11 Desemba, 2013
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
Nakala Ya Mtandao (Online Document) 1 BUNGE LA TANZANIA
Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Thelathini na Tatu - Tarehe 16 Juni, 2014 (Mkutano Ulianza Saa 3.00 Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge tukae. Katibu! HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI: Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na :- MWENYEKITI WA KAMATI YA BAJETI: Taarifa ya Kamati ya Bajeti Juu ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2013 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2014/2015 Pamoja na Tathmini ya Utekelezaji wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2013/2014 na Mapendekezo ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2014/2015. MHE. RAJAB MBAROUK MOHAMMED (K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI WA OFISI YA RAIS, MAHUSIANO NA URATIBU): Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani wa Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Juu ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2013 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2014/2015. MHE. CHRISTINA LISSU MUGHWAI (K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI WA WIZARA YA FEDHA): Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani wa Wizara ya Fedha juu ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2014/2015. Na. 240 Ukosefu wa Hati Miliki MHE. NYAMBARI C. M. NYANGWINE aliuliza:- Ukosefu wa Hatimiliki za Kimila Vijijini unasababisha migogoro mingi ya ardhi baina ya Kaya, Kijiji na Koo na kupelekea kutoweka kwa amani kwa wananchi kama inavyotokea huko Tarime. 1 Nakala ya Mtandao (Online Document) (a) Je, ni kwa nini Serikali haitoi -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA KUMI NA NNE __________ Kikao cha Kumi na Tano – Tarehe 21 Desemba, 2013 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anna S. Makinda) Alisoma Dua MUSWADA WA SHERIA WA SERIKALI Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Ushuru wa Bidhaa wa Mwaka 2013 (The Excise Management and Tarriff) (Amendment) Bill, 2013) (Kusomwa Mara ya Kwanza) (Muswada Uliotajwa hapo juu Ulisomwa Bungeni kwa Mara ya Kwanza) MUSWADA BINAFSI WA MBUNGE Muswada wa Sheria ya Baraza la Vijana la Taifa wa Mwaka 2013 (Kusomwa mara ya Kwanza) (Muswada Uliotajwa hapo juu Ulisomwa Bungeni kwa Mara ya Kwanza) SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, Muswada Binafsi wa Mheshimiwa Zitto Kabwe, sasa utaanza kuwepo kwenye Website ya Bunge na utakuwa public mpaka utakapopangiwa tarehe ya kujadiliwa na utapelekwa kwenye Kamati zitakazohusika wakati mwafaka. 1 Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) MUSWADA WA SHERIA YA SERIKALI Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Ushuru wa Bidhaa wa Mwaka 2013 (The Excise Management and Tariff) (Amendment) Bill, 2013) (Kusomwa Mara ya Pili) ISSN 0856-035X THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA BILL SUPPLEMENT No. 17 13th December, 2013 to the Gazette of the United Republic of Tanzania No. 50 Vol. 94 dated 13th December, 2013 Printed by the Government Printer, Dodoma by Order of the Government THE EXCISE (MANAGEMENT AND TARIFF)(AMENDMENT) ACT, 2013 ARRANGEMENT OF SECTIONS Sections Title 1. Construction. 2. Amendment of section 124. 3. Amendment of section 125. 2 Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) _______ NOTICE ___________ This Bill to be submitted to the National Assembly is published for general information to the general public together with a statement of its objects and reasons. -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA __________ MAJADILIANO YA BUNGE __________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Saba – Tarehe 15 Agosti, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) DUA Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa mezani na:- NAIBU WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI: Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. MWENYEKITI WA KAMATI YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA: Taarifa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa Mwaka wa Fedha 2010/2011 pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI KUHUSU WIZARA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI: Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani juu ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2011/2012. MASWALI NA MAJIBU Na. 416 Makubaliano Kati ya Tanzania na Jumuiya ya Afrika Mashariki MHE. JOYCE J. MUKYA aliuliza:- Makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Jumuiya ya Afrika Mashariki (Kifungu 3(a) yaliyosainiwa Mkoani Arusha tarehe 14 Machi, 1996 yanatambua hadhi ya Wafanyakazi wa Kitanzania katika ngazi za Executives na Professional Staff ya kupata haki zao za msingi ikiwemo ile ya kumiliki pasi za kusafiria za kidiplomasia (Diplomatic Passports), -
Hotuba Ya Waziri Wa Maliasili Na Utalii Mheshimiwa Prof
HOTUBA YA WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII MHESHIMIWA PROF. JUMANNE A. MAGHEMBE (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2007/08 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, Kutokana na taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maliasili na Mazingira iliyowasilishwa leo asubuhi juu ya makadirio na matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka 2007/08, naomba kutoa hoja kwamba sasa Bunge lako tukufu lijadili na hatimaye kupitisha Makadirio na Matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na Asasi zilizo chini yake kwa mwaka wa fedha 2007/08. 2. Mheshimiwa Spika, Awali ya yote napenda kuishukuru kwa dhati Kamati ya kudumu ya Maliasili na Mazingira chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Job Ndugai (Mb.), Mbunge wa Kongwa kwa kuchambua, kujadili na hatimaye kupitisha makadirio ya Wizara yangu. Napenda kulihakikishia Bunge lako tukufu kuwa, Wizara yangu imezingatia mapendekezo yaliyotolewa na Kamati na itaendelea kupokea mapendekezo ya Waheshimiwa Wabunge ili kuongeza ufanisi. 3. Mheshimiwa Spika, naomba nitangulize shukrani zangu kwa Mheshimiwa Rais, kwa kuniteua kuiongoza Wizara ya Maliasili na Utalii. Nitaendelea kushirikiana kwa dhati na Waheshimiwa Wabunge pamoja na wadau wengine katika kuhakikisha utekelezaji wa majukumu ya Wizara ili mchango wake katika pato la taifa uongezeke kwa kiasi kikubwa. Aidha, napenda kuchukua nafasi hii, kukupa pole, Mheshimiwa Spika pamoja na Waheshimiwa Wabunge kwa misiba mikubwa iliyotupata ya kuondokewa na waliokuwa Wabunge wenzetu marehemu Juma Jamaldini Akukweti aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Tunduru na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Masuala ya Bunge na Amina Chifupa Mpakanjia aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum Vijana (CCM). Nawapa pole familia za marehemu na Watanzania wote kwa ujumla na kuziombea roho za marehemu, Mwenyezi Mungu aziweke pahala pema peponi, Amin. -
30 APRILI, 2013 MREMA 1.Pmd
30 APRILI, 2013 30 April, df 01 BUNGE LA TANZANIA ________________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Kumi na Tano - Tarehe 30 Aprili, 2013 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA: Randama za Makadirio ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa Mwaka wa Fedha 2013/2014. MASWALI NA MAJIBU Na. 120 Kijiji cha Kitopeni Kukosa Huduma za Kijamii MHE. ZAYNAB M. VULLU aliuliza:- Kijiji cha Kitopeni kilichopata hadhi ya Kijiji mwaka 2010 katika Jimbo la Bagamoyo kimeshajenga Ofisi kwa michango ya wananchi, lakini kimekosa huduma muhimu za jamii:- 1 30 APRILI, 2013 (a) Je, Serikali ina mpango gani wa kuwajengea wananchi wa Kitopeni huduma muhimu za jamii zikiwemo shule ya awali, shule ya msingi, zahanati na barabara za uhakika zinazounganisha vitongoji vyake? (b) Je, ni lini Serikali itawajengea Zahanati wananchi wa Kijiji Kongwe cha Buma, Kata ya Kiromo ili kuwaondolea adha ya ukosefu wa huduma hiyo wananchi hao? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Zaynabu Matitu Vullu, Mbunge wa Viti Maalum, lenye sehemu (a) na (b), kama ifuatavyo. (a) Mheshimiwa Spika, ni kweli kwamba Kijiji cha Kitopeni kilianzishwa mwaka 2010 na kinakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa huduma muhimu zikiwemo shule, zahanati na barabara. Miradi ya ujenzi wa zahanati na shule katika Kijiji kwa sehemu kubwa huibuliwa na wananchi wenyewe na kwa mantiki hiyo asilimia kubwa ya gharama za utekelezaji wa miradi iliyoibuliwa na wananchi zinatokana na wananchi wenyewe. -
1458738756-Hs-2-5-20
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MKUTANO WA PILI ___________ Kikao cha Tano – Tarehe 14 Februari, 2011 (Mkutano uilianza Saa 3.00 Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU Na. 52 Idadi Kubwa ya Wananchi Kutopiga Kura MHE. MASOUD ABDALLAH SALIM aliuliza:- Katika uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba, 2010 ilibainika kwamba zaidi ya Watanzania milioni kumi na moja hawakupiga kura kati ya wananchi milioni ishirini waliojiandikisha kupiga kura:- Je, ni sababu zipi za msingi zilizopelekea idadi hiyo kupungua sana? WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU - SERA, URATIBU NA BUNGE alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Masoud Abdallah Salim, Mbunge wa Mtambile, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu ni haki ya kila raia mwenye sifa kama ilivyoainishwa kwenye Ibara 5(1) na (2) ya Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Ingawa katika Sheria za nchi hii, upigaji wa kura ni hiyari, hakuna Sheria inayolazimisha mtu kupiga kura. Katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 31 Oktoba, 2010, Watanzania waliojiandikisha walikuwa 20,137,303 na waliojitokeza kupiga kura ni 8,626,283 sawa na asilimia 42.83. Mheshimiwa Spika, baadhi ya sababu zilizochangia kwa Wapiga kura kujitokeza kupiga kura siku ya Uchaguzi ni kama ifuatavyo:- 1 (i) Elimu ya Uraia pamoja na Elimu ya mpiga kura kutotolewa kwa kiwango na muda wa kutosha. (ii) Baadhi ya vituo vya kupiga kura kuwa mbali na maeneo ya makazi ya watu hasa Vijijini. (iii) Kuhama kwa kupiga kura kutoka kwenye Majimbo na Kata walizojiandikisha kuwa Wapiga kura kutokana na sababu mbali mbali. -
MKUTANO WA KUMI NA SABA Kikao Cha Pili – Tarehe 6 Novemba, 2
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA KUMI NA SABA Kikao cha Pili – Tarehe 6 Novemba, 2019 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu. NDG. ASIA MINJA – KATIBU MEZANI: HATI ZA KUWASILISHA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, SERA, BUNGE, KAZI, VIJANA, AJIRA NA WENYE ULEMAVU: Taarifa ya Hali ya Dawa za Kulevya ya mwaka 2018. NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO: Taarifa ya Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo kwa Kipindi cha mwaka 2016/2017 hadi robo ya kwanza 2019/ 2020. NAIBU SPIKA: Ahsante. Katibu. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) NDG. ASIA MINJA – KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU NAIBU SPIKA: Tutaanza na Ofisi ya Waziri Mkuu, Mheshimiwa Mashimba Ndaki sasa aulize swali kwa niaba ya Mheshimiwa Makame Mashaka Foum. Na. 14 Sheria Na.9 ya 2010 ya Watu Wenye Ulemavu MHE. MASHIMBA M. NDAKI (K.n.y. MHE. MAKAME MASHAKA FOUM) aliuliza:- Sheria Na.9 ya mwaka 2010 ya Watu wenye Ulemavu imeainisha haki za msingi za Watu wenye Ulemavu ikiwa ni pamoja na haki ya ukalimani katika maeneo ya utoaji huduma kama vile hospitali, taarifa ya habari, shuleni nk:- Je, Serikali inachukua hatua gani ili kuharakisha utekelezaji wa sheria hii? NAIBU SPIKA: Majibu, Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu. NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, WATU WENYE WALEMAVU (MHE. STELLA IKUPA ALEX) alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Makame Mashaka Foum, Mbunge wa Kijini, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Naibu Spika, Sheria ya Watu wenye Ulemavu Na.9 ya mwaka 2010, imeweka misingi ya upatikanaji wa haki kwa watu wenye ulemavu ikiwepo haki ya upatikanaji wa habari kwa kundi la viziwi kupitia wakalimani katika sehemu mbalimbali ikiwemo hospitali, shuleni pamoja na vyombo vya habari yaani luninga. -
Majina Ya Vyeti Vya Kuzaliwa Vilivyohakikiwa Kikamilifu Wakala Wa Usajili Ufilisi Na Udhamini (Rita)
WAKALA WA USAJILI UFILISI NA UDHAMINI (RITA) MAJINA YA VYETI VYA KUZALIWA VILIVYOHAKIKIWA KIKAMILIFU ENTRY No/ NAMBA YA NA. JINA LA KWANZA JINA LA KATI JINA LA UKOO INGIZO 1 AMON ALISTIDIUS RUGAMBWA 411366659714 2 RICHARD NDEKA 1004525452 3 ROGGERS NDYANABO CLETUS 1004174782 4 SALUM ZUBERI MHANDO 17735/95 5 EMMANUEL DHAHIRI MVUNGI 648972721859 6 ROSEMERY NELSON JOSEPH 444681538130 7 ALBERT JULIUS BAKARWEHA 03541819 8 HUSSEIN SELEMANI MKALI 914439697077 9 BRIAN SISTI MARISHAY 2108/2000 10 DENIS CARLOS BALUA 0204589 11 STELLA CARLOS BALUA 0204590 12 AMOSI FRANCO NZUNDA 1004/2013 13 GIFT RAJABU BIKAMATA L.0.2777/2016 14 JONAS GOODLUCK MALEKO 60253323 15 JOHN AIDAN MNDALA 1025/2018 16 ZUBERI AMRI ISSA 910030285286 17 DEVIS JOHN MNDALA 613/2017 18 SHERALY ZUBERI AMURI 168/2013 19 DE?MELLO WANG?OMBE BAGENI 1002603064 20 MAHENDE KIMENYA MARO L. 9844/2012 21 AKIDA HATIBU SHABANI 1050000125 22 KILIAN YASINI CHELESI 1004357607 23 JESCA DOMINIC MSHANGILA L1646/2000 24 HUSNA ADAM BENTA 0207120 25 AGINESS YASINI CHALESS 9658/09 26 SAMWELI ELIAKUNDA JOHNSONI L 2047/2014 27 AMINA BARTON MTAFYA 267903140980 28 HUSNA JUMANNE HINTAY 04014382 29 INYASI MATUNGWA MLOKOZI 1000114408 30 EDWARD MWAKALINGA L.0.2117/2016 31 MTANI LAZARO MAYEMBE 230484751558 32 OBED ODDO MSIGWA L.3475/2017 33 REGINA MAYIGE GOGADI 1004035001 34 KULWA SOUD ALLY 317/2018 35 GEOFREY JOSEPHAT LAZARO 1004395718 36 GLORIA NEEMA ALEX 1003984320 37 DAUDI ELICKO LUWAGO 503096876515 38 NEEMA JUMA SHABAN 1363/96 39 MUSSA SUFIANI NUNGU 100/2018 40 SHAFII JUMBE KINGWELE 92/2018 41 RAMADHANI -
1458125300-Hs-6-6-20
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ______________ MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA SITA Kikao cha Sita – Tarehe 7 Februari, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA FEDHA (MHE. PEREIRA AME SILIMA): Mapitio ya Utekelezaji wa Sera ya Fedha ya Benki Kuu ya Tanzania Katika Nusu ya Kwanza ya Mwaka 2011/2012 (The Mid – Year Review of the Monetary Policy Statement of the Bank of Tanzania for the Year 2011/2012). MASWALI NA MAJIBU Na. 68 Kupunguza Msongamano Katika Hospitali ya Mkoa – Dodoma MHE. FELISTER A. BURA aliuliza:- Kuna ongezeko kubwa la watu katika Manispaa ya Dodoma kutokana na ujenzi wa Vyuo Vikuu; na Hospitali ya Mkoa inayowahudumia wakazi hao haijaongezewa Madaktari Bingwa na Manesi ili kukidhi ongezeko hilo:- (a) Je, Serikali haioni kuwa ni wakati mwafaka wa kuongeza Madaktari Bingwa na Manesi katika Hospitali hiyo ya Mkoa? (b) Je, ni lini Serikali itajenga Hospitali ya Wilaya ili kupunguza msongamano katika Hospitali hiyo ya Mkoa? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Felister A. Bura, Mbunge wa Viti Maalum, lenye sehemu (a) na (b), kama ifuatavyo:- (a) Mheshimiwa Spika, nakubaliana na Mheshimiwa Mbunge kwamba, hivi sasa lipo ongezeko kubwa la watu katika Mkoa wa Dodoma. Hali hii inasababisha kuongezeka kwa wagonjwa wanaopokelewa katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma na hivyo kusababisha msongamano. Mheshimiwa Spika, mahitaji ya wauguzi katika ikama ya Hospitali ya Dodoma ni 546 na waliopo ni 208. -
Provisional List of Delegations to the United Nations Conference on Sustanable Development Rio+20 I Member States
PROVISIONAL LIST OF DELEGATIONS TO THE UNITED NATIONS CONFERENCE ON SUSTANABLE DEVELOPMENT RIO+20 I MEMBER STATES AFGHANISTAN H.E. Mr. Zalmai Rassoul, Minister for Foreign Affairs of the Islamic Republic of Afghanistan Representatives H.E. Mr. Wais Ahmad Barmak, Minister of Rural Rehabilitation and Development H.E. Mr. Mohammad Asif Rahimi, Minister of Agriculture, Irrigation and Animal Husbandry H.E. Prince Mustapha Zahir, President of National Environment Protection Agency H.E. Mr. Jawed Ludin, Deputy Foreign Minister H.E. Sham Lal Batijah, Senior Economic Adviser to the President H.E. Mr. Zahir Tanin, Ambassador and Permanent Representative to the United Nations Mr. Mohammad Erfani Ayoob, Director General, United Nations and International Conferences Department, Ministry of Foreign Affairs Mr. Ershad Ahmadi, Director General of Fifth Political Department Mr. Janan Mosazai, Spokesperson, Ministry for Foreign Affairs Mr. Enayetullah Madani, Permanent Mission of Afghanistan to the UN Mr. Aziz Ahmad Noorzad, Deputy Chief of Protocol, Ministry for Foreign Affairs Ms. Kwaga Kakar, Adviser to the Foreign Minister Ms. Ghazaal Habibyar, Director General of Policies, Ministry of Mine Mr. Wahidullah Waissi, Adviser to the Deputy Foreign Minister 2 ALBANIA H.E. Mr. Fatmir Mediu, Minister for Environment, Forests and Water Administration of the Republic of Albania Representatives H.E. Mr. Ferit Hoxha, Ambassador Permanent Representative to the United Nations H.E. Mrs. Tajiana Gjonaj, Ambassador to Brazil Mr. Oerd Bylykbashi, Chief of Cabinet of the Prime Minister Mr. Glori Husi, Adviser to the Prime Minister Mr. Abdon de Paula, Honorary Consul to Rio de Janeiro Mr. Thomas Amaral Neves, Honorary Consul to São Paulo Mr. -
MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA NANE Kikao Cha
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA NANE Kikao cha Thelathini na Tano – Tarehe 28 Julai, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na: NAIBU WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013. HOJA ZA SERIKALI Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka 2012/2013 - Wizara ya Nishati na Madini Majadiliano yanaendelea SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaendelea na majadiliano. Kama nilivyowaambia, leo tutajadiliana mpaka saa tano na nusu tutakuwa tumemaliza Orodha ya waliomba kuchangia. Halafu saa tano na nusu hadi saa sita tutatoa dakika 15 kwa Manaibu Waziri, saa sita mpaka saa saba atapewa mtoa hoja Waziri, saa saba mpaka saa nane Kamati ya Matumizi. Kwa hiyo, nitawaita waliochangia mara moja. MHE. DEO H. FILIKUNJOMBE: Mwongozo wa Spika. SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, mwongozo wakati hatuna kitu kilichotokea hapo awali tumeomba Dua tu, naomba matumizi ya mwongozo yawe sahihi kwa sababu tumesoma Dua tu basi. MHE. DEO H. FILIKUNJOMBE: Aya ya 68 (7) inazungumzia jambo ambalo limetokea wakati uliopita Bungeni ambalo jana wakati Mheshimiwa Kafulila anachangia alitumia neno kwamba nchi hii imebakwa na mafisadi. Mwenyekiti aliyekuwa anaongoza Bunge alimtaka Mheshimiwa David Kafulila neno aliondoe kwamba neno hilo ni matusi na la kufedhehesha Bunge. Mheshimiwa Spika, mimi nimesoma literature neno moja linapotumika kuna dictionary meaning na contextual meaaning. Ukienda kwenye dictionary ya contextual meaning neno kubakwa siyo tusi. -
Nakala Ya Mtandao (Online Document) 1 BUNGE LA TANZANIA
Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA __________ MAJADILIANO YA BUNGE __________ MKUTANO WA ISHIRINI _________ Kikao cha Nane – Tarehe 20 Mei, 2015 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Lediana M. Mng’ong’o) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA: Randama za Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI: Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. MHE. DKT. LUCY S. NKYA (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KILIMO, MIFUGO NA MAJI): Taarifa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha 2014/2015 pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2015/2016. MHE. KURUTHUM J. MCHUCHULI (K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI JUU YA WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI): Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani kuhusu Makadirio ya Matumizi ya fedha kwa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. MASWALI NA MAJIBU Na. 53 Ujenzi Kwenye Maeneo ya Wazi Mji wa Himo MHE. DKT. ANTONY G. MBASSA (K.n.y. MHE. DKT. AUGUSTINO L. MREMA) aliuliza:- 1 Nakala ya Mtandao (Online Document) Wako watu wamejenga kwenye maeneo ya wazi katika Mji Mdogo wa Himo na kuna mchakato unaoendelea katika Halmashauri ya Wilaya ya Moshi wa kuwamilikisha maeneo hayo:- (a) Je, ni nini msimamo wa Serikali juuu ya hao waliovamia na kujenga kwenye maeneo hayo? (b) Je, Maafisa wa Ardhi walioyatoa maeneo hayo wamechukuliwa hatua gani za kinidhamu? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU) alijibu:- Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Dkt.