Tarehe 5 Aprili, 2006
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity?
TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? With Partial Support from a TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? ACKNOWLEDGEMENTS This review was compiled and edited by Tanzania Development Research Group (TADREG) under the supervision of the Steering Group of Policy Forum members, and has been financially supported in part by Water Aid in Tanzania and Policy Forum core funders. The cartoons were drawn by Adam Lutta Published 2013 For more information and to order copies of the review please contact: Policy Forum P.O Box 38486 Dar es Salaam Tel: +255 22 2780200 Website: www.policyforum.or.tz Email: [email protected] ISBN: 978-9987 -708-09-3 © Policy Forum The conclusions drawn and views expressed on the basis of the data and analysis presented in this review do not necessarily reflect those of Policy Forum. Every effort has been made to verify the accuracy of the information contained in this review, including allegations. Nevertheless, Policy Forum cannot guarantee the accuracy and completeness of the contents. Whereas any part of this review may be reproduced providing it is properly sourced, Policy Forum cannot accept responsibility for the consequences of its use for other purposes or in other contexts. Designed by: Jamana Printers b TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? TABLE OF CONTENTS POLICY FORUM’s OBJECTIVES ............................................................................................................. -
1458125147-Hs-6-4-20
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ______________ MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA SITA Kikao cha Nne – Tarehe 3 Februari, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA VIWANDA, BIASHARA NA MASOKO: Taarifa ya Mwaka na Hesabu zilizokaguliwa za Tume ya Ushindani kwa Mwaka wa Fedha 2009/2010 [The Annual Report and Audited Accounts of Fair Competition Commission for the Financial year 2009/2010]. NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI: Taarifa ya Serikali ya Utekelezaji wa Azimio la Bunge juu ya Uendeshaji wa Sekta Ndogo ya Gesi Nchini. MASWALI NA MAJIBU Na. 39 Uwekezaji wa Kibiashara wa Nchi ya Libya Tanzania MHE. JOSEPH O. MBILINYI aliuliza:- Aliyekuwa Kiongozi wa Libya Marehemu Kanali Muamar Gaddafi, alijulikana sana kwa kuwekeza mabilioni ya dolla kwenye nchi mbalimbali za Kiafrika, kibiashara na kijamii kama hoteli, barabara na misikiti: (a) Je, Tanzania ilifaidikaje na uwekezaji wa Gaddafi kibiashara hapa nchini? (b) Kwa kuwa, Serikali ya Tanzania haitambui Serikali ya mpito ya Libya. Je, ni nani anayesimamia uwekezaji wa biashara wa Marehemu Kanali Gaddafi hapa nchini? NAIBU SPIKA: Ahsante sana, mabadiliko hayo hayabadilishi maudhui ya swali. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, UWEKEZAJI NA UWEZESHAJI: Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu naomba kujibu swali la Mheshimiwa Joseph Osmund Mbilinyi, Mbunge wa Mbeya Mjini, lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:- (a) Mheshimiwa Naibu Spika, kwa mujibu wa kumbukumbu zilizopo katika Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Marehemu Kanali Muammar Gaddafi hakuwahi binafsi kuwekeza kibiashara hapa nchini. -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA KUMI NA SITA _________________ Kikao cha Thelathini na Mbili – Tarehe 18 Julai, 2009 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA: Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa Mwaka wa Fedha 2009/2010. Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha kwa Mwaka wa Fedha 2007/2008 (The Annual Report and Accounts of Arusha International Conference Center for the Year 2007/2008) MWENYEKITI WA KAMATI YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA: Taarifa ya Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa Mwaka 2008/2009, pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2009/2010. MHE. HEMED MOHAMMED HEMED (K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI KWA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA): Taarifa kwa Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa Mwaka wa Fedha 2009/2010. NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA: 1 Randama za Makadirio ya Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia kwa Mwaka wa Fedha 2009/2010. HOJA ZA SERIKALI Makadirio ya Matumizi ya Serikali kwa Mwaka 2009/2010 – Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA: Mheshimiwa Naibu Spika, kufuatia Taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama (NUU), naomba kutoa hoja kwamba, Bunge lako Tukufu, likubali kujadili na kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa Mwaka wa Fedha 2009/2010. -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA KUMI NA SITA ______________ Kikao cha Thelathini na Tisa – Tarehe 27 Julai, 2009) (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) DUA Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kabla sijamwita anayeuliza swali la kwanza, karibuni tena baada ya mapumziko ya weekend, nadhani mna nguvu ya kutosha kwa ajili ya shughuli za wiki hii ya mwisho ya Bunge hili la 16. Swali la kwanza linaelekezwa Ofisi ya Waziri Mkuu na linauliza na Mheshimiwa Shoka, kwa niaba yake Mheshimiwa Khalifa. Na.281 Kiwanja kwa Ajili ya Kujenga Ofisi ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI MHE KHALIFA SULEIMAN KHALIFA (K.n.y. MHE. SHOKA KHAMIS JUMA) aliuliza:- Kwa kuwa Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI inakabiliwa na changamoto ya ufinyu wa Ofisi; na kwa kuwa Tume hiyo imepata fedha kutoka DANIDA kwa ajili ya kujenga jengo la Ofisi lakini inakabiliwa na tatizo kubwa la upatikanaji wa kiwanja:- Je, Serikali itasaidia vipi Tume hiyo kupata kiwanja cha kujenga Ofisi? WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU – SERA, URATIBU NA BUNGE alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Shoka Khamis Juma, Mbunge wa Micheweni kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, tatizo la kiwanja cha kujenga Ofisi za TACAIDS limepatiwa ufumbuzi na ofisi yangu imewaonesha Maafisa wa DANIDA kiwanja hicho Ijumaa tarehe 17 Julai, 2009. Kiwanja hicho kipo Mtaa wa Luthuli Na. 73, Dar es Salaam ama kwa lugha nyingine Makutano ya Mtaa wa Samora na Luthuli. MHE. KHALIFA SULEIMAN KHALIFA: Mheshimiwa Spika, nakushukuru. Pamoja na majibu mazuri sana ya Mheshimiwa Waziri, naomba kumuuliza swali moja la nyongeza. -
MAJADILIANO YA BUNGE ___MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao Cha Arobaini Na Moja
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ____________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Arobaini na Moja – Tarehe 31 Mei, 2018 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Andrew J. Chenge) Alisoma Dua MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Tunaanza kikao chetu cha Arobaini na Moja, Katibu. NDG. LINA KITOSI – KATIBU MEZANI:- HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA MADINI (MHE. STANSLAUS H. NYONGO): Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Wizara ya Madini kwa Mwaka wa Fedha 2018/19. MHE. CATHERINE V. MAGIGE (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA NISHATI NA MADINI): Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kuhusu utekelezaji wa Bajeti na Majukumu ya Wizara 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) ya Madini kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019. MWENYEKITI: Ahsante. Katibu. NDG. LINA KITOSI – KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU MWENYEKITI: Swali letu la kwanza linaelekezwa Ofisi ya Waziri Mkuu na linaulizwa na Mheshimiwa Hawa Mchafu Chakoma, kwa niaba yake Mheshimiwa Amina Mollel. Na. 341 Utekelezaji wa Mpango wa Ukimwi 90-90-90 MHE. AMINA S. MOLLEL (K.n.y MHE. HAWA M. CHAKOMA) aliuliza:- Je, Serikali inatekelezaje Mpango wa UKIMWI wa 90- 90-90? MWENYEKITI: Ahsante Mheshimiwa Mollel. Majibu, Mheshimiwa Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu. NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU (KAZI, AJIRA NA VIJANA) alijibu:- Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _________________ MAJADILIANO YA BUNGE _________________ MKUTANO WA ISHIRINI Kikao cha Ishirini na Saba - Tarehe 9 Julai, 2010 (Mkutano ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Anna S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZlLIZOWASILISHWA MEZANI: Hati Zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI: Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nishati na Madini kwa Mwaka wa Fedha, 2010/2011. MHE. WILLIAM H. SHELLUKINDO - MWENYEKITI WA KAMATI YA NISHATI NA MADINI: Taarifa ya Kamati ya ya Nishati na Madini Kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Nishati na Madini kwa Mwaka wa Fedha 2009/2010 Pamoja na Maoni ya Kamati Kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2010/2011. MHE.SAVELINA S. MWIJAGE (K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMATI YA UPINZANI KUHUSU WIZARA YA NISHATI NA MADINI): Taarifa ya Msemaji wa Mkuu wa Kambi ya Upinzani Kuhusu Makadiro ya Matumizi ya Wizara ya Nishati na Madini kwa Mwaka wa Fedha 2010/2011. NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI (MHE. MWANTUMU BAKARI MAHIZA): 1 Randama za Makadiro ya Matumizi ya Wizara ya Elimu na Mfunzo ya Ufundi kwa Mwaka wa Fedha 2010/2011. NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI (MHE. OMAR YUSSUF MZEE): Taarifa ya Majumuisho ya Mpango Mkakati wa Kujibu Hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa Hesabu za Wizara, Idara za Serikali na Mikoa kwa Mwaka wa Fedha 2008/2009. MASWALI NA MAJIBU Na. 191 Kuhusu Barabara ya Makutupa Bumila Jimbo la Mpwapwa MHE. GEOREGE M. -
Bunge La Tanzania ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Moja – Tarehe 11 Agosti, 2006 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA FEDHA (MHE. MUSTAFA H. MKULO): Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Benki ya Uwekezaji Tanzania kwa Mwaka ulioishia Tarehe 31 Desemba, 2005 (The Annual Report and Accounts of the Tanzania Investment Bank Limited for the Year ended 31st December, 2005) NAIBU WAZIRI WA MIPANGO, UCHUMI NA UWEZESHAJI: Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Mipango, Uchumi na Uwezeshaji kwa Mwaka wa Fedha 2006/2007. MHE. ADAM K. A. MALIMA - MAKAMU MWENYEKITI WA KAMATI YA FEDHA NA UCHUMI): Maoni ya Kamati ya Fedha na Uchumi kuhusu Utekelezaji wa Wizara ya Mipango, Uchumi na Uwezeshaji kwa Mwaka wa Fedha Uliopita pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka 2006/2007. MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI: Maoni ya Kambi ya Upinzani kuhusu Utekelezaji wa Wizara ya Mipango, Uchumi na Uwezeshaji kwa Mwaka wa Fedha Uliopita, pamoja na Maoni kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka 2006/2007. SPIKA: Kabla ya kumwita mwuliza swali la kwanza kwa leo natangaza tu kwamba kama ilivyo kawaida wageni tutawatangaza mara baada ya kipindi cha maswali . 1 MASWALI NA MAJIBU Na. 385 Kuboresha Hospitali ya Mkoa wa Morogoro MHE. DR. OMARI M. NIBUKA aliuliza: - Kwa kuwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro ilijengwa -
Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Bunge La Tanzania Mkutano Wa Saba Yatokanayo Na Kikao Cha Ishirini Na Sita 16 Mei, 2017
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA SABA YATOKANAYO NA KIKAO CHA ISHIRINI NA SITA 16 MEI, 2017 MKUTANO WA SABA KIKAO CHA ISHIRINI NA SITA TAREHE 16 MEI, 2017 I. DUA: Saa 3:00 asubuhi Mhe. Mussa Azzan Zungu (Mwenyekiti) alisoma Dua na kuongoza Bunge. Makatibu mezani: 1. Ndugu Theonest Ruhilabake 2. Ndugu Asia Minja 3. Ndugu Joshua Chamwela II. HATI ZA KUWASILISHA MEZANI (i) Mhe. Charles John Mwijage aliwasilisha Mezani Randama ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018. (ii) Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi aliwasilisha Mezani Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018. (iii) Mhe. Jumanne Kidera Kishimba aliwasilisha Mezani Taarifa ya Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018. (iv) Mhe. Masoud Abdallah Salim aliwasilisha Mezani Taarifa ya Kambi ya Upinzani kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018. 1 III. MASWALI OFISI YA RAIS (TAMISEMI) Swali Na. 209: Mhe. Dkt. Pudenciana Kikwembe Nyongeza: Mhe. Dkt. Pudenciana Kikwembe Mhe. Pauline Gekul Mhe. David Cosato Chumi Swali Na. 210: Mhe. Eng. Atashasta Justus Nditiye Nyongeza: Mhe. Eng. Atashasta Justus Nditiye Mhe. Josephine Johnson Genzabuke Mhe. Almas Athuman Maige Mhe. Cecilia Daniel Paresso Mhe. Savelina Silvanus Mwijage WIZARA YA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO Swali Na. 211: Mhe. Daniel Edward Mtuka Nyongeza: Mhe. Daniel Edward Mtuka Mhe. Daimu Iddy Mpakate Swali Na. 212: Mhe. Mussa Bakari Mbarouk Nyongeza: Mhe. Mussa Bakari Mbarouk Mhe. Saumu Heri Sakala Mhe. Moshi Selemani Kakoso Swali Na. -
1458125901-Hs-15-39
Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ________________ MAJADILIANO YA BUNGE ______________________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Thelathini na Tisa – Tarehe 24 Juni, 2014 (Mkutano Ulianza Saa 3.00 Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anna S. Makinda) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu! MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaanza Maswali na Ofisi ya Waziri Mkuu, atakayeuliza swali la kwanza Mheshimiwa Maryam Salum Msabaha. Na. 293 Tatizo la Uchafu Katika Jiji la Dar es Salaam MHE. MARYAM S. MSABAHA aliuliza:- Jiji la Dar es Salaam linaongoza kwa uchafu na ombaomba, jambo ambalo linasababisha kero kwa wakazi wake na wageni wanaofika nchini. (a) Je, Serikali ina mikakati gani ya kumaliza tatizo la ukusanyaji wa taka katika Jiji hilo? 1 Nakala ya Mtandao (Online Document) (b) Je, Serikali inasema nini katika kutumia taka kutengeneza vitu vingine kama mbolea au kutumia taka hizo kufua umeme kama zinavyofanya nchi nyingine? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Maryam Salum Msabaha, Mbunge wa Viti Maalum, lenye sehemu (a) na (b), kama ifuatavyo:- (a) Mheshimiwa Spika, changamoto inayolikabili Jiji la Dar es Salaam kuhusu usafi ni kuwepo kwa kiwango kikubwa cha uzalishaji wa taka ikilinganishwa na uwezo wa Jiji kuzoa taka hizo. Uzalishaji wa taka katika Jiji kwa sasa ni wastani wa tani 4,252 kwa siku wakati uwezo uliopo wa kuzoa taka ni wastani wa tani 2,126 kiasi cha 50% kwa siku. Mheshimiwa Spika, ili kukabiliana na changamoto hii Jiji limetumia shilingi bilioni moja (bilioni 1) kwa ajili ya kununulia mtambo mpya wa kusukuma taka, yaani Buldozer D.8, ununuzi wa malori mawili yenye tani 18 kwa ajili ya kuzoa taka na ununuzi wa Compactor moja kwa ajili ya kushindilia taka. -
3 APRILI 2019.Pmd
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA _______ MAJADILIANO YA BUNGE _______ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Pili - Tarehe 3 Aprili, 2019 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa, tukae. Waheshimiwa Wabunge, leo ni Kikao cha Pili cha Mkutano wa Kumi na Tano, tunaendelea. Katibu. NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE: HATI ZA KUWASILISHA MEZANI SPIKA: Hati za kuwasilishwa Mezani, Ofisi ya Waziri Mkuu, tafadhali. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, SERA, BUNGE, KAZI VIJANA, AJIRA NA WENYE ULEMAVU:- Taarifa ya Matoleo ya Gazeti la Serikali pamoja na nyongeza zake yaliyochapishwa tangu Mkutano wa Bunge uliopita kama ifuatavyo:- Toleo Na. 04 la tarehe 25 Januari, 2019; Toleo Na. 05 la tarehe 01 Februari, 2019; Toleo Na. 06 la tarehe 08 Februari, 2019; Toleo Na. 07 la tarehe 15 Februari, 2019; Toleo Na. 08 la tarehe 22 Februari, 2019; 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) Toleo Na. 09 la tarehe 01 Machi, 2019; Toleo Na. 10 la tarehe 08 Machi, 2019; Toleo Na. 11 la tarehe 15 Machi, 2019; na Toleo Na. 12 la tarehe 22 Machi, 2019. Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Taasisi zilizo chini yake kwa mwaka wa fedha, 2019/2020. SPIKA: Ahsante sana Mheshimiwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu. Katibu. NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE: MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Maswali leo tunaanza na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, swali la Mheshimiwa Ahmed Ally Salum Mbunge wa Solwa. Kwa niaba yake, ahsante nakuruhusu. -
Nur Zur Information 06/2012 Juni
Kein Pressedienst - Nur zur Information 06/2012 Juni Zusammengefasste Meldungen aus: Daily/Sunday News (DN), The Guardian, Sunday Observer, ITV Habari, Nipashe, The Citizen, ThisDay, Arusha Times, Msema Kweli, The East African, Uhuru na Amani (Zeitschrift der ELCT), UN Integrated Regional Information Networks (IRIN) und anderen Zeitungen und Internet Nachrichtendiensten in unregelmäßiger Auswahl Wechselkurs 22.05.2012 (Mittelwert) für 1,-- € 1.988/- TSh (http//www.oanda.com/lang/de/currency/converter) Export, lokale Nachfrage, Preis und Aufbereitung der Cashewnüsse Seite 2 Aufbereitung, Verpackung; Niedergang; Absatzstau; Regierung verspricht Hilfe; Verarbeitung; Planung Parlament: Debatte, Misstrauensvotum angestrebt, neue Abgeordnete Seite 3 Kritik, Misstrauensvotum; Reaktionen; Parlamentsdebatte vertagt; Kikwetes Reaktion auf Debatte, neue Abgeordnete Umbildung des Kabinetts Seite 4 Vorbereitung; zum neuen Kabinett; Reaktionen; Bestrafung möglich Das neue Kabinett, Vereidigung am 7.5.12 Seite 5 Schulische Bildungsarbeit Seite 6 Qualität der Schulbildung; katholische Schulen; Einschulung und Dauer der Primarschule; Lehrplan; Diskriminierung; Lager der Dorfschulen; Probleme, Erfolge der Lehrkräfte; Erwachsenenbildung Unterschiedliche Prüfungen Seite 8 Betrügerei; Abschluss der Primarschule; Prüfung nach Form IV; nach Form VI Schwangerschaft und Verheiratung von Schülerinnen Seite 9 Berichte über Kinderarbeit Seite 10 Unterschiedliche Arbeitsgebiete; Kinder in Goldminen; Kinderarbeit im Geita Distrikt; im Rombo-Distrikt; auf Sansibar -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE ________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne – Tarehe 16 Agosti, 2006 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hazi zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA FEDHA (MHE. MUSTAFA HAIDI MKULO): Taarifa ya Mwaka na Hesabu Zilizokaguliwa za Consolidated Holding Corporation kwa mwaka ulioishia tarehe 31 Desemba, 2005 (The Annual Report and Audited Accounts of the Consolidated Holding Corporation for the year ended 31st December, 2005) MASWALI NA MAJIBU Na. 413 Nyumba kwa Wafanyakazi MHE. MKIWA A. KIMWANGA (k.n.y. MHE. SAVELINA S. MWIJAGE aliuliza:- Je, Serikali ina mpango gani wa kuwatafutia nyumba za kuishi wafanyakazi wapya wanaoajiriwa au kuhamishwa na kupangiwa vituo vya kazi nje ya Mikoa yao? NAIBU WAZIRI WA MIUNDOMBINU (MHE. DR. MILTON M. MAHANGA) alijibu:- Mheshimiwa Spika, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Savelina Silvanus Mwijage, Mbunge wa Viti Maalum, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, kwa kawaida, Serikali ina wajibu wa kuwatafutia nyumba wafanyakazi na viongozi wenye stahili ya kupewa nyumba na Serikali kwa mujibu wa 1 masharti ya ajira zao. Kwa hiyo, wafanyakazi wa aina hii, wawe wapya au wanaohamishwa na kupangiwa vituo vipya vya kazi, hupewa nyumba au posho ya nyumba pale ambapo nyumba ya Serikali haijapatikana. Serikali haina jukumu la kimkataba kuwatafutia nyumba watumishi wengine wasio na stahili. Hata hivyo, kutokana na uamuzi wa Serikali wa kuuzia watumishi na viongozi wa Serikali nyumba za zamani walizokuwa wanaishi, watumishi na viongozi wa aina hii na ambao wana stahili, wanapohamishwa wakati wamekwishauziwa nyumba katika vituo vyao vya zamani, wanategemewa kupanga nyumba kibiashara au katika nyumba za wakala zilizotengwa kupangishwa kibiashara.