HOTUBA YA WAZIRI WA UJENZI, MHESHIMIWA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MPANGO WA MAENDELEO NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2013/2014

A. UTANGULIZI

1. Mheshimiwa Spika , baada ya Bunge lako Tukufu kupokea taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako tukufu likubali kupokea na kujadili Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango na Bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka 2012/13. Aidha, naomba Bunge lako Tukufu lijadili na kupitisha Mpango na bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2013/2014.

2. Mheshimiwa Spika , awali ya yote napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunilinda na kunipa nguvu ya kutekeleza majukumu yangu na kuniwezesha kusimama mbele ya Bunge lako Tukufu kuwasilisha bajeti hii.

3. Mheshimiwa Spika , kwa heshima na taadhima nachukua fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa kwa 1

kuendelea kuiongoza nchi yetu vyema na kwa utekelezaji mahiri wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 pamoja na mipango na programu mbalimbali za kuiletea nchi yetu maendeleo. Mheshimiwa Rais amekuwa mstari wa mbele katika kutafuta fedha za kutekeleza miradi iliyopo kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 ambayo pia inajumuisha barabara. Aidha, nawapongeza Mheshimiwa Dkt. Mohamed Gharib Bilal, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu kwa jinsi ambavyo wamemsaidia Mheshimiwa Rais kusimamia na kuongoza shughuli zote za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

4. Mheshimiwa Spika, naomba nikupongeze wewe binafsi, Naibu Spika na Wenyeviti wa Bunge kwa hekima, umahiri na busara mnazotumia katika kuliongoza Bunge hili Tukufu. Namwomba Mwenyenzi Mungu azidi kuwajalia busara na hekima katika kazi hiyo.

5. Mheshimiwa Spika, naomba kuchukua nafasi hii kutoa pole kwa kifo cha ghafla cha Mhe. Mbunge mwenzetu Hayati Salim Hemed Khamis, Mbunge wa Chambani kwa tiketi ya CUF. Naungana na Waheshimiwa Wabunge wenzangu kutoa pole kwa familia, wewe Mhe. Spika, Bunge lako tukufu, ndugu, 2

jamaa na marafiki wa marehemu na wananchi wote wa Jimbo la Chambani. Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi, Amina.

6. Mheshimiwa Spika, napenda nichukue fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Peter Joseph Serukamba, Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini na Mheshimiwa Athumani Juma Kapuya, Mbunge wa Jimbo la Urambo Magharibi kwa kuteuliwa kuiongoza Kamati ya Bunge ya Miundombinu. Vile vile nawapongeza wajumbe wote wapya walioteuliwa kuunda Kamati ya Bunge ya Miundombinu. Ushauri wa Kamati na Wabunge wote kwa ujumla utaendelea kuzingatiwa katika utekelezaji wa majukumu ya kila siku ya Wizara ya Ujenzi ili kuiletea nchi yetu maendeleo.

7. Mheshimiwa Spika, napenda kuungana na Waheshimiwa Wabunge wenzangu, katika kumpongeza na kumshukuru Waziri Mkuu, Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda, Mbunge wa Jimbo la Katavi kwa hotuba yake ambayo imetoa mwelekeo wa jumla katika masuala ya Mipango na Uchumi kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2013/2014. Naomba pia kuwashukuru Waheshimiwa Wabunge waliochangia hotuba hiyo. Ni matumaini yangu kuwa maoni yao yatasaidia kuboresha mipango ya Serikali katika sekta mbalimbali ikiwemo Sekta ya Ujenzi. 3

DIRA NA DHIMA YA WIZARA

8. Mheshimiwa Spika, Dira ya Wizara ni kuwa na Barabara, Madaraja, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zenye ubora wa kiwango cha juu, zenye gharama nafuu na zinazozingatia usalama na utunzaji wa mazingira. Aidha, dhima ya Wizara ni kuwa na Barabara, Vivuko, Nyumba za Serikali na Huduma za Ujenzi zilizo na uwiano na ambazo zinakidhi mahitaji kwa viwango bora na kwa bei nafuu zinazoendana na mikakati ya Serikali ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii na wakati huo huo zikiwa endelevu kiuchumi na kimazingira.

MAJUKUMU YA WIZARA

9. Mheshimiwa Spika, Wizara ya Ujenzi ina majukumu ya kusimamia Sera za ujenzi na usalama barabarani; ujenzi na matengenezo ya barabara, madaraja na vivuko; ujenzi na ukarabati wa majengo ya Serikali; pamoja na masuala ya ufundi na umeme. Aidha, Wizara inasimamia shughuli za usajili wa makandarasi, wahandisi, wabunifu majengo na wakadiriaji majenzi; masuala ya usalama barabarani na mazingira katika sekta; uboreshaji utendaji na uendelezaji wa watumishi wa Wizara; pamoja na kusimamia utekelezaji wa majukumu ya Taasisi zilizo chini ya Wizara. 4

MALENGO YA WIZARA

10. Mheshimiwa Spika, katika kufanikisha utekelezaji wa majukumu yake, Wizara imelenga kujenga barabara ili kufungua fursa za maendeleo na kuhakikisha miji yote mikuu ya mikoa inaunganishwa kwa barabara za lami ifikapo mwaka 2017/18; kufanya matengenezo ya barabara kuu na za mikoa; kujenga barabara za kupunguza msongamano wa magari mijini hususan katika Jiji la ; kuhakikisha kuwa usafiri wa vivuko unaimarishwa katika maeneo yote yanayohitaji huduma hiyo; na kusimamia ujenzi wa nyumba za Serikali na watumishi. Aidha, Wizara itaendelea kusajili na kusimamia Makandarasi, Wahandisi, Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi kwa kutumia bodi husika pamoja na kuweka mazingira mazuri ya kuvutia sekta binafsi kuwekeza katika sekta ya Ujenzi. Wizara pia itaendelea kusimamia masuala ya usalama na mazingira katika barabara na vivuko pamoja na kufanya matengenezo na ukarabati wa Magari ya Serikali na Mitambo. Vile vile Wizara itaendelea kushirikiana na taasisi husika katika kushughulikia masuala mtambuka kama vile kampeni za kupunguza maambukizi ya ugonjwa hatari wa UKIMWI, uhifadhi wa mazingira, masuala ya jinsia pamoja na uendelezaji wa matumizi ya Teknolojia ya Habari na

5

Mawasiliano (TEHAMA) katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali za Serikali.

MIKAKATI YA WIZARA KATIKA KUFIKIA MALENGO

11. Mheshimiwa Spika, ili kuweza kutekeleza malengo yake, Wizara itaendelea kuzingatia kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010, Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano wa mwaka 2011/12 – 2015/16, Ahadi za Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ahadi za Viongozi Wakuu wa Serikali na Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini Tanzania (MKUKUTA). Aidha, Wizara ya Ujenzi inazingatia utekelezaji wa Programu ya Uwekezaji katika Sekta ya Miundombinu ya Usafirishaji (Transport Sector Investment Program – TSIP ) ambayo ni programu ya miaka kumi (2006/07-2016/17) inayolenga kuimarisha na kuboresha miundombinu ya usafirishaji. Wizara inatekeleza Sera ya Taifa ya Ujenzi (2003), Sera ya Usalama Barabarani (2009) na Sera ya Ushirikiano kati ya Serikali na Sekta Binafsi (PPP). Wizara pia itaendelea kusimamia utoaji elimu kwa wananchi kuhusu matumizi ya barabara kwa mujibu wa Sheria ya Barabara Na. 13 ya mwaka 2007 pamoja na sheria nyingine ili miundombinu ya barabara iweze kutunzwa na kudumu kwa muda uliokusudiwa. Wizara vile vile itaboresha mfumo wa upimaji 6

magari ya mizigo kwa kuweka mizani itakayopima uzito wa magari yakiwa kwenye mwendo (weigh-in-motion) kwa lengo la kuzuia uharibifu wa barabara kutokana na magari yanayozidisha mizigo.

12. Mheshimiwa Spika, mikakati mingine ni pamoja na kusimamia fedha za Mfuko wa Barabara zinazopelekwa Mikoani ili kazi za matengenezo ya barabara zinazotekelezwa zilingane na thamani ya fedha (value for money). Wizara pia itaendelea kutafuta vyanzo vipya ili kupanua wigo wa Mfuko wa Barabara. Aidha, Wizara itaendelea kuzifanyia marekebisho sheria za kisekta ili ziweze kuendana na mazingira ya sasa na kufikia viwango vinavyokubalika kimataifa na kikanda kama vile Jumuiya ya Afrika Mashariki na Jumuiya ya Uchumi ya Nchi za Kusini mwa Afrika. Wizara itahakikisha kuwa Makandarasi, Wahandisi Washauri na Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi wa kizalendo wanahusishwa kikamilifu katika ujenzi wa miradi mikubwa hususan miradi ya barabara, madaraja, nyumba na vivuko inayogharamiwa na Serikali badala ya kutegemea kampuni za nje. Lengo ni kuwajengea wananchi uzoefu stahili katika Sekta ya Ujenzi na kupunguza kasi na wingi wa fedha zinazotokana na vyanzo vyetu kuhamishiwa nje ya nchi kwa kulipia kazi za kampuni za nje.

7

B: TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MPANGO NA BAJETI YA MWAKA 2012/13

Ukusanyaji wa Mapato

13. Mheshimiwa Spika , katika mwaka 2012/13, Wizara ilipanga kukusanya jumla ya Shilingi 15,628,580.00 kupitia Idara zenye vyanzo vya mapato. Idara hizo ni Utawala, Huduma za Ufundi na Menejimenti ya Ununuzi. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya Shilingi 36,388,193.24 zilikuwa zimekusanywa. Sababu za kukusanya fedha zaidi ikilinganishwa na bajeti iliyopangwa ni kuongezeka kwa makusanyo ya ada za usajili wa vyombo vya Serikali kufuatia zoezi la kufuta matumizi ya namba za kiraia kwenye magari, pikipiki, bajaj na mitambo ya Serikali na kusajiliwa kwa namba za Serikali. Zoezi hili lilianza tarehe 19 Novemba, 2012 na hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya magari, pikipiki, bajaji na mitambo ya Serikali iliyosajiliwa kwa namba za Serikali ni 2,268.

Bajeti ya Matumizi ya Kawaida

14. Mheshimiwa Spika , katika mwaka 2012/13, Wizara ilitengewa kiasi cha Shilingi 329,085,354,000.00 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida. Hadi kufikia Aprili, 2013, Shilingi

8

257,177,456,588.75 zilikuwa zimetolewa na Wizara ya Fedha kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida. Kiasi hicho ni asilimia 78.15 ya bajeti ya matumizi ya kawaida ya Wizara kwa mwaka 2012/13. Kati ya fedha zilizotolewa, Shilingi 15,490,538,152.00 zilikuwa za Mishahara ya Watumishi wa Wizara na Taasisi zake, Shilingi 237,811,447,236.75 ni za Mfuko wa Barabara na Shilingi 3,875,471,200.00 ni kwa ajili ya Matumizi Mengineyo ya Wizara, Taasisi na Wakala.

UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KWA MWAKA 2012/13

15. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2012/13, Wizara iliidhinishiwa Shilingi 693, 948, 272,000.00 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Kati ya fedha hizo, Shilingi 296,896,892,000.00 zilikuwa fedha za ndani na Shilingi 397,051,380,000.00 zilikuwa fedha za nje. Hadi kufikia Aprili, 2013, Wizara ilishapokea fedha zote za ndani kiasi cha Shilingi 296,896, 892,000.00 na Shilingi 236,782,437,956.41 za nje.

Utekelezaji wa Miradi ya Barabara na Madaraja

16. Mheshimiwa Spika, nchi ya Tanzania ina mtandao wa barabara wenye jumla ya kilometa 87,581. Kati ya hizo, kilometa 35,000

9

ni Barabara Kuu na za Mikoa zinazosimamiwa na Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala wa Barabara (TANROADS). Barabara zinazobaki ni za wilaya na zinasimamiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI. Aidha, kuna jumla ya Madaraja 4,880 katika Barabara Kuu na za Mikoa.

17. Mheshimiwa Spika , katika mwaka 2012/13, Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala wa Barabara (TANROADS) ilipanga kukamilisha ujenzi wa barabara kuu zenye urefu wa kilometa 414 kwa kiwango cha lami, kukarabati kilometa 135 kwa kiwango cha lami pamoja na kujenga na kukarabati madaraja 11. Hadi kufikia Aprili, 2013, ujenzi wa kilometa 374.65 za barabara kuu kwa kiwango cha lami na ukarabati wa kilometa 140.63 kwa kiwango cha lami ulikamilika. Kuhusu matengenezo ya Barabara Kuu, lengo lilikuwa ni kuzifanyia matengenezo kilometa 10,534.3 na madaraja 1,154. Hadi kufikia Aprili, 2013 kilometa 6,052.8 za Barabara Kuu na madaraja 652 yalifanyiwa matengenezo.

18. Mheshimiwa Spika, kwa upande Barabara za Mikoa, Wizara ilipanga kujenga kwa kiwango cha lami kilometa 31.9, kukarabati kwa kiwango cha changarawe kilometa 573.6 na ujenzi wa madaraja 27. Hadi kufikia Aprili, 2013, kilometa 8.23 zilijengwa kwa kiwango cha lami, kilometa 198.9 zilifanyiwa ukarabati kwa 10

kiwango cha changarawe na ujenzi wa madaraja 8 ulikamilika. Kuhusu matengenezo ya Barabara za Mikoa, Wizara ilipanga kuzifanyia matengenezo barabara zenye urefu wa kilometa 22,482 na madaraja 1,263. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya kilometa 13,459.2 zilikuwa zimekamilika na madaraja 758 yalikuwa yamefanyiwa matengenezo.

19. Mheshimiwa Spika , kazi ya kudhibiti uzito wa magari iliendelea katika mwaka wa fedha 2012/13 kwa kutumia mizani 26 ya kudumu na 17 inayohamishika katika barabara kuu za lami. Hadi Aprili, 2013 magari yapatayo 2,321,526 yalikuwa yamepimwa ambapo magari 598,074 yalikuwa yamezidisha uzito. Hii ni asilimia 25.76 ya magari yote yaliyopimwa. Jumla ya fedha zilizokusanywa kutokana na tozo ya uharibifu wa barabara na malipo ya kupitisha mizigo mipana na isiyo ya kawaida ilikuwa ni Shilingi 3,913,898,889.45.

20. Mheshimiwa Spika, Serikali imeanza maandalizi ya kujenga barabara ya Dar es Salaam - Chalinze (Expressway) kwa utaratibu wa ubia kati ya Serikali na Kampuni binafsi. Kufuatia tangazo lililotolewa na Wizara kupitia TANROADS, Kampuni 19 zimewasilisha mapendekezo ya jinsi ya kujenga barabara hii kwa njia 6 kuanzia Dar es Salaam – Mlandizi na njia 4 kuanzia Mlandizi - Chalinze. Kazi za 11

kuchambua mapendekezo hayo ili kumpata mbia anayeweza kufanya kazi hiyo inaendelea.

21. Mheshimiwa Spika , Mkataba wa ujenzi wa barabara ya Bagamoyo-Makofia-Msata (km 64) ulisainiwa tarehe 15 Agosti, 2010 kwa gharama ya Shilingi bilioni 89.608. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 55.4 za tuta la barabara, km 51.2 za tabaka la chini, km 51.2 za tabaka la juu na km 51.2 za lami zimekamilika.

22. Mheshimiwa Spika, utekelezaji wa mradi wa barabara ya Usagara – Geita – Bwanga – Buzirayombo – Kyamyorwa (km 422) umegawanyika katika sehemu tatu. Sehemu ya kwanza ilihusisha ujenzi wa Barabara ya Kyamyorwa - Geita (km 220) ambayo ilikamilika Februari, 2008. Sehemu ya pili ilihusisha ujenzi wa barabara ya Geita - Usagara (km 90) ambapo ujenzi wake ulianza Februari, 2008 na umekamilika Januari, 2010. Sehemu ya tatu itahusisha ujenzi wa barabara ya Uyovu - Biharamulo kupitia Bwanga (km 112). Mikataba ya ujenzi imesainiwa Oktoba, 2012 na Mkandarasi ameshapeleka vifaa na wataalamu kuanza kazi.

23. Mheshimiwa Spika, Mradi wa barabara wa Kigoma – Kidahwe – Uvinza – Kaliua – Tabora (km 310.60) unahusisha ujenzi 12

wa Barabara ya Tabora - Urambo (km 94), ujenzi wa daraja la Malagarasi na barabara zake za maingilio (approach roads – km 48), barabara ya Uvinza – Kidahwe (km 76.6), Kigoma- Kidahwe (km 36) na Kaliua – Kazilambwa (km 56). Aidha, utekelezaji wa miradi hiyo ni kama ifuatavyo:-

• Tabora-Ndono (km 42):

Gharama za ujenzi wa mradi huu ni Shilingi bilioni 51.35. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 19 za tuta la barabara zimekamilika.

• Ndono-Urambo (km 52):

Gharama za ujenzi wa barabara ya Ndono – Urambo ni Shilingi bilioni 59.77. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 22 za tuta la barabara zimekamilika.

• Kaliua – Kazilambwa (km 50)

Mkataba wa ujenzi kwa sehemu ya Kaliua – Kazilambwa (km 56) umesainiwa tarehe 27 Machi, 2013 na kazi za maandalizi ya ujenzi zinaendelea.

• Daraja la Kikwete

Kwa upande wa Daraja la Kikwete katika mto Malagarasi na barabara zake za maingilio, mkataba wa usanifu na ujenzi wa mradi huu ulisainiwa tarehe 21 Oktoba, 2010. Mradi

13

huu unafadhiliwa na Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi (Economic Development Cooperation Fund) wa Korea Kusini. Utekelezaji wa mradi huu umegawanyika katika awamu mbili; awamu ya kwanza inahusisha ujenzi wa madaraja 3 ambapo moja lina urefu wa meta 200, la pili meta 50 na la tatu meta 25 pamoja na ujenzi wa barabara yenye urefu wa kilomita 11 kwa kiwango cha lami. Kazi zinafanyika kwa utaratibu wa Kusanifu na Kujenga (Design and Build). Hadi kufikia Aprili, 2013 kazi za ujenzi wa daraja zimekamilika kwa asilimia 81 na ujenzi wa tuta la barabara, tabaka la chini na tabaka la juu umekamilika. Kwa awamu ya pili inayohusisha ujenzi wa barabara yenye urefu wa kilomita 37 kwa kiwango cha lami, Serikali ya Korea Kusini imekubali kutoa fedha na Mkataba wa Mkopo wa Nyongeza (Supplementary Loan Agreement) umesainiwa tarehe 11/12/2012. Kazi za ujenzi zimeanza tarehe 4/1/2013.

• Uvinza – Kidahwe (km 76.6)

Mkataba wa ujenzi wa barabara ya Uvinza – Kidahwe (km 76.6) ulisainiwa tarehe 24 Juni 2010 kwa gharama ya Shilingi bilioni 78.241. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 74 za tuta la barabara, km 73 za tabaka la chini, km 72 za

14

tabaka la juu na km 70.18 za lami zimekamilika.

24. Mheshimiwa Spika, kuhusu barabara ya Marangu-Rombo Mkuu na Mwika-Kilacha (km 32), mkataba ulisainiwa tarehe 13 Mei, 2008 kwa gharama ya Shilingi bilioni 25.075. Hadi kufikia Aprili 2013, jumla ya km 32 za tuta la barabara, km 32 za tabaka la chini, km 32 za tabaka la juu na km 29.3 za lami zimekamilika. Kwa barabara Sanya Juu (Siha) – Kamwanga (km 75), taratibu za kumpata Mkandarasi wa ujenzi zinaendelea.

25. Mheshimiwa Spika, mkataba wa ujenzi wa barabara ya Nangurukuru – Mbwemkulu (km 95) ulisainiwa tarehe 14 Mei 2003 kwa gharama ya shilingi bilioni 39.239 na ulikamilika mwaka 2008. Hata hivyo Wizara ya Ujenzi haikupokea mradi huu kwa kuwa haukukamilika kwa kiwango kilichokusudiwa na hivyo kuwepo kwa marekebisho yanayohitajika kufanyika. Kazi ya kufanya marekebisho imekamilika na mradi umepokelewa na Wakala wa Barabara tarehe 21 Februari, 2013.

26. Mheshimiwa Spika, mkataba wa ujenzi kwa kiwango cha lami wa barabara ya Dodoma – Manyoni (km 127) ulisainiwa tarehe 12 Machi, 2003 kwa gharama ya shilingi bilioni 63.888. 15

Ujenzi wa barabara hii ulikamilika tarehe 22 Novemba, 2009 na kipindi cha uangalizi cha miaka mitatu kiliisha Novemba, 2012 na mradi umepokelewa na TANROADS.

27. Mheshimiwa Spika, mradi wa ujenzi wa barabara ya Dumila – Kilosa (km 63) kwa kiwango cha lami umegawanywa katika sehemu mbili; Dumila – Rudewa (km 45) na Rudewa - Kilosa (km 18). Utekelezaji wa sehemu hizi mbili ni kama ifuatavyo:

• Dumila-Rudewa (km 45):

Mkataba wa ujenzi ni wa gharama ya Shilingi bilioni 41.929. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 44.72 za tuta la barabara, km 31.85 za tabaka la chini, km 0.3 za tabaka la juu na km 0.3 za lami zimekamilika.

• Rudewa-Kilosa (km 18):

Usanifu umekamilika na Serikali inaendelea na juhudi za kutafuta fedha za ujenzi.

28. Mheshimiwa Spika, mkataba wa ujenzi kwa upande wa mradi wa barabara ya Sumbawanga-Matai-Kasanga Port (km 112) ni wa Shilingi bilioni 133.286. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 38 za tuta la barabara, km

16

27 za tabaka la chini, km 12 za tabaka la juu na km 12 za lami zimekamilika.

29. Mheshimiwa Spika, mkataba wa mradi wa upanuzi wa barabara ya Kawawa Junction-Mwenge-Tegeta (km 17), sehemu ya Mwenge – Tegeta ulisainiwa tarehe 16 Desemba, 2010 kwa gharama ya Shilingi bilioni 88.403 kwa fedha za msaada kutoka Serikali ya Japan. Aidha, sehemu ya Mwenge – Kawawa Junction (km 4.3) itafadhiliwa pia na Serikali ya Japan. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 21.67 za tuta la barabara, km 12.12 za tabaka la chini na km 21.66 za tabaka la juu zimekamilika. Aidha, kwa sehemu ya Morocco – Mwenge malipo ya fidia kwa mujibu wa Sheria ya Barabara ya mwaka 2007 yamefanyika kwa nyumba zinazotakiwa kuondolewa ili kupisha ujenzi wa barabara.

30. Mheshimiwa Spika, kwa mradi wa barabara ya Kyaka-Bugene (km 59.1), mkataba ulisainiwa kwa gharama ya shilingi bilioni 64.96. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 11.8 za tuta la barabara na km 7.9 za tabaka la chini zimekamilika.

31. Mheshimiwa Spika, Lengo la mradi wa barabara ya Isaka- Lusahunga (km 382) ni kufanya ukarabati wa barabara hii kwa kiwango cha lami. Mradi huu unagharamiwa na Serikali 17

ya Tanzania na umegawanyika katika sehemu tatu (3). Utekelezaji wa sehemu zote tatu ni kama ifuatavyo:

Lot 1: Isaka – Ushirombo (Km 132)

Mkataba wa ujenzi unagharimu Shilingi bilioni 145.329 na kazi zilianza tarehe 18 Februari, 2010. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 111.77 za tuta la barabara, km 107.72 za tabaka la chini, km 107.64 za tabaka la juu na km 106.74 za lami zimekamilika.

Lot 2: Ushirombo – Lusahunga (Km 110)

Mkataba wa ujenzi utagharimu Shilingi bilioni 114.556 na kazi zilianza tarehe 18 Februari, 2010. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 53.5 za tuta la barabara, km 53.5 za tabaka la chini, km 53.5 za tabaka la juu na km 53.5 za lami zimekamilika.

Lot 3: Lusahunga – Rusumo/Nyakasanza – Kobero (km 150).

Lengo la mradi huu ni kufanya usanifu wa kina wa barabara hii yenye urefu wa kilomita 150 kwa ajili ya kuikarabati kwa kiwango cha lami. Usanifu wa kina utakamilika katika mwaka 2012/2013.

18

32. Mheshimiwa Spika, mradi wa kujenga barabara ya Manyoni – Itigi – Tabora yenye urefu wa kilometa 264.35 kwa kiwango cha lami umegawanyika katika sehemu tatu kama ifuatavyo-:

Lot 1: Manyoni – Itigi – Chaya (km 89.35)

Mkataba wa ujenzi ni wa gharama ya shilingi bilioni 109.642. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 39.8 za tuta la barabara na km 2.9 za tabaka la chini zimekamilika.

Lot 2: Tabora – Nyahua (km 85)

Mkataba wa ujenzi ulisainiwa tarehe 30 Julai, 2010 kwa gharama ya shilingi bilioni 93.401. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 16.19 za tuta la barabara zimekamilika.

Lot 3: Chaya – Nyahua (km 90):

Usanifu umekamilika na ujenzi umepangwa kuanza mwaka 2013/14 kulingana na upatikanaji wa fedha.

33. Mheshimiwa Spika, mkataba wa ujenzi wa barabara ya Handeni – Mkata (km 53.2) ni wa gharama ya Shilingi bilioni 57.338. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 53.2 za lami zimekamilika.

19

34. Mheshimiwa Spika, kwa mradi wa barabara ya Korogwe – Handeni (km 65), mkataba wa ujenzi ni wa Shilingi bilioni 63.199. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 59 za tuta la barabara, km 52 za tabaka la chini, km 51 za tabaka la juu na km 50 za lami zimekamilika.

35. Mheshimiwa Spika, ujenzi wa barabara ya Ndundu-Somanga (km 60) unagharamiwa na Serikali ya Tanzania, KUWAIT Fund na OPEC. Mkataba wa ujenzi ni wa gharama ya Shilingi bilioni 58.814. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 52.38 za tuta la barabara, km 46 za tabaka la chini, km 36.53 za tabaka la juu na km 30 za lami zimekamilika.

36. Mheshimiwa Spika, kuhusu barabara ya Makutano – Natta – Mugumu /Loliondo – Mto wa Mbu (km 328) lengo ni kufanya usanifu wa kina ikiwa ni pamoja na maandalizi kwa ajili ya kuanza ujenzi wa barabara hii kwa kiwango cha lami. Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Tanzania. Mikataba kwa ajili ya kufanya usanifu wa kina kwa sehemu ya Natta-Mugumu- Loliondo (km 239) na Mto wa Mbu – Loliondo (km 213) ilisainiwa tarehe 26 Agosti, 2009. Utekelezaji wa mradi umegawanyika kama ifuatavyo:

20

Lot 1: Loliondo – Mto wa Mbu (km 213)

Usanifu wa kina wa barabara hii umekamilika na ujenzi utafanyika kwa awamu kulingana na upatikanaji wa fedha.

Lot 2: Makutano - Natta – Mugumu (km 80)

Kazi ya usanifu wa barabara hii imekamilika na mkataba wa ujenzi kwa sehemu ya Makutano – Sanzate (km 50) ulisainiwa Machi, 2013.

37. Mheshimiwa Spika, kuhusu ujenzi wa barabara ya Tanga - Horohoro (km 65) kwa kiwango cha lami, mkataba wa ujenzi ulisainiwa tarehe 22 Desemba, 2009 kwa gharama ya Shilingi bilioni 69.894. Mradi huu umegharamiwa kwa fedha za msaada kutoka Mfuko wa MCC ya Marekani na mchango wa Serikali ya Tanzania. Hadi kufikia Aprili 2013, kazi za ujenzi wa barabara hii zimekamilika. Barabara ilifunguliwa rasmi tarehe 13 Aprili, 2013 na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

38. Mheshimiwa Spika, barabara ya Nzega - Tabora (km 115) inaendelea kujengwa kwa kiwango cha lami na mradi umegawanyika katika sehemu kuu mbili. Utekelezaji wa sehemu hizi ni kama ifuatavyo:-

21

• Nzega-Puge (km 56.2):

Gharama ya mradi huu ni Shilingi bilioni 66.358. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 13.5 za tuta la barabara zimekamilika.

• Puge-Tabora (km 58.8):

Mradi huu unajengwa kwa mkataba wa gharama ya Shilingi bilioni 62.737. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 23 za tuta la barabara na km 2.9 za tabaka la chini zimekamilika.

39. Mheshimiwa Spika, mradi wa ujenzi wa barabara ya Sumbawanga – Mpanda– Nyakanazi (km 829) kwa kiwango cha lami umegawanyika katika sehemu kuu nne: Sumbawanga – Kanazi (km 75), Kanazi – Kizi - Kibaoni (km 76.6), Kizi – Sitalike – Mpanda (km 95) na Mpanda – Uvinza –Nyakanazi (km 582.4). Utekelezaji wake ni kama ifuatavyo:

• Sumbawanga – Kanazi (km 75)

Gharama ya ujenzi kwa sehemu hii ni Shilingi bilioni 78.84. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 25 za tuta la barabara, km 19.5 za tabaka la chini, km 6.4 za tabaka la juu na km 6.4 za lami zimekamilika.

• Kanazi – Kizi – Kibaoni (km 76.6)

Mkataba wa ujenzi unahusisha km 76.6 kwa gharama ya Shilingi bilioni 82.841. Hadi kufikia 22

Aprili, 2013 jumla ya km 19 za tuta la barabara zimekamilika.

• Kizi – Sitalike – Mpanda (km 95)

Mkataba wa ujenzi kwa kiwango cha lami kwa sehemu ya Sitalike – Mpanda (km 35) umesainiwa tarehe 22 Oktoba, 2012 kwa gharama ya Shilingi bilioni 37.097. Hadi kufikia Aprili, 2013 Mkandarasi ameshakamilisha maandalizi (mobilization) na ameanza kazi za ujenzi.

• Mpanda – Uvinza –Nyakanazi (km 582.4)

Usanifu wa kina wa barabara hii umekamilika na ujenzi utafanyika kwa awamu kulingana na upatikanaji wa fedha.

40. Mheshimiwa Spika, kuhusu mradi wa ukarabati kwa kiwango cha lami barabara ya Nyanguge – Musoma (km 183), mkataba wa kazi kwa sehemu ya Simiyu/Mara border - Musoma yenye urefu wa kilomita 85.5 ulisainiwa tarehe 30 Julai, 2010 kwa gharama ya Shilingi bilioni 85.368. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 75 za tuta la barabara, km 61.45 za tabaka la chini, km 50.97 za tabaka la juu na km 45.56 za lami zimekamilika. Kwa upande wa ujenzi wa mchepuo wa Usagara - Kisesa (km 17), mkataba wa ujenzi ulisainiwa 23

tarehe 26 Machi, 2013. Mkandarasi yuko katika maandalizi ya kuanza kazi. Kwa sehemu ya Nyanguge hadi mpakani mwa Simiyu/Mara, Serikali inatafuta fedha za ukarabati.

41. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji wa mradi wa barabara ya Mziha – Turiani – Magole (km 84.6) umegawanywa katika sehemu mbili zifuatazo:

• Magole – Turiani (km 48):

Mkataba wa ujenzi ulisainiwa kwa gharama ya Shilingi bilioni 41.89. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 34 za tuta la barabara na km 0.24 za tabaka la chini zimekamilika.

• Turiani – Mziha (km 36.6):

Kazi ya usanifu wa barabara hii imekamilika na hatua inayofuata ni kutafuta fedha za ujenzi.

42. Mheshimiwa Spika, kuhusu mradi wa barabara ya Bariadi-Lamadi (km 71.8), mkataba wa ujenzi utagharimu Shilingi bilioni 67.408. Mradi huu ni sehemu ya barabara ya Shinyanga – Mwigumbi – Maswa – Bariadi yenye urefu wa kilomita 171. Hadi kufikia Aprili, 2013 jumla ya km 6.88 za tuta la barabara na km 3.12 za tabaka la chini zimekamilika.

24

43. Mheshimiwa Spika, maandalizi kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya kwenda Uwanja wa Ndege wa Mafia (Mafia Airport Access Road) yenye urefu wa km 14 yanaendelea. Mkataba wa ujenzi wa barabara hii umesainiwa Machi, 2013 kwa gharama ya Shilingi bilioni 13.554 fedha za ndani.

44. Mheshimiwa Spika, Barabara ya Dodoma – Chuo Kikuu cha Dodoma (Dodoma University Road) (km 12) itajengwa kwa kiwango cha lami kwa kutumia fedha za ndani. Hatua za kumpata Mkandarasi kwa ajili ya mradi huu zinaendelea.

45. Mheshimiwa Spika, utekelezaji wa mradi wa barabara ya Tunduma-Sumbawanga (km 223.0) unaogharamiwa kwa fedha za ‘Millennium Challenge Corporation’ (MCC) ya Marekani umegawanyika katika sehemu tatu zifuatazo:-

• Lot 1: Tunduma – Ikana (km 63.7)

Mkataba wa ujenzi wa sehemu hii ya barabara unagharimu Shilingi bilioni 82.52. Hadi kufikia Aprili 2013, jumla ya km 43.75 za tuta la barabara, km 26.34 za tabaka la chini, km 24.88 za tabaka la juu na km 1.3 za lami zimekamilika.

25

• Lot 2: Ikana – Laela (km 64.0)

Mkataba wa ujenzi wa sehemu hii ya barabara ni wa gharama ya Shilingi bilioni 76.076. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 55.1 za tuta la barabara, km 45.04 za tabaka la chini, km 43.66 za tabaka la juu na km 43.39 za lami zimekamilika.

• Lot 3: Laela – Sumbawanga (km 95.3)

Mkataba wa ujenzi wa sehemu hii ya barabara ni wa gharama ya Dola za Kimarekani milioni 97.141. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 44.3 za tuta la barabara, km 41.9 za tabaka la chini, km 41.76 za tabaka la juu na km 33.76 za lami zimekamilika.

46. Mheshimiwa Spika, mradi wa barabara ya Kagoma- Biharamulo-Lusahunga (km 154) ni sehemu ya barabara ya Mutukula – Bukoba – Biharamulo – Lusahunga (km 294). Mkataba mpya wa kumalizia ujenzi wa sehemu ya barabara ya Kagoma – Lusahunga (km 154) kwa kiwango cha lami ulisainiwa tarehe 18 Juni, 2009 kwa gharama ya Shilingi bilioni 191.454. Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Tanzania baada ya ADB kujitoa. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 150.9 za tuta la barabara, km 150.9 za tabaka la chini, km

26

130.5 za tabaka la juu na km 121 za lami zimekamilika.

47. Mheshimiwa Spika, Serikali ya Japan imetoa msaada wa fedha za kugharamia ujenzi na upanuzi wa barabara ya Bendera Tatu – KAMATA. Kazi ya kuondoa mali zilizomo kwenye eneo la mradi imeanza. Utaratibu wa kumtafuta Mkandarasi unaendelea nchini Japan na ujenzi unatarajiwa kuanza katika mwaka wa fedha 2013/14.

48. Mheshimiwa Spika, mradi wa barabara ya Minjingu – Babati – Singida (km 223.5) unagharamiwa kwa fedha za mkopo kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) na mchango wa Serikali ya Tanzania. Ujenzi wa sehemu tatu za Singida-Kateshi (km 65.1), Kateshi-Dareda (km 73.8) na Dareda-Babati- Minjingu (km 84.6) umekamilika.

49. Mheshimiwa Spika, barabara ya Minjingu – Arusha (km 104) inafanyiwa ukarabati kwa kiwango cha lami kwa ufadhili wa Benki ya Dunia kwa gharama ya Shilingi bilioni 75.511. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 12 za tuta la barabara, km 10 za tabaka la chini na km 9 za tabaka la juu zimekamilika.

27

50. Mheshimiwa Spika, ukarabati wa barabara ya lami ya Dar es Salaam – Tunduma (TANZAM) unahusisha ukarabati wa sehemu ya Iyovi - Kitonga Gorge (km 86.3), Ikokoto - Iringa (km 60.9), mchepuo wa kuingia Iringa mjini (km 2.1) na Iringa-Mafinga (km 68.9). Mradi huu unagharamiwa kwa mkopo kutoka Serikali ya Denmark pamoja na mchango wa Serikali ya Tanzania. Ukarabati wa Sehemu ya Msimba – Ruaha Mbuyuni/Ikokoto – Mafinga (km 149.6) umekamilika. Ukarabati wa sehemu ya Iringa – Mafinga (km 69.4), ulianza tarehe 9 Septemba, 2011 kwa gharama ya EURO milioni 38.5. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 70.1 za tuta la barabara, km 54.64 za tabaka la chini, km 53.91 za tabaka la juu na km 53.11 za lami zimekamilika.

51. Mheshimiwa Spika, kazi ya ukarabati wa barabara ya Korogwe - Mkumbara –Same (km 172) zimegawanyika katika sehemu mbili na utekelezaji wa sehemu hizo ni kama ifuatavyo:-

• Korogwe - Mkumbara (km 76)

Mkataba wa ujenzi wa barabara ulisainiwa tarehe 16 Januari 2012 kwa gharama ya

28

Shilingi bilioni 62.866. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 19.1 za tuta la barabara, km 14.2 za tabaka la chini, km 13.7 za tabaka la juu na km 3.4 za lami zimekamilika.

• Mkumbara – Same (km 96)

Mkataba wa ujenzi wa barabara ulisainiwa tarehe 16 Januari 2012 kwa gharama ya Shilingi bilioni 65.130. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 3.3 za tuta la barabara zimekamilika.

52. Mheshimiwa Spika, Wizara inaendelea na ujenzi wa barabara ya Mbeya – Chunya – Makongorosi (km 115) ambao umegawanywa katika sehemu tatu zifuatazo:-

• Mbeya-Lwanjilo (km 36):

Baada ya Mkandarasi wa awali (Kundan Singh) kushindwa kazi na kufukuzwa, Mkataba mpya wa ujenzi wa barabara ulisainiwa kwa gharama ya Shilingi bilioni 55.385. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 3 za tuta la barabara zimekamilika.

• Lwanjilo-Chunya (km 36):

Mkataba wa ujenzi wa sehemu ya Lwanjilo – Chunya utagharimu Shilingi bilioni 40.28. Hadi 29

kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 3 za tuta la barabara zimekamilika.

53. Mheshimiwa Spika, kuhusu ukarabati na upanuzi wa barabara ya Chalinze - Segera hadi Tanga, ukarabati wa sehemu ya Chalinze – Kitumbi (km 125 ) umekamilika. Mkataba wa ukarabati wa sehemu ya barabara ya Kitumbi – Segera – Tanga (km 120 ulisainiwa tarehe 24 Desemba 2010 kwa gharama ya Shilingi bilioni 67.237. Hadi Aprili, 2013, upanuzi umekamilika kwa jumla ya km 24.45 za tuta la barabara, km 24.45 za tabaka la chini na km 24.45 za tabaka la juu. Aidha, km 90 za kuongeza tabaka la lami (resealing) zimekamilika.

54. Mheshimiwa Spika, ujenzi wa barabara ya Dodoma – Iringa (km 260) unagharamiwa na fedha za mkopo toka ADB na JICA. Mradi umegawanyika katika sehemu tatu kama ifuatavyo:-

• Iringa – Migori (km 95.10):

Mkataba wa ujenzi wa sehemu hii ulisainiwa kwa gharama ya Shilingi bilioni 84.216. Hadi kufikia Aprili 2013, jumla ya km 58.7 za tuta la

30

barabara na km 39.1 za tabaka la chini, km 10.7 za tabaka la juu zimekamilika.

• Migori – Fufu Escarpment (km 93.80)

Mkataba wa ujenzi wa barabara hii katika sehemu unagharimu Shilingi bilioni 73.612. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 56.4 za tuta la barabara na km 25.3 za tabaka la chini, km 9.4 za tabaka la juu zimekamilika.

• Fufu Escarpment – Dodoma (km 70.90)

Mkataba katika sehemu hii ya barabara unagharimu Shilingi bilioni 64.327. Hadi kufikia Aprili 2013, jumla ya km 64.8 za tuta la barabara, km 39.2 za tabaka la chini, km 28 za tabaka la juu na km 6.9 za lami zimekamilika.

55. Mheshimiwa Spika, ujenzi kwa kiwango cha lami kwa barabara ya Dodoma – Babati (km 261) umegawanywa katika sehemu zifuatazo:-

• Dodoma – Mayamaya (km 43.65)

Mkataba wa ujenzi wa barabara hii ulisainiwa kwa gharama ya Shilingi bilioni 40.609. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 25.75 za tuta la barabara, km 20 za tabaka la chini, km 18 za 31

tabaka la juu na km 17.35 za lami zimekamilika.

• Mayamaya - Mela (km 99.35)

Zabuni ya kumpata Mkandarasi wa ujenzi wa Mayamaya – Mela imetangazwa Novemba, 2012 na taratibu za kumpata Mkandarasi zinaendelea. Mradi huu unagharamiwa kwa fedha za mkopo kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) na Shirika la Maendeleo la Japan (JICA).

• Mela – Bonga (km 98.8)

Zabuni ya kumpata Mkandarasi wa ujenzi wa Mela – Bonga imetangazwa Novemba, 2012 na taratibu za kumpata Mkandarasi zinaendelea. Mradi huu unagharamiwa kwa fedha za mkopo kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) na Shirika la Maendeleo la Japan (JICA).

• Bonga – Babati (km 19.2)

Mkataba wa ujenzi wa barabara ulisainiwa tarehe 31 Mei, 2010 kwa gharama ya Shilingi bilioni 19.687. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 18.5 za tuta la barabara, km 18.5 za tabaka la chini, km 18.5 za tabaka la juu na km 18.2 za lami zimekamilika.

32

56. Mheshimiwa Spika, mradi wa barabara ya Masasi- Songea – Mbamba Bay umegawanywa katika sehemu zifuatazo:-

• Mangaka – Nakapanya (km 70.50)

Zabuni ya kumpata Mkandarasi wa ujenzi wa sehemu ya Mangaka - Nakapanya imetangazwa Mei, 2012 na mchakato wa kumpata Mkandarasi unaendelea. Mradi huu unagharamiwa kwa fedha za mkopo kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) na Shirika la Maendeleo la Japan (JICA).

• Nakapanya - Tunduru (km 66.50)

Zabuni ya kumpata Mkandarasi wa ujenzi wa sehemu ya Nakapanya - Tunduru imetangazwa Mei, 2012 na mchakato wa kumpata Mkandarasi unaendelea. Mradi huu unagharamiwa kwa fedha za mkopo kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) na Shirika la Maendeleo la Japan (JICA).

• Mangaka – Mtambaswala (km 65.50)

Zabuni ya kumpata Mkandarasi wa ujenzi wa Mangaka - Mtambaswala imetangazwa Mei, 2012 na mchakato wa kumpata Mkandarasi unaendelea. Mradi huu unagharamiwa kwa 33

fedha za mkopo kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) na Shirika la Maendeleo la Japan (JICA).

• Tunduru – Matemanga (km 58.70)

Mkataba ulisainiwa tarehe 24 Desemba, 2010 kwa gharama ya Shilingi bilioni 63.409. Mkataba wa ujenzi umefutwa tarehe 8 Januari, 2013 baada ya Mkandarasi M/s Progressive – Higleg – Joint Venture (JV) kushindwa kutekeleza mradi kimkataba. Taratibu za kumpata mkandarasi mwingine zinaendelea.

• Matemanga – Kilimasera (km 68.20)

Mkataba ulisainiwa tarehe 24 Desemba, 2010 kwa gharama ya Shilingi bilioni 64.016. Mkataba wa ujenzi umefutwa tarehe 8 Januari 2013 baada ya Mkandarasi M/s Progressive – Higleg – Joint Venture (JV) kushindwa kutekeleza mradi kimkataba. Taratibu za kumpata mkandarasi mwingine zinaendelea.

• Kilimasera - Namtumbo (km 60.70)

Mkataba ulisainiwa tarehe 24 Desemba, 2010 kwa gharama ya Shilingi bilioni 53.229. Mkataba wa ujenzi umefutwa tarehe 8 Januari 2013 baada ya Mkandarasi M/s Progressive – 34

Higleg – Joint Venture (JV) kushindwa kutekeleza mradi kimkataba. Taratibu za kumpata mkandarasi mwingine zinaendelea.

• Namtumbo – Songea (km 67.00)

Mkataba wa ujenzi wa barabara ulisainiwa tarehe 25 Mei 2010 kwa gharama ya Dola za Kimarekani milioni 46.963. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 66 za tuta la barabara, km 58.5 za tabaka la chini, km 55 za tabaka la juu na km 52 za lami zimekamilika.

• Peramiho – Mbinga (km78.00)

Mkataba wa ujenzi wa barabara ulisainiwa tarehe 2 Julai, 2010 kwa gharama ya Shilingi bilioni 79.803. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya km 78 za tuta la barabara, km 78 za tabaka la chini, km 78 za tabaka la juu na km 78 za lami zimekamilika.

Madaraja Makubwa

57. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2012/2013 Wizara inaendelea na ujenzi na ukarabati wa madaraja ya: Kirumi kwenye barabara ya Makutano – Sirari, daraja la Nanganga kwenye barabara ya Mingoyo – Masasi – Tunduru, daraja la Sibiti kwenye barabara ya Ulemo – Gumanga – Sibiti, daraja la Maligisu 35

(Mwanza) kwenye barabara ya Bukwimba – Kadashi - Maligisu, daraja la Kilombero kwenye barabara ya Mikumi - Ifakara – Mahenge, daraja la Kavuu kwenye barabara ya Majimoto-Inyonga, daraja la Mbutu kwenye barabara ya Igunga- Manonga, daraja la Ruhekei kwenye barabara ya Mbinga-Mbamba Bay, daraja la Ruhuhu (Ruvuma) na ununuzi wa madaraja ya Chuma ya dharura na mtambo wa kukagua madaraja (Compact Emergency Bridges na Crane Lorry). Utekelezaji wa ujenzi wa madaraja hayo umefikia hatua zifuatazo:-

(i) Daraja la Kirumi

Hatua za kumpata Mhandisi Mshauri wa kufanya usanifu wa kina wa ukarabati wa daraja la Kirumi zinaendelea. Kazi za usanifu zinatarajiwa kukamilika katika mwaka 2013/14.

(ii) Daraja la Sibiti

Mkataba wa ujenzi umesainiwa tarehe 7 Agosti, 2012 kwa gharama ya shilingi bilioni 16.302. Hadi kufikia Aprili, 2013 Mkandarasi ameshakamilisha maandalizi (mobilization) na tayari kazi za ujenzi zimeanza.

(iii) Daraja la Kilombero

Mkataba wa ujenzi umesainiwa tarehe 24 Oktoba, 2012 kwa gharama ya Shilingi bilioni 53.214. Maandalizi ya kuanza ujenzi wa daraja yanaendelea. 36

(iv) Daraja la Maligisu

Hadi kufika Aprili, 2013 ujenzi wa Daraja hili umefikia asilimia 90.

(v) Daraja la Kavuu

Hatua za kumpata Mkandarasi kwa ajili ya ujenzi wa msingi na nguzo za daraja zinaendelea. Ununuzi wa vyuma vya daraja (Mabey parts) umekamilika.

(vi) Daraja la Mbutu

Mkataba wa ujenzi umesainiwa tarehe 27 Aprili, 2012 kwa gharama ya Shilingi bilioni 10.456. Hadi kufikia Aprili, 2013 kazi za ujenzi zimekamilika kwa asilimia 54.3.

(vii) Daraja la Ruhuhu

Matayarisho kwa ajili ya kufanya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa daraja na bwawa la kumwagilia maji la Ruhuhu yanaendelea.

(viii) Ununuzi wa Madaraja ya Chuma ya Dharura na Mtambo wa Kukagua Madaraja (Compact Emergency Bridges na Under Bridge Inspection Lorry).

Taratibu za ununuzi wa Madaraja ya Chuma ya Dharura ( Compact Emergency Bridges) zinaendelea na mkataba wa ununuzi wa Mtambo wa kukagua Madaraja ( Under Bridge Inspection Lorry) umesainiwa. 37

58. Mheshimiwa Spika, kuhusu mradi wa Daraja la Kigamboni , mkataba wa ujenzi ulisaniwa tarehe 9 Januari, 2012. Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF). Mkandarasi ameshakamilisha maandalizi (mobilization) kwa asilimia 90 na ameanza kazi za ujenzi.

59. Mheshimiwa Spika, mradi wa kujenga Daraja katika Mto Ruvu kwenye barabara ya Dar es Salaam – Tunduma (TANZAM), ulikamilika mwaka 2009. Fedha za ndani zimetengwa katika bajeti ya 2012/2013 kwa ajili ya kulipa sehemu ya madai la mkandarasi.

Miradi ya Kupunguza Msongamano wa Magari katika Jiji la Dar es salaam

60. Mheshimiwa Spika, Lengo la mradi huu ni kusanifu, kujenga na kukarabati barabara za Dar es Salaam ili kupunguza msongamano wa magari katika barabara za Jiji. Hadi Aprili, 2013, hatua za utekelezaji wa miradi mbalimbali ni kama ifuatavyo:- (i) Ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kwa kasi kutoka Kimara hadi Kivukoni, Fire hadi Kariakoo na Magomeni hadi Morocco unaendelea. Aidha, kazi ya ujenzi wa Karakana na vituo vya mabasi yaendayo kasi pamoja na uhamishaji wa

38

miundombinu ya umeme inaendelea vizuri.

(ii) Ujenzi wa Flyover ya TAZARA: Maandalizi ya kumpata mkandarasi yanaendelea. Mradi huu unafadhiliwa na Serikali ya Japan kupitia Shirika lake la Maendeleo (JICA).

(iii) Ujenzi na upanuzi wa Barabara ya Gerezani (Bendera Tatu – KAMATA): Serikali ya Japan imekubali kugharamia mradi huu na taratibu za kumpata mkandarasi zinaendelea.

(iv) Barabara ya Kilwa (Bendera tatu – Mbagala Rangi Tatu): Ujenzi wa barabara hii umekamilika.

(v) Hadi kufikia Aprili, 2013, sehemu kubwa ya kazi kwa kiwango cha lami imekamilika kwa barabara ya Ubungo Bus Terminal – Mabibo-Kigogo Roundabout (km 6.4); Kigogo Roundabout-Bonde la Msimbazi – Twiga/Msimbazi Junction (km 2.7) na Barabara ya Jet Corner – Vituka – Davis Corner (km 10.3).

(vi) Kuhusu Usafiri wa vivuko/boti kati ya Dar es Salaam – Bagamoyo; mkandarasi wa kujenga kivuko/boti chenye uwezo wa kubeba abiria 300 amepatikana. Usanifu 39

wa maegesho matatu (Magogoni, Jangwani Beach, Rungwe Oceanic) unaendelea.

61. Mheshimiwa Spika, Wizara inaendelea na miradi mingine ya barabara za kupunguza msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam kama ifuatavyo:-

(i) Kazi za ujenzi zinaendelea kwa barabara ya Tabata Dampo – Kigogo na Ubungo Maziwa External (km 2.25).

(ii) Kwa upande wa barabara za Old Bagamoyo na Garden Road (km 9.1), kazi za usanifu zimekamilika Februari, 2013; na

(iii) Kazi ya Usanifu imekamilika kwa barabara za Mbezi (Morogoro road) –Malamba Mawili – Kinyerezi - Banana (km 14); Tegeta - Kibaoni-Wazo – Goba - Mbezi Mwisho (km 20); Tangi Bovu-Goba (km 9); Kimara Baruti-Msewe-Changanyikeni (km 2.6) na Kimara-Kilungule-External Mandela Road (km 9). Hatua za kuwapata Wakandarasi wa ujenzi zinaendelea.

62. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2012/13 Wizara imeendelea kufanya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina kwa barabara mbalimbali. Upembuzi yakinifu na usanifu wa kina umekamilika kwa barabara zifuatazo:- (i)

40

Mbinga – Mbamba Bay (km 66) (ii) Sehemu ya Signali-Ifakara (km 16.8) katika barabara ya Kidatu-Ifakara (km 30). Hii ni kwa ajili ya ujenzi kwa kiwango cha lami nyepesi. (iii) Barabara ya Turiani – Mziha (km 36.6), (iv) Barabara ya Mafinga – Igawa (Km 140.6), (v) Barabara ya Chunya-Makongorosi (km 43), (vi) Barabara ya Same – Himo – Marangu (km 99.73), (vii) Barabara ya Mombo – Lushoto (km 32), (viii) Barabara ya Makambako – Songea (km 295) na (ix) Barabara ya Arusha – Moshi – Himo – Holili (km 140). Kwa barabara hizi, kazi inayofuata ni kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi kwa kiwango cha lami.

63. Mheshimiwa Spika, kazi za upembuzi yakinifu na usanifu wa kina zinaendelea katika barabara zifuatazo:- (i) Barabara ya – Mingoyo - Masasi (km 200.00), (ii) Makongolosi- Rungwa-Itigi- Mkiwa (km 413), (iii) Mpemba-Isongole (Tanzania/Malawi Border), (iv) Handeni – Kiberashi - Kibaya – Kwamtoro - Singida (km 461), na (v) Bagamoyo (Makurunge) – Saadani – Pangani - Tanga (km178).

Aidha, taratibu za kuwapata Wataalam Mshauri kwa ajili ya kazi za upembuzi yakinifu na

41

usanifu wa kina zinaendelea kwa barabara zifuatazo:-

(i) Matai- Kasesya (km 50), (ii) Ifakara-Mahenge (sehemu ya Lupilo- Mahenge), (iii) Kibondo-Mabamba (km 35), (iv) Omugakorongo – Kigarama- Murongo (km 111), (v) Kyaka- Bugene/Benako (km 124), (vi) Kolandoto- Lalago- Mwanhuzi –Oldeani (km 328), (vii) Ipole – Rungwa (km 95), (viii) Mtwara – Newala – Masasi (km 209), (ix) Kidatu –Ifakara – Londo – Lumecha/Songea (km 396) ambayo imepata ufadhili wa ADB na JICA kwa ajli ya Mtaalam Mshauri na (x) Daraja la Wami.

Utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi na Ukarabati wa Vivuko na Maegesho ya Vivuko

64. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2012/13 Wizara kupitia TEMESA ilipanga:

i) Kuendelea na taratibu za kununua vivuko vipya vya Ilagala (Tani 50) Mkoani Kigoma, Kahunda/Maisome (Geita) na kivuko cha mwambao wa

42

Bahari ya Hindi kati ya Magogoni (Dar es Salaam) na Bagamoyo, ii) Kukamilisha ukarabati wa vivuko vya MV. Chato (Geita), MV Kome I (Mwanza), MV Kilombero I (Morogoro), Mv. Geita (Mwanza) na Itungi Port (Mbeya), pamoja na iii) Kujenga maegesho katika vivuko vya Msanga Mkuu (Mtwara), Ruhuhu (Ruvuma), Maisome/Kahunda (Geita) na Rugezi/Kisorya upande wa Ukerewe (Mwanza).

65. Mheshimiwa Spika, hadi kufikia Aprili, 2013, kazi za ujenzi na ukarabati wa vivuko ilikamilka kwa vivuko vifuatavyo:

i) Ujenzi wa kivuko cha Kilambo Mkoani Mtwara, ii) Ujenzi wa kivuko cha Ilagala mkoani Kigoma umekamilika huko Uholanzi na kivuko kimewasili hapa nchini tarehe 26 Aprili 2013, iii) Ujenzi wa maegesho ya Nkome, Rugezi na Utete umekamilika na iv) Ukarabati wa vivuko vya MV Chato, MV Sabasaba na MV Kyanyabasa umekamilika

43

66. Mheshimiwa Spika, Miradi ya vivuko na maegesho inayoendelea katika mwaka 2012/13 ni kama ifuatavyo:

i) Ujenzi wa Kivuko cha Kahunda-Maisome umeanza na utakamilika Desemba, 2013, ii) Maandalizi ya Ununuzi wa kivuko cha Itungi Port (Kyela Mbeya) unaendelea, iii) Ujenzi wa kivuko cha Msanga Mkuu (Mtwara) unaendelea Bandarini Dar es salaam, iv) Ujenzi wa maegesho ya kivuko cha Msanga Mkuu mkoani Mtwara upande wa Msanga Mkuu umekamilka na umeanza kwa upande wa Msemo, v) Ujenzi wa maegesho ya Kahunda - Maisome na maegesho katika vituo vya Mharamba, Senga na Ikumbitare umeanza Machi 2013, vi) Usanifu wa maegesho ya kivuko kwa ajili ya usafiri kati ya Dar es Salaam na Bagamoyo unaendelea. Aidha, mzabuni amepatikana kwa ajili ya ununuzi wa kivuko cha Dar es salaam hadi Bagamoyo, vii) Ujenzi wa uzio katika vivuko vya Magogoni Dar es salaam na Kinesi Mkoani Mara umekamilika,

44

viii) Zabuni imetangwaza kwa ajili ya ukarabati wa vivuko vya MV Kome 1, na MV Kilombero 1, na ix) Mkandarasi wa kukarabati kivuko cha MV Geita amepatikana.

Utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi na Ukarabati wa Nyumba na Majengo ya Serikali

67. Mheshimiwa Spika , katika mwaka wa fedha 2012/13 Wizara kupitia Wakala wa Majengo imeendelea na utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa nyumba za makazi ya Viongozi na watumishi wa umma, majengo ya ofisi za Serikali na majengo ya biashara.

68. Mheshimiwa Spika , hadi kufikia Aprili, 2013 ujenzi wa nyumba za viongozi katika Wilaya za Bahi (2) na Kondoa (1), jengo la ghorofa 18 barabara ya Chimara (DSM); na jengo la ghorofa 8 barabara ya Haile Selasie Dar es salaam ulikamilika na yameanza kutumika.

69. Mheshimiwa Spika , awamu ya kwanza ya ujenzi wa nyumba za Waheshimiwa Majaji; Dar es Salaam (2), Arusha (1), Songea (1), Tanga (1), Mbeya (1), Tabora (1), Mwanza (1), Iringa (1, Dodoma (1), pamoja na ujenzi wa nyumba za viongozi Ukerewe(2) na Mvomero (1) upo kwenye hatua za mwisho za kukamilishwa. Taratibu za zabuni kwa ujenzi wa nyumba zingine 5 45

(Kagera,Shinyanga, Kilimanjaro, Mtwara na Dar es Salaam) zimeanza.

70. Mheshimiwa Spika , ujenzi wa majengo mawili ya ghorofa ya kupangisha kibiashara jijini Arusha (Wachaga Street na Simeoni Street) unaendelea na unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa Juni, 2014. Miradi ya ujenzi wa ghorofa lenye nyumba 16 za kupangisha kibiashara eneo la SIDA – Dar es Salaam, ghorofa lenye nyumba 8 Mbezi Beach – Dar es Salaam na nyumba 3 Arusha upo katika hatua za umaliziaji. Aidha, ujenzi wa jengo la Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Bariadi, zahanati katika Manispaa ya Lindi na zahanati katika eneo la Mwangaza Dodoma pamoja na ukarabati wa jengo la karakana za MT. Depot na Dodoma unaendelea.

Usalama Barabarani

71. Mheshimiwa Spika, Wizara iliendelea na utekelezaji wa Sera ya Usalama Barabarani ya mwaka 2009 kwa kutekeleza yafuatayo katika mwaka 2012/13:-

(i) Kutoa elimu ya usalama barabarani kwa Shule za Msingi ili kupunguza ajali nchini, (ii) Kuandaa na kuendesha kampeni za kuelimisha umma kuhusu umuhimu wa usalama barabarani, 46

(iii) Kushirikiana na wadau muhimu kama vile Jeshi la Polisi, Wizara ya Afya, Wizara ya Elimu, Sheria n.k. katika kutoa elimu ya Usalama barabarani na kusimamia utekelezaji wa sheria zilizopo, (iv) Kudhibiti uzito wa magari yanayotumia barabara na kufanya tafiti za kutumia tekinolojia ya kisasa katika kudhibiti uzito, (v) Kuandaa taratibu za uanzishwaji wa Wakala wa Usalama barabarani, (vi) Kuandaa mapendekezo ya rasimu ya Sheria ya Usalama barabarani,

Ushirikishwaji wa Wanawake katika Kazi za Barabara

72. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha wa 2012/13 masuala yafuatayo yametekelezwa ili kuongeza ushiriki wa wanawake katika kazi za barabara: Wizara imeteua Waratibu wa Mikoa katika mikoa yote Tanzania Bara ambao watakuwa na jukumu la kuhamasisha wanawake kushiriki katika kazi za barabara katika mikoa husika. Wizara imefuatilia kujua idadi ya kampuni za makandarasi zinazomilikiwa na wanawake katika kila Mkoa ambao wako hai. Hadi sasa jumla ya kampuni za makandarasi 125 zinamilikiwa na wanawake. Aidha, Wizara kupitia Kitengo cha ushirikishaji Wanawake imeendesha mafunzo kwa vikundi vya 47

Wanawake na Makandarasi Wanawake 30 ili kuwaongezea uwezo wa kujenga na kuzifanyia matengenezo barabara kwa kutumia Tekinolojia Stahiki ya Nguvu Kazi. Washiriki wa warsha hiyo wamepata sifa ya kuanzisha kampuni za ukandarasi na kusajiliwa na Bodi ya Usajili wa Makandarasi. Washiriki wa warsha hiyo walitoka mikoa ya Kilimanjaro, Singida, Manyara, Tanga, Geita, Dar es Salaam, Katavi, Njombe na Simiyu. Aidha, katika mwaka 2012/13 Wizara ilifanya kazi ya ufuatiliaji (Monitoring) kujua maendeleo na kiwango cha ushirikii wa wanawake katika miradi ya barabara. Wizara iliweza kujua kiwango cha ushiriki wa wanawake kwenye miradi ya barabara hasa kwa wanawake wa kada za vibarua na wengineo ambao wanapata kipato kwa kazi za barabara.

Ushiriki wa Wizara katika Jumuiya Mbalimbali za Kimataifa

73. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2012/13 Wizara imeendelea kushiriki katika masuala yanayohusu Sekta ya Ujenzi katika Jumuiya za Kimataifa na Kikanda na hususan Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). Kwa upande wa EAC Wizara imeshiriki kikamilifu katika utekelezaji wa miradi ya barabara zinazounganisha nchi wanachama ukiwemo 48

mradi wa ujenzi wa barabara ya Arusha – Namanga kwa kiwango cha lami. Mradi huu umekamilika na kufunguliwa rasmi na Wakuu wa Nchi za Tanzania na Kenya tarehe 28 Novemba, 2012. Miradi mingine inayoendelea kutekelezwa ni ujenzi wa daraja la Rusumo linalounganisha Tanzania na Rwanda, usanifu wa barabara ya Bagamoyo – Saadani - Tanga, usanifu wa barabara ya Arusha – Himo – Holili/Taveta na ujenzi wa Vituo vya pamoja vya mipakani (One Stop Border Posts) vya Namanga, Rusumo, Kabanga na Mutukula.

74. Mheshimiwa Spika, Wizara pia ilishiriki katika maandalizi ya mswada wa Udhibiti wa Uzito wa Magari katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC Vehicle Load Control Bill, 2012) ambao unasubiri kupitishwa na Bunge la Afrika Mashariki. Aidha, Wizara ilishiriki katika Mkutano wa Pili wa Wakuu wa Nchi za EAC uliofanyika Nairobi tarehe 29 Novemba, 2012 ambao pamoja na mambo mengine ulipitisha miradi ya kipaumbele kwa ajili ya kuimarisha ufanisi wa huduma za bandari. Kwa upande wa barabara zetu, miradi iliyokubaliwa na Wakuu wa nchi za EAC ni barabara za kupunguza msongamano katika kuingia na kutoka Bandari ya Dar es Salaam; barabara ya Nyakanazi – Kasulu – Kidahwe – Mpanda; barabara ya Tanga – Saadani – Bagamoyo, barabara ya Nyanguge – Musoma – Sirari; barabara ya Lusahunga – 49

Rusumo na barabara ya Nyakasanza – Kobero. Miradi hii ya barabara ilijumuishwa kwenye mpango wa EAC wa kuboresha huduma za bandari na reli ambazo zinahudumia Tanzania na nchi jirani.

75. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa SADC, mwaka 2012/13 Wizara ilishiriki katika maandalizi ya Mpango wa Kuendeleza Miundombinu (SADC Regional Infrastructure Development Master Plan) ambao ulipitishwa na Nchi Wanachama wa SADC mwezi Agosti, 2012 Maputo nchini Msumbiji. Lengo la Mpango huu ni kuwa na miundombinu ya uhakika itakayoziunganisha nchi wanachama ili kupunguza gharama na kurahisisha biashara. Mpango huo unahusisha uendelezaji wa miradi ya kipaumbele ya miundombinu katika Sekta za Nishati, Uchukuzi, Utalii, Maji, Mawasiliano na Hali ya Hewa. Miradi ya barabara inayojumuishwa katika Mpango Kamambe inahusisha:

i) Barabara ya Dar es Salaam – Chalinze (Expressway - km 100) kwa ajili ya usafirishaji wa bidhaa za Burundi, DR Congo, Malawi, Rwanda, Uganda na Zambia; ii) Barabara ya Mtwara – Mbamba bay sehemu ya barabara ya Mbinga – Mbamba

50

Bay (km 66) inayoiunganisha Tanzania na nchi za Malawi na Zambia; iii) TANZAM Highway sehemu ya barabara ya Makambako – Songea (km 289) inayoiunganisha Tanzania na nchi ya Msumbiji; na iv) Barabara ya Manyoni – Tabora – Kigoma sehemu za barabara ya Nyahua – Chaya (km 90) na Kidahwe – Kasulu – Nyakanazi (km 310) zitakazoiunganisha Tanzania na nchi za DR Congo, Zambia na Burundi.

Nchi Wanachama kwa kushirikiana na Sekretarieti ya SADC zinaendelea na mikakati ya kutafuta fedha kwa ajili ya utekelezaji wa Mpango Kamambe wa Kuendeleza Miundombinu.

Maendeleo ya Watumishi

76. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2012/13, Wizara imeendelea kuwaendeleza watumishi wake kitaaluma kwa kuwapeleka jumla ya watumishi 25 katika mafunzo ndani na nje ya nchi. Kati ya hao, watumishi 12 walishiriki mafunzo ya muda mrefu na watumishi 13 walipelekwa mafunzo ya muda mfupi. Watumishi 2 walipata mafunzo ya muda mrefu na watumishi 2 walipata mafunzo ya muda mfupi nje ya nchi. Watumishi 10 walipata mafunzo ya muda mrefu na watumishi 11 51

walipata mafunzo ya muda mfupi ndani ya nchi. Aidha, watumishi 20 walipandishwa vyeo, watumishi 2 walibadilishwa kada, watumishi 3 walithibitishwa kazini na watumishi 11 waliajiriwa kazini.

Mikakati ya Kupambana na Ukimwi

77. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka wa fedha 2012/2013 Wizara iliendelea kutoa elimu ya kujikinga na maambukizi ya UKIMWI na VVU kwa watumishi kwa kutumia Wataalamu kutoka Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS). Aidha, watumishi wameendelea kuhamasishwa kupima afya zao pamoja na kuwapatia huduma ya lishe bora kwa watumishi walioathirika.

Vita Dhidi ya Rushwa

78. Mheshimiwa Spika, Wizara katika mwaka wa fedha 2012/2013 iliendelea kuwaelimisha watumishi athari ya kutoa na kupokea rushwa pamoja na kuwahimiza kupambana na rushwa katika mazingira yote ya kazi. Elimu kuhusu mapambano dhidi ya rushwa ilitolewa kupitia vipeperushi, semina na mikutano mbalimbali kwa ushirikiano na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).

52

Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA )

79. Mheshimiwa Spika, Wizara inaendelea kutoa elimu kwa umma kuhusu sera na mipango ya Wizara ya Ujenzi, umuhimu wa kutunza barabara na kuzingatia sheria na kanuni za matumizi ya barabara na sheria zingine zinazosimamia Sekta. Aidha, Wizara imeendelea kuboresha matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kuongeza ufanisi na kutoa huduma kwa wakati. Tovuti ya Wizara imeboreshwa ili kuhakikisha kuwa wananchi wanapata taarifa mbali mbali zinazohusiana na Sekta ya Ujenzi. Wizara imeshiriki katika mikutano na mafunzo yanayolenga matumizi ya TEHAMA ili kuboresha utendaji wa kila siku.

Bodi ya Mfuko wa Barabara (RFB)

80. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2012/13 Bodi ya Mfuko wa Barabara ilikuwa na lengo la kukusanya jumla ya Shilingi bilioni 429.664. Hadi tarehe 31 Machi, 2013 Bodi ya Mfuko wa Barabara ilikusanya na kugawa kiasi cha Shilingi bilioni 333.7 ambazo ni sawa na asilimia 77.7 ya lengo la Shilingi bilioni 429.664 kwa mwaka 2012/13. Kazi nyingine iliyofanywa na Bodi katika mwaka 2012/13 ni kufuatilia na kukagua miradi ya matengenezo ya barabara

53

inayotumia fedha za Mfuko nchi nzima. Kwa mwaka 2012/13 bodi ilifanya ukaguzi katika mikoa kumi na moja (11) ambayo ni Arusha, Kilimanjaro, Tanga, Rukwa, Tabora, Dar es Salaam, Mwanza, Lindi, Mara, Katavi na Iringa. Pale inapobainika kuna udhaifu, mamlaka husika zilitaarifiwa na hatua stahiki zilichukuliwa.

Wakala wa Ufundi na Umeme

81. Mheshimiwa Spika , katika mwaka wa fedha 2012/13, Wizara kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) imeendelea kusimamia uendeshaji wa vivuko 22 katika maeneo 15 hapa nchini kama ifuatavyo:

(i) Magogoni—Kigamboni; • MV Magogoni, Tani 500, • MV Kigamboni, Tani 170, (ii) Ilagala (Kigoma); • MV Ilagala, Tani 50, (iii) Kinesi—Musoma (Mara); • MV Musoma, Tani 85, (iv) Ifakara—Ulanga (Mto Kilombero); • MV Kilombero I, Tani 50, • MV Kilombero II, Tani 50, (v) Kisorya—Rugezi (Mwanza/Mara); • MV Ujenzi, Tani 50, • MV Sabasaba, Tani 85,

54

(vi) Rusumo - Nyakiziba (Mto Ruvuvu, Kagera); • MV Ruvuvu, Ton 35, (vii) Kasharu - Buganguzi (Mto Ngono, Kagera); • MV Kyanyabasa, Tani 7, (viii) Utete (Mto Rufiji); • MV Utete, Tani 50, (ix) Pangani—Bweni (Mto Pangani – Tanga), • MV Pangani II, Tani 50, (x) Kigongo—Busisi (Mwanza); • MV. Misungwi, Tani 250, • MV. Sengerema, Tani 170, • MV. Geita, Tani 65, (xi) Nyakaliro—Kome (Sengerema), • MV Kome I, Tani 25 • MV Kome II, Tani 40, (xii) Ilunga - Kipingu (Mto Ruhuhu – Ruvuma); • MV Ruhuhu, Tani 50, (xiii) Bugolora—Ukara (Ukerewe/Ukara); • MV Nyerere, Tani 25, (xiv) Chato—Muharamba—Zumacheli—Senga- Bukondo—Nkome. • MV Chato, Tani 75, • MV Ukara, Tani 25. (xv) Kilambo - Namoto • MV Kilambo Tani 50

82. Mheshimiwa Spika , Wizara kupitia TEMESA imeendelea kusimamia huduma za ukodishaji magari ya viongozi. TEMESA pia imetoa ushauri wa kihandisi kwa miradi ya

55

usimikaji wa mifumo ya umeme, mitambo, elektroniki, viyoyozi na mabarafu katika majengo ya Serikali kama ifuatavyo:

(i) Miradi ya kuboresha vituo na vyuo vya Afya vya Mbeya, Mirembe (Dodoma), Tanga, Kairuki (Dar es Salaam), Sengerema, Rukwa na Mvumi, (ii) Mradi wa maboresho ya ‘ Theatre’ katika Hospitali ya Mawenzi Moshi, (iii) Mradi wa ujenzi wa Mahakama Kuu ya Shinyanga, (iv) Mradi wa ukarabati wa Ofisi za muda za TBA Mkoa wa Njombe, (v) Mradi wa usimikaji wa lifti katika jengo la Ofisi za Wizara ya Katiba na Sheria, (vi) Miradi ya ununuzi na usimikaji wa jenereta katika Ofisi za Wizara ya Maji, Ofisi ya Makamu wa Rais, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, TANROADS – Lindi, Chuo cha Uvuvi Mbegani na Chuo cha Maji, (vii) Miradi ya ujenzi wa karakana za vyuo vya maendeleo ya Jamii katika mikoa ya Tanga, Tabora, Pwani na Mara, (viii) Miradi ya ujenzi wa nyumba za Makazi ya Majaji katika miji ya Dar 56

es Salaam, Arusha, Tanga, Tabora, Dodoma, Mbeya, Iringa na Mwanza, (ix) Mradi wa ujenzi wa Ofisi za SIDO Mkoa wa Pwani, (x) Mradi wa ukarabati wa nyumba za makazi za Majaji mikoa ya Mwanza, Iringa na Tabora.

83. Mheshimiwa Spika , katika mwaka 2012/13 Wizara kupitia TEMESA ilipanga kutengeneza magari katika Karakana zake zote zilizopo kila Mkoa. Hadi kufikia Aprili, 2013 TEMESA ilitengeneza magari 5,938. Matengenezo ya mifumo ya Umeme, Elektroniki Viyoyozi na Majokofu katika ofisi mbalimbali umeendelea kufanyika. Aidha, TEMESA imeendelea kuimarisha karakana zake kwa vifaa vya umeme, elektroniki na mitambo. Mashine za kutambua matatizo ya magari (Computerized Diagonistic Machine) imepatikana. Mashine nyingine 10 kama hiyo ziko katika hatua ya manunuzi kwa ajili ya karakana 10.

Bodi ya Usajili wa Wahandisi

84. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2012/13 Bodi ya Usajili wa Wahandisi ilipanga kusajili Wahandisi 955, kampuni za ushauri wa kihandisi 25 na kusimamia utekelezaji wa mpango wa mafunzo ya vitendo kwa Wahandisi wahitimu 1,000. Hadi Aprili, 2013 Bodi ilisajili 57

Wahandisi 838 na kampuni za ushauri wa kihandisi 10 na kufikisha jumla ya Wahandisi 12,102 waliosajiliwa katika ngazi mbalimbali na kampuni za ushauri wa kihandisi 237. Kati yao, jumla ya Wahandisi waliosajiliwa 10,694 ni wazalendo, na 1,408 ni wageni. Kampuni za ushauri wa kihandisi 169 ni za kizalendo na 68 ni za kigeni. Aidha, katika kipindi hicho, Bodi ilisajili Wahandisi Washauri 17 na kufanya jumla ya Wahandisi Washauri kuwa 386, kati yao 299 ni wazalendo na 87 ni wageni. Bodi ilifuta usajili kwa Wahandisi washauri 3 na kampuni ya ushauri wa Kihandisi 1.

85. Mheshimiwa Spika, Bodi ya Usajili wa Wahandisi imetekeleza majukumu mengine kama ifuatavyo:

i) Kusimamia mafunzo ya kujiendeleza kitaaluma kwa Wahandisi wote ili kuwafanya Wahandisi kwenda sambamba na mabadiliko ya kisayansi na kiteknolojia na hivyo kuweza kufanya shughuli zao za kihandisi kwa ufanisi. Lengo pia ni kuwafanya Wahandisi kumudu ushindani unaoletwa na utandawazi. Wahandisi watalaamu zaidi ya 3,000 wamenufaika na mpango huu.

ii) Kukagua miradi ya ujenzi wa barabara na majengo ili kuhakikisha kuwa inajengwa 58

na Wahandisi waliosajiliwa. Katika kipindi hiki, jumla ya miradi 504 ilikaguliwa. Aidha, Wahandisi wa kigeni 15 walibainika kufanya kazi bila usajili. Kati yao 8 walikuwa na sifa na hivyo walisajiliwa na 7 walikataliwa usajili kwa sababu hawakuwa na sifa za kutosha. iii) Kuendelea kusimamia utekelezaji wa mpango wa mafunzo kwa vitendo kwa Wahandisi Wahitimu. Katika kipindi hiki Bodi ilisimamia mafunzo ya Wahandisi wahitimu 651. Kati ya Wahandisi hao, Wahandisi wahitimu 189 wa kike wanafadhiliwa na Serikali ya Norway. Jumla ya Wahandisi wahitimu 2,224 wameshapitia mpango huu tangu uanzishwe mwaka 2003. Aidha, Wahandisi wahitimu zaidi ya 177 toka Serikali za Mitaa na Taasisi za Serikali wameshahitimu mafunzo hayo na kusajiliwa na Bodi kama Wahandisi watalaamu. iv) Kukagua miradi na kuhakiki kama Makandarasi wana Wahandisi wa kutosha na wenye uwezo kutekeleza miradi hiyo. Katika kipindi cha 2012/13, Bodi ilikagua jumla ya miradi 104. Makandarasi waliobainika kutokuwa na Wahandisi wa kutosha, walielekezwa kuajiri Wahandisi.

59

Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi

86. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2012/13 lengo la Bodi lilikuwa kusajili Wabunifu Majengo 18, Wakadiriaji Majenzi 25, Wataalamu wenye sifa za kati 31, mafundi Sanifu 7, Warasimu (Draughtsmen) 3 na Kampuni za Ubunifu Majengo 14 na Ukadiriaji Majenzi 9. Hadi kufikia Aprili, 2013, Bodi ilisajili Wabunifu Majengo 18 na Wakadiriaji Majenzi 25 na hivyo kufanya jumla ya wataalamu wa fani hizo waliosajiliwa na Bodi kuwa 549 (337 ni Wabunifu Majengo, 211 ni Wakadiriaji Majenzi na “Building Surveyor 1). Aidha, Kampuni 11 za Wabunifu Majengo na Kampuni 9 za Wakadiriaji Majenzi zilisajiliwa na kufanya jumla ya kampuni zilizosajiliwa kuwa 270. Bodi pia iliwasajili wataalamu wa fani za sifa za kati 66. Bodi iliwafutia usajili Wabunifu Majengo 8, Wakadiriaji Majenzi 7, makampuni 9 na kusitisha usajili wa Mbunifu majengo 1 kwa muda. Bodi pia ilisajili miradi ya ujenzi 774. Usajili wa miradi hiyo unasaidia kupatikana kwa taarifa za ujenzi kwa Serikali na pia wadau wote wa Sekta ya Ujenzi.

87. Mheshimiwa Spika, ili kuhakikisha kwamba shughuli za majenzi zinasimamiwa na kampuni za Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi waliosajiliwa, Bodi ilikagua miradi ya

60

ujenzi 2,112 katika mikoa 21 ya Tanzania Bara. Tathmini ya ukaguzi huo imeonesha kuwa kuna uelewa mdogo kwa waendelezaji kuhusu umuhimu wa kutumia ushauri wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi katika kuendeleza miradi ya ujenzi. Wengi wanachanganya taaluuma hizi na Wahandisi au Makandarasi. Bodi ilichukua hatua za kuwaelimisha wadau husika umuhimu wa kuwatumia wataalamu hao katika miradi ya ujenzi wa majengo.

Bodi ya Usajili wa Makandarasi

88. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2012/13 Bodi ya Usajili wa Makandarasi ilipanga kusajili jumla ya Makandarasi 807 na kutathmini Makandarasi 587 ili kujiridhisha kama wana sifa na uwezo wa kuendelea kuwa katika madaraja waliyopo. Aidha, Bodi ilipanga kukagua miradi ya ujenzi 3,090 nchi nzima kwa lengo la kuhakikisha kwamba kazi zote zinafanywa na Makandarasi waliosajiliwa na pia kuwa makandarasi wanafuata sheria na taratibu za usajili wao.

89. Mheshimiwa Spika, hadi kufikia Aprili, 2013 Bodi ilisajili Makandarasi wapya 813, na ilifuta Makandarasi 366 walioshindwa kuzingatia sheria na taratibu za ukandarasi. Hivyo hadi kufikia Aprili, 2013, Bodi ilikuwa na

61

Makandarasi 6,991. Aidha, Bodi ilikagua jumla ya miradi 2,480. Katika miradi iliyokaguliwa miradi 1,672 sawa na asilimia 67.4 ilionekana kutekelezwa kwa kuzingatia sheria na taratibu za usajili na miradi 808 ambayo ni asilimia 32.6 ilikiuka sheria na taratibu hizo. Makandarasi husika walichukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria ya Usajili wa Makandarasi Namba 17 ya mwaka 1997 kama ilivyorekebishwa na Sheria Namba 24 ya mwka 2008.

90. Mheshimiwa Spika, Bodi pia imeendeleza programu za kuendeleza Makandarasi, kuimarisha mfuko wa kusaidia Makandarasi wadogo na kukuza uwezo wa Makandarasi wazalendo.

Baraza la Taifa la Ujenzi

91. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2012/13 Baraza liliendelea kutekeleza majukumu yake ya kushughulikia maendeleo ya Sekta ya Ujenzi nchini. Baraza liliendesha mafunzo kwa wadau 163 wa sekta kuhusu shughuli za zabuni, menejimenti ya mikataba, usuluhishi wa migogoro, menejimenti ya madai, gharama za ujenzi wa barabara, shughuli za matengenezo na ukarabati wa majengo. Baraza liliandaa mafunzo maalum (Tailor Made Course) yaliyofanyikia Mtwara kwa ajili ya Halmashauri ya Mtwara, ambapo wadau 13 walipatiwa 62

mafunzo kuhusu matumizi ya mitambo ya kisasa kwenye upimaji na ramani, usimamizi wa miradi ya ujenzi na usuluhishi wa migogoro ya miradi ya ujenzi. Aidha, Baraza lilifanya tafiti zifuatazo:

i) Upimaji wa tija na ubora wa kazi katika Sekta ya Ujenzi, ii) Ushindani wa Makandarasi wazalendo katika kutekeleza miradi ya ujenzi ikilinganishwa na Makandarasi wa kigeni, iii) Kanuni za mikataba katika utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa miundombinu (barabara, n.k.), na iv) Usimamizi wa miradi ya ujenzi wa miundombinu kwa njia ya Kusanifu na kujenga (Design and Build).

92. Mheshimiwa Spika, Baraza katika mwaka 2012/13 liliendelea kutoa ushauri wa kiufundi kwa wadau mbalimbali ikiwa ni pamoja na Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC), National Ranch Corporation (NARCO), National Audit Office (NAO ) na Roads Fund Board (RFB). Aidha, Baraza lilishughulikia usuluhishi wa migogoro ya miradi ya ujenzi ipatayo 39.

Vikosi vya Ujenzi

93. Mheshimiwa Spika, Majukumu ya Vikosi vya Ujenzi ni kufanya kazi za ujenzi na 63

ukarabati wa majengo na shughuli zingine zinazohusiana na ujenzi. Aidha, Vikosi vina jukumu la kubuni na kutekeleza miradi yoyote ya kibiashara yenye mahusiano na kazi za ujenzi. Makao Makuu ya vikosi yapo Dar es Salaama. Vikosi vina matawi Arusha, Dodoma na Mwanza.

94. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2012/13 Vikosi vimekamilisha ujenzi wa maegesho (Ferry ramps) ya Rugezi kwa ajili ya Kivuko cha Rugezi – Kisorya, Ukerewe Mwanza. Aidha, Vikosi vimekamilisha ukarabati wa Ofisi zake Dar es Salaam na Mwanza na kuanza ukarabati wa Karakana za useremala (Carpentry workshops) Dar es Salaam na Dodoma. Vikosi vinaendelea na ujenzi wa nyumba za viongozi Dar es Salaam na Mwanza ukiwemo ujenzi wa nyumba za Majaji Dar es Salaam na Mwanza (Phase I).

95. Mheshimiwa Spika, miradi mingine iliyofanywa na Vikosi ni pamoja na ujenzi wa maegesho ya Kivuko cha Msangamkuu- (Mtwara), ukarabati wa Jengo la Hospitali ya Rufaa Mbeya, ukarabati wa Majengo ya Ofisi na Nyumba za watumishi Siha (Kilimanjaro), ujenzi wa uzio katika Kivuko cha Kigamboni, ujenzi wa uzio katika eneo la kuegesha magari Kimara (Dar es Salaam) na ujenzi wa uzio katika Kiwanja cha Ndege cha Ziwa Manyara.

64

Kituo cha Usambazaji wa Tekinolojia katika Sekta ya Ujenzi na Uchukuzi (Tanzania Transportation Technology Transfer Centre-)

96. Mheshimiwa Spika, madhumuni ya Kituo hiki ni kuimarisha Sekta ya Ujenzi na Uchukuzi kwa kusambaza tekinologia za kisasa kwa wadau wa sekta hizi.

Katika mwaka 2012/13, Kituo kilisambaza makala na taarifa 82 kwa wadau 94,500 zinazoelezea tekinolojia mbalimbali katika Sekta ya Ujenzi na Uchukuzi. Kituo kimeendelea na maandalizi ya Mradi unaolenga kuboresha mifumo ya ujenzi, matengenezo na usimamizi wa miundombinu ya barabara na uchukuzi kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Morgan State University ya Marekani.

Chuo cha Ujenzi – Morogoro

97. Mheshimiwa Spika, Chuo cha Ujenzi Morogoro katika mwaka 2012/13 kilipanga kuendeleza ujenzi wa jengo jipya la madarasa na karakana ya ufundi, kukarabati majengo 3, pamoja na kununua samani na zana za kufundishia. Aidha, chuo kilipanga kufundisha jumla ya wanafunzi 780 katika fani za fundi stadi wa kazi za barabara, majengo pamoja na udereva. Hadi kufikia Aprili, 2013, jumla ya wanafunzi wa fani za ujenzi 662 walipata mafunzo kama ifuatavyo: Basic technical course

65

(224), Basic driving course (201), Passenger Service Vehicle (PSV) Driving course (140) na Technician Maintenance Management course (97).

Katika kipindi hiki Chuo kimefanya ukarabati wa majengo ikiwa ni pamoja na karakana ya umeme wa majumbani na magari. Aidha, ujenzi wa jengo jipya ya karakana na madarasa unaendelea. Chuo kililinunua vifaa mbalimbali vya kufundishia na matumizi ya wanafunzi.

Chuo cha Matumizi Stahiki ya Nguvu Kazi- Mbeya

98. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2012/13 Chuo cha Mafunzo ya Teknolojia Stahiki ya Nguvukazi–Mbeya (ATTI) kimetoa mafunzo kwa Wahandisi 18 kutoka Somalia na Mafundi Sanifu 30 kutoka nchini. Aidha, Chuo kimetoa ajira kwa wananchi 150 kupitia mafunzo ya vitendo kuhusu ukarabati na matengenezo ya barabara kwa Teknolojia Stahiki ya Nguvukazi. Chuo pia kimetoa elimu ya ukarabati na matengenezo ya barabara kwa wanavijiji wapatao 550 waliopo jirani na kukarabati barabara za wanavijiji jumla ya kilometa 11 kwa kujitolea kwa lengo la kuwaelimisha umuhimu wa utunzaji wa barabara zinazowazunguka. Aidha, Chuo kimefanya matengenezo na ukarabati wa jumla ya kilometa 88.5 kwa barabara za mafunzo.

66

C: MAKADIRIO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2013/2014

Makadirio ya Mapato 2013/2014

99. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/14, Wizara ya Ujenzi inatarajia kukusanya jumla ya Shilingi 45,047,550.00 kutoka Idara zenye vyanzo vya mapato ambazo ni Idara za Utawala na Rasilimali Watu, Huduma za Ufundi na Idara ya Menejimenti ya Ununuzi. Sehemu kubwa ya mapato hayo itatokana na ada za kusajili magari, pikipiki, bajaji na mitambo ya Serikali kwa namba za Serikali.

Matumizi ya Kawaida 2013/2014

100. Mheshimiwa Spika, bajeti ya Matumizi ya Kawaida ya Wizara kwa mwaka 2013/14 ni Shilingi 381,205,760,000.00. Kati ya fedha hizo, Shilingi 21,211,514,000.00 ni kwa ajili ya Mishahara ya Watumishi, Shilingi 6,944,846,000.00 ni kwa ajili ya Matumizi Mengineyo ya Wizara na Taasisi, na Shilingi 353,049,400,000.00 ni fedha za Mfuko wa Barabara.

Makadirio ya Bajeti ya Maendeleo kwa Mwaka 2013/2014

101. Mheshimiwa Spika, vipaumbele vya miradi ya maendeleo itakayotekelezwa na 67

Wizara kwa mwaka 2013/14 vimezingatia miradi inayoendelea kutekelezwa, miradi inayofadhiliwa na wahisani, utekelezaji wa miradi iliyo katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano (2011/12 – 2015/16).

102. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/2014 Wizara ya Ujenzi imetengewa kiasi cha Shilingi 845,225,979,000.00 kwa ajili ya miradi ya maendeleo. Kati ya fedha hizo, Shilingi 448,174,599,000.00 ni fedha za ndani na Shilingi 397,051,380,000.00 ni fedha za nje. Mgawanyo wa fedha za maendeleo pamoja na miradi iliyotengewa fedha kwa mwaka 2013/2014 ni kama inavyooneshwa katika Kiambatisho Na.1. Aidha, maelezo ya kila mradi ni kama ifuatavyo: -

VIVUKO NA NYUMBA ZA SERIKALI

Ujenzi wa Maegesho ya Vivuko Shilingi Milioni 5,990.00

103. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/14 Wizara ya Ujenzi kupitia TEMESA itaendelea kujenga maegesho (Landing Ramps)

68

ya vivuko ili vivuko viweze kuegeshwa kwa urahisi na usalama.

Mradi huu umetengewa Shilingi milioni 5,990.00 kwa ajili ya kazi zifuatazo: ujenzi wa maegesho ya kivuko cha Msanga Mkuu awamu ya II (Shilingi milioni 150.00), Ujenzi wa maegesho ya Kilambo (Shilingi milioni 115.00), kumalizia ujenzi wa maegesho ya Ukara (Shilingi milioni 185.00) na kumalizia ujenzi wa maegesho Kilombero (upande wa Ulanga) (Shilingi milioni 50.00).

Aidha, ujenzi wa maegesho ya Kahunda – Maisome umetengewa Shilingi milioni 854.00, ujenzi wa maegesho Itungi Port (Shilingi milioni 375.00), ujenzi wa maegesho Ilagala Shilingi milioni 250.00, ujenzi wa maegesho mwambao mwa baharí ya Hindi katika maeneo ya Magogoni, Jangwani Beach na Rungwe Oceanic Shilingi milioni 2,500.00 na kumalizia ujenzi wa maegesho ya Bugolora Shilingi milioni 54.00. Upanuzi wa sehemu ya Maegesho ya Kigamboni umetengewa Shilingi milioni 346.00, upembuzi yakinifu kwa ajili ya ujenzi wa maegesho ya usafiri wa majini kati ya Dar es Salaam – Bagamoyo Shilingi milioni 215.00, na ujenzi wa vituo vya kusubiria kivuko kati ya Dar es Salaam – Bagamoyo katika maeneo ya Govenor Jet (Kivukoni), Jangwani Beach na Rungwe Oceanic Hotel Shilingi milioni 600.00. Upembuzi 69

yakinifu kwa lengo la kuanzisha usafiri wa majini katika mwambao wa Ziwa Victoria ili kupunguza msongamano katika jiji la Mwanza umetengewa Shilingi milioni 200.00. Shilingi milioni 96 zimetengwa kwa ajili ya usimamizi na ufuatiliaji wa miradi hii.

Ununuzi wa Vivuko Vipya - Shilingi Milioni 4,484.00

104. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/2014 mradi huu umetengewa Shilingi milioni 4,484.00 kwa ajili ya ununuzi wa Kivuko kipya cha Dar es Salaam - Bagamoyo, boti ya uokoaji, mashine za kisasa za kukatia tiketi (ticket vending machines) kwa kivuko cha Magogoni na vifaa vya karakana za TEMESA.

Ukarabati wa Vivuko - Shilingi Milioni 2,102.21

105. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha wa 2013/2014, mradi huu umetengewa jumla ya Shilingi milioni 2,102.21 kwa ajili ya ukarabati wa vivuko mbalimbali nchini.

Ujenzi na Ukarabati wa Nyumba na Majengo ya Serikali - Shilingi Milioni 2,245.49)

106. Mheshimiwa Spika, mradi wa kujenga na kukarabati nyumba kwa ajili ya makazi ya 70

Viongozi na Watumishi wa Serikali utaendelea kwa kutoa kipaumbele katika ujenzi wa nyumba za Majaji pamoja na viongozi wengine wa Serikali wenye stahili ya kupewa nyumba na Serikali.

107. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/14, jumla ya Shilingi milioni 1,010.43 zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa nyumba za Majaji katika Mikoa ya Kilimanjaro (1), Mtwara (1), Kagera (1), Dar es Salaam (1) na Shinyanga (1). Shilingi milioni 250.00 zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa jengo la ofisi ya Mkuu wa Wilaya Bariadi Mkoani Simiyu.

108. Mheshimiwa Spika, Wizara imetenga jumla ya Shilingi milioni 220 ajili ya kufanya ukarabati pamoja na kuendelea na ujenzi wa uzio kuzunguka nyumba za viongozi katika nyumba za viongozi wa Serikali zilizopo Mikocheni, Kijitonyama na Msasani Peninsullar. Shilingi milioni 240.50 zimetengwa kwa ajili ya ununuzi wa samani katika nyumba za viongozi wa Serikali wenye stahili hiyo.

109. Mheshimiwa Spika, kiasi cha Shilingi milioni 150.00 zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ukarabati wa karakana za TEMESA na Shilingi milioni 40 kwa ajili ya ukarabati wa karakana na ofisi za Vikosi vya 71

Ujenzi Dar es Salaam na Dodoma. Aidha, Shilingi milioni 140.00 zimetengwa kwa ajili ya kuwajengea uwezo Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi, Shilingi milioni 113.44 kwa ajili ya kazi za ushauri na Shilingi milioni 81.12 zimetengwa kwa ajili ya usimamizi na ufuatiliaji wa miradi.

110. Mheshimiwa Spika, Wizara ya Ujenzi kwa kupitia Wakala wa Majengo imeanza kutekeleza mradi wa kujenga nyumba 10,000 kwa ajili ya kuishi na kuwauzia wafanyakazi wa Serikali. Wakala umesajili Kikosi cha Ujenzi (Tanzania Building Agency Construction Co.); pamoja na kuwapatia mafunzo maalum wataalamu wa vikosi vya ujenzi vya Jeshi la Polisi, Magereza, JKT na kikosi cha Wizara ya Ujenzi (CSWS) ambao watashiriki katika mradi huu. Maandalizi na mafunzo hayo ni kwa ajili ya kuwezesha ujenzi wa nyumba nyingi kwa muda mfupi.

Aidha, Wakala umepata jumla ya viwanja 2,490 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba 10,000 kama ifuatavyo: Arusha (29), Dar es Salaam (627), Dodoma (37), Geita (24), Iringa (54), Kagera (2), Katavi (100), Kigoma (164), Kilimanjaro (63), Lindi (41), Manyara (32), Mara (267), Mbeya (74), Morogoro (15), Mtwara (90), Mwanza (63), Njombe (102), Rukwa (70), Ruvuma (8), Shinyanga (131), Simiyu (308), Singida (22), Tabora (42), Tanga (123), na Pwani (2). Kati ya 72

viwanja hivyo, jumla ya viwanja 413 vimepata hati miliki kama vifuatavyo: Dar es Salaam (314), Arusha (5), Iringa (53) na Lindi (41). Vile vile Wakala umeanza kazi ya ujenzi wa nyumba 132 kati ya nyumba 2,500. Nyumba 25 Bunju “B” DSM zimefikia hatua ya umaliziaji. Nyumba 87 Bunju “B” DSM; nyumba 20 katika mikoa mipya ya Simiyu (4), Geita (4), Njombe (4), Katavi (4) pamoja na Chalinze, Pwani (4) zitaanza kujengwa katika mwaka 2012/13. Mradi huu maalum utatumia fedha za Wakala zitokanazo na mauzo ya nyumba na mikopo kutoka Taasisi za Fedha. Baadhi ya Taasisi hizo zimeonesha nia thabiti ya kushirikiana na Wakala.

111. Mheshimiwa Spika , katika mwaka 2013/14, Wakala utakamilisha mazungumzo na Taasisi za fedha ili kuweza kupata mkopo wa ujenzi; utakamilisha ujenzi wa nyumba 25 katika eneo la Bunju “B” na utaandaa upembuzi yakinifu na usanifu wa majengo kwa ajili ya ujenzi katika mikoa 12 ya Dar es Salaam, Arusha, Dodoma, Mwanza, Mbeya, Mtwara, Iringa, Lindi, Simiyu, Geita, Njombe na Katavi. Aidha, Wakala utaendelea na ujenzi wa nyumba 2,500 katika mikoa ya DSM (1,400), Arusha (150), Dodoma (250), Mwanza (150), Mbeya (150), Mtwara (100), Iringa (100), Lindi (50), Bariadi (50), Geita (50), Njombe (50) na Mpanda (50).

73

BARABARA NA MADARAJA

Barabara ya Dar es Salaam – Chalinze – Morogoro (Expressway) km 200, Sehemu ya Dar es Salaam – Chalinze (km 100) – Shilingi Milioni 100

112. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kujenga barabara ya Dar es Salaam – Chalinze – Morogoro (km 200) sehemu ya Dar es Salaam – Chalinze (km 100) kwa kiwango cha “Expressway”. Maandalizi ya mradi huu utakaotekelezwa kwa ubia baina ya Serikali na makampuni binafsi yameanza. Baada ya mradi kutangazwa Kampuni 19 zimewasilisha maombi ya kujenga barabara hii na kuonyesha jinsi ambavyo watatekeleza mradi huu. Uchambuzi wa maombi ya kampuni hizo unaendelea

113. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/2014, kiasi cha Shilingi milioni 100.00 zimetengwa kwa ajili ya maandalizi ya ujenzi wa Awamu ya Kwanza itakayohusisha sehemu ya Dar es Salaam – Chalinze (km 100).

Barabara ya Wazo Hill – Bagamoyo – Msata (sehemu ya Bagamoyo – Msata (km 64) - Shilingi milioni 10, 885.24

114. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kujenga kwa kiwango cha lami sehemu ya Bagamoyo – Makofia - Msata (km 64). Mkataba

74

wa Ujenzi ulisainiwa tarehe 11 Agosti 2010 kwa gharama ya Shilingi milioni 89,610. Kazi ya ujenzi wa barabara hii kwa kiwango cha lami inaendelea. Lengo pia ni kuendelea na usanifu wa barabara ya Bagamoyo – Sadani – Tanga (km 178).

115. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/14, jumla ya Shilingi milioni 10,441.10 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa barabara ya Bagamoyo – Msata (km 64) kwa kiwango cha lami. Aidha, kiasi cha Shilingi milioni 444.14 kimetengwa kwa ajili ya kuendelea na usanifu wa barabara ya Bagamoyo – Sadani – Tanga (km 178).

Barabara ya Usagara – Geita – Kyamyorwa (km 422) Sehemu ya Uyovu – Biharamulo (km 112) - Shilingi Milioni 10,800.00

116. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi huu ni kujenga kwa kiwango cha lami barabara ya Kyamyorwa – Buzirayombo – Geita hadi Usagara (km 310) na sehemu ya Uyovu - Biharamulo (km 112). Awamu ya kwanza ilihusisha ujenzi wa Barabara ya Kyamyorwa - Geita (km 220) ambayo ilikamilika Februari, 2008. Awamu ya pili ilihusisha ujenzi wa barabara ya Geita - Usagara (km 90) ambapo ujenzi wake ulianza Februari, 2008 na umekamilika Januari, 2010. Awamu ya tatu

75

itahusisha ujenzi wa barabara ya Uyovu - Biharamulo kupitia Bwanga (km 112).

117. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/14, jumla ya Shilingi milioni 8,000.00 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa sehemu ya Uyovu – Biharamulo (km 112), kiasi cha Shilingi milioni 800.00 kimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Kyamiyorwa –Buzirayombo (km120) na kiasi cha Shilingi milioni 2,000.00 kimetengwa kwa ajili ya malipo ya mwisho ya sehemu ya Geita - Usagara (lot 1 na 2) (km 90).

Barabara ya Kigoma – Kidahwe – Uvinza – Kaliua – Tabora (km 443) – Shilingi Milioni 51,669.34

118. Mheshimiwa Spika, mradi huu unalenga kufanya usanifu na ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kati ya Kigoma na Tabora (km 443) pamoja na ujenzi wa daraja la Kikwete katika Mto Malagarasi na barabara za maingilio ya daraja (km 48). Kazi ya ujenzi wa daraja ilianza tarehe 2 Desemba, 2010 na inatarajiwa kukamilika Desemba, 2013. Ujenzi wa barabara ya Kidahwe - Uvinza (km 76.6) ulianza tarehe 17 Desemba, 2010 na kazi za ujenzi zinaendelea. Ujenzi wa barabara za Tabora-Ndono (km 42) na Ndono-Urambo (km 52) ulianza tarehe 3 Januari, 2011.

76

119. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/14, jumla ya Shilingi milioni 2,131.95 fedha za ndani na Shilingi milioni 10,693.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa kiwango cha lami wa barabara ya Kidahwe-Uvinza (km 76.6). Kiasi cha Shilingi milioni 3,139.53 fedha za ndani na Shilingi milioni 10,130.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa Daraja la Kikwete. Kiasi cha Shilingi milioni 6,837.80 zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa barabara ya Tabora - Ndono (km 42), Shilingi milioni 7,189.04 kwa ajili ya sehemu ya Ndono -Urambo (km 52) na kiasi cha Shilingi milioni 4,848.02 zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa barabara ya Urambo – Kaliua – Ilunde ( km 146). Barabara za Tabora – Sikonge (km 70) na Uvinza – Malagarasi (km 51) zimetengewa kiasi cha Shilingi milioni 6,700 kwa ajili ya kuanza ujenzi kwa kiwango cha lami.

Barabara ya Marangu – Tarakea – Kamwanga/Bomang’ombe – Sanya Juu (km 173) na Arusha – Moshi – Holili (km 140) – Shilingi Milioni 11,133.63

120. Mheshimiwa Spika, mradi huu unalenga kujenga barabara ya Marangu – Tarakea – Rongai – Kamwanga (km 96) kwa kiwango cha lami na kukarabati barabara ya

77

Arusha – Moshi – Holili pamoja na Arusha By- Pass (km 140). Ujenzi wa sehemu ya Tarakea – Rongai – Kamwanga (km 32) ulikamilika Septemba, 2009 na ujenzi wa sehemu ya Tarakea – Rombo Mkuu (km 32) ulikamilika Januari, 2011. Kazi za ujenzi wa sehemu ya Marangu – Rombo Mkuu na Kilacha – Mwika (km 32 ) zinaendelea na zinatarajiwa kukamilika Septemba, 2013.

121. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/14, jumla ya Shilingi milioni 488.00 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kulipia sehemu ya malipo ya mwisho ya Mkandarasi wa Tarakea – Rombo na Shilingi milioni 2,146.00 ni kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa barabara ya Marangu – Rombo Mkuu na Mwika- Kilacha (km 34). Aidha, kiasi cha Shilingi milioni 5,000.00 kimetengwa kwa ajili ya kuanza maandalizi ya ujenzi wa sehemu ya Sanya Juu – Kamwanga (km 75). Jumla ya Shilingi milioni 1,000.00 fedha za ndani zimetengwa kuanza ujenzi wa barabara ya njia nne katika mradi wa Arusha – Moshi – Holili/Taveta-Voi sehemu ya Sakina- Tengeru (km 14.10) na ujenzi wa Arusha Bypass (km 42.41). Aidha, Shilingi milioni 2,500 zimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi wa barabara ya KIA-Mererani (km 26).

78

Barabara ya Nangurukuru - Mbwemkulu (km 95) – Shilingi Milioni 2,000.00

122. Mheshimiwa Spika, mradi huu ni sehemu ya barabara ya Dar es Salaam – Lindi – Mingoyo. Ujenzi wa barabara hii ulikamilika Januari, 2008. Katika mwaka 2013/14, jumla ya Shilingi milioni 2,000.00 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kulipa sehemu ya malipo ya mwisho kwa Mkandarasi.

Barabara ya Dodoma – Manyoni (km 127) – Shilingi Milioni 1,309.28

123. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi huu ni kujenga kwa kiwango cha lami barabara ya Dodoma - Manyoni (km 127) kwa utaratibu wa kusanifu na kujenga ( Design & Build) . Mradi unagharamiwa na Serikali ya Tanzania na ulikamilika Novemba, 2009. Katika mwaka wa fedha 2013/14, jumla ya Shilingi milioni 1,309.28 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya mchepuo kuingia Manyoni mjini (km 4.8) na kulipa sehemu ya malipo ya mwisho ya Mkandarasi.

Barabara ya Mbwemkulu – Mingoyo (km 95) – Shilingi milioni 1,000.00

124. Mheshimiwa Spika, mradi huu umehusisha kujenga kwa kiwango cha lami 79

barabara ya Mbwemkuru - Mingoyo yenye urefu wa kilomita 95 kwa utaratibu wa kusanifu na kujenga ( Design & Build) . Mradi huu ni sehemu ya barabara ya Dar es salaam – Lindi – Mingoyo na ujenzi wake ulikamilika Desemba, 2007. Katika bajeti ya mwaka 2013/2014, barabara hii imetengewa kiasi cha Shilingi milioni 1,000.00 fedha za ndani kwa ajili ya kulipa sehemu ya malipo ya mwisho ya mkandarasi.

Barabara ya Manyoni – Singida: Sehemu ya Manyoni – Isuna (km54) – Shilingi Milioni 1,200 .00

125. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi huu ni kujenga kwa kiwango cha lami barabara ya Manyoni - Isuna (km 54) kwa utaratibu wa kusanifu na kujenga (Design & Build) . Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Tanzania. Ujenzi ulikamilika tarehe 7 Januari, 2011. Katika bajeti ya mwaka 2013/2014, barabara hii imetengewa Shilingi milioni 1,200.00 fedha za ndani kwa ajili ya kulipa sehemu ya malipo ya mwisho ya mkandarasi.

Barabara ya Port Access (Nelson Mandela - km15.6) Rehabilitation – Shilingi Milioni 1,500.00

126. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi huu lilikuwa ni kukarabati na kuimarisha 80

barabara ya Nelson Mandela (km15.6) iliyokuwa imeharibika ili kurahisisha kupita kwa magari ya mizigo yanayotoka au kuingia Bandari ya Dar es Salaam na kupunguza msongamano wa magari kwa jiji la Dar es Salaam. Katika bajeti ya mwaka 2013/2014, barabara hii imetengewa Shilingi milioni 1,500.00 fedha za ndani kwa ajili ya kulipa malipo ya mwisho ya mkandarasi.

Barabara ya Dumila – Kilosa (km 78) – Shilingi Milioni 6,000.00

127. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi huu ni kujenga kwa kiwango cha lami barabara Dumila – Kilosa (km 78). Kazi ya ujenzi wa barabara ya Dumila - Rudewa (km 45) ilianza Februari, 2010 na ujenzi unaendelea. Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Tanzania. Katika mwaka 2013/2014 barabara hii imetengewa Shilingi milioni 6,000.00 fedha za ndani kwa ajili ya kuendelea na ujenzi.

Barabara ya Sumbawanga – Matai – Kasanga Port (km 112) – Shilingi Milioni 11,241.37

128. Mheshimiwa Spika, mradi huu unalenga kujenga kwa kiwango cha lami barabara ya Sumbawanga –Matai-Kasanga Port (km. 112) kwa kiwango cha lami. Mradi unagharamiwa na Serikali ya Tanzania na unatekelezwa kwa utaratibu wa kusanifu na 81

kujenga. Mkataba wa ujenzi ulisainiwa tarehe 8 Oktoba, 2009 na kazi ilianza Januari, 2010. Mkandarasi anaendelea na kazi za ujenzi. Katika mwaka wa fedha 2013/2014, kiasi cha Shilingi milioni 11,241.37 fedha za ndani kimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi.

Ujenzi wa Madaraja Makubwa (Nangoo, Kirumi, Sibiti, Kilombero Maligisu, Kavuu, Mbutu, Ruhuhu, Ruhekei na Momba; na Ununuzi wa Emergency Bridge Parts) – Shilingi Milioni 21,500.00

129. Mheshimiwa Spika, mradi huu ni wa kujenga/kukarabati madaraja makubwa kwenye barabara kuu. Madaraja hayo ni Daraja la Nangoo kwenye barabara ya Mingoyo – Masasi – Tunduru, Daraja la Kilombero kwenye barabara ya Mikumi - Ifakara – Mahenge, Daraja la Maligisu (Mwanza) kwenye barabara ya Bukwimba – Kadashi - Maligisu, Daraja la Kavuu kwenye barabara ya Majimoto-Inyonga, Daraja la Ruhekei katika barabara ya Mbinga- Mbamba Bay, Daraja la Kirumi (Mara), Daraja la Sibiti kwenye barabara ya Ulemo – Gumanga – Sibiti, Daraja la Mbutu kwenye barabara ya Igunga- Manonga, Daraja la Ruhuhu (Ruvuma) na Daraja la Momba kwenye barabara ya Sitalike-Kilyamatundu/Kamsamba - Mlowo (Rukwa/Mbeya Border). Aidha, mradi

82

unahusisha kununua Madaraja ya Chuma ya dharura (Compact Emergency Bridge).

130. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/2014, Daraja la Nangoo limetengewa kiasi cha Shilingi milioni 500.00, Daraja la Maligisu Shilingi milioni 200; Daraja la Sibiti Shilingi milioni 3,000.00, Daraja la Kilombero Shilingi milioni 7,500.00, Daraja la Kavuu Shilingi milioni 1,000.00, Daraja la Mbutu Shilingi milioni 5,300.00, Daraja la Ruhekei Shilingi milioni 250.00, Daraja la Momba Shilingi 2,000.00. Aidha, Shilingi milioni 50.00 zimetengwa kwa ajili ya ununuzi wa madaraja ya chuma ya dharura na mtambo wa kukagua madaraja (Compact Emergency Bridge na Under Bridge Inspection Lorry) na Shilingi milioni 200.00 kwa ajili ya usanifu wa daraja la Ruhuhu. Ukarabati wa daraja la Kirumi umetengewa Shilingi milioni 1,500.00. Fedha zote ni fedha za ndani.

Barabara ya New Bagamoyo (Kawawa Jct - Tegeta km 17) – Shilingi Milioni 20,500.00

131. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi huu ni kupanua barabara ya kuanzia makutano ya barabara za Kawawa na Ali Hassan Mwinyi eneo la Morocco hadi Tegeta kutoka njia mbili hadi njia nne ili kupunguza msongamano wa magari katika barabara hiyo. Mradi huu 83

unafadhiliwa na Serikali ya Japan kupitia Shirika la Maendeleo la JICA. Mradi huu unatekelezwa kwa awamu mbili ambapo awamu ya kwanza inahusisha mradi wa Mwenge – Tegeta (km12) na awamu ya pili ni mradi wa Kawawa Jnct – Mwenge (km 4.2)

132. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/2014 jumla ya Shilingi milioni 2,500.00 fedha za ndani na Shilingi milioni 18,000.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi, kulipa fidia na kuhamisha miundombinu kwenye eneo la ujenzi (mabomba ya maji, nguzo na nyaya za umeme/simu n.k).

Barabara ya Kyaka –Bugene – Kasulo (km 178) – Shilingi Milioni 7,037.53

133. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi kwa mwaka 2013/14 ni kujenga barabara ya Kyaka – Bugene – Kasulo (sehemu ya Kyaka- Bugene) yenye urefu wa kilometa 59.1 kwa kiwango cha lami. Mradi huu unagharamiwa na Serikali kwa asilimia 100. Kazi ya ujenzi ilianza tarehe 15 Desemba, 2010 na kazi za ujenzi zinaendelea. Katika mwaka wa fedha 2013/2014 jumla ya Shilingi milioni 7,037.53 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi.

84

Barabara ya Isaka – Lusahunga (Km 242) na Lusahunga –Rusumo na Nyakasanza - Kobelo (km 150)- Shilingi Milioni 21,520.48

134. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kufanya ukarabati wa sehemu ya Isaka – Lusahunga (km 242) kwa kiwango cha lami kwa fedha za Serikali ya Tanzania. Mradi huu umegawanyika katika sehemu mbili za Isaka – Ushirombo (km 132) na Ushirombo – Lusahunga (km 110). Mikataba ya ujenzi wa sehemu hizi ilisainiwa tarehe 18/08/2009. Kazi ya ujenzi kwa sehemu zote mbili inaendelea.

135. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/2014, barabara hii imetengewa fedha za ndani Shilingi milioni 12,512.72 kwa sehemu ya Isaka – Ushirombo na Shilingi milioni 9,007.76 kwa sehemu ya Ushirombo – Lusahunga kwa ajili ya kuendelea na ukarabati.

Barabara ya Manyoni – Itigi – Tabora (km 264) – Shilingi Milioni 22,499.57

136. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi huu ni kujenga kwa kiwango cha lami barabara ya Manyoni - Itigi – Tabora kwa kuanzia na sehemu ya Manyoni – Chaya (km 89.35) na sehemu ya Tabora –Nyahua (km 85) kwa kutumia fedha za ndani. Mikataba ya ujenzi ilisainiwa tarehe 30 Julai, 2010 na kazi ya 85

ujenzi inatarajiwa kukamilika katika mwaka 2013/14 kwa sehemu zote mbili.

Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni 10,000.00 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa sehemu ya Tabora – Nyahua na Shilingi milioni 10,299.57 kwa sehemu ya Manyoni – Itigi – Chaya. Kwa barabara ya Nyahua - Chaya (km 90) kiasi cha Shilingi milioni 2,200.00 zimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi kwa kiwango cha lami.

Barabara ya Korogwe – Handeni (km 65) – Shilingi Milioni 6,356.73

137. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kujenga kwa kiwango cha lami barabara ya Korogwe – Handeni (km 65). Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Tanzania. Kazi za ujenzi zinaendelea. Kwa mwaka 2013/2014 barabara hii imetengewa Shilingi milioni 6,356.73 kwa ajili ya kuendelea na kazi za ujenzi.

Barabara za Mikoa Shilingi Milioni 31,915.27

138. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi huu ni kuzifanyia ukarabati barabara za Mikoa kwa kiwango cha changarawe, kujenga kwa kiwango cha lami na kujenga madaraja katika

86

mikoa ya Tanzania Bara. Katika mwaka wa fedha 2013/2014 kazi zilizopangwa kutekelezwa ni ukarabati wa jumla ya kilometa 515.6 kwa kiwango cha changarawe na kujenga kilometa 35.5 kwa kiwango cha lami. Kazi za ukarabati kwa kiwango cha changarawe zitafanyika katika Mikoa yote. Aidha, ujenzi wa madaraja 17 utafanyika katika Mikoa ya Katavi (1), Morogoro (1), Mbeya (3), Manyara (1), Ruvuma (2), Simiyu (4), Lindi (1), Mtwara (1), Geita (1) na Rukwa (2). Orodha ya Miradi ya barabara za Mikoa kwa kutumia fedha za Bajeti ya Maendeleo imeoneshwa katika Kiambatisho Na. 2.

Barabara ya Mwanza/Shinyanga Border – Mwanza (km 10) Shilingi Milioni 50.00

139. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi huu ni kuendelea na ukarabati wa sehemu zilizoharibika katika barabara ya Mwanza/Shinyanga Border - Mwanza kwa mwaka 2013/14 jumla ya Shilingi milioni 50.00 za ndani zimetengwa kwa ajili ya kazi hiyo.

Barabara ya Handeni – Mkata (km 54) – Shilingi Milioni 4,484.75

140. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi huu ni kujenga kwa kiwango cha lami barabara ya Handeni – Mkata (km 54). Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Tanzania. Kazi ya 87

ujenzi ilianza tarehe 28 Desemba, 2010 na umekamilika Novemba, 2012. Barabara hii imetengewa Shilingi milioni 4,484.75 kwa ajili ya kulipia sehemu ya madai ya mkandarasi.

Barabara ya Mwandiga – Manyovu (km 60) – Shilingi Milioni 1,234.35

141. Mheshimiwa Spika, ujenzi wa barabara ya kutoka Mwandiga hadi Manyovu inayounganisha Mkoa wa Kigoma na nchi jirani ya Burundi kwa kiwango cha lami ulikamilika Oktoba 2010. Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Tanzania. Katika mwaka 2013/2014 barabara hii imetengewa Shilingi milioni 1,234.35 kwa ajili ya kulipa sehemu ya malipo ya mwisho ya mkandarasi.

Miradi ya Kupunguza Msongamano ya Magari Katika Barabara za Dar Es Salaam – Shilingi Milioni 28,634.00

142. Mheshimiwa Spika, ujenzi wa barabara za kupunguza msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam ulianza katika mwaka wa fedha 2009/10. Barabara hizo ni Ubungo Bus Terminal – Kigogo-Kawawa Roundabout (km 6.4), Kawawa Roundabout- Msimbazi Valley – Jangwani/Twiga jct (km 2.7), Jet Corner – Vituka-Davis Corner (km 10.3) na ujenzi wa mfereji wa Bungoni unaoanzia 88

barabara ya Nyerere hadi Uhuru (Bungoni). Aidha, mradi wa mabasi yaendayo kasi (Bus Rapid Transit Infrastructure) na vituo vyake unaendelea.

143. Mheshimiwa Spika, katika bajeti ya mwaka 2013/2014, kiasi cha Shilingi milioni 1,689.00 kimetengwa kwa ajili ya kukamilisha kazi zilizobakia kwa barabara ya Ubungo Bus Terminal – Kigogo - Kawawa Roundabout, Shilingi milioni 605.00 kwa barabara ya Kawawa Roundabout - Msimbazi Valley – Jangwani/Twiga Jct na Shilingi milioni 1,290.00 kwa ajili ya barabara ya Jet Corner – Vituka - Devis Corner.

Kiasi cha Shilingi milioni 3,000.00 kimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi kwa kiwango cha lami kwa barabara ya Ubungo Maziwa – External na Tabata Dampo – Kigogo, Shilingi milioni 5,000.00 kwa barabara ya Kimara – Kilungule – External, Shilingi milioni 6,000.00 kwa barabara ya Mbezi (Morogoro road) – Malambamawili – Kinyerezi – Banana, Shilingi milioni 5,000.00 kwa barabara ya Tegeta - Kibaoni – Wazo Hill – Goba – Mbezi/Morogoro road, Shilingi milioni 3,000.00 kwa barabara ya Tangi Bovu – Goba, Shilingi milioni 1,500.00 kwa barabara ya Kimara – Baruti – Msewe – Changanyikeni na Shilingi milioni 1,500.00 kwa barabara ya Kibamba - Kisopwa sehemu ya 89

Kibamba - Mlonganzila (km 4). Shilingi milioni 50.00 zitatumika kufuatilia na kusimamia Ujenzi wa Miundombinu ya Mabasi yaendayo kasi.

144. Mheshimiwa Spika, jumla ya Shilingi milioni 1,000.00 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya maandalizi ya ujenzi wa ‘Fly Over’ ya TAZARA na Shilingi milioni 3,000.00 zimetengwa kwa ajili ya maboresho ya makutano ya Chang'ombe, Ubungo, Magomeni, Mwenge, Tabata/Mandela na Morocco kwa kutumia mfumo wa Usanifu na Kujenga (Design and Build). Aidha, Shilingi milioni 1,000.00 zimetengwa kwa ajili ya maandalizi ya upanuzi wa sehemu ya Bendera Tatu – Gerezani (KAMATA) katika barabara ya Dar es Salaam- Mbagala (Kilwa road).

Barabara ya Ndundu – Somanga (km 60) - Shilingi Milioni 5,287.74

145. Mheshimiwa Spika, mradi huu unalenga kujenga barabara sehemu ya Ndundu hadi Somanga (km 60) kwa kiwango cha lami. Kazi za ujenzi zinaendelea. Barabara hii imetengewa Shilingi milioni 5,287.74 fedha za

90

ndani katika mwaka 2013/2014 kwa ajili ya kukamilisha kazi ya ujenzi.

Kidatu - Ifakara - Lupilo - Malinyi - Londo - Lumecha/Songea (km 396) - Shilingi Milioni 1,600.00

146. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi huu ni kufanya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa barabara ya Kidatu hadi Lumecha/Songea chini ya msaada wa Benki ya Maendeleo ya Afrika na mchango wa Serikali ya Tanzania. Barabara hii imetengewa Shilingi milioni 100.00 fedha za ndani na Shilingi milioni 1,500.00 fedha za nje kwa ajili ya kuanza upembuzi yakinifu na usanifu wa kina.

Barabara ya Tabora - Ipole - Koga – Mpanda (km 359) - Shilingi Milioni 2,000.00

147. Mheshimiwa Spika, Mkataba wa kufanya kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina ulisainiwa tarehe 8 Juni, 2009 na kazi zimekamilika. Lengo la mradi ni utayarishaji wa nyaraka za zabuni za ujenzi wa barabara ya Tabora – Ipole – Koga – Mpanda kwa kiwango cha lami.

Katika mwaka wa fedha 2013/2014 jumla ya Shilingi milioni 2,000.00 fedha za ndani

91

zimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi kwa kiwango cha lami.

Barabara ya Makutano - Natta – Mugumu/ Loliondo – Mto wa Mbu (km 452) – Shilingi Milioni 8,617.63

148. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kufanya usanifu wa kina na kujenga barabara hii kwa kiwango cha lami. Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Tanzania. Mikataba kwa ajili ya kufanya usanifu wa kina kwa sehemu ya Natta - Mugumu (km 50) na Mto wa Mbu – Loliondo (km 213) ilisainiwa tarehe 26 Agosti, 2009. Kazi ya usanifu wa kina imekamilika mwaka 2011. Katika mwaka wa fedha 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni 5,617.63 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi kwa kiwango cha lami kwa sehemu ya Makutano -Sanzate (km 50) na Shilingi milioni 3,000.00 kwa sehemu ya Mto wa Mbu – Loliondo (km 213).

Barabara ya Ibanda – Itungi/Kiwira Port (km 26) – Shilingi Milioni 1,000.00

149. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kufanya ukarabati wa barabara hii kwa kiwango 92

cha lami. Barabara hii ni kiungo muhimu kwa bandari ya Itungi/Kiwira. Katika mwaka wa fedha 2013/2014 mradi huu umetengewa Shilingi milioni 1,000.00 fedha za ndani kwa ajili ya kuendelea na ukarabati ili kuiunganisha bandari mpya ya Kiwira.

Barabara ya Nzega – Tabora (Km 115) – Shilingi Milioni 13,392.09

150. Mheshimiwa Spika, mradi unalenga kujenga barabara ya Nzega – Tabora (km 115) kwa kiwango cha lami. Mradi huu umegawanyika katika sehemu mbili za Nzega- Puge (km 58.8) na Puge-Tabora (km 56.10). Kazi ya ujenzi wa barabara hii kwa kiwango cha lami inaendelea kwa sehemu ya Nzega – Puge na sehemu ya Puge-Tabora.

151. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni 6,696.05 zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa sehemu ya Nzega – Puge na Shilingi milioni 6,696.04 kwa sehemu ya Puge – Tabora .

Barabara ya Sumbawanga – Mpanda - Nyakanazi (km 829) – Shilingi Milioni 38,858.72

152. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kujenga barabara ya Sumbawanga – Mpanda – 93

Kasulu – Nyakanazi kwa kiwango cha lami. Kazi za ujenzi kwa sehemu ya Sumbawanga-Kanazi (km 75) na Kanazi-Kizi-Kibaoni (km 75.6) zinaendelea.

Katika mwaka wa fedha 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni 8,850.94 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na kazi ya ujenzi wa sehemu ya Sumbawanga-Kanazi, Shilingi milioni 8,850.94 kwa sehemu ya Kanazi-Kizi-Kibaoni na Shilingi milioni 6,617.63 kwa sehemu ya Kizi-Sitalike-Mpanda. Kiasi cha Shilingi milioni 4,539.21 kimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi wa sehemu ya Mpanda- Mishamo (km 100). Sehemu ya Kigoma – Nyakanazi imetengewa Shilingi milioni 10,000.00 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa kilometa 100 kwa kiwango cha lami.

Barabara ya Nyanguge – Musoma (km 183) na Mchepuo wa Usagara - Kisesa (km 17) – Shilingi Milioni 18,235.26

153. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kuikarabati barabara ya Nyanguge-Musoma (km 183) na kujenga kwa kiwango cha lami kilometa 17 za mchepuo wa Usagara - Kisesa. Ujenzi wa

94

sehemu ya Simiyu/Mara Border – Musoma (km 85.5) unaendelea. Maandalizi ya ujenzi kwa kiwango cha lami kwa barabara ya Nansio - Kisorya - Bunda sehemu ya Kisorya - Bunda (km 50) yanaendelea.

154. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/2014, mradi huu umetengewa Shilingi milioni 9,735.26 kwa ajili ya kuendelea na kazi ya ukarabati wa barabara ya Nyanguge - Musoma. Kiasi cha Shilingi milioni 4,000.00 kimetengwa kwa sehemu ya barabara ya Kisesa – Usagara Bypass kwa ajili ya kuendelea na kazi ya ujenzi.

Aidha, kiasi cha Shilingi milioni 4,500.00 kimetengwa kwa ajili ya maandalizi ya ujenzi wa barabara ya Nansio - Kisorya - Bunda sehemu ya Kisorya - Bunda (km 50).

Barabara ya Magole - Mziha (Magole-Turiani km 48.8) – Shilingi Milioni 6,266.84

155. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kujenga barabara ya Magole – Mziha kwa kiwango cha lami. Jumla ya Shilingi milioni 6,266.84 zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa sehemu ya Magole - Turiani katika bajeti ya 2013/2014.

95

Barabara ya Mwigumbi – Maswa – Bariadi – Lamadi (km 171) – Shilingi Milioni 11,965.65

156. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kujenga barabara ya Mwigumbi-Maswa-Bariadi- Lamadi yenye jumla ya kilometa 171 kwa kiwango cha lami. Kazi zilianza tarehe 8 Julai, 2010 kwa sehemu ya Bariadi – Lamadi na kazi inaendelea. Aidha, maandalizi ya ujenzi kwa kiwango cha lami kwa barabara ya Mwigumbi - Maswa - Bariadi (km 100) yanaendelea.

Katika mwaka wa fedha 2013/2014, kiasi cha Shilingi milioni 6,465.65 kimetengwa kwa ajili ya kuendelea na kazi ya ujenzi wa barabara ya Bariadi – Lamadi. Aidha, kiasi cha Shilingi milioni 5,500.00 kimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi wa barabara ya Mwigumbi - Maswa - Bariadi (km 100).

Barabara ya Tabora - Ipole-Rungwa (Ipole- Rungwa – km 95) – Shilingi Milioni 500.00

157. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kujenga barabara ya Tabora – Ipole – Rungwa kwa kiwango cha lami kwa kuanza na sehemu ya Ipole – Rungwa yenye urefu wa kilometa 95. Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Tanzania na umetengewa Shilingi milioni 500.00

96

mwaka 2013/14 kwa ajili ya kukamilisha upembuzi yakinifu na usanifu wa kina.

Barabara ya Kwenda Uwanja wa Ndege wa Mafia (Mafia Airport Access Road - km 14) – Shilingi Milioni 2,471.17

158. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kujenga barabara ya kwenda Uwanja wa Ndege wa Mafia kwa kiwango cha lami. Makubaliano yaliyofikiwa kati ya Serikali na Shirika la Misaada la Marekani (MCC) ni kwamba Serikali itajenga barabara hii na MCC itatoa fedha za ujenzi wa uwanja wa ndege wa Mafia. Katika mwaka wa fedha 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni 2,471.17 zimetengwa kwa ajili ya kazi ya ujenzi wa barabara.

Barabara ya Kwenda Chuo Kikuu cha Dodoma (Dodoma University Road - km 12) – Shilingi Milioni 3,000.00

159. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kujenga barabara ya Chuo Kikuu Dodoma kwa kiwango cha lami. Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Tanzania. Jumla ya Shilingi milioni 3,000.00 zimetengwa kwa ajili ya kazi ya ujenzi kwa kiwango cha lami katika mwaka 2013/2014. 97

Daraja la Kigamboni – Shilingi Milioni 3,000.00

160. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kujenga daraja litakalounganisha Jiji la Dar es Salaam na mji wa Kigamboni. Katika mwaka 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni 3,000.00 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na kazi ya ujenzi. Mradi unajengwa kwa ushirikiano kati ya Serikali na NSSF.

Barabara ya Sam Nujoma (km 4) – Shilingi Milioni 21.51

161. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi lilikuwa ni kupanua barabara ya Sam Nujoma kutoka njia mbili kuwa njia nne pamoja na njia za waenda kwa miguu kuanzia Mwenge hadi Ubungo. Mradi huu umegharamiwa na Serikali ya Tanzania na kazi za ujenzi wa barabara zilikamilika Julai, 2009. Shilingi milioni 21.51 fedha za ndani zimetengwa katika mwaka 2013/2014 kwa ajili ya kulipa sehemu ya malipo ya mwisho ya Mkandarasi.

Barabara ya Tunduma - Sumbawanga (km 223) – Shilingi Milioni 57.88

162. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kujenga barabara ya Tunduma – Sumbawanga yenye urefu wa kilomita 223 kwa kiwango cha lami. Mradi huu unagharamiwa kwa fedha za 98

msaada kutoka Serikali ya Marekani kupitia Millennium Challenge Corporation (MCC) na mchango wa Serikali ya Tanzania. Utekelezaji wa mradi umegawanywa katika sehemu tatu ambazo ni:-Tunduma – Ikana (km 63.7); Ikana – Laela (km 64.0) na Laela – Sumbawanga (km 95.3).

Katika bajeti ya mwaka wa fedha 2013/14, jumla ya Shilingi milioni 17.0 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kuhamisha miundombinu katika eneo la ujenzi na usimamizi kwa sehemu ya Tunduma – Ikana, Shilingi milioni 17.0 zimetengwa kwa sehemu ya Ikana-Laela na Shilingi milioni 23.88 kwa sehemu ya Laela – Sumbawanga.

Barabara ya Kagoma – Lusahunga (km 154) – Shilingi Milioni 14,477.25

163. Mheshimiwa Spika, mradi huu ni sehemu ya barabara ya Mutukula – Bukoba – Biharamulo – Lusahunga (km 294) iliyofanyiwa usanifu mwaka 1996 chini ya ufadhili wa Benki ya Maendeleo ya Afrika. Ujenzi wa sehemu ya barabara ya Mutukula – Muhutwe – Kagoma ulianza Machi, 2001 na ulikamilika Septemba 2004. Awali Benki ya Maendeleo ya Afrika ilitoa mkopo kwa ajili ujenzi wa sehemu ya Kagoma – Lusahunga (km 154) kwa kiwango cha lami. Baada ya Mkandarasi China State Construction 99

Engineering Corporation Ltd (CSCEC ) wa China kushindwa kutekeleza mkataba wa awali na kuondolewa, mkataba mpya wa kumalizia ujenzi wa barabara ya Kagoma – Lusahunga (km154) kwa kiwango cha lami ulisainiwa kwa fedha za Serikali ya Tanzania. Katika mwaka 2013/14 barabara hii imetengewa Shilingi milioni 14,477.25 kwa ajili ya kuendelea na ujenzi.

Barabara ya Arusha – Namanga (km 105) - Shilingi Milioni 3,517.12

164. Mheshimiwa Spika, mradi wa Arusha – Namanga (km 105) ni sehemu ya mradi wa kikanda wa Jumuiya ya Afrika Mashariki unaojumuisha nchi za Tanzania na Kenya. Kwa sehemu ya Tanzania, mradi unafadhiliwa na Japan Bank for International Cooperation (JBIC) kwa kushirikiana na Serikali za Tanzania. Kazi za ukarabati wa barabara hii kwa kiwango cha lami zimekamilika Desemba, 2012.

Katika mwaka wa fedha 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni 1,228.12 fedha za ndani na Shilingi milioni 2,289.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya kulipa sehemu ya madai ya mkandarasi.

Barabara ya Singida - Babati – Minjingu - Arusha (km 321) - Shilingi Milioni 26,396.39

165. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kujenga kwa kiwango cha lami sehemu ya 100

Singida - Babati -Minjingu yenye urefu wa kilomita 223 na kukarabati kwa kiwango cha lami sehemu ya Minjingu-Arusha yenye urefu wa kilometa 98.

Ujenzi wa barabara ya Singida - Babati - Minjingu umegawanywa katika sehemu tatu za Singida – Katesh (km 65.1), Katesh – Dareda (km 73.8) na Dareda – Babati – Minjingu (km 84.6). Kazi za ujenzi zilianza tarehe 11 Machi, 2009 na zimekamilika Agosti, 2012. Miradi hii inagharamiwa na ADB, JICA na Serikali ya Tanzania. Mkataba wa ukarabati wa sehemu ya Minjingu-Arusha umesainiwa tarehe 12 Mei, 2011 na kazi zinaendelea. Sehemu hii inakarabatiwa kwa kutumia fedha za mkopo kutoka Benki ya Dunia.

166. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/2014 kiasi cha Shilingi milioni 240.56 zimetengwa kwa sehemu ya Singida – Katesh, Shilingi milioni 336.00 kwa ajili ya sehemu ya Katesh – Dareda na Shilingi milioni 375.00 kwa ajili ya sehemu ya Dareda – Babati – Minjingu ili kukamilisha malipo ya Makandarasi wa sehemu zote tatu. Kiasi cha Shilingi milioni 444.83 fedha za ndani na Shilingi milioni 25,000.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ukarabati wa barabara ya Minjingu hadi Arusha.

101

Barabara ya Msimba – Ruaha/Ikokoto - Mafinga (km 219) – Shilingi Milioni 25,716.53

167. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kufanya ukarabati wa barabara ya lami ya Dar es Salaam – Tunduma (TANZAM). Mradi huu unahusisha ukarabati wa sehemu ya Iyovi - Kitonga Gorge (km 86.3), Ikokoto - Iringa (km 60.9), barabara ya mchepuo kuingia Iringa mjini (km 2.1) na Iringa-Mafinga (km 68.9). Mradi huu unagharamiwa kwa mkopo kutoka Serikali ya Denmark pamoja na mchango wa Serikali ya Tanzania. Aidha, maandalizi ya ukarabati kwa kiwango cha lami kwa barabara ya Mafinga - Igawa (km 146) yanaendelea kwa mkopo kutoka Benki ya Dunia.

168. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/2014 jumla ya Shilingi milioni 5,516.53 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ukarabati wa kilometa 68.9 za Iringa - Mafinga. Aidha, jumla ya Shilingi milioni 200.00 fedha za ndani na Shilingi milioni 20,000.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya ukarabati wa barabara ya Mafinga-Igawa yenye urefu wa kilometa 146.

102

Barabara ya Korogwe – Mkumbara - Same (km 172)- Shilingi Milioni 53,621.38

169. Mheshimiwa Spika, mradi wa ukarabati wa barabara ya Korogwe - Mkumbara –Same (km 172) ambayo ni sehemu ya barabara ya Segera – Moshi – Arusha unagharamiwa na Benki ya Dunia pamoja na Serikali ya Tanzania. Katika mwaka 2013/2014 kazi ya ukarabati wa barabara hii zitaendelea kama ifuatavyo:

(i) Korogwe – Mkumbara (km 76):

Katika mwaka 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni 100.00 fedha za ndani na Shilingi milioni 32,671.38 fedha za nje zimetengwa kwa ajili kuendelea na kazi ya ukarabati wa sehemu hii ya barabara.

(ii) Mkumbara – Same (km 96):

Katika mwaka 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni 100.00 fedha za ndani na Shilingi milioni 20,750.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili kuendelea na kazi ya ukarabati wa sehemu hii ya barabara.

Barabara ya Mbeya-Makongolosi (km 115) – Shilingi Milioni 15,691.68

170. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kujenga barabara ya Mbeya hadi Makongolosi (km 115) kupitia Chunya kwa kiwango cha lami.

103

Ujenzi wa barabara hii umegawanyika katika sehemu tatu ambazo ni: Mbeya – Lwanjilo (km 36); Lwanjilo-Chunya (km 36) na Chunya- Makongolosi (km 43). Katika mwaka 2013/2014 barabara hii imetengewa jumla ya Shilingi milioni 6,528.78 kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa sehemu ya Mbeya-Lwanjilo, Shilingi milioni 5,008.00 kwa sehemu ya Lwanjilo- Chunya na Shilingi milioni 3,847.05 kwa sehemu ya Chunya – Makongolosi. Aidha, Shilingi milioni 307.84 zimetengwa kwa ajili ya kukarabati sehemu ya Makongolosi – Rungwa – Itigi – Mkiwa kwa kiwango cha changarawe.

Barabara ya Chalinze – Segera - Tanga (km 248) – Shilingi Milioni 7,700.00

171. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kuifanyia ukarabati na upanuzi barabara ya Chalinze - Segera hadi Tanga. Utekelezaji wa mradi umegawanyika katika sehemu mbili ambazo ni: Chalinze-Kitumbi (km 125) na Kitumbi-Segera-Tanga (km 120). Jumla ya Shilingi milioni 3,200.00 fedha za ndani na Shilingi milioni 4,500.00 fedha za nje zimetengwa katika mwaka wa fedha 2013/14 kwa ajili ya kuendelea na ukarabati wa sehemu ya Kitumbi-Segera-Tanga.

104

Barabara ya Dodoma – Iringa (km 260) – Shilingi Milioni 86,539.31

172. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kujenga kwa kiwango cha lami barabara ya Dodoma – Mtera – Iringa (km 260). Mradi huu unagharamiwa kwa fedha za mkopo kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) na Shirika la Maendeleo la Japan (JICA).

Ili kuendelea na ujenzi, katika mwaka wa fedha 2013/2014, kiasi cha Shilingi milioni 615.68 fedha za ndani na Shilingi milioni 30,000.00 fedha za nje zimetengwa kwa sehemu ya Iringa – Migori (km 95.1), Shilingi milioni 538.72 ` fedha za ndani na Shilingi milioni 28,000.00 fedha za nje kwa ajili ya sehemu ya Migori – Fufu Escarpment (km 93.8) na Shilingi milioni 584.90 fedha za ndani na Shilingi milioni 26,800.00 fedha za nje kwa ajili ya sehemu ya Fufu Escarpment – Dodoma (km 70.9).

Barabara ya Dodoma – Babati (km 261) – Shilingi Milioni 56,992.41

173. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kujenga kwa kiwango cha lami barabara ya Dodoma – Kondoa – Babati (km 261). Utekelezaji wa mradi huu umegawanyika katika sehemu tatu ambazo ni: Dodoma-Mayamaya (km 43.65), Mayamaya-Bonga (km198.15) na Bonga-Babati 105

(km 19.2). Katika mwaka wa fedha 2013/14, kiasi cha Shilingi milioni 6,606.15 zimetengwa kwa ajili ya sehemu ya Dodoma – Mayamaya na Shilingi milioni 2,386.26 kwa sehemu ya Bonga – Babati. Aidha, ujenzi kwa kiwango cha lami kwa sehemu ya Mayamaya – Bonga ambayo imegawanywa katika sehemu mbili utaanza katika mwaka 2013/14 kama ifuatavyo:

(i) Mayamaya - Mela (km 99.35):

Katika mwaka 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni 500.00 fedha za ndani na Shilingi milioni 25,000.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya kuanza kazi ya ujenzi wa sehemu hii ya barabara.

(ii) Mela - Bonga (km 98.8):

Katika mwaka 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni 500.00 fedha za ndani na Shilingi milioni 22,000.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili kuanza ujenzi wa sehemu hii ya barabara.

Masasi- Songea – Mbamba Bay (km 659.7) – Shilingi Milioni 136,327.08

174. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi ni kujenga kwa kiwango cha lami barabara ya

106

Masasi- Songea – Mbamba Bay (km 649). Katika mwaka wa fedha 2013/2014, Shilingi milioni 533.88 fedha za ndani na Shilingi milioni 24,000.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi wa sehemu ya Mangaka- Nakapanya na Shilingi milioni 532.57 fedha za ndani na Shilingi milioni 23,200.00 fedha za nje kwa ajili ya kuanza ujenzi wa sehemu ya Nakapanya – Tunduru. Shilingi milioni 532.93 fedha za ndani na Shilingi milioni 24,000.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi wa sehemu ya Mangaka-Mtambaswala na Shilingi milioni 3,567.32 fedha za ndani na Shilingi milioni 16,809.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa sehemu ya Tunduru-Matemanga.

175. Mheshimiwa Spika, kwa sehemu ya Matemanga-Kilimasera, Shilingi milioni 3,679.20 fedha za ndani na Shilingi milioni 14,944.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili kuendelea na ujenzi. Aidha, Shilingi milioni 3,679.19 fedha za ndani na Shilingi milioni 13,715.00 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya sehemu ya Kilimasera – Namtumbo. Fedha zilizotengwa kwa ajili ya fidia ni Shilingi milioni 17.00 fedha za ndani kwa barabara ya Songea – Namtumbo na Shilingi milioni 17.00 fedha za ndani kwa barabara ya Peramiho – Mbinga. Vile vile Shilingi milioni 4,600.00 fedha za ndani 107

zimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi kwa kiwango cha lami sehemu ya Mbinga-Mbamba Bay na Shilingi milioni 2,500.00 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi kwa kiwango cha lami sehemu ya Masasi - Newala – Mtwara (km 209) .

Ujenzi wa Barabara ya Uongozi Institute Shilingi Milioni 1,500.00

176. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi huu ni kujenga barabara ya mchepuo kutoka barabara ya Bagamoyo kuingia kwenye Chuo cha Uongozi pamoja na barabara zilizoko ndani ya chuo hicho.

Katika mwaka wa fedha 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni 1,500.00 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya maandalizi ya ujenzi wa barabara ya mchepuo kutoka barabara ya Bagamoyo kuingia Chuo cha Uongozi pamoja na barabara zilizoko ndani ya Chuo hicho.

Ujenzi wa Makao Makuu ya Wakala wa Barabara – Shilingi Milioni 1,100.00

177. Mheshimiwa Spika, lengo la mradi huu ni kujenga Makao Makuu ya Wakala wa Barabara pamoja na kuanza ujenzi wa Ofisi za mikoa ya Dar es Salaam, Katavi, Geita, Simiyu,

108

Njombe na Lindi. Mradi huu unagharamiwa kwa fedha za ndani. Usanifu wa jengo la Makao Makuu ya Wakala umekamilika. Katika mwaka wa fedha 2013/2014, jumla ya Shilingi milioni 1,100.00 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kuanza kazi ya ujenzi.

USALAMA BARABARANI NA MAZINGIRA

Usalama Barabarani - Shilingi Milioni 3,387.00

178. Mheshimiwa Spika, mradi huu una lengo la kuimarisha shughuli za kudhibiti uzito wa magari yanayotumia barabara. Katika mwaka wa fedha 2013/14, kiasi cha Shilingi milioni 887 fedha za ndani na Shilingi milioni 2,500 fedha za nje zimetengwa. Kazi zitakazofanyika ni zifuatazo:-

(i) Ujenzi wa mizani ya kisasa inayopima uzito wa gari likiwa katika mwendo (Weigh in Motion) katika eneo la Vigwaza ambao umetengewa Shilingi milioni 224 fedha ya ndani;

(ii) Uanzishwaji wa Wakala wa Usalama Barabarani nchini (National Road Safety Agency) ambao umetengewa Shilingi milioni 293 fedha ya ndani na Shilingi 1000 fedha ya nje;

109

(iii) Utafiti na tathmini wa ajali za barabarani ambao umetengewa Shilingi milioni 230 fedha ya ndani;

(iv) Ukaguzi wa hali ya usalama katika barabara (Road Safety Audit) Shilingi milioni 129 fedha ya ndani;na

(v) Uwekaji Mfumo wa Taarifa za Ajali Barabarani (Road Accident Information System) ambao umetengewa Shilingi milioni 11 fedha ya ndani na Shilingi milioni 1500 fedha ya nje.

Usalama Barabarani na Mazingira - Shilingi Milioni 891.98

179. Mheshimiwa Spika, mradi huu una lengo la kugharamia shughuli za Usalama na Mazingira pamoja na Marekebisho ya Mfumo wa utekelezaji wa shughuli katika maeneo haya. Mradi huu unagharamiwa kwa pamoja kati ya Serikali ya Tanzania na DANIDA.

Katika mwaka 2013/14 mradi huu umetengewa jumla Shilingi milioni 891.98. Kati ya fedha hizo Shilingi milioni 641.98 ni fedha za ndani na Shilingi milioni 250 fedha za nje. Aidha, kiasi cha Shilingi milioni 255 za ndani na Shilingi milioni 100 za nje zimetengwa kwa ajili ya kutoa Elimu ya Usalama Barabarani kwa shule 110

za nyanda za juu kusini katika mikoa ya Iringa, Mbeya, Njombe, Rukwa, Katavi na Ruvuma.

180. Mheshimiwa Spika, kiasi cha Shilingi milioni 349.98 za ndani na Shilingi milioni 150 za nje zimetengwa kwa ajili ya kutoa Elimu ya Usalama Barabarani kwa umma kupitia vyombo vya habari, vipeperushi n.k (Road Safety Awareness Campaign). Aidha, kiasi cha Shilingi milioni 37 za ndani zimetengwa kwa ajili ya kuwajengea uwezo watumishi.

Menejimenti na Utunzaji wa Mazingira - Shilingi Milioni 200.00

181. Mheshimiwa Spika, mradi huu una lengo la kuelimisha na kuwezesha utekelezaji wa Sheria ya Mazingira katika sekta ya Ujenzi. Katika mwaka wa fedha 2013/14 kiasi cha Shilingi milioni 200.00 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Mazingira Na. 20 ya Mwaka 2004 kwa miradi ya ujenzi. Lengo lingine ni kutoa mafunzo kuhusu tathmini na usimamizi wa mazingira katika sekta ya ujenzi kwa Wataalamu wa TANROADS, TEMESA, TBA, Vikosi vya Ujenzi na wadau mbalimbali katika sekta ya Ujenzi. 111

Programu ya Kujenga Uwezo (Institutional Support) - Shilingi Milioni 500.131

182. Mheshimiwa Spika, mradi huu unalenga kujenga uwezo (capacity building) wa wataalamu wa Wizara ya Ujenzi.

Katika mwaka 2013/14 mradi huu umetengewa Shilingi milioni 200.131 fedha za ndani na Shilingi milioni 300.00 fedha za nje. Fedha hizo zitatumika kuwajengea uwezo watumishi wa Wizara kwa kuwapatia mafunzo ya muda mfupi na mrefu katika fani zao, pamoja na kununua vitendea kazi.

Fedha za Mfuko wa Barabara kwa Mwaka 2013/14

183. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/14, Mfuko wa Barabara unatarajiwa kukusanya jumla ya Shilingi 504,306,000,000.00 ikilinganishshwa na Shilingi 429,664,000,000.00 katika mwaka 2012/13. Hii ni ongezeko la Shilingi 74,642,000,000.00 sawa na asilimia 17.37. Kimsingi, fedha hizi ni kwa ajili ya matengenezo ya barabara na zinagawanywa kwa Wizara ya Ujenzi na TAMISEMI kwa kuzingatia Sheria ya Tozo za barabara ya mwaka 1998 kama ilivyorekebishwa mwaka 2006. Kati ya fedha hizo, Wizara ya Ujenzi na Taasisi zake 112

imetengewa Shilingi 353,049,400,000.00 ikilinganishwa na Shilingi 300,764,800,000.00 za mwaka 2012/13.

Katika fedha zilizotengwa chini ya Wizara ya Ujenzi, TANROADS imetengewa Shilingi 314,535,652,200.00 kwa ajili ya matengenezo ya barabara na Wizara ya Ujenzi imetengewa Shilingi 34,948,405,800.00 kwa ajili ya kazi za upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa barabara pamoja na ukarabati na ununuzi wa vivuko, usalama barabarani na usimamizi na ufuatiliaji wa miradi hiyo. Bodi ya Mfuko wa Barabara imetengewa Shilingi 3,565,342,000.00. Kati ya fedha hizo Shilingi 934,245,067.00 ni kwa ajili ya mishahara, Shilingi 2,631,096,933.00 ni kwa ajili ya ukaguzi na ufuatiliaji wa miradi ya Barabara Kuu na za Mikoa katika mikoa yote pamoja na barabara za Halmashauri za Wilaya. Aidha, fedha hizo pia zitatumika kwa ajili ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Bodi ya Mfuko wa Barabara Dodoma na kwa ajili ya matumizi mengineyo (OC) ya Bodi.

184. Mheshimiwa Spika, Fedha za Wizara ya Ujenzi zitatumika kutekeleza miradi kama inavyoonyeshwa kwenye Kiambatisho Namba 3:-

113

(i) Miradi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa Barabara Kuu ambayo imetengewa Shilingi 9,126,610,000.00.

(ii) Miradi ya vivuko imetengewa Shilingi 3,163,730,000.00. Kati ya fedha hizo Shilingi 906,270,000.00 ni kwa ajili ya ununuzi wa Kivuko cha Itungi Port na Shilingi 787,950,000.00 ni kwa ajili ya ununuzi wa Kivuko cha Kahunda - Maisome. Ununuzi wa boti ya uokoaji (Rescue boat) kwa vivuko vya Ukerewe (Rugezi - Kisorya and Buolora-Ukara) umetengewa Shilingi 469,510,000.00 . Shilingi 900,000,000.00 zimetengwa kwa ajili ya ununuzi wa vipuri vya vivuko na Shilingi 100,000,000.00 ni kwa ajili ya ufuatiliaji wa miradi.

(iii) Shilingi 1,325,370,000.00 zimetengwa kwa ajili ya kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa miradi ya barabara, maandalizi ya Kanuni za Sheria ya Barabara, maandalizi na uchapishaji wa taarifa za kaguzi za miradi ya barabara, uendelezaji wa teknolojia za ujenzi wa barabara, utoaji elimu kwa umma na kushiriki katika shughuli za kikanda (SADC,

114

EAC, COMESA, Central Corridor, nk).

(iv) Usalama Barabarani na Mazingira umetengewa Shilingi 1,140,000,000.00.

(v) Barabara za Mikoa ambazo zimetengewa jumla ya Shilingi 20,192,695,800.00. Mchanganuo wa barabara hizo umeonyeshwa kwenye Kiambatisho Na. 4.

Mpango wa Matengenezo ya Barabara kwa Mwaka 2013/14

185. Mheshimiwa Spika, Mpango wa matengenezo ya Barabara Kuu na Barabara za Mikoa kwa mwaka 2013/14 kwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara ni jumla ya Shilingi 314,535,652,200.00 kama ilivyoonyeshwa katika Kiambatisho Na. 5. Muhtasari wake ni kama ifuatavyo:

(a) Barabara Kuu: Kilomita 11,276.87 na madaraja 1,272 kwa Shilingi 101,315,714,000.00 kutoka Mfuko wa Barabara.

(b) Barabara za Mikoa: Kilomita 24,489.09 na madaraja 1,305 kwa Shilingi

115

162,103,560,000.00 kutoka Mfuko wa Barabara.

(c) Matengenezo ya Dharura na Tahadhari: Kiasi cha Shilingi milioni 6,871,541,200.00 zimetengwa kwa kazi hizi kutoka Mfuko wa Barabara.

(d) Mradi wa Majaribio wa Kufanya Matengezo ya Muda Mrefu (PMMR): Kilomita 273 kwa shillingi 2,324,837,000.00

(e) Matengenezo, Ukarabati na Ujenzi wa Mizani. Kiasi cha Shilingi 3,500,000,000.00 kimetengwa kwa kazi hizi.

(f) Kazi/Shughuli Zinazohusiana na Matengenezo Zinazofanywa Kutokea Makao Makuu: Kiasi cha Shilingi 4,470,000,000.00 kutoka Mfuko wa Barabara zimetengwa kwa ajili ya kuweka alama za barabarani; na kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Barabara ikiwa ni pamoja na kuweka alama za kuonyesha mipaka ya hifadhi ya barabara. Aidha, fedha hizo pia zitatumika kuandaa na kusimamia programu za matengenezo ya Barabara Kuu na za Mikoa; kukusanya na 116

kuweka takwimu za barabara na matumizi yake; kufanya kaguzi za hali na uimara wa madaraja; kufuatilia masuala ya usalama barabarani ikiwa ni pamoja na kubaini maeneo hatarishi (Black Spots) na kuandaa hatua za kuchukua.

(g) Usimamizi wa Kazi na Utawala. Kiasi cha Shilingi 24,150,000,000.00 kimetengwa kwa kazi hizi.

(h) Gharama za Uendeshaji wa Mizani (Operational Costs): Kiasi cha Shilingi 9,800,000,000.00 kimetengwa kwa kazi hizi.

186. Mheshimiwa Spika, mpango wa matengenezo ya Barabara Kuu na za Mikoa kwa mwaka 2013/14 kwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara umeoneshwa katika Viambatisho Na. 5A hadi 5E kama ifuatavyo:

(i) Kiambatisho 5(A - 1): Matengenezo ya Kawaida (Routine Maintenance) kwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara mwaka 2013/14 – Barabara Kuu: jumla ya shilingi milioni 24,291.040.

(ii) Kiambatisho 5(A - 2): Matengenezo Kawaida (Routine Maintenance) kwa 117

kutumia fedha za Mfuko wa Barabara mwaka 2013/14 – Babaraba za Mikoa: jumla ya shilingi milioni 33,527.835.

(iii) Kiambatisho 5(B - 1): Matengenezo Maalum (Periodic Maintenance) kwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara mwaka 2013/14 – Barabara Kuu: jumla ya shilingi milioni 64,619.335.

(iv) Kiambatisho 5(B - 2): Matengenezo Maalum (Periodic Maintenance) kwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara mwaka 2013/14 – Barabara za Mikoa: jumla ya shilingi milioni 90,002.156.

(v) Kiambatisho 5(C - 1): Matengenezo ya sehemu Korofi (Sport Improvement) kwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara mwaka 2013/14 – Barabara Kuu lami na Changarawe: jumla ya shilingi milioni 1,348.720.

(vi) Kiambatisho 5(C - 2): Matengenezo ya sehemu Korofi (Sport Improvement) kwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara kwa mwaka 2013/14 – Barabara za Mikoa lami na changarawe: jumla ya shilingi milioni 16,279.01.

118

(vii) Kiambatisho 5(D): Matengenezo ya Kukinga Madaraja (Bridges Preventive Maintenance) kwa Barabara Kuu na Barabara za Mikoa kwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara mwaka 2013/14: jumla ya shilingi milioni 3,157.162.

(viii) Kiambatisho 5(E): Matengenezo Makubwa ya Madaraja na Makalvati kwa Barabara Kuu na Barabara za Mikoa kwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara mwaka 2013/14: jumla ya shilingi milioni 26,388.776.

Mpango Maalum wa Kitaifa wa Kuinua Matumizi ya Teknolojia ya Nguvu Kazi

187. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/201, Chuo cha Matumizi Stahiki ya Nguvu Kazi (Appropriate Technology Training Institute - ATTI) kitaendelea kutoa mafunzo ya ukarabati na matengenezo ya barabara za vijijini kwa wananchi wapatao 2,500 ili kuwa na miundombinu bora na inayopitika kirahisi. Aidha, mafunzo yatatolewa kwa wahandisi 44 kutoka ndani na nje ya nchi; Makandarasi 100, Wahandisi washauri 10, na Viongozi wa Vikundi 200, ili waweze kutoa huduma bora katika ujenzi, ukarabati na matengenezo ya barabara

119

kwa kutumia taaluma na ujuzi wa teknolojia ya nguvu kazi (LBT).

Ushirikishwaji wa Wanawake Katika Kazi za Barabara Nchini

188. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/2014, Wizara itaendelea kuhamasisha wanawake kushiriki katika kazi za barabara kwa kuendesha mafunzo ya ukandarasi kwa makandarasi wanawake na vikundi vya wanawake 25 kwa kutumia teknolojia ya Nguvu Kazi. Wizara itafanya ufuatiliaji wa maendeleo ya wanawake waliopatiwa mafunzo ya ushiriki katika kazi za barabara. Aidha, Wizara itaendelea kuhamasisha wanawake wengi zaidi kushiriki katika kazi za barabara kama makandarasi na wafanyakazi katika ngazi mbalimbali za kazi za barabara.

Maendeleo ya Watumishi

189. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/2014, Wizara itaendelea kuwaendeleza watumishi wake kitaaluma kwa kuwapeleka katika mafunzo ya ndani na nje ya nchi. Mafunzo hayo yatakuwa ni ya muda mrefu na muda mfupi. Aidha, Wizara itaendelea kuajiri watumishi wapya kukidhi mahitaji yake, kuwathibitisha kazini watumishi wanaostahili Wizara itawapandisha vyeo watumishi wake kwa 120

kadiri ya Ikama itakayotolewa na kutimizwa kwa sifa na masharti ya kupata vyeo kwa mujibu wa kada husika.

Mikakati ya Kupambana na Ukimwi

190. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/2014 Wizara itaendelea kutoa elimu ya kujikinga na maambukizi ya UKIMWI na VVU kwa watumishi pamoja na kuepuka kusambaza ugonjwa huo kwa kutumia vipeperushi mbalimbali. Pia kwa kushirikiana na Tume ya Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS), Wizara itaandaa semina na mafunzo kwa watumishi na wataendelea kuhamasishwa kupima afya zao pamoja na kuwapatia huduma ya lishe bora kwa watakaothibitika kuathirika na ugonjwa huo.

Vita Dhidi ya Rushwa

191. Mheshimiwa Spika, Wizara katika mwaka wa fedha 2013/2014 itaendelea kuwaelimisha watumishi athari za kutoa na kupokea rushwa pamoja na kuwahimiza kupambana na rushwa katika mazingira yote ya kazi. Elimu kuhusu mapambano dhidi ya rushwa itatolewa kupitia vipeperushi, semina na mikutano mbalimbali kwa ushirikiano na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).

121

Habari, Elimu na Mawasiliano

192. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/14, Wizara itaendeleza mawasiliano na wadau wote ili kuboresha utoaji wa elimu na taarifa kwa umma. Wizara itaendelea kutoa taarifa za shughuli zinazotekelezwa na Wizara kupitia vipindi vya televisheni, radio, Tovuti (www.mow.go.tz ) pamoja na machapisho.

Nachukua fursa hii kuvipongeza vyombo mbalimbali vya habari, kwa ushirikiano wao na jinsi ambavyo vimekuwa vikifuatilia na kutoa taarifa za shughuli zinazohusu sekta ya Ujenzi. Ushirikiano huu utaendelea kudumishwa ili kuhakikisha kuwa umma unapata taarifa za kutosha zinazohusiana na malengo, sera, sheria na kanuni mbalimbali zinazosimamiwa na Wizara ya Ujenzi.

MPANGO WA UTEKELEZAJI KAZI KATIKA WAKALA / TAASISI ZILIZO CHINI YA WIZARA KWA MWAKA 2013/2014

Wakala wa Barabara

193. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/14 Wakala utaendelea kusimamia kazi za kukarabati, kujenga na kufanya matengenezo ya barabara kuu na barabara za mikoa zenye urefu wa kilometa 35,000. 122

Matengenezo ya barabara kuu na mikoa yatahusisha matengenezo ya kawaida (routine maintenance) kilomita 30,656, matengenezo ya muda maalum na korofi kilomita 5,109.90 na madaraja 2,577. Mpango huu pia utajumuisha shughuli za utawala na usimamizi wa kazi, udhibiti wa uzito wa magari, kazi za dharura, mradi wa matengenezo ya muda mrefu na kazi zinazosimamiwa toka makao makuu kuhusu mipango, usalama barabarani na hifadhi ya barabara.

194. Mheshimiwa Spika, Wakala pia utaendelea kusimamia miradi ya ujenzi wa barabara kilomita 495 kwa kiwango cha lami, ukarabati wa kilometa 190 kwa kiwango cha lami pamoja na ujenzi na ukarabati wa madaraja 11 katika barabara kuu. Kwa upande wa barabara za mikoa, Wakala umepanga kukarabati kilomita 867.60 kwa kiwango cha changarawe, kujenga kilomita 66.1 kwa kiwango cha lami na kujenga/kukarabati madaraja 35.

Wakala umeandaa mpango wa mafunzo kwa watumishi 107. Kati ya watumishi hawa, 12 watahudhuria mafunzo ya muda mfupi nje ya nchi, 20 watahudhuria mafunzo ya muda mrefu (Shahada za Uzamili) na 75 watapatiwa mafunzo ya muda mfupi katika vyuo mbalimbali ndani ya nchi.

123

Wakala wa Majengo ya Serikali

195. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/14, Wakala umepanga kutekeleza majukumu yake mbalimbali ikiwemo kukamilisha ujenzi wa miradi inayoendelea, kununua viwanja zaidi mikoani ili kuuwezesha Wakala kujenga nyumba nyingi zaidi za Watumishi Mikoani, kufanya matengenezo ya nyumba za Serikali na kununua samani kwa nyumba za Viongozi wa umma.

Wakala utaendelea kuimarisha utoaji wa huduma za ushauri wa kitaalam kwa miradi ya ujenzi wa nyumba za Watumishi na ofisi za Serikali kwa kuzingatia mahitaji ya watu wenye ulemavu.

Wakala wa Ufundi na Umeme

196. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/14, Wakala umepanga kuendelea na ununuzi wa vivuko vya Kahunda – Maisome (Geita) na Itungi Port (Kyela – Mbeya); ununuzi wa boti ya uokoaji (rescue boat) na ununuzi wa kivuko cha Dar es Salaam – Bagamoyo; ukarabati wa vivuko vya MV. Magogoni, MV. Geita, MV. Kome I na MV. Kilombero I; na ujenzi wa maegesho ya vivuko katika maeneo mbalimbali nchini. Aidha, Wakala utaendelea kukarabati karakana za Dar es Salaam, Arusha,

124

Mwanza na Dodoma na kuzipatia vitendea kazi vya kisasa pamoja na kutengeneza magari ya Serikali katika karakana zote kila mkoa. Wakala pia utaendelea kutoa ushauri wa kihandisi kwa miradi ya usimikaji wa mifumo ya umeme, mitambo, elektroniki, viyoyozi na majokofu katika nyumba za Serikali pamoja na kukodisha mitambo mbalimbali na magari maalum ya viongozi.

Bodi ya Mfuko ya Barabara

197. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/14, Bodi ya Mfuko wa Barabara itaendelea kushirikiana na Wizara ya Ujenzi, TANROADS, EWURA na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kufuatilia na kuweka mikakati ya kuziba mianya ya uvujaji wa mapato kwenye vyanzo vya mapato ya Mfuko. Aidha, Bodi itaandaa mapendekezo ya kuboresha vipengele katika sheria iliyoanzisha Bodi ili kuboresha ufanisi wa utendaji wa Taasisi za barabara (Road Authorities) na Watendaji wanaosimamia matumizi ya fedha za Mfuko. Bodi itakamilisha uandaaji wa Taratibu za Sheria ya Mfuko wa Barabara (regulations) na miongozo mbalimbali ili kuboresha usimamizi wa Fedha za Mfuko.

Bodi itaimarisha ufuatiliaji wa matumizi ya fedha za Mfuko kwa kutumia wataalam

125

washauri na wataalam wa ndani katika kufanya ukaguzi wa kiufundi wa ubora wa kazi (value for Money) kwenye mikoa yote nchini.

Bodi ya Usajili wa Wahandisi

198. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/14, Bodi ya Usajili wa Wahandisi imepanga kusajili Wahandisi 800, Mafundi Sanifu 200 na kampuni za ushauri wa kihandisi 25. Aidha, Bodi itasimamia utekelezaji wa mpango wa mafunzo ya vitendo kwa wahandisi wahitimu 1,000. Idadi hii ni pamoja na wahandisi wahitimu 651 wanaoendelea na mafunzo kwa fedha za Serikali na watu binafsi.

Bodi pia itafanya ukaguzi wa shughuli za kihandisi nchini ili shughuli zote za kihandisi zifanywe na wahandisi waliosajiliwa na kwa kufuata maadili ya utendaji kazi za kihandisi. Bodi itatembelea na kukagua miradi ya ujenzi wa barabara Tanzania Bara, ikiwa ni pamoja na barabara za Halmashauri ili kutathmini hali ya uhandisi katika halmashauri zote Tanzania bara. Lengo ni kuhakiki kama kazi zote za kihandisi zinafanywa na wahandisi wenye sifa na waliosajiliwa na Bodi. Hii ni pamoja na kupata idadi kamili ya wahandisi walioko katika shughuli za kihandisi nchini.

126

Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi

199. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/14, Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi inatarajia kusajili Wabunifu Majengo (362), Wakadiriaji Majenzi (240), Mafundi Sanifu, Warasimu (Draughtmen), pamoja na kampuni za Wabunifu Majengo (200) na kampuni za Wakadiriaji Majenzi (101). Katika kupanua wigo wa usajili, Bodi itasajili wataalum wenye fani zinazoshabihiana na Kampuni za ushauri (Interior Designers, Landscape Architects, Conservation Architects, Furniture Designers, Naval Architects, Building Surveyors, Building Economists, Project Managers and Construction Managers). Aidha, Bodi itaendelea kuwawezesha wahitimu kupata mafunzo kwa vitendo, ili kuhakikisha wanapata maarifa na uzoefu unaokidhi haja ya Sekta ya ujenzi kulingana na sheria pamoja na kuwaelimisha watekelezaji wa miradi ya ujenzi katika Mikoa ya Tanzania Bara kuhusu umuhimu wa kutumia wataalam waliosajiliwa katika miradi yao.

Bodi ya Usajili wa Makandarasi

200. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/2014, Bodi ya Usajili wa Makandarasi imepanga kusajili jumla ya makandarasi 813 wa fani za Majengo, Majenzi (Civil works), 127

Umeme, Mitambo, Kazi maalum (Specialists) Makandarasi wa muda (Temporary Contractors na makandarasi wanaofanya kazi kwa ubia. Aidha, bodi itafanya tathmini (Review) ya vigezo vinavyotumika kusajili makandarasi ili kuendelea kupata makandarasi walio bora zaidi.

Bodi pia itaendesha jumla ya kozi za mafunzo 6 katika mikoa mbalimbali ya Tanzania na zaidi ya makandarasi 270 wanatarajiwa kuhudhuria mafunzo haya. Mafunzo yatalenga maeneo ya utawala/udhibiti wa fedha, utawala wa biashara, usimamizi wa mitambo, Matumizi ya Teknohama katika ujenzi, upangaji na udhibiti wa kazi za ujenzi. Ili kuhakikisha kazi zote zinafanywa na makandarasi waliosajiliwa na makandarasi wanafuata sheria na taratibu za usajili wao, Bodi imepanga kukagua miradi ya ujenzi 3,090 nchini.

201. Mheshimiwa Spika, kwa kushirikiana na Wizara ya Ujenzi na wadau wengine, Bodi itaendelea kusimamia mpango maalum wa kukuza uwezo wa makandarasi wazalendo ukiwemo ujenzi wa daraja la Mbutu kwa mfumo wa Kubuni na Kujenga (Design and Build). Mradi huu unatekelezwa kwa ubia na Makandarasi wa kizalendo 13 na Wahandisi washauri wazalendo wanne kwa lengo la kukuza uwezo wa wazalendo.

128

Baraza la Taifa la Ujenzi

202. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/2014, Baraza la Taifa la Ujenzi limepanga kukamilisha Kanuni za Utekelezaji wa Sheria iliyoanzisha Baraza (CAP 162 Revised Edition 2008), kufanya ukaguzi wa kiufundi wa miradi ya ujenzi. Aidha, itaratibu na kutoa mafunzo, ushauri wa kiufundi kuhusu utatuzi wa migogoro katika sekta pamoja na kuendelea na utekelezaji wa miradi ya ujenzi kwa kutumia teknolojia ya nguvu kazi (Labour Based Technology). Bodi pia itaendelea na jitihada za kuanzisha Mfuko wa Maendeleo ya Sekta ya Ujenzi (Construction Industry Development Fund (CIDF)), kuratibu mfumo wa kutoa taarifa muhimu za miradi ya ujenzi ili kukuza uwazi na uwajibikaji (Construction Sector Transparency Initiative (CoST)); ikiwa ni njia mojawapo ya kupambana na rushwa katika sekta. Baraza vilevile, litaendelea kuratibu ukusanyaji, uwekaji na utoaji wa takwimu na taarifa za Sekta ya Ujenzi na kuandaa majarida ya kiufundi kuhusu sekta ya ujenzi.

Katika mwaka 2013/2014, Bodi kwa kushirikiana na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) na mwekezaji binafsi itaendelea na ujenzi wa jengo la ofisi la ghorofa 22 lililoko Barabara ya Samora, Dar es Salaam.

129

Vikosi vya Ujenzi

203. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/14, Vikosi vya Ujenzi vitaendelea na ujenzi wa maegesho ya Kivuko cha Msanga Mkuu na maegesho ya Senga ya Kivuko cha Chato, ujenzi wa nyumba za viongozi na watumishi wa Serikali pamoja na kuendeleza viwanja 38 vinavyomilikiwa na Vikosi vya Ujenzi Mjini Dodoma.

Vikosi vitaendelea na maboresho ya kiutendaji kwa kufanya ukarabati wa karakana (Carpentry Workshops) zilizopo Dar es Salaam na Dodoma, ukarabati wa Ofisi zilizopo Dodoma na Arusha pamoja na kuongeza vitendea kazi ili kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa Miradi.

Chuo cha Ujenzi – Morogoro

204. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/14, Chuo kimepanga kufundisha jumla ya wanafunzi 800 katika fani za ufundi stadi wa kazi za barabara, majengo pamoja na udereva. Aidha, chuo kitaendeleza ujenzi wa jengo jipya la madarasa na karakana ya ufundi pamoja na kununua samani na zana ndogo ndogo za kufundishia.

130

Kituo cha Usambazaji wa Teknolojia Katika Sekta ya Uchukuzi (Tanzania Transportation Technology Transfer Centre)

205. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/2014, Kituo kimepanga kuendelea na jukumu la kusambaza teknolojia katika sekta ya barabara na uchukuzi hapa nchini. Kituo kitaandaa warsha na mafunzo yanayolenga kutatua changamoto zinazoikabili sekta ya barabara na uchukuzi, kusambaza kwa wadau 120,000 jumla ya makala na taarifa 150 zinazohusu teknolojia mbalimbali katika sekta ya barabara na uchukuzi kwa ujumla pamoja na kuendelea kutoa huduma ya Maktaba ya Kituo.

Kituo kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Morgan State University ya Marekani pamoja na wadau wengine kitaanza kutekeleza mradi unaolenga kuboresha mifumo ya ujenzi, matengenezo na usimamizi wa miundombinu ya barabara na uchukuzi hapa nchini.

SHUKURANI

206. Mheshimiwa Spika, napenda nitumie fursa hii kuwashukuru kwa dhati Wabunge wote na Kamati ya Bunge ya Miundombinu chini ya uenyekiti wa Mheshimiwa Peter Serukamba, Mbunge wa Kigoma Mjini kwa michango, 131

ushauri na ushirikiano waliotupa katika kuimarisha huduma zitolewazo na Wizara. Wizara inaahidi kufanyia kazi ushauri, na maamuzi ya Bunge lako Tukufu wakati wa kujadili bajeti hii na katika fursa nyingine.

207. Mheshimiwa Spika, shukurani zetu ziwaendee Washirika wetu wa Maendeleo waliochangia katika kutekeleza programu na mipango yetu ya sekta. Nchi na Mashirika ya Kimataifa yaliyochangia kuboresha utoaji huduma na miundombinu ya sekta yetu ni pamoja na Abu Dhabi, Denmark (DANIDA), Japan (JICA), Korea, Marekani (MCC), Uingereza (DFID), Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB), Benki ya Dunia (WB), Benki ya Kiarabu ya Maendeleo ya Afrika (BADEA), Jumuiya ya Afrika Mashariki, Jumuiya ya Nchi za Ulaya, Kuwait Fund na OPEC Fund.

208. Mheshimiwa Spika, ninawashukuru kwa dhati viongozi wenzangu katika Wizara kwa ushirikiano walionipatia katika kipindi chote cha uongozi wa Wizara ya Ujenzi. Viongozi hao ni Mhe. Eng. Gerson H. Lwenge (Mb.), Naibu Waziri; Balozi Herbert E. Mrango, Katibu Mkuu; Eng. Dkt. John S. Ndunguru, Naibu Katibu Mkuu. Wengine ni Wenyeviti na Watendaji Wakuu wa Bodi za Mfuko wa Barabara, Usajili wa Makandarasi, Usajili wa Wahandisi, Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi, 132

Baraza la Taifa la Ujenzi, TANROADS, TEMESA na TBA. Ninawashukuru Wakurugenzi na Wakuu wa Vitengo pamoja na wafanyakazi wote wa Wizara ya Ujenzi na Taasisi zake kwa ushirikiano wao mkubwa. Nawashukuru sana.

209. Mheshimiwa Spika, napenda pia niwashukuru kwa dhati wapiga kura wangu wa Jimbo la Chato kwa ushirikiano wao mkubwa wanaonipa katika kuleta maendeleo ya Jimbo letu pamoja na uvumilivu walionao kwangu wakati nikitekeleza majukumu ya kitaifa. Nawashukuru sana.

HITIMISHO

Makadirio ya Matumizi ya Kawaida 2013/2014

210. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/14, Wizara ya Ujenzi inaomba Bunge lako Tukufu liidhinishe jumla ya Shilingi 381,205,760,000.00 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida ambapo kati ya fedha hizo Shilingi 21,211,514,000.00 ni kwa ajili ya Mishahara ya Watumishi wa Wizara na Taasisi zake, Shilingi 353,049,400,000.00 ni fedha za Mfuko wa Barabara na Shilingi 6,944,846,000.00 ni kwa ajili ya matumizi mengineyo ya Wizara na Taasisi.

133

Bajeti ya Miradi ya Maendeleo kwa Mwaka 2013/14

211. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2013/14, Wizara ya Ujenzi inaomba Bunge lako Tukufu liidhinishe jumla ya Shilingi 845,225,979,000.00 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo. Kati ya fedha hizo, Shilingi 448,174,599,000.00 ni fedha za ndani na Shilingi 397,051,380,000.00 ni fedha za nje.

134

MUHTASARI WA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI KWA MWAKA 2013/2014

A. Matumizi ya Kawaida MAELEZO KIASI (SHILINGI) Mishahara 21,211,514,000.00 Mfuko wa Barabara 353,049,400,000.00 Matumizi Mengineyo 6,944,846,000.00 Jumla Fedha za 381,205,760,000.00 Matumizi ya Kawaida B. Fedha za Maendeleo Fedha za Ndani za 448,174,599,000.00 Miradi ya Maendeleo Fedha za Nje za 397,051,380,000.00 Miradi ya Maendeleo Jumla Fedha za 845,225,979,000.00 Maendeleo JUMLA YA FEDHA 1,226,431,739,000.00 ZA MATUMIZI YA KAWAIDA NA MAENDELEO

212. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja.

135

KIAMBATISHO NA.1

MGAWANYO WA FEDHA ZA BAJETI YA MAENDELEO KWA MWAKA 2013/2014

MAKADIRIO 2013/14 (TSh millions) UREFU Chanzo KASMA JINA LA MRADI (Km/No) Fedha za cha Fedha Fedha za Nje Jumla Ndani SUB VOTE 1003: POLICY AND PLANNING DIVISION 6267 Institutional Support 200.131 300.000 500.131 GOT/EU TOTAL 1003 200.131 300.000 500.131 SUBVOTE 2002: TECHNICAL SERVICES DIVISION Construction of Ferry 4125 5,990.00 5,990.00 GOT Ramps 4139 Procurement of Ferries 4,484.00 4,484.00 GOT 4144 Rehabilitation of Ferries 2,102.21 2,102.21 GOT Construction of 6327 2,245.49 2,245.49 GOT Government Houses TOTAL 2002 14,821.700 - 14,821.700 SUB VOTE 2005: ROADS DEVELOPMENT DIVISION Dar es Salaam - Chalinze GOT/ 4108 - Morogoro Express Way 200.00 100.00 - 100.00 PPP (Dsm- Chalinze Section),

137

Wazo Hill - Bagamoyo - 4109 64.00 10,441.10 - 10,441.10 GOT Msata Bagamoyo - (Makurunge) - GOT/ Sadani - Tanga and Lower 178.00 444.14 - 444.14 ADB Wami Bridge (DD) Sub total 242.00 10,885.24 - 10,885.24 Usagara - Geita - 4110 Buzirayombo - - - Kyamyorwa (42 2km) (i) Kyamyorwa - 120.00 800.00 - 800.00 GOT Buzirayombo (ii) Buzirayombo - Geita 100.00 - - - GOT (iii) Geita - Usagara (Lot 1 90.00 2,000.00 - 2,000.00 GOT & Lot 2) (iv) Uyovu -Biharamulo 112.00 8,000.00 - 8,000.00 GOT Sub total 422.00 10,800.00 - 10,800.00 Kigoma - Kidahwe - 4112 - - Uvinza - Kaliua - Tabora (i) Malagarasi Bridge and S.KOREA/ Associated approach 48.00 3,139.53 10,130.00 13,269.53 GOT roads (ii) Kigoma - Kidahwe 36.00 - - - GOT section

138

ABU (iii) Kidahwe-Uvinza 76.60 2,131.95 10,693.00 12,824.95 DHABI/ GOT ABU (iv) Uvinza - Malagarasi 51.10 2,000.00 2,000.00 DHABI/ GOT (v) Tabora - Ndono 42.00 6,837.80 - 6,837.80 GOT (vi) Ndono - Urambo 52.00 7,189.04 - 7,189.04 GOT (vii)Urambo - Kaliua - 56.00 4,848.02 - 4,848.02 Ilunde -Uvinza, (206.40km) GOT (Kaliua -Kazilambwa Sect) (viii) Tabora - Sikonge 70.00 4,700.00 - 4,700.00 GOT Sub total 431.70 30,846.34 20,823.00 51,669.34 Marangu-Tarakea - Rongai - 4115 - - Kamwanga/Bomang'omb e - Sanya Juu (i) Marangu - Rombo Mkuu 32.00 2,145.92 - 2,145.92 GOT incl. Mwika - Kilacha (ii) Rombo Mkuu - Tarakea 32.00 487.71 - 487.71 GOT (iii) Sanya Juu - Kamwanga (Design 75.00 5,000.00 - 5,000.00 GOT +Constr) (iv) Arusha - Moshi - Himo - Holili & Arusha Bypass GOT / 140.00 1,000.00 - 1,000.00 incl Himo Weighbridge ADB compensation

139

(v) Same - Himo - Marangu & Mombo - 132.00 - - - GOT/WB Lushoto (FS & DD) (vi) KIA - Mererani 26.00 2,500.00 - 2,500.00 GOT Sub total 437.00 11,133.63 - 11,133.63 Nangurukuru - 4117 95.00 2,000.00 2,000.00 GOT Mbwemkulu - Dodoma - Manyoni (Incl. 4118 126 1,309.28 - 1,309.28 GOT Manyoni Access Road) 4120 Mbwemkulu - Mingoyo 95.00 1,000.00 - 1,000.00 GOT 4121 Singida - Manyoni 54.00 1,200.00 - 1,200.00 GOT Port Access (Nelson 4122 15.6 1,500.00 - 1,500.00 GOT/EU Mandela) Road Dumila - Kilosa - Mikumi, 4123 km 142) ( Dumila - 45.00 6,000.00 - 6,000.00 GOT Rudewa Sect) Sumbawanga -Matai - 4124 112.00 11,241.37 - 11,241.37 GOT Kasanga Port 4126 Construction of Bridges - - GOT (i) Rehabilitation of Kirumi 1No 1,500.00 - 1,500.00 GOT Bridge (ii) Construction of Nanganga Bridge / 2No 500.00 - 500.00 GOT Nangoo along Mingoyo - Masasi

140

(iii) Construction of Sibiti Bridge along Ulemo - 1No 3,000.00 - 3,000.00 GOT Gumanga - Sibiti road (iv) Construction of Maligisu Bridge in Mwanza 1No 200.00 - 200.00 GOT region (v) Construction of Kilombero Bridge 1No 7,500.00 - 7,500.00 GOT Morogoro (vi) Kavuu Bridge along 1No 1,000.00 - 1,000.00 GOT Majimoto-Inyonga (vii) Construction of Mbutu Bridge along Igunga- 1No 5,300.00 - 5,300.00 GOT Manonga and Approach Roads (viii) Purchase of Mabey Bailey Compact 2No 50.00 - 50.00 GOT Emergency Bridge and Crane Lorry (ix) Ruhekei Bridge along 1No 250.00 - 250.00 GOT Mbinga-Mbambabay (x) Ruhuhu Bridge cum 1No. 200.00 - 200.00 GOT Dam (xi) Momba Bridge along Sitalike-Kilyamatundu/ 2,000.00 2,000.00 Kamsamba - Mlowo (Rukwa/Mbeya Border) Sub total 12No 21,500.00 - 21,500.00

141

New Bagamoyo (Kawawa GOT/ 4127 17.00 2,500.00 18,000.00 20,500.00 Jct - Tegeta) JAPAN Kyaka - Bugene – Kasulo 4128 180.00 7,037.53 - 7,037.53 GOT (Constr. & DD) Isaka - Lusahunga 4129 - - (Rehabilitaion) (i) Isaka - Ushirombo 132.00 12,512.72 - 12,512.72 GOT (Rehabilitation) (ii) Ushirombo- Lusahunga 100.00 9,007.76 - 9,007.76 GOT (Rehabilitation) (iii) Lusahunga - Rusumo & Nyakasanza - Kobero 150.00 - - - GOT (FS & DD) Sub total 392.00 21,520.48 - 21,520.48 Manyoni - Itigi - Tabora 4130 Ro ad (i) Tabora - Nyahua Sect. 85.00 10,000.00 - 10,000.00 GOT (ii) Nyahua - Chaya 90.00 2,200.00 - 2,200.00 GoT (iii) Manyoni- Itigi - Chaya 89.35 10,299.57 - 10,299.57 GOT Sect. Sub total 264.35 22,499.57 - 22,499.57 4131 Korogwe - Handeni 65.00 6,356.73 - 6,356.73 GOT Regional Roads 4132 Rehabilitation & 551.1 31,915.27 - 31,915.27 GOT upgrading (25 regions)

142

Mwanza – Shinyanga/ 4133 Mwanza Border road 10.00 50.00 - 50.00 GOT Rehabilitation 4134 Handeni - Mkata Road 54.00 4,484.75 - 4,484.75 GOT Mwandiga - Manyovu 4135 60.00 1,234.35 - 1,234.35 GOT (Construction) 4137 1No - - - GOT/MZQ De -congestion of DSM 4138 - - Roads (i) Kawawa R/about – Msimbazi – Twiga 2.70 605.00 - 605.00 GOT (Jangwani) (ii) Ubungo Terminal – 6.40 1,689.00 - 1,689.00 GOT Kigogo R/About (iii) Jet corner- Vituka- 10.30 1,290.00 - 1,290.00 GOT Devis corner (iv) Ubungo Maziwa - External & Tabata dampo - 2.25 3,000.00 - 3,000.00 GOT Kigogo (v) Kimara - Kilungule - 9.00 5,000.00 - 5,000.00 GOT External (vi) Mbezi - Malambamawili - Kinyerezi 14.00 6,000.00 - 6,000.00 GOT - Banana (vii)Tegeta - kibaoni - Wazo - Hill - Goba - Mbezi 20.00 5,000.00 - 5,000.00 GOT (Moro Rd)

143

(viii)Tangi Bovu - Goba 9.00 3,000.00 - 3,000.00 GOT (ix) Kimara Baruti - 2.60 1,500.00 - 1,500.00 GOT Msewe - Changanyikeni (ix) Bus Rapid Transit 21.90 50.00 - 50.00 GOT Infrastructure (BRT) (x) Kibamba-Kisopwa (Kibamba-Mlonganzila 4.00 1,500.0 1,500.00 GOT Section) Sub total 102.15 28,634.00 - 28,634.00 GOT/ 4143 Ndundu - Somanga 60.00 5,287.74 - 5,287.74 OPEC Kidatu - Ifakara - Lupilo - Malinyi - Londo - GOT/ 4147 396.00 100.00 1,500.00 1,600.00 Lumecha/Songea (FS & ADB DD) Tabora - Ipole - Koga - 4148 Mpanda road (Ipole - 359.00 2,000.00 - 2,000.00 GOT Koga - Mpanda section) Makutano - Natta - 4149 Mugumu/ Loliondo - Mto - - GOT wa Mbu (328km) (i) Makutano-Natta - Mugumu, (125km) 50 5,617.63 - 5,617.63 GOT (Makutano -Sanzate Sect) (ii) Mto wa Mbu – Loliondo 213 3,000.00 - 3,000.00 GOT section Sub total 263 8,617.63 - 8,617.63 Sub total

144

4150 Ibanda - Itungi Port 26.00 1,000.00 - 1,000.00 GOT

Tanga - Horohoro Road 4151 65.00 - - - GOT/MCC (Construction)

4152 Nzega - Tabora - - GOT

Nzega - Puge 58.60 6,696.05 - 6,696.05 GOT Puge - Tabora 56. 40 6,696.05 - 6, 696.05 GOT Sub total 115 13,392.09 - 13,392.09 Sumbawanga - Mpanda - 4154 Nyakanazi Road (DD & - - Construction) (i) Sumbawanga-Kanazi 75.00 8,850.94 - 8,850.94 GOT (ii) Kanazi – Kizi - Kibaoni 76.60 8,850.94 - 8,850.94 GOT (iii) Kizi - Sitalike- Mpanda 95.00 6,617.63 - 6,617.63 GOT section (iv) Mpanda - Mishamo 100.00 4,539.21 - 4,539.21 GOT section Sub total 346.60 28,858.72 - 28,858.72 Nyanguge - Musoma & 4155 - - Usaga ra - Kisesa Bypass (i) Nyanguge -Mwanza/ 85.50 2,500.00 - 2,500.00 GOT Mara Boarder

145

(ii) Simiyu/ Mara Border - 80.00 7,235.26 - 7,235.26 GOT Musoma (iii) Makutano - Sirari 83.00 - - GOT (iv) Kisesa - Usagara 17.00 4,000.00 - 4,000.00 GOT Bypass (v)Nansio - Kisesa - Bunda 50.00 4,500.00 4,500.00 GOT (Kisorya - Bunda) Sub total 315.50 18,235.26 - 18,235.26 Magole - Mziha - Handeni 4160 - Road - (i) Magole - Turiani 48.80 6,156.84 - 6,156.84 GOT (ii) Turiani - Mziha 40.00 50.00 - 50.00 GOT (iii) Mziha - Handeni 68.00 60.00 - 60.00 GOT Sub total 156.80 6,266.84 - 6,266.84 DSM Road Flyovers and 4161 - - Approaches (i) TAZARA 1No. 1,000.00 - 1,000.00 GOT/JICA (ii) Improvement of Junctions/Intersections at Chang'ombe, Ubungo, Magomeni/Nyerere, 4No. 3,000.00 - 3,000.00 GOT Mwenge,Tabata/Mandela and Morocco in Dar es Salaam (Design & Build) Sub total 5No 4,000.00 - 4,000.00

146

Mwigumbi - Maswa - 4162 - - Bariadi - Lamadi (i) Bariadi - Lamadi 71.80 6,465.65 - 6,465.65 GOT (ii) Mwigumbi - Maswa - 100.00 5,500.00 - 5,500.00 GOT Bariadi Sub total 171.8 11,965.65 - 11,965.65 Tabora - Ipole - Rungwa 4163 (Ipole - Rungwa section 95.00 500.00 - 500.00 GOT FS & DD) Kidahwe - Kasulu - 4164 310.00 10,000.00 - 10,000.00 GOT Nyakanazi Mafia Airport Access Road 4165 14.00 2,471.17 - 2,471.17 GOT (Construction) 4166 Dodoma University Road 12.00 3,000.00 - 3,000.00 GOT GOT / 4167 1No. 3,000.00 - 3,000.00 Construction NSSF Special Road Construction 4168 - - - GOT Projects Sam Nujoma Road 4171 4.00 21.51 - 21.51 GOT Upgrading

147

Tunduma - Sumbawanga GOT/IDA/M 4180 - - Upgrading (Constr) CC (i) Tunduma - Ikana 63.70 17.00 - 17.00 MCC/GOT (ii) Ikana - Laela 64.20 17.00 - 17.00 MCC/GOT (iii) Laela - Sumbawanga 95.31 23.88 - 23.88 MCC/GOT Sub total 223.21 57.88 - 57.88 Kagoma - Lusahunga 4181 154.00 14,477.25 - 14,477.25 GOT (Construction) (Arusha - Namanga) GOT/ADB/ 4182 105.00 1,228.12 2,289.00 3,517.12 Rehab. JBIC Singida - Babati - 4183 - - Minjingu (Construction) (i) Singida - Katesh 65.10 240.56 - 240.56 GOT/ADB (ii) Katesh - Dareda 73.80 336.00 - 336.00 GOT/ADB (iii) Dareda - Babati - 84.60 375.00 - 375.00 GOT/ADB Minjingu GOT/ (iv) Minjingu - Arusha 98.00 444.83 25,000.00 25,444.83 WB Sub total 321.50 1,396.39 25,000.00 26,396.39 D'Salaam - Mbagala Road 4185 Upgrading (Kilwa Road) 1.50 - - - GOT/JICA Lot 3 (1.5km) Widening of Gerezani 1.30 1,000.00 - 1,000.00 GOT / JICA Road Sub total 2.80 1,000.00 - 1,000.00

148

Msimba - Ruaha Mbuyuni / Ikokoto - 4186 - - Mafinga (TANZAM) (Rehab.) GOT/ (i) Iringa - Mafinga 69.40 5,516.53 - 5,516.53 DANIDA (ii) Mafinga - Igawa 146.00 200.00 20,000.00 20,200.00 GOT/WB (iii) Rujewa - Madibira- 152.00 - - GOT Mafinga Sub total 367.40 5,716.53 20,000.00 25,716.53

Same - Mkumbara - 4187 - - Korogwe (Rehabilitation) (i) Korogwe - Mkumbara 76.00 100.00 32,671.38 32,771.38 GOT/WB (ii) Mkumbara - Same 96.00 100.00 20,750.00 20,850.00 GOT/WB Sub total 172.00 200.00 53,421.38 53,621.38 Mbeya - Makongolosi 4188 - - (Construction) (i) Mbeya - Lwanjilo 36.00 6,528.78 - 6,528.78 GOT ( ii) Lwanjilo - Chunya 36.00 5,008.00 - 5,008.00 GOT Sect. (iii) Chunya - Makongolosi 43.00 3,847.05 - 3,847.05 GOT section (iv) Makongolosi - Rungwa 413.00 307.84 - 307.84 GOT - Itigi - Mkiwa Sub total 528.00 15,691.68 - 15,691.68

149

Chalinze - Segera - Tanga GOT/ 4189 ( Kitumbi - Segera- Tanga 248.00 3,200.00 4,500.00 7,700.00 DANIDA Section ) 4192 New Ruvu Bridge 1No. - - - GOT 4195 Dodoma - Iringa - - (i) Iringa - Migori 95.10 615.68 30,000.00 30,615.68 GOT/ADB (ii) Migori - Fufu 93.80 538.72 28,000.00 28,538.72 GOT/ADB Escarpment (iii) Fufu Escarpment - 70.90 584.90 26,800.00 27,384.90 GOT/ADB Dodoma Sub total 259.80 1,739.31 84,800.00 86,539.31 4196 Dodoma - Babati - - (i) Dodoma - Mayamaya 43. 65 6,606.15 - 6,606.15 GOT (ii) Mayamaya - Mela 99.35 500.00 25,000.00 25,500.00 GOT/ADB (iii) Mela - Bonga 88.8 500.00 22,000.00 22,500.00 GOT/ADB (iv) Bonga - Babati incl. 19.2 2,386.26 - 2,386.26 GOT Kondoa Access road Sub total 251 9,992.41 47,000.00 56,992.41 Masasi - Songea - 4197 - - MbambaBay GOT/J (i) Masasi - Mangaka 54.00 - - - ICA GOT/ADB/J (ii) Mangaka - Nakapanya 70.50 533.88 24,000.00 24,533.88 BIC

150

GOT/ (iii) Nakapanya - Tunduru 66.50 532.57 23,200.00 23,732.57 ADB/ JBIC (iv) Mangaka - GOT/ 65.50 532.93 24,000.00 24,532.93 Mtambaswala ADB ADB/ (v)Tunduru - Matemanga 59.00 3,567.32 16,809.00 20,376.32 GOT (vi) Matemenga - ADB/ 68.20 3,679.20 14,944.00 18,623.20 Kilimasera GOT (vii) Kilimasera - 60.00 3,679.19 13,715.00 17,394.19 ADB/GOT Namtumbo (viii) Namtumbo - Songea 72.00 17.00 - 17.00 MCC/GOT MCC/ (ix) Peramiho - Mbinga 78.00 17.00 - 17.00 GOT

(x) Mbinga - Mbambabay 66.00 4,600.00 4,600.00 GOT - (xi) Makambako - Songea 295.00 - - - GOT/WB (xii) Mtwara - Mingoyo - 200.00 - - GOT/WB Masasi (xiii) Masasi - Newala - 2,500.00 2,500.00 Mtwara Sub total 1,154.70 19,659.08 116,668.00 136,327.08

151

Construction of 6383 TANROADS HQ (Design - - & Construction) (i) Construction of TANROADS HQ (Design 1No 500.00 - 500.00 GOT & Construction) (ii) Construction of Dar es Salaam Regional 1No 100.00 - 100.00 GOT Managers' Office (iii) Construction of Katavi 1No 100.00 - 100.00 GOT Regional Managers' Office (iv) Construction of Geita 1No 100.00 - 100.00 GOT Regional Managers' Office (v) Construction of Simiyu 1No 100.00 - 100.00 GOT Regional Managers' Office (vi) Construction of

Njombe Regional 1No 100.00 100.00 GOT - Managers' Office (vii) Construction of Lindi 1No 100.00 - 100.00 GOT Regional Managers' Office Sub -total 7No 1,100.00 - 1,100.00 Access Road - Uongozi 4198 8.8 1,500.00 - 1,500.00 GOT Institute TOTAL 2005 431,423.787 394,001.380 825,425.167

152

SUBVOTE 5002: SAFETY AND ENVIRONMENT DIVISION 4136 Road Safety Activities 887.00 2,500.00 3,387.00 GOT/WB Institutional Support to GOT/ 6221 641.98 250.00 891.98 Safety and Environment DANIDA EMA Implementation 6571 200.00 - 200.00 GOT Support Programme TOTAL 5002 1,728.981 2,750.00 4,478.981 GRAND TOTAL 448,174.599 397,051.380 845,225.979

153

KIAMBATISHO NA.2

MIRADI YA MAENDELEO YA BARABARA ZA MIKOA (KASMA 4132) KWA MWAKA 2013/14

TARGET APPROVED Estimated Budget (in km / BUDGET 2013/14 PROJECT NAME No of 2012/13 in Tsh Bridges) mio

Local Local REGIONAL ROADS ARUSHA REGION Upgrading of Mbauda - Losinyai to DSD 27.69km 0.4 150.00 180.00 Rehab.Olokii (T/Packers) - Losinyai road km 22.68 2.0 35.00 65.00 Rehab.Mto wa Mbu - Loliondo road 212.36km 2.0 35.00 70.00

1 Rehab. Karatu Jnct. - Mangola - Matala ( 150km) 2.0 35.00 70.00 Upgrading to DSD Usa river - Momela - Arusha 0.3 110.00 180.00 National Park

Rehab. Noondoto Jnct- Kitumbeine Road (80.6km) 2.0 35.00 70.00

Rehab. Karatu - Arusha/ Manyara boarder towards 2.0 40.00 65.00 Mbulu (Karatu - Kilimapunda) 50.77km

FS & DD Kijenge - USA (Nelson Mandela University - 9.0 40.00 70.00 9km) Sub- total Arusha 19.70 480.00 770.00

154

COAST REGION FS & DD Kisarawe - Maneromango road (54km) 54.0 70.00 84.00 Rehab. Mbuyuni - Saadan road ( 9.5km) 2.5 40.00 50.00 Rehab Kilindoni - Rasmkumbi road - 62km 2.5 40.00 50.00 Rehab. Mkuranga - Kisiju road (45.77km) 2.5 40.00 50.00 Upgrading of TAMCO - Vikawe - Mapinga road 0.2 70.00 85.00 (24km)

2 FS & DD Makofia - Mlandizi - Maneromango 100.0 40.00 60.00 100km

Rehab.Mbwewe - Lugira road 2.5 40.00 50.00

Upgrading off Msoga - Msolwa road (Otta Seal) 0.4 100.00 123.00

Rehab.Kibiti - Utete road ( 44.73km) 2.5 40.00 50.00

Upgrading to DSD Kwa Mathias - Nyumbu - 3.0 - 1,200.00

Msangani road (9.5km)

Sub - total Coast 170.10 480.00 1,802.00

155

3 DAR ES SALAAM REGION

Upgrading Chanika - Mbande road (Otta seal) 0.8 220 300.00 29.6km Rehab.Kimbiji - Tundwi Songani road (13km) 2.5 40 50.00 Rehab.Ukonga Mombasa - Msongola road 11 190 235.00

Rehab. Uhuru Road 0.2 70 87.00 Rehab. Shekilango road 0.1 60 75.00

Rehab. Sam Nujoma road 0.1 60 75.00 Rehab. United Nations road 0.2 70 86.00 Upgrading to DSD Mbagala Mission - Kijichi - 2 0 904.00 Zakhem road (6.7km)

Sub - total Dar es Salaam 16.90 710.00 1,812.00 DODOMA REGION 4 Rehab. Kolo- Dalai (Mrojochini - Goima section) 2.0 35.00 60.00 (118.07km) Rehab. Mbande - Kongwa - Suguta (Ugogoni - 2.0 35.00 60.00 Suguta section) (49.64km) Rehab. Pandambili - Mlali - Ng'ambi (Mpwapwa - 2.0 35.00 60.00 Suguta section) (100.31km)

156

Rehab. Zemahero - Kinyamshindo (Kwamtoro - 2.0 35.00 60.00 Kinyamshindo section) - 125.06km Upgrading to DSD Shabibu- Dodoma/Arusha 0.8 290.00 400.00 round about - 6km Rehab. Mnenia - Itololo - Madege (85km) 2.5 - 69.00 Rehab. Manchali Kongwa - Hogoro Jctn (Kongwa 2.0 30.00 60.00 - Hogoro Jctn) - 45.75km

Sub - Total Dodoma 13.30 460.00 769.00 GEITA REGION 5 Rehab. Busisi - Nyang'wale-53.51km 11.0 200.00 210.00 Rehab. Nyang'hwale - Nyanholongo road- 2.5 40.00 50.00 56.43km Rehab. Geita - Nzera -NKome road - 54km 8.0 160.00 160.00 FS & DD : Geita - Bukoli - Kahama(Busoka) 139.0 220.00 220.00 Road 139km Rehab. Ushirombo - Nyikonga - Katoro/ 11.0 220.00 220.00 Buseresere road Upgrading to DSD Geita - Bukombe road 0.5 150.00 200.00 Rehab. Bukombe - Nyikonga road (32km) 3.5 60.000 80.00

157

Upgrading of Chato Port- Chato Ginery to DSD 0.2 50.000 150.00 Rehab. Buseresere - Kibumba - Makurugusi 2.5 40.00 50.00 road(8km) Rehab. Butengolumasa – Iparamasa – 2.5 40.00 50.00 Masumbwe road

DSD Upgrading.Geita Township roads 1.0 500.00 Construction of Mkolani Bridge along Geita - 1No - 110.00

Nyang'hwale Sub - Total - Geita 181.70 1,180.00 2,000.00

IRINGA REGION 6 Rehab. Paved section Iringa - Msembe (Ruaha 6.5 110.00 135.00

National Park) (104.6km) Rehab. Paved section Iringa - Pawaga (64.0km) 0.3 110.00 135.00

DSD Iringa -Msembe (Kalenga Jnct-Ipamba 1 300.00 Hospital)

Rehab. Igowole - Kasanga - Nyigo (54.8km) 1.8 30.00 40.00

158

Rehab. Izazi - Mbolimboli - Pawaga - Mlowa 7.5 30.00 150.00 road 83km FS & DD Izazi - Mbolimboli - Pawaga - Mlowa 83.0 112.00 road 83km Rehab. Iringa - Idete rd (68kms) 4.0 70.00 86.00 Rehab. Mbalamaziwa - Kwatwanga (50km) 5.0 90.00 122.00

Sub - Total - Iringa 109.10 440.00 1,080.00 NJOMBE REGION 7 Rehab. Ndulamo - Nkenja - Kitulo - Mfumbi 95km 2.5 30.00 50.00 Upgrading of Njombe - Ndulamo - Makete 3.0 1,610.00 1,610.00 (109.4km) to DSD Opening up Lupembe - Madeke - Taweta 4.0 30.00 50.00 road(53km) along Kibena - Lupembe rd

Rehab. Mkiu - Madaba (79.8km) 2.0 30.00 50.00 Upgrading to DSD Njombe township roads(CCM 0.3 110.00 250.00 and Kongo Streets - 4km)

Rehab. Mlevela-Mhaji -Ibumila (15km) 2.5 40.00 50.00 Sub - Total - Njombe 14.30 1,850.00 2,060.00

159

KAGERA REGION 8 Rehab. Muhutwe - Kamachumu - Muleba rd 3.5 40.00 70.00 (6km) Rehab. Katoma - Kanyigo to gravel 3.5 40.00 80.00 standard(6km) Otta Seal. Bugene - Kaisho - Murongo road 0.8 110.00 170.00 (Rwabunuka Escarpment) Sect.) (109km)

Rehab. Bukoba - Kabango bay ( 42 km) 5.0 75.00 110.00 FD & DD Murugarama - Rulenge - Nyakahura 86.0 140.00 180.00 86km Rehab. Kashalunga - Ngote - Kasindaga (37km) 6.0 126.00

Rehab. Kyakailabwa - Nyakato (54km) 5.0 100.00

Sub - Total - Kagera 109.80 405.00 836.00 KATAVI REGION 9 Rehab. Kagwira - Karema (112km) 2.5 40.0 60.00 Rehab. Mamba - Kasansa(18km) Mamba - 2.5 40.0 60.00 Kibaoni section Rehab. Mwese - Kibo road(60Km) 3.0 50.0 70.00 Rehab. Mpanda (Kawajense) - Ugalla 18.0 290.0 360.00 road(74Km) Ugalla Bridge (Construction) 1No 150.0 286.00

160

Rehab Majimoto-Inyonga 12.0 150.0 240.00 Rehab of Kibaoni-Mamba 3.0 50.0 70.00 Sub - Total - Katavi 41.00 770.00 1,146.00 KIGOMA REGION 10 Rehab. Simbo - Ilagala - Kalya (Upgrading to 9.0 150.00 200.00 gravel std from Rugufu bridge)

Upgrading of Katonga - Ujiji road to DSD 0.6 180.00 250.00 Upgrading of Gungu - Kibirizi to DSD 0.6 180.00 226.00

Rehab.Mugunzu - Bukililo - Kinonko 56km 4.0 84.40 Sub - Total - Kigoma 14.20 510.00 760.40

KILIMANJARO REGION 11 Upgrading to Otta Seals Mwanga - Kikweni road 1.0 110.00 135.00 (22.5km) Rehab. Holili - Tarakea ( 55 km) 2.0 30.00 41.00 Rehab. Kibosho Shine - Mto Sere 2.0 30.00 41.00

Rehab.Sanya juu - Rongai – 80 km 2.0 30.00 40.00 Upgrading to DSD of Kawawa - Pakula - Nduoni, 0.5 220.00 270.00 Nduoni - Marangu Mtoni road (15km)

161

Upgrading to DSSD of Kibosho Shine- Kwa 0.4 180.00 222.00 Raphael - International School road (12km)

Upgrading to DSSD Kwasadala - Masama 0.3 150.00 185.00 12.5km Upgrading to DSD of Uru Njari - Rau Madukani 0.5 90.00 110.00 (9.5km) Construction to DSD of Same - Kisiwani - 1.0 220.00 500.00 Mkomazi road(96.7Km).

Sub - Total - Kilimanjaro 9.70 1,060.00 1,544.00

LINDI REGION 12 Rehab. Ngongo - Mandawa - Ruangwa Road ( 10.00 40.00 250.00 45Km) (Ngongo - Mlola Sect)

Rehab. Lukuledi II Bridge along Mtama - 1No. 140.00 157.00 Nyangamala road Rehab. Nangurukuru - Liwale road 2.5 40.00 50.00 Rehab. Tingi - Kipatimu(50Km) 2.5 40.00 50.00 Rehab. Nanganga - Mandawa(60Km) 2.0 30.00 40.00 Rehab. Nachingwea - Liwale(30Km) 2.5 40.00 50.00

162

Rehab. Mtupwa VillageAaccess Road 2.5 40.00 50.00 Rehab. Nachingwea - Kilimarondo(60Km) 2.5 30.00 50.00 FS & DD Masasi -Nachingwea - Nanganga road. 112.0 75.00 169.00 Sub - Total - Lindi 136.50 475.00 866.00 13 MOROGORO REGION

Rehab. Lusanga - Kibati road 2.5 30.00 60.00 Bridge Construction along Mvomelo - Ndole - 3.0 40.00 60.00 Kibati (80km) Upgrading to Otta seal Liwambanjuki hills(5km) 4.5 70.00 90.00 along Lupiro - Malinyi road

FS & DD Ifakara - Kihansi road 130km 130.0 40.00 60.00 Rehab.Ubena Zamozi - Ngerengere road 52km ( 3.0 45.00 60.00 Sect. 26+00 - 31+00)

Opening up of Kilosa kwa Mpepo - Londo road 15.0 70.00 100.00

(Morogoro/ Ruvuma boarder) -121km

Rehab. Miyombo-Lumuma - Kidete 2.0 30.00 70.00 (Moro/Dodoma Boarder) - km 73

163

Construction of Mtibwa Bridge across Wami river 1No. 75.00 100.00 along Dakawa/ Wami Mbiki game reserve - Lukenge/ Songambele road FS & DD Morogoro (Bigwa)-Mvuha road (78km) 78 50.00 74.00

Rehab of Ngiloli - Iyongwe-Gairo road -48km. 3.0 30.00 70.00 Sub - Total - Morogoro 241.00 480.00 744.00 14 MBEYA REGION

Start of Constr. of Mpona Bridge along Galula - 1No. 90.00 110.00 Namkukwe road 57km

Rehab. Mbalizi - Shigamba - Isongole 87km ( 5.0 90.00 110.00

Mbalizi - Shigamba Sect 52km ) road

Rehab. Saza - Kapalala-63km 2.5 35.00 50.00 Rehab. Ilongo - Usangu road-36.846km 2.5 35.00 50.00 Rehab. Mlowo - Kamsamba road -130.141km 2.5 30.00 50.00 (Itumba - Kamsamba Sect - 25km)

Construction of Mbaka & Mwalisi Bridge along 2No 90.00 110.00 Katumba - Tukuyu road (83km)

Rehab. Matema - Ikombe (5.8km) 2.0 30.00 37.00 Rehab. Katumbasongwe- Njisi (Ipyana - 2.5 40.00 50.00 Katumba Songwe section ) 19.8km

164

Upgrading to DSD of Kikusya - Ipinda - Matema 3.0 220.00 1,500.00 (Kyela-Matema) road -39.5 km.

Upgrading to DSD of Katumba-Lwangwa - 2.5 220.00 1,270.00 Mbambo - Tukuyu road (83km).

Sub - Total - Mbeya 22.50 880.00 3,3 37.00

MANYARA REGION 15 Rehab. Losinyai - Njoro (306km) 2.5 35.00 134.00 Rehab. Kilimapunda - Kidarafa 2.5 35.00 100.00 Start Construction of Magara Bridge along 1No. 75.00 135.00 Mbuyu wa Mjerumani - Mbulu road

Upgrading to DSD KIA - Mererani Road 4.3 2,205.00 - Constr. Concrete slab Along Mbuyu wa 0.5 70.00 86.00 Mjerumani - Mbulu (Rift Valley Section)

Rehab. Arusha/ Manyara boarder - Mbulu road 2.5 30.00 100.00 Rehab. Mbuyu wa Mjerumani - Mbulu 2.5 30.00 100.00 Sub - Total - Manyara 14.80 2,480.00 655.00

165

MARA REGION 16 Rehab. Nyamwaga - Mriba - Itiryo - Kegonda 2.0 30.00 50.00 road Rehab. Muriba - Kegonga 2.0 30.00 50.00 Rehab. Murangi - Bugwema(15km) 2.0 30.00 50.00 Reh. Guta - Kisorya road section (50km) along 2.0 30.00 50.00 Bunda - Kisorya road -64km

Rehab. Manyamanyama - Nyambui (37km) 2.0 30.00 40.00 Feasibility study of Nyamuswa - Bunda - Kisorya 118.5 1,690.00 200.00 (Bunda - Kisorya - Nansio) -118.5km

Rehab.Nyankanga - Rung'abure road (89km) 2.0 30.00 40.00 Rehab of Mugumu - Fort Ikoma(Km 31) 2.0 30.00 40.00 Rehab of Balili-Mugeta-Manchimwelu(Km 57) 2.0 30.00 40.00 Rehab of Tarime -Mugumu(Km 87) 10.0 180.00 200.00 Upgrading to DSD Tarime - Nyamwaga road - 0.5 201.50 25km (Tarime - Nyamigura Sect. ) Otta Seal

Upgrading to DSD of Mika Utegi - Shirati road- 0.5 150.00 183.37 44Km Sub - Total - Mara 145.50 2,260.00 1,144.87

166

MTWARA REGION 17 Rehab. Mnongodi - Mdenganamadi - Kilimahewa 2.5 45.00 60.00 - Michenjele (boarder road) Construction of Lukwamba bridge along 1No 50.00 200.00 Mnongodi -Mdenganamadi - Kilimahewa - Michenjele (boarder road) DD and Rehab. Magamba - Mitema - Upinde 7.0 110.00 140.00 Rd.297km) Rehab. Newala - Mkwiti - Mtama road ( Amkeni - 7.0 110.00 140.00 Mkwiti Section) Rehab. Mangamba - Mnazi bay 3.0 50.00 62.00 Upgrading to DSD Kinorombedo escarpment 0.1 75.00 60.00 along Newala - Mkwiti Road

Rehab of Mbuyuni - Makong'onda - Newala rd 8.0 - 157.00

Upgrading to SDS Kitangali Hill along Mtama- 0.4 150.00 Kinorombedo - Mkwiti road

Sub - Total - Mtwara 27.60 440.00 969.00

167

MWANZA REGION 18 Rehab. Bukongo - Rubya - Bukongo - Masonga 3.0 30.00 70.00 road-60.18km Construction of By- Pass Mwanza Airport - 0.0 70.00 - Kayenze road (17km) Rehab. Nyakato - Bushwelu - Mhonze road 18km 4.0 80.00 Upgrading to DSD Mwanza Urban roads 0.3 125.00 200.00 Rehab of Bukwimba-Kadashi-Maligisu 3.0 30.00 60.00 FS & DD and Rehab. of 5km Mwanangwa - 49.7 150.00 200.00 Misasi - Salawe (49.7km)

Rehab. Ngudu - Nyamilama - Hungumalwa 2.0 35.00 60.00 (26km) Rehab of Misasi Jct - Ihelele (57km) to Mza - 4.5 35.00 90.00 Shy Water project Sub - Total - Mwanza 66.50 475.00 760.00 RUKWA REGION 19 Rehabilitation Kasansa - Mamba - Muze (32Km) 2.0 40.00 60.00 Rehab. Laela - Mwimbi - Kizombwe-92.14Km 2.0 40.00 60.00 Rehab. of Kalepula Junction - Mambwenkoswe- 2.0 40.00 60.00 59.9km

168

Rehab Nkundi - Kate - Namanyere-74.14Km 2.0 40.00 60.00 Rehab Kaengesa - Mwimbi (51.11Km) 2.0 40.00 60.00 DD Mtowisa - Ilemba for Realignment and 2.5 70.00 86.00

Construction of wash out section (61.37 Km)

Construction of Momba Bridge along Stalike - 1No 180.00 294.00 Kilyamatundu - Kamsamba Mby/Rukwa Boarder

Construction of Sakalilo bridge along Mtowisa - 1No 150.00 Ilemba road Sub - Total - Rukwa 12.50 450.00 830.00 RUVUMA REGION 20 Construction of Box Culverts at Londo and its 1No. 70.00 80.00 Approach Roads (Lumecha - Kitanda - Londo Rd) Upgrading to Ottta Seal.Unyoni - Kipapa - 1.0 30.00 190.00 Chamani-Mkoha (Mawono Escarpment) 15km

Rehab of Wino - Ifinga road 10km 3.0 50.00 60.00 Rehab. Lumecha - Kitanda - Londo road (Kitanda 3.0 50.00 60.00 - Londo Section.) Ruvuma/ Morogoro Boarder 10km Upgrading Hanga - Kitanda (Mhangazi sect.) ( 1.0 150.00 193.00 Otta Seal)

169

Upgrading to otta seal Mbinga - Mbuji - Litembo - 1.1 160.00 190.00 Mkili road (Myangayanga escarpment.

Rehab. Nangombo - Chiwindi road (Ng'ombo - 3.0 50.00 60.00 Chiwindi Sect ) Rehab. of Songea (Likuyufusi) - Mitomoni road 3.0 50.00 60.00 Rehab. and Realignment chainage 50+000 - 2.5 40.00 50.00 75+000 along Mbababay - Lituhi road

Rehab. Liuli - Lituhi Road 2.5 40.00 50.00 Upgrading of Lumecha - Kitanda - Londo Road 0.5 70.00 80.00 (Hanga Section) to Otta Seal

Opening up of Kingosera -Kilindi - Hinga (Kilindi 20.0 90.00 Hinga Sect) DD and Construction of Box Culvert at Mbesa 1No 30.00 150.00 along Tunduru - Nalasi road

FS&DD of Kitai - Lituhi - Ndumbi (New Port) rd 120.0 - 170.00

Sub - Total - Ruvuma 160.60 790.00 1,483.00

170

SIMIYU REGION 21 Rehab. Sola - Bushashi - Sakasaka 78.31 km 10.0 50.00 220.00 road Construction of Gamaloha Bridge 0.0 330.00 - Construction of Bukingwaminzi Bridge 0.0 290.00 - Rehab of Bariadi-Budalabujiga-Gambasingu 7.5 70.00 150.00 Bariadi/Meatu Boarder(Km 40)

Rehab of Lugulu-Kadoto-Malya (56.92 km) 4.5 70.00 100.00 Rehab. Bariadi - Kasoli - Salama (49.01 km) 4.5 70.00 100.00 Construction of 4Nos Box Culverts along 4No. 130.00 160.00 Mwanuzi - Sibiti (54.73 km) road

Rehab Sisiyu - Maligisu road (18.48 km) 7.5 150.00

Rehab Mwandete - Mwamanoni road (50.88 km) 7.5 150.00 Rehab Malya - Malampaka - Ikungu road (31.34 7.5 158.00 km) Rehab. Maswa - Lalago 34km 12.0 250.00 Sub - Total Simiyu 26.50 1,010.00 1,438.00

171

SINGIDA REGION 22 Rehab.Manyoni - Ikasi - Chaligongo 4.0 60.00 80.00 Rehab.Ulemo - Gumanga - Sibiti 3.0 40.00 80.00 Rehab. Senkenke - Shelui 4.0 60.00 80.00 Rehab.Ikungi - Kilimatinde 3.0 40.00 60.00

Rehab. Iguguno - Nduguti - Gumanga 70km 4.0 60.00 80.00 Rehab. Ulemo - Gumanga - Chemchem - Sibiti 3.0 40.00 70.00 (Chemchem - Sibiti sect) Rehab.Mkalama - Mwangaza -Kidarafa road 4.0 60.00 80.00

Rehab. Kititimo - Kinyamshindo road 7.0 70.00 140.00 Rehab. Kisaga - Sepuka - Mlandala (Sepuka - 4.0 60.00 80.00 Mlandala Sect.) Sub - Total - Singida 36.00 490.00 750.00 SHINYANGA REGION 23 Rehab Kahama - Chambo road (Km 45) 7.5 110.00 180.00 Upgrading to DSD Kahama township roads 0.5 220.00 290.00 (5.5km) Rehab. Old Shinyanga - Salawe road 9.0 110.00 176.00 Rehab. Nyandekwa - Uyogo - Sunga 60km 7.5 160.00 Sub - Total - Shinyanga 24.50 440.00 806.00

172

TABORA REGION 24 Rehab Puge - Ziba 5.0 45.00 100.00 Rehab. Usagali - Fuluma - Ndono road (38km) 5.0 45.00 100.00 FS & DD for a Bridge along Lusu - Nzega road 0.0 45.00 - Rehab. Kaliua - Uyowa - Makazi road 5.0 45.00 100.00 Rehab. Mambali - Bukene 5.0 45.00 100.00 Rehab. Ibologero - Igurubi (Regravelling and 1 0.0 140.00 - Bridge) Rehab. Sikonge - Usoke road (Tutuo - Usoke) 5.0 45.00 100.00

Opening up of Tura - Iyumbu (upgraded rd) 4.0 40.00 100.00

Rehab. Sikonge - Mibono - Kipili - 165km 9.0 180.00 Sub - Total - Tabora 38.00 450.00 780.00 TANGA REGION 25 Rehab. Lushoto - Mlalo 2.5 40.00 60.00

Upgrading to DSD Mombo -Lushoto - Magamba 0.3 120.00 199.00 road(Lushoto - Magamba Sect. Km 5.1)

Rehab of Mbuyuni-Kasera(Mkinga districts)-Km 9 3.0 45.00 70.00 Rehab. Handeni – Kiberashi - Songe 3.0 45.00 60.00

173

Rehab of Songe-Vyadigwa-Mziha road(Km 103) 3.5 60.00 75.00 (Kwaluguru - Songe)

Rehab. Kwekivu - Kwalugalu Road (Kwekivu - 2.5 40.00 60.00 Iyogwe) FS and DD of Muheza - Amani road 0.0 40.00 - Resealing of Tanga - Pangani rd (Mabanda ya 0.2 70.00 70.00 Papa - Boza jctn) Upgrading of Muheza - Amani to DSD 1.0 500.00 Sub - Total - Tanga 16.00 460.00 1,094.00

WORKS/TANROADS 1,668.30 19,925.00 30,236.27 26 Consultancy Services for Identification and 0.00 500.00 classification of Urban Roads.

ERB - SEAP Programme 0.00 500.00 27 MONITORING (MoW) 485.00 679.000 28 TOTAL CONSOLIDATED 1,668.30 20,410.000 31,915.270

& 17 Bridges

174

KIAMBATISHO NA. 3

MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA BARABARA KWA MWAKA 2013/14

Kasma Jina la Mradi Urefu/K Makadirio ya Bajeti kwa m Mwaka 2013/2014 Miradi ya Barabara 2326 Bagamoyo - Saadani - Tanga ( FS & DD) 178 50,000,000.00 2326 Sumbawanga - Matai - Kasanga Port/Matai-Kasesya 50 100,000,000.00 Border(DD) 2326 Training & Technical Assistance TANROADS 300,000,000.00 2326 Ifakara - Mahenge (FS & DD) 67 200,000,000.00 2326 Kibondo - Mabamba (FS & D D) 35 200,000,000.00 2326 Mpemba - Isongole (Tanzania/ Malawi) (FS & DD) 49 200,000,000.00 2326 Omugakorongo - Kigarama - Murongo (FS & DD) 105 400,000,000.00 2326 Review and preparation of Standards and 300,000,000.00 Specifications 2326 Kyaka - Bug ene - Kasulo/Benako -Bugene - Kasulo 124 400,000,000.00 Section (FS & DD) 2326 Handeni-Kiberashi- Kijungu - Kibaya - Njoro - 460 900,000,000.00 Olboloti - Mrijo Chini - Dalai - Bicha - Chambalo - Chemba - Kwa Mtoro - Singida (FS & DD) 2326 Upgrading to DSD Mbezi – Malambamawili – 17 1,000,000,000.00 Kinyerezi road.

175

2326 New Wami Bridge (FS&DD) 1No. 300,000,000.00 2326 Kidatu - Ifakara - Lupilo - Malinyi - Londo - 396 50,000,000.00 Lumecha/Songea (FS & DD) 2326 Road Flyovers Compensation for TAZARA an d Ubungo 1No. 100,000,000.00 2326 Mtwara - Newala - Masasi Including Mwiti Bridge (FS & DD) 209 600,000,000.00 2326 Kolandoto - Lalago - Mwanhuzi - Matala - Oldeani Junction 328 500,000,000.00 (FS & DD) 2326 Environmental Impact Assesment (EIA) Rusumo Bridge in 1No. 50,000,000.00 Kagera Region 2326 Central Materials Laboratory (CML) 1No. 500,000,000.00 2326 Preparation of Strategic Plan - TANROADS 100,000,000.00 2326 Monitoring and Evaluation of Strategic Plan, Development M&E 400,000,000.00 & Maintenance Projects – TANROADS 2326 Monitoring and Other Related Activities (MOW) 860,000,000.00 2326 Mwanangwa - Misasi - Salawe - Kahama (FS & DD) 149 500,000,000.00 2326 Itoni - Ludewa - Manda (FS & DD) 211 346,610,000.00 2326 Arusha-Kibaya-Kongwa (FS & DD) 430 500,000,000.00 2326 Provision of Escape Ramps for Long Steep Grades and 270,000,000.00 Climbing Lanes along Major Trunk Roads - FS & DD Jumla ndogo 9,126,610,000.00 Barabara za Mikoa 20,192,695,800.00 Miradi ya Vivuko

176

2326 Procurement of New ferry for Kahunda-Maisome 787,950,000.00

2326 Procurement of New ferry for Itungi Port 906,270,000.00 2326 Procurement of ferry spare parts 900,000,000.00 2326 Procurement of Rescue boat for Ukerewe ferries (Rugezi- 469,510,000.00 Kisorya and Buolora-Ukara).

2326 Monitoring, Evaluation and Other Related Activities 100,000,000.00 Jumla Ndogo 3,163,730,000.00 Road Related Activities 2326 Support to Roads Monitoring and Evaluation activities, 202,870,000.00 Preparation of Roads Sector Performance Indicators and Roads Sector statistics 2326 Participation in East African Cooperation Road Network 185,000,000.00 meetings, SADC Roads Related Programmes, COMESA-EAC- SADC Tripartite Free Trade Area and Sub Saharan Africa Transport Policy – SSATP meetings 2326 Co-ordination of Corridor Development Issues (Mtwara, 150,000,000.00 Central and Dar es Salaam Corridors)

2326 Co-ordination of Ministry’s Budget and Action Plan 370,000,000.00 Preparations and Roads Sector Concept Papers and Write- ups. 2326 Preparations of Roads Act Regulations 40,000,000.00

177

2326 Preparations of Audit Reports for Roads Fund Accounts, 107,500,000.00 Roads Fund Operational Plans and Roads Fund Progress Reports 2326 Contribution to Roads Associations and Participation in 70,000,000.00 Roads and Transport Professional Bodies Meetings 2326 Facilitation to Technology Transfer Center (T2 Centre ) 100,000,000.00 2326 Expenses on television broadcasting on implementation of 100,000,000.00 roads, bridges and ferries projects and advertisement of Ministry’s Budget Speech Jumla Ndogo 1,325,370,000.00 Usalama Barabarani na Mazingira 2326 EAC Vehicle Load Control Bill 2012 and conduct optimal 300,000,000.00 number of weighbridges 2326 Purchasing and installation of CCTV cameras to 26 200,000,000.00 weighbridge stations 2326 Construct Prototype resting station 200,000,000.00 2326 Support to Environmental Management in the Road Sector 132,000,000.00 2326 Skills development on road safety profession 50,000,000.00 2326 Promote through pilot projects and conduct training for 200,000,000.00 weigh in motion weighbridges and road damage control sensors 2326 Monitoring and evaluation of Road and vehicle Safety 58,000,000.00 Jumla Ndogo 1,140,000,000.00 JUMLA KUU 34,948,405,800.00

178

KIAMBATISHO NA.4

MCHANGANUO WA BARABARA ZA MIKOA INAYOTEKELEZWA KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA BARABARA 2013/14

TARGET (in APPROVED BUDGET km / No of BUDGET ESTIMATES bridges) S/N PROJECT NAME 2012/13 in Tsh 2013/14 in Tsh. 2013/14 mio Mio

Local Local

REGIONAL ROADS

1 ARUSHA REGION Rehab. Longido - Kitumbeine - Lengai 10.5 200.00 210.00 (Kitumbeine - Lengai Sect.) km 102.4 Rehab. KIA - Majengo along KIA - Mererani 7.5 150.00 150.00 road km 25 Rehab. Tengeru Jct - Cairo 7.0 140.00 Sub - total Arusha 25.0 350.00 500.00

2 COAST REGION Rehab. Kisarawe - Masaki - Msanga - Chole - 5.0 100.00 100.00 Vikumburu Road Rehab. Kiparang'anda-Nyamalile-Kibululu- 2.5 60.00 50.00 Magonza Road Purchase of Excavator/Roller/back hoe for 0.0 70.00 - Mafia roads

179

FS & DD Mlandizi - Mweneromango road 137.0 90.00 120.00 Upgrading of TAMCO - Vikawe - Mapinga to 0.7 65.00 310.00 DSD (24km) Rehab of Ikwiriri - Mloka - Vikumburu 4.0 75.00 80.00 Rehab. Utete - Nyamwage (km 32) 2.0 40.00 Sub- total Coast 151.2 460.00 700.00 3 DAR ES SALAAM REGION

Rehab. Uhuru Road -1km 0.4 550.00 340.00

Upgrading Chanika - Mbande road DSD 0.3 120.00 130.00

29.6km Upgrading to DSD Feri - Tungi Kibada road 0.3 120.00 130.00 Upgrading of Mzinga - Way to DSD 0.0 120.00 - Upgrading Boko - Mbweni road to DSD (6.9km) 0.5 290.00 220.00

Sub- total Dar es Salaam 1.5 1,200.00 820.00

4 DODOMA REGION Rehab. Izava - Dosidosi road (15km) 5.0 120.00 100.00 Upgrading of Mbande-Kongwa Junction- 0.1 110.00 200.00 Mpwapwa(50Km) to Paved standard 1N0 200.00 200.00 Start Construction of Gulwe Bridge along Mpwapwa - Gulwe - Kibakwe - Chipogoro road Sub - Total Dodoma 5.1 430.00 500 .00

180

5 GEITA REGION Rehab. Chibingo - Bukondo road - 37km 4.0 100.00 80.00 Rehab. of Geita - Nkome - Mchangani-13km 4.0 80.00 80.00 Rehab. of Geita - Nyarugusu - Bukoli-52.85km 4.5 80.00 90.00 0.0 110.00 - Design and Construction of Bugoyo Bridge along Ngw'amhaya-Itongoitale road Upgrading to DSD Chato-Mkuyuni- 1.0 70.00 350.00 Rubambangwe Rehab. Muganza-Kasenda 4.0 70.00 80.00 Rehab. Kibehe-Kikumbaitale 4.0 100.00 80.00 DSD Upgrading.Geita Township roads 0.7 300.00 Rehab.Chato Ginnery - Bwina 5km 2.5 0.00 50.00 Sub - Total - Geita 24.7 610.00 1,110.00 6 IRINGA REGION

FS and DD Iringa - Msembe road 104.0 65.00 60.00

FS & DD Izazi - Mbolimboli - Pawaga - Mlowa 0.0 70.00 - road(83km) FS & DD Nyololo-Igowole-Kibao km 40.4 40.4 65.00 70.00 DSD Iringa -Msembe (Kalenga Jnct-Ipamba 0.5 230.00 Hospital) Rehab. Nyololo - Kibao km 40.4 4.5 100.00 90.00 Rehab. Ilula - Kilolo km 87.6 6.0 130.00 120.00 155.4 430.00 570.00 Sub - Total - Iringa

181

7 KAGERA REGION Rehab. Kajai -Swap along Katoma - Bukwali 2.0 180.00 200.00 road (9km) Rehab. Muhutwe - Kamachumu - Muleba road 15.0 170.00 300.00 Km 53.2 Sub - Total - Kagera 17.0 350.00 500.00 8 KATAVI REGION Rehab. Mamba - Kasansa(18Km) 5.0 100.00 110.00 Rehab. Mpanda - Ugala road(74Km) 6.0 100.00 120.00 Rehab. Mnyamasi - Ugallla km 29.2 6.0 95.00 120.00 7.0 145.00 150.00 Rehab. Inyonga - Majimoto (135km) Sub - Total - Katavi 24.0 440.00 500.00 9 KIGOMA REGION Construction of Kangwena bridge along Simbo 1No 275.00 210.00 - Ilagala - Kalya road Construction of 9 bridges along Simbo - Ilagala 9Nos 100.00 340.00 - Kalya road Rehab. Kakonko - Nyaronga - Ngara Boarder 6.0 125.00 120.00 Sub - Total - Kigoma 6.0 500.00 670.00

182

10 KILIMANJARO REGION Const. of Kikuletwa Bridge along TPC Road 1No 100.00 120.00

Rehab of Mwembe - Myamba - Ndungu 7.0 110.00 150.00 Upgrading of Same - Kisiwani - Mkomazi incl 1.5 380.00 700.00 Mamba bridge Sub - Total - Kilimanjaro 8.5 590.00 970.00

11 LINDI REGION Mbwemkuru - Nanjilinji - Kiranjeranje (134km) 5.0 110.00 110.00 Rehab. Nangurukuru - Liwale road 6.0 150.00 120.00 Rehab. Nachingwea - Masasi road 5.0 0.00 110.00 110.00 - Upgrading of Kinolombedo escarpment to DSD along Makao - Mtama road Sectn Upgrading to DSD Ruangwa township roads 1.7 700.00 DD Lukuledi Bridge along Luchelegwa - 1NO 50.00 Ndanda road Sub - Total - Lindi 17.7 370.00 1,090.00 12 MANYARA REGION Construction of Babati - Orkesumet/Kibaya 7.0 130.00 140.00 New Acess Rd- 250km Rehab Kibaya - Kibereshi road 92 km 4.5 80.00 90.00 4.5 80.00 90.00 Rehab. Nangwa - Gisambang - Kondoa Brd.

183

Rehab Mogitu - Haydom 68 Km 4.5 80.00 90.00 Rehab. Magara Escarpment (concrete 1.0 270.00 270.00 pavement) Sub - Total - Manyara 21.5 640.00 680.00 MARA REGION Rehab. Musoma - Makojo road(7km) 4.5 80.00 90.00 Rehab. Balili - Mgeta - Manchimweli - Rimwani 4.5 80.00 90.00 road(57km) 13 0.3 110.00 120.00 Upgrading to DSD Bunda - Kisorya - Nansio road (Nansio - Kisorya sect.) -118.5km Upgrading to DSD Mika - Utegi - Shirati road 0.3 130.00 140.00 (60km) 0.9 240.00 410.00 Upgrading to DSD Tarime - Nyamwaga road - 25km (Tarime - Nyamigura Sect. ) Otta Seal

Rehab Makutano ya Kinesi - Kinesi (11km) 3.0 50.00

5.0 90.00 100.00 Rehab Nyamwigura-Gwitiryo Sub - Total - Mara 18.5 730.00 1,000.00 14 MBEYA REGION Rehab. of Gagula - Namkukwe road (57km) 3.0 65.00 70.00 Construction of 3 No. structures Rehab. Mbalizi - Shigamba - Isongole (Ibaba - 6.0 110.00 120.00 Shigamba Sect 9km road Upgrading to DSD Igawa - Rujewa - Ubaruku 0.3 150.00 160.00

184

Construction of Mbalizi - Makongorosi ( Mbalizi 0.4 150.00 180.00 - Utengule 8km) Otta Seal Rehab. Ilongo - Usangu road( 36.846km) 4.0 70.00 80.00 Raising Embakment Msangano - Tindingoma 4.0 60.00 70.00 (6km section) road 0.0 200.00 - Upgrading to DSD of Kikusya - Ipinda - Matema (Kyela -Matema) road -39.5 km. Sub - Total - Mbeya 17.7 805.00 680.00 15 MOROGORO REGION Rehab. Mahenge - Mwaya-Ilonga road ( 40km) 2.5 50.00 60.00 0.5 180.00 180.00 Upgrading "Mlima Simba hills 6km" (Otta Seal) along Mahenge - Mwaya Road Rehab Ifakara - Taweta-Madeke road (246km) 3.5 70.00 80.00

Feasibility study and Preliminary Engineering 1No 80.00 80.00 Design for Duthumi II bridge. Rehab. Gairo-Nongwe (74km) 15.0 700.00 300.00 Upgrading of Mahenge township roads 0.8 400.00 Sub - Total - Morogoro 22.23 1,080.00 1,100

185

16 Upgrading to DSD Newala Township Roads 1.0 460.00 340.00 (5km) Rehab.Tandahimba - Litehu Mkwiti Road 5.0 90.00 100.00 DD of Mwiti bridge along Mtwara -Newala - 0.0 90.00 - Masasi road (209km) Constructioin of Lukwamba Bridge 1No 190.00 200.00 Upgrading to DSD Kinorombedo escarpment 0.5 120.00 along Newala - Mwiti road Sub - Total - Mtwara 6.5 830.00 760.00 17 MWANZA REGION Rehab. Kayanze - Nyanguge road -20.24km 4.0 80.00 80.00 Rehab. Kabaganga Ferry - Mugogo - 3.5 80.00 80.00 Nyakabanga (5km) Rehab. Magu - Bukwimba Ngudu - Jojiro road 4.0 80.00 80.00 (64km) Rehab. of Lumaji - Nyanshana (14km) 4.0 80.00 80.00 Construction of Sukuma (Simiyu II) bridge 1No. 90.00 100.00 along Magu - Mahaha road Rehab Inonelwa - Kawekamo-(29km) 4.0 90.00 80.00

186

Rehab Mwamhaya - Itongoitale-(51km) 3.5 70.00 70.00 Rehab.Nyambiti - Fulo road-(46.97km) 3.5 70.00 80.00 Rehab. Mwanangwa-Misasi-Buhingo-Ihelele 4.0 110.00 80.00 Purchase of Motor Grader for Ukerewe roads 1No 300.00 Sub - Total - Mwanza 30.5 750.00 1,030.00 18 NJOMBE REGION Rehab. Ndulamo - Nkenja - Kitulo - Mfumbi 5.0 100.00 100.00 95km Rehab Njombe - Ndulamo - Makete (109.4) 5.0 90.00 100.00 FS & DD of Kibena - Lupembe - Mfuji 125.0 150.00 140.00 (Moro/Iringa Brd) 125.2km FS & DD of Njombe - Iyayi 74km 74.0 100.00 240.00 Rehab of Ikonda - Lupila - Mlangali Rd (Lupila - 5.0 110.00 110.00 Mlangali section) Upgrading to DSD Igwachanya township roads 1.0 400.00 Sub - Total - Njombe 215.0 550.00 1,090.00 19 RUKWA REGION Rehab. Ntendo - Muze (39km) Kizungu hill 6.0 120.00 120.00 section to DSD Rehab. Kasansa - Muze (32Km) 6.0 100.00 120.00 Rehab. Miangalua - Kipeta road (Miangalua - 7.5 90.00 150.00 Chombe Section :19km) Rehab Kalambanzite - Ilemba road 5.5 90.00 110.00 Sub - Total - Rukwa 25.0 400.00 500.00

187

20 RUVUMA REGION 3.5 60.00 70.00 Rehab. Azimio - Lukumbule-Tulingane (Lukumbule-Tulingane section 16.3km) road Rehab.of Lilondo Quarry Plants. set 60.00 50.00 Opening up Londo - Kilosa Kwa Mpepo road 15.0 110.00 150.00 Section (40km) F.S and DD of Songea - Mitomoni - Mkenda 124.0 65.00 80.00 road (124km) Rehab. Chamani - Matuta - Mango - Kihagara 3.0 65.00 60.00 road 10km Upgrading to DSD Kilimo Mseto - Makambi 0.2 110.00 200.00 road (2km) Upgrading to Otta Seal Hilly setions along 0.5 90.00 100.00 Mtwara Pachani - Mkongo - Sasawala - Nalasi road 232km - (2km long streach) Construction of Londo bridge approach road - 0.5 110.00 100.00 Otta Seal ( 1km ) along Kitanda - Londo (Ruvuma/ Morogoro Brd) Rehab of Kitai - Lituhi 4.0 70.00 80.00 Rehab. Matimira - Mkongo (11.8km) 4.0 110.00 80.00 Rehab. Mpitimbi - Ndongosi - Nambendo 4.0 110.00 90.00 (63km) Upgrading to Ottta Seal.Unyoni - Kipapa - 0.8 200.00 Chamani-Mkoha (Mawono Escarpment) 15km Sub - Total - Ruvuma 159.5 960.00 1,260.00

188

21 SHINYANGA REGION Upgrading to DSD Shinyanga - Old Shinyanga 0.9 160.00 400.00 road Constr. Of Vented Drift along . Isagenye - 1No 120.00 340.00 Budekwa - Mabaraturu road Kahama - Bulige - Mwakitolyo - Solwa 2.5 80.00 50.00 Rehab. Nyandekwa - Uyogo - Mwande 3.0 80.00 80.00 (Shy/Tbr brd) Rehab. Nyandekwa -Butigu road (20 km) 2.5 50.00 Sub - Total - Shinyanga 8.9 440.00 920.00 22 SIMIYU REGION Rehab. Luguru - Kadoto - Malya road 7.5 75.00 150.00 Rehab. Maswa - Kadoto - Shishiyu - Jija - 7.5 75.00 150.00 Maligisu road Rehab. Mkoma - Makao road 10.0 70.00 200.00 Construction of Gamaloha Bridge 0.0 380.00 - Sub - Total - Simiyu 25.0 600.00 500.00 23 SINGIDA REGION Rehab. Soweto(Kiomboi)-Kisiriri-Chemchem 9.0 150.00 180.00 Rehab. Mkalama-Mwangeza-Kidarafa 8.5 135.00 170.00

189

Construction of Msosi Box culvert and 1No. 105.00 150.00 approaches along Iyumbu (Tabora brd) - Mgungira - Mtunduru - Magereza rd Sub - Total - Singida 17.5 390.00 500.00 24 TABORA REGION Rehab. Tutuo - Izimbili - Usoke (70km) 7.5 120.00 150.00 Rehab. Nzega - Itobo - Bukooba (54.5km) 8.5 120.00 170.00 Rehab. Sikonge - Mibono - Kipili road 9.0 115.00 180.00 Sub - Total - Tabora 25.0 355.00 500.00 25 TANGA REGION Rehab Mlalo - Mng'aro road (25km) 4.5 125.00 90.00 Rehab.Muheza - Maramba (41km) 4.5 120.00 90.00 Rehab Mbaramo - Misozwe - Maramba - 4.5 70.00 80.00 Kasera road (90km) Rehab of Magamba - Mlola Km 35.7 4.5 70.00 90.00 FS & DD of Amani - Muheza 34km 34.0 150.00 Sub - Total - Tanga 52.0 385.00 500.00

190

MoW ( Monitoring and Road Related 0.0 500.00 700.00 Activities Including Purchase of one (1 ) 26 Vehicle for Monitoring) 0.0 120.00 27 Road Classification Activities

28 SPECIFIC ROAD RELATED PROJECTS: ATTI (Taking Labour Based Technology to 0.0 140.00 160.00 Scale) MWTI 0.0 160.00 180.00 WPU 0.0 79.90 82.696 TOTAL ROAD FUND 1,081.00 15,524.90 20,192.6958 18 bridges

191

KIAMBATISHO 5 (A) – (E)

MPANGO WA MATENGENEZO YA BARABARA 2013/14

192

KIAMBATISHO 5

MUHTASARI WA MPANGO WA MATENGENEZO YA BARABARA KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA BARABARA MWAKA 2013/14 (i) Barabara za Kuu

S/NO MAINTENANCE ACTIVITY ANNUAL PLAN PHYSICAL FINANCIAL (Tshs. mio.) UNIT QTY ROAD FUND FOREIGN TOTAL 1.0 Routine & Recurrent - Paved km 5,798.11 15,301.389 - 15,301.389 Routine & Recurrent - 2.0 km 4,386.73 8,989.651 - 8,989.651 Unpaved Periodic Maintenance - 3.0 km 258.80 49,576.594 - 49,576.594 Paved Periodic Maintenance - 4.0 km 741.59 15,042.745 - 15,042.745 Unpaved 5.0 Spot Improvement - Paved km 26.20 2,866.202 - 2,866.202 6.0 Spot Improvement - Unpaved km 65.44 1,348.720 - 1,348.720 7.0 Bridges Preventive Mtce Nos. 1,187 1,482.187 - 1,482.187 8.0 Bridges Major Repairs Nos. 85 6,708.226 - 6,708.226 SUB-TOTAL Routine & Km 10,184.84 24,291.040 - 24,291.040 Recurrent SUB-TOTAL Periodic & Spot Km 1,092.03 68,834.261 - 68,834.261 Maintenance SUB -TOTAL Bridges Nos. 1,272 8,190.413 - 8,190.413 TOTAL TRUNK ROAD BUDGET 101,315.714 - 101,315.714

193

(ii) Barabara za Mkoa ANNUAL PLAN S/NO MAINTENANCE ACTIVITY PHYSICAL FINANCIAL (Tshs. mio.) UNIT QTY ROAD FUND FOREIGN TOTAL 1.0 Routine & Recurrent - Pav ed km 972.63 2,530.780 - 2,530.780 Routine & Recurrent - 2.0 km 19,498.59 30,997.055 - 30,997.055 Unpaved Periodic Maintenance - 3.0 km 131.82 36,654.144 - 36,654.144 Paved Periodic Maintenance - 4.0 km 2,888.64 53,348.012 - 53,348.012 Unpaved 5.0 Spot Improvement - Paved km 5.18 939.030 - 939.030 6.0 Spot Improvement - Unpaved km 992.23 16,279.015 - 16,279.015 7.0 Bridges Preventive Mtce Nos. 1,141 1,674.975 - 1,674.975 8.0 Bridges Major Repairs Nos. 164 19,680.550 - 19,680.550 SUB -TOTAL Routine & km 20,471.22 33,527.835 - 33,527.835 Recurrent SUB-TOTAL Periodic & Spot km 4,017.87 107,220.200 - 107,220.200 Maintenance SUB-TOTAL Bridges Nos. 1,305 21,355.525 - 21,355.525 TOTAL REGIONAL ROAD BUDGET 162,103.560 - 162,103.560

GRAND TOTAL Routine & km 30,656.06 TRUNK & Recurrent 263,419.274 - 263,419.274 REGIONAL Periodic & Spot km 5,109.90 ROADS(Works) Bridges Bridges 2,577

194

(iii) Dharura na Tahadhari 1.0 Emergency & Urgent Works 6,871.541 - 6,871.541

(iv) Mradi wa PMMR Works & Supervision 1.0 km 273.0 2,324.837 - 2,324.837 Consultancy

(v) Matengenezo, Ukarabati na Ujenzi wa Mizani Improvements & Major 1.0 1,200.000 - 1,200.000 Repairs Installation of missing 2.0 2,300.000 - 2,300.000 W/bridge SUB-TOTAL 3,500.000 - 3,500.000

(vi) HQ BASED MAINTENANCE ACTIVITIES 1.0 RMMS Systems 680.000 - 680.000 2.0 Road Data Collection 720.000 - 720.000 Bridge Management 3.0 400.000 - 400.000 System 4.0 Road Safety 1,870.000 - 1,870.000 5.0 Road Act Enforcement 800.000 - 800.000 SUB-TOTAL 4,470.000 - 4,470.000

195

(vii) ADMINISTRATION AND SUPERVISION (Non Works) 1.0 Administration Cost 10,650.000 - 10,650.000 2.0 Supervision Cost 13,500.000 - 13,500.000 SUB -TOTAL 24,150.000 - 24,150.000

(viii) WEIGHBRIDGE OPERATIONS (Non Works) Weighbridge 1.0 9,800.000 - 9,800.000 Operations SUB-TOTAL 9,800.000 - 9,800.000 TOTAL ROADS FUND BUDGET 314,535.652 - 314,535.652

196

KIAMBATISHO NA. 5(A - 1)

MATENGENEZO YA KAWAIDA KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA BARABARA MWAKA 2013/14 BARABARA KUU

(a) Barabara Kuu za Lami Estimated Expenditure in Tshs mio. Target (km) FY 2013/14 Mkoa Roads Fund Foreign Total Estimate Arusha 253.05 909.997 - 909.997 Coast 396.29 1,021.449 - 1,021.449 Dar es Salaam 86.70 470.997 - 470.997 Dodoma 200.52 388.080 - 388.080 Geita 201.83 319.067 - 319.067 Iringa 270.00 909.995 - 909.995 Kagera 282.36 677.110 - 677.110 Katavi 1.30 5.620 - 5.620 Kigoma 172.58 391.764 - 391.764 Kilimanjaro 223.60 651.798 - 651.798 Lindi 335.48 546.834 - 546.834 Manyara 173.91 238.786 - 238.786 Mara 185.20 720.982 - 720.982 Mbeya 357.28 1,138.249 - 1,138.249 Morogoro 445.13 1,393.772 - 1,393.772 Mtwara 170.27 499.355 - 499.355 Mwanza 230.92 515.138 - 515.138 Njombe 194.06 493.320 493.320 Rukwa 242.68 439.936 - 439.936 Ruvuma 385.95 912.872 - 912.872 Shinyanga 209.20 526.131 - 526.131 Simiyu 66.72 249.979 249.979 Singida 340.60 874.900 - 874.900 Tabora 145.27 325.998 - 325.998 Tanga 227.21 679.260 - 679.260 Sub -Total 5,798.11 15,301.389 - 15,301.389 197

(b) Barabara za Kuu za Changarawe/Udongo

Estimated Expenditure in Tshs mio. Target (km) FY 2013/14 Mkoa Roads Fund Foreign Total Estimate Arusha 125.62 74.981 - 74.981 Coast 3.00 5.790 - 5.790 Dar es Salaam 22.00 22.000 - 22.000 Dodoma 186.91 542.450 - 542.450 Iringa 66.40 168.347 - 168.347 Kagera 208.79 374.840 - 374.840 Katavi 327.80 869.000 869.000 Kigoma 641.49 1,422.140 - 1,422.140 Manyara 31.04 57.546 - 57.546 Mara 261.55 444.996 - 444.996 Mbeya 278.43 589.986 - 589.986 Morogoro 317.70 596.455 - 596.455 Njombe 209.00 353.134 353.134 Rukwa 203.00 424.650 - 424.650 Ruvuma 470.64 776.299 - 776.299 Shinyanga 69.13 168.373 - 168.373 Simiyu 196.09 418.978 418.978 Singida 224.40 504.486 - 504.486 Tabora 543.74 1,175.200 - 1,175.200 Sub -Total 4,386.73 8,989.651 - 8,989.651 Total Trunk Roads Routine/Recurrent Maintenance (TShs. Mio.) Target Roads Fund Foreign Total 10,184.84 24,291.040 - 24,291.040

198

KIAMBATISHO NA. 5(A - 2)

MATENGENEZO YA KAWAIDA KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA BARABARA KWA MWAKA 2013/14

BARABARA ZA MIKOA

(a) Barabara za Mikoa za Lami Estimated Expenditure in Tshs mio. Target (km) FY 2013/14 Roads Fund Foreign Total Estimate Arusha 33.00 51.000 - 51.000 Coast 18.10 22.999 - 22.999 Dar es Salaam 171.85 628.668 - 628.668 Dodoma 12.95 32.730 - 32.730 Geita 72.00 197.629 - 197.629 Iringa 20.40 132.436 - 132.436 Kagera 68.58 89.550 - 89.550 Kilimanjaro 131.02 350.817 - 350.817 Lindi 37.49 43.750 - 43.750 Manyara 10.62 26.597 - 26.597 Mara 44.10 234.994 - 234.994 Mbeya 28.44 72.768 - 72.768 Morogoro 52.95 223.361 - 223.361 Mtwara 50.40 86.309 - 86.309 Mwanza 15.5 4 33.120 33.120 Njombe 12.50 23.805 23.805 Rukwa 5.00 12.50 - 12.500 Ruvuma 12.27 45.960 - 45.960 Shinyanga 13.57 41.817 - 41.817 Singida 27.20 24.549 - 24.549 Tabora 6.30 11.997 - 11.997 Tanga 128.35 143.424 - 143.424 Sub -Total 972.63 2,530.780 - 2,530.780

199

(b) Barabara za Mikoa za Changarawe/Udongo Estimated Expenditure in Tshs mio. Target (km) FY 2013/14 Roads Fund Foreign Total Estimate Arusha 439.80 898.181 - 898.181 Coast 879.90 1,027.999 - 1,027.999 Dar es Salaam 226.40 410.594 - 410.594 Dodoma 1,113.18 1,659.970 - 1,659.970 Geita 373.62 689.740 689.740 Iringa 639.40 1,230.166 - 1,230.166 Kagera 864.28 1,258.000 - 1,258.000 Katavi 465.46 674.087 674.087 Kigoma 414.85 1,343.780 - 1,343.780 Kilimanjaro 541.01 778.607 - 778.607 Lindi 905.35 1,425.688 - 1,425.688 Manyara 1,437.33 1,682.650 - 1,682.650 Mara 896.12 1,914.405 - 1,914.405 Mbeya 1,414.99 1,548.552 - 1,548.552 Morogoro 988.36 1,489.287 - 1,489.287 Mtwara 716.80 1,020.042 - 1,020.042 Mwanza 685.63 1,198.137 - 1,198.137 Njombe 589.63 899.145 899.145 Rukwa 841.48 1,961.761 - 1,961.761 Ruvuma 1,062.70 2,154.660 - 2,154.660 Shinyanga 659.24 1,178.000 - 1,178.000 Simiyu 579.04 1,075.393 1,075.393 Singida 985.90 1,239.400 - 1,239.400 Tabora 691.28 965.001 - 965.001 Tanga 1,086.84 1,273.810 - 1,273.810 Sub -Total 19,49 8.59 30,997.055 - 30,997.055

Total Regional Roads Routine/Recurrent Maintenance (Tshs mio.): Target Roads Fund Foreign Total 20,471.22 33,527.835 - 33,527.835 200

KIAMBATISHO NA. 5 (B - 1)

MATENGENEZO MAALUMU (PERIODIC MAINTENANCE) KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA BARABARA KWA MWAKA 2013/14

BARABARA KUU (a) Barabara Kuu za Lami Region Road name Length (km) Estimate (mio Tshs) ARUSHA KIA JCT - TCA JCT - Namanga 5.50 1,298.182 TCA Junction - Mijingu 1.71 544.100 Makuyuni - Ngorongoro Gate 1.40 354.430 Subtotal 8.61 2,196.712 COAST Kibaha - Mlandizi - Ngerengere 9.50 2,555.440 Kongowe - Kibiti - Nyamwage 9.00 864.080 Bunju - Bagamoyo 2.00 130.000 Subtotal 20.50 3,549.520 DAR ES SALAAM Morogoro Road 2.00 570.000 Kilwa Road 5.00 2,300.000

New Bagamoyo Road 1.00 500.000 Nyerere Road (Shoulders, Service 5.00 1,460.333 roads, walk way, cyclists path) Improvement of TR Junctions 1.50 2,000.000 Climbing lane Morogoro Road 1.20 1,800.000 (Kibamba)

201

Road Safety Measures Installation of Solar Traffic Lights at 1.00 200.000 Sokota Jct (Mandela road) Installation of pedestrian overhead 2.00 200.000 bridge at Mbezi Mwisho along Morogoro Rd Road Markings and signs along Trunk 500.000 roads Subtotal 18.70 9,530.333 DODOMA Gairo - Dodoma - Kintinku 4.00 1,034.150 Installation of Traffic lights Dodoma 400.000 Urban Mtera - Dodoma 2.94 1,067.860 Dodoma – Bereko (Dom/Manyara Bdr) 3.88 458.150 Subtotal 10.82 2,960.160 IRINGA Tanzam Highway 4.00 978.480 Mafinga - Mgololo 3.00 312.000 Subtotal 7.00 1,290.480 KAGERA Mutukula - Bukoba - Kagoma - 1.35 510.000 Kalebezo Bukoba - Bukoba Port 1.00 300.260 Rusumo - Lusahunga 1.20 500.000 Kobero - Ngara - Nyakasanza 3.59 260.630 Subtotal 7.14 1,570.890 KIGOMA Kasulu - Kigoma (Mwanga) - Kigoma 29.37 594.115 Subtotal 29.37 594.115

202

KILIMANJARO Same - Himo Jct - KIA Jct 6.20 1,604.923 KIA Jct - KIA 0.50 126.545 Subtotal 6.70 1,731.468 LINDI Mtegu - Mingoyo - Mkungu 19.50 2,007.422 Malendegu - Nangurukuru - Mingoyo 8.50 972.478 Subtotal 28.00 2,979.900 MARA Sirari Jct - Sirari (Overlay & 12.50 3,112.000 embankment reinstatement) Subtotal 12.50 3,112.000 MBEYA TANZAM (Iyayi (Iringa/Mbeya Border) 3.30 1,023.302 - Tunduma (Tanz/Zambia brd)) Ibanda - Kiwira Port 4.90 1,242.100 Subtotal 8.20 2,265.402 MOROGORO Tanzam Highway 10.90 1,100.000 Morogoro - Dodoma(Gairo) 14.40 1,605.640 Mikumi - Kidatu - Mahenge - K/mpepo 3.00 300.000 - Londo Subtotal 28.30 3,005.640 MTWARA Mtwara - Mtegu 4.53 647.920 Mkungu - Masasi 18.00 1,470.883 Masasi-Mangaka (Lined Ditches) 200.000 Subtotal 22.53 2,318.803 MWANZA Geita brd - Usagara - Mwanza - 8.00 1,799.630 Simiyu bdr Mwanza - Simiyu brd (Urgent repairs) 1.00 600.000 Mwanza - Shinyanga bdr 6.30 1,200.000 Subtotal 15.30 3,599.630

203

NJOMBE TANZAM 5.07 600.000 Lukumburu-Makambako 5.00 1,100.000 Itoni-Ludewa-Manda (DSD) 1.75 1,050.000 Subtotal 11.82 2,750.000 RUVUMA Songea -Lukumbulu 2.00 1,122.000 Lumecha - Kitanda (Hanga & Kitanda 2.00 450.000 sections) Songea - Mbinga - Mbambabay 9.00 1,581.276 Subtotal 13.00 3,153.276 SIMIYU Masanza (Mwz/Simiyu brd) - 3.00 450.290 Simiyu/Mara brd Subtotal 3.00 450.290 SINGIDA Dodoma Brd - Singida - Tabora Brd 2.00 467.627 Subtotal 2.00 467.627 TABORA Ipole - Tabora (Isike NBC) 1.00 734.088 Tabora (Isike NBC) - Nzega 0.96 302.860 SGD/Tabora bdr - Nzega 2.40 795.690 Tabora (Isike NBC) - Urambo 0.95 217.710 Subtotal 5.31 2,050.348 Grand total 258.80 49,576.59

204

(b) Barabara Kuu za Changarawe/Udongo Region Road name Length (km) Estimate (mio Tshs) ARUSHA Singida/Arusha brd (Matala) - Njia Panda 42.50 437.520 Subtotal 42.50 437.520 COAST Bagamoyo - Msata 1.90 65.430 Subtotal 1.90 65.430 DAR ES SALAAM Morogoro road (Unpaved service road) 1.50 150.000 New Bagamoyo road (Unpaved service 1.50 150.000 road) Nyerere road (Unpaved service road) 2.00 200.000 Subtotal 5.00 500.00 DODOMA Dodoma - Bereko(Dom/Many Bdr) 28.37 663.090 Subtotal 28.37 663.090 IRINGA Mafinga - Mgololo 19.00 436.970 Subtotal 19.00 436.970 KAGERA Nyakanazi - Kagera/Kigoma Border 10.00 203.000 Bugene - Kasulo 25.00 501.160

Omugakarongo - Murongo 13.00 272.000 Subtotal 48.00 976.160

205

KATAVI Mpanda - Koga(Tabora Bdr) 39.00 925.000 Lyambalyamfipa - Mpanda 20.00 500.000

Mpanda-Kigoma Bdr 39.00 973.695 Subtotal 98.00 2,398.695 KIGOMA Katavi/Kigoma border - Kasulu 10.00 200.700 Kidahwe - Kasulu 8.00 160.000

Kasulu - Kibondo 42.00 850.000

Kibondo - Kigoma/ Kagera brd 20.00 400.000 Subtotal 80.00 1,610.700 MANYARA Bereko - Babati - Minjingu 9.04 101.500 Subtotal 9.04 101.500 MARA Makutano Juu - Nabi Hill Gate 32.00 596.700 Subtotal 32.00 596.700 MBEYA Mpemba - Isongole 14.00 286.960 Mbeya - Rungwa 10.00 200.000

Subtotal 24.00 486.960 MOROGORO Kidatu - Ifakara-Mahenge/Lupiro-Kmpepo- 37.00 750.000 Londo Subtotal 37.00 750.000 NJOMBE Itoni-Ludewa-Manda 46.50 950.000 Subtotal 46.50 950.000

206

RUKWA Sumbawanga - Lyambalyamfipa 32.00 628.990 Subtotal 32.00 628.990 RUVUMA Songea -Mbinga-Mbambabay 20.44 409.670 Londo-Kitanda-Lumecha 7.18 343.770 Likuyufusi-Mkenda 31.50 695.000 Subtotal 59.12 1,448.440 SHINYANGA Kolandoto -Mwangongo (Simiyu brd) 20.00 400.000 Subtotal 20.00 400.000 SIMIYU Lamadi-Wigelekelo(Simiyu/Shy Bdr) 20.00 398.600 Mwangongo-Mwanhuzi-Sibiti 20.00 431.560 Subtotal 40.00 830.160 SINGIDA Rungwa - Itigi - Mkiwa 20.00 381.190 Rungwa (Mby/Sgd bdr) - Rungwa (Sgd/- 2.40 36.000 Tbr bdr) Subtotal 22.40 417.190 TABORA Ipole - Rungwa (Mbeya Brd) 10.00 108.000 Ipole - Tabora (Isike NBC) 39.36 391.580

Koga (Katavi Brd) - Ipole 16.00 172.800 Chaya - Kigwa - Tabora 18.30 300.780 Urambo-Kaliua-Chagu(Tbr/Kig Bdr) 33.10 371.080 Subtotal 116.76 1,344.240 TOTAL 741.59 15,042.745 GRAND TOTAL 64,619.335

207

KIAMBATISHO NA. 5 (B - 2)

MATENGENEZO MAALUMU (PERIODIC MAINTENANCE) KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA BARABARA KWA MWAKA 2013/14

BARABARA ZA MIKOA

(b) Barabara za Mikoa za Lami

Region Road name Leng th (km) Estimate (Mio Tshs) ARUSHA Mbauda - Losinyai 3.00 500.000 Kilala - Nkoaranga 1.00 250.000 Monduri - Engaruka Jct 1.00 100.000 Usa -Oldonyo - Sambu 1.00 200.000 Kijenge - Usa River 2.00 300.000 Subtotal 8.00 1,350.000 COAST Pugu-Vikumburu 0.80 33.610 Kibiti - Utete - Nyamwage 0.30 100.000 TAMCO - Vikawe - Mapinga 1.00 500.000 Subtotal 2.10 633.610

208

DAR ES SALAAM Tabata Jct (Mandela rd) - Kinyerezi - Banana 2.40 1,000.000 Ukonga jct - G/Mboto - Chanika (widening) 7.50 1,000.000

Buyuni - Ununio - Boko to bitumen std 2.50 1,250.000 Kigamboni - Kibada - Dsm/Co bdr 1.00 750.000 Goba - Wazo Hill - Tegeta Kibaoni 1.90 632.030

Mbande - Mbagala rangi tatu 1.00 750.000

Mjimwema - Pembamnazi (DSD) 2.00 700.000 Kawe - Lugalo 1.00 300.000

Bunju A - Mbweni - Bunju 2.00 1,400.000 Kongowe-Mjimwema-Kivukoni 5.20 1,000.000 Subtotal 26.50 8,782.030 DODOMA Chamwino Ikulu Jct - Chamwino Ikulu - Dabalo 1.82 119.070 - Itiso Jamatini R/About - CBE Jct 1.39 437.600 Bahi Road Jct - Dodoma Airport R/About 0.67 168.940 Subtotal 3.88 725.610 GEITA Nyamirembe - Bwanga 3.60 500.000 Nyankumbu (Geita) - Nyang'hwale (Urban 2.00 500.000 section) Chato Jct - Chato Ginnery 3.60 500.000 Subtotal 9.20 1,500.000

209

IRINGA Iringa - Idete 1.50 882.040 Iringa - Pagawa 0.50 375.000

Subtotal 2.00 1,257.040 KAGERA Bukoba CRDB - Kabangobay 1.50 358.200 Kyaka 2 - Kanazi - Kyetema 0.13 30.000

Murugarama - Nyakahura 1.00 401.230 Bugene - Nkwenda - Murongo 2 1.00 369.920 Muhutwe - Kamachumu - Muleba 1.35 449.824 Magoti - Makonge - Kanyangereko 0.13 30.000 Subtotal 5.11 1,639.174 KILIMANJARO Bomang'ombe - Sanyajuu - Kamwanga - 6.19 1,230.880 Tarakea Mwanga - Kikweni - Vuchama 3.00 900.000 KMT - Machame 6.56 1,050.250 Subtotal 15.75 3,181.130 LINDI Kilwa Masoko - Nangurukuru - Liwale 2.88 216.440 Liwale - Nachingwea - Lukuledi 2.55 184.450 (Lindi/Mtwara Bdr) Subtotal 5.43 400.890 MANYARA Singe - Sukuro Jct 1.00 900.000 Kiru Jct - Mbulu 1.00 900.000

Subtotal 2.00 1,800.000

210

MARA Tarime - Nyamwaga (Rebu - Kibumayi) 0.48 390.000 Buhemba Jct - Tarime Hill 0.70 535.300

Musoma - Makojo 0.90 683.800 Mika - Ruari Port 0.10 86.000 Musoma Urban Roads (Makoko) 0.80 570.000 Subtotal 2.98 2,265.100 MBEYA Mbalizi - Makongolosi 1.51 289.670 Igawa - Mbarali 0.34 150.000

Kyimo - Ibungu 0.45 200.000 Subtotal 2.30 639.670 MOROGORO Mahenge - Mwaya - Ilonga 1.70 381.150 Bigwa - Kisaki 3.10 693.000

Subtotal 4.80 1,074.150 MTWARA Lukuledi - Masasi - Newala 4.00 300.000 Mtama - Mkwiti - Newala 2.00 600.000

Mangamba - Msimbati (Mtawanya Hill) 1.00 400.000 Msangamkuu Ferry Acess road 0.60 300.000 Newala Urban section 1.00 500.000

Mbuyuni - Newala 1.00 100.000

Newala - Mtwara 2.50 403.810 Subtotal 12.10 2,603.810

211

MWANZA Rugezi-Nansio-Bukongo-Masonga 1.50 176.040 Magu - Ndagalu(Magu Town) 1.80 1,000.000

Misungwi Town( Divesion) 0.32 250.000 Subtotal 3.62 1,426.04 NJOMBE Njombe - Iyayi 2.00 1,200.000 Subtotal 2.00 1,200.000 SHINYANGA Shinyanga - Bubiki 6.00 995.610 Subtotal 6.00 995.610 SIMIYU Bariadi - Kisesa (Urban section) 1.00 400.000 Bariadi - Salama (Urban section) 1.00 400.000

Subtotal 2.00 800.000 SINGIDA Misigiri - Kiomboi DBST 2.00 500.000 Njuki - Ilongero - Ngamu 3.71 900.000 Gumanga - Sibiti 2.00 600.000 Iyumbu-Mgungira-Mtunduru-Magereza 3.00 900.000 Subtotal 10.71 2,900.000 TABORA Tabora - Mambali 2.00 610.140 Tabora - Ulyankulu 2.00 550.140 Kasu - Airport 1.34 320.000 Subtotal 5.34 1,480.280 TOTAL 131.82 36,654.144

212

(c) Barabara za Mikoa za Changarawe/Udongo

Region Road name Length (km) Estimate (mio Tshs) ARUSHA Monduli - Engaruka Jct 16.00 300.850 Mto wa Mbu - Loliondo 40.00 704.000 T/Packers - Losinyai 19.50 353.640 Mbauda - Losinyai 16.50 303.850 Tengeru - Mererani 11.00 200.000 Kijenge - Usa River 11.00 200.000 Longindo - Oldonyolengai Jnct 5.50 150.000 KIA-Majengo 8.00 47.500 Usa river - Oldonyosambu 16.50 300.000 Longido - Siha 42.00 490.000

Engusero - Kitumbeine Jct 8.00 100.000

Karatu - Kilimapunda 16.50 300.000

Monduli Jct - Lolkisale 8.00 150.000 Subtotal 218.50 3, 599.840 COAST Mbwewe - Lukigura bridge 7.00 150.000 Mbuyuni-Saadani-Makurunge 7.00 150.000 Mandera-Saadani 11.00 224.570 Chalinze - Magindu 3.50 71.705 Makofia - Mlandizi - 20.00 352.220 Maneromango Kiluvya - Mpuyani 4.00 80.000 Pugu - Vikumburu 14.00 288.665

213

Mkuranga - Kisiju 18.00 271.590 Bungu - Nyamisati 3.00 80.000 Kibiti - Utete - Nyamwage 8.00 160.000 Kilindoni - Utende - Rasmkumbi 6.00 100.000 Kilindoni - Utende 1.10 6.600 Vikumburu - Mloka - Mkongo - - 100.000 Ikwiriri Ubena Jct - Lugoba 1.00 35.000 Tamco - Vikawe - Mapinga 2.00 80.000 Subtotal 105.60 2,150.350 DSM Kibamba - Kwembe - Makondeko 2.22 63.330 Victoria - Magoe Mpiji - Bunju 10.00 270.000 Mbezi -M/Mawili - Kinyerezi 10.23 291.770 Makabe Jct - M/Msakuzi 2.00 57.020 Goba - Wazo hill - Tegeta kibaoni 5.00 142.500 Mbezi Mwisho - Samaki wabichi 2.67 76.130 Temboni - Matosa - Goba 2.00 57.020 Chanika - Mbagala rangi tatu 7.20 220.370 Mjimwema - Pembamnazi 7.25 206.480

Kibada - T/Songani - C/Boarder 20.92 293.710

Pugu - Kajiungeni - Kiltex 6.72 146.620

Kimbiji Mwasonga jct - Kimbiji 1.00 28.000

Tundwi Songani - Buyuni II 4.00 73.970 Kibamba-Magoe-Mpiji 8.83 161.720 Kimara Baruti - Changanyikeni Jct 4.40 80.000 Subtotal 94.44 2,168.640

214

DODOMA Mtiriangwi-Gisambalan-Kondoa 15.95 348.000 Hogoro Jct- Dosidosi 15.00 327.000 Mpwapwa-Gulwe-Kibakwe- 20.13 390.395 Chipogoro Ihumwa - Hombolo - Mayamaya 15.57 340.395 Kibaigwa-Ngomai-Njoge - Dongo 14.57 318.000 Mpwapwa-Makutano Jct-Lumuma 14.57 318.000 Chali Igongo (Sgd/Dom Bdr) - 5.00 109.000 Chidilo Jct - Bihawana Jct Subtotal 100.79 2,150.790 GEITA Nyankanga (Kagera/Geita Bdr) - 18.00 354.000 Nyamirembe Port Mtakuja - Bukoli - Buyange 17.00 354.000 (Geita/Shy Bdr) Wingi 3 (Mwz/Geita Bdr) - 21.00 421.000 Nyang'holongo (Geita/Shy Bdr) Chato - Chato Ginery - Bwina 5.00 100.000 Nyankumbu - Nyang'hwale 19.00 398.000 Geita (Nzera Jct) - Nzera 8.00 176.000 Chibingo-Bukondo Port 6.00 111.000 Katoro - Ushirombo 23.00 453.500 Subtotal 117.00 2,367.500

215

IRINGA Iringa - Msembe 8.00 176.000 Iringa - Pawaga 8.00 176.000 Ilula-Kilolo 10.00 216.000 Iringa - Idete 10.00 220.000 Nyololo - Kibaoni 7.00 150.000 Igowole - Kasanga - Nyigo 6.00 132.000 Ihemi - Ihimbo 2.00 44.000 Ihawaga - Mgololo 8.00 172.000 Kinyanambo - Sadani - Mbeya 5.00 110.000 BRD Mbalamaziwa - Kwatwangwa 5.00 110.000

Kinyanambo C - Kisusa 10.00 216.000 Subtotal 79.00 1,722.000 KAGERA Bugene - Nkwenda - Kaisho - 33.10 350.000 Murongo 2 Kakunyu - Kagera Sugar Jct 2.00 40.600 Kyaka - 2 - Kanazi - Kyetema 4.90 100.000 Kamkumbwa - Nagetageta 1.50 30.000 Rusumo Custom-Ngara 3.40 70.000 Busimbe - Kagemu Kituoni 0.50 10.000 Kasharunga - Ngote - Kasindaga 4.90 100.000 Amushenye - Ruzinga 10.00 200.000 Muhutwe-Kamachumu-Muleba 13.30 269.180 Magoti - Makonge - 1.90 38.670 Kanyangereko

Rutenge - Rubale - Kishoju 4.90 100.000

Mwogo-Makonge-Ruhija 1.00 20.300 Murugarama-Rulenge-Nyakahura 15.00 204.500

216

Kabindi - Nyankatara 7.40 150.000 Katoma - Bukwari 2.50 50.000 Rulenge - Murusagamba - Kumubuga 4.90 100.000 Subtotal 111.20 1,833.250 KATAVI Sitalike - Kibaoni - Kasansa 23.00 417.658 Majimoto - Inyonga 14.50 270.000 Kagwira-Karema 18.50 370.000 Subtotal 56.00 1,057.658 KIGOMA Biharamuro Bdr - Nyaronga 3.17 48.534 Mabamba Jct - Mabamba 3.97 58.700 Simbo - Ilagala - Kalya 38.00 778.356 Kasulu - Manyovu 7.98 153.500 Kisili-Mahembe-Buhigwe 5.00 150.440 Subtotal 58.12 1,189.530 KILIMANJARO Sanya juu - Kamwanga 10.73 86.360 Mwanga-Kikweni-Vuchama 12.00 269.520 Mwembe-Ndungu 12.00 246.262 Gunge Bridge - Hedaru 6.17 117.870 Same - Kisiwani- Mkomazi 8.00 173.760 Kwa Sadala - Kware - Lemira 4.00 66.237 Kibosho Road Jct - Mto Sere 2.00 33.119 Kawawa - Nduoni 5.00 112.300 Kifaru - Butu - Kichwa cha Ng'ombe 7.77 128.410

Kisangara - Nyumba ya Mungu 5.00 112.300

Bangalala - Ndolwa 8.00 141.158

Kikweni - Lomwe 8.72 195.810

Subtotal 89.39 1,683.106

217

LINDI Tingi - Chumo - Kipatimu 5.79 98.380 Kilwa - Nangurukuru - Liwale 73.22 1,126.960 Nachingwea - Nanganga 10.00 224.640 Nachingwea - Mtua - Kilimarondo 14.00 169.820 Liwale - Nachingwea - Lukuledi 53.80 927.630 Matangini - Chiola - Likunja 2.00 33.080 Ngongo - Ruangwa 27.02 371.580 Mikao - Nyangamara - Mtama 10.79 51.300 Chekereni - Likwachu 0.17 2.810

Kiranjeranje - Nanjirinji - Namichiga 19.40 300.000

Subtotal 216.19 3,306.200 MANYARA Kilimapunda - Kidarafa 4.00 89.860 Singe - Kimotorok - Sukuro Jct 25.00 500.000 Mbuyu wa Mjerumani - Mbulu 9.50 214.500 Kiru Jct - Mahakamani 42.43 290.276 Mirerani - Landanai - Orkesumet 42.05 377.039 Kibaya - Olboloti 9.51 213.610 Losinyai-Njoro 17.60 400.000 Dareda - Dongobesh 15.82 355.270 Mogitu - Haydom 20.25 449.174 Subtotal 186.16 2,889.729 MARA Shirati - Kubiterere 6.00 54.000 Mika - Ruari port 3.00 114.680 Tarime - Nata (Mbise) 20.00 369.020 Sirori Simba - Majimoto- Mto Mara 5.00 90.000 Nyankanga - Rung'abure 12.00 254.000

218

Musoma - Makojo 39.80 718.956 Manyamanyama - Nyambui 3.00 54.000 Nyamuswa - Kisorya 6.00 134.780 Kuruya - Utegi 3.00 54.000 Muriba Jct - Kegonga 5.00 90.000 Mugumu - Fort Ikoma 3.00 67.390 Balili - Manchimwelu 6.00 82.000 Subtotal 111.80 2,082.826 MBEYA Katumba - Lutengano - Kyimbila 7.03 145.670 Ipyana-Katumba Songwe 6.12 137.480 Igamba - Msangano - Utambalila 8.91 192.760 Kyimo - Ibungu 5.00 112.320 Tukuyu Mbambo-Ipinda 9.04 202.960 Shigamba - Ibaba 9.40 201.330 Muungano - Lubele (Kasumulu) 14.93 246.950 Isyonje-Kikondo 4.27 95.990 Mlowo-Kamsamba 13.00 262.320 Mbalizi - Makongorosi 10.00 200.000

Galula - Namkukwe 6.00 120.000

Igurusi - Utengule - Luhanga 2.00 40.000

Zelazela-Isansa-Itaka 5.00 112.320 Ndembo - Ngana - Kasumulu 3.00 60.000 Katumba-Lwangwa-Mbambo 4.45 100.050 Mahenje - Hansamba - Vwawa 5.00 112.320 Vensi - Maseshe - Mswiswi 31.00 238.850 Kikusya - Ipinda - Matema 11.48 245.610 Hasamba - Izilya - Itumba 15.04 322.960 Subtotal 170.67 3,149.890

219

MOROGORO Miyombo - Lumuma - Kidete 7.70 158.204 Mvomero-Kibati-Lusanga 17.00 350.950 Chazuru Jct-Melela 14.50 313.030 Bigwa-Kisaki 16.00 350.976 Ifakara-Taweta - Madeke 11.00 250.000 Subtotal 66.20 1,423.160 MTWARA Lukuledi - Masasi - Newala 18.00 404.360 Newala - Mtwara 30.00 684.590 Madimba - Tangazo - Kilambo 20.00 400.000 Mpapura - Makao 15.00 300.000 Mangamba - Msimbati 2.40 61.050 Subtotal 85.40 1,850.000 MWANZA Rugezi - Nansio - Bukongo - Masonga 3.00 63.504 Bukonyo - M/tunguru - Bulamba -Bukongo 3.00 63.504 Nyang'hwale Jct- Wingi 3 (Mwanza/Geita 4.00 84.672 Bdr) Magu - Ndagalu (Mwanza/Simiyu Bdr) 6.00 127.000 Fulo - Nyambiti 4.00 84.672 Nyakato - Buswelu 18.00 450.000 Bukwimba - Kadashi - Maligisu 2.95 63.504 (Mwanza/Simiyu Bdr) Ng'hwamhaya - Kawekamo - Itongoitale 3.00 63.504 (Mz/Shy Bdr) Ngudu - Malya (Mwanza/Shinyanga 3.00 72.960 border) Mwanangwa - Misasi - Salawe 10.00 211.680 (Mwanza/Shy bdr) Subtotal 56.95 1,285.000

220

NJOMBE Kikondo-Makete 14.00 325.000 Makete-Njombe 13.50 325.000 Ndulamo-Nkenja-Kitulo 7.50 150.000 Njombe(Ramadhan)-Iyayi 15.00 300.000 Kibena-Lupembe 18.70 187.000 Mkiwu-Lugarawa-Madaba 6.20 124.144 Ikonda-Lupila-Malangali 19.00 450.000 Subtotal 93.90 1,861.144 RUKWA Kizwite - Mkima 37.24 618.080 Mtowisa - Ilemba 18.00 521.160 Kaengesa - Mwimbi 4.12 39.010 Laela - Mwimbi - Kizombwe 2.00 28.940 Lyazumbi - Kabwe 50.74 482.190 Chala - Nanyere - Kirando 2.80 259.400 Mtimbwa - Ntalamila 7.00 49.740 Kaoze - Kilyamatundu 5.00 72.350 Subtotal 126.90 2,070.870 RUVUMA Mbambabay - Liuli - Lituhi 27.60 605.912 Tunduru - Nalasi/Chamba 7.00 158.760 Peramiho - Litumbandyosi - 23.00 403.652 Kingole Namtumbo - Likuyu road 8.00 181.440 Azimio - Tulingane 9.20 201.462 Nangombo - Chiwindi 5.50 115.890 Mbinga - Tangapachani - Mkiri 7.50 713.400 Unyoni - Liparamba - Mkenda 22.00 400.560 Mindu - Nachingwea 34.00 163.200 Naikesi - Mtonya 36.00 384.040 Subtotal 179.80 3,328.316

221

SHINYANGA Buyange - Busoka 20.00 423.468 Shinyanga-Bubiki 9.34 191.827 Kahama-Bulige-Solwa 2.99 13.392 Nyandekwa jct - Nyandekwa - Butibu 10.00 171.543 Salawe (Mza/Shy bdr) - Old Shinyanga 8.00 172.751 Kishapu-Businza 6.00 116.164 Kahama-Chambo 5.00 105.840 Kanawa - Mihama 0.87 18.501 Kagongwa - Bukooba (Shy/Tbr bdr) 10.00 211.680 Itongoitale(Mz brd) - Mwapalalu 1.50 30.000

Masabi - Mega 6.08 128.680

Kanawa jct - Manonga river (Tbr/Shy bdr) 5.07 79.063

Subtotal 84.85 1,662.909 SIMIYU Bariadi (Butiama) - Kisesa (Bariadi/Meatu 12.76 275.510 Bdr) Maswa - Lalago 10.00 210.590 Bariadi - Salama (Bariadi/Magu Bdr) 9.56 128.850 Malya - Malampaka - Ikungu 22.56 437.190 Subtotal 54.88 1,052.140

222

SINGIDA Kizaga - Sepuka - Mlandala - Mgungira 17.00 194.240 Iguguno Shamba - Nduguti - Gumanga 6.00 106.290 Ikungi - Londoni - Kilimatinde 10.00 160.000 Heka - Sasilo - Iluma 5.00 71.680 Manyoni - Heka - Sanza - Chali Igongo 15.00 270.000 Ulemo - Gumanga - Sibiti 4.00 60.000 Soweto - Kisiriri - Chemchem 5.00 80.000 Shelui - Sekenke 15.00 300.000 Ilongero - Mtinko - Ndunguti 13.00 150.000

Njuki - Ilongero - Ngamu 15.00 315.000

Kinyamshindo - Kititimo 10.00 160.000

Iyumbu - Mgungira - Mtunduru - Magereza 5.00 81.350

Mkalama - Mwangeza - Kidarafa 5.00 80.000 Subtotal 125.00 2,028.560 TABORA Tabora - Ulyankulu 11.00 137.600 Mambali-Bukumbi 9.00 100.000 Tabora-Mambali 18.52 200.040 Mambali-Bukene 17.96 329.150 Sikonge - Mibono 10.00 200.000 Ugala - Kaliua 10.00 200.000 Igurubi-Iborogero 14.26 167.700 Puge-Ziba 28.94 273.360 Kahama border - Nzega 12.00 140.400

Subtotal 131.68 1,748.250

223

TANGA Malindi - Mtae 3.00 67.847 Boza jct - Muheza 14.26 322.411 Silabu - Dindira 17.00 407.295 Tanga - Pangani - Buyuni 9.98 225.796 Mkalamo Jct - Mkata 25.00 510.096 Nyasa - Magamba 10.00 197.728 Pangani - Mkalamo Jct 4.00 89.085 Muheza - Amani 10.00 170.364 Lushoto - Umba Jct 7.87 177.986

Nkelei - Lukozi 6.00 135.695

Muheza-Kwa Mkoro 14.11 319.109

Kiberashi(Manyara/Tanga Bdr)-Handeni 20.00 452.316

Vibaoni-Mziha 7.00 158.311 Umba jct - Mkomazi jct 10.00 226.158 Mbaramo-Maramba-Kwasongoro 10.00 226.158 Subtotal 168.22 3,686.354 TOTAL 2,888.64 53,348.012 GRAND TOTAL 90,002.156

224

KIAMBATISHO NA.5 (C - 1)

MATENGENEZO YA SEHEMU KOROFI (SPOT IMPROVEMENT) KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA BARABARA KWA MWAKA 2013/14 5 - BARABARA KUU

Barabara Kuu za Lami na Changarawe/Udongo

REGION PAVED UNPAVED Road Name Target Amount Road Name Target Amount Length (Km) (TShs mio.) Length (TShs mio.) (Km) Coast Kongowe - Kibiti - 1.00 349.690 Nyamwage Chalinze - Manga 1.00 750.000 Sub total 2.00 1,099.690 DSM New Bagamoyo 1.00 150.000 Mandela 0.20 97.610 Sam Nijoma 0.30 21.200 Sub total 1.50 268.810 - - Dodoma - - Dodoma - 1.81 32.550 Bereko Sub total - - 1.81 32.550 Geita Bwanga - Katoro - 2.00 256.000 Ibanda (Mz brd) Sub total 2.00 256.000 Katavi Mpanda - 0.50 8.500 Tabora Border Mpanda - 0.50 8.500 Kigoma border Sub total - - 1.00 17.000

225

Kigoma Katavi brd - 2.70 50.020 Kasulu Kasulu - 2.79 51.540 Kibondo Kibondo - 2.48 43.800 Kagera brd Kasulu - 5.61 145.890 Mwanga - Kigoma Sub total - - 3.58 291.250 Lindi Mtengu - Mingoyo - 1.63 141.620 Mkungu Malendegu - 0.62 53.050 Nangurukuru Sub total 2.25 194.670 - - Manyara Bereko - Babati 3.60 53.500 - Minjigu Sub total - - 3.60 53.500 Mara - - Makutano Juu - 0.93 193.000 Nabi Hill Sub total - - 0.93 193.000 Mbeya Mbeya - 0.90 12.750 Rungwa (Singida Border) Mpemba - 0.02 0.200 Isongole Sub total - - 0.92 12.950

226

Mtwara Mtwara-Mtegu 6.00 395.645 Sub total 6.00 395.645 - - Mwanza Mwanza - 0.65 67.820 Shinyanga border Sub total 0.65 67.820 - - Rukwa Sumbawanga - 2.80 41.000 Kasesya Sumbawanga - 0.10 1.000 Lyamba Lya Mfipa Sub total - - 2.90 42.000 Ruvuma Lumesule - Songea 11.80 183.567 Songea - 19.78 313.120 Mbinga - Mbamba Bay Likuyufusi - 0.06 51.240 Mkenda Sub total 11.80 183.567 19.84 364.360 Singida Dodoma Brd - 2.00 400.000 Rungwa - 0.30 4.500 Singida - Tbr Brd Rungwa (Sgd/ tbr bdr) Rungwa - Itigi - 6.60 118.030 Mkiwa Sub total 2.00 400.000 6.90 122.530

227

Tabora Tabora - Nzega 4.83 79.480 Ipole - Tabora 1.53 26.400 (Isike NBC) Koga - Ipole 5.93 87.750 Urambo - Kaliua 1.67 25.950 - Chagu Sub total - - 13.96 219.580 TOTAL 26.20 2,866.200 65.44 1,348.720 TOTAL (PAVED + UNPAVED) 4,214.920

228

KIAMBATISHO NA. 5 (C - 2)

MATENGENEZO YA SEHEMU KOROFI (SPOT IMPROVEMENT) KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA BARABARA KWA MWAKA 2013/14

BARABARA ZA MIKOA

Barabara za Mkoa za Lami na Changarawe/Udongo REGION PAVED UNPAVED Road Name Target Amount Road Name Target Amount Length (TShs Length (TShs mio.) (Km) mio.) (Km) Arusha Majengo (Mererani) - KIA 2.00 44.967 Engusero - Kitumbeine 2.40 44.980 Sub Total - - 4.40 89.947 Coast Mbuyuni - Saadani - 2.20 53.200 Makurunge Makofia - Mlandizi - 2.10 28.730 Maneromango Kiluvya - Mpuyani 0.40 6.880 Pugu - Vikumburu 1.00 15.570 Mkuranga - Kisiju 1.00 14.250

Mbwewe - Lukigura Bridge 1.90 28.750

Kilindoni - Utende - 0.80 8.720

Rasmkumbi

Bungu - Nyamisati 0.70 8.500 Ubena Jct - Lugoba 1.30 17.640 Mwanambaya - Hoyoyo 0.20 2.250 Kilindoni - Utende 0.20 4.000 Kibiti -Uutete - Nyamwage 0.80 11.560 Sub Total - - 12.60 200.050

229

DSM Chanika - 2.00 300.000 Makabe Jct - Mbezi 2.07 38.600 Mbagala Rangi Msakuzi Tatu Boko - 0.50 250.000 Mbezi Victoria - Bunju Sport 1.40 26.280 Kunduchi - Motel Mbuyuni Morocco - 1.00 150.000 Kibamba - Kwembe - 1.10 21.220 Mlalakuwa - Makondeko Africana Veta/Changom 0.50 150.000 Goba - Tegeta Kibaoni 1.00 20.000 be - Morrocco Mbezi Mwisho - S/Wabichi 0.20 20.000

Mbezi Mwisho - Kinyerezi 2.00 50.000

Temboni - Goba 1.00 20.000 Chanika - Mbagala Rangi 2.50 43.500 Tatu Mji Mwema - Pemba Mnazi 2.56 38.400

Kigamboni - Kibada - 1.58 29.160

T/Songani

Kimbiji Mwasonga Jct - 0.45 10.000

Kimbiji

Buyuni II - Tundimwisongani 0.50 10.000

230

Kimara Baruti Jct - 1.00 20.000 Changanyikeni Jct Kimbiji/Songani Jct - 0.70 12.500 K/Mwasonga Jct Kifuru - Pugu Station 6.00 18.000 (Mnadani) Kimara Mwisho - Kinyerezi 6.80 30.000 Kawe - TPDF Firing Range 5.20 15.600 - Jangwani Korogwe - Kilungule - 8.80 26.400 External Mlimani City - Ardhi - 7.00 21.000 Makongo - Goba Kigogo Round about - 1.90 40.000 Jangwani Ununio - Mpigi Bridge 15.70 47.130 Tabata Dampo - Kigogo 1.70 35.000 Temeke - Mtoni Mtongani 3.40 30.000 Buza - Kilungule - Nzasa 9.00 27.000 Kawawa/Nyerere Jct - 3.00 10.000 Changombe Police (Chang'ombe Road) Taifa Road 1.20 10.000

231

Mgulani Road (DUCE - 1.40 10.000 Mgulani JKT Kinondoni Road (Kinondoni 1.50 10.000 - Ally Hassanimwinyi Jct) Shaurimoyo Road (Karume 0.70 10.000 - Bohari) DSM - Buguruni (Uhuru 5.30 750.000 Road ) Sub Total 4.00 850.000 96.66 1,449.79 Dodoma Pandambili - Mlali - Suguta - 4.87 93.300 Mpwapwa Hogoro Jct - Dosidosi 2.52 48.300 Ihumwa - Hombolo - 0.65 9.800 Mayamaya Mpwapwa - Gulwe - 6.38 116.400 Kibakwe

Mpwapwa - Makutano Jct - 5.05 98.800

Pwaga Ict - Lumuma

Olbolot - Dalai - Kolo 12.52 226.250

Chenene - Izava 0.33 4.550 Zamahero - Kinyamshindo 7.99 131.450 Chali Igongo - Chidilio - 1.54 31.450 Bihawana Jct Chamwino - Ikulu - Dabilo - 0.10 2.000 Itiso Sub Total - - 41.95 762.300

232

Geita Nyamirembe - 1.00 74.000 Mtakuja - Bukoli - Bunyange 8.00 130.000 Bwanga Wingi 3 (Mwz brd - 10.00 220.000 Nhang'holongo(Shy brd) Nyankumbu - Nyang'hwale 4.00 80.000 Katoro - Ushirombo 8.00 130.000 Sub Total 1.00 74.000 30.00 560.000 Iringa Ihawaga - Mgololo 5.00 110.000 Iringa - Msembe 1.00 500.000

Kinyanambo c - Kisusa 5.00 110.000 Ilula - Kilolo 5.00 110.000 Sub Total - - 16.00 830.000 Katavi Magamba - Mtisi 0.30 4.500 Ifukutwa - Lugonesi 1.73 29.450 Kawajense - Mnyamasi Jct 9.70 130.500 Majimoto - Inyonga 2.10 44.500

Sub Total - - 13.83 208.950 Kigoma Kisili - Mahembe - Buhigwe 3.38 53.500 Ngara brd - Nyaronga - 1.65 24.000 Kakonko Rusesa - Kazuramimba 25.18 75.540

Mugunzu - Kakonko 56.23 168.690

233

Kasulu - Manyovu 5.30 90.100 Nyaronga - Biharamulo Brd 1.41 26.100 Simbo - Ilagala - Kalya 7.93 129.790 Sub Total - - 101.08 567.720 Kilimanjaro Sanyajuu - Kamwanga 1.50 33.750 Tingatinga - Nyumbamoja 15.34 46.020

Kawawa - Nduoni 0.30 12.000 Sub Total 17.14 91.770 Lindi Kilwa Masoko - 0.10 1.200 Nangurukuru - Liwale Liwale - Nachingwea 0.40 5.500 Nachingwea - Nanganga 0.30 4.500

Ngongo - Ruangwa - 0.40 6.000 Ruangwa Sub Total - - 1.20 17.200 Manyara Kilimapunda - Kidarafa 11.48 136.600 Losinyai - Njoro 22.25 351.784

Mbuyu wa Mjerumani - 2.55 34.000 Mbulu Lolkisale - Sukuro 4.26 91.850 Dareda - Dongobesh 4.85 63.330

234

Magidu - Haydom 2.83 36.200 Kiru Jct - Mbulu 0.49 7.200 Mahakamani Singe - Sukuro Jct 6.72 84.020 Mirerani - Landanai - 2.50 39.730 Orkesumet Kibaya - Dosidosi 3.20 50.250 Kibaya - Kibirashi 6.39 101.700 Orkusmet - Gunge 20.07 300.700 Cairo - Mererani 0.05 0.500 Kimotorok - Ngopito 1.94 24.800 Kijungu - Sunya - Dongo 15.08 230.800 Kibaya - Olboloti 1.33 20.550 Sub Total - 105.99 1,574.014 Mara Nyamuswa - Bunda - 5.00 106.640 Kisorya Sub Total - - 5.00 106.640

235

Mbeya Mbalizi - Makongolosi 10.99 139.510 Igawa - Mbarali 0.50 5.860

Mlowo - Kamsamba (Rukwa 0.65 9.000 bdr) Mbalizi - Shigamba - 0.74 3.000 Isongole Mahenje - Hansamba - 1.15 12.250 Vwawa Kikusya - Ipinda - Matema 2.75 32.000 Masebe - Kyejo 1.05 15.250 Zelezeta - Isansa - Itaka 2.88 35.800 Bujesi - Itete 0.10 1.000 Iseche - Ikonya 0.55 5.750 Isansa - Itumpi 0.30 4.000

Ruanda - Nyimbili 0.10 1.000 Majombe(Madibira Jct) - 0.60 18.750 Mbarali/Mufindi Brd Isongole II - Isoko 0.10 1.500 Malenje - Lungwa 0.05 0.500 Isonje - Kikondo 0.28 3.850 Sub Total - - 22.79 289.020

236

Morogoro Mziha - Magole 3.30 61.750 Mvomero - Ndole - Kibati - 8.60 167.750 Lusanga Dumila - Kilosa - Mikumi 10.60 222.140

Chanzuru Jct - Melela 6.00 115.000 Miyombo - Lumuma - Kidete 5.50 108.020 Ifakara - Taweta - Madeke 6.60 113.700

Kiswira - Tawa 0.30 4.950 Mtombozi - Lugenzi - 5.00 100.000 Dutumi Mahenge - Mwaya - Ilonga 3.60 57.750 Madamu - Kinole 0.20 3.000 Sub Total - - 49.70 954.060 Mtwara Newala - Tandahimba - 3.38 50.700 Mtwara Mbuyuni - Newala 0.80 14.500 Mkwiti - Kitangari - Amkeni 8.65 173.500

Matipa - Kitama 4.20 73.000 Mpapura - Mikao - 5.70 99.000 Kinolombedo Msijute - Nanyamba 5.10 98.000

237

Lukuledi - Masasi - Newala 5.86 90.340 Madimba - Tangazo - 0.90 15.550 Namikupa Magamba - Msimbati 1.40 21.000 Sub Total - - 35.99 635.590 Mwanza Mwanza - 0.18 15.030 Ngudu - Nyamilama - 10.00 196.920 Airport Hungumalwa Sub Total 0.18 15.030 10.00 196.920 Njombe Kitulo - Matamba - Mfumbi 8.01 111.400 Kandamija - Kipingu 0.50 6.030

Kikondo - Njombe 14.30 252.450 Madeke - Lupembe( 14.50 290.000 Morogoro border) Ludewa - Lupingu 20.00 400.000 Njombe (Ramadhan) - Iyayi 4.69 94.650

Kibena - Lupembe 3.24 46.250 Mkiwu - Lugarawa - 4.49 61.350 Madaba(Songea brd) Ibumila - Mlevela 0.63 10.400 Ilunda - Igongolo 1.00 15.250 Chalowe - Igwachanya 0.65 13.000 Mlangali - Ikonda 4.30 92.650 Ndulamo - Kitulo 6.24 129.900 Sub Total - - 82.55 1,523.330

238

Rukwa Mtowisa - Ilemba 3.65 64.700 Ilemba - Kaoze 1.07 5.550

Kaoze - Kilyamatundu 0.05 0.500 Lyazumbi - Kabwe 2.25 38.250 Chala - Nanyere - Kirando 2.80 60.500

Ntendo - Muze 0.35 3.500

Mtimbwa - Ntalamila 0.80 12.000 Sub Total - - 10.97 185.000 Ruvuma Mtwarapachani- 16.13 264.940 Lingusenguse -Nalasi. Tunduru-Nalasi-Chamba 0.20 3.000 Azimio-Tulingane 0.20 4.000 Sub Total - - 16.53 271.940 Shinyanga Shinyanga - Bubiki 0.40 7.500 Buyange [Mza/Shy Border - 3.23 51.500 Busoka Nyandekwa Jct - 0.70 10.500 Nyandekwa - Butibu Kanawa Jct - Manonga 0.43 7.750 River [Tbr Bdr]

Bulyanhulu Jct - Bulyanhulu 0.95 11.750

Mine

Kagongwa-Bukooba 0.30 4.500

[Shy/Tbr Bdr]

239

Kahama - Chambo 6.00 150.000 Kahama - Bulige - Solwa 20.00 500.000 Nyandekwa - Uyogo - 20.00 500.000 Ng'hwande Nyambula - Nyang'holongo 7.40 185.000 Sub Total - - 59.41 1,428.50 Simiyu Nyashimo - Ngasamo - 6.46 99.550 Dutwa Bariadi - Salama 9.14 190.940 Sola Jct - Mwandoya - 8.36 122.960 Sakasaka Malya - Malampaka - 2.13 27.390 Ikungu Mwandete - Kabondo - 8.17 146.500 Mwamanoni Ndagalu (Sukuma) - Kabila 4.00 42.500 - Mahaha Sub Total - - 38.26 629.840 Singida Kidarafa (Mny/Sgd Brd) - 2.00 40.000 Nkungi Kizaga - Sepuka - Mlandala 2.00 30.000 - Mgungira Iguguno Shamba - Nduguti - 2.00 15.000 Gumanga

240

Ilongero -Mtinko - Ndunguti 5.60 80.000 Njuki - Ilongero - Ngamu 6.70 134.000 Sabasaba - Sepuka 2.00 32.750 Iyumbu (Tbr Brd) - 1.50 15.130 Mgungira - Magereza (Sgd) Ikungi - Londoni - 3.00 45.000 Kilimatinde (Solya) Manyoni East - Heka - 3.70 52.810 Sanza - Chali Igongo Sub Total - - 28.50 444.690 Tabora Tabora - Ulyankulu 11.01 195.950 Mambali - Bukumbi 4.46 68.900

Tabora - Mambali 2.37 41.360 Mambali - Bukene 2.59 45.830 Kaliua - Ulyankulu - 21.62 364.150 Ng'wande Kaliua - Ugala 25.00 500.000

Ziba - Choma 1.04 16.320 Kahama Border - Nzega 5.84 89.280 Sub Total - - 73.93 1,321.790

241

Tanga Lushoto - Umba Jct 8.58 127.950 Tanga-Mabanda ya Papa- 17.85 278.090 Boza - Buyuni Nkelei - Lukozi 6.47 97.050

Malindi - Mtae 6.81 109.135 Magamba - Mlola 8.20 124.670 Vuga - Vuga Mission 1.70 27.500

Maramba - Kasera 0.10 129.954 Boza Jct - Muheza 1 7.80 124.440 Mlingano Jct - Kiomoni Jct 3.17 43.300

Mkalamo Jct - Mkata 1 2.60 39.000

Bombani - Kimbe 1.35 19.580 Manyara Brd - Handeni - 16.65 259.795 Kilole Jct Umba Jct - Mkomazi Jct 16.73 250.450 Muheza - Bombani - 4.79 82.970 Kwamkoro Vibaoni - Mziha 10.95 163.750 Kwekivu Jct - Iyongwe 4.00 62.320 Sub Total - - 117.75 1,939.954 TOTAL 5.18 939.030 992.23 16,279.010 TOTAL (PAVED + UNPAVED) 17,218.040

242

KIAMBATISHO NA. 5 (D)

MATENGENEZO YA KUKINGA MADARAJA (PREVENTIVE MAINTENANCE) KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA BARABARA KWA MWAKA 2013/14

Barabara Kuu (TR) na Barabara za Mikoa (RR) Estimated Expenditure TShs. ''mio.'' S/N REGION BRIDGES TO GET PREVENTIVE ESTIMATED AMOUNT TOTAL AMOUNT MTCE (TShs.) (ROAD FUND) (TShs.) TR RR TOTAL TR RR 1 Arusha 68 32 100 25.923 57.765 83.688 2 Coast 13 30 43 14.663 21.522 36.185 3 DSM 15 30 45 28.125 17.000 45.125 4 Dodoma 102 168 270 209.147 278.701 487.848 5 Geita 7 35 42 15.090 67.120 82.210 6 Iringa 39 65 104 19.500 38.500 58.000 7 Kagera 155 42 197 71.200 18.220 89.420 8 Katavi 17 34 51 17.000 27.200 44.200 9 Kigoma 88 48 136 85.318 82.412 167.730 10 K’manjaro 25 35 60 90.000 120.000 210.000 11 Lindi 80 30 110 150.000 100.000 250.000 12 Manyara 2 28 30 4.000 56.000 60.000 13 Mara 20 35 55 154.630 144.558 299.188 14 Mbeya 186 190 376 102.300 52.250 154.550 15 Morogoro 75 91 166 75.000 91.000 166.000 16 Mtwara 50 9 59 50.000 30.000 80.000

243

17 Mwanza 4 5 9 30.675 40.150 70.825 18 Njombe 35 35 70 17.500 31.000 48.500 19 Rukwa 11 43 54 11.000 34.400 45.400 20 Ruvuma 30 42 72 27.455 104.950 132.405 21 Shinyanga 8 7 15 37.524 59.027 96.551 22 Simiyu 4 3 7 64.949 45.000 109.949 23 Singida 23 12 35 106.188 27.500 133.688 24 Tabora 125 75 200 60.000 24.000 84.000 25 Tanga 5 17 22 15.000 106.700 121.700 TOTAL 1,187 1,141 2,328 1,482.187 1,674.975 3,157.162 NOTE:- TR – Trunk Road RR – Regional Roads

244

KIAMBATISHO NA. 5 (E)

MATENGENEZO MAKUBWA YA MADARAJA NA MAKALVATI (BRIDGE MAJOR REPAIR) KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA BARABARA MWAKA WA FEDHA 2013/14 – BARABARA KUU NA ZA MIKOA

(d) Barabara Kuu Estimated Expenditure in TShs. ''mio.'' FY 2013/14 Total Total RF Region Name of Bridge No. of Roads Foreign Estimate for Region bridges Fund Arusha Matala - Njia Panda 2 324.095 - 324.095 324.095 Coast Kibaha - Mlandizi - 1 218.098 218.098 787.098 Ngerengere Kibiti - Ikwiriri - Malendego 1 569.000 - 569.000 DSM Morogoro Road 5 160.000 - 160.000 330.000 Kilwa Road 3 40.000 - 40.000 Nyerere Road 1 10.000 10.000 New Bagamoyo Road 4 80.000 80.000 Mandela Road 3 40.000 - 40.000 Dodoma Gairo (Morogoro/Ddm Brd) - 2 389.712 - 389.712 Dodoma - Kintinku Dodoma - Bereko ( 1 80.000 80.000 469.712 Dodoma/Manyara Border) Iringa TANZAM 1 11.050 - 11.050 Mafinga - Mgololo ( Paved) 1 17.100 17.100 Mafinga - Mgololo (Unpaved) 1 50.000 - 50.000 78.150 Kagera Bukoba - Bukoba Port 1 399.250 - 399.250 399.250

245

Katavi Mpanda - Koga 1 60.000 - 60.000 60.000 (Katavi/Tabora Border) Kilimanjaro Same - Himo Jct - KIA Jct 4 350.000 - 350.000 350.000 Mara Sirari Jct-Sirari 1 400.000 - 400.000 400.000 Mbeya Uyole - Ibanda - Kasumullu ( 1 103.000 - 103.000 103.000 Tz/Malawi Border) Morogoro Tanzam Highway ( 10 156.000 - 156.000 601.000 Coast/Moro /Iringa Brd Morogoro - 10 185.000 - 185.000 Gairo(Moro/Dodoma Brd) Mikumi - Mahenge /Lupiro K/k 6 260.000 - 260.000 Mpepo - Londo Mtwara Mtwara - Mtegu 3 586.744 - 586.744 1,264.004 Mkungu - Masasi 2 377.260 - 377.260 Mangaka - Mtambaswala 1 300.000 - 300.000 Mwanza Mwanza - Simiyu brd 1 300.000 - 300.000 (Mabatini pedestrian bridge) Ibanda (Geita brd)- Usagara - 2 78.665 - 78.665 378.665 Mwanza - Simiyu Brd Njombe Lukumburu-Makambako 2 20.000 - 20.000 122.550 Itoni-Ludewa-Manda 4 102.550 - 102.550

246

Ruvuma Lumesule-Songea - 5 40.000 - 40.000 Lukumburu 50.280 Lukufusi-Mkenda 1 10.280 - 10.280 Simiyu Mwangongo(Shy/Simiyu 2 425.500 - 425.500 425.500 Border)-Lalago-Mwanhuzi Singida Kintinku - (Dod/Sgd brd) - Sdg 1 400.000 - 400.000 400.000 /Tbr Brd Tabora Rungwa (Mbeya Border) - 1 164.922 - 164.922 164.922 Ipole Total 85 6,708.226 - 6,708.226 6,708.226

(b) Barabara za Mikoa Estimated Expenditure in TShs. ''mio.'' Region Name of Bridge No. of FY 2013/14 Total Total RF for bridges Roads Foreign Estimate Region Fund Arusha Usa river - Oldonyo Sambu 1 97.780 - 97.780 Olkoi II 1 100.000 - 100.000 T/Packers Losinyai 1 97.780 - 97.780 Karatu - Kilimapunda 1 97.774 - 97.774 393.334 Coast Mbuyuni - Saadani - 1 150.000 - 150.000 Makurunge Kiluvya - Mpuyani 1 200.000 - 200.000 587.951 Makofia - Mlandizi - 1 237.951 - 237.951 Maneromango

247

DSM Kinyerezi -Majumba Sita 1 2,100.000 - 2,100.000 2100.000 Ukonga Dodoma Olbolot - Dalai - Kolo 1 80.000 - 80.000 Pandambili-Mpwapwa- 1 80.000 - 80.000 Ngambi Zamahero - Kwamtoro - 1 80.000 - 80.000 Kinyamshindo Ihumwa - Hombolo - 1 80.000 - 80.000 Mayamaya Mpwapwa - Gulwe- 1 80.000 - 80.000 Kibakwe-Chipogolo Mpwapwa-Makutano Jct- 1 80.000 - 80.000 880.000 Pwaga Jct-Lumuma Chamwino Jct-Ikulu Jct - 1 80.000 - 80.000 Chamwino - Dabalo -Itiso Chali Igongo (D/Sg Bd) 2 160.000 - 160.000 Chidilo Jct - Bihawana Jct Kibaigwa-Manyata Jct- 1 80.000 - 80.000 Ngomai-Njoge-Dongo (Dodoma Manyara Border) Mtiriangwi/Gisambalang- 1 80.000 - 80.000 Kondoa

248

Geita Wingi 3 ( Mz/Gt Brd) 1 70.000 - 70.000 520.000 Nyang'olongo ( Gt/Shy Bdr) Nyankumbu - Nyang'hwale 2 170.000 - 170.000 Mtakuja - Bukoli Buyange( 2 180.000 180.000 Kagera/Geita Border) Katoro - Ushirombo 1 100.000 - 100.000 Iringa Kinyanambo - Sadani - 2 23.675 - 23.675 Mbeya Brd Iringa - Msembe 1 21.675 21.675 Iringa - Pawaga 3 25.000 - 25.000 Kinyanambo C - Kisusa 1 82.000 - 82.000

Iringa - Idete 1 100.000 100.000

Ihemi - Ihimbo 1 50.000 - 50.000 394.250 Mbalamaziwa - Kwatwanga 2 41.900 - 41.900 Ilula - Kilolo 2 50.000 - 50.000 Kagera Murugarama - Rulenge - 1 35.000 - 35.000 111.550 Nyakahura Rutenge - Rubale - Kishoju 2 76.550 - 76.550 Katavi Majimoto - Inyonga 13 648.000 - 648.000 Sitalike - Kibaoni - Kasansa 1 50.375 50.375 Kagwira - Karema 5 175.000 - 175.000 Ugalla-Myamasi 1 80.000 - 80.000 953.375 Kigoma Simbo - Ilagala - Kalya 8 1,140.000 - 1,140.000 1140.000

249

Kilimanjaro Same kwa Mgonja- 1 250.000 - 250.000 Makanya Kifaru-Butu-Kichwa cha 1 225.000 225.000 ng'ombe 1225.000 Tarakea Jct - Tarakea 1 250.000 - 250.000 Nayemi Same - Kisiwani - Mkomazi 3 500.000 - 500.000 Lindi Kilwa Masoko - 2 149.260 - 149.260 1344.450 Nangurukuru - Liwale Road Liwale - Nachingwea - 1 90.500 - 90.500 Lukuledi ( Lindi /Mtr Brd) Mtama - Mikao (Lukuledi II 1 700.000 - 700.000 bridge) Ngongo - Ruangwa - 1 70.000 - 70.000 Ruangwa Jct Kiranjeranje - Nanjirinji - 1 334.690 - 334.690 Namichiga Manyara Kilimapunda - Kidarafa 1 571.000 - 571.000 Losinyai - Njiro 2 182.000 - 182.000 Kiru Jct - Mahakamani 1 150.000 - 150.000 903.000 Mara Mika - Ruari Port 1 100.000 - 100.000 400.000 Sirori Simba - Majimoto - 1 100.000 - 100.000 Mto Mara Nyankanga - Rung'abure 1 100.000 - 100.000 Musoma - Makojo 1 100.000 - 100.000

250

Mbeya Mbalizi-Makongolosi 1 100.000 - 100.000 Isongole II - Isoko 1 100.000 100.000 Mbalizi-Shigamba-Isongole 1 100.000 - 100.000 300.000 Morogoro Mvomero - Lusanga 2 40.000 - 40.000 851.000 Kimamba - Rudewa 2 300.000 - 300.000 Sangasanga - Langali 7 210.000 - 210.000 Msomvizi - Mikese 7 301.000 - 301.000 Mtwara Mkwiti - Kitangari - Amkeni 1 183.325 - 183.325 483.325 Magamba - Mitemaupinde 1 300.000 - 300.000 (Likwamba ) Mwanagwa -Misasi - 1 55.257 55.257 Salawe(Mz /Shy Brd) Mwanza Ngudu - Malya ( Mz / Shy 1 140.000 - 140.000 195.257 Brd) Njombe Kikondo-Njombe 3 30.327 - 30.327 Kibena-Lupembe 1 19.514 - 19.514 272.661 Mlangali-Ikonda 2 222.820 - 222.820 Rukwa Mtowisa - Ilemba 12 1,670.000 - 1,670.000 1670.000 Ruvuma Mbambabay -- Lituhi 3 284.000 - 284.000 Kigonsera - Mbaha 2 10.000 10.000 Namtumbo-Likuyu 1 10.000 10.000 Mtwarapachani - 4 75.000 75.000 Lingusenguse-Nalasi 409.000 Paradiso - Kingole 1 30.000 - 30.000

251

Shinyanga Shinyanga - Bubiki 2 475.147 - 475.147 902.816 Kishapu - Buzinza 1 110.000 110.000 Kanawa Jct – ManongaRiver 2 317.669 317.669 ( Tbr/Shy Brd) Simiyu Mwandete-Mwamanoni 1 275.000 275.000 275.000 Singida Ilongero - Mtinko - Nduguti 1 160.000 - 160.000 1131.189 Kidarafa ( Mnyr/Sgd Brd)- 2 350.000 - 350.000 Nkungi Iguguno - Shamba - 1 168.791 - 168.791 Nduguti - Gumanga Iyumbi (Tbr brd) - Mgungira 1 120.000 - 120.000 - Magereza (Sdg ) Njuki - Ilongero - Ngamu 1 60.000 - 60.000 Soweto - Kiomboi - Kisiriri - 1 45.000 - 45.000 Chemchem Ulemo-Gumanga-Sibiti 1 50.000 - 50.000 Kinyamshindo-Kititimo 1 177.398 - 177.398 Tabora Ugala-Kaliua-Ulyankulu- 2 712.492 - 712.492 982.492 Ng'wande Manonga River (Shinyanga 1 270.000 270.000 Tabora Border)-Igurubi Tanga Kwekivu Jct - Iyongwe 3 1,254.900 - 1,254.910 1254.910 Total 164 19,680.550 - 19,680.550 19,680.560

TRUNK & REGIONAL ROADS BRIDGES: Major repairs FY 2013/14 Target Roads Fund Foreign Total 249.00 26,388.786 - 26,388.786

252

KIAMBATISHO NA. 6

RAMANI ZA MIKOA ZINAZOONYESHA MTANDAO WA BARABARA KUU NA ZA MIKOA

253