Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
Online Document)
NAKALA YA MTANDAO (ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ____________ MKUTANO WA ISHIRINI Kikao cha Arobaini na Sita – Tarehe 8 Julai, 2015 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Mussa Z. Azzan) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, maswali na tunaanza na ofisi ya Waziri, Mheshimiwa Kayombo, kwa niaba yake Mheshimiwa Rage. Na. 321 Ofisi kwa ajili ya Tarafa-Mbinga MHE. ISMAIL A. RAGE (K.n.y. MHE. GAUDENCE C. KAYOMBO) aliuliza:- Wilaya ya Mbinga ina tarafa sita lakini tarafa zote hazina ofisi rasmi zilizojengwa:- Je, ni lini Serikali itajenga ofisi kwa Makatibu Tarafa? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- 1 NAKALA YA MTANDAO (ONLINE DOCUMENT) Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Gaudence Cassian Kayombo, Mbunge wa Mbinga Mashariki kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Mwenyekiti, Mkoa wa Ruvuma una jumla ya tarafa 24 yaani Tunduru wako saba, Mbinga wana tarafa sita, Nyasa wana tarafa tatu, Namtumbo wana tarafa tatu na Songea wana tarafa tano. Ni kweli tarafa za Wilaya ya Mbinga hazina ofisi rasmi zilizojengwa na Serikali. Ujenzi wa hizo ofisi unafanyika kwa awamu kulingana na upatikanaji wa fedha. Kwa sasa Mkoa wa Ruvuma umeweka kipaumbele katika ujenzi wa ofisi nne za tarafa katika Wilaya ya Nyasa na Tunduru. Tarafa hizo ni Luhuhu (Lituhi-Nyasa), Ruhekei (Mbamba bay-Nyasa), Mpepo (Tinga-Nyasa) na Nampungu (Nandembo-Tunduru). Mheshimiwa Mwenyekiti, katika mwaka wa fedha wa 2014/2015, Mkoa ulitenga shilingi milioni mia tatu kwa ajili ya ujenzi wa ofisi ya Tarafa ya Luhuhu (Lituhi), Ruhekei (Mbamba bay), Mpepo (Tingi) na Nampungu (Nandembo). -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE _________________ MKUTANO WA KUMI NA NANE Kikao cha Kumi na Tatu – Tarehe 10 Februari, 2010 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI (MHE. OMAR YUSSUF MZEE): Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Benki ya Posta Tanzania, kwa Mwaka 2008 [The Annual Report and Accounts of The Tanzania Postal Bank for the Year 2008]. The Mid-Term Review of the Monetary Policy Statement of The Bank of Tanzania for the Year 2009/2010. MWENYEKITI WA KAMATI YA NISHATI NA MADINI: Taarifa ya Kamati ya Nishati na Madini juu ya Taarifa ya Serikali Kuhusu Ubinafsishwaji wa Mgodi wa Kiwira. Taarifa ya Kamati ya Nishati na Madini Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelezaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Mchakato wa Zabuni ya Kuzalisha Umeme wa Dharura Ulioipa Ushindi Kampuni ya Richmond Development Company LLC. Houston Texas - Marekani Mwaka 2006. MWENYEKITI WA KAMATI YA MIUNDOMBINU: Taarifa ya Kamati ya Miundombinu Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelzaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Uendeshaji Usioridhisha wa Shirika la Reli Tanzania uliofanywa na Kampuni ya RITES ya India. 1 Taarifa ya Kamati ya Miundombinu Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelezaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Utendaji wa Kazi Usioridhisha wa Kampuni ya TICTS. MASWALI NA MAJIBU Na. 145 Usimamizi wa Ukaguzi wa Fedha za Halmashauri MHE. HERBERT J. MNTANGI aliuliza:- Kwa kuwa, kiasi cha fedha kinachopelekwa katika Halmashauri za Wilaya, Manispaa na Jiji ni kikubwa na kinahitaji usimamizi wa ziada:- Kwa kuwa kitengo cha ukaguzi wa ndani kipo chini ya Mkurugenzi Mtendaji. -
Bspeech 2008-09
HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA, MHESHIMIWA STEPHEN MASATO WASIRA (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA KWA MWAKA 2008/2009 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu baada ya kuzingatia taarifa iliyowasilishwa hapa Bungeni leo na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kilimo Mifugo na Maji inayohusu Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika, sasa lijadili na kukubali kupitisha makadirio ya Matumizi ya Kawaida na ya Maendeleo ya Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika kwa mwaka wa Fedha wa 2008/2009. 2. Mheshimiwa Spika, awali ya yote nitumie fursa hii kuungana na Watanzania wenzangu kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuchaguliwa kwake kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika. Kuchaguliwa kwake, na mchango wake alioutoa tangu kuchaguliwa kwake kuwa Mwenyekiti wa Umoja huo umelijengea Taifa letu heshima kubwa katika medani ya kimataifa. Aidha, uongozi wake na juhudi zake za kupambana na maovu katika jamii yetu, licha ya kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa ajili ya Uchaguzi wa Mwaka 2005 ni kielelezo dhahiri kuwa ni kiongozi anayejali haki na maendeleo ya nchi yetu. Juhudi zake hizo zimedhihirisha uwezo wake mkubwa wa kuongoza na utumishi wake uliotukuka aliouonyesha katika nyadhifa mbali mbali alizowahi kushika katika Serikali na Chama cha Mapinduzi. Wananchi wanaendelea kuwa na imani na matumaini makubwa kwa uwezo wake katika kuliongoza Taifa letu. 1 3. Mheshimiwa Spika, nitumie fursa hii pia kumpongeza Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda (MB) kwa kuteuliwa kwake kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. -
Majina Ya Walimu Wa Ajira Mbadala Shule Za Msingi Na Sekondari
OFISI YA RAIS - TAMISEMI MAJINA YA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI WA AJIRA MBADALA WALIOPANGIWA VITUO VYA KAZI APRILI, 2019 NAMBA YA KIDATO CHA DARAJA/ SOMO LA Na. MAJINA KAMILI JINSI SOMO LA 2 MKOA HALMASHAURI SHULE KIWANGO CHA ELIMU IDARA NNE 1 1 ABAS MATAKA AHMAD S0197-0015/2005 M PHYSICS MATHEMATICS MTWARA MTWARA NDUMBWE SHAHADA SEKONDARI 2 ABAS NDIMUKANWA MATHAYO S0320-0001/2010 M BIOLOGY CHEMISTRY KIGOMA KASULU NYAKITONTO SHAHADA SEKONDARI 3 ABASI RUGA KISHOMI S1192-0053/2013 M MATHEMATICS PHYSICS PWANI KISARAWE KURUI STASHAHADA SEKONDARI 4 ABBAKARI SHIJA S2996-0012/2012 M GRADE IIIA MOROGORO MALINYI MBALINYI ASTASHAHADA MSINGI 5 ABDALLA S DAUDI S0346-0069/2012 M GRADE IIIA SIMIYU BARIADI IKINABUSHU ASTASHAHADA MSINGI 6 ABDALLAH ABDUL S0104-0001/2006 M GRADE IIIA MOROGORO GAIRO KINYOLISI ASTASHAHADA MSINGI 7 ABDALLAH ABDULRAHMAN MWENDA S1483-0064/2009 M MATHEMATICS KAGERA BUKOBA BUJUNANGOMA SHAHADA SEKONDARI 8 ABDALLAH HAMIS ABDALLAH S0769-0059/2011 M GRADE IIIA KIGOMA KASULU ASANTE NYERERE ASTASHAHADA MSINGI 9 ABDALLAH JOHN ZUAKUU S0580-0094/2010 M ACCOUNTING GEOGRAPHY TANGA MUHEZA MLINGANO SHAHADA SEKONDARI 10 ABDALLAH JUMANNE MLEWA S2636-0013/2013 M GRADE IIIA SINGIDA MANYONI KINANGALI ASTASHAHADA MSINGI 11 ABDALLAH MHANDO SAMPIZA S0747-0102/2012 M GRADE IIIA DODOMA KONDOA MKONGA ASTASHAHADA MSINGI 12 ABDALLAH MMUKA S0147-0001/2010 M MATHEMATICS PHYSICS SINGIDA MKALAMA KINAMPUNDU STASHAHADA SEKONDARI 13 ABDALLAH RAMADHANI S0465-0103/2009 M GRADE IIIA SIMIYU MEATU MWAFUGUJI ASTASHAHADA MSINGI 14 ABDALLAH SAIDI ABDALLAH -
MKUTANO WA 18 TAREHE 5 FEBRUARI, 2015 MREMA 1.Pmd
5 FEBRUARI, 2015 BUNGE LA TANZANIA _________________ MAJADILIANO YA BUNGE __________________ MKUTANO WA KUMI NA NANE Kikao cha Tisa – Tarehe 5 Februari, 2015 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua MASWALI KWA WAZIRI MKUU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, leo sijamwona. Kwa hiyo tunaendelea na Maswali kwa Waziri Mkuu na atakayeanza ni Mheshimiwa Murtaza A. Mangungu. MHE. MURTAZA A. MANGUNGU: Mheshimiwa Spika, nashukuru. Mheshimiwa Waziri Mkuu, kwa vipindi tofauti vya Bunge Mheshimiwa Peter Msigwa, Mheshimiwa Mussa Zungu na hata Mheshimiwa Murtaza A. Mangungu wamekuwa wakiuliza swali kuhusiana na manyanyaso wanayoyapata wafanyabiashara Wadogo Wadogo pamoja na Mamalishe. Kwa kipindi hicho chote umekuwa ukitoa maagizo na maelekezo, inavyoonekana mamlaka zinazosimamia hili jambo haziko tayari kutii amri yako. 1 5 FEBRUARI, 2015 Je, unawaambia nini Watanzania na Bunge hili kwa ujumla? WAZIRI MKUU: Mheshimiwa Spika, naomba nimjibu Mheshimiwa Murtaza Mangungu swali lake kama ifuatavyo:- Suala hili la vijana wetu ambao tunawajua kama Wamachinga, kwanza nataka nikiri kwamba ni suala kubwa na ni tatizo kubwa na si la Jiji la Dar es Salaam tu, bali lipo karibu katika miji mingi. Kwa hiyo, ni jambo ambalo lazima twende nalo kwa kiwango ambacho tutakuwa na uhakika kwamba tunalipatia ufumbuzi wa kudumu. Kwa hiyo, ni kweli kwamba mara kadhaa kuna maelekezo yametolewa yakatekelezwa sehemu na sehemu nyingine hayakutekelezwa kikamilifu kulingana na mazingira ya jambo lenyewe lilivyo. Lakini dhamira ya kutaka kumaliza tatizo hili la Wamachinga bado ipo palepale na kwa bahati nzuri umeuliza wakati mzuri kwa sababu jana tu nimepata taarifa ambayo nimeandikiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI ambayo wanaleta mapendekezo kwangu juu ya utaratibu ambao wanafikiri unaweza ukatatua tatizo hili ambalo lipo sehemu nyingi. -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE ______________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Moja – Tarehe 5 Agosti, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA: Randama ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Viwanda na Biashara kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. NAIBU WAZIRI WA KAZI NA AJIRA: Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Kazi na Ajira kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. MHE. JENISTA J. MHAGAMA - MWENYEKITI WA KAMATI YA MAENDELEO YA JAMII: Taarifa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Kazi na Ajira kwa Mwaka 2010/2011 Pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. MHE. REGIA E. MTEMA - MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI KWA WIZARA YA KAZI NA AJIRA: Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani juu ya Wizara ya Kazi na Ajira kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. MASWALI NA MAJIBU Na. 373 Kuboreshwa kwa Maslahi ya Madiwani MHE. FELISTER A. BURA aliuliza:- Madiwani ni nguzo muhimu katika kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi na nia ya Serikali ni kuboresha maslahi ya Madiwani iil waweze kutimiza wajibu wao ipasavyo;- Je, ni lini maslahi ya Madiwani yataboreshwa? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri Mkuu, ninaomba kujibu swali la Mheshimiwa Felister Bura, Mbunge wa Viti Maalum, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Naibu Spika, ni kweli kwamba, Waheshimiwa Madiwani ni nguzo muhimu katika kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi wa Chama cha Mapinduzi. -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA __________ MAJADILIANO YA BUNGE __________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Saba – Tarehe 15 Agosti, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) DUA Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa mezani na:- NAIBU WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI: Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. MWENYEKITI WA KAMATI YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA: Taarifa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa Mwaka wa Fedha 2010/2011 pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI KUHUSU WIZARA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI: Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani juu ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. MASWALI NA MAJIBU Na. 416 Makubaliano Kati ya Tanzania na Jumuiya ya Afrika Mashariki MHE. JOYCE J. MUKYA aliuliza:- Makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Jumuiya ya Afrika Mashariki (Kifungu 3(a) yaliyosainiwa Mkoani Arusha tarehe 14 Machi, 1996 yanatambua hadhi ya Wafanyakazi wa Kitanzania katika ngazi za Executives na Professional Staff ya kupata haki zao za msingi ikiwemo ile ya kumiliki pasi za kusafiria za kidiplomasia (Diplomatic Passports), -
Majadiliano Ya Bunge
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ________________ MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA NANE Kikao cha Kumi na Nne – Tarehe 2 Julai, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mne Jenista J. Mhagama) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA: Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma) Pamoja na (Utawala Bora) kwa mwaka wa Fedha 2012/2013. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS (UTAWALA BORA) (K.n.y. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, (UHUSIANO NA URATIBU): 1 Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Uhusiano na Uratibu kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013. MHE. JOHN P. LWANJI (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA): Taarifa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala Kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma) Pamoja na (Utawala Bora) kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012 Pamoja na Maoni ya Kamati Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hizo kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013. MHE. ANDREW J. CHENGE - MWENYEKITI WA KAMATI YA FEDHA NA UCHUMI: Taarifa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha na Uchumi, Kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012 Pamoja na Maoni ya Kamati Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013. MHE. KULIKOYELA K. KAHIGI - MSEMAJI WA KAMBI YA UPINZANI KUHUSU OFISI YA RAIS (MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA) PAMOJA NA (UTAWALA BORA): Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani ya Ofisi ya Rais (Menejimentii ya Utumishi wa Umma) Pamoja na (Utawala Bora) Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hizo kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013. -
Tarehe 15 Aprili, 2011
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA TATU Kikao cha Nane – Tarehe 15 Aprili, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA: Taarifa ya Mwaka na Hesabu zilizokaguliwa za Tume ya Ushindani kwa Mwaka wa Fedha 2008/2009 (The Annual Report and Audited Accounts of the Fair Competition Commission (FCC) for the Financial Year 2008/2009). Taarifa ya Mwaka na Hesabu zilizokaguliwa za Wakala wa Usajili wa Biashara na Utoaji Leseni kwa Mwaka wa Fedha 2006/2007 na Mwaka wa Fedha 2007/2008 (The Annual Reports and Audited Accounts of Business Registrations and Licensing Agency (BRELA) for the Financial Years 2006/2007 and 2007/2008). MASWALI NA MAJIBU Na. 100 Mpango wa Kutwaa Ardhi kwa Ajili ya Kupanga na Kupanua Mji MHE. JOSEPH R. SELASINI (K.N.Y. MHE. PHILIPA G. MTURANO) aliuliza:- Serikali ina mpango wa kutwaa ardhi za Wananchi wa Kata ya Somangila, Mitaa ya Kizani na Mwera kupima viwanja kwa lengo la kupanua mji; na kwa mujibu wa Sheria ya Vijiji ya Mwaka 1999 na Kanuni zake zinazitaka mamlaka zinazotwaa ardhi za Vijiji kulipa fidia kamili ya haki na ilipwe kwa wakati:- (a) Je, ni Wakazi wangapi wa Mitaa ya Kizani na Mwera wamelipwa fidia ya mali zao, usumbufu, malazi, upotevu wa faida na usafiri? 1 (b) Je, mpaka hivi sasa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke imekamilisha zoezi la ulipaji fidia kwa mujibu wa Sheria husika? (c) Ni kiasi gani cha fedha kimeshatumika katika zoezi hilo? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, ninaomba kujibu swali la Mheshimiwa Philipa Mturano, Mbunge wa Viti Maalum, lenye sehemu (a), (b) na (c), kwa pamoja kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, ninapenda kumfahamisha Mheshimiwa Mbunge kuwa, hadi sasa hakuna Mkazi wa Mtaa wa Kizani na Mwera aliyelipwa fidia. -
Majadiliano Ya Bunge ______
NAKALA YA MTANDAO (ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ____________ MKUTANO WA ISHIRINI Kikao cha Thelathini – Tarehe 17 Juni, 2015 (Kikao Kilianza Saa tatu Asubuhi) DUA Mwenyekiti (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, maswali tunaanza na Ofisi ya Waziri Mkuu. Kabla ya kuanza, naomba kwanza kabisa nitoe salamu za rambirambi kwa wananchi wa Njombe na Mafinga ambao juzi walipata ajali kubwa sana. Bahati mbaya sana nilisikia ajali hiyo wakati nikiwa Botswana. Wamepoteza maisha ya watu wengi sana pamoja na Mkurugenzi wetu wa Mipango Miji amepoteza mke wake na watoto wawili na amekwenda kuzika Bukoba, jana ndiyo walipita hapa. Niwaombe wawe wavumilivu katika kipindi hiki, hiyo ni kazi ya Mungu haina makosa. Baada ya hayo, namwita Mheshimiwa Freeman Aikaeli Mbowe kwa niaba yake Mheshimiwa Dkt. Mbassa. MHE. DKT. ANTHONY G. MBASSA: Mheshimiwa Spika, nakushukuru. Nami naomba niungane nawe kuwapa pole waliopoteza maisha na Mwenyezi Mungu awape nafasi ya kuvumilia yaliyojitokeza. Na. 209 Mtandao wa Barabara za Lami, Changarawe na Udongo Wilayani Hai MHE. DKT. ANTHONY G. MBASSA (K.n.y. MHE. FREEMAN A. MBOWE) aliuliza:- (a) Je, Halmashauri ya Wilaya ya Hai ina mtandao wa barabara za lami, changarawe na udongo za kilomita ngapi? 1 NAKALA YA MTANDAO (ONLINE DOCUMENT) (b) Je, Serikali imetoa kiasi gani kwa ujenzi wa barabara hizi kwenye mtandao wa barabara kwa miaka kumi iliyopita na kati ya fedha zilizotolewa, ni kiasi gani kimetumika kwa ajili ya ukodishaji wa mitambo ya ujenzi? (c) Je, Serikali haioni kuwa ni busara kutoa mitambo ya ujenzi kwa Halmashauri za Wilaya kwa utaratibu maalum ili kupunguza kiwango cha fedha kinachotolewa kwa kazi ya ujenzi na ukarabati kila mara? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba niungane na wewe kuwapa pole hao ambao umetupa taarifa yao. -
Did They Work for Us? Assessing Two Years of Bunge Data 2010-2012
Did they work for us? Assessing two years of Bunge data 2010-2012 1. Introduction The ninth session of the Bunge (Parliament) was adjourned on 9 November 2012, two years since the commencement of the first session on 9 November 2010 following the general election. These Bunge sessions have been broadcast through private and public TV stations allowing citizens to follow their representatives’ actions. Another source of information regarding MP performance is provided by the Parliamentary On-line Information System (POLIS) posted on the Tanzania Parliament website (www.bunge.go.tz) An important question for any citizen is: how did my MP represent my interests in Parliament? One way to assess performance of MPs is to look at the number of interventions they make in Bunge. MPs can make three types of interventions: they can ask basic questions submitted in advance; they can add supplementary questions after basic questions have been answered by the government; or they can makecontributions during the budget sessions, law amendments or discussions on new laws. This brief presents six facts on the performance of MPs, from November 2010 to November 2012, updating similar analyses conducted by Twaweza in previous years. It includes an assessment of who were the least and most active MPs. It also raises questions on the significance of education level when it comes to effectiveness of participation by MPs in parliament. The dataset can be downloaded from www.twaweza.org/go/bunge2010-2012 The Bunge dataset includes observations on 351 members: MPs who were elected and served (233), MPs in Special Seats (102), Presidential Appointees (10) and those from the Zanzibar House of Representatives (5) and the Attorney General. -
MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao Cha Sita
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE ______________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Sita – Tarehe 15 AprilI, 2008 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI (MHE. OMAR YUSSUF MZEE): Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Tume ya Rais ya Kurekebisha Mashirika ya Umma kwa Mwaka ulioishia tarehe 30 Juni, 2007 (The Annual Report and Accounts of Presidential Parastatal Sector Reform Commission for the year ended 30th June, 2007) MASWALI NA MAJIBU Na. 68 Fedha za Misaada MHE. MGANA I. MSINDAI aliuliza:- Kwa kuwa ni ukweli usiopingika kuwa, fedha nyingi zinazotolewa na TACAIDS, Global Fund na Mashirika mengine kupitia Halmashauri za Wilaya bado haziwafikii walengwa kama waathirika wa UKIMWI, Watoto Yatima hasa wanaoishi vijijini kama ilivyothibitika katika ripoti ya CAG kwa baadhi ya Wilaya hapa nchini; na kwa kuwa fedha hizo bado zinatumika kwa semina, makongamano hasa maeneo ya Wilayani:- (a) Je, Serikali ina mkakati gani kuhakikisha hizo fedha zinawafikia walengwa? 1 (b) Je, Serikali haioni kuwa ni busara kutumia Special Audit Report ya CAG iwe kama mwongozo wa kusahihisha makosa ambayo bado yanaendelea kwenye Halmashauri nyingi za Wilaya hapa nchini? (c) Je, Serikali haioni kuwa umefika wakati ambapo ni lazima watoe mwongozo thabiti kama ule wa Basket Fund ili fedha zisiendelee kutumiwa na Wilaya zaidi kwa kulipana posho, nauli na vitafunwa? WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU – SERA NA URATIBU NA BUNGE alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Mgana I.