Majadiliano Ya Bunge
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
MKUTANO WA SABA Kikao Cha Thelathini Na Tisa – Tarehe 1 Juni
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA SABA Kikao cha Thelathini na Tisa – Tarehe 1 Juni, 2017 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge tukae, Katibu. NDG. RAMADHANI ISSA ABDALLAH – KATIBU MEZANI: HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI: Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Nishati na Madini kwa mwaka wa fedha 2017/ 2018. MHE. CATHERINE V. MAGIGE (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI): Taarifa ya Kamati ya Nishati na Madini kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Nishati na Madini kwa mwaka wa fedha 2016/2017 pamoja na maoni ya Kamati juu ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2017/2018. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) MHE. ESTHER N. MATIKO (K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI KWA WIZARA YA NISHATI NA MADINI): Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani kuhusu Wizara ya Nishati na Madini juu ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2017/2018. NDG. RAMADHANI ISSA ABDALLAH – KATIBU MEZANI: MASWALI KWA WAZIRI MKUU NAIBU SPIKA: Maswali kwa Waziri Mkuu. Mheshimiwa Waziri Mkuu tutaanza na Mheshimiwa Devotha Mathew Minja. MHE. DEVOTHA M. MINJA: Mheshimiwa Naibu Spika, nakushukuru kwa kunipa nafasi. Mheshimiwa Waziri Mkuu, kwa kuwa ni sera ya Serikali kuboresha kilimo hapa nchini, ikizingatiwa kwamba kilimo kinatoa ajira kwa Watanzania kwa zaidi ya asilimia 80 na kilimo kimekuwa kikihudumia Watanzania kwa maana ya kujitosheleza kwa chakula, lakini kwa kuwa pia ni sera Serikali iliamua kuja na mikakati ya kuboresha sekta ya kilimo ikiwa ni pamoja na kutoa majukumu kwa mawakala wa pembejeo hapa nchini ili waweze kutoa huduma hizo za pembejeo kwa wakulima wetu hapa nchini. -
“As Long As I Am Quiet, I Am Safe” WATCH Threats to Independent Media and Civil Society in Tanzania
HUMAN RIGHTS “As Long as I am Quiet, I am Safe” WATCH Threats to Independent Media and Civil Society in Tanzania “As Long as I am Quiet, I am Safe” Threats to Independent Media and Civil Society in Tanzania Copyright © 2019 Human Rights Watch All rights reserved. Printed in the United States of America ISBN: 978-1-6231-37755 Cover design by Rafael Jimenez Human Rights Watch defends the rights of people worldwide. We scrupulously investigate abuses, expose the facts widely, and pressure those with power to respect rights and secure justice. Human Rights Watch is an independent, international organization that works as part of a vibrant movement to uphold human dignity and advance the cause of human rights for all. Human Rights Watch is an international organization with staff in more than 40 countries, and offices in Amsterdam, Beirut, Berlin, Brussels, Chicago, Geneva, Goma, Johannesburg, London, Los Angeles, Moscow, Nairobi, New York, Paris, San Francisco, Sydney, Tokyo, Toronto, Tunis, Washington DC, and Zurich. For more information, please visit our website: http://www.hrw.org OCTOBER 2019 ISBN: 978-1-6231-37755 “As long as I am quiet, I am safe” Threats to Independent Media and Civil Society in Tanzania Summary .................................................................................................................... 1 Recommendations .......................................................................................................5 Methodology............................................................................................................. -
MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao Cha Arobaini Na Sita
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao cha Arobaini na Sita – Tarehe 15 Juni, 2020 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge tukae, tunaendelea na Mkutano wetu wa 19, Kikao cha 46, bado kimoja tu cha kesho. Katibu! NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE: HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa mezani na: NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO: Maelezo ya Waziri wa Fedha na Mipango kuhusu Muswada wa Sheria ya Fedha wa Mwaka 2020 (The Finance Bill, 2020). Muhtasari wa Tamko la Sera ya Fedha kwa Mwaka wa Fedha 2020/2021 (Monetary Policy Statement for the Financial Year 2020/2021). MHE. ALBERT N. OBAMA - K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA BAJETI:Maoni ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti Kuhusu Muswada wa Sheria ya Fedha wa Mwaka 2020 (The Finance Bill, 2020). 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) MHE. RHODA E. KUNCHELA - K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KWA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO: Maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kuhusu Muswada wa Sheria ya fedha wa mwaka 2020 (The Finance Bill, 2020). MHE. DKT. TULIA ACKSON - MAKAMU MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KANUNI ZA BUNGE: Azimio la Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kanuni za Bunge kuhusu Marekebisho ya Kanuni za Bunge SPIKA: Asante sana Mheshimiwa Naibu Spika, Katibu MASWALI NA MAJIBU (Maswali yafuatayo yameulizwa na kujibiwa kwa njia ya mtandao) Na. 426 Migogoro ya Mipaka MHE. -
Tarehe 27 Juni, 2019
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA _________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Hamsini na Nne – Tarehe 27 Juni, 2019 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa tukae. Katibu! NDG. ATHUMAN HUSSEIN – KATIBU MEZANI: HATI ZA KUWASILISHA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa mezani na:- MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI: Maelezo ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na. 3) wa Mwaka 2019 [The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.3) Bill, 2019]. MHE. NAJMA MURTAZA GIGA - MAKAMU MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA: Maoni ya Kamati ya Katiba na Sheria kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na. 3) wa Mwaka 2019 [The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.3) Bill, 2019]. MHE. JOSEPH R. SELASINI K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KUHUSU WIZARA YA KATIBA NA SHERIA: 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) Maoni ya Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kuhusu Wizara ya Katiba na Sheria juu ya Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na. 3) wa Mwaka 2019 [The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.3) Bill, 2019]. NAIBU SPIKA: Ahsante sana, nimuite Katibu. NDG. ATHUMAN HUSSEIN – KATIBU MEZANI: MISWADA YA SHERIA YA SERIKALI Muswada wa Sheria ya Fedha wa Mwaka 2019 (The Finance Bill, 2019) (Majadiliano Yanaendelea) NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tutaendelea na majadiliano kama ambavyo tulianza jana. Nahitaji nipate majina kutoka kwenye vyama vyenye uwakilishi kama kuna wachangiaji, lakini pia kama hawapo tunaweza kuendelea na ratiba yetu. -
Kitabu Cha Kumbukumbu Za Wabunge
BUNGE LA TANZANIA ____________ KITABU CHA KUMBUKUMBU ZA WABUNGE BUNGE LA KUMI NA MOJA Toleo la Pili - Aprili, 2018 1 2 SEHEMU YA KWANZA UTANGULIZI Bunge limekuwepo toka tupate uhuru mwaka 1961 na kabla ya uhuru kuanzia mwaka 1926. Wabunge nao wameendelea kuwepo kwa vipindi tofauti na kwa idadi inayobadilika kila wakati wakitekeleza wajibu wao muhimu wa kutunga sheria na kuisimamia Serikali kwa niaba ya wananchi kwa mujibu wa Katiba ya nchi. Bunge lilipoanza mwaka 1926, Wabunge walikuwa ishirini na moja (21) na tulipopata uhuru mwaka 1961 Wabunge walikuwa wameongezeka kufikia themanini (80) na baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 idadi ya Wabunge iliongezeka na kufikia Wabunge 357. Hata hivyo, baada ya Tume ya Uchaguzi kuona umuhimu wa kuongeza idadi ya Majimbo kutokana na sababu mbalimbali sasa hivi idadi ya Wabunge ni 393. Kitabu hiki cha Kumbukumbu za Wabunge kimegawanyika katika Sehemu kuu Kumi na Nne. Katika sehemu hizo za kitabu kimeorodhesha Wabunge wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na anuani zao, namba zao simu za mkononi na Majimbo yao ya uwakilishi Bungeni chini ya picha zao ili kurahisisha mawasiliano. Katika mchanganuo wa kila sehemu, Sehemu ya Kwanza ni Utangulizi. Aidha, Wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Bunge ambao ndiyo wasimamizi wa shughuli za Bunge wameorodheshwa katika Sehemu ya Pili ya kitabu hiki ikifuatiwa na Uongozi wa Ofisi ya Bunge katika Sehemu ya Tatu. 3 Sehemu ya Nne imeorodhesha Wabunge wote wa Majimbo wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Mikoa ikifuatiwa na Sehemu ya Tano ambayo imeorodhesha Wabunge wote wa Viti Maalum kulingana na uwakilishi wa vyama vyao Bungeni ikianzia na Chama cha Mapinduzi (CCM); ikifuatiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama cha Wananchi (CUF) na Sehemu ya Sita imeorodhesha Wabunge kupitia nafasi ya Kuteuliwa na Rais na Sehemu ya Saba ni Wabunge kutoka Baraza la Wawakilishi. -
Tanzania 2019 Human Rights Report
TANZANIA 2019 HUMAN RIGHTS REPORT EXECUTIVE SUMMARY The United Republic of Tanzania is a multiparty republic consisting of the mainland region and the semiautonomous Zanzibar archipelago, whose main islands are Unguja (Zanzibar Island) and Pemba. The union is headed by a president, who is also the head of government. Its unicameral legislative body is the National Assembly (parliament). Zanzibar, although part of the union, exercises considerable autonomy and has its own government with a president, court system, and legislature. In 2015 the country held its fifth multiparty general election. Voting in the union and Zanzibari elections was judged largely free and fair, resulting in the election of a union president (John Magufuli). The chair of the Zanzibar Electoral Commission, however, declared the parallel election for Zanzibar’s president and legislature nullified after only part of the votes had been tabulated, precipitating a political crisis on the islands. New elections in Zanzibar in 2016 were neither inclusive nor representative, particularly since the main opposition party opted not to participate; the incumbent (Ali Mohamed Shein) was declared the winner with 91 percent of the vote. Under the union’s Ministry of Home Affairs, the Tanzanian Police Force (TPF) has primary responsibility for maintaining law and order in the country. The Field Force Unit, a special division of the TPF, has primary responsibility for controlling unlawful demonstrations and riots. The Tanzanian People’s Defense Forces includes the Army, Navy, Air Command, and National Service. They are responsible for external security but also have some domestic security responsibilities and report to the Ministry of Defense. -
MKUTANO WA TATU Kikao Cha Sitini Na Mbili – Tarehe 30 Juni, 2021
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA TATU Kikao cha Sitini na Mbili – Tarehe 30 Juni, 2021 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu NDG. RAMADHAN ISSA ABDALLAH – KATIBU MEZANI: HATI ZA KUWASILISHA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI: Maelezo ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na.3) wa Mwaka 2021 [The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.3) Bill, 2021]. (Makofi) MHE. SUMA I. FYANDOMO K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA: Maoni ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na. 3) wa Mwaka 2021 [The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.3) Bill, 2021]. NAIBU SPIKA: Ahsante sana Mheshimiwa Suma kwa niaba ya Mwenyekiti, Katibu. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) NDG. RAMADHAN ISSA ABDALLAH - KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU NAIBU SPIKA: Maswali Waheshimiwa Wabunge, tutaanza na Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Mheshimiwa Joseph Kasheku Musukuma, Mbunge wa Geita sasa aulize swali lake. Na. 519 Hitaji la Madarasa ya Kidato cha Tano na Sita – Tarafa ya Bugando na Isulwabutundwe – Geita MHE. JOSEPH K. MUSUKUMA aliuliza:- Je, ni lini Serikali itapeleka fedha kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ya Kidato cha Tano na Sita katika Shule ya Sekondari Bugando iliyopo Tarafa ya Bugando na Shule ya Sekondari ya Rubanga iliyopo Tarafa ya Isulwabutundwe? NAIBU SPIKA: Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Mheshimiwa David Ernest Silinde, majibu. -
MKUTANO WA KUMI NA MBILI Kikao Cha Pili– Tarehe 5 Septemba
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA KUMI NA MBILI Kikao cha Pili– Tarehe 5 Septemba, 2018 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Andrew J Chenge) Alisoma Dua MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge tukae, Katibu. NDG. MOSSY LUKUVI – KATIBU MEZANI: HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA: Maelezo ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia kuhusu Muswada wa Sheria ya Bodi ya Kitaalam ya Walimu Tanzania wa Mwaka 2018 [The Teacher’s Professional Board, Bill 2018] MHE. PETER J. SERUKAMBA - MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII: Maoni ya Kamati ya Huduma na Maendeleo ya Jamii kuhusu Muswada wa Sheria ya Bodi ya Kitaalam ya Walimu Tanzania wa Mwaka 2018, (The Teacher’s Professional Board, Bill, 2018) 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) MHE. CECILIA D. PARESSO – (K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI JUU YA WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA): Maoni ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani kuhusu Muswada wa Sheria ya Bodi ya Kitaalam ya Walimu Tanzania wa Mwaka 2018, (The Teacher’s Professional Board, Bill, 2018)] MWENYEKITI: Katibu. NDG. MOSSY LUKUVI – KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU MWENYEKITI: Maswali, swali letu la kwanza linaelekezwa Ofisi ya Rais, TAMISEMI na linaulizwa na Mbunge wa Lulindi, Mheshimiwa Jerome Dismasi Bwanausi, kwa niaba yake Mheshimiwa Chikota. Na.15 Kujenga Madaraja Jimbo la Lulindi MHE. ABDALLAH D. CHIKOTA - (K.n.y. MHE. JEROME D. BWANAUSI) aliuliza:- Madaraja ya Mwitika – Maparawe, Mipande – Mtengula na Mbangara – Mbuyuni yalisombwa na maji wakati wa mafuriko miaka mitano iliyopita na kusababisha matatizo makubwa ya usafiri:- Je, ni lini Serikali itajenga madaraja hayo ili kuondoa adha ya usafiri inayowakabili wananchi? NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (JOSEPHAT S. -
Report on the Situation of Human Rights Defenders and Civic Space in Tanzania 2019 Report on the Situation of Human Rights Defenders and Civic Space in Tanzania 2019
REPORT ON THE SITUATION OF HUMAN RIGHTS DEFENDERS AND CIVIC SPACE IN TANZANIA 2019 REPORT ON THE SITUATION OF HUMAN RIGHTS DEFENDERS AND CIVIC SPACE IN TANZANIA 2019 Researchers Advocate Jones Sendodo Advocate Leopold Mosha Advocate Deogratias Bwire Advocate Catherine Ringo Paul Kisabo Writers Advocate Jones Sendodo Advocate Deogratias Bwire Advocate Leopold Mosha Advocate Catherine Ringo Paul Kisabo Editor Onesmo Olengurumwa Pili Mtambalike Donors SIDA Report on The Situation of Human Rights Defenders and Civic Space in Tanzania 2019 i TABLE OF CONTENTS ABREVIATIONS vi LIST OF STATUTES AND INTERNATIONAL INSTRUMENTS vii ACKNOWLEDGMENT x EXECUTIVE SUMMARY xi CHAPTER ONE 1 GENERAL INTRODUCTION 1 1.0 Introduction 1 1.1 Who is a Human Rights Defender? 1 1.2 Protection Mechanisms for Human Rights Defenders 4 1.2.1 Legal Protection Mechanism at International Level 4 1.2.2 Legal Protection Mechanism at Regional Level 5 1.2.3 Legal Protection Mechanism at the National Level 9 1.3 Non Legal Protection mechanism 11 1.3.1 Non Legal Protection mechanism at International level 11 1.3.2 Non Legal Protection Mechanism at Regional level 12 1.3.3 Non legal Protection Mechanism at National Level 14 1.3.4 Challenges with both International and Regional Protection 15 CHAPTER TWO 16 VIOLATIONS COMMITTED AGAINST HUMAN RIGHTS DEFENDERS 16 2.0 Overview of the Chapter 16 2.1 Strategic cases for HRDs, Cases against HRDs, threats and violations against human rights defenders in 2019 are as follows; 16 2.2.1 Strategic cases for HRDs 16 2.2.2 Cases against HRDs 20 -
1 Bunge La Tanzania
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Hamsini na Moja – Tarehe 14 Juni, 2018 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Andrew J. Chenge) Alisoma Dua MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu. NDG. RAMADHAN ABDALLAH – KATIBU MEZANI: HATI ZA KUWASILISHA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO: Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2017 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019. Muhtasari wa Tamko la Sera ya Fedha kwa mwaka 2018/2019. Taarifa ya Mwaka ya Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016 (The Annual Report of the Institute of Finance Management for the Financial Year 2015/2016). MWENYEKITI: Ahsante. Tunaendelea, Katibu. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) NDG. RAMADHAN ABDALLAH – KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU MWENYEKITI: Maswali, swali letu la kwanza kwa siku ya leo linaulizwa na Mheshimiwa Omar Abdallah Kigoda, Mbunge wa Handeni na linaulizwa kwa Mheshimiwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI. Kwa niaba yake, Mheshimiwa Shangazi. Na. 433 Tathmini Kuhusu 10% ya Wanawake na Vijana MHE. RASHID A. SHANGAZI (K.n.y. MHE. OMAR A. KIGODA) aliuliza:- Kumekuwa na utekelezaji hafifu wa kusaidia akinamama na vijana kutoka kwenye ile asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halmashauri:- Je, Serikali ina tathmini yoyote ya jinsi gani agizo hilo limetekelezwa kwa kila halmashauri? MWENYEKITI: Ahsante. Majibu kwa swali hilo, Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Mheshimiwa Kakunda. NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. -
Tanzania 2020 LGBTQ Exhibits Part1
TAB 1 CAP. 16 TANZANIA PENAL CODE CHAPTER 16 OF THE LAWS (REVISED) (PRINCIPAL LEGISLATION) [Issued Under Cap. 1, s. 18] 1981 PRINTED AND PUBLISHED BY THE GOVERNMENT PRINTER, DARES SALAAM Penal Code [CAP. 16 CHAPTER 16 PENAL CODE Arrangement of Sections PARTI General Provisions CHAPTER I Preliminary 1. Short title. 2. Its operation in lieu of the Indian Penal Code. 3. Saving of certain laws. CHAPTER II Interpretation 4. General rule of construction. 5. Interpretation. CHAPTER III Territorial Application of Code 6. Extent of jurisdiction of local courts. 7. Offences committed partly within and partly beyond the jurisdiction, CHAPTER IV General Rules as to Criminal Responsibility 8. Ignorance of law. 9. Bona fide claim of right. 10. Intention and motive. 11. Mistake of fact. 12. Presumption of sanity^ 13. Insanity. 14. Intoxication. 15. Immature age. 16. Judicial officers. 17. Compulsion. 18. Defence of person or property. 18A. The right of defence. 18B. Use of force in defence. 18C. When the right of defence extends to causing abath. 19. Use of force in effecting arrest. 20. Compulsion by husband. 21. Persons not to be punished twice for the same offence. 4 CAP. 16] Penal Code CHAPTER V Parties to Offences 22. Principal offenders. 23. Joint offences. 24. Councelling to commit an offence. CHAPTER VI Punishments 25. Different kinds of punishment. 26. Sentence of death. 27: Imprisonment. 28. Corpora] punishment. 29. Fines. 30. Forfeiture. 31. Compensation. 32. Costs. 33. Security for keeping the peace. 34. [Repealed]. 35. General punishment for misdemeanours. 36. Sentences cumulative, unless otherwise ordered. 37. Escaped convicts to serve unexpired sentences when recap- 38. -
(LAAC)/ WAKILI HOUSE PROJECT REPORT October 2019
(2003 – 2019) Tanganyika COMPREHENSIVE LEGAL AID Law Society AND ADVOCACY CENTRE (LAAC)/ WAKILI HOUSE PROJECT REPORT October 2019 Tanganyika Law Society (2003 – 2019) COMPREHENSIVE LEGAL AID AND ADVOCACY CENTRE (LAAC)/ WAKILI HOUSE PROJECT REPORT October 2019 i CONTENTS EXECUTIVE SUMMARY: ............................................................................................. iv PRESIDENT’S REMARKS, ........................................................................................... v CEO’s Note, ............................................................................................................... vi PART 1: .................................................................................................................. 1 PROJECT INCEPTION AND PROPERTY ACQUISITION: ................................................. 1 1.1 Background to the Wakili House Project: ............................................................ 1 1.2 Acquisition of a House at Plot No. 390 Regent Estate: ........................................ 1 1.3 Choosing Project Name: Wakili House Versus Legal Aid Advocacy Centre (LAAC): 2 PART 2: .................................................................................................................. 3 DEVELOPMENT OF CONCEPTS AND DESIGNS OF THE LAAC/WAKILI HOUSE: .............. 3 2.1 Engagement of the Architect, Quantity Surveyor and Presentation of Designs: . 3 2.2 Change of Designs: .............................................................................................. 5 PART 3: .................................................................................................................