Tarehe 28 Mei, 2016
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA TATU Kikao Cha Thelathini Na Saba
NAKALA YA MTANDAO (ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ______________ MKUTANO WA TATU Kikao cha Thelathini na Saba – Tarehe 6 Juni, 2016 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu! NDG. ZAINAB ISSA - KATIBU MEZANI: Maswali. MASWALI NA MAJIBU Na. 303 Upanuzi wa Hospitali ya Mkoa wa Pwani MHE. SILVESTRY F. KOKA aliuliza:- Upanuzi wa hospitali ya Mkoa ya Pwani ijulikanayo kama Hospitali ya Tumbi umesimama kwa takribani miaka mitatu, sasa nondo na zege la msingi na nguzo zinaoza:- Je, Serikali ina mpango gani wa kukamilisha ujenzi wa hospitali hiyo ili kuondoa hasara na kuleta tija katika huduma ya afya Kibaha? 1 NAKALA YA MTANDAO (ONLINE DOCUMENT) NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA: alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI naomba kujibu swali la Mheshimiwa Silvestry Francis Koka, Mbunge wa Kibaha Mjini, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali inatambua changamoto zinazoikabili hospitali ya rufaa ya Tumbi – Kibaha ambazo zimesababishwa kwa sehemu kubwa na ufinyu wa majengo ya kutolea huduma na uchache wa vifaa tiba. Hadi sasa Serikali imetumia shilingi bilioni 5.98 kwa ajili ya upanuzi wa hospitali hiyo. Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali katika bajeti ya mwaka wa fedha 2016/2017 imetenga shilingi bilioni 1.4 kwa ajili ya kuendeleza upanuzi wa hospitali ya Tumbi Kibaha ili kuboresha huduma za afya kwa wananchi. NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Silvestry Koka, swali la nyongeza. MHE. SILVESTRY F. KOKA: Mheshimiwa Naibu Spika, nashukuru. Pamoja na majibu mazuri ya Serikali na kwa niaba ya wananchi wa Kibaha nishukuru kwa kutupatia hiyo 1.4 bilioni katika upanuzi wa hospitali hii, nina maswali mawili ya nyongeza. -
MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao Cha Ishirini Na Nane
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA __________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao cha Ishirini na Nane – Tarehe 13 Mei, 2020 (Bunge Lilianza Saa Tatu Kamili Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa, tukae. Katibu! NDG. NEEMA MSANGI - KATIBU MEZANI: HATI ZA KUWASILISHA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI: Taarifa ya mwaka ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha kwa mwaka 2018/2019 (The Annual Report of Arusha International Conference Centre for the Year 2018/2019). Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa mwaka wa fedha 2020/ 2021. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) MHE. BONNAH L. KAMOLI - K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA: Maoni ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa mwaka wa fedha 2019/2020 pamoja na maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2020/2021. NAIBU SPIKA: Ahsante sana, Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, hayupo. MASWALI NA MAJIBU (Maswali yafuatayo yameulizwa na kujibiwa kwa njia ya mtandao) Na. 259 Ujezi wa Hospitali ya Mpimbwe –Jimbo la Kavuu MHE. DKT. PUDENCIANA W. KIKWEMBE aliuliza:- Je, Serikali ina mpango gani wa kujenga Hospitali ya Halmashauri ya Mpimbwe katika Jimbo la Kavuu ili kupunguza wagonjwa katika Hospitali ya Wilaya ya Mpanda? WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Dkt. -
Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Bunge La Tanzania Mkutano Wa Tatu Yatokanayo Na Kikao Cha Arobaini Na Saba 21 Juni, 2016
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA TATU YATOKANAYO NA KIKAO CHA AROBAINI NA SABA 21 JUNI, 2016 MKUTANO WA TATU - YATOKANAYO NA KIKAO CHA AROBAINI NA SABA TAREHE 21 JUNI, 2016 I. DUA: Saa 3.00 Asubuhi Naibu Spika (Mhe. Dkt.Tulia Ackson) alisoma Dua na Kuongoza Bunge. Makatibu Mezani: 1. Ndg. Theonest Ruhilabake 2. Ndg. Zainab Issa Wabunge wa Kambi ya Upinzani walitoka nje ya ukumbi wa Bunge baada ya dua kusomwa na Mhe. Naibu Spika. II. MASWALI: Maswali yafuatayo yaliulizwa na Waheshimiwa Wabunge na kujibiwa na Serikali:- OFISI YA WAZIRI MKUU: Swali Na.399 – Mhe. Raphael Masunga Chegeni [kny. Mhe. Salome Makamba] Swali la nyongeza: (i) Mhe. Raphael Masunga Chegeni (ii) Mhe. Abdallah Hamisi Ulega (iii) Mhe. Joseph Kasheku Musukuma (iv) Mhe. Mariam Nassoro Kisangi OFISI YA RAIS (TAMISEMI): Swali Na.400 Mhe. Oran Manase Njeza Swali la nyongeza: (i) Mhe. Oran Manase Njeza (ii) Mhe. Desderius John Mipata (iii) Mhe. Goodluck Asaph Mlinga Swali Na.401 – Mhe. Boniventura Destery Kiswaga Swali la nyongeza: (i) Mhe. Boniventura Destery Kiswaga (ii) Mhe. Augustino Manyanda Maselle (iii) Mhe. Richard Mganga Ndassa (iv) Mhe. Dkt. Dalali Peter Kafumu Swali Na. 402 – Mhe. Fredy Atupele Mwakibete Swali la Nyongeza: (i) Mhe. Fredy Atupele Mwakibete (ii) Mhe. Njalu Daudi Silanga (iii) Mhe. Halima Abdallah Bulembo (iv) Mhe. Azza Hilal Hamad 2 WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI: Swali Na.403 – Mhe Joseph Kakunda. kny Mhe. Ally Saleh Ally Swali la nyongeza: (i) Mhe. Joseph George Kakunda (ii) Mhe. Mussa Azzan Zungu (iii) Mhe. Cosato David Chumi (iv) Mhe. -
TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity?
TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? With Partial Support from a TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? ACKNOWLEDGEMENTS This review was compiled and edited by Tanzania Development Research Group (TADREG) under the supervision of the Steering Group of Policy Forum members, and has been financially supported in part by Water Aid in Tanzania and Policy Forum core funders. The cartoons were drawn by Adam Lutta Published 2013 For more information and to order copies of the review please contact: Policy Forum P.O Box 38486 Dar es Salaam Tel: +255 22 2780200 Website: www.policyforum.or.tz Email: [email protected] ISBN: 978-9987 -708-09-3 © Policy Forum The conclusions drawn and views expressed on the basis of the data and analysis presented in this review do not necessarily reflect those of Policy Forum. Every effort has been made to verify the accuracy of the information contained in this review, including allegations. Nevertheless, Policy Forum cannot guarantee the accuracy and completeness of the contents. Whereas any part of this review may be reproduced providing it is properly sourced, Policy Forum cannot accept responsibility for the consequences of its use for other purposes or in other contexts. Designed by: Jamana Printers b TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? TABLE OF CONTENTS POLICY FORUM’s OBJECTIVES ............................................................................................................. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA NANE Kikao cha Thelathini na Tisa – Tarehe 2 AGOSTI, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) DUA Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013. SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, naomba mzime vipasa sauti vyenu maana naona vinaingiliana. Ahsante Mheshimiwa Naibu Waziri, tunaingia hatua inayofuata. MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Leo ni siku ya Alhamisi lakini tulishatoa taarifa kwamba Waziri Mkuu yuko safarini kwa hiyo kama kawaida hatutakuwa na kipindi cha maswali hayo. Maswali ya kawaida yapo machache na atakayeuliza swali la kwanza ni Mheshimiwa Vita R. M. Kawawa. Na. 310 Fedha za Uendeshaji Shule za Msingi MHE. VITA R. M. KAWAWA aliuliza:- Kumekuwa na makato ya fedha za uendeshaji wa Shule za Msingi - Capitation bila taarifa hali inayofanya Walimu kuwa na hali ngumu ya uendeshaji wa shule hizo. Je, Serikali ina mipango gani ya kuhakikisha kuwa, fedha za Capitation zinatoloewa kama ilivyotarajiwa ili kupunguza matatizo wanayopata wazazi wa wanafunzi kwa kuchangia gharama za uendeshaji shule? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Vita Rashid Kawawa, Mbunge wa Namtumbo, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) imepanga kila mwanafunzi wa Shule ya Msingi kupata shilingi 10,000 kama fedha za uendeshaji wa shule (Capitation Grant) kwa mwaka. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ____________ MKUTANO WA KUMI NA SITA Kikao cha Tano - Tarehe 15 Juni, 2004 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Pius Msekwa) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU Na. 40 Uwekezaji kwa Utaratibu wa BOT MHE. DR. LAWRENCE M. GAMA aliuliza:- Kwa kuwa kwa muda mrefu Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekuwa ikizungumzia utaratibu wa uwekezaji hususan katika sekta ya miundombinu kwa utaratibu wa Build, Operate and Transfer ili kurahisisha maendeleo. Je, Serikali inaweza kuwavutia wawekezaji wowote chini ya utaratibu huo? WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UBINAFSISHAJI alijibu:- Mheshimiwa Spika, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Dr. Lawrence Gama, Mbunge wa Songea Mjini, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, katika kikao cha Mkutano wa Kumi na Tano wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kilichomaliza shughuli zake tarehe 23 Aprili, 2004, nilimjibu Mheshimiwa Philip Magani, Mbunge wa Ruangwa, ambaye alipenda kufahamu jinsi ya kuwavutia wawekezaji kwa njia ya Build, Operate and Transfer (BOT). Mheshimiwa Spika, katika kurejea jibu langu la msingi ni kuwa, utaratibu wa Build, Operate and Tranfer ni mbinu ambayo Serikali imeamua kuitumia kwa kutoa vivutio maalum ili kuwavutia wawekezaji wa ndani na nje, kuwekeza katika miundombinu ili kuipa Serikali unafuu katika gharama za uwekezaji. Chini ya utaratibu huu wawekezaji binafsi huruhusiwa kujenga, kuendesha na hatimaye kukabidhi kwa 1 Serikali, miundombinu waliyojenga baada ya muda wa makubaliano kumalizika kwa kuingia mikataba na Serikali. Mheshimiwa Spika, mkataba wa namna hii humruhusu mwekezaji binafsi kutoza ushuru kwa watumiaji wote wa miundombinu aliyojenga kwa kuzingatia makubaliano ambayo yako kwenye mkataba na Serikali. -
Mkapa, Mrema, Amour, Hamad Hope For
POLITICS - MKAPA, MREMA, AMOUR, HAMAD HOPE FOR ZANZIBAR SETTLENENT? THE 1996/67 BUDGET TANZANIA'S 'TITANIC' DISASTER KILWA - FROM DECAY TO DEVELOPMENT BUSINESS NEWS TANZANIA IN THE MEDIA 50 YEARS AGO POLITICS - MKAPA, MREMA, AMOUR, HAMAD Tanzaniats leading politicians - Union President Benjamin Mkapa, main opposition leader Augustine Mrema and the feuding leaders in Zanzibar - President Salmin Amour and opposition leader Seif Shariff Hamad have all had reasons for satisfaction and disappointment during the last few months of Tanzania's rapidly developing multi-party democracy. On the mainland multi-partyism is working well; a by-election under way in Dar es Salaam will help to indicate how the main parties stand after almost a year of this new system of government. In Zanzibar, by contrast, it is becoming increasingly difficult for TA to present an accurate and unbiased report on what is happening because of the conflicting information received. The opposition continues to refuse all cooperation with the government elected under questionable circumstances last year and the ruling party is resorting to strong arm tactics in its determination to maintain law and order. MKAPA Popular President Mkapa's dominant position was consolidated on June 20 when he was elected Chairman of his Chama Cha Mapinduzi (CCM) Party by an overwhelming 1,248 votes out of 1,259 at an emotional ceremony in Dodoma. Former President and Chairman Ali Hassan Mwinyi handed over the CCM Constitution, 1995 Election Manifesto and Chairman's gong midst deafening chants of tCCM', tCCM', tCCMf, dancing, ululation and music by the party's cultural troop 'TOTt. The new Chairman said that he would maintain earlier policies of socialism and self-reliance and would continue to fight tribalism, discrimination and religious bigotry. -
Online Document)
Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Ishirini na Nane – Tarehe 6 Juni, 2014 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, maswali, tunaanza na Ofisi ya Waziri Mkuu, atakayeuliza swali la kwanza ni Mheshimiwa Felix Mkosamali. Na. 197 Huduma za Zahanati – Muhambwe MHE. FELIX FRANCIS MKOSAMALI aliuliza:- Vijiji vya Magarama, Kigina na Nyarulanga katika Jimbo la Muhambwe havina Zahanati:- Je, Serikali imefikia wapi katika kuvipatia vijiji hivyo huduma ya zahanati? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Felix Francis Mkosamali, Mbunge wa Jimbo la Muhambwe, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, ni kweli Vijiji vya Kigina, Magarama na Nyarulanga, vilivyopo katika Jimbo la Muhambwe, havina Zahanati. Ujenzi wa Zahanati nchini unafanyika kupitia Mpango wa Fursa na Vikwazo Katika Maendeleo, ambapo Wananchi wenyewe huibua Miradi ambayo inazingatia changamoto zilizopo. Halmashauri huchangia gharama kidogo za utekelezaji wa Miradi hiyo kwa kuwezesha upatikanaji wa vifaa pamoja na usimamizi. Mheshimiwa Spika, ujenzi wa Zahanati katika Kijiji cha Kigina umekamilika kwa Mwaka wa Fedha wa 2012/2013 na ujenzi wa nyumba ya Mganga uko katika hatua ya mwisho, ambapo Serikali kwa Mwaka wa Fedha wa 2013/2014, ilitenga jumla ya shilingi milioni 20. Aidha, ujenzi wa jengo la wagonjwa (OPD) wa nje katika Kijiji cha Magarama upo hatua ya mwisho kukamilika. Serikali imetenga shilingi milioni 23 katika bajeti yake ya mwaka 2014/2015 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa nyumba za watumishi. -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Ishirini na Nne – Tarehe 18 Julai, 2006 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kabla sijamwita muuliza swali la kwanza nina matangazo kuhusu wageni, kwanza wale vijana wanafunzi kutoka shule ya sekondari, naona tangazo halisomeki vizuri, naomba tu wanafunzi na walimu msimame ili Waheshimiwa Wabunge waweze kuwatambua. Tunafurahi sana walimu na wanafunzi wa shule zetu za hapa nchini Tanzania mnapokuja hapa Bungeni kujionea wenyewe demokrasia ya nchi yetu inavyofanya kazi. Karibuni sana. Wapo Makatibu 26 wa UWT, ambao wamekuja kwenye Semina ya Utetezi na Ushawishi kwa Harakati za Wanawake inayofanyika Dodoma CCT wale pale mkono wangu wakulia karibuni sana kina mama tunawatakia mema katika semina yenu, ili ilete mafanikio na ipige hatua mbele katika kumkomboa mwanamke wa Tanzania, ahsanteni sana. Hawa ni wageni ambao tumetaarifiwa na Mheshimiwa Shamsa Selengia Mwangunga, Naibu Waziri wa Maji. Wageni wengine nitawatamka kadri nitakavyopata taarifa, kwa sababu wamechelewa kuleta taarifa. Na. 223 Barabara Toka KIA – Mererani MHE. DORA H. MUSHI aliuliza:- Kwa kuwa, Mererani ni Controlled Area na ipo kwenye mpango wa Special Economic Zone na kwa kuwa Tanzanite ni madini pekee duniani yanayochimbwa huko Mererani na inajulikana kote ulimwenguni kutokana na madini hayo, lakini barabara inayotoka KIA kwenda Mererani ni mbaya sana -
MKUTANO WA KUMI Kikao Cha Nne – Tarehe 1 Fe
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE ________________ MKUTANO WA KUMI Kikao cha Nne – Tarehe 1 Februari, 2013 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, Asalaam alleykum! Amani ya Bwana iwe nanyi! Heri ya mwaka mpya! Katibu tuendelee. MASWALI NA MAJIBU Na. 40 Ukamilishaji wa Ujenzi wa Zahanati ya Nalasi MHE. MTUTURA A. MTUTURA aliuliza:- 1 Zahanati ya Nalasi katika kijiji cha Nalasi, Jimbo la Tunduru Kusini, iliishapandishwa hadhi kuwa Kituo cha Afya kuanzia mwaka 2010 kufuatia ahadi aliyoitoa Mheshimiwa Rais kwa wananchi:- (a) Je, Serikali imefikia wapi katika utekelezaji wa ujenzi wa kituo cha afya? (b) Je, Serikali inatoa kauli gani kwa nguvu za wananchi kufyatua matofali zaidi ya 300,000 ilihali utekelezaji wa agizo hilo unachelewa? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Mtutura A. Mtutura, Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kusini, lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:- (a) Mheshimiwa Naibu Spika, ni kweli mnamo tarehe 12 Oktoba, 2010 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa katika ziara wilayani Tunduru aliahidi kufanya upanuzi wa Zahanati ya Nalasi iliyopo katika Kata ya Nalasi, kuwa kituo cha afya. Mheshimiwa Naibu Spika, ili kutekeleza agizo la Mheshimiwa Rais, Halmashauri katika mwaka wa fedha 2012/2013 iliwasilisha maombi maalum kwa Wizara ya Fedha ili kupata shilingi bilioni 2.4 zinazohitajika kujenga 2 majengo 12 na nyumba 14 za Watumishi katika kituo hicho lakini hazikupatikana. -
(Online Document) 1 BUNGE LA TANZANIA
Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _____________ MAJADILIANO YA BUNGE ______________ MKUTANO WA ISHIRINI Kikao cha Sita – Tarehe 18 Mei, 2015 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe Anne S. Makinda) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kutokana na maagizo yaliyotolewa humu wiki iliyopita kuhusu Hati za kuwasilisha Mezani. Kama kuna kundi lolote, Kamati, Serikali au Upinzani hawajaleta Hati hazisomwi. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais! Mheshimiwa Naibu Waziri! HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa mezani na:- NAIBU WAZIRI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO): Randama za Makadirio ya Matumizi kwa Ofisi ya Makamu wa Rais na Taasisi zake kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA: Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma) pamoja na (Utawala Bora) kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS (MAHUSIANO NA URATIBU): Hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. MHE. JASSON S. RWEIKIZA - MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA: 1 Nakala ya Mtandao (Online Document) Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma), (Utawala Bora na Mahusiano na Uratibu) kwa mwaka wa fedha 2014/2015 pamoja na maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. MHE. ESTHER N. MATIKO - MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI KWA OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA, UTAWALA BORA NA MAHUSIANO NA URATIBU: Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni Kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Fedha kwa Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Utawala Bora na Mahusiano na Uratibu kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016 SPIKA: Waheshimiwa Wabunge tunaanza maswali Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Mheshimiwa Engineer Athumani Mfutakamba. -
Tanzania Comoros
COUNTRY REPORT Tanzania Comoros 3rd quarter 1996 The Economist Intelligence Unit 15 Regent Street, London SW1Y 4LR United Kingdom The Economist Intelligence Unit The Economist Intelligence Unit is a specialist publisher serving companies establishing and managing operations across national borders. For over 40 years it has been a source of information on business developments, economic and political trends, government regulations and corporate practice worldwide. The EIU delivers its information in four ways: through subscription products ranging from newsletters to annual reference works; through specific research reports, whether for general release or for particular clients; through electronic publishing; and by organising conferences and roundtables. The firm is a member of The Economist Group. London New York Hong Kong The Economist Intelligence Unit The Economist Intelligence Unit The Economist Intelligence Unit 15 Regent Street The Economist Building 25/F, Dah Sing Financial Centre London 111 West 57th Street 108 Gloucester Road SW1Y 4LR New York Wanchai United Kingdom NY 10019, USA Hong Kong Tel: (44.171) 830 1000 Tel: (1.212) 554 0600 Tel: (852) 2802 7288 Fax: (44.171) 499 9767 Fax: (1.212) 586 1181/2 Fax: (852) 2802 7638 Electronic delivery EIU Electronic Publishing New York: Lou Celi or Lisa Hennessey Tel: (1.212) 554 0600 Fax: (1.212) 586 0248 London: Moya Veitch Tel: (44.171) 830 1007 Fax: (44.171) 830 1023 This publication is available on the following electronic and other media: Online databases CD-ROM Microfilm FT Profile (UK) Knight-Ridder Information World Microfilms Publications (UK) Tel: (44.171) 825 8000 Inc (USA) Tel: (44.171) 266 2202 DIALOG (USA) SilverPlatter (USA) Tel: (1.415) 254 7000 LEXIS-NEXIS (USA) Tel: (1.800) 227 4908 M.A.I.D/Profound (UK) Tel: (44.171) 930 6900 Copyright © 1996 The Economist Intelligence Unit Limited.