TOLEO NA.3 JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU (TSC) MEI 2021 MWL. NKWAMA AAPISHWA KUWA KATIBU TSC

Mwl. Paulina Nkwama akila kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa , kushika wadhifa wa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Aprili 6, 2021 Ikulu jijini Dar es Salaam.

MAWASILIANO: Katibu, Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Walimu, Mtaa wa Mtendeni S.L.P 353, DODOMA Simu: +255 (26) 2322402-4 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.tsc.go.tz

Tume ya Utumishi wa Walimu Tanzania tumeyautumishiwawalimutanzania TAHARIRI 2

TSC TUADHIMISHE MEI MOSI HII TUKIONGOZWA NA KAULIMBIU YA ‘KAZI IENDELEE’

eo familia ya Tume ya sekta ya umma. Tuendelee kuhakikisha haki inatendeka Utumishi wa Walimu kuhakikisha walimu pale wanapotuhumiwa (TSC) tunaungana na tunaowasimamia wanawalea kwa makosa mbalimbali. wafanyakazi wenzetu watoto wanaopita katika Kamwe tusiwe sehemu ya wa kada mbalimbali mikono yao kimwili, kiakili, kuwanyanyasa au kuwaonea Lduniani kote kuadhimisha kiroho na kijamii. walimu kwa namna yoyote. sikukuu ya wafanyakazi, Tuendelee kuwaongoza Tukumbuke kuwa TSC maarufu kama ‘Mei Mosi’ walimu katika kuhakikisha ilianzishwa kwa malengo Ziko namna nyingi hawageuki ‘miiba’ kwa ya kuongeza ufanisi katika za kuadhimisha sikukuu wanafunzi kwa kuenenda kuwahudumia walimu hii zikiwemo sherehe na kinyume na maadili yao na ambao ni kundi kubwa maandamano. Sisi familia ya kuwatendea yasiyopaswa linalochukua asilimia zaidi TSC, pamoja na kusherehekea kutendwa ikiwemo sikukuu hii adhimu, kujihusisha nao kimapenzi na ya 50 ya watumishi wa tunawiwa kuiadhimisha huku kuwa watoro kwa kufundisha umma. Hivyo, tunawajibika tukiongozwa na kaulimbiu vipindi vichache tofauti na kuhakikisha malengo husika ya Rais wetu mpendwa, wanavyotakiwa kufundisha. yanatekelezwa kikamilifu. Mheshimiwa Samia Suluhu Lakini pia, Kazi Iendelee Tunawatakia nyote Hassan ya ‘….Kazi Iendelee’ kwa kuhakikisha tunaendelea maadhimisho mema ya Kazi Iendelee kwa kushughulikia matatizo ya sikukuu ya wafanyakazi kuendelea kusimamia maadili walimu yaliyoainishwa katika duniani. TSC….Kazi mema kwa walimu wa majukumu yetu, ikiwemo Iendelee!

Mwenyekiti Paulina Nkwama KATUNI Wajumbe Moses Chitama Christina Hape Richard Odongo Revocatus Misonge Mectildis Kapinga Lameck Mbeya Mhariri Mkuu Veronica Simba Mhariri Msaidizi Adili Mhina Msanifu Kurasa

BODI YA UHARIRI BODI YA Lucas Gordon

Wasiliana nasi kwa Simu: 0739-669610 & 0735-255238 Barua Pepe: [email protected] Au fika Ofisi ya Mawasiliano, Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Mtaa wa Mtendeni, S.L.P 353, DODOMA. Tume ya Utumishi wa Walimu Tanzania tumeyautumishiwawalimutanzania HABARI 3

na wateule wenzake mbalimbali MWL. NKWAMA katika nafasi za Makatibu Wakuu, Naibu Makatibu Wakuu na Wakuu wa Taasisi. AAPISHWA KUWA Akizungumza mara baada ya kuwaapisha Viongozi hao, Rais Samia aliwataka kuhakikisha KATIBU TSC wanasimamia majukumu na kutekeleza wajibu wao ipasavyo kama ilivyoelekezwa katika Ilani ya Uchaguzi Mkuu ya (CCM) ya mwaka 2020/25. Katika Sekta ya Elimu ambayo TSC inahusika nayo, Rais Samia alielekeza kuendeleza ujenzi wa miundombinu ya elimu, ikiwemo shule 26 za sekondari za wasichana pamoja na kujaza nafasi 6,000 zilizoachwa wazi na walimu waliostaafu. Mwl. Nkwama aliteuliwa na Mheshimiwa Rais Machi 29, 2021 ambapo aliripoti ofisini na kuanza kazi mara moja hapo Aprili 1, mwaka huu, akichukua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia nafasi ya Winfrida Rutaindurwa Suluhu Hassan akitia saini hati ya kiapo ya Katibu wa Tume ya ambaye amemaliza muda wake. Utumishi wa Walimu (TSC), Mwl. Paulina Nkwama, Aprili 6, 2021 Ikulu jijini Dar es Salaam.

Na Veronica Simba

atibu mpya wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Mwl. Paulina Nkwama, aliyeteuliwa na Rais wa Jamhuri Kya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan hivi karibuni, ameapishwa rasmi kushika madaraka hayo. Mwl. Nkwama aliapishwa na Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Mwl. Paulina Rais Samia, Aprili 6 mwaka huu Nkwama, akisaini kiapo alichoapa mbele ya Rais wa Jamhuri ya katika hafla iliyofanyika Ikulu Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kushika jijini Dar es Salaam, sambamba wadhifa huo, Aprili 6, 2021 Ikulu jijini Dar es Salaam.

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI 4 MAAFISA ELIMU KATA WAASWA KUSIMAMIA UBORESHAJI ELIMU Akifafanua, Mwl. Lwikolela alitoa mfano wa kosa la utoro kwa walimu kuwa pamoja na kuathiri utoaji elimu lakini limekuwa halitiliwi maanani kwa kuchukuliwa kama halina uzito. “Wako baadhi ya Walimu hata hawaandai Mpango wa Somo (Lesson Plan) na wanafundisha vipindi vichache tofauti na walivyopangiwa lakini wanaachwa tu. Ni wajibu wenu kuwafuatilia hao na kushirikiana na Wakuu wa Shule katika kuwarudisha kwenye mstari.” Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Hata hivyo, akitoa ufafanuzi (TAMISEMI), , akifungua Mkutano wa Viongozi wa zaidi katika masuala ya nidhamu Maafisa Elimu Kata, Aprili 8, 2021 jijini Dodoma. kwa walimu, Mkurugenzi Msaidizi, Ajira na Maendeleo Na Veronica Simba na ujifunzaji wa wanafunzi katika ya Walimu, Mectildis Kapinga, shule za msingi na sekondari alisema endapo Mwalimu aafisa Elimu huku akieleza kuwa imebainika atabainika kutenda kosa, Kata kote nchini baadhi ya Maafisa hao anayepaswa kutoa adhabu wametakiwa hawasimamii shule za sekondari. kwake kwa mujibu wa sheria kutimiza wajibu “Mnajikita zaidi katika ni Mamlaka yake ya Nidhamu wao wa kutoa shule za msingi na kujisahau ambayo ni Tume ya Utumishi wa Mmsaada wa kitaaluma ili kusimamia shule za sekondari. Walimu (TSC), na siyo vinginevyo. kuwawezesha walimu katika Kote ni wajibu wenu na hakuna Hivyo aliwatahadharisha maeneo yao kufundisha kwa mtu anayepaswa kuwazuia. Maafisa Elimu Kata kutojichukulia ufanisi na hivyo kuboresha Akijitokeza wa kuwazuia tupeni sheria mkononi badala yake, kiwango cha elimu. taarifa tutamchukulia hatua,” ikitokea wamebaini Mwalimu Wito huo umetolewa na alisisitiza. anakiuka maadili ya kazi yake, Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Akiwasilisha mada kuhusu washirikiane na Mkuu wa Shule Tawala za Mikoa na Serikali za majukumu ya Tume ya Utumishi kumkanya ili abadili mwenendo Mitaa (TAMISEMI) David Silinde, wa Walimu katika Mkutano huo, wake na asipojirekebisha alipokuwa akifungua Mkutano Mkurugenzi Msaidizi, Maadili wamripoti kwa Mamlaka yake ya wa Viongozi wa Maafisa Elimu na Nidhamu, Mwalimu Robert Nidhamu ili imchukulie hatua. Kata, Aprili 8 mwaka huu, jijini Lwikolela aliwataka Maafisa Kwa upande wake, akitilia Dodoma. Elimu hao kushughulikia makosa mkazo suala la uwajibishaji Aidha, Naibu Waziri Silinde, yanayofanywa na walimu, walimu wanaokiuka maadili ya amewataka Maafisa Elimu Kata ambayo hayapewi umuhimu kwa kazi, Mkurugenzi wa Utawala kusimamia kikamilifu ufundishaji kudhaniwa ni madogo. na Rasilimaliwatu kutoka

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI 5 MAAFISA ELIMU KATA WAASWA KUSIMAMIA UBORESHAJI ELIMU TSC, Moses Chitama, alishauri kabla ya mwalimu kuripotiwa kwa Tume, zifanyike jitihada katika ngazi ya shule na kata, kukaa na kuzungumza naye ili kumkanya, hususan kwa makosa madogomadogo ambayo yanarekebishika. Mkutano huo wa Maafisa Elimu Kata ulihitimishwa rasmi Aprili 9, 2021 ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Waziri wa Nchi, Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Elimu, Gerald Mweli, na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), akizungumza wakati wa siku ya kwanza ya Mkutano wa Viongozi wa . Maafisa Elimu Kata, Aprili 8, 2021 jijini Dodoma.

Mkurugenzi kutoka Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mkurugenzi Msaidizi, Maadili anayesimamia Elimu ya Awali na Mkurugenzi wa Utawala na na Nidhamu kutoka Tume ya Msingi ambaye pia ni Kamishna Rasilimaliwatu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), wa Tume ya Utumishi wa Utumishi wa Walimu (TSC), Mwalimu Robert Lwikolela Walimu (TSC), Suzan Nussu, Moses Chitama akichangia akiwasilisha mada kuhusu akizungumza wakati wa siku ya mada katika siku ya kwanza ya majukumu ya Tume wakati wa kwanza ya Mkutano wa Viongozi Mkutano wa Viongozi wa Maafisa siku ya kwanza ya Mkutano wa wa Maafisa Elimu Kata, Aprili 8, Elimu Kata, Aprili 8, 2021 jijini Viongozi wa Maafisa Elimu Kata, 2021 jijini Dodoma. Dodoma. Aprili 8, 2021 jijini Dodoma.

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI KATIKA PICHA 6

Mkurugenzi Msaidizi, Ajira na Maendeleo ya Mwenyekiti wa Walimu kutoka Tume Mwenyekiti wa Maafisa Maafisa Elimu Kata, Mwenyekiti wa Maafisa ya Utumishi wa Walimu Elimu Kata, Wilaya Wilaya ya Bagamoyo, Elimu Kata, Wilaya (TSC), Mectildis ya Kyerwa, Oscar Hamisi Mwanankuta, ya Muheza, Danstan Kapinga akichangia Tumwesige, akichangia akichangia mada wakati Mahiza, akichangia mada wakati wa siku ya mada wakati wa siku ya wa siku ya kwanza ya mada wakati wa siku ya kwanza ya Mkutano wa kwanza ya Mkutano wa Mkutano wa Viongozi kwanza ya Mkutano wa Viongozi wa Maafisa Viongozi wa Maafisa wa Maafisa Elimu Kata, Viongozi wa Maafisa Elimu Kata, Aprili 8, Elimu Kata, Aprili 8, Aprili 8, 2021 jijini Elimu Kata, Aprili 8, 2021 jijini Dodoma. 2021 jijini Dodoma. Dodoma. 2021 jijini Dodoma.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), David Silinde (katikati) akiungana na Wajumbe wa Mkutano wa Viongozi wa Maafisa Elimu Kata, kuimba Wimbo wa Taifa, muda mfupi kabla ya kufungua Mkutano huo Aprili 8, 2021 jijini Dodoma. Kulia kwake ni Naibu Katibu Mkuu, TAMISEMI anayeshughulikia Elimu, Gerald Mweli.

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI KATIKA PICHA 7

Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu kutoka Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Moses Chitama (kulia-mbele) na Mkurugenzi Msaidizi, Ajira na Maendeleo ya Walimu Mectildis Kapinga (wa tatu kutoka kushoto – mbele), wakiwa pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali katika siku ya kwanza ya Mkutano wa Viongozi wa Maafisa Elimu Kata, Aprili 8, 2021 jijini Dodoma.

Sehemu ya wajumbe wa Mkutano wa Viongozi wa Maafisa Elimu Kata, wakifuatilia mkutano huo katika siku ya kwanza, Aprili 8, 2021 jijini Dodoma.

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI 8 PROF. SHEMDOE AWAONYA MATAPELI KUHUSU AJIRA ELFU SITA ZA WALIMU

Veronica Simba na Atley Kuni

atibu Mkuu Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe, ametoa onyo kwa watu wanaowatapeli Kwananchi sehemu mbalimbali kwamba wanahusika kwa namna moja ama nyingine katika zoezi la kuajiri walimu 6,000 ili kujaza nafasi zilizoachwa wazi, kama ilivyoagizwa na Rais Samia Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe Suluhu Hassan hivi karibuni. (katikati), akizungumza na Wajumbe wa Menejimenti ya Tume ya Alitoa onyo hilo Aprili 23, Utumishi wa Walimu – TSC (hawapo pichani), alipotembelea Taasisi 2021 mbele ya waandishi wa hiyo jijini Dodoma Aprili 23, 2021 kujionea utekelezaji wa majukumu. habari wakati wa ziara yake ya Kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, kwanza Makao Makuu ya Tume anayehusika na masuala ya Elimu, Gerald Mweli na kulia kwake ni Katibu wa TSC Mwl. Paulina Nkwama. ya Utumishi wa Walimu (TSC) Dodoma, iliyolenga kujionea utekelezaji wa majukumu yao pamoja na kuzungumza na watumishi. Prof. Shemdoe aliwataka watumishi wa umma kuepuka kujihusisha na utapeli huo kwani wakibainika watachukuliwa hatua kali za kinidhamu na kisheria ikiwemo kufukuzwa kazi. Aidha, kuhusu vishoka wanaojihusisha na utapeli huo, Prof. Shemdoe alisisitiza kuwa TAMISEMI itapambana nao vikali. “Mtumishi atakayebainika kujiingiza kwenye suala hili la utapeli anaweza kupoteza Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe kazi. Kwa wale vishoka ambao (mbele-katikati), akizungumza na Wajumbe wa Menejimenti ya Tume wameamua kujichukulia ya Utumishi wa Walimu (TSC), alipotembelea Taasisi hiyo jijini Dodoma fedha za watanzania Aprili 23, 2021 kujionea utekelezaji wa majukumu. Kushoto kwake ni wenzetu wakiwahadaa kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, anayehusika na watawatafutia ajira, tutapambana masuala ya Elimu, Gerald Mweli na kulia kwake ni Katibu wa TSC nao vikali na tutahakikisha sheria Mwl. Paulina Nkwama.

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI 9 PROF. SHEMDOE AWAONYA MATAPELI KUHUSU AJIRA ELFU SITA ZA WALIMU inachukua mkondo tutalitoa kwa wananchi wake.” na siyo vinginevyo,” Kufuatia hali alisisitiza. hiyo, Prof Shemdoe Aidha, alimwagiza alibainisha kuwa ajira Naibu Katibu Mkuu husika zitatolewa kwa wa Ofisi ya Rais – kuzingatia vigezo TAMISEMI, anayehusika vitakavyoainishwa na masuala ya Elimu, katika tangazo Gerald Mweli pamoja litakalotolewa na Ofisi na Katibu wa TSC, Mwl. yake, na kwamba Paulina Nkwama kukaa hakutakuwa na pamoja na kuunda timu upendeleo wa aina itakayoshughulikia ajira Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), yoyote. hizo, huku akisisitiza Mwl. Paulina Nkwama akimkaribisha Katibu Mkuu “Hakuna mtu kuwa timu hiyo iundwe Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe atakayependelewa na watu wenye hofu ya (wa tatu-kushoto) kuzungumza na Wajumbe wa na hatutaangalia nani Mungu ili watende haki. Menejimenti ya Tume hiyo. Prof Shemdoe alitembelea katoka wapi. Hizi ni ajira Alisema Ofisi yake Makao Makuu ya TSC jijini Dodoma, Aprili 23, za watanzania wote, itaendelea kuomba 2021 kujionea utekelezaji wa majukumu yao. Kushoto hivyo tutaangalia vigezo nafasi zaidi za ajira kwa Katibu Mkuu ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya ambavyo tutaviainisha kwani inatambua kuwa Rais – TAMISEMI, anayehusika na masuala ya katika tangazo ambalo wapo vijana wengi Elimu, Gerald Mweli.

Baadhi ya wafanyakazi wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) wakimsikiliza Katibu Mkuu Ofisi Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, ya Rais - TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe (wa anayehusika na masuala ya Elimu, Gerald Mweli pili-kushoto) alipotembelea Makao Makuu ya TSC (katikati), akizungumza na watumishi wa Tume jijini Dodoma, Aprili 23, 2021 kujionea utekelezaji ya Utumishi wa Walimu (TSC), wakati wa ziara wa majukumu yao. Kushoto kwa Katibu Mkuu ni ya Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Prof. Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Riziki Shemdoe (wa pili-kushoto), Aprili 23, 2021 anayehusika na masuala ya Elimu, Gerald Mweli na Makao Makuu ya Tume Dodoma. Wa kwanza wa kwanza kushoto ni Katibu wa TSC, Mwl. Paulina kushoto ni Katibu wa TSC, Mwl. Paulina Nkwama. Nkwama.

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI 10 PROF. SHEMDOE AWAONYA MATAPELI KUHUSU AJIRA ELFU SITA ZA WALIMU waliohitimu lakini hawajapata ajira. Katika hatua nyingine, Katibu Mkuu aliipongeza TSC kwa kazi nzuri inayofanya hususani katika kusimamia maadili kwa walimu walioko katika utumishi wa umma. Aliwataka watendaji wa Taasisi hiyo kuendelea kutimiza majukumu yao kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu hasa wakati wa kufanya maamuzi katika mashauri ya walimu yanayofikishwa kwao. “Serikali imewapa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe, akisaini Kitabu cha Wageni, Ofisini kwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Mwl. Paulina Nkwama (wa pili-kulia). Katibu Mkuu alitembelea Makao Makuu ya Tume jijini Dodoma, Aprili 23, 2021. Wa pili kutoka kushoto ni Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, anayehusika na masuala ya Elimu, Gerald Mweli, wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu TSC, Moses Chitama na wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Idara ya Ajira, Maadili na Maendeleo ya Walimu TSC, Christina Hape.

dhamana na imani kuaminiwa na kuteuliwa kubwa katika kusimamia na Rais Samia kushika maadili ya walimu. wadhifa huo. Aliwataka Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Nawaomba muendelee watumishi wote kumpa Mwl. Paulina Nkwama (kushoto), akimkaribisha kufanya kazi hiyo kwa ushirikiano katika Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Prof. imani ileile ambayo kutekeleza majukumu Riziki Shemdoe (katikati) na Naibu Katibu mmepewa.” yake. Mkuu Ofisi ya Rais – TAMISEMI, anayehusika Prof Shemdoe Akizungumza katika na masuala ya Elimu, Gerald Mweli (kulia), alimpongeza Katibu ziara hiyo, Naibu Katibu walipowasili Makao Makuu ya Tume jijini Dodoma, wa TSC, Mwl. Paulina Mkuu Mweli, alimweleza Aprili 23, 2021 wakiwa katika ziara ya kazi. Nkwama kwa Katibu Mkuu kuwa

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI 11 PROF. SHEMDOE AWAONYA MATAPELI KUHUSU AJIRA ELFU SITA ZA WALIMU

TSC imekuwa ikifanya kazi nzuri ambapo alibainisha kuwa tangu ashike nafasi hiyo, Tume imetekeleza kazi walizokubaliana kwa asilimia 90. Kwa upande wake, akizungumza kwa niaba ya watumishi wote wa TSC, Katibu wa Tume Mwl. Nkwama alisema kuwa wamefarijika sana kupata heshima ya kuwa miongoni mwa taasisi za mwanzo zilizo chini ya TAMISEMI, kutembelewa na Katibu Mkuu ili kujionea utendaji wao. “Tumefarijika sana na ujio wako hasa kwa kuzingatia kuwa ni takriban majuma mawili tu tangu ulipoapishwa na Mhe. Rais kushika wadhifa wa Katibu Mkuu TAMISEMI. Kwa kuthamini, mchango wa kada ya walimu, umeona ziara yako ya kwanza ujielekeze kwenye Ofisi ya Tume ambayo ndiyo yenye kushughulikia masuala mbalimbali ya walimu. Tunaskushukuru sana,” alisema. Tume ya Utumishi wa Walimu ndiyo Mamlaka ya Ajira na Nidhamu Baadhi ya wafanyakazi wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) wakimsikiliza kwa walimu walioko Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe (hayupo katika utumishi wa pichani), aliyekuwa akizungumza nao alipotembelea Makao Makuu ya TSC umma Tanzania Bara. jijini Dodoma, Aprili 23, 2021 kujionea utekelezaji wa majukumu yao.

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI KATIKA PICHA 12 MATUKIO MBALIMBALI WAKATI WA ZIARA YA KATIBU MKUU OFISI YA RAIS – TAMISEMI, PROF RIZIKI SHEMDOE MAKAO MAKUU YA TSC DODOMA

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI 13 KATIBU MPYA TSC AANZA KAZI RASMI Veronica Simba na Jamhuri ya Muungano Adili Mhina wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kushika atibu wa Tume wadhifa huo kuanzia ya Utumishi wa Machi 29 mwaka huu, Walimu (TSC), akichukua nafasi ya Mwalimu Winfrida Rutaindurwa Paulina ambaye amemaliza KNkwama, ameripoti muda wake. Ofisini kwake, Makao Akizungumza na Makuu ya Tume, jijini Menejimenti ya TSC, Dodoma na kuanza kazi muda mfupi baada ya rasmi. kuwasili ofisini hapo, Mwl. Nkwama Mwl. Nkwama alisisitiza ameanza majukumu upendo, ushirikiano na yake, Aprili 1, 2021 mshikamano miongoni baada ya kuteuliwa na mwa watumishi ili Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Mheshimiwa Rais wa kwa pamoja waweze Prof. Willy Komba (kushoto), akimkaribisha Katibu wa Tume hiyo, Mwl. Paulina Nkwama katika Ofisi yake mpya, Makao Makuu ya Tume, Dodoma, baada ya kuripoti rasmi na kuanza kazi, Aprili 1, 2021.

kutimiza azma ya kwa kumwezesha kuihudumia vyema kada katika hatua mbalimbali wanayoisimamia, yaani za maisha yake hadi Walimu walio katika kufikia mahali alipo Utumishi wa Umma. na pia alimshukuru “Kwenye Taasisi Mheshimiwa Rais kwa kukiwa hakuna upendo kumwamini na kumteua ni changamoto, hivyo kushika wadhifa husika. nawaomba tupendane, “Naamini tushirikiane na Mheshimiwa Rais tushikamane. Tukienda aliwaona wengi Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu hivyo, naamini kwa ambao wana sifa za wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Moses msaada wa Mungu, kushika wadhifa huu, Chitama (kulia), akimkabidhi Katibu wa Tume, tutafanikiwa.” lakini akaniamini Mwl. Paulina Nkwama, Ripoti kuhusu Tume husika, Aidha, Mwl. Nkwama mimi na kunipa nafasi wakati wa hafla fupi ya kumkaribisha Ofisini kwake, alitumia nafasi hiyo ya kuwatumikia Makao Makuu Dodoma, baada ya kuripoti rasmi na kueleza shukrani zake Watanzania hususani kuanza kazi, Aprili 1, 2021. kwa Mwenyezi Mungu Walimu ambao Tume

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI 14 KATIBU MPYA TSC AANZA KAZI RASMI itaendelea kufanya kazi Nkwama ili aweze nzuri. kutekeleza majukumu Akizungumza katika yake kwa ufanisi. hafla hiyo fupi ya Awali, akiwasilisha ukaribisho, aliyekuwa Taarifa fupi kuhusu Kaimu Katibu wa TSC, TSC kwa Katibu huyo, Moses Chitama alieleza kuwa Tume imepokea Mkurugenzi Msaidizi uteuzi wa Mwl. Nkwama wa Usimamizi wa kwa furaha kubwa na Rasilimaliwatu, Shani kwamba wana imani Kamala, alibainisha naye. jukumu kuu la Tume Akizungumza kwa kuwa ni kuendeleza na niaba ya Menejimenti kusimamia Utumishi wa na Wafanyakazi wote, Walimu. Mkurugenzi wa Idara Kabla ya uteuzi wake, Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), ya Ajira, Maadili na Mwl. Paulina Nkwama, akiendelea na majukumu Maendeleo ya Walimu Mwl. Nkwama alikuwa Ofisini kwake, Makao Makuu Dodoma, muda mfupi Christina Hape, aliahidi Katibu Tawala Msaidizi baada ya kuripoti rasmi na kuanza kazi, Aprili 1, kuwa watampatia (Elimu), Mkoa wa 2021. ushirikiano Katibu Kilimanjaro. hii inawasimamia. chanya. Namshukuru Kwa upande sana na ninaahidi wake, akimkaribisha sitamwangusha,” alieleza Katibu, Mwenyekiti Mwl. Nkwama. wa TSC, Profesa Willy Vilevile, aliwataka Komba alimpongeza watumishi wote wa kwa kuaminiwa na TSC kutambua kuwa Mheshimiwa Rais yeyé ni mtumishi kushika nafasi hiyo. mwenzao hivyo waache Aidha, Prof. Komba kumwogopa kutokana alimweleza Katibu na wadhifa wake. Badala Nkwama kuwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu yake aliwataka wawe Menejimenti ya TSC (TSC), Mwl. Paulina Nkwama (aliyesimama), huru kushirikiana naye ina Wajumbe mahiri akizungumza na Wajumbe wa Menejimenti, Makao katika kazi huku akiahidi wenye weledi na Makuu Dodoma, muda mfupi baada ya kuripoti kupokea ushauri kutoka utendaji mahiri wa kazi, rasmi na kuanza kazi, Aprili 1, 2021. Kulia kwake kwa yeyote na kuufanyia hivyo anaamini kupitia ni Mwenyekiti wa TSC, Prof Willy Komba na kushoto kazi ili kupata matokeo uongozi wake, Tume kwake ni aliyekuwa Kaimu Katibu, Moses Chitama.

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI KATIKA PICHA 15

Watumishi wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Makao Makuu Dodoma, wakimpokea Katibu wa Tume hiyo, Mwl. Paulina Nkwama, alipowasili kuanza kazi rasmi, Aprili 1, 2021.

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI KATIKA PICHA 16

Mkurugenzi wa Idara ya Ajira, Maadili na Maendeleo ya Walimu, Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Christina Hape (kushoto), akiwasilisha salamu za ukaribisho kwa niaba ya Menejimenti na Wafanyakazi wote, kwa Katibu wa Tume, Mwl. Paulina Nkwama (kulia), baada ya kuripoti rasmi Makao Makuu Dodoma na kuanza kazi, Aprili 1, 2021.

Mkurugenzi Msaidizi wa Usimamizi wa Rasilimaliwatu, Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Shani Kamala, Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Mwl. Paulina akiwasilisha Taarifa kuhusu Tume kwa Nkwama (kushoto), akimshukuru kwa kumfikisha salama Katibu wa TSC, Mwl. Paulina Nkwama na kuagana na aliyekuwa Dereva wake, Sajenti Martin (hayupo pichani), alipokutana na Mwanandota, baada ya kuripoti rasmi Ofisi yake mpya, Menejimenti baada ya kuripoti rasmi Makao Makuu Dodoma, Aprili 1, 2021. Kabla ya uteuzi wake, Makao Makuu Dodoma na kuanza kazi, Mwl. Nkwama alikuwa Katibu Tawala Msaidizi (Elimu), Aprili 1, 2021. Mkoa wa Kilimanjaro.

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI 17 WALIMU WASHAURIWA KUITUMIA TSC KUTATUA KERO ZAO Na Adili Mhina kwa wakati. Kauli hiyo imetolewa alimu hivi karibuni na wame- Mkurugenzi wa Ajira, takiwa Maadili na Maendeleo kuzi- ya Walimu kutoka tumia TSC, Christina Hape Wkikamilifu ofisi za Tume wakati wa kikao kazi ya Utumishi wa Walimu kilichowahusisha (TSC) kwa kuwasilisha walimu wa shule za Mkurugenzi wa Ajira, Maadili na Maendeleo ya kero na changamoto msingi na sekondari wa Walimu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), za kiutumishi Wilaya ya Same mkoani Christina Hape akitoa hotuba yake kwenye kikao wanazokutana nazo Kilimanjaro. cha Walimu wa shule za msingi na sekondari wa katika maeneo ya kazi Kikao hicho kililenga Wilaya ya Same. Kikao hicho kilifanyika hivi ili ziweze kupatiwa kutoa elimu kwa walimu karibuni katika ukumbi wa shule ya sekondari Same ufumbuzi kwa haraka na juu ya masuala ya ajira, na kililenga kuwaelimisha walimu juu ya sheria na taratibu za Utumishi wa Walimu. maadili na maendeleo ya utumishi wa walimu, kusikiliza changamoto za walimu pamoja na kupata maoni yao juu ya mambo mbalimbali yanayolenga kuboresha utumishi wa walimu nchini. Hape alieleza kuwa Serikali iliamua kuanzisha TSC kwa lengo la kumsaidia mwalimu kutatua kero mbalimbali na kumfanya aweze kutekeleza majukumu Mkuu wa Wilaya ya Same, Rosemary Senyamule (kulia) akizungumza na yake ya kufundisha Mkurugenzi wa Ajira, Maadili na Maendeleo ya Walimu wa Tume ya Utumishi wanafunzi katika wa Walimu (TSC), Christina Hape kuhusu masuala mbalimbali ya utumishi mazingira ya amani na wa walimu. Mazungumzo hayo yalifanyika ofisini kwa Mkuu wa Wilaya hivi utulivu. karibuni. “TSC ipo kwasababu

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI 18 WALIMU WASHAURIWA KUITUMIA TSC KUTATUA KERO ZAO walimu mpo, tunafanya zimewekwa kwa mujibu kazi kwa kuwa ninyi wa sheria. mpo, sisi ni watumishi “kuna baadhi ya wenu na tuna wajibu viongozi wakimuona wa kuhakikisha uwepo tu mwalimu ameingia wetu unawasaidia ninyi ofisini kwake, hata kufanya kazi zenu kwa kabla ya kumsikiliza ufanisi. Tupo kwa ajili anaanza kumfokea ya kufanya walimu na kumkaripia mpaka wafanye kazi kwa furaha mwalimu anapoteza Baadhi ya walimu wa Halmashauri ya Wilaya ya na Amani,” alisema. ujasiri wa kujieleza. Same wakiwa katika hali ya furaha wakati wa Alifafanua kuwa Mwingine anagoma kikao kilichowakutanisha na Mkurugenzi wa Ajira, wapo baadhi ya kupitisha barua ya Maadili na Maendeleo ya Walimu kutoka TSC, viongozi wamegeuka mwalimu makusudi tu Christina Hape. kuwa miungu watu ili amkomoe mwalimu, na wamekuwa bila kuelewa kuwa wa umma kama “Mwalimu unapaswa wakiwanyanyasa kufanya hivyo ni walivyo watumishi wa kumheshimu kiongozi walimu pale wanapofika kuvunja sheria,” alisema kada nyingine, hivyo wako lakini sio kwenye ofisi zao kwa Hape. anastahili kuheshimiwa kumuogopa. Miongoni ajili ya kupata huduma Alisisitiza kuwa na kuhudumiwa mwa majukumu ya mbalimbali ambazo mwalimu ni mtumishi vizuri sehemu yoyote TSC kwa mujibu wa anapoingia ilimradi sheria ni kushughulikia hajavunja sheria na malalamiko ya taratibu za utumishi walimu. Hivyo, pale wake. unapotendewa ndivyo Alieleza kuwa pale sivyo usikae kinyonge, ambapo mwalimu leta malalamiko yako amekwenda kwenye sisi tutawasiliana na ofisi ya umma kwa Mamlaka inayohusika masuala ya kiutumishi na utapata haki yako,” na akaona ametendewa alisema Hape. kinyume na utaratibu, Pamoja na asikae kimya, badala hayo, Mkurugenzi yake awasilishe Hape aliwataka Baadhi ya walimu wa Halmashauri ya Wilaya malalamiko kwenye walimu wilayani ya Same waliohudhuria kikao kazi baina yao na ofisi za TSC ili hatua humo kuhakikisha Mkurugenzi wa Ajira, Maadili na Maendeleo ya zichukuliwe kwa haraka wanazingatia nguzo Walimu kutoka TSC, Christina Hape, wakiwa katika na aweze kupatiwa haki za maadili ya kazi ya hali ya utulivu wakati kikao kikiendelea. yake. ualimu ambazo ni

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI 19 WALIMU WASHAURIWA KUITUMIA TSC KUTATUA KERO ZAO pamoja na kumlea ni kwasababu walimu mtoto kiakili, kimwili, wetu wanajitahidi kiroho na kijamii ili kufanya kazi kwa kuandaa Taifa la watu nidhamu na weledi,” wema, wazalendo na alisema. walioelimika. Kwa mujibu wa Aliongeza kuwa taarifa ya Kaimu Katibu walimu wanapaswa Msaidizi, Wilaya ya Same kusoma na kuzingatia ina jumla ya walimu Sheria, Kanuni na 1,966 wanaofundisha Miongozo mbalimbali shule za serikali. Katika inayohusu utumishi wa idadi hiyo, walimu 1,150 walimu ili kuhakikisha ni wa shule za msingi na wanafikia malengo walimu 816 ni wa shule ya Serikali katika za sekondari. kuboresha sekta ya elimu nchini. Naye Kaimu Katibu wa TSC Wilaya ya Same, John Limu alieleza kuwa hali ya nidhamu kwa walimu wilayani hapo ni nzuri kutokana na elimu inayotolewa mara kwa mara juu ya miiko na maadili ya utendaji wa kazi ya ualimu. “Ndugu Mkurugenzi, hali ya nidhamu kwa walimu wa Wilaya hii ni nzuri, katika kipindi cha miezi sita ni shauri moja tu la nidhamu lililofunguliwa. Ukiangalia hata kiwango cha ufaulu Baadhi ya walimu wakichangia mada wakati wa kikao kilichowakutanisha wa wanafunzi kwa Walimu wa Wilaya ya Same na Mkurugenzi wa Ajira, Maadili na Maendeleo ya wilaya hii ni kizuri. Hii Walimu kutoka TSC, Christina Hape.

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI 20 WALIMU MWANGA WAPONGEZWA KWA KUFANYA KAZI KWA NIDHAMU NA WELEDI

Mkurugenzi wa Ajira, Maadili na Kaimu Katibu Msaidizi wa TSC Maendeleo ya Walimu wa Tume Wilaya ya Mwanga, Catherine Mwakilishi wa Afisa Elimu ya Utumishi wa Walimu (TSC), Kimaro akitoa taarifa fupi ya Wilaya ya Mwanga, Hilda Sindato Christina Hape akitoa hotuba utendaji kazi wa Ofisi yake akitoa salamu wakati wa kikao yake kwenye kikao cha walimu wa wakati wa kikao cha walimu na kilichowakutanisha Walimu wa shule za msingi na sekondari wa Mkurugenzi wa Ajira, Maadili na Wilaya hiyo na Mkurugenzi Wilaya ya Mwanga. Kikao hicho Maendeleo ya Walimu kutoka TSC wa Idara ya Ajira, Maadili na kilifanyika hivi karibuni katika Makao Makuu kilichofanyika hivi Maendeleo ya Walimu kutoka TSC shule ya sekondari Mwanga. karibuni wilayani Mwanga. Makao Makuu. Na Adili Mhina

ume ya Utumishi wa Walimu (TSC) imewapongeza walimu wa Wilaya ya Mwanga Hii imefanya hata katika masuala mkoani Kilimanjaro, ya kupandisha madaraja sijasikia kwaT kuendelea kufanya kazi kwa weledi na nidhamu licha malalamiko kuwa kuna mwalimu ya changamoto mbalimbali zinazowakabili. amesahaulika.” Pongezi hizo zimetolewa hivi karibuni na Mkurugenzi wa Idara kiutumishi. miundombinu na huduma ya Ajira, Maadili na Maendeleo Hape alieleza kuwa TSC mbalimbali bado hazijafika. ya Walimu kutoka TSC, Christina inatambua changamoto Aliongeza kuwa, licha ya Hape alipofanya ziara wilayani mbalimbali za Wilaya hiyo changamoto hizo, walimu wa hapo kwa lengo la kukutana ikiwemo upungufu wa walimu Wilaya hiyo wamekuwa mfano na kuzungumza na walimu pamoja na shule nyingi kuwa wa kuigwa kutokana na moyo juu ya masuala mbalimbali ya maeneo ya mbali ambapo wa kufanya kazi kwa bidii na

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI 21 WALIMU MWANGA WAPONGEZWA KWA KUFANYA KAZI KWA NIDHAMU NA WELEDI hapa kwenye mkutano huu wapo baadhi yenu mliolala kwenye magari ili muweze kuwahi,” alisema Hape. Aliongeza kuwa, “pamoja na changamoto hizo mmeendelea kufanya kazi kwa kujituma na kwakweli hata kule Makao Makuu hatujapokea rufaa nyingi zinazohusu utovu wa nidhamu kwa walimu wa Mwanga, naomba niwapongeze sana kwa hilo.” Mkurugenzi Hape alifafanua kuwa, suala la upungufu wa walimu siyo la Wilaya hiyo peke yake bali maeneo mengi ya nchi Baadhi ya walimu wa Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro kuna upungufu wa walimu na wakisikiliza hotuba ya Mkurugenzi wa Idara ya Ajira, Maadili na tayari Serikali imeamua kuchukua Maendeleo ya Walimu kutoka TSC Makao Makuu, Christina Hape (hayupo pichani), alipokutana nao hivi karibuni. hatua za haraka ili kukabiliana na tatizo hilo. kwa nidhamu, kitu kinachofanya mnajitahidi kufanya vizuri, “Mtakumbuka kuwa hivi Mkoa wa Kilimanjaro kuendelea tunatambua kuwa yapo maeneo karibuni Rais wetu mpendwa kuwa miongoni mwa mikoa ya milimani ambayo hata Mheshimiwa Samia Suluhu inayofanya vizuri kitaaluma. kufikika kwake ni changamoto. Hassan alizungumzia suala la “Kwa kweli Mwanga Nimeelezwa kuwa hata kufika upungufu wa walimu na kuagiza

Baadhi ya walimu na wathibiti ubora wa shule wa Wilaya ya Mwanga wakifuatilia hotuba ya Mkurugenzi wa Idara ya Ajira, Maadili na Maendeleo ya Walimu kutoka TSC Makao Makuu, Christina Hape (hayupo pichani).

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI 22 WALIMU MWANGA WAPONGEZWA KWA KUFANYA KAZI KWA NIDHAMU NA WELEDI mnafanya kazi kama timu moja, hakuna mivutano. Kaimu Katibu wa TSC, Maafisa Elimu pamoja na Maafisa Utumishi mnazungumza lugha moja katika kutatua kero za walimu. Hii imefanya hata katika masuala ya kupandisha madaraja sijasikia malalamiko kuwa kuna mwalimu amesahaulika,” alisema Hape. Akitoa taarifa fupi ya utendaji wa TSC wilayani hapo, Kaimu Katibu Msaidizi wa TSC Wilaya ya Mwanga, Catherine Kimaro alisema kuwa, Wilaya hiyo ina jumla ya walimu 1,120 wanaofundisha shule za Serikali. Mmoja wa walimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga akiuliza Katika idadi hiyo, walimu 558 ni swali wakati wa kikao cha Walimu na Mkurugenzi wa Idara ya wa shule za msingi na 562 ni wa Ajira, Maadili na Maendeleo ya Walimu kutoka TSC Makao Makuu, shule za sekondari. Christina Hape (hayupo pichani), kilichofanyika hivi karibuni. Kimaro alieleza kuwa, Wilaya hiyo kwa sasa haina shauri lolote suala hilo tulishughulikie kwa unaofanya walimu wafanye kazi la nidhamu kutokana na juhudi haraka. Vilevile, Waziri wa Nchi kwa moyo, nidhamu na weledi. za Ofisi yake za kutoa elimu kwa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na “Nishukuru Ofisi ya walimu mara kwa mara kuhusu Serikali za Mitaa, Ummy Mwalimu Mkurugenzi Mtendaji pamoja miiko na maadili ya utendaji wa naye amesisitiza kuwa hataki na Ofisi ya TSC Wilaya kwa kuwa kazi. kuona shule yenye walimu wawili au watatu,” alisema Hape. Aliongeza kuwa maagizo ya viongozi hao kuhusu kutatua changamoto ya upungufu wa walimu inaifanya TSC pamoja na mamlaka nyingine zinazohusika kuchukua hatua za haraka kuhakikisha walimu wanaajiriwa ili kujaza maeneo yenye upungufu. Pamoja na hayo, Mkurugenzi huyo alipongeza ushirikiano uliopo kati ya Ofisi ya TSC Wilaya Mmoja wa walimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga akitoa pamoja na Ofisi ya Mkurugenzi maoni ya masuala ya utumishi wa walimu wakati wa kikao cha Mtendaji wa Halmashauri ya Walimu na Mkurugenzi wa Idara ya Ajira, Maadili na Maendeleo ya Wilaya ya Mwanga na kusema Walimu kutoka TSC Makao Makuu, Christina Hape (hayupo pichani), kuwa ushirikiano huo ndiyo kilichofanyika hivi karibuni.

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI 23 WALIMU KILOLO WAONYWA UHUSIANO WA MAPENZI NA WANAFUNZI Na Adili Mhina

alimu wilayani Kilolo, Mkoa wa WIringa wametakiwa kuacha mara moja tabia ya kujihusisha kimapenzi na wanafunzi kwani kufanya hivyo Mkurugenzi wa Ajira, Maadili na Maendeleo ya Walimu wa Tume ya Utumishi ni kukiuka maadili, wa Walimu (TSC), Christina Hape akitoa hotuba yake kwenye Mkutano wa kudhalilisha kazi ya walimu wa Wilaya ya Kilolo uliofanyika katika ukumbi wa Shule ya Sekondari ualimu, kuhatarisha ajira Kilolo, hivi karibuni. Kushoto ni Afisa Elimu Msingi wa Wilaya ya Kilolo, Alloys na kukatisha ndoto za Maira na kulia ni Afisa Mwandamizi kutoka TSC Makao Makuu, Neema wanafunzi. Lemunge. Hayo yalisemwa hivi mashauri ya nidhamu karibuni na Mkurugenzi yanayohusu walimu wa Idara ya Ajira, kuwa na uhusiano wa Maadili na Maendeleo mapenzi na wanafunzi, ya Walimu kutoka Tume jambo ambalo ya Utumishi wa Walimu linadhalilisha kazi ya (TSC), Christina Hape ualimu. alipofanya mkutano “Kilolo kuna tatizo na walimu wa Wilaya kubwa la walimu hiyo kwa lengo la kutoa kuwa na uhusiano elimu juu ya sheria, wa kimapenzi na kanuni na taratibu za wanafunzi, wote utumishi wa walimu. tunatambua kuwa Mkurugenzi wa Ajira, Maadili na Maendeleo ya Katika Mkutano huo hii ni kuvunja miiko Walimu kutoka Tume ya Utumishi wa Walimu uliofanyika kwenye na maadili ya ualimu. (TSC), Christina Hape (kushoto) akimsikiliza ukumbi wa Shule ya Wazazi wametukabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Sekondari Kilolo iliyopo watoto ili tuwalee ya Kilolo, Laini Kamendu juu ya hali ya nidhamu wilayani hapo, Hape kimwili, kiroho na ya walimu katika Wilaya hiyo. Mazungumzo hayo alieleza kuwa Kilolo kiakili lakini baadhi yalifanyika katika ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji, ni moja ya Wilaya yetu wamewafanya Kilolo hivi karibuni. zenye idadi kubwa ya wanafunzi kuwa

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI 24 WALIMU KILOLO WAONYWA UHUSIANO WA MAPENZI NA WANAFUNZI wapenzi wao, jambo na vitendo hivyo, hili halivumiliki,” alisema taarifa itolewe mara Hape. moja na hatua stahiki Aliongeza kuwa, zichukuliwe kwa haraka. kutokana na kukithiri “Ni lazima sasa kila kwa vitendo hivyo, mmoja wetu ajitahidi wazazi na jamii kwa kulinda hadhi na ujumla inaanza kukosa heshima ya mwalimu, imani na walimu juu ya tusikubali kudharaulika usalama wa watoto wao kwa sababu ya watu wawapo shuleni, kitu wachache. Kila mwalimu ambacho kinarudisha awe mlinzi kwa nyuma maendeleo ya mwenzake, ukiona kuna Mwalimu Clementina Kilumile wa shule ya msingi sekta ya elimu nchini. mwenzako anafanya Pomerini iliyopo Halmashauri ya wilaya ya Kilolo, Alisisitiza kuwa, moja vitendo hivyo, toa taarifa akiuliza swali wakati wa Mkutano uliowakutanisha ya njia za kutokomeza kwa Mkuu wa Shule, walimu wa Wilaya ya Kilolo na Mkurugenzi wa tatizo hilo ni kuhakikisha kama hachukui hatua Ajira, Maadili na Maendeleo ya Walimu, Christina kila mwalimu anakuwa nenda ngazi inayofuata Hape (hayupo pichani) kutoka TSC Makao Makuu. mlinzi wa mwenzake ili hadi pale hatua pale inapotokea kuna zitakapochukuliwa,” Aliongeza kuwa tatizo la upungufu wa mmoja anajihusisha alisema Hape. TSC haipo kwa ajili walimu linaongezeka, ya kuwafukuza kazi lakini pamoja na hayo, walimu, ndiyo maana hatuwezi kuwafumbia wakati wote imekuwa macho walimu ambao mstari wa mbele hawataki kubadilika, kuwaelimisha walimu hao lazima tuwaondoe,” juu ya kanuni na alisema. taratibu za utumishi Kabla ya kufanya wao ili wasijiingize mkutano na walimu, kwenye makosa ya Mkurugenzi Hape kinidhamu yanayoweza alifanya mazungumzo kukatisha ajira zao. mafupi na Mkurugenzi “TSC tunawapenda Mtendaji wa Mwalimu Daniel Kamwela wa shule ya msingi sana walimu, hatupendi Halmashauri ya Wilaya Ndengisivili iliyopo Halmashauri ya wilaya ya Kilolo, hata mwalimu mmoja ya Kilolo, Laini Kamendu akiuliza swali wakati wa Mkutano uliowakutanisha apoteze ajira yake. ambaye alikiri kukithiri walimu wa Wilaya ya Kilolo na Mkurugenzi wa Wote tunajua kuwa kwa tatizo hilo kwenye Ajira, Maadili na Maendeleo ya Walimu, Christina walimu waliopo bado ni halmashauri yake. Hape (hayupo pichani) kutoka TSC Makao Makuu. wachache, tukiwafukuza Kamendu alieleza

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI 25 WALIMU KILOLO WAONYWA UHUSIANO WA MAPENZI NA WANAFUNZI kuwa tatizo hilo kwa yake imechukua hatua kiasi kikubwa lipo mbalimbali ikiwemo maeneo ya vijijini kuwasilisha taarifa za ambapo wananchi bado walimu wenye uhusiano hawajawa na mwamko wa mapenzi na mkubwa katika wanafunzi kwenye ofisi kuwalinda watoto dhidi za TSC wilayani hapo ya vitendo visivyofaa ili hatua za kinidhamu ikiwemo vya walimu zichukuliwe kama sheria kuwa na uhusiano wa ya Tume ya Utumishi wa mapenzi na wanafunzi. Walimu ya mwaka 2015 Aliongeza kuwa inavyoelekeza. kutokana na ugumu wa Hata hivyo, maisha ya vijijini, baadhi Mkurugenzi huyo ya walimu wasiozingatia alishauri TSC kutoa maadili ya kazi yao mapendekezo kwa wanatumia mwanya Waziri mwenye huo kuwarubuni dhamana ili ikiwezekana wanafunzi kwa vitu afanye marekebisho ya vidogo vidogo na kanuni za sheria hiyo hatimaye wanawageuza ili kutotoa mwanya wa kuwa wapenzi wao. kuwaachia huru walimu “Watoto wengi wanaofanya vitendo vya wanaofanyiwa vitendo mapenzi na wanafunzi Baadhi ya walimu wakiwa katika hali ya utulivu hivyo wapo maeneo ya kwa kisingizio cha wakati wa hotuba ya Mkurugenzi wa Idara ya vijijini, kwa mfano, kuna kukosa ushahidi wa Ajira, Maadili na Maendeleo ya Walimu kutoka TSC eneo linaitwa Itonya, moja kwa moja. Makao Makuu, Christina Hape (hayupo pichani). huko hata Pikipiki kufika “Kwa kweli kwa hatua ni shida. Wanafunzi tulizochukua, tatizo la Tunaambiwa eti hakuna hiyo na ipo kwenye kule hawana uelewa wa walimu kujihusha na ushahidi wa kutosha, utaratibu wa kutoa mambo mengi kutokana mapenzi na wanafunzi lakini huko mtaani kila mapendekezo ya na mazingira, kule limepungua sana. mtu anajua hao walimu kumshauri Waziri mwalimu anaonekana Kinachonisikitisha ni ni tatizo kwa wanafunzi. mwenye dhamana ili ndiyo kila kitu, kwamba TSC ngazi ya Ni vyema muangalie kufanya maboresho chochote atakachotaka Wilaya inawafukuza upya kanuni hizo ili ya kanuni hizo mwanafunzi atakubali kazi walimu hawa tuwasaidie watoto,” na kuziba mianya na matokeo yake ndoto lakini wanapokata alisisitiza Kamendu. inayowawezesha zao zinazimwa,” alisema rufaa makao makuu Hape alimweleza watuhumiwa Kamendu. wanashinda na Kamendu kuwa TSC kuwarubuni mashahidi Alieleza kuwa ofisi wanarudishwa kazini. imeona changamoto ili wasipatikane na hatia.

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI 26 ZIARA YA TSC MASHULENI YALETA MATOKEO CHANYA TUNDURU kutoka Makao Makuu, anayeshughulikia Utumishi na Ajira, Francis Gwankisa aliwataka kuendeleza utamaduni wa kutoka ofisini na kwenda shuleni kutoa elimu kwa walimu. “Inashangaza kuona baadhi ya Ofisi zetu za Wilaya ambazo hazijawahi kutoka kwenda kufanya ziara mashuleni eti kwa kukosa fedha! Ukiwauliza kama walishawahi kuomba fedha hizo za kufanya ziara, hawana majibu! Hatuwezi kujua mahitaji Kaimu Katibu Msaidizi wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Wilaya ya yenu pasipo ninyi Tunduru, Julius Nchimbi (wa nne kutoka kushoto mstari wa pili), akiwa katika kuomba,” alisisitiza picha ya pamoja na baadhi ya walimu wa Kata ya Mbati wilayani Tunduru. Gwankisa. Nchimbi alikuwa katika ziara ya kazi hivi karibuni. Kwa upande wake, Mkurugenzi Msaidizi, Fikiri Malibiche na Nchimbi alipokuwa adhabu wanazopaswa Ajira na Maendeleo Festo Msagamasi akiwasilisha taarifa ya kuchukuliwa ya Walimu, Mectildis utendaji kazi wa ofisi wanapotenda makosa Kapinga aliwataka meelezwa kuwa, yake kwa Ujumbe wa hayo. Kaimu Makatibu wa TSC ziara za Tume ya TSC Makao Makuu, “Walimu wengi ngazi ya Wilaya kuwa na Utumishi wa Walimu uliotembelea ofisi wamepata elimu hiyo Mpango Kazi. (TSC), Wilaya ya hiyo hivi karibuni kwa undani, shule hadi Akifafanua, alisema Tunduru katika kujionea utekelezaji shule na kwakweli Mpango Kazi ni dira IShule mbalimbali, zenye wa majukumu pamoja katika kipindi cha mwezi ya utendaji kazi lengo la kuelimisha na kuzungumza na Oktoba hadi Disemba, inayobainisha namna walimu kuhusu maadili watumishi. Ofisi yetu haikupokea ya utekelezaji hivyo na nidhamu kazini, Akieleza zaidi, tuhuma zozote akawataka kutekeleza zimeleta matokeo Nchimbi alisema kuwa zinazohusu ukiukwaji agizo hilo mara moja. chanya. ziara hizo zimewezesha wa maadili kwa walimu Aidha, Kapinga Hayo yamebainishwa walimu kupata elimu kutoka kwa Waajiri.” aliwataka kuzingatia na Kaimu Katibu mtambuka ikiwemo Akizungumza na kuandaa taarifa za Msaidizi wa TSC, Wilaya kujua maadili ya kazi watumishi wa Ofisi utendaji kazi wa Ofisi ya Tunduru, Julius ya ualimu, makosa na hiyo, Afisa wa TSC zao kwa kuzingatia

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 HABARI 27 ZIARA YA TSC MASHULENI YALETA MATOKEO CHANYA TUNDURU

Mkurugenzi Msaidizi wa Ajira na Maendeleo ya Walimu kutoka Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Makao Makuu, Mectildis Kapinga, akitoa neno fupi kwa watumishi wa Idara za Elimu Msingi, Elimu sekondari, Wathibiti Ubora wa shule pamoja na watumishi wa TSC Wilaya ya Tunduru. Pembeni yake ni Afisa Utumishi kutoka TSC Makao Makuu, Francis Gwankisa. Ujumbe wa TSC Makao Makuu ulikuwa katika ziara ya kazi hivi karibuni. Mwongozo maalumu kutembelea shule zilizosalia kuzifikia zote kulingana na waliopatiwa kutoka Makao katika Wilaya hiyo. Lengo ni Mpango Kazi uliopo. Makuu ambao unamtaka mtoa taarifa kujumuisha takwimu na majina ya wahusika katika kila tukio analolitolea taarifa. Katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba 2021, Ofisi ya TSC, Wilaya ya Tunduru imefanya ziara katika shule 32 ambapo kati yake, saba (7) ni za sekondari na 25 ni za msingi. Aidha, katika kipindi cha Januari hadi Machi 2021, Ofisi hiyo imefanikiwa kufanya ziara Kaimu Katibu Msaidizi wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), katika shule 18, zikiwemo mbili Wilaya ya Tunduru, Julius Nchimbi akitoa neno mbele ya Maafisa (2) za sekondari na 16 za msingi. wa Tume Makao Makuu na Maafisa Idara za Elimu Msingi, Elimu Kwa mujibu wa Kaimu Sekondari na Wathibiti Ubora wa Shule wa Wilaya ya Tunduru. Ujumbe Katibu Msaidizi Nchimbi, Ofisi wa TSC Makao Makuu ulikuwa katika ziara ya kazi kujionea yake inaendelea na zoezi la utekelezaji wa majukumu katika Wilaya hiyo.

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 MICHEZO 28 TSC QUEENS BINGWA BONANZA LA MEI MOSI Na Veronica Simba

imu ya Mpira wa Pete kutoka Tume ya Utumishi wa Walimu TSC tunathamini michezo kwani (TSC Queens), imetwaa ushindi wa kwanza tunaamini ina mchango mkubwa katika katikaT bonanza maalum la kujenga afya za watumishi wetu. Ndiyo michezo kwa Taasisi za Serikali, maana sisi kama viongozi tumeweka lililofanyika Aprili 24 mwaka huu, jijini Dodoma. mikakati ya kuhakikisha watumishi TSC Queens ilitwaa ushindi wanafanya mazoezi mara kwa mara na huo baada ya kuwabwaga kushiriki katika michezo mbalimbali.” washindani wao kutoka Hospitali ya waliochuana nao vikali katika ngazi ya fainali kwa magoli 25 kwa moja. Awali, Timu hiyo machachari ilipambana na Timu kutoka Wizara ya Fedha na kufanikiwa kuwachakaza mabao 29 kwa 5, hatua iliyowawezesha kufuzu kuingia ngazi ya fainali. Akizungumzia siri ya ushindi huo wa kishindo, Mlezi wa TSC Queens ambaye ni Mkurugenzi Msaidizi wa Rasilimaliwatu, Shani Kamala alisema ni kutokana na kujituma katika kufanya mazoezi ya mara kwa mara. “TSC tunathamini michezo kwani tunaamini ina mchango mkubwa katika kujenga afya za watumishi wetu. Ndiyo maana Wachezaji wa Timu ya Mpira wa Pete kutoka Tume ya Utumishi sisi kama viongozi tumeweka wa Walimu (TSC Queens) wakiwa katika pozi la ushindi baada mikakati ya kuhakikisha ya kuichakaza Timu kutoka Hospitali ya Benjamin Mkapa kwa watumishi wanafanya mazoezi mabao 25 kwa 1, katika fainali za Bonanza la Michezo ya Mei Mosi mara kwa mara na kushiriki lililoshirikisha Taasisi mbalimbali za Serikali, Mkoa wa Dodoma, Aprili katika michezo mbalimbali,” 24, 2021. alifafanua.

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 MICHEZO 29 TSC QUEENS BINGWA BONANZA LA MEI MOSI Wakati huohuo, Timu ya Mpira wa Miguu kutoka TSC (TSC Sports Club) waliibuka washindi wa tatu baada ya kuwachabanga mikwaju 5 ya Penalti wapinzani wao ngazi ya nusu fainali, Timu kutoka Hospitali ya Benjamin Mkapa ambao waliambulia mikwaju 2 tu. Kwa upande wake, Kapteni wa TSC Sports Club, Bitwalihat Magota amesema kikosi chake Kiko vizuri isipokuwa wanahitaji kuongeza zaidi mazoezi na mbinu za kimchezo. Bonanza hilo liliandaliwa na Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE), Mkoa Dafroza Luhwoga ambaye ni mchezaji wa Timu ya Mpira wa Pete wa Dodoma ikiwa ni sehemu kutoka Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC Queens), akifunga goli ya maadhimisho ya Sikukuu ya wakati wa mchezo wa fainali baina ya timu hiyo na wapinzani wao Wafanyakazi Duniani maarufu kutoka Hospitali ya Benjamin Mkapa. TSC Queens ilishinda kwa kama Mei Mosi, ambayo mabao 25 kwa 1. Mashindano hayo yalifanyika Aprili 24 wakati wa Bonanza la Michezo lililoshirikisha Taasisi mbalimbali za Serikali Mkoa huadhimishwa tarehe moja ya wa Dodoma. kila mwezi Mei.

Kikosi cha Mpira wa Miguu kutoka Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC Sports Club), kikiwa uwanjani muda mfupi kabla ya kuchuana na Timu kutoka Hospitali ya Benjamin Mkapa katika Bonanza la Michezo ya Mei Mosi lililoshirikisha Taasisi mbalimbali za Serikali Mkoa wa Dodoma, Aprili 24, 2021.

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 MICHEZO 30 TSC QUEENS BINGWA BONANZA LA MEI MOSI Wachezaji wa Timu ya Mpira wa Pete kutoka Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC Queens) wakiwa na nyuso za furaha baada ya kuichakaza Timu kutoka Wizara ya Fedha kwa mabao 29 kwa 5, katika Bonanza la Michezo ya Mei Mosi lililoshirikisha Taasisi mbalimbali za Serikali, Mkoa wa Dodoma, Aprili 24, 2021.

Wafanyakazi kutoka Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) wakishangilia baada ya Timu yake ya Mpira wa Miguu (TSC Sports Club) kuichakaza timu kutoka Hospitali ya Benjamin Mkapa kwa mikwaju 5 ya penati dhidi ya 2 katika Bonanza la Michezo ya Mei Mosi lililoshirikisha Taasisi mbalimbali za Serikali Mkoa wa Dodoma, Aprili 24, 2021.

Wachezaji wa Timu ya Mpira wa Miguu kutoka Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC Sports Club), wakimsikiliza Kapteni wao Bitwalihat Magota (kushoto) akiwapatia maelekezo kabla ya kuchuana na Timu kutoka Hospitali ya Benjamin Mkapa katika Bonanza la Michezo ya Mei Mosi lililoshirikisha Taasisi mbalimbali za Serikali, Mkoa wa Dodoma, Aprili 24, 2021.

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 MICHEZO 31 TSC QUEENS BINGWA BONANZA LA MEI MOSI

Matukio mbalimbali wakati Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) iliposhiriki Bonanza la Michezo ya Mei Mosi lililoshirikisha Taasisi mbalimbali za Serikali, Mkoa wa Dodoma, Aprili 24, 2021.

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 MICHEZO 32 TSC QUEENS BINGWA BONANZA LA MEI MOSI

Matukio mbalimbali wakati Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) iliposhiriki Bonanza la Michezo ya Mei Mosi lililoshirikisha Taasisi mbalimbali za Serikali, Mkoa wa Dodoma, Aprili 24, 2021.

JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) MEI 2021 MAWASILIANO: Katibu, Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Walimu, Mtaa wa Mtendeni S.L.P 353, DODOMA Simu: +255 (26) 2322402-4 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.tsc.go.tz

Tume ya Utumishi wa Walimu Tanzania tumeyautumishiwawalimutanzania