Toleo la 84, September-Oktoba, 2010 Waliomeremeta

Jarida la Baraza la Habari Kukuza Uhuru wa Vyombo vya Habari na kuhakikisha Toleo la 160, Decemba, 2020 ISSN 0856-874X viwango vya juu kabisa vya weledi na uwajibikaji Ukiukaji wa uhuru wa habari waongezeka WACHANGAMKIA MACHAPISHO YA MCT

MCT yaagizwa kusaidia Karibu Waziri CPJ, IPI kuinua uchumi Bashungwa lakini … yalaani vikali Uk 5 Uk 9 Uk 13 Jarida la Baraza la Habari Tanzania TAHARIRIWaliomeremeta Vyombo vya habari visibanwe

Washiriki ya Maonyesho Maalumu ya Ujuzi wakichukua nakala za machapisho mbalimbali ya Baraza la Habari Tanzania. Habari na picha vikue kiuchumi zaidi uk. 8. iashara ya habari – kieletroniki , magazeti na mtandaoni inakabiliwa na hali ngumu ya uchumi. Wanahabari wana hali ngumu. BBaadhi ya vyombo vya habari vimeacha kufanyakazi, vingine vimejitosa mtandaoni na MCT, MSHINDI WA vilivyobaki vinachechemea. Hata hivyo njia mbadala ya mtandaoni TUZO YA IPI 2003 imeripotiwa kuwa siyo ya manufaa pia. FREE MEDIA Kutokana na hali ngumu kiuchumi , kupunguza wafanyakazi ndiyo njia PIONEER inayojitokeza zaidi kwa wamiliki wa vyombo vya habari na mamia ya wafanyakazi wa vyombo vya habari wanajikuta hawana kazi. Ni bahati mbaya sana wakati tasnia ya vyombo vya habari inasinyaa, mamia ama wanamaliza mafunzo katika vyuo vya habari ama wengine wanajiunga na wengine wapo kwenye vyuo hivyo. Wakati maendeleo ya kiuchumi na hata mabaa kama janga la COVID-19 yanaweza kuwa yamechangia katika matatizo ya kiuchumi ya tasnia ya habari, sheria zisizo rafiki zina mchango mkubwa katika utendaji dhaifu na kushuka kwa mapato kwa vyombo vya habari. Sheria kama ya Huduma ya Vyombo vya Habari ya mwaka 2016 zina vikwazo vinavyoathiri utendaji wa vyombo vya habari na zinajenga woga na hofu na kujidhibiti wenyewe. Makala za uchambuzi, habari za uchunguzi sasa ni mambo ya zamani na uoga ndiyo mwendo kwenye vyombo vya habari. Kusifu ndiyo kigezo katika vyombo vya habari huku vikipoteza wasomaji, watazamaji na BODI YA UHARIRI: wasikilizaji. Kajubi Mukajanga Katibu Mtendaji – MCT Juhudi za makundi ya kutetea haki za David Mbulumi Meneja Programu habari zenye kulenga kuleta mabadiliko na Hamis Mzee Mhariri kurekebisha sheria hizo mbovu zinakwama kutokana na kupuuzwa na wenye mamlaka. MAWASILIANO Ingawa kupitia mahakama baadhi ya sheria Kwa Maoni na Malalamiko: zinazopingwa na wadau ziliamriwa Katibu Mtendaji kurekebishwa, wenye mamlaka wameendelea Baraza la Habari Tanzani (MCT) kupuuza uamuzi huo. S.L.P. 10160, Dar es Salaam Maelekezo ya karibuni kwa Baraza la Simu: +255 22 27775728, 22 2771947 Habari kukutana na wadau kuchukua hatua Simu ya Kiganjani: +255 784 314880 za kuviondoa vyombo vya habari katika hali Fax: + +255 22 2700370 ngumu ya kiuchumi ni mwelekeo mzuri. Baruapepe: [email protected] Lakini wakati Baraza, viongozi na wamiliki Tovuti: www.mct.or.tz wa vyombo vya habari wanachukua hatua za Facebook:- www.facebook.com/ kuboresha uchumi wa vyombo vya habari, mediacounciltanzania Twiter:- www.twitter. wenye mamlaka nao waache kuvibana ili com/mctanzania vifanye kazi kwa uhuru.

2 Toleo la 84, September-Oktoba,Toleo la 160, Desemba, 20102020 WaliomeremetaHabari Matukio 43 ya ukiukaji uhuru wa habari yarekodiwa Na Mwandishi wa Barazani

umla ya matukio 43 ya ukiuk- aji wa uhuru wa habari yameripotiwa katika Rejista Jya Ukiukaji wa Uhuru wa Habari inayosimamiwa na Baraza la Habari Tanzania. Ukiukaji huo ni pamoja na vitisho, mashambulizi, kunyimwa habari, mauaji na kufungiwa vyombo vya habari. Taarifa ya Ukiukaji wa Uhuru wa Habari imeeleza kuwa kulikuwa na matukio 13 ya kukamatwa, mawili ya mashambulizi, kumi ya na matatu ya kunyima taarifa. Ukiukaji mwingine ulioripotiwa unajumuisha matukio mawili ya kujibinya wenyewe, manne ya kufungiwa,mawili ya kusimamishwa, matano ya vitisho na tukio moja la hifadhi ya ukimbizi na kusimamishwa kipindi. Waandishi walikamatwa na polisi kutokana na maelekezo ya wenye mamlaka ama vyombo vya usimamizi kama vile Mamlaka ya Udhibiti Mawasiliano Tanzania katika maeneo mengi na kwa sababu mbalimbali. Januari 15, 2020 mwandishi anayeandikia gazeti la Mwananchi alikamatwa Mwanza kwa kupiga picha ndani ya Ofisi za Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA). Aliachiwa baadaye baada ya MCT, Umoja wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) Klabu ya Waandishi Mwanza na MCL Mtandaoni kuingillia. Waandishi watatu wa Njombe walikamatwa Februari 29 kwa Mwandishi Ansbert Ngurumo apewa hifadhi ya ukimbizi Sweden madai ya kuendesha runinga za mtandaoni kinyume kanuni za pamoja na mmiliki wa runinga ya maudhui ya mtandaoni bila leseni mwaka 2017 za sheria ya mtandaoni ya Njombe ambayo ni kinyume na kifungu 103 Mawasiliano ya Kieletroniki na walishitakiwa mbele ya Mahakama (1) cha Kanuni za 2018 za sheria ya Posta. ya Hakimu Mkazi ya Njombe. Mawasiliano ya Kieletroniki na Machi 4, 2020 waandishi hao Walishitakiwa kwa kosa la kutoa Endelea Ukurasa wa 4

3 Jarida la Baraza la Habari Tanzania WaliomeremetaHabari Matukio 43 ya ukiukaji uhuru wa habari yarekodiwa Inatoka Ukurasa wa 3 Posta pamoja na Kanuni 14(1) na (18). Kanuni hizo zinapingwa na MCT, Kituo cha Haki za Binadamu (LHRC) na THRDC katika Mahakama ya Rufaa. Waandishi wawili mmoja kutoka gazeti la Mwananchi na mwingine wa Runinga ya Global walishambuliwa na Polisi Februari 29, 2020 katika mkutano wa kisiasa uliohutubiwa na Mwenyekiti wa chama cha upinzani cha Chadema, Freeman Mbowe katika viwanja vya Nkoromu , wilaya ya Hai, mkoa Kilimanjaro. Ingawa waandishi wote walijitambulisha , polisi Mwandishi mkongwe Prince Bagenda alikamatwa waliwashambulia. Waandishi watano walizuiwa wa jumla wa Tuzo za Umahiri wa akimpinga Rais Magufuli amepewa kuingia mahakamani mjini Arusha Uandishi wa Habari Tanzania hifadhi ya ukimbizi Sweden. Machi 23, 2020 kuandika habari za (EJAT) aliachishwa kazi na gazeti la Ansbert Ngurumo ambaye kesi ya mauaji ya msichana wa kazi Mwananchi baada ya kutumikia alikimbia nchi Machi 2018 akihofia za nyumbani aliyekuwa kwa kipindi kifupi cha miezi mili maisha yake amepewa cheti cha akifanyakazi kwa polisi. Imedaiwa kutokana na kinachokisiwa kuwa ni hifadhi ya ukimbizi Machi 4, 2020. kuwa aliuawa kwa madai ya amri kutoka juu. Aprili 24, 2020 polisi kupigwa na mke wa askari huyo Runinga ya Mtandaoni ya walimkamata Prince Bagenda, aliyemtuhumu kuiba fedha. Kwanza imesimamishwa kwa miezi mwandishi mzoefu kwa tuhuma ya Matukio mbalimbali ya 11 na TCRA kwa madai ya kuandika kitabu kinachompinga wanahabari kukamatwa kutangaza habari isiyo na Rais Magufuli. yameorodheshwa katika ripoti hiyo. ulinganishi kuhusu mlipuko wa Mwaka 2019 kulikuwa na Leseni ya gazeti la Mwananchi ugonjwa wa Covid-19 nchini matukio 73 ya ukiukaji wa uhuru mtandaoni ilisimamishwa kwa nusu Tanzania. wa habari ambapo 49 mwaka wakati mwandishi wa habari TCRA Aprili 2, 2020 iliamuru yalithibitishwa na kuchapishwa wa Zanzibar alisimamishwa makampuni matatu kuomba radhi katika Rejista ya Ukiukaji wa kufanyakazi kwa miezi sita kwa na kulipa faini ya sh. milioni tano Uhuru wa Habari (PFVR) ambapo madai ya kukiuka maadili ya kila mmoja katika kipindi cha siku mwaka 2018 jumla ya matukio 46 uandishi. 30 kwa madai ya kukiuka kanuni za ya ukiukaji wa uhuru wa habari Leseni ya gazeti la Tanzania utangazaji. yaliripotiwa ambapo 29 Daima ilifutwa Juni 23, kwa madai Mwandishi wa gazeti la Citizen yalithibitishwa na kuingizwa katika ya gazeti hilo kung’ang’ania aliachishwa kazi kwa kumpinga PFVR. kuandika habari zinazokera wenye Rais Magufuli kwenye akaunti Ripoti kamili ya ukiukwaji wa mamlaka. yake ya twitter. uhuru wa habari inapatikana katika Mhariri aliyewahi kuwa mshindi Mwandishi mwingine aliyekuwa tovuti ya MCT www.mct.or.tz

4 Toleo la 84, September-Oktoba,Toleo la 160, Desemba, 20102020 WaliomeremetaHabari

Bodi ya Baraza la Habari Tanzania ikiwa katika kikao cha kwanza tangu ilipochaguliwa. Kikao hicho kilifanyika Desemba 21,2020. MCT yaagizwa kusaidia kuinua uchumi wa vyombo vya habari

Na Mwandishi wetu Mukajanga ambaye pia ni Katibu Hata hivyo ilibainika wakati wa wa Bodi hiyo alisema kikao hicho cha majadiliano kuwa hata njia mbadala Bodi kilichifanyika chini ya ya mtandaoni haina mafanikio araza la Habari Tanzania Mwenyekiti wake ambaye pia ni Rais kichumi. (MCT) limepewa jukumu la mpya wa Baraza Jaji mstaafu Juxon Bodi pia imeelekeza Baraza kukutana na wadau wa Mlay ilieleza wasiwasi wake kuhusu liendeleze juhudi za kukutana na Bhabari, wahariri, mameneja na hali mbaya ya uchumi katika vyombo serikali kwa lengo la kuboresha wamiliki wa vyombo vya habari kuan- vya habari. mazingira ya vyombo vya habari galia mfumo mpya utakaosaidia kui- Bodi hiyo, alisema Mukajanga, kufanyakazi. nua uchumi wa tasnia hiyo. imeona kuwa katika hali ya sasa ya Licha ya kujadili kuhusu hali Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, kijamii, kiuchumi na mazingira ya mbaya ya uchumi katika vyombo vya Kajubi Mukajanga amesema ni kisiasa nchini, ni muhimu Baraza habari, Bodi pia ilipokea Mpango kazi muhimu kwa Baraza hilo kuangalia kukutana na wadau na kujadili njia wa Baraza kwa mwaka 2021, taarifa njia mbadala za biashara hiyo ili bora za kuendesha biashara ya habari. ya Kamati ya Fedha na Utawala na kuweza kujikwamua na hali ngumu “ Ni muhimu tukaacha njia za taarifa ya Kamati ya Maadili kuhusu ya uchumi. kawaida za kutegemea matangazo na hali ya uhuru wa habari kwa mwaka Hatua ya kutaka kurekebisha hali mauzo”, Mukajanga alisema. 2020. ya uchumi ya vyombo hivyo ilifikiwa Kutokana na hali mbaya ya Wajumbe wa Bodi hiyo mpya katika kikao cha kwanza cha Bodi uchumi, baadhi ya vyombo vya habari walichaguliwa katika Mkutano Mkuu mpya ya Baraza kilichofanyika vimefunga wakati vingine vimeamua wa Baraza uliofanyika Tanga Desemba 21, 2020. kujiendesha mtandaoni. Septemba 28, 2020.

5 Jarida la Baraza la Habari Tanzania WaliomeremetaFursa Funding Opportunities GRANTS FOR INVESTIGATIVE JOURNALISM ON ENVIRONMENTAL CRIME The GRID-Arendal is offering grants for investigative journalism projects focused on environmental crime in developing countries. The journalism grant program funds in-depth, investigative journalism that breaks new ground and reveals new information about environmental crime that takes place within or across developing countries. The grant program is looking for high-impact reporting, especially on issues that are neglected by mainstream media. The program invites proposals for projects on a variety of media platforms, including print, online, audio, video, and multimedia projects. Proposals for data journalism, data visualization, and open source intelligence (OSINT) journalism are welcome. All projects must be published in English; if they are also published in one or more additional languages that would be a plus. Currently, in light of the COVID-19 pandemic, the program seeks to support investigative reporting that involves little to no travel. The program will not fund projects that involve travel to indigenous, isolated, or vulnerable communities. Successful applicants will receive half of the grant amount after signing a grant agreement, and the second half after the reporting project is submitted for publication or broadcast. The deadline for finishing a project will be six months from the signing of a grant agreement. Funded projects must note support from GRID-Arendal.

Funding Information • Four grant recipients will each receive 25,000 Norwegian kronor (approximately €2,300).

Eligibility Criteria • Applicants must be a professional journalist, either a staff member at a media organization or a freelancer with a record of publishing work in respected outlets. • Applicants must have experience in investigative journalism. • Journalists from anywhere in the world are welcome to apply. The program encourages applications from candidates with diverse backgrounds. For more information, visit https://www.grida.no/news/17

6 Toleo la 84, September-Oktoba,Toleo la 160, Desemba, 20102020 WaliomeremetaHabari CoRI yadhamiria kukutana na serikali Na Mwandishi wa Barazani kwamba wasikate tamaa na badala yake ya Mahakama hiyo ya Machi 28, 2019 waendeleze jitihada za kukutana na dhidi ya Sheria ya Huduma ya Vyombo serikali. vya Habari ya 2016, Mukajanga alisema moja wa Haki ya Kupata Taarifa Kuna mambo muhimu ambayo Umoja sasa wadau wa habari watawasiliana na (CoRI), katika mwaka 2021 huo inabidi ujadili na serikali na inabidi serikali kwa lengo la kukutana kuboresha utakuwa na majukumu mazito iwe na mapendekezo thabiti. sheria ya habari. Una kazi kubwa zaidi kuliko Kuna sheria kadhaa na kanuni MCT, Kituo cha Sheria na Haki za mwaka unaoishia wa 2020. ambazo zinakwaza uendeshaji wa kazi za Binadamu (LHRC) na Umoja wa Kutetea Kukutana na serikali bado habari. Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) kunajitokeza kuwa ni jukumu Umoja huo unataka kuboreshwa kwa kwa pamoja walifungua mashtaka lakipaumbile cha juu kwa Umoja huo sheria na kanuni kuwezesha kuwepo kupinga vifungu 18 vya sheria hiyo na unaotetea haki na uhuru wa habari. mazingira na hali nzuri ya utendaji wa Mahakama ya Afrika Mashariki ikiwapa Jitihada za Umoja huo kukutana na kazi za habari. ushindi katika vifungu 16 kuwa sheria serikali katika ngazi ya waziri mwaka Mkutano huo ulifanyika chini ya hiyo inakiuka Mkataba wa Ushirikiano 2020 hazikufanikiwa licha ya kuandika Mwenyekiti wa CoRI , Kajubi wa Afrika Mashariki. barua na kukumbusha mara kwa mara Mukajanga, ambaye anafahamika kwa Mukajanga alisema kuwa sasa lakini maofisa wa serikali hawakujibu. msimamo wake kuhimiza umoja huo watatekeleza ahadi ya Waziri wa Habari Katika mkutano uliofanyika kukutana na serikali. ya kujadiliana na wadau wa habari Desemba 11, 2020 kuangalia shughuli za Baaada ya kitengo cha Rufani cha kuhusu mustakabali wa sheria hiyo. umoja huo kwa mwaka huo na kupanga Mahakama ya Afrika Mashairiki Juni 9, Aidha Mukajanga alisema pia vipaumbeele kwa mwaka 2021, wajumbe 2020 kutupilia mbali notisi ya serikali ya wa Umoja huo walikubaliana kwa pamoja kutaka kukata rufani kupinga hukumu Endelea Ukurasa wa 8

Wajumbe wa Umoja wa Kupata Taarifa (CoRI) wakiwa kwenye mkutano.

7 Jarida la Baraza la Habari Tanzania WaliomeremetaHabari

wawili wa MCT, Saumu Mwalimu na ofisa wa IT Said Hassan walielezea shughuli za Baraza ikiwa pamoja na Wengi wafurika fursa za kujitolea kwa wanafunzi na wahitimu. Miongoni mwa waliohudhuria maonyesho hayo ya MCT alikuwa mwanafunzi aliyejitambulisha kuwa Elizabeth ambaye ni kipofu. Elizabeth alivutiwa alipobaini kizimba cha MCT kwamba MCT iliandaa kitabu cha Na Mwandishi wa Barazani Baraza. mwongozo wa mafunzo ya kuripoti wenye Maonyesho hayo ambayo mashirika ulemavu kilichoandaliwa kwa maandishi kadhaa ya kijamii yalishiriki yalifanyika maalum ya watu wasioona. Elizabeth atu wengi walitembelea katika viwanja vya Shule Kuu ya alilipongeza Baraza kwa hatua hiyo. kizimba cha Baraza la Habari Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Katika ripoti yao, maofisa hao walishauri Tanzania(MCT) katika Salaam. MCT kuendelea kkuishiriki katika Wmaonyesho maalum ya ujuzi Lengo la maonyesho hayo lilikuwa ni maonyesho kwa kuwa shughuli kama yaliyoandaliwa na Wakfu wa Taasisi za kuunganisha wanafunzi na washiriki wa hizo zinatoa nafasi ya kujulikana na Kijamii (FCS) Desemba 9,2020. tasnia ya mashirika ya kijamii ili kutangazwa shughuli za Baraza kwa Wengi wao walichangamkia na kuweza kuielesa sekta hiyo. wadau wengi. kuchukua machapisho mbalimbali ya Katika maonyesho hayo, maofisa

Ofisa Programu wa Baraza la Habari Saumu Mwalimu akitoa maelezo na kugawa machapisho ya Baraza katika maonyesho ya Ujuzi.

CoRI yadhamiria kukutana na serikali Inatoka Ukurasa wa 7 Bashungwa kuwa Waziri mpya wa kuelimisha umma. watakutana na wahariri, waandishi Habari, wajumbe wa CoRI wana Wakati mkutano huo mahsusi kuhusu waandamizi na umma kuwaelimisha matumaini ya kufanyika mkutano na kanuni hizo mpya unafanyika, MCT kuhusu sheria hiyo ya habari, umuhimu serikali na kuwepo matokeo mazuri. ilikuwa tayari imefanya uchambuzi wa wake na jinsi ya kuiboresha na maamuzi Mwaka 2020 CoRI ilipendekeza hatua maudhui ya mtandaoni na ilikuwa ya mahakama yana maanisha nini kadhaa kutokana na kutolewa kwa ikipanga pia kufanya uchambuzi wa kuhakikisha kuwa watu hawaabanwi kanuni mpya za Sheria Mawasiliano na maudhui ya radio na runinga. Mkutano tena na vifungu vya sheria ambavyo ni Posta kwa maudhui ya mtandaoni ya pia ulifahamishwa kuwa Twaweza pia batili. mwaka 2020 na marekebisho ya ilifanya uchambuzi wa kanuni hizo. Aliyekuwa Waziri wa Habari Dk. maudhui ya runinga na redio ambayo Wajumbe wa CoRI ni MCT , Twaweza, alifanya mkutano yalionekana kubinya mno. Sikika, LHRC, Taasisi ya Habari Kusini mfupi na wawakilishi wa vyombo vya Katika mkutano wa njia ya mtandaoni mwa Afrika tawi la Tanzania (MISA-Tan), habari katika ofisi za Shirika la uliofanyika Agosti 12,2020 miongoni mwa Chama cha Sheria cha Tanganyika (TLS), Utangazaji Tanzania (TBC) mwaka 2019 hatua ambazo wajumbe wa CoRI Chama cha Waandishi wa Habari kwa ahadi ya kuendeleza mawasiliano walipendekeza ni pamoja na kufanya Wanawake Tanzania (TAMWA), THDRC, zaidi lakini hadi anaondoka Wizarani uchambuzi wa kanuni hizo mpya na jinsi Policy Forum, Jukwaa la Wahariri hakukuwa na mkutano wowote zinavyowahusu wananchi wa kawaida. Tanzania (TEF),Chama cha Wamiliki wa uliofanyika na vyombo vya habari. Hatua nyingine iliyokubaliwa katika Vyombo vya Habari Tanzania Media Kutokana na uteuzi wa Innocent mkutano huo ni kufanya kampeni (MOAT) na Jamii Forums.

8 Toleo la 84, September-Oktoba,Toleo la 160, Desemba, 20102020 WaliomeremetaMaoni

vya kiserikali. Ikumbukwe kuwa katika uongozi wa awamu ya nne Emmanuel Nchimbi aliyekuwa Waziri wa Habari alifungua milango kwa vyombo binafsi na taasisi na kukutana nazo mara kwa mara na hata kuwaalika kwenda Bungeni wakati akiwasilisha hotuba ya Wizara yake. Alifanya hayo bila kujali kwamba wakati mmoja alipuuzwa na kutakiwa kuondoka katika mkutano ulioitishwa na wanahabari kudai maelezo ya kuuawa na Polisi mwandishi Daudi Mwangosi. Waziri aliyemfuata, Fenella Mukangara aliyekuwa Naibu wake aliendeleza moyo huo alipoteuliwa kuwa Waziri kamili baada ya Nchimbi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani katika mabadiliko ya Baraza la Mawaziri. Katika Baraza la Habari Tanzania, inakumbukwa kuwa aliyekuwa Rais wakati huo alielekeza Wizraa ya Habari Waziri mpya wa Habari, . kuchangia kusaidia Tuzo za Umahiri za Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT). Rais alitoa maelekezo hayo alipokuwa mgeni rasmi wa EJAT 2011 ambapo wanahabari waliofanya kazi Karibu Waziri nzuri kwa mwaka huo walitambuliwa na kupewa tuzo na zawadi. Pia alikabidhi tuzo kwa mshindi wa kwanza wa Tuzo ya Maisha ya Mafanikio yha Uandishi wa Habari Bashungwa lakini … (LAJA), Fili Karashani (ambaye sasa ni marehemu). Na Mwandishi wa Barazani taasisi mbalimbali za wizara. Hatua hii Baada ya uhusiano huo wa karibu, bila shaka haina ubishi. kwa mawaziri wengine wa habari Lakini kwa kuwa washirika waliofuata walishiriki jukwaa pamoja aziri mpya wa Habari, muhimu wa sekta ya habari hawaishii na wanahabari katika Maadhimisho Vijana, Utamaduni na katika serikali tu, ni muhimu Waziri ya Siku ya Uhuru wa Habari Mei 3 kila Michezo, Innocent akaendeleza ziara yake kwa washirika mwaka wakitoa ahadi zizisotimizwa za WBashungwa, alitembelea wote. kukutana zaidi kukuza mahusiano ya taasisi mbalimbali zilizo chini ya Licha ya serikali kuwa na vyombo vyombo vya habari na serikali. Wizara yake mara baada ya kuteuliwa vikubwa vya habari, kuna vyombo vya Kuna haja sasa ya kurekebisha hali kwake. binafsi na taasisi za kihabari ambazo hiyo na kuwa na uhusiano muafaka Hatua hii ni muhimu kwa mtu zina mchango mkubwa na haziwezi kati ya serikali na vyombo vya habari. yeyote anayeaminiwa na kupewa kupuuzwa. Tunamuomba Waziri aingize mawazo jukumu la kuongoza sekta kubwa na Inasikitisha kuwa mtangulizi wa mapya kukuza na kuboresha uhusiano muhimu kwani inampa fursa ya Waziri mpya hakuweka msingi wa na ushirikianio na vyombo vya habari kuwajua wote walio katika idara na kushirikisha vyombo vya habari visivyo vyote.

Rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete akiwa na washindi wa Tuzo za Umahiri wa Habari Tanzania (EJAT).

9 Jarida la Baraza la Habari Tanzania WaliomeremetaFursa SADC LAUNCHES THE 2021 MEDIA AWARDS COMPETITION The Secretariat of the Southern African Development Community (SADC) is pleased to announce the launch of the 2021 SADC Media Awards competition in the four categories namely: Photo, Print, Television and Radio Journalism. The SADC Media Awards were established in 1996 to recognise best media work in disseminating information on SADC to support the process of regional co-operation and integration in the region. The Public Relations Unit of the Southern African Development Community SADC Secretariat supports public participation in the community as outlined by the SADC Declaration. In line with the SADC Treaty, it is responsible for the promotion of SADC and is therefore the lead executor of SADC corporate communications, including public and media relations, public affairs, protocol and special events management, thus the custodian of communications, branding and promotional strategies.

Award Information • The first prize winner in each category receives US$2,500 and the runner-up receives US$1000.

Eligibility Criteria • The SADC Media Awards are open to journalists from the SADC Member States.

For more information, visit https://www.sadc.int/news-events/news/sadc-launches-2021-media-awards- competition/

10 Toleo la 84, September-Oktoba,Toleo la 160, Desemba, 20102020 WaliomeremetaUchambuzi Bado ipo haja ya kuwa na Wizara ya Habari na Mawasiliano Na Saidi Nguba. kutenganisha Habari na utafiti na hata kutoa mafunzo Mawasiliano ni kwamba ya kitaaluma ya hali ya juu ais Magufuli alipo- habari za Magazeti kwa watendaji wake. Hivi tangaza Baraza lake zinashughulikiwa na Wizara sasa maduhuli la Mawaziri mwan- nyingine (ya Habari) na za yanayopatikana kupitia Rzoni mwa Desemba Redio, TV na mpya za TCRA, ambayo inahusiana na mwaka 2020, baadhi yetu Mitandao ya Kijamii, masuala ya Habari katika tasnia ya habari tuli- zinashughulikiwa na Wizara kielekroniki, hayaunufaishi furahi sana kwa vile nyingine inayosimamia moja kwa moja upande ameing’oa sekta ya Ma- Mawasiliano kupitia TCRA mwingine wa sekta ya Habari wasiliano kutoka katika Wiz- (Wakala wa Kudhibiti na unaohusiana na habari za ara ya Ujenzi na Kusimamia Mawasiliano). Magazeti. Wakati fulani, Miundombinu na kuunda Zote ni Habari. Kwa hiyo baadhi ya maofisa wahusika Wizara mpya ya Mawasiliano hakuna tija kwa Wizara wamesema, fedha nyingi na Teknolojia ya Habari. Ila mbili, kusimmia jambo lile zilizokuwa zinapatikana angemalizia kabisa kwa lile moja: Vyombo vya Habari. huko, zikachukuliwa na kuichanganya Sekta ya Ma- Katika jarida la Barazani kupelekwa kwenye sekta wasiliano na Habari na (pamoja na la Kiingereza nyingine kabisa: Utafiti. kuunda Wizara ya Wizara ya chake, Media Watch) la Hata Sheria mpya ya Habari na Mawasiiano. Oktoba 2018, nilitoa hoja Huduma za Vyombo vya Kwa nini? Ni kwa kuhusu athari za kuiweka Habari, pekee, haiwezi kuwa sababu Habari na sekta ya Mawasiliano, hasa ni dawa na kuviendeleza Mawasiliano hazitengani. yanavyohusiana na Habari Vyombo vya Habari. Tiba ipo Kuiacha Habari ibaki na katika Wizara inayohusiana katika kubadili mfumo Sanaa, Utamaduni na na Uchukuzi, Ujenzi na “Mfano mwingine wa ukata Michezo, kama ilivyo sasa, Miundombinu. Nilipendekeza katika Sekta ya Habari. Hata siyo namna nzuri sana. na kushauri kuanzishwa kwa jengo tu la TBC (Tanzania Badala yake Sanaa, Wizara moja ya Habari na Broadcasting Corporation), Utamaduni na Michezo Mawasiliano. Miaka miwili Shirika la Utangazaji vingekwenda vizuri na Elimu sasa imepita, lakini hoja hiyo Tanzania, Mikocheni, jijini na kuichanganya na Sayansi haijabadilika, labda ilihitji Dar es Salaam, lililoanza na Teknolojia COSTECH kuhaririwa kidogo tu. kujengwa tangu mwaka 1993, (Tume ya Sayansi na Nainakilina kuinukuu tena: robo karne sasa au miaka 25, Teknolojia) na mengine “Lakini kuna manufaa halijamalizika. Jengo la yanayofanana na hayo mengine makubwa zaidi. Sekta ya Mawasiliano, yangejumuishwa pamoja Endapo sekta ya Mawasiliano Mawasiliano House, huko. ya Simu (ambayo kwa ujumla Barabara ya Sam Nujoma, Ni kama katika mfumo wa ni kupashana Habari!), karibu na Chuo Kikuu, Umoja wa Mataifa na Shirika ingekuwa moja kwa moja lililoanza kujengwa baadaye, lake la UNESCO (Shirika la chini ya Habari, basi tozo za lilikamilika kwa muda mfupi Elimu, Sayansi na Huduma za Simu, ada za tu. TBC, Televisheni, bado Utamaduni) kwa kuanisha Redio, Televisheni inatumia majengo ya zamani kuyachangany mambo yote na Mitandao ya Kijamii, na madogo ya Taasisi ya hayo yanayokwenda pamoja. zingeisaidia Sekta ya Habari Vielelezo (Audio Visual Kwa namna hiyo, Habari kwa kuipatia moja kwa moja Institute - AVI) na TBC haina mahusiano yoyote na fedha za kuiinua sekta hiyo. Redio, bado iko pale pale, Utamaduni, Sanaa na Hivi sasa ni dhahiri katika kwenye jengo lile lile, Michezo, labda tu ni kwamba Wizara ambazo zinapata lililojengwa kabla ya Uhuru, masuala hayo, kama mengine bajeti finyu ni Habari na Barabara ya Nyerere, mengi, yanatangazwa na ndiyo maana Vyombo vya linalokaribia kuwa gofu. kuenezwa kupitia tasnia ya Habari vinapata taabu sana, Makao Makuu ya Wizara ya Habari. Isitoshe, Michezo, waandishi wa habari wengi ni Habari nayo yalikuwa ni kama vile Elimu, ni masuala miongoni mwa wanataluma shida tu, yakihamishwa yanayowahusu zaidi Vijana wenye njaa na wasiokuwa na kutoka jengo moja kwenda na vile vile Utamaduni na weledi, katika vyombo vya jingine. Wakati fulani Makao kwa hiyo sekta hizo umma hata vya binafsi. Makuu ya Wizara hiyo zinakwenda vizuri na Elimu. Inashindikana katika yakakimbilia Uwanja wa Hitilafu kubwa katika sekta ya Habari kuendesha Endelea Ukurasa wa 14

11 Jarida la Baraza la Habari Tanzania Fursa The McGraw Fellowship for Business Journalism Are you a journalist with a great idea for a story that “Follows the Money,” but no funds to get it done? If yes, then apply for this McGraw Fellowship for Business Journalism. The Harold W. McGraw, Jr. Center for Business Journalism, an initiative of the Craig Newmark Graduate School of Journalism at the City University of New York, began offering reporting fellowships in the summer of 2014.

The McGraw Fellowship provides editorial and financial support to journalists who need the time and resources to produce a significant investigative or enterprise story that provides fresh insight into an important business, financial or economic topic. They accept applications for in-depth text, video or audio pieces, and they encourage proposals that take advantage of more than one storytelling form to create a multimedia package. This is not a residency Fellowship, however (even outside of the current pandemic). All Fellows work from their own offices.

Funding Information The Fellowship provides a grant of up to $15,000 for each project. The exact amount will depend on the time it takes to complete the project and the expenses needed; freelance journalists may also use some of the funding as a stipend for living expenses during the Fellowship. They look for applicants with a proven ability to report and execute a complex project in their proposed medium; ideally, candidates will also have a strong background or reporting expertise on the subject of their piece.

Eligibility Criteria The McGraw Fellowship for Business Journalism is open to anyone with at least five years professional experience in journalism. Freelance journalists, as well as reporters and editors currently working at a news organization or a journalism non-profit, may apply.

For more information, visit http://www.mcgrawcenter.org/the-harold-w-mcgraw-jr-business- journalism-fellowships/

12 Toleo la 84, September-Oktoba,Toleo la 160, Desemba, 20102020 WaliomeremetaHabari CPJ, IPI yalaani vikali hatua zinazochukuliwa dhidi ya waandishi Uganda Na Mwandishi wa Barazani halijaeleza ni kwa muda gani litatoa wanahofu kuwa kanuni hizo mpya vitambulisho vipya. zitazuia kuripotiwa uchaguzi kwa Aidha Baraza hilo limetoa masharti umakini na uchambuzi uchaguzi ambao aasisi ya Kimataifa ya Vyombo mapya kwa wanahabari wa nje Rais Yoweri Museveni anataka vya Habari (IPI) na Kamati ya ambavyo ni pamoja na kuwasilisha kuchaguliwa kwa mara ya sita. Kutetea Wanahabari (CPJ) barua kutoka taasisi ya polisi ya Kama hawakupata vitambulisho Tzimelaani vikali hatua kimataifa Interpol zilizomo kwenye nchi vipya waandishi wa habari walio zinazochukuliwa dhidi ya waandishi wa zao na maelezo ya waajiri wao. Uganda na wanakwenda nchini humo habari nchini Uganda kwa kipindi cha “Serikali ya Uganda inabinya kwa ajili ya kuripoti uchaguzi kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika uandishi thabiti wa kampeni jambo watazuiwa. nchini humo Januari 14, 2021. litakalowanyima wananchi fursa ya Muthoki Mumo, Mwakilishi wa CPJ IPI kwa upande wake imelaani vikali kufanya uamuzi makini katika uchaguzi Kusini mwa Sahara amesema kuwa serikali ya Uganda kwa kutaka wa mwezi ujao”, Mkurugenzi wa kanuni hizo hazifai na hazilengi katika kuwafanyia ithibati mpya wanahabari. Uragbishi wa IPI, Ravi R. Prasad usalama wa wanahabari licha ya madai Baraza la Habari la Uganda la amesema. ya Baraza la Habari. kiserikali limewataarifu waandishi “Kanuni mpya sio tu zinabinya uhuru “Acheni kuzuia kazi ya waandishi wa wote kuwa vitambulisho vyao vimefutwa wa vyombo vya habari bali pia habari, anzeni kuwalinda, mchunguze na waombe upya vitambulisho katika zinakiuka taratibu zote za demokrasia. mashambulizi dhidi yao. Kuwashika muda wa siku saba. Serikali lazima iziondoe mara moja wanaodhuru wanahabari bila kujali Kwa mujibu wa vyanzo vya IPI kanuni hizo na kuruhusu waandishi kama ni maofosa usalama ni ufumbuzi nchini humo, waandishi wawasilishe waripoti kampeni za uchaguzi.” tosha wa usalama wa wanahabari, ” maombi mapya lakini Baraza la Habari Wanahabari nchini humo na Mumo amesema katika taarifa yake.

Rais Yoweri Museveni anayewania urais kwa mara ya Mpinzani mkuu wa Rais Museveni Robert Kyagulani au sita. Bobi Wine.

13 Jarida la Baraza la Habari Tanzania WaliomeremetaUchambuzi Bado ipo haja ya kuwa na Wizara ya Habari na Mawasiliano Inatoka Ukurasa wa 11 kuandika habari mbali mbali ya kuiimarisha Sekta ya katika miaka ya 1960, Habari hasa katika kipindi Taifa, Temeke.” Sasa kwamba alielezea mikanganyiko ya hiki cha kuijenga Tanzania Serikali imehamia Dodoma, usimamizi wa Sekta ya ya Viwanda, katika jitihada lazima Wizara itakuwa na Habari. Katika nchi moja, ya kukuza kwa kasi uchumi jengo lake, jipya na Makao mwanahabari huyo wa nchi, kwa vile sekta hiyo Makuu ya TBC yatakuwa alibainisha, Wizara ya ikiimarika, itarahisisha kazi huko pia katika jengo la Habari imewekwa pamoja na hiyo. Bidhaa za Tanzania kutosha. Magereza! Inawezekana hapo zingetangazwa sana, “Mkanganyiko mwingine awali masuala ya Habari mazigira mazuri ya (katika kutenganisha Habari yalikuwa yanachukuliwa uwekezaji yangeenezwa sana na Mawasiliano…) ni kuwa ni sehemu ya malezi ya na vivutio vya utalii kwamba endapo Vyombo vya kitaifa, na hivyo ni sawa na vingetambulika sana huko Habari vimetumbukia katika shughuli za Magereza tu za nje na kuvuta watalii wengi. tatizo la kitaaluma, kuwarekebisha wahalifu Hivyo kuwepo kwa Wizara vinashughulikiwa na Wizara wawe raia wema. ya Habari na Mawasiliano mbili tofauti: Magazeti ni “Nchini Tanzania katika kungeimarisha Sekta ya kupitia kwa Mkurugenzi wa miaka ya 1960, Wizara ya Habari, kwa vile Sekta hizo Idara ya Habari, ambaye Habari iliyokuwa pamoja na mbili zingesaidiana zenyewe yuko chini ya Wizara ya Utangazaji, kwa mfano, kwa zenyewe na kuleta Habari, na Redio; Televisheni iipewa umuhimu mkubwa. mabadiliko makubwa ya na Mitandao ya Kijamii ni Wizara ilikuwa na Idara maendeleo nchini, ambayo kupitia TCRA Tanzania kamili ya Habari, iliyokuwa hayajapata kutokea huko Communications R”egulatory na kitengo cha Uchapishaji nyuma. Authority) Wakala wa machapisho mbalimbali ya Kila mtu angenufaika na Usimamizi na Udhibiti wa Serikali; kitengo cha Picna kuimarika kwa vyombo vya Mawasiliano, iliyoko chini ya na kitengo cha Filamu, habari. Vingeisaidia Serikali Wizara nyingine; ya Ujenzi, ambacho kilikuwa kwa vyombo hivyo kutekeleza Uchukuzi na Mawasiliano! kinaonyesha sinema vijijini wajibu wake muhimu wa “Nchi mbalimbali, kwa kufafanua sera za serikali na kuwa mlinzi wa kuangalia mujibu wa utafiti mdogo masuala mengine ya katika jamii kuwa mambo nilioufanya, zina mifumo maendeleo. yanakwenda vizuri. Kwa tofauti ya usimamizi wa “Habari pia ilikuwa pamoja kufanya hivyo, viongozi na Sekta ya Mwasiliano na na Utalii. Mchanganyiko huo watendaji wengine Sekta ya Habari, ila ktika ulikuwa muhimu wakati huo wangewajibika ipasavyo na nchi nyingi, sekta hizo baada ya uhuru na vivutio wasipofanya hivyo vyombo zimewekwa pamoja. vya utalii vya Tanzania hivyo vinapiga kelele na Uingereza, kwa mfano, vilitangazwa sana nje. hatimaye wananchi, ambao ambako tuliiga mambo mengi Baadhi ya wanahabari ni walipa kodi na raia wa kutoka huko kutokana na mahiri, waliwekwa kwenye kawaida, wangekuwa kutawaliwa nao, masuala ya Ofisi za Ubalozi wa Tanzania wanatumikiwa vema. Habari yanasimamiwa na katika nchi mbalimbali Waziri wa Nchi wakiwa ni Waambata wa • Mwandishi wa anayesimamia masuala ya Vyombo vya Habari. Makala hii ni mkongwe. Kidijitali, Utamaduni, Wakaifanya vizuri kazi ya Alikuwa Mhariri wa Vyombo vya Habari na kuitangaza Tanzania na Magazeti ya UHURU Michezo. Nigeria na Ghana, vivutio vyake vya utalii (1997-2004); Mhariri wa Habari haiko na lakini pia wakafungua MWANANCHI (2004–2005) Miundombinu; India kuna mawasiliano ya kuiunganisha na Mwandishi wa Habari Wizara moja ya Habari na nchi na wafanyabiashara na wa Waziri Mkuu, 2006 Utangazaji; Korea Kusini wawekezaji. Baadaye hadi alipostaafu, 2013. Habari na Mawasiliano ni Waambata hao wa Habari Anapatikana kwa Barua- Wizara moja kama Singapore wakaondolewa, kama vile Pepe: [email protected] na Vietnam. kazi yao nzuri na Simu/WhatsApp: 0754- “Mwandishi mmoja wa haikutambulika. 388418. Kimarekani, ambaye “Pengine watengeneza Sera alitembelea Afrika na wangeangalia ni namna gani

14 Toleo la 160, Desemba, 2020 Habari Waandishi wa habari 29 wauawa - CPJ Na Mwandishi wa Barazani

aandishi wa habari 29 wameuawa mwaka 2020 katika nchi mbalimbali Wwakati wengine 274 wamefungwa. Ripoti za Kamati ya Kutetea Waandishi (CPJ) zimewataja waandishi waliouawa na imeeleza jinsi walivyokumbwa na vifo vyao huku zikizitaja China, Uturuki, Misri na Saudi Arabia kuongoza katika kufunga wanahabari. Waandisi hao ama waliuawa, walikuwa katika matukio ya mapigano wengine walikuwa katika kazi hatarishi. Orodha ya nchi ambazo waandishi hao waliuawa ni Somalia, Syria, Iraq, Barbados, Honduras, Mexico, Philipines, Nigeria Colombia na Paraguay. Wakati huo huo mwandishi wa habari wa Iran Rouhollah Zam alinyongwa nchini humo Desemba 12,2020. Alitiwa hatiani kwa tuhuma za “ rushwa duniani” shitaka ambalo halielezi wazi uhalifu lakini wakati mwingine hutumiwa na maofisa wa serikali ya Iran kwa madai ya kutaka kupindua serikali. Zam alikuwa akiendesha mtandao wa habari uitwao Amad News, ambao umetuhumiwa na utawala wa Iran kuchochea ghasia mbaya za mwaka 2017 na 2018, shirika la habari la Kiserikali la Tasnim liliripoti 2019. CPJ imelaani vikali kunyongwa kwa mwanahabari huyo na kueleza kunyongwa kwake kunajumuisha serikali ya Iran na magenge ya Onifade Emmanuel Pelumi, mwandishi wa habari wa Nigeria aliyekutwa wahalifu ambao wananyamazisha mochwari Oktoba 30, 2020. wanahabari kwa kuwaua.. “Hiki ni kitendo cha kinyama na Zam alikuwa akiishi uhamishoni wanamshikilia. cha aibu ambacho hakiwezi kuachwa Ufaransa alipokamatwa na majasusi Baada ya kukamtwa kwake Iran bila kupingwa.” ya Iran Oktoba 2019. ilitoa video ikimuonyesha Zam akiwa Kundi la Waandishi Wasio Mipaka Mazingira ya kukakamtwa kwake kwenye gari, akiwa amevalia mawani pia limelaani hatua hiyo ya Iran. yanatatanisha. Mwandishi huyo ya jua akiwa mbele ya kamera Kundi hilo ambalo liliendesha aliondoka Ufaransa Oktoba 11 akiomba radhi kwa vitendo vyake. kampeni ya kumnusuru Zam na kulingana na ofisi ya Mambo ya Nje ya Alitiwa hatiani na kuhukumiwa kifo kutaka hukumu ya kifo ibadilishwe Ufaransa. Juni. kwa madai kuwa alikamatwa na Siku tatu baadaye askari wa Umoja wa Ulaya umelaani kutoroshwa kinyume cha sheria. Kiislamu wa Iran walisema kuwa Endelea Ukurasa wa 16

15 Jarida la Baraza la Habari Tanzania Habari Waandishi wa habari 29 wauawa - CPJ Inatoka Ukurasa wa 15 kunyongwa kwa mwandishi huyo na kuitaka Iran kuacha kuchukua hatua kama hiyo tena na kuwa na sera ya kufuta hukumu ya kifo. Iran ilimtuhumu Zam kwa kutumikia majasusi wa Marekani,Ufaransa na Israeli waliompatia ulinzi kulingana na shirika la habari la Iran la Fars . Waandishi wasio na Mipaka wamesema kuwa Iran ni mojawapo nchi kandamizi duniani kwa wanahabari kwa zaidi ya miaka 40. Wanahabari 860 pamoja na wananchi wanaorusha habari wamefungwa ama kuuawa nchini humo tangu mwaka 1979. Kuhusu waandishi waliofungwa Mkurugenzi Mtendaji wa CPJ, Joel Simon, amesema katika ripoti kuwa maandamano na vurugu za kisiasa ndiyo chachu ya kukamatwa wanahabari wengi. Nchi mbili zenye ongezeko la kufungwa wanahamabi ni Ethiopia, ambapo hali ya wasiwasi ilisababisha mapigano ya kivita na Belarus, ambako waandishi walitiwa ndani kwa kuandika habari za maandamano dhidi ya Rais Aleksandr Lukashenko, ambaye alijitangaza kushinda uchaguzi ambao uligubikwa na wizi wa kura. Wakati hakuna wanahabari waliofungwa nchini Marekani wakati CPJ ilipoendesha sense yake ya magerezani, wanahabari 110 walikamatwa ama kufunguliwa mashtaka mwaka 2020 wengi wakiwa wanaripoti maandamano dhidi ya ukatili wa polisi na 12 kati yao bado Rouhollah Zam mwandishi habari wa Iran aliyenyongwa Desemba 12, 2020.. wanakabiliwa na mashtaka. Kauli za Rais Donald Trump katika uhuru wa vyombo vya habari ikiwa za kiimla zimekuwa zikidhibiti hali kipindi cha uongozi wake ikiwa pamoja na kuweka kipaumbele sera za kwa kuwakamata wanahabari, pia pamoja na kuziita taarifa za habari mambo ya nje kwa kumteua Mjumbe walichelewesha kesi na hawakujali kuwa feki zimetoa mwanya kwa Maalumu wa Rais wa Uhuru wa hali mbaya ya magerezani na viongozi wengine wa kiimla Habari. wanahabari wawili wamekufa baada kukandamiza wanahabarikatika nchi “Kufungwa kwa waandishi wengi ya kupata ugonjwa huo wakiwa zao. Duniani kote waandishi habari 34 duniani kunatokana na msimamo wameshikiliwa korokoroni. walifungwa kwa madai ya “habari hasi wa uhuru wa habari wa Rais CPJ imeorodhesha matukio ya feki” kulinganisha na 31 mwaka jana. Trump,” Simon amesema. ukiukaji wa uhuru wa habari zaidi ya CPJ hivi karibuni ilichapisha “Utawala wa Biden lazima ufanye 200 kuhusiana na COVID 19 na mapendekezo kwa Rais mpya wa kazi kwa kushirikiana na dunia imezindua kampeni kwa viongozi wa Marekani Joe Biden kumtaka kushusha idadi hiyo .” dunia kuwaachia wanahabari wote arejeshe uongozi wa Marekani katika Katika kipindi cha Covid 19 tawala walio jela.

16