TOLEO NA.3 JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 MWL. NKWAMA AAPISHWA KUWA KATIBU TSC Mwl. Paulina Nkwama akila kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, kushika wadhifa wa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Aprili 6, 2021 Ikulu jijini Dar es Salaam. MAWASILIANO: Katibu, Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Walimu, Mtaa wa Mtendeni S.L.P 353, DODOMA Simu: +255 (26) 2322402-4 Barua Pepe:
[email protected] Tovuti: www.tsc.go.tz Tume ya Utumishi wa Walimu Tanzania tumeyautumishiwawalimutanzania TAHARIRI 2 TSC TUADHIMISHE MEI MOSI HII TUKIONGOZWA NA KAULIMBIU YA ‘KAZI IENDELEE’ eo familia ya Tume ya sekta ya umma. Tuendelee kuhakikisha haki inatendeka Utumishi wa Walimu kuhakikisha walimu pale wanapotuhumiwa (TSC) tunaungana na tunaowasimamia wanawalea kwa makosa mbalimbali. wafanyakazi wenzetu watoto wanaopita katika Kamwe tusiwe sehemu ya wa kada mbalimbali mikono yao kimwili, kiakili, kuwanyanyasa au kuwaonea Lduniani kote kuadhimisha kiroho na kijamii. walimu kwa namna yoyote. sikukuu ya wafanyakazi, Tuendelee kuwaongoza Tukumbuke kuwa TSC maarufu kama ‘Mei Mosi’ walimu katika kuhakikisha ilianzishwa kwa malengo Ziko namna nyingi hawageuki ‘miiba’ kwa ya kuongeza ufanisi katika za kuadhimisha sikukuu wanafunzi kwa kuenenda kuwahudumia walimu hii zikiwemo sherehe na kinyume na maadili yao na ambao ni kundi kubwa maandamano. Sisi familia ya kuwatendea yasiyopaswa linalochukua asilimia zaidi TSC, pamoja na kusherehekea kutendwa ikiwemo sikukuu hii adhimu, kujihusisha nao kimapenzi na ya 50 ya watumishi wa tunawiwa kuiadhimisha huku kuwa watoro kwa kufundisha umma. Hivyo, tunawajibika tukiongozwa na kaulimbiu vipindi vichache tofauti na kuhakikisha malengo husika ya Rais wetu mpendwa, wanavyotakiwa kufundisha.