Majadiliano Ya Bunge ______
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
25 JUNI, 2013 MREMA FULL.Pmd
25 JUNI, 2013 BUNGE LA TANZANIA ________________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Hamsini na Sita - Tarehe 25 Juni, 2013 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati Ifuatazo Iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA:- Taarifa ya Mwaka na Hesabu Zilizokaguliwa za TCRA Consumer Consultative Council (TCRA (CCC) kwa Mwaka ulioshia tarehe 30 Juni, 2012 (The Annual Report and Audited Accounts of TCRA Consumer Consultative Council (TCRA – CCC) for the Year Ended 30th June, 2012). MASWALI NA MAJIBU Na. 457 Wakuu wa Mikoa/Wilaya Kuwa Wabunge MHE. CHRISTOWAJA G. MTINDA aliuliza:- Moja ya majukumu ya Bunge ni kuisimamia na kuishauri Serikali na pia Ibara ya 67(2)(g) ya Katiba ya Jamhuri 1 25 JUNI, 2013 ya Muungano wa Tanzania inaeleza kukoma kwa mtu kuwa Mbunge endapo mtu huyo amepewa madaraka ya Afisa Mwandamizi katika Utumishi wa Umma. (a) Je, ni kwa maana gani Wabunge ambao ni Wakuu wa Mikoa au Wakuu wa Wilaya wanatimiza majukumu yao ya Kibunge? (b) Je, ni kwa namna gani viongozi hao wanakiuka Ibara ya 67(2)(g)ya Katiba pamoja na kuwa wanateuliwa na Rais? WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, SERA, URATIBU NA BUNGE) alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Christowaja Gerson Mtinda, Mbunge wa Viti Maalum, lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:- (a) Mheshimiwa Naibu Spika, Wabunge ambao ni Wakuu wa Mikoa au Wilaya wanatimiza majukumu yao ya Kibunge kwa kuzingatia Ibara 63(3)(a) – (e) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. -
MKUTANO WA PILI Kikao Cha Tisa
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA __________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA PILI Kikao cha Tisa - Tarehe 17 Februari, 2006 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA: Taarifa ya mwaka ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali za Mitaa kwa mwaka wa fedha unaoishia tarehe 30 Juni, 2004. Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha. MASWALI NA MAJIBU Na. 94 Uwekaji wa Lami Barabara ya Kigogo - Mabibo - Mandela - Tabata MHE. HALIMA J. MDEE aliuliza:- Je, Serikali ina mpango gani wa kuweka lami kwenye barabara ya Kigogo- Mabibo hadi barabara ya Mandela kuelekea Tabata ili kupunguza msongamano wa magari katika barabara ya Morogoro? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA alijibu:- Mheshimiwa Spika, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Halima Mdee, Mbunge wa Viti Maalum, kama ifuatavyo:- 1 Mheshimiwa Spika, barabara ya Kigogo - Mabibo- Mandela kuelekea Tabata ni barabara ya mjini yaani urban road na inahudumiwa na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Barabara hii ni muungano wa barabara tatu ambazo ni Kigogo - Mabibo, Mabibo - Mandela na Mandela - Tabata. Barabara hii imekuwa ikifanyiwa matengenezo ya mara kwa mara na Manispaa ya Kinondoni. Kwa mwaka 2005/2006 jumla ya shilingi 9,836,000 zilitumika kuweka kifusi kwenye sehemu korofi na kuichonga kwa greda. Mheshimiwa Spika, barabara hii inapitika isipokuwa katika mpaka wa Manispaa za Kinondoni na Ilala eneo la Tabata ambapo pana mkondo wa maji na hakuna daraja. -
TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity?
TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? With Partial Support from a TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? ACKNOWLEDGEMENTS This review was compiled and edited by Tanzania Development Research Group (TADREG) under the supervision of the Steering Group of Policy Forum members, and has been financially supported in part by Water Aid in Tanzania and Policy Forum core funders. The cartoons were drawn by Adam Lutta Published 2013 For more information and to order copies of the review please contact: Policy Forum P.O Box 38486 Dar es Salaam Tel: +255 22 2780200 Website: www.policyforum.or.tz Email: [email protected] ISBN: 978-9987 -708-09-3 © Policy Forum The conclusions drawn and views expressed on the basis of the data and analysis presented in this review do not necessarily reflect those of Policy Forum. Every effort has been made to verify the accuracy of the information contained in this review, including allegations. Nevertheless, Policy Forum cannot guarantee the accuracy and completeness of the contents. Whereas any part of this review may be reproduced providing it is properly sourced, Policy Forum cannot accept responsibility for the consequences of its use for other purposes or in other contexts. Designed by: Jamana Printers b TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? TABLE OF CONTENTS POLICY FORUM’s OBJECTIVES ............................................................................................................. -
Tanzania Human Rights Report 2008
Legal and Human Rights Centre Tanzania Human Rights Report 2008: Progress through Human Rights Funded By; Embassy of Finland Embassy of Norway Embassy of Sweden Ford Foundation Oxfam-Novib Trocaire Foundation for Civil Society i Tanzania Human Rights Report 2008 Editorial Board Francis Kiwanga (Adv.) Helen Kijo-Bisimba Prof. Chris Maina Peter Richard Shilamba Harold Sungusia Rodrick Maro Felista Mauya Researchers Godfrey Mpandikizi Stephen Axwesso Laetitia Petro Writers Clarence Kipobota Sarah Louw Publisher Legal and Human Rights Centre LHRC, April 2009 ISBN: 978-9987-432-74-5 ii Acknowledgements We would like to recognize the immense contribution of several individuals, institutions, governmental departments, and non-governmental organisations. The information they provided to us was invaluable to the preparation of this report. We are also grateful for the great work done by LHRC employees Laetitia Petro, Richard Shilamba, Godfrey Mpandikizi, Stephen Axwesso, Mashauri Jeremiah, Ally Mwashongo, Abuu Adballah and Charles Luther who facilitated the distribution, collection and analysis of information gathered from different areas of Tanzania. Our 131 field human rights monitors and paralegals also played an important role in preparing this report by providing us with current information about the human rights’ situation at the grass roots’ level. We greatly appreciate the assistance we received from the members of the editorial board, who are: Helen Kijo-Bisimba, Francis Kiwanga, Rodrick Maro, Felista Mauya, Professor Chris Maina Peter, and Harold Sungusia for their invaluable input on the content and form of this report. Their contributions helped us to create a better report. We would like to recognize the financial support we received from various partners to prepare and publish this report. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA NANE Kikao cha Thelathini na Tisa – Tarehe 2 AGOSTI, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) DUA Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013. SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, naomba mzime vipasa sauti vyenu maana naona vinaingiliana. Ahsante Mheshimiwa Naibu Waziri, tunaingia hatua inayofuata. MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Leo ni siku ya Alhamisi lakini tulishatoa taarifa kwamba Waziri Mkuu yuko safarini kwa hiyo kama kawaida hatutakuwa na kipindi cha maswali hayo. Maswali ya kawaida yapo machache na atakayeuliza swali la kwanza ni Mheshimiwa Vita R. M. Kawawa. Na. 310 Fedha za Uendeshaji Shule za Msingi MHE. VITA R. M. KAWAWA aliuliza:- Kumekuwa na makato ya fedha za uendeshaji wa Shule za Msingi - Capitation bila taarifa hali inayofanya Walimu kuwa na hali ngumu ya uendeshaji wa shule hizo. Je, Serikali ina mipango gani ya kuhakikisha kuwa, fedha za Capitation zinatoloewa kama ilivyotarajiwa ili kupunguza matatizo wanayopata wazazi wa wanafunzi kwa kuchangia gharama za uendeshaji shule? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Vita Rashid Kawawa, Mbunge wa Namtumbo, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) imepanga kila mwanafunzi wa Shule ya Msingi kupata shilingi 10,000 kama fedha za uendeshaji wa shule (Capitation Grant) kwa mwaka. -
1 Bunge La Tanzania
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ____________ MKUTANO WA TISA Kikao cha Tatu – Tarehe 1 Novemba, 2007 (Mkutano Ulianza Saa 3.00 Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU Na. 28 Majibu ya Maswali Bungeni MHE. JUMA HASSAN KILLIMBAH aliuliza:- Kwa kuwa baadhi ya majibu ya Serikali kwa maswali ya Waheshimiwa Bungeni, mara nyingi yamekuwa hayamridhishi muuliza swali na hata wananchi anaowawakilisha Bungeni hasa pale Serikali ilipotoa majibu kama Mheshimiwa Mbunge avute subira, Mheshimiwa Mbunge ashirikiane na Halmashauri yake na au hali ya Serikali itakapokuwa nzuri na kadhalika. (a) Je, Serikali inaweza kutueleza ni taratibu gani zinazostahili kuchukuliwa hasa pale ambapo majibu ya maswali yamepitiliza muda wa utekelezaji na vile vile kutofanikiwa kwa juhudi na nyingine za kupata ufumbuzi kutoka kwenye Halmashauri? (b) Je, kwa nini Serikali isitoe majibu yenye ukomo ili muuliza swali awe na majibu ya kuwapa wapiga kura wake badala ya kuambiwa avute subira isiyo na mwisho? (c) Je, Serikali iko tayari kuwa na utaratibu wa kufuatilia majibu ya Mawaziri na kuhimiza utekelezaji wa ahadi za Serikali? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, MAAFA NA KAMPENI DHIDI YA UKIMWI (MHE. DR. LUCAS SIYAME) alijibu:- 1 Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Juma Hassan Killlimbah, Mbunge wa Iramba Magharibi, lenye sehemu (a), (b) na (c) kama ifuatavyo:- (a) Mheshimiwa Naibu Spika, maswali ya Waheshimiwa Wabunge, yanapatiwa majibu kamilifu kutoka Serikali kwa mujibu wa Kanuni za Bunge hili Tukufu. Majibu ya Serikali kwa kuzingatia Kanuni ya 37 A (1), (2) na (3) yamekuwa yakionyesha hatua zilizochukuliwa, zinazochukuliwa au zitakazochukuliwa na Serikali katika utekelezaji wa jambo lenyewe. -
Bunge La Tanzania ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _____________ MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Ishirini na Tisa – Tarehe 25 Julai, 2006 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Jenista J. Mhagama) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI: Hati zifuatazo ziliwasilishwa mezani na:- NAIBU WAZIRI WA FEDHA (MHE. MUSTAFA HAIDI MKULO): Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Mamlaka ya Mapato Tanzania kwa mwaka 2004/2005 [The Annual Report and Accounts of Tanzania Revenue Authority for the year 2004/2005] NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI (MHE. BERNARD KAMILLIUS MEMBE: Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kwa Mwaka wa Fedha 2006/2007. MWENYEKITI WA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA: (MHE. WILLIAM J. KUSILA): Maoni ya Kamati ya Ulinzi na Usalama Kuhusu Utekelezaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa Mwaka wa Fedha Uliopita, Pamoja na Maoni ya Kamati Kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka 2006/2007. MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI: (MHE. MUHONGA S. RUHWANYA): Maoni ya Kambi ya Upinzani Kuhusu Utekelezaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa Mwaka wa Fedha Uliopita, Pamoja na Maoni Kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka 2006/2007. MASWALI NA MAJIBU MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge kabla ya maswali, kwa kuwa leo ni hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, naomba kwa kweli kwa heshima tutatumbue wageni wa Mheshimiwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, 1 Mheshimiwa Kapten Chiligati, lakini wageni hao wamekuja pia kwa niaba ya Mheshimiwa John Lwanji, hao wote ni Wabunge wanaotoka kwenye Halmashauri moja. -
Tarehe 15 Aprili, 2011
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA TATU Kikao cha Nane – Tarehe 15 Aprili, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA: Taarifa ya Mwaka na Hesabu zilizokaguliwa za Tume ya Ushindani kwa Mwaka wa Fedha 2008/2009 (The Annual Report and Audited Accounts of the Fair Competition Commission (FCC) for the Financial Year 2008/2009). Taarifa ya Mwaka na Hesabu zilizokaguliwa za Wakala wa Usajili wa Biashara na Utoaji Leseni kwa Mwaka wa Fedha 2006/2007 na Mwaka wa Fedha 2007/2008 (The Annual Reports and Audited Accounts of Business Registrations and Licensing Agency (BRELA) for the Financial Years 2006/2007 and 2007/2008). MASWALI NA MAJIBU Na. 100 Mpango wa Kutwaa Ardhi kwa Ajili ya Kupanga na Kupanua Mji MHE. JOSEPH R. SELASINI (K.N.Y. MHE. PHILIPA G. MTURANO) aliuliza:- Serikali ina mpango wa kutwaa ardhi za Wananchi wa Kata ya Somangila, Mitaa ya Kizani na Mwera kupima viwanja kwa lengo la kupanua mji; na kwa mujibu wa Sheria ya Vijiji ya Mwaka 1999 na Kanuni zake zinazitaka mamlaka zinazotwaa ardhi za Vijiji kulipa fidia kamili ya haki na ilipwe kwa wakati:- (a) Je, ni Wakazi wangapi wa Mitaa ya Kizani na Mwera wamelipwa fidia ya mali zao, usumbufu, malazi, upotevu wa faida na usafiri? 1 (b) Je, mpaka hivi sasa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke imekamilisha zoezi la ulipaji fidia kwa mujibu wa Sheria husika? (c) Ni kiasi gani cha fedha kimeshatumika katika zoezi hilo? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, ninaomba kujibu swali la Mheshimiwa Philipa Mturano, Mbunge wa Viti Maalum, lenye sehemu (a), (b) na (c), kwa pamoja kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, ninapenda kumfahamisha Mheshimiwa Mbunge kuwa, hadi sasa hakuna Mkazi wa Mtaa wa Kizani na Mwera aliyelipwa fidia. -
23 Aprili, 2013
23 APRILI, 2013 BUNGE LA TANZANIA ___________________ MAJADILIA NO YA BUNGE ___________________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Kumi na Moja - Tarehe 23 Aprili, 2013 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job A. Ndugai ) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati Ifuatayo Iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA MAJI: Randama za Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Maji kwa Mwaka wa Fedha 2013/2014. MASWALI NA MAJIBU Na. 86 Kupeleka Umeme – Sekondari za Kata. MHE. HEZEKIAH N.CHIBULUNJE (K.n.y. MHE. DKT. DAVID M. MALLOLE) aliuliza:- Chanzo kimojawapo kinachosababisha taaluma katika shule zetu za Kata kushuka ni ukosefu wa Nishati katika maabara, Maktaba na kwenye Mabweni ya wanafunzi. 1 23 APRILI, 2013 (a) Je, Serikali ina mpango gani wa kupeleka umeme shule za Kata hasa zile za Bweni ili kuimarisha taaluma kwenye shule hizo? (b) Je, shule za Kata za Kikombo, Mpunguzi na Ipagala katika Jimbo la Dodoma Mjini watapata lini umeme ambao wameahidiwa kwa muda mrefu sasa? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU) alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu ninaomba kujibu swali la Mheshimiwa Dkt. David Mciwa Mallole, Mbunge wa Dodoma Mjini, lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:- (a) Mheshimiwa Naibu Spika, kupitia mpango wa Elimu ya Sekondari awamu ya pili, Serikali itakamilisha ujenzi wa shule za sekondari 1,200 kwa kuweka miundombinu muhimu ikiwemo umeme, awamu ya kwanza imeanza kwa shule 264 kwa thamani ya shilingi bilioni 56.3 ambapo suala la umeme wa gridi ya Taifa au umeme wa jua limepewa kipaumbele. -
Tarehe 21 Mei, 2015
Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA ISHIRINI Kikao cha Tisa – Tarehe 21 Mei, 2015 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua TAARIFA YA SPIKA SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kwa mujibu wa Kanuni ya 33(1) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la 2013; tarehe 15 Mei, 2015 nilitoa taarifa kwamba Miswada tisa ya Sheria ya Serikali iliyopitishwa katika Mkutano wa Kumi na Tisa wa Bunge ilikwishapata kibali cha Mheshimiwa Rais na kuwa Sheria za nchi. Kwa taarifa hii ya leo, napenda kuliarifu Bunge hili Tukufu kwamba Miswada mitano iliyokuwa imebaki nayo imekwishapata kibali cha Mheshimiwa Rais na kuwa sheria ziitazwo:- Ya kwanza, Sheria ya Udhibiti na Usimamizi wa Dawa za Kulevya ya Mwaka 2015 (The Drug Control and Enforcement Act, 2015) Na. 5 ya Mwaka 2015. Ya pili, Sheria ya Usimamizi wa Maafa ya Mwaka 2015, (The Disaster Management Act, 2015) Na. 7 ya Mwaka 2015. Ya tatu, Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Uhamiaji ya Mwaka 2015 (The Immigration Amendment Act, 2015) Na. 8 ya Mwaka 2015. Ya nne, Sheria ya Usimamizi wa Kodi ya Mwaka 2015, (The Tax Administration Act, 2015) Na. 10 ya Mwaka 2015 na; Ya Tano, Sheria ya Bajeti ya Mwaka 2015 (The Budget Act) Na. 11 ya Mwaka 2015. 1 Nakala ya Mtandao (Online Document) Kwa hiyo, Waheshimiwa sasa hii ni Miswada ya kisheria. (Makofi) HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa na:- SPIKA: Waheshimiwa Wabunge hati za kuwasilisha mezani, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi! Mheshimiwa Naibu Waziri! NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI: Randama za Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa mwaka wa fedha 2015/2016. -
Nur Zur Information 06/2012 Juni
Kein Pressedienst - Nur zur Information 06/2012 Juni Zusammengefasste Meldungen aus: Daily/Sunday News (DN), The Guardian, Sunday Observer, ITV Habari, Nipashe, The Citizen, ThisDay, Arusha Times, Msema Kweli, The East African, Uhuru na Amani (Zeitschrift der ELCT), UN Integrated Regional Information Networks (IRIN) und anderen Zeitungen und Internet Nachrichtendiensten in unregelmäßiger Auswahl Wechselkurs 22.05.2012 (Mittelwert) für 1,-- € 1.988/- TSh (http//www.oanda.com/lang/de/currency/converter) Export, lokale Nachfrage, Preis und Aufbereitung der Cashewnüsse Seite 2 Aufbereitung, Verpackung; Niedergang; Absatzstau; Regierung verspricht Hilfe; Verarbeitung; Planung Parlament: Debatte, Misstrauensvotum angestrebt, neue Abgeordnete Seite 3 Kritik, Misstrauensvotum; Reaktionen; Parlamentsdebatte vertagt; Kikwetes Reaktion auf Debatte, neue Abgeordnete Umbildung des Kabinetts Seite 4 Vorbereitung; zum neuen Kabinett; Reaktionen; Bestrafung möglich Das neue Kabinett, Vereidigung am 7.5.12 Seite 5 Schulische Bildungsarbeit Seite 6 Qualität der Schulbildung; katholische Schulen; Einschulung und Dauer der Primarschule; Lehrplan; Diskriminierung; Lager der Dorfschulen; Probleme, Erfolge der Lehrkräfte; Erwachsenenbildung Unterschiedliche Prüfungen Seite 8 Betrügerei; Abschluss der Primarschule; Prüfung nach Form IV; nach Form VI Schwangerschaft und Verheiratung von Schülerinnen Seite 9 Berichte über Kinderarbeit Seite 10 Unterschiedliche Arbeitsgebiete; Kinder in Goldminen; Kinderarbeit im Geita Distrikt; im Rombo-Distrikt; auf Sansibar -
Majadiliano Ya Bunge Mkutano Wa Kumi Na Mbili
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ______________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA KUMI NA MBILI Kikao cha Ishirini na Sita – Tarehe 17 Julai, 2008 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Anne S. Makinda ) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, leo ni siku ya alhamisi, kwa hiyo tuna kipindi kile cha Maswali kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu kama kawaida yetu. Katibu tuendelee na Order Paper. MASWALI KWA WAZIRI MKUU NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, atakayeuliza swali la kwanza ni Mheshimiwa Mgana Msindai. MHE. MGANA I. MSINDAI: Mheshimiwa Naibu Spika……! MHE. HAMAD RASHID MOHAMED: Mwongozo wa Spika. NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Mgana Msindai samahani naomba ukae. Nilikuwa sijamwangalia Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni. Kwa kawaida utaratibu wetu hapa akiwepo Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni inabidi yeye apewe nafasi ya kwanza ya kuuliza swali. Sasa nilikuwa nimepitiwa. Mheshimiwa Hamad Rashid Mohamed, Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni. MHE. HAMAD R. MOHAMED: Mheshimiwa Naibu Spika, nakushukuru sana. Swali kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu. Mheshimiwa Waziri Mkuu mwaka 1992 Mahakama ya Rufaa katika kesi ya Seif Sharrif Hamad, Waziri Kiongozi wa SMZ ilibaini kuwa kuna utata mkubwa katika 1 vifungu vingi vya Katiba na Mahakama ya Rufaa ikapendekeza kwa Mamlaka mbili kwamba zikae kitako ili kutatua matatizo hayo pamoja na vifungu vingine vya Katiba ambavyo vina utata. Tokea wakati huo mpaka leo Mamlaka hizo mbili hazijachukua hatua yoyote mpaka tumefikia leo kuna matatizo. Je, Mheshimiwa