HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI – OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA, MHESHIMIWA MOHAMED O. MCHENGERWA (MB) YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2021/22

UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba, kutokana na taarifa iliyowasilishwa ndani ya Bunge lako Tukufu na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa iliyochambua bajeti ya Ofisi ya Rais, Ikulu (Fungu 20 na 30); Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma (Fungu 33); Menejimenti ya Utumishi wa Umma (Fungu 32); Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (Fungu 67); Tume ya Utumishi wa Umma (Fungu 94); Bodi ya Mishahara na Masilahi katika Utumishi wa Umma (Fungu 09); na Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa (Fungu 04); Bunge lako Tukufu sasa lipokee na kujadili Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2020/21. Aidha, naliomba Bunge lako Tukufu likubali kupitisha Mpango wa Utekelezaji na Makadirio ya Fedha kwa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa Mwaka wa Fedha 2021/22. 2. Mheshimiwa Spika, awali ya yote namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kutujaalia amani na utulivu ambavyo vimetuwezesha kutekeleza majukumu ya kuongoza Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na kuwahudumia wananchi pamoja na kutuwezesha kukutana kwa ajili ya kupokea utekelezaji wa Ofisi yangu na kutafakari malengo yajayo katika mkutano 1 huu wa tatu wa Bunge la 12. Kwa namna ya pekee napenda kumshukuru Mheshimiwa , Rais wa Jamhuri ya Muungano wa kwa imani yake kubwa kwangu kwa kuniteua kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Pia, namshukuru Rais kwa imani yake kwa Naibu Waziri wangu Mheshimiwa Deogratius Ndejembi pamoja na Watendaji wa Ofisi yangu ambao amewaidhinisha na wameendelea na nafasi zao. 3. Mheshimiwa Spika, naomba kuchukua nafasi hii ya kipekee kuungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, wewe mwenyewe Mheshimiwa Spika pamoja na Bunge lako Tukufu kutoa pole kwa Watanzania wote na familia kwa kuondokewa na Rais wetu mpendwa na Jemedari Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Awamu ya Tano. Naamini sote tulimpenda sana lakini yote ni mapenzi ya Mungu, kilichobaki ni sisi kumuombea kwa Mungu na kuyaenzi yale yote mema aliyotuachia. 4. Mheshimiwa Spika, napenda nitumie fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuapishwa kwake kuwa Rais wa Awamu ya Sita. Vile vile nampongeza kwa kuanza vizuri kuiongoza nchi yetu kwa kufanya uteuzi wa Mawaziri, Manaibu 2

Waziri, Makatibu Wakuu, Naibu Makatibu Wakuu pamoja na viongozi wa Taasisi. Katika utekelezaji wa majukumu yake, Rais ametoa maelekezo ambayo yameonesha dira na mwelekeo wa utekelezaji wenye maono mapana ya kuijenga nchi ndani ya muda mfupi. Ni matarajio yetu kuwa nchi yetu itaendelea kupata maendeleo makubwa tukizingatia kauli mbiu yake ya ”Kazi iendelee”. Kwa kauli hiyo, maana yake ni kuwa maendeleo ya Tanzania yaendelee kukua kwa kasi zaidi. Tahadhari zake zinatuandaa tuepuke kuzinguana katika kutekeleza majukumu ya Serikali. Kwa niaba yangu binafsi, Ofisi yangu na kwa niaba ya wote ninaosaidiana nao kutekeleza majukumu ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ninaahidi kufanya kazi kwa bidii, uadilifu, weledi na uzalendo wa kitaifa ili kuendana na kasi ya Serikali ya Awamu ya Sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 5. Mheshimiwa Spika, Sote tumeshuhudia namna Mheshimiwa Rais alivyochukua hatua madhubuti kupambana na ubadhirifu uliojitokeza katika taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, pia katika hotuba aliyoitoa wakati wa kuapisha watendaji wa Serikali ambayo ilitoa mwelekeo kwa kila Wizara na Taasisi namna ambavyo itatakiwa kufanya kazi ya kuwaletea watanzania ustawi na maendeleo endelevu kwa kasi kubwa. Aidha, Mheshimiwa Rais amesisitiza uwajibikaji, uchapakazi, uadilifu na utendaji wenye

3 matokeo chanya kwa aliowateua ambao mwangwi wake umefika kwa Watumishi wa Umma. Vile vile, msisitizo wake kwenye utekelezaji wa miradi mikuu ya kimkakati kwa Taifa ni jambo ambalo tunatarajia litatutoa kama Taifa. 6. Mheshimiwa Spika, naomba kuchukua nafasi hii kumpongeza Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kuteuliwa kwake, na kwa imani kubwa ambayo Bunge lako limethibitisha jina lake kwa asilimia 100. Pia, Mheshimiwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tumeshuhudia akitoa maelekezo ya utendaji kazi ambayo yamedhihirisha kuwa tunakwenda kupata maendeleo endelevu ya kiuchumi. 7. Mheshimiwa Spika, Pia napenda kumpongeza Mheshimiwa Dkt. Hussein , Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, kwa uongozi wake shupavu na nia yake thabiti ya kuleta maendeleo Zanzibar na kuimarisha amani na utulivu. Vile vile, nampongeza Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla, Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kuteuliwa kuwahudumia wananchi wa Zanzibar. 8. Mheshimiwa Spika, napenda kuchukua fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kuaminiwa kuendelea na nafasi hiyo muhimu 4 ambayo ni nguzo muhimu ya usimamizi na uratibu wa kazi za kila siku za Serikali na Bungeni. Umahiri na uzoefu wake ni chachu ya maendeleo kwa Taifa na utekelezaji wa shughuli za Bunge hili la 12. Ni matarajio ya kila mmoja wetu kwamba atatoa msaada mkubwa sana kwa Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Vile vile, ni matumaini ya kila mmoja wetu kwamba yeye ni msaada mkubwa na kwako pia wewe Mheshimiwa Spika. 9. Mheshimiwa Spika, naomba nikupongeze wewe binafsi na Naibu Spika, kwa kuchaguliwa tena katika nafasi zenu za kuliongoza Bunge letu Tukufu, hiyo inaonesha kwamba Watanzania wana imani kubwa kwenu. Tunategemea kuwa mtaendelea na umakini, busara na hekima kubwa kama mlivyodhihirisha katika Bunge la 11. Nawapongeza pia Wenyeviti wa Bunge kwa kuchaguliwa kwao na kuamini kuwa watatenda kwa ustadi wa hali ya juu kazi waliyopewa ya kuliongoza Bunge letu, kwa hakika watakuwa msaada mkubwa sana katika uendeshaji wa Bunge kwa ujumla. 10. Mheshimiwa Spika, Naomba pia kuwapongeza Mawaziri wenzangu wote na Manaibu Waziri wa Serikali ya Awamu ya Sita kwa kuteuliwa kwao na kupata nafasi ya kuwatumikia Watanzania katika kutekeleza Ilani ya CCM kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu

5 wa Mwaka 2020 na Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2025. 11. Mheshimiwa Spika, kwa namna ya pekee naishukuru Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa chini ya Mwenyekiti wake Mheshimiwa Humphrey Polepole (Mbunge) na Makamu wake Mheshimiwa Abdallah Chaurembo, Mbunge wa Mbagala kwa ushirikiano, maelekezo na ushauri mzuri walioutoa wakati wa kupitia Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango na Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2020/21 na Mapendekezo ya Mpango wa Utekelezaji na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha kwa Mwaka wa Fedha 2021/22. Maoni, ushauri na ushirikiano wa Kamati umetuwezesha kuboresha utendaji kazi wa Ofisi yangu na maandalizi ya hotuba hii. 12. Mheshimiwa Spika, nawashukuru Balozi Hussein A. Kattanga, Katibu Mkuu Kiongozi; Dkt. Moses Kusiluka, Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Ikulu; Dkt. Laurean J. Ndumbaro, Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma; Dkt Francis Michael, Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora; Makamishna, Watendaji Wakuu wa Taasisi; Wakurugenzi na Watumishi wote wa Ofisi ya Rais Ikulu na Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa kazi nzuri wanazozifanya katika kutekeleza majukumu yanayoiwezesha Ofisi kufikia 6 malengo yake, ikiwa ni pamoja na kukamilisha Hotuba hii kwa wakati. Aidha, napenda kuwashukuru waajiri na watumishi wote wa Umma kwa kutekeleza wajibu wao kwa ufanisi, uzalendo pamoja na imani yao kwa uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita ambao umeiwezesha Serikali kutekeleza majukumu yake ya kuwahudumia wananchi. 13. Mheshimiwa Spika, kwa namna ya pekee napenda kuzishukuru Nchi Wahisani na Washirika wa Maendeleo ambao wamechangia jitihada zetu za kuleta maendeleo kwa wananchi. Hivyo, nachukua fursa hii kuwashukuru na kuwataja wachache ambao ni:- Jamhuri ya Watu wa China, Japan, Uingereza, India, Jamhuri ya Korea, Canada, Marekani, Sweden, Australia, Umoja wa Ulaya, Denmark, Norway, Uholanzi, Finland, Uswisi, Italia, Malaysia, Misri, Singapore, Cuba, Thailand na Ireland. Vile vile, nayashukuru Mashirika ya Maendeleo ya Kimataifa ambayo ni: Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Benki ya Dunia (WB), OFID-OPEC Fund for International Development, DfID, KOICA, GIZ, USAID, SIDA, UNDP, Jumuiya ya Madola, DANIDA, JICA, UNICEF, ILO, WFP, UN Women, Global Fund, Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) na Taasisi ya Bill and Melinda Gates Foundation. 14. Mheshimiwa Spika, natumia fursa hii kuwashukuru wananchi wa Jimbo la Rufiji kwa kuendelea kunipa ushirikiano wakati wote 7 ninapoendelea kuwawakilisha. Vile vile, naishukuru familia yangu kwa ushirikiano wanaonipa na kwa dua zao wakati wote ninapotekeleza majukumu yangu. 15. Mheshimiwa Spika, kwa masikitiko makubwa natoa pole kwa Watanzania wenzetu, Viongozi na Watumishi wa Umma waliopotelewa na ndugu zao kutokana na sababu mbalimbali zilizojitokeza katika kipindi hiki. Tunamuomba Mwenyezi Mungu awape faraja wote ili waendelee kujenga Taifa letu. 16. Mheshimiwa Spika, tunatambua kwamba Dunia kwa sasa imekumbwa na mlipuko wa pili wa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Korona - UVIKO 19. Ugonjwa huu umesababisha vifo katika nchi mbali mbali. Tunampongeza Mheshimiwa Rais kwa dhamira ya kuunda Tume ya kitaalamu itakayosaidia kutoa mapendekezo ya namna bora ya kupambana na UVIKO 19. Kwa sasa natoa rai kwa watumishi wa umma kuendelea kuchukua tahadhari ya kujikinga na ugonjwa huu. 17. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2020/21 tuliwasilisha mbele ya Bunge maombi ya fedha kwa ajili ya kutekeleza mipango kazi inayowezesha Ofisi yangu kwa mazingatio ya kisera na kimkakati. Kwa mara nyingine tupo mbele ya Bunge lako Tukufu ili kutoa Taarifa ya Utekelezaji wa shughuli tulizoombea fedha kwa Mwaka wa Fedha 2020/21 pamoja na kuwasilisha mapendekezo ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2021/22. 8

MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MWAKA WA FEDHA 2020/21 18. Mheshimiwa Spika, utekelezaji wa Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2020/21 ulizingatia, Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Miaka Mitano (2016/17 – 2020/21) na Ilani ya Uchaguzi ya Chama Tawala ya Mwaka 2015 pamoja na Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2025. Shughuli zilizotekelezwa na kila taasisi ni kama ifuatavyo:-

OFISI YA RAIS, IKULU NA TAASISI ZAKE 19. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2020/21, Fungu: 20 Ofisi ya Rais, Ikulu ilidhinishiwa Shilingi 24,049,003,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida. Hadi kufikia Machi, 2021 Shilingi 18,084,770,849.97 zilipokelewa na kutumika. 20. Mheshimiwa Spika, ili kutekeleza majukumu yake, katika Mwaka wa Fedha 2020/21, Ofisi ya Rais na Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri (Fungu 30) inayojumuisha taasisi zilizo chini ya Ikulu, iliidhinishiwa Shilingi 608,155,446,000 Kati ya fedha hizo, Shilingi 439,935,875,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi 168,219,571,000 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo. Hadi kufikia Machi, 2021 Shilingi 408,734,273,169.02 zilipokelewa na kutumika. Kati ya fedha hizo Shilingi 278,861,618,923.99 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida

9 na Shilingi 129,872,654,245.03 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo. Yafuatayo ni maelezo kwa kila taasisi:-

A: OFISI YA RAIS - IKULU 21. Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Rais, Ikulu imeendelea kuongoza, kufuatilia na kusimamia utekelezaji wa shughuli za Serikali. Katika kipindi cha mwezi Julai, 2020 hadi Machi, 2021, kazi zifuatazo zilitekelezwa:- (i) Huduma zimeendelea kutolewa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na familia yake; (ii) Ushauri umeendelea kutolewa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu ratiba ya kila siku; (iii) Ushauri umeendelea kutolewa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika masuala ya Siasa, Uchumi, Jamii, Sheria, Diplomasia, Mawasiliano na Habari, Uhusiano wa Kikanda, Kimataifa na ushauri mwingine kwa lengo la kumsaidia Rais kufanya maamuzi. (iv) Mikutano 13 ya Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri ilifanyika, ambapo nyaraka 26 zilichambuliwa. Mikutano 8 ya Kamati Maalum ya Makatibu Wakuu (IMTC) ilifanyika na nyaraka 17 zilichambuliwa na ushauri kutolewa. Mikutano 8 ya kazi ya Kamati Maalum ya

10

Makatibu Wakuu ilifanyika ambapo mada 19 ziliwasilishwa na kujadiliwa. Mikutano 4 ya Baraza la Mawaziri ilifanyika ambapo nyaraka 8 zilijadiliwa na kutolewa maamuzi. Aidha, mikutano 2 ya Kamati ya Katiba na Bunge ya Baraza la Mawaziri ilifanyika ambapo miswada 17 ilijadiliwa; (v) Kumbukumbu za Mikutano ya Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri, Kamati Maalum ya Makatibu Wakuu na Baraza la Mawaziri ziliandaliwa na kusambazwa kwa wakati kwa wahusika. Aidha, ufuatiliaji na tathmini ya Maamuzi ya Baraza la Mawaziri ulifanyika na taarifa ya utekelezaji wake iliandaliwa; (vi) Ziara ya Maafisa wa Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri kutembelea Kampuni ya Ranchi za Taifa katika Ranchi ya Kongwa ilifanyika ili kuona hali halisi ya utendaji na kushauri ipasavyo; (vii) Mafunzo kuhusu utayarishaji na uwasilishaji wa Nyaraka za Baraza la Mawaziri na uchambuzi wa sera kwa Maofisa wa Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri na Waratibu wa Shughuli za Baraza la Mawaziri wa Wizara yalifanyika; (viii) Mafunzo kuhusu utayarishaji na uwasilishaji wa Nyaraka za Baraza la Mawaziri kwa Menejimenti za Wizara nne za Maji; Ujenzi,

11

Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi); Habari Utamaduni na Michezo; na Mifugo na uvuvi yalifanyika; (ix) Kongamano la Wadau wa Sera Serikalini lililowashirikisha Wakurugenzi wa Sera na Mipango wa Wizara, Wakurugenzi Wasaidizi wa Sehemu ya Sera Wizarani, Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri na Maofisa kutoka Taasisi ya Uongozi lilifanyika Morogoro mwezi Februari, 2021; (x) Vitabu vya Taarifa za Utekelezaji wa Kazi na Shughuli za Baraza la Mawaziri na Kamati zake kwa kipindi cha mwaka 2005 – 2010 na 2010 – 2020 viliandaliwa; (xi) Uratibu wa utekelezaji wa Programu ya Kujenga Uwezo wa Taasisi nufaika 9 simamizi za utawala bora za Serikali za Kupambana na Rushwa (BSAAT) nchini ulifanyika; (xii) Mafunzo ya kujenga uwezo kuhusu utekelezaji wa Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa (NACSAP III) kwa Kamati za Kudhibiti Uadilifu 90 za Taasisi za Umma na kwa AZAKI 700 katika wiki ya Asasi za Kiraia Jijini Dodoma yalifanyika; (xiii) Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Programu ya Maboresho (Blue Print) kwa Taasisi ya BRELLA, Wizara ya Ardhi, Nyumba na

12

Maendeleo ya Makazi pamoja na Kituo cha Uwekezaji (TIC) -Dar es salaam umefanyika; (xiv) Rufaa 170 za Watumishi wa Umma, Mamlaka ya Nidhamu na Waajiri zilichambuliwa na kutolewa uamuzi na Rais na Katibu Mkuu Kiongozi ambapo wahusika walijulishwa. Aidha, malalamiko 462 ya Watumishi wa Umma na wananchi wengine yalichambuliwa na kutolewa maelekezo; (xv) Majibu na ushahidi kwenye kesi za madai tisa zinazohusu watumishi wa Umma na wananchi wengine zilizoko Mahakama Kuu zinazopinga uamuzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au Katibu Mkuu Kiongozi yalitolewa kwa kushirikiana na Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali; (xvi) Kikao cha Katibu Mkuu Kiongozi na Makatibu Wakuu wanaosimamia Utekelezaji wa Programu za Maboresho katika Sekta ya Umma na mikutano miwili ya Waratibu wa Programu ya maboresho imefanyika hizo umefanyika ili kuimarisha usimamizi, uongozi na umiliki mchakato wa maboresho katika sekta ya umma nchini; na (xvii) Ujenzi na ukarabati wa majengo katika Ikulu ya Chamwino unaendelea. Aidha, ukarabati wa

13

baadhi ya majengo katika Ikulu ya Dar es salaam na Ikulu Ndogo ya Lushoto umefanyika.

B. TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA (TAKUKURU) 22. Mheshimiwa Spika, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imeendelea kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Sura ya 329. Majukumu hayo ni kuchukua hatua stahiki za kuzuia na kupambana na rushwa kwenye sekta ya umma, mashirika na sekta binafsi. 23. Mheshimiwa Spika, Juhudi zinazochukuliwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kukabiliana na vitendo vya rushwa nchini zimeleta mafanikio makubwa kwa kuongeza nidhamu, uadilifu na uwajibikaji na matumizi bora ya madaraka kwenye nyanja mbalimbali zikiwemo za utumishi wa umma, biashara, uwekezaji, ukusanyaji mapato na matumizi ya fedha za umma. Mafanikio haya yameijengea Serikali uwezo imara wa kukuza uchumi na kuongeza kasi ya utoaji huduma bora kwa umma. 24. Mheshimiwa Spika, Matokeo ya tafiti zilizofanywa na taasisi mbalimbali za kitaifa na kimataifa kuhusu hatua zinazochukuliwa na Serikali katika kupambana na rushwa zimedhihirisha kuwa Tanzania inafanya vizuri katika kudhibiti vitendo vya

14 rushwa na ufisadi nchini. Miongoni wa Taasisi hizo ni REPOA, TWAWEZA, Mo Ibrahim, Afrobarometer na Transparency International. Katika taarifa ya Transparency International ya mwezi Februari, 2021 Tanzania imepata alama 38 na kushika nafasi ya 94 kati ya nchi 180; ikiwa ni kupanda kwa nafasi mbili ikilinganishwa na alama 37 katika nafasi ya 96 ya mwaka 2019. 25. Mheshimiwa Spika, Katika kutekeleza Ibara ya 116 ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020 na maagizo ya Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli aliyotoa wakati wa kufungua Bunge la 12 tarehe 13 Novemba, 2020 Dodoma; TAKUKURU imeanzisha Ofisi inayotembea ambapo ofisi za mikoa na wilaya zinatenga siku moja kila mwezi kusikiliza na kutatua kero za wananchi lakini pia imeandaa mpango kazi wa miaka 5 wa utekelezaji wa majukumu yake na kusambazwa katika idara na vitengo vyake na kwamba mpango kazi husika umewasilisha ofisi ya Waziri Mkuu kwa ajili ya kufuatilia matokeo ya utekelezaji wa mpango kazi husika. 26. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha mwezi Julai, 2020 hadi Machi, 2021, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ilitekeleza shughuli zifuatazo:-

15

(i) Uchunguzi wa majalada 561 ulikamilika na majalada 119 kuwasilishwa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka kuombewa kibali ambapo Majalada 107 yalipata kibali cha kuwafikisha watuhumiwa mahakamani. Aidha, majalada mengine yanaendelea kufanyiwa kazi; (ii) Kesi 993 ziliendeshwa mahakamani zikiwemo kesi mpya 312. Katika kipindi hiki, kesi 338 ziliamuliwa mahakamani ambapo kesi 122 watuhumiwa wake waliachiwa huru na kesi 216 watuhumiwa wake walipatikana na hatia na kuhukumiwa kifungo au kulipa faini. Kesi 655 zinaendelea mahakamani; (iii) Shilingi bilioni 28.65 zimeokolewa kutokana na operesheni mbalimbali za uchunguzi na ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo unaofanyika kote nchini ambapo Shilingi bilioni 11.28 ni fedha taslimu zilizorejeshwa Serikalini na Shilingi bilioni 17.37 zilidhibitiwa au kurejeshwa kwa wananchi. Pia, Taasisi ilitaifisha na kurejesha serikalini au kwa wananchi waliodhulumiwa fedha na mali zenye thamani ya Shilingi bilioni 44.6 ikihusisha fedha taslimu, nyumba 12, mashamba mawili (2), viwanja 77, magari 13, Trekta mbili (2) na pikipiki nne (4) zilizotokana na operesheni maalum za kufuatilia madeni sugu ya Shirika la maendeleo la Taifa (NDC) kwa waliokopeshwa matrekta, madeni ya Mfuko wa Pembejeo (AGIFT), 16

ubadhirifu wa shilingi bilioni 28 zilizotolewa kama mkopo na Serikali ya Libya kwa ajili ya kujenga kiwanda cha Saruji mkoani Lindi, Ubadhirifu wa mali na uchepushaji wa vifaa ghafi vya umeme uliofanyika TANESCO katika Mradi za REA II na ufuatiliaji wa madeni ya PSSSF yaliyokopeshwa kwa Vyama vya Kuweka na Kukopa (SACCOS); (iv) Utafiti wenye lengo la kuimarisha mifumo ya udhibiti wa mianya ya rushwa umefanyika katika maeneo ya programu za uelimishaji umma zinazotekelezwa na TAKUKURU na maadili ya Asasi za Kiraia (AZAKI). Matokeo na mapendekezo ya kuziba mianya ya rushwa katika maeneo haya yamewasilishwa kwa mamlaka husika ili hatua stahiki zichukuliwe; (v) Kazi 469 za uchambuzi wa mifumo zilifanyika katika maeneo mbalimbali yakiwemo kodi ya huduma, uchaguzi mkuu na utoaji wa vibali vya ujenzi ambapo kutokana na kazi hizo, hatua zimechukuliwa ikiwemo kutoa elimu kwa umma na kushauri mamlaka husika namna ya kudhibiti mianya ya rushwa katika maeneo husika; (vi) Ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za umma (PETS) katika Miradi ya maendeleo nchini umefanyika ili kuhakikisha thamani halisi ya fedha inapatikana. Miradi 742 ya maendeleo yenye thamani ya Shilingi bilioni 1,065 katika sekta za kipaumbele za Afya, Maji, Fedha na 17

Mamlaka za Serikali za Mitaa ilifuatiliwa. Kati ya miradi hiyo, miradi 267 yenye thamani ya Shilingi bilioni 280.3 ilionekana kuwa na kasoro mbalimbali na inaendelea kufanyiwa uchunguzi; (vii) Utafiti wa Kitaifa wa hali ya Utawala na Rushwa (National Governance and Corruption Survey) umekamilika. Utafiti huu ulikusanya taarifa kuhusu kiwango cha rushwa, aina za rushwa na tabia/mbinu mpya za vitendo vya rushwa kwa lengo la kuisaidia Serikali kuweka msingi wa kisayansi kukabiliana na tatizo la rushwa nchini; (viii) Warsha/vikao 202 vya Wadau matokeo ya kazi za utafiti, PETS na uchambuzi wa mifumo kwa lengo la kuweka mikakati ya kudhibiti rushwa vilifanyika; (ix) Kazi 77 za ufuatiliaji wa utekelezaji wa maazimio yatokanayo na mapendekezo ya utafiti, PETS na uchambuzi wa mifumo zilifanyika ili kuziba mianya ya rushwa katika maeneo mbalimbali yakiwemo vitalu nyumba, miradi ya maji na rushwa ya ngono katika taasisi za elimu ya juu na miradi ya usambazaji wa umeme vijijini; (x) Elimu kuhusu athari za rushwa na juhudi za Serikali za kuidhibiti ili kupata uungwaji mkono ilitolewa kwa umma kupitia njia mbalimbali zikiwemo semina 2,856, mikutano ya hadhara/mijadala 3,275, vipindi vya redio na

18

televisheni 314, maonesho 271 na taarifa kwa umma 143 zilitolewa kupitia vyombo vya habari. Aidha, habari/makala 557 ziliandaliwa kwa ajili ya wavuti na jarida la TAKUKURU na matangazo tisa yaliandaliwa kwa ajili ya kuelimisha umma; (xi) Elimu kuhusu rushwa ilitolewa kwa vijana walio shuleni na vyuoni ambapo Klabu za wapinga rushwa 1,595 zimefunguliwa na 5,617 kuimarishwa ili kujenga kizazi cha vijana wenye maadili na wanaochukia rushwa; (xii) TAKUKURU imepokea malalamiko na taarifa kutoka kwa wananchi saa 24 kwa siku ambapo wananchi 86,221 wameweza kuifikia TAKUKURU kwa simu namba 113 ambapo walipata fursa ya kutoa maoni, ushauri, kuuliza maswali na kutoa taarifa za vitendo vya rushwa; (xiii) Kampeni ya “Vunja Ukimya” inayolenga kudhibiti rushwa ya ngono iliendeshwa katika mikoa yote. Lengo kubwa likiwa ni kuwahamasisha wanaokumbana na vitendo hivyo na wananchi kwa ujumla kutoa taarifa TAKUKURU ili hatua dhidi ya wahusika zichukuliwe; (xiv) Taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Taasisi kwa mwaka 2019/20 iliwasilishwa kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kuzingatia matakwa ya kifungu cha 14 cha Sheria ya

19

Kuzuia na Kupambana na Rushwa Sura 329 kinachoitaka TAKUKURU kuwasilisha taarifa ya utendaji kazi ya mwaka uliopita kwa Rais kabla ya tarehe 31 Machi, ya kila mwaka; (xv) Elimu kwa umma imetolewa kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kubeba agenda ya mapambano dhidi ya rushwa ambapo jumla ya matangazo 47 yaliandaliwa na kusambazwa kwa njia ya “Whatsup”, taarifa mbalimbali zimeendelea kutolewa kwenye mitandao ya “Twitter”, “WhatsApp” na “Instagram”. Aidha, uzinduzi wa TAKUKURU Online TV umefanyika ili kuwashirikisha wananchi wengi kwa gharama nafuu; (xvi) Mfumo wa TEHAMA ndani ya TAKUKURU umeimarishwa kwa kuunganisha Ofisi za Wilaya 66 kwenye mtandao wa Taasisi na kuboresha njia za mawasiliano katika Mikoa 28 kwa lengo la kurahisisha mtiririko mzuri wa majalada, takwimu na mawasiliano kutoka ngazi za Wilaya, Mikoa na Makao Makuu; na (xvii) Watumishi 366 walipatiwa mafunzo ya ndani na nje ya nchi ili kuwajengea uwezo wa kumudu majukumu kwa ufanisi.

20

C. TAASISI YA UONGOZI 27. Mheshimiwa Spika, Taasisi ya UONGOZI imeendelea kusimamia malengo yake ya kuwa Kituo cha Utaalam wa Hali ya Juu cha kuendeleza Viongozi Barani Afrika kwa kuanzia na Tanzania, Ukanda wa Afrika Mashariki na hatimaye Afrika kwa ujumla. Walengwa ni Viongozi Waandamizi waliopo na wanaojitokeza wakiwemo wanasiasa, watumishi wa Serikali, Sekta Binafsi, Asasi za Kiraia na Mahakama. 28. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha mwezi Julai, 2020 hadi Machi, 2021, Taasisi ya UONGOZI imetekeleza kazi zifuatazo:- (i) Programu ya Stashahada ya Uzamili ya Uongozi iliendelea kutekelezwa. Stashahada hii inalenga kuwajengea viongozi uwezo wa kufanya maamuzi ya kimkakati, kusimamia rasilimaliwatu na rasilimali nyingine na kujenga sifa binafsi za kiongozi. Stashahada hii yenye moduli 10 inatekelezwa kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Aalto kilichopo Helsinki, nchini Finland. Katika kipindi hiki, awamu ya nne ya mafunzo inayojumuisha Maafisa Waandamizi 32 kutoka Wizara, Taasisi na Mashirika ya Umma iliendelea kutekelezwa; (ii) Programu ya Uongozi ngazi ya Cheti kwa njia ya mtandao ilizinduliwa rasmi tarehe 31 Agosti, 2020. Astashahada hii yenye moduli 3

21

inatekelezwa kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Aalto kilichopo Helsinki, nchini Finland kwa muda wa miezi sita. Katika kipindi hiki, awamu ya kwanza ya mafunzo inayojumuisha Maafisa Waandamizi 46 kutoka Wizara, Taasisi na Mashirika ya Umma, Taasisi za Kiraia na Taasisi Binafsi kutekelezwa. Awamu hii ya kwanza ilimalizika mwezi wa Februari ambapo Maafisa wote 46 walihitimu mafunzo; (iii) Viongozi wa Umma 376 wamepata mafunzo ya muda mfupi kupitia kozi 12 kwa lengo la kuimarisha utendaji na kupanua uelewa katika masuala ya kiuongozi. Kozi zilizotolewa zilihusu maeneo ya Uongozi; Uongozi Binafsi na Akili Hisia, Usimamizi wa Mashirika, Usimamizi wa Rasilimali za Umma, Usimamizi wa Viashiria Hatarishi na Udhibiti wa Ndani na Mbinu za Uchambuzi wa Taarifa; (iv) Wabunge 388 wa Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepata mafunzo ya Masuala ya Uongozi ikiwemo Uongozi Binafsi na jinsi ya kutafuta rasilimali; (v) Kwa kushirikiana na taasisi za ndani na nje ya nchi, makongamano manne (4) ya Kitaifa yalifanyika kwa lengo la kukutanisha viongozi ili kubadilishana taarifa, maarifa na uzoefu na kuwaongezea uelewa wa masuala ya Uongozi na Maendeleo Endelevu ambapo jumla ya viongozi 22

128 walishiriki. Makongamano yafuatayo yalifanyika:- (a) Kongamano la Kitaifa la Wadau wa sheria kuhusu “Majadiliano ya Rasimu ya Mpango wa Pili wa Maboresho ya Sekta ya Sheria”, lilifanyika tarehe 20 Agosti, 2020. Kongamano liliandaliwa kwa kushirikiana na Wizara ya Katiba na Sheria. Kongamano hili lilihudhuriwa na viongozi 60 kutoka Wizara na Idara za Serikali, Asasi za kiraia, na Sekta Binafsi; (b) Kongamano la Kitaifa la Watunga Sera kuhusu ”Namna Bora ya Kuandaa na Kuchambua Sera za Umma Nchini” lilifanyika kwa kushirikiana na Sekretariati ya Baraza la Mawaziri tarehe 30 Januari, 2021. Kongamano hili lilihudhuliwa na Viongozi 68 kutoka Wizara mbalimbali; (c) Kongamano la Kitaifa la Wadau wa Masuala ya Mazingira kuhusu “ Majadiliano ya Rasimu ya Mkakati wa Kitaifa wa mabadiliko ya Tabia ya Nchi 2021 - 2026” lilifanyika kwa kushirikiana na Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira tarehe 3 Machi,2021. Kongamano hili lilitoa fursa kwa wadau kupitia na kupitisha Mkakati huu, ambapo wadau 73 walishiriki;

23

(d) Kongamano la Kitaifa la Wadau kujadili “Rasimu ya Mpango wa Miaka Mitano wa Maendeleo 2021/22 - 2025/26” liliandaliwa kwa kushirikiana na Wizara ya fedha na Mipango. Kongamano hili lilifanyika kuanzia Tarehe 22 mpaka 26 Machi, 2021 ambapo wadau zaidi ya 1,000 walishiriki. (vi) Vipindi vitatu vya mahojiano na viongozi waandamizi na wataalam wa masuala ya Uongozi na Maendeleo Endelevu viliandaliwa na kurushwa kwenye runinga na kuwekwa kwenye tovuti ya Taasisi ya UONGOZI na mitandao ya kijamii kwa lengo la kubadilishana taarifa, maarifa na uzoefu. Vipindi hivi vinaonekana Bara zima la Afrika; (vii) Tafiti 20 kwenye maeneo ya uchumi wa Viwanda, Uchumi Mpana, Fedha, Usimamizi wa Mikopo endelevu, Mazingira Wezeshi ya Kibiashara na Rasilimali Asilia zimefanyika na kukamilika kwa kushirikiana na Taasisi ya Umoja wa Mataifa; UNU-WIDER, iliyoko Finland; (viii) Tathmini 3 zilifanyika kutathmini “Athari za Kimazingira na Kijamii, zitokanazo na ujenzi wa Njia ya Umeme”, “Mpango wa Utekelezaji wa Wananchi Waliothirika kwa kupoteza makazi, mali na kutwaliwa kwa ardhi kwenye Mradi wa Reli ya Kisasa” na “Athari kwa 24

Wananchi Waliobomolewa kwa Kuvamia na Kujenga Kwenye Maeneo ya Shirika la Reli”, waliobomolewa ili kupisha ujenzi wa Reli ya kisasa. Tathimini hizi zilifanyika kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na wataalamu kutoka Wizara mbalimbali; (ix) Kitabu kinachoelezea maisha ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Ali Hassan Mwinyi kilichapishwa. Uzinduzi wa Kitabu hiki unatarajiwa kufanyika robo ya mwisho wa mwaka 2020/21. Aidha, Kitabu kinachoelezea maisha ya aliyekuwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Hayati Benjamin William Mkapa kimetafsiriwa katika lugha ya Kiswahili na kinatarajiwa kuchapishwa katika robo ya mwisho wa mwaka 2020/21; (x) Ushauri wa kitaalam kuhusu kuendesha mikutano, kuboresha na kuandaa programu na kufanya tathmini ya miradi umetolewa kwa Taasisi nne za Serikali ambazo ni Wizara ya Katiba na Sheria, Wizara ya Fedha na Mipango, Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) na Shirika la Reli Tanzania (TRL); na

25

(xi) Machapisho 18 yanayotokana na Tafiti kuhusu masuala ya Maendeleo Endelevu yalitolewa na yanapatikana kwenye tovuti ya Taasisi.

D. MPANGO WA KURASIMISHA RASILIMALI NA BIASHARA ZA WANYONGE TANZANIA (MKURABITA) 29. Mheshimiwa Spika, Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA) umeendelea kutekeleza jukumu la kuandaa na kusimamia mfumo wa Kitaifa wa umiliki wa rasilimali na uendeshaji wa Biashara nchini unaotambulika na kukubalika kisheria. Katika kipindi cha Julai, 2020 hadi Machi, 2021, MKURABITA imetekeleza kazi zifuatazo:- (i) Huduma za Urasimishaji wa Biashara zimesogezwa kwa wananchi kwa kuanzisha Vituo vya Huduma kwa Pamoja katika Halmashauri ya Jiji la Arusha na Manispaa ya Musoma ambapo huduma muhimu za utoaji leseni za biashara, utoaji wa Namba ya Utambulisho wa Mlipa kodi (TIN) kupitia TRA, usajili wa jina la biashara kupitia BRELA, huduma za benki na mifuko ya hifadhi ya jamii na huduma ya kuwezesha uanzishaji wa viwanda vidogo vidogo kutoka SIDO zinapatikana sehemu moja. Aidha, katika Vituo vilivyoanzishwa kwenye Halmashauri ya Jiji la 26

Arusha na Manispaa ya Musoma, jumla ya wafanyabiashara 1,540 wamepata mafunzo ya urasimishaji na uendeshaji wa biashara. Hadi kufikia Machi, vituo vimesajili majina ya biashara 284, Wafanyabiashara 529 wamepata Namba ya Utambulisho ya Mlipa Kodi (TIN) na leseni za biashara 1,294 zimesajiliwa. Vituo vimewezesha ukusanyaji wa mapato ya Shilingi 168,150,260 yaliyotokana na ada za leseni. Ajira takriban 3,431 zimetolewa na biashara zilizorasimishwa; (ii) Wafanyabiashara 200 waliorasimishiwa biashara zao katika Halmashauri ya Mji wa Njombe wamepata mafunzo ya namna bora ya kuendesha biashara katika mfumo rasmi. Mafunzo haya yalitolewa na wadau kutoka TRA, Benki ya CRDB, SIDO na TCCIA; (iii) Kituo Jumuishi kimoja cha urasimishaji na uendelezaji biashara kimeanzishwa katika Wilaya ya Mjini Unguja, Zanzibar. Taasisi zinazotoa huduma katika Kituo hicho ni Baraza la Manispaa Mjini, Wakala wa Dawa, Chakula na vipodozi, Mamlaka ya Mkemia Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Bodi ya Mapato Zanzibar, Wakala wa Usajili wa Biashara na Mali pamoja na Benki ya Watu wa Zanzibar; (iv) Ujenzi wa Masijala za Ardhi za Vijiji katika Halmashauri za Wilaya tatu za Mbarali (Kijiji cha

27

Kapyo), Nachingwea (Kijiji cha Mbondo) na Mpwapwa (Kijiji cha Inzomvu) umekamilika; (v) Urasimishaji ardhi katika Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino umefanyika ambapo jumla ya viwanja 3,191 vimetambuliwa na michoro ya Mipango Miji 10 yenye viwanja 1,152 imeandaliwa na kuidhinishwa. Hadi kufikia Machi 2021 jumla ya viwanja 375 vimepimwa na upimaji unaendelea uwandani. Aidha, jumla ya mashamba 107 yamepimwa na Hati Miliki za Kimila 107 zimeandaliwa. Vilevile, mafunzo ya kujenga uwezo wa kutumia Hati za Haki Miliki za Kimila yametolewa kwa wananchi 70 wa Kijiji cha Manyemba-Chamwino na wananchi 342 wa Kijiji cha Lugodalutali katika Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi. Kwa upande wa Zanzibar, jumla ya Hati 43 za matumizi ya ardhi zimetolewa katika Shehia ya Welezo, Wilaya ya Magharibi B; (vi) Elimu kwa umma kuhusu utekelezaji wa shughuli za urasimishaji imetolewa kupitia vipindi 33 vya redio, runinga na mitandao ya kijamii. Aidha, makala 21 yametolewa katika magazeti mbalimbali na mitandao ya kijamii; na (vii) Ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji wa shughuli za MKURABITA umefanyika Zanzibar katika Wilaya ya Mkoani, Chakechake, Kaskazini A, Mjini Unguja, Kaskazini B na Micheweni ambapo 28

shughuli za urasimishaji ardhi na biashara zilifanyika.

E. MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII (TASAF) 30. Mheshimiwa Spika, Mfuko wa Maendeleo ya Jamii umeendelea kutekeleza Awamu ya Tatu ya TASAF kwa kuyapa kipaumbele maeneo ya Ukuzaji wa uchumi na kupunguza umaskini wa kipato; Kuinua ubora wa maisha na ustawi wa jamii; na Utawala bora na uwajibikaji. Katika kipindi cha Julai, 2020 hadi Machi, 2021, Mfuko wa Maendeleo Jamii (TASAF) umetekeleza kazi zifuatazo:- (i) Utambuzi na uandikishaji wa kaya maskini umekamilika katika Halmashauri nne za Nanyamba, Siha, Mtwara/Mikindani na Kigamboni. Mitaa 28 na Vijiji 98 vimefikiwa na jumla ya Kaya 6,791 zimetambuliwa. Utambuzi katika Halmashauri 180 na Unguja na Pemba unaendelea na unategemewa kukamilika ifikapo Juni 2021. Lengo ni kuzifikia Kaya zote ambazo hazikuwepo katika Kipindi cha Kwanza cha Mpango; (ii) Utambuzi na Uhakiki wa awali wa kaya zilizoboreka umefanyika katika maeneo yote 186 ya utekelezaji. Jumla ya kaya 1,013,635 zilihakikiwa ambapo kaya 886,724 zimekidhi vigezo vya uhakiki wa awali wa kuendelea kuwepo katika Kipindi cha Pili cha Mpango. 29

Katika uhakiki huo Kaya 1,992 zimejitoa kwa hiari kwani Mpango umeboresha maisha yao. Matokea ya tafiti yamebaini Kaya 165,000 zimeboresha maisha yao na hivyo zitaondolewa kwenye mpango na hivyo kufanya jumla ya kaya 166,992 zenye wanakaya 834,960 kuhitimu na zitaondolewa kwenye Mpango; (iii) Ruzuku ya Shilingi bilioni 135 ilihawilishwa kwa kaya maskini 883,194 za walengwa katika Halmashauri 184 zote za Tanzania Bara na Wilaya zote za Zanzibar baada ya uhakiki kufanyika na kukamilika; (iv) Miradi 12 ya kutoa ajira za muda kutoka katika Halmashauri 6 yenye thamani ya Shilingi milioni 900 imetekelezwa. Miradi hii imetoa ajira za muda kwa kaya za walengwa 39,337; (v) Vikundi 120 vya kuweka akiba na kukuza uchumi wa kaya vyenye jumla ya walengwa 1,800 vimeundwa. Hivyo hadi sasa jumla ya vikundi 22,303 vyenye wanachama 311,114 vimeundwa kutoka mamlaka ya maeneo ya utekelezaji 51. Vikundi hivyo vimeweka akiba ya Shilingi bilioni 5.6 na kukopeshana Shilingi bilioni 3.6; (vi) Mifumo ya TEHAMA ya utunzaji wa kumbukumbu za walengwa, uendeshaji na utoaji wa taarifa imeimarishwa kulingana na mahitaji ya utekelezaji wa Kipindi cha Pili cha TASAF

30

Awamu ya Tatu. Halmashauri zote zimeunganishwa na mifumo ya TASAF Makao Makuu kupitia Miundombinu ya Mfumo wa TAMISEMI; (vii) Jumla ya Halmashauri 39 zimeingizwa katika malipo ya njia ya Kielektroniki. Njia hii ya malipo inawezesha fedha kutumwa moja kwa moja kwa Walengwa kupitia mitandao ya simu, Benki na kwa namba ya NIDA na kumfikia kwa haraka na gharama nafuu; (viii) Mapitio ya pamoja ya timu ya serikali na wadau wa maendeleo kuhusu utekelezaji wa shughuli za mpango yamefanyika katika vipindi vya mwezi Julai, 2020 na Januari, 2021. Taarifa zote za mapitio zimeonesha pande zote kuridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa Mpango; (ix) Mafunzo ya kuwajengea uelewa kuhusu Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini wa kusimamia na kutekeleza shughuli za Mpango kwa ufanisi yametolewa kwa watumishi 261 wa TASAF makao makuu, watumishi 5,580 wa ngazi ya Halmashauri, Waratibu wa Mpango wa Mikoa 26 na Zanzibar; na (x) Kupitia kujenga uwezo kwa watumishi katika ngazi mbalimbali za utekelezaji na kuongeza matumizi ya TEHAMA kumeboresha ufanisi na uwajibikaji katika usimamizi wa ufuatiliaji wa

31

shughuli za Mpango na matumizi ya rasilimali katika ngazi zote za utekelezaji.

F. WAKALA YA NDEGE ZA SERIKALI 31. Mheshimiwa Spika, Wakala ya Ndege za Serikali ina jukumu la kutoa huduma ya usafiri wa anga kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Viongozi wengine Wakuu wa Kitaifa. Wakala ilianzishwa ili kuboresha huduma na kuimarisha usalama wa usafiri wa ndege kwa viongozi wanaotumia huduma hizo. Aidha, Wakala imeongezewa jukumu lingine la kuratibu kwa niaba ya Serikali, ununuzi wa ndege, kuzikodisha kwa Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) na kusimamia mikataba ya ukodishwaji wa ndege hizo. 32. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha Julai, 2020 hadi Machi, 2021, Wakala wa Ndege za Serikali ilitekeleza kazi zifuatazo: (i) Huduma za usafiri wa anga zimetolewa kwa Viongozi Wakuu wa Kitaifa ambapo jumla ya safari 104 za ndani na tatu za nje ya nchi zilifanyika; (ii) Wanahewa tisa wamepatiwa mafunzo ya kisheria ya uhuishaji wa leseni zao; (iii) Matengenezo madogo ya ndege mbili zinazowahudumia Viongozi Wakuu wa Kitaifa yalifanyika na vipuri vilinunuliwa kadri ya mahitaji.

32

Aidha, matengenezo makubwa ya Ndege aina ya Gulfstream kwa mujibu ya kalenda ya matengenezo yanaendelea kufanyika nchini Marekeni; (iv) Gharama za bima za ndege pamoja na bima za Wanahewa zililipwa; (v) Hatua za awali za ukarabati na upanuzi wa karakana ya Ndege za Serikali zimekamilika kwa kusaini mkataba na Mkandarasi; na (vi) Wakala imeendelea kusimamia mikataba nane ya ukodishwaji wa Ndege za Serikali kwa Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL).

OFISI YA RAIS, SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA 33. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha wa 2020/21 Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ilitengewa Shilingi 9,471,110,000. Kati ya fedha hizo Shilingi 7,621,110,000 ni kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi 1,850,000,000 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo. Hadi kufikia Machi, 2021 Shilingi 5,365,126,200 Matumizi ya Kawaida zilipokelewa na kutumika. Kwa upande wa Miradi ya Maendeleo, Shilingi 1,000,000,000 zilipokelewa na kutumika. 34. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha Julai, 2020 hadi Machi, 2021, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ilitekeleza shughuli zifuatazo:-

33

(i) Malalamiko 112 ya ukiukwaji wa maadili dhidi ya Viongozi wa Umma yalipokelewa na kuchambuliwa. Kati ya malalamiko hayo, malalamiko 58 yalihusu Sheria ya Maadili ya Viongozi na malalamiko 54 hayakuhusu Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma. Aidha, malalamiko 54 ambayo hayakuhusu ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma walalamikaji walipewa ushauri na mengine yalielekezwa kwenye mamlaka zinazohusika; (ii) Jumla ya Viongozi wa Umma 14,981 ambao ni sawa na asilimia 99 kati ya Viongozi 15,110 wamerejesha Fomu za Tamko la Rasilimali na Madeni kwa kipindi kilichoishia Machi, 2021. Jumla ya Viongozi 129 sawa na asilimia moja (1) ya Viongozi wote bado hawajarejesha Tamko. Kwa mujibu wa Sheria ya Maadili Fungu 15 (c) kuchelewa kutoa Tamko bila sababu za msingi ni kosa na ni ukiukwaji wa Maadili. Viongozi wasiorejesha wameandikiwa barua za kutoa maelezo na itakapobainika kuwa hawakuwa na sababu za msingi watachukuliwa hatua ikiwemo kufikishwa mbele ya Baraza la Maadili; (iii) Uhakiki wa Tamko la Rasilimali na Madeni kwa Viongozi 609 waliopangwa kuhakikiwa umefanyika Mwezi Februari, 2021. Taarifa kuhusu zoezi husika inaonesha kuwa Viongozi wa Umma 534 walihakikiwa sawa na asilimia 87.8. Kati ya hao, 34

asilimia 20 ni wanawake na asilimia 80 ni wanaume. Matokeo ya uhakiki yanaonesha kuwa, asilimia 4.1 ya Viongozi waliohakikiwa mapungufu kwenye matamko walioyatoa. Mapungufu hayo yanajumuisha: baadhi ya vipengele vya tamko kutojazwa kwa ukamilifu, kutotaja thamani ya mali, kutotamka baadhi ya rasilimali wanazozimiliki na kutotamka maslahi binafsi. Aidha, asilimia 2.4 ya Viongozi wamebainika kuwa na viashiria vya Mgongano wa Maslahi. Viongozi wote waliobainika na mapungufu, watachukuliwa hatua kwa mujibu wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma; (iv) Elimu kwa umma ilitolewa kwa jumla ya wadau 9,095 ambapo viongozi wa Umma 4,649, Watumishi wa Umma 4,294 na wananchi 152 kuhusu jinsi ya kujiepusha na mgongano wa maslahi na kuishi kwa kuzingatia kiapo cha Ahadi ya Uadilifu. Aidha, Klabu 82 za Maadili zenye wanachama 1,500 zilianzishwa katika shule za Msingi, Sekondari na Vyuo. Klabu 71 zilitembelewa kwa lengo la kukuza na kuendeleza maadili miongoni mwa wanafunzi na wanachama wa klabu. Lengo la klabu hizi ni kukuza na kuendeleza vijana katika kuzingatia Maadili na kujiandaa kuwa Viongozi wa kesho; (v) Siku ya Maadili Kitaifa iliadhimishwa Kitaifa tarehe 10 Desemba, 2020 kwa kushirikiana na Taasisi za Serikali zinazosimamia masuala ya utawala bora, 35

uwajibikaji, haki za binadamu, mapambano dhidi ya rushwa na maadili. Maadhimisho ya Siku hii yalienda sambamba kwa kuzitembelea baadhi ya shule za msingi ambazo ni wanachama wa Klabu za maadili; (vi) Jumla ya Viongozi wa Umma 5,093 walioteuliwa/kuchaguliwa kushika nyadhifa mbalimbali za uongozi katika utumishi wa umma walisaini Hati ya Ahadi ya Uadilifu; (vii) Utekelezaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma umeendelea na umesaidia kuboresha utendaji kazi katika kufuatilia tabia na mienendo ya viongozi wa umma. Katika kipindi husika, Kanuni za Ufuatiliaji wa Ahadi ya Uadilifu kwa viongozi wa umma ziliandaliwa na kuanza kutumika mwezi Novemba, 2020. Kanuni zinatoa mwongozo wa namna bora ya kufuatilia tabia na mienendo ya viongozi waliosaini kiapo cha uadilifu na hatua za kisheria zinazopaswa kuchukuliwa pale viongozi wanapokiuka kiapo husika; (viii) Ujenzi wa Ofisi za Sekretarieti ya Maadili Makao Makuu Dodoma ambao unafanywa na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) unaendelea na kwasasa hatua iliyofikiwa ni ujenzi wa ghorofa ya nne (structure); na (ix) Mfumo wa Ujazaji Tamko la Rasilimali na Madeni kwa njia ya mtandao umejengwa na kuunganishwa

36 na Mfumo wa Mamlaka za Vitambulisho vya Taifa (NIDA) na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) na ulikamilika mwezi Aprili, 2020 na mfumo kuanza kutumika kwa majaribio. Hadi kufikia Desemba, 2020, jumla ya matamko 4,357 yaliwasilishwa kupitia mfumo. Kati yao 3,817 ni ya mwisho wa kutumikia wadhifa, 215 matamko ya cheo kipya na 325 matamko ya mwaka. Hata hivyo Desemba, 2020 Mfumo husika ulisitishwa na viongozi kutakiwa kuwasilisha kwa kutumia njia ya zamani wa karatasi.

37

OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA WAKALA ZAKE A. MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA 35. Mheshimiwa Spika, Katika Mwaka wa Fedha wa 2020/21, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma: Fungu 32 inayojumuisha Mamlaka na Wakala iliyo chini yake, iliidhinishiwa jumla ya Shilingi 43,878,828,000 kwa ajili ya utekelezaji wa Mpango wa mwaka. Kati ya fedha hizo, Shilingi 32,923,578,000 ziliidhinishwa kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi 10,955,250,000 kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo. 36. Mheshimiwa Spika, Hadi kufikia Machi, 2021 Shilingi 30,350,465,668.19 zilipokelewa na kutumika. Kati ya fedha hizo Shilingi 21,949,423,716.38 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi 8,401,041,951.81 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo. 37. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha kuanzia Julai, 2020 hadi Machi, 2021 Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma pamoja na Taasisi zake ilitekeleza shughuli zifuatazo:- (i) Taasisi za Serikali zimejengewa uwezo wa kuandaa Sera za Kisekta zinazozingatia utafiti ili kuziwianisha na kuondoa migongano na urudufu wakati wa utekelezaji: Taasisi hizo ni Wizara ya Viwanda ambao walijengewa uwezo wa

38

kuandaa Sera ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo. Vile vile, Ofisi ya Rais- Uwekezaji ilijengewa uwezo wa kuandaa Mkakati wa Utekelezaji wa Sera ya Uwekezaji; (ii) Kanuni za Utumishi wa Umma zilihuishwa na kuwasilishwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa ajili ya kupata ushauri wa kisheria; (iii) Uhamasishaji wa ujumuishwaji wa masuala ya Anuai za Jamii (Jinsia, ulemavu, UKIMWI na Magonjwa Sugu Yasiyoambukizwa) umefanyika ili kuhakikisha anuai zote katika utumishi wa umma zinapata mazingira sawa ya kiutumishi; (iv) Tathmini ya utekelezaji wa Miongozo inayosimamia ujumuishwaji wa makundi maalumu (Anuai za Jamii) imefanyika katika Taasisi 25 za Umma na kuandaa Taarifa inayoonesha maeneo ya kuboreshwa katika kuhakikisha jinsia zote zinajumuishwa katika utumishi wa umma na kupata mazingira sawa ya kazi; (v) Makala ya Utekelezaji wa Mwongozo wa Huduma kwa watumishi wa umma wenye ulemavu imeandaliwa. Pia, Kanuni za

39

Kudumu katika Utumishi wa Umma (Standing Orders) zimewekwa katika mfumo wa sauti ili kuwawezesha watumishi wa umma wenye ulemavu wa kuona waweze kuzielewa; (vi) Imetolewa Miongozo ya Kuimarisha Menejimenti ya Utumishi wa Umma kupitia Nyaraka za Kiutumishi ikiwemo ufafanuzi Kuhusu Utaratibu wa Kupokea Maelekezo/Maagizo yanayotolewa na Viongozi kwa Njia ya Mdomo; Waraka Kuhusu Baraza la Mawaziri Kuendelea Kutekeleza Majukumu yake Baada ya Bunge Kuvunjwa; Mwongozo kuhusu Viongozi na Watendaji Wakuu wa Umma Kuandaa Taarifa za Makabidhiano ya Ofisi; na Waraka wa Mavazi katika Utumishi Umma; (vii) Uwianishaji na uoanishaji wa viwango vya mishahara katika utumishi wa Umma umefanyika kwa taasisi 40 kwa kupitia nyaraka za Maendeleo ya Utumishi za Taasisi hizo na kwa kuzingatia matokeo ya zoezi la Tathmini ya Kazi; (viii) Nyumba 132 zimeendelea kujengwa katika eneo la Kisasa Njedengwa - jijini Dodoma ambapo nyumba 40 zilijengwa katika awamu ya kwanza na kuuzwa kwa 40

watumishi wa umma na awamu ya pili ya ujenzi ina nyumba 92 ambazo zipo katika hatua za mwisho za ujenzi na mauzo yake yamefikia asilimia 75%; (ix) Upimaji wa viwanja 331 katika eneo la Usa River - Arusha kwa kushirikiana na Halmashauri ya Arumeru umefanyika na viwanja hivyo vinatarajiwa kuuzwa kwa bei nafuu kwa watumishi wa umma, wafanyakazi wa sekta binafsi na wanachama wengine wa mifuko ya hifadhi ya jamii. Mawasiliano na Halmashauri nyingine 20 yanaendelea kwa ajili ya kupimiwa viwanja; (x) Miundo ya Taasisi za Umma 41 imehuishwa ambapo Mitano (5) imeshapitishwa na Kamati ya Rais ya Utekelezaji (PIC). Aidha, Miundo ya jiji la Dar es salaam na Dodoma, Ofisi za Afisa Tawala za mikoa 26 na Mamlaka za Serikali za Mitaa 183 imehuishwa ili kuendana na matakwa ya utoaji huduma na maelekezo ya Serikali; (xi) Taasisi za umma 26 zimewezeshwa kwa kupewa utaalam wa uchambuzi ili kuandaa Orodha ya Kazi na Maelezo ya Kazi zitakazotoa viwango na kutengeneza

41

uwiano mzuri wa watumishi katika kutekeleza majukumu ya Taasisi husika; (xii) Michakato ya utoaji huduma imeendelea kuboreshwa na kuimarisha usimamizi wa Mifumo na Viwango vya utendaji kazi kwa kufanya ufuatiliaji pamoja na kutoa ushauri wa kitaalam katika Taasisi za Serikali ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma kwa wananchi ambapo Taasisi 23 zimewezeshwa kuandaa Mipango Mkakati; taasisi mbili zimewezeshwa kuandaa Mkataba wa Huduma kwa Mteja; taasisi moja imesaidiwa kitaalam kujifanyia tathmini ya utoaji huduma wa taasisi (Institutional Self Assessment – ISA). Vile, vile, watumishi 200 wa ajira mpya na waliohamia OR-MUUUB wamepatiwa mafunzo ya uandishi wa nyaraka mbalimbali za kiserikali kama zilivyo kwenye Mwongozo wa Serikali; (xiii) Maandalizi ya Mkakati wa Ufuatiliaji na Tathmini wa Kitaifa yametengenezewa Kamati ya Wataalam wajumbe 12 wanaosimamia shughuli za ufuatiliaji na tathmini Serikalini. Aidha, Sekretarieti ya kamati iliundwa ili kusimamia programu ya uimarishaji wa Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini Serikalini ikiwa ni pamoja na 42

kuandaa Mkakati wa Ufuatiliaji na Tathmini. Kamati hiyo imeshafanya vikao vitano vya maandalizi ya utekelezaji wa programu hiyo; (xiv) Maandalizi ya Mfumo Jumuishi wa Ufuatiliaji na Tathmini Serikalini ambao utaunganisha Mifumo ya Ufuatiliaji na Tathmini iliyopo katika Taasisi zote za Umma yameanzishwa kwa kutengeneza nyenzo (tool) ya kukusanyia taarifa za msingi; (xv) Vibali vya ajira mpya na mbadala vyenye nafasi 11,064 kwa kada mbalimbali vimetolewa; (xvi) Mwongozo wa Ikama na Bajeti ya Mishahara ya Watumishi wa Umma kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 umetolewa kwa Waajiri wote; (xvii) Ukaguzi na usimamizi sahihi wa Mfumo wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara (HCMIS) katika Wizara, Idara za Serikali, Sekretarieti za Mikoa, Mamlaka za Serikali za Mitaa na Taasisi za Umma umefanyika kupitia Mfumo wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara (HCMIS); (xviii) Usafishaji na uboreshaji wa taarifa za kiutumishi na mishahara za watumishi kwa

43

waajiri wote wanaotumia Mfumo wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara (HCMIS) umefanyika; (xix) Watumishi wa umma 23,971 wa kada mbalimbali waliopandishwa vyeo waliidhinishwa kwenye Mfumo wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara; (xx) Madai ya malimbikizo ya Mishahara ya Watumishi wa Umma yaliyolipwa na Wizara ya Fedha na Mipango baada ya kuhakikiwa na kuidhinishwa na Ofisi yangu ni juml ya watumishi 37,388 yenye thamani ya Sh. 69,141,217,747.35 na madai ya malimbikizo ya mishahara ya watumishi 17,699 yenye thamani ya Sh. 37,474,809,031.55 yanaendelea kuhakikiwa na Ofisi yangu. (xxi) Katika kuimarisha utawala wa Utumishi wa Umma, waajiri mbalimbali waliwezeshwa kwa kupewa vibali vya uhamisho vya watumishi wa umma 1,988 , kuazimwa 836 na kushikizwa 76; (xxii) Ofisi imewawezesha waajiri kujaza nafasi za uongozi kwenye taasisi zao kwa kushughulikia maombi ya nafasi za uteuzi kwa Maafisa 407 ambapo kati ya hayo, maombi kwa Maafisa 330 yalirejeshwa

44

kwa waajiri kwa utekelezaji na vibali vya uteuzi 150 vilitolewa kwa nafasi za uongozi ambazo zilipendekezwa kwa afisa zaidi ya mmoja. Aidha, vibali vya ajira za mikataba 49 vilishughulikiwa na vibali 317 vya kukaimu nafasi za uongozi vilitolewa; (xxiii) Uboreshaji wa taarifa za Viongozi wa Serikali, Maafisa Wakuu na Waandamizi (Kanzidata) umeendelea kufanyika kupitia Mfumo mpya wa HCMIS ili kuwezesha upatikanaji wa taarifa zao (Position management) kwa lengo la kuwezesha zoezil la upekuzi, uteuzi na uhamisho ili kujaza nafasi wazi za Uongozi katika Utumishi wa Umma; (xxiv) Fursa za mafunzo zinazotolewa na Wadau wa Maendeleo kupitia Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora zimeendelea kuratibiwa ambapo watumishi wa umma 21 wamepata ufadhili wa mafunzo ya muda mrefu na mfupi wa Serikali ya Jamhuri ya Korea. Mafunzo haya ni muhimu kwa watumishi wa umma kwa sababu yanawaongezea ujuzi na maarifa ya kutekeleza majukumu kwa ustadi na ufanisi; (xxv) Usanifu wa Mfumo wa Kielektroniki wa Uandaaji wa Mpango wa Rasilimaliwatu (e- 45

HRP) umekamilika na Ofisi inaendelea na ujenzi wa mfumo; (xxvi) Ufuatiliaji umefanyika kwa Vyuo vya Serikali vyenye jukumu la kutoa mafunzo ili kuhakikisha waajiriwa wapya wanapata mafunzo elekezi ya uendeshaji na utendaji kazi wa serikali. Watumishi wa umma wapya 1,081 walipatiwa mafunzo ya awali katika Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania, Chuo cha Serikali za Mitaa na Chuo cha Uongozi wa Mahakama ili kuwawezesha kuelewa misingi ya Utumishi wa Umma, Sheria, Kanuni na Taratibu za utendaji kazi katika Utumishi wa Umma; (xxvii) Uratibu wa Ajira za Wataalam wazawa katika Taasisi za Kikanda na Kimataifa ulifanyika ambapo nafasi 20 za ajira. Ajira hizo ni kutoka Mashirika ya Kimataifa ikiwemo Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Utalii (UNWTO), Jumuiya ya Madola, Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AFDB); (xxviii) Ziara zimefanyika kwenye Miradi ya Maendeleo saba ili kukagua namna Wataalam wa Kigeni wanaofanya kazi katika Utumishi wa Umma wanavyotekeleza majukumu yao na 46

kuchangia katika kuwajengea uwezo wataalam wazalendo. Miradi iliyotembelewa ni Wizara ya Maji; Baraza la Wakimbizi la Norway (NRC); Plan International; Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF); Barabara ya Mikumi na Ifakara; Ujenzi wa Daraja la Mto Ruaha na mradi wa Kufua Umeme Rusumo na Murongo/Kikagati mkoani Kagera; (xxix) Ajira za wataalam wa kigeni katika Utumishi wa Umma zimeendelea kuratibiwa ambapo wataalam 487 wanaofanya kazi kwenye Utumishi wa Umma wamewezeshwa kupata vibali vya kazi. Ajira hizi zipo katika Sekta muhimu za Maendeleo ya Uchumi na Huduma za Jamii kama Kilimo, Ujenzi, Nishati, Elimu na Maji. Ajira hizi pia zinachangia katika kuwaongezea ujuzi na maarifa watanzania; (xxx) Taasisi za Umma 17 zimewezeshwa kuandaa Mipango ya Rasilimaliwatu na Taasisi za Umma 18 zimejengewa uwezo wa kuandaa Mpango wa Urithishanaji Madaraka; (xxxi) Watumishi wa umma 3,911 kutoka taasisi 37 za umma walipatiwa mafunzo kuhusu umuhimu wa kupunguza malalamiko ya

47

wateja na jinsi ya kushughulikia malalamiko yanayowasilishwa; (xxxii) Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma zilifanyiwa mapitio na maandalizi ya kuwasilisha rasimu ya mwisho ya Kanuni katika kikao cha wadau yamefanyika; (xxxiii) Maafisa Malalamiko na wajumbe wa Kamati za Kudhibiti Uadilifu katika Taasisi za Umma tisa wamepatiwa mafunzo ya utekelezaji wa Mfumo wa Kushughulikia Malalamiko ya Wananchi katika Utumishi wa Umma; (xxxiv) Kampeni za kimaadili zimefanyika katika Sekretarieti ya Mkoa wa Ruvuma, Ofisi za Wakuu wa Wilaya za Mbinga na Songea na Halmashauri za Wilaya za Mbinga, Songea, Namtumbo na Madaba ambapo watumishi 567 wamepata mafunzo ya Maadili katika Kampeni hizo. (xxxv) Uhamasishaji wa uzingatiaji wa maadili kupitia vyombo vya habari umefanyika ambapo jumla ya vipindi vya redio 7 na vipindi 9 vya televisheni viliandaliwa na kurushwa; (xxxvi) Malalamiko 137 ya wananchi yaliyohusu ukiukwaji wa maadili katika Utumishi wa Umma yalipokelewa na kushughulikiwa;

48

(xxxvii) Taasisi za Umma 29 zilipatiwa mafunzo ya namna ya kuendesha Kamati za Uadilifu. Mafunzo yalitolewa kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais – Idara ya Utawala Bora na Maboresho, Ofisi ya Rais - Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa; (xxxviii) Ujenzi wa mfumo mpya wa HCMIS umekamilika na kuanza kutumika kuingiza Bajeti ya Mishahara (PE Budget) ya Mwaka wa Fedha 2021/22; (xxxix) Upembuzi yakinifu wa uanzishwaji wa Vituo vya Huduma Jamii kwa ajili ya kutoa Huduma za Serikali sehemu moja umefanyika. Aidha, matayarisho ya kuanza hatua ya majaribio katika mkoa wa Dar es Salaam na Dodoma yanaendelea; (x) Maandalizi ya Kanzi data ya wataalamu wa TEHAMA waliopo kwenye Ofisi za Serikali na uwezo wao wa utendaji yamefanyika ili kuwezesha kuwa na mpango jumuishi wa kuwajenga uwezo wataalamu wote katika kujenga na kusimamia mifumo ya TEHAMA ya Serikali; (xi) Tathmini ya uzingatiaji wa mwongozo wa kusimamia utekelezaji wa Serikali Mtandao

49

wa Mwaka 2017 imefanyika katika taasisi za Serikali nne ili kuongeza ubora wa huduma zitolewazo kwa TEHAMA; (xii) Ukaguzi wa usalama wa mfumo mpya wa HCMIS wa awamu ya kwanza kwa Mwaka wa Fedha 2020/21 umefanyika mwezi Disemba, 2020 na kubaini maeneo ya maboresho ambayo tayari yamefanyiwa kazi. Hatua ya pili ya ukaguzi wa usalama wa mfumo wa HCMIS na e-OPRAS umepangwa kufanyika mwezi Aprili, 2021; (xiii) Maandalizi ya kuhuisha Mkakati wa Taifa wa utekelezaji wa Serikali Mtandao yamefanyika kwa kutayarisha madodoso ya kukusanya taarifa za hali ya halisi ya utekelezaji wa Mkakati uliomalizika kama msingi wa mwelekeo wa Mkakati mpya; (xiv) Kanuni za utekelezaji wa Sheria ya Serikali Mtandao zimeandaliwa, kuidhinishwa na kuanza kutumika mwezi Februari, 2020. Aidha, mafunzo kuhusiana na utekelezaji wa Sheria na Kanuni za Serikali Mtandao yametolewa kwa Wakuu wa Idara/Vitengo vya TEHAMA 400 kutoka taasisi za Serikali; (xv) Maandalizi ya Programu ya Dijitali Tanzania kwa upande wa ndani ya Serikali

50

yamekamilishwa kwa ushirikiano na Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (WMTH). Aidha, utekelezaji wa Programu utafanyiwa majadiliano ya mwisho kati ya Serikali ya Tanzania na Benki ya Dunia kufikia mwezi Aprili, 2021; (xvi) Tathmini ya utekelezaji wa Sera ya Usalama wa Huduma za Kielektroniki imefanyika kwa taasisi nne na kusaidia kuboresha miongozo ya kiusalama ya taasisi katika kusimamia shughuli za TEHAMA; (xvii) Mafunzo ya namna ya kutumia Mfumo wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara (HCMIS) yametolewa kwa Maafisa Utumishi/Tawala na viongozi 1,139 kutoka Wizara, Idara za Serikali, Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa; (xviii) Ujenzi wa mfumo wa e-OPRAS ambao utatumika kupanga na kupima utendaji kazi wa watumishi wa umma umekamilika na majaribio ya Mfumo yamefanyika. Watumishi wa OR-MUU wamejengewa uwezo wa kutumia mfumo huo; (xix) Uwezeshaji wa Mfumo wa Wazi wa Mapitio na Tathmini ya Utendaji Kazi (OPRAS) kwenye Taasisi za Umma umefanyika kwa

51

kutoa mafunzo na ushauri wa ujazaji fomu katika Taasisi 15 zilizowakilishwa na watumishi 93; (xx) Uwezeshaji wa uandaaji na utekelezaji wa mkataba wa utendaji kazi umefanyika kwa kutoa mafunzo kwa taasisi za Umma tano. Mikataba hii inakuza uwajibikaji wa Taasisi kwa umma na taasisi simamizi; (xxi) Uelewa wa wananchi kuhusu huduma zitolewazo na Ofisi na upatikanaji wake ulitolewa kwa njia mbalimbali za mawasiliano ikiwemo vipeperushi na vitabu, mikutano ya wadau na semina; Taarifa 41 kwa vyombo vya habari, matukio katika picha za 210, Makala fupi za video 38 katika mitandao ya kijamii ya Ofisi ya Rais-Utumishi (Youtube, facebook na twitter) na kusambazwa kwa wadau wa OR-MUUUB kupitia mtandao wa kijamii wa whatsApp, Makala katika magazeti mbalimbali, Jarida Tando la OR-MUUUB na kupitia matangazo katika Mfumo wa HCMIS na katika matoleo 35 ya Gazeti la Serikali Aidha, Taarifa kuhusu Nyaraka za Kitumishi na taarifa mbalimbali kama vile Nafasi za Kazi, (za ndani na nje ya nchi), nafasi za masomo nje ya nchi zimewekwa katika Tovuti; 52

(xxii) Maandalizi ya ujenzi wa majengo ya Klabu ya Viongozi katika Utumishi wa Umma (Leaders Club) yamefanyika kwa kupata kiwanja chenye ukubwa wa hekta 30 katika eneo la Njedengwa Hill top - Dodoma, kusafisha eneo na kupanda miti ya matunda na miti kwa ajili ya uzio. (xxiii) Huduma zimeendelea kutolewa kwa Viongozi Wakuu wa Kitaifa (Wastaafu 11 na wajane 6) kwa mujibu wa sheria.

B. CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA (TPSC) 38. Mheshimiwa Spika, Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania kilianzishwa ili kutoa mafunzo kwa watumishi wa umma, ushauri wa kitaalam, kufanya utafiti tumizi na kutoa machapisho mbalimbali katika nyanja za Uongozi, Menejimenti na Utawala. Aidha, Chuo kinaendesha kozi za kitaaluma kwa ngazi za Cheti, Stashahada na Shahada katika nyanja za Uhazili, Utunzaji Kumbukumbu, Menejimenti ya Rasilimaliwatu, Utawala na Ununuzi wa Umma. Vile vile, Chuo kinasaidia Serikali kukuza Sera za Utamaduni wa kujifunza na kusaidia utumiaji wa teknolojia miongoni mwa watendaji katika kutekeleza majukumu yao. Chuo kinatekeleza majukumu yake katika Kampasi sita zilizoko kwenye Mikoa ya Dar es

53

Salaam, Tabora, Mtwara, Singida, Tanga na Mbeya. Pia, Chuo kinatoa huduma za mafunzo kwa njia ya mtandao kutokea katika kituo cha mafunzo kwa njia ya mtandao kilichopo Dar es Salaam. 39. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha kuanzia Julai, 2020 hadi Machi, 2021, Chuo cha Utumishi wa Umma kimetekeleza shughuli zifuatazo:- (i) Watumishi 375 walipatiwa mafunzo ya kujiandaa kufanya Mitihani ya Utumishi wa Umma kwa Watumishi ili kuimarisha utendaji kazi wao na kutoa huduma bora kwa wananchi; (ii) Watumishi wa umma 3,910 walipatiwa mafunzo ya Uongozi na Maendeleo, Menejimenti na Usimamizi wa Ofisi katika kuimarisha taswira nzuri ya utumishi wa umma; (iii) Mafunzo ya awali yalitolewa kwa watumishi wa umma wapya 864 katika kuwajengea uwezo wa kutenda kazi za serikali kwa usahihi na kwa mujibu wa taratibu; (iv) Wanachuo 9,947 walipatiwa mafunzo ya muda mrefu katika fani za Utunzaji wa Kumbukumbu, Uhazili, Kompyuta, Utunzaji wa Fedha za Umma, na Menejimenti ya Rasilimali Watu, Usimamizi na Manunuzi ya Umma,

54

Uongozi na Utawala Bora ili kuwapatia stadi, weledi na ujuzi wa kazi za Serikali; (v) Ushauri wa kitaalam katika maeneo manne ulitolewa ili kuwawezesha watumishi wa umma kuboresha mifumo na mbinu za utekelezaji wa majukumu yao kwa mujibu wa mahitaji halisi ya utumishi wa umma na wadau mbalimbali kwa lengo la kutatua changamoto za utendaji na kuendeleza mchango wa utumishi wa Umma katika ustawi wa Taifa; (vi) Utaalam wa Kimataifa na Kitaifa katika fani mbalimbali ikiwemo menejimenti ya utumishi umma uliwezeshwa kwa kufanya midahalo iliyosaidia kubadilishana uzoefu kwa njia ya mtandao kwa washiriki 1,066; (vii) Kufanikisha mafunzo kwa njia ya mtandao yaliyotolewa kwa washiriki 1,249. Njia hii ilisaidia Serikali kupunguza gharama, kuwa na mazingira rafiki katika kujifunza, kutoa fursa ya kuepuka muingiliano wa mafunzo na majukumu ya kazi na kupunguza safari nje ya vituo vya kazi; (viii) Katika kujenga hazina bora ya wakufunzi, watumishi 8 wa chuo waliwezeshwa kuendelea na masomo katika ngazi ya Shahada ya Uzamivu na Shahada ya uzamili;

55

(ix) Maandalizi ya kuanza ujenzi wa majengo katika eneo la Mungumaji Singida yameanza kwa kuwasilisha maombi ya kibali cha ujenzi, kumpata Meneja wa Mradi, kutafuta taasisi ya Serikali itakayofanya kazi ya ujenzi. Hivyo, ujenzi huo utaanza rasmi katika Robo ya nne ya mwaka 2020/21 baada ya taratibu zote kukamilika. Aidha ujenzi wa majengo kwa ajili ya shughuli za Kampasi ya Tanga utaanza baada ya kukamilika kwa taratibu zote. Ujenzi majengo ya Kampasi hizi mbili utafanyika kwa kutumia mfumo wa nguvu kazi (Force Account). (x) Kazi ya kuandaa michoro ya usanifu majengo (“archtectural design”) kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa majengo ya Kampasi ya Kanda ya Ziwa inaendelea; na (xi) Ufuatiliaji wa kupata eneo la ujenzi wa kampasi ya Mbeya unaendelea. C. MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA) 40. Mheshimiwa Spika, Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), ilianzishwa kwa Sheria ya Serikali Mtandao Na. 10 ya Mwaka 2019. Mamlaka ilianzishwa ili Kuratibu, Kusimamia na Kukuza jitihada za Serikali Mtandao pamoja na kuhimiza utekelezaji wa Sera, Sheria, Kanuni, Viwango na Miongozo ya Serikali Mtandao kwa taasisi za umma. Mamlaka

56 imerithi iliyokuwa Wakala ya Serikali Mtandao ambayo iliundwa kwa Sheria Na. 30 ya Wakala za Serikali, Sura ya 245 ya Mwaka 1997 na kuwa na jukumu la Kuratibu, Kusimamia na Kukuza Jitihada za Serikali Mtandao nchini bila kuwa na nguvu ya kisheria ya kuhimiza utekelezaji (kuwa chombo rekebu). Wakala ilitekeleza majukumu yake kwa kipindi cha miaka nane (8) tangu kuzinduliwa kwake Mwezi Aprili, 2012 mpaka Mwezi Februari, 2020. 41. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha kuanzia Julai, 2020 hadi Machi, 2021, Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imetekeleza shughuli zifuatazo:- (i) Mamlaka ya Serikali Mtandao kwa kushirikiana na Wizara ya Maji, imebuni na kutengeneza Mfumo wa Taarifa za Huduma na Ankara za Maji ujulikanao kama “Maji Information System” - (MAJIIS) kwa ajili ya matumizi ya Sekta ya Maji ambapo Mamlaka za Maji zipatazo 26 zimeanza kutumia hivyo kuwezesha Mamlaka mbalimbali kusimamia masuala ya maji kielektroniki na wananchi kupata huduma mbalimbali za maji kutoka kwa mamlaka za maji kielektroniki; (ii) Mamlaka imeongeza taasisi zinazotumia Mfumo wa kutolea huduma kupitia simu za mkononi (Government Mobile Platform) kufikia 176 na kufanya maboresho kwa kuuongezea huduma za “e-Wallet” na “MT charging” 57

zinazowawezesha wananchi kupata huduma kupitia “mobile wallet” kwa maana ya kulipia huduma za kiserikali (GePG) kupitia Salio lililopo kwenye T-Pesa, M-Pesa, Tigo Pesa na Airtel Money moja kwa moja kutoka kwenye *152*00#; (iii) Mifumo Shirikishi ya Barua pepe inayotumiwa na taasisi zaidi ya 500 na ule wa Ofisi Mtandao inayotumiwa na taasisi zaidi ya 120 imeendelea kusimamiwa, kuendeshwa na kuboreshwa. Aidha, Mamlaka imeendelea kushirikiana na Wizara ya Fedha na Mipango katika kuhakikisha kuwa Mfumo wa malipo Serikalini wa GePG unafanya kazi ipasavyo. (iv) Mamlaka imeendelea kusimamia, kuendesha na kuboresha Miundombinu Shirikishi ya TEHAMA inayotumiwa na taasisi za umma, kutoa ushauri wa kitaalamu na kuziwezesha taasisi 265 kuunganishwa kwenye Mtandao wa Serikali (GovNet). Aidha, Mamlaka imeendelea kusimamia Vituo vinavyohifadhi miundombinu na mifumo shirikishi katika kuwezesha Serikali na taasisi zake kutoa huduma kwa wananchi kielektroniki; (v) Mamlaka imeendelea kusimamia usalama wa miundombinu na mifumo yote inayotoa huduma mbalimbali kwa wananchi kidijitali sambamba na kutoa msaada wa kiufundi kwa 58

taasisi zote zinazojihusisha na huduma za Serikali kidijitali; (vi) Mamlaka imekamilisha uanzishwaji wa Kituo cha Utafiti, Ubunifu na Maendeleo ya TEHAMA kwenye eneo la muda lililopo ndani ya Chuo Kikuu cha Dodoma, Ndaki ya Kompyuta na Elimu Angavu (College of Informatics and Virtual Education) baada ya kukarabati iliyokuwa maabara ya zamani ya ndaki hiyo. Katika Mwaka wa Fedha 2020/21, kituo kimeanza kupokea wanafunzi kutoka vyuo vikuu mbalimbali nchini kwa ajili ya kupata mafunzo ya kuchochea ubunifu na ugunduzi kwenye huduma za Serikali mtandao kwa vitendo; (vii) Mamlaka ya Serikali Mtandao imeweza kujenga ushirikiano na Taasisi nane (8) za elimu ya juu katika shughuli mbalimbali zinazohusiana na utafiti, ubunifu na maendeleo ya TEHAMA Serikalini. Aidha, wanafunzi 35 wanaofanya mafunzo kwa vitendo kutoka vyuo mbalimbali nchini wamesimamiwa katika mafunzo hayo huku wanafunzi wa mwaka wa mwisho wanaochukua kozi za TEHAMA wanaendelea kupatiwa ushauri kwenye kazi za miradi au utafiti kwenye maeneo wanayofanya ili kuhitimu mafunzo yao. Vyuo vinavyoshirikiana 59

na Kituo cha Mamlaka ni UDOM, UDSM, DIT, NIT, IFM, Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mbeya, Chuo Kikuu cha Mtakatifu Joseph cha Teknolojia na Chuo cha Uhasibu Arusha; (viii) Mamlaka pia imeingia Makataba wa ushirikiano na vyuo 13 vya elimu ikiwemo Chuo cha Utumishi wa Umma ili kushirikiana kutoa mafunzo ya matumizi ya TEHAMA kwa wafanyakazi wa Umma. Hadi sasa vyuo vya IFM na MZUMBE wamepatiwa mafunzo ya ukufunzi ili kufundisha watumishi wa Umma kwenye matumizi ya mifumo inayotumika Serikalini pamoja na mafunzo ya ukufunzi wa ufundishaji wa Sheria, kanuni, viwango na miongozi ya Serikali Mtandao; (ix) Mamlaka imekamilisha usanifu wa ujenzi wa Maktaba Mtandao kwa asilimia 90 na vitabu vipya 76 pamoja na majalada na machapisho vimeongezwa, wakati huo huo, Maabara ya kielektroni (e-Laboratory) inaendelea kuimarishwa kwa kuisheheneza na vifaa mbalimbali vya kielektroni; na (x) Mamlaka imesanifu na kutengeneza Mifumo minne ambayo ni ‘e-Dodoso’ unaohusika na ukusanyaji taarifa za ufuatiliaji na tathmini na ‘e-Mikutano na e-Bodi’ inayohusika na kuendesha Mikutano kwa njia ya 60

video/mtandao. Pia, Mfumo wa “e- Malalamiko” ambao ni Mfumo wa kupokea maoni na malalamiko yanayohusu huduma zinazotolewa na taasisi za umma kwa njia ya mtandao na simu umekamilika na kuanza kutumika na unapatikana kwenye Komputa na Simu za Kupangusa kwa kupitia https://emalalamiko.gov.go.tz. Hivyo, Taasisi zote za Umma zinatakiwa kutumia njia hii kupokea mrejesho wa huduma zake kwa wananchi kidijitali kwa urahisi na usiri unaotakiwa kiutawala bora na kuimarisha dhana ya uwazi na uwajibikaji. Mifumo hii ni matokeo ya utafiti na ubunifu kulingana na mahitaji yanayoendana na uchumi wa kidijitali na hali yetu halisi ya kitanzania.

OFISI YA RAIS, SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA 42. Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni idara inayojitegemea iliyoanzishwa kwa mujibu wa Kifungu 29 (1) cha Sheria ya Utumishi wa Umma Sura 298 ili kusimamia mchakato wa ajira katika Utumishi wa Umma. Katika Mwaka wa Fedha 2020/21, Fungu 067: Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma iliidhinishiwa Shilingi 3,360,526,000 kwa ajili

61 ya matumizi ya kawaida. Hadi kufikia Machi, 2021, Shilingi 2,514,966,866.43 zilipokelewa na kutumika. 43. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha kuanzia Julai, 2020 hadi Machi, 2021, Sekretarieti imetekeleza shughuli zifuatazo:- (i) Matangazo mia moja na themanini na tano (185) yaliandaliwa na kutolewa kwa niaba ya waajiri 51katika Utumishi wa Umma; (ii) Usimamizi na uendeshaji wa michakato ya ajira umefanyika mara nane (8) kwa niaba ya waajiri 51 ambapo wasailiwa 2,296 waliofaulu usaili na walipangwa katika vituo vya kazi mbali mbali kama ifuatavyo:- wawili walipangwa katika Ofisi ya Bunge la Tanzania, wawili walipangwa katika Mahakama ya Tanzania, 82 walipangwa katika Wizara, 1,149 walipangwa katika Mashirika ya Umma, watatu walipangwa katika makampuni ya Serikali, 289 walipangwa katika Wakala za Serikali, 305 walipangwa katika Mamlaka mbalimbali, 140 walipangwa katika Mamlaka za Serikali za Mtaa, 87 walipangwa katika Taasisi nyingine za serikali, 79 walipangwa katika Taasisi za Elimu, 13 walipangwa katika Sekretarieti za Mikoa, watatu walipangwa katika Idara zinazojitegemea, 71 walipangwa katika Hospitali za Umma, 16 walipangwa katika Tume za Serikali, watatu walipangwa katika bodi za serikali. Kati ya waajiriwa hao, sita (6) ni wenye 62

mahitaji maalum, kati ya hao wanaume ni watano na mmoja ni mwanamke. Aidha, Wazanzibari walioajiriwa katika Wizara na taasisi za Muungano ni saba (7) kati ya hao wanaume ni 5 na wanawake ni 2 kwa kuzingatia utekelezaji wa makubaliano ya Ajira kwenye Taasisi za Muungano. (iii) Mamlaka za serikali za mtaa 48 zimesimamiwa na kuwezeshwa kuajiri watumishi 195 wa kada mbali mbali. Halmashauri hizo ni Chemba, Mpwapwa, Dodoma Jiji, Songea, Nzega, Kaliua, Tunduru, Songwe, Urambo, Maswa, Ushetu, Nachingwea, Korogwe, Tandahimba, Mbarali, Uvinza, Mufindi, Ruangwa , Siha, Iramba, Nyasa, Bahi, Mbinga, Mufindi, Mafia, Mpwapwa, Mkinga, Njombe; (iv) Utaalam wa masuala ya uendeshaji wa mchakato wa ajira ulitolewa kwenye usaili unaoendeshwa na taasisi zinazotumia Sheria zilizokasimiwa kwa taasisi husika ambapo taasisi 48 zilisimamiwa na kuweza kuajiri watumishi 145 katika kada mbali mbali; (v) Ofisi ya Sekretarieti ya Ajira iliyopo Zanzibar imeendelea kuboreshwa ili kurahisisha michakato ya ajira za Muungano kwa kuongeza majukumu ya kawaida pamoja na idadi ya watumishi;

63

(vi) Watumishi wote wa Sekretarieti ya Ajira wamewezeshwa kuhama kutoka Dar es Salaam kuja Makao Makuu ya nchi jijini Dodoma; (vii) Taasisi imeanza kufanya tafiti kwa waajiri na wadau mbalimbali ikiwa ni hatua ya kupata mrejesho wa utekelezaji wa shughuli za uendeshaji wa michakato ya ajira pamoja na utendaji kazi wa Taasisi ili iweze kujitathmini; (viii) Taasisi imeimarisha utendaji kazi wake kwa kutumia TEHAMA; ambapo imekamilisha zoezi la upokeaji maoni na “design work” ya maboresho katika mfumo wa Ajira (Ajira Portal). Kazi inayoendelea sasa ni ujenzi wa Ajira App ambayo itawawezesha waombaji kazi kuweza kupata taarifa za ajira na mrejesho wa michakato ya Ajira kupitia simu zao za kiganjani; (ix) Taasisi imeanza Mchakato wa kuboresha mfumo mpya wa uendeshaji usaili kwa kutumia “psychometric Test” na unatarajiwa kumalizika na kujaribiwa katika hatua za awali mwanzoni mwa mwaka ujao wa fedha 2021/2022. Jumla ya wataalamu sita (6) kutoka vyuo vikuu vya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Mwalim Nyerere Memorial Academy (MNMA) na Chuo cha Ustawi wa Jamii (ISW) wanaendelea kuutengeneza mfumo huo kwa ufasaha.

64

(x) Sekretarieti ya Ajira imeendelea kutoa elimu kwa Umma kuhusu fursa mbali mbali za Ajira zilizopo ikiwemo kutoa matangazo mbali mbali ya kazi kwa upande wa Tanzania Bara na Zanzibar. Kwa kipindi cha Julai, 2020 hadi Machi, 2021, zaidi ya matangazo 185 yametangazwa kwenye tovuti ya Taasisi kuhusu uwepo wa nafasi wazi za kazi, kuitwa kwenye usaili pamoja na 6 kupangiwa vituo vya kazi. Pia imeendelea kuwaelimisha waombaji kuhusu matumizi ya Mfumo wa maombi ya kazi kadri ya maboresho yanavyoendelea kufanyika; (xi) Sekretarieti ya Ajira imesimamia usaili mmoja ulizokasimiwa kuendeshwa na Vyuo Vikuu vya Umma nchini. Chuo Kikuu kilichoendesha usaili huo hadi kufikia Machi, 2021 ni Muhimbili Health and Alliance Sciences (MUHAS); (xii) Vyeti 958 vilikaguliwa ili kuhakiki taarifa mbalimbali za waombaji kazi, katika vyeti hivyo hakukuwa na vyeti vya kugushi. Takwimu hizi zinathibitisha kuwa kiwango cha matumizi ya vyeti visivyo halali kimepungua sana ikiwa ni matokeo ya kuimarika kwa uhakiki na mifumo ya Serikali.

65

OFISI YA RAIS, TUME YA UTUMISHI WA UMMA 44. Mheshimiwa Spika, Tume ni chombo rekebu chenye mamlaka na wajibu wa kuhakikisha kuwa masuala ya Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma yanasimamiwa na kuendeshwa kwa kuzingatia Sera, Sheria, Kanuni, Miongozo na Taratibu mbalimbali kama inavyotolewa na Mamlaka. Wajibu huu una lengo la kuimarisha Utawala Bora unaozingatia matokeo. Katika kutekeleza wajibu huu, pamoja na mambo mengine, Tume imeendelea kufanya ukaguzi wa Rasilimaliwatu kwa Mamlaka za Ajira na Nidhamu. Aidha, Tume ya Utumishi wa Umma ni Mamlaka ya Rufaa kwa Watumishi wa Umma dhidi ya Uamuzi unaotolewa na mamlaka zao za nidhamu. 45. Mheshimiwa Spika, Katika Mwaka wa Fedha 2020/21 Fungu 94 Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma iliidhinishiwa kiasi cha Shilingi 5,231,094,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida. Hadi kufikia Machi, 2021 Sh. 3,609,953,795.51 zilipokelewa na kutumika. 46. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha kuanzia Julai, 2020 hadi Machi, 2021, Tume imetekeleza majukumu yafuatayo:- (i) Ukaguzi umefanyika kuhusu uzingatiaji wa Sera, Sheria, Kanuni, Miongozo na Taratibu za usimamizi wa raslimaliwatu katika Utumishi wa Umma katika Taasisi 86;

66

(ii) Rufaa na Malalamiko ya Watumishi wa Umma yalishughulikiwa kupitia mikutano miwili ya Tume iliyofanyika ambapo rufaa 225 ziliamuliwa na malalamiko 67 yalishughulikiwa; (iii) Elimu kwa wadau kuhusu majukumu ya Tume na Utekelezaji wa Sheria ya Utumishi wa Umma Sura ya 298, Kanuni, Taratibu na Miongozo ya Utumishi wa Umma ilitolewa kwa Taasisi za umma 11. (iv) Taarifa ya Hali ya Utumishi wa Umma na Utekelezaji wa Majukumu ya Tume kwa Mwaka wa Fedha 2019/20 iliandaliwa na kuwasilishwa kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; na (v) Watumishi wa Tume wamejengewa uwezo ambapo watumishi 17 wamepata mafunzo ya muda mrefu na watumishi 100 wamepatiwa mafunzo ya muda mfupi katika maeneo ya OPRAS, uadilifu, mapambano dhidi ya rushwa, VVU na UKIMWI na Magonjwa Sugu Yasiyoambukizwa (MSY) mahali pa kazi. Aidha, watumishi 92 walipatiwa mafunzo ya stadi za uchambuzi wa rufaa na ukaguzi wa Rasilimaliwatu.

67

BODI YA MISHAHARA NA MASILAHI KATIKA UTUMISHI WA UMMA 47. Mheshimiwa Spika, Bodi ya Mishahara na Masilahi katika Utumishi wa Umma ilikuwa na jukumu la kufanya mapitio ya mara kwa mara na kupendekeza viwango vya mishahara na masilahi mengine; na kuzishauri mamlaka kuhusu misingi ya miundo ya mishahara katika Utumishi wa Umma. 48. Mheshimiwa Spika, Katika Mwaka wa Fedha 2020/21, Fungu 9: Bodi ya Mishahara na Masilahi katika Utumishi wa Umma lilitengewa Shilingi 1,445,945,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida. Hadi kufikia Machi, 2021 Shilingi 1,018,260,288.34 zilipokelewa na kutumika kulipa mishahara na kutekeleza majukumu ya msingi ya Bodi. 49. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha Julai 2020 hadi Machi, 2021, Bodi imetekeleza majukumu yafuatayo:- (i) Utafiti umefanyika kuhusu utekelezaji wa Mfumo wa Jumla wa Kimenejimenti wa Motisha katika Utumishi wa Umma. Utafiti huo uliwezesha kuandaliwa kwa rasimu ya Taarifa ya Mfumo wa Jumla wa Kimenejimenti wa Utoaji wa Motisha katika Utumishi wa Umma (Total Rewards Management System in the Public Service) ambayo imewasilishwa kwa wadau Serikalini;

68

(ii) Utafiti wa awamu ya kwanza kuhusu mazingira magumu ya kazi, hususan kwa watumishi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa ulifanyika ambapo taarifa za utafiti zilikusanywa kutoka Mikoa 14, Halmashauri za Manispaa 5, Miji 4 na Wilaya 55. Aidha, katika awamu ya pili, taarifa zitakusanywa katika Mikoa 12, Halmashauri 57 (zikiwemo Halmashauri za Manispaa 1 na Wilaya 56) kuanzia mwishoni mwa Mwezi Machi hadi Aprili, 2021.Taarifa ya utafiti kwa awamu zote yenye mapendekezo itawasilishwa kwa mamlaka; (iii) Taarifa za gharama za maisha ziliandaliwa kwa kila robo mwaka. Uchambuzi wa takwimu za kiuchumi kwa kuzingatia taarifa za NBS na vigezo vya kimataifa ulifanyika ili kuandaa taarifa ya gharama za chini za maisha; na (iv) Mwongozo wa pamoja wa kuzingatiwa katika utoaji wa Masilahi na Posho katika Utumishi wa Umma umeandaliwa na Mwongozo huo umewasilishwa Serikalini kwa ajili ya hatua zinazofuata. 50. Mheshimiwa Spika, Bodi ya Mishahara na Masilahi katika Utumishi wa Umma shughuli zake zimehamishiwa Fungu 32 kama mojawapo ya Idara kuanzia mwaka ujao wa Fedha baada ya Bodi hiyo kufutwa.

69

OFISI YA RAIS, IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA TAIFA 51. Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa Sheria ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa Na. 3 ya mwaka 2002, Idara ya Kumbukumbu ya Nyaraka za Taifa ina jukumu la kusimamia na kuratibu utekelezaji wa Sera, Sheria, Kanuni, Miongozo na Taratibu za utunzaji kumbukumbu na nyaraka katika Taasisi za Umma. Aidha, jukumu jingine ni kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Kuwaenzi Waasisi wa Taifa Na. 18 ya Mwaka 2004 kwa kukusanya, kutunza na kuhifadhi kumbukumbu na vitu vya Waasisi wa Taifa letu (Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume). 52. Mheshimiwa Spika, Katika Mwaka wa Fedha 2020/21, Fungu 4: Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, iliidhinishiwa jumla ya Shilingi 4,564,368,000. Kati ya fedha hizo Shilingi 2,564,368,000 ni kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi 2,000,000,000 kwa Miradi ya Maendeleo. Hadi kufikia Marchi, 2021, Shilingi 1,882,782,000.00 zilipokelewa na kutumika. 53. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha Julai, 2020 hadi Machi, 2021 Idara ya Kumbukumbu imetekeleza shughuli zifuatazo:- (i) Taarifa, kumbukumbu, nyaraka na machapisho mbalimbali yanayohusu historia ya Nchi yetu kutoka taasisi za Umma na watu binafsi 70

zimekusanywa na kuchambuliwa kwa lengo la kutunza historia ya nchi yetu. Katika kutekeleza jukumu hili, majalada 551 ya nyaraka yalikusanywa kutoka Halmashauri za Wilaya ya Muheza (144), Monduli (192) na Karatu (215). Vile vile, nyaraka 399 zinazomhusu Rais wa Awamu ya Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa, zimetambuliwa na kukusanywa. Aidha, nyaraka zinazomhusu Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli wakati akisoma Shule ya Msingi Chato, zilitambuliwa na kuwekwa katika hifadhi salama katika Halmashauri ya Wilaya ya Chato; (ii) Utambuaji, ukusanyaji, utunzaji na uhifadhi wa kumbukumbu na vitu vya Waasisi waTaifa umeendelea kufanyika ambapo nyaraka 327 za Waasisi wa Taifa (Hayati Mwl.Julius Kambarage Nyerere na Sheikh Adeid Amani Karume) zimechambuliwa na kukusanywa kutoka maeneo mbalimbali nchini kwa lengo la kuhifadhi historia ya Waasisi wa Taifa letu; (iii) Vituo vya Kanda vimeendelea kuimarishwa kwa lengo la kuongeza uwezo wa Idara katika ukusanyaji na utunzaji wa kumbukumbu na nyaraka. Uboreshaji huo ulihusisha ununuzi wa mashubaka (shelves) mapya ya kuhifadhia nyaraka na kufungwa katika Kituo cha Kumbukumbu cha Kanda ya Ziwa – Mwanza, 71

hivyo kuwezesha Kituo kupokea majalada ya mashauri yaliyofungwa kutoka Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, kumbukumbu tuli toka Ofisi ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Ofisi ya Katibu Tawala Wilaya ya Bukoba, Simiyu na Bariadi. Vile vile, ununuzi wa vitendea kazi likiwemo lori la tani kumi kwa ajili ya kusafirishia nyaraka ulifanyika; (iv) Ukarabati wa nyaraka zilizohifadhiwa katika Ghala Kuu la Nyaraka umefanyika ambapo nyaraka kongwe 230 zimefanyiwa ukarabati zikiwemo District books (5), Regional books (2), Hansard (20), Gazeti la Serikali (10) na nyaraka za utawala wa Mwingereza (193); (v) Mifumo ya utunzaji wa kumbukumbu katika Taasisi za Umma 36 ilihuishwa ili kuongeza ufanisi na tija katika utoaji wa huduma Serikalini. Mifumo hiyo ni Mfumo wa Utunzaji Kumbukumbu za Kiutendaji (Keyword filing system) ambao umewekwa katika taasisi za umma 31 na Mfumo wa Masijala Mtandao (e- File Management System) ambao umewekwa katika taaisi za umma tano (5); (vi) Uhifadhi wa kumbukumbu na nyaraka katika mifumo ya kielektroniki ulifanyika ili kuweza kudumu kwa muda mrefu, kurahisisha upatikanaji na kulinda nakala halisi ambapo

72

majalada 1,516 yameingizwa kwenye mfumo na mengine 154 yanaendelea kushughulikiwa ili yainginzwe kwenye mfumo; (vii) Taasisi za Umma mbili zimewezeshwa kuandaa miongozo ya kuhifadhi na kuteketeza kumbukumbu. Aidha, tathmini ya kumbukumbu tuli katika Kituo cha Taifa cha Kumbukumbu Dodoma ilifanyika ambapo majalada 220 kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ofisi za Wakuu wa Wilaya za Rungwe na Pangani yalihakikiwa. Vile vile, tathmini ilifanyika katika kituo cha Dar es Salaam ambapo majalada 1,365 ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii yalihakikiwa. Pia, majalada 2,886 ya Ofisi ya Makamu wa Rais na 483 ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, yaliyokuwepo katika kituo cha Dar es Salaam yalihakikiwa na kuhamishiwa katika Kituo cha Taifa cha Kumbukumbu Dodoma; (viii) Tathmini ya hali ya utunzaji kumbukumbu katika Taasisi za Umma 64 imefanyika ili kuhakiki uzingatiaji wa sheria na taratibu za utunzaji wa kumbukumbu na nyaraka; (ix) Taasisi za Umma zimejengewa uwezo katika usimamizi wa kumbukumbu na nyaraka za Serikali ambapo Maafisa na wasaidizi wa utunzaji kumbukumbu wa ndani ya idara

73

walijengewa uwezo kupitia kikao kazi. Aidha, mikutano kazi kwenye Taasisi 40 zilizowekewa mifumo ya utunzaji kumbukumbu ya Masijala Mtandao (e-file management system) na Mfumo wa Utunzaji wa Kumbukumbu za Kiutendaji (Keyword file management system) ilifanyika kwa lengo la kuimarisha uwezo wa watumishi; na (x) Elimu kwa umma kuhusu umuhimu wa kutunza kumbukumbu imetolewa kupitia njia mbalimbali ikiwemo kipindi kimoja cha televisheni ya Taifa (TBC) na mitandao ya kijamii.

74

MPANGO WA UTEKELEZAJI KWA MWAKA 2021/22 NA MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIWA 54. Mheshimiwa Spika, Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2021/22 umeandaliwa kwa kuzingatia, Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2025, Maelekezo ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020, Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kuzindua Bunge la 12 pamoja na Mpango wa Tatu wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano (2021/22 – 2025/26), unaotaka Tanzania iwe na Uchumi Shindani na Viwanda kwa maendeleo ya watu. Shughuli zitakazotekelezwa na kila taasisi ni kama ifuatavyo:-

OFISI YA RAIS, IKULU NA TAASISI ZAKE A. OFISI YA RAIS – IKULU 55. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2021/22, Ofisi ya Rais, Ikulu imepanga kutekeleza kazi zifuatazo:- (i) Kutoa huduma kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na familia yake; (ii) Kutoa ushauri kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu ratiba ya kila siku; (iii) Kutoa ushauri kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika masuala ya 75

Siasa, Uchumi, Jamii, Sheria, Diplomasia, Mawasiliano na Habari, Uhusiano wa Kikanda, Kimataifa na ushauri mwingine kwa lengo la kumsaidia Rais kufanya maamuzi; (iv) Kuratibu, kuandaa na kushiriki mikutano 60 ya Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri, mikutano 40 ya Kamati Maalum ya Makatibu Wakuu (IMTC) na mikutano 20 ya Baraza la Mawaziri; (v) Kuandaa mikutano miwili ya tathmini wa mwaka kati ya Waratibu wa Shughuli za Baraza la Mawaziri wa Wizara, Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri na wadau wengine; (vi) Kutoa mafunzo kuhusu utayarishaji na uwasilishaji wa Nyaraka za Baraza la Mawaziri na uchambuzi wa sera kwa Maofisa wa Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri na Waratibu wa Shughuli za Baraza la Mawaziri wa Wizara; (vii) Kuchambua na kutoa ushauri kwa Katibu Mkuu Kiongozi katika masuala ya kiuchumi, kijamii, kisheria, kiulinzi na kiusalama, kimataifa na masuala mengine yote yanayowasilishwa; (viii) Kusimika Mfumo wa Kielektroniki wa Taarifa za Utekelezaji wa Mkakati wa Taifa wa Mapambano Dhidi ya Rushwa pamoja na za Utekelezaji wa Programu za Maboresho katika Sekta ya Umma nchini;

76

(ix) Kufanya mafunzo na ufuatiliaji wa utekelezaji wa Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa Awamu ya Tatu na Programu za Maboresho katika ngazi za Wizara, Mikoa na Serikali za Mitaa; (x) Kuratibu utekelezaji wa Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa Awamu ya Tatu kwa kushirikisha wadau wa Sekta ya Umma na Binafsi; (xi) Kuandaa na Kutekeleza Mkakati mpya waTaifa wa Mapambano Dhidi ya Rushwa; (xii) Kuratibu na kuendesha mikutano sita ya uratibu wa Maboresho kwa Makatibu Wakuu na Waratibu wa programu za Maboresho kwa lengo la kuimarisha usimamizi, uongozi na umiliki wa mchakato wa Maboresho katika Sekta ya Umma nchini; (xiii) Kuandaa Taarifa za Utekelezaji wa Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa Awamu ya Tatu na kukamilisha mfumo wa kielektroniki wa Ufuatiliaji na tathmini wa Utekelezaji wa Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa Awamu ya Tatu (NACSAP III); (xiv) Kupokea, kupitia na kuchambua rufaa 300 na malalamiko 400 ya watumishi wa umma na wananchi; (xv) Kuendesha mikutano mitatu ya Watendaji na Maafisa wa Serikali kuhusu utaratibu wa kushughulikia malalamiko na rufaa pamoja na 77

kufuatilia utekelezaji wa maagizo mbalimbali ya Katibu Mkuu Kiongozi; (xvi) Kufanya ziara ya ufuatiliaji wa uzingatiaji wa sheria na maelekezo yanayotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi na Mkuu wa Utumishi wa Umma yanayohusu masuala ya Usimamizi wa utawala wa Utumishi kwenye Wizara, Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa; (xvii) Kuratibu na kusimamia Miradi ya Maendeleo ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA) na Programu ya Kujenga Uwezo wa Taasisi za Serikali Kupambana na Rushwa (BSAAT); (xviii) Kuendelea na uboreshaji wa Ikulu ya Chamwino; na (xix) Kukarabati majengo ya Ikulu ya Dar es salaam na Ikulu Ndogo za Mwanza, Arusha, Lushoto, Tabora na Shinyanga na nyumba za wafanyakazi zilizopo Dodoma.

B. TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA (TAKUKURU) 56. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2021/22, TAKUKURU imepanga kutekeleza kazi zifuatazo:-

78

(i) Kukamilisha uchunguzi wa majalada ya tuhuma za rushwa unaoendelea pamoja na tuhuma mpya zitakazojitokeza; (ii) Kuendesha kesi 655 zinazoendelea na kesi mpya zitakazofunguliwa Mahakamani; (iii) Kuhuisha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Na. 11 ya Mwaka 2007; (iv) Kufanya utafiti kuhusu mianya ya rushwa katika sekta za umma na binafsi; (v) Kufanya uchambuzi wa mifumo katika sekta na idara mbalimbali katika ngazi ya mikoa na wilaya; (vi) Kuweka mikakati kwa kushirikiana na wadau ili kudhibiti mianya ya rushwa na kufanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa mikakati hiyo; (vii) Kufuatilia matumizi ya fedha za umma katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo ili kuhakikisha utekelezaji wake unazingatia thamani halisi ya fedha; (viii) Kutekeleza Mkakati wa Mawasiliano wa TAKUKURU ili kujenga uwezo na uelewa kuhusu rushwa, ufisadi na juhudi za Serikali katika kupambana na rushwa kwa makundi mbalimbali katika jamii kwa kutumia njia mbalimbali za mawasiliano kuyashawishi makundi haya kuunga mkono na kushiriki katika mapambano dhidi ya rushwa nchini; 79

(ix) Kutumia njia za mawasiliano za kimkakati kulifikia kundi la vijana ili washiriki katika shughuli zinazowajenga kimaadili na kushiriki kupambana na rushwa ili kuwa na jamii inayochukia rushwa; (x) Kutumia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kubeba agenda ya mapambano dhidi ya rushwa ili kuushirikisha umma katika mapambano hayo; (xi) Kujenga majengo ya ofisi za TAKUKURU katika mikoa na wilaya; (xii) Kujenga karakana kwa ajili ya kutengeneza magari ya taasisi ili kupunguza gharama za uendeshaji zinazotumika katika kutengeneza magari hayo; (xiii) Kuimarisha mfumo wa TEHAMA katika taasisi ili kurahisisha na kuwezesha mtiririko mzuri wa majalada, takwimu na mawasiliano kutoka ngazi za wilaya, mkoa na makao makuu; na (xiv) Kutoa mafunzo ya weledi kwa watumishi ili kuongeza ufanisi.

C. TAASISI YA UONGOZI 57. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2021/22, Taasisi ya UONGOZI imepanga kutekeleza kazi zifuatazo:-

80

(i) Kutoa mafunzo ya Stashahada ya Uzamili ya Uongozi kwa lengo la kuwajengea uwezo Viongozi katika maeneo ya kufanya maamuzi ya kimkakati, kusimamia rasilimaliwatu na rasilimali nyingine na kuimarisha sifa binafsi za kiongozi; (ii) Kutoa mafunzo ya Cheti ya Uongozi kwa njia ya mtandao kwa Viongozi 50; (iii) Kutoa mafunzo ya muda mfupi kupitia kozi 24 kwa lengo la kuwajengea uwezo Viongozi 735 katika maeneo ya Uongozi na Maendeleo Endelevu, kutokana na mahitaji na maombi ya walengwa; (iv) Kuandaa mikutano minne ya kimataifa katika masuala ya Uongozi na Maendeleo Endelevu ambapo Viongozi 260 wanategemewa kushiriki; (v) Kuandaa vipindi sita vya runinga vitakavyoshirikisha viongozi waandamizi na wataalam mbalimbali ndani na nje ya nchi, juu ya Uongozi na Maendeleo Endelevu. Vipindi hivi vitarushwa kwenye runinga, tovuti na mitandao ya kijamii na kuonekana katika Bara zima la Afrika; (vi) Kufanya utafiti kwenye maeneo manne kuhusu masuala ya Uongozi na Maendeleo Endelevu; na

81

(vii) Kutoa ushauri wa kitaalam katika maeneo yanayohusu masuala ya Uongozi na Maendeleo Endelevu pale utakapohitajika.

D. MPANGO WA KURASIMISHA RASILIMALI NA BIASHARA ZA WANYONGE TANZANIA (MKURABITA) 58. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2021/22, MKURABITA imepanga kutekeleza kazi zifuatazo: (i) Kuanzisha vituo Jumuishi saba vya urasimishaji na uendelezaji biashara ili kuwawezesha wafanyabishara kupata huduma muhimu sehemu moja katika Mamlaka za Serikali za Mitaa za Sumbawanga, Moshi, Bukoba, Kibaha, Tarime, Mafinga Mji na Shinyanga. Aidha, mafunzo ya kurasimisha na kuendesha biashara yatatolewa kwa wafanyabishara 7,000 kwa lengo la kuwawezesha kusajili biashara zao; (ii) Kuanzisha vituo Jumuishi viwili vya urasimishaji wa biashara Zanzibar, katika Wilaya ya Kusini, Unguja na Chakechake, Pemba ili kuwawezesha wafanyabiashara kupata huduma muhimu sehemu moja ambapo wafanyabiashara 300 watapata mafunzo na kusajili biashara zao; (iii) Kutoa mafunzo kuhusu fursa na matumizi bora ya Hati za Haki Milki za Kimila kwa wakulima 2,000

82

wa mazao ya miwa na chai waliorasimisha ardhi zao katika Halmashauri za Wilaya tatu za Chamwino, Kilolo na Kilosa. Aidha, kwa upande wa Zanzibar mafunzo yatatolewa kwa wamiliki 2,000 wa ardhi katika Wilaya za Kusini, Magharibi B, Mkoani na Chakechake; (iv) Kukamilisha urasimishaji wa ardhi mjini katika Mamlaka za Serikali za Mitaa za Miji ya Mufindi, Kigoma, Singida, Kahama, Ilala, Dodoma, Morogoro, Tunduma, Babati, Chamwino, Arusha, Njombe, Makete na Makambako kwa Tanzania Bara. Kwa upande wa Zanzibar, urasimishaji wa ardhi mjini utafanyika Wilaya ya Micheweni na Wete. Jumla ya Hati Miliki 20,000 zitaandaliwa na kutolewa; (v) Kukamilisha Kukamilisha uandaaji na utoaji Hati za Haki milki za Kimila 6,500 kwa wananchi katika Halmashauri za Wilaya za Nyang’wale, Makete, Bahi, Bukoba Vijijini, Lindi na Newala za Tanzania Bara. Aidha, kwa upande wa Zanzibar Hati Milki 2,000 zitatolewa katika maeneo ya Micheweni, Kusini Unguja na Wilaya ya Kati; (vi) Kukamilisha ujenzi wa Masjala za Ardhi za Vijiji katika Halmashauri za Wilaya 11 za Mbarali (Kijiji kimoja), Moshi (Kijiji kimoja), Nachingwea (Vijiji viwili), Mvomero (Kijiji kimoja), Kibiti (Kijiji kimoja), Itigi (Kijiji kimoja), Masasi (Vijiji Viwili), Makete

83

(Vijiji viwili), Sumbawanga (Kijiji kimoja), Kalambo (Kijiji kimoja) na Mbinga (Kijiji kimoja); (vii) Kufanya Ufuatiliaji na Tathmini ya Utekelezaji wa shughuli za Urasimishaji ardhí katika Mamlaka za Serikali za Mitaa za Kibiti, Rufiji, Mbarali, Iringa, Mwanza, Kahama, Arusha na Wilaya za Mjini, Kaskazini A, Wete na Chakechake kwa upande wa Zanzibar; (viii) Kufuatilia utekelezaji wa mapendekezo ya maboresho ya sheria za ardhi na biashara katika Wizara za Kisekta; (ix) Kuandaa vipindi 48 vya redio na runinga kuhusu utekelezaji wa Shughuli za urasimishaji Tanzania Bara na Zanzibar; na (x) Kurasimisha wachimbaji wadogo 1,000 wa madini katika Mkoa wa Geita.

E. MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII (TASAF) 59. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2021/22, TASAF imepanga kutekeleza kazi zifuatazo:- (i) Kuendelea kufanya zoezi la kutambua hali za ustawi wa maisha ya Kaya za Walengwa wa Mpango zipatazo 886,724 iwapo zimeimarika kiuchumi kwa kutumia vigezo vya umaskini na utaratibu uliokubaliwa kitakwimu. Vile vile kutambua na kuandikisha Kaya 455,726 kutoka 84

katika Vijiji/Mitaa/Shehia ambazo hazikufikiwa katika Kipindi cha Kwanza cha Mpango; (ii) Kuhawilisha ruzuku kwa kaya maskini 1,146,723 zilizokidhi vigezo vya kuingia katika kipindi cha Pili cha Mpango; (iii) Kutekeleza Miradi ya Jamii 2,578 iliyoibuliwa na wananchi ya Kutoa Ajira ya Muda kwa Kaya za Walengwa kutoka maeneo ya utekelezaji 51. Miradi hiyo itatoa Ajira za muda kwa Kaya za Walengwa 176,516. Vilevile kutafanyika maandalizi ya miradi ya kutoa Ajira za Muda 6,218 kutoka Halmashauri 123; (iv) Kuwezesha jamii kutekeleza miradi ya kuendeleza Miundombinu ya huduma za jamii katika sekta ya Elimu, Afya, Maji, Mazingira, Barabara Vijijini na miradi ya ujasiriamali. Jumla ya miradi 495 itatekelezwa katika Vijiji na Mitaa ya Halmashauri 33 za mikoa mitano ya Arusha, Njombe, Simiyu, Geita na Mwanza; (v) Kuwezesha uundaji wa Vikundi vya Kuweka Akiba , Kukopeshana na kuwekeza katika maeneo ya utekelezaji 52. Jumla ya vikundi 10,000 vya jamii vya kuweka akiba, kukupeshana na kuwekeza vyenye wanachama takribani 150,000 vitaundwa katika hamashauri 34. Aidha, Walengwa 50,000 kutoka Halmashauri 18 waliokamilisha Mipango yao ya biashara inayokidhi vigezo vilivyowekwa

85

watapatiwa ruzuku ya uzalishaji mali ili kutekeleza mawazo ya biashara zao; (vi) Kuongeza Maeneo ya Utekelezaji 99 yatakayoshiriki malipo kwa njia ya Kieletroniki kwa kutumia Benki na Mitandao ya Simu na hivyo kukamilisha Halmashauri zote 186 nchini; (vii) Kuendelea kuimarisha Mifumo ya TEHAMA ya utunzaji wa Kumbukumbu za Walengwa, uendeshaji na utoaji wa taarifa ili kuwezesha utekelezaji wa shughuli za Mpango hususan kuimarisha mawasiliano Kati ya Maeneo ya utekelezaji na TASAF Makao Makuu Dodoma; (viii) Kuimarisha Usimamizi, Ufuatiliaji na Tathmini ya shughuli za Mpango pamoja na matumizi ya rasilimali ili kuongeza ufanisi na uwajibikaji katika Ngazi zote za utekelezaji wa Mpango; na (ix) Kufanya Mapitio ya pamoja baina ya Timu ya Serkali na Wadau wa Maendeleo kuhusu utekelezaji wa shughuli za Mpango.

F. WAKALA YA NDEGE ZA SERIKALI 60. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2021/22, Wakala ya Ndege za Serikali imepanga kutekeleza kazi zifuatazo:- (i) Kutoa huduma ya usafiri wa anga kwa viongozi wakuu wa kitaifa;

86

(ii) Kusimamia mikataba ya ukodishaji wa ndege kwa Kampuni ya Ndege ya Taifa (ATCL); (iii) Kufanya matengenezo makubwa ya ndege zinazowahudumia viongozi wakuu wa kitaifa na ununuzi wa vipuri vya ndege za Serikali; (iv) Kufanya ukarabati wa karakana ya Ndege za Serikali iliyopo Dar es salaam na kuanza maandalizi ya awali ya ujenzi wa karakana mpya inayotarajiwa kujengwa Mjini Dodoma; (v) Kulipia gharama za bima za ndege; (vi) Kugharamia uendeshaji wa Ofisi na kulipia gharama za mafuta ya ndege; na (vii) Kutoa mafunzo kwa wanahewa yanayohusu uhuishaji wa leseni zao. 61. Mheshimiwa Spika, ili kutekeleza Mpango wa Mwaka wa Fedha wa 2021/22, Fungu 20 Ofisi ya Rais, Ikulu inaomba kiasi cha Shilingi 24,577,764,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida. Aidha, Fungu 30: Ofisi ya Rais na Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri inaomba kiasi cha Shilingi 639,780,318,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha hizi, Shilingi 467,921,917,000 Matumizi ya Kawaida na Shilingi 171,858,401,000 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo.

87

SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA 62. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2021/22, shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni kama ifuatavyo:- (i) Kupokea Matamko ya Viongozi wa Umma kuhusu Rasilimali na Madeni yanayopaswa kutolewa kwa mujibu wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma; (ii) Kupokea na kushughulikia malalamiko na taarifa za ukiukwaji wa maadili kutoka kwa wananchi kwa mujibu wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma; (iii) Kuchunguza tuhuma za ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma dhidi ya Viongozi wa Umma; (iv) Kufanya uhakiki wa matamko ya Rasilimali na Madeni kwa Viongozi wa Umma 2,000; (v) Kuratibu na kuwezesha utekelezaji wa majukumu ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma; (vi) Kutoa elimu kwa Viongozi wa Umma na wananchi kuhusu Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma na Hati ya Ahadi ya Uadilifu;

88

(vii) Kuandaa taarifa ya mwaka ya utekelezaji wa shughuli za Sekretarieti na kuiwasilisha kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; (viii) Kuanzisha na kuendeleza Klabu za Maadili katika shule na vyuo nchini; na (ix) Kuendelea na ujenzi wa Ofisi ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ya Makao Makuu na ile ya Kanda ya Kati Jijini Dodoma. 63. Mheshimiwa Spika, katika kutekeleza majukumu yake kwa Mwaka wa Fedha wa 2021/22, Fungu 33: Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma inaomba kuidhinishiwa Shilingi 9,216,921,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha hizi, Shilingi 7,366,921,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi 1,850,000,000 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo.

OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA TAASISI ZILIZO CHINI YAKE A. MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA (MUU) 64. Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Fungu 32, katika Mwaka wa Fedha 2021/22 itaendelea kutekeleza majukumu yake ya msingi ya kuhakikisha kuwa Utumishi wa Umma unaendeshwa kwa kuzingatia misingi ya utawala bora na kwamba Sera, Sheria, Kanuni na Taratibu mbalimbali za Utumishi wa Umma zinazingatiwa.

89

Aidha, Ofisi itahakikisha inasimamia Utawala wa Utumishi wa Umma, mikataba ya utendaji kazi Serikalini, Orodha ya Mishahara katika Utumishi wa Umma na Maadili ya watumishi wa Umma. Pia, itahakikisha Mipango na uendelezaji rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma inafanyika kwa ubora zaidi. Kwa kuzingatia pia kuwa Serikali imeingia awamu nyingine, Ofisi itaandaa na kusimamia miundo, mifumo ya utendaji kazi na uboreshaji wa utoaji huduma wa Utumishi wa Umma pamoja na kuhakikisha kunakuwa na uwajibikaji na uwazi. Ofisi pia, itasimamia utendaji kazi na uendelezaji wa rasilimaliwatu katika Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma. Kwa nafasi yake kama wizara mama, Ofisi itasimamia taasisi, programu na miradi iliyo chini ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. 65. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2021/22, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma imepanga kutekeleza shughuli zifuatazo:- (i) Kuwezesha Taasisi za Umma 50 kuandaa Mipango ya Rasilimaliwatu, Mipango ya Urithishanaji Madaraka na Mipango ya Mafunzo ili kujenga misingi ya utekelezaji wa usimamizi wa Rasilimaliwatu utakaohakikisha kuwa wanakuwepo watumishi wa umma wenye sifa stahiki na weledi katika nafasi zote kwenye

90

utumishi wa umma (Meritocracy) katika muda wa kati na muda mrefu; (ii) Kuziwezesha taasisi za umma kuandaa mipango ya rasilimaliwatu yenye ubora unaotakiwa kwa kuzipatia Mwongozo utakaoandaliwa wa Mfumo wa Kielektroniki wa uandaaji wa Mpango wa Rasilimaliwatu katika utumishi wa umma. Pia, Mwongozo wa Kitaifa wa kuandaa Mpango wa Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma utaandaliwa; (iii) Kuratibu upatikanaji wa fursa za mafunzo zitolewazo na washirika wa maendeleo kwa ajili ya kuwajengea uwezo na ustadi watumishi wa Umma ndani na nje ya nchi; (iv) Kuratibu utoaji wa mafunzo kwa Viongozi katika utumishi wa umma ili kuwajengea uwezo katika usimamizi na utoaji wa maamuzi ya kimkakati; (v) Kusimamia Mikataba ya Ushirikiano wa Kimataifa na Kikanda ili kuhakikisha kuwa watumishi wa umma wanapata fursa za ajira katika taasisi ambazo Tanzania ni mshirika; (vi) Kuratibu na kufuatilia ajira za wageni katika utumishi wa umma na miradi ya kimkakati ili kuhakikisha pia kuwa wazalendo wanapata fursa ya kujifunza kama waambata kwa wataalamu hao wa kigeni;

91

(vii) Kusimamia na kuwezesha Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania kutekeleza majukumu yake; (viii) Kusimamia utekelezaji wa Mfumo wa Wazi wa Mapitio na Tathmini ya Utendaji Kazi wa Kielektroniki (e-OPRAS) katika Taasisi za Umma; (ix) Kujenga uwezo wa Taasisi za Umma katika kutekeleza Mikataba ya Utendaji Kazi; (x) Kufanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa Mifumo ya Utendaji ya OPRAS na Mikataba ya Utendaji Kazi ya Taasisi; (xi) Kusimamia utekelezaji wa mfumo mpya wa HCMIS katika taasisi 600 za Serikali kwa kutoa huduma za usaidizi za TEHAMA; (xii) Kusanifu na kujenga mifumo ya kielektroniki ya utoaji huduma za Utumishi (Utumishi/Watumishi Mtandao); (xiii) Kuimarisha na kuboresha miundombinu ya TEHAMA kwa ajili ya kuwezesha utendaji kazi wa mifumo na watumiaji wa mifumo; (xiv) Kuratibu ukaguzi wa usalama na ufanisi wa mifumo ya TEHAMA ya HCMIS, e-OPRAS, e- HRP; (xv) Kufanya tathmini ya utekelezaji wa sheria na miongozo ya Serikali Mtandao katika taasisi 50 za Serikali;

92

(xvi) Kuhuisha Mkakati wa Taifa wa Serikali Mtandao na Mkakati wa Serikali wa Kujikinga na Majanga ya Mtandao; (xvii) Kuratibu uanzishwaji wa Vituo vitatu (3) vya Huduma Jamii (One Stop Centres); (xviii) Kuratibu utekelezaji wa mradi wa Tanzania ya Kidijitali (Digital Tanzania) eneo la Serikali Mtandao; (xix) Kusimamia na kuwezesha Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kutekeleza majukumu yake; (xx) Kusimamia ajira za Watumishi wa Umma ambapo katika Mwaka wa Fedha 2021/2022 Serikali inatarajia kuajiri watumishi wapya 44,096 ambapo kada ya Elimu 10,297, Afya 11,215, Kilimo 1,383, Mifugo 1,250, Uvuvi 733, Jeshi la Polisi 1,782, Magereza 843, Jeshi la Zimamoto na Uhamiaji 512 na Hospitali za Mashirika ya Kidini na hiari 1,240. Aidha, Serikali itaajiri watumishi 14,841 wa kada mbalimbali ikiwemo wahadhiri wa Vyuo Vikuu vyote vya Umma nchini pamoja na kada nyingine ambazo haziko kwenye sekta zilizoainishwa awali. Hata hivyo, watumishi 92,619 wa kada mbalimbali watapandishwa vyeo na watumishi 2,360 watabadilishwa kada katika utumishi kulingana na maelekezo yatakayotolewa wakati huo;

93

(xxi) Kuchambua na kuhakiki madai ya malimbikizo ya Mishahara ya Watumishi wa Umma 17,699 yenye thamani ya Shilingi 37,474,809,031.55 na kuchukua hatua ipasavyo; (xxii) Kukagua na kuidhinisha watumishi wapya wanaostahili kuingizwa katika Orodha ya Malipo ya Mishahara; (xxiii) Kuendesha mafunzo ya namna ya kutumia Mfumo mpya wa HCMIS kwa maafisa Utumishi/Tawala na viongozi wa Taasisi za Umma; (xxiv) Kuidhinisha taarifa za Kiutumishi na Mishahara kwenye Mfumo wa Taarifa za Kiutumishi na Malipo ya Mishahara katika utumishi wa umma; (xxv) Kutoa vibali vya ajira mpya na mbadala ili kujaza nafasi stahiki kwenye Taasisi mbalimbali za Umma; (xxvi) Kufanya uhakiki wa watumishi kwenye Taasisi za Umma ili kuhakikisha kunakuwa na matumizi bora ya Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma sambamba na kusafisha na kuboresha taarifa za kiutumishi na mishahara kupitia Mfumo wa HCMIS; (xxvii) Kuwezesha Wizara, Idara Zinazojitegemea, Wakala za Serikali na Mashirika ya Umma 20 kuandaa Orodha ya Kazi na Maelezo ya Kazi ili

94

kupata uwiano mzuri wa watumishi katika kutekeleza majukumu ya Taasisi husika; (xxviii) Kuboresha michakato ya utoaji huduma na kuimarisha usimamizi wa Mifumo na Viwango vya utendaji kazi kwa kufanya ufuatiliaji pamoja na kutoa ushauri wa kitaalam katika Taasisi za Serikali ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma kwa wananchi; (xxix) Kuandaa Mkakati wa Ufuatiliaji na Tathmini wa Kitaifa na kuwezesha utekelezaji wake; (xxx) Kuandaa Mfumo Jumuishi wa Ufuatiliaji na Tathmini Serikalini kwa kushirikiana na wadau mbalimbali ambao utaunganisha Mifumo ya Ufuatiliaji na Tathmini iliyopo katika Taasisi zote za Umma; (xxxi) Kufanya Tathmini ya kina ya Utendaji kazi wa Wakala za Serikali ili kubaini utekelezaji wa malengo ya dhana ya uanzishaji wa Wakala hizo katika Utumishi wa Umma; (xxxii) Kuwezesha uandaaji na uhuishaji wa Miundo ya Maendeleo ya Utumishi katika Utumishi wa Umma; (xxxiii) Kuwianisha na kuoanisha mishahara na mipango ya motisha katika Utumishi wa Umma; (xxxiv) Kusimamia utawala wa utumishi wa umma kwa kushughulikia mahitaji ya vibali vya uhamisho, kushikizwa, kuazimwa na likizo bila malipo kwa 95

watumishi na baina ya waajiri mbalimbali katika Utumishi wa Umma; (xxxv) Kuimarisha uwepo wa viongozi wenye sifa stahiki, weledi na maono ya utumishi wa umma wenye kuzingatia dira ya maendeleo na mikakati mbali mbali ya kitaifa kwa kupokea na kushughulikia mapendekezo ya nafasi za uteuzi, mikataba ya ajira na vibali vya kukaimu nafasi za uongozi kadiri maombi hayo yatakavyokuwa yanawasilishwa na waajiri mbalimbali; (xxxvi) Kuimarisha upatikanaji wa taarifa (Kanzidata) za Viongozi wa Serikali waliopo kwenye nafasi na wanaoonesha mwelekeo na uwezo wa kukidhi uteuzi katika nafasi za uongozi; ili kuwa na viongozi wenye kukidhi matarajio ya utumishi wa umma na watanzania; (xxxvii) Kujenga uwezo wa Taasisi za Serikali katika kuandaa Sera za Kisekta zinazozingatia utafiti ili kuziwianisha na kuondoa migongano na urudufu wakati wa utekelezaji; (xxxviii) Kufanya mapitio ya Sheria na Miongozo ya Kiutumishi kwa lengo la kuboresha utendaji kazi pamoja na kutoa miongozo ya kuimarisha Menejimenti ya Utumishi wa Umma kupitia nyaraka za kiutumishi; (xxxix) Kufanya ufuatiliaji na kuhamasisha ujumuishwaji wa masuala ya Anuai za Jamii ili kuhakikisha

96

makundi yote katika jamii yanapata huduma zinazozingatia usawa; (x) Kukamilisha upatikanaji wa kiwanja katika eneo la Mtumba karibu na Mji wa Serikali kwa ajili ya ujenzi wa nyumba nyingine 600 ambazo zitakuwa na gharama nafuu zitakazojengwa katika awamu nne; (xi) Kufanya uhamasishaji wa uzingatiaji wa maadili kupitia vyombo vya habari na kuelimisha watumishi wa Umma na waajiri kuhusu umuhimu wa kupunguza malalamiko ya wateja na kushughulikia ipasavyo malalamiko yanayowasilishwa; (xii) Kujenga uelewa wa wadau kuhusu Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma zilizofanyiwa mapitio; (xiii) Kufanya Ufuatiliaji wa Uzingatiaji wa Maadili katika Wizara, Idara Zinazojitegemea, Wakala za Serikali, Sekretarieti za Mikoa, Mamlaka za Serikali za Mitaa na Taasisi nyingine za Umma; (xiv) Kuimarisha mifumo na uwezo wa matumizi ya mfumo wa kushughulikia malalamiko ya watumishi kuhusu mambo mbali mbali ikiwemo haki zao na ya wananchi kuhusu huduma za utumishi wa umma kwenye ngazi ya Wizara, Idara Zinazojitegemea, Wakala za Serikali,

97

Sekretarieti za Mikoa, Mamlaka za Serikali za Mitaa na Taasisi nyingine za Umma. (xv) Kufanya utafiti wa uzingatiaji wa maadili katika utumishi wa umma (Public Service Integrity Survey) kwa nia ya kubaini kiwango cha uzingatiaji wa maadili na kutoa ushauri wa uboreshaji unaozingatia taarifa sahihi za utafiti; (xvi) Kufanya kampeni za uimarishaji wa uzingatiaji wa maadili kwenye taasisi za umma na vyama vya Kitaaluma; (xvii) Kuongeza uelewa wa wananchi kuhusu huduma zitolewazo na Ofisi na namna ya upatikanaji wake kupitia njia mbalimbali za mawasiliano ikiwemo magazeti, redio, runinga, tovuti, mitandao ya kijamii, Gazeti la Serikali, majarida, vipeperushi na vitabu, mikutano ya wadau na semina; (xviii) Kuanza maandalizi ya ujenzi wa Klabu ya Viongozi katika Utumishi wa Umma (Leaders Club) kwenye eneo la Ndejengwa Hill top – Dodoma; (xix) Kuendelea kutoa huduma kwa Viongozi wa Kitaifa Wastaafu (Viongozi 11 na wajane sita) kwa mujibu wa sheria.

98

B. CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA (TPSC) 66. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2021/22 Chuo cha Utumishi wa Umma kimepanga kutekeleza shughuli zifuatazo: (i) Kutoa mafunzo ya kujiandaa kufanya mitihani ya Utumishi wa Umma kwa watumishi 700 ili kuwajengea uwezo wa utendaji kazi na kutoa huduma bora kwa wananchi; (ii) Kutoa mafunzo ya Uongozi na Maendeleo, Menejimenti na Usimamizi wa ofisi kwa watumishi wa umma 5,000 ili kuendeleza stadi, weledi na ujuzi katika maeneo hayo. Vile vile, yatatolewa mafunzo hayo kwa njia ya mtandao kwa watumishi wa umma 2,500; (iii) Kutoa Mafunzo ya Awali katika Utumishi wa Umma kwa watumishi wa umma 2,600 ili kujenga uelewa wa kitendaji wa serikalini kwa waajiriwa wapya; (iv) Kutoa mafunzo ya muda mrefu kwa washiriki 13,800 katika fani za Utunzaji wa Kumbukumbu, Uhazili, Kompyuta, Utunzaji wa Fedha za Umma, na Menejimenti ya Rasilimali Watu, Usimamizi na Manunuzi ya Umma, Uongozi na Utawala Bora; (v) Kutoa ushauri katika maeneo mbali mbali 6 ya kitaalam kwa Taasisi za Umma kwa ajili ya kutambua changamoto halisi za utendaji na 99

kuchangia katika utoaji wa maamuzi yanayozingatia matokeo ya utafiti; (vi) Kufanya utafiti wa aina nne wa maeneo ya Utumishi wa Umma yanayolenga kuboresha utoaji huduma kwa wananchi; (vii) Kuratibu midahalo kwa njia ya mtandao katika maeneo 32 kwa watumishi wa umma na sekta binafsi itakayowezesha kufanyika kwa midahalo kwa washiriki wa ndani na nje ya nchi wapatao 2,000 ili kupunguza gharama za Serikali kupeleka watumishi nje ya nchi na kubadilishana uzoefu wa kitaalam; (viii) Kuwezesha mafunzo ya muda mrefu kwa watumishi 5 wa Chuo cha Utumishi wa Umma katika ngazi za Shahada ya Uzamivu na Shahada ya Uzamili; (ix) Kuendelea na ujenzi wa majengo yatakayotumika kwa ajili ya madarasa, maktaba na ofisi katika Kampasi za Singida, Tanga na Kanda ya Ziwa; (x) Kufuatilia uhamishaji wa umiliki wa kiwanja na 46 kilichopo eneo la Shangani Mtwara ambacho Chuo kilipatiwa na Wakala ya Majengo (TBA) kwa ajili ya ujenzi wa mabweni; (xi) Kufuatilia upatikanaji wa eneo la Chamwino – Dodoma na Mbeya kwa ajili ya ujenzi wa Kampasi za Dodoma na Mbeya;

100

(xii) Kutoa mafunzo ya kuwajengea uelewa kuhusu Mkakati wa Kuzuia na Kupambana na Rushwa, maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI pamoja na Magonjwa Sugu Yasiyoambukizwa mahali pa kazi kwa watumishi 238;

C. MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA) 67. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2021/22, Mamlaka ya Serikali Mtandao imepanga kutekeleza shughuli zifuatazo: (i) Kuboresha Mfumo wa kurahisisha ubadilishanaji wa Taarifa Serikalini (Government Enterprise Service Bus); (ii) Kuboresha Vituo maalum vya kuhifadhi Mifumo ya Serikali Kimtandao (Government Private Cloud); (iii) Kuhuisha, kusimamia na kuendeleza Mifumo shirikishi ya TEHAMA ikiwemo Mfumo wa kutoa Huduma kwa Njia ya Simu za Mkononi; Mfumo wa Barua Pepe Serikalini (GMS), Ofisi Mtandao (e-office), Mfumo wa Kusimamia Rasilimali za Taasisi (ERMS), n.k. (iv) Kuhakikisha kuwa mifumo ya serikali na miundombinu ya TEHAMA inafanya kazi na kutoa huduma kwa taasisi za umma na wananchi wakati wote kwa ufanisi na usalama wa mawasiliano;

101

(v) Kuiwezesha Mifumo ya TEHAMA ya kimkakati na ya kisekta kubadilishana taarifa kwa kutumia Viwango na Miongozo ya TEHAMA ili kuondoa urudufu, kupunguza gharama na kuongeza ubora wa huduma zinazotolewa kwa umma; (vi) Kusimamia, kuendesha na kuendeleza Miundombinu Shirikishi na Vituo vya Kuhifadhi Taarifa na Mifumo ya TEHAMA ya Serikali na Kujikinga na Majanga ili kuongeza Usalama wa Mifumo na taarifa za Serikali sambamba na kupunguza gharama; (vii) Kutoa mafunzo ya Serikali Mtandao kwa Viongozi, Wasimamizi wa TEHAMA na watumiaji wa huduma za Serikali Mtandao kwa Taasisi za Serikali ili kuongeza umiliki (ownership), uelewa wa Taasisi za Umma katika kutumia TEHAMA, kuongeza ufanisi wa kiutendaji na utoaji wa huduma kwa wananchi; (viii) Kutoa ushauri wa kitaalam na msaada wa kiufundi kwenye maeneo ya TEHAMA kwa taasisi za Serikali; na (ix) Kutoa ushauri na kusimamia jitihada mbalimbali za matumizi ya TEHAMA Serikalini ikiwa ni pamoja na Miradi ya TEHAMA ili iweze kutoa matokeo yenye tija na inayozingatia viwango. 68. Mheshimiwa Spika, ili kutekeleza Mpango wa Mwaka wa Fedha wa 2021/22, Fungu 32 Ofisi ya

102

Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma inaomba kiasi cha Shilingi 41,117,235,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha hizi, Shilingi 33,467,235,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi 7,650,000,000 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo.

SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA 69. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2021/22, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, imepanga kutekeleza majukumu yafuatayo:- (i) Kusimamia na kuendesha michakato ya ajira ili kuwezesha waajiri kupata watumishi wenye sifa zinazotakiwa kwa mujibu wa miundo ya utumishi husika; (ii) Kushiriki kama wataalam waalikwa kwenye usaili unaoendeshwa na taasisi zinazotumia Sheria zilizokasimiwa kwa taasisi husika; (iii) Kuimarisha Ofisi ya Sekretarieti ya Ajira iliyopo Zanzibar ili kurahisisha michakato ya ajira kwa ajira za Muungano; (iv) Kuimarisha utendaji kazi wa taasisi kwa kutumia TEHAMA;

103

(v) Kuboresha mifumo ya uendeshaji wa usaili kwa kutumia mbinu za kisasa, ikiwemo matumizi ya “psychometric test”; (vi) Kuhakiki vyeti vya waombaji kazi na kupata taarifa nyingine muhimu ili kupunguza kesi zinazotokana na kugushiwa kwa vyeti; na (vii) Kutoa taarifa na elimu kwa Umma ili kukuza uelewa kuhusu shughuli zinazotekelezwa na Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. 70. Mheshimiwa Spika, katika kutekeleza majukumu yake kwa Mwaka wa Fedha wa 2021/22, Fungu 67: Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inaomba kuidhinishiwa kiasi cha Shilingi 3,388,771,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida.

OFISI YA RAIS, TUME YA UTUMISHI WA UMMA 71. Mheshimiwa Spika, Katika Mwaka wa Fedha 2021/22, Tume imepanga kutekeleza majukumu yafuatayo: - (i) Kufanya ukaguzi wa kawaida katika Taasisi za Umma 150 na Ukaguzi Maalum katika Taasisi za Umma 10 kuangalia uzingatiaji wa Sheria, Kanuni, Taratibu na Miongozo ya usimamizi wa Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma; (ii) Kufanya mikutano minne (4) ya kisheria ya Tume kujadili na kutolea uamuzi rufaa, malalamiko,

104

taarifa za ukaguzi na masuala mengine ya kiutumishi kadri yatakavyopokelewa; (iii) Kuhuisha Miongozo ya Tume ya uzingatiaji wa masuala ya Ajira na Nidhamu na kuisambaza kwa Waajiri, Mamlaka za Ajira na Nidhamu; (iv) Kuelimisha Taasisi za Umma na Watumishi wa Umma kuhusu majukumu ya Tume na utekelezaji wa Sheria, Kanuni, Taratibu na Miongozo ya Utumishi wa Umma kupitia ziara za Makamishna, vikao vya kazi, vyombo vya habari, machapisho na tovuti; (v) Kuandaa Taarifa ya Hali ya Utumishi wa Umma na Utekelezaji wa Majukumu ya Tume kwa kipindi cha Mwaka wa Fedha wa 2020/21 na kuiwasilisha kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;. (vi) Kutoa huduma kwa watumishi wa Tume wenye mahitaji maalum; na (vii) Kutoa elimu kwa watumishi wa Tume kuhusu VVU, UKIMWI, Magonjwa Sugu Yasiyoambukizwa na Mapambano Dhidi ya Rushwa. 72. Mheshimiwa Spika, Ili kutekeleza Mpango wa Mwaka wa Fedha 2021/22, Fungu 94, Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma inatarajia kutumia kiasi cha Shilingi 5,300,834,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida. 105

OFISI YA RAIS, IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA TAIFA 73. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2021/22, Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa itatekeleza shughuli zifuatazo:- (i) Kukusanya taarifa, kumbukumbu, nyaraka na machapisho mbalimbali yanayohusu historia ya Nchi yetu kutoka taasisi za Umma, watu na taasisi binafsi; (ii) Kutambua, kukusanya, kutunza na kuhifadhi kumbukumbu na vitu vya Waasisi wa Taifa; (iii) Kuweka na kuhuisha mifumo ya utunzaji wa kumbukumbu katika Taasisi za Umma ili kuongeza ufanisi na tija katika utoaji wa huduma Serikalini; (iv) Kuimarisha mifumo ya kielektroniki katika usimamizi wa taarifa, kumbukumbu na nyaraka za taifa kwa ajili ya kuhifadhi kumbukumbu na nyaraka katika teknolojia ya kisasa ili kurahisisha upatikanaji na kulinda nakala halisi; (v) Kufanya tathmini (appraisal) ya kumbukumbu tuli za Taasisi za Umma zilizohifadhiwa katika Kituo cha Taifa cha Kumbukumbu Dodoma ili kubaini zenye umuhimu wa kuendelea kuhifadhiwa na zile ambazo umuhimu wake wa matumizi umefikia ukomo kwa lengo la kuziteketeza kwa mujibu wa Sheria; 106

(vi) Kujenga uwezo wa taasisi za umma katika usimamizi wa kumbukumbu na nyaraka za Serikali kwa kuandaa mikutano kazi kwa menejimenti za taasisi za umma na mafunzo kazi kwa Waratibu na Watunza kumbukumbu kuhusu Sheria, Kanuni, Taratibu na Miongozo ya utunzaji wa taarifa, kumbukumbu na nyaraka za Serikali; (vii) Kufanya ukarabati wa nyaraka kongwe zilizohifadhiwa katika Ghala Kuu la nyaraka na zile zinazotarajiwa kukusanywa; (viii) Kukagua, kuchambua na kuhamisha kumbukumbu tuli kutoka katika Taasisi za Umma kwenda Kituo cha Taifa cha Kumbukumbu - Dodoma; (ix) Kuwezesha Taasisi za Umma kutengeneza Miongozo ya kuhifadhi na kuteketeza kumbukumbu; (x) Kufanya Tathimini ya utunzaji wa kumbukumbu katika Taasisi za Umma; (xi) Kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa utunzaji na uhifadhi wa kumbukumbu na nyaraka katika maendeleo ya Taifa letu; na (xii) Kuimarisha uwezo wa utendaji wa Watumishi wa Idara. 74. Mheshimiwa Spika, katika kutekeleza majukumu yake kwa Mwaka wa Fedha wa 2021/22, Fungu 4: Idara ya Kumbukumbu ya Nyaraka za Taifa inaomba 107 kuidhinishiwa kiasi cha Shilingi 4,571,018,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha hizi, Shilingi 2,571,018,000 ni kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi 2,000,000,000 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo.

MAJUMUISHO

75. Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Rais ndiyo inayohusika na uwezeshaji wa maamuzi ya juu ya nchi, sambamba na menejimenti ya Utumishi wa Umma ambayo ni nguzo muhimu katika uendeshaji na uendelezaji wa nchi. Utumishi wa Umma umeendelea kutoa mchango mkubwa sana katika maendeleo ya nchi ambayo sasa imefikia uchumi wa kipato cha kati. Tuna matarajio makubwa kuwa mchango wa watumishi wa umma utaendelea kuwezesha nchi kufikia uchumi wa kati wa kiwango cha juu. Aidha, maendeleo hayo yanatarajiwa kuongezeka kwa kuimarisha uchumi shindani na viwanda kwa maendeleo ya watu kama inavyoshajiishwa katika Mpango wa Tatu wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano (FYDP III). 76. Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Rais itaendelea kuimarisha uwezeshaji wa vyombo vinavyosaidia kwenye maamuzi ya nchi, usalama na kuimarisha vita dhidi ya rushwa. Maadili kwa viongozi wote na watumishi wa umma yanatarajiwa kusimamiwa 108 ipasavyo ili yachangie kwenye kuongeza tija ya rasilimaliwatu na rasilimalifedha ili kupata thamani ya fedha ya rasilimali hizo, kwa maendeleo ya watu. Kati ya mambo ambayo Serikali itayapa kipaumbele ni usimamizi thabiti wa maeneo hayo. 77. Mheshimiwa Spika, Serikali kwa ujumla inafanya maboresho ya kisekta na ya maeneo mbalimbali yaliyo mtambuka. Ofisi ya Rais ndio mratibu wa jumla wa maboresho yote katika Serikali. Hivyo, wajibu huo utatekelezwa kwa kuhakikisha kuwa maboresho yanayofanyika katika nchi yetu bila kuleta urudufu na yanaleta tija katika Utumishi wa Umma na kuchochea maendeleo. Aidha, Ofisi yangu itahakikisha kunakuwepo na utawala bora ulio imara kuanzia ngazi ya juu ya uongozi hadi chini. Katika kuimarisha uwazi Ofisi ya Rais itahakikisha wananchi wanapata taarifa sahihi kuhusu maamuzi ya Serikali. 78. Mheshimiwa Spika, kama nilivyoeleza awali, tutaimarisha mifumo na uwezo wa matumizi ya mfumo wa kushughulikia malalamiko ya watumishi kuhusu mambo mbali mbali ikiwemo haki zao na ya wananchi kuhusu huduma za utumishi wa umma kwenye ngazi zote ili kupunguza kwa kiwango kikubwa kero hizo. Aidha, natoa rai kwa Maafisa Utumishi wote kushughulikia changamoto zote za watumishi haraka. Narudia kusisitiza kuwa tukitembelea kwa mwajiri yeyote tukakuta malalamiko yanayoweza kutatuliwa na mwajiri 109 tutachukua hatua kali, ikiwemo kuwavua madaraka waliozembea. Pia, nawaomba wabunge kuleta kero na malalamiko ya watumishi wa umma kutoka katika majimbo yenu moja kwa moja kwangu wakati wowote. Nimedhamiria kupunguza kama sio kumaliza kabisa malalamiko ya watumishi wa umma na wananchi yanayohusu Ofisi yangu. 79. Mheshimiwa Spika, Kwa nchi yetu na kwa mujibu wa miundo na mgawanyo wa majukumu kwa mawaziri, utekelezaji kwa ujumla unajumuisha, Ofisi ya Rais Ikulu; Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora; Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma; Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma; Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma; Ofisi ya Rais, Bodi ya Mishahara na Masilahi katika Utumishi wa Umma; na Ofisi ya Rais, Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa. 80. Mheshimiwa Spika, Mipango na Bajeti kwa Mafungu niliyoyataja bila kujumuisha Ofisi ya Rais, Bodi ya Mishahara na Masilahi katika Utumishi wa Umma ambayo imefutwa yamezingatia vipaumbele vya Serikali kwenye eneo la kuimarisha utendaji kazi wa Utumishi wa Umma na kuifanya nchi yetu iondokane na matumizi mabaya ya rasilimali fedha, ukiukwaji wa maadili ya uongozi na kupunguza urasimu usio wa lazima katika utoaji huduma na hivyo 110 kuongeza tija katika kutekeleza masuala yenye masilahi mapana kwa Taifa letu. 81. Mheshimiwa Spika, Bajeti ya Mafungu yote yaliyo chini ya Ofisi ya Rais, Ikulu na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imelenga kuwa na Utumishi wa Umma unaotoa huduma bora kwa haraka na staha, kuzingatia Katiba, Sera, Sheria, Kanuni, Miongozo na taratibu ili kujenga imani zaidi kwa wananchi. Vile vile, Bajeti imelenga kuweka mazingira bora ya ufanyaji biashara nchini ili kuendana na kauli mbiu ya Mpango wa Tatu wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano. Katika kuendana na wakati, jitihada zaidi zitawekwa kwenye kujenga uwezo na mifumo ya kimenejimenti na utoaji huduma ikiwemo matumizi sahihi na salama ya fursa zinazopatikana katika utoaji huduma kwa TEHAMA ndani ya Serikali pamoja na kuboresha mazingira ya ufanyaji biashara Tanzania. 82. Mheshimiwa Spika, baada ya kueleza kwa kina utekelezaji wa majukumu kwa Mwaka wa Fedha 2020/21 na Mipango na Bajeti ya Ofisi ya Rais, Ikulu na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa Mwaka wa Fedha 2021/22 sasa naomba kuwasilisha rasmi mapendekezo ya maombi yetu kwa Mwaka wa Fedha 2021/22 kwa muhtasari kama ifuatavyo:-

111

(i) Fungu 20: Ofisi ya Rais, Ikulu Matumizi ya Kawaida Sh. 24,557,764,000 Jumla Sh. 24,557,764,000 (ii) Fungu 30: Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri Matumizi ya Kawaida Sh. 467,921,917,000 Matumizi ya Miradi ya Sh. 171,858,401,000 Maendeleo Jumla Sh. 639,780,318,000 Fungu 33: Ofisi ya Rais, (iii) Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Matumizi ya Kawaida Sh. 7,366,921,000 Matumizi ya Miradi ya Sh. 1,850,000,000 Maendeleo Jumla Sh. 9,216,921,000 Fungu 32: Ofisi ya Rais, (iv) Menejimenti ya Utumishi wa Umma Matumizi ya Kawaida Sh. 33,467,235,000 Matumizi ya Miradi ya Sh. 7,650,000,000 Maendeleo Jumla Sh. 41,117,235,000 Fungu 67: Ofisi ya Rais, (v) Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

112

Matumizi ya Kawaida Sh. 3,388,771,000 Jumla Sh. 3,388,771,000 Fungu 94: Ofisi ya Rais, (vi) Tume ya Utumishi wa Umma Matumizi ya Kawaida Sh. 5,300,834,000 Jumla Sh. 5,300,834,000 Fungu 04: Ofisi ya Rais, (vii) Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa Matumizi ya Kawaida Sh. 2,571,018,000 Matumizi ya Miradi ya Sh. 2,000,000,000 Maendeleo Jumla Sh. 4,571,018,000

83. Mheshimiwa Spika na Waheshimiwa Wabunge, Jumla kuu ya Bajeti ninayoomba kwa mafungu yote yaliyo chini ya Ofisi ya Rais (Ikulu, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora) kwa mwaka 2021/22, ni kama ifuatavyo:- Jumla kuu - Matumizi ya Sh. 544,574,460,000 Kawaida Jumla kuu - Matumizi ya Sh. 183,358,401,000 Miradi ya Maendeleo Jumla kuu kwa Mafungu Sh. 727,932,861,000 yote

84. Mheshimiwa Spika na Waheshimiwa Wabunge, mwisho naomba kuwasilisha maombi haya ili muweze kuyajadili na kuyaidhinisha. 113

”Ahsanteni sana kwa kunisikiliza” 85. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja.

Mohamed O. Mchengerwa (Mb.) WAZIRI WA NCHI – OFISI YA RAIS (MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA)

114

KIAMBATISHO NA.1 TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA TAKWIMU ZA UCHUNGUZI KWA KIPINDI CHA JULAI 2020 – MACHI, 2021 OCT. NOV. MACH. MAELEZO JUL. 2020 AUG. 2020 SEP. 2020 2020 2020 DEC. 2020 JAN.2021 FEB. 2021 2021 JUMLA Malalamiko Yaliyopokelewa*** 1,924 1,741 1,635 1,610 1,472 1,653 1,807 1,534 1,554 14,930 Majalada yaliyokamilika 55 53 55 67 93 40 49 88 61 561 Majalada Yaliyopelekwa kwa 28 6 4 9 8 11 10 DPP 40 3 119 Majalada yaliyorudi na kibali 10 5 1 5 15 7 29 cha DPP 29 6 107 Majalada Yaliyofungwa 1 0 2 1 1 1 2 1 0 9 Kesi Mpya Zilizofikishwa 29 35 30 26 27 37 30 Mahakamani 49 49 312 Kesi Kesi 24 30 23 21 28 32 10 Zilizoshinda 27 21 216 zilizoamuliwa Kesi Mahakamani 12 11 18 10 10 23 7 Zilizoshindwa 8 23 122 Kesi zinazoendela 718 712 717 648 701 647 650 mahakamani 606 655 655 Thamani ya Fedha 1,695,449,167 937,853,837 4,244,169,201 131,613,928 241,709,030 167,359,846 2,249,236,492 1,360,047,292 248,323,891 11,275,762,684 Fedha Taslimu Iliyookolewa Fedha 167,558,050 1,222,911,861 2,957,856,809 762,700,394 436,768,148 1,518,096,052 8,295,808,952 1,186,250,505 823,526,891 17,371,477,662 (Tshs) zilizodhibitiwa Jumla ya Fedha 1,863,007,217 2,160,765,698 7,202,026,010 894,314,322 678,477,178 1,685,455,898 10,545,045,444 2,546,297,797 1,071,850,782 28,647,240,346 zilizookolewa *** Siyo malalamiko yote yanayopokelewa yanahusu rushwa. 115

KIAMBATISHO NA.2

MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII (TASAF) UHAWILISHAJI FEDHA KWA WALENGWA KWA MAENEO YOTE YA UTEKELEZAJI PAMOJA NA FEDHA ZA USIMAMIZI NGAZI YA MKOA NA HALMASHAURI KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI 2020 HADI MACHI 2021 MALIPO MALIPO YA IDADI YA USIMAMIZI NGAZI YA MALIPO YA AJIRA ZA MUDA MALIPO YA YA IDADI USIMAMIZI WILAYA NA KATA JUMLA YA ENEO LA MALIPO KWA USIMAMIZI VIJIJI/ YA NGAZI YA FEDHA KILA UTEKELEZAJI WALENGWA NGAZI YA MALIPO MITAA/ KAYA KIJIJI/ IDADI YA HALMASHAURI MKOA WILAYA KATA KWA SHEHIA MTAA/ WALENGWA WALENGWA SHEHIA Arusha Arusha 45 8,223 1,220,914,000 - 1,350,000 11,798,715 - 9,885 225,000,000 1,459,062,715 Arusha CC 71 3,220 456,760,050 - 2,130,000 13,994,950 - 472,885,000 Karatu 39 6,664 1,077,100,000 - 1,170,000 12,486,795 - 1,090,756,795 Longido 28 5,241 729,138,000 - 840,000 14,410,670 - 3,270 74,800,000 819,188,670 Meru 59 5,104 720,626,000 - 1,770,000 13,358,580 - 735,754,580 Monduli 31 5,341 793,850,000 - 930,000 14,199,520 - 6,501 150,000,000 958,979,520 Ngorongoro 37 5,236 766,778,000 - 1,110,000 19,684,660 - - 787,572,660 JUMLA NDOGO 310 39,029 5,765,166,050 - 9,300,000 99,933,890 - 19,656 449,800,000 6,324,199,940 Dar es Salaam - Ilala MC 70 3,812 635,054,100 - 2,100,000 13,700,000 - 650,854,100 Kigamboni MC 39 965 143,315,650 - 1,170,000 10,574,960 - 155,060,610

116

MALIPO MALIPO YA IDADI YA USIMAMIZI NGAZI YA MALIPO YA AJIRA ZA MUDA MALIPO YA YA IDADI USIMAMIZI WILAYA NA KATA JUMLA YA ENEO LA MALIPO KWA USIMAMIZI VIJIJI/ YA NGAZI YA FEDHA KILA UTEKELEZAJI WALENGWA NGAZI YA MALIPO MITAA/ KAYA KIJIJI/ IDADI YA HALMASHAURI MKOA WILAYA KATA KWA SHEHIA MTAA/ WALENGWA WALENGWA SHEHIA Kinondoni MC 63 3,153 510,760,550 - 1,890,000 13,149,885 - 525,800,435 Temeke MC 81 5,506 935,630,150 - 2,430,000 15,074,400 - 953,134,550 Ubungo MC 51 2,055 323,711,750 - 1,530,000 11,753,850 - 336,995,600 JUMLA NDOGO 304 15,491 2,548,472,200 - 9,120,000 64,253,095 - 2,621,845,295 Dodoma - Bahi 40 6,995 895,822,000 - 1,200,000 14,258,605 - 911,280,605 Chamwino 73 15,805 2,118,110,000 - 2,190,000 20,334,055 - 2,140,634,055 Chemba 50 4,388 636,472,000 - 1,500,000 16,493,650 - 654,465,650 Dodoma CC 78 5,406 747,138,000 - 2,340,000 14,580,000 - 764,058,000 Kondoa 63 7,500 1,136,782,000 - 1,890,000 16,897,520 - 1,155,569,520 Kondoa TC 21 1,917 317,640,000 - 630,000 8,310,000 - 326,580,000 Kongwa 52 7,361 1,180,976,000 - 1,560,000 14,488,085 - 1,197,024,085 Mpwapwa 57 5,263 682,806,000 - 1,710,000 17,393,115 - 701,909,115 JUMLA NDOGO 434 54,635 7,715,746,000 - 13,020,000 122,755,030 - 7,851,521,030 Geita - Bukombe 47 3,679 597,590,000 - 1,410,000 16,688,360 - 615,688,360 Chato 73 6,196 1,008,518,000 - 2,190,000 16,135,690 - 1,026,843,690 Geita 103 7,480 1,242,912,000 - 3,090,000 21,696,875 - 1,267,698,875 Geita TC 48 3,607 604,126,000 - 1,440,000 12,020,485 - 617,586,485 Mbogwe 64 3,400 582,592,000 - 1,920,000 14,601,800 - 599,113,800 Nyang'hwale 41 2,431 412,516,000 - 1,230,000 11,610,110 - 425,356,110 JUMLA NDOGO 376 26,793 4,448,254,000 - 11,280,000 92,753,320 - 4,552,287,320 117

MALIPO MALIPO YA IDADI YA USIMAMIZI NGAZI YA MALIPO YA AJIRA ZA MUDA MALIPO YA YA IDADI USIMAMIZI WILAYA NA KATA JUMLA YA ENEO LA MALIPO KWA USIMAMIZI VIJIJI/ YA NGAZI YA FEDHA KILA UTEKELEZAJI WALENGWA NGAZI YA MALIPO MITAA/ KAYA KIJIJI/ IDADI YA HALMASHAURI MKOA WILAYA KATA KWA SHEHIA MTAA/ WALENGWA WALENGWA SHEHIA Iringa - Iringa 85 7,157 1,095,054,000 - 2,550,000 28,913,000 - 1,126,517,000 Iringa MC 111 2,479 365,334,000 - 3,330,000 13,740,443 - 382,404,443 Kilolo 74 5,489 740,786,000 - 2,220,000 20,472,140 - 763,478,140 Mafinga TC 27 1,057 159,778,000 - 810,000 9,604,310 - 170,192,310 Mufindi 79 5,466 732,112,000 - 2,370,000 19,260,320 - 753,742,320 JUMLA NDOGO 376 21,648 3,093,064,000 - 11,280,000 91,990,213 - 3,196,334,213 Kagera - Biharamulo 52 5,655 816,966,000 - 1,560,000 16,830,100 - 835,356,100 Bukoba 63 7,229 1,082,590,000 - 1,890,000 14,060,250 - 1,098,540,250 Bukoba MC 45 2,683 417,292,000 - 1,350,000 11,055,490 - 429,697,490 Karagwe 57 8,203 1,283,190,000 - 1,710,000 15,786,105 - 1,300,686,105 Kyerwa 66 7,229 1,143,820,000 - 1,980,000 15,023,875 - 1,160,823,875 Missenyi 50 5,151 795,740,000 - 1,500,000 13,435,125 - 810,675,125 Muleba 109 13,041 2,074,752,000 - 3,270,000 20,399,830 - 2,098,421,830 Ngara 55 7,059 1,107,710,000 - 1,650,000 14,310,500 - 1,123,670,500 JUMLA NDOGO 497 56,250 8,722,060,000 - 14,910,000 120,901,275 - 8,857,871,275 Katavi - Mlele 4 287 36,752,000 - 120,000 12,291,579 - 49,163,579 Mpanda 23 1,555 231,400,000 - 690,000 20,135,270 - 252,225,270 Mpanda MC 26 1,415 204,442,000 - 780,000 8,860,000 - 214,082,000 Mpimbwe DC 25 1,577 237,412,000 - 750,000 14,103,275 - 252,265,275 118

MALIPO MALIPO YA IDADI YA USIMAMIZI NGAZI YA MALIPO YA AJIRA ZA MUDA MALIPO YA YA IDADI USIMAMIZI WILAYA NA KATA JUMLA YA ENEO LA MALIPO KWA USIMAMIZI VIJIJI/ YA NGAZI YA FEDHA KILA UTEKELEZAJI WALENGWA NGAZI YA MALIPO MITAA/ KAYA KIJIJI/ IDADI YA HALMASHAURI MKOA WILAYA KATA KWA SHEHIA MTAA/ WALENGWA WALENGWA SHEHIA Nsimbo 20 699 97,728,000 - 600,000 6,191,864 - 104,519,864 JUMLA NDOGO 98 5,533 807,734,000 - 2,940,000 61,581,988 - 872,255,988 Kigoma - Buhigwe 36 7,385 1,061,758,000 - 1,080,000 10,991,610 - 1,073,829,610 Kakonko 36 6,874 1,074,660,000 - 1,080,000 11,472,480 - 1,087,212,480 Kasulu 43 7,493 1,146,162,000 - 1,290,000 15,659,260 - 1,163,111,260 Kasulu TC 34 4,503 663,268,000 - 1,020,000 10,364,720 - 674,652,720 Kibondo 40 8,810 1,361,932,000 - 1,200,000 19,305,000 - 1,382,437,000 Kigoma 38 4,827 908,036,000 - 1,140,000 17,715,000 - 926,891,000 Kigoma MC 49 7,962 1,405,278,000 - 1,470,000 12,105,140 - 1,418,853,140 Uvinza 29 3,080 509,228,000 - 870,000 16,079,045 - 526,177,045 JUMLA NDOGO 305 50,934 8,130,322,000 - 9,150,000 113,692,255 - 8,253,164,255 Kilimanjaro - Hai 43 3,533 510,432,000 - 1,290,000 11,347,870 - 523,069,870 Moshi 97 6,480 924,616,000 - 2,910,000 17,834,500 - 945,360,500 Moshi MC 35 1,256 197,304,000 - 1,050,000 7,306,910 - 205,660,910 Mwanga 51 3,054 483,366,000 - 1,530,000 13,391,000 - 498,287,000 Rombo 43 4,734 698,838,000 - 1,290,000 11,737,635 - 711,865,635 Same 61 7,267 1,154,840,000 - 1,830,000 16,971,385 - 1,173,641,385 Siha 24 1,673 269,834,000 - 720,000 9,472,960 - 280,026,960 JUMLA NDOGO 354 27,997 4,239,230,000 - 10,620,000 88,062,260 - 4,337,912,260 Lindi - 119

MALIPO MALIPO YA IDADI YA USIMAMIZI NGAZI YA MALIPO YA AJIRA ZA MUDA MALIPO YA YA IDADI USIMAMIZI WILAYA NA KATA JUMLA YA ENEO LA MALIPO KWA USIMAMIZI VIJIJI/ YA NGAZI YA FEDHA KILA UTEKELEZAJI WALENGWA NGAZI YA MALIPO MITAA/ KAYA KIJIJI/ IDADI YA HALMASHAURI MKOA WILAYA KATA KWA SHEHIA MTAA/ WALENGWA WALENGWA SHEHIA Kilwa 58 4,472 582,405,750 - 1,740,000 22,911,750 - 607,057,500 Lindi 88 7,758 1,046,496,000 - 2,640,000 20,800,375 - 1,069,936,375 Lindi MC 32 2,111 288,086,000 - 960,000 9,938,625 - 298,984,625 Liwale 46 2,491 323,712,000 - 1,380,000 12,187,841 - 337,279,841 Nachingwea 69 4,697 648,408,000 - 2,070,000 18,025,375 - 668,503,375 Ruangwa 52 5,417 680,320,000 - 1,560,000 14,813,460 - 696,693,460 JUMLA NDOGO 345 26,946 3,569,427,750 - 10,350,000 98,677,426 - 3,678,455,176 Manyara - Babati 68 10,196 1,707,968,000 - 2,040,000 17,179,000 - 1,727,187,000 Babati TC 21 961 153,216,000 - 630,000 8,310,000 - 162,156,000 Hanang 47 4,434 713,536,000 - 1,410,000 13,660,660 - 728,606,660 Kiteto 43 4,971 692,804,000 - 1,290,000 19,597,325 - 713,691,325 Mbulu 50 2,787 440,380,000 - 1,500,000 13,184,415 - 455,064,415 Mbulu TC 36 1,629 285,760,000 - 1,080,000 11,255,335 - 298,095,335 Simanjiro 42 3,247 509,592,000 - 1,260,000 19,033,433 - 529,885,433 JUMLA NDOGO 307 28,225 4,503,256,000 - 9,210,000 102,220,168 - 4,614,686,168 Mara - Bunda DC 54 3,657 557,948,000 - 1,620,000 13,544,955 - 573,112,955 Bunda TC 54 1,811 291,640,000 - 1,620,000 12,450,325 - 305,710,325 Butiama 44 6,344 1,020,330,000 - 1,320,000 12,278,500 - 1,033,928,500 Musoma DC 34 4,873 791,078,000 - 1,020,000 9,740,000 - 801,838,000 Musoma MC 46 2,003 335,908,000 - 1,380,000 11,060,000 - 348,348,000 120

MALIPO MALIPO YA IDADI YA USIMAMIZI NGAZI YA MALIPO YA AJIRA ZA MUDA MALIPO YA YA IDADI USIMAMIZI WILAYA NA KATA JUMLA YA ENEO LA MALIPO KWA USIMAMIZI VIJIJI/ YA NGAZI YA FEDHA KILA UTEKELEZAJI WALENGWA NGAZI YA MALIPO MITAA/ KAYA KIJIJI/ IDADI YA HALMASHAURI MKOA WILAYA KATA KWA SHEHIA MTAA/ WALENGWA WALENGWA SHEHIA Rorya 56 6,246 936,974,000 - 1,680,000 13,530,000 - 952,184,000 Serengeti 60 2,845 457,164,000 - 1,800,000 20,241,860 - 479,205,860 Tarime DC 45 3,335 551,032,000 - 1,350,000 11,970,650 - 564,352,650 Tarime TC 74 1,557 247,544,000 - 2,220,000 14,240,695 - 264,004,695 JUMLA NDOGO 467 32,671 5,189,618,000 - 14,010,000 119,056,985 - 5,322,684,985 Mbeya - Busokelo 38 2,005 262,034,000 - 1,140,000 10,180,000 - 273,354,000 Chunya 36 4,604 557,606,000 - 1,080,000 18,967,065 - 577,653,065 Kyela 79 4,255 596,296,000 - 2,370,000 15,550,360 - 614,216,360 Mbarali 75 8,997 1,175,670,000 - 2,250,000 24,140,715 - 1,202,060,715 Mbeya 105 8,453 1,127,604,000 - 3,150,000 19,818,720 - 1,150,572,720 Mbeya CC 127 4,834 697,760,000 - 3,810,000 20,826,250 - 722,396,250 Rungwe 79 3,379 452,476,000 - 2,370,000 16,851,175 - 471,697,175 JUMLA NDOGO 539 36,527 4,869,446,000 - 16,170,000 126,334,285 - 5,011,950,285 Morogoro - Gairo 58 6,282 872,188,000 - 1,740,000 13,732,190 - 887,660,190 Ifakara TC 31 3,639 565,948,000 - 930,000 12,076,705 - 578,954,705 Kilombero 54 2,920 372,606,000 - 1,620,000 19,492,125 - 393,718,125 Kilosa 99 6,105 961,852,000 - 2,970,000 26,648,510 - 991,470,510 Malinyi DC 16 1,442 218,486,000 - 480,000 17,837,035 - 236,803,035 Morogoro 102 10,263 1,469,682,000 - 3,060,000 29,550,000 - 1,502,292,000 Morogoro MC 165 2,550 416,200,000 - 4,950,000 14,086,433 - 435,236,433 121

MALIPO MALIPO YA IDADI YA USIMAMIZI NGAZI YA MALIPO YA AJIRA ZA MUDA MALIPO YA YA IDADI USIMAMIZI WILAYA NA KATA JUMLA YA ENEO LA MALIPO KWA USIMAMIZI VIJIJI/ YA NGAZI YA FEDHA KILA UTEKELEZAJI WALENGWA NGAZI YA MALIPO MITAA/ KAYA KIJIJI/ IDADI YA HALMASHAURI MKOA WILAYA KATA KWA SHEHIA MTAA/ WALENGWA WALENGWA SHEHIA Mvomero 90 6,258 848,204,000 - 2,700,000 20,443,605 - 871,347,605 Ulanga 32 2,891 439,778,000 - 960,000 21,898,125 - 462,636,125 JUMLA NDOGO 647 42,350 6,164,944,000 - 19,410,000 175,764,728 - 6,360,118,728 Mtwara - Masasi 101 9,622 1,315,548,000 - 3,030,000 19,854,110 - 1,338,432,110 Masasi TC 40 2,507 336,812,000 - 1,200,000 10,915,805 - 348,927,805 Mtwara DC 67 5,287 762,472,000 - 2,010,000 14,848,915 - 779,330,915 Mtwara MC 35 1,132 175,326,000 - 1,050,000 5,815,160 - 182,191,160 Nanyamba 42 3,721 514,274,000 - 1,260,000 11,605,030 - 527,139,030 Nanyumbu 57 6,372 852,718,000 - 1,710,000 15,834,055 - 870,262,055 Newala 55 2,422 312,376,000 - 1,650,000 13,057,635 - 327,083,635 Newala TC 42 2,192 288,334,000 - 1,260,000 11,068,675 - 300,662,675 Tandahimba 88 6,242 843,914,000 - 2,640,000 17,082,880 - 863,636,880 JUMLA NDOGO 527 39,497 5,401,774,000 - 15,810,000 120,082,265 - 5,537,666,265 Mwanza - Buchosa 67 6,710 1,116,348,000 - 2,010,000 17,930,045 - 1,136,288,045 Ilemela MC 118 3,379 601,022,000 - 3,540,000 19,154,675 - 623,716,675 Kwimba 86 7,949 1,361,968,000 - 2,580,000 17,688,990 - 1,382,236,990 Magu 65 4,995 856,652,000 - 1,950,000 14,198,050 - 872,800,050 Misungwi 77 7,820 1,428,170,000 - 2,310,000 16,236,615 - 1,446,716,615 Mwanza CC 83 4,695 773,454,000 - 2,490,000 15,255,355 - 791,199,355 Sengerema 58 6,153 1,079,134,000 - 1,740,000 18,419,645 - 1,099,293,645 122

MALIPO MALIPO YA IDADI YA USIMAMIZI NGAZI YA MALIPO YA AJIRA ZA MUDA MALIPO YA YA IDADI USIMAMIZI WILAYA NA KATA JUMLA YA ENEO LA MALIPO KWA USIMAMIZI VIJIJI/ YA NGAZI YA FEDHA KILA UTEKELEZAJI WALENGWA NGAZI YA MALIPO MITAA/ KAYA KIJIJI/ IDADI YA HALMASHAURI MKOA WILAYA KATA KWA SHEHIA MTAA/ WALENGWA WALENGWA SHEHIA Ukerewe 56 5,917 1,013,736,000 - 1,680,000 12,590,180 - 1,028,006,180 JUMLA NDOGO 610 47,618 8,230,484,000 - 18,300,000 131,473,555 - 8,380,257,555 Njombe - Ludewa 55 2,818 379,328,000 - 1,650,000 14,103,239 - 3,275 74,900,000 469,981,239 Makambako TC 38 1,866 249,058,000 - 1,140,000 9,324,308 - 259,522,308 Makete 71 3,218 433,876,000 - 2,130,000 16,547,260 - 452,553,260 Njombe 44 3,986 510,370,000 - 1,320,000 13,201,880 - 9,791 225,300,000 750,191,880 Njombe Mji 45 2,969 391,422,000 - 1,350,000 13,376,270 - 406,148,270 Wang'ing'ombe 67 4,031 501,880,000 - 2,010,000 15,726,400 - 6,615 150,000,000 669,616,400 JUMLA NDOGO 320 18,888 2,465,934,000 - 9,600,000 82,279,356 - 19,681 450,200,000 3,008,013,356 Pwani - Bagamoyo 17 2,552 320,667,050 - 510,000 8,517,325 - 329,694,375 Chalinze DC 53 6,148 766,850,600 - 1,590,000 17,338,770 - 785,779,370 Kibaha 45 3,849 545,456,000 - 1,350,000 11,978,870 - 558,784,870 Kibaha TC 41 1,861 305,012,000 - 1,230,000 10,993,610 - 317,235,610 Kibiti DC 31 2,432 388,858,000 - 930,000 12,049,990 - 401,837,990 Kisarawe 49 1,714 304,768,000 - 1,470,000 9,797,216 - 316,035,216 Mafia 23 1,421 222,172,000 - 690,000 7,112,183 - 229,974,183 Mkuranga 78 3,703 560,216,700 - 2,340,000 16,429,500 - 578,986,200 Rufiji 30 2,060 320,536,000 - 900,000 15,797,225 - 337,233,225 JUMLA NDOGO 367 25,740 3,734,536,350 - 11,010,000 110,014,688 - 3,855,561,038 Rukwa - 123

MALIPO MALIPO YA IDADI YA USIMAMIZI NGAZI YA MALIPO YA AJIRA ZA MUDA MALIPO YA YA IDADI USIMAMIZI WILAYA NA KATA JUMLA YA ENEO LA MALIPO KWA USIMAMIZI VIJIJI/ YA NGAZI YA FEDHA KILA UTEKELEZAJI WALENGWA NGAZI YA MALIPO MITAA/ KAYA KIJIJI/ IDADI YA HALMASHAURI MKOA WILAYA KATA KWA SHEHIA MTAA/ WALENGWA WALENGWA SHEHIA Kalambo 68 4,312 676,356,000 - 2,040,000 17,301,615 - 695,697,615 Nkasi 54 4,707 769,932,000 - 1,620,000 18,669,440 - 790,221,440 Sumbawanga 71 4,646 793,346,000 - 2,130,000 17,389,810 - 812,865,810 Sumbawanga MC 93 5,342 908,502,000 - 2,790,000 17,140,365 - 928,432,365 JUMLA NDOGO 286 19,007 3,148,136,000 - 8,580,000 70,501,230 - 3,227,217,230 Ruvuma Madaba DC 18 1,590 232,082,000 - 540,000 7,980,000 - 240,602,000 Mbinga 83 6,334 1,004,546,000 - 2,490,000 18,445,400 - 1,025,481,400 Mbinga TC 53 2,525 372,648,000 - 1,590,000 11,830,000 - 386,068,000 Namtumbo 42 5,232 768,500,000 - 1,260,000 25,529,025 - 795,289,025 Nyasa 53 4,458 832,158,000 - 1,590,000 14,337,100 - 848,085,100 Songea 33 3,755 529,588,000 - 990,000 19,238,495 - 549,816,495 Songea MC 53 4,230 654,980,300 - 1,590,000 12,238,260 - 668,808,560 Tunduru 88 12,752 1,898,356,000 - 2,640,000 28,293,590 - 1,929,289,590 JUMLA NDOGO 423 40,876 6,292,858,300 - 12,690,000 137,891,870 - 6,443,440,170 Shinyanga Kahama TC 45 3,344 641,806,000 - 1,350,000 11,883,655 - 655,039,655 Kishapu 83 5,128 821,834,000 - 2,490,000 17,994,670 - 842,318,670 Msalala 65 4,126 691,192,000 - 1,950,000 14,954,975 - 708,096,975 Shinyanga DC 82 7,563 1,247,626,000 - 2,460,000 17,464,080 - 1,267,550,080 Shinyanga MC 45 3,494 629,368,000 - 1,350,000 11,330,175 - 642,048,175 Ushetu 51 3,553 598,766,000 - 1,530,000 15,248,035 - 615,544,035 124

MALIPO MALIPO YA IDADI YA USIMAMIZI NGAZI YA MALIPO YA AJIRA ZA MUDA MALIPO YA YA IDADI USIMAMIZI WILAYA NA KATA JUMLA YA ENEO LA MALIPO KWA USIMAMIZI VIJIJI/ YA NGAZI YA FEDHA KILA UTEKELEZAJI WALENGWA NGAZI YA MALIPO MITAA/ KAYA KIJIJI/ IDADI YA HALMASHAURI MKOA WILAYA KATA KWA SHEHIA MTAA/ WALENGWA WALENGWA SHEHIA JUMLA NDOGO 371 27,208 4,630,592,000 - 11,130,000 88,875,590 - 4,730,597,590 Simiyu Bariadi DC 50 6,540 1,122,938,000 - 1,500,000 11,500,000 - 1,135,938,000 Bariadi TC 116 4,422 719,978,000 - 3,480,000 18,760,000 - 742,218,000 Busega 41 3,383 557,520,000 - 1,230,000 11,408,720 - 570,158,720 Itilima 66 5,823 1,107,324,000 - 1,980,000 16,472,650 - 1,125,776,650 Maswa 80 8,850 1,587,540,000 - 2,400,000 17,311,210 - 1,607,251,210 Meatu 69 3,852 664,636,000 - 2,070,000 19,766,645 - 686,472,645 JUMLA NDOGO 422 32,870 5,759,936,000 - 12,660,000 95,219,225 - 5,867,815,225 Singida Ikungi 57 7,076 1,106,496,000 - 1,710,000 18,339,785 - 1,126,545,785 Iramba 54 5,208 722,922,000 - 1,620,000 15,013,595 - 739,555,595 Itigi 32 2,962 474,824,000 - 960,000 9,520,000 - 485,304,000 Manyoni 31 3,740 578,376,000 - 930,000 29,229,790 - 608,535,790 Mkalama 48 5,464 852,700,000 - 1,440,000 13,417,885 - 867,557,885 Singida 40 7,178 1,203,762,000 - 1,200,000 12,044,000 - 1,217,006,000 Singida MC 27 2,488 403,148,000 - 810,000 9,463,200 - 413,421,200 JUMLA NDOGO 289 34,116 5,342,228,000 - 8,670,000 107,028,255 - 5,457,926,255 Songwe Ileje 50 3,716 470,008,000 - 1,500,000 13,472,800 - 484,980,800 Mbozi 76 8,100 1,170,510,000 - 2,280,000 17,002,730 - 1,189,792,730 Momba 46 3,567 494,612,000 - 1,380,000 15,045,330 - 511,037,330 125

MALIPO MALIPO YA IDADI YA USIMAMIZI NGAZI YA MALIPO YA AJIRA ZA MUDA MALIPO YA YA IDADI USIMAMIZI WILAYA NA KATA JUMLA YA ENEO LA MALIPO KWA USIMAMIZI VIJIJI/ YA NGAZI YA FEDHA KILA UTEKELEZAJI WALENGWA NGAZI YA MALIPO MITAA/ KAYA KIJIJI/ IDADI YA HALMASHAURI MKOA WILAYA KATA KWA SHEHIA MTAA/ WALENGWA WALENGWA SHEHIA Songwe 30 3,677 508,460,000 - 900,000 20,307,950 - 529,667,950 Tunduma 53 1,316 196,542,000 - 1,590,000 11,830,000 - 209,962,000 JUMLA NDOGO 255 20,376 2,840,132,000 - 7,650,000 77,658,810 - 2,925,440,810 Tabora Igunga 63 4,768 772,836,000 - 1,890,000 17,768,840 - 792,494,840 Kaliua 56 5,589 894,382,000 - 1,680,000 22,739,825 - 918,801,825 Nzega 91 5,640 896,920,000 - 2,730,000 20,285,085 - 919,935,085 Nzega TC 22 968 163,032,000 - 660,000 8,913,200 - 172,605,200 Sikonge 46 3,351 577,874,000 - 1,380,000 21,222,375 - 600,476,375 Tabora MC 115 3,811 637,016,000 - 3,450,000 18,650,000 - 659,116,000 Urambo 44 3,399 601,384,100 - 1,320,000 14,549,275 - 617,253,375 Uyui 77 4,363 708,502,000 - 2,310,000 22,667,395 - 733,479,395 JUMLA NDOGO 514 31,889 5,251,946,100 - 15,420,000 146,795,995 - 5,414,162,095 Tanga Bumbuli DC 54 3,006 427,648,000 - 1,620,000 11,940,000 - 441,208,000 Handeni 54 6,702 1,078,852,000 - 1,620,000 16,412,365 - 1,096,884,365 Handeni TC 40 2,730 457,070,000 - 1,200,000 11,058,285 - 469,328,285 Kilindi 69 5,762 952,584,000 - 2,070,000 18,003,455 - 972,657,455 Korogwe 82 6,426 956,938,000 - 2,460,000 17,214,055 - 976,612,055 Korogwe TC 25 2,567 369,216,000 - 750,000 8,935,635 - 378,901,635 Lushoto 101 5,755 829,522,000 - 3,030,000 28,663,020 - 861,215,020 Mkinga 57 3,797 520,946,000 - 1,710,000 14,127,720 - 536,783,720 126

MALIPO MALIPO YA IDADI YA USIMAMIZI NGAZI YA MALIPO YA AJIRA ZA MUDA MALIPO YA YA IDADI USIMAMIZI WILAYA NA KATA JUMLA YA ENEO LA MALIPO KWA USIMAMIZI VIJIJI/ YA NGAZI YA FEDHA KILA UTEKELEZAJI WALENGWA NGAZI YA MALIPO MITAA/ KAYA KIJIJI/ IDADI YA HALMASHAURI MKOA WILAYA KATA KWA SHEHIA MTAA/ WALENGWA WALENGWA SHEHIA Muheza 96 6,137 922,656,000 - 2,880,000 17,586,130 - 943,122,130 Pangani 37 3,361 482,912,000 - 1,110,000 11,272,860 - 495,294,860 Tanga 113 4,528 697,076,000 - 3,390,000 18,869,770 - 719,335,770 JUMLA NDOGO 728 50,771 7,695,420,000 - 21,840,000 174,083,295 - 7,891,343,295 Zanzibar Pemba 82 12,598 2,385,326,000 - - 39,850,170 - 2,425,176,170 Unguja 128 16,711 2,870,053,950 - - 58,906,815 - 2,928,960,765 JUMLA NDOGO 210 29,309 5,255,379,950 - - 98,756,985 - 5,354,136,935 JUUMLA KUU 10681 883,194 135,816,096,700 - 314,130,000 2,918,638,034 - 39,337 900,000,000 139,948,864,734

127

KIAMBATISHO NA. 3 IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA TAIFA ORODHA YA TAASISI ZA UMMA ZILIZOWEKEWA MIFUMO YA UTUNZAJI KUMBUKUMBU (KEYWORD FILLING SYSTEM)

NA. TAASISI AINA YA MIFUMO 1. Halmashauri ya Wilaya ya Igunga Keyword 2. Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) Keyword 3. Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Keyword 4. Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara (TANTRADE) Keyword 5. Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) Keyword 6. Taasisi ya Utafiti wa Wanyama Pori (TAWIRI) Keyword 7. Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Keyword Salaam 8. Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Bukoba Keyword 9. Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Moshi Keyword 10. Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Shinyanga Keyword 11. Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Mwanza Keyword 12. Wakala wa Majengo Tanzania-Mbeya Keyword 13. Wakala wa Majengo Tanzania-Arusha Keyword 14. Wakala wa Majengo Tanzania-Dodoma Keyword 15. Kampuni ya Mkulazi Keyword 16. Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Keyword TANGA - UWASA 17. Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Keyword 18. Wakala wa Ujenzi (TANROADS) Keyword 19. Bodi ya Wakadiriaji Ujenzi na Ubunifu wa Majengo Keyword (AQRB) 20. Chuo Kikuu cha Ardhi Keyword 21. Mamlaka ya Rufaa ya Zabuni za Umma Keyword 128

22. Mamlaka ya Elimu Tanzania Keyword 23. Tume ya Utumishi wa Umma Keyword 24. Wizara ya Ulinzi na Jeshi la KujengaTaifa Keyword 25. Tume ya Haki za Binaadamu Keyword 26. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Keyword (TAKUKURU) 27. Tume yaTaifa ya Takwimu (NBS) Keyword 28. Tume ya Walimu Tanzania (TSC) Keyword 29. Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Keyword 30. Sekretarieti ya Mkoa wa Mwanza Keyword 31. Mamlaka ya Mkemia Mkuu wa Serikali - Kanda Keyword yaZiwa, Mwanza 32. Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu Keyword (ADEM) 33. Soko la Bidhaa Tanzania (TMX) Keyword 34. Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Keyword (MNMA) 35. Hospitali ya Benjamini William Mkapa Keyword 36. Mamlaka yaViwanja vya Ndege (TAA) Keyword 37. Bodi ya Manunuzi na Ugavi (PSPTB) Keyword

129

KIAMBATISHO NA. 4 IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA TAIFA TATHMINI YA HALI YAUTUNZAJI KUMBUKUMBU KATIKA TAASISI ZA UMMA NA. TAASISI 1. Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) 2. Mamlaka ya Anga Tanzania (TCAA) 3. Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) 4. Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) 5. Chuo cha Uhasibu - Arusha (CBE) 6. Chuo cha Uhasibu - Dar es Salaam (CBE) 7. Makao Makuu ya Jeshi la Polisi 8. Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA) 9. Wizara ya Maliasili na Utalii 10. Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) 11. Self-Microfinance Fund 12. Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) 13. Chuo cha Maji Dar es Salaam 14. Shirika la Viwango Tanzania (TBS) 15. Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) 16. Mamlaka ya Maji Safi na Mazingira – Arusha (AUWASA) 17. Kampuni ya Usimamizi na Maendeleo ya Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (KADCO) 18. Taasisi ya Utafiti wa Matibabu – Mbeya 19. Halmashauri ya Manispaa ya Iringa 20. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza 21. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma 22. Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo 23. Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) 24. Hospitali ya Benjamini Mkapa 25. Chuo Cha Mipango 26. Chuo Cha Serikali za Mitaa - Hombolo 27. Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) 28. Ofisi za Bunge

130

29. Tume ya Madini 30. Halmashauri ya Wilaya ya MorogoroVijijini 31. Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam 32. Halmashauri yaJiji la Arusha 33. Halmashauri ya Manispaa ya Ilala 34. Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara 35. Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro 36. Halmashauri ya Manispaa ya Moshi 37. Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo 38. Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu 39. Bodi ya Korosho Tanzania 40. Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka - Shinyanga 41. Wakala wa Majengo Tanzania - Songwe 42. Soko la Bidhaa (TMX) 43. Hifadhi za Taifa (TANAPA) 44. Mamlaka ya Maji Safi na Mazingira - Mtwara (MTUWASA) 45. Mamlaka ya Maji Safi na Mazingira - Morogoro (MORUWASA) 46. Mamlaka ya Maji Safi na Mazingira - Musoma (MUWASA) 47. Mamlaka ya Maji Safi na Mazingira – Kahama Shinyanga (KASHAWASA) 48. Mamlaka ya Ununuzi Serikalini (PPRA) 49. Bodi ya Korosho Tanzania 50. Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) 51. Bodi ya Sukari Tanzania 52. Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) 53. Mamlaka ya Maji Safi-Mwanza 54. Bodi ya Manunuzi na Ugavi (PSTB) 55. Mfuko wa Barabara Tanzania 56. Chuo cha Serikali za Mitaa - Hombolo 57. Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala

131

KIAMBATISHO NA.5 MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)

TAASISI ZILIZOUNGANISHWA KATIKA MFUMO WA BARUA PEPE SERIKALINI (GMS)

NA JINA LA TAASISI 1 Baraza la Madaktari Tanganyika 2 Baraza la Maduka ya Dawa Tanzania 3 Bodi ya Bima ya Amana 4 Bodi ya Wauguzi na Wakunga Tanzania 5 Hospitali ya rufaa ya Kanda 6 Hospitali ya rufaa ya Kanda Mbeya 7 Hospitali ya rufaa ya Mkoa Amana 8 Hospitali ya rufaa ya Mkoa Arusha 9 Hospitali ya rufaa ya Mkoa Dodoma 10 Hospitali ya rufaa ya Mkoa Sumbawanga 11 Hospitali ya rufaa ya Mkoa Tanga 12 Kituo cha Chakula na Lishe Tanzania 13 Mamlaka ya Maabara ya Mkemia wa Serikali 14 Taasisi ya Saratani ya Ocean Road 15 Taasisi ya Mifupa Muhimbili 16 Taasisi ya Moyo ya 17 Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Tiba 18 Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania 19 Wakala ya Usalama Mahali pa Kazi 20 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto 21 Wizara ya Afya - Maendeleo ya Jamii 22 Baraza la Famasia 23 Taasisi ya Ardhi – Morogoro 24 Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi 25 Baraza la Kitaifa la Biashara na Viwanda Tanzania (TNBC) 26 Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi 27 Kampuni ya Mkulazi 28 Kituo cha Uwekezaji Tanzania Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara na Viwanda Tanzania (TAN 29 TRADE) 30 Mamlaka ya Ukanda wa Kusindika Nje (EPZA) 31 Ofisi ya Kitaifa ya Takwimu (NBS) 32 SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO 33 Shirika ya Viwango Tanzania (TBS) 34 Tume ya Usuluhishi na Upatanishi 132

NA JINA LA TAASISI 35 Ubunifu wa Tanzania na Ubunifu wa Viwanda (TEMDO) 36 Wakala ya Usajili wa Leseni za Biashara na Viwanda 37 Wakala ya Vipimo 38 Wizara ya Viwanda na Biashara na Viwanda 39 Shirika la Kuendeleza Viwanda Vidogo (SIDO) 40 Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA) 41 Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU) 42 Chuo Kikuu cha Ushirika cha Moshi (MoCU) 43 Mamlaka ya Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) 44 Shirika la Elimu Kibaha 45 Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE) 46 Tume ya Kitaifa ya UNESCO 47 Wakala ya Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) 48 Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia 49 Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam (DIT) 50 Taasisi ya Utafiti na Maendeleo ya Tanzania (TIRDO) 51 Bodi ya Kitaifa ya Wahasibu na Wakaguzi w Hesabu 52 Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi 53 Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania 54 Mamlaka ya Rufaa ya Ununuzi wa Umma 55 Mfuko wa Fedha ndogo ya SELF (SELF-MF PLC) 56 Ofisi ya Msajili wa Hazina 57 Shirika la Maendeleo la Kitaifa (NDC) 58 Taasisi ya Uhasibu Tanzania 59 Taasisi ya Usimamizi wa Fedha 60 Tume ya Taifa ya Uchaguzi 61 Wakala ya Huduma za Ununuzi Serikalini 62 Wizara ya Fedha na Mipango 63 Baraza la Michezo la Taifa (BMT) 64 Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) 65 Bodi ya Watalii Tanzania 66 Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) 67 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBA) Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge 68 Tanzania-MKURABITA 69 Ofisi ya Makamu wa Rais 70 Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa 71 Ofisi ya Rais- Ikulu 72 Ofisi ya Waziri Mkuu 73 Ofisi ya Waziri Mkuu- Kazi, Vijana, Ajira na watu wenye Ulemavu 74 Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma 75 Uongozi Institute 76 Wakala ya Ndege za Serikali Tanzania 133

NA JINA LA TAASISI 77 Bodi ya Korosho Tanzania (TCB) 78 Bodi ya Maziwa Tanzania (TDB) 79 Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPBT) 80 Bodi ya Pamba Tanzania (CBT) 81 Bodi ya Sukari ya Tanzania (SBT) 82 BODI YA TUMBAKU TANZANIA 83 Bodi ya Udhibiti wa Stakabadhi Ghalani (WRRB) 84 Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) 85 Mfuko wa Pembejeo wa Taifa (AGITF) 86 Taasisi Rasmi ya Udhibitishaji Mbegu Tanzania (TOSCI) 87 Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) 88 Taasisi ya Utafiti wa Tumbaku Tanzania (TORITA) TAASISI YA UTAFITI WA VIUATILIFU KATIKA UKANDA WA 89 KITROPIKI 90 Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) 91 Tume ya Taifa ya Umwagiliaji 92 Ukaguzi wa Ushirika na Shirika la Usimamizi (COASCO) 93 Wakala ya Hifadhi ya Chakula (NFRA) 94 Wakala ya Mbegu za Nafaka (ASA) 95 Wizara ya Kilimo 96 Shirika la Madini la Serikali (STAMICO) 97 Taasisi ya Jiolojia Tanzania (GST Taasisi ya Uhamasishaji Uwazi na Uwajibikaji katika rasilimali za 98 Madini, Mafuta na Gesi Asilia 99 Tume ya Madini 100 Wizara ya Madini 101 Tume ya Kitaifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi 102 Chuo cha Maji 103 Mamlaka ya maji safi na maji taka Biharamulo 104 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Bukoba (BUWASA) 105 Mamlaka ya maji safi na maji taka Bunda 106 Mamlaka ya maji safi na maji taka Chalinze (CHALIWASA) 107 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Dodoma Mjini (DUWASA) 108 Mamlaka ya maji safi na maji taka Handeni 109 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Iringa Mjini (IRUWASA) 110 Mamlaka ya maji safi na maji taka Kahama- Shinyanga 111 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Kigoma Mjini (KUWASA) 112 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Lindi Mjini (LUWASA) 113 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Masasi 114 Mamlaka ya maji safi na maji taka Maswa 115 Mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Kigoma-ujiji 116 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Mjini Morogoro (MOUWASA) 117 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Moshi Mjini (MUWSA) 134

NA JINA LA TAASISI 118 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Mtwara (MTUWASA) 119 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Musoma Mjini (MUWASA) 120 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Mwanhuzi 121 Mamlaka ya maji safi na maji taka Ngara 122 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Njombe Mjini (NJUWASA) 123 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Shinyanga Mjini (SHUWASA) 124 Mamlaka ya Maji Safi na Maji taka Singida Mjini (SUWASA) 125 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Songea Mjini (SOUWASA) 126 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Sumbawanga (SUMUWASA) 127 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Tabora Mjini (TUWASA) 128 Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Tanga (TANGAUWASA) 129 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka ya Mpanda Mjini (MPUWASA) 130 Mamlaka ya Majisafi na Maji taka Arusha Mjini (AUWASA) 131 Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASA) 132 Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Mwanza Mjini (MWAUWASA) 133 Mamlaka ya Ugavi wa Maji na Usafi wa Mazingira- Nzega WSSA Mamlaka ya Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira Mjini 134 Makambako- MAKUWASA Mamlaka ya Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira Sengerema- 135 Sengerema- WSSA Mamlaka ya Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira ya 136 Wanging'ombe- WANGIWASA 137 Wakala wa Uchimbaji Visima na Ujenzi wa Mabwawa Wakala ya Usambazaji Maji na Usafi na Mazingira Vijijini 138 (RUWASA) 139 Wizara ya Maji 140 Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania 141 Chuo cha Taifa cha Utalii 142 Makumbusho ya Kitaifa ya Tanzania 143 Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania 144 Wizara ya Maliasili na Utalii 145 Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) 146 Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Mawasilaino) 147 Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira 148 Livestock Training Agency (LITA) 149 Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI) 150 Tanzania Veterinary Laboratory Agency (TVLA 151 Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania 152 Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) 153 Mamlaka Ya Udhibiti. Wa Mkondo Wa Juu Wa Petroli (PURA) 154 Wakala ya Ununuzi wa Mafuta kwa Pamoja 155 Wizara ya Nishati 156 Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

135

NA JINA LA TAASISI 157 Bunge la Tanzania 158 Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto 159 Mahakama ya Tanzania 160 Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali 161 Ofisi ya Taifa ya Mashtaka 162 Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali 163 Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora 164 Tume ya Kurekebisha Sheria 165 Tume ya Utumishi wa Mahakama (JSC) 166 Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo 167 Wizara ya Katiba na Sheria 168 Chuo cha Serikali za Mitaa-Hombolo 169 Halmashauri ya Jiji la Arusha 170 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam 171 Halmashauri ya Jiji la Dodoma 172 Halmashauri ya Jiji la Mbeya 173 Halmashauri ya Jiji la Tanga 174 Halmashauri ya Manispaa Bukoba 175 Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji 176 Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro 177 Halmashauri ya Manispaa ya Ilala 178 Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela 179 Halmashauri ya Manispaa ya Iringa 180 Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni 181 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni 182 Halmashauri ya Manispaa ya Lindi 183 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi 184 Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda 185 Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara 186 Halmashauri ya Manispaa ya Musoma 187 Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga 188 Halmashauri ya Manispaa ya Singida 189 Halmashauri ya Manispaa ya Songea 190 Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga 191 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora 192 Halmashauri ya Manispaa ya Temeke 193 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo 194 Halmashauri ya Mji wa Kibaha 195 Halmashauri ya Mji Kasulu 196 Halmashauri ya Mji Mafinga 197 Halmashauri ya Mji wa Babati 198 Halmashauri ya Mji wa Bariadi 199 Halmashauri ya Mji wa Bunda 136

NA JINA LA TAASISI 200 Halmashauri ya Mji wa Geita 201 Halmashauri ya Mji wa Handeni 202 Halmashauri ya Mji wa Ifakara 203 Halmashauri ya Mji wa Kondoa 204 Halmashauri ya Mji wa Korogwe 205 Halmashauri ya Mji wa Makambako 206 Halmashauri ya Mji wa Masasi 207 Halmashauri ya Mji wa Mbinga 208 Halmashauri ya Mji wa Mbulu 209 Halmashauri ya Mji wa Nanyamba 210 Halmashauri ya Mji wa Newala 211 Halmashauri ya Mji wa Njombe 212 Halmashauri ya Mji wa Nzega 213 Halmashauri ya Mji wa Tarime 214 Halmashauri ya Mji wa Tunduma 215 Halmashauri ya Wilaya ya Arusha 216 Halmashauri ya Wilaya ya Babati 217 Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo 218 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi 219 Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi 220 Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo 221 Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa 222 Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe 223 Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba 224 Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe 225 Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli 226 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda 227 Halmashauri ya Wilaya ya Busega 228 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo 229 Halmashauri ya Wilaya ya Butiama 230 Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze 231 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino 232 Halmashauri ya Wilaya ya Chato 233 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba 234 Halmashauri ya Wilaya ya Chunya 235 Halmashauri ya Wilaya ya Gairo 236 Halmashauri ya Wilaya ya Geita 237 Halmashauri ya Wilaya ya Hai 238 Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ 239 Halmashauri ya Wilaya ya Handeni 240 Halmashauri ya Wilaya ya Igunga 241 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi 242 Halmashauri ya Wilaya ya Ileje 137

NA JINA LA TAASISI 243 Halmashauri ya Wilaya ya Iramba 244 Halmashauri ya Wilaya ya Iringa 245 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi 246 Halmashauri ya Wilaya ya Itilima 247 Halmashauri ya Mji wa Kahama 248 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko 249 Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo 250 Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua 251 Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe 252 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu 253 Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu 254 Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha 255 Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti 256 Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo 257 Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 258 Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi 259 Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo 260 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero 261 Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa 262 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa 263 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe 264 Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu 265 Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto 266 Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa 267 Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa 268 Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe 269 Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba 270 Halmashauri ya Wilaya ya Kyela 271 Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa 272 Halmashauri ya Wilaya ya Lindi 273 Halmashauri ya Wilaya ya Liwale 274 Halmashauri ya Wilaya ya Longido 275 Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa 276 Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto 277 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba 278 Halmashauri ya Wilaya ya Mafia 279 Halmashauri ya Wilaya ya Magu 280 Halmashauri ya Wilaya ya Makete 281 Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi 282 Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni 283 LINDIMC 284 Halmashauri ya Wilaya ya Maswa 285 Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali 138

NA JINA LA TAASISI 286 Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya 287 Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga 288 Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe 289 Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi 290 Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu 291 Halmashauri ya Wilaya ya Meatu 292 Halmashauri ya Wilaya ya Meru 293 Halmashauri ya Wilaya ya Misenyi 294 Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi 295 Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama 296 Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga 297 Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga 298 Halmashauri ya Wilaya ya Mlele 299 Halmashauri ya Wilaya ya Momba 300 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli 301 Halmashauri ya Wilaya ya Moshi 302 Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda 303 Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa 304 Halmashauri ya Wilaya ya Mpwimbwi 305 Halmashauri ya Wilaya ya Msalala 306 Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara 307 Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi 308 Halmashauri ya Wilaya ya Muheza 309 Halmashauri ya Wilaya ya Muleba 310 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma 311 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero 312 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga 313 Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea 314 Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo 315 Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu 316 Halmashauri ya Wilaya ya Newala 317 Halmashauri ya Wilaya ya Ngara 318 Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro 319 Halmashauri ya Wilaya ya Njombe 320 Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi 321 Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo 322 Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale 323 Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa 324 Halmashauri ya Wilaya ya Nzega 325 Halmashauri ya Wilaya ya Pangani 326 Halmashauri ya Wilaya ya Rombo 327 Halmashauri ya Wilaya ya Rorya 328 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa 139

NA JINA LA TAASISI 329 Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji 330 Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe 331 Halmashauri ya Wilaya ya Same 332 Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema 333 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti 334 Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga 335 Halmashauri ya Wilaya ya Siha 336 Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge 337 Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro 338 Halmashauri ya Wilaya ya Singida 339 Halmashauri ya Wilaya ya Songea 340 Halmashauri ya Wilaya ya Songwe 341 Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga 342 Halmashauri ya Wilaya ya Tabora 343 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba 344 Halmashauri ya Wilaya ya Tarime 345 Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru 346 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe 347 Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga 348 Halmashauri ya Wilaya ya Urambo 349 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu 350 Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza 351 Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe 352 Halmshauri ya Jiji la Mwanza 353 Mkoa wa Arusha 354 Mkoa wa Dar es salaam 355 Mkoa wa Dodoma 356 Mkoa wa Geita 357 Mkoa wa Iringa 358 Mkoa wa Kagera 359 Mkoa wa Katavi 360 Mkoa wa Kigoma 361 Mkoa wa Kilimanjaro 362 Mkoa wa Lindi 363 Mkoa wa Manyara 364 Mkoa wa Mara 365 Mkoa wa Mbeya 366 Mkoa wa Morogoro 367 Mkoa wa Mtwara 368 Mkoa wa Mwanza 369 Mkoa wa Njombe 370 Mkoa wa Pwani 371 Mkoa wa Rukwa 140

NA JINA LA TAASISI 372 Mkoa wa Ruvuma 373 Mkoa wa Shinyanga 374 Mkoa wa Simiyu 375 Mkoa wa Singida 376 Mkoa wa Songwe 377 Mkoa wa Tabora 378 Mkoa wa Tanga 379 Ofisi ya Rais -Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa 380 Wakala ya Mabasi Yaendayo Haraka 381 Kituo cha kuhifadhi Data cha Taifa Kituo cha Mitambo ya Kilimo na Teknolojia ya Kawaida 382 (CAMARTEC) 383 Mfuko wa Ufikiaji Huduma za Mawasiliano kwa Wote (UCSAF 384 Tume ya Nishati ya Atomiki Tanzania (TAEC) 385 Tume ya Sayansi na Teknolojia Tanzania - COSTECH 386 Tume ya TEHAMA 387 Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) 388 Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) 389 Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) 390 Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania 391 Shirika la Reli Tanzania (TRC) 392 Shirika la Wakala wa Meli Tanzania (TASAC) 393 Taasisi ya Bahari ya Dar-es-Salaam (DMI) 394 Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Uchukuzi) 395 Bodi ya Nyama Tanzania (TMB 396 Baraza la Kitaifa la Ujenzi (NCC) 397 Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) 398 Kitengo cha Hifadhi za Bahari na Akiba (MPRU) 399 Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Nyumba Bora na Vifaa vya Ujenzi 400 Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini 401 Wakala ya Majengo Tanzania 402 Wakala ya Ufundi na Umeme Tanzania Wasanifu wa majengo na Bodi ya Usajili wa Watafiti Wingi 403 (AQRSB) 404 Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Ujenzi) 405 Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi 406 Jeshi la Zimamoto 407 Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya 408 Uhamiaji Tanzania 409 Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa 410 Bodi ya Mishahara na Masilahi katika Utumishi wa Umma 411 Chuo cha Utumishi wa Umma 412 Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Serikali 141

NA JINA LA TAASISI 413 Mamlaka ya Serikali Mtandao 414 Ofisi ya Rais -Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora 415 Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma 416 Tume ya Utumishi wa Umma 417 Tume ya Utumishi wa Walimu 418 Wakala wa Mafunzo kw Njia ya Mtandao 419 Fisheries Education and Training Agency (FETA) 420 Wizara ya Mifugo na Uvuvi - Uvuvi 421 Maabara ya Taifa ya Uvuvi 422 COFFEE BOARD OF TANZANIA 423 VALUERS REGISTRATION BOARD (vrb.go.tz) 424 UBUNGO PLAZA LIMITED (upl.go.tz) 425 BUGANDO MEDICAL CENTRE (bugandomedicalcentre.go.tz) 426 NJOMBE REGIONAL REFERRAL HOSPITAL (njomberrh.go.tz) IGUNGA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION 427 AUTHORITY (iguwasa.go.tz) 428 COPYRIGHT SOCIETY OF TANZANIA (COSOTA) 429 MAWENZI HOSPITAL (mawenzirrh.go.tz) 430 NATIONAL KISWAHILI COUNCIL - BAKITA MAGU URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY 431 –MAUWASA HANDENI TRUNK MAIN WATER SUPPLY AND SANITATION 432 AUTHORITY (htmwassa.go.tz) 433 MGANGO KIABAKARI AND MBINGA WATER AUTHORITY 434 MASWA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY 435 MUGUMU WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY 436 MAKONDE PLATEAU WATER AUTHORITY 437 LOLIONDO WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY 438 BIHALAMULO WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY 439 KIBAYA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY 440 BARIADI WATER SUPPY AND SANITATION AUTHORITY 441 ORKESUMET WATERSUPPLY AND SANITATION AUTHORITY 442 BABATI WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY 443 TANZANIA MERCANTILE EXCHANGE MULEBA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION 444 AUTHORITY 445 INSTITUTE OF RURAL DEVELOPMENT IRDP VWAWA - MLOWO WATER SUPPLY AND SANITATION 446 AUTHORITY (VWAWA-MLOWO WSSA) 447 IFAKARA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY 448 JOINT FINANCE COMMISSION KOROGWE URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION 449 AUTHORITY

142

NA JINA LA TAASISI 450 KIBAIGWA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY 451 KILIMANJARO AIRPORT COMPANY LIMITED (KADCO) 452 MEDICAL STORES DEPARTMENT

143

KIAMBATISHO NA.6 MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA) TAASISI ZA UMMA ZILIZOUNGANISHWA KWENYE MFUMO WA OFISI MTANDAO-e-OFFICE

NA JINA LA TAASISI 1 Airtanzania Company Ltd (ATCL) 2 Arusha RAS 3 Business Registrations and Licensing Agency (BRELA) 4 Dar Es Salaam Maritime Institute (DMI) 5 Dar es Salaam Regional Administrative Secretariat 6 Dar es Salaam Water and Sewerage Authority (DAWASA) 7 Dar Rapid Transit - DART 8 e-Government Authority (eGA) 9 Engineers Registration Board (ERB) 10 Fair Competition Commission - FCC 11 Gaming Board of Tanzania - GBT 12 Government Chemist Laboratory Authority (GCLA) 13 Government Procurement Services Agency - GPSA 14 Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa. 15 Ilala District Administrative Secretariat 16 Iringa RAS 17 Judiciary of Tanzania 18 Kigoma Regional Secretariat 19 Kilimanjaro Airport Development Company (KADCO) 20 Kilimanjaro RAS 21 Livestock Training Agency (LITA) 22 Manyara Regional Secretariat 23 Marine Services Company Limited (MSCL) 24 Medical Store Department (MSD) 25 Ministry of Agriculture 26 Ministry of Defence and National Security (MODANS) 27 Ministry of Finance 28 Ministry of Health - Community Development Ministry of Health Community Development, Gender, Elderly and 29 Children 30 Ministry of Home Affair (MOHA) 31 MINISTRY OF INFORMATION, CULTURE, ARTS AND SPORTS 32 Ministry of Livestock and Fisheries - Fisheries Sector 33 Ministry of Livestock and Fisheries (Livestock) 34 Ministry of Natural Resources and Tourism 35 Ministry of Water 36 Mkulazi Holding Company Limited 37 Morogoro Regional Administrative Secretariat

144

NA JINA LA TAASISI 38 Mtwara Ragional Administrative Secretariat 39 Mwanza Regional Administrative Secretairet 40 National Audit Office of Tanzania (NAOT) 41 National Board of Accountants and Auditors (NBAA) 42 National Development Corporation - NDC 43 National Electoral Commission (NEC) 44 National Environment Management Council - NEMC 45 National Examination Council of Tanzania (NECTA) 46 National Food Reserve Agency (NFRA) 47 National Health Insurance Fund (NHIF) 48 National Housing and Building Research Agency (NHBRA) 49 National Institute of Transport (NIT) 50 National Insurance Corporation - NIC Nelson Mandela African Institute of Science and Technology (NM- 51 AIST) 52 Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA) 53 OCCUPATIONAL SAFETY AND HEALTH AUTHORITY (OSHA) 54 Office of Registrar of Political Parties (ORPP) 55 Ofisi ya Rais -Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora 56 Pharmacy Council - Tanzania 57 PRIME MINISTER'S OFFICE Prime Ministers Office, Labour, Youth, Employment and Persons with 58 Disability Procurement and Supplies Professionals and Technicians Board ( 59 PSPTB ) 60 Property and Business Formalization Programme (MKURABITA) 61 Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) 62 Public Service Commision 63 Public Service Recruitment Secretariat - PSRS 64 Rural Water Supply and Sanitation Agency (RUWASA) 65 Singida Regional Administrative Secretariat 66 Social Security Regulatory Authority (SSRA) 67 TABORA RAS 68 TAMISEMI 69 Tanga Regional Secretariat 70 Tanga Water Supply and Sanitation Authority 71 Tanzania Agricultural Development Bank (TADB) 72 Tanzania Airport Authority (TAA) 73 Tanzania Broadcasting Corporation - TBC 74 Tanzania Building Agency 75 Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) 76 Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH) 77 Tanzania Cooperative Development Commission (TCDC) 78 Tanzania Education Authority (TEA) 79 Tanzania Electrical, Mechanical and Electronics Services Agency 145

NA JINA LA TAASISI (TEMESA) 80 Tanzania Fertilizer Regulatory Authority (TFRA) 81 Tanzania Forest Service Agency (TFS) 82 Tanzania Global Learning Agency (TaGLA) 83 Tanzania Institute of Accountancy (TIA) 84 Tanzania Insurance Regulatory Authority - TIRA 85 Tanzania Investment Centre (TIC) 86 Tanzania Medicines and Medical Devices Authority 87 Tanzania Meteorological Authority- TMA 88 Tanzania National Parks (TANAPA) 89 Tanzania Ports Authority (TPA) 90 Tanzania Public Service College - TPSC 91 TANZANIA RAILWAYS CORPORATION - TRc 92 Tanzania Revenue Authority (TRA) 93 Tanzania Rural and Urban Roads Agency 94 Tanzania Social Action Fund (TASAF) 95 Tanzania Wildlife Management Authority (TAWA) 96 Tanzania Wildlife Research Institute (TAWIRI) 97 Teachers' Service Commission 98 The Office of the Solicitor General (OSG) 99 The Office of Treasury Registrar 100 Vice President's Office 101 Weights and Measures Agency 102 Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi 103 Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia 104 WIZARA YA KATIBA NA SHERIA 105 Wizara ya Madini 106 Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki 107 Wizara ya Nishati 108 Wizara ya Ujenzi WIZARA YA UJENZI UCHUKUZI NA MAWASILIANO - 109 MAWASILIANO 110 WIZARA YA UJENZI UCHUKUZI NA MAWASILIANO - UCHUKUZI 111 Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji 112 Workers Compasation Fund (WCF)

146

KIAMBATISHO NA.7 MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA) TAASISI ZILIZOUNGANISHWA KATIKA MFUMO WA KUTOA HUDUMA KWA NJIA YA SIMU ZA MKONONI (GOVERNMENT MOBILE PLATFORM SYSTEM)

NA JINA LA TAASISI 1 e-Government Authority 2 National Health Insurance Fund - NHIF 3 National Social Security Fund - NSSF 4 Ministry of Water 5 Public Service Recruitment Secretariat - PSRS 6 Local Authority Pensions Fund - LAPF 7 Ministry of Health and Social Welfare 8 Tanzania Meteorological Agency - TMA 9 Water Development Management Institute - WDMI 10 Eastern Africa Statistical Training Centre - EASTC 11 Medical Store Department 12 National Housing Corporation - NHC 13 National Electoral Commission - NEC 14 Government Procurement Service Agency - GPSA 15 National Audit Office 16 Agency for the Development of Educational Management - ADEM 17 The National Economic Empowerment Council-NEEC 18 Mtwara Urban Water Supply and Sewerage Authority 19 Lindi Urban Water Supply and Sewerage Authority 20 Dodoma Urban Water Supply and Sewerage Authority 21 Misungwi District Council 22 Ilala Municipal Council 23 Architects and Quantity Surveyors Registration Board 24 Chalinze Water Supply and Sanitation Authority-CHALIWASA 25 Dar es Salaam City Council (DCC) 26 Tanzania Trade Development Authority - TANTRADE 27 The Judiciary of Tanzania 28 Tanzania Buildings Agency - TBA 29 Tanga Urban Water Supply and Sewerage Authority 30 Public Service Pensions Fund - PSPF 31 State Mining Corporation - STAMICO 32 Energy and Water Utilities Regulatory Authorities - EWURA 33 Iringa Urban Water Supply and Sewerage Authority 34 Dar es salaam Water and Sewerage Corporation (dawasco) 35 Ministry of of Constitution and Legal Affairs 36 Tanzania Broadcasting Corporation - TBC 37 Arusha Urban Water Supply and Sanitation Authority (AUWSA) 38 Mwanza Urban Water and Sewerage Authority

147

NA JINA LA TAASISI 39 Morogoro Urban Water Supply and Sanitation Authority 40 Sokoine University of Agriculture - SUA 41 Ministry of Works Procurement and Supplies Professionals and Technicians Board 42 (PSPTB) 43 Public Procurement Regulatory Authority - PPRA 44 The Parliament of Tanzania 45 JAKAYA KIKWETE CARDIAC INSTITUTE (JKCI) 46 Ministry of Finance 47 Tanzania Communications Regulatory Authority - TCRA 48 Tanzania National Roads Agency - TANROADS 49 Tanzania Livestock Research Institute (TALIRI) 50 Tanzania Electrical Supply Company Limite - TANESCO (Dodoma) 51 Bank of Tanzania - BOT 52 Arusha Regional Commisioner 53 Tanzania National Parks - TANAPA 54 Tanzania Investment Center - TIC 55 Tanzania Social Action Fund - TASAF 56 Parastatals Pension Fund - PPF 57 Export Processing Zones Authority - EPZA 58 Dar es Salaam Rapit Transit Agency - DART 59 Muhimbili Orthopaedic Institute 60 Tanzania Food and Drugs Authority - TFDA 61 Tanzania Ports Authority - TPA 62 Tanzania Government Chemistry Laboratory Agency - GCLA 63 Business Registrations and Licensing Agency - BRELA 64 Tanzania Bureau of Standards - TBS 65 Tanzania Revenue Authority 66 Surface and Marine Transport Authority - SUMATRA 67 Registration Involvency and Trusteeship Agency- RITA 68 Pharmacy Council Tanzania 69 Workers Compensation Fund 70 National Housing Building Research Agency - NHBRA 71 Ngorongoro Conservation Area Authority - NCAA 72 RAS-MOROGORO 73 RAS-IRINGA 74 Shinyanga Urban Water Supply and Sanitation Authority 75 Police Force 76 Tanzania Commission for Universities - TCU 77 Open University of Tanzania 78 Moshi Urban Water Supply and Sewerage Authority President's Office, Public Service Management and Good 79 Governance- UTUMISHI 80 Tanzania Electrical Supply Company Limite - TANESCO (HQ) 81 Dar es Salaam Stock Exchange-DSE 148

NA JINA LA TAASISI 82 Immigration 83 Ministry of Lands, Housing and Human Settlements Development 84 Tanzania Tourist Board 85 Ministry of Agriculture, Food Security and Cooperatives 86 Songea Urban Water and Sewerage Authority 87 Kigoma Urban Water Supply and Sewerage Authority 88 Social Security Regulatory Authority - SSRA 89 Singida Urban Water and Sanitation Authority 90 Sumbawanga Urban Water Supply and Sewerage Authority 91 University of Dodoma 92 Marine Services Company Limited - MSCL 93 Mbeya Urban Water supply and Sewerage Authority 94 Occupational Health and Safety Authority - OSHA Ministry of Regional Administration and Local Government 95 (TAMISEMI) 96 Ministry of Natural Resources and Tourism 97 Mzumbe University 98 National Council for Technical Education-NACTE 99 Ardhi University 100 Ethics Secretariate Kahama Urban Water Supply and Sanitation Authority-Kahama 101 UWASA Makambako Urban Water Supply and Sanitation Authority 102 (MAKUWASA) 103 College of Business Education (CBE) 104 Vocational Education and Training Authority - VETA 105 Kahama Shinyanga Water Supply and Sanitation Authority 106 Tanzania Nurses and Midwives Council 107 Tabora Urban Water Supply and Sewerage Authority 108 Contractors Registration Board - CRB 109 Arusha Technical College-ATC 110 Geita Urban Water Supply and Sanitation Authority (GEUWASA) 111 President office Revolutionary Council 112 Temeke Municipal Council 113 Bukoba Urban Water Supply and Sewerage Authority 114 Kinondoni Municipal Council 115 Mwanza City Council 116 Masasi-Nachingwea Water Supply and Sanitation Authority 117 Tanzania Rural and Urban Roads Agency-TARURA 118 Sengerema Water Supply and Sanitation Authority (SEUWASA) 119 College of African Wildlife Management 120 National Kiswahili Council of Tanzania 121 Fire Rescue Force(FRF) 122 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dae es Salaam 123 Njombe Urban Water Supply and Sanitation Authority 149

NA JINA LA TAASISI 124 Ministry of Minerals 125 Engineers Registration Board (ERB) Mwanhuzi Urban Water Supply and Sanitation Authority 126 (MWANHUZI UWSSA) 127 Bunda Urban Water Supply and Sanitation Authority (BUWSSA) 128 Tanzania Shipping Agencies Corporation (TASAC) 129 Gaming Board of Tanzania 130 Makonde Plateau Water Supply and Saniation Authority 131 National Examination Council of Tanzania - NECTA 132 Tanzania Atomic Energy Commission - TAEC 133 Musoma Urban Water and Sewerage Authority 134 Institute of Rural Development Planning IRDP 135 Lindi Municipal Council 136 Tanzania Forest Services Agency - TFS 137 Tanzania Railways corporation 138 Medical Council of Tanganyika 139 Pangani Basin Water Board 140 Tanzania Insurance Regulatory Authority - TIRA 141 Kishapu Water Supply and Sanitation Authority 142 Meru District Council 143 Maganzo Water Supply and Sanitation Authority 144 Roads Fund Board (RFB) 145 Manyoni Water Supply and Sanitation Authority 146 Wanging'ombe Water Supply and Sanitation Authority 147 Nzega Urban Water Supply and Sanitation Authority 148 Institute of Finance Management (IFM) TUKUYU URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION 149 AUTHORITY 150 Mugumu Urban Water Supply and Sanitation Authority 151 Igunga Urban Water Supply and Sanitation Authority - IGUWASA 152 Chato Water Supply and Sanitation Authority 153 Kilimanjaro Airports Development Company (KADCO) 154 National Environment Management Council 155 Kilwa Urban Water Supply and Sanitation Authority 156 LAMADI WATER PROJECT(LAWAP) 157 Katavi Regiona 158 Rural Water Supply and Sanitation Authority 159 Ministry of Livestock and Fisheries (Livestock Sector) NGARA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION 160 AUTHORITY(NGUWASA)) 161 Bank of tanzania training institute 162 Handeni Trunk Main Water Supply and Sanitation Authority 163 Kigoma Region 164 WATUMISHI HOUSING COMPANY 165 Ministry of Trade and Industry Zanzibar 150

NA JINA LA TAASISI 166 Institute of Accountancy Arusha 167 Commission For Human Rights and Good Governance 168 Mugango/kiabakari water and supply authority 169 Muleba Water Supply and Sanitation Authority ... 170 Maswa water supply and sanitation authority 171 Mpanda Water Supply And Sanitation 172 BIHARAMULO WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY 173 Mafinga Urban Water Supply And Sanitation Authority (MAUWASA) 174 ICT Commission(ICTC) 175 Kibaigwa water supply and sanitation authority 176 Korogwe water supply and sanitation authority(korogwewssa) 177 Kigoma Ujiji Municipal Council 178 Bariadi urban water supply and sanitation authority 179 SUMA JKT 180 Mbinga water supply and sanitation authority(mbingawssa) 181 Rufiji basin water board 182 zanzibar disaster management commission 183 e-Government Zanzibar 184 Tanzania Film Board

151

KIAMBATISHO NA.8 MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA) MFUMO WA VIBALI VYA KUSAFIRIA NJE YA NCHI (e-VIBALI SYSTEM) NA JINA LA TAASISI 1. Agricultural Seed Authority (Asa) 2. Air Tanzania Company Limited 3. Ardhi University (Aru) 4. Architects And Quantity Surveyors Registration Board (Aqsrb) 5. Arusha City Council 6. Arusha District Council 7. Arusha International Conference Centre 8. Arusha Regional 9. Arusha Technical College 10. Arusha Urban Water Supply And Sewerage Authority (Auwasa) 11. Babati District Council 12. Babati Town Council 13. Bagamoyo Arts And Cultural Institute (Tasuba) 14. Bagamoyo District Council 15. Bahi District Council 16. Bank Of Tanzania (Bot) 17. Baraza La Sanaa La Taifa (Basata) 18. Baraza La Taifa La Mitihani (Necta) 19. Benjamin Mkapa Hospital 20. Bugando Medical Centre 21. Bukoba District Council 22. Bukoba Municipal Council 23. Bukoba Urban Water Supply And Sanitation Authority(Buwasa) 24. Bukombe District Council 25. Bunda District Council 26. Busega District Council 27. Business Registration And Licensing Authority (Brela) 28. Butiama District Council 29. Butimba Teachers College 30. Capital Markets And Securities Authority 31. Centre For Agricultural Mechanization And Rural Technology (Camartec) 32. Cereals And Other Produce Board 33. College Of African Wildlife Management (Mweka) 34. College Of Business Education (Cbe) 35. Commission For Human Rights And Good Governance 36. Commission Of Mediation And Arbitration (Cma) 37. Community Development 38. Contractors Registration Board (Crb)

152

NA JINA LA TAASISI 39. Co-Operative Audit And Supervision Corporation (Coasco) 40. Copyright Society Of Tanzania (Cosota) 41. Dar Es Salaam City Council 42. Dar Es Salaam Maritime Institute (Dmi) 43. Dar Es Salaam Ras 44. Dar Es Salaam University College Of Education (Duce) 45. Dar Es Salaam Water And Sewerage Authority (Dawasa) 46. Dar Rapid Transit (Dart) 47. Dar-Es-Salaam Institute Of Technology (Dit) 48. Dodoma City Council 49. Dodoma Region 50. Drug Control And Enforcement Authority (Dcea) 51. Eastern Africa Statistical Training Centre 52. E-Government Authority (Ega) 53. Energy And Water Utilities Regulatory Authority (Ewura) 54. Engineers Registration Board (Erb) 55. Ethics Secretariat 56. Export Processing Zones Authority (Epza) 57. Fair Competition Commission (Fcc) 58. Fair Competition Tribunal (Fct) 59. Fire And Rescue Force (Frf) 60. Fisheries Education And Training Authority (Feta) 61. Council 62. Gaming Board Of Tanzania 63. Geita District Council 64. Geita Region 65. Geita Town Council 66. Geological Survey Of Tanzania 67. Government Chemist Laboratory Authority (Gcla) 68. Government Procurement Services Authority (Gpsa) 69. Hai District Council 70. Handeni District Council 71. Higher Education Student's Loans Board (Heslb) 72. Chalinze District Council 73. Chamwino District Council 74. Chato District Council 75. Chemba District Council 76. Ifakara Town Council 77. Igunga District Council 78. Ikungi District Council 79. Ilala Municipal Council 80. Ileje District Council 81. Ilemela Municipal Council 82. Immigration Services Department (Isd)

153

NA JINA LA TAASISI 83. Institute Of Adult Education (Iae) 84. Institute Of Finance Managment (Ifm) 85. Institute Of Judicial Administration Lushoto 86. Institute Of Rural Development Planning 87. Institute Of Social Work 88. Iramba District Council 89. Iringa District Council 90. Iringa Municipal Council 91. Iringa Ras 92. Iringa Water Supply And Sanitation Authority 93. Itigi District Council 94. Itilima District Council 95. Jakaya Kikwete Cardiac Institute (Jkci) 96. Kagera Regional 97. Kahama Shinyanga Water Supply And Sanitation Authority 98. Kahama Town Council 99. Kakonko District Council 100. Kalambo District Council 101. Kaliua District Council 102. Karagwe District Council 103. Karatu District Council 104. Kariakoo Marketing Cooperation 105. Kasulu Town Council 106. Katavi Region 107. Kibaha District Council 108. Kibaha Education Centre 109. Kibaha Town Council 110. Kibiti District Council 111. Kibondo District Council 112. Kibongoto Hospital 113. Kigamboni Municipal Council 114. Kigoma District Council 115. Kigoma Region 116. Kigoma Ujiji Municipal Council 117. Kilimanjaro Airport Development Company Limited (Kadco) 118. Kilimanjaro Ras 119. Kilolo District Council 120. Council 121. Council 122. Kilwa District Council 123. Kinampanda 124. Kinondoni Municipal Council 125. Kisarawe District Council 126. Kishapu District Council

154

NA JINA LA TAASISI 127. Kiteto District Council 128. Kondoa District Council 129. Kondoa Town Council 130. Kongwa District Council 131. Korogwe District Council 132. Korogwe Teachers College 133. Korogwe Town Council 134. Kwimba Disrtrict Council 135. Kyerwa District Council 136. Law School Of Tanzania 137. Lindi District Council 138. Lindi Municipal Council 139. Lindi Region 140. Livestock Training Authority 141. Liwale District Council 142. Local Government Training Institute (Lgti) 143. Longido District Council 144. Ludewa District Council 145. Lushoto District Council 146. Mafia District Council 147. Mafinga Town Council 148. Magu District Council 149. Makambako Town Council 150. Makete District Council 151. Malinyi District Council 152. Manyara Regional 153. Manyoni District Council 154. Mara Region 155. Marangu Teacher College 156. Marine Services Company Limited (Mscl) 157. Masasi District Council 158. Masasi Town Council 159. Maswa District Council 160. Mbarali District Council 161. Mbeya City Council 162. Mbeya District Council 163. Mbeya Region 164. Mbeya University Of Science And Technology 165. Mbeya Water Supply And Sanitation Authority 166. Mbeya Zonal Referral Hospital 167. Mbinga District Council 168. Mbozi District Council 169. Mbulu Town Council 170. Meatu District Council

155

NA JINA LA TAASISI 171. Medical Stores Department (Msd) 172. Meru District Council 173. Mineral Resources Institute 174. Mining Commission 175. Ministry Of Agriculture 176. Ministry Of Education, Science And Technology 177. Ministry Of Energy 178. Ministry Of Finance And Planning (Mofp) 179. Ministry Of Foreign Affairs And East African Cooperation 180. Ministry Of Health, Community Development, Gender, Elderly And Children 181. Ministry Of Home Affairs 182. Ministry Of Industry, Trade And Investment 183. Ministry Of Information, Culture, Arts And Sports 184. Ministry Of Justice And Constitutional Affairs 185. Ministry Of Lands And Human Settlements Development 186. Ministry Of Livestock And Fisheries (Fisheries) 187. Ministry Of Livestock And Fisheries (Livestock) 188. Ministry Of Minerals 189. Ministry Of Natural Resources And Tourism 190. Ministry Of Water 191. Ministry Of Works, Transport And Communications (Communications) 192. Ministry Of Works, Transport And Communications (Transport) 193. Ministry Of Works, Transport And Communications (Works) 194. Mirembe Mental Health Hospital 195. Missenyi District Council 196. Misungwi District Council 197. Mkalama District Council 198. Mkinga District Council 199. Mkuranga District Council 200. Mkwawa University College Of Education (Muce) 201. Monduli Teachers College 202. Morogoro District Concil 203. Morogoro Municipal Council 204. Morogoro Regional Administrative Secretariat 205. Morogoro Teachers College 206. Morogoro Urban Water Supply And Sanitation Authority 207. Moshi Co-Operative University 208. Moshi District Council 209. Moshi Municipal Council 210. Mpanda District Council 211. Mpanda Municipal Council 212. Mpimbwe District Council

156

NA JINA LA TAASISI 213. Mpwapwa District Council 214. Mtwara District Council 215. Mtwara Mikindani Municipal Council 216. Mtwara Region 217. Mufindi District Council 218. Muheza District Council 219. Muhimbili National Hospital 220. Muhimbili Orthopaedic Institute (Moi) 221. Muhimbili University Of Health And Allied Sciences (Muhas) 222. Muleba District Council 223. Musoma District Council 224. Musoma Municipal Council 225. Musoma Urban Water Supply And Sanitation Authority 226. Council 227. Mwalimu Julius K. Nyerere University Of Agriculture And Technology (Mjnuat)-Butiama 228. Mwalimu Nyerere Memorial Academy 229. Mwanga District Council 230. Mwanza City Council 231. Mwanza Regional 232. Mwanza Urban Water Supply And Sanitation Authority 233. Mzumbe University 234. Nachingwea District Council 235. Nanyamba Town Council 236. National Aids Control Programme 237. National Audit Office 238. National Board Of Accountants And Auditors 239. National Bureau Of Statistics 240. National College Of Tourism 241. National Construction Council (Ncc) 242. National Council For Technical Education (Nacte) 243. National Development Corporation (Ndc) 244. National Economic Empowerment Council (Neec) 245. National Electoral Commission (Nec) 246. National Environment Management Council (Nemc) 247. National Food Reserve Authority (Nfra) 248. National Health Insurance Fund (Nhif) 249. National Housing Building Research Authority 250. National Housing Corporation 251. National Identification Authority (Nida) 252. National Institute For Medical Research 253. National Institute Of Transport (Nit) 254. National Insurance Corporation (T) Limited (Nic) 255. National Land Use Planning Commission

157

NA JINA LA TAASISI 256. National Museums Of Tanzania 257. National Office Of Prosecutor 258. National Social Security Fund (Nssf) 259. National Sports Council (Nsc) 260. National Swahili Council (Bakita) 261. National Tuberculosis And Leprosy Programme 262. Nelson Mandela African Institute Of Science And Technology - Nmaist 263. Newala District Councill 264. Ngara District Council 265. Ngorongoro Conservation Area Authority 266. Ngorongoro District Council 267. Njombe District Council 268. Njombe Regional Administrative Secretariat 269. Njombe Town Council 270. Nyang'hwale District Council 271. Nyasa District Council 272. Nzega Town Council 273. Occupational Safety And Health Authority (Osha) 274. Ocean Road Cancer Institute (Orci) 275. Office Of Attorney General 276. Office Of The Registrar Of Political Parties 277. Open University Of Tanzania (Out) 278. Pangani District Council 279. Patandi Ttc (Northern Zone) 280. Petroleum Upstream Regulatory Authority (Pura) 281. Pharmacy Council Tanzania 282. President Office State House 283. President’s Office–Regional Administration And Local Government (Po-Ralg) 284. President's Office, Public Service Management And Good Governance 285. Prime Minister's Office (Labour, Employment, Youth And People Living With Disability 286. Prime Minister's Office (Policy And Parliamentary Affairs) 287. Procurement And Supplies Professionals And Technicians Board 288. Public Procurement Appeals Authority (Ppaa) 289. Public Procurement Regulatory Authority 290. Public Service Comminision (Psc) 291. Public Service Recruitment Secretariat 292. Public Service Remuneration Board (Psrb) 293. Public Service Social Security Fund (Psssf) 294. Pwani Ras 295. Records And Archives Management Department (Ramd) 296. Registration, Insolvency And Trusteeship Authority (Rita) 158

NA JINA LA TAASISI 297. Road Fund Board 298. Rombo District Council 299. Rorya District Council 300. Rufiji District Council 301. Rukwa Ras 302. Rungwe District Council 303. Rural Energy Authority 304. Ruvuma Ras 305. Same District Council 306. Self Microfinance Fund 307. Serengeti District Council 308. Shinyanga District Council 309. Shinyanga Municipal Council 310. Shinyanga Ras 311. Shinyanga Regional Referral Hospital 312. Shinyanga Urban Water Supply And Sanitation Authority 313. Siha District Council 314. Sikonge District Council 315. Simanjiro District Council 316. Simiyu Ras 317. Singida District Council 318. Singida Municipal Council 319. Singida Regional Secretariat 320. Small Industries Development Organisation (Sido) 321. Sokoine University Of Agriculture (Sua) 322. Songea District Council 323. Songea Municipal Council 324. Songea Teachers College 325. Songea Urban Water Supply And Sanitation Authority 326. Songwe Ras 327. State Mining Corporation ( Stamico ) 328. Sugar Board Tanzania 329. Sumbawanga District Council 330. Sumbawanga Municipal Council 331. Surface And Marine Transport Regulatory Authority (Sumatra) 332. Tabora Municipal Council 333. Tabora Region 334. Tabora Teachers College 335. Tabora Urban Water Supply And Sanitation Authority (Tuwasa) 336. Tandahimba District Council 337. Tandala Town Council 338. Tanga City Council 339. Tanga Ras 340. Tanga Urban Water Supply And Sewerage Authority

159

NA JINA LA TAASISI 341. Tanzania Agricultural Development Bank Limited 342. Tanzania Airport Authority (Taa) 343. Tanzania Atomic Energy Commission (Taec) 344. Tanzania Broadcasting Corporation (Tbc) 345. Tanzania Buildings Authority (Tba) 346. Tanzania Bureau Of Standards (Tbs) 347. Tanzania Centre For Foreign Relations (Cfr) 348. Tanzania Civil Aviation Authority (Tcaa) 349. Tanzania Coffee Board 350. Tanzania Commission For Aids 351. Tanzania Commission For Science And Technology (Costech) 352. Tanzania Commission For Universities (Tcu) 353. Tanzania Communications Regulatory Authority (Tcra) 354. Tanzania Cooperative Development Commission (Tcdc) 355. Tanzania Cotton Board 356. Tanzania Dairy Board 357. Tanzania Education Authority (Tea) 358. Tanzania Electric Supply Company Limited (Tanesco) 359. Tanzania Electrical, Mechanical And Electronics Services Authority (Temesa) 360. Tanzania Engineering And Manufacturing Design Organization - Temdo 361. Tanzania Fertilizer Company (Tfc) 362. Tanzania Fertilizer Regulatory Authority (Tfra) 363. Tanzania Fisheries Research Institute (Tafiri) 364. Tanzania Food And Nutrition Centre (Tfnc) 365. Tanzania Forest Reseach Institute (Tafori) 366. Tanzania Forestry Services Authority 367. Tanzania Gemological Centre (Tgc) 368. Tanzania Geothermal Development Company - Tgdc 369. Tanzania Global Learning Authority (Tagla) 370. Tanzania Government Flight Authority (Tgfa) 371. Tanzania Industrial Research And Development Organization (Tirdo) 372. Tanzania Institute Of Accountancy 373. Tanzania Institute Of Education (Tie) 374. Tanzania Insurance Regulatory Authority (Tira) 375. Tanzania Investment Centre (Tic) 376. Tanzania Livestock Research Institute (Taliri) 377. Tanzania Medicines And Medical Devices Authority (Tmda) 378. Tanzania Mercantile Exchange Plc 379. Tanzania Meteorological Authority (Tma) 380. Tanzania National Business Council 381. Tanzania National Parks (Tanapa)

160

NA JINA LA TAASISI 382. Tanzania National Road Authority (Tanroads) 383. Tanzania Official Seed Certification Institute (Tosci) 384. Tanzania Petroleum Development Corporation ( Tpdc ) 385. Tanzania Police Force (Tpf) 386. Tanzania Ports Authority (Tpa) 387. Tanzania Postal Bank 388. Tanzania Postal Corporation (Tpc) 389. Tanzania Prison Force 390. Tanzania Public Service College 391. Tanzania Railway Corporation (Trc) 392. Tanzania Revenue Authority (Tra) 393. Tanzania Rural And Urban Roads Authority (Tarura) 394. Tanzania Shipping Agencies Corporation (Tasac) 395. Tanzania Standard (Newspapers) Limited (Tsn) 396. Tanzania Telecommunication Corporation (Ttcl) 397. Tanzania Tobacco Board (Ttb) 398. Tanzania Tourism Board 399. Tanzania Trade Development Authority (Tantrade) 400. Tanzania Veterinary Laboratory Authority (Tvla) 401. Tanzania Wildlife Management Authority (Tawa) 402. Tanzania Wildlife Research Institute 403. Tanzania Zambia Railway Authority (Tazara) 404. Tarime District Council 405. Tarime Town Council 406. Tax Revenue Appeals Tribunal 407. Tcaa - Consumer Consultative Council (Tcaa-Ccc) 408. Tea Research Institute Of Tanzania 409. Teachers' Service Commission 410. Temeke Municipal Council 411. Tib Corporate Bank Limited 412. Tib Development Bank Limited 413. Tobacco Research Institute Of Tanzania 414. Treasury Registrar (Tr) 415. Tropical Pesticides Research Institute (Tpri) 416. Tunduma Town Council 417. Tunduru District Council 418. Ubungo Municipal Council 419. Ukerewe District Council 420. Council 421. Unesco National Commission Of The United Republic Of Tanzania 422. Universal Communication Services Access Fund (Ucsaf) 423. University Of Dar Es Salaam (Udsm ) 424. University Of Dodoma (Udom) 425. Urambo District Council

161

NA JINA LA TAASISI 426. Ushetu District Council 427. Uvinza District Council 428. Vikindu Teachers College 429. Vocational Education And Training Authority (Veta) 430. Wanging'ombe District Council 431. Warehouse Receipts Regulatory Board (Wrrb) 432. Water Institute 433. Watumishi Housing Company 434. Weights And Measures Authority (Wma) 435. Workers Compensation Fund (Wcf ) 436. Tanzania Library Service Board 437. Authority For The Development Of Educational Management(Adem) 438. Babati Urban Water Supply And Sanitation Authority 439. Chuo Cha Ualimu Ufundi Mtwara 440. Kahama Urban Water Supply And Sanitation Authority 441. Kasulu District Council(Kasulu Dc) 442. Ofisi Ya Waziri Mkuu-Uwekezaji 443. Rural Water Supply And Sanitation Authority (Ruwasa) 444. Tanzania Smallholders Tea Development Authority 445. Tea Board Of Tanzania - Ttb 446. Uongozi Institute 447. Sengerema District Council 448. Law Reform Commission Of Tanzania 449. Bukoba District Council 450. Bariadi Town Council 451. Amana Regional Referral Hospital 452. Kilindi District Council 453. Mbeya Regional Referral Hospital 454. Sokoine Regional Referral Hospital 455. Handeni Town Council 456. Dodoma Urban Water Supply And Sanitation (Duwasa) 457. Reservoirs And Marine Protected Areas Tanzania 458. Ligula Regional Referral Hospital 459. Mwananyamala Regional Referral Hospital 460. Temeke Regional Referral Hospital 461. Unit Trust Of Tanzania 462. Energy And Water Utilities Regulatory Authority Consumer Consultative Council (Ewura Ccc) 463. Muhonda Teachers College 464. Office Of The Vice President For Union And Environment (Tanzania) 465. Buhigwe District Council 466. Maweni Regional Referral Hospital 467. Institute Of Accountancy Arusha 468. Prevention And Combating Of Corruption Bureau ……….

162

NA JINA LA TAASISI 469. Kyela District Council 470. Morogoro Regional Referral Hospital 471. Bunda Town Council 472. Busokelo Dc 473. Namtumbo Dc 474. Manyara Regional Referral Hospital 475. Monduli District Council 476. National Ranching Company Limited (Narco) 477. Office Of The Attorney General 478. Petroleum Bulk Procurement Authority - Pbpa 479. Bumbuli District Council 480. Mbulu Town Council 481. Newala Town Council 482. Office Of Parliament 483. Sekou Toure Hospital 484. Singida Regional Referral Hospital 485. Tax Revenue Appeals Board 486. Dakawa Teachers College 487. Tanzania Inventiment Bank 488. Mbogwe Distric Council

163

KIAMBATISHO NA.9 MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA) TAASISI ZINAZOTUMIA MFUMO WA KUSIMAMIA MIFUMO YA TEHAMA SERIKALINI (GISP) NA JINA LA TAASISI 1 Bohari Kuu ya Dawa 2 Hospitali ya Magonjwa Ambukizi Kibong'oto 3 Hospitali ya Taifa Muhimbili 4 Kituo cha Chakula na Lishe Tanzania 5 Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba 6 Mamlaka ya Maabara ya Mkemia wa Serikali 7 Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) 8 Taasisi ya Saratani ya Ocean Road 9 Taasisi ya Mifupa Muhimbili 10 Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete 11 Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Tiba 12 Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania 13 Wakala ya Usalama Mahali pa Kazi 14 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto 15 Wizara ya Afya - Maendeleo ya Jamii 16 Baraza la Famasia 17 Taasisi ya Ardhi – Morogoro 18 Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi 19 Baraza la Kitaifa la Biashara na Viwanda Tanzania (TNBC) 20 Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi 21 Kampuni ya Mkulazi 22 Kituo cha Uwekezaji Tanzania Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara na Viwanda Tanzania (TAN 23 TRADE) 24 Mamlaka ya Ukanda wa Kusindika Nje (EPZA) 25 Ofisi ya Kitaifa ya Takwimu (NBS) 26 Shirika ya Viwango Tanzania (TBS) 27 Tume ya Ushindani (FCC) 28 Wakala ya Vipimo 29 Wizara ya Viwanda na Biashara na Viwanda 30 Shirika la Kuendeleza Viwanda Vidogo (SIDO) 31 Baraza la kitaifa la idhini ya Elimu ya Ufundi (NACTE) 32 Baraza la Mitihani la Taifa 33 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) 34 Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) 35 Chuo Kikuu cha Mzumbe (MU) 36 Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mbeya 37 Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA)

164

NA JINA LA TAASISI 38 Mamlaka ya Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) 39 Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE) 40 Wakala ya Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) 41 Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia 42 Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) 43 Benki Kuu ya Tanzania 44 Benki ya Posta Tanzania 45 Bodi ya Kitaifa ya Wahasibu na Wakaguzi w Hesabu 46 Bodi ya Michezo ya Kubahatisha ya Tanzania 47 Bodi ya Rufaa ya Mapato ya Ushuru 48 Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi 49 Mamlaka ya Usimamizi wa Ununuzi wa Umma 50 Kampuni ya Mifuko ya Uwekezaji wa Pamoja (UTT-AMIS) 51 Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania 52 Mamlaka ya Mapato Tanzania 53 Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana 54 Mamlaka ya Rufaa ya Ununuzi wa Umma 55 Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma 56 Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya 57 Ofisi ya Msajili wa Hazina 58 Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi 59 Shirika la Bima la Kitaifa (NIC) 60 Shirika la Hifadhi ya Jamii 61 Soko la hisa la Dar es Salaam 62 Taasisi ya Mafunzo ya Takwimu Mashariki mwa Afrika 63 Taasisi ya Uhasibu Tanzania 64 Taasisi ya Usimamizi wa Fedha 65 Tume ya Taifa ya Uchaguzi 66 Wakala ya Huduma za Ununuzi Serikalini 67 Wizara ya Fedha na Mipango 68 Baraza la Michezo la Taifa (BMT) 69 Bodi ya Watalii Tanzania 70 Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) 71 Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF) 72 Ofisi ya Makamu wa Rais 73 Ofisi ya Waziri Mkuu 74 Ofisi ya Waziri Mkuu- Kazi, Vijana, Ajira na watu wenye Ulemavu 75 Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma 76 Uongozi Institute 77 Mfuko wa Fidia Kwa Wafanyakazi 78 Bodi ya Sukari ya Tanzania (SBT) 79 BODI YA TUMBAKU TANZANIA 80 Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) 165

NA JINA LA TAASISI 81 Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) 82 Tume ya Taifa ya Umwagiliaji 83 Wakala ya Hifadhi ya Chakula (NFRA) 84 Wizara ya Kilimo 85 Shirika la Madini la Serikali (STAMICO) 86 Taasisi ya Jiolojia Tanzania (GST 87 Tume ya Madini 88 Wizara ya Madini 89 Taasisi ya Ustawi wa Jamii (ISW) 90 Chuo cha Maji 91 Mamlaka ya maji safi na maji taka Bunda 92 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Dodoma Mjini (DUWASA) 93 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Iringa Mjini (IRUWASA) 94 Mamlaka ya maji safi na maji taka Kahama- Shinyanga 95 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Lindi Mjini (LUWASA) 96 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Masasi 97 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Mtwara (MTUWASA) 98 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Musoma Mjini (MUWASA) 99 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Songea Mjini (SOUWASA) 100 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Sumbawanga (SUMUWASA) 101 Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Tabora Mjini (TUWASA) 102 Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Tanga (TANGAUWASA) 103 Mamlaka ya Majisafi na Maji taka Arusha Mjini (AUWASA) 104 Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASA) Mamlaka ya Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira ya 105 Wanging'ombe- WANGIWASA 106 Mamlaka ya Usambazaji na Usafi wa Maji kahama- KUWASA 107 Mfuko wa Kitaifa wa Uwekezaji wa Maji (NWIF) 108 Wakala wa Uchimbaji Visima na Ujenzi wa Mabwawa 109 Wizara ya Maji 110 Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania 111 Chuo cha Taifa cha Utalii 112 Hifadhi za Kitaifa za Tanzania (TANAPA) 113 Makumbusho ya Kitaifa ya Tanzania 114 Wizara ya Maliasili na Utalii 115 Kampuni ya Mawasiliano Tanzania (TTCL) 116 Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) 117 Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA) 118 Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Mawasilaino) 119 Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira 120 Tanzania Veterinary Laboratory Agency (TVLA 121 Wizara ya Mifugo na Uvuvi 122 Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) 166

NA JINA LA TAASISI 123 Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) 124 Wakala ya Ununuzi wa Mafuta kwa Pamoja 125 Wizara ya Nishati 126 Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki 127 Bunge la Tanzania 128 Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali 129 Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora 130 Tume ya Kurekebisha Sheria 131 Wakala ya Usajili, Ufilisi na Udhamini 132 Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo 133 Wizara ya Katiba na Sheria 134 Chuo cha Serikali za Mitaa-Hombolo 135 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam 136 Halmashauri ya Jiji la Mbeya 137 Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro 138 Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara 139 Halmashauri ya Manispaa ya Temeke 140 Halmashauri ya Mji wa Handeni 141 Halmashauri ya Mji wa Newala 142 Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo 143 Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu 144 Halmashauri ya Wilaya ya Liwale 145 Halmashauri ya Wilaya ya Longido 146 Halmashauri ya Wilaya ya Meatu 147 Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama 148 Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo 149 Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa 150 Halmashauri ya Wilaya ya Tarime 151 Halmashauri ya Wilaya ya Urambo 152 Halmshauri ya Jiji la Mwanza 153 Mkoa wa Dar es salaam 154 Mkoa wa Dodoma 155 Mkoa wa Kagera 156 Mkoa wa Katavi 157 Mkoa wa Lindi 158 Mkoa wa Mbeya 159 Mkoa wa Morogoro 160 Mkoa wa Mtwara 161 Mkoa wa Pwani 162 Mkoa wa Ruvuma 163 Mkoa wa Shinyanga 164 Mkoa wa Singida 165 Mkoa wa Tanga 167

NA JINA LA TAASISI 166 Ofisi ya Rais -Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa 167 Wakala ya Mabasi Yaendayo Haraka 168 Wilaya ya Tanganyika 169 Kituo cha kuhifadhi Data cha Taifa 170 Mfuko wa Ufikiaji Huduma za Mawasiliano kwa Wote (UCSAF 171 Tume ya Nishati ya Atomiki Tanzania (TAEC) 172 Tume ya Sayansi na Teknolojia Tanzania - COSTECH 173 Kampuni ya Air Tanzania (ATCL) 174 KAMPUNI YA HUDUMA ZA MELI 175 Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) 176 Mamlaka ya Reli ya Tanzania-Zambia 177 Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) 178 Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania 179 Shirika la Reli Tanzania (TRC) 180 Shirika la Wakala wa Meli Tanzania (TASAC) 181 Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Uchukuzi) 182 Baraza la Kitaifa la Ujenzi (NCC) 183 Bodi ya Mfuko wa Barabara (RFB) 184 Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB) 185 Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) 186 Kampuni ya Nyumba za Watumishi 187 Shirika la Nyumba la Taifa 188 Wakala ya Barabara Tanzania 189 Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini 190 Wakala ya Majengo Tanzania 191 Wakala ya Ufundi na Umeme Tanzania 192 Wasanifu wa majengo na Bodi ya Usajili wa Watafiti Wingi (AQRSB) 193 Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Ujenzi) 194 Mamlaka ya Vitambulisho vya Kitaifa 195 Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya 196 Uhamiaji Tanzania 197 Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa 198 Chuo cha Utumishi wa Umma 199 Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Serikali 200 Mamlaka ya Serikali Mtandao 201 Ofisi ya Rais -Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora 202 Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma 203 Tume ya Utumishi wa Umma 204 Tume ya Utumishi wa Walimu 205 Wakala wa Mafunzo kw Njia ya Mtandao 206 Fisheries Education and Training Agency (FETA) 207 Wizara ya Mifugo na Uvuvi - Uvuvi 208 Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI) 168

KIAMBATISHO NA.10 MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA) TAASISI ZILIZOUNGANISHWA KWENYE MTANDAO WA MAWASILIANO SERIKALINI (GOVERNMENT COMMUNICATION NETWORK -GOVNET)

NA JINA LA TAASISI 1 Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) 2 SIDO 3 Ministry of Labour, Employment and Youth Development 4 Treasury Registrar (MIRAMBO) 5 ICT-COMMISSION 6 Treasury Registrar(SAMORA) 7 TANZANIA RAILWAY COOPERATION (TRC) 8 TACAIDS 9 Business Registration and Licensing Agency (BRELA) 10 Tanzania Government Flight Agency (TGFA) 11 Tanzania Employment Services (TAESA) 12 EGA 13 Public Service Commission 14 Ministry of Home Affairs 15 Ministry of Information, Culture and Sports 16 Ministry of Health and Social Welfare 17 Judicial Service Commission 18 State House 19 Vice President's Office 20 PSRS 21 Ministry of Lands, Housing and Human Settlements 22 Ministry of Community Development, Gender and Children 23 Ministry of Education and Vocational Training 24 Government Chemist Laboratory Agency (GCLA) 25 Tanzania Public Service College (TPSC) 26 Accountant General 27 Human Rights & Good Governance Commission 28 PMO-DAR 29 Registrar of Political Parties 30 National Assembly, Dar es Salaam Office 31 Tanzania Building Agency (TBA) 32 Ministry of Finance 33 Ministry of Works(Ujenzi)

169

NA JINA LA TAASISI 34 Ministry of Foreign Affairs 35 Ministry of Transport(Uchukuzi) 36 Controller and Auditor General, National Audit Office 37 Registrar Court of Appeal 38 Attorney General 39 National Bureau of Statistics (NBS) 40 Ministry of Energy and Minerals 41 Ethics Commission 42 Ministry of Defence and National Service (MoDANS) 43 Registration Insolvency and Trusteeship Agency (RITA) 44 Prevention and Combat of Corruption Beareu (PCCB) 45 Drugs Control Commission 46 National Archive Office Dar Es Salaam office 47 Ministry of Water and Irrigation 48 Drilling and Dam Construction Agency (DDCA) 49 Eastern Africa Statistical Training Centre (EASTC) 50 Tanzania Food and Drug Agency (TFDA) 51 Tanzania Meteorological Agency (TMA) 52 Dar es Salaam Rapid Trans (DART) 53 Water Development and Management Institute(WDMI) 54 Tanzania National Housing Research Bureau 55 Occupational Safety and Health Agency (OSHA) 56 National ID Authority (NIDA) 57 Ministry of Livestock Development and Fisheries 58 Ministry of Agriculture, Food Security and Co-operatives 59 Ministry of Natural Resources and Tourism 60 National Electoral Commission 61 National College of Tourism (NCT) Tanzania Electrical, Mechanical and Electronics Services Agency 62 (TEMESA) 63 Tanzania Airport Authority (TAA) 64 Tanzania Institute of Accountancy (TIA) 65 National Food Reserve Agency (NFRA) 66 Government Procurement Services Agency (GPSA) 67 Medical Stores Department 68 Weight and Measure Agency 69 TAMISEMI 70 National Assembly Dodoma 71 Government Archive Office 72 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TASUBA) 170

NA JINA LA TAASISI 73 Agency for Education Management (ADEM) 74 Office of Solicitor General(OSG) 75 Tanzania National Road Agency (TANROAD) 76 Dodoma RS 77 Dodoma DC 78 Dodoma MC 79 Dodoma Regional Hospital 80 Dar es Salaam RS 81 Morogoro RS 82 Morogoro DC 83 Morogoro MC 84 Morogoro Regional Hospital 85 Lindi RS 86 Lindi DC 87 Lindi MC 88 Sokoine Hospital (Lindi) 89 Mtwara RS 90 Mtwara DC 91 Mtwara MC 92 Lugala Regional Hospital 93 Arusha RS 94 Arusha CC 95 Arusha DC 96 Mount Meru Regional Hospital 97 Kilimanjaro RS 98 Moshi MC 99 Moshi DC 100 Mawenzi Hospital 101 Tanga RS 102 Mkinga DC 103 Tanga CC 104 Bombo Hospital 105 Manyara RS 106 Batati DC 107 Babati TC 108 Manyara Regional Hospital 109 Songea MC 110 Songea DC 111 Ruvuma RS 112 Ruvuma Regional Hospital 113 Iringa RS 114 Iringa MC 115 Iringa DC 116 Iringa Regional Hospital

171

NA JINA LA TAASISI 117 Mbeya RS 118 Mbarali DC 119 Mbeya DC 120 Mbeya Regional Hospital 121 Shinyanga RS 122 Shinyanga MC 123 Shinyanga DC 124 Shinyanga Regional Hospital 125 Kagera RS 126 Bukoba MC 127 Bukoba DC 128 Kagera Regional Hospital 129 Mwanza RS 130 Mwanza CC 131 Ilemela MC 132 Sekoutoure Regional Hospital 133 Mara RS 134 Musoma MC 135 Musoma DC 136 Mara Regional Hospital 137 Tabora RS 138 Tabora MC 139 Tabora DC 140 Kitete Regional Hospital 141 Rukwa RS 142 Sumbawanga DC 143 Rukwa Regional Hospital 144 sumbawanga MC 145 Kigoma RS 146 Kigoma DC 147 Kigoma MC 148 Maweni Regional Hospital 149 Singida RS 150 Singida DC 151 Singida MC 152 Singida Regional Hospital 153 President's Office, Public Service Management - DODOMA 154 Ministry of Information, Culture and Sports - DODOMA Ministry of Community Development, Gender and Children- 155 DODOMA TZ Elec, Mech & and Electronics Srvc Agency (TEMESA 156 MAGOGONI) 157 Ministry of Infrastructure Development - Dodoma 158 Ministry of Agriculture, Food Security and Co-operatives-Dodoma

172

NA JINA LA TAASISI 159 Ministry of Education and Vocational Training - Dodoma 160 Ministry of Natural Resources and Tourism-Dodoma 161 Ministry of Industries, Trade and Marketing - Dodoma 162 Ministry of Home Affairs - Dodoma 163 Pharmacy Council Ministry of Industries, Trade an Investiment UDOM –Humanities 164 Hostel 165 Ministry of Health (Health sector at UDOM – Humanities Hostel) 166 Prime Minister's Office - MLIMWA Dodoma Ministry of Agriculture, Food Security and Co-operatives-sekta ya 167 Kilimo 168 TaGLA 169 Ministry of Foreign Affairs and International Relations-Dodoma 170 Vice President's Office - DODOMA Ihumwa 171 Ministry Of Lands - DODOMA 172 Medical Stores Department - Mabibo Campus 173 NFRA-DODOMA 174 Ofisi ya Waziri Mkuu- Sera, Bunge na Uratibu 175 Wizara ya Nishati na Madini 176 Wizara ya Maji 177 Electronic Government Agency (EGA)_DODOMA 178 Ministry of Finance - Dodoma 179 Vice President's Office - DODOMA-NHIF BUILDING 180 National Land Information Center - Magogoni 181 National Land Information Center (NLIC) - Kinondoni 182 Wizara ya Maji- Mfuko wa Maji 183 Wizara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi (Kilimo) - Kilimo Four 184 National Land Information Center (NLIC) - Ubungo MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATION- 185 Transport Sector- MIPANGO MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATION- 186 Transport Sector- VEYULA PRIME MINISTER’S OFFICE, LABOUR, YOUTH EMPLOYMENT 187 AND PERSONS WITH DISABILITY- LAPF 188 TIRDO 189 Ministry of Foreign Affairs and International Relations-UDOM 190 Ministry of Constitutional and Legal Affairs MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATION- 191 Communication Sector- PSPF MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATION- 192 Works Sector- RoadFund 173

NA JINA LA TAASISI 193 National Bureau of Statistics (NBS)-DODOMA 194 National Prosecutions Service (Ofisi ya Mashitaka)-UDOM 195 Ministry of Defence and National Service (MoDANS)-Msalato 196 TZ Elec, Mech & and Electronics Srvc Agency (TEMESA-DODOMA) 197 Prime Minister Office- Labor Youth and Employment 198 Tanzania Rural and Urban Roads Agency 199 Gepg-RoadFund 200 Ofisi ya Magereza- LAPF 201 Ethics Secretariat dodoma 202 COSTECH President's Office, Public Service Management - IHUMWA 203 DODOMA 204 Prime Ministers Office-IHUMWA DODOMA 205 Ministry of Finance-IHUMWA 206 MoDANS -IHUMWA 207 NBAA DODOMA 208 Ministry of Minerals-IHUMWA 209 Ministry of constitutional and Legal Affairs-IHUMWA 210 ERB-DODOMA 211 Ministry of Industry,Trade and Investment 212 Ministry of Foreign Affairs- IHUMWA 213 Ministry of Energy-IHUMWA 214 eGA Research & Innovation center-DODOMA 215 TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA-DODOMA 216 PMO-Kazi, Ajira,Vijana,Ulemavu-Mtumba 217 Ministry of Community Development, Gender and Children-Mtumba 218 Ministry of Home Affairs-Mtumba 219 Ministry of Lands-Mtumba 220 Pharmacy Council-NHIF DODOMA 221 Ministry of Agriculture-Mtumba 222 Teachers Service Commission 223 Ministry of Water -Mtumba 224 Benjamin William Mkappa Hosp-udom 225 Marine Services Company Limited 226 TANROAD 227 Ministry of Education-Mtmba 228 GPSA-DODOMA 229 Drug Control and Enforcement Authority- Dar es Salaam 230 TTCL 231 PSPTB 174

NA JINA LA TAASISI 232 NIT 233 Ofisi ya Magereza- Iringa Road 234 RUWASA_DOM 235 Drug Control and Enforcement Authority- Dodoma 236 COASCO-DODOMA 237 NDC 238 Tanesco - GePG (eBGP) 239 Ministry Of Foreign Affairs - JKICC 240 Wizara ya Mifugo - Mtumba 241 GBT-dar 242 NCC 243 National Insurance Corporation (NIC) 244 Tanzania-Zambia Railway Authority (TAZARA) 245 National Audit Office-DOM 246 Muhimbili Orthopaedic Institute (MOI) 247 NLIC-ILALA 248 Muhimbili National Hospital (MNH) 249 WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI - NBC MJINI 250 MKULAZI HOLDINGS 251 Tanzania Vetinary Laboratory Agency (TVLA) 252 Registrar of Political Parties-DOM 253 LATRA 254 Gaming Board Tanzania (GBT-DOM) 255 Geological Survey of Tanzania 256 Mkurabita Nanenane-DODOMA 258 Wizara ya Habari-Mtumba 259 FCC-POSTA 260 UDOM 261 MUHAS 262 Tanzania Investment Centre (TIC) 263 Tanzania Wildlife Management Authority (TAWA) 264 TTB 265 NEMC 266 TEA 267 NEC-Dodoma 268 TANGA UWASA 269 FCC-DOM 270 LAW REFORM-DOM 271 Tanzania Broadcasting Corporation 272 UCSAF 175

NA JINA LA TAASISI 273 TCAA 274 TIRA 275 TBA 276 Mbeya University of science and Tech (MUST) 277 CHUO CHA DIPLOMASIA (CFR) 278 KADCO ARUSHA 279 CBE-DAR 280 TANZANIA FILM BOARD 281 IRDP-DOM 282 IVD 283 VETA DODOMA 284 SUGAR BOARD OF TANZANIA 285 PBPA 286 TPC 287 TLSB 288 AQRB 289 ASA

176

KIAMBATISHO NA.11 MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA) TAASISI ZILIZOWEZESHWA KUHIFADHI MIFUMO KWENYE VITUO VYA KUHIFADHIA TAARIFA NA MIFUMO YA SERIKALI (GOVERNMENT DATA CENTRES)

NA JINA LA TAASISI Ministry Of Health Social Development Gender The Elderly And 1 Children Ministry Of Health Social Development Gender The Elderly And 2 Children 3 The Office Of Attorney General 4 Architects And Quantity Surveyors Registration Board (Aqrsb) 5 Atc 6 Ministry Of Agriculture 7 National Kiswahili Council (Bakita) 8 Arbitration And Mediation Commission (Cma) 9 Copyright Society Of Tanzania (Cosota) 10 Taasisi Ya Teknolojia Ya Dar Es Salaam (Dit) 11 Dar-Es-Salaam Maritime Institute (Dmi) 12 Dar Es Salaam Region 13 Tanzania Atomic Energy Commission (Taec) 14 Ministry Of Finance And Planning 15 Ministry Of Finance And Planning 16 Parliament Of Tanzania 17 Engineers Registration Board 18 Tanzania Medicine And Medical Devices Authority 19 Fire And Rescue Force 20 Ministry Of Finance And Planning 21 Gaming Board Of Tanzania President’s Office Public Service Management And Good 22 Governance 23 Ministry Of Finance And Planning 24 Public Service Commission 25 Parliament Of Tanzania 26 Judiciary Of Tanzania 27 Kinondoni Manicipal Council 28 Tpa/Tra 29 Ministry Of Lands, Housing And Human Settlements Development 30 Tpa/Tra 31 Ministry Of Water 32 Mafinga Water Supply And Sanitation Authority- Mafinga Wssa 33 The Medical Council Of Tanganyika 34 Mining Commission 35 Ministry Of Finance And Planning 177

NA JINA LA TAASISI Ministry Of Health Social Development Gender The Elderly And 36 Children 37 Ministry Of Lands, Housing And Human Settlements Development 38 College Of African Wildlife Management -Mweka (Cawm) 39 National Board Of Accountants And Auditors (Nbaa) 40 National College Of Tourism (Nct) 41 National Electoral Commission (Nec) Ngaramtoni Urban Water Supply And Sanitation Authority Billing 42 Billing Software 43 Tanzania Police Force 44 Ocean Road Cancer Institute 45 Office Of Solicitor General 46 Office Of Treasury Registrar 47 Procurement And Supplies Professional And Technician Board 48 Tanzania Atomic Energy Commission 49 Gaming Board Of Tanzania Sengerema Urban Water Supply And Sanitation Authority- 50 Sengerema- Wssa 51 Miniistry Of Constitutional And Legal Affairs 52 Small Industries Development Organisation (Sido) 53 Tanzania Ports Authority (Tpa) 54 Gaming Board Of Tanzania 55 Tanzania Airport Authority 56 Tanzania Trade Development Authority (Tantrade) 57 Tanzania Rural-Urban Road Agency (Tarura) 58 Tanzania Shipping Agencies Corporation (Tasac) 59 Tanzania Broadcasting Company (Tbc) 60 Tanzania Bureau Of Standard (Tbs) 61 Tanzania Airport Authority 62 Medicines And Medical Devices Authority (Tmda) 63 Tanzania Investiment Center 64 Tanzania Insurance Regulatory Authority (Tira) 65 Medicines And Medical Devices Authority (Tmda) 66 Tropical Pesticides Research Institute (Tpri) 67 Tanzania Railways Corporation (Trc) 68 University Of Dodoma (Udom) 69 Muhimbili Orthopeadic Institute 70 Prime Minister's Office 71 Kishapu Water Supply And Sanitation Authority President’s Office Public Service Management And Good 72 Governance 73 National Social Security Fund (Nssf) 74 Wami Ruvu Basin

178

KIAMBATISHO NA.12 MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA) TAASISI ZA UMMA ZINAZOTUMIA MFUMO WA ENTERPRISE RESOURCE MANAGEMENT SUITE-ERMS

NA JINA LA TAASISI

1 Tanzania Commission for Science and Technology 2 Kahama Urban Water Supply and Sanitation Authority - (KAHAMA UWASA) 3 Sugar board of tanzania 4 National food reserve agency (nfra) 5 Iringa water supply and sanitation authority(iruwasa) 6 Tanzania civil aviation authority 7 Tanzania library services board 8 TANZANIA TELECOMMUNICATION CORPORATION 9 Tanzania railways corporation Tanzania cooperative development commission inspection and 10 supervision fund Procurement and supplies professionals and technicians board 11 (psptb) 12 National insurance corporation (nic) 13 E-government authority 14 Mkulazi Holding Company 15 Mtwara Urban Water Supply and Sewerage Authority 16 National board of accountants and auditors 17 Small industries development organization (sido) President's Office Public Service Management and Good 18 Governance

179

KIAMBATISHO NA.13 MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA) TAASISI ZILIZOUNGANISHWA NA KUTUMIA DAWATI LA HUDUMA KWA WATEJA (HELPDESK SYSTEM)

NA. JINA LA TAASISI 1. Accountant General (Acgen) 2. Authority For The Development Of Educational Management (Adem) 3. Agricultural Inputs Trust Fund (Agitf) 4. Air Tanzania Company Limited (Atcl) 5. Tanzania Fertilizer Regulatory Authority (Tfra) 6. Ardhi Institute Tabora (Arita) 7. Ardhi University (Aru) 8. Architect‘S And Quantity Surveyors Registration Board (Aqrb) 9. Arusha City Council 10. Arusha District Ouncil 11. Arusha Regional And Administrative Secretariat 12. Arusha Urban Supply And Sewerege Authority (Auwsa) 13. Attorney General‘S Chambers (Agc) 14. Babati District Council 15. Babati Town Council 16. Bagamoyo College Of Arts (Tasuba) 17. Bagamoyo District Council 18. Bahi District Council 19. Bariadi District Council 20. Bariadi Town Council 21. Biharamulo District Council 22. Bokoba Municipal Ouncil 23. Buhigwe District Council 24. Buchosa District Council 25. Bukoba District Council 26. Bumbuli District Council 27. Bunda District Council 28. Busega District Council 29. Business Registration And Licencing Authority (Brela) 30. Butiama District Council 31. Capital Market And Security Authority (Cmsa) 32. Centre For Agricultural Mechanization And Rural Technology (Camartec) 33. Cereals And Other Produce Board Of Tanzania (Cpb) 34. Commission For Human Rights And Good Governance (Chragg) 35. Cooperative Audit And Supervision Corporation (Coasco) 36. Dar Es Salaam Ras

180

NA. JINA LA TAASISI 37. Dar Es Salaam City Council 38. Dar Es Salaam Marine Institute (Dmi) 39. Dar Es Salaam Rapid Transport (Dart) 40. Dar Es Salaam University College Of Education (Duce) 41. Dar Es Salaam Water And Sewerage Cooperation (Dawasco) 42. Dar Es Salaam Water And Sewerege Authority (Dawasa) 43. Deep Sea Fishing Authority (Dfsa) 44. Dodoma Ras 45. Dodoma Urban Water Supply And Sewerege Athority (Duwasa) 46. Drilling And Dam Construction Authority (Ddca) 47. Drug Control And Enforcement Authority 48. East Africa Statistical Training Institute 49. Energy And Water Utilities Regulatory Authority (Ewura) 50. Engineering Registration Board 51. Ethics Secretariat 52. Export Processing Zones Authority (Epza) 53. Fire And Rescue Force (Frf) 54. Fisheries Education And Training Authority (Feta) 55. Gairo Regional And Administrative Secretariate 56. Gaming Board 57. Geita District Council 58. Geita Regional Administrative Secretariat 59. Geita Town Council 60. Geological Survey Of Tanzania 61. Government Chemist Laboratory Authority (Gcla) 62. Government Procurement Service Authority 63. Hanang District Council 64. Handeni District Council 65. Handeni Town Council 66. Higher Education Student‘S Loan Board (Heslb) 67. Chalinze District Council 68. Chalinze Water Supply And Sewerege Authority 69. Cham wino District Council 70. Chato District Council 71. Chemba District Council 72. Chunya District Council 73. Ict Commission 74. Ifakara Town Council 75. Igunga Council 76. Ikungi District Council 77. Ilala Municipal Council 78. Ilemela Municipal Council 79. Institute Of Accountancy Arusha 80. Institute Of Finance Management (Ifm) 81. Institute Of Judicl Administration 181

NA. JINA LA TAASISI 82. Iramba District Council 83. Iringa District Council 84. Iringa Regional And Administrative Secretary (Ras-Iringa) 85. Iringa Urban Water Supply And Sanitation Authority (Iruwasa) 86. Itilima District Council 87. Jakaya Kikwete Cardiac Institute (Jkci) 88. Judiciary Of Tanzania 89. Kagera Regional Administrative Secretariat 90. Kahama Shinyanga Water Supply And Sewerage Authority (Kashwasa) 91. Kalambo District Council 92. Kaliua District Council 93. Karagwe District Council 94. Karatu District Council 95. Kariakoo Markets Corporation 96. Kasulu District Council 97. Kasulu Town Council 98. Katavi Regional And Administrative Secretary (Ras Katav 99. Kibaha Education Centre (Kec) 100. Kibaha Town Council 101. Kibaha District Council 102. Kibondo District Council 103. Kigamboni Municipal Council 104. Kigoma District Council 105. Kigoma Regional And Administrative Secretary (Ras Kigoma) 106. Kigoma Ujiji Municipal Council 107. Kilimanjaro Ras 108. Kilindi District Council 109. Kilolo District Council 110. Kilombero District Council 111. Kilosa District Council 112. Kinondoni Municipal Council 113. Kisarawe District Council 114. Kishapu District Council 115. Kiteto District Council 116. Kondoa District Council 117. Kondoa Town Council 118. Kongwa District Council 119. Korogwe District Council 120. Kwimba District Council 121. Kyela District Council 122. Kyerwa District Council 123. Law Reform Commission 124. Lindi Municipal Council 125. Lindi Regional Administrative Secretary (Ras Lindi) 182

NA. JINA LA TAASISI 126. Liwale District Council 127. Longido District Council 128. Ludewa District Council 129. Lukwa Urban Water Supply And Sanitation Authority (Luwasa) 130. Madaba District Council 131. Mafia District Council 132. Magu District Council 133. Makambako Town Council 134. Makete District Council 135. Manyara Ras 136. Manyoni District Council 137. Mara Ras 138. Marine Parks And Reserves Unit 139. Masasi District Council 140. Masasi Ras 141. Masasi Town Council 142. Maswa District Council 143. Mbalali District Council 144. Mbeya City Council 145. Mbeya District Council 146. Mbeya Ras 147. Mbeya Regional Referral Hospital 148. Mbeya Urban Water Supply And Sanitation Authority 149. Mbinga Town Council 150. Mbogwe Disctrict Council 151. Mbozi District Council 152. Mbulu District Council 153. Mbulu Town Council 154. Meatu District Council 155. Medial Stores Department 156. Meru District Council 157. Mikocheni Agricultural Research Insitute (Mari) 158. Mikocheni Research Institute 159. Ministry Of Agriculture 160. Ministry Of Constitutional And Legal Affairs 161. Ministry Of Defence And National Service (Modans) 162. Ministry Of Foreign Affairs And East African Cooperation (East African Cooperation) 163. Ministry Of Education, Science And Technology 164. Ministry Of Energy 165. Ministry Of Foreign Affairs And East African Cooperation (Foreign Affairs) 166. Ministry Of Health, Community Development, Gender, Elderly And Children

183

NA. JINA LA TAASISI 167. Ministry Of Healthy, Community Development, Gender, Elderly And Children (Community Development) 168. Ministry Of Home Affairs 169. Immigration Service Department 170. Ministry Of Industry Trade And Investments 171. Ministry Of Information, Culture Arts And Sports 172. Ministry Of Lands, Housing And Human Settlement (Landtenure Support Program) 173. Ministry Of Lands, Housing And Human Settlement Development 174. Ministry Of Livestock And Fisheries 175. Ministry Of Minerals 176. Ministry Of Natural Resources And Tourism 177. Ministry Of Water 178. Ministry Of Work, Transport And Communications (Mwtc) 179. Ministry Of Works, Transport And Communications (Communication) 180. Ministry Of Works, Transport And Communications (Transport) 181. Ministy Of Finance And Planning 182. Misse nyi District Council 183. Misungwi District Council 184. Mkalama District Council 185. Mkinga District Council 186. Mkurabita 187. Mkuranga District Council 188. Mlele District Council 189. Monduli District Council 190. Morogoro Municipal Council 191. Morogoro Ras 192. Morogoro Urban Water Supply And Sewerage Authority (Moruwasa) 193. Moshi District Council 194. Moshi Municipal Council 195. Mpanda District Council 196. Mpimbwe District Council 197. Mtwara District Council 198. Mtwara Mikindani Municipal Council 199. Mtwara Ras 200. Mtwara Urban Water And Sewerage Authority (Mtuwasa) 201. Mufindi District Council 202. Muheza District Council 203. Muhimbili National Hospital 204. Muhimbili Orthopaedic Institute (Moi) 205. Muhimbili University Of Health And Allied Science (Muhas) 206. Musoma District Council 184

NA. JINA LA TAASISI 207. Musoma Municipal Council 208. Mvomero Dostrict Council 209. Mwalimu Nyerere Memorial Academy 210. Mwanga District Council 211. Mwanza City Council 212. Mwanza Ras 213. Mwanza Urban Water Supply And Sewerage Authority (Mwauwasa) 214. Namtumbo District Council 215. Nanyamba Town Council 216. Nanyumbu District Council 217. National Arts Council Tanzania (Nact) 218. National Assembly Of Tanzania 219. National Audit Office 220. National Board Of Accountants And Auditors (Nbaa) 221. National Bureau Of Statistics (Nbs) 222. National College Of Tourism 223. National Collegiate Athletic Association (Ncaa) 224. National Construction Council (Ncc) 225. National Defense College (Ndc) 226. National Economic Empowerment Council (Neec) 227. National Electoral Commission (Nec) 228. National Environment Management Council (Nemc) 229. National Examinations Council Of Tanzania. (Necta) 230. National Fish Quality Control Laboratory (Nfqclab) 231. National Food Reserve Authority (Nfra) 232. National Health Insurance Fund (Nhif) 233. National Housing And Building Research Authority (Nhbra) 234. National Identification Authority (Nida) 235. National Institute For Medical Research (Nimr) 236. National Institute Of Transport (Nit) 237. National Irrigation Commission 238. National Land Use Planning Commision (Nlupc) 239. National Museum Of Tanzania (Nmt) 240. National Prosecution Service 241. National Records And Archives. Management Department 242. National Sports Council (Nsc) 243. Neglected Tropical Diseases Control Programme (Ntdcp) 244. Nelson Mandela African Institute Of Science And Technology (Nm-Aist) 245. Newala District Council 246. Newala Town Council 247. Ngara District Council 248. Ngorongoro Conservation Area Authority 249. Ngororngoro District Council 185

NA. JINA LA TAASISI 250. Njombe District Council 251. Njombe Regional Administrative Secretariat 252. Nkasi District Council 253. Nyanghwale Disctrict Council 254. Nyasa District Council 255. Nzega District Council 256. Nzega Town Council 257. Occupational Safety And Health Authority (Osha) 258. Ocean Road Cancer Institute (Orci) 259. Office Of Solicitor General 260. Office Of The Registrar Of Political Parties (Orpp) 261. Open University Of Tanzania 262. Pangani District Council 263. Petroleum Bulk Procurement Authority (Pbpa) 264. Pharmacy Council Of Tanzania 265. President‘S Office - Regional Administration And Local Government (Po-Ralg) 266. President’s Office - Public Services Management And Good Governance 267. President’s Office - Revolutionary Council 268. Prevention And Combating Of Corruption Bureau (Pccb) 269. Prime Minister‘S Office, Labour, Youth, Employment And Persons With Disability 270. Prime Minister’s Office (Pmo) 271. Prisons (Magereza) 272. Procurement And Supplies Professionals And Technicians Board (Psptb) 273. Public Service Pension Fund (Pspf) 274. Public Service Recruitment Secretariat (Psrs) 275. Public Service Remuneration Board (Psrb) 276. Public Service Social Security Fund (Psssf) 277. Public Sevirvice Commision (Psc) 278. Pwani Ras Pwani 279. Registration, Insolvency And Trusteeship Authority (Rita) 280. Rombo District Council 281. Ruangwa District Council 282. Rufiji District Council 283. Rukwa Regional Administrative Secretariat 284. Rural Water Supply And Sanitation 285. Ruvuma Regional And Administrative Secretary (Ras Ruvuma) 286. Same District Council 287. Self Micro-Finance Fund 288. Serengeti District Council 289. Shinyanga Municipal Council 290. Shinyanga Regional And Administrative Secretary (Ras- 186

NA. JINA LA TAASISI Shinyanga) 291. Shinyanga Urban Water Supply And Sewerage Authority (Shuwasa) 292. Siha District Council 293. Sikonge District Council 294. Simiyu Regional And Administrative Secretary (Ras-Simiyu) 295. Singida District Council 296. Singida Municipal Council 297. Singida Ras 298. Small Industries Development Organization (Sido) 299. Songea District Council 300. Songea Municipal Council 301. Songea Urban Water Supply And Sewerage Authourity (Souwasa) 302. Songwe District Council 303. Songwe Ras 304. State Mining Corporation (Stamico) 305. Sugar Board Of Tanzania (Sbt) 306. Sumbawanga District Council 307. Sumbawanga Municipal Council 308. Suwasa Rukwa 309. Tabo ra District Council 310. Tabora Municipal Council 311. Tabora Regional And Administative Secretary (Ras Tabora) 312. Tabora Urban Water Supply And Sanitation Authority (Tuwasa) 313. Tandahimba District Council 314. Tanga City Council 315. Tanga Regional And Administrative Secretary (Ras Tanga) 316. Tanga Urban Water And Sewerage Authority (Tanga Uwasa) 317. Tanzania Agricultural Research Institute (Tari) 318. Tanzania Airports Authority (Taa) 319. Tanzania Atomic Energy Commission (Taec) 320. Tanzania Broadcasting Corporation (Tbc) 321. Tanza nia Building Authority (Tba) 322. Tanzania Bureau Of Standards (Tbs) 323. Tanzania Civil Aviation Authority (Tcaa) 324. Tanzania Commission For Aids (Tacaids) 325. Tanzania Cooperative Development Commission (Tcdc) 326. Tanzania Dairy Board (Tdb) 327. Tanzania Drug Control Commission 328. Tanzania Education Authority 329. Tanzania Engineering And Manufaturing Design Organiation (Temdo) 330. Tanzania Fire And Rescue Force 331. Tanzania Food And Nutrition Ccentre (Tfnc) 187

NA. JINA LA TAASISI 332. Tanzania Forest Services Authority (Tfsa) 333. Tanzania Geothermal Development Company (Tgdc) 334. Tanzania Global Learning Authority (Tagla) 335. Tanzania Government Flight Authority (Tgfa) 336. Tanzania Industrial Research And Development Organization (Tirdo) 337. Tanzania Institute Of Accountancy (Tia) 338. Tanzania Institute Of Education (Tie) 339. Tanzania Insurance Ombudsman 340. Tanzania Investment Bank (Tib) 341. Tanzania Investment Centre (Tic) 342. Tanzania Library Services Board (Tlsb) 343. Tanzania Livestock Research Institute (Taliri) 344. Tanzania Meat Board 345. Tanzania Meteorological Authority (Tma) 346. Tanzania Mining Commission 347. Tanzania National Business Council 348. Tanzania National Parks (Tanapa) 349. Tanzania Official Seed Certication Institute (Tosci) 350. Tanzania People‘S Defence Force (Tpdf) 351. Tanzania Postal Bank (Tpb) 352. Tanzania Railways Corporation (Trc) 353. Tanzania Railways Limited (Trl) 354. Tanzania Regional Immigration Training Academy (Trita) 355. Tanzania Roads Agency (Tanroads) 356. Tanzania Roads Fund 357. Tanzania Rural And Urban Roads Authority (Tarura) 358. Tanzania Shiping Agencies Cooperation (Tasac) 359. Tanzania Sisal Board (Tsb) 360. Tanzania Social Action Fund (Tasaf) 361. Tanzania Telecommunications Company Limited (Ttcl) 362. Tanzania Tobacco Board (Ttb) 363. Tanzania Trade Development Authority (Tantrade) 364. Tanzania Tree Seed Authority (Ttsa) 365. Tanzania Veterinary Laboratory Authority (Tvla) 366. Tanzania Wildlife Authority (Tawa) 367. Tanzania Wildlife Research Institute (Tawiri) 368. Tanzania Electrical, Mechanical And Electronics Services Authority (Temesa) 369. Tarime District Council 370. Tarime Town Council 371. Teacher‘S Service Commision (Tsc) 372. Temeke Municipal Council 373. Treasury Registrar Office (Tro) 374. Tropical Pesticides Research Institute (Tpri) 188

NA. JINA LA TAASISI 375. Ubungo Municipal Council 376. Ukerewe District Council 377. Ulanga District Council 378. Unesco National Commission Of The United Republic Of Tanzania (Natco) 379. Universal Communication Services Access Fund (Ucsaf) 380. Uongozi Institte 381. Urambo Disctrict Council 382. Vocational Educational And Training Authority (Veta) 383. Waqf And Trust Commission (Wtc) 384. Wanging‘Ombe District Council 385. Water Development And Management Institute (Wdmi) 386. Weights And Measures Authority (Wma) 387. Workers Compesation Fund (Wcf) 388. Zanzibar Business And Property Registration Authority 389. Marine Service Company Limited 390. Kahama Urban Water Supply And Sanitation Authority (Kuwasa) 391. Tanzania Insurance Reguratory Authority (Tira) 392. Shinyanga District Council 393. National Aids Control Program – Nacp.Go.Tz 394. Bukoba Urban Water Supply And Sanitation Authority (Buwasa) 395. Msalala District Council 396. Shinyanga District Council 397. Mwanhuzi Urban Water Supply And Sanitation Authority 398. Contractors Registration Board (Crb) 399. Tanzania Nursing&Midwifery Council (Tnmc) 400. Moshi Urban Water Supply&Sewerage Authority (Muwsa) 401. Tanzania Petroleum Development Corporation (Tpdc) 402. Tanzania Extractive Industries Transparency Initiative (Teiti) 403. Mpanda Municipal Council 404. Kilwa District Council 405. Mweka Wildlife 406. Tanzania Revenue Authority (Tra) 407. Geita Urban Water Supply And Sanitation Authority (Geuwasa) 408. Medica l Council Tanzania 409. Mpanda Water Supply And Sanitation Authority (Mpandawasa) 410. Kishapu Urban Water Supply And Sanitation Authority (Kiwassa) 411. Rungwe Dc 412. Kibiti Dc 413. National Development Corporation (Ndc) 414. Tanzania Coffee Board 415. Tanganyika Dc 416. National Internet Data Center(Nidc) 417. Petroleum Upstream Regulatory Authority (Pura) 418. Local Government Training Institute (Lgti) 189

NA. JINA LA TAASISI 419. Mugumu Urban Water Supply And Sanitation Authority 420. Kilimanjaro Airport Development Company(Kadco) 421. Livestock Training Authority (Lita) 422. Mombo District Council 423. Tanzania Film Board 424. Mzinga Corporation 425. Zanzibar Higher Education Loan Board 426. Singida District Council 427. Public Procurement Appeals Court

190