Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
25 JUNI, 2013 MREMA FULL.Pmd
25 JUNI, 2013 BUNGE LA TANZANIA ________________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Hamsini na Sita - Tarehe 25 Juni, 2013 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati Ifuatazo Iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA:- Taarifa ya Mwaka na Hesabu Zilizokaguliwa za TCRA Consumer Consultative Council (TCRA (CCC) kwa Mwaka ulioshia tarehe 30 Juni, 2012 (The Annual Report and Audited Accounts of TCRA Consumer Consultative Council (TCRA – CCC) for the Year Ended 30th June, 2012). MASWALI NA MAJIBU Na. 457 Wakuu wa Mikoa/Wilaya Kuwa Wabunge MHE. CHRISTOWAJA G. MTINDA aliuliza:- Moja ya majukumu ya Bunge ni kuisimamia na kuishauri Serikali na pia Ibara ya 67(2)(g) ya Katiba ya Jamhuri 1 25 JUNI, 2013 ya Muungano wa Tanzania inaeleza kukoma kwa mtu kuwa Mbunge endapo mtu huyo amepewa madaraka ya Afisa Mwandamizi katika Utumishi wa Umma. (a) Je, ni kwa maana gani Wabunge ambao ni Wakuu wa Mikoa au Wakuu wa Wilaya wanatimiza majukumu yao ya Kibunge? (b) Je, ni kwa namna gani viongozi hao wanakiuka Ibara ya 67(2)(g)ya Katiba pamoja na kuwa wanateuliwa na Rais? WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, SERA, URATIBU NA BUNGE) alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Christowaja Gerson Mtinda, Mbunge wa Viti Maalum, lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:- (a) Mheshimiwa Naibu Spika, Wabunge ambao ni Wakuu wa Mikoa au Wilaya wanatimiza majukumu yao ya Kibunge kwa kuzingatia Ibara 63(3)(a) – (e) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. -
TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity?
TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? With Partial Support from a TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? ACKNOWLEDGEMENTS This review was compiled and edited by Tanzania Development Research Group (TADREG) under the supervision of the Steering Group of Policy Forum members, and has been financially supported in part by Water Aid in Tanzania and Policy Forum core funders. The cartoons were drawn by Adam Lutta Published 2013 For more information and to order copies of the review please contact: Policy Forum P.O Box 38486 Dar es Salaam Tel: +255 22 2780200 Website: www.policyforum.or.tz Email: [email protected] ISBN: 978-9987 -708-09-3 © Policy Forum The conclusions drawn and views expressed on the basis of the data and analysis presented in this review do not necessarily reflect those of Policy Forum. Every effort has been made to verify the accuracy of the information contained in this review, including allegations. Nevertheless, Policy Forum cannot guarantee the accuracy and completeness of the contents. Whereas any part of this review may be reproduced providing it is properly sourced, Policy Forum cannot accept responsibility for the consequences of its use for other purposes or in other contexts. Designed by: Jamana Printers b TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? TABLE OF CONTENTS POLICY FORUM’s OBJECTIVES ............................................................................................................. -
1458125147-Hs-6-4-20
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ______________ MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA SITA Kikao cha Nne – Tarehe 3 Februari, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA VIWANDA, BIASHARA NA MASOKO: Taarifa ya Mwaka na Hesabu zilizokaguliwa za Tume ya Ushindani kwa Mwaka wa Fedha 2009/2010 [The Annual Report and Audited Accounts of Fair Competition Commission for the Financial year 2009/2010]. NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI: Taarifa ya Serikali ya Utekelezaji wa Azimio la Bunge juu ya Uendeshaji wa Sekta Ndogo ya Gesi Nchini. MASWALI NA MAJIBU Na. 39 Uwekezaji wa Kibiashara wa Nchi ya Libya Tanzania MHE. JOSEPH O. MBILINYI aliuliza:- Aliyekuwa Kiongozi wa Libya Marehemu Kanali Muamar Gaddafi, alijulikana sana kwa kuwekeza mabilioni ya dolla kwenye nchi mbalimbali za Kiafrika, kibiashara na kijamii kama hoteli, barabara na misikiti: (a) Je, Tanzania ilifaidikaje na uwekezaji wa Gaddafi kibiashara hapa nchini? (b) Kwa kuwa, Serikali ya Tanzania haitambui Serikali ya mpito ya Libya. Je, ni nani anayesimamia uwekezaji wa biashara wa Marehemu Kanali Gaddafi hapa nchini? NAIBU SPIKA: Ahsante sana, mabadiliko hayo hayabadilishi maudhui ya swali. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, UWEKEZAJI NA UWEZESHAJI: Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu naomba kujibu swali la Mheshimiwa Joseph Osmund Mbilinyi, Mbunge wa Mbeya Mjini, lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:- (a) Mheshimiwa Naibu Spika, kwa mujibu wa kumbukumbu zilizopo katika Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Marehemu Kanali Muammar Gaddafi hakuwahi binafsi kuwekeza kibiashara hapa nchini. -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA KUMI NA SITA _________________ Kikao cha Thelathini na Mbili – Tarehe 18 Julai, 2009 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA: Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa Mwaka wa Fedha 2009/2010. Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha kwa Mwaka wa Fedha 2007/2008 (The Annual Report and Accounts of Arusha International Conference Center for the Year 2007/2008) MWENYEKITI WA KAMATI YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA: Taarifa ya Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa Mwaka 2008/2009, pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2009/2010. MHE. HEMED MOHAMMED HEMED (K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI KWA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA): Taarifa kwa Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa Mwaka wa Fedha 2009/2010. NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA: 1 Randama za Makadirio ya Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia kwa Mwaka wa Fedha 2009/2010. HOJA ZA SERIKALI Makadirio ya Matumizi ya Serikali kwa Mwaka 2009/2010 – Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA: Mheshimiwa Naibu Spika, kufuatia Taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama (NUU), naomba kutoa hoja kwamba, Bunge lako Tukufu, likubali kujadili na kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa Mwaka wa Fedha 2009/2010. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Ishirini na Tatu – Tarehe 12 Julai, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Jenista J. Mhagama) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. MASWALI NA MAJIBU Na. 213 Ugumu wa Kutekeleza Kazi za Kiutawala Jimbo la Kwela MHE. IGNAS A. MALOCHA aliuliza:- Jimbo la Kwela, limegawanyika katika Makao Makuu Mawili yaliyojitenga Kijiografia, yaani eneo la ukanda wa juu (Mlimani) na eneo la ukanda wa chini (Bonde la Mto Rukwa) ambapo husababisha ugumu katika kuzitekeleza kazi za kiutawala za uwakilishi hasa ikizingatiwa pia kuwa miundombinu ya barabara ni duni sana:- (a) Je, Serikali haioni kuwa inafaa kuligawa eneo hilo kulingana na Jiografia ili kupata Jimbo jingine au Wilaya? (b) Je, ni kasoro gani zilizosababisha jimbo hilo kukosa sifa za kugawanywa kupata Majimbo mawili kulingana na Jiografia jinsi ilivyo? WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, SERA, URATIBU NA BUNGE alijibu:- 1 Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Ignas Aloyce Malocha, Mbunge wa Kwela, kama ifuatavyo:- (a) Mheshimiwa Mwenyekiti, Jimbo la Uchaguzi hugawanywa kwa kuzingatia Vigezo 13, kama ifuatavyo:- 1. Idadi ya watu; 2. Upatikanaji wa mawasiliano; 3. Hali ya kijiografia; 4. Mgawanyo wa wastani wa idadi ya watu; 5. Hali ya kiuchumi ya Jimbo; 6. Ukubwa wa eneo la Jimbo husika; 7. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA NANE Kikao cha Thelathini na Tisa – Tarehe 2 AGOSTI, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) DUA Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013. SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, naomba mzime vipasa sauti vyenu maana naona vinaingiliana. Ahsante Mheshimiwa Naibu Waziri, tunaingia hatua inayofuata. MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Leo ni siku ya Alhamisi lakini tulishatoa taarifa kwamba Waziri Mkuu yuko safarini kwa hiyo kama kawaida hatutakuwa na kipindi cha maswali hayo. Maswali ya kawaida yapo machache na atakayeuliza swali la kwanza ni Mheshimiwa Vita R. M. Kawawa. Na. 310 Fedha za Uendeshaji Shule za Msingi MHE. VITA R. M. KAWAWA aliuliza:- Kumekuwa na makato ya fedha za uendeshaji wa Shule za Msingi - Capitation bila taarifa hali inayofanya Walimu kuwa na hali ngumu ya uendeshaji wa shule hizo. Je, Serikali ina mipango gani ya kuhakikisha kuwa, fedha za Capitation zinatoloewa kama ilivyotarajiwa ili kupunguza matatizo wanayopata wazazi wa wanafunzi kwa kuchangia gharama za uendeshaji shule? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Vita Rashid Kawawa, Mbunge wa Namtumbo, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) imepanga kila mwanafunzi wa Shule ya Msingi kupata shilingi 10,000 kama fedha za uendeshaji wa shule (Capitation Grant) kwa mwaka. -
Tarehe 15 Aprili, 2011
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA TATU Kikao cha Nane – Tarehe 15 Aprili, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA: Taarifa ya Mwaka na Hesabu zilizokaguliwa za Tume ya Ushindani kwa Mwaka wa Fedha 2008/2009 (The Annual Report and Audited Accounts of the Fair Competition Commission (FCC) for the Financial Year 2008/2009). Taarifa ya Mwaka na Hesabu zilizokaguliwa za Wakala wa Usajili wa Biashara na Utoaji Leseni kwa Mwaka wa Fedha 2006/2007 na Mwaka wa Fedha 2007/2008 (The Annual Reports and Audited Accounts of Business Registrations and Licensing Agency (BRELA) for the Financial Years 2006/2007 and 2007/2008). MASWALI NA MAJIBU Na. 100 Mpango wa Kutwaa Ardhi kwa Ajili ya Kupanga na Kupanua Mji MHE. JOSEPH R. SELASINI (K.N.Y. MHE. PHILIPA G. MTURANO) aliuliza:- Serikali ina mpango wa kutwaa ardhi za Wananchi wa Kata ya Somangila, Mitaa ya Kizani na Mwera kupima viwanja kwa lengo la kupanua mji; na kwa mujibu wa Sheria ya Vijiji ya Mwaka 1999 na Kanuni zake zinazitaka mamlaka zinazotwaa ardhi za Vijiji kulipa fidia kamili ya haki na ilipwe kwa wakati:- (a) Je, ni Wakazi wangapi wa Mitaa ya Kizani na Mwera wamelipwa fidia ya mali zao, usumbufu, malazi, upotevu wa faida na usafiri? 1 (b) Je, mpaka hivi sasa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke imekamilisha zoezi la ulipaji fidia kwa mujibu wa Sheria husika? (c) Ni kiasi gani cha fedha kimeshatumika katika zoezi hilo? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, ninaomba kujibu swali la Mheshimiwa Philipa Mturano, Mbunge wa Viti Maalum, lenye sehemu (a), (b) na (c), kwa pamoja kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, ninapenda kumfahamisha Mheshimiwa Mbunge kuwa, hadi sasa hakuna Mkazi wa Mtaa wa Kizani na Mwera aliyelipwa fidia. -
Nur Zur Information 06/2012 Juni
Kein Pressedienst - Nur zur Information 06/2012 Juni Zusammengefasste Meldungen aus: Daily/Sunday News (DN), The Guardian, Sunday Observer, ITV Habari, Nipashe, The Citizen, ThisDay, Arusha Times, Msema Kweli, The East African, Uhuru na Amani (Zeitschrift der ELCT), UN Integrated Regional Information Networks (IRIN) und anderen Zeitungen und Internet Nachrichtendiensten in unregelmäßiger Auswahl Wechselkurs 22.05.2012 (Mittelwert) für 1,-- € 1.988/- TSh (http//www.oanda.com/lang/de/currency/converter) Export, lokale Nachfrage, Preis und Aufbereitung der Cashewnüsse Seite 2 Aufbereitung, Verpackung; Niedergang; Absatzstau; Regierung verspricht Hilfe; Verarbeitung; Planung Parlament: Debatte, Misstrauensvotum angestrebt, neue Abgeordnete Seite 3 Kritik, Misstrauensvotum; Reaktionen; Parlamentsdebatte vertagt; Kikwetes Reaktion auf Debatte, neue Abgeordnete Umbildung des Kabinetts Seite 4 Vorbereitung; zum neuen Kabinett; Reaktionen; Bestrafung möglich Das neue Kabinett, Vereidigung am 7.5.12 Seite 5 Schulische Bildungsarbeit Seite 6 Qualität der Schulbildung; katholische Schulen; Einschulung und Dauer der Primarschule; Lehrplan; Diskriminierung; Lager der Dorfschulen; Probleme, Erfolge der Lehrkräfte; Erwachsenenbildung Unterschiedliche Prüfungen Seite 8 Betrügerei; Abschluss der Primarschule; Prüfung nach Form IV; nach Form VI Schwangerschaft und Verheiratung von Schülerinnen Seite 9 Berichte über Kinderarbeit Seite 10 Unterschiedliche Arbeitsgebiete; Kinder in Goldminen; Kinderarbeit im Geita Distrikt; im Rombo-Distrikt; auf Sansibar -
Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Wizara Ya Ardhi, Nyumba Na Maendeleo Ya Makazi
Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Wizara Ya Ardhi, Nyumba Na Maendeleo Ya Makazi Simu +255 22 211 3165 1 Mtaa Wa Ardhi Nukushi: +255 22 212 4576 S.L.P. 9132 Barua Pepe: [email protected] 11477 Dar Es Salaam Unapojibu Tafadhali Taja: WANANCHI WAFUATAO WANAARIFIWA KUCHUKUA HATI ZAO ZA KUMILIKI ARDHI KWENYE KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA CHUMBA NAMBA 28 DAWATI NAMBA 13 KITENGO CHA USAJILI WA HATI S. No. Land Description Title No Name 1. Plot No.982 Block A At 144716 Fidel Kanizio Kayibanda,P.O.Box Kiegeya 6410, Dar Es Salaam 2. Plot No.234 Block 8 At 144730 Philemon Simon Minja & Teddy Mwongozo Donacian Njau,P.O.Box 11106, Dar Es Salaam 3. Plot No.56 Block K At 144751 Lightness Newton Zablon, Rasdege P.O.Box 70018,Dar Es Salaam 4. Plot No.269 Block 2 At 144732 Godfrey William Shoki, P.O.Box Kibada 9230, Dar Es Salaam 5. Plot No.151 Block A At 144759 Fabian Kaiza,P.O.Box 19876, Dar Sinza Es Salaam 6. Plot No.22 Block 4 At 144705 Ally Abdallah Kiwinga, P.O.Box Kibada 46343, Dar Es Salaam 7. Plot No.449 Block B At 144756 Delly Wanzagi Nyerere,P.O.Box Sinza 62250Dar Es Salaam 8. Plot No.228 Block 13 At 144714 Stephen Philip KagaigaiP.O.Box Bunju 9120 Dar Es Salaam 9. Plot No.17 Block 13 At 144704 Mohamed Ahmed Mohamed, Mabwepande P.O.Box Dar Es Salaam 10. Plot No.826 Block 16 At 144719 Jeremiah Samwe Nyanda, P.O.Box Gezaulole 9203 Dar Es Salaam 11. -
Majadiliano Ya Bunge ______
NAKALA YA MTANDAO (ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ____________ MKUTANO WA ISHIRINI Kikao cha Thelathini na Mbili – Tarehe 19 Juni, 2015 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaanza maswali na Ofisi ya Waziri Mkuu, swali la kwanza linaulizwa na Mheshimiwa Deo Kasenyenda Sanga, kwa niaba yake Mheshimiwa Dkt. Limbu. Na. 224 Mradi wa Kupandishwa Hadhi Barabara kuwa za Mkoa MHE. DKT. FESTUS B. LIMBU (K.n.y. MHE. DEO K. SANGA) aliuliza:- Tuliomba barabara ya kutoka Mtwango kupitia Kichiwa hadi Ikuna Nyombo, pia barabara ya kutoka Makambako-Mlowa-Manga-Usetuke- Kifumbe-Ibatu-Itandililo kuunganishwa na barabara ya Mgololo:- (a) Je, ni lini barabara hizo zitapandishwa hadhi kuwa za Mkoa? (b) Je, ni lini zitaanza kutengenezwa? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Deo Kasenyenda Sanga, Mbunge wa Njombe Kaskazini, lenye sehemu (a) na (b), kama ifuatavyo:- 1 NAKALA YA MTANDAO (ONLINE DOCUMENT) (a) Mheshimiwa Spika, kikao cha Bodi ya Barabara ya Mkoa wa Njombe kilichofanyika tarehe 04 Juni, 2012, kilipendekeza barabara za kupandishwa hadhi kama ifuatavyo:- (i) Mtwanga-Kichiwa-Ikuna hadi Nyombo yenye kilomita 28.6; (ii) Makambako – Mlowa – Manga – Kifumba - Kichiwa hadi Kitandulilo yenye kilomita 35; (iii) Mfiliga – Ikangasi - Itambo hadi Idete yenye kilomita 65; na (iv) Makambako - Usetule hadi Kitandililo yenye kilomita 34. Mheshimiwa Spika, hapo tarehe 30 Julai, 2013, Mkuu wa Mkoa wa Njombe alimwandikia Waziri wa Ujenzi barua yenye Kumb. -
Corporate Tax Incentives in East Africa
Still racing toward the bottom? Corporate tax incentives in East Africa June 2016 1 About ActionAid ActionAid International is a non-partisan, non-religious development organization. ActionAid seeks to facilitate processes that eradicate poverty and ensure social justice through anti-poverty projects, local institutional capability building and public policy infuencing. The organisation is primarily concerned with the promotion and defence of economic, social, cultural, civil and political human rights and supports projects and programmes that promote the interests of poor and marginalized people. ActionAid International Postnet Suite 248 Private bag X31 Saxonwold 2132 Johannesburg, South Africa www.actionaid.org About Tax Justice Network-Africa Tax Justice Network-Africa is a pan-African initiative established in 2007 and a member of the Global Alliance for Tax Justice. It is a network of 29 members in 16 African countries. Through its Nairobi Secretariat, Tax Justice Network-Africa collaborates closely with these member organizations in tax justice activities at the national, regional and global level. Tax Justice Network-Africa seeks to promote socially just and progressive taxation systems in Africa, advocating for pro-poor tax policies and the strengthening of tax systems to promote domestic resource mobilization. Tax Justice Network-Africa. Chania 2rd Floor, George Padmore Ridge George Padmore Road of Marcus Garvey, PO Box 25112, Nairobi 00100, Kenya Telephone: +254 20 247 3373 [email protected] www.taxjusticeafrica.net Acknowledgements: This publication was produced jointly by ActionAid International and Tax Justice Network-Africa. We extend our appreciation to the following individuals for their contributions towards the production of this report: Alvin Mosioma, Dan Shamblin, Eve Odete, Jason Braganza, Kwesi Obeng, Luckystar Miyandazi, Mark Curtis, Ruwadzano Matsika, Savior Mwambwa and Soren Ambrose. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ______________ MAJADILIANO YA BUNGE ______________ MKUTANO WA KUMI NNE Kikao cha Saba – Tarehe 4 Februari, 2008 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU Na. 83 Umiliki na Uendeshaji wa Shirika la Ndege ATCL MHE. LUCAS L. SELELII aliuliza:- Kwa kuwa, Serikali imerejesha umiliki w Shirika la Ndege (ATCL) ili kuliongezea ufanisi na masafa ya ndani na ya kimataifa:- (a) Je, kuna hatua gani za makusudi za kuipa ATCL mtaji wa kutosha? (b) Je, ni sababu zipi zimeifanya ATCL kupata hasara na kuwa na madeni? NAIBU WAZIRI WA MIUNDOMBINU alijibu:- Mheshimiwa Spika, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Selelii, Mbunge wa Nzega, lenye sehemu (a) na )b) kama ifuatavyo:- (a) Mheshimiwa Spika, katika jitihada za kuliwezesha Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) kupata mtaji wa kuendesha shughuli zake kwa ufanisi, Serikali imemtafuta na kumpata mwekezaji binafsi ambaye yuko tayari kuingia ubia na Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) kwa kununua hisa zipatazo asilimia 49 za Serikali ndani ya ATCL. (Makofi) Mwekezaji huyo ni kampuni ya China SONANGOL International Limited (CSIL) kutoka Jamhuri ya Watu wa China ambayo imekubali kushirikiana na Serikali kutafuta fedha za kutekeleza mpango mkakati wa ATCL ambapo unahusu kununua ndege tisa za aina mbalimbali kwa matumizi ya safari za ndani na nje ya nchi, mafunzo kwa Marubani 1 na Wahandisi na kubadili mifumo mbalimbali ya uendeshaji ili kuwezesha Kampuni kutoa huduma zake kwa ufanisi na kuweza kuhimili ushindani. Kwa sasa Serikali imekamilisha nyaraka muhimu zitakazowezesha uuzaji wa hisa hizo kufanywa kabla ya kusaini mkataba na mwekezaji huyo.