Halmashauri Ya Wilaya Ya Longido Kumb. Na. Hw/Long/T

Total Page:16

File Type:pdf, Size:1020Kb

Halmashauri Ya Wilaya Ya Longido Kumb. Na. Hw/Long/T HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO Barua zote ziandikwe kwa S.L.P 84 Mkurugenzi Mtendaji Wilaya. LONGIDO, Simu No. 027-2539603/2 MKOA WA ARUSHA. Fax: No. 027 -2539603 Unapojibu tafadhali taja: KUMB. NA. HW/LONG/T/23 16/08/2017 Mh. Mwenyekiti, Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Longido. YAH: TAARIFA YA UTEKELEZAJI SHUGHULI ZA HALMASHAURI KWA MWAKA2016/ 2017 ELIMU MSINGI Katika kipindi cha mwaka 2016/2017 Idara imefanya mambo yafuatayo: 1. Kufuatilia ukamilishwaji wa miundombinu inayoendelea shuleni. 2. Kutoa mafunzo ya kuwajengea uwezo walimu. Uendeshaji wa mtihani wa MOCK – Mkoa kwa darasa la VII-2017 3. Kusimamia na kufuatilia zoezi la upigaji picha kwa wanafunzi wa darasa VII. 4. Uandaaji na ukusanyaji wa Takwimu za uandikishaji na kuziingiza kwenye mfumo 5. Kutoa huduma ya afya kwa wanafunzi shuleni. 6. Uendeshaji wa michezo ya UMITASHUMTA ngazi ya Wilaya, Mkoa na Taifa. 7. Kufuatilia utendaji kazi wa walimu na utoaji wa taaluma shuleni. 8. Kufuatilia mashauri ya kinidhamu kwa walimu. TAARIFA YA UTEKELEZAJI 2016/2017 ELIMU MSINGI SHUGHULI/MI MPANGO UTEKELEZAJI % YA FEDHA FEDHA % YA MAONI/CHANGAMOT RADI /LENGO UTEKEL ZILIZ ZILIZOTU MATUMIZI O EZAJI OPAN MIKA GWA Kufatilia Kuboresha Miradi ya ujenzi wa 85% Kushidwa kuitembelea ukamilishwaji wa mazingira ya vyumba vya madarasa miradi kwa wakati miundombinu kufundishia na (Ranch-5, Oltepes-2) iko kutokana Idara kukosa inayoendela kujifunzia. katika hatua mbalimbali fedha za ufuatiliaji shuleni. za ujenzi. (Diesel). Nyumba 2 za walimu s/m Olmotii na madarasa Naborsot vimekamilika. Kutoa mafunzo Kuimarisha uwezo Walimu 20 wa somo la 100% - Namna ya kuweza ya kuwajengea wa kiutendaji kwa hisabati wamepatiwa kuwajengea uwezo uwezo walimu. walimu. mafunzo yaliyofadhiliwa walimu wengi zaidi na Chama Cha Walimu kutokana na ufinyu wa kwa kushirikiana na bajeti. H/W Uendeshaji wa Kufanya tathimini Mtihani umefanyika 100% - - Kutokuwa na fedha mtihani wa MOCK ya maendeleo yao vizuri kama uendeshaji wa mitihani – Mkoa kwa kitaaluma kabla ulivyopangwa (tar.6-7 hiyo (Mock). darasa la VII- ya kufanya juni 2017).Jumla ya 2017. mtihani wa shule 43 zenye jumla ya kuhitimu Elimu ya wanafunzi 1763 Msingi mwezi Sept zimefanya mtihani huo. 2017. Kusimamia na Kuwatambua Wanafunanzi (1763) 100% - - -Utoro kwa baadhiya kufuatilia zoezi la watahiniwa wa wanaostahili kufanya wanafunzi umeathiri upigaji picha wanaotarajiwa mtihani wamepigwa zoezi kwa kulifanya kwa wanafunzi kufanya mtihani picha kwa ajili ya lichukue muda mrefu wa darasa VII wa wa kuhitimu kwaandalia TSM9. kuwafuatilia. Elimu ya Msingi kwa 2017. Uandaaji na Kupata takwimu Zoezi limefanyika vizuri 100% Zoezi kuchukua muda 2 ukusaji wa halisi za na kukamilika kwa mrefu kutokana na Takwimu za wanafunzi wote wakati. Jumla ya mfumo (network) uandikishaji na shuleni. wanafunzi 21,826 kwa kutokuwa imara. kuziingiza kwenye shule za serikali na mfumo. wanafunzi 1,349 kwa shule za binafsi wameingizwa kwenye mfumo SHUGHULI/ MPANGO /LENGO UTEKELEZAJI % YA FEDHA FEDHA % YA MAONI/CHANGAM MIRADI UTEKELEZA ZILIZOPAN ZILIZOTUMI MATUMI OTO JI GWA KA ZI Kutoa huduma Kutoa dawa za kinga Watoto 22,732 kati ya 92% 33,504,780.00 33,504,780.00 100% Zoezi hili limefanywa ya afya kwa ya minyoo na 24,393 wamepatiwa kwa ushirikiano kati ya wanafunzi kichocho kwa dawa, zoezi Idara za Elimu, Afya shuleni. wanafunzi wote limeendeshwa kwa na Wizara ya Afya kuanzia umri wa ushirikiano na Idara Jinsia na Watoto miaka 5-14. ya Afya. Kunyunyuzia dawa ya Shule za Sinya, Zoezi hili limefadhiliwa kuua wadudu Longido na na Mhisani (CASEC) (kunguni) kwa shule Ketumbeine - - - kwa kushirikiana na za bweni zimepatiwa huduma Halmashauri. hii. Uhamasishaji na Shule 43 za msingi ufuatiliaji wa zimetembelewa na - - - -do- matumizi sahihi ya elimu imetolewa vyoo shuleni. Uhamasishaji wa Magodoro 354 uchangaji wa yamepatikana kutoka mgodoro kwa shule kwa wadau ya Msingi Sinya. mbalimbali. -do- Uhamasishaji - - - umefanywa kwa ushirikiano kati ya H/W na kamati ya 3 ulinzi na Usalam 1. Kusambaza vifaa vya Vifaa vya kujifunzia 100% Vifaa vimetolewa na ufundishaji /ujifunzaji kwa wanafunzi wenye Wizara ya Elimu kwa wanafunzi mahitaji maalum - - - (WEMU) wenye mahitaji vimesambazwa kwa maalum. shule ya msingi Longido na Sekondari ya Longido SECTA SHUGHULI/MI MPANGO UTEKELEZAJI % YA FEDHA FEDHA % YA MAONI/CHANGA RADI /LENGO UTEKELEZ ZILIZOPANG ZILIZOTUMI MATUMIZ MOTO AJI WA KA I Uendeshaji wa Kushiriki Kuibua vipaji 85% 14,981,910.00 9,742,820.00 65% -Kushidwa kupeleka michezo ya mashindano ya katika michezo washiriki wengi UMITASHUMTA. UMITASHUMT mbalimbali, ngazi ya Mkoa A ngazi ya kuitambua na kutokana na uhaba Kata hadi Taifa kuviendeleza. wa fedha. kuanzia mwezi April-Juni 2017 Kufuatilia Kufuatilia Kata za 45% 252,000 (dizel) 252,000 100% Ziara inaendelea utendaji kazi Taaluma Tingatinga, (dizel) kwa kata zilizobaki kwa walimu Shuleni Sinya, Ketumbeine Longido, Gelai Merugoi na Matale zimetembelewa. Kuatilia Kuimarisha Mashauri ya 100% 3,360,000 - - Taratibu za mashauri ya nidhamu ya walimu 8 kuwarejeshwa kinidhamu kazi kwa yamefanyiwa watumishi hao walimu watumishi kwa maamuzi kwao zimekamilika. kuzingatia haki na wajibu IDARA YA UJENZI 4 Idara ya Ujenzi pamoja majukumu mengine katika kipindi cha mwaka 2016/2017 ilitekeleza shughuli zifuatazo:- i. Kusimamia matengenezo ya Miradi ya barabara mwaka wa fedha 2016/2017. ii. Kuandaa gharama za ujenzi wa Kituo cha afya Ketumbeine. iii. Kusimamia ujenzi wa soko la Mifugo katika kijiji cha Eworendeke. iv. Kusimamia ujenzi wa Jengo la X-Ray kituo cha Afya Longido. i. Matengenezo ya barabara:- Kazi za matengenezo ya barabara kwa mwaka wa fedha 2016/2017 zilisaininiwa mnamo tarehe 18/04/2017 ambapo mikataba ilianza kutekelezwa rasmi mnamo tarehe 01/05/2017,Wakandarasi wote walioshinda zabuni walielekezwa kutekeleza miradi kwa kuzingatia mkataba, aidha wakandarasi wote watano walianza utekelezaji wa miradi ndani ya muda waliopewa. Hadi hivi sasa wakandarasi bado wanaendelea na kazi ambapo malipo yenye jumla ya Tsh 334,756,697.00 hadi kufikia tarehe 30 June 2017,yamefanyika, Aidha fedha kiasi cha Tsh 232,306,699.42 Bado kilikuwa hakijapokelewa hata hivyo halmashauri ilipokea barua yenye Kumbukumbu Na.CA.228/235/01 ya tarehe 29/06/2017 ikiwa na maelekezo ya kusitisha Malipo kwa shughuli zinazoendelea vile vile kurudisha fedha zote za Miradi ya barabara katika akaunti ya Road Fund hii ni kutokana na Uanzishwaji wa Taasisi ya Wakala wa barabara Mijini na vijijini ambayo ndiyo itakuwa na wajibu wa kuratibu na kusimamia shughuli zote za barabara ndani ya Wilaya ya Longido. ii. Ofisi ya Mtendaji Ketumbeine waliwasilisha maombi ya kuandaliwa gharama za ujenzi wa Kituo cha Afya ili kutafuta Michango ya ujenzi kwa Wadau mbalimbali,Ofisi ya Mhandisi ilitembelea eneo la ujenzi na kuandaa Makisio ya ujenzi wa Jengo la OPD yenye jumla ya Tsh 242,022,530.00 iii. Idara imeendelea na usimamizi wa Mradi wa Soko la Mifugo Eworendeke (MIVARF) ambapo katika kipindi cha April-June Majengo yote yalikuwa katika hatua ya umaliziaji (Finishing) Hivi sasa Mkandarasi anaendelea na ujenzi wa mashimo ya maji taka,uwekaji wa mfumo wa umeme,na Ujenzi wa mazizi ya Mifugo pamoja na uchimbaji wa Maji unatarajiwa kuanza wiki ya kwanza ya mwezi Agosti. iv. Idara imesimamia ujenzi wa Jengo la X-Ray ambapo hivi sasa Jengo limekwishapauliwa fundi anaendelea na kazi ya kufitisha madirisha na Milango. Changamoto: ➢ Uhaba wa Maji katika maeneo ya utekelezaji wa Miradi hali inayoweza kupelekea miradi kutokukamilika kwa wakati. ➢ Uhaba wa watumishi katika idara ya ujenzi. ➢ Uhaba wa vitendea kazi [Mchanganuo wa miradi: Tazama kiambatisho ‘A’; Kurasa zinazofuata] 5 KIAMBATISHO: ‘A’ % % YA FEDHA YA FEDHA FEDHA MIRADI/ UTEK ILIYOIDH MA CHANGA MPANGO/LENGO UTEKELEZAJI ILIYOTOLEW ILIYOTUMIKA SHUGHULI ELE INI TU MOTO/ MAONI A HADI SASA ZAJI SHWA MI ZI 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Matengenezo • Kuweka ya kawaida Changarawe • Changarawe barabara ya 585m3 barabara zimewekwa Longido - ya Kitumbeine mita za ujazo Lesing'ita – Jct- 3880. Mairouwa,ma G.Lumbwa,1800 • Barabara tengenezo ya m3 barabara ya zimechongwa sehemu Longido- mchongo korofi Lesing’ita- mwepesi barabara ya Mairouwa na umbali wa Lesing’ita 1495 m3 kilomita 21.5 Mundarara barabara ya • Barabara -Uhaba wa maji katika na ujenzi wa Lesing’ita - zimechongwa eneo la utekelezaji wa Gabions Mundarara. mchongo mradi. 200,610,62 daraja la • Kuchonga mkubwa 80% 124,487,320.72 100,497,930.00 50 -Kuchelewa kwa fedha 0 Mundarara. mchongo (Heavy za mradi kutoka Road mwepesi (Light grading) Fund. grading) umbali umbali wa wa km 20.5 kilometa 8 barabara ya • Mitaro ya Longido- kutolea maji Lesing’ita- imechimbwa Mairouwa na Km 1 barabara ya Kitumbeine Jct- G.Lumbwa. • Kujenga mitaro ya kutolea maji barabarani 6 • Kujengea Gabions kingo za mto Daraja la Mundarara 84m3. • Kujaza kifusi na kujengea Gabions eneo korofi eneo la Ortinga. • Kuchonga barabara mchongo mkubwa km 5.5 barabara ya Longido- Lesing’ita - Mairouwa • • Kuchimba mifereji ya kutolea maji barabarani. • Kujenga Culvat mita 9. • Kuzibua kalvati 4 zilizoziba Matengenezo • Kuchonga • Barabara ya muda barabara imechongwa maalum mchongo urefu wa barabara ya Mkubwa km 5.5 kilometa 5.5 Mairouwa • Kuweka • Kifusi -Uhaba wa maji katika Sinonik. changarawe kimewekwa eneo la utekelezaji wa ujazo wa mita za barabarani mradi. 110,856,28 ujazo 3325. chenye ujazo 80 109,716,950.70 85,229,630.00 77 -Kuchelewa kwa fedha 0.00 • Kuchimba mitaro wa mita za za mradi kutoka Road ya kutolea maji ujazo 3325. Fund. barabarani mita • Ujenzi wa 900 kalvati • Kujenga culverts unaendelea. zenye urefu jumla mita 41. 7 • Kuchonga • Barabara Matengenezo barabara imechongwa ya muda mchongo mchongo maalum mkubwa urefu wa mkubwa urefu barabara ya km 15.5 wa kilomita Mairouwa • Kuweka 15.5 -Uhaba wa maji katika Matale changarawe • Changarawe eneo la utekelezaji wa Emurtoto barabarani mita imewekwa mradi. 175,825,19 za ujazo 5204. urefu wa 75 144,249,355.70 119,762,035.00 68 -Kuchelewa kwa fedha 2.00 • Kujenga Drift kilometa 6 za mradi kutoka Road (Kivuko) urefu wa • Ujenzi wa drift Fund. ukubwa wa na kazi 30x5.5 nyingine bado • Kuchimba mitaro zinaendelea.
Recommended publications
  • Resilience Building in Tanzania: Learning from Experiences of Institutional Strengthening Review of Learning and Early Contributions to Climate Resilient Development
    Resilience Building in Tanzania: Learning From Experiences of Institutional Strengthening Review of learning and early contributions to Climate Resilient Development Sam Greene Working Paper Climate change Keywords: May 2015 Adaptation, Tanzania, participation, HAKIKAZI CATALYST About the author Sam Greene is a consultant with IIED’s Climate Change Group. Produced by IIED’s Climate Change Group The Climate Change Group works with partners to help secure fair and equitable solutions to climate change by combining appropriate support for adaptation by the poor in low- and middle-income countries, with ambitious and practical mitigation targets. The work of the Climate Change Group focuses on achieving the following objectives: • Supporting public planning processes in delivering climate resilient development outcomes for the poorest. • Supporting climate change negotiators from poor and vulnerable countries for equitable, balanced and multilateral solutions to climate change. • Building capacity to act on the implications of changing ecology and economics for equitable and climate resilient development in the drylands. Acknowledgements Thanks to Ced Hesse, Morgan Williams, Alais Morindat and Fiona Hinchcliffe for their detailed comments, guidance and editorial feedback on various drafts of the paper. Thanks also to Anna Emmanuel, Ally Msangi, Joseph Rutabingwa and Victor Kaiza for support in Tanzania throughout the study. Finally, thanks to those participating in the study for their time and patience in answering our questions. Partner organisations The Tanzania Natural Resource Forum (TNRF) seeks to improve governance and accountability in Tanzania’s natural resource sector to achieve more sustainable rural livelihoods and better conservation outcomes. Hakikazi Catalyst is a Tanzanian economic and social justice advocacy organisation based in Arusha Published by IIED, May 2015 Sam Greene.
    [Show full text]
  • Thesis Sulumo, DJ
    Van Hall Larenstein, University of Applied Science Assessing peer educators Competencies in Mitigating AIDS impacts The case of MVIWATA Monduli A Research project Submitted to Larenstein University of Applied Sciences in Partial Fulfilment of the Requirements for the Degree of Master in Management of Development, Specialization in Rural Development and HIV/AIDS Damian James Sulumo September 2010 Wageningen The Netherlands © Copyright, Damian James Sulumo, 2010. All rights reserved ACKNOWLEDGEMENT The work of this nature would not have been possible without the considerable support from a number of individuals. It is my pleasure to acknowledge their support. I thank ALMIGHTY GOD for giving me chance and enabling me to perform this work Glory to GOD. I thank God for giving me courage, strength, and grace during my study in the Van Hall Larenstein University of Applied Sciences, Wageningen the Netherlands. I thank the Agriterra for awarding me a fellowship and the Government of Tanzania, MVIWATA Monduli for allowing me to study in the Netherlands. I sincerely thank my supervisor, Koos Kingma for suggestions; views, opinions and guidance throughout the period of doing this study were of paramount significance. The support in terms of professional inputs provided by her remains a permanent asset for undertaking other professional work in future. My unreserved gratitude goes to all lecturers in the MOD course for their important advice and encouragement during my study and in development of my research proposal and research report. Thanks for the entire Van Hall Larenstein University of Applied Sciences for their support, I will always appreciate the excellent moments we have had together.
    [Show full text]
  • Family Fortunes Analysis of Changing Livelihoods in Maasailand Final Report
    Family Fortunes Analysis of changing livelihoods in Maasailand Final report - Project ZC0275 DFID Livestock Production Programme K. Cochrane, D. Nkedianye, E. Partoip, S. Sumare, S. Kiruswa, D. Kaelo, L. Onetu, M. Nesele, M. Said, K. Homewood, P. Trench, R. S. Reid and M. Herrero DFID LPP Project ZC0275 Family Fortunes Analysis of Changing Livelihoods in Maasailand K. Cochrane1, D. Nkedianye1, E. Partoip1, S. Sumare1, S. Kiruswa1, D. Kaelo1, L. Onetu1, M. Nesele1, M. Said1, K. Homewood1,2, P. Trench1,2, R. S. Reid1 and M. Herrero1,3 1International Livestock Research Institute, P.O. Box 30709, Nairobi, Kenya 2Department of Anthropology, University College London, Gower Street, London WC1E 6BT, UK 3School of GeoSciences, The University of Edinburgh, West Mains Road, Edinburgh EH9 3JG, Scotland © International Livestock Research Institute, Nairobi, Kenya © Livestock Production Programme, DFID, United Kingdom Disclaimer: This document is an output of Project ZC0275 funded by the Livestock Production Programme of the Department for International Development (LPP – DFID) of the British Government. The views expressed in this document are the sole responsibility of the authors and may not represent the views of the donor. Correct Citation: Cochrane, K., Nkedianye, D., Partoip, E., Sumare, S., Kiruswa, S., Kaelo, D., Onetu, L., Nesele, M., Said, M., Homewood, K., Trench, P., Reid, R.S., and Herrero, M. 2005. Family Fortunes: Analysis of Changing Livelihoods in Maasailand. Final Project Report ZC0275. Livestock Production Programme. Department for International Development, United Kingdom. 261 pages For more information: Dr. Mario Herrero. International Livestock Research Institute, P.O. Box 30709, Nairobi, Kenya. [email protected] 2 DFID LPP Project ZC0275 I.
    [Show full text]
  • Land Policy and the Maasai in Tanzania: the Demise of Pastoralism?
    Land Policy and the Maasai in Tanzania: The Demise of Pastoralism? A Research Paper presented by: LILIAN JOSEPH LOOLOITAI Tanzania in partial fulfillment of the requirements for obtaining the degree of MASTER OF ARTS IN DEVELOPMENT STUDIES Major: Agrarian and Environmental Studies AES Members of the Examining Committee: Professor Dr. Max Spoor Dr. Mindi Schneider The Hague, The Netherlands December 2014 ii Dedication This paper is dedicated to my family and to the entire Maasai community in Tanzania who need my full commitment and determination to serve them as long as I live. iii Acknowledgements This research paper is the outcome of a reflection process based on personal experience, contribution from many people and different support from the fieldwork as well as intensive reading of the works of a substantial number of authors who are listed in the references. My greatest debt is to my supervisor, Professor Dr. Max Spoor, who has given me a boundless support and guidance. Continuously you shaped my thoughts tirelessly away from my wild ideas. You are an inspirational professor and I shall cherish knowing you. Dr. Mindi, thank you for being my second reader, for sure, you have guided and given me constructive and critical com- ments that have shaped my ideas in this paper. I must also thank my fellow classmate Nick Bourguignon, who accepted to be my discussant from the be- ginning up to the end of this interesting journey. I appreciate deeply by show- ing the interest of listening on the issues of pastoralists, who are globally less recognized in all aspects of political economy.
    [Show full text]
  • Fund Shall Maintain a Register of Universal Service Provision Which Shall Include the Following
    UNIVERSAL COMMUNICATIONS SERVICE ACCESS FUND PUBLIC REGISTER OF UNIVERSAL SERVICE PROVISION 1. INTRODUCTION The Government of the United Republic of Tanzania established the Universal Communications Service Access Fund (the Fund) to promote universal access to information and communications technology services in Tanzania. The Fund is responsible for enabling accessibility and participation by communication operators in the provision of communication services, with a view to promoting social, economic development of the rural and urban underserved areas; to provide for availability of communication services by establishing a legal framework for universal service providers to meet the communication needs of consumers. Section 15 of The Universal Communications Service Access Act, 2006 provides designation of universal service providers. Regulation 28(1) of the UCSAF’s Regulations of 2009 states that The Fund shall maintain a register of universal service provision which shall include the following:- a) Designated service providers; b) A list of licensees contributing to the Fund; and c) A list of information required by the Fund when determining designated universal service providers. Following this requirement, the Fund has developed this register that is subject to update from time to time. 1 2. DESIGNATED SERVICE PROVIDERS The following section presents designated service providers for universal service provision. These are mainly mobile operator service providers whose main responsibility is to extend mobile communication in rural and urban underserved areas of the country. Through the subsidy provided by the Fund, currently 992 wards will receive communication service through these designated service providers as indicated in Annex 1 of this register. In addition, other projects including school connectivity are included starting from Annex 1A to annex 1I.
    [Show full text]
  • Tanzania School Location & Performance
    Tanzania School Location & Performance code name district region PS0302-105 Saint Gaspar Dodoma Municipal Dodoma PS0508-098 Irene And Rebeca Primary Missenyi Kagera School PS1305-120 Isela Primary School Misungwi Mwanza PS1009-002 Bujesi Primary School Busokelo Mbeya PS1601-090 Mitomoni Primary School Mbinga Ruvuma PS2701-002 Bariadi Alliance Eng Med Bariadi Simiyu School PS1701-082 Kagera Primary School Kahama Shinyanga S3787 Mabui Secondary School Musoma Mara PS1705-111 Puni Primary School Shinyanga Shinyanga PS1803-040 Mayuta Primary School Singida Singida S5043 Mwaselela Secondary School Mbeya Municipal Mbeya PS1902-069 Mahene Primary School Nzega Tabora PS2001-098 Nkumba Primary School Handeni Tanga PS2001-192 Kwachigwe Primary School Handeni Tanga PS2003-102 Mkulumuzi Primary School Lushoto Tanga PS2403-011 Golden Valley Primary School Geita Geita PS2404-062 Katoma Primary School Geita Geita Page 1 of 2904 10/02/2021 Tanzania School Location & Performance percentage_pass national_rank 100 245 100 517 44.73684211 6132 30.6122449 9056 11.76470588 13129 100 9 0 14925 61 3441 68.18181818 4175 66.66666667 4396 27 4027 0 15561 40 10517 64 3966 48.38709677 6797 100 48 50 7031 Page 2 of 2904 10/02/2021 Tanzania School Location & Performance candidates_last number_pass_last 35 0 32 13 40 8 32 15 50 1 20 2 37 22 Page 3 of 2904 10/02/2021 Tanzania School Location & Performance percentage_pass_last national_rank_last 0 14644 40.625 20 3663 7315 46.875 3460 2 14607 10 12068 59.45945946 2736 Page 4 of 2904 10/02/2021 Tanzania School Location &
    [Show full text]
  • 2012 Population and Housing Census
    The United Republic of Tanzania 2012 POPULATION AND HOUSING CENSUS Population Distribution by Administrative Areas National Bureau of Statistics Ministry of Finance Dar es Salaam and Office of Chief Government Statistician President’s Office, Finance, Economy and Development Planning Zanzibar March , 2013 Foreword The 2012 Population and Housing Census (PHC) for United Republic of Tanzania was carried out on the 26th August, 2012. This was the fifth Census after the Union of Tanganyika and Zanzibar in 1964. Other Censuses were carried out in 1967, 1978, 1988 and 2002. The 2012 PHC, like others, will contribute to the improvement of quality of life of Tanzanians through the provision of current and reliable data for development planning, policy formulation and services delivery as well as for monitoring and evaluating national and international development frameworks. The 2012 PHC is unique in the sense that, the information collected will be used in monitoring and evaluating the Development Vision 2025 for Tanzania Mainland and Zanzibar Development Vision 2020, Five Year Development Plan 2011/12 – 2015/16, National Strategy for Growth and Reduction of Poverty (NSGRP) commonly known as MKUKUTA and Zanzibar Strategy for Growth and Reduction of Poverty (ZSGRP) commonly known as MKUZA. The census will also provide information for the evaluation of the Millennium Development Goals (MDGs) in 2015. The Poverty Monitoring Master Plan, which is the monitoring tool for NSGRP and ZSGRP, mapped out core indicators for poverty monitoring against the sequence of surveys, with the 2012 Census being one of them. Several of these core indicators for poverty monitoring will be measured directly from the 2012 Census.
    [Show full text]
  • Lake Natron Cost Benefit Analysis
    A COMPARATIVE STUDY OF COSTS AND BENEFITS OF SODA ASH MINING AND PROMOTION OF ECOTOURISM AND SUSTAINABLE USE OF NATURAL RESOURCES IN LAKE NATRON BASIN, TANZANIA FINAL REPORT Reuben M.J. Kadigi Freddy T. Kilima Japhet J. Kashaigili Financed by: - i - 16/05/2012 ACKNOWLEDGEMENTS The authors of this report wish to acknowledge with appreciation the BirdLife International and the Wildlife Conservation Society of Tanzania (WCST) for facilitating the Cost Benefit Analysis (CBA) study in Lake Natron area. Sincere acknowledgements are due to Dr. Julius Arinaitwe, the Regional Director - BirdLife International Africa Partnership Secretariat; Mr. Ken Mwathe, the Project Manager, Lake Natron Conservation Project and Coordinator, Lake Natron Consultative Group; Ms. Jane Gaithuma, the Programme Manager – Regional Policy and Advocacy; Mr. Ademola Ajagbe, the Programme Manager – Science and IBA Conservation Programme; Mr. Paul Kariuki Ndang’ang’a, the Programme Manager – Species Programme; and Ms. Rodah Owako, the Project Officer – EACF Consolidating Biodiversity Data and Information Project, at the Birdlife International Africa Partnership Secretariat, icipe campus in Nairobi Kenya; and Ms. Victoria Ferdinand, the then Ag. CEO of WCST; Mr. Stephen Mmassy, the Policy and Advocacy Officer of WCST; and Mr. Peter Mziray, the Chairperson of the Science and Project Sub-Committee of WCST Ex-Com for their inputs and for facilitating the various administrative issues to ensure that the study is successfully conducted. The authors would also wish to acknowledge Mr. Stephen Runana, the Principal Engineer for Lake Natron, National Development Cooperation (NDC) in Dar Es Salaam Tanzania; Mr. Michael Odera, the Managing Director of TaTa Chemicals Magadi Limited in Kajiado, Kenya; Mr.
    [Show full text]
  • PICSA) Implementation, Dodoma and Arusha, Tanzania
    Workshop report: Planning and Review Days on Participatory Integrated Climate Services for Agriculture (PICSA) Implementation, Dodoma and Arusha, Tanzania February 2016 Sixbert Mwanga Juvenal Kisanga Dannie Dinh Planning and Review Days on Participatory Integrated Climate Services for Agriculture (PICSA) Implementation Dodoma and Arusha, Tanzania, November 2015 Workshop Report CGIAR Research Program on Climate Change, Agriculture and Food Security (CCAFS) Sixbert Mwanga Juvenal Kisanga Dannie Dinh 1 Correct citation: Mwanga S, Kisanga J, and Dinh D. 2016. Planning and Review Days on Participatory Integrated Climate Services for Agriculture (PICSA) Implementation in Dodoma and Arusha, Tanzania. CCAFS Workshop Report. CGIAR Research Program on Climate Change, Agriculture and Food Security (CCAFS). Copenhagen, Denmark. Available online at: www.ccafs.cgiar.org CCAFS Workshop Reports aim to disseminate interim climate change, agriculture and food security research and practices and stimulate feedback from the scientific community. Published by the CGIAR Research Program on Climate Change, Agriculture and Food Security (CCAFS). CCAFS is a strategic partnership of the CGIAR and the Earth System Science Partnership (ESSP). CGIAR is a global research partnership for a food secure future. The program is supported by the Canadian International Development Agency (CIDA), the Danish International Development Agency (DANIDA), the European Union (EU), and the CGIAR Fund, with technical support from the International Fund for Agricultural Development (IFAD). Contact: CCAFS Coordinating Unit - Faculty of Science, Department of Plant and Environmental Sciences, University of Copenhagen, Rolighedsvej 21, DK-1958 Frederiksberg C, Denmark. Tel: +45 35331046; Email: [email protected] Creative Commons License This Workshop Report is licensed under a Creative Commons Attribution – NonCommercial– NoDerivs 3.0 Unported License.
    [Show full text]
  • Arusha Region Medium-Term Plan 1981/82-1985/86
    W27II , ' 7 ARUSHA REGION / (L5 INTEGRATED DEVELOPMENT PLAN VOLUME THREE ARUSHA REGION MEDIUM-TERM PLAN 1981/82-1985/86 Prepared By THE REGIONAL DEVELOPMErAT DIRECTORATE ARUSHA REGION With The Assistanc. Of THE ARUSHA PLANNING AND VILLAGE DEVELOPMENT PROJECT Regional Commissioner's Office Arusha Region P.O. Box 3050 ARUSHA September 1981 THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA OFFICE OF THE PRIME MINISTER Regional Development Directorate, Arusha Telegrams: "REGCC" REGIONAL CG(MISSIONER'S OFFICE, P.O. Box 3050, Telephone: 2270-4 ARUSHA 18th December, 1982 During the four year period beginning in July 1979 Arusha Region has been assisted by the USAID-sponsored Arusha Planning and Village Development Project in the implementation of a large number of village development activities and in the preparation of the Region's Integrated Development Plan. It is a great pleasure to me that this Plan has now been completed and that I am able to write this short forward. The Arusha Region Integrated Development Plan includes a comprehensive description of the current status of development in the Region, an analysis of constraints to future development, and the strategies and priorities that the Region has adopted for guiding its future development. It also includes a reviey of projects in the Region's Five Year Development Plan as well as priority projects for long term investments. The preparation of the Plan has involved many meetings at the Regional, District and village level, and the goals, strategies, objectives and priority projects included in the Plan fully represent the decisions of the officials involve in those meetings. I am confident that the Plan will provide a very useful frame of reference for guiding the economic and social development of Arusha Region over both the medium-term five year period and the next 20 years.
    [Show full text]
  • Contribution of Tourism FDI to Poverty Alleviation: a Selected Case from Hunting Safaris in Tanzania
    Business Management Review Vol.18 No.2 Contribution of tourism FDI to poverty alleviation: A selected Case from hunting safaris in Tanzania Wineaster Anderson1 and Grace Nicodemus2 Abstract This study assesses the contribution of tourism-based foreign direct investment to poverty alleviation using the single case-study method. It focuses on income generation, natural resources and environmental conservation, technology transfer to the local community, human capital development, and access to health and water services, job creation and economic empowerment for conservation as its contribution to poverty alleviation. Forty-four (44) companies were granted hunting licences in 2014. Of the companies, Tanzania Game Trackers Safari (TGTS) operates in 125 villages in Tanzania—a wider coverage than that of other companies. Therefore, this study took TGTS as the case and conducted in-depth interviews in 45 villages in areas where this company operates. For representativeness, the villages were picked from five different wards, namely, Moyowozi Game Reserve, Mwiba Wildlife Reserve, Lake Natron Game Controlled Area, Ugalla Game Reserve and Maswa Game Reserve. The respondents constituted two government officials from the Wildlife Division of Tanzania, the project coordinator, two field officers and one representative from nearby villages. The study results show that some of TGTS’ profits go to the communities in or adjacent to the protected areas, as it engages rural communities in conserving and preserving the protected areas, and contributes to poverty alleviation through village banks, student sponsorship, library support, construction of dispensaries and school dormitories, environmental education and tree nursery programmes. On the basis of these findings, it can be concluded that well supervised and managed inflow of FDI into strategic sectors can have a positive impact on livelihoods of individual communities.
    [Show full text]
  • MACHAGUO LONGIDO 22.Pdf
    HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2020 A: SHULE ZA BWENI SHULE ZA UFAULU MZURI ZAIDI/UFUNDI/KAWAIDA 1. WAVULANA NAMBA YA NA MTAHINIWA JINA LA MTAHINIWA SHULE ATAKAYO SHULE AENDAYO ALAMA DARAJA 1 PS0104019-047 SAMWEL LENDETU NDOIPO SINYA ILBORU 229 A 2 PS0104019-027 KITAANI OYOHO PERIA SINYA TANGA TECH 228 A 3 PS0104019-004 ANDREA ROBERT LOTH SINYA TANGA TECH 228 A 4 PS0104019-019 JAMES FLORENCE TESHA SINYA BALANGDALALU 228 A SHULE ZA UFAULU MZURI ZAIDI/ KAWAIDA 1. WASICHANA NAMBA YA NA MTAHINIWA JINA LA MTAHINIWA SHULE ATAKAYO SHULE AENDAYO ALAMA DARAJA 1 PS0104019-075 NAMNYAKI MOSSES NDOIPO SINYA KILAKALA 229 A 2 PS0104019-079 NDIRATI ATUMA SARIJORI SINYA KOROGWE 227 A B: SHULE ZA SEKONDARI ZA BWENI/KUTWA 1. SHULE YA SEKONDARI LONGIDO i. WAVULANA NAMBA YA NA JINA LA MTAHINIWA SHULE ATAKAYO SHULE AENDAYO ALAMA DARAJA MTAHINIWA 1 PS0104019-008 BARAKA SARUNI ALAIS SINYA LONGIDO 228 A 2 PS0104019-048 SANGARI TAIKO KITISYA SINYA LONGIDO 228 A 3 PS0104019-002 AMANI AYUBU GOODLUCK SINYA LONGIDO 227 A 4 PS0104019-013 DICKSON LAURENT ATHANAS SINYA LONGIDO 227 A 5 PS0104019-028 KUYANI LOMAYANI MATIPEI SINYA LONGIDO 227 A 6 PS0104019-037 MELUBO LEKENI SIRONGA SINYA LONGIDO 227 A 7 PS0104019-043 PIUS MARKO ISACK SINYA LONGIDO 227 A 8 PS0104019-046 SAMWEL FRANK SHAUSHI SINYA LONGIDO 227 A 9 PS0104019-056 WILFRED ISACK KISIOKI SINYA LONGIDO 227 A 10 PS0104019-001 ABEDNEGO GABRIEL EMANUEL SINYA LONGIDO 226 A 11 PS0104019-003 AMANI SANINGO LEKUKWO SINYA LONGIDO 226 A 12 PS0104019-007 BARAKA JULIUS MICHAEL
    [Show full text]