Majadiliano Ya Bunge ______
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ________________ MAJADILIANO YA BUNGE _________________ MKUTANO WA KUMI NA MBILI Kikao cha Ishirini na Nne - Tarehe 15 Julai, 2003 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Juma J. Akukweti) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS (UTUMISHI): Hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi) kwa mwaka wa Fedha 2003/2004. MHE. RAMADHANI H. KHALIFAN (K.n.y. MHE. ATHUMANI S. M. JANGUO - MWENYEKITI WA KAMATI YA UTAWALA, KATIBA NA SHERIA): Taarifa ya Kamati ya Utawala, Katiba na Sheria kuhusu utekelezaji wa Ofisi ya Rais (Utumishi) katika mwaka uliopita, pamoja na maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Ofisi hiyo kwa mwaka 2003/2004. MASWALI NA MAJIBU Na. 229 Utoaji wa Vibali vya Kukata Miti ya Kuchoma Mkaa MHE. LEKULE M. LAIZER aliuliza:- Kwa kuwa Serikali za Vijiji zinajitahidi sana kulinda mazingira kwa kukataza watu wasikate miti kwa ajili ya kuchoma mkaa lakini baadhi ya Maafisa wa Wilaya hutoa vibali kwa watu kukata miti kwa ajili ya shughuli hiyo na wakati huo huo kuharibu misitu. Je, kwa nini utaratibu wa kutoa vibali kwa ajili ya shughuli hiyo usifanywe na wenye ardhi ambao ni Serikali za Vijiji badala ya kutolewa na Maafisa wa Wilaya? NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Lekula Laizer, Mbunge wa Longido, kama ifuatavyo:- 1 Mheshimiwa Naibu Spika, ni kweli kuwa Serikali za Vijiji zinajitahidi sana kulinda mazingira kwa kukataza watu wasikate miti hovyo kwa matumizi mbalimbali. -
1 Bunge La Tanzania
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE ________ MKUTANO WA KUMI NA NANE Kikao cha Pili - Tarehe 2 Februari, 2005 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Pius Msekwa) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa mezani na:- NAIBU WAZIRI WA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA ELIMU YA JUU: Taarifa ya Utekelezaji na Hesabu zilizokaguliwa za Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo kwa mwaka 2002/2003 (Report of the Activities and Audited Accounts of SokoineUniversity of Agriculture for the year 2002/2003). Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Chuo Kikuu Mzumbe kwa mwaka 2002/2003 (The Annual Report and Accounts of the Mzumbe University for the Year 2002/2003). MASWALI NA MAJIBU Na 11 Mishahara ya Maafisa Watendaji wa Vijiji MHE. TALALA B. MBISE aliuliza: - 1 (a) Je, Serikali imeanza kulipa mishahara ya Watendaji wa Vijiji (VEOs) kuanzia lini na ni wangapi kwenye Wilaya zipi ambazo bado hawajalipwa? (b) Je, Halmashauri za Wilaya na Vijiji zilitazamiwa kuwajibika kulipa Watendaji wa Vijiji kwa kipindi chochote kipi tangu Serikali itoe tamko la kuwalipa mishahara wahusika? NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA alijibu: - Mheshimiwa Spika, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Talala Bana Mbise, Mbunge wa Arumeru Mashariki, lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo: - (a) Mheshimiwa Spika, kulingana na takwimu za mwezi Desemba 2004, jumla ya vijiji 9,808 vimeandikishwa. Kwa msingi huu kila kijiji kilitakiwa kuwa na afisa mtendaji. Katika hotuba yangu ya Bajeti ya mwaka 2003/2004 niliyoitoa ndani ya Bunge lako Tukufu nilieleza kuhusu utaratibu wa ajira ya Maafisa Watendaji wa Vijiji na Mitaa. -
East African Prospects
Report East African prospects An update on the political economy of Kenya, Rwanda, Tanzania and Uganda David Booth, Brian Cooksey, Frederick Golooba-Mutebi and Karuti Kanyinga May 2014 May 2014 Report East African prospects An update on the political economy of Kenya, Rwanda, Tanzania and Uganda David Booth, Brian Cooksey, Frederick Golooba-Mutebi and Karuti Kanyinga Prospects in Kenya, Rwanda, Tanzania and Uganda are a matter of small variations and stepwise change within ‘limited access orders’ Pockets of crony capitalist success are set to get larger and more dynamic in Kenya, with some spread effects Political obstacles to coordinated sector reform are going to endure, with especially damaging effects in Tanzania The leadership factors that matter are collective and have to do with political organisation and underlying settlements Reforms could be achieved ‘against the odds’ if practical development organisations were to adopt a different way of working Shaping policy for development odi.org Acknowledgements The authors are grateful to the large number of individuals who shared views and insights on a confidential basis with the research team. The views expressed in the report are, however, those of the authors alone, and we remain responsible for any errors or omissions. No opinions should be attributed to the Overseas Development Institute. East African prospects i Table of contents Acknowledgements i Abbreviations iv Executive summary vii Framing the study vii Kenya viii Tanzania ix Uganda ix Rwanda x Implications and ways -
Majadiliano Ya Bunge
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA KUMI NA SABA Kikao cha Sita - Tarehe 9 Novemba, 2004 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A (Saa 3.02 asubuhi Bunge liliahirishwa kwa muda kutokana na vipaza sauti kutofanya kazi vizuri) (Saa 3.40 asubuhi Bunge lilirudia) SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, hali yetu ya umeme ndani ya ukumbi haijatengamaa sawa sawa, lakini microphone za hapa mbele zinafanya kazi vizuri. Nashauri kwa wenye maswali yao kwenye Order Paper wafanye kama Mawaziri wanavyofanya inapofika zamu yake ya kujibu swali anakuja kwenye podium anajibu swali anarudi kwake. Sasa nashauri kwa Waheshimiwa Wabunge ambao maswali yao yako kwenye order paper wafanye hivyo hivyo waje watumie vyombo vya mbele. Akiona zamu yake inakaribia anakuja na napenda niliarifu Bunge kwamba vyombo vyote vilivyomo humu ndani ni vya Spika, hakuna cha Upinzani wala cha Serikali vyote ni vya Spika. Kwa hiyo, wauliza maswali watatumia chombo cha kushoto kwangu na Mawaziri watatumia chombo cha kulia kwangu kujibu maswali haya. (Makofi) HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA KILIMO NA CHAKULA: 1 Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Taasisi ya Utafiti wa Viuatilifu Katika Nchi za Tropical kwa Mwaka Ulioishia Tarehe 30 Juni, 2003 (The Annual Report and Account of the Tropical Pesticides Research Institute for the year ended 30th June, 2003). Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Bodi ya Korosho Tanzania kwa Mwaka Ulioishia tarehe 30 Septemba, 2003 (The Annual Report and Accounts of the Cashewnut Board of Tanzania for the year ended 30th September, 2003). -
Life in Tanganyika in the Fifties
Life in Tanganyika in The Fifties Godfrey Mwakikagile 1 Copyright ( c) 2010 Godfrey Mwakikagile All rights reserved under international copyright conventions. Life in Tanganyika in the Fifties Third Edition ISBN 978-9987-16-012-9 New Africa Press Dar es Salaam Tanzania 2 3 4 Contents Acknowledgements Introduction Part I: Chapter One: Born in Tanganyika Chapter Two: My Early Years: Growing up in Colonial Tanganyika Chapter Three: Newspapers in Tanganyika in the Fifties: A History Linked with My Destiny as a Reporter Chapter Four: Tanganyika Before Independence 5 Part II: Narratives from the White Settler Community and Others in Colonial Tanganyika in the Fifties Appendix I: Sykes of Tanzania Remembers the Fifties Appendix II: Paramount Chief Thomas Marealle Reflects on the Fifties: An Interview Appendix III: The Fifties in Tanganyika: A Tanzanian Journalist Remembers Appendix IV: Remembering Tanganyika That Was: Recollections of a Greek Settler Appendix V: Other European Immigrants Remember Those Days in Tanganyika Appendix VI: Princess Margaret in Tanganyika 6 Acknowledgements I WISH to express my profound gratitude to all the ex- Tanganyikans who have contributed to this project. It would not have taken the shape and form it did without their participation and support. I am also indebted to others for their material which I have included in the book. Also special thanks to Jackie and Karl Wigh of Australia for sending me a package of some material from Tanganyika in the fifties, including a special booklet on Princess Margaret's visit to Tanganyika in October 1956 and other items. As an ex-Tanganyikan myself, although still a Tanzanian, I feel that there are some things which these ex-Tanganyikans and I have in common in spite of our different backgrounds. -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE ________________ MKUTANO WA KUMI NA NNE Kikao cha Kumi na Nne - Tarehe 20 Februari, 2004 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Juma J. Akukweti) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU Na. 170 Ujenzi wa Dampo la Kisasa - Dar es Salaam MHE. MZEE NGWALI ZUBEIR aliuliza:- Kwa kuwa katika haraka za kujenga dampo la kisasa Jijini Dar es Salaam zinahitajika shilingi bilioni 12 katika kuboresha huduma za uwekaji taka kitaalam:- (a) Je, Serikali inajizatiti vipi na hali hiyo? (b) Je, Manispaa zote tatu zilizopo Jijini Dar es Salaam zina bajeti ya kutosha? (c) Je, ni sehemu gani katika Manispaa hizo ambako dampo hilo litajengwa? NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Mzee Ngwali Zubeir, Mbunge wa Nungwi, lenye sehemu (a), (b) na (c) kama ifuatavyo:- (a) Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali inaendelea na juhudi za kuliweka Jiji la Dar es Salaam katika hali ya usafi kwa kubuni mikakati mbalimbali ikiwa ni pamoja na kujenga/kuendeleza eneo maalum la kutupia taka ngumu kitaalam (Sanitary Landfill). Jumla ya shilingi bilioni 12 zinahitajika kwa ajili hiyo. Fedha hizi zitatumika pia kununulia mitambo, magari na vifaa vingine maalum vya kuendeshea eneo hili. Kuanzia Machi, 2004, Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa kutumia Wataalam Washauri (Consultants) itafanya utafiti wa kina wa athari za kimazingira (Environmental Impact Assessment - EIA) katika eneo la Pugu Kinyamwezi. -
Continuity and Change in Tanzania's Ruling Coalition
DIIS WORKINGDIIS WORKING PAPER 20PAPER12:06 Continuity and change in Tanzania’s ruling coalition: legacies, crises and weak productive capacity Ole Therkildsen and France Bourgouin DIIS Working Paper 2012:06 WORKING PAPER WORKING 1 DIIS WORKING PAPER 2012:06 OLE THERKILDSEN Senior Researcher, [email protected] FRANCE BOURGOUIN Project Researcher, Ph.d. [email protected] ACKNOWLEDGEMENTS The authors wish to express their gratitude to Goran Hyden, Per Tidemand, Rasmus Hundsbæk Pedersen and Sam Wangwe for their insightful comments and criticisms during the process of writing this paper. We also like to thank the members of the EPP team for their contributions. The usual disclaimers apply. DIIS Working Papers make available DIIS researchers’ and DIIS project partners’ work in progress towards proper publishing. They may include important documentation which is not necessarily published elsewhere. DIIS Working Papers are published under the responsibility of the author alone. DIIS Working Papers should not be quoted without the express permission of the author. DIIS WORKING PAPER 2012:06 © The authors and DIIS, Copenhagen 2012 Danish Institute for International Studies, DIIS Strandgade 56, DK-1401 Copenhagen, Denmark Ph: +45 32 69 87 87 Fax: +45 32 69 87 00 E-mail: [email protected] Web: www.diis.dk Cover Design: Carsten Schiøler Layout: Allan Lind Jørgensen Printed in Denmark by Vesterkopi AS ISBN: 978-87-7605-490-8 Price: DKK 25.00 (VAT included) DIIS publications can be downloaded free of charge from www.diis.dk 2 DIIS WORKING PAPER 2012:06 DIIS WORKING PAPER SUB-SERIES ON ELITES, PRODUCTION AND POVERTY This working paper sub-series includes papers generated in relation to the research programme ‘Elites, Production and Poverty’. -
Gerhard Klas Aus Deutschland
Gerhard Klas aus Deutschland Stipendien-Aufenthalt in Tansania vom 05. Januar bis 05. April 2002 299 Tansania Gerhard Klas „Vom Prototyp des afrikanischen Sozialismus zum Musterschüler der Weltbank“ Von Gerhard Klas Tansania, vom 05.01. bis 05.04.2002 betreut von der Heinz-Kühn-Stiftung 301 Tansania Gerhard Klas Inhalt 1. Zur Person 304 2. Chaotische Märkte 304 3. Blick zurück 304 4. Schneller schlau mit der Weltbank 306 5. Schöne Worte 307 6. Pädagogik der Prügelstrafe 309 7. Privates Lernen 310 8. Kaum Geld für Lehrer 311 9. Blaues Gold in Dar es Salaam 313 10. Marode Wasserversorgung 314 11. Gigantische Gewinne 316 12. Wer sich wehrt (oder auch nicht) 317 13. Zahnlose Gewerkschaften 318 14. Religion, Diskriminierung und Protest 318 15. Eine neue Stimme 320 16. Demokratie auf dem Papier 321 17. Asante sana (Danksagung) 322 303 Gerhard Klas Tansania 1. Zur Person Geboren 1967 in Trier. Nach dem Abitur Zivildienst und Studium der Sozialarbeit. 1995 einjährige journalistische Ausbildung in Köln, anschlie- ßend freie Tätigkeit für Tages- und Wochenzeitungen, entwicklungspolitische Magazine und öffentlich-rechtlichen Rundfunk. Seit 2002 Mitarbeiter des Rheinischen JournalistInnenbüros in Köln. 2. Chaotische Märkte „Soko holela“ – „chaotischer Markt“ heißt in der ostafrikanischen Regio- nalsprache Kiswahili, was in Europa und Nordamerika euphemistisch als „freie Marktwirtschaft“ bezeichnet wird. Im Gegensatz zu Europa, wo sich eine neoliberale Wirtschaftspolitik über Jahrzehnte durchgesetzt hat, findet diese Entwicklung in dem ostafrikanischen Land im Zeitraffertempo statt. Auf Druck internationaler Kreditgeber sollen dort so schnell wie möglich staatli- che Dienstleistungsbetriebe und Industrien verkauft und privatisiert werden: Wasser- und Stromversorgung, Ländereien, die Börse, Einrichtungen der Gesundheitsversorgung, die nationale Flug- und Eisenbahnlinie sowie die staatliche Telefongesellschaft. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ____________ MKUTANO WA KUMI NA MBILI Kikao cha Ishirini na Mbili - Tarehe 11 Julai, 2003 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Pius Msekwa) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU Na. 210 Muundo wa Utumishi wa Watendaji wa Kata na Vijiji MHE. ANATORY K. CHOYA (k.n.y. MHE. MGANA I. MSINDAI) aliuliza:- Kwa kuwa Muundo wa Utumishi wa Watendaji wa Kata na Vijiji ulitengenezwa mwaka 1993 na kwamba sasa umepitwa na wakati na kuleta ugumu katika kupandisha vyeo na kuajiri upya Watendaji wa Kata na Vijiji:- (a) Je, Serikali inasema nini juu ya hali hiyo? (b) Kwa kuwa sasa hivi tunao watu wengi wasomi hata waliomaliza Vyuo Vikuu wanaoomba kazi hizo, je, Serikali itakuwa tayari kutoa muundo mpya sasa? (c) Je, Serikali itakuwa tayari kupitia miundo yote ambayo imepitwa na wakati ikiwemo muundo wa wapiga type, Makatibu Mahsusi na Waandishi Waendesha Ofisi uliotolewa tarehe 29 Agosti, 1991 na 1993? NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA alijibu:- Mheshimiwa Spika, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Mgana Msindai, Mbunge wa Iramba Mashariki, swali lake lenye sehemu (a), (b) na (c) kama ifuatavyo:- (a) Mheshimiwa Spika, naomba kukubaliana na Mheshimiwa Mbunge kuwa muundo wa utumishi wa Watendaji wa Kata na Vijiji umepitwa na wakati. Aidha, muundo huo umekuwa unakumbwa na mabadiliko mengi na hivyo kuleta ugumu katika 1 kupandisha vyeo na kuajiri upya Maafisa Watendaji Kata na Vijiji. Napenda kulijulisha Bunge lako Tukufu kwamba, Ofisi yangu kwa kushirikiana na Idara Kuu ya Utumishi imekwishaandaa miundo mipya ya ajira za Maafisa hawa inayozingatia dosari zilizopo na mahitaji ya sasa ya wataalam. -
MKUTANO WA KUMI NA SITA Kikao Cha Thelathini
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ________________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA KUMI NA SITA Kikao cha Thelathini - Tarehe 21 Julai, 2004 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Pius Msekwa) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MHE. ARCADO D. NTAGAZWA): Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Baraza la Taifa la Hifadhi ya Mazingira kwa Mwaka Ulioishia Tarehe 30 Juni, 2003 (The Annual Report and Accounts of the National Environment Management Council (NEMC) for the year ended 30th June, 2003). WAZIRI WA SHERIA NA MAMBO YA KATIBA: Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Sheria na Mambo ya Katiba kwa Mwaka wa Fedha 2004/2005. MHE. GEORGE M. LUBELEJE - MAKAMU MWENYEKITI WA KAMATI YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA: Taarifa ya Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala Kuhusu Utekelezaji wa Wizara ya Sheria na Mambo ya Katiba kwa Mwaka wa fedha Uliopita, Pamoja na Maoni ya Kamati Kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2004/2005. 1 MASWALI NA MAJIBU Na. 286 Matumizi ya Jina la Hayati Mwalimu Julius K. Nyerere MHE. ELIACHIM J. SIMPASA aliuliza:- Kwa kuwa Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius K. Nyerere alifanya mambo mengi na makubwa na mema ndani na nje ya nchi kama vile kuwaunganisha Watanzania kujiona wamoja, kuweka misingi ya maendeleo kama shughuli za uchumi, elimu, afya, miundombinu lakini zaidi alikuwa Kiongozi Mashuhuri wa karne katika harakati za Ukombozi wa Afrika, kupinga unyanyasaji, ubaguzi, ukandamizaji -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA KUMI NA SABA Kikao cha Saba - Tarehe 10 Novemba, 2004 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Pius Msekwa) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, mafundi wetu wamenihakikishia kwamba vyombo vyetu leo vinafanya kazi vizuri hatutapata tatizo kama tulilolipata jana. Kikao kinaanza Kikao cha Saba cha Mkutano wa Kumi na Saba, Katibu. HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na: NAIBU WAZIRI WA USHIRIKA NA MASOKO: Taarifa ya Mwaka na Hesabu zilizokaguliwa za Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO) kwa mwaka wa Fedha ulioishia tarehe 30 Juni, 2003 (The Annual Report and Audited Accounts of the Cooperative Audit and Supervision Corporation for the year ended 30th June, 2003). NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO NA UCHUKUZI: Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Mamlaka ya Bandari Tanzania kwa Mwaka 2002/2003 (The Annual Report and Accounts of the Tanzania Harbours Authority for the year 2002/2003). NAIBU WAZIRI WA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA ELIMU YA JUU: Taarifa ya Mwaka na Hesabu zilizokaguliwa na Baraza la Taifa la Ufundi kwa Mwaka 2002/2003 (The Annual Report and Audited Accounts of the National Council for Technical Education for the year 2002/2003). MASWALI NA MAJIBU Na. 84 1 Usimamizi wa Uchaguzi Nchini MHE. KHALIFA SULEIMAN KHALIFA (k.n.y. MHE. MOHAMED JUMA KHATIB) aliuliza:- Kwa kuwa nchi nyingi duniani hasa Afrika zimekuwa zikikabiliwa na machafuko na vita vinavyosababishwa na kupingwa -
Kitabu Cha Kumbukumbu Za Wabunge
BUNGE LA TANZANIA ____________ KITABU CHA KUMBUKUMBU ZA WABUNGE BUNGE LA KUMI NA MOJA Toleo la Kwanza - Juni, 2016 1 2 SEHEMU YA KWANZA UTANGULIZI Bunge limekuwepo toka tupate uhuru mwaka 1961 na kabla ya uhuru kuanzia mwaka 1926. Wabunge nao wameendelea kuwepo kwa vipindi tofauti na kwa idadi inayobadilika kila wakati wakitekeleza wajibu wao muhimu wa kutunga sheria na kuisimamia Serikali kwa niaba ya wananchi kwa mujibu wa Katiba ya nchi. Bunge lilipoanza mwaka 1926, Wabunge walikuwa ishirini na moja (21) na tulipopata uhuru mwaka 1961 Wabunge walikuwa wameongezeka kufikia themanini (80) na baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 idadi ya Wabunge iliongezeka na kufikia Wabunge 357. Hata hivyo, baada ya Tume ya Uchaguzi kuona umuhimu wa kuongeza idadi ya Majimbo kutokana na sababu mbalimbali sasa hivi idadi ya Wabunge ni 393. Kitabu hiki cha Kumbukumbu za Wabunge kimegawanyika katika Sehemu kuu Kumi na Nne. Katika sehemu hizo za kitabu kimeorodhesha Wabunge wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na anuani zao, namba zao simu za mkononi na Majimbo yao ya uwakilishi Bungeni chini ya picha zao ili kurahisisha mawasiliano. Katika mchanganuo wa kila sehemu, Sehemu ya Kwanza ni Utangulizi. Aidha, Wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Bunge ambao ndiyo wasimamizi wa shughuli za Bunge wameorodheshwa katika Sehemu ya Pili ya kitabu hiki ikifuatiwa na Uongozi wa Ofisi ya Bunge katika Sehemu ya Tatu. 3 Sehemu ya Nne imeorodhesha Wabunge wote wa Majimbo wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Mikoa ikifuatiwa na Sehemu ya Tano ambayo imeorodhesha Wabunge wote wa Viti Maalum kulingana na uwakilishi wa vyama vyao Bungeni ikianzia na Chama cha Mapinduzi (CCM); ikifuatiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama cha Wananchi (CUF) na Sehemu ya Sita imeorodhesha Wabunge kupitia nafasi ya Kuteuliwa na Rais na Sehemu ya Saba ni Wabunge kutoka Baraza la Wawakilishi.