Tarehe 2 Novemba, 2016
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
Tarehe 4 Aprili, 2019
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Tatu – Tarehe 4 Aprili, 2019 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, naomba tukae. Leo ni kikao cha tatu cha Mkutano wetu wa Kumi na Tano. Katibu! NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE: HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI: Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, SERA, BUNGE, AJIRA, KAZI VIJANA NA WAZEE NA WENYE ULEMAVU: Taarifa ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2019/2020. MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA - MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA: Taarifa 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2018/2019 pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hiyo kwa mwaka wa fedha 2019/2020. MHE. HASNA S.K. MWILIMA (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA BAJETI): Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kuhusu utekelezaji wa Bajeti ya Mfuko wa Bunge kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Mfuko huo kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020. MHE. DKT. JASMINE T. BUNGA - MAKAMU MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MASUALA YA UKIMWI: Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI kuhusu utekelezaji wa Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu (Tume ya Uratibu na Udhibiti wa UKIMWI) kwa mwaka wa fedha 2018/2019 pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hiyo kwa mwaka wa fedha 2019/2020. -
Tarehe 28 Juni, 2017
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA SABA Kikao cha Hamsini na Tano – Tarehe 28 Juni, 2017 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa tukae. Katibu. NDG. THEONEST RUHILABAKE – KATIBU MEZANI: HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- MHE. GEORGE M. LUBELEJE (K.n.y. MHE. KAPT. MST. GEORGE H. MKUCHIKA - MWENYEKITI WA KAMATI YA HAKI, MAADILI NA MADARAKA YA BUNGE): Taarifa ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kuhusu Shauri la Kudharau Mamlaka ya Spika linalomhusu Mheshimiwa Joshua Samwel Nassari, Mbunge na Shauri la Kusema Uwongo Bungeni linalomhusu Mheshimiwa Conchesta Leonce Rwamlaza, Mbunge. NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Katibu. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) NDG. THEONEST RUHILABAKE – KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, maswali tutaanza na Ofisi ya Waziri Mkuu. Mheshimiwa Mgeni Jadi Kadika, Mbunge wa Viti Maalum, kwa niaba yake Mheshimiwa Mheshimiwa Mwanne Mchemba. Na. 452 Mradi wa MIVARF MHE. MWANNE I. MCHEMBA (K.n.y. MHE. MGENI JADI KADIKA) aliuliza:- Mradi wa MIVARF ni wa Muungano na Makao Makuu yapo Arusha ambapo kazi yake kuu ni kujenga masoko, miundombinu ya barabara, kuongeza thamani na kupeleka maendeleo vijijini:- Je, ni kwa kiasi gani mradi huu umechangia kuleta maendelezo Zanzibar? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU (KAZI, VIJANA NA AJIRA) alijibu: Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Mgeni Jadi Kadika, Mbunge wa Viti Maalum, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Naibu Spika, MIVARF ni programu inayohusika na miundombinu ya masoko, uongezaji thamani ya mazao na huduma za kifedha vijijini. -
Tarehe 27 Mei, 2021
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA TATU Kikao cha Thelathini na Nane – Tarehe 27 Mei, 2021 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaweza tukakaa. Waheshimiwa Wabunge, tunaendelea na Mkutano wetu wa Tatu, leo ni Kikao cha thelathini na Nane, Katibu. NDG. NENELWA MWIHAMBI – KATIBU WA BUNGE: HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI: Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022. MHE. JANEJELLY J. NTATE (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KILIMO, MIFUGO NA MAJI): Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa Mwaka wa Fedha 2020/2021 pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) SPIKA: Ahsante sana Mheshimiwa Janejelly Ntate, Katibu. NDG. NENELWA MWIHAMBI – KATIBU WA BUNGE: MASWALI KWA WAZIRI MKUU SPIKA: Mheshimiwa Waziri Mkuu karibu. Tunaanza kipindi cha maswali na Mheshimiwa Festo Richard Sanga, Mbunge wa Makete. MHE. FESTO R. SANGA: Mheshimiwa Spika, ahsante kwa kunipa nafasi ya kuuliza swali kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu. Mheshimiwa Spika, naomba kuuliza swali ambalo limejikita kwenye usalama. Siku za karibuni hapa nchini kumekuwa na changamoto ya wimbi la ujambazi ambalo linaendelea hasahasa Mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Mbeya, Mwanza na Arusha kitu ambacho kimekuwa kikihatarisha usalama wa wafanyabiashara wetu lakini mali pamoja na usalama wa wananchi wetu. -
Current Affairs Quiz March 2021
Current Affairs Quiz 2021 Current Affairs Quiz March 2021 1. Who is Velcheru Narayana, recently seen in news? A. Professor B. Athletics C. Movie Director D. None of these Explanation: A distinguished scholar, writer, translator and critic, Professor Velcheru Narayana Rao has been elected honorary fellow of Sahitya Akademi. The election of Narayana Rao has been made based on his contribution to the Telugu literature. DISCUSSION 2. Magh Purnima is falls during the Gregorian calendar month of A. January Only B. February Only C. January or February D. None of these Explanation: Prime Minister Narendra Modi has greeted the people on the occasion of Magh Purnima. Maghi Purnima is also known by the name of Magha Purnima. It is known to be a day of the full moon that occurs during the Hindu calendar month of Magh. This day falls during the Gregorian calendar month of January or February. DISCUSSION 3. When National Science Day is celebrated? A. 25 February B. 26 February C. 27 February D. 28 February Explanation: National Science Day is celebrated in India on 28 February each year to mark the discovery of the Raman effect by Indian physicist Sir C. V. Raman on 28 February 1928. On this day, Physicist CV Raman announced the discovery of the 'Raman Effect' for which he was awarded the Nobel Prize Page | 1 Report Errors in the PDF – [email protected] ©All Rights Reserved by Gkseries.com Current Affairs Quiz 2021 in 1930. The day is aimed at spreading the message of the importance of science and its application in human life. -
MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao Cha Ishirini Na Tano
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Ishirini na Tano – Tarehe 10 Mei, 2019 (Bunge lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Tukae, Katibu. NDG. RUTH MAKUNGU – KATIBU MEZANI: Maswali. MASWALI NA MAJIBU NAIBU SPIKA: Maswali, Waheshimiwa Wabunge tutaanza na Ofisi ya Rais TAMISEMI. Mheshimiwa Joel Mwaka Makanyaga Mbunge wa Chilonwa, sasa aulize swali lake. Na. 200 Kukamilisha Ujenzi wa Zahanati ya Kijiji – Chilonwa MHE. JOEL M. MAKANYAGA aliuliza:- Je, Serikali ina mpango gani wa kukamilisha ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Chilonwa iliyoanzishwa kwa nguvu za wananchi ambayo kwa sasa imefikia kwenye linta? NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. MWITA M. WAITARA) alijibu:- 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante. Kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI naomba kujibu swali la Mheshimiwa Joel Mwaka Makanyaga, Mbunge wa Chilonwa, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Naibu Spika, Kata ya Chilonwa ni miongoni mwa Kata 36 za Wilaya ya Chamwino, ina vijiji viwili vya Nzali na Mahama, Kata ina huduma za Zahanati moja iliyopo katika Kijiji cha Nzali. Wananchi wa kijiji cha Mahama walianzisha ujenzi wa Zahanati ya Kijiji ambayo kwa sasa jengo limefikia hatua ya lInta. Katika kuunga mkono juhudi za wananchi, Halmashauri ya Chamwino katika mwaka wa fedha 2019/2020 kupitia mapato yake ya ndani imetenga shilingi milioni 30 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa zahanati hiyo katika Kijiji cha Mahama. Ahsante. NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Joel Makanyaga, swali la nyongeza. -
BUNGE LA KUMI NA MOJA ___MKUTANO WA PILI Kikao
MAONI YA BUNGE KUHUSU MAPENDEKEZO YA MPANGO WA TAIFA KWA MWAKA 2016/2017 BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ______________ BUNGE LA KUMI NA MOJA ___________ MKUTANO WA PILI Kikao cha Tano – Tarehe 1 Februari, 2016 (Bunge Lillianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua HOJA ZA SERIKALI Mapendekezo ya Mpango wa Taifa unaokusudiwa kutekelezwa na Serikali pamoja na Mwongozo wa Kuandaa Mpango na Bajeti ya Serikali katika Mwaka wa Fedha 2016/2017 WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO: Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu lipokee, lijadili na kuishauri Serikali kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2016/2017 na Mwongozo wa kuandaa Mpango na Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2016/2017. Mheshimiwa Spika, napenda kuishukuru kwa dhati kabisa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Bajeti chini ya Mwenyekiti wake Mheshimiwa Hawa Abdulrahman Ghasia, Mbunge wa Mtwara Vijijini na Makamu Mwenyekiti Mheshimiwa Josephat Sinkamba Kandege, Mbunge wa Kalambo kwa ushirikiano wao. (Makofi) Mheshimiwa Spika, maelezo na ushauri mzuri waliotupatia wakati wa kujadili mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2016/2017 na Mwongozo wa kuandaa Mpango na Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2016/2017, umetusaidia katika kuandaa hotuba hii na kuboresha hatua za maandalizi ya mpango wenyewe. Mheshimiwa Spika, kipekee namshukuru Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mheshimiwa Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji, Mbunge na Watendaji 1 MAONI YA BUNGE KUHUSU MAPENDEKEZO YA MPANGO WA TAIFA KWA MWAKA 2016/2017 wote wa Wizara ya Fedha na Mipango wakiongozwa na Katibu Mkuu Dkt. Servacius Beda Likwelile Kwa ushirikiano walionipa katika kutekeleza majukumu yangu pamoja na maandalizi ya hotuba na kuandaa vitabu. -
Tarehe 28 Mei, 2021
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA TATU Kikao cha Thelathini na Tisa– Tarehe 28 Mei, 2021 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, naomba tukae. Waheshimiwa Wabunge, tunaendelea na Mkutano wetu wa Tatu, leo ni Kikao cha Thelathini na Tisa. Katibu. NDG. BAKARI KISHOMA – KATIBU MEZANI: HATI ZA KUWASILISHA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa mezani na:- NAIBU WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO: Randama ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2021/2022. SPIKA: Ahsante sana Mheshimiwa Naibu Waziri Michezo. Katibu. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) NDG. BAKARI KISHOMA – KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Tunaanza na Ofisi ya Rais - TAMISEMI, swali la Mheshimiwa Dkt. Pius Stephen Chaya, Mbunge wa Manyoni Mashariki. Na. 321 Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Manyoni MHE. DKT. PIUS S. CHAYA aliuliza:- Je, Serikali ina mpango gani wa kuanza ujenzi wa Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni kwa sababu Hospitali iliyopo haikidhi mahitaji kutokana na uchakavu na ongezeko la watu? SPIKA: Majibu ya swali hilo muhimu kwa watu wa Manyoni, Mheshimiwa Naibu Waziri Dkt. Festo Dugange. NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. DKT. FESTO J. DUGANGE) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais -TAMISEMI, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Dkt. Pius Stephen Chaya, Mbunge wa Jimbo la Manyoni kama ifuatavyo: Mheshimiwa Spika, Serikali inatambua uwepo wa hospitali 43 kongwe na chakavu za Halmashauri ikiwemo Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni. -
Tarehe 15 Novemba, 2018
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNE LA TANZANIA _______ MAJADILIANO YA BUNGE _______ MKUTANO WA KUMI NA TATU Kikao cha Nane – Tarehe 15 Novemba, 2018 (Bunge lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu! NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE: KIAPO CHA UAMINIFU Wabunge wafutao waliapa:- Mhe. James K. Milya Mhe. Joseph M. Mkundi Mhe. Pauline P. Gekul Mhe. Marwa R. Chacha SPIKA: Waheshimiwa Wabunge tunaendelea, magoli manne bila, Katibu! (Makofi/Vigelegele) (Hapa baadhi ya Wabunge walizungumza bila kufuata utaratibu) NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE: Hati za kuwasilisha mezani. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na: NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO: Maelezo ya Waziri wa Fedha na Mipango kuhusu Muswada wa Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha za Mwaka 2018 (The Microfinance Bill, 2018). MHE. MASHIMBA M. NDAKI (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA BAJETI): Maoni ya Kamati ya Bajeti kuhusu Muswada wa Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha wa Mwaka 2018 yaani The Microfinance act, 2018. SPIKA: Ahsante sana. Sasa namuita Msemeji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani wa Wizara ya Fedha na Mipango. Naona ganzi imeingia, tunaendelea. Katibu. NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE: MASWALI KWA WAZIRI MKUU SPIKA: Maswali kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu, Mheshimiwa Waziri Mkuu karibu. (Makofi) Muuliza swali wa kwanza atakuwa Mheshimiwa Esther Nicolas Matiko, namuondoa kwenye orodha; wa pili ni Mheshimiwa Susan Anslem Jerome Lyimo, namuondoa kwenye orodha. Mheshimiwa Zainab Vulu tafadhali. (Makofi) MHE. SUSAN A. LYIMO: Mheshimiwa Spika, nipo. SPIKA: Mheshimiwa Zainab Vulu. -
Tarehe 14 Novemba, 2018
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE __________ MKUTANO WA KUMI NA TATU Kikao cha Saba – Tarehe 14 Novemba, 2018 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa tukae. Katibu. NDG. LAWRENCE MAKIGI – KATIBU MEZANI: HATI ZA KUWASILISHA MEZANI NAIBU SPIKA: Chief Whip. Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA, BUNGE, KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU (K.n.y. WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA):- Azimio la Bunge la Kuridhia Mkataba wa Kuzuia Uendelezaji, Uzalishaji, Ulimbikizaji wa Silaha za Kibaiolojia na Sumu Pamoja na Uangamizaji wake wa Mwaka 1972 (The Convention on Prohibition of Development, Production and Stockpiling of Bacteriological (Biological) and Toxin Weapons and their Destruction) of 1972. NAIBU SPIKA: Ahsante. Mwenyekiti wa Kamati wa Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) MHE. JORAM I. HONGOLI (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA):- Maoni ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama kuhusu Azimio la Bunge la Kuridhia Mkataba wa Kuzuia Uendelezaji, Uzalishaji, Ulimbikizaji wa Silaha za Kibaiolojia na Sumu Pamoja na Uangamizaji wake wa Mwaka 1972 (The Convention on Prohibition of Development, Production and Stockpiling of Bacteriological (Biological) and Toxin Weapons and their Destruction) of 1972. NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani wa Wizara -
UNDP TANZANIA MID-TERM EVALUATION of the LEGISLATIVE SUPPORT PROJECT PHASE II (2017-2021) November 2019
UNDP TANZANIA MID-TERM EVALUATION OF THE LEGISLATIVE SUPPORT PROJECT PHASE II (2017-2021) November 2019 Disclaimer The Mid-term Evaluation of “UNDP TANZANIA LEGISLATIVE SUPPORT PROJECT PHASE II 2017-2021” has been drafted by Tim Baker and Chris Awinia. The views expressed in this document are those of the authors and do not necessarily represent the views of these institutions. Project Title Legislative Support Project (LSP), Phase II Atlas ID Award 00095419, Project 0009425 Corporate Outcome Citizen expectations for voice, development, the rule of law and accountability are met by stronger systems of democratic governance Corporate Outputs Output 1: Increase the capacity of the National Assembly to effectively scrutinise legislation and its implementation and to monitor government performance in a participatory manner Output 2: More effective parliamentary scrutiny of government budget and expenditure, including monitoring of the Sustainable Development Goals (SDGs) Output 3: Enhance the capacity of the National Assembly to engage citizens and represent their interests in the work of the parliament Output 4: The National Assembly is more effectively engaged in strategic leadership, transparency and external engagement Output 5: Gender is mainstreamed in all functions of the National Assembly Country Tanzania Project Dates Start: 01 January 2017 Planned end: 31 December 2021 Project Budget USD $12,765,600 Funding Source DFID, Royal Danish Embassy, One Fund, Embassy of Ireland, TRAC Implementing party National Assembly Tanzania 2 Table -
MKUTANO WA SABA Kikao Cha Thelathini Na Nane – Tarehe 31
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA SABA Kikao cha Thelathini na Nane – Tarehe 31 Mei, 2017 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Andrew J. Chenge) Alisoma Dua MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, tukae, Katibu. NDG. THEONEST RUHILABAKE – KATIBU MEZANI: HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi za Wizara ya Nishati na Madini kwa mwaka wa fedha 2017/2018 . MWENYEKITI: Ahsante, Katibu. NDG. THEONEST RUHILABAKE – KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU MWENYEKITI: Swali la kwanza kwa siku ya leo ni la Mheshimiwa Aisharose Ndogholi Matembe, Mbunge wa Viti Maalum, linaulizwa kwa niaba yake na Mheshimiwa Mussa Sima na linaelekezwa Ofisi ya Rais, TAMISEMI. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) Na. 307 Uhaba wa Nyumba kwa Watumishi wa Idara ya Afya Singida MHE. MUSSA R. SIMA (K.n.y. MHE. AISHAROSE N. MATEMBE) aliuliza:- Watumishi wa sekta ya afya hususani madaktari wanatakiwa kuishi kwenye maeneo ya kazi ili inapotokea akahitajika inakuwa rahisi kuwahi kwenda kutoa huduma kwa wagonjwa. Hata hivyo, katika Mkoa wa Singida watumishi wengi wa sekta ya afya wanaishi mbali na eneo la kazi hivyo kuwa na changamoto kubwa na wakati mwingine kusababisha vifo vya wagonjwa wakiwemo wajawazito. Je, Serikali ina mikakati gani ya kuhakikisha watumishi wa sekta ya afya wanakuwa na makazi kwenye maeneo jirani ikiwa ni pamoja na kuboresha nyumba chache zilizopo pamoja na kujenga zingine mpya? NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA alijibu:- Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais –TAMISEMI, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Aisharose Matembe, Mbunge wa Viti Maalum, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Mwenyekiti, Mkoa wa Singida una jumla ya nyumba za watumishi wa sekta ya afya 345 kati ya nyumba 1,072 zinazohitajika. -
MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao Cha Ishirini Na Nane
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Ishirini na Nane – Tarehe 15 Mei, 2019 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Tukae. Katibu! NDG. RUTH MAKUNGU – KATIBU MEZANI: HATI ZA KUWASILISHA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani:- WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA: Randama za Makadirio ya Mapato na matumizi ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa mwaka wa fedha 2019/2020. NDG. RUTH MAKUNGU – KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, maswali. Tutaanza na Ofisi ya Rais, TAMISEMI. Mheshimiwa Omari Mohamed Kigua, Mbunge wa Kilindi, sasa aulize swali lake. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) Na. 230 Kununua Hospitali ya Wilaya inayomilikiwa na Kanisa la KKKT MHE. OMARI M. KIGUA aliuliza:- Kwa muda mrefu sasa Wilaya ya Kilindi haina Hospitali ya Wilaya lakini wanayo Hospitali ya Rufaa inayomilikiwa na Kanisa la KKKT, lakini watumishi wote na huduma zote za Hospitali hiyo zinagharamiwa na Halmashauri ya Wilaya (DED) na wao KKKT ni wamiliki wa majengo:- Je, Serikali haioni imefika wakati wa kufanya makubaliano ya kununua Hospitali hiyo ili kupunguza gharama kwa Serikali ya kujenga Hospitali ya Wilaya? NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. JOSEPHAT S. KANDEGE) alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Omary Mohamed Kigua, Mbunge wa Kilindi, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Naibu Spika, mwaka 2010 Serikali kupitia Halmashauri ya Kilindi iliingia mkataba na Kanisa la Kilutheri Dayosisi ya Kaskazini Mashariki kwa lengo la kutumia majengo yanayomilikiwa na kanisa hilo kwa ajili ya utoaji wa huduma za afya kwa wananchi wa Kilindi.