiston M. Kibona 1268. Zamzam Yusuf Mushi 1253. Wiston Mwaifani Kibona 1269. Zan Securities Limited 1254. Yaato Clemence Lori 1270. Social Security Fund 1255. Yanga Evarist Makaga 1271. Ziada Hamisi Sangaya 1256. Yasin Kihaku 1272. Zuberi Abraham Zuberi 1257. Yesse Archbord Anase 1273. Zuberi Zuberi Magazini 1258. Yosepha Alfonce Chilambo 1274. Zuhura Nasorro Jumbe Itf Omary 1259. Youth Employ. & Food Prod. Foundation Mohamed Simba 1260. Yusta Pilmin Chale 1275. Zulfi ar Nanji

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 31 1.0 KUFUNGUA MKUTANO MKUU 1.1 Katibu alifungua Mkutano Mkuu saa 3:30 asubuhi, baada ya akidi inayotakiwa kwa mkutano unaondeshwa kwa njia ya kidijitali ambayo ni asilimia 75 ya hisa zote kutimia. Hadi Mkutano unafunguliwa asilimia 79.30 ya hisa zote za Benki zilikuwa zimewakilishwa.

2.0 KUCHAGUA MWENYEKITI NA MAKAMU MWENYEKITI WA MKUTANO MKUU 2.1 Katibu alitoa hoja ya kuwapendekeza Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB Dkt. Ally Hussein Laay kuwa Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu na Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Prof. Faustine Karrani Bee kuwa Makamu Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu. Pendekezo hilo lilitokana na kubadilika kwa mfumo wa uendeshaji wa Mkutano Mkuu ambao uliendeshwa kidijitali na hivyo kuwa vigumu kwa washiriki waliopo sehemu mbalimbali duniani kupendekeza/kupendekezwa kuchaguliwa. Hii inatokana na changamoto za kidijitali ambapo ni vigumu washiriki kujua nani amejiunga na Mkutano na kama anauwezo wa kuongoza Mkutano kwa mfumo wa kidijitali. 2.2 Hoja hiyo iliungwa mkono na wanahisa ambapo Dkt. Laay na Prof. Bee walichaguliwa kuwa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu wa Ishirini na Tano. 2.3 Dkt. Laay aliwashukuru wajumbe wa Mkutano Mkuu kwa kumchagua kuwa Mwenyekiti na aliwaomba wampatie ushirikiano atakaohitaji. Makamu Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu Prof. Bee aliwashukuru wajumbe na kuomba ushirikiano wao hadi mwisho wa Mkutano Mkuu. 2.4 Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu aliwaomba wajumbe watumie muda wa dakika moja kukaa kimya kwa ajili ya kuwakumbuka wanahisa na wadau mbalimbali waliofariki kipindi cha mwaka mmoja uliopita akiwemo Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu wa Ishirini na Nne (24) wa Wanahisa wa Benki ya CRDB, Jaji Mstaafu Augustino Ramadhani na Rais wa Jamhuri ya Burundi Mh. Pierre Nkurunziza ambae alitoa ushirikiano mkubwa wakati wa kuanzishwa kwa tawi la Benki ya CRDB nchini Burundi.

3.0 AZIMIO MAALUM KUIDHINISHA MAREKEBISHO KWENYE KATIBA YA BENKI KURUHUSU MKUTANO MKUU KUFANYIKA KWA NJIA YA KIDIJITALI 3.1 Katibu aliwasilisha Pendekezo la Bodi ya Wakurugenzi la kufanya mabadiliko kwenye Katiba ya Benki kuruhusu Mkutano Mkuu wa 25 kufanyika kwa njia ya kidijitali ili kuepuka uwezekano wa maambukizi ya ugonjwa wa Corona kutokea kutokana na idadi kubwa ya wanahisa wanaohudhuria Mkutano Mkuu na kutokuwepo ukumbi wenye nafasi ya kutosha kwa washiriki wote wakiwa wamekaa kwa kuzingatia taratibu na masharti yanayowataka watu kutokukaribiana na kupeana nafasi ili kujikinga dhidi ya maambukizi. Katibu alieleza kuwa Benki inathamini kipekee afya na usalama wa wanahisa na wadau wake wote. 3.2 Wanahisa waliombwa kupitisha Azimio Maalum la kuafiki Pendekezo la Bodi ya Wakurugenzi la kufanya Mkutano Mkuu kwa njia ya kidijitali (kwa kupiga kura) kwasababu ya changamoto zinazotokana na ugonjwa wa Corona. 3.3 Wanahisa walipitisha Azimio hilo kwa kura 1,101,713,946 ambayo ni sawa na asilimia 99.77 ya kura 1,104, 218, 756 zilizopigwa.

4.0 KURIDHIA DONDOO ZA MKUTANO MKUU 4.1 Wajumbe walipitisha dondoo za Mkutano Mkuu wa Ishirini na Tano kama zilivyoainishwa kwenye taarifa ya Mkutano Mkuu.

5.0 KUTHIBITISHA MUHTASARI WA MKUTANO MKUU WA ISHIRINI NA NNE 5.1 Mwenyekiti aliwaomba wanahisa wenye maoni au marekebisho ya majina yao wawasilishe kwa Katibu wa Benki. 5.2 Wajumbe wa Mkutano Mkuu walipitisha Muhtasari wa Mkutano Mkuu wa Ishirini na Nne kama ulivyowasilishwa. 5.3 Mwenyekiti na Katibu waliweka saini kwenye Muhtasari wa Mkutano Mkuu wa Ishirini na Nne

32 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 6.0 YATOKANAYO NA MKUTANO MKUU WA ISHIRINI NA NNE 6.1 Katibu aliwaongoza Wajumbe kupitia Yatokanayo na Mkutano Mkuu wa Ishirini na Nne ambapo mapendekezo yote ya Wanahisa yalikuwa yametekelezwa.

6.2 Kuidhinisha Gawio kwa Mwaka 2018 6.2.1 ILIAZIMIWA kuwa Gawio kwa Mwaka ulioishia tarehe 31 Desemba, 2018 liwe shilingi 8/= kwa kila hisa kwa wanahisa waliokuwemo kwenye daftari lilipofungwa tarehe 10 Mei, 2019 na malipo yafanyike kuanzia tarehe 03 Juni, 2019. Azimio hili LIMETEKELEZWA. Malipo ya Gawio kwa Mwaka ulioishia tarehe 31 Desemba, 2018 la shilingi 8/= kwa kila hisa kwa wanahisa waliokuwemo kwenye daftari lilipofungwa tarehe 10 Mei, 2019 yalifanyika kuanzia tarehe 03 Juni, 2019.

6.3 Kuidhinisha Ada ya Wakurugenzi 6.3.1 ILIAZIMIWA kuwa ada ya Wakurugenzi kwa Mwaka 2019 iwe shilingi 882,003,576/= ambazo pia zitatumika kuwalipa wajumbe wa kamati nne za Bodi ya Wakurugenzi zilizopo sasa kama ilivyopendekezwa na Bodi ya Wakurugenzi. Azimio hili LIMETEKELEZWA. Ada ya Wakurugenzi kwa mwaka 2019 ya shilingi 882,003,576/= imelipwa kwa Wajumbe wa Bodi pamoja na kamati nne za Bodi zilizopo sasa.

6.4 Kuteua Wakaguzi wa Nje wa Hesabu 6.4.1 ILIAZIMIWA kuwa Kampuni ya Ukaguzi wa Hesabu ya Ernst and Young ya Tanzania, S.L.P 2475, Dar es Salaam, iteuliwe kuwa Wakaguzi wa Nje wa Hesabu za Benki na Kampuni zake tanzu kwa mwaka 2019 kwa masharti na ada itakayopangwa na Bodi ya Wakurugenzi. Azimio hili LIMETEKELEZWA. Kampuni ya Ukaguzi wa Hesabu ya Ernst and Young Tanzania, S.L.P 2475, Dar es Salaam, waliteuliwa kuwa Wakaguzi wa Nje wa Hesabu za Benki na Kampuni zake tanzu kwa mwaka 2019 kwa masharti na ada iliyopangwa na Bodi ya Wakurugenzi.

6.5 Kuchagua Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi 6.5.1 ILIELEZWA kwamba Wajumbe wa Bodi waliochaguliwa kwenye Mkutano Mkuu wa Ishirini na Nne ambao ni; Bw. Ally Hussein Laay, Injinia Boniface Charles Muhegi na Bw. Abdul Ally Mohamed wanaowakilisha Kundi la Wanahisa wenye hisa chini ya asilimia moja, Dkt. Fred Matola Msemwa anaewakilisha kundi la wanahisa wenye hisa kati ya asilimia moja na asilimia 10 na Bw. Martin Steven Warioba ambae ni Mjumbe Huru wa Bodi waliidhinishwa na Benki Kuu.

6.6 Kupanga Mahali na Tarehe ya Mkutano Mkuu wa Ishirini na Tano 6.6.1 ILIAZIMIWA kuwa Mkutano Mkuu wa Ishirini na Tano wa Wanahisa wa Benki ya CRDB ufanyike siku ya Jumamosi tarehe 16 Mei, 2020 katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa (AICC) kwenye ukumbi wa Simba kuanzia saa 3.00 kamili asubuhi. ILIELEZWA kwamba Mkutano Mkuu wa Ishirini na Tano utafanyika kwa njia ya kidijitali kuepuka uwezekano wa maambukizi ya ugonjwa wa Corona kutokana na idadi kubwa ya wanahisa wanaohudhuria Mkutano Mkuu na kutokuwepo ukumbi wenye nafasi ya kutosha kwa washiriki wote wakiwa wamekaa kwa kuzingatia taratibu na masharti yanayowataka watu kutokukaribiana na kupeana nafasi ili kujikinga dhidi ya maambukizi. Pendekezo la Bodi la kubadilisha kipengele cha Katiba ili kuruhusu Mkutano Mkuu kufanyika kwa njia ya kidijitali litawasilishwa kwenye Mkutano Mkuu wa Ishirini na Tano.

7.0 TAARIFA YA BODI YA WAKURUGENZI NA TAARIFA YA HESABU ZILIZOKAGULIWA ZA MWAKA 2019 7.1 Taarifa ya Bodi ya Wakurugenzi Mwenyekiti wa Bodi aliwasilisha taarifa ya Bodi ya Wakurugenzi kama ifuatavyo: 7.1.1 Mwaka 2019 ulikuwa mwaka wa pili wa utekelezaji wa mpango mkakati wa miaka mitano ambao unalenga kuleta mabadiliko ya kiteknolojia. Matokeo ya Benki ya CRDB na Kampuni zake tanzu mwaka 2019 yalirejea kwenye ubora wake kutokana na kujizatiti

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 33 kutoa huduma bora kwa wateja na kuongeza pato kwa wanahisa kupitia utekelezaji wa mpango mkakati. Kipaumbele kwa mwaka husika ilikuwa ni kuongeza ufanisi katika uendeshaji na kuboresha huduma kuendana na mahitaji yanayobadilika ya wateja sambamba na mpango mkakati mzuri wa utoaji mikopo na kutanua wigo wa huduma za kibenki kwa njia mbadala. 7.1.2 Benki ya CRDB na Kampuni zake tanzu zilipata matokeo mazuri ya kifedha mwaka 2019 ambapo faida halisi ilikuwa shilingi bilioni 120.1, ongezeko la asilimia 87.3 kutoka mwaka 2018. Kiwango cha ukuaji wa mapato ya mtaji (ROE) kilikua kutoka asilimia 8.3 mwaka 2018 hadi asilimia 13.8 mwaka 2019 na mapato kwa hisa yaliongezeka kwa asilimia 87.0 kutoka shilingi 24.6 mwaka 2018 hadi shilingi 46.0. Kipaumbele cha Benki ni kuhakikisha matokeo haya yanakuwa endelevu ili wanahisa wafaidike na uwekezaji wao.

7.1.3 Kwa ujumla uchumi wa Tanzania uliendelea kuwa imara mwaka 2019 ambapo ulikua kwa asilimia 6.8 ukichangiwa na kuongezeka kwa uwekezaji wa Serikali katika sekta za miundombinu, uzalishaji, kilimo na utalii. Sekta ya Biashara Ndogo na Kati ilionesha ukuaji uliochangiwa na mazingira bora ya kiuchumi pamoja na uimara wa wafanyabiashara wenyewe katika masoko. Benki Kuu ya Tanzania iliendelea kufanya maboresho katika jitihada za kuhamasisha mabenki kukopesha sekta binafsi. Jitihada hizi ni pamoja na kushusha kiwango cha akiba ya mabenki kinachowekwa Benki Kuu ya Tanzania kutoka asilimia 8 hadi asilimia 7 hatua iliyosababisha kukua kwa mikopo kwa sekta binafsi kutoka asilimia 4.9 mwaka 2018 hadi kufikia asilimia 11. Mzunguko wa fedha (M3) ulikua kutoka asilimia 4.5 mwaka 2018 hadi asilimia 9.6 mwaka husika kutokana na sera rafiki za kifedha zilizotekelezwa kuboresha mazingira ya kibiashara. 7.1.4 Bodi iliamua kusimamisha shughuli za kampuni tanzu ya Microfinan e na kuzihamishia Kampuni mama ili kuongeza nguvu katika utendaji. Mchakato wa kufunga shughuli za Microfinan e unaendelea na unatazamiwa kukamilika ndani ya kipindi cha mwaka mmoja. 7.1.5 Benki inaeendelea kutekeleza dhamira yake ya kutanua wigo wa huduma katika eneo la Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati na kwasasa upembuzi yakinifu wa fursa za uwekezaji katika masoko mapya ikiwemo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) unaendelea. 7.1.6 Mwaka 2019, asilimia 86 ya miamala ya Benki ilifanyika kwa njia za kidijitali ikiwemo Simbanking, ATM, CRDB Wakala na Huduma ya Benki kwa njia ya mtandao –internet banking. Benki imeendelea kuhamasisha na kujenga uwezo wa matumizi ya teknolojia ya kidijitali jambo ambalo limechangia kwenye matokeo ya kibiashara na kuboresha uwezo wa kutoa huduma. Kupitia huduma za kidijitali, Benki imeweza kuhudumia zaidi ya watu milioni 3 kwa urahisi bila kufi a kwenye matawi na hivyo kupunguza msongamano matawini. 7.1.7 Bodi imeendelea kuboresha usimamizi wa viashiria vya hatari kwa kuzingatia sheria na taratibu zilizopo na zinazoendelea kuboreshwa na mamlaka husika za udhibiti. Mwaka 2019, Bodi ilipitia sera mbalimbali na kuboresha viwango vya hali hatarishi vinavyokubalika kuendana na mazingira ya biashara pamoja na kanuni zilizowekwa na Benki Kuu. 7.1.8 Bodi iliidhinisha Muundo mpya wa taasisi na kuwapa wafanyakazi majukumu yanayoendana na muundo huo. Bodi iliidhinisha mpango mkakati wa TEHAMA ili kuipa Benki uwezo zaidi kiteknolojia. 7.1.9 Wajumbe wapya wanne walichaguliwa kwenye Bodi ambao ni Dkt. Fred Msemwa (akiwakilisha wanahisa wenye hisa kati ya asilimia 1 na asilimia 10), Bw. Abdul A. Mohamed (akiwakilisha wanahisa wenye hisa chini ya asilimia 1), Bw. Martin S. Warioba (Mjumbe wa Kujitegemea) na Dkt. Edwin P. Muhede ambae aliteuliwa kuwakilisha Mfuko wa Uwekezaji wa DANIDA (DIF). Dkt Muhede alichukua nafasi ya Bw. Charles E. Kichere ambae aliteuliwa kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali. Injinia Boniface C. Muhegi pamoja na Bw. Laay walichaguliwa kuendelea kuwakilisha kundi la wanahisa wanaomiliki hisa chini ya asilimia 1. 7.1.10 Mwenyekiti alimshukuru Mjumbe wa Bodi, Bw. Ebenezer Ngea Essoka ambae alimaliza

34 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 muda wake kwenye Bodi katika kipindi cha mwisho wa mwaka. 7.1.11 Bodi iliidhinisha ajira za wakurugenzi wapya kwenye safu ya uongozi wa Benki ili kujaza nafasi za viongozi walioondoka kipindi cha mwaka husika. Wakurugenzi wapya ni pamoja na Bw. Siaphoro Kishimbo (Mkurugenzi wa Rasilimali Watu), Bw. Pendason Philemon (Mkurugenzi wa Manunuzi), Bw. Boma Raballa (Mkurugenzi wa Huduma za Wateja Wadogo na Kati) na Bw. Godfrey Sigalla (Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Ndani). 7.1.12 Mwenyekiti aliwasilisha pendekezo la gawio la shilingi 17 kwa hisa kwa mwaka unaoishia tarehe 31 Desemba 2019 ambalo litalipwa kwa wanahisa watakaokuwemo kwenye daftari la wanahisa hadi tarehe 30 Juni 2020. Pendekezo hilo liliwasilishwa kwenye dondoo Na. 3 ya Mkutano Mkuu. 7.1.13 Benki ya CRDB na Kampuni zake tanzu zimeazimia kuwa kinara katika biashara endelevu na kuwa mwajiri bora, mshirika wa biashara, mwanajamii, mtunza mazingira na mtoa thamani kwa wanahisa. 7.1.14 Benki ya CRDB na kampuni zake tanzu itaendelea kutekeleza mikakati mbalimbali katika masuala ya utunzaji wa mazingira ili kuleta manufaa kwa wadau wote na kuwa kampuni inayojali masuala ya kijamii na mazingira. Benki imedhamiria kuendelea kutoa mikopo kwa umakini, kupunguza hewa ya ukaa, kushiriki katika malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) na kuwa kinara wa utunzaji wa mazingira. CRDB Bank Plc inajivunia kuwa benki ya kwanza ya biashara nchini kupewa tuzo na shirika la United Nations Green Climate Fund (GCF) kama muwezeshaji kwenye miradi ya utunzaji mazingira. 7.1.15 Benki itaendelea kusaidia jamii kupitia sera ya kurudisha kwenye jamii kwa lengo la kuleta matokeo chanya. Katika kipindi cha mwaka husika Benki ilitoa mchango mkubwa kwenye masuala mbalimbali ya kijamii kuanzia kwenye sekta ya afya, vijana, michezo na elimu.

7.1.16 Benki inakusudia kuendela kutengeneza mazingira rafiki kupitia bidhaaa zake zinazolenga sekta mbalimbali ikiwemo kilimo, uzalishaji na biashara ndogo na kati kwa wakulima na wajasiriamali ili kukuza vipato vyao kupitia hatua zote za mnyororo wa kukuza thamani. Juhudi za kuhakikisha wigo wa watanzania waliofiki a na huduma za kibenki unapanuka na kusaidia wanawake zinaendelea kuwa chachu ya ukuaji na pia zinaipatia Benki fursa nyingi za kibiashara. Benki itaendelea kuunga mkono Serikali za Tanzania na Burundi kufanikisha maono yao ya ukuaji wa uchumi kwa kutekeleza miradi mbalimbali itakayochangia kuleta maendeleo endelevu. 7.1.17 Sekta ya benki imeendelea kuimarika na imezidi kuwa na ushindani kutokana na ubunifu unaoendelea na kubadilika kwa haraka mahitaji ya wateja. Katika siku za karibuni, sekta ya benki imeshuhudia kuunganishwa kwa mabenki na mwelekeo mzuri upande wa faida na kupungua kwa wingi wa mikopo chechefu kulinganisha na hali ilivyokuwa miaka michache iliyopita. 7.1.18 Mlipuko wa ugonjwa wa Corona umeendelea kuathiri nchi na biashara nyingi ulimwenguni ikiwemo Tanzania. Benki imechukua hatua kadhaa kwa ajili ya kulinda afya ya wafanyakazi, wateja na wanahisa pamoja na kutoa mchango katika harakati za Serikali za kupambana na virusi vya Corona. Hatua hizo ni pamoja na kubuni mpango wa dharula katika maeneo ya biashara na kuchangia ustawi wa jamii. 7.1.19 Mwenyekiti wa Bodi aliwashukuru Wajumbe wa Bodi kwa mchango wao uliotukuka na uongozi walioutoa kipindi chote cha mwaka husika. Pia aliwashukuru wateja kwa kuendelea kuiamini Benki katika biashara yake. 7.1.20 Mwenyekiti alitoa shukrani za dhati kwa uongozi wa Benki na wafanyakazi kwa mchango wao mkubwa na kufanya kazi kwa juhudi kubwa ili kuhudumia wateja kwa ufanisi. 7.1.21 Mwenyekiti alisisitiza azma ya Bodi ya kuendelea kutoa uongozi uliotukuka (kwa kushirikiana na menejimenti) kutatua changamoto mbalimbali zinazokabili biashara ya Benki na kuwawezesha wafanyakazi kufanya kazi kwa ufanisi. Pia aliwahakikishia wanahisa kwamba Bodi itaendelea kuboresha mpango mkakati ili kuongeza faida inayotokana na shughuli za Benki na hatimaye kuboresha gawio kwa wanahisa.

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 35 7.1.22 Taarifa ya Bodi ya Wakurugenzi ilipokelewa na wanahisa baada ya kupata asilimia 99.92 ya kura 1,070,493,170 zilizopigwa.

7.2 Taarifa ya Mkurugenzi Mtendaji Mkurugenzi Mtendaji aliwashukuru Mwenyekiti wa Bodi na wakurugenzi wote wa Bodi wa Benki ya CRDB. Aliwapongeza Mwenyekiti wa Bodi Dkt. Ally Hussein Laay kwa kuteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu na Prof. Faustine Karrani Bee kwa kuteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu. Alitambua ushiriki wa Mkurugenzi wa Bodi Bw. Jes Klausby ambae alihudhuria Mkutano Mkuu kidijitali akiwa nchini Denmark. Alitambua uwepo wa watu na taasisi zifuatazo: i Wenyeviti na wajumbe wa Bodi wa kampuni tanzu za CRDB Bank Plc, CRDB Bank Burundi S.A. na CRDB Insurance Broker Ltd, Katibu wa Benki Bw. John Baptist Rugambo, Afisa Biashara Mkuu Dkt. Joseph Ochieng Witts, Afisa fedha Mkuu Bw. Fredrick Bayona Nshekanabo, Mkurugenzi Mtendaji CRDB Bank Burundi S.A. Bw. Bruce Mwile na Meneja Mkuu CRDB Insurance Broker Ltd. Bw. Arthur Mosha. ii Wanahisa, wawakilishi wa Mfuko wa Uwekezaji wa DANIDA (DIF), Mfuko wa Bima ya Afya, CMG Investment Ltd, Mehar Singh, WETCU, Stanbic Bank, Standard Chartered Bank na wawekezaji na wadau wote. iii Mamlaka za usimamizi; Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), Mamlaka ya Soko la Mitaji na Dhamana (CMSA). Mkurugenzi Mtendaji alitoa tathmini ya mafanikio na hatua zilizochukuliwa na Benki kuboresha utendaji na mazingira ya biashara ya benki kwa Mwaka wa Fedha unaoishia tarehe 31 Desemba, 2019 kama ifuatavyo:

7.2.1 Benki ilipata mafanikio makubwa mwaka 2019 yaliyosababishwa na ushirikiano mzuri kutoka kwa wadau mbalimbali ikiwemo Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo iliweka mazingira mazuri ya biashara. Alishukuru Serikali ya Mapinduzi Zanzibar pamoja na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein kwa kuendelea kushirikiana na Benki na kuweka miongozo mizuri ya kuboresha biashara. 7.2.2 Aliwashukuru wadau na wateja wote kwa ushirikiano walioipatia Benki katika kipindi chote cha mwaka 2019 na kuiwezesha Benki kuendelea kuwa imara. Mafanikio yaliyopatikana yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na juhudi za wafanyakazi wote kwa ujumla. Aliwapongeza wafanyakazi na uongozi wa Benki pamoja na menejimenti za kampuni tanzu kwa kazi nzuri. 7.2.3 Alishukuru Bodi ya Wakurugenzi inayoongozwa na Dkt. Ally Hussein Laay kwa kuiongoza Benki vizuri kwa kuzingatia misingi ya utawala bora kupitia kamati nne za Bodi. Alipongeza kamati za Bodi na wenyeviti wake kwa kazi nzuri. Kamati hizo ni; Kamati ya Mikopo chini ya mwenyekiti wake Prof. Neema Munisi Mori, Kamati ya Vihatarishi inayoongozwa na Bw. Jes Klausby, Kamati ya Ukaguzi wa Hesabu inayoongozwa na Bw. Hosea Kashimba na Kamati ya Utawala na Rasilimali Watu inayoongozwa na Injinia Boniface Charles Muhegi. 7.2.4 Benki ya CRDB imeendelea kuwa benki kubwa kuliko zote nchini Tanzania na inashindana na benki kubwa ukanda wa Afrika Mashariki. Mtaji wa Benki hadi sasa ni shilingi bilioni 873, jumla ya rasilimali ni shilingi trilioni 6.6. Benki ya CRDB inamiliki asilimia 23.3 ya amana zote na asilimia 20.2 ya rasilimali zote katika sekta ya fedha yenye zaidi ya benki 50. 7.2.5 Benki ya CRDB ni mwajiri mkubwa nchini ikiwa imeajiri wafanyakazi zaidi ya 3,500 miongoni mwao asilimia 44 ni wanawake na asilimia 56 ni wanaume. Jitihada zinaendelea kuhakikisha kunakuwa na usawa wa jinsia na kufanya kazi kwenye mazingira bora. 7.2.6 Matawi ya Benki yameongezeka kutoka 266 mwaka uliopita hadi matawi 268 mwaka 2019. Ongezeko la matawi ni dogo kwa kuwa Benki imejikita zaidi kutoa huduma kwa njia mbadala za kidijitali. 7.2.7 Huduma zitolewazo na mawakala zimeendelea kuimarika ambapo hadi mwaka 2019

36 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 Benki ilikuwa na mawakala zaidi ya 14,700 kutoka mawakala 5,457 mwaka 2018 hili ni ongezeko kubwa kuhakikisha huduma zinafi a hadi vijijini na mitaani. Vituo vya huduma za malipo viliongezeka kutoka 1,610 mwaka 2018 hadi vituo 2,237. Benki iliendelea kuimarisha wigo wa huduma ya matawi yanayotembea ili kufikia maeneo mengi yasiyofiki a kirahisi na huduma za kawaida za kibenki. Huduma ya intaneti imeboreshwa hivyo wateja hawana haja ya kwenda umbali mrefu ili kupata huduma. 7.2.8 Benki imevutia wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi ambapo hadi sasa umiliki wa hisa ni kama ifuatavyo;

Na. Mwanahisa Asilimia ya Hisa 1 Wanahisa wa kawaida 33 2 Wawekezaji wa nje 22 3 Mfuko wa Uwekezaji wa DANIDA (DIF) 21 4 Taasisi za Serikali 15 5 Taasisi Binafsi 7 6 Vyama vya ushirika 2

7.2.9 Hisa za Benki ya CRDB zinauzika vizuri sokoni na kutokana na matokeo mazuri ya kifedha bei ya hisa imepanda kutoka shilingi 95 mwishoni mwa mwaka 2019 hadi shilingi 145 mwezi Juni, 2020. Bei ya hisa sokoni itaendelea kuongezeka kutokana na jitihada zinazofanywa na menejimenti kuboresha udhibiti wa gharama za uendeshaji (Efficien y ratio) na kuboresha pato linalotokana na mtaji (ROE) na kutekeleza mkakati wa kuvutia wawekezaji. 7.2.10 Mojawapo ya mafanikio makubwa mwaka 2019 ni kuwa benki ya kwanza ya kibiashara Afrika na ukanda wa Afrika Mashariki na Kati kusajiliwa na kurasimishwa na Mfuko wa Mabadiliko ya Tabia Nchi wa Umoja wa Mataifa. Tuzo hiyo inaipa Benki wigo mkubwa wa kuweza kusimamia miradi mikubwa na kujikita katika miradi hiyo kuunga mkono Serikali ambapo Benki itakuwa na uwezo wa kusimamia mradi mmoja mmoja wenye thamani isiyopungua Dola milioni 250. Benki inaendelea kuwa karibu na serikali kuhakikisha maendeleo yanayotarajiwa yanafikika na Benki ya CRDB ikiwa kinara katika kufanya hivyo.

7.2.11 Mwaka 2019, Benki ilipata tuzo 20 tofauti ambazo ni pamoja na kuchaguliwa kuwa Benki Bora kwa mujibu wa jarida la ‘The Banker’. Hii inadhihirisha utendaji mzuri kutokana na miongozo ya Bodi. 7.2.12 Mazingira ya biashara na uchumi yaliendelea kuimarika hivyo kuchangia kukua kwa mikopo ya sekta binafsi kutokana na jitihada kubwa zilizofanywa na Benki Kuu kuhakikisha benki zinakuwa na mtaji na ukwasi wa kutosha. Benki Kuu imekuwa karibu na benki zote nchini na kufanya mijadala mingi kuboresha sekta na hivyo kuchangia mapato ya sekta ya fedha kukua. 7.2.13 Huduma za microfinance ziliboreshwa kuwafikia wateja wengi wadogo nchini kwa kutumia mtandao wa matawi ya Benki yapatayo 268 na mawakala zaidi ya 14,000 waliopo nchi nzima. Shughuli za kampuni tanzu ya microfinance zilihamishwa kwenda kampuni mama kwa lengo la kuboresha ufanisi na upatikananaji wa huduma ndogo ndogo za kifedha. Elimu iliendelea kutolewa kuwajengea uwezo wateja wadogo na kuwawezesha kuwa wateja wakubwa.

7.2.14 Benki ilifanya mabadiliko katika utendaji wake kwa kupitisha muundo mpya wa utendaji ili kuboresha huduma na kukabiliana na ushindani. Muundo huo wa utendaji unajielekeza zaidi kwa wateja, kuhakikisha wafanyakazi wanakuwa karibu zaidi na wateja na kutoa elimu vijijini na kuwatembelea zaidi wateja badala ya kubaki matawini. Benki ilitathmini uendeshaji wake na kuondoa shughuli zinazoongeza gharama (ambazo hazina tija) na kujielekeza zaidi kwenye shughuli zinazoleta tija na hivyo kupunguza gharama zisizokuwa za lazima.

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 37 7.2.15 Idara ya Mikopo iliboreshwa kimfumo, kiutendaji na kiweledi pamoja na kuweka mifumo ya tahadhari kuashiria mikopo kutolipika ili watendaji waweze kufuatilia kwa haraka. Benki imepanua wigo wa sekta zinazofanya vizuri ili kuongeza mikopo na kuangalia sekta na wateja wenye changamoto na kushirikiana nao katika kurekebisha hali ya mikopo yao. Wateja wengi waliokuwa na changamoto ya mikopo wamefanikiwa kurejesha mikopo kutokana na jitihada hizi za pamoja. 7.2.16 Benki imeunganisha mitambo yake na mfumo wa kuangalia mwenendo wa mikopo uitwao credit reference bureau ambao unaiwezesha Benki kujua kama mteja ana mkopo benki nyingine na hivyo kujua mwenendo na historia ya mkopaji. Taarifa hiyo huiwezesha Benki kufanya maamuzi sahihi kabla ya kutoa mkopo. 7.2.17 Benki imeongeza weledi wa wafanyakazi wanaosimamia mikopo ambapo mafunzo yamefanyika kwa wafanyakazi wote matawini na Benki kwa ujumla ili kujua changamoto za mikopo, namna ya kumshauri mteja na kusimamia mikopo. 7.2.18 Benki imeendelea kuboresha shughuli zake kwa kuweka mifumo inayojiendesha yenyewe (automation) kupunguza matumizi ya karatasi na kuondoa makosa ya kiutendaji. Maboresho makubwa yamefanyika katika eneo la teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA) kuhakikisha huduma zinatolewa kwa wakati na zinapatikana kwa saa 24 na kuiunganisha Benki na mifumo ya Serikali katika ulipaji na kuongeza wigo wa watalaamu kwenye eneo la TEHAMA. 7.2.19 Benki imeboresha huduma zake kwa kuondoa taratibu zinazochelewesha utoaji wa huduma, kuondoa ukiritimba na kuhakikisha wafanyakazi wanahudumia wateja kwa weledi unaotakiwa na kutatua matatizo ya wateja kwa wakati. Mkurugenzi Mtendaji aliwahakikishia wanahisa kuwa huduma zitaendelea kuboreshwa na wanahisa wanaombwa kuendelea kutoa ushauri utakaosaidia kuboresha huduma.

7.2.20 Benki imetanua wigo wa wateja wake kwa kuelekeza nguvu zaidi kwa wajasiriamali wadogo na wa kati ambao walikuwa hawajafikika na kutoa kipaumbele kwenye kilimo ikiamini kuwa maendeleo katika sekta ya kilimo ni chachu ya ukuaji wa uchumi wa viwanda. Benki imejikita kwenye mazao ya pamba, korosho, kahawa na mazao mengine ya kimkakati na hivyo kuongoza kwa mikopo kwenye sekta hiyo.

7.2.21 Kiwango cha mikopo inayotolewa kimekua kwa asilimia 8 na mikopo yenye thamani ya shilingi trilioni 3.4 imetolewa kwenye sekta za kilimo, biashara, viwanda, nyumba, ujenzi, usafirishaji, elimu, utalii, gesi na nishati, madini, afya, misitu na sekta nyinginezo. 7.2.22 Benki inashirikiana na Serikali kujenga uchumi wa kati kwa kushiriki kwenye miradi mikubwa kama vile mradi wa ujenzi wa bwawa la uzalishaji umeme la Nyerere katika mto Rufiji. 7.2.23 Benki imewawezesha wafanyabiashara wengi kufanya biashara kati ya nchi moja na nyingine kwa kuwapatia mikopo, dhamana na huduma stahili za kifedha na hivyo kuwawezesha kukuza mitaji yao. 7.2.24 Benki imewezesha viwanda vikubwa kama vile viwanda vya sukari na viwanda vidogo kupitia Shirika la Maendeleo ya Viwanda Vidogo (SIDO) na kina mama wenye viwanda vidogo vidogo mitaani kama vile viwanda vya kusindika mafuta, pilipili n.k. 7.2.25 Benki imeendelea kubuni na kuboresha huduma na bidhaa kwa wafanyakazi wa serikali na sekta binafsi ili kuwawezesha kujenga maisha yao upande wa afya na elimu.

7.2.26 Wanawake wamewezeshwa kupitia bidhaa ya Malkia Account ambayo ni akaunti ya amana na imeongezewa wigo wa bidhaa za mikopo ili kina mama wafaidike zaidi na kukuza mitaji yao. 7.2.27 Mkurugenzi Mtendaji alimpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank Burundi S.A. na Bodi ya Wakurugenzi kwa utendaji na matokeo mazuri mwaka 2019 na kuongeza wigo wa huduma nchini Burundi ambapo kuna matawi manne (4) na wigo wa huduma ya uwakala imetawanyika nchini kote. 7.2.28 Alimpongeza Meneja Mkuu na Bodi ya Kampuni tanzu ya uwakala wa bima (CRDB

38 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 Insurance Broker Ltd) kwa kufanya vizuri na kuchangia matokeo mazuri ya Benki. Kampuni imeboresha utoaji wa huduma mbalimbali za bima na kuongeza wigo wa ubunifu kwa kuanza kutoa huduma kidijitali. Wateja wataanza kupata huduma za bima kidijitali hivi karibuni. 7.2.29 Asilimia 86 ya huduma zinafanyika nje ya matawi kupitia mawakala 14,761, intaneti na Simbanking. Huduma kwa mawakala zinaendelea kuboreshwa kuwawezesha kutoa huduma bora. Aliwashukuru mawakala wa Benki kwa kutoa huduma nzuri na kupanua wigo wa huduma zao kwani hivi sasa wana uwezo wa kufungua akaunti na kupitia wao ajira zipatazo 30,000 zimetengenezwa na shilingi bilioni 350 zilikusanywa kupitia kwa mawakala na miamala mbalimbali iliyofanyika. Utaratibu wa kutumia mawakala umepunguza hitaji la kuwa na matawi mengi ambapo takribani matawi mengine 500 yangehitajika. 7.2.30 Benki imebuni bidhaa mahsusi kuwawezesha wamachinga kupata mikopo kidijitali kwa kutumia kitambulisho cha Mheshimiwa Rais. Mikopo hiyo inapatikana kupitia simu za mkononi na inawasaidia kwenye mitaji yao ya kila siku. Hali ya urejeshaji wa mikopo hiyo ni nzuri na hakuna mkopo unaosuasua na hiyo inaonesha wamachinga ni sekta muhimu ambayo Benki imejipanga kuihudumia kikamilifu. 7.2.31 Huduma ya kufungua akaunti imesogezwa hadi mahali waliko wateja kupitia mfumo uitwao ‘Fast Account’ ambapo akaunti inafunguliwa kidijitali na hivyo kuwawezesha wateja wengi kufungua akaunti kirahisi. 7.2.32 Benki imepata mafanikio kwenye zao la korosho mkoani Mtwara ambapo wakulima wote walilipwa kupitia akaunti zao za benki. Benki imetoa mchango mkubwa na inaendelea kufungua akaunti kwa wakulima wote wa kahawa na pamba na jitihada zinafanyika kuwafikia wakulima wote nchini.

7.2.33 Benki imebuni bidhaa mahsusi kwa ajili ya wanafunzi wa vyuo iitwayo ‘boom advance” ambapo mwanafunzi anajikopesha mwenyewe kiasi kidogo cha fedha ili kutatua changamoto ndogo ndogo wakati wa kusubiri posho ya masomo ‘boom’. Aliwashukuru wanafunzi wote wa vyuo wanaotumia huduma hii kwakuwa mikopo yao yote inalipwa. 7.2.34 Benki imeboresha uwezo na weledi wa viongozi kwakuwa karibu nao, kusikiliza changamoto zao na kuzitatua na kuwaongezea uwezo wa kielimu na mafunzo ya kazi wanazofanya. Vilevile viongozi wa matawi wamejengewa uwezo wa kufanya maamuzi ambapo baadhi ya maamuzi hufanyika matawini kwa lengo la kuharakisha maamuzi na muundo wa usimamizi wa matawi umegawanywa katika kanda 7 kuongeza ufanisi. 7.2.35 Progamu ya ‘SHE Initiative’ ilianzishwa kwa lengo la kuwajengea uwezo watendaji wanawake kushika nyadhifa mbalimbali za uongozi ndani ya Benki. 7.2.36 Mwaka 2020 Benki ilisaidia jamii katika maeneo ya elimu, afya na majanga. Benki ya CRDB ilikuwa ya kwanza kushirikiana na serikali kutoa michango mbalimbali na kushirikiana na chama cha madaktari kutoa elimu kupambana na janga la ugonjwa wa Corona.

7.3 Taarifa ya Fedha kwa Mwaka 2019 Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya CRDB Bw. Frederick B. Nshekanabo aliwasilisha Taarifa ya Fedha kwa Mwaka ulioishia Desemba 31, 2019 iliyokaguliwa na Mkaguzi wa Hesabu wa Nje na kupata hati safi kama ifuatavyo: 7.3.1 Benki ya CRDB iliendelea kufanya vizuri mwaka 2019 na kutoa matokeo yaliyoweka rekodi ambapo faida baada ya kodi iliongezeka kwa asilimia 87 kutoka shilingi bilioni 64 mwaka 2018 hadi shilingi bilioni 120. 7.3.2 Matokeo haya yalichangiwa na kuongezeka kwa mapato halisi yatokanayo na riba yaliyoongezeka kwa asilimia 16 hadi kufikia shilingi bilioni 544 kutoka kwenye mikopo na uwekezaji kwenye amana za Serikali. Kuongezeka kwa mapato hayo kulichangiwa na kuongezeka kwa mapato yasiyo ya riba kwa asilimia 17 hadi shilingi bilioni 204 kutokana na miamala ya kidijitali na biashara ya fedha za kigeni. Faida iliyopatikana imechangiwa

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 39 na kupungua kwa gharama za tengo la mikopo chechefu (impairment charges) kwa asilimia 17 kutokana na uboreshaji wa usimamizi wa mikopo kwa ujumla. Gharama za uendeshaji ziliongezeka kwa asilimia 12 zikiendana na ukuaji wa biashara kwa ujumla. 7.3.3 Mizania ya Benki iliimarika zaidi kwani jumla ya rasilimali zilikua kwa asilimia 9 kutoka shilingi trilioni 6 mwaka 2018 hadi shilingi trilioni 6.5 mwaka husika. Hii imechangiwa na ukuaji wa wateja wadogo na wa kati na mikopo iliyokua kwa asilimia 8. Benki imeendelea kukuza Amana za wateja zilizoongezeka kwa asilimia 11 kutoka shilingi trilioni 4.6 mwaka 2018 hadi shilingi trilioni 5.2.

7.3.4 Hadi mwisho wa robo ya kwanza ya Mwaka 2020, jumla ya rasilimali za Benki iliongezeka kwa asilimia 11 kutoka shilingi trilioni 6.0 robo ya kwanza mwaka 2019 hadi shilingi trilioni 6.6. Katika kipindi husika, amana za wateja ziliongezeka kwa asilimia 17 kutoka shilingi trilioni 4.3 hadi shilingi trilioni 5.0, mikopo iliongezeka kwa asilimia 10 na mtaji wa wanahisa uliongezeka kwa asilimia 16. 7.3.5 Kiwango cha mikopo chechefu kilipungua kutoka asilimia 8.5 mwaka 2018 hadi asilimia 5.5. Mtaji wa Benki umekua kwa asilimia 8 kutoka shilingi bilioni 774 mwaka 2018 hadi shilingi bilioni 873. Kwa ujumla Benki imefanya vizuri katika viashiria vyote vya kibiashara. Benki imepunguza kukopa na hii imepunguza gharama za uendeshaji zitokanazo na riba. 7.3.6 Benki imepata faida baada ya kodi ya shilingi bilioni 32 robo ya kwanza mwaka 2020 ikilinganishwa na shilingi billion 31 robo ya kwanza mwaka 2019. Pendekezo la Bodi la gawio la shilingi 17/= kwa hisa ni sawa na shilingi bilioni 44.4 ambayo ni ongezeko la asilimia 112 kutoka shilingi bilioni 20.9 zilizotengwa mwaka 2018. 7.3.7 Aliwashukuru wanahisa na wateja kwa kuendelea kuiamini na kutumia huduma za Benki ya CRDB na kuendelea kuwekeza. 7.3.8 Taarifa ya Hesabu zilizokaguliwa kwa mwaka 2019 ilipokelewa ambapo kura za ndio zilikuwa asilimia 99.68 ya kura 526,238,489 zilizopigwa.

7.4 Wanahisa walipokea (kwa kupiga kura) na kujadili kwa pamoja Taarifa ya Mwenyekiti wa Bodi, Taarifa ya Mkurugenzi Mtendaji na Taarifa ya Fedha kama ifuatavyo; 7.4.1 Katibu alisoma ujumbe wa pongezi kutoka kwa wanahisa waliohudhuria Mkutano Mkuu kwa njia ya kidijitali kutoka maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi 7.4.2 Wanahisa waliwapongeza Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu kwa kuchaguliwa na kuongoza Mkutano vizuri. Walipongeza utendaji mzuri wa Mkurugenzi Mtendaji na kueleza kuwa hofu iliyokuwemo miongoni mwao hapo awali kutokana na mabadiliko ya uongozi wa Benki yaliyofanyika takribani miaka miwili iliyopita imetoweka. Walishukuru Bodi ya Wakurugenzi kwa kusimamia vizuri mchakato wa kupata Mkurugenzi Mtendaji mpya. 7.4.3 Wanahisa walipongeza jitihada za Benki (kiutendaji) zilizozaa mafanikio makubwa licha ya changamoto zilizotokana na kuibuka kwa ugonjwa wa Corona mwanzo wa mwaka huu na ubunifu uliotumika kugeuza changamoto hizo kuwa fursa na hivyo kupunguza gharama kwa kutumia njia mbadala za kufanya biashara. Waliitaka Bodi na Menejimenti kuimarisha mikakati ya kuendesha Benki kisasa. 7.4.4 Matokeo mazuri ya kifedha na utendaji wa Benki kwa ujumla ulipongezwa na wanahisa walio wengi kama ilivyoainishwa kwenye Taarifa ya Mwenyekiti wa Bodi, Taarifa ya Mkurugenzi Mtendaji na Taarifa ya Fedha iliyowasilishwa na Afisa Mkuu wa Fedha. 7.4.5 Wanahisa waliipongeza Bodi ya Wakurugenzi, Mkurugenzi Mtendaji, Menejimenti na wafanyakazi kwa utendaji bora ambao ulisababisha matokeo mazuri kifedha na katika viashiria mbalimbali vya utendaji. Pia walipongeza uamuzi wa kufanya Mkutano Mkuu kwa njia ya kidijitali kwani umepunguza gharama na kuendana na Kauli Mbiu ya Benki ‘Ulipo Tupo.” ILIPENDEKEZWA kwamba miaka ijayo Mkutano Mkuu uendeshwe kwa njia zote mbili- ukumbini na kidijitali (Hybrid). ILIELEZWA kwamba kufanya Mkutano Mkuu kwa njia ya kidijitali kumepunguza gharama kwa kati ya asilimia 60 hadi 70

40 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 na kuongeza fursa ya wanahisa kutoka maeneo mbalimbali kushiriki moja kwa moja hivyo kuna uwezekano wa kufanya mikutano ijayo kwa njia ya kidijitali na kawaida. ILISHAURIWA kwamba kiasi cha fedha kiliochotokana na kupungua kwa gharama za Mkutano Mkuu ziongezwe kwenye gawio. 7.4.6 Mkurugenzi wa Kanda ya Kati Bi. Chabu Mishwaro alipongezwa kwa utendaji mzuri. 7.4.7 Wanahisa walipongeza huduma za Benki kwa wakulima ambazo hutolewa kwa wakulima wadogo au wakubwa. ILIELEZWA kwamba Mfuko wa Maendeleo Mkoa wa Lindi umefaidika kwa kiwango kikubwa na uwekezaji kwenye hisa ambapo ulianza kwa kununua hisa 9,000 ambazo zimeongezeka na kufikia hisa milioni 15.

7.4.8 ILIPENDEKEZWA kwamba Benki iweke mkazo kukusanya madeni sugu na Mkurugenzi Mtendaji atembelee matawi yote kwa ajili ya kuweka mkazo kuongeza amana.

7.4.9 ILIULIZWA ni lini Benki ya CRDB itaongeza Kampuni tanzu ili kuwekeza zaidi kwenye ukanda wa Maziwa Makuu baada ya mafanikio yaliyopatikana kwa kuwekeza nchini Burundi. ILIELEZWA kwamba Benki inaangalia uwezekano wa kuwekeza Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na mchakato unaendelea ambapo mazungumzo na wabia katika uwekezaji huo yanaendelea.

7.4.10 ILIULIZWA Benki ina mpango gani wa kupunguza matumizi ya karatasi kwa wateja ili kupunguza gharama. ILIELEZWA kwamba Benki imeshachukua hatua za makusudi ambapo hivi sasa mteja wa CRDB hana ulazima wa kujaza fomu ya kutolea pesa (cash withdrawal slip) badala yake mteja anaweza kutoa pesa katika akaunti yake kwa kufuata maelezo kutoka kwenye tawi lolote na matangazo yanayotolewa na Benki. Huduma hii inapatikana kupitia Simbanking ambapo mteja anaweza kutoa pesa kutoka kwa Wakala, Tawini na kwenye mashine za kuweka na kutolea fedha – ATM. Huduma ya Simbanking imeboreshwa zaidi kuwezesha mteja kufungua akaunti kwa kutumia kadi/namba ya NIDA bila kujaza fomu yoyote. Pia mteja anaweza kununua bima ya chombo cha usafiri wa kutumia simu yake ya mkononi bila kujaza karatasi yeyote

7.4.11 ILIULIZWA ni kwa nini kadi za Gold hazifanyi miamala kwa mawakala. ILIELEZWA Benki imefanikiwa kupata utatuzi wa changamoto hii na ipo kwenye juhudi za kuboresha kila mashine ya wakala. Benki inatarajia kabla ya mwisho wa mwezi wa Tano itakuwa imekamilisha zoezi hili kwa kufikia mawakala wote nchi nzima.

7.4.12 ILIULIZWA ni kwa nini mashine nyingi za ATM huwa hazina fedha hivyo kuleta usumbufu kwa wateja. ILIELEZWA kwamba Benki tayari inatekeleza mpango mkakati wa kuboresha huduma za ATM zake. Pia Benki imefanikiwa kuweka mfumo wa kidigitali kufuatilia mashine hizo kwa ukaribu na kupata taarifa kwa wakati kujua kiasi cha fedha kinapokaribia kwisha ili kuzijaza kwa wakati.

7.4.13 ILISHAURIWA kwamba Benki ifikirie uwezekano wa kupunguza makato kwenye akaunti ya mshahara. ILIELEZWA kwamba Benki imefanya uchambuzi wa soko na kuangalia mahitaji halisi ya wateja na kuanzisha akaunti zisizo na makato kama vile; Fahari akaunti, Scholar Akaunti, JJ akaunti na Malkia Akaunti. Benki ina mchakato endelevu wa kuangalia mahitaji ya walaji na uwezo wao wa kulipia huduma hivyo kutengeneza bidhaa zinazoendana na walaji kimahitaji na kiuwezo. Pia, CRDB imeanzisha bidhaa ya amana kwa wafanyabiashara wadogo wadogo ambayo haina Makato yoyote ya miamala na uendeshaji wa akaunti. Aidha huduma hii inamuwezesha mfanya biashara kupokea malipo ya mauzo yake yote kidigitali kwa njia ya CRDB lipa namba bila makato yoyote kwa mfanya biashara. Bidhaa hii imezingatia uhalisia wa Maisha ya wamachinga, mama lishe, dereva bodaboda nk. katika uwezo wa kumudu gharama za uendeshaji. Bidhaa hii ni mpya na ya kwanza nchini kuwa bure kwa asilimia 100 na kupokea malipo ya mauzo bila ada ya makusanyo.

7.4.14 ILISHAURIWA kwamba Benki iangalie uwezekano wa kuunganisha gharama za kila mwezi na gharama za miamala ili kuwa na ada moja. ILIELEZWA kwamba Gharama za kila mwezi zimetengenezwa kwa kuangalia uwezo wa mteja kulipia huduma na ushindani katika soko. Ziko bidhaa ambazo hazina makato yoyote kabisa kama vile Akaunti ya Hodari. Benki hupitia gharama zake kila mwaka na kuwataarifu wateja siku 30 kabla ya kuanza kuzitumia.

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 41 7.4.15 ILISHAURIWA kuwa Benki ifanye utaratibu wa kuanzisha akaunti ya vikundi kuwezesha wajasiriamali kufungua akaunti hizo bila kulazimika kulipa ada ya kila mwezi. ILIELEZWA kwamba Benki imeanzisha akaunti kwa ajili ya vikundi iitwayo NIA MOJA ambayo haina makato ya mwezi, na gharama za kufanya muamala wa kutoa fedha ndani ya benki. Pia Benki imeanzisha akaunti ya Hodari kwa ajili ya wafanyabiashara wadogo ambayo haina makato ya mwezi.

7.4.16 ILISHAURIWA kuwa Benki ifanye utaratibu wa kuwa na mkalimani wa lugha ya alama wakati wa Mkutano Mkuu. ILIELEZWA kwamba utaratibu wa kuwa na mkalimani wa lugha ya alama utatekelezwa kuanzia Mkutano Mkuu ujao.

7.4.17 ILISHAURIWA kwamba Benki iangalie uwezakano wa kuanzisha bidhaa/huduma isiyo na riba kwa wateja ili kuongeza amana na ushindani. ILIELEZWA kwamba Benki tayari imekamilisha mchakato wa kuwa na huduma za kibenki zenye misingi ya kiislam. Bidhaa za amana zisizo na riba ni sehemu ya mpango huu.

7.4.18 ILIULIZWA Benki ina mikakati gani ili bei ya hisa iendelee kukua. ILIELEZWA kwamba Benki imeweka mikakati mbalimbali kuhakikisha inafanya vizuri katika Nyanja zote ili kuongeza Mapato ambayo yataenda kuakisi bei ya hisa za Benki. Mikakati hiyo ni pamoja na kuongeza ufanisi, kuongeza mtaji wa benki, kukuza rasilimali zetu, kuongeza amana na kuongeza kutoa mikopo yenye viwango.

7.4.19 ILISHAURIWA Benki iangalie uwezekano wa wanahisa kununua hisa kidijitali hasa kwenye Simbanking APP au Simbanking USSD. ILIELEZWA kwamba Benki imeanza kutekeleza mikakati itakayowezesha ununuzi wa hisa kidigitali kupitia Simbaking App na Simbaking USSD Code.

7.4.20 Mkurugenzi wa Bodi, Bw. Jes Klausby alipongeza Menejimenti kwa maandalizi na kuratibu vizuri Mkutano Mkuu ulioendeshwa kwa mara ya kwanza kwa njia ya kidijitali na kueleza kuwa ilikuwa rahisi kwake kufuatilia mijadala yote akiwa nje ya nchi (Denmark) na kushauri kwamba mikutano itakayofuata iruhusu wanahisa kushiriki kwa njia ya kidijitali. 7.4.21 Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu na Mkurugenzi Mtendaji walieleza kuwa maswali, maoni, ushauri na mapendekezo yote kutoka kwa wanahisa yatafanyiwa kazi ili kuboresha utendaji wa Benki na kuongeza thamani ya hisa.

8.0 KUIDHINISHA GAWIO KWA MWAKA 2019 8.1 Bodi ya Wakurugenzi ILIPENDEKEZA gawio kwa Mwaka unaoishia tarehe 31 Desemba, 2019 liwe shilingi 17/= kwa kila hisa kwa wanahisa watakaokuwemo kwenye daftari litakapofungwa tarehe 26 Juni, 2020 na malipo yafanyike kuanzia tarehe 30 Juni, 2020. 8.2 Wanahisa walipiga kura kuidhinisha pendekezo la gawio kwa mwaka unaoishia tarehe 31 Desemba, 2019 ambapo kura za ndio zilikuwa asilimia 99.90 ya kura 1,004,181,221 zilizopigwa.

8.3 ILIAZIMIWA kwamba gawio kwa mwaka unaoishia tarehe 31 Desemba, 2019 liwe shilingi 17/= kwa kila hisa kwa wanahisa watakaokuwemo kwenye daftari litakapofungwa tarehe 26 Juni, 2020 na malipo yafanyike kuanzia tarehe 30 Juni, 2020.

9.0 KUIDHINISHA ADA YA WAKURUGENZI 9.1 Bodi ya Wakurugenzi ILIPENDEKEZA jumla ya ada kwa Wakurugenzi kwa Mwaka 2020 iwe shilingi 850,413,934/= ambazo zitatumika kuwalipa wajumbe wa Bodi na kamati nne za Bodi zilizopo sasa. 9.2 Wanahisa walipiga kura kuidhinisha ada ya wakurugenzi ambapo kura za ndio zilikuwa asilimia 99.76. ya kura 1,033,846, 074 zilizopigwa.

9.3 ILIAZIMIWA kuwa ada ya Wakurugenzi kwa Mwaka 2020 iwe shilingi 850,413,934/= ambazo pia zitatumika kuwalipa wajumbe wa kamati nne za Bodi zilizopo sasa kama ilivyopendekezwa na Bodi ya Wakurugenzi.

42 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 10.0 KUTEUA WAKAGUZI WA NJE WA HESABU 10.1 Bodi ya Wakurugenzi ILIPENDEKEZA Kampuni ya Ukaguzi wa Hesabu ya Ernst and Young Tanzania ya S.L.P 2475, Dar es salaam, iteuliwe kuwa Wakaguzi wa Nje wa Hesabu za Benki na Kampuni zake Tanzu kwa Mwaka 2020 kwa masharti na ada itakayopangwa na Bodi ya Wakurugenzi.

10.2 Wanahisa walipiga kura kuteua wakaguzi wa nje wa hesabu ambapo kura za ndio zilikuwa asilimia 99.90 ya kura 1,013,314,327 zilizopigwa.

10.3 ILIAZIMIWA kuwa Kampuni ya Ukaguzi wa Hesabu ya Ernst and Young Tanzania ya S.L.P 2475, Dar es Salaam, iwe Wakaguzi wa Nje wa Hesabu za Benki na Kampuni zake Tanzu kwa mwaka 2020 kwa masharti na ada itakayopangwa na Bodi ya Wakurugenzi.

11.0 KUSTAAFU KWA WAJUMBE WA BODI 11.1 Theluthi moja ya Wakurugenzi wa Bodi walitakiwa kustaafu ili kutoa nafasi ya kufanyika uchaguzi. Wakurugenzi waliostaafu ni Prof. Neema Munisi Mori anaewakilisha kundi la wanahisa wenye hisa chini ya asilimia moja ambae aligombea kuwa Mjumbe Huru wa Bodi. Bw. Ebenezer Ngea Essoka kutoka kundi la wanahisa wenye hisa kati ya asilimia moja na kumi (1% na 10%) alistaafu baada ya kundi la wanahisa alilokuwa anawakilisha kuuza hisa zao zote. 11.2 Mwenyekiti alimkaribisha Prof. Neema Munisi Mori kuwaaga wanahisa kutokana na kumaliza muda wake wa miaka mitatu akiwa Mjumbe wa Bodi anaewakilisha kundi la wanahisa wenye hisa chini ya asilimia moja.

11.3 Prof. Neema Munisi Mori aliwashukuru wanahisa na wadau wote na Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na wafanyakazi wa Benki ya CRDB kwa ushirikiano waliompatia katika kipindi chake chote akiwa Mjumbe wa Bodi.

12.0 KUCHAGUA WAJUMBE WAWILI HURU WA BODI 12.1 Wanahisa walitakiwa kupiga kura kuchagua wajumbe wawili huru wa Bodi ili kukidhi matakwa ya Kanuni za Benki na Taasisi za Fedha (Udhibiti na Ukaguzi wa Ndani) za Mwaka 2014 na Waraka wa Benki Kuu na Mwongozo wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana zinazoagiza benki ziwe na idadi ya kutosha ya wajumbe huru wa Bodi. Katibu aliwaeleza wanahisa kwamba mjumbe mmoja huru wa Bodi alichaguliwa mwaka 2019 hivyo wajumbe wawili huru wa Bodi walitakiwa kuchaguliwa mwaka 2020 kutimiza idadi inayotakiwa kisheria.

12.2 ILIELEZWA kwamba wagombea wanne walipitishwa na Bodi kuwania nafasi mbili za Ujumbe Huru wa Bodi. Wagombea hao ni; Prof. Neema Munisi Mori, Bw. Damas Damian Mugashe, Bi. Hilda Shenyagwa Noor na Bi. Miranda Naiman Mpogolo.

12.3 Mwenyekiti aliwakaribisha wagombea wote kujieleza mbele ya wajumbe wa Mkutano Mkuu kwa dakika tatu. Wagombea walijieleza kupitia video zao zilizorekodiwa ambazo zilichezwa wakati wa Mkutano Mkuu. 12.4 Wanahisa walipewa fursa ya kuwapigia kura wagombea kwa njia ya mtandao.

12.5 Matokeo ya uchaguzi wa Wajumbe Huru wa Bodi yameainishwa katika jedwali Na. 12.5 hapa chini:

Jedwali: 12.5 Matokeo ya uchaguzi wa Wajumbe Huru wa Bodi

Na. Jina la Mgombea Idadi ya kura 1. Prof. Neema Munisi Mori 1,058,155,926 2. Bi. Miranda Naiman Mpogolo 576,872,622 3. Bi. Hilda Shenyagwa Noor 354,962,529 4. Bw. Damas Damian Mugashe 135,508,332 JUMLA 2,125,499,409

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 43 12.6 Mwenyekiti aliwatangaza Prof. Neema Munisi Mori na Bi. Miranda Naiman Mpogolo kuwa Wajumbe Huru wa Bodi baada ya kupata kura nyingi kuliko wagombea wengine. 12.7 Mwenyekiti aliwatangaza Bi. Hilda Shenyagwa Noor na Bw. Damas Damian Mugashe kuwa kwenye orodha ya akiba.

13.0 KUJADILI MAPENDEKEZO KUTOKA KWA WANAHISA Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu alitangaza kuwa hakuna mapendekezo yaliyopokelewa kutoka kwa wanahisa. 14.0 MENGINEYO KWA IDHINI YA MWENYEKITI Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu alitangaza kuwa hakuna mengineyo.

15.0 KUPANGA MAHALI NA TAREHE YA MKUTANO MKUU WA ISHIRINI NA SITA

15.1 Bodi ya Wakurugenzi ILIPENDEKEZA Mkutano Mkuu wa 26 wa Benki ya CRDB Plc ufanyike siku ya Jumamosi tarehe 22 Mei, 2021 katika Ukumbi wa Simba, Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha AICC jijini Arusha kuanzia saa tatu kamili asubuhi (3.00). 15.2 Katibu alitoa hoja ya wajumbe kupiga kura kuchagua mahali ambapo Mkutano Mkuu wa 26 utafanyika. Wanahisa walipiga kura kuchagua mahali ambapo Mkutano Mkuu wa 26 utafanyika mwaka 2021 ambapo kura za ndio zilikuwa asilimia 96.93 ya kura 687,234,432 zilizopigwa.

15.3 ILIAZIMIWA kuwa Mkutano Mkuu wa Ishirini na Sita wa Wanahisa wa Benki ya CRDB ufanyike siku ya Jumamosi tarehe 22 Mei, 2021 katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC), kwenye ukumbi wa Simba kuanzia saa 3.00 kamili asubuhi.

16.0 KUFUNGA MKUTANO 16.1 Mkurugenzi Mtendaji alimshukuru Mwenyekiti wa Bodi na Wajumbe wote wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB kwa kutoa maelekezo na mwongozo mzuri kwa Menejimenti yaliyochangia mafanikio makubwa ya Benki. Aliwashukuru wanahisa kwa kushiriki Mkutano Mkuu na kutoa michango na maoni ambayo yataisaidia Menejimenti kuboresha utendaji na kueleza kuwa Menejimenti na wafanyakazi wote wataendelea kujituma zaidi ili Benki iwe na mafanikio bora zaidi. 16.2 Alishukuru mamlaka za usimamizi kwa ushiriki wao na kuweka miongozo inayofanya sekta ya fedha iendelee kuwa imara zaidi. Alimshukuru Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Serikali kwa ujumla kwa ushirikiano na maendeleo ya nchi. 16.3 Aliwashukuru wateja na kueleza kuwa mafanikio ya Benki yanatokana na mchango wao. Alieleza kuwa mafanikio ya Benki yanatokana na nguvu na ushirikiano mkubwa miongoni mwa wafanyakazi kuanzia Afisa Mkuu Biashara, Afisa Mkuu Fedha, Afisa Mkuu Uendeshaji, Mkurugenzi Mtendaji Benki ya CRDB Burundi S.A., Meneja Mkuu wa Kampuni tanzu ya CRDB Insurance Broker Ltd. Aliwashukuru wakurugenzi wote wa Benki Makao Makuu kwa umoja na ushirikiano wao, mameneja wa Kanda kwa mafanikio yaliyopatiakana. Alieleza kuwa gawio la shilingi 17 kwa hisa lililotolewa mwaka huu ni chachu kwa Benki kufanya vizuri zaidi. 16.4 Aliwapongeza wajumbe wapya wa Bodi na kuwahakikishia kuwa Menejimenti ipo tayari kufanya nao kazi. 16.5 Makamu Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu aliwashukuru Wajumbe wa Bodi na wanahisa kwa dhamana ya uongozi waliyompa na kueleza kuwa Mkutano Mkuu uliendeshwa kwa ufanisi na kuahidi kuwa maoni yote yaliyotolewa yatafanyiwa kazi lengo likiwa ni kuongeza mapato, kupunguza gharama za uendeshaji ili gawio kwa wanahisa liongezeke. 16.6 Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu aliwashukuru wanahisa na wadau kwa kuhudhuria Mkutano Mkuu. Alieleza kuwa pongezi nyingi zilipokelewa kutoka kwa wanahisa na wadau mbalimbali ndani na nje ya nchi kutokana na Mkutano Mkuu kuendeshwa kwa mafanikio. Alieleza kwamba

44 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 changamoto ndogo zilizojitokeza kwa kuwa ilikuwa mara ya kwanza kufanya Mkutano Mkuu kwa njia ya kidijitali zilitatuliwa. Aliwashukuru wajumbe wa Bodi waliopo na kuwakaribisha na kuwapongeza wajumbe Huru wapya wa Bodi waliochaguliwa. Pia aliwapongeza wafanyakazi wa Benki ya CRDB kwa mafanikio yaliyopatikana na kuwataka kufanya kazi kwa bidii zaidi ili kupata mafanikio makubwa zaidi. 16.7 Mwenyekiti alifunga Mkutano saa 7:58 mchana.

IMETHIBITISHWA ______MWENYEKITI KATIBU ______TAREHE

Dondoo Na. 5 YATOKANAYO NA MKUTANO MKUU WA ISHIRINI NA TANO WA CRDB BANK PLC ULIOFANYIKA KWA NJIA YA KIDIJITALI SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 27 JUNI, 2020

NO KUMB. MAPENDEKEZO/USHAURI UTEKELEZAJI 1.0 7.0 KUIDHINISHA GAWIO KWA MWAKA 2019 1.1 7.3 ILIAZIMIWA kwamba Gawio kwa Limetekelezwa. Malipo ya Gaw- mwaka unaoishia tarehe 31 Desem-ba, io kwa mwaka ulioishia tare- 2019 liwe shilingi 17/= kwa kila hisa kwa he 31 Desemba, 2019 la shilingi wanahisa watakaokuwe-mo kwenye 17/= kwa kila hisa kwa wanahisa daftari litakapofung-wa tarehe 26 Juni, waliokuwemo kwenye daftari lil- 2020 na malipo yafanyike kuanzia ilofungwa tarehe 26 Juni, 2020 tarehe 30 Juni, 2020. na malipo yalifanyika kuanzia tarehe 30 Juni, 2020.

2.0 8.0 KUIDHINISHA ADA YA WAKURUGENZI 2.1 8.3 ILIAZIMIWA kuwa ada ya Wakuru- Limetekelezwa. Ada ya wakuru- genzi kwa Mwaka 2020 iwe shilingi genzi kwa Mwaka 2020 ya shilin- 850,413,934/= ambazo pia zitatumika ku- gi 850,413,934/= imelipwa kwa walipa wajumbe wa kamati nne za Bodi wajumbe wa Bodi pamoja na ka- zilizopo sasa kama ilivyopendekezwa na mati nne za Bodi zilizopo sasa. Bodi ya Wakurugenzi. 3.0 9.0 KUTEUA WAKAGUZI WA NJE WA HESABU

3.1 9.3 ILIAZIMIWA kuwa Kampuni ya Ukaguzi Imetekelezwa kama ilivyoazimi- wa Hesabu ya Ernst and Young Ta n - wa. Kampuni ya Ukaguzi wa Hes- zania ya S.L.P 2475, Dar es Salaam, iwe abu ya Ernst and Young Tanza- Wakaguzi wa Nje wa Hesabu za Benki na nia ya S.L.P 2475, Dar es salaam, Kampuni zake Tanzu kwa mwaka 2020 ni Wakaguzi wa Nje wa Hesabu kwa masharti na ada i t a kayo p a - za Benki na Kampuni zake Tanzu ngwa na Bodi ya Wakurugenzi. kwa mwaka 2019 kwa masharti na ada iliyopangwa na Bodi ya Wakurugenzi.

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 45 NO KUMB. MAPENDEKEZO/USHAURI UTEKELEZAJI 4.0 11.0 KUCHAGUA WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI 4.1 11.6 Mwenyekiti aliwatangaza Prof. Neema Wajumbe wote wapya wa Bodi Mu-nisi Mori na Bi. Miranda Naiman wameidhinishwa na Benki kuu. Mpogolo kuwa Wajumbe Huru wa Bodi baada ya kupata kura nyingi kuliko wagombea wengine.

Mwenyekiti aliwatangaza Bi. Hilda Shen- yagwa Noor na Bw. Damas Damian Mu- 11.7 gashe kuwa kwenye orodha ya akiba.

5.0 14.0 KUPANGA MAHALI NA TAREHE YA MKUTANO MKUU WA ISHIRINI NA TANO

5.1 14.3 ILIAZIMIWA kuwa Mkutano Mkuu wa Litatekelezwa kama il- Ishirini na Sita wa Wanahisa wa Benki ya ivyoazimiwa. CRDB ufanyike siku ya Jumamosi tarehe 22 Mei 2021 katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC), kwenye ukumbi wa Simba kuanzia saa 3.00 kamili asubuhi.

Bw. Abdulmajid M. Nsekela MKURUGENZI MTENDAJI

46 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 Dondoo Na. 6 TAARIFA YA BODI YA WAKURUGENZI NA TAARIFA YA HESABU ZILIZOKAGULIWA ZA MWAKA 2020

6.1 KUPOKEA TAARIFA YA BODI YA WAKURUGENZI

(Tafadhali rejea Taarifa ya Mwaka ya kiingereza 2020, ukurasa wa 100 - 109)

Wanahisa wanaombwa kupitisha azimio la kuipokea taarifa ya Bodi ya Wakurugenzi.

6.2 KUPOKEA TAARIFA YA HESABU

(Tafadhali rejea Taarifa ya Mwaka ya kiingereza 2020, ukurasa wa 110 -363)

Wanahisa wanaombwa kupitisha azimio la kuipokea taarifa ya Hesabu zilizokaguliwa kwa mwaka ulioishia tarehe 31 Desemba 2020.

6.3 GAWIO KWA MWAKA 2020

6.3.1 Pendekezo

Kwa mujibu wa sehemu ya VIII ya Katiba ya Kampuni, Bodi ya Wakurugenzi inapendekeza gawio kwa mwaka unaoishia tarehe 31 Desemba 2020 liwe Shilingi 22/ = kwa kila hisa kwa wanahisa watakaokuwepo kwenye daftari litakapofungwa tarehe 20 April, 2021 na malipo yafanywe kuanzia tarehe 07 Juni, 2021

1.1.2 Kinachohitajika

Wanahisa wanaombwa kupitisha azimio la kuafiki pendekezo la Bodi ya Wakurugenzi kwamba gawio kwa mwaka ulioishia tarehe 31 Desemba 2020 liwe shilingi 20 April, 2021 kwa hisa kwa wanahisa watakaokuwepo kwenye daftari litakapofungwa tarehe 22/= na malipo yafanyike kuanzia tarehe 07 Juni, 2021.

Dondoo Na. 7 KUIDHINISHA MABADILIKO YA KATIBA YA BENKI – AZIMIO MAALUM

Maelezo Tangu benki ilipofanya mabadiliko ya Kanuni zake mwaka 2015, Serikali imefanya mabadiliko ya sheria mbalimbali ambazo kwa namna moja ama nyingine inailazimu benki kufanya mabadiliko kwenye kanuni za benki ili kukidhi matakwa ya kisheria. Hivyo basi baadhi ya kanuni zitafanyiwa marekebisho na vile vile kutangaza kanuni mpya kwa minajili ya kufuata matakwa ya mabadiliko hayo ya kisheria. Kutokana na mabadiliko hayo ya kisheria bodi ya wakurugenzi inapendekeza kufanya mabadiliko kwenye kanuni za benki kwenye maeneo yafuatayo: 1. Kufanya marekebisho ili yaendane na vifungu vya sheria. 2. Kufanya Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu Kutambulika katika kanuni; 3. Kujumuisha kamati za kisheria za bodi pamoja na ya utawala bora, uteuzi na rasililimali watu; 4. Kuongeza majukumu ya kamati za ukaguzi na utawala bora, uteuzi na rasililimali watu, ikiwemo kuweka kwenye kanuni matakwa ya kuwepo kwa miongozo ya Kamati za Bodi pamoja na kuipa Mamlaka ya kuteua bodi ya wakurugenzi;

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 47 5. Kuweka mfumo wa utaratibu wa kuteua na kuchagua bodi ya wakurugenzi; 6. Kuweka namna bora ya kupokea taarifa za makampuni tanzu kama njia ya kampuni mama kudhibiti kampuni hizo. 7. Kuweka Ukomo wa mihula ya wakurugenzi

7.1 Pendekezo Bodi ya Wakurugenzi inapendekeza mabadiliko kwenye Kanuni za Benki kama ilivyoambatishwa katika Jedwali Namba 1 (Kiswahili) na Jedwali Namba 2 (Kiingereza).

7.2 Kinachohitajika Wanahisa wanaomba kupitisha Azimio la kuafiki mabadiliko kwenye Kanuni za Benki kama ilivyopendekezwa na Bodi ya Wakurugenzi.

Dondoo Na. 8 KUIDHINISHA ADA YA WAKURUGENZI 8.1 Pendekezo Bodi ya Wakurugenzi inapendekeza jumla ya ada kwa Wakurugenzi iwe shilingi 965,000,000/= kwa mwaka 2021 ambazo zitatumika pia kuwalipa wajumbe kwenye kamati nne za Bodi zilizopo hivi sasa.

8.2 Kinachohitajika

Wanahisa wanaombwa kupitisha azimio la kuafiki pendekezo la Bodi ya Wakurugenzi na kupitisha jumla ya ada kwa Wakurugenzi ya Shilingi 965,000,000/= kwa mwaka 2021 ambazo zitatumika pia kuwalipa wajumbe kwenye kamati nne za Bodi zilizopo hivi sasa.

48 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 Dondoo Na. 9. KUTEUA WAKAGUZI WA HESABU

9.1 Mapendekezo

Bodi ya Wakurugenzi, inapendekeza Kampuni ya Ukaguzi wa Hesabu wa nje, Ernst & Young ya S.L.P 2475 Dar es Salaam, iteuliwe kuwa Wakaguzi wa hesabu za Benki kwa mwaka 2021, kwa masharti na ada itakayopangwa na Bodi ya Wakurugenzi.

1.2 Kinachohitajika Wanahisa wanaombwa kupitisha azimio la kuteua Kampuni ya Ukaguzi wa Hesabu wa nje, Ernst & Young ya S.L.P 2475 Dar es Salaam, kuwa wakaguzi wa Benki kwa mwaka 2021, kwa masharti na ada itakayopangwa na Bodi ya Wakurugenzi.

Dondoo Na. 10.0 KUCHAGUA WAJUMBE WA BODI

1.1 Utangulizi A. Katiba ya Benki imeelekeza kuwa mkurugenzi wa Bodi atahudumu kwenye Bodi kwa kipindi cha miaka mitatu tu, japo anaweza kuchaguliwa tena. Hivyo: kila Mwaka kuna wakurugenzi wa Bodi ambao wanastaafu ili kutoa nafasi ya uchaguzi kufanyika.

B. Mwaka huu wakurugenzi wawili wa Bodi ambao ni Bi. Rose Felix Metta ambaye anawakilisha kundi la wanahisa wenye hisa kati ya asilimia moja na kumi (1% - 10%) na Prof. Faustine Karrani Bee ambaye anawakilisha kundi la wanahisa wenye hisa chini ya asilimia moja (1%), wanatakiwa kustaafu baada ya kuhudumu kwenye Bodi kwa kipindi cha miaka mitatu. Hata hivyo, wakurugenzi hao wanaweza kuchaguliwa tena kwa kipindi kingine.

C. Hivyo wanahisa wanatakiwa kupiga kura kuchagua wakurugenzi wawili wa Bodi kama ifuatavyo: -

i. Mkurugenzi mmoja wa Bodi atakayewakilisha kundi la wanahisa wenye hisa chini ya asilimia moja (1%). ii. Mkurugenzi mmoja wa Bodi atawakilisha kundi la wanahisa wenye hisa kati ya asilimia moja na kumi. (1% - 10%)

Taratibu: 1. Kwa mujibu wa kifungu 52 - 63 uchaguzi wa wakurugenzi utakuwa kwa njia ya kura na utafanywa katika makundi mawili, wale wenye hisa asilimia moja na Zaidi na wale wenye hisa chini ya asilimia moja ya hisa zote.

2. Kwa mujibu wa kifungu 82, theluthi moja ya wakurugenzi wanatakiwa kustaafu ili kutoa nafasi ya kufanyika uchaguzi. Anaestaafu mwaka huu kutoka kwenye kundi la wanahisa wenye hisa chini ya asilimia moja (1%) ni Prof. Faustine K. Bee na Rose Metta kutoka kundi la wanahisa wenye hisa kati ya asilimia moja na kumi (1% na 10%).

3. Wanahisa wenye hisa chini ya asilimia moja watamchagua mjumbe mmoja (1) na wanahisa wenye hisa kati ya asilimia moja na kumi watamchagua mjumbe mmoja (1) Mgombea atakayepata kura nyingi zaidi kulingana na nafasi iliyopo atachaguliwa kama mjumbe wa bodi ya wakurugenzi. Mgombea mmoja atakaefuatia kwa kura nyingi atawekwa kwenye kundi la akiba endapo aliyekwishachaguliwa atakataliwa na Benki Kuu au kuacha kwa sababu nyinginezo.

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 49 4. Kila mgombea atapewa dakika 3 za kujieleza na kujibu swali lolote atakaloulizwa.

5. Karatasi za kupigia kura zitasambazwa.

6. Uchaguzi utakuwa wa siri kulingana na uzito wa hisa.

7. Jina la mkurugenzi aliyeshinda katika uchaguzi litatangazwa na Mwenyekiti wa Mkutano.

1.2 Taarifa: Kielelezo cha Mgawanyo wa Umiliki wa Hisa hadi kufikia Tarehe 30 Machi, 2021

No. Makundi ya Umiliki wa Hisa Asilimia Idadi ya Hisa 1 Asilimia kumi na zaidi 34.3 894,828,676 2 Asilimia Moja hadi chini ya Asili- 26.3 691,429,997 mia kumi 3 Chini ya Asilimia Moja 39.4 1,025,579,911 Jumla 100.0 2,611,838,584 1.3 Majina ya Wagombea

Majina ya wajumbe wa Bodi watakaowakilisha kundi la wanahisa wenye hisa kati ya asilimia moja na kumi (1% - 10%) i. Rose Felix Metta ii. Gerald Paul Kasaato iii. Hilda Shenyagwa Noor

Majina ya wajumbe wa Bodi watakaowakilisha kundi la wanahisa wenye hisa chini ya asilimia moja (1%.)

i. Prof. Faustine Karrani Bee ii. Poniwoa Andrew Godlove Mbisse iii. Grace Philotea Joachim

1.4 Sifa za wagombea kufuatana na katiba na mwongozo wa Benki Kuu

• Article 77 of CRDB Bank MEMARTS “Each of the directors appointed or elected shall be a person with knowledge and experience of either economics or financial matters or accountancy or legal expertise or rural development, agriculture or small-scale industries or co-operatives or any other equivalent qualifications. All directors appointed and elected shall be confirmed by the Annual General Meeting but such that their appointment shall not be effective until approved by the Bank of Tanzania.”

• Article 93 of CRDB Bank MEMARTS 93. The office of director shall be vacated if the direct 93.1 ceases to be a director by virtue of any provision of the Act or he becomes prohibited by law for being a director or becomes elected as member of parliament; or becomes an office bearing politician, or 93.2 becomes bankrupt or makes any arrangement or composition with his creditors generally; or 93.3 becomes of unsound mind; or

50 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 93.4 resigns his office by notice in writing to the bank; or 93.5 is seventy or more years of age or is under 21 years of age; or 93.6 shall for more than six consecutive months have been absent without permission of the directors from meetings of the directors held during that period and the directors resolve that his office be vacated. Member of the board shall be appointed subject to approval by the Bank of Tanzania

• Section 7 Part II of Banking and Financial Institution Act 2006, No. 12 of 1991 Regulations - Character and Experience of Proposed members of the Board and Management Team.

(1) The Bank shall make an assessment as to whether the proposed members of the board of directors and senior management of a proposed institution are fit and proper persons. The quality and capability of board members and management shall be the most essential ingredient for a successful banking operation. Accordingly, applications for a banking licence shall undergo close scrutiny as to the character and experience of their proposed management and board members. The aforesaid assessment shall be conducted in accordance with the criteria set out in the First Schedule hereto.

The Bank shall evaluate and determine to the extent possible, that the proposed members of the board of directors and senior management team has the experience and ability to manage fund, credit evaluation, collection procedures, proper accounting systems, effective internal control, audit programmes and management of information systems. These are essential areas. As such, the bank will review the curriculum vitae or personal information/history of the proposed board members and management team. The Bank reserves the right to interview the proposed board members and the management team and may enquire as to past performance and reputation, skills including fund management, credit evaluation, collection procedures, proper accounting systems, effective internal control, capable internal audit programmes, and effective management information systems.

Dondoo Na. 11.0 MAPENDEKEZO KUTOKA KWA WANAHISA

 (Mapendekezo yataambatishwa).

Dondoo Na. 12.0 MENGINEYO

Kujadili mengineyo kwa idhini ya Mwenyekiti.

Dondoo Na. 13.0 TAREHE YA MKUTANO UJAO

Pendekezo

Bodi ya wakurugenzi Inapendekezwa kwamba Mkutano Mkuu wa ishirini na saba ufanyike siku ya Jumamosi tarehe 21 Mei 2022 katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC), Ukumbi wa Simba.

Dondoo Na. 14.0 KUFUNGA MKUTANO

Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021 51 Mapendekezo ya mabadiliko kwenye kanuni za Benki Jedwali Namba 1

Kanuni ya 41 Kanuni inayopendekezwa Sababu za marekebisho

Uchaguzi wa Mwenyekiti na makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi · Mwenyekiti na makamu wake wanapaswa wake kwenye Mkutano Mkuu au ikiwa hayupo Makamu wake kupata uthibitisho kutoka Benki Kuu. au makamu asipokuwepo basi Iwapo wamechaguliwa kwenye mkutano Mwenyekiti wa mkutano mkuu na mkurugenzi yeyote wa bodi mkuu kama inavyofanyika sasa, Mwenyekiti Makamu wake watachaguliwa kwenye aliyeteuliwa na wakurugenzi alieyechaguliwa atakuwa hajakidhi matakwa mkutano huu kutoka miongoni wenzake atakuwa ndiye mwenyekiti ya kisheria. Mwongozo wa Mamlaka ya mwa wanahisa. Mwenyekiti au kama wa Mkutano Mkuu. mitaji, masoko na dhamana (CMSA) hayupo makamu wake ataongoza inahitaji Mwenyekiti na Makamu wake kuwa Mkutano Mkuu. Muda wa uongozi wakurugenzi huru wasio kuwa watendaji wa Mwenyekiti na wa makamu · Mwenyekiti lazima awe na ufahamu wa wake utakoma pale mkutano mikakati ya benki au taarifa muhimu mkuu uliowachagua utakapoisha. zinazohitajika kutolewa kwa wajumbe kwa Isipokuwa pale Mkutano Mkuu minajili ya mjadala au maamuzi. Mwenyekiti utakapohaisrishwa kwa mujibu wa anayechaguliwa kwenye mkutano mkuu kanuni ya 45, muda wa uongozi wa anaweza asikidhi vigezo; Mwenyekiti na Makamu wake utakoma · Muda wa Mwenyekiti wa mkutano mkuu baada ya kufanyika mkutano unakoma pale mkutano uliomchagua uliohairishwa. unapokisha. Kwa kuwa kumbukumbu za mkutano zinaandaliwa baada ya mkutano mkuu mwenyekiti anakosa mamlaka ya kusaini kumbukumbu za mkutano kama mwenyekiti wa mkutano mkuu · Inaendana na matakwa ya sheria ya makampuni

Kanuni ya 57 Kanuni mpya inayopendekezwa Sababu za Marekebisho

Kupiga kura kulingana na idadi ya hisa Mwanahisa anaweza kupiga kura · Kurahisisha usimamizi na udhibiti wa zoezi yeye mwenyewe au kwa kupitia la kupiga kura kwenye mkutano mkuu. Mwanahisa anaweza kupiga kura yeye mwakilishi. Mwanahisa hawezi mwenyewe au kwa kupitia mwakilishi. kuteua mwakilishi zaidi ya mmoja Mwanahisa anaweza akachagua katika mkutano mmoja. Mwanahisa mwakilishi zaidi ya mmoja kuhudhuria atamwelekeza mwakilishi wake kikao kimoja. namna ya kupiga kura kutokana na ajenda za mkutano mkuu au mkutano mkua wa dharura.

Kanuni ya 67 Kanuni mpya inayopendekezwa Sababu za marekebisho Uteuzi wa Mkurugenzi wa Bodi Kila mwanahisa anayemiliki asilimia · Marekebisho yanalenga kuongeza wigo kumi (10%) ama zaidi ya hisa wa fungu lenya asilimia kumi na zaidi. Kila mwanahisa anayemiliki asilimia zilizotolewa na kulipiwa atakuwa kumi (10%) ya hisa zilizotolewa na na haki ya kuchagua Mkurugenzi · Kuwaomba DANIDA wazingatie maoni ya kulipiwa atakuwa na haki ya kuchagua mmoja. Kila fungu la asilimia kumi Bodi ya wakurugenzi pale wanapoteua Mkurugenzi mmoja. Kila fungu la (10%) la mtaji uliolipiwa litakuwa wakurugenzi wa Bodi. asilimia kumi (10%) la mtaji uliolipiwa na haki ya kuchagua au kuteua litakuwa na haki ya kuchagua au Mkurugenzi mmoja bila kuathiri haki kuteua Mkurugenzi mmoja bila ya Danida ya kuteua wakurugenzi kuathiri haki ya Danida ya kuteua wawili mpaka pale Danida wakurugenzi wawili mpaka pale watakapokuwa wameuza hisa zao Danida watakapokuwa wameuza hisa zote ndani ya benki. uteuzi wa zao zote. wakurugenzi hao utazingatia maoni ya Bodi ya Wakurugenzi. Kanuni ya 68 Kanuni Mpya inayopendekezwa Sababu za Marekebisho

Uteuzi wa Mkurugenzi Wanahisa wanaomiliki hisa kati · Kupungua kwa umiliki wa hisa chini ya asilimia moja (1%) mpaka kumi ya asilimia kumi (10%) za mwanahisa Wanahisa wanaomiliki hisa kati ya (10%) ya mtaji wa benki uliotolewa kusibatilishe uteuzi wa mkurugenzi wa asilimia moja (1%) mpaka kumi na kulipiwa kwa pamoja watachagua bodi aliyekuwa amechaguliwa awali. (10%) ya mtaji wa benki uliotolewa mkurugenzi mmoja katika kila na kulipiwa, kwa pamoja watateua kundi la asilimia kumi (10%) za hisa mkurugenzi mmoja kwa kila zinazomilikiwa. Isipokuwa pale fungu la asilimia kumi (10%) ya ambapo sehemu yeyote ya fungu hisa wanazomiliki, isipokuwa pale ya asilimia kumi (10%) ambayo kwa ambapo sehemu yeyote ya asilimia peke yake haiwezi kufikia asilimia kumi (10%) ya hisa ambayo kwa kumi (10%) ya umiliki wa hisa kundi peke yake haifikishi asilimia (10%) hili halitakuwa na haki ya kuchagua kumi haitakuwa na haki ya kuteua mkurugenzi wa bodi. mkurugenzi.

Kanuni ya 69 Kanuni Mpya inayopendekezwa Sababu za Marekebisho Uteuzi wa Mkurugenzi Wanahisa wanaomiliki hisa chini · Mabadiliko haya yanatoa nafasi ya kupata ya asilimia kumi (10%) ya mtaji wa mkurugenzi huru wa ziada na wakati Wanahisa wanaomiliki hisa chini benki uliotolewa na kulipiwa kwa huohuo benki iweze kukidhi matakwa ya asilimia moja ya mtaji wa benki pamoja watachagua mkurugenzi ya kanuni ya 66 inayoweka ukomo wa uliotolewa na kulipiwa, kwa pamoja mmoja kwa kila fungu la asilimia wakurugenzi kumi na mbili (12). watateua mkurugenzi mmoja na kumi (10%) ya mtaji wa benki mwingine mmoja wa ziada katika kila uliotolewa na kulipiwa. Isipokuwa asilimia kumi ya hisa. pale ambapo sehemu yeyote ya asilimia kumi (10%) kwa peke yake haifikishi asilimia kumi (10%) hawatakuwa na haki ya kuchagua.

Kanunu Mpya ya 87 Sababu za Marekebisho

Uteuzi wa Mkurugenzi · Kanuni hii mpya inakusudia kuhakikisha kwamba mkurugenzi aliyechaguliwa Pale ambapo umiliki wa mwanahisa anaendelea katika nafasi yake hata pale yeyote aliyepo katika kundi lolote asilimia za mwanahisa yeyote katika utashuka chini ya asilimia moja kundi hili zinaposhuka chini ya asilimia mkurugenzi aliyechaguliwa kwa moja kutokana na ama mauzo ya hisa au kanuni hizi muda wake wa ukomo sababu nyingine yeyote. Hatua hii inalenga hautabatilishwa na mkurugenzi huyo kuondoa matakwa ya kutafuta mkurugenzi ataendelea kuwa mkurugenzi mpaka mwingine kwa kuwa zoezi hili ni refu na pale muda wake utakapokwisha bila linalohitaji ya kuathiri kanuni inayozungumzia mabadiliko ya wakurugenzi.

Kanunu ya 89 Sababu za Marekebisho

Pale ambapo kundi linalomiliki hisa Hatua hii inakusudia kutoa nafasi kwa wanahisa chini ya asilimia moja (1%) ya mtaji wenye chini ya asilimia moja kuwa na angalau nafasi wa benki uliotolewa na kulipiwa moja katika bodi ya wakurugenzi. haufikii kiwango cha asilimia kumi (10%) kinachohitajika watakuwa na haki ya kuchagua kwa pamoja mkurugenzi mmoja tuu kutoka katika orodha ya wagombea iliyoandaliwa na kamati ya utawala bora, uteuzi, na rasilimali watu na kupitishwa na Bodi ya Wakurugenzi.

Kanuni ya 70 Kanuni mpya inayopendekezwa Sababu za Marekebisho Uteuzi wa Mkurugenzi huru Wanahisa watachagua angalau · Kanuni hii inalenga kukidhi matakwa ya watu watatu (3) kuwa wakurugenzi kisheria. Wanahisa watateua mkurugenzi huru huru wa bodi ya wakurugenzi, mmoja katika bodi ya wakurugenzi. ilimradi wakurugenzi hao wakidhi Bodi ya wakurungenzi ndio watakao vigezo ya kuwa mkurugenzi huru na pendekeza wagombea wawili kwa watapigiwa kura na wanahisa wote wanahisa kwenye mkutano mkuu ambapo uchaguzi wa wakurugenzi hao utafanyika.

Kanuni Mpya ya 95 Sababu

b) Kuwasilisha kwa wanahisa wagombea walioteuliwa kwa ajili ya uchaguzi Kamati ya utawala bora, Kanuni hii inalenga kuimarisha utawala bora na uteuzi na rasilimali watu wataandaa kuweka mchakato wa uteuzi ambao haukuwepo kwa kadiri itakavyowezekana orodha kwenye kanuni zilizopo ya angalau wateule wawili (2) kwa kila nafasi ya ukurugenzi inayohitajika ambayo itapitishwa na bodi ya wakurugenzi na kuwasilishwa kwenye mkutano mkuu wa mwaka kwa ajili ya kupigiwa kura na wanahisa kwa mujibu wa kunaini ya 86, 88 na 90.

Kanuni Mpya ya 92 Sababu

Katazo la kuwa Mkurugenzi wa Kanuni hii inalenga kukidhi matakwa ya kisheria. makampuni zaidi ya matatu (3) yaliyoorodheshwa katika soko la hisa kwa wakati mmoja

Ukiacha Mkurugenzi aliyeteuliwa na Msajili wa Hazina, mtu yeyote anayeshikilia ukurugenzi katika makampuni zaidi ya matatu yaliyoorodheshwa kwenye soko la hisa, hatateuliwa au kuchaguliwa kuwa mkurugenzi katika bodi ya wakurugenzi ya benki.

Kanuni Mpya ya 93 Sababu Kila ifikapo Machi mosi ya kila Kanuni hii inalenga kukidhi matakwa ya kisheria mwaka na kabla ya mkutano mkuu wa kila mwaka, katibu wa bodi ya wakurugenzi atahakikisha taarifa juu ya vigezo vya umiliki wa hisa kwa kila kundi inawafikia bodi ya wakurugenzi kwa ajili ya kuangalia kama kuna nafasi ya wazi kwenye kundi husika.

Kanuni Mpya ya 96 Sababu Pale wanahisa watakapohitaji, Kanuni inalenga kumpa uwezo katibu wa Katibu wa kampuni atahakikisha Kampuni kuandaa mkutano wa makundi kabla ya kuanza kwa mkutano mkuu husika ya umiliki wa hisa kwa ajili ya kuchagua wa mwaka au vinginevyo, anaanda wakurugenzi kabla ya mkutano mkuu wa mwaka. mkutano mahususi kulingana na makundi ya umiliki wa hisa kama inavyoainishwa kwenye kanuni ya 86 mpaka 90 ili kuwawezesha wanahisa wa kundi husika kuchagua wakurugenzi. Wanahisa wote watataarifiwa na katibu wa kampuni wakurugenzi waliochaguliwa katika mkutano mkuu huo.

Kanuni Mpya ya 120 Sababu Bodi ya Wakurugenzi itaunda • Lengo ni kukidhi matakwa ya kisheria kamati ya ukaguzi ambayo itakuwa na miongozo ya mamlaka za udhibiti. na wakurugenzi angalau watatu ambao sio wa tendaji wa benki na amabao wawili kati yao watakuwa ni wakurugenzi huru wenye weledi wa mambo ya uhasibu, ukaguzi na uzoefu kwenye usimamizi wa fedha na mwenyeketi wake atakuwa ni mkurugenzi amabye sio mtendaji wa benki. Mkurugenzi wa kamati ya ukaguzi hatakua mkurugenzi wa kamati nyingine yeyote ya bodi ya wakurugenzi.

Kanuni Mpya ya 97 Sababu Teuzi zote za wakurugenzi wa bodi ya benki wa kuchaguliwa au wa kuteuliwa lazima wathibitishwe na Benki kuu na teuzi zitakuwa rasmi pale Benki kuu watakapozithibiti- sha. Wakurugenzi waliochaguliwa au kuteuliwa watahakikisha wanaipatia Benki Kuu taarifa au nyaraka zinazohitajika kwa haraka. Pale Benki Kuu isipothimthibitisha mkurugenzi yafuatayo yatafanyika;

Kwa wanahisa wenye o asilimia kumi (10%) ya hisa au Zaidi watateua mkurugenzi au wakurugenzi; Kwa makundi mengine o ya wanahisa, mtu aliyeshika nafasi ya pili kwenye uchaguzi wa wakurugenzi atateuliwa kuwa mkurugenzi baada ya kuthibitishwa na Benki; na Kwa wakurugenzi o amabao wanateuliwa na hawajathibitishwa na Benki Kuu, basi taratibu za uteuzi zitaanza upya.

Kanuni Mpya ya 37 Sababu Bila ya kuathiri vifungu vya • Lengo ni kuhakiisha kila mwanahisa sheria ya Makampuni, na kifungu atakayehudhuria Mkutano Mkuu kidijitali chochote cha sheria au kanuni anasikia au kuona yanayaoendelea kwenye nyingine za mamlaka za udhibiti, mkutano. mkutano mkuu unaweza kufanyika kwa wanahisa kuhudhuria pale wanapoweza kufika kimwili sehemu ya mkutano ndani ya Tanzania au kidijitali kwa njia ya mtandao unaoruhusu kila mwanahisa ama kuona au kusikia kupitia njia ya kielektroniki. Mkutanao Mkuu utaitishwa ndani ya miezi sita (6) baada ya kufunga mahesabu ya kila mwaka, au wakati mwingine wowote kama itakavyoamuliwa na bodi ya wakurugenzi.

Marekebisho ya Kanuni ya 36 kwa sababu kuongeza kanuni ndogo ya 46.3

Kila taarifa inayoitisha mkutano mkuu • Lengo ni kuondoa changamoto ya kuwepo itahakikisha kwa weledi inaeleza kwa wawakilishi wengi wanaomuwakilisha namna ambayo mkutano utafanyika mtu na badala yake mwakilishi mmoja kuwa kwa kueleza kama utakuwa ni kwa na uwezo wa kufanya yote atakayokuwa njia ya kufika kimwili kwenye eneo la anataka mwanahisa. mkutano au ni kwa njia ya kidijitali na pia itaeleza haki ya mwanahisa kuteua mwakilishi ambaye atakuwa na haki zote alizonazo mwanahisa ikiwemo kuhudhuria, kuongea na kupiga kura. Kwa upande mwingine mwakilishi wa mwanahisa sio lazima awe ni mwanahisa.

Marekebisho ya Kanuni ya 36 kwa Sababu kuongeza kanuni ndogo ya 46.3

Taarifa hiyo itaambatana na • muda wa kuwasilisha fomu ya uwakilishi nakala ya fomu ya uwakilishi kama imefupishwa mpaka masaa 48 kuruhusu inavyoonekana kwenye kanuni ya 71 uwezo wa kuwasilisha fomu muda mfupi na 72 na ikielezea kuwa fomu hiyo kabla ya mkutano. ikishajazwa inatakiwa kufikishwa kwa katibu wa kampuni muda wowote na kabla masaa arobaini na nane (48) ya tarehe iliyopangwa ya mkutano mkuu. Pia Mwakilishi wa jumla itamaanisha kuwa atakuwa na haki ya kufanya mambo yote ya mwanahisa pamoja na kuongea na kupiga kura kama atakavyoona inafaa. Kwa upande mwingine mwakilishi mahsusi atakuwa na haki ya kufanya yale tu mwanahisa aliyomruhusu kufanya.

Kanuni Mpya ya 40 • Sababu Benki kupitia kifungu cha sheria cha • Lengo ni kuweka mazingira ya kupitisha 147 cha sheria ya makampuni na kwa azimio bila ya kuitisha mkutano kwa kuwa mujibu wa matakwa ya kanuni za sheria inaruhusu ili itumike pale benki soko la hisa na sheria inayosimamia inapotakiwa kufanya jambo la kisheria au benki na taasisi za kifedha wanaweza maagizo ya kisheria na muda wa kuitisha kuamua jambo lolote kwa kupitisha mkutano ili wanahisa wapitishe azimio ni azimio kwenye mkutano mkuu mdogo. wa mwaka, kwa kupitisha azimio kwenye mkutano wa aina fulani ya kundi la wanahisa bila ya kufanya mkutano na bila ya kuwa na hitaji la taarifa ya awali kutolewa, itafanya azimio la maandishi kwa kusainiwa na au kwa niaba ya wanahisa wote amabao kwa tarehe ya azimio husika wangehudhuria na kupiga kura kwenye mkutano huo. HATAHIVYO kufanyika kwa azimio la maandishi badala ya kuitisha mkutano yatafanyika tu pale benki inatakiwa kufuata agizo la mamlaka ya udhibiti au matakwa ya kisheria na katika mazingira ambayo benki haiwezi kuwa na muda wa kufanya mkutano mkuu au mkutano mkuu wa dharura kwa ajili ya wanahisa kupitisha azimio.

Kanuni Mpya ya 41 Sababu Mwenyekiti ambaye angeongoza • Lengo ni kuweka uwazi wa uwakilishi wa mkutano mkuu wa mwaka pamoja kufanya azimio la maandishi kwa niaba ya na wanahisa ambao kwa pamoja wanahisa wote. wanaomiliki hisa zaidi ya asilimia hamsini (50%) ya hisa zilizolipwa watasaini azimio la maandishi kwa niaba ya wanahisa wote ambao katika tarehe ya azimio hilo walikuwa na haki ya kuhudhuria na kupiga kura kwenye mkutano mkuu. Sahihi ya kwenye azimio inaweza kuwekwa kwenye nakala Zaidi ya moja na tarehe husika ya azimio i itakuwa ni tarehe ambayo sahihi ya mwisho imefanyika.

Kanuni Mpya ya 42 Sababu Azimio lililopitishwa kwa mujibu • Lengo ni kuupa uhalali maazimio ya wa kifungu cha sheria cha 147 cha mkutano mkuu sheria ya makampuni yatakuwa na uhalali kama azimio lililopitishwa kwenye mkutano mkuu wa mwaka au na mkutano wa aina maalumu ya wanahisa

Kanuni Mpya ya 43 Sababu Azimio linaweza kupitishwa kwa • Azimio la maandishi linakuwa na nguvu mujibu wa kanuni ya 143 na 147 sawa sawa na azimio la maalumu ambapo vinginevyo lingehitajika kupitishwa kama azimio maalum, na marejeo yoyote katika kupitisha azimio maalum litajumuisha azimio hilo.

Kanuni Mpya ya 44 Sababu Katibu wa Benki atahakikisha • Lengo ni kuhakikisha katibu anatoa taarifa kwamba Wanahisa wanapewa kwa wanahisa juu ya azimio la maandishi taarifa juu ya azimio la maandishi lililopitishwa kwa niaba yao na kuliweka katika kitabu cha kumbukumbu. Katika Mkutano Mkuu wa mwaka baada ya kupitishwa kwa azimio la maandishi, taarifa kwa Wanahisa itakuwa ni sehemu ya taarifa za mkutano zilizotumwa kwa Wakurugenzi.

Kanuni Mpya ya 59 Sababu Waraka wa kutoa idhini ya uwakilishi • kwamba fomu za Uwakilishi zirekebishwe utakabidhiwa kwa Katibu wa kwa minajili ya kutoa nafasi ya kuweka Kampuni wakati wowote katika anuani za posta na makazi, namba za simu, muda wa saa 48 kabla ya kuanza kwa barua pepe pamoja na muda wa kutia saini. mkutano au mkutano ulioahirishwa, Hii ni imamuwezesha Katibu kufuatilia vinginevyo waraka huo utahesabiwa jambo lolote pale inapobidi kufanya hivyo. kuwa ni batili na Katibu wa Benki hataupokea. Hata hivyo, Wanahisa wanaweza kutuma nakala ya waraka wa uwakilishi kwa njia ya kielektroniki na mwanahisa atawajibika kutoa nakala halisi ya waraka huo atakapohudhuria Mkutano Mkuu.

Kanuni Mpya ya 69 Sababu Katibu wa Benki atawatumia • Hii imefanyika kwa madhumuni ya kutatua wanahisa nakala za fomu ya uwakilishi mikanganyiko iliyojitokeza katika mkutano kama inavyoonekana katika kanuni mkuu. ya 72 na kuelezea tofauti iliyopo kati ya Uwakilishi wa Jumla na ulwakilishi Maalum na kuwasisitizia wanahisa umuhimu wa kuzingatia matakwa ya kanuni ya 68.

Kanuni Mpya ya 71 Sababu Pale itakapotokea kwamba kuna • Kanuni hii imelenga kuondoa mkanganyiko fomu ya uwakilishi zaidi ya moja unaowez kujitokeza pale Mwanahisa imewasilishwa Benki inayomhusu anapokuwa ametoa fomu ya uwakilishi Mwanahisa mmoja, Katibu atapitia Zaidi ya moja. tarehe za sahihi zilizopo katika fomu hizo na ataitambua ile ambayo ina tarehe ya mwisho na msingi kwamba itakuwa imebatilisha hizo fomu za nyuma.

Kanuni Mpya ya 123 Sababu Menejimenti itawasilisha kwa Bodi, • Lengo ni kuhakikisha kabla hesabu katika kila robo ya mwaka, hesabu hazijachapishwa na kusomwa na umma, za fedha timilifu kwa ajili ya kupata Bodi ya Benki inapitia na inaruhusu idhini ya Bodi kabla ya kuchapishwa uchapishaji huo.

Kanuni Mpya ya 124 Sababu Benki itahakikisha kwamba taarifa timilifu, hesabu za fedha zilizokaguliwa zinakuwa ni sehemu ya taarifa ya mwaka itakayotolewa kwa Wanahisa katika Mkutano Mkuu.

Kanuni Mpya ya 125 Sababu Benki itawajibika kuweka mifumo • Benki itawajibika kuweka mifumo madhubuti ya Utawala Bora, madhubuti ya Utawala Bora, Menejimenti, Menejimenti, Udhibiti wa Ndani Udhibiti wa Ndani pamoja na wa Udhibiti wa pamoja na wa Udhibiti wa Majanga Majanga itakayotumika kutoa usimamizi itakayotumika kutoa usimamizi katika Benki pamoja na kampuni zake katika Benki pamoja na kampuni tanzu na washirika wake. Kwa uchache, zake tanzu na washirika wake. Kwa Benki itakuwa na Watendaji wafuatao; uchache, Benki itakuwa na Watendaji • Mtendaji Mkuu wa Kundi wafuatao; • Ofisa Mkuu wa Fedha wa Kundi, na • Mtendaji Mkuu wa • Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Ndani pamoja Kundi na Mkurugenzi wa shughuli za kinga dhidi • Ofisa Mkuu wa Fedha ya majanga na mahitaji ya kisheria. wa Kundi, na • Uwakilishi katika Bodi za kampuni tanzu. • Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Ndani pamoja na Mkurugenzi wa shughuli za kinga dhidi ya majanga na mahitaji ya kisheria. • Uwakilishi katika Bodi za kampuni tanzu.

Kanuni Mpya ya 101 Mkurugenzi asiye mtendaji wa Lengo la hii ni kuhakikisha Bodi linapata Benki anaweza kuwa Mkurugenzi wakurugenzi wenye taaluma tofauti na kwa kipindi cha ukomo wa awamu mawazo mapya. 3 zenye miaka 3 kila moja. Baada ya kumalizika kwa awamu hizo Mkurugenzi huyo hawezi tena kuchaguliwa au kuteuliwa kuwa Mkurugenzi.

Proposals for amendment of articles of the Bank Jedwali Namba 2

Article Proposed New Article Rationale for Changes

Recast Article 41 The Chairman of the Board of · Chair and or Vice Chair are subject to BOT Directors of the bank or in his approval. If elected at the AGM as is the case The Chairman and Vice Chair- absence, the Vice Chairman, or now, the elected Chair does not have the man of the General Meeting shall some other director nominated mandatory statutory approval. CMSA Guideline be elected by the meeting from by the Directors shall preside as 4.2(iii) must be Independent non-executive. amongst the members. The Chair- Chairman of the annual general man or in his absence the Vice meeting. · Chair must be familiar with bank’s strategy or Chairman shall preside as Chair- the critical reports that must be laid before the man of the General Meeting. The members for discussions/decision. Chair elect- terms of the Chairman and of the ed at the General Meeting may not; Vice Chairman shall expire at the end of the meeting to which they · After the General Meeting Chair’s tenure ends. have been elected as Chairman Who then will authorize circulation of the and Vice Chairman respectively. minutes of the General Meeting? Who signs Provided, where the meeting has subsequent resolutions for filing with BRELA, been adjourned in accordance or BOT? Substantive Chair cannot because he with Article 45, the term of the did not chair meeting – Ref. Section 148(2) of Chairman and that of the Vice Cap. 212 regarding authenticity of Minutes only Chairman shall lapse of the ad- if signed by Chair of the meeting or the Chair journed meeting. of the next meeting.

· Adopted sample Article 45 of Table A – First Schedule to Cap. 212 mutatis mutandis . To smoothen management and control of the transactions of voting Agendas during the General Meeting.

Amendment of Article 57 On a poll, votes may be given either personally or by Proxy. A On a poll, votes may be given Member may not appoint more either personally or by Proxy. A than one Proxy to attend on the member may appoint more than same occasion. The Member shall one Proxy to attend on the same specify how the proxy is to vote occasion in regard to items on the Agenda which will be considered at the annual or extra-ordinary general meeting.

Article Proposed New Article Rationale for Changes Amendment of Article 67 Every member holding 10% or . Articles 67-70 of the existing MemArts provide more of issued and fully paid-up for the distribution of the board seats and the Every Member with ten percent share capital of the bank shall be right of the members reaching the 10% thresh- (10%) of the issued and fully paid entitled to appoint one (1) director old. These will be covered under slides 6 – 10; up share capital of the Bank shall for every block of 10% of issued be entitled to appoint a Director. and fully paid-up share capital of . Currently this group is entitled to 3 board “Every block of 10% of paid up the bank: Provided that DANIDA seats based on the shareholding of 34.5% of share capital of the Bank shall be Investment Fund (DIF) shall have the issued and paid up share capital of the entitled to election/ appointment the right to appoint two (2) di- bank as at December 2019; of one director; provided that, rectors until they dispose of their Danida Investment Fund(DIF) shall entire shareholding in the bank: . Based on the historical Board seats entitle- have the right to shareholding in Provided that such directors shall ment, DANIDA will maintain the number of 2 the Bank and provided further be appointed in consultation with Board seats until it has fully disposed of its that the Strategic Investors shall the Board. shareholding in the bank, notwithstanding the have the right to jointly appoint loss of the minimum 10% threshold; one Director if they jointly acquire a minimum shareholding of 5%”. . And Board Nominations will be subject to consultation between DANIDA and the Gover- nance Nomination and HR Committee. Amendment of Article 67 Every member holding 10% or . Articles 67-70 of the existing MemArts provide more of issued and fully paid-up for the distribution of the board seats and the Every Member with ten percent share capital of the bank shall be right of the members reaching the 10% thresh- (10%) of the issued and fully paid entitled to appoint one (1) director old. These will be covered under slides 6 – 10; up share capital of the Bank shall for every block of 10% of issued be entitled to appoint a Director. and fully paid-up share capital of . Currently this group is entitled to 3 board “Every block of 10% of paid up the bank: Provided that DANIDA seats based on the shareholding of 34.5% of share capital of the Bank shall be Investment Fund (DIF) shall have the issued and paid up share capital of the entitled to election/ appointment the right to appoint two (2) di- bank as at December 2019; of one director; provided that, rectors until they dispose of their Danida Investment Fund(DIF) shall entire shareholding in the bank: . Based on the historical Board seats entitle- have the right to shareholding in Provided that such directors shall ment, DANIDA will maintain the number of 2 the Bank and provided further be appointed in consultation with Board seats until it has fully disposed of its that the Strategic Investors shall the Board. shareholding in the bank, notwithstanding the have the right to jointly appoint loss of the minimum 10% threshold; one Director if they jointly acquire a minimum shareholding of 5%”. . And Board Nominations will be subject to consultation between DANIDA and the Gover- nance Nomination and HR Committee.

Article Proposed New Article Rationale for Changes

Amendment of Art. 68 Members holding between 1% . Article 68 provides for distribution of Board and 10% of the issued and fully seats for the Group holding 1%-10% of the Members owning between 1% and paid-up share capital of the bank bank’s issued and paid up capital. As at De- 10% of the issued and fully paid shall jointly be entitled to elect a cember 2019 the Group’s holding was 27% and up share capital of the Bank shall Director for every 10% of issued are entitled to 2 seats on the Board. jointly be entitled to elect a Direc- and paid-up shares held: Provided tor for every 10% of shares held, that any part of 10% which does . There has been a practical issue that must be provided that any part of 20% not, by itself add up to a whole addressed which is where a director has been which does not, by itself add up to 10% shareholding shall not entitle elected by the Group and happens to be an a whole 10% shall not be entitled this group to elect a Director. employee of one of the members in the Group to elect a Director. but subsequently that member’s shareholding in the bank falls to below 1%.

. The question is whether the director who was duly elected by the Group should be recalled in the next round of elections only because one of the members in the Group becomes disqualified by not meeting the 10% threshold or should such director serve the full tenure?

. In our view the reduction of shareholding by one of the members in the Group to below 10% after the election should not invalidate or result into pre-mature ending of his tenure. The reduced shareholding of that one member in the group would be relevant in case of end of his tenure and new elections. This is dealt with in the next new article.

Article Proposed New Article Rationale for Changes Amendment of Art. 68 Members holding between 1% . Article 68 provides for distribution of Board and 10% of the issued and fully seats for the Group holding 1%-10% of the paid-up share capital of the bank bank’s issued and paid up capital. As at De- shall jointly be entitled to elect a cember 2019 the Group’s holding was 27% and Members owning between 1% and Director for every 10% of issued are entitled to 2 seats on the Board. 10% of the issued and fully paid and paid-up shares held: Provided up share capital of the Bank shall that any part of 10% which does . There has been a practical issue that must be jointly be entitled to elect a Direc- not, by itself add up to a whole addressed which is where a director has been tor for every 10% of shares held, 10% shareholding shall not entitle elected by the Group and happens to be an provided that any part of 20% this group to elect a Director. employee of one of the members in the Group which does not, by itself add up to but subsequently that member’s shareholding a whole 10% shall not be entitled in the bank falls to below 1%. to elect a Director. . The question is whether the director who was duly elected by the Group should be recalled in the next round of elections only because one of the members in the Group becomes disqualified by not meeting the 10% threshold or should such director serve the full tenure?

. In our view the reduction of shareholding by one of the members in the Group to below 10% after the election should not invalidate or result into pre-mature ending of his tenure. The reduced shareholding of that one member in the group would be relevant in case of end of his tenure and new elections. This is dealt with in the next new article. New Article 87 If, during the tenure of the term of . This new article is meant to ensure that the a director elected under this Arti- elected director maintains his/her tenure. This cle the shareholding of any of the is because as a listed company, the shares of members forming the group drops the bank keep fluctuating depending on the below 1% of the threshold required market movement while the process for sourc- of the member in order to be in ing directors is long and subject to regulatory the group, the appointment of approval making it necessary to maintain director done at a time when the Board members through their tenure. affected member was qualified to participate in the election shall not be invalidated or be recallable and such director shall continue to be director until the end of his tenure subject to the relevant Article for the rotation of directors.

Article Proposed New Article Rationale for Changes Amendment of Article 69 Members holding less than 1% of . As at Dec. 2019 Group had 38.7% shareholding the issued and fully paid-up share – entitled - 3 seats. Members owning less than 1% of capital of the bank shall jointly the issued and fully paid-up share elect one (1) director for every . Members of this Group holding less than 1% capital of the Bank shall jointly block of 10% of issued and fully have total of 4 seats on the Board - 1 seats elect one (1) Director and addi- paid-up share capital of the bank: more than are entitled. tionally one (1) Director for every Provided that any part of 10% 10% of shares held. which does not, by itself add up to . To manage the change of 4 to 3 seats: we a whole 10% shall not be entitled propose to deal with this at the next election: to elect a Director. if there is 1 seat for rotation it may be available for an Independent Director.

. If this proposal is not tenable – the bank may consider amending art. 66 of the Articles to enlarge the Board beyond 12 to create seats for additional Independent Directors.

The amendment is necessary because article 66 of existing Articles does not provide the usual flexibility to empower the Board to expand the maximum number of directors. New Article 89 In the event the category holding . Intended to ensure that they have at least one less than 1% of the issued and position on the Board, but this is not a regu- fully paid-up share capital of the latory requirement because CMSA Guidelines bank does not at all meet the 10% refer to a 10% minimum threshold. Agreed too threshold, it shall be entitled to that MemArts to refer to minimum number jointly elect 1 Director only from of 8 directors and no reference to maximum a nomination list of candidates number to provide enough latitude to allow prepared by the Governance, appointment of more directors without the Nomination and HR Committee need to amending the MemArts. and approved by the Board.

Article Proposed New Article Rationale for Changes

Amendment of Article 70 The Members shall also elect at . A bank must have at least 3 IDs, (the Chair + 2 least three (3) people to be Direc- for Audit Committee) Reg. 7(3) of the B&- The Members shall appoint one in- tors of the Board provided that FIA (Internal Audit) Regulations, 2014. Chair dependent Director of the Board. the nominees have the character- cannot be in any Committee and the 2 in the Provided that the Board shall istics of the independent candi- Audit cannot be in any other Committee. BOT recommend two (2) candidates to date and that they shall be elected Circular FA.56/235/015/Vo.111/87 of 29.09.2017 the Members at a General Meet- by all members. prescribes full separation of membership of ing at which the election od such the Audit Committee from other Committees Directors is to be undertaken. to ensure independence of the members

. Bank may decide Chair of Governance, Nom- inations & HR Committee to be an ID, (not obliged), who may also be in other Commit- tees meaning number of IDs will then be 4;

. Requirement for IDs is common best practice in the banking sector and others esp. public listed companies. References:

 B&FIA Act & Regulations as above – require- 3 non-executives - 2 of which must be IDs);the CMSA (Guidelines on Corporate Governance- - Clause 4.5.1) – at least 3 IDs & Non-Execs. Chair must be Indp. + Non-exec.

Article Proposed New Article Rationale for Changes

New Article 95 The Governance, Nomination and . NB: Important that the requirement to submit Human Resources (HR) Com- 2 names of Nominees for every Director seat is mittee shall prepare, as far as is not drafted as absolute just in case one does possible, a list of at least two (2) not get all 2 for each seat open and up for nominees for each seat of director election and in any case, approved names may sought which will be approved simply be submitted to the General Meeting to by the Board and submitted to be voted for by way of affirmation if there is the annual general meeting for only one candidate. members under article 86, 88 and 90 to elect. New Article 92 Save for a Director appointed by . A requirement of CMSA Guidelines 2002 – lim- the Treasury Registrar, no per- iting multiple directorships in listed companies- son who holds 3 directorships in maximum of 3 - (Clause 3.1.6) But this provi- public listed companies at any one sion shall not apply to the Treasury Registrar time, shall be appointed or elected who may hold more than three directorships Director in the Board of Directors by virtue of his office being the custodian of of the bank. Government shares in public companies. . Directors of banks have huge joint and individ- ual responsibilities to direct, monitor, oversee and supervise the business and operation of the bank. Each director must commit sufficient time and energy to the business of the bank. Save for the Chair, directors must be available to serve in different Board Committees.

Article Proposed New Article Rationale for Changes

New Article 93 The Secretary to the Board shall . CMSA Guidelines 4.3(ii) - ”All s/holders should make available all information receive relevant information on the company’s regarding the threshold status of performance through distribution of regular the shareholding of each catego- annual reports and accounts, half-yearly results ry every 1st March of every year and quarterly results as a matter of best prac- before the AGM for the board to tice” determine the vacancy of a partic- ular group New Article 96 The Secretary to the bank shall . Secretary to the bank is obliged to facilitate facilitate, prior to the start of an different category Member’s meetings prior to annual general meeting or other- general meetings if required. wise, a category specific meeting with respect with the categories mentioned in articles 86- 90 in order that the Members of the relevant category are able to elect the Directors. All the Members shall be notified by the Secretary to the bank of the election of Directors at the annual general meeting ensuing thereafter.

Article Proposed New Article Rationale for Changes

New Article 96 The Secretary to the bank shall fa- . Secretary to the bank is obliged to facilitate cilitate, prior to the start of an an- different category Member’s meetings prior to nual general meeting or otherwise, general meetings if required a category specific meeting with respect with the categories men- tioned in articles 86- 90 in order that the Members of the relevant category are able to elect the Di- rectors. All the Members shall be notified by the Secretary to the bank of the election of Directors at the annual general meeting ensu- ing thereafter. P.O. BOX 268, Dar es Salaam

Email: [email protected]

+255 755 197 700 crdbbank Plc

52 Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa, 2021