Referendum and the Government of National Unity
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _________________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Tano – Tarehe 15 Mei, 2014 (Kikao Kilianza Saa tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, leo ni siku ya Alhamisi, kwa hiyo Kiongozi wa Kambi ya Upinzani hayupo hata ukikaa karibu hapo wewe siyo kiongozi. Kwa hiyo, nitaendelea na wengine kadiri walivyoleta, tunaanza na Mheshimiwa Eugen Mwaiposa. HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na :- NAIBU WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA: Hotuba ya Makadirio ya Matumizi na Mapato ya Fedha ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2014/2015. NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI: Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa Mwaka wa Fedha 2014/2015. MHE. NYAMBARI C. NYANGWINE (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA): Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala Kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa Mwaka wa Fedha wa 2013/2014 na Maoni ya Kamati Kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2014/2015. 1 Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) MHE. CYNTHIA H. NGOYE (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA): Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ulinzi na Usalama Kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa Mwaka wa Fedha 2013/2014 na Maoni ya Kamati Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumuzi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2014/2015. -
Election Violence in Zanzibar – Ongoing Risk of Violence in Zanzibar 15 March 2011
Country Advice Tanzania Tanzania – TZA38321 – Revolutionary State Party (CCM) – Civic United Front (CUF) – Election violence in Zanzibar – Ongoing risk of violence in Zanzibar 15 March 2011 1. Please provide a background of the major political parties in Tanzania focusing on the party in power and the CUF. The United Republic of Tanzania was formed in 1964 as a union between mainland Tanganyika and the islands of Unguja and Pemba, which together comprise Zanzibar. Since 1977, it has been ruled by the Revolutionary State Party (Chama Cha Mapinduzi or CCM). In 1992 the government legislated for multiparty democracy, and the country is now a presidential democratic republic with a multiparty system. The first multiparty national elections were held in 1995, and concurrent presidential and parliamentary elections have since been held every 5 years. The CCM has won all elections to date. The CUF, founded in 1991, constituted the main opposition party following the 1995 multiparty elections.1 At the most recent elections in October 2010, the CCM‟s Jakaua Kikwete was re-elected President with 61.7% of the vote (as compared to 80% of the vote in 2005) and the CCM secured almost 80% of the seats. Most of the opposition votes went to the Chadema party, which displaced the Civic United Front (CUF) for the first time as the official opposition. The opposition leader is Chadema‟s Chairman, Freeman Mbowe. Chadema‟s presidential candidate, Willibrod Slaa, took 27% of the vote, while CUF‟s Ibrahim Lipumba received 8%.2 Notwithstanding the CCM‟s election success, the BBC reports that Kikwete‟s “political legitimacy has been seen by some to have been somewhat dented in the 2010 elections”, given the decline in his percent of the vote, and a total election turnout of only 42%, down from 72% in 2005. -
Hotuba Ya Rais Wa Zanzibar Na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi, Mhe
1 HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI, MHE. DK. ALI MOHAMED SHEIN, KATIKA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR, UWANJA WA AMAAN TAREHE 12 JANUARI, 2014 Waheshimiwa Wageni wetu, Wakuu wa Nchi na Serikali na Mawaziri wa Nchi Rafiki mliohudhuria hapa leo, Mheshimiwa Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; Mheshimiwa Dk. Mohamed Gharib Bilal, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; Mheshimiwa Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais, Zanzibar; Mheshimiwa Balozi Seif Ali Iddi, Makamu wa Pili wa Rais, Zanzibar; Mheshimiwa Mzee Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; Mheshimiwa Benjamin William Mkapa, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; Mheshimiwa Dk. Salmin Amour Juma, Rais Mstaafu wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi; Mheshimiwa Dk. Amani Abeid Karume, Rais Mstaafu wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi; Viongozi Wakuu Wastaafu Mliohudhuria; Waheshimiwa Mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar; Mheshimiwa Mama Anne Makinda, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; 2 Mheshimiwa Pandu Ameir Kificho, Spika wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar; Mheshimiwa Othman Chande Mohamed, Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; Mheshimiwa Omar Othman Makungu, Jaji Mkuu wa Zanzibar; Waheshimiwa Mabalozi na Wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa; Mheshimiwa Abdalla Mwinyi, Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi; Waheshimiwa Viongozi wa Serikali na Vyama vya Siasa; Ndugu Wananchi, Mabibi na Mabwana; Assalaam Alaykum, Kwa unyenyekevu mkubwa, namshukuru Mwenyezi Mungu, Muumba Mbingu na Ardhi na vyote vilivyomo ndani yake, kwa kutujaalia uhai na uzima wa afya, tukaweza kukusanyika hapa leo kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ya tarehe 12 Januari, 1964. -
4 MEI, 2013 MREMA 1.Pmd
4 MEI, 2013 BUNGE LA TANZANIA _____________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Kumi na Nane - Tarehe 4 Mei, 2013 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge tukae. Waheshimiwa Wabunge Mkutano wa 11 unaendelea, kikao hiki ni cha 18. HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI:- Randama za Makadirio ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa Mwaka wa Fedha 2013/2014. WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA: Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2013/2014. 1 4 MEI, 2013 MHE. OMAR R. NUNDU (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA): Taarifa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013 na Maoni ya Kamati Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2013/2014. MHE. CHRISTOWAJA G. MTINDA (K.n.y. MHE. MCH. ISRAEL Y. NATSE - MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI WA WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA:- Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2013/2014. HOJA ZA SERIKALI Makadirio ya Matumizi ya Serikali kwa Mwaka 2013/2014 Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA: Mheshimiwa Naibu Spika, kufuatia taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ulinzi na Usalama, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu likubali kujadili na kupitisha Mpango na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa mwaka wa fedha 2013/2014. -
In Contemporary Zanzibar Marie-Aude Fouéré
Remembering the Dark Years (1964-1975) in Contemporary Zanzibar Marie-Aude Fouéré To cite this version: Marie-Aude Fouéré. Remembering the Dark Years (1964-1975) in Contemporary Zanzibar. Encoun- ters: The International Journal for the Study of Culture and Society, 2012, pp.113-126. halshs- 00856968 HAL Id: halshs-00856968 https://halshs.archives-ouvertes.fr/halshs-00856968 Submitted on 12 Apr 2017 HAL is a multi-disciplinary open access L’archive ouverte pluridisciplinaire HAL, est archive for the deposit and dissemination of sci- destinée au dépôt et à la diffusion de documents entific research documents, whether they are pub- scientifiques de niveau recherche, publiés ou non, lished or not. The documents may come from émanant des établissements d’enseignement et de teaching and research institutions in France or recherche français ou étrangers, des laboratoires abroad, or from public or private research centers. publics ou privés. Remembering the Dark Years (1964–1975) in Contemporary Zanzibar Marie-Aude Fouéré French Institute for Research in Africa (IFRA), Nairobi, Kenya In the islands of Zanzibar (Unguja and Pemba), the memories of violence and repression perpetrated by revolutionaries and the state from 1964 to 1975 have long been banished from the public space. The official narrative of the 1964 Revolution and the first phase of the post-revolutionary periodi developed and propagated by the Revolutionary Government of Zanzibar, through a control over the production, transmission, and circulation of ideas, combined with repressive measures against dissenting voices, led people to keep their memories private. The official injunction calling for silence did not bringabout a forgetting of the past, but rather contributed to the clandestine transmission and reconstruction of fragments of individual, familial, and community memories within private circles. -
Python Challenge #1 in Python, We Can Use Lists To
Python Challenge #1 In Python, we can use lists to store related items together in a single place. Two examples are: tanzanian_election_years = [1995, 2000, 2005, 2010, 2015] tanzanian_presidents = [“John Magu uli!, “Ja"aya #i"$ete!, “%en&a'in M"apa!, ( “)li *assan M$inyi!, “Julius +yerere!] 1. On a computer or tablet, write a Python program that prints out each year that Tanzania has had a general election. In Python, you can loop over the items of a list like this: or ite' in list, - do so'ething $ith ite' 2. Using your answer for #1, change it slightly so that it only prints out the years in which Tanzania has had a general election after the year 1999. 3. Sometimes we want to work with two lists at the same time. Say we are given the following list of Tanzanian vice presidents: tanzanian_.ice_presidents = [“/a'ia /uluhu!, “Moha'ed 0hari1 %ilal!, ( “2'ar )li Ju'a!, “3leopa Msuya!, “)1oud Ju'1e!] and we want to match each vice president with the president he or she served with. We can use Python’s zip() function to do this. To illustrate how zip() works, type the following into your Python interpreter (note: don’t type the “>>>”, that is printed by the Python interpreter itself): 444 ruits = [“apple!, “grape!, “1lue1erry!] 444 colors = [“green!, “purple!, “1lue!] 444 zip5 ruits, colors6 [57apple8, 7green86, 57grape8, purple86, 571lue1erry8, 71lue86] Notice how Python matched each of the fruits in our first list with its corresponding color in the second list. The zip() function itself returns a list, which we can use in our own for loops. -
Tanzania Country Portfolio
Tanzania Country Portfolio Overview: Country program established in 1986. USADF currently U.S. African Development Foundation Partner Organization: Diligent manages a portfolio of 12 projects. Total commitment is $1.5 million. Country Program Coordinator: Gilliard Nkini Consulting Ltd. (DLC) Gamshard Circle Street Mikocheni Sosthenes Sambua, Director Country Strategy: The program focuses on export-oriented PO Box 105644 Tel: +255 713 254 226 enterprise development, with an emphasis on agriculture and agro- Dar es Salaam, Tanzania Email: [email protected] processing activities. Tel: +255 222 772 797 Email: [email protected] Grantee Duration Value Summary HomeVeg Tanzania Ltd. 2012-2016 $ 245,473 Sector: Agriculture (Vegetables) 2690-TAN Beneficiaries: 1,400 farmers Town/City: Northern Tanzania Summary: The project funds will be used to train smallholder growers on proper production and harvesting methods to ensure maximum produce is sold at export prices, thus increasing the income of individual farmers. Community Reinvestment Grant 2013-2016 $ 239,022 Sector: Microfinance (SMEs and Cooperatives) Trust (CRGT) Beneficiaries: Farmers’ associations 2971-TAN Town/City: Dar es Salaam Summary: The project funds will be used to provide finance and business development services to previous USADF grantees. CRGT was created to provide the funding to the “missing middle” of agricultural finance, for farmers’ associations with a track record of successful business, but minimal credit history and access commercial lending. Pemba Clove Honey Cooperative 2014-2017 $ 98,804 Sector: Agriculture (Honey) (PCHC) Beneficiaries: 30 beekeepers 3055-TAN Town/City: Pemba North region Summary: The project funds will be used to construct three new apiary houses, to provide members with hives, safety gear, and training in order to help increase the production of honey, and to conduct market research for larger markets beyond the island of Pemba. -
Mkapa, Mrema, Amour, Hamad Hope For
POLITICS - MKAPA, MREMA, AMOUR, HAMAD HOPE FOR ZANZIBAR SETTLENENT? THE 1996/67 BUDGET TANZANIA'S 'TITANIC' DISASTER KILWA - FROM DECAY TO DEVELOPMENT BUSINESS NEWS TANZANIA IN THE MEDIA 50 YEARS AGO POLITICS - MKAPA, MREMA, AMOUR, HAMAD Tanzaniats leading politicians - Union President Benjamin Mkapa, main opposition leader Augustine Mrema and the feuding leaders in Zanzibar - President Salmin Amour and opposition leader Seif Shariff Hamad have all had reasons for satisfaction and disappointment during the last few months of Tanzania's rapidly developing multi-party democracy. On the mainland multi-partyism is working well; a by-election under way in Dar es Salaam will help to indicate how the main parties stand after almost a year of this new system of government. In Zanzibar, by contrast, it is becoming increasingly difficult for TA to present an accurate and unbiased report on what is happening because of the conflicting information received. The opposition continues to refuse all cooperation with the government elected under questionable circumstances last year and the ruling party is resorting to strong arm tactics in its determination to maintain law and order. MKAPA Popular President Mkapa's dominant position was consolidated on June 20 when he was elected Chairman of his Chama Cha Mapinduzi (CCM) Party by an overwhelming 1,248 votes out of 1,259 at an emotional ceremony in Dodoma. Former President and Chairman Ali Hassan Mwinyi handed over the CCM Constitution, 1995 Election Manifesto and Chairman's gong midst deafening chants of tCCM', tCCM', tCCMf, dancing, ululation and music by the party's cultural troop 'TOTt. The new Chairman said that he would maintain earlier policies of socialism and self-reliance and would continue to fight tribalism, discrimination and religious bigotry. -
AC Vol 45 No 9
www.africa-confidential.com 30 April 2004 Vol 45 No 9 AFRICA CONFIDENTIAL TANZANIA 3 SUDAN Troubled isles The union between the mainland Mass murder and Zanzibar – 40 years old this Ten years after Rwanda’s genocide, the NIF regime kills and displaces week – remains a political hotspot, tens of thousands of civilians in Darfur – with impunity mainly because the ruling CCM has rigged two successive elections on Civilians in Darfur continue to die as a result of the National Islamic Front regime’s ethnic cleansing and the islands. Some hope that former in the absence of serious diplomatic pressure. United Nations Secretary General Kofi Annan has warned OAU Secretary General Salim that international military intervention might be required to stop the slaughter in Darfur, while senior UN Ahmed Salim of Zanzibar will take officials refer to the NIF regime’s scorched earth policy as ‘genocide’ or ‘ethnic cleansing’. Yet last week over from President Mkapa next the UN Commission on Human Rights (UNOHCHR) in Geneva again refused to recommend strong year and negotiate a new settlement with the opposition CUF. action against Khartoum and suppressed its own highly critical investigation, which found that government agents had killed, raped and tortured civilians. On 23 April, the NIF exploited anti-Americanism to defeat a call from the United States and European MALAWI 4Union to reinstate a Special Rapporteur (SR) on Human Rights. At 2003’s annual session, Khartoum had successfully lobbied for the removal as SR of the German lawyer and former Interior Minister Gerhard Bingu the favourite Baum, an obvious candidate for enquiries in Darfur. -
(Online Document) 1 BUNGE LA TANZANIA
Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _____________ MAJADILIANO YA BUNGE ______________ MKUTANO WA ISHIRINI Kikao cha Sita – Tarehe 18 Mei, 2015 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe Anne S. Makinda) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kutokana na maagizo yaliyotolewa humu wiki iliyopita kuhusu Hati za kuwasilisha Mezani. Kama kuna kundi lolote, Kamati, Serikali au Upinzani hawajaleta Hati hazisomwi. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais! Mheshimiwa Naibu Waziri! HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa mezani na:- NAIBU WAZIRI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO): Randama za Makadirio ya Matumizi kwa Ofisi ya Makamu wa Rais na Taasisi zake kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA: Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma) pamoja na (Utawala Bora) kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS (MAHUSIANO NA URATIBU): Hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. MHE. JASSON S. RWEIKIZA - MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA: 1 Nakala ya Mtandao (Online Document) Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma), (Utawala Bora na Mahusiano na Uratibu) kwa mwaka wa fedha 2014/2015 pamoja na maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. MHE. ESTHER N. MATIKO - MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI KWA OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA, UTAWALA BORA NA MAHUSIANO NA URATIBU: Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni Kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Fedha kwa Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Utawala Bora na Mahusiano na Uratibu kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016 SPIKA: Waheshimiwa Wabunge tunaanza maswali Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Mheshimiwa Engineer Athumani Mfutakamba. -
Tanzania: Recent Governance Trends and 2020 Elections in Brief
Tanzania: Recent Governance Trends and 2020 Elections In Brief Updated October 26, 2020 Congressional Research Service https://crsreports.congress.gov R46579 Tanzania: Recent Governance Trends and 2020 Elections In Brief Contents Introduction ..................................................................................................................................... 1 President Magufuli .......................................................................................................................... 1 Governance Trends Under Magufuli ......................................................................................... 2 Limits on Organized Political Rights and Political Party Activity...................................... 2 Restrictions on Expression, the Press, and Independent Research ..................................... 4 Curtailing the Independence of Civil Society ..................................................................... 5 The Government’s Human Rights Record and Rhetoric........................................................... 5 Elections: Recent Trends and 2020 General Elections .................................................................... 6 October 2020 Elections ............................................................................................................. 8 U.S. Relations and Congressional Responses ................................................................................. 9 U.S. Governance Programs ..................................................................................................... -
Tanzania Page 1 of 7
Tanzania Page 1 of 7 Published on Freedom House (https://freedomhouse.org) Home > Tanzania Tanzania Country: Tanzania Year: 2016 Freedom Status: Partly Free Political Rights: 3 Civil Liberties: 4 Aggregate Score: 60 Freedom Rating: 3.5 Overview: In October, Tanzania held its most competitive elections since its transition to multiparty rule in the early 1990s. John Magufuli, the candidate of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party, won the presidential election with 58 percent of the vote. The runner-up, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) candidate Edward Lowassa—a former prime minister who had been considered a front-runner for the CCM nomination and who had defected to the opposition after losing the ruling party’s primary nomination—claimed electoral malfeasance and rejected the results. International observers generally assessed the conduct of the elections on Tanzania’s mainland positively. Magufuli was inaugurated in November, succeeding President Jakaya Kikwete of the CCM; Magufuli’s running mate, Samia Suluhu Hassan, became the country's first- ever female vice president. Meanwhile, the CCM lost some seats in the parliamentary polls, as opposition parties, many of which had coordinated parliamentary and presidential candidates through a unified coalition, gained their largest representation in parliament yet. Later in November, parliament approved Majaliwa Kassim Majaliwa, a former junior minister and relative unknown, as the country’s new prime minister. However, simultaneous elections on the semi-autonomous archipelago of Zanzibar sparked controversy. Polls conducted ahead of the vote had predicted a contentious election for Zanzibar’s president and a potential victory for Maalim Seif Sharif Hamad of the opposition Civic United Front (CUF).