UMOJA - JARIDA

MKUTANO WA NAIROBI ULIOKUTANISHA Toleo la 87 WAJUMBE KUTOKA DUNIANI KOTE! Novemba - Decemba 2019

VIDOKEZO

• Juhudi za kulinda vyanzo vya maji katika Mkoa wa Kigoma

• Sauti za watoto na vijana zasikika baada ya watu wenye ushawishi kuahidi kusaidia haki zao katika Siku ya Watoto Duniani

• Siku ya Kimataifa ya Wanaojitolea (IVD)

• Jamii zaleta mabadiliko Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Msichana Initiative, Rebeca Gyumi, katika kumaliza UKIMWI akipokea Tuzo ya UNFPA ya kutambua kujitolea kwake katika kupigania haki na fursa ya kuchagua kwa Watanzania wote. Picha| UNFPA Tanzania

wezi Novemba, zaidi ya la Idadi ya Watu (UNFPA) ajili ya Programu ya Utend- Mwajumbe 8,000 kutoka pamoja na serikali za Kenya na aji (PoA) ya Kongamano la katika zaidi ya mataifa 170 Denmark ambapo wote hawa Kimataifa la Idadi ya Watu na walishiriki katika Mkutano waliunganishwa na ajenda ya Maendeleo (ICPD). Programu Mkuu wa ICPD25 wa Nai- pamoja: kuimarisha juhudi ili hiyo ya Utendaji, ambao ni robi mkutano ulioitishwa na kuongeza kasi ya utekelezaji chapisho la kipekee Shirika la Umoja wa Mataifa na upatikanaji wa fedha kwa Inaendelea Ukurasa wa pili (2)

Kauli ya Serikali “Kuwepo kwa Ukatili wa Kijinsia (GBV) kunaathiri sana ukuaji wa uchumi wa nchi yetu kuelekea uchumi wa kipato cha ngazi ya kati kupitia maendeleo ya viwanda kwa sababu juhudi zote zinaelekezwa katika kupambana na uovu huo. Serikali ya awamu ya 5 haitavumilia vitendo vya aina hiyo kwani vinaathiri moja kwa moja maendeleo ya nchi.”

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akihutubia wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Siku 16 za Uanaharakati dhidi ya GBV jijini Dodoma, Novemba 26, 2019. Kutoka ukurasa wa Kwanza (1) doa kabisa vikwazo katika uongozi wake katika kupi- linalotokana na ICPD ya Cairo kupata huduma za kuzuia gania haki na uchaguzi na ya Mwaka 1994, ilitoa wito mimba na matunzo ya afya kutetea mazingira salama wa kupatikana kwa haki za ya uzazi; kuondoa kabisa vifo shuleni na upatikanaji wa wanawake na wasichana za vinavyozuilika kwa sababu elimu bora nchini Tanzania, afya ya uzazi kwa kupewa ya ujauzito na kujifungua; Rebeca Gyumi, mwanzilishi kipaumbele katika juhudi za na kutovumilia hata kidogo na mkurugenzi mtendaji wa maendeleo za kitaifa na ulim- vitendo vya ukatili, unyanyas- Msichana Initiative, alipokea wenguni kote kama sharti la aji na mateso kwa msingi wa tuzo kutoka UNFPA. kuleta maendeleo endelevu, jinsia. yenye usawa na yaliyo jumui- Mkutano huo Mkuu wa Nar- shi. Wajumbe kutoka Serikali iobi ulipokea ahadi zipatazo ya Tanzania waliungana na 1,250 kutoka kote duniani, Licha ya kupigwa hatua jumuiya ya kimataifa jijini ikiwemo ahadi ya mabilioni kubwa katika miaka 25 tangu Nairobi na kurudia kutoa ya dola kutoka kwa washirika Kongamano la ICPD la Cairo ahadi za kuongeza kasi ya wa sekta za umma na binafsi, ambalo lilitoa matunda kwa utekelezwaji wa ICDP, wakia- na kuweka mipango kamili ya kuimarisha afya na maisha hidi kuongeza bajeti ya afya baadaye ya uchukuaji hatua bora kwa mamilioni wasio- nchini hadi kufikia asilimia 15 ili kuendeleza ajenda ya ICPD hesabika ahadi zilizotolewa na kuongeza juhudi za kuzuia na kuleta mageuzi duniani zinabaki kuwa ndoto ya vifo vya akina mama kwa katika muongo ujao kwa mbali kwa wengi, wakiwemo kuimarisha utoaji huduma kukomesha kabisa vifo vyote wanawake na wasichana wa za dharura wakati wa uzazi vya akina mama, kutimiza Tanzania, hadi pale ahadi hizo pingamizi na huduma kwa mahitaji ya uzazi wa mpango, zitakapotimizwa, vinginevyo watoto wachanga. Vilevile, na kukomesha vitendo vya kufikia Malengo ya Maende- Serikali iliweka ahadi ya ukatili kwa msingi wa jinsia leo Endelevu mnamo mwaka kuongeza upatikanaji wa na mila na taratibu nyingine 2030 itakuwa jambo gumu, huduma kamili, zinazoen- potofu ili kwamba kila mwan- au hata lisiwezekane kabisa. dana na umri za ngono na amke na msichana, bila kujali afya ya uzazi na utoaji taar- anaishi wapi, apate haki za Majadiliano yote katika ifa zinazofaa kwa wananchi kweli na kufanya uchaguzi kongamano hilo yalilenga ambao wengi wao ni vijana. wa masuala anayotaka katika numerali moja Sifuri (zero). Kwa namna ya pekee, ili maisha yake. Hii maana yake ni kuon- kutambua mchango na

MFUKO WA UENDELEZAJI MITAJI WA UN WAONYESHA NJIA YA MAENDELEO YA KIFEDHA KATIKA SERIKALI ZA MITAA

wezi Novemba, Mfuko umuhimu wa modeli za Mgeni rasmi katika tukio hilo Mwa Umoja wa Mataifa ubunifu katika fedha, ushirika alikuwa Bw. Gerald Mweli, wa Maendeleo ya Mitaji na ushirikiano ili kufikia Makamu Katibu Mkuu, Ofisi (UNCDF) ulionyesha matokeo Malengo ya Maendeleo ya Rais Tawala za Mikoa na ya Mfuko wa Maendeleo Endelevu (SDGs) kwa uwiano Serikali za Mitaa; Bw. Michael (LDF) wa nchini Tanzania na sahihi. Dunford, Kaimu Mratibu nchi nyinginezo, ukikazia Mkazi wa Umoja wa Mataifa Inaendelea Ukurasa wa Tatu (3)

This newsletter is published by the UN Communication Group in Tanzania. To subscribe and provide feedback, 2 please contact us at: [email protected] | Website: www.tanzania.un.org | Tel: (+255) 22-219-5021 Kutoka ukurasa wa Pili (2) sha kuanzishwa kwa Kituo mashauri.” na Mwakilishi wa Nchi wa cha Ukusanyaji cha Mvugwe, Mpango wa Chakula Duniani; ushirika kati ya Halmashauri Bw. Peter Malika, ambaye ni na Bw. Peter Malika, Mkuu ya Wilaya ya Kasulu, Ubal- Mkuu wa UNCDF Tanzania, wa UNCDF Tanzania. Wawak- ozi wa Norway na UNCDF. aliongeza kwamba Mfuko wa ilishi wa serikali za Jamhuri Katika kituo hicho, njia ya LDF LDF wa UNCDF umesaidia ya Muungano wa Tanzania, inaunganisha mtaji wa kuan- kuanzisha na kugharimia Nepal, Uganda, Bangladesh, zia na msaada wa kiufundi ili miradi 21 inayoingiza kipato Gambia, Guinea, na Leso- kujenga mfumo wa biashara kwa kuwekeza takribani Dola tho, kutoka sekta za umma na kuweka miundo sahihi ya za Marekani milioni 20 katika na binafsi, ofisi za kiba- kiutawala ambayo itahakik- sekta ya umma na ile ya bin- lozi, mashirika ya Umoja wa isha kwamba kunakuwa na afsi. Aliipongeza serikali, Mataifa, na wengineo wal- uendelevu katika masuala ya Familia ya Umoja wa Mataifa ishiriki. uendeshaji na fedha tofauti na washirika wa maendeleo na msaada wa UNCDF. kwa msaada wao endelevu Washirika, wadau na vyombo na ushirika katika kufikiwa vya habari walipata ushuhuda Akizungumza katika tukio kwa malengo ya maendeleo wa moja kwa moja kuhusu hilo, Bw. Mweli alisema: “Seri- ya kiuchumi ya halmashauri, maendeleo ambayo UNCDF kali ya Tanzania inashukuru akisisitiza kwamba: “lengo imekuwa ikiyafanya katika sana kwa juhudi za UNCDF za kuu la ushirikiano wetu huu kujenga uwezo mahalia wa kusaidia halmashauri kuanzi- ni kuona kuna mabadiliko utekelezaji wa SDGs kupi- sha miradi inayoingiza kipato chanya katika maisha ya watu tia programu za maendeleo na hivyo kuimarisha mapato na jamii”. nchini Tanzania na katika nchi na kukidhi mahitaji ya kimae- nyingine. Vidokezo vilijumui- ndeleo katika ngazi ya hal-

Bw. Abraham Byamungu, Ofisa Mwandamizi wa Uwekezaji wa UNCDF, akitoa maelezo ya jumla kuhusu matokeo ya miradi ya UNCDF kwa Bi. Leyla Cuevas Lopez, ambaye ni Mshauri wa Idara ya Uchambuzi wa Uwekezaji wa Umma na Binafsi anayetoka Makao Makuu ya UNCDF jijini New York. Picha | UNCDF Tanzania

This newsletter is published by the UN Communication Group in Tanzania. To subscribe and provide feedback, please contact us at: [email protected] | Website: www.tanzania.un.org | Tel: (+255) 22-219-5021 3 UNDP YAREJEA AHADI YA KUSHIRIKINA NA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

ya Maendeleo ya Zanzibar ambao ni mpango wa muda mrefu na ile mikakati ya maendeleo ya muda wa kati, na kutambua maendeleo yali- yopatikana kama matokeo ya ushirika imara kati ya serikali na washirika wa maende- leo. Msaada wa UNDP kwa SMZ ni hasa katika maeneo ya Utawala wa Kidemokrasi, Ukuaji Jumuishi, Mabadiliko ya Tabia ya Nchi na Nishati, Mazingira na Rasilimali za Asili. Bi. Christine Musisi, Mwakilishi Mkazi wa UNDP (kushoto), akikabidhi Ripoti ya Tanzania ya Tathamini ya Hiyari ya Taifa kuhusu Utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu kwa Mh. , Rais wa Serikali ya Mapinduzi Vilevile, UNDP inasaidia ute- Zanzibar. Picha| Ikulu Zanzibar kelezaji wa miradi iliyo chini ya Programu ya Misaada Kizazi kijacho cha kazi za kwa wastani wa asilimia 6.6 Midogo (SGP), ambayo hutoa maendeleo hakina budi katika miaka minne iliyopita “ misaada katika jamii, ziki- kuunganishwa na jinsi watu na pia kwa kuwezesha upa- wemo asasi za kijamii katika wanavyojenga maisha yao tikanaji wa huduma bora za eneo linalohusika na vikundi kwa namna wanayotaka; na jamii kwa usawa, hasa elimu, vingine kama hivyo visivyo Umoja wa Mataifa hauna budi afya, maji, usafi wa mazingira vya kiserikali. Wakati wa kuendelea kujenga ushirika na kinga ya jamii. Vilevile, Bi. ziara yake, Bi. Musisi aliweza na serikali, washirika wa mae- Musisi alitambua mafani- kuwatembelea washirika, ndeleo na wadau wengine kio makubwa yaliyopatikana wakiwemo Mradi wa Ufugaji ili kuhakikisha kwamba njia katika kupunguza vifo vya Samaki huko katika Mbuga inayofuatwa ni ile inayolenga watoto na watoto wachanga, ya Taifa ya Jozani-Chwaka na maendeleo ya watu kwanza,” kudhibiti kuenea kwa VVU, na Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa aliasa Bi. Christine Musisi, kuhamasisha usawa wa jin- Serikali. ambaye ni Mwakilishi Mkazi sia na uwezeshaji wanawake wa UNDP nchini Tanzania, huko Zanzibar. Lengo ni kutambua fursa na wakati wa mkutano wake changamoto zilizopo katika hivi karibuni na Mh. Dkt. Ali Bi. Musisi alirejea kuzung- maendeleo ya kijamii na kiu- Mohamed Shein, Rais wa Zan- umzia nafasi ya UNDP katika chumi ya Zanzibar, ikiwemo zibar. kuisaidia Serikali ya Mapin- msaada wa kiufundi na duzi Zanzibar (SMZ) ili kufikia kifedha kwa ajili ya uandaaji Wakati wa ziara yake, Bi. mipango yake ya maendeleo wa Dira ya Maendeleo ya Zan- Musisi aliipongeza serikali na kuimarisha ubora wa mai- zibar ya 2050. kwa kudumisha viwango vya sha ya watu kama inavyo- juu vya ukuaji wa uchumi elezwa katika Dira ya 2020

This newsletter is published by the UN Communication Group in Tanzania. To subscribe and provide feedback, 4 please contact us at: [email protected] | Website: www.tanzania.un.org | Tel: (+255) 22-219-5021 TANZANIA YAZINDUA JUHUDI MPYA KUKABILI MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA

Mh. , Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akizindua programu mpya ya taifa ya kukabiliana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza nchini Tanzania. Wengine ni Mh. Ummy Mwalimu (kushoto), Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, na Dkt. Tigest Mengestu (kulia), Mwakilishi wa Nchi wa WHO nchini Tanzania. Picha| WHO Tanzania

atika juhudi za kuzuia sugu ya mfumo wa hewa— ja katika kila wanne aliyepa- Kna kudhibiti tishio yalisababisha asilimia 71 ya ta matibabu katika kituo cha la magonjwa yasiyo ya vifo vyote duniani. Tanzania afya ana shinikizo la juu la kuambukiza, hivi karibuni na nchi nyingine zenye ki- damu, matatizo ya moyo au pato cha chini zinakabiliwa magonjwa mengine yanayo- Waziri Mkuu wa Jamhuri ya na mzigo wa magonjwa ya husu moyo. Muungano wa Tanzania, Mh. kuambukiza yakiwemo VVU/ Kassim Majaliwa, alizindua UKIMWI, malaria, kifua kikuu “Licha ya ongezeko la kit- programu mpya ya taifa. na kipindupindu, ambayo ta- isho cha magonjwa yasiyo ya Programu hii inatambua arifa zinaonyesha kuwa ndiyo kuambukiza, juhudi za kud- michango ambayo watu chanzo kikubwa cha afya duni hibiti hatari hazikuendaa na mmoja-mmoja na jamii na vifo. kasi ya tatizo. Ndiyo maana wanaweza kufanya ili leo tunazindua programu am- kuzuia magonjwa yasiyo ya Nchini Tanzania, takwimu bayo itaweka mkazo kikamili- zinazotokana na tafiti za kila fu na kuelekeza nguvu katika kuambukiza. mara za afya zinaonyesha kuleta masuluhisho yenye ku- kuna ongezeko la asilimia 24 zaa matunda,” alisema Waziri Kwa mujibu wa ripoti ya Shiri- katika idadi ya wagonjwa wal- Mkuu. ka la Afya Duniani (WHO) iotibiwa magonjwa yasiyo ya ya mwaka 2016, magonjwa kuambukiza kutoka milioni Jitihada zinaelekezwa kati- manne yasiyo ya kuambuki- 3.4 mwaka 2016 hadi milioni ka kukabiliana na magonjwa za—magonjwa ya moyo, 4.2 mwaka 2018. Kwa mujibu haya yasiyo ya kuambukiza: saratani, kisukari na matatizo wa takwimu hizo, mtu mmo- Inaendelea Ukurasa wa Sita (6)

This newsletter is published by the UN Communication Group in Tanzania. To subscribe and provide feedback, please contact us at: [email protected] | Website: www.tanzania.un.org | Tel: (+255) 22-219-5021 5 Kutoka ukurasa wa Tano (5) kuambukiza kupitia utoaji wa kuambukiza, akisema:“Hili ni magonjwa ya moyo, kisu- matunzo ya kinga, elimu, tiba jukumu muhimu kwa sababu kari, matatizo sugu ya kifua, na kuimarisha afya. kama hatuelekezi juhudi saratani, magonjwa ya akili, zetu katika kukabili hili, nchi selimundu, afya ya macho Lengo la 3 la Malengo ya yetu haitafikia malengo ya na kinywa na matatizo ya Maendeleo Endelevu (Afya kimataifa na hata yale tuliyo- masikio, pua na koo. Bora na Ustawi) linazitaka nchi jiwekea wenyewe.” kupunguza vifo vya mapema WHO linashirikiana na Wizara vinavyotokana na magonjwa ya Afya na washirika ili kutoa yasiyo ya kuambukiza walau “Hili ni jukumu muhimu elimu na kutafuta rasilimali ili kwa theluthi moja, na kuhaki- kwa sababu kama hatu- kuzuia na kudhibiti magon- kisha utoaji wa huduma zenye elekezi juhudi zetu katika jwa yasiyo ya kuambukiza na ufanisi za kinga, tiba na kui- kukabili hili, nchi yetu kutoa msaada wa kiufundi marisha afya ya akili ili kuim- haitafikia malengo ya ili kufanya utafiti kote nchini arisha ustawi wa watu wote. kimataifa na hata yale kuonyesha jinsi magon- Mh. Ummy Mwalimu, Waziri tuliyojiwekea wenyewe.” jwa haya yalivyo tatizo na wa Afya, Maendeleo ya Jamii, kulivyo na hatari kubwa ya Jinsia, Wazee na Watoto, Hon. Ummy Mwalimu, watu kukumbwa nayo. Pro- alithibitisha kwamba pro- Waziri wa Afya, gramu hii mpya itapunguza gramu hiyo mpya itatumia njia Maendeleo ya Jamii, watu kuugua na vifo vya nyingi zaidi zenye ufanisi ili Jinsia, Wazee na Watoto mapema vinavyosababishwa kuimarisha matunzo na kinga na magonjwa yasiyo ya dhidi ya magonjwa yasiyo ya

JUHUDI ZA KULINDA VYANZO VYA MAJI KATIKA MKOA WA KIGOMA

Usimamizi wa ubora wa maji ni muhimu ili kuhakikisha usambazaji wa maji salama na safi kwa jamii Mkoani Kigoma. Picha| WHO Tanzania

Inaendelea Ukurasa wa Saba (7)

This newsletter is published by the UN Communication Group in Tanzania. To subscribe and provide feedback, 6 please contact us at: [email protected] | Website: www.tanzania.un.org | Tel: (+255) 22-219-5021 Kutoka ukurasa wa Sita (6) ra wa maji, WHO itatoa vifaa ti za maji walijifunza jinsi ya ashiriki hao katika ya kupima klorini kwa wafa- kulinda usalama wa vyanzo Wmafunzo hayo nyakazi waliopata mafunzo li vya maji. watawashirikisha maarifa waweze kupima, na kutoa ta- waliyopata wasimamizi arifa za kila mara za matokeo Mafunzo ya usimamizi wa wengine wa ngazi za chini na kwa utaratibu maalumu ili ubora wa maji ni sehemu ya katika wilaya zao. Washiriki hatua zinazostahili zichukuli- jitihada ya KJP kushughulik- pia walijifunza jinsi ya kupima we. ia changamoto sugu za maji mabaki ya klorini katika maji na usafi wa mazingira katika na vilevile matumizi sahihi na Vilevile, WHO ilisaidia utole- mkoa wa Kigoma huku mka- uhifadhi wa klorini. waji wa mafunzo kwa asasi zo ukiwa katika jamii za vijiji- za kijamii zinazosimamia maji ni ili kuhakikisha watu wa Ki- Ili kuimarisha uwezo wa katika wilaya za Kibondo na goma wanapata maji safi na wilaya kuendesha usimamizi Kasulu, ambako viongozo wa salama. wa mara kwa mara wa ubo- vijiji na wajumbe wa kama-

SIKU YA KIMATAIFA YA WANAOJITOLEA (IVD)

10: Kupunguza Ukosefu wa Usawa na kupigania usawa na ujumuishi katika kujitolea.

Programu ya Umoja wa Mataifa ya Wanaojitolea (UNV) iliratibu na kujenga ushirika na asasi 27 zisizo za serikali ili kwa pamoja kuadhimisha IVD huko Arusha. Tukio hilo lilifadhiliwa na Mashirika ya UN yanayowapokea Wanao- jitolea wa Umoja wa Mataifa.

Wanachama wa Kujitolea wa Umoja wa Mataifa na wanaojitolea katika AZAKI Akizungumza katika maadhi- mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja na Maofisa wa Umoja wa Mataifa wakati wa Siku ya Kimataifa ya Wanaojitolea iliyoadhimishwa Arusha. Zaidi misho hayo, Bi. Christine ya watu wanaojitolea 250 kutoka katika asasi mbalimbali walishiriki katika Musisi, Mwakilishi Mkazi wa maadhimisho hayo. Picha| Idara ya Mawasiliano ya UNV UNDP, alisisitiza kwamba: iku ya Kimataifa ya Wanao- katika kutekeleza Malengo ya “Siku ya Kimataifa ya Kujitolea Sjitolea (IVD) huadhimishwa Maendeleo Endelevu (SDGs). inaangazia nguvu na uweze- kila Desemba 5. Siku hii ni kano wa moyo wa kujitolea. Ili fursa muhimu ya kuhamasi- Ujumbe wa mwaka huu wa kufikia maendeleo endelevu, sha kujitolea, kusaidia juhudi IVD ni: ‘Jitolee kwa ajili ya tunahitaji kumjumuisha kila za kujitolea, na kutambua Kujenga Hatima Jumuishi’, mmoja kutoka katika nyanja ‘mchango’ wa wanaojitolea ambapo uliangazia Lengo la zote za maisha.

Inaendelea Ukurasa wa Nane (8)

This newsletter is published by the UN Communication Group in Tanzania. To subscribe and provide feedback, please contact us at: [email protected] | Website: www.tanzania.un.org | Tel: (+255) 22-219-5021 7 Kutoka ukurasa wa saba (7)

Bw. Christian Mwamanga, Mratibu wa Nchi wa UNV akiwa katika moja ya mahojiano na Bi. Christine Musisi, Mwakilishi Mkazi wa UNDP kabla ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanaojitolea ya Mwaka 2019. Picha| Idara ya Mawasiliano ya UNV

Baada ya kutumikia kama wa Mataifa hupewa moyo na mmoja wa Wanaojitolea wa Bw. Christian Mwamanga, amali zenye historia ndefu Umoja wa Mataifa wakati Mratibu wa Nchi wa UNV Tan- nchini Tanzania katika masu- ninaanza kazi katika Umoja zania, pia alisisitiza kwamba ala ya kujitolea na utamaduni wa Mataifa, mimi ninatoa ush- IVD inaadhimisha juhudi wake wa falsafa ya na uhuda halisi kabisa kuhusu zisizokoma za wanaojitolea Kujitegemea. kujitolea kulivyo na manufaa ambao huitikia katika nya- makubwa na matokeo cha- kati za majanga ili kudumisha Zaidi ya wanaojitolea 350 nya katika kuleta maendeleo utu wa binadamu kwa ajili zikiwemo jamii na vijana endelevu ya watu kote duni- ya wote na kwamba wanan- wanaojitolea, wale wana- ani.” chama wa kujitolea wa Umoja otoka katika vyuo vya elimu ya juu, waelimisha rika vijana na Wanaojitolea wa Umoja wa Mataifa walishiriki katika maadhimisho hayo huko Aru- sha na kuzungumzia uzoefu wao, huku walioshiriki wakiji- unga katika kupanda miti na kufanya usafi katika viwanja vya hospitali.

Wanachama wa Kujitolea wa Umoja wa Mataifa wakishiriki katika shu- ghuli za kutoa huduma kwa jamii kupitia kibanda cha maonyesho ya SDGs katika Siku ya Kimataifa ya Wanaojitolea iliyoadhimishwa jijini Arusha. Picha| Idara ya Mawasiliano ya UNV

This newsletter is published by the UN Communication Group in Tanzania. To subscribe and provide feedback, 8 please contact us at: [email protected] | Website: www.tanzania.un.org | Tel: (+255) 22-219-5021 RIPOTI MAALUMU: SAUTI ZA WATOTO NA VIJANA ZASIKIKA BAADA YA WATU WENYE USHAWISHI KUAHIDI KUSAIDIA HAKI ZAO KATIKA SIKU YA WATOTO DUNIANI

vilevile fursa ambazo wana- ona kuwa zitaleta mabadiliko nyumbani, shuleni na katika jamii wanamoishi.

Maadhimisho hayo yalikuwa fursa kwa watoto kujadiliana Ajenda hiyo na mapende- kezo yake na wadau muhimu, ambapo yote yalihitimishwa kwa utiwaji saini na seri- kali, wahariri wa vyombo vya habari, viongozi wa dini, Wabunge, washirika wa maendeleo, wajenga ushaw- ishi kupitia mitandao na watu Watoto wa Tanzania “Wageuka Bluu”: Watoto #GoBlue katika maadhimisho ya Siku ya Watoto Duniani! Mwaka 2019 ulikuwa wa kumbukumbu za miaka maarufu, pamoja na sekta 30 za Mkataba wa Haki za Mtoto, ambalo lilikuwa tukio la pekee kwa viongozi binafsi. wa dunia na wadau kurejea ahadi zao za kuendeleza haki haki za mtoto nchini. Picha | UNICEF Tanzania/Studio 19 Katika hotuba yake, Rais hirika la Umoja wa Mataifa wa Mataifa, Mabalozi, watoto Mstaafu, Mzee Mwinyi, ali- Sla Kuhudumia Watoto na wadau mbalimbali. wapongeza watoto na vijana (UNICEF) nchini Tanzania lili- kwa kuzungumza kwa uwazi saidia uzinduzi wa Ajenda ya Ajenda hiyo ni mkusanyiko kuhusu haki zao na pia wajibu Watoto na Vijana, ambayo wa maoni ya zaidi ya watoto wao ili kutafuta ufumbuzi: ilikabidhiwa kwa wadau na vijana 50,600 ambao wal- “Nimetiwa moyo sana kusikia muhimu wakati wa maa- ishirikishwa katika mashau- si tu changamoto, ila kwamba dhimisho ya kumbukumbu za riano na kupitia jukwaa la watoto na vijana wanajua miaka 30 za Mkataba wa haki mawasiliano kwa ujumbe kwamba haki inaendana na za Mtoto (CRC@30) na Siku ya mfupi wa simu ‘U-Report’. wajibu na wao wanatambua Watoto Duniani jijini Dar es Jarida la Fema, ambalo wajibu wao katika kutekeleza Salaam mnamo Novemba 20. huwafikia takribani watu mil- Ajenda hii.” Mgeni rasmi katika tukio hilo ioni 5, pia lilitoa elimu kwa alikuwa Rais Mstaafu wa Jam- watoto na vijana kuhusu haki Rene Van Dongen, Kaimu huri ya Muungano wa Tanza- na wajibu wao. Mwakilishi wa UNICEF, alii- nia, Mh. . pongeza Tanzania kwa kupiga Wengine ni pamoja na Naibu Ajenda hiyo ilijadili chan- hatua katika kusimamia haki Waziri wa Afya, Maendeleo ya gamoto ambazo watoto na za watoto tangu iliporidhia Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto vijana wanakabiliana nazo Mkataba huo wa CRC mwaka pamoja na Wakuu na Wawak- katika elimu, afya, kinga ya 1991.

ilishi wa Mashirika ya Umoja watoto na ushiriki wao, na Inaendelea Ukurasa wa Kumi (10)

This newsletter is published by the UN Communication Group in Tanzania. To subscribe and provide feedback, please contact us at: [email protected] | Website: www.tanzania.un.org | Tel: (+255) 22-219-5021 9 Kutoka ukurasa wa Tisa (9) deleza haki za watoto nchini.

Huku akiwatia moyo watoto na vijana kwamba ajenda yao na mapendekezo yamepitish- wa na serikali, Dkt. Nduguli- le alisema: “Tumewasikiliza na tunaahidi kuyafanyia kazi mapendekezo yenu. Serikali ina dhamira ya dhati kuen- delea kushughulikia changa- moto zote zinazowakabili watoto nchini likiwemo suala la ukatili dhidi ya watoto, am- balo kwa kweli ni tatizo nchini kwetu.”

Kama sehemu ya mapende- kezo, mwanamuziki maarufu, Mimi Mars, alizindua wimbo maarufu “Watoto Tuwalinde” “Leo tutazindua rasmi chapisho la Ajenda ya Watoto na Vijana ambalo ambao aliutunga kwa ajili ya limeandaliwa na vijana ili kuimarisha haki za mtoto nchini Tanzania” alisema Rene Van Dongen, Kaimu Mwakilishi wa UNICEF nchini Tanzania wakati watoto wa Tanzania, na am- akionyesha chapisho la Ajenda katika maadhimisho ya Siku ya Mtoto Duniani. bapo majengo sita ikiwemo Picha | UNICEF Tanzania/Studio 19 Jengo la Umoja, Ubalozi wa Kanada, Makao makuu ya Benki ya NMB, Makao Makuu Aliwaasa wadau wote kuta- watoto na vijana wanayase- ya Shirika la Nyumba la Taifa fakari kuhusu yale ambayo ma na kutoa ahadi ya kuen- na Ofisi za UNICEF “yalibadi- lika rangi na kuwa ya bluu” mnamo Novemba 19 kama sehemu ya kampeni ya “Kuwa wa Bluu” ili kuadhimisha mi- aka 30 tangu kutiwa saini kwa Mkataba wa CRC na ku- toa elimu kuhusu masuala ya haki za watoto.

Watoto na vijana wakiwaomba vion- gozi na wadau kutia saini zao katika ahadi zao za kuendeleza haki za watoto nchini Tanzania. Picha | UNICEF Tanzania/Studio 19

Inaendelea Ukurasa wa kumi na moja (11)

This newsletter is published by the UN Communication Group in Tanzania. To subscribe and provide feedback, 10 please contact us at: [email protected] | Website: www.tanzania.un.org | Tel: (+255) 22-219-5021 Kutoka ukurasa wa Kumi (10)

Watoto wakizindua ‘Ajenda ya Watoto & Vijana’ huku viongozi, akiwemo Rais Mstaafu Mh. Ali Hassan Mwinyi, wakitia saini ahadi ya kuthibitisha utayari wao wa kuunga mkono haki za watoto nchini Tanzania. Rais Mwinyi alipitisha Mkataba wa Haki za Mtoto kwa Tanzania mwaka 1991. Picha | UNICEF Tanzania/Studio 19

Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi akirejea ahadi yake ya kuunga mkono haki za mtoto nchini Tanzania, hii ni miaka 30 tangu alipopitisha Mkataba wa Haki za Mtoto. Picha | UNICEF Tanzania/Studio 19

Inaendelea Ukurasa wa kumi na mbili (12)

This newsletter is published by the UN Communication Group in Tanzania. To subscribe and provide feedback, please contact us at: [email protected] | Website: www.tanzania.un.org | Tel: (+255) 22-219-5021 11 Kutoka ukurasa wa Kumi na moja (11)

Watoto na vijana wana matarajio kwamba viongozi wa serikali wataongeza nguvu katika kuendeleza haki za mtoto nchini Tanzania. Picha | UNICEF Tanzania/Studio 19

Mwanamuziki Mtanzania Mimi Mars anaungana na watoto jukwaani wakati wa tumbuizo lake la kushtukiza. Aliimba “Watoto ni taifa la kesho!” – wimbo alioutunga kwa ajili ya watoto wa Tanzania ili kuadhimisha miaka 30 ya Mkataba wa Haki za Mtoto. Picha | UNICEF Tanzania/Studio 19

This newsletter is published by the UN Communication Group in Tanzania. To subscribe and provide feedback, 12 please contact us at: [email protected] | Website: www.tanzania.un.org | Tel: (+255) 22-219-5021 RIPOTI MAALUMU: KUONGEZA JUHUDI KATIKA KUPINGA KABISA UKATILI WA JINSIA

Mh. Ummy Mwalimu, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na Bi. Hodan Addou, Mwakilishi Mkazi wa UN Women Representative, wakifurahia pamoja na wasichana walioshiriki katika uzinduzi wa Siku 16 za Unaharakati wa Kupinga Ukatili wa Jinsia. Uzinduzi ulifanyika Jijini Dodoma. Picha | UN Women Tanzania

Mnamo tarehe 25 Novemba, 10 Desemba. Mh. waziri alia- wanawake na watoto ambao 2019, Mh. Ummy Mwalimu, hidi kwamba Serikali pamoja wamefanyiwa ukatili. Bw. Waziri wa Afya, Maende- na washirika wake wataende- Simon Sirro, ambaye ndiye leo ya Jamii, Jinsia, Wazee lea kuongeza kasi ili kumal- Inspekta Jenerali wa Jeshi na Watoto, alizinduza Siku iza kabisa ukatili wa kijinsia la Polisi Tanzania alifungua 16 za Uanaharakati huko nchini Tanzania. rasmi madawati yaliyofadhi- Dodoma katika kampeni ya liwa na UNFPA huko katika dunia ambayo huanza tangu Wakati huohuo, Madawati wilaya za Bunda, Butiama tarehe 25 Novemba ya Siku ya manne ya Nyongeza ya Jinsia (Mwitongo) na Serengeti, Kimataifa ya Kupinga Ukatili na Watoto katika Vituo vya na dawati lililofadhiliwa na dhidi ya Wanawake. Uana- Polisi (PGCD) yalifunguliwa UN Women katika Wilaya ya haraki huu huendelea mpaka katika Mkoa wa Mara ili kui- Butiama (Kiabakari). Manu- siku ya maadhimisho ya Haki marisha huduma za kuzuia sura wa ukatili kwa msingi za Binadamu Duniani, tarehe na kutoa mwitikio kwa ajili ya Inaendelea Ukurasa wa kumi na nne (14)

This newsletter is published by the UN Communication Group in Tanzania. To subscribe and provide feedback, please contact us at: [email protected] | Website: www.tanzania.un.org | Tel: (+255) 22-219-5021 13 Kutoka ukurasa wa Kumi na tatu (13)

Dawati la Jinsia na Watoto katika Wilaya ya Serengeti, Mkoa wa Mara, litahakikisha kwamba manusura wa vitendo vya ukatili wanapata matunzo na msaada kwa wakati ili waweze kujenga upya maisha yao. Dawati hilo, ambalo lilijengwa kwa msaada wa UNFPA, lilizinduliwa rasmi na Bw. Simon Sirro, Inspekta Jenerali wa Polisi (katikati). Kulia kwake ni Bi Jacqueline Mahon, Mwakilishi wa UNFPA. Picha | UNFPA Tanzania/Warren Bright wa jinsia katika jamii zinazoi- tukio hilo ziliundwa kamati na Michezo, alizindua Kitabu shi katika wilaya hizo sasa za mikoa ili kuendeleza kazi cha Mwongozo kuhusu Jinsia wanaweza kupata huduma ya utetezi katika kukomesha na Vyombo vya Habari. Akizu- za afya, kisheria na kisaiko- ukatili dhidi ya wanawake na ngumza katika uzinduzi huo, lojia katika madawati hayo wasichana. Huko Kigoma, Bi. Hodan Addou, Mwakilishi (PGCDs) na kupata msaada zaidi ya watu 7,000 walifikiwa wa UN Women nchini Tanza- wnaouhitaji ili kuanza kujenga na ujumbe wa kukuza uelewa nia alisisitiza suala la uingiz- upya maisha yao. kuhusu madhara na taathira waji wa jinsia katika sheria ya Kama sehemu ya maadhi- ya vitendo vya ukatili dhidi vyombo vya habari na sera za misho ya Siku 16 za Uana- ya wanawake na wasichana uhariri, akikumbushia ahadi harakati, viongozi 230 wa katika tukio lililofadhiliwa na ya UN Women na mashirika kimila kutoka katika mikoa UN Women. ya Umoja wa Kimataifa katika tisa walitangaza kupiga vita Na katika kutambua mchango kufanya kazi pamoja nchini ndoa za utotoni, ukeketaji wa vyombo vya habari katika Tanzania ili kuimarisha juhudi na mila nyingine potofu kushawishi majadiliano za kukomesha Vitendo vya ambazo zinakiuka haki za kuhusu sera na kukuza elimu Ukatili dhidi ya Wanawake na binadamu za wanawake na kuhusu vitendo vya ukatili kuleta usawa zaidi wa jinsia watoto katika tukio la siku wa kijinsia, Dkt. Har¬rison nchini Tanzania. mbili lililoandaliwa na UN Mwakyembe, Waziri wa Inaendelea Ukurasa wa kumi Women jijini Mwanza. Katika Habari, Utamaduni, Sanaa na tano (15)

This newsletter is published by the UN Communication Group in Tanzania. To subscribe and provide feedback, 14 please contact us at: [email protected] | Website: www.tanzania.un.org | Tel: (+255) 22-219-5021 Kutoka ukurasa wa Kumi na nne (14)

Viongozi wa kimila kutoka katika mikoa tisa tofauti nchini wakiweka ahadi zao za kuimarisha juhudi za kumaliza vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na wasichana katika ngazi ya jamii. Picha | UN Tanzania/Edgar Kiliba

Dkt. Harrison Mwakyembe, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, akizindua Kitabu cha Mwongozo wa Masuala ya Jinsia na Vyombo vya Habari kilichoandaliwa na UN Women. Picha | UN Women Tanzania

This newsletter is published by the UN Communication Group in Tanzania. To subscribe and provide feedback, please contact us at: [email protected] | Website: www.tanzania.un.org | Tel: (+255) 22-219-5021 15 KIGOMA: KUVUNJA UKIMYA JUU YA HEDHI

UNFPA inawasaida wasichana katika Mkoa wa Kigoma kutumia vipawa vyao kikamilifu. Picha | UNFPA/Karlien Truyens

Wanawake wengi katika unafadhiliwa na Shirika la to zake, haswa kwa wasicha- “kijiji change huwapeleka Misaada la Ireland. Mradi huo na wa Kigoma ambako un- mabinti zao kwenye familia ni mwitikio wa mahitaji ya yanyapaa na mila potofu vina za marafiki au ndugu pale kipekee ya afya ya uzazi kwa maana kwamba mchakato wanapokuwa kwenye hedhi,” vijana waliobalehe na vijana huu wa kibiolojia unaweza anasema Aziah (si jina lake wanaoishi katika wilaya nne kuwazuia kushiriki shughuli halisi*), ambaye ni miongoni za Mkoa wa Kigoma Kasulu zao za kila siku na hivyo ku- mwa wasichana wapato 650 DC, Kasulu Mji, Kibondo DC sababisha wao kutengwa. waliovunja ungo ambao na Kakonko DC ambapo kuna Kwa wasichana walio wengi, wameshiriki katika vipindi msaada maalumu kwa ajili ya vipindi vya MHM ndiyo fursa vya mafunzo yanayolenga vijana wanaoishi katika kambi ya kwanza ambayo wame- kuhamasisha usimamizi wa tatu za wakimbizi katika Mkoa wahi kuipata ili kuzungumza salama wa usafi wakati wa wa Kigoma. kwa uwazi kuhusu siku zao za hedhi (MHM) katika kituo hedhi, kuuliza maswali, na ku- cha vijana katika Kambi ya Kipindi cha kuvunja ungo na tambua kwamba ni kitu cha Nyarugusu. Vipindi hivyo ni siku za hedhi kunaweza kule- kawaida kwa maisha yao ya sehemu ya shughuli zilizo ta mkanganyiko mkubwa kwa kubalehe na sehemu kubwa chini ya mradi wa miaka wasichana waliobalehe, hasa ya maisha yao. Zainab (siyo minne wa ‘Ujana Wangu, kama hawana mtu wa kuzu- jina lake halisi*) mwenye umri Nguvu Zangu’ wa Shirika la ngumza naye nyumbani au wa miaka 14, sasa anaelewa Umoja wa Mataifa la Idadi shuleni kuhusu mabadiliko ya Watu (UNFPA) ambao wanayopitia na changamo- Inaendelea Ukurasa wa kumi na saba (17)

This newsletter is published by the UN Communication Group in Tanzania. To subscribe and provide feedback, 16 please contact us at: [email protected] | Website: www.tanzania.un.org | Tel: (+255) 22-219-5021 Kutoka ukurasa wa Kumi na sita (16) Kagoma (si jina lake halisi*), wanarika wenzao walio wan- kuhusu mzunguko wa hedhi ambaye hivi karibuni alishiriki awake na kubadili changamo- na kwanini anaupata. katika warsha ya ‘Fursa Yake’ to za kiutamaduni na aibu il- huko Kasulu, hivi sasa anaele- iyopo kuhusu mzunguko wa Anasema, kama ilivyo kwa wa kwamba hedhi ni suala hedhi wa mwanamke. rafiki zake wengi, alikuwa aki- la asili la kimwili na kwam- kosa kuhudhuria vipindi shu- ba hakuna sababu kwa nini Juhudi za Mradi wa Ujana, am- leni na kubaki nyumbani kati- mama na dada zake wasien- bao uko katika mwaka wa pili ka siku zake za hedhi. Licha ya delee na shughuli zao za kila wa utekelezaji, zitaongezewa mafunzo aliyopata pale katika siku hata wakati wanapokuwa kasi na kujenga programu kituo cha vijana cha Kambi ya katika hedhi. Kagoma ni mi- yenye ufanisi na endelevu ya Nyarugusu, mwelimisha rika ongoni mwa vijana na wavu- MHM ili kila msichana mkoani wa huduma za MHM pia ame- lana waliobalehe 1,260—ku- Kigoma apate msaada na ku- wafikia zaidi ya wasichana na toka katika jamii ya wenyeji wezeshwa kujifunza na hati- wanawake 500 wanoishi ka- na Kambi ya Nyarugusu, am- maye kufikia vipawa vyake tika jamii ambazo mradi huu bao wameelimishwa kuhusu kamili. unafanyika. MHM ili wawaunge mkono

JAMII ZALETA MABADILIKO KATIKA KUMALIZA UKIMWI

ili kufikia shabaha ya Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) ya kumaliza kabisa janga la VVU/UKIMWI ifikapo mwaka 2030.

Nchini Tanzania, Siku ya UKIMWI Duniani iliadhi- mishwa kwa shughuli mbalim- bali zilizodumu wiki nzima katika mkoa wa Mwanza, zilizoandaliwa na Tume ya Taifa ya UKIMWI (TACAIDS), Serikali ya Mkoa wa Mwanza, vyama vya kiraia na washirika Juma la Siku ya UKIMWI Duniani kwa Mwaka 2019 lafunguliwa kwa wa maendeleo, wakiwemo maandamano ya hiyari katika jiji la Mwanza kwa ajili ya Mfuko wa Taifa Programu ya Pamoja kuhusu wa Udhamini wa UKIMWI. Picha| UN Tanzania/Istan Mutashobya VVU/UKIMWI (UNAIDS) na ila Desemba 1 huwa ni ya magonjwa yanayosa- Shirika la Kazi Duniani (ILO). Kmaadhimisho ya Siku ya baishwa na UKIMWI. Ujumbe wa mwaka huu uli- UKIMWI Duniani; ili kuwaunga kuwa: ‘Jamii zinaweza kuleta mkono watu wanaoishi na Maadhimisho hayo hutoa tofauti’ ambao ulilenga VVU na kuwakumbuka wale fursa ya kuamsha uungaji kutambua mchango wa jamii katika ambao walifariki kwa sababu mkono mwitikio dhidi ya VVU Inaendelea Ukurasa wa kumi na nane (18)

This newsletter is published by the UN Communication Group in Tanzania. To subscribe and provide feedback, please contact us at: [email protected] | Website: www.tanzania.un.org | Tel: (+255) 22-219-5021 17 Kutoka ukurasa wa Kumi na saba (17) mia 75 ya watu wanaoshi na nia, aliipongeza serikali kwa kukomesha UKIMWI kama VVU hivi sasa wanapata tiba jitihada zake katika kumaliza kitisho cha afya ya jamii. ya kupunguza makali ya vi- VVU na UKIMWI, na mabadi- rusi, jambo ambalo nalo ni liko ya hivi karibuni Bungeni Mh. , Waziri ongezeko kubwa katika mu- ya kupunguza umri wa hiyari wa Nchi katika Ofisi ya - Wa ongo uliopita. Alimtia moyo wa kupima kutoka miaka 18 ziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana kila mmoja kupima ili kujua hadi 15. na Wenye Ulemavu), alikuwa kama ana VVU au la ili kupa- mgeni rasmi katika maadhi- ta tiba sahihi iwapo atakutwa Katika wiki nzima ya maadhi- mishoya Siku ya UKIMWI Dun- na maambukizi ili kuendele- misho ya Siku ya UKIMWI iani mnamo Desemba 1, na za juhudi za kuzuia maam- Duniani, washirika, vyama aliungana na Waziri wa Nchi bukizi mapya. Vilevile alitoa vya kiraia na washirika wa Ofisi ya Rais (Utawala Bora), wito kwa uratibu makini, un- maendeleo walifanya mao- Mh. ; na Mh. aoshirikisha sekta mbalimba- nyesho ya kazi zao katika Vi- Ummy Mwalimu, Waziri wa li na kuimarisha ushirikiano wanja vya Rock City Mall jijini Afya, Maendeleo ya Jamii, Jin- katika mwitikio dhidi ya VVU Mwanza, ambako waliwavutia sia, Wazee na Watoto, pamo- hatimaye kufikia ‘zero’ tatu zaidi ya wageni 2,000 ambao ja na wakuu wa mikoa. yaani, kutokuwa na maam- walipata nafasi ya kujifunza bukizi kabisa, kutokuwepo kuhusu VVU na UKIMWI. Jum- Akizungumza katika maadhi- kwa unyanyapaa na kutoku- la ya watu 2,265 walitumia misho hayo, Mh. Mhagama wepo kwa vifo vinavyotokana fursa hiyo kujipima ili kujua alizungumzia kupungua kwa na UKIMWI. hali yao ya VVU, wakati amba- kasi ya kuenea kwa VVU tan- po wengine walijitolea damu gu mwaka 2014 ambapo sasa Dkt. Leo Zekeng, Mkurugenzi au kupima saratani ya kizazi. ni asilimia 4.7 kulinganisha wa Nchi wa UNAIDS, akizung- na asilimia 7 na kwamba asili- umza kwa niaba ya UN Tanza-

Dkt. Leo Zekeng, Mkurugenzi wa Nchi wa UNAIDS Tanzania (kulia), akimkaribisha Mh. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu (katikati) na Mh. Ummy Mwalimu, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Wato- to (kushoto) katika maonyesho ya Umoja wa Mataifa Tanzania wakati wa maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani. Picha| UN Tanzania/Istan Mutashobya

This newsletter is published by the UN Communication Group in Tanzania. To subscribe and provide feedback, 18 please contact us at: [email protected] | Website: www.tanzania.un.org | Tel: (+255) 22-219-5021 SOKO LA MKULIMA LA OYSTERBAY LAKABIDHIWA KWA CHAMA CHA USHIRIKA

Wakiwa wamesimama katika picha ya pamoja kutoka kushoto ni Bi. Felista Kimalele, mchuuzi; Bi. Wendy Bigham, Kaimu Mkurugenzi wa Nchi wa WFP; Bi. Ruth Sabai, mwenyekiti wa Chama cha Ushirika wa Masoko cha Wakulima Waswahili; Bw. Jose Correia Nunes, Mkuu wa Ushirikiano wa Maendeleo wa Jumuiya ya Ulaya nchini Tanzania na Afrika Mashariki; na, Bw. Gabriele Maneo, Mkurugenzi wa Nchi wa CEFA, baada ya sherehe za makabidhiano ya Soko la Mkulima la Oyster- bay kwa wachuuzi Waswahili. Picha|UNIC/Laurean Kiiza

wishoni mwa mwaka miaka miwili iliyopita, WFP na limevuka sana hatua hiyo.” M2019, Mpango wa Umoja wa Ulaya zimelitumia Chakula Duniani (WFP) na Soko la Mkulima la Oysterbay Wakati wa tukio hilo, Jose Cor- Umoja wa Ulaya (EU) walik- kama jukwaa la kuhamasisha reia Nunes, Mkuu wa Ushiriki- abidhi Soko la Mkulima la utekelezaji wa mradi wa Bore- ano wa Maendeleo wa Umoja Oysterbay (OFM) kwa Chama sha Lishe na pia kuhamasisha wa Ulaya, alisema Soko la cha Ushirika wa Masoko cha lishe na ulaji mlo kamili kupi- Mkulima lilikuwa fursa kwa Wakulima Waswahili ambayo tia ujumbe unaohusu lishe wakulima wadogo wadogo ni taasisi iliyoundwa hivi kar- katika Soko la Mkulima tangu kujiongezea kipato na ibuni na wauzaji wa sokoni Novemba, 2018. kupata usalama wa chakula wa mazao ya wakulima. na hakuna shaka kwamba “Imekuwa ni safari yenye masoko yana mchango wa Soko la Mkulima la Oyster- bashasha kwa Soko la pekee katika maendeleo ya bay lilianzishwa na WFP kwa Mkulima la Oysterbay,” kijamii na kiuchumi. kushirikiana na CEFA—AZAKI alisema Wendy Bigham, ya Kiitaliano mwaka 2013 Naibu Mkurugenzi wa Nchi CEFA ilisaidia kipindi cha na limekuwa likifadhiliwa wa WFP. “Hapo mwanzo, Soko mpito wa soko tangu kurasi- na Umoja wa Ulaya tangu hili lilianzishwa ili kuhamasi- mishwa na usajili wa ushirika mwaka 2017 kupitia mradi sha jamii za mijini kuzalisha na vilevile kujenga uwezo kwa wa Boresha Lishe. Katika vyakula vya kienyeji. Hivi leo uendeshaji zaidi. Inaendelea Ukurasa wa Ishirini (20)

This newsletter is published by the UN Communication Group in Tanzania. To subscribe and provide feedback, please contact us at: [email protected] | Website: www.tanzania.un.org | Tel: (+255) 22-219-5021 19 Kutoka ukurasa wa Kumi na tisa (19) alisema Bi. Bigham. Ruth Sabai, ambaye ni SIKU ZA UMOJA WA MATAIFA: mwenyekiti wa Chama cha Ushirika cha Wakulima Was- wahili alishukuru Umoja wa Ulaya, WFP na CEFA kwa msaada wao tangu mwaka Januari 27 – Siku ya Umoja wa Mataifa 2013, na aliogneza kusema: ya Kumbukumbu za Mauaji ya “Wachuuzi katika Soko la Mkulima ni vikundi vya wazal- Wayahudi ishaji wadogo au familia zin- azojihusisha na biashara na soko hilo limewapa fursa ya Februari 4 – Siku ya Saratani Duniani kuwa washindani zaidi na kuongeza faida.” Tangu mwis- honi mwa mwaka 2019, Soko la Mkulima la Oysterbay lime- Februari 6 – Siku ya Kimataifa ya kuwa likiendeshwa na Chama Kukomesha Kabisa Ukeketaji (FGM) cha Ushirika wa Masoko cha Wakulima Waswahili. “Tungependa kuishukuru Siku ya Dunia ya Haki za CEFA na kamati ya wachuuzi Februari 20 – kwa kazi nzuri waliyofanya, Kijamii na tunawatakia kila la kheri na mafanikio kwa siku zijazo,”

UMOJA WA MATAIFA MADHUBUTI KWA DUNIA BORA ZAIDI

TANZANIA

Ofisi ya Mratibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa +255 22 219 5021 [email protected] www.tanzania.un.org

This newsletter is published by the UN Communication Group in Tanzania. To subscribe and provide feedback, 20 please contact us at: [email protected] | Website: www.tanzania.un.org | Tel: (+255) 22-219-5021