YA MATOKEO YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2017 NA UCHAGUZI WA WANAFUNZI WATAKAOINGIA KIDATO CHA KWANZA JANUARI, 2018 MKOA WA ARUSHA

1.0:UTANGULIZI

Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) 2017 ulifanyika nchini kote tarehe 06 na 07, Septemba. Masomo yaliyotahiniwa ni; Kiswhili, English, Maarifa ya Jamii, Hisabati na Sayansi.

Shule za Msingi zilizofanya Mtihani katika Mkoa wa Arusha ni 646 Kati ya shule hizo, shule za mfumo wa Kiingereza ni 139 na za mfumo wa Kiswahili ni 507. Watahiniwa waliosajiliwa ni 38,560 ambapo wavulana ni 18,693 na wasichana 19,867. Kati yao wanafunzi wenye ulemavu na mahitaji maalumu ni wavulana 34 na wasichana 23 jumla yao ni 57.

2.0 ; MAHUDHURIO YA WATAHINIWA

Mahudhurio ya watahiniwa waliosajiliwa kufanya mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) 2017 ikilinganishwa na mwaka 2016 ni kama ilivyoanishwa katika jedwali Na.1

Jedwali Na. 1: Waliosajiliwa na kufanya Mtihani. MWAK JINSI WALIOSAJILIW WALIOFANY WASIOFANY % A A A A 2016 WAV 16,474 16,422 52 99.6 WAS 18,454 18,360 94 99.4 JUML 99. A 34,928 34,782 146 7 2017 WAV 18,693 18,562 131 99.5

1

WAS 19,867 19,744 123 99.4 JUML 99. A 38,560 38,306 254 4 Jedwali linaonesha kuwa kuna ongezeko la wanafunzi 3,500 waliosajiliwa na kufanya mtihani mwaka 2017 ikilinganishwa na wale waliosajiliwa na kufanya mtihani huo mwaka 2016. Ongezeko hili limetokana na kuongezeka kwa idadi ya shule.

2.1 Wanafunzi Walioandikishwa Darasa la kwanza na kumaliza Elimu ya Msingi.

Eneo linalostahili kupewa umuhimu wa kipekee na Halmashauri zote na Mkoa kwa ujumla hasa kwenye Halmashauri za wafugaji ni idadi kubwa ya wanafunzi wanaoshindwa kukamilisha kipindi chao cha miaka saba shuleni baada ya kuandikishwa kuanza darasa la I. (Completion rate). Mfano kwa kipindi cha miaka 3 mfululizo takwimu za idadi ya wanafunzi walioanza darasa la kwanza ikilinganishwa na waliofanikiwa kumaliza darasa la saba kimkoa ni kama ifuatavyo:

Jedwali Na.2. Walioandikishwa na waliomaliza Elimu ya Msingi.

WALIOFANYA COMPLETIO MWAK WALIOANDIKISHW MWAK MTIHANI (PSLE) N RATE A A DRS I A WAV WAS JML WAV WAS JML 2009 20554 20564 41,11 2015 15868 18030 33,89 82% 8 8 2010 21474 21411 42,88 2016 16,42 18,36 34,78 81% 5 2 0 2 2011 22980 22703 45,68 2017 18,56 19,74 38,30 84% 3 2 4 6

2

Kwa takwimu hizi ni wazi kwamba kila Halmashauri ina wajibu wa kuhakikisha suala la utoro linadhibitiwa kwa kujiwekea mikakati endelevu na inayotekelezeka ili wastani wa 18% ya wanafunzi walioandikishwa shule waweze kukamilisha mzunguko wa elimu wa

HALMASHA WALIOANZA DARASA LA WALIOSAJILIWA PSLE WALIOFANYA MTIHANI WASIOFANYA % URI KWANZA 2011 2017 2017 MTIHANI 2017 WAV WAS JML WAV WAS JML WAV WAS JML WA WAS JML V ARUSHA 22 23 45 99.4 DC 4479 4759 9238 3558 4118 7676 3537 4094 7631 ARUSHA 16 16 32 99.7 JIJI 5285 5384 10669 5173 5432 10605 5161 5417 10578 KARATU 3055 3223 6278 2468 2832 5300 2441 2814 5255 26 16 42 98.7 LONGIDO 1377 1162 2539 940 823 1763 931 819 1750 9 4 13 97.0 MERU 3858 4000 7858 3496 3803 7299 3463 3765 7228 35 36 71 99.0 MONDULI 2252 2123 4375 1510 1561 3071 1506 1546 3052 4 15 19 99.3 NGORONG 26 10 36 98.7 ORO 2674 2052 4726 1548 1298 2846 1523 1289 2812 JUMLA 22980 22703 45683 18693 19867 38560 18562 19744 38306 138 120 258 99.3 miakasaba.

Aidha mchanganuo kwa kila Halmashauri kwa walioanza darasa la kwanza mwaka 2011 na kuhitimu Elimu ya Msingi mwaka 2017 imechanganuliwa kwenye Jedwali Na; 3: Walioandikishwa na kufanya Mtihani Kihalmashauri

3.0: MATOKEO YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2017

3.1: Ufaulu kwa Ujumla;

Ufaulu wa jumla wa watahiniwa waliofanya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya msingi (PSLE) 2017 ikilinganishwa na mwaka 2016 ni kama ilivyoainishwa katika jedwali namba 4:

3

Jedwali Na. 4: Ufaulu kwa Madaraja:

JUMLA YA WALIOFAULU WENYE MWAKA JINSI WALIOFANYA (GREDI A-C) % (GREDI D- % NAMBA % E) 2016 WAV 16,422 99.7 12,583 77.58 3,839 22.42 WAS 18,360 99.9 14,401 3,959 JML 34,782 99.7 26,984 7,798 2017 WAV 18,562 99.3 14,215 77.34 4,346 22.66 WAS 19,744 99.4 15,409 4,336 JML 38,306 99.4 29,624 8,682 Idadi ya watahiniwa waliofaulu Mtihani huo kwa kupata daraja A hadi C (alama 250 – 100) ni 29,624 (Wav 14,215 na was 15,409) sawa na silimia 77.34 ya watahiniwa waliofanya Mtihani. Watahiniwa 8,682 (wav 4,346 na was 4,336) sawa na asilimia 22.66 ya wanafunzi waliofanya mtihani wamepata daraja D hadi E- alama kati ya 99 – 0, hivyo kukosa sifa ya kuchaguliwa kujiunga na masomo kidato cha kwanza mwaka, 2018 katika Shule za Serikali.

Ufaulu wa mwaka 2017 umepungua kwa 0.24% ikilinganishwa na ufaulu wa mwaka 2016 ambapo ulikuwa 77.58%. Hata hivyo kuna ongezeko kwenye wastani wa alama za ufaulu ikilinganishwa na mwaka jana. Mwaka 2016 wastani wa alama za ufaulu ulikuwa ni 127.68 lakini mwaka huu wa 2017 wastani wa ufaulu umepanda na kufikia alama 128.25. Aidha, asilimia ya ufaulu wa wanafunzi kwa miaka mitano mfululizo kuanzia mwaka 2013 ni kama inavyofafanuliwa kwenye kielelezo mhimili kifuatacho.

4

Asilimia ya ufaulu kwa kila Halmashauri kwa miaka mitatu mfululizo imeainishwa kwenye Jedwali namba 4 hapa chini.

Jedwali Na. 5: Ufaulu kwa Halmashauri

NA HALMASHAURI ASILIMIA YA UFAULU ONGEZ KUSHUKA % 2015 2016 2017 EKO % 1 ARUSHA 90.05 86.36 71.88 - 14.48 2 ARUSHA JIJI 92.71 92.46 92.52 - 0.06 3 KARATU 65.00 65,34 69.25 3.94 - 4 LONGIDO 68.76 56.36 74.00 17.64 - 5 MERU 67.52 65.46 75.00 9.54 - 6 MONDULI 70.61 71.72 69.86 - 1.86 7 NGORONGORO 73.45 67.41 69.29 - 1.88 MKOA 79.67 77.58 77.34 - 0.24

5

3.2: Ufaulu Kimadaraja;

Ufaulu wa wanafunzi katika madaraja ya A-C umeongezeka kutoka wanafunzi 26,984 mwaka 2016 hadi wanafunzi 29,624 mwaka 2017. Halmashauri iliyoongoza kwa kuwa na wanafunzi waliopata daraja “A” ni Arusha Jiji kwa kuwa na watahiniwa 880 (8.37%). Halmashauri iliyo na watahiniwa wachache waliopata daraja ‘A” ni Longido kwa idadi ya watahiniwa 32.

Aidha, Halmashauri iliyoongoza kwa kuwa na watahiniwa waliopata daraja “E” ambalo ni la mwisho kwa ufaulu ni Karatu kwa kuwa na wanafunzi 166 na Halmashauri yenye wanafunzi wachache waliopata daraja “ E” ni Arusha Jiji yenye wanafunzi 17 waliopata daraja “ E”

6

Jedwali Na.6 (a) Madaraja ya Ufaulu;

A B C D E H/ W WAV WAS JML WAV WAS JML WAV WAS JML WAV WAS JML WAV WAS JML

ARUSHA 137 104 241 633 650 1283 1741 2220 3961 960 1067 2027 65 54 119

ARUSHA (J) 481 399 880 1797 1896 3693 2468 2746 5214 402 372 774 13 4 17

KARATU 63 42 105 538 524 1062 1060 1412 2472 665 785 1450 115 51 166

LONGIDO 17 15 32 324 298 622 337 305 642 191 162 353 62 39 101

MERU 118 90 208 533 568 1101 1873 2239 4112 889 842 1731 50 26 76

MONDULI 26 9 35 161 130 291 900 906 1806 386 471 857 33 30 63

NGORONGORO 26 25 51 445 344 789 537 487 1024 412 374 786 103 59 162

JUMLA 868 684 1552 4431 4410 8841 8916 10315 19231 3905 4073 7978 441 263 704

7

3.3. Wanafunzi Wenye Mahitaji Maalum.

Katika mtihani wa kumaliza elimu ya msingi mwaka 2017, jumla ya wanafunzi 57 waliosajiliwa na kufanya mtihani, walikuwa ni wanafunzi wenye mahitaji maalumu. Wanafunzi hao walikuwa ni; ulemavu wa Viungo (29), Ukiziwi (13), uoni hafifu (Albino) (13), na Wasioona (2). Kati ya waliofanya mtihani, waliofaulu ni 33. Wanafunzi wote waliofaulu wamepangiwa kwenda kwenye shule za bweni zenye miundombinu inayowawezesha kusoma bila ya kuathiriwa na changamoto za ulemavu walionao.

Jedwali Na.6: (b) Wanafunzi wenye Ulemavu

S/N H/W WALIOSAJILIWA WALIOFANYA WALIOFAULU % WAV WAS JML WAV WAS JML WAV WAS JML 1 ARUSHA DC 4 3 7 4 3 7 2 0 2 28 2 ARUSHA JIJI 11 9 20 11 9 20 9 10 19 95 3 KARATU 2 24 2 24 1 0125 4 LONGIDO 2 0 2 2 0 2 2 0 2 100 5 MERU 4 8 12 4 8 12 2 4 6 50 6 MONDULI 3 0 3 3 0 3 0 0 0 0 7 NGORONGORO 8 1 9 8 1 9 3 0 3 33 JUMLA 34 23 57 34 23 57 19 14 33 58

3.4. Nafasi za Halmashauri na Mkoa Kitaifa;

Nafasi za Halmashauri na Mkoa kitaifa inaonesha kwamba Mkoa umepanda kwa nafasi moja ikilinganishwa na matokeo ya mwaka 2016. Hata hivyo zipo Halmashuri zilizopanda na zilizoshuka kama ilivyoainishwa kwenye jedwali namba saba hapa chini.

8

Jedwali na. 7: Nafasi ya Mkoa na Halmashauri Kitaifa;

S/N NAFASI NAFASI KITAIFA NAFASI NAFASI KWA MWAKA MWAKA ZA ZA MKOA 2016 2017 KUPANDA KUSHUKA HALMASHAURI 2017 LGA 184 LGA 184 1 ARUSHA DC 4 18 91 - 73 2 ARUSHA JIJI 1 3 3 - - 3 KARATU 6 120 112 8 - 4 LONGIDO 3 159 77 82 - 5 MERU 2 119 72 47 - 6 MONDULI 5 87 106 - 19 7 NGORONGORO 7 108 132 - 24 MKOA 8/26 7/26 1 -

3.5: WANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI

Matokeo ya mtihani wa kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) 2017 yameonyesha kuwa, mwanafunzi wa kwanza kwa wavulana na wasichana ni Mvulana ambaye ametoka Halmashauri ya Jiji la Arusha katika Shule ya Msingi UHURU PEAK. Mwanafunzi huyo ni;

PS0102095-013 – Johnson Philip Kessy (Mvulana) aliyepata jumla ya alama 233 – KISW 48-A, ENG 50-A, M’FA 44 –A, HISB 47-A, SCE 44-A, JUML- 233-A.

Mwanafunzi wa kike wa kwanza ametoka Halmashauri ya Jiji .katika shule ya Msingi IMANI. Mwanafunzi huyo ni;

PS0102033-127 - MARYSTELLA COSMAS LYMO (Msichana) aliyepata alama 232. KISW 48-A, ENG 47 – A, M’FA – 46 A, HISB 47 – A, SCE 44 – A. JUML- 232

Katika matokeo ya mwaka 2017 wanafunzi 10 Bora kwa wavula na wasichana wametoka katika Halmashauri 3 ambazo ni Jiji 7; Monduli 2; na Meru 1.

9

Kwa wasichana pekee wanafunzi kumi (10) bora wametoka katika halmashauri 3 zifuatazo; Meru, 1,Jiji, 6, Arusha DC, 3.

Kwa upande wa wavulana pekee Halmashauri inayoongoza kutoa wanafunzi kumi (10) Bora ni: Jiji 5; Monduli 2; Arusha DC; 2 na Longido 1.

Ni muhimu kuthamini na kutambua juhudi za vijana hawa, walimu wao, wazazi/walezi wao na wote walishiriki katika kufikia mafanikio hayo. Hali hii inapaswa kuigwa na shule zingine zote hasa zile za serekali kwa kuwa wanafunzi wote hawa wanatoka kwenye shule zisizo za serekali.

Pamoja na ufaulu wa jumla wa asilimia 77.34 Kimkoa, takwimu za matokeo ya PSLE 2017 zinaonesha kuwa watahiniwa wasichana wamefanya vizuri zaidi kuliko wavulana kwa Halmashauri zote isipokuwa Halmashauri ya Monduli. Ufaulu wa wasichana ni 78.04% na wavulana ni 76.58%. Tofauti ya 1.46%. HONGERA SANA WATAHINIWA WASICHANA 2017

Mchanganuo wa ufaulu ni kama ulivyoainishwa kwenye Jedwali lifuatalo;

Jedwali na 8 Ufaulu wa Wasichana na Wavulana Kwa Asilimia;

Jedwali Na. 8: Ufaulu kwa jinsi. IDADI YA WANAFUNZI WALIOFAULU A ‐ C % YA UFAULU HALMASHAURI WAV WAS JML WAV WAS JML WAV WAS ARUSHA 3537 4094 7631 2511 2974 5485 70.99 72.64 ARUSHA (J) 5161 5417 10578 4746 5041 9787 91.96 93.06 KARATU 2441 2814 5255 1661 1978 3639 68.05 70.29 LONGIDO 931 819 1750 678 618 1296 72.82 75.46 MERU 3463 3765 7228 2524 2897 5421 72.88 76.95 MONDULI 1506 1546 3052 1087 1045 2132 72.18 67.59 NGORONGORO 1523 1289 2812 1008 856 1864 66.19 66.41 JUMLA 18562 19744 38306 14215 15409 29624 76.58 78.04

Pamoja na taarifa ya wanafunzi waliofanya vizuri, pia wapo wanafunzi waliofanya vibaya katika mtihani huo. Katika takwimu za wanafunzi 10 duni

10

kwa wavulana na wasichana katika Mkoa ni Halmashauri ya Jiji pekee haina wanafunzi hao.

(a) WANAFUNZI (10) BORA WALIOFANYA VIZURI ZAIDI KITAALUMA

Jedwali Na. 9 (a) Wanafunzi 10 Bora kwa Wavulana na Wasichana

ALAM NAFAS NAFA A N NAMBA YA JINA LA JINS SHULE HALMAS I SI (KATI A MTAHINIWA MTAHINIWA I ATOKAYO HAURI KIWIL KIMK YA AYA OA 250) JOHNSON PHILIP PS0102095-013 KESSY 1 MV UHURU PEAK JIJI 233 1 1 ISAAC CHARLES PS0106051-018 MWAKIMBOLA MWALIMU 2 MV ANNA MONDULI 232 1 2 BRIGHTON PIUS PS0106051-006 RWIZA MWALIMU 3 MV ANNA MONDULI 232 2 3 MARYSTELLA PS0102033-127 COSMAS LYIMO 4 MS IMANI JIJI 232 2 4 GLORIA ZABLON PS0105124-026 OSIMA 5 MS TENGERU MERU 232 1 5 SARAFINA EMMANUELY PS0102100-122 BARNABAS 6 MS ST. JUDE JIJI 231 3 6 IBRAHIM SIRAJI PS0102116-008 HASSAN 7 MV DOMINION JIJI 231 4 7 PS0102073-069 SEURI KALAI TIPAI ARUSHA 8 MV ALLIENCE JIJI 231 5 8 SIMON EMMANUEL PS0102064-017 FREDY 9 MV NALOPA JIJI 230 6 9 HAPPINESS GERVAS PS0102100-079 TARIMO 10 MS ST. JUDE JIJI 230 7 10

11

9 (b) Wanafunzi 10 Bora katika kundi la Wasichana Pekee. HALMASHA NAFASI NAMBA YA SHULE S/N JINA LA MTAHINIWA URI SHU HALMA ALAMA DARAJA MTAHINIWA ATOKAYO MKOA ATOKAKO LE SHAURI MARYSTELLA COSMAS 1 PS0102033-127 LYIMO ARUSHA JIJI IMANI 1 1 4 232 A GLORIA ZABLON 2 PS0105124-026 OSIMA MERU TENGERU 1 1 5 232 A SARAFINA EMMANUELY 3 PS0102100-122 BARNABAS ARUSHA JIJI ST JUDE 1 2 6 231 A HAPPINESS GERVAS 4 PS0102100-079 TARIMO ARUSHA JIJI ST JUDE 2 3 10 230 A MKUNDE JORAM GREEN 5 PS0101012-068 KARANJA ARUSHA DC ACRES 1 1 14 229 A ASELINA JOHN GREEN 6 PS0101012-048 SAWERE ARUSHA DC ACRES 5 2 25 228 A 7 PS0102046-107 VICKY JOFREY MJEMA ARUSHA JIJI HADY 1 4 21 228A ELIZABETH AMOS LUCKY 8 PS0102080-048 BUPUNGA ARUSHA JIJI VICENT 2 5 24 228 A NELUSIGWE GWAKISA 9 PS0105124-032 MWASAGA MERU TENGERU 2 2 19 228 A 10 PS0102100-097 LOYCE PETER MSUWA ARUSHA JIJI ST JUDE 4 6 28 227 A

12

9 (c) Wanafunzi 10 Bora katika kundi la Wavulana Pekee HALMASHA NAFASI ALAMA NAMBA YA S/N JINA LA MTAHINIWA URI SHULE ATOKAYO SHUL HALMASHA MKOA A MTAHINIWA ATOKAKO E URI 1 PS0102095-013 JOHNSON PHILIP KESSY JIJI UHURU PEAK 1 1 1 233 2 ISAAC CHARLES 232 2 PS0106051-018 MWAKIMBOLA MONDULI MWALIMU ANNA 1 1 3 PS0106051-006 BRIGHTON PIUS RWIZA MONDULI MWALIMU ANNA 2 2 3 232 4 PS0102116-008 IBRAHIM SIRAJI HASSAN JIJI DOMINION 1 2 7 231 5 ARUSHA 231 8 PS0102073-069 SEURI KALAI TIPAI JIJI ALLIANCE 1 3 6 PS0102064-017 SIMON EMMANUEL FREDY JIJI NALOPA 1 4 9 230 7 PS0104034-003 BLESSED RAFAEL SAIGARAI LONGIDO ST THERESA 1 1 11 230 8 PS0101012-033 JOSHUA THADEI TEMBA ARUSHA GREEN ACRES 2 1 16 229 9 PS0101012-024 HASHIM MAULID HASHIM ARUSHA GREEN ACRES 3 2 17 229 10 PS0102080-027 KARIM HATIBU MRUTU JIJI LUCKY VICENT 1 5 12 229

13

9. (d) Wanafunzi kumi (10) wa mwisho (Duni) Kimkoa Wasichana Pekee

NAFASI ALA NAMBA YA HALMASHAU SHULE S/N JINA LA MTAHINIWA MA MTAHINIWA RI ATOKAKO ATOKAYO SHULE HALMAS MKOA HAURI 1 NADAMU SHOKORE PS0104014‐011 ALAIS LONGIDO MATALE 819 38,301 3 2 AGNESI TENGES NGORONGO ENGARESE PS0107016‐067 MOLOIMET RO RO 104 1,288 38,297 4 3 KUTIAN LANGOI NGORONGO ENGARESE PS0107030‐073 KIMORWAI RO RO 91 1,287 38,291 6 4 REBECA YONA PS0105077‐047 PALLANGYO MERU POLI 54 3,765 38,296 5 5 NABULU MENG'ORU NGORONGO PS0107016‐078 ALTARETOI RO NAIYOBI 91 1,287 38,291 6 6 JOYCE LOSHILU PS0101034‐032 MELAU ARUSHA DC LEMUGUR 62 4,095 38,287 7 7 MAURINE JULIUS PS0105027‐134 HANSELIM MERU LEGANGA 167 3,764 38,284 7 8 QUEEN RICHARD PS0101039‐147 KOSIANGA ARUSHA DC LORUVANI 166 4,094 38,283 9 9 NDEENYAI LAANGALARE NGORONGO PS0107016‐094 MOISHO RO NAIYOBI 90 1,285 38,280 11 10 NDISILAI PAPAA NGORONGO ENGARESE PS0107030‐091 KINGI RO RO 101 1,286 38,281 11

14

9 (e) wanafunzi 10 wa Mwisho (Duni) Kimkoa Wavulana Pekee

HALMASHA SHULE NAFASI ALAMA NAMBA YA JINA LA S/N URI ATOKAY SHULE HALMASH MKOA MTAHINIWA MTAHINIWA ATOKAKO O AURI 1 OMBENI PETRO MSHIKA PS0101119‐015 SARINGE ARUSHA DC MANO 51 3,536 38,304 0 2 ELIA YOHANA NGORONGO PS0107016‐004 LOINYEYE RO NAIYOBI 95 1,522 38,303 0 3 NG'ATAIT OLOIJE NGORONGO PS0107016‐045 OLEMALALA RO NAIYOBI 96 1,523 38,304 0 4 GODFREY EMANUEL LORUVA PS0101039‐039 PETRO ARUSHA DC NI 167 3,535 38,303 1 5 MINYALI LOBIKIEKI NGORONGO PS0107016‐040 LESINOI RO NAIYOBI 94 1,521 38,300 3 6 PASKALI DEEMAY QANGDE PS0103038‐039 SALAHO KARATU ND 106 2,441 38,299 4 7 LEKAYA KASUJI NGORONGO PS0107016‐020 OLTUS RO NAIYOBI 93 1,520 38,298 4 8 MAKAROT TIPAAI PS0106042‐012 TALALAI MONDULI MBAASH 48 1,506 38,295 5 9 MIBAKU NDOIPO NGORONGO PS0107016‐038 LOONDOYE RO NAIYOBI 92 1,519 38,294 5 10 GIDAGUKWE L GIDABAJERJI QANGDE PS0103088‐002 D GUTIDA KARATU ND 24 2,440 38,293 6

15

3.6: SHULE YA KWANZA

Matokeo ya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi (PSLE), 2017 yamegawanya ufaulu wake kulingana na idadi ya wanafunzi waliosajiliwa. Shule ya kwanza Kimkoa (zaidi ya wanafunzi 40) ni Shule ya KILIMANJARO ENGLISH MEDIUM kutoka Halmashauri ya Arusha ambapo wastani wa ufaulu ni alama 220.62.

Pia shule iliyoongoza kwenye kundi la shule zenye wanafunzi chini ya 40 ni shule ya GLORYLAND iliyopo Halmashauri ya Jiji yenye wastani wa alama 221.16.

3.7: SHULE (10) BORA KIMKOA

(a) Shule kumi (10) Bora Kimkoa zenye zaidi ya wanafunzi 40 (b) Shule kumi Bora Kimkoa zenye chini ya wanafunzi 40

9 (f) Shule 10 Bora zenye wanafunzi zaidi ya 40 NAFASI KIMKOA KITAIFA IDADI KATI YA KATI YA S/N JINALA SHULE H/W YA WF WASTANI KIWILAYA 376 9736 1 KILIMANJARO ARUSHA 74 220.62 1 1 14 2 LUCKY VICENT JIJI 74 211.05 1 2 43 3 NALOPA JIJI 43 209.46 2 3 50 4 GREEN VALLEY JIJI 86 206.11 3 4 63 5 GREEN ACRES ARUSHA 85 205.27 2 5 67 6 ST. JUDE JIJI 136 203.16 4 6 90 TUMAINI 7 JUNIOUR KARATU 69 202.62 1 7 80 8 MWALIMU ANNA MONDULI 52 202.51 1 8 82 9 HARADALI MERU 112 202.04 1 9 89 ARUSHA 10 ALLIENCE JIJI 138 198.94 5 10 103

16

9 (g) Shule 10 Bora zenye Wanafunzi chini ya 40 NAFASI KIMKOA KITAIFA KATI YA KATI YA S/N JINALA SHULE H/W IDADI WASTANI KIWILAYA 270 6839 1 GLORYLAND ARUSHA JIJI 6 221.166 1 1 13 2 TENGERU ENG MEDIUM MERU 36 220.44 1 2 17 3 DOMINION ARUSHA JIJI 26 220.03 2 3 20 4 UPENDO FRIENDS ARUSHA JIJI 15 210.6 3 4 54 5 USA RIVER ACADEM MERU 9 208.2 2 5 73 6 BRIGHT FUTURE ARUSHA JIJI 20 206 4 6 90 7 DAVIS PREPARATORY MERU 32 205.94 3 7 92 8 ALBEHIJE ARUSHA DC 22 204.54 1 8 101 9 MECSON ARUSHA JIJI 37 202.94 5 9 110 10 MASUSU NGORO 17 201.58 1 10 118

3.8 SHULE 10 DUNI KIMKOA Aidha, shule kumi (10) Duni Kimkoa pia zimegawanyika katika makundi mawili yafuatayo:-

(a) Shule kumi (10) Duni Kimkoa zenye wanafunzi zaidi ya 40 (b) Shule kumi (10) Duni Kimkoa zenye wanafunzi chini ya 40

9 (h) Shule 10 Duni zenye Wanafunzi zaidi ya 40 NAFASI KITAIFA KIMKOA KATI YA S/N JINALA SHULE H/W IDADI YA WF WASTANI KIWILAYA KATI YA 376 9736 1 MBAASHI MONDULI 48 60.7 48 376 9720 2 ELERAI LONGIDO 41 62.31 19 375 9714 3 GIDBASO KARATU 67 70.43 63 374 9661 4 NGORONGORO 40 72.5 31 373 9641 5 NAYOBI NGORONGORO 97 72.72 30 372 9736 6 MWANDETI ARUSHA DC 49 72.77 81 371 9637 7 ENGARASERO NGORONGORO 104 74.43 29 370 9606 8 OLOIPIRI NGORONGORO 55 74.87 28 369 9590 9 MAKHOROMBA KARATU 52 80.61 62 367 9454 10 NOSEIYA MERU 56 82.5 82 365 9409

17

9 (i) Shule 10 Duni zenye Wanafunzi Chini ya 40

NAFASI KITAIFA IDADI KIMKOA KATI YA S/N JINALA SHULE H/W YA WF WASTANI KIWILAYA KATI YA 270 6839 1 ENDESHI KARATU 24 48.56 43 270 6839 2 ENGIKARET LONGIDO 35 65.65 23 269 6781 3 LAJA KARATU 26 70.56 42 268 6723 4 LOSIKITO MONDULI 24 71.58 59 267 6710 5 ILKIRIMUNI MERU 6 72 57 266 6707 6 EUNOTO MONDULI 19 72.1 58 265 6706 7 ILORIENTO LONGIDO 36 73.27 22 264 6689 8 NJORO KARATU 21 75.3 41 263 6660 9 EUNOTO ARUSHA DC 29 76.34 35 262 6641 10 MDITO NGORONGORO 37 77.13 34 261 6624

4.0 UENDESHAJI WA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2017 KWA MKOA

Taarifa ya mtihani wa mwaka 2017 kama ilivyotolewa na Baraza la Mitihani Tanzania imebainisha kuwa, Mkoa wa Arusha na Halmashauri zake zilisimamia na kuendesha mtihani huo vizuri. Hakuna dosari zozote zilizojitokeza na kusababisha kuhojiwa au kufutwa kwa matokeo ya mtahiniwa yeyote katika Mkoa wa Arusha. Jambo hili ni jema na linastahili kuendelezwa na kila ngazi yenye dhamana na mitihani ili HAKI iweze kutendeka. Kwa nafasi hii, naomba kuzipongeza Kamati za mitihani za Halmashauri, Wasimamizi bila kusahau Kamati ya Mkoa, “HONGERENI SANA”.

5.0 UGAWAJI NAFASI KWA WANAFUNZI WATAKAOANZA KIDATO CHA KWANZA JANUARI, 2018 Uchaguzi wa Wanafunzi watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2018 umefanyika kwa shule za bweni na shule za kutwa kwa kuzingatia kigezo cha ufaulu wa wanafunzi na upatikanaji wa nafasi katika shule zilizopo. Ofisi ya Rais TAMISEMI imegawa nafasi za sekondari kwenye shule za bweni tu. Nafasi hizo zimegawanywa kwenye shule zinazochukuwa

18

wanafunzi wenye ufaulu wa juu, Ufundi na bweni kawaida kwa wasichana na wavulana kwa kuzingatia ufaulu na idadi ya watahiniwa waliofaulu darasa la saba katika kila Mkoa.

Katika mgawanyo huo Mkoa wa Arusha umepata nafasi 110 ambapo wasichana nafasi 35 na wavulana 75. Utaratibu uliotumika na Wizara kugawa nafasi Kimkoa ndio huo huo umetumika kugawa nafasi hizo kwa kila Halmashauri na shule husika.

5.1 UTARATIBU WA UGAWAJI WA NAFASI:

Nafasi hizi zimegawanyika katika makundi mawili kama ifuatavyo:- (a) Nafasi za bweni (b) Nafasi za wanafunzi wa kutwa/hostel.

(a) NAFASI ZA BWENI:

Ugawaji wa Idadi ya nafasi hizi Kiwilaya umezingatia kanuni ya uwiano wa idadi ya watahiniwa waliofaulu darasa la saba katika kila Wilaya ikilinganishwa na idadi ya watahiniwa wote waliofaulu Kimkoa.

Nafasi za Bweni Kiwilaya: (N) = B X D C B – Watahiniwa (wavulana) wote katika Wilaya D – Nafasi za bweni za Mkoa C – Watahiniwa (wavulana) katika Mkoa. Nafasi za bweni kwa wavulana na wasichana zimegawanyika katika makundi matatu:-

i. Nafasi ya wanafunzi waliofaulu vizuri zaidi vipaji (maalum) ii. Nafasi katika shule za ufundi iii. Nafasi katika shule za bweni za kawaida.

19

Kutokana na Kanuni hii ya ugawaji wa Nafasi, inatoa mwanya kwenye Halmshauri zenye idadi kubwa ya wanafunzi waliofanya mtihani na kufaulu kuwa na idadi kubwa ya nafasi zilizoshindaniwa. Hivyo Halmashauri ya Jiji la Arusha imepata idadi kubwa ya wanafunzi kwenda shule za bweni ikilinganishwa na Halmashauri nyingine.

Jedwali lifuatalo Na. 10 linafafanua mgawanyo wa nafasi kwenda kwenye shule za bweni kwa Wavulana na Wasichana kwa kila Halmashauri.

20

Jedwali Na. 10: Nafasi za Bweni kila Halmashauri.

SHULE ZA UFUAULU MZURI SHULE ZA UFUNDI SHULE ZA BWENI KAWAIDA JUMLA KUU WAVULANA WASICHANA WAVULANA WASICHANA WAVULANA WASICHANA

HALMASHAURI

WAV WAS JML ILBORU MZUMBE KIBAHA KILAKALA MSALATO TABORA GIRLS IFUNDA TECH. MOSHI TECH. TANGA TECH. MOSHI TECH MTWARA TECH. MOSHI SEC. BALANGDALALU KOROGWE KAZIMA BALANGDALALU MLINGANO ARUSHA DC 2 1 1 112304 1 0 0 210011 3 7 20 ARUSHA JIJI 2 3 2 222517 0 1 1 411112 51 1 36 KARATU 1 1 0 101203 0 1 1 10110 9 5 14 LONGIDO 0 0 1 001101 0 0 0 10001 4 2 6 MERU 1 2 1 111304 1 0 1 111001 3 6 19 MONDULI 1 1 0 100111 0 0 0 10010 6 2 8 NGORONGORO 0 0 1 010102 0 0 0 10010 5 2 7 JUMLA 7 8 6 657621 2 2 2 2 31 133437 53 511 0

21

(b) NAFASI ZA KUTWA/HOSTEL Nafasi hizi zimegawanywa kwenye Shule za Kutwa/Hostel zilizopo kwenye kila Halmashauri. Aidha, kwa sababu za Kijografia wapo baadhi ya wanafunzi wamepangiwa kwenye Halmashauri nyingine. Wanafunzi hao ni kutoka shule ya msingi Lemguru iliyopo Halmashauri ya Arusha kwenda Halmashauri ya Monduli. Mgawanyo wa nafasi hizo kwa kila shule ni kama ifuatavyo:-

(i) HALMASHAURI YA ARUSHA

SHULE ZA SEKONDARI ZA KUTWA/HOSTEL

S/N JINA LA SHULE MIKONDO WAV WAS JUMLA

1 BANGATA 5 83 102 185 2 EINOTI 7 126 157 283 3 ENDEVES 2 35 52 87 4 ENYOITO 9 191 186 377 5 ILKIDING'A 6 99 121 220 6 KIMNYAK 7 142 139 281 7 KIRANYI 10 218 200 418 8 LENGIJAVE 3 65 60 125 9 MATEVES 5 104 104 208 10 MLANGARINI 5 85 127 212 11 MRINGA 11 185 251 436 12 MUKULAT 5 86 123 209 13 MUSA 4 77 80 157 14 MWANDET 4 85 93 178 15 NDURUMA 4 80 95 175 16 NG'IRESI 5 92 98 190 17 OLDADAI 4 74 76 150 18 OLDONYOSAMBU 7 144 142 286 19 OLEMEDEYE 2 21 44 65 20 OLJORO 1 29 23 52 OLMOTONYI 5 59 142 201 21 FOREST 22 OLOKII 3 39 82 121 23 OLTURUMET 4 88 91 179 24 OSILIGI 6 101 132 233 22

25 SAMBASHA 2 28 61 89 26 SOKON II 9 162 186 348 JUMLA 137 2498 2967 5465

(i) HALMASHAURI YA JIJI

SHULE ZA SEKONDARI KUTWA/HOSTEL

NA SHULE MIKONDO WAV WAS JML 1 ARUSHA DAY 3 145 137 282 2 ARUSHA SEKONDARI 8 188 236 424 3 BARAA 6 219 220 439 4 ELERAI 7 237 252 489 5 FELIX MREMA 5 203 197 400 6 KALOLENI 4 191 189 380 7 KIMASEKI 6 266 274 540 8 KINANA 7 152 238 390 9 SUYE 8 208 196 404 10 KORONA 5 127 173 300 11 LEMARA 5 189 211 400 12 LOSIRWAY 4 180 156 336 13 MKONOO 3 52 86 138 14 SORENYI 3 216 286 502 15 MURIET 4 286 298 584 16 MOSHONO 3 137 142 279 17 SINON 5 176 207 383 18 SOMBETINI 5 222 144 366 19 OLOIRIEN 6 187 222 409 20 NAURA 4 129 147 276 21 NGARENARO 5 244 257 501 22 OLASITI 6 239 294 533 23 OLMOT 2 127 145 272

23

24 NJIRO 3 113 68 181 25 THEMI 8 288 255 543 JUMLA 125 4721 5030 9751

(ii) HALMASHAURI YA WILAYA YA KARATU

SHULE ZA SEKONDARI KUTWA/HOSTEL

IDADI YA WANAFUNZI NA JINA LA SHULE MIKONDO WAV WAS JUMLA 1 AWET 4 78 93 171 2 BANJIKA 5 111 132 243 3 BARAY 3 66 70 136 4 CHAENDA 6 51 50 101 5 DIEGO 3 72 73 145 6 DOMEL 3 62 90 152 7 DR. SLAA 2 51 51 102 8 EDITH GVORA 1 14 30 44 9 ENDABASH 3 51 67 118 10 ENDALLAH 3 42 61 103 11 FLORIAN 2 56 59 115 12 GANAKO 4 77 105 182 13 GETAMOCK 3 45 71 116 14 GYEKRUM ARUSHA 3 72 64 136 15 GYEKRUM LAMBO 4 30 58 88 16 KAINAM RHOTIA 2 25 24 49 17 KANSAY 3 64 89 153 18 KILIMAMOJA 3 47 58 105 19 KILIMATEMBO 7 23 41 64 20 MANG'OLA 4 57 117 174 21 MARANG 2 26 35 61 22 MLIMANI SUMAWE 5 106 145 251 23 OLDEANI 3 66 83 149 24 ORBOSHAN 1 14 25 39

24

25 QANGDEND 4 92 39 131 26 QARU 2 55 40 95 27 SLAHHAMO 3 61 55 116 28 UPPER KITETE 3 56 59 115 29 WELWEL 4 82 89 171 JUMLA 95 1652 1973 3625

(iv) HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO

SHULE ZA SEKONDARI KUTWA/HOSTEL NA. JINA LA SHULE MKONDO WAV WAS JUMLA 1. ENDUIMET 4 92 75 167 2. ENGARENAIBOR 4 107 58 165 3. KETUMBEINE 5 120 88 208 4. LEKULE 4 0 160 160 5. LONGIDO 4 122 38 160 6. NAMANGA 4 101 77 178 7. TINGATINGA 4 87 77 164 8. NATRON FLAMINGO 2 45 43 88 JUMLA 31 674 616 1290

(v) HALMASHAURI YA WILAYA YA MERU SHULE ZA SEKONDARI ZA KUTWA /HOSTEL IDADI YA WANAFUNZI S/N SHULE MIKONDO WAV WAS JUMLA 1 AKERI 5 149 154 303 2 KIKWE 3 88 114 202 3 KING'ORI 5 128 122 250 4 KISIMIRI 4 73 82 155 5 KITEFU 2 71 85 156 6 LAKITATU 2 100 106 206 7 MAJI YA CHAI 3 98 106 204

25

IDADI YA WANAFUNZI S/N SHULE MIKONDO WAV WAS JUMLA 8 MAKIBA 4 78 127 205 9 MALULA 3 122 109 231 10 MARORONI 4 85 103 188 11 MARUVANGO 4 45 41 86 12 MBUGUNI 3 100 143 243 13 MIRIRNI 2 33 41 74 14 MOMELA 3 119 117 236 15 MUUNGANO 3 122 131 253 16 NASHOLI 4 78 91 169 17 NGONGONGARE 2 85 105 190 18 NGYEKU 2 80 108 188 19 NKOANEKOLI 1 37 36 73 20 NKOANRUA 4 146 200 346 21 NKOARISAMBU 3 140 111 251 22 NKOASENGA 3 31 60 91 23 NSHUPU 3 99 114 213 24 POLI 2 64 71 135 25 SAKILA 3 71 87 158 26 SHISHTONY 3 47 65 112 27 SING'ISI 3 66 65 131 28 SONGORO 4 122 128 250 29 URAKI 4 63 40 103 JUMLA 91 2540 2862 5402

(vi) HALMASHURI YA WILAYA YA MONDULI

SHULE ZA SEKONDARI ZA KUTWA/HOSTEL IDADI YA WANAFUNZI NA JINA LA SHULE MIKONDO WAV WAS JML 1 MANYARA 7 140 132 272 2 RIFT VALLEY 5 80 103 183

26

3 IRKISONGO 6 - 229 229 4 ENGUTOTO 4 170 - 170 5 OLDONYO LENGAI 3 65 54 119 6 OLTINGA 3 61 57 118 7 LOWASSA 6 123 114 237 8 KIPOK 4 - 152 152 9 MOITA 5 179 - 179 10 IRKISALE 3 78 55 133 11 OLESOKOINE 4 82 74 156 12 NANJA 5 103 73 176 JUMLA 55 1081 1043 2124

(vii) HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO

SHULE ZA SEKONDARI ZA KUTWA/HOSTEL

MIKOND IDADI YA WANAFUNZI SN SHULE O WAV WAS JML 1 EMBARWAY 6 145 95 240 2 7 100 180 280 3 3 40 71 111 4 SOITSAMBU 6 120 110 230 5 6 158 80 238 6 SAMUNGE 4 115 45 160 7 DIGODIGO 4 80 80 160 8 SALE 3 65 53 118 9 MALAMBO 5 120 80 200 10 LAKE NATRON 3 60 60 120 JUMLA 47 1003 854 1857

27

6.0 HITIMISHO

Napenda kuchukua fursa hii, kuwashukuru wote waliowezesha zoezi la maandalizi ya uchaguzi wa wanafunzi wa kidato cha kwanza 2018. Zaidi sana nawashukuru wajumbe wote mliohudhuria.

Ni imani yangu kwamba mara baada ya kikao hiki, jukumu letu sote ni kuhakikisha wanafunzi wote waliochaguliwa wanajiunga na kidato cha kwanza Januari, 2018 na kuhudhuria masomo yao kwa muda wote na bila kisingizio chochote. Aidha, ikumbukwe kwamba kila baada ya uchaguzi wa wanafunzi na kutangaza matokeo, wazazi/walezi hujitokeza kwa makundi kuomba kubadilishiwa shule walizopangiwa watoto wao. Utaratibu wa kubadilisha shule kwa shule zilizo katika Halmashauri ile ile unaishia ndani ya Halmashauri husika na kama utahusisha Halmashauri mbili tofauti au nje ya Mkoa, maombi na ubadilishaji/uhamisho huo utafanywa na Mkoa. Naomba kutoa tahadhari ya kuwa makini na uangalifu mkubwa kabla ya kuchukuwa maamuzi ya kumbadilishia shule mwanafunzi. Ni muhimu kuzingatia uwezo/nafasi ya shule na kuepuka kulundika wanafunzi katika baadhi ya shule na shule zingine kuwa na wanafunzi wachache sana. Pia kujiadhari na watu wenye nia ovu ya kutumia kipindi hicho kutapeli wananchi na kujifanya wanawaombea nafasi za kubadilisha shule huku wakiwaibia wananchi. Pia, tuna wajibu wa kuendelea kusimamia, kufuatilia na hata kuchukua hatua kwa wote wasiotimiza wajibu wao, jambo hili likifanyika kwa ukamilifu matokeo ya ufaulu katika Mkoa wetu yatapanda zaidi. Kazi ya ujenzi wa Maabara inayoendelea iende sambamba na kujenga miundombinu mingine ya matundu ya vyoo, meza/viti na hostel. Matokeo yote ya shule yafikishwe kwenye shule ili watoto na wazazi wayaone na yajadiliwe katika vikao vya kamati za shule na mikutano ya vijiji na kamati za maendeleo za Kata. Mwisho, ninawashukuru walimu, wanafunzi, wazazi na viongozi wote kwa kazi kubwa ya kupandisha ufaulu kwa 77.34% katika Mkoa wetu.

28

Ufundishaji, ufuatiliaji na usimamizi wa taaluma viimarishwe ili ufaulu huu usishuke miaka inayofuata bali upande zaidi. “Asante kwa kunisikiliza, naomba kuwasilisha.”

Kyando E.G. AFISA ELIMU MKOA ARUSHA

29