Majadiliano Ya Bunge ______
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE _________________ MKUTANO WA KUMI NA NANE Kikao cha Kumi na Tatu – Tarehe 10 Februari, 2010 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI (MHE. OMAR YUSSUF MZEE): Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Benki ya Posta Tanzania, kwa Mwaka 2008 [The Annual Report and Accounts of The Tanzania Postal Bank for the Year 2008]. The Mid-Term Review of the Monetary Policy Statement of The Bank of Tanzania for the Year 2009/2010. MWENYEKITI WA KAMATI YA NISHATI NA MADINI: Taarifa ya Kamati ya Nishati na Madini juu ya Taarifa ya Serikali Kuhusu Ubinafsishwaji wa Mgodi wa Kiwira. Taarifa ya Kamati ya Nishati na Madini Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelezaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Mchakato wa Zabuni ya Kuzalisha Umeme wa Dharura Ulioipa Ushindi Kampuni ya Richmond Development Company LLC. Houston Texas - Marekani Mwaka 2006. MWENYEKITI WA KAMATI YA MIUNDOMBINU: Taarifa ya Kamati ya Miundombinu Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelzaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Uendeshaji Usioridhisha wa Shirika la Reli Tanzania uliofanywa na Kampuni ya RITES ya India. 1 Taarifa ya Kamati ya Miundombinu Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelezaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Utendaji wa Kazi Usioridhisha wa Kampuni ya TICTS. MASWALI NA MAJIBU Na. 145 Usimamizi wa Ukaguzi wa Fedha za Halmashauri MHE. HERBERT J. MNTANGI aliuliza:- Kwa kuwa, kiasi cha fedha kinachopelekwa katika Halmashauri za Wilaya, Manispaa na Jiji ni kikubwa na kinahitaji usimamizi wa ziada:- Kwa kuwa kitengo cha ukaguzi wa ndani kipo chini ya Mkurugenzi Mtendaji. -
6 MEI, 2013 MREMA 1.Pmd
6 MEI, 2013 BUNGE LA TANZANIA ________________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Kumi na Tisa – Tarehe 6 Mei, 2013 (Mkutano Ulianza Saa 3.00 Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge tukae. Waheshimiwa, mtakuwa mmepata Supplementary Order Paper, halafu na ile paper ya kwanza Supplementary hiki ni Kikao cha 19, wameandika 18 ni Kikao cha 19. Kwa hiyo, mtakuwa na Supplementary Order Paper. Katibu tuendelee? HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati Zifuatayo Ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI: Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa Mwaka wa Fedha 2013/2014. 1 6 MEI, 2013 MHE. AUGUSTINO M. MASELE (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA): Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ulinzi na Usalama Kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013 Pamoja na Maoni ya Kamati Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara kwa Mwaka wa Fedha 2013/2014. MHE. GRACE S. KIWELU (K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI): Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara kwa Mwaka wa Fedha 2013/2014. MASWALI NA MAJIBU Na. 145 Wajibu wa Wenyeviti wa Mitaa na Vijiji MHE. MARIAM R. KASEMBE (K.n.y. MHE. ANASTAZIA J. WAMBURA) aliuliza:- Msingi mkubwa wa Maendeleo ya Jamii huanzia kwenye ngazi ya Mitaa na Vijiji ambapo hutegemea ubunifu na utendaji wa Viongozi wa ngazi husika. -
MAJADILIANO YA BUNGE ___MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao Cha Hamsini Na Tatu
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ____________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Hamsini na Tatu – Tarehe 19 Juni, 2018 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu. NDG. PAMELA PALLANGYO – KATIBU MEZANI: HATI ZA KUWASILISHA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa mezani na:- WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, SERA, BUNGE, KAZI, VIJANA, AJIRA NA WENYE ULEMAVU (K.n.y. WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO): Taarifa ya mwaka na Hesabu zilizokaguliwa za Bodi ya Mfuko wa Barabara kwa mwaka wa fedha 2014/2015 (The Annual Report and Audited Accounts of the Roads Fund Board for the Financial Year 2014/2015). NAIBU SPIKA: Katibu. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) NDG. PAMELA PALLANGYO – KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU Na. 447 Kupandisha Hadhi Kituo cha Afya Sinza Kuwa Hospitali ya Wilaya MHE. JOSEPH R. SELASINI (K.n.y. MHE. SAED A. KUBENEA) aliuliza:- Mheshimiwa Rais wa Awamu ya Nne alipotembelea Kituo cha Afya cha Palestina kilichopo Kata ya Sinza alitangaza kukipandisha hadhi kuwa Hospitali ya Wilaya. Hata hivyo, bado Serikali inaendelea kuipatia fedha hospitali hiyo kama Kituo cha Afya. Je, ni lini Serikali itaitambua hospitali hiyo kama Hospitali ya Wilaya kwa kuipa fedha na vitendea kazi vinavyofanana na hadhi yake? NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. JOSEPHAT S. KANDEGE) alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Saed Ahmed Kubenea, Mbunge wa Ubungo, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Naibu Spika, Kituo cha Afya cha Palestina kimekuwa kinafanya kazi kama Hospitali ya Wilaya kufuatia tamko la Mheshimiwa Rais wa Awamu ya Nne la tarehe 11 Disemba, 2012. -
MAJADILIANO YA BUNGE ___MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao Cha Arobaini Na Moja
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ____________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Arobaini na Moja – Tarehe 31 Mei, 2018 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Andrew J. Chenge) Alisoma Dua MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Tunaanza kikao chetu cha Arobaini na Moja, Katibu. NDG. LINA KITOSI – KATIBU MEZANI:- HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA MADINI (MHE. STANSLAUS H. NYONGO): Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Wizara ya Madini kwa Mwaka wa Fedha 2018/19. MHE. CATHERINE V. MAGIGE (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA NISHATI NA MADINI): Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kuhusu utekelezaji wa Bajeti na Majukumu ya Wizara 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) ya Madini kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019. MWENYEKITI: Ahsante. Katibu. NDG. LINA KITOSI – KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU MWENYEKITI: Swali letu la kwanza linaelekezwa Ofisi ya Waziri Mkuu na linaulizwa na Mheshimiwa Hawa Mchafu Chakoma, kwa niaba yake Mheshimiwa Amina Mollel. Na. 341 Utekelezaji wa Mpango wa Ukimwi 90-90-90 MHE. AMINA S. MOLLEL (K.n.y MHE. HAWA M. CHAKOMA) aliuliza:- Je, Serikali inatekelezaje Mpango wa UKIMWI wa 90- 90-90? MWENYEKITI: Ahsante Mheshimiwa Mollel. Majibu, Mheshimiwa Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu. NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU (KAZI, AJIRA NA VIJANA) alijibu:- Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa -
20 DESEMBA, 2013 MREMA 1.Pmd
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE ____________ MKUTANO WA KUMI NA NNE Kikao cha Kumi na Nne – Tarehe 20 Desemba, 2013 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Mussa A. Zungu) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati Zifuatazo Ziliwasilisha Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA FEDHA (MHE. SAADA M. SALUM): Taarifa ya Mwaka ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa Mwaka 2011/2012 [The Annual Report of Tanzania Revenue Authority (TRA) for the Year 2011/2012]. 1 Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) [NAIBU WAZIRI WA FEDHA (MHE. SAADA M. SALUM)] Taarifa ya Mwaka na Hesabu Zilizokaguliwa za Fungu 45 – Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi kwa Mwaka wa Fedha ulioishia tarehe 30 Juni, 2012 [The Annual Report and Audited Financial Statement of Vote 45 – National Audit Office for the Financial Year ended 30th June, 2012]. MHE. ABDULKARIM E. H. SHAH – MAKAMU MWENYEKITI WA KAMATI YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA: Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira Kuhusu Utekelezaji wa Shughuli zake kwa Mwaka, 2013. MHE. REBECCA M. MNGODO (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KILIMO, MIFUGO NA MAJI): Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji Kuhusu Utekelezaji wa Shughuli zake kwa Mwaka, 2013. MASWALI NA MAJIBU Na. 159 Kutumia Maji ya Chemchem Jimboni Tabora Kaskazini MHE. ISMAIL A. RAGE (K.n.y. MHE. SHAFFIN A. SUMAR) aliuliza:- Katika Kata za Magiri, Ishilimulwa na maeneo mengine ya Jimbo la Tabora Kaskazini, kunapatikana maji ya chemchem:- Je, kwa -
1 Bunge La Tanzania
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Nane – Tarehe 30 Aprili, 2009 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatazo iliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS: Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira kwa Mwaka wa Fedha ulioishia Juni, 2008 (The Annual Report and Accounts of the National Environment Management Council for the Year Ended June, 2008). MASWALI KWA WAZIRI MKUU MHE. HAMAD RASHID MOHAMED: Mheshimiwa Spika, Serikali katika kutekeleza sera ya Utawala Bora imeviruhusu vyombo vya habari hapa nchini vifanye kazi kwa uhuru mkubwa sana. Na vyombo vya habari vimefanya kazi kwa ufanisi mkubwa sana. Je, Mheshimiwa Waziri Mkuu ni halali kwa mmiliki wa vyombo vya habari kutumia chombo cha habari, kuwahukumu watu kwa chombo chake cha habari, hiyo ni sehemu ya sera za utawala bora? (Makofi) WAZIRI MKUU: Mheshimiwa Spika, nilihisi ataniuliza kitu kama hiki. (Makofi/Kicheko) Niseme kwamba kwa hili ambalo hasa unalizungumzia tunaweza tukalitazama kwa namna mbili; moja, sawa ametumia uhuru ule amesema alichosema. Sasa jukumu ni la yule aliyesemwa katika mazingira yale kama anaona ameonewa, hakutendewa haki 1 vyombo vya sheria vipo anaweza kabisa akaenda mahakamani akafungua kesi kulingana na aina ya matamshi ambayo yeye kayapata. Lakini kwa maana ya yeye kwamba alitumia fursa ile upande mmoja ni sawa kama Hamad Rashid Mohamed ambaye angeweza kutumia chombo kingine chochote. (Makofi) Lakini liko eneo la pili kwamba katika kutoa matamshi haya mimi nasema kwa Mtanzania yeyote ni vizuri sana tukafika mahali tukawa waangalifu sana hasa unapokuwa unagusa jambo ambalo liko mbele ya vyombo vya sheria. -
Tanzania Human Rights Report 2015 Tanzania Mainland Legal and Human Rights Centre (LHRC) Tanzania Human Rights Report 2015
Tanzania Human Rights Report 2015 Tanzania Mainland Legal and Human Rights Centre (LHRC) Tanzania Human Rights Report 2015 Publishers Legal and Human Rights Centre Justice Lugakingira House, Kijitonyama P.O. Box 75254, Dar es Salaam, Tanzania Tel: +255222773038/48, Fax: +255222773037 Email: [email protected] Website: www.humanrights.or.tz Partners - LHRC Accountability in Tanzania (AcT) The Embassy of Norway The Embassy of Sweden ISBN: 978-9987-740-25-3 © LHRC 2016 - ii - Tanzania Human Rights Report 2015 Editorial Board Dr. Helen Kijo-Bisimba Adv. Imelda Urrio Ms. Felista Mauya Adv. Anna Henga Mr. Castor Kalemera Researchers/Writers Mr. Paul Mikongoti Mr. Pasience Mlowe Mr. Fundikila Wazambi Design & Layout Mr. Rodrick Maro - iii - Tanzania Human Rights Report 2015 Acknowledgement Legal and Human Rights Centre (LHRC) has been producing the Tanzania Human Rights Report, documenting the situation in Tanzania Mainland since 2002. In the preparation and production of this report LHRC receives both material and financial support from different players, such as the media, academic institutions, other CSOs, researchers and community members as well as development partners. These players have made it possible for LHRC to continue preparing the report due to its high demand. In preparing the Tanzania Human Rights Report 2015, LHRC received cooperation from the Judiciary, the Legislature and the Executive arms of the State. Various reports from different government departments and research findings have greatly contributed to the finalization of this report. Hansards and judicial decisions form the basis of arguments and observations made by the LHRC. The information was gathered through official correspondences with the relevant authorities, while other information was obtained online through various websites. -
Majadiliano Ya Bunge
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _________________ MAJADILIANO YA BUNGE _________________ MKUTANO WA ISHIRINI Kikao cha Ishirini na Nane – Tarehe 12 Julai, 2010 (Mkutano ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI: Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na: NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI (MHE. MWANTUMU B. MAHIZA): Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa Mwaka 2010/2011. Taarifa ya Mwaka ya Mamlaka ya Elimu Tanzania kwa Mwaka 2008/2009 [The Annual Report of Tanzania Education Authrority for the Year 2008/2009]. MHE. OMARI SHABANI KWAANGW’ - MWENYEKITI WA KAMATI YA HUDUMA ZA JAMII: Taarifa ya Kamati ya Huduma za Jamii Kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa Mwaka wa Fedha 2009/2010 pamoja na maoni ya Kamati Kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha, 2010/2011. MHE. NURU AWADH BAFADHIL K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI KUHUSU WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI: Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani Kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa Mwaka wa Fedha 2010/2011. NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA: 1 Taarifa ya mwaka na Hesabu zilizokaguliwa za Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa kwa Mwaka 2008/2009 [The Annual Report and Audited Accounts of the Local Authorities Pensions Fund (LAPF) for the Year 2008/2009]. NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI (MHE. OMAR YUSSUF MZEE): Randama za Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Fedha na Uchumi kwa Mwaka wa Fedha 2010/2011. -
Majadiliano Ya Bunge
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA __________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao cha Kumi na Tatu – Tarehe 21 Aprili, 2020 (Bunge Lilianza Saa Nane Mchana) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua NDG. RAMADHANI ISSA ABDALLAH - KATIBU MEZANI: HATI ZA KUWASILISHA MEZANI Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA MADINI: Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Madini kwa mwaka wa fedha 2020/2021. MHE. DUNSTAN L. KITANDULA - MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI: Maoni ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kuhusu utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Madini kwa mwaka wa fedha 2019/2020 pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2020/2021. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) MHE. JOHN W. HECHE - MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI WA WIZARA YA MADINI: Maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Madini kwa mwaka wa fedha 2020/2021 MASWALI NA MAJIBU (Maswali yafuatayo yameulizwa na kujibiwa kwa njia ya mtandao) Na. 113 Ahadi ya Ujenzi wa Barabara za Lami-Arumeru MHE. DKT. JOHN D. PALLANGYO aliuliza:- Rais wa Awamu ya Nne aliahidi kujenga barabara ya Sangis Toangam Kwenda Aken, Kimundo hadi Ubungo Kwa Kiwango cha lami. Vilevile Rais Dkt. John Magufuli wakati wa kampeni aliahidi ujenzi wa barabara ya kilometa 5 kwa kiwango cha lami:- Je, ni lini Serikali itatimiza ahadi hizo zilizotolewa kwa wananchi wa Arumeru Mashariki? WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA alijibu:- Mheshimiwa Spika, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Dkt. -
Online Document)
Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA __________ MAJADILIANO YA BUNGE __________ MKUTANO WA ISHIRINI Kikao cha Saba – Tarehe 19 Mei, 2015 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe Anne S. Makinda) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, jana kipindi cha saa tano asubuhi, Ndugu yetu Mwandishi wa Habari na Mtangazaji wa TBC, Kanda ya Kati alikuwa kazini. Bahati mbaya afya yake ikabadilika ikabidi akimbizwe kwenye dispensary yetu hapa. Walipojaribu kumsaidia kule hali ikaonekana inazidi kuwa mbaya akakimbizwa kwenye hospitali ya Mkoa. Kwa bahati mbaya, saa tano usiku akawa ameaga dunia. Huyu kijana wetu anaitwa Samwel Chamlomo. Kwa hiyo, naomba tusimame dakika moja tumkumbuke kwa sababu alikuwa mwenzatu hapa. (Hapa Waheshimiwa Wabunge walisimama kwa dakika moja kumkumbuka Ndugu Samwel Chamlomo) SPIKA: Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake mahali pema peponi, amen. Ahsante, Katibu. HATI ZA KUWASILISHA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MAZINGIRA): Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira na Muungano) kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. MWENYEKITI WA KAMATI YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA: Taarifa ya Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala Kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) kwa Mwaka wa Fedha 2014/2015 pamoja na maoni ya 1 Nakala ya Mtandao (Online Document) Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _________________ MAJADILIANO YA BUNGE _________________ MKUTANO WA ISHIRINI Kikao cha Kumi na Tatu - Tarehe 22 Juni, 2010 (Mkutano ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI: Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA: Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika kwa Mwaka wa Fedha 2010/2011. MHE. KIDAWA HAMID SALEHE (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KILIMO, MIFUGO NA MAJI): Taarifa ya Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Kilimo. Chakula na Ushirika kwa Mwaka wa Fedha 2009/2010 pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2010/2011. MHE. SALIM HEMED KHAMIS - MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI KUHUSU WIZARA YA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA: Taarifa ya Msemaji wa Mkuu wa Kambi ya Upinzani kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika kwa Mwaka wa Fedha 2010/2011. NAIBU WAZIRI WA MAJI NA UMWAGILIAJI:- Randama za Makadiro ya Matumizi ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji kwa Mwaka wa Fedha 2010/2011. 1 MASWALI NA MAJIBU Na. 86 Kuhusu Soko la Wamachinga Dar es Salaam MHE. MOHAMMED ALI SAID aliuliza:- Soko la Wamachinga lililopo Ilala Jijini Dar es Salaam lilitegemewa liwe limefunguliwa ndani ya mwaka 2009:- Je, ni sababu ipi iliyokwamisha kufunguliwa na kuanza kufanya kazi? WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu naomba kujibu swali la Mheshimiwa Mohamed Ali Said, Mbunge wa Magogoni, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Naibu Spika, kukwama kufunguliwa kwa soko la Wamachinga Jijini Dar es Salaam kumetokana na kuchelewa kukamilika kwa ujenzi. -
Bunge Newsletter
Bungee Newsletter Issue No 006 MARCH, 2013 MPs elect new committee chairpersons Following the disbanding and reshuffling of (POAC) now becomes the chairperson of PAC Parliamentary Committees by Speaker of the taking over from Mr John Cheyo (Bariadi East- National Assembly, Ms Anne Makinda early last UDP). Mr Zitto will be assisted by Ludewa MP, Mr month, at the start of the Committee session this Deo Filikunjombe (CCM). month legislators elected their chairpersons of The duo worked together in the same positions newly formed committees featuring some new in POAC and proved to be a thorn in the flesh names while some incumbents retained their posts. for corrupt civil servants heading parastatal Like other parliaments in the Commonwealth, organizations. Through elections conducted in Dar two parliamentary oversights committees namely es Salaam yesterday, Ole MP, Mr Rajab Mbarouk the Public Accounts Committee (PAC) and Local Mohammed (CUF) also took over from Vunjo MP, Authorities Accounts Committee (LAAC) is led by Mr Augustino Mrema (TLP) to lead LAAC while MPs from the opposition. former Chair for Energy and Minerals Committee Suleiman Jumanne Zedi, will become his deputy. Kigoma North MP, Mr Zitto Kabwe (Chadema), who was hitherto the chair of the disbanded The parliamentary committee for Economy, Industry Parliamentary Public Organizations Committee and Trade will now be chaired by Mufindi North MP, 1 Mr Mohamed Mgimwa (CCM), it was previously On the other hand, Kigoma Urban MP, Mr Peter chaired by Bariadi West MP, Mr Andrew Chenge Serukamba (CCM) managed to retain his post in (CCM) who has now become the Chairperson of the Infrastructure Development and his deputy the Parliamentary Budget Committee.