Sauti ya Waislamu Masheikh Dar wajifua kusimamia katiba mpya ISSN 0856 - 3861 Na. 999 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 17 - 23, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Uk. 3 Baraza la Mitihani matatani Wazanzibari sasa wataka maelezo Ni kutokana na kufeli, kufutiwa matokeo Masheikh wataka Waziri Shaaban ajiuzulu Wadai anawatukanisha Waislamu

WAZIRI wa Elimu Zanzibar, Ramadhan Abdallah Shaaban. Kuna jambo kubwa Katoliki hawajasema Wapo wangapi Baraza la Mitihani? Kwa nini wanampa Nyerere ‘utakatifu’? Unguja wanakosea kupinga muungano KATIBU Mtendaji Baraza la Mitihani, Dkt. Joyce Ndalichako. Japo wamebanwa na ‘kero’ za muungano ZANZIBAR imebanwa hakuchaguliwa Mzanzibari s a n a n a B a r a k i a s i hata mmoja. kwamba maendeleo yake Yaani kwa kitendo yamefubaa sana. hicho ni kuwa hata wao Liko hili moja ambalo watu wa Bara wanakubali Arusha si shwari linaweza kuonekana ni kuwa Wazanzibari sio upuuzi, lakini wao linatajwa Watanzania. Mchungaji achoma moto Qur’an kama ni mfano mmoja wa Haya wasomaji sio ya dharau waliyonayo Bara dhidi ya Zanzibar. kutunga, ni kweli kabisa Adai ‘hizo ni zana’ za shetani Nalo ni hili. Hata katika yanasemwa na wengi pale ile kamati ya kutafuta JAWS CORNER, Soko Mwaka jana mtu mmoja aliuwawa kwa mchezo kama huu vazi rasmi la kitaifa, Muhogo. (Soma Uk. 10) 2 AN-NUUR RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 17 - 23, 2012 TAHARIRI/HABARI AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110148, 0755 260 087, DSM. www.ipctz.org E-mail: [email protected] Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam Arusha si shwari Na Mwandishi Wetu k u wa k u n a Q u r ’a n vya shetani, kwa hiyo ni MAONI YETU alifanya juhudi kuzima lazima viunguzwe. MCHUNGAJI mmoja moto kwa mchanga, lakini Hadi tunakwenda anayejulikana kwa jina hakuweza kufanikiwa m i t a m b o n i , m t u la Nehemia Martin, kwa sababu mchungaji anayedaiwa kuritadi amechoma Qur’an na alimsukuma na kumzuiya alikuwa hajulikani alipo Makabwela nao wawe na Appolo yao nchini vitabu vingine vya kuzima moto. baada ya kukimbia kijijini WAGONJWA wengi wa ya binadamu, inasikitisha Kiislamu akidai kuwa K u o n a h i v y o , B i hapo. Kitanzania katika miaka ya kuona kwamba sekta ya hizo ni zana za shetani. Zainabu alipiga kelele Taarifa zaidi zinasema hivi karibuni wamekuwa afya hapa nchini imekuwa wakafika watu ambapo wakikimbilia Hospitali haipewi nafasi inayostahili Mchungaji Nehemia k u w a m c h u n g a j i za India, ikiwa ni jitihada kana kwamba haihusiani wa kanisa la Calvary mchungaji naye baada ya kuona mkusanyiko wa N e h e m i a M a r t i n za kusaka tiba za uhakika na uhai wa watu. Hospitali A s s e m b l i e s o f G o d a m e k a m a t w a n a ili kuokoa maisha yao zilizopo nyingi hazina dawa (CAG) katika kijiji cha watu alikimbilia polisi na y a n a y o k u w a h a t a r i n i na vifaa vya kutosheleza kuomba msaada akidai kufunguliwa kesi katika k u t o k a n a n a m a r a d h i utoaji wa huduma za utabibu Kigongoni, Mto wa mbu mahakama ya wilaya mbalimbali. kwa Watanzania. anatuhumiwa kufanya kuwa Bi Zainabu kafika K w a b a h a t i m b a y a , Mafao kidogo na kutojali nyumbani na kuanza tarehe 13, Februari, na tendo hilo tarehe 12 yupo rumande yupo wengi wanaomudu kwenda kumewafanya wafanyakazi Februari, 2012. kuwapiga watoto wake. Appolo ni vigogo, watawala wengi wa sekta ya utabibu Hata hivyo, wakati gereza la Arusha. na wafanyabiashara, ambao kutoa huduma hiyo kizembe, Mpasha habari wetu wana mafao chekwa, kiasi kivivu na kwa kujilazimisha. kutoka Arusha aliyefika bado polisi wakipokea Hili ni tukio la pili cha kuwawezesha kumudu Hali hii tunaona kuwa katika eneo la tukio taarifa, walifika Waislamu katika kipindi kisichozidi kwenda popote ilimuradi imechangia ongezeko kubwa n a k u r i p o t i k u w a anafahamisha kuwa, mwaka mmoja linaloleta panapatikana tiba za uhakika la mateso ya kuugulia na wanamtafuta mchungaji p a l e wa n a p o p a t wa n a kukosa afya kurejea katika m g o g o r o b a i n a ya mchungaji Nehemia huyo kwa kuchoma maradhi. kazi za kujikimu maisha. alipata Msahafu na vitabu Waislamu na Wakristo M a k a b w e l a b a d o Sisi tunaona kwamba Qur’an. mkoani Arusha ambapo w a n a s u k u m a n a udhaifu huu ndio sababu hivyo vya Kiislamu kutoka Polisi walifika eneo mwaka jana 2011 mwezi Mwanayamala, Amana, kubwa ya sehemu kubwa ya kwa mtu mmoja aliyetajwa l a t u k i o n a k u k u t a K C M C , B u g a n d o n a madaktari kukimbia nchini kama huu, mchungaji nyinginezo za hadhi hiyo na kwenda kufanya kazi nje kwa jina la Hassan bado moto ukiwaka na mikoani. Hospitali ambazo ambako huko wanafanya Jumanne ambaye ilidaiwa kushuhudia vipande vya Richard Chenge alifariki ndizo tunazoziona kwamba kazi katika mazingira sahihi, kuwa aliritadishwa na Qur’an vilivyosalimika. b a a d a ya k u p i g wa zina hadhi kwetu kwa hapa kwa maana ya kuwepo Nehemia. l i l i p o z u k a z o g o nchini. Tiba za hospitali vifaa, dawa na kipato, hali H a b a r i z a i d i z a u g h a i b u n i k a m w e inayowasukuma kutekeleza Taarifa zinaeleza kuwa zinafahamisha kuwa kutokana na mahubiri ya hawamudu. wajibu wao kwa nia ya siku ya tukio, Bi Zainabu mchungaji alipoulizwa kutukana na kukashifu Hata hivyo, tumeona India dhati na kwa moyo kiasi cha Juma, jirani ya mchungaji n a p o l i s i k wa n i n i Uislamu yaliyokuwa ndio imeshika chati na kuwa kuweza kutibu wagonjwa aliona vitabu vikichomwa kimbilio la awali kwa kuwa kwa uhakika. anachoma Qur’an alidai yakitolewa na baadhi ya si mbali sana ikilinganishwa Hivi sasa tunashuhudia moto na alipogundua kuwa hivyo vilikuwa vitu wachungaji. na ghaibu nyingine zinazotoa hospitali za India zikiwa tiba ya kiwango cha India na kimbilio la wagonjwa wengi gharama zake za matibabu wa Kitanzania wanaokwenda kidogo ni afadhali kuliko hizo huko kusaka tiba za uhakika nchi nyingine. ili kuokoa maisha yao. UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL Kama tunavyojua, na kwa Inawezekana hospitali za hakika ndivyo hali halisi India zinashika chati za juu ilivyo, afya kwa kiumbe kwa wateja wengi kutoka mwanadamu ni jambo la kwa sasa. msingi zaidi kuliko jambo Tuna hakika kwamba Mafunzo maalum kwa wanaorudia kufanya jingine lolote katika suala fedha nyingi za Watanzania zima ya uhai. Mwanadamu zinazotozwa na hospitali mgonjwa au asiyekuwa za India kama gharama za hana hali nzuri kiafya, huwa matibabu zinajazwa Appolo mtihani wa Kidato cha Nne, Oktoba 2012 kiumbe kilichokosa uwezo wa h u k u M u h i m b i l i ye t u kufanya jambo jingine lolote ikiendelea kuwa hoi. Tunaona Ubungo Islamic High school inawatangazia wanafunzi Waislamu wote kuwa linalohusiana na maisha yake kama vile Muhimbili yetu imeandaa mafunzo maalum kwa wale wanaotarajia kurudia kufanya mtihani hapa duniani. imegeuzwa kuwa ofisi ya Mwanadamu afya yake kutoa ruhusa na ushauri wa wa kidato cha Nne, Oktoba 2012. inapokuwa na matatizo kwenda kutibiwa Appolo yanayotokana na maradhi, badala ya Hospitali ya kwanza atakosa raha ya Rufaa. Mafunzo hayo yatasimamiwa na waalimu maalum wenye sifa na uwezo wa maisha, atajiona mpweke, Pamoja na zile za mikoani kuhakikisha kuwa mwanao anapata Elimu bora na malezi mema. atakosa nafasi ya kufikiri kufanywa Hospitali za rufaa, juu ya maisha yake, hawezi bado hazijakidhi haja za kuzalisha au kufanya shughuli wagonjwa kwa kuwa hakuna Masomo yanayofundishwa ni: Elimu ya Dini ya Kiislamu, Arabic, Civics, zinazoweza kumuingizia huduma sahihi ya kitabibu. Mathematics, English, Kiswahili, History, Geography, Physics, Chemistry, kipato cha kuendesha Matatizo ni yale yale ya vifaa, maisha yake. Hufikia wakati dawa, uhaba wa madaktari Biology, Commerce na Book-Keeping. mwingine hukata tamaa na na wauguzi n.k. kutamani kufa ili aondokane Tuseme tu kwamba sasa Masomo yataanza tarehe 01/03/2012 hadi 31/08/2012. Ni mafunzo maalum na mateso ya maradhi inatosha. Serikali ifungue yanayomsibu. macho na ione kwamba afya kwa muda wa miezi sita. Akiwa katika maradhi, mtu za watu ni muhimu zaidi yuko radhi kutumia rasilimali kuliko jambo lolote. Ifahamu Fika ofisi ya Mkuu wa Shule upate fomu yako kwa bei ya Tsh 10,000/=. zote alizo nazo kusaka tiba kwamba bila nguvu kazi za ya maradhi yanayomsibu watu wenye afya, maendeleo hadi dakika ya mwisho. ya kweli itaendelea kuwa ni Kwa mawasiliano zaidi: 0754 260241 Sote tuna hakika kwamba porojo. Ikiwa itakuwa sikivu binadamu anapokuwa katika na bunifu na kutambua maradhi, hawezi kuwaza umuhimu wa afya za watu, Mlete mwanao! Asipoteze nafasi hii adhimu wala kutafakari kitu kingine basi itawekeza vya kutosha zaidi ya kuugulia na kufikiri katika sekta ya afya. Ifike juu ya tiba kwanza. mahali sasa Muhimbili iwe Pamoja na umuhimu wa ndio Appolo yetu hapa MKUU WA SHULE matibabu katika maisha nchini. HABARI RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 17 - 23, 2012 AN-NUUR 3 Masheikh Dar wajifua kusimamia katiba mpya ya makundi yote pasi ya ndio waandaaji wa Semina wake ili waweze kuwa Na Bakari Mwakangwale fursa kwa kila Muislamu hiyo iliyo wajumuisha kutoa mapendekezo yenye kubagua. katika nafasi nzuri ya Masheikh mbalimbali WAISLAMU wametakiwa manufaa. “Masheikh walimpokea kuelimisha na kuchangia kujipanga kutetea na Alisema, Mashekh na Julius K. Nyerere, na kutoka kote nchini, Bara maoni kupitia tume ya kusimamia mapendekezo wanazuoni wana dhima kumuongoza kisha tukawa na Visiwani, alisema kukusanya maoni itakapo yao juu ya Katiba mpya kubwa kupitia Misikiti kitu kimoja muda wote wa Masheikh ni viongozi wa a n z a k a z i . ” A l i s e m a kutokana na upinzani y a o , k u w a e l i m i s h a kudai Uhuru, lakini kama kijamii ni vyema wakapata Mataka. utakaoweza kujitokeza Waislamu juu ya Katiba mnavyojua, kila mwaka semina ya ujio wa Katiba Alisema, Masheikh hali ya Waislamu ikawa k a b l a a u b a a d a y a iliyopo kuielewa ili baadae mpya ili wakawaelimishe kama viongozi wa Dini ni kukamilika kwa zoezi itakapofika waweze kushiri inadidimia siku hadi siku na zaidi kujikuta Katiba watu wao. waelimishaji wa kiroho, hilo. vyema katika kutoa maoni “Tumewaita hawa kwa hivyo alisema ni matarajio Hayo yameelezwa na na mawazo sahihi. inawabana kila mahali.” Alisema mshauri huyo wa kuwa wana nafasi nzuri ya yao kwamba baada ya Sheikh Thabiti Noman Mawazo ya Waislamu kuchangia na ukizingatia yawe kitu kimoja kwa Mu�i. semina hiyo watakuwa na Jongo, akiongea kwa niaba hawa Masheikh ni viongozi ya Mu�i wa Zazibar, katika makubaliano ili kuweza K wa u p a n d e wa k e kazi ya kuwahamasisha semina ya Masheikh juu ya kuishauri Serikali Katiba Sheikh Khamis Mataka, wa kijamii na umma kwa Watanzania ili washiriki Katiba mpya ya Jamhuri ya iwe na mwenendo gani aliye Katibu wa Sekretarieti ujumla ni lazima waijue vyema katika mchakato Muungano wa Tanzania, au iwe vipi kwa manufaa ya Jopo la Masheikh, ambao katiba iliyopo, udhaifu huo wa Katiba. katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada, Ilala Jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita. Sheikh Noman amesema Baraza la Mitihani matatani uhuni wa kila sampuli. kuwa unahitajika umoja na Na Mwandishi Wetu, kana kwamba Waislamu Alichowasilisha Dokta mshikamano kwani ni wazi Zanzibar ndio hawajali elimu, “Madai haya lazima Ndalichako usoni mwa mapendekezo na maoni ya wa n a f e l i , wa n a i b a yachunguzwe na hatua waandishi wa habari Waislamu yakitoka, wapo mitihani, na walimu z i c h u k u l i w e k w a ni ushahidi wa kile watakao kaa na kujadili HUENDA Baraza la wao wanawaonyesha wenye mamlaka kwa wananchi wengi wa hapa kwa nini (Waislamu) Mitihani likaingia watoto mitihani wakati kutokutimiza wajibu walichokiita vikaratasi au wametaka hivi. matatani kutokana na uadilifu upo katika wao.” Alisema. kwa lugha iliyozoeleka Shekh Noman, aliye baadhi ya watu katika Hata hivyo akaongeza mshauri wa Mufti wa Uislamu, wakati amri ‘vibomu’. k a d a m b a l i m b a l i ya kusoma ipo katika kuwa, kuna haja pia ya Alitaja baadhi ya Z a n z i b a r , a l i s e m a Zanzibar kutaka maelezo watakayo yapendekeza Qur’an; hatukubali, ni kufanyika uchunguzi mazingira yaliyopelekea kutokana na matokeo lazima ukweli ujulikane.” k u o n a k a m a k u n a Baraza kuamini kwamba Waislamu pia wawe tayari ya mitihani kidato cha kuyatetea kwani kutokana Alisema Sheikh mmoja. uadilifu katika kutunga, wanafunzi wa Zanzibar na uzoefu kila jambo jema nne. “Kama Wazanzibari kufanya, kusahihisha na ‘wamechakachua’ la Waislamu hupingwa na Inaonekana kuwa wamefeli kweli, kama kutangaza matokeo. kuwa ni pamoja na Serikali. m a t o k e o h a y o kweli waliibiana au Hatua hiyo inakuja hisia kwamba walimu “Yapo mambo mengi yamewastua wananchi kuonyeshwa mtihani, baada ya Baraza la w a l i s h i r i k i a n a n a ambayo tumekwazika na viongozi wa Serikali l a z i m a Wa z i r i n a M i t i h a n i l a Ta i f a , watahiniwa kuukopilia nayo kupitia Katiba hii, ya Mapinduzi Zanzibar, maofisa wa Wizara yake NECTA, kuja kujikosha Mtihani huo. hivyo tutumie fursa hii ambapo baadhi yao usoni mwa wananchi k u h a k i k i s h a t u n a t o a wajiuzulu, lakini kama Miongoni mwa hoja wanataka uchunguzi wa kutakuwa na hujuma, wa Visiwa vya Unguja za NECTA kwa mujibu mapendekezo na maoni kina ufanyike ili hatua ambayo yatatusaidia hatua pia zichukuliwe, na Pemba. wa Dokta Ndalichako, stahiki zichukuliwe. ndio maana nasema, Watu mbali mbali ni pamoja na kupatikana kupata haki zetu kupitia Ukiacha viongozi Katiba mpya. Chochote ni lazima uchunguzi m b a l i w a k i w a m o kwa nakala halisi za tutakacho pendekeza pia wa kisiasa, taasisi za ufanyike, tena uchunguzi wa s o m i , m a s h e i k h mitihani ya mwaka 2011, tuwe tayari kukitetea kwa kijamii na wananchi makini.” Alisema Sheikh n a w a n a h a r a k a t i miezi mitatu baada ya hoja na tusirudi nyuma.” kwa ujumla, Masheikh huyo katika Jumuiya ya w a m e a p a k w a m b a kufanyika mitihani hiyo, Alisema Sheikh Noman n a o w a m e j i t o k e z a Maimamu ambaye hata hawatakubaliana na na pia ujumbe mfupi A k a o n g e z a k u w a wakisema kuwa matokeo hivyo hakutaka jina lake Uamuzi wa Kuwafutia wa simu uliotambulisha Waislamu siku zote wapo hayo yanawatukanisha litajwe gazetini. wanafunzi Matokeo yao jawabu za baadhi ya mbioni wakiyalilia mambo Wazanzibari na Waislamu Alisema, kwa muda ya Kidato cha Nne ya maswali, huku akitaja a m b a y o w a m e k u w a kwa ujumla. mrefu kumekuwa na mwaka 2011. maeneo mbali mbali wakiyahitaji kwa muda Kutokana na hali hiyo, malalamiko kutoka kwa Hatua hiyo ya Baraza yakiwamo ya Kiboje, mrefu kulingana na imani wakataka uchunguzi wazazi na jamii kwa la Mitihani, ambayo Wilaya ya Kati, Unguja, yao kama raia wa nchi makini ufanyike na ujumla kwamba, hali ilimjumuisha Katibu ambako miongoni mwao hii, lakini hawayapati kama itaonekana ni kweli ni mbaya katika skuli Mtendaji wa NECTA, walihusishwa na hali kwa kigezo kuwa Katiba wanafunzi wa Zanzibar za Zanzibar ambapo Dokta Joyce Ndalichako hizo na pia kufutiwa hairuhusu. wanafanya vibaya, na n a u j u m b e w a k e , Akitolea mfano sakata inalalamikiwa kuwa matokeo. kwamba wanaongoza walimu hawatimizi ilihusisha Mkutano wa U m m a w a la Mahakama ya Kadhi, katika ukiukaji wa alisema suala la Ukadhi wajibu wao na kwa Baraza hilo na Waandishi Wazanzibari, pamoja na kanuni za mitihani; u p a n d e m w i n g i n e , wa habari, uliofanyika papatua hiyo ya NECTA, Waislamu wamekuwa basi Waziri mwenye wakilihitaji siku zote ili mazingira ya kusoma ni Hoteli ya Bwawani, juzi, umedai kutoridhishwa kuweza kutatua masuala dhamna na viongozi mabaya ikiwa ni pamoja mjini hapa. na mwenendo mzima yao kwa mujibu wa imani wengine waandamizi na ukosefu wa vifaa. K a t i k a m k u t a n o , wa ufutaji wa matokeo yao kama sehemu ya jamii katika Wizara ya Elimu Inadaiwa kuwa baadhi NECTA iliibuka na kile ya mitihadi, ukidai ya Watanzania. na Mafunzo ya Amali, ya skuli zimekuwa ni kilichoitwa ushahidi haukufuata busara ya Alisema, suala hilo wajiuzulu. vijiwe vya kula urojo k wa m b a m a m i a ya kukubalika hasa huku limekuwa likipata upinzani “Haya ni matokeo na walimu kufanya wanafunzi wa Kidato wa k i h o j i k wa n i n i k u t o k a n a n a k i g e z o y a k u f e d h e h e s h a , cha Nne, wa Zanzibar cha kutokuwepo ndani biashara na kupeana zoezi hilo limewaathiri y a n a i f e d h e h e s h a mipasho huku watoto mwaka 2011, wamefutiwa wa h u s i k a n a h a t a ya Katiba, hivyo alidai Z a n z i b a r n a mchakato wa kutoa maoni nao wakigeuza madarasa Matokeo yao kwa sababu wasiohusika. y a n a w a f a d h e h e s h a ‘maskani’ za kujifunza ya udanganyifu. ya Katiba mpya ukianza, ni Waislamu, inaonekana Inaendelea Uk. 4 4 AN-NUUR RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 17 - 23, 2012 HABARI

Inatoka Uk. 3 wetu, walimu, Wizara ya Elimu au Baraza “Mathalani mwangu la Mitihani”, alihoji mimi yupo Lumumba Baraza la Mitihani matatani Sheikh Abdalla Omar, hata hakuelewa mambo mmoja wa Viongozi haya ya kuvuja mitihani wale waliokaririwa wa Baraza la Taasisi za k a m a ya l i k u wa p o , Kiislamu Nchini, akitaja m b o n a a m e f u t i wa w a k i e l e z a k u k o s a imani na NECTA na pia baadhi ya Dondoo y e y e n a w e n g i n e dhidi ya NECTA kama w a k a s a l i m i k a n a baadhi ya Watendaji Wakuu wa Mamlaka zilivyowahi kutajwa wakadaiwa wamefanya katika mihadhara mbali vizuri”, alihoji Mzee zinazosimamia elimu Zanzibar, Wizara ya mbali ya kidini miezi ya Omar Abdalla, Mkaazi hivi karibuni. wa Kibweni Unguja, Elimu na Mafunzo ya Amali. Uchunguzi umebaini ambaye akifuatilia pia pia kwamba wasomi taarifa za NECTA pale “Ee! Wizara nzima hapa si kwao, unadhani na wanaharakati mbali Hoteli ya Bwawani. mbali wanaandaa tamko Huyo ni sehemu ya watakuwa na uchungu wenetu wakifutiwa na hatua za ziada ili Wazee ambao walisema kulikabili suala hilo h a t a k u k i wa p o n a matokeo hata ya watoto wote wa Unguja na na ikibidi kulifikisha kuvuja kwa Mitihani katika mamlaka za juu h a w a n a i m a n i n a Pemba ”, alihoji pia Mzee aliyejitambulisha za Utawala wa Zanzibar hawataridhia uamuzi . huo wa NECTA. kwa jina moja la Ali wa Kisima Majongoo, mjini Haikubainika ni wapi “Sisi hatutakubali na lini, lakini zipo taarifa kuona mamia ya watoto Unguja. Hoja hizi na hata za rasmi kuwa Wasomi wetu wakikoseshwa wameandaa kongamano haki yao ya elimu na baadhi ya waandishi wa habari zilihamasisha la kitaifa juu ya kadhiya maisha kwa visingizio hii, na hatimaye tamko v y a k u v u j a k w a taasisi mbalimbali za kijamii, Viongozi wa la nani awajibishwe mitihani kwani hasa n a u m m a i k i b i d i ilivujia wapi”, aliongeza Taasisi na Jumuiya za kidini, wanasiasa, kuwajibishwa, kama Mzee Kassim Juma wa walivyosikika baadhi ya Makadara, ambaye pia na hata viongozi wa kijamii, kulichukulia wananchi wakitanguliza alisikitikia hatua hiyo. pendekezo hilo mapema Baadhi ya wananchi kwa mtazamo mpya suala hilo, linaloendelea katika Mkutano wa walisikika wakisema, Baraza na Waandishi wa “huu sasa ni ule ule siyo tu kuwaumisha mfumo tulioambiwa kichwa wananchi wa habari pale Bwawani. WAZIRI wa Elimu Zanzibar, Ramadhan Abdallah Zaidi ya shule 30, za na Masheikh…maana Shaaban. Visiwa hivi, bali pia isiwe mtihani uvujishwe ‘kuwachefua’ kama hapa, wanafunzi wake halafu watutake muhali mjini hapa. ikapitishwa bungeni, walivyosikika baadhi wamefutiwa Matokeo M z e e Z a h o r s i ye Wa z a n z i b a r ” , jee ulikuwa mtego?” yao wakisema. yao ya Mtihani wa Kidato aliendeleza hoja akisema, “Nadhani umefika aliendeleza msimamo M i o n g o n i m w a cha Nne, na kuibua hisia M a a l i m Z a h o r wa “kwa nini muda tu taarifa wakati wa kulikabili hili kubwa, miongoni mwa M a l i n d i , m wa l i m u za mitihani zimekuja Wazee walioonekana mpaka kieleweke, tatizo Wananchi wa Visiwa hivi mstafu wa Sekondari, na mara tu Sheria wakali kupindukia ni liko wapi, ni watoto vya Unguja na Pemba . Mkutano wa mwisho baina ya Sheikh Al Shaarawi na aliyekuwa Rais wa Masri Hosni Mubarak kutokana na matukio. “MHESHIMIWA Rais, anampa amtakae, kwa hila au ujanja kuupata, kukiomba atatupiwa hiyo hakuna haja ya kwa sababu hakuna Na vipi tutaitafsiri kauli jukumu juu ya shingo Nimesimama katika ya Allah “Wanapanga, na kizingiti cha maisha kufanya njama kuupata, m w e n y e k u t a wa l a yake. wala ujanja wa kuweza isipokuwa kwa muradi Allah anapanga” na vipi Ewe Mheshimiwa yangu na naisubiri tunatafsiri “Wanapanga amri ya Allah na wala kuufikia, na Allah anaoutaka Allah. Na R a i s , l a m w i s h o S u b h a n a wa Ta a l a kama nimuadilifu, hila, na sisi tunapanga ninalotaka kukuambia, sitoyamaliza maisha hila”. yangu na unafiki, alipohadithia hikaya atanufaika kwa uadilifu na hii inawezekana ya Nabii Ibrahim na wake. Na kama ni jeuri Allah anathibitisha ikawa ni fursa yangu n a s i t o s e m a k i t u ulinzi wa alivyoviumba, ambacho si cha kweli Nimrod (kafiri), Ibrahim na dhaalimu, ataifanya ya mwisho kuonana bali nataka kusema alimwambia nini? dhulma kitu chafu na mimi natoa nasiha na wewe (anamshika maneno kwa umma Alipomhoji Ibrahim na kuchukiza ndani k wa k i l a m w e n y e bega na kumuambia): wangu wote, Serikali kuhusu Mola wake, ya nyoyo za watu, kufikiri, anayetaka kama wewe (Rais Hosni na Vyama, upinzani na akamwambia yeye Allah wa t a m c h u k i a k i l a k u w a k i o n g o z i , Mubarak)ni kadar yetu, wanaume, na wananchi ndie aliyempa Nimrod dhaalimu hata kama ni namnasihi asiuombe basi Allah atakuongoza ambao mtanisamehe, ni Utawala. Kwa hiyo kiongozi. Kwa hiyo, natoa uongozi bali aombwe, kwenye njia sahihi; na waliolala. utawala unateremshwa kauli kwa wote, nasema kwani Mtume wa Allah, kama sisi ndio kadar Nataka wajuwe kuwa na mwenyewe Allah na Alhamdulillah na Muhammad, kasema: yako, basi tunatarajia Utawala wote uko ndani kwa amtakae, kwahiyo hakikisha haya maneno mwenye kuombwa kitu A l l a h a t a k u s a i d i a ya mkono wa Allah, hakuna haja ya kufanya ya Allah ni ya kweli na atasaidiwa, na mwenye kuubeba mzigo.” HABARI ZA KIMATAIFA RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 17 - 23, 2012 AN-NUUR 5 Adhabu ya kifo kwa mashoga KAMPALA dini limetangaza kuwa RASIMU ya sheria ya limeamua kurejesha tena hukumu ya kifo dhidi muswada huo Bungeni ya wahalifu wa vitendo baada ya kufikishwa kwa vichafu vya kujamiiana mara ya kwanza Bungeni kwa watu wa jinsia moja hapo na Mbunge wa chama Uislam sasa kufundishwa imewasilishwa tena tawala cha NRM, David katika Bunge la Uganda. Bahati, mwaka 2009. Msemaji wa Bunge la M u s w a d a h u o Uganda, Helen Kawesa, unapendekeza hukumu amesema muswada huo ya kifo dhidi ya mtu shule za serikali za Urusi wa ushoga uliwasilishwa atakayefanya ngono na mtu wiki iliyopita katika ofisi wa jinsia kama yake kwa MOSCOW kwa lengo la kutekelezwa Kufikia sasa majaribio ya za Bunge na kupelekwa mara ya pili au kufanya Waziri Mkuu wa Urusi, mashuleni. mafunzo hayo yamefanyika k w e n y e K a m a t i tendo hilo chafu na watoto Vladimir Putin, ameamua Kabla ya zoezi hilo katika maeneo 20 ya inayoshughulikia masuala au akiwa muathirika wa kwamba masomo ya kuanza, walimu watapewa Ur u si n a wa n a f u n z i ya sheria kwa ajili ya virusi vya HIV. msingi ya dini yatakuwa mafunzo ya kutosha ili wapatao laki tatu tayari uchambuzi. Rais Barack Obama ya lazima kufundishwa k u wa we z e s h a k u t o a w a m e k w i s h a s h i r i k i K a m a t i h i y o wa Marekani, ambaye katika shule zote za mafunzo hayo kwa njia katika mafunzo hayo ya itachunguza rasimu hiyo amekuwa mtetezi mkubwa serikali. zinazofaa. majaribio. Kwa mujibu wa tovuti Waziri Mkuu Putin na kuirejesha Bungeni wa vitendo vya kihabithi, M a s o m o h a y o ametangaza habari hiyo kwa ajili ya kujadiliwa t a ya r i a m e s h a p i n g a ya Islam Today, mbinu sita yatahusiana na misingi za kufundishia masomo katika hali a m b a y o rasmi. rasimu hiyo inayopiga ya dini za Kikristo, a n a f a n ya j u h u d i z a Kundi linalopinga vita uhabithi na vitendo hayo zitawasilishwa Kiorthodox, Kiislamu, kwa wazazi, ambapo kugombea tena kiti cha u b a r a d h u l i h u o vya kijamiiana watu wa Kiyahudi na Kibudha. urais wa nchi hiyo. l i n a l o o n g o z w a n a jinsia moja, akiitaja kuwa watatakiwa kuchagua wabunge na viongozi wa ni yenye kuchukiza! mbinu moja kati ya hizo Arab League yachanganyikiwa juu ya Syria

CAIRO mgogoro wa Syria. Balozi wa Syria nchini Misri, Amesema zaidi Arab Yusuph Ahmed, amesema League inabeba lawama za k w a m b a p e n d e k e z o kuitumbukiza Syria katika jipya la Jumuiya ya Nchi mgogoro wa kimataifa za Kiarabu la kupelekwa hivyo kudhihirisha kwamba askari wa Umoja wa Mataifa imeshindwa kutatua mgogoro nchini Syria, linaonesha wa nchi hiyo ya Kiarabu. ni kwa jinsi gani nchi M a t a m s h i h a y o wanachama wa jumuiya ya m e t o l e wa b a a d a ya hiyo zimechanganyikiwa. Mawaziri wa Mambo ya Balozi huyo ameongeza Nje wa Arab League katika kuwa serikali ya Damascus haijapendezwa na maamuzi mkutano wao uliofanyika yanayochukuliwa na Arab jijini Cairo mwishoni mwa League. wiki kupendekeza kwa Baraza Katika upande mwingine, la Usalama muswada wa Wa z i r i wa M a m b o ya kutumwa kikosi cha Umoja Nje wa Lebanon, Adnan wa Mataifa na jumuiya hiyo Mansour, amesisitiza kuwa nchini Syria. Jumuiya hiyo ya Nchi za Serikali ya Damascus Kiarabu imeshindwa kutatua imepinga suala huo.

Msikiti mkongwe uliojengwa katika karne ya 14 Miladia Masjid Kongo uliopo Scotland ina haki kujitenga na Uingereza Kwale mjini Diani, Kenya. W A T A A L A M U Waziri Mkuu wa Scotland, waandamizi wa kikatiba Alex Salmond, anatazamiwa wamesema kuwa Bunge la kukutana na Waziri Mkuu wa Scotland lina haki ya kisheria Uingereza David Cameron, ya kuandaa kura ya maoni wiki ijayo kujadili kura ya Kenya yawarejeshea Waislamu kuhusu kujitenga eneo hilo maoni kuhusu uhuru wa na Uingereza bila uingiliaji Scotland. wa London. Inatazamiwa kuwa ifikapo Katika ripoti yao kwa mwaka 2014 kutafanyika Kundi la Wanasheria ya kura ya maoni kuamua umiliki msikiti mkongwe Kikatiba Uingereza (UKCLG), iwapo Scotland ijitenge na wataalamu hao wamesema Uingereza au la. kwa mujibu wa sheria ya Kutokana na kuwepo Moi, kuhusu mmiliki M s i k i t i h u o serikali ya mseto, Uingereza NAIROBI Scotland, Bunge la Scotland haina uwezo wa kuainisha M s i k i t i m k o n g w e halali wa ardhi ya msikiti unaojulikana kwa jina la lina ‘madai inayokubalika’ tarehe ya kura ya maoni u l i o j e n g w a k a t i k a huo. Msikiti wa Congo, ambao ya kuandaa kura ya maoni na sasa London inataka Wa z i r i M k u u w a inasemekana ulijengwa kuhusu uhuru wa nchi hiyo. kuingilia kati kuhusu suala karne ya 14 Miladia, Hayo yanajiri wakati unaopatikana katika Kenya, Raila Odinga, katika karne ya 14 Miladia, litakaloulizwa katika kura ameikabidhi Kamati unapatikana Kwale mjini a m b a p o s e r i k a l i y a hiyo ya maoni. p w a n i y a K e n y a Uingereza inafanya kila Ufalme wa Muungano umerudishwa chini ya ya Msikiti huo vyeti 2 Diani. W a i s l a m u iwezalo kuhakikisha kuwa (UK) mara nyingi huitwa umiliki wa Waislamu vya kumiliki ardhi na kura ya kujitenga Scotland kwa Kiswahili “Uingereza” baada ya mzozo wa muda kutangaza kuwa serikali wameishukuru serikali inashindwa. ingawa nchi ya Uingereza ni mrefu kati ya Waislamu ya Nairobi imebatilisha kwa kuchukua hatua Hivi sasa London imeahidi kati ya sehemu za ufalme huu na Rais wa zamani wa hati ya kumiliki ardhi hiyo waliyoitaja kuwa kuwapa watu wa Scotland pamoja na Scotland, Wales na nchi hiyo Daniel Arap kilichoko mikononi mwa ni heshima kubwa kwa uwezo zadi kuhusu masuala Ireland ya Kaskazini. (Habari Mzee Moi. utukufu ya dini yao. ya kifedha. na IRIB) 6 AN-NUUR RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 17 - 23, 2012 Makala

Na Shaaban Rajab matokeo ya tija ya kazi za wanajamii. Lakini kwa wengine. kuwa ubinafsi na chuki K U F I K I R I , k u p i m a , Kufanya kazi Binadamu anapaswa ndizo zilizopewa nafasi kuwa kwa ajili ya jamii katika mioyo, leo kuna kujiamini na hatimaye kwamba mwanadamu kudhubutu kutenda ni k a b l a ya k u wa k wa mvutano na malalamiko maridhawa katika mada kamwe hawezi kuishi ajili yake. Kwa msingi nyenzo muhimu za kuibua hii. mengi dhidi ya serikali na kujitosheleza kwa huo kufanya kazi kuna kuwa inawadhulumu na kutekeleza jambo lolote Muhajirin na Ansaar mahitaji yeye mwenyewe. linalohusu maendeleo ya athari mtambuka na na kubagua jamii ya walishirikiana kwa kila Hakuna mtu anayeweza kimaingiliano katika jamii. Waislamu katika mamlaka binadamu. kitu, walifanya kazi kwa kuishi katika jamii bila ya na utumishi serikalini. Kujituma na kufanya Kwa maana hiyo, kazi bidii na hatimaye dola kumtegemea mwingine huimarisha mtandao wa Kwa maana hiyo tayari k a z i k w a b i d i i n i la kwanza la Kiislamu hata akiwa na utajiri wa kuna matabaka, chuki na n y e n z o m u h i m u z a mahusiano ya wanadamu ikasimamishwa Madina. kupindukia. n a k u w a u n g a n i s h a dhulma miongoni mwa kuweza kustawisha kile K wa m t a z a m o wa jamii za Watanzania kwa Kwa namna moja au k u t o k a n a n a k u l e kuwa fursa ya kufanya ulichokusudia kiwe na Uislamu, wananchi ni nyingine ni lazima atahitaji kiweze kuleta matunda kutegemeana kwao. kazi serikalini imekuwa nguzo kuu ya ustawi na kukidhi haja zake kutoka K wa m f a n o , k a m a chanya kiuchumi na maendeleo; hasa kwa ikitumika bila kufuata kwa mwingine. Iwapo s e r i k a l i i n g e k u w a uadilifu. kijamii. kutilia maanani kwamba, mtu atahitaji kufanyiwa Afya na nguvu ni vigezo inafahamu falsafa ya Katika mafundisho ya kila mmoja ana uwezo kazi fulani ni lazima aajiri kazi katika jamii, leo hii Kiislamu, uadilifu maana vinavyochukuliwa kuwa ni wa kifikiria na ana kipaji mtu. Chakula tunachokula, mtaji wa mwanadamu na Tanzania, katika idara na yake ni kutoa fursa sawa cha aina yake, ambacho mavazi tunayovaa, nyumba taasisi za serikali, nafasi kwa watu wote bila nguvu kazi katika kukua kinaweza kutumiwa katika tunazoishi, ni matokeo ya na kupatikana maendeleo upendeleo wa aina yoyote. na kumudu kukabiliana na Endapo hali ya upatikanaji kazi na ajira utakuwa changamoto za kimaisha. m b o v u , h a p o n d i p o K i m s i n g i k a d i r i panapozuka matabaka, watu wa taifa fulani hujuma, ubaguzi, uvivu, watakavyojituma katika uzalishaji duni na matokeo k u w a w a b u n i f u n a yake ni kuwepo mpasuko kukifanyia kazi kwa bidii na chuki katika jamii kile walichokibuni, ndivyo na kupatikana uchumi mazingira ya kufikia dhaifu. ustawi na maendeleo Licha ya karne hii kuwepo yatakavyoweza kufikiwa maendeleo ya kiteknolojia ambayo kwa namna moja mapema zaidi. au nyingine yamechukua Msingi wa maisha sehemu kubwa ya kazi umesimama juu ya uzima, zilizokuwa zikifanywa utii katika dini (kumcha na mwanadamu, lakini Mwenyezi Mungu) na t e k n o l o j i a y e n y e w e kufanya kazi. ni matokeo ya fikra na B i n a d a m u ubunifu wa mwanadamu. a n a s u m b u l i w a n a M a e n d e l e o h a y a mlolongo wa mahitaji yanapunguza gharama katika maisha yake ya kila na muda katika kutenda siku. Chakula, mavazi, kazi na zaidi, huzidisha malazi, elimu, afya, kiwango cha uzalishaji burudani n.k. Mahitaji ndani ya muda mfupi. haya na mengine mengi Shule ya Msingi ya Istiqama, Tabora. Yote haya husababisha humsukuma mtu kujituma nafuu ya maisha kwa na kuwa na bidii katika Nyanja mbalimbali kwa kazi zilizofanywa na watu za ajira na kazi zingekuwa kuwa kuna ongezeko la kufanya kazi ili aweze ajili ya kuleta ustawi na uzalishaji huku utumiaji kukidhi mahitaji yake ya wengine. Matumizi ya kila ni kwa ajili ya matabaka maendeleo. siku katika mzunguko wa yote ya jamii ili kupatikana w a k i l i c h o z a l i s h w a kimaisha. H a l i h a l i s i n i kikibaki palepale. Tamaa ya ushindani ni maisha ya binadamu ni uadilifu miongoni mwa sehemu nyingine ambayo binadamu kujituma zaidi N Y O T E M P O K E E kufanya kazi ili kujipatia A L H A J A B D A L L A H S H U K R A N I H I Z I k i p a t o z a i d i k u l i k o MOHAMMED TAMBAZA NA TUNASEMA wengine. NA NDUGUZE WA DSM, SHUKRANI ‘ A H S A N T U M Siku hizi mtu akiwa WANATOA SHUKRANI K A U S H I K N A D K . MASHKURIN’. hana kazi, anazurura ZAO ZA DHATI KWA HAMZA MAUNDA WA K H I T M A Y A huku na huko anaonekana NDUGU, JAMAA NA HOSPITALI YA OCEAN KUMWOMBEA DUA katika jamii kama hana WAKAZI WOTE WA RD. MARHUM TAMBAZA hadhi wala heshima. KATA YA JANGWANI, WENGINE NI WAZIRI ITASOMWA SIKU YA Tofauti na mwenye kazi, KARIAKOO DSM KWA SOPHIA SIMBA, ADAM JUMAMOSI, FEBRUARI huyu ataheshimiwa na KUSHIRIKIANA NAO MALIMA, WABUNGE 18, 2012 NYUMBANI kuonekana mwenye hadhi KATIKA MSIBA PAMOJA WOTE WA MKOA WA KWAO MTAA WA katika jamii. NA MAZISHI YA NDUGU DSM, VIONGOZI WA KONGO NA 2 KARIAKOO U t a m a d u n i n a YAO MPENDWA CHAMA NA SERIKALI DSM, BAADA YA mafundisho ya Uislamu TAMBAZA MOHAMMED W A M K O A D S M , SALA YA ADHUHURI. yanatoa wito wa kuweko TAMBAZA ALIYEFARIKI VIONGOZI WA SOKA WA SOTE TUNAOMBWA ushirikiano wa pamoja wa JANUARY 10,2012 NA MKOA DSM, MAIMAMU TUHUDHURIE. wanajamii. Unafundisha KUZIKWA JANUARY NA MASHEIKH WA Mfuko wa Tambaza Waislamu kufanya bidii MKOA DSM, POLISI Ambaza Mohammed 1 1 , 2 0 1 2 K W E N Y E Tambaza M o h a m e d Ta m b a z a katika kazi na kutofikiria MAKABURI YA FAMILIA WA USALAMA E d u c a t i o n F u n d maslahi binafsi zaidi ya MABIBO EXTERNAL BARABARANI, SAIGON YA VALLEY VIEW NA utazinduliwa kesho katika kutanguliza mbele maslahi DSM. CLUB, MPERAMPERA, W E N G I N E W E N G I khitma ya marehemu. Huo ya wote. KWA NAMNA YA M W A L I M A B U U AMBAO TUSINGEWEZA utakuwa ni mfuko wa Ukisoma kisa cha hijra ya KIPEKEE KABISA M B A N G E N A K U W A S H U K U R U kusomesha mayatima ili Mtume Muhammad (saw) T U N AWA S H U K U R U NDUGUZE WA ILALA, MMOJAMMOJA kuendeleza ‘uradi’ wa kutoka Makka kwenda MADAKTARI NA D S M , M W A L I M U KUTOKANA NA Marehemu wa kusomesha Madina na kuanzisha WAUGUZI WA BAHIA NA MWALIM ORODHA KUWA na kulisha yatima. dola la Kiislamu huko, HOSPITALI YA HINDU P I L I A B D A L L A H , NDEFU. INNA LILLAHI WAINA utakuwa umepata mfano MANDAL HASA DK. UONGOZI WA HOTELI TUNAWAOMBA ILAIHI RAJUUN. Makala RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 17 - 23, 2012 AN-NUUR 7 Wananchi Serikali ishatwawa, ishakuwa Bara ya nchi na kubakisha jina wameweka imani yao juu tu. Haya ndio yalifanywa ya Baraza la Wawakilishi. na Mtawala Abeid Aman K a z i y a B a r a z a l a Karume. Wawakilishi sio kusaidia Kuna maneno aliyowahi Serikali (madarakani) kuyasema Marehemu bali ni kuiwajibisha Othman Shariff, akiwa inaposhindwa kustawisha na maana ya kuuzwa wananchi au inapokwenda kwa Uhuru wa Zanzibar kinyume na matarajio ya anasema:- Wananchi. “Wananchi Serikali N i k o s a k u w e k a ishatwawa, ishakuwa uchama ndani ya Baraza Bara. Tunamnyang’anya la Wawakilishi, kazi ya Muingereza, tunampa Baraza la Wawakilishi Songoro Hereza, keshampa bila ya kujali tofauti Mjombawe Malijeza. Sasa za kiitikadi miongoni ataka tuangamiza.” mwenu kwa kuwa nyie Niliyakumbuka maneno mnawakilisha Wananchi haya katika hili sakata wote, wanachama na waiso la kuongezewa mipaka kuwa wanachama kwa ya Bahari iliyoombwa vile mko katika Baraza na Waziri Tibaijuka kwa kuitetea katiba ya nchi sio msaada wa Viongozi wa kutetea katiba za vyama. Na Ibrahim Hussein Zanzibar wa wakati huu. Vile vile ni wajibu wa Mohammed Amma utawala wa Mh. kila Muwakilishi kulinda Aboud Jumbe Mwinyi, maslahi ya nchi yetu. H E B U Wa z a n z i b a r i yeye alipelekea kuuziba Dola ni ya Wananchi t u j i u l i z e h a p a mdomo wa kisiasa wa wote sio (Chama Dola) ilipofikishwa nchi yetu ni Wazanzibar kwa kuuwa Mwakilishi anawakilisha kwa kudra ya Mwenyezi Chama Cha A.S.P. matakwa ya Wananchi Mungu au ni mikono ya Utawala wa Rais Ali wote ndani ya Baraza Watawala? Hassan Mwinyi yeye la Wawakilishi ndio Nini lengo hasa la aliupeleka usalama wa linawajibu kuiambia k u f a n ya M a p i n d u z i Taifa Baraaaaa!!!! MARHUUM Mzee Abeid Amani Karume Serikali nini cha kufanya, Visiwani Zanzibar? Kama A m m a M a r e h e m u sio Serikali inayosimamia lengo lilikua ni kujitawala, Idrisa yeye alirahisisha n a m wa n d i s h i we t u k u l i f a n i k i s h a j a m b o Baraza na kuagiza Baraza jee! Lengo hilo tumelifikia? kazi ya kuwatia sumu Z a n z i b a r , D a r e s linaonesha wazi kwamba la Wawakilishi nini cha Nini maana ya kutawaliwa? watu wa Unguja dhidi ya Salaam, chini ya kichwa Tanzania inataka kujipanua k ufanya, k usimamia Nimeanza kutanguliza Wapemba baada ya Ali kisemacho:- kwa lengo la kutaka ni pamoja na kudhibiti masuala matano ili kila Hassan Mwinyi kuwambia “Waziri Tibaijuka ampa kuchukua rasilimali za na kuelekeza Serikali Mzanzibari ajiulize na watu wa Unguja:- makavu Mh. Jussa, Waziri Zanzibar. Mh. Shamhuna akiwemo kiongozi wake ajipatie jawabu ndani ya “ N y i n y i n d i y o Tibaijuka anasema:- anakiri kwamba Serikali Mkuu Rais na wasaidizi nafsi yake. mliopinduwa hivyo mna “ J a m b o h i l o n i l a ya Mapinduzi hakuiarifu, wote. Lengo hasa la kufanya haki kusema Rais aendelee Muungano wa Tanzania hiyo sio hatari? Mimi Baraza la Wawakilishi Mapinduzi ni tuwe huru kutoka Unguja”. wala si la Wizara yake, nafikiri Viongozi wa juu n i W a n a n c h i k w a katika kujiamulia na Hizi zilikuwa ni kauli ndio maana waliamua wanalijua hilo kwa vile s a b a b u Wa wa k i l i s h i kujipangia mambo yetu za kutugawa Wazanzibari, kuwashirikisha wenzao kila Mtawala anaimegea w a n a c h a g u l i w a yatakayoweza kutuletea Marehemu Idrisa nae wa Zanzibar ujumbe Tanzania Bara. Sasa kuwakilisha wananchi, maendeleo yetu katika akazidi kuikoleza chuki uliokwenda Marekani kazi ilioko mbele yetu k w a m a a n a h i y o , mambo mbali mbali ya na kusema: uliwakilisha Jamhuri ya ni kupata ukweli juu ya n d i o wa n a o s i m a m i a maisha yetu na nchi yetu. “Wapemba kuwatia Muungano wa Tanzania wale wote walioshiriki Serikali kupitia kwa Kama ni hivyo, basi k a t i k a m a d a r a k a n i si Tanzania bara pekee”. na kwenda kinyume au watu waliowachagua bado hatukulifikia lengo jambo la hisani tu”. Tibaijuka aliongeza kwa kukutana kwa siri bila ya kuwawakilisha, yaani hilo, na kama kutawaliwa Nakumbuka hotuba yake kusema:- kushirikisha wahusika wawakilishi bila ya kujali ni fedheha, basi kujitawala hiyo ilirikodiwa na watu “Hawezi kukurupuka w o t e w a n a o s t a h i k i itikadi ya vyama. ni kuiondoa fedheha. wakawa wanauziana kwa katika kulishughulikia kulitolea maamuzi jambo W a n a n c h i n d i o Sasa tumeweza kuiondoa kutumia “KASETI”. jambo hilo bila ya Rais hilo. Na kwa nini maamuzi wanaoweka na kusimamia fedheha? Jawabu ni bado S i l e n g o l a n g u na Dk. yalikwisha tolewa huko Serikali Madarakani na kuiondoa fedheha hiyo, kukumbusha yaliyopita, Shein kulifahamu”. nyuma tuyape mgongo? si Serikali kusimamia lakini hivi sasa tumeanza bali ni kuonyesha vipi Sasa hili tatizo sio dogo Je? hapa tutatafuta wananchi kwa maana hiyo kazi hiyo. v i o n g o z i Wa t a w a l a kama baadhi ya watu mchawi au wachawi ni sisi Serikali ni ya watu. wenyewe Wazanzibari? Kazi ni ngumu na walivyotufikisha hapa wanavyolifikiria hili ni Katiba inasema wazi nzito sana, kazi hiyo tatizo kubwa sana kwa Nani hasa katika Kiongozi wazi kwamba Wananchi tulipo leo. vile Serikali kupitia kwa wetu anayejua mipaka h a i t a o n d o l e w a n a Mtawala ndio msingi wa mamlaka Viongozi wa juu, bali Waziri Kiongozi aliyepita ya nchi mbili, baina ya yote na Serikali itapata yeye ameiondowa nguvu Tanganyika na Zanzibar. ni wananchi wenyewe na uwezo wa Rais wa madaraka na mamlaka kupitia kwa wawakilishi alimuandikia barua Waziri S i Vi o n g o z i , h a t a yake yote kutoka kwa Zanzibar juu ya mambo Mkuu wa n a n c h i h a t u e l e w i wao waliowachagua. Nchi ya Muungano wetu. Wananchi. Bahati mbaya yetu imefikishwa hapa kumueleza maamuzi ya mipaka yetu ya baharini h i v i s a s a t u m e a n z a Amma Utawala wa Mh. Zanzibar yaliyofanywa baina yetu na Tanzania tulipo kwa mikono ya Aman Abeid Karume yeye kubaini ndani ya Baraza Watawala wetu. na Baraza la Wawakilishi Bara, ni rahisi kuporwa la Wawakilishi kuna ameikabidhi Account ya April 8, 2009 Serikali rasilimali zetu kwa vile Tukianzia na Marehemu Serikali ya pesa zetu kwa Mawakala waliojificha Abeid Aman Karume ya Mapinduzi ilipitisha kila Kiongozi anataka madhumuni ni kuimaliza Serikali ya Tanzania Bara. uamuzi huo na kuweka akamate Uongozi wa juu muda mfupi tu baada Lakini hivi sasa ndio Zanzibar kabisa kabisa, ya Mapinduzi, Zanzibar msimamo wa kusimamia zaidi na hawezi kuupata tutahadhari nao, hao ni mwisho, hivi karibuni yenyewe ukanda wake wa bila ya kuridhisha Uongozi iliingia katika Muungano nilisoma gazeti la Nipe mamluki wa kisiasa. na Tanganyika na Zanzibar EEZ.” wa Tanzania Bara katika N a s e m a h e k o Habari January 27-Feb 2, kuimaliza Zanzibar. Hivi ikapoteza madaraka yote Hivyo, kweli viongozi Inaendelea Uk. 11 2012 Makala iliyoandikwa wetu walishiriki katika sasa Wananchi wote 8 AN-NUUR RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 17 - 23, 2012 Makala

H i yo i l i k u wa b a r u a Na Omar Msangi kumbukumbu namba MM/TC/L.VII/12/89. MWAKA 1965 aliyekuwa Taarifa zinafahamisha Katibu Mkuu wa Baraza Kuna jambo kubwa k u w a v i o n g o z i w a la Maaskofu-Tanzania m a k a n i s a wa l i p o j u a Episcopal Conference k w a m b a M i p a n g o (TEC), Father Robinson M i j i wa m e i d h i n i s h a alitoa taarifa akikiri Waislamu kupitia taasisi kwamba shule za Kanisa Katoliki hawajasema ya MIDECE (Mtwara K a t o l i k i z i l i k u w a kuwaridhisha, hawampi Islamic Development zikitegemea fedha kutoka chakula chao. Centre) wapewe eneo hilo, serikalini kwa asilimia Tunajua kuwa kwa walikutana wakajadili 100. Kwa sababu hiyo maadili ya utumishi na kisha kuwaambia akasema, kama serikali wa serikali, mtumishi wa u m i n i wa o k u wa itasitisha utaratibu anatakiwa kuwahudumia Waislamu wanahangaika wake wa kuchota fedha watu wote bila ya ubaguzi bure, Wizara ya Ardhi kutoka Hazina ya kodi wala upendeleo. Lakini haitawapa eneo hilo. za ‘Watanganyika’ na katika utaraibu huu H a y a n d i y o kuwapa Wakatoliki, (usio rasmi) aliotuambia yaliyotamkwa pia na basi itabidi shule hizo Father Robinson, imani ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa zifungwe. wananchi kuwa maadili wa Mtwara Kanali Nsa K a b l a y a h a p o ya utumishi wa umma Kaisi. Mkuu huyo wa Mkoa tunaambiwa kuwa serikali yanafuatwa wanapokaa alimwambia Sheikh, Mzee ilikuwa ikizipa shule za Wa k a t o l i k i / Wa k r i s t o Nasuma ambaye alikuwa Kanisa ruzuku iliyofikia watupu katika nafasi nyeti Mwenyekiti wa Bakwata asilimia 66% ya bajeti ya na muhimu kama Baraza kwamba atahakikisha shule hizo. Ruzuku hiyo la Mitihani, itatoka wapi? Waislamu hawapati eneo ikitoka katika Hazina Katika kitabu ‘Muslims hilo. Alisema, labda afe ya taifa inayochangiwa and the State in Tanzania’ au ahamishwe. Lakini kwa kodi za Waislamu, k i m e t a j wa k i s a c h a muda wa kuwa yupo hai Wakristo na watu wa dini Waislamu wa Mtwara mjini na ni Mkuu wa Mkoa nyingine. kuomba eneo la kujenga wa Mtwara, Waislamu Hivyo ndivyo mambo Msikiti katika barabara hawapati eneo hilo. yalivyokuwa. Huo ndio (mtaa) maarufu kuliko Kilichofuatia hapo ni utaratibu wa mambo ulivyo zote mjini hapo, TANU mlolongo mrefu ambao katika nchi hii tunayotamba Road. Ni kando kando makala hii haitoshelezi kwamba haina ubaguzi mwa barabara hii ambamo kuyaeleza yote. Lakini moja wala upendeleo wa kidini zipo ofisi za kiserikali na ya mambo yaliyokuwa wala wa kikabila. taasisi mbalimba muhimu yakifanyika, ni pamoja H i v i s a s a K a n i s a za kijamii. Pamoja na kuwa na watu wa Ardhi Mkoa Katoliki lipo katika inakisiwa kuwa Waislamu kushirikiana na viongozi shamrashamra likitamba katika mkoa wa Mtwara wa makanisa kujadili kuwa katika zile shule ni zaidi ya asilimia 85, namna ya kukwamisha kumi bora katika matokeo lakini kulikuwa hakuna maombi ya Waislamu. ya mtihani wa kidato cha hata Msikiti mmoja katika Mfano kwa mara ya kwanza nne yaliyotangazwa hivi barabara hiyo, wakati Waislamu walipowasilisha karibuni, basi saba ni za kuna makanisa matano maombi yao kwa Ofisi Katoliki. HAYATI Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (wakati huo 1997) ambayo ya Ardhi, walijibiwa kwa “Katika kumi bora kidato ni: Kanisa la Katoliki kifupi kuwa eneo hilo cha nne, Wakatoliki wazoa pili, Mzumbe nafasi ya wa Baraza la Maaskofu tisa na shule ya sekondari akisema kuwa serikali M a g o m e n i , K a n i s a halikutengwa kwa ajili 7”, limeandika gazeti la la KKKT, Anglikana, ya matumizi ya shughuli Tumaini Letu linalotolewa Kibaha iliyoshika nafasi ilikuwa ikilipa gharama ya kumi. zote za kuendesha shule Sabato na Catholic Parish z a i b a d a . Wa i s l a m u na Jimbo Kuu Katoliki la Church. wakaridhika wakaondoka. Dar es Salaam. Pamoja na kutupa z a K a n i s a K a t o l i k i , taarifa hii kwamba katika kulikuwa na mgogoro Katika miaka ya nyuma, Huku nyuma baadhi ya “Katika idadi ya shule baina ya kanisa la KKKT watumishi wa ofisi hiyo zilizoshika nafasi ya zile shule kumi bora, saba katika wilaya ya Pare (sasa ni za Katoliki, zipo taarifa Mwanga) ambapo Wazee na Anglikana, karibu na wakawasiliana na Kanisa la kumi bora kitaifa…shule uwanja wa Mashujaa, Assemblies of God wakaleta saba zilizoshika nafasi nyingine muhimu na nyeti wa Kiislamu walitangaza zaidi ambazo Wakatoliki kugoma kulipa kodi kwa palikuwa na eneo ambalo maombi harakaharaka hiyo zinaendeshwa na halijatumika lililokuwa na wakapewa eneo hilo kumilikiwa na Kanisa hawajasema. Moja ni kuona kuwa serikali idadi yao katika Baraza la ilikuwa inachukua kodi likimilikiwa na Wizara walilokataliwa Waislamu Katoliki.” ya Elimu na Utamaduni. kuwa sio kwa ajili ya Limefafanua gazeti hilo Mitihani la Taifa (Tanzania zao na kuwapa Wakristo Examination Council). Na kujenga na kuendesha Mwaka 1995 Wizara ya Msikiti wala Kanisa. namba 00401 la Ijumaa Elimu kupitia gazeti la H a t a h i v y o b a a d a e Februari 10-16, 2012. pili, idadi yao katika ile s h u l e , l a k i n i n a o jumla ya Maofisa Elimu wa walipoomba (kama ndio serikali ilitangaza kuachia maofisa hao wa Ardhi Tumaini Letu likazitaja sehemu kubwa ya eneo walilazimika kuandika shule hizo kuwa ni St. Wilaya na Mikoa (DEOs/ utaraibu, wakanyimwa). REOs). Lakini zaidi walikuwa hilo ili ipangiwe matumizi barua ya kuwasimamisha Francis iliyoshika nafasi mengine. Assemblies of God kujenga ya kwanza, St. Joseph Katika shule kumi wakizuiwa kuanzisha bora kwa kufaulisha, za shule na kulazimishwa Ni wakati huo Waislamu kanisa katika eneo hilo Millenium nafasi ya tatu, wa Mtwanra wakaona baada ya Waislamu kuja wakati shule ya wasichana Wakatoliki ni saba. Je, kupeleka watoto wao wakatoliki hawa katika katika shule ya kanisa. watumie fursa hiyo angalau juu. ya Marian, ikishika nafasi nao wawe na Msikiti Mfano wa pili, katika ya nne. Baraza la Mitihani wapo Katika mgogoro huo wangapi? Lakini si idadi ilibidi Mwalimu Nyerere katika eneo hilo la mjini. kuhangaikia suala hili, S h u l e n y i n g i n e n i Wakaandika barua rasmi Wa i s l a m u wa l i k u wa Seminari ya Don Bosco yao tu katika Baraza, kumtumwa (Marehemu) muhimu zaidi ni je, katika Rashid Mfaume Kawawa tarehe 11 Septemba, 1997 wakiwasiliana na Katibu iliyoshika nafasi ya tano, kwa Manispaa kuomba Tawala wa Mkoa (RAS) Kasita seminari nafasi ya Idara na Vitengo muhimu kuusuluhisha ambapo na nyeti kwa shughuli kikao kilifanyika Toloha. eneo hilo. wakati huo akiwa Bwa. sita, St. Mary’s Mazinde I l i p o f i k a t a r e h e 8 Mwakatobe. Ambacho Juu nafasi ya saba na shule za utungaji mitihani, Wazee wanasimulia kuwa usahihishaji, utoaji gredi pamoja na kuwa waliandaa Desemba, 1997, Mipango Wa i s l a m u w a l i k u j a ya Canosa iliyoshika nafasi M i j i wa l i wa a n d i k i a kujua baadae ni kuwa ya nane. na kuweka takwimu, chakula kumkirimu mgeni, Wakristo ni wangapi? lakini walikubaliana kuwa b a r u a W a i s l a m u wakati Mwakatobe kila Shule nyingine tatu w a k i w a f a h a m i s h a siku akiwapa kauli nzuri katika kumi bora ni Feza Katika kipindi hicho kama Kawawa hatakuwa ambacho Katibu Mkuu a m e k u j a n a j i b u l a k u w a m a o m b i y a o Boys iliyoshika nafasi ya y a m e k u b a l i w a . Inaendelea Uk. 9 Makala RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 17 - 23, 2012 AN-NUUR 9 Kuna jambo kubwa Katoliki hawajasema Inatoka Uk. 8 ubaguzi na upendeleo? Hivi sasa Kanisa Katoliki kwamba atawasaidia, lipo katika mchakato wa wakiondoka hukutana kumtangaza Mwalimu na viongozi wa kanisa na Nyerere kuwa ni mtakatifu. kuwapa taarifa na kupanga Hapana shaka hapewi mikakati ya pamoja. Moja heshma hii kutokana na ya mikakati aliyowapa jinsi alivyowatumikia y a k u w a k w a m i s h a Wa t a n z a n i a m p a k a Wa i s l a m u n i k u w a k u wa f i k i s h a m a h a l i waende Dar es Salaam wanapanga foleni kutwa wakamwone Waziri wa wakisubiri robo kilo ya Ardhi, wakati ule Gideon unga wa njano au muhogo. Cheyo wamwambie kuwa Hawakumpa nishani maombi yao ya kupewa hiyo kwa kuifikisha nchi eneo la kujenga kanisa hii ambapo kila bidhaa yamekataliwa wakati ya muhimu ikawa haipo, Waislamu yamekubaliwa. na rushwa kutawala, Viongozi wa makanisa usemi “mnyonge hana Mtwara walifanya kama haki” ukatawala kama walivyoelekezwa na RAS alivyosema Padiri John wakaenda Dar es Salaam Sivalon. ‘Utakatifu’ wa k a m w o n a Wa z i r i anapewa kutokana na wa Ardhi akawaahidi jinsi alivyotekeleza ahadi kwamba atahakikisha yake ya kulipa kanisa kuwa Waislamu hawapati katoliki “a be�er chance”. eneo hilo. Lakini Waziri N a n i k u t o k a n a n a akawaelekeza waende “be�er chance” hiyo, leo na Wizara ya Elimu na Wakatoliki wanatamba. Utamaduni wakamwone WAZIRI Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Swali ni je, hali hii mpaka Dr. Ndagala ili naye asaidie Mtwara, Kanali mstaafu Joseph Simbakalia. lini? Sifa gani ambazo katika kukwamisha kwa zinahitajika kushika nafasi vile eneo linaloombwa ofisi za EMS (Expedited Mkoa na Waziri kutamba wa Kigoma. Nishani hiyo ya uongozi wa Baraza la awali lilikuwa likimilikiwa Mail Service) Dar es Salaam k u w a a t a h a k i k i s h a alipewa na Papa Benedikto Mitihani, ambazo watu na Wizara ya Elimu. ambapo alionyeshwa kuwa kuwa atawakwamisha wa 16. Na kazi yake wengine hawana ila Viongozi wa makanisa barua yao ilichukuliwa Waislamu kupata ardhi imeanza kuonekana katika Wakristo tu? walimwona Dr. Ndagala na Afisa wa Wizara ya ya kujenga Msikiti, kwa suala la kufukuzwa kwa W a p o v i o n g o z i naye akaahidi kukwamisha Ardhi anayeitwa Bwana nini kusiwe na wasiwasi wanafunzi wa Kiislamu wa watendaji wa ngazi za maombi ya Waislamu. Magambo ambaye ofisi kuwa katika Baraza la kidato cha sita Ndanda. juu kama Katibu Mtendaji L a k i n i D r. V. K . yake ipo ghorofa ya 9 M i t i h a n i k u n a w e z a Itakumbukwa kuwa wa Baraza na wasaidizi Ndagala akawaambia katika jumba la Wizara. kuwa na mtandao ambao Wizara ya Elimu ilitoa wake, wapo wakuu wa kwamba, haisaidii sana Bahati mbaya siku hiyo unahakikisha kuwa shule uamuzi kuwa wanafunzi vitengo muhimu, wapo k u w a k w a m i s h a t u Magambo hakuwepo na watoto wa Kikristo Waislamu waliofukuzwa waratibu wa masomo n.k, Waislamu, yeye angependa kazini. Watu wengine ndio wanaoongoza kila wa k i l a l a m i k a k u wa je, Wakristo wangapi na baada ya kuwakwamisha ikabidi wapekuwe na mwaka? walikuwa wakinyanyaswa Waislamu wangapi? Waislamu, basi Wakristo kukuta barua hiyo ikiwa Hapa lazima tujiulize, n a M k u u wa S h u l e , K a m a n a f a s i h i z o wapewe eneo hilo. Kwa imewekwa katika lundo ile kada ya uongozi wa warudishwe shule na watakuwa wamehodhi h i y o a k a w a e l e k e z a la makaratasi ya zamani Baraza, Waratibu wa wafanye mtihani. Wakristo, tufahamishwe, wakamwone Afisa mmoja (yanayongojea kuchomwa Masomo, Maofisa wa Hata hivyo baadae sifa gani zinahitajika Ikulu ili naye atumie msuli moto au kufungwa na E l i m u Wi l a ya / M k o a Mkuu wa Mkoa wa Mtwara a m b a z o W a i s l a m u wa Ikulu kuhakikisha kuwa kuwekwa stoo.) na watu wote muhimu Bwana Joseph Simbakalia hawana mpaka serikali Wakristo wanapata eneo Hadithi ya kisa hiki bado wanaohusika na mitihani anadaiwa kutoa tamko ilazimike kuweka Wakristo hilo. Taarifa zinafahamisha ni ndefu, lakini tutosheke pamoja na kuchagua mbadala akidai kuwa watupu? na kipande hiki. Ila tu wanafunzi wa kuingia msimamo wa kuwafukuza kuwa Afisa huyo wa Malalamiko ya Ikulu, aliahidi kutimiza niseme kuwa kimiujiza, kidato cha kwanza, tano na wanafunzi hao uko pale wajibu wake kwa Kanisa. kwa nguvu za Mwenyezi vyuo mbalimbali, Wakristo pale na kwamba, vijana 15 Wazanzibari Kuwakwamisha Waislamu M u n g u , W a i s l a m u wapo wangapi na watu wa kati yao wataruhusiwa tu yasipuuzwe na kuwapendelea Wakristo walipata eneo lile. dini nyingine wangapi? kuingia katika chumba cha Wakati Wakatoliki wenzake. Kama huu ndio mtandao Katika hali kama hii ya mtihani kama watahiniwa wakisherehekea kwa L a b d a n i o n g e z e wa Wakristo katika Wizara kisa cha Mtwara, wasio wa nje ya shule (private shule zao kuchukua mfano mmoja, baada ya Ardhi, ofisi ya Wakuu kuwa Wakristo watakuwa candidate). nafasi 7 katika zile kumi y a R A S , B w a n a wa Mikoa mpaka Ikulu, vipi na imani na Baraza la A i d h a , J o s e p h bora, Zanzibar ni kilio. Mwakatobe kukamilisha swali ni je, mtandao Mitihani iwapo itaonekana Simbakalia alidaiwa Wa n a s i a s a , wa l i m u , kuweka mtandao wa kama huu haupo katika kuwa nafasi zote nyeti kusema kuwa wanafunzi wanafunzi na jamii kwa kuwakwamisha Waislamu, Baraza la Mitihani? Ndio zimeshikwa na Wakristo? hao 15 watalazimika ujumla, wanajiuliza, aliandika barua na kuituma maana nikasema, kama Baada ya kuwa walikuwa kwanza kukubali mashariti imekuwaje idadi kubwa kwa EMS, kuwasilisha ambavyo Kanisa Katoliki na Mkuu wa Mkoa aliyeapa watakayopewa kabla ya ya shule na wanafunzi maombi ya Waislamu limetufahamisha kuwa kuwa muda wa kuwa yupo kuingia katika chumba cha waliofutiwa matokeo yao Wizara ya Ardhi, Dar wanashikilia asilimia hai na ni Mkuu wa Mkoa mtihani. iwe kutoka Zanzibar? es Salaam. Waislamu 70 katika zile shule wa Mtwara, atahakikisha Katika hali hii ya I n a k u wa j e m a t o k e o walimteua Sheikh Marijani bora, ni muhimu pia kuwa Waislamu hawapati kuwa na watumishi wa yao kila mwaka yawe kufuatilia majibu ya barua wakatufahamisha katika ardhi TANU Road; sasa serikali ambao wanafikia mabaya? hiyo Wizarani. Hata Baraza la Mitihani wapo Mtwara wamepelekewa kiwango cha hali ya juu Inawezekana kuna hivyo, kila alivyokuwa kwa asilimia ngapi? Mkuu wa Mkoa ambaye cha kutumikia makanisa u z e m b e m k u b w a akifika ofisi inayohusika Kama mtandao wa mwaka jana alipewa yao mpaka kupewa tuzo unafanyika katika shule aliambiwa kuwa hakuna Wa k r i s t o u n a w e z a Nishani ya Mtakatifu na wakuu wa dini zao, je, za Unguja na Pemba kiasi barua iliyopokelewa kwa kujipanga kutoka wilayani, Gregory Daraja la kiraia bado wasio kuwa Wakristo cha kuwafanya wanafunzi EMS kutoka Mtwara. Mkoa, Wizara mpaka kwa utumishi uliotukuka waamini kuwa watu hawa Marijani aliamua kwenda Ikulu kiasi cha Mkuu wa kwa Kanisa Katoliki Mkoa watawatumikia bila ya Inaendelea Uk. 11 10 AN-NUUR RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 17 - 23, 2012 MAKALA

walidirki kutaka kumhoji Rais Salmin Amour. Lakini si Waheshimiwa Wabunge Uislamu na Muungano wala si vigogo Waislamu w a B a r a w a l i o s i k i k a kulaani kitendo kile cha kumdhalilisha “Komandoo”. Ilikuwa adhalilishwe kwa kitendo kilichokuwa kilete faida kwa Waislamu wa nchi hii. Hawa waheshimiwa wa Bara (sio Waislamu mitaani na misikitini) hawakuliona hilo na waliungana na wenzao wasikuwa Waislamu Na Khalid S Mtwangi kukilaani. Itakuwa si sahihi kunukuu WASOMAJI watakumbuka vitendo hivyo kama ndio kusoma katika gazeti hili hasa asili ya Wazanzibari toleo la tarehe Januari 6, kuuchukia Muungano kwa 2012 hayo niliyokutana nayo sababu kuna zile zinazoitwa Zanzibar kuhusu Muungano kero ambazo, kufuatana wetu wa Tanganyika na na maoni ya Wazanzibari Zanzibar. Nimetanabahi ni nyingi sana. Zanzibar sasa kuwa makala ile imebanwa sana na Bara imezuwa hisia za mitazamo kiasi kwamba maendeleo tofauti kuhusu jinsi mawazo yake yamefubaa sana. Liko na maoni ya Wazanzibari Mkurugenzi wa Shule ya Istiqama, Tabora, Sheikh Mohamed Mbega(kulia) akifafanua jambo kwa Sheikh Abdul-Hafidh Saburi hili moja ambalo linaweza y a n a v y o u t a m b u a a m a kuonekana ni upuuzi lakini kutoutambua Muungano Lakini nilielewa kuwa hayo dhidi ya Waislamu hatua aliyochukua Salmin wao wanaitaja kama ni katika nyanja ya Uislamu. msimamao huo wa kuukana wenzao wa Bara ambao hakika “Komadoo” Amour Juma mfano mmoja wa dharau haja ya kumkumbusha waliyonayo Bara dhidi ya M u u n g a n o a m e k u t a n a wanahitaji sana kuungwa akiwa ndiye Rais wa Zanzibar. yeyote yule kuwa Wananchi Zanzibar. Nalo ni hili. Siku nao hasa miongoni mwa mkono katika madhila Lakini kwa sababu tu hapa wengi wa Zanzibar ni mengi yanayowasibu. Kwa ile nilipokuwa nikisongwa na Wazanzibari wanaoishi palikuwa na Rais Muislamu waumini wa imani sahihi U l a y a . K i l a m a r a mfano hakuna viongozi maneno pale JAWS CORNER na lile lisilotakiwa lina husu ya Uislamu. Na huko Bara alipokutana nao huko Ulaya wowote wa Zanzibar, hasa (Soko Muhogo) nilisutwa pia kuna idadi kubwa tu alitambua kwamba sio tu wale wa dini, waliojitokeza Uislamu, basi yeye lazima kuwa hata katika ile kamati ya ya Waislamu waliotapakaa hawataki Muungano bali kuwaunga mkono Waislamu awe anahusika. Haijulikani kutafuta vazi rasmi la kitaifa kila kona ya nchi hiyo pia walionyesha chuki wa bara katika kilio chao kiasi gani Mwalimu Nyerere hakuchaguliwa Mzanzibari kubwa. Kwa mafundisho dhidi ya watu wa Bara. cha kutaka Mahakama ya naye aliudhiwa sio tu kukiuka hata mmoja. Yaani kwa ya Kiislamu, hawa wote ni Alitoa maoni kuwa chuki Kadhi yarudishwe. Zanzibar katiba ama sheria bali pia kitendo hicho ni kuwa hata ndugu ambao mtazamo wao hiyo miongoni mwa hawa imekuwa kimya kabisa kama kiini cha sokomoko yote hiyo wao watu wa Bara wanakubali katika maisha ya kawaida jamaa haikuonekana kama wao hawahusiki wakati huko ilikuwa ni Uislamu. kuwa Wazanzibari sio hauna tofauti kubwa. Lakini Watanzania. Haya wasomaji inatenganisha siasa na watu kuna wanazuoni ambao Kamusi ya English-Swahili inaelekea kuwa siasa imeweza sio ya kutunga, ni kweli wenyewe ama kutofautisha wengeweza kutoa ufafanuzi ya Taasisi ya Uchunguzi wa kuwatenganisha kwa kiasi wa wazi kabisa kuhusu haja kabisa yalisemwa na wengi kati ya wasio Waislamu na Kiswahili-TUKI-ina tafsiri fulani. Hivyo ndivyo Ustadh walio Waislamu. Ilimuradi ya kuwepo Mahakama hayo. pale JAWS CORNER. neno la Kiingereza NEMESIS Othman Matata anavyofikiri kuwa wote hao ni watu wa Katika hilo Wazanzibari nao Nimeandika makala haya na hayo yanamsikitisha Bara, basi watumbukize wote wana malalamiko dhidi ya ikiwa ni “MSHINDANI/ADUI nikikumbuka mazungumzo sana. katika kapu moja. Hata hivyo Waislamu wenzao wa Bara, asiyeshindika”. Basi hapo yangu na Ustadh Othman Nilikutana na Alim huyu inakuwa muhimu kusisitiza hasa wale walio madarakani bila shaka palipatikana nafasi Matata nikitegemea kuwa siku ya Jumapili ya tarehe kuwa hizo ni hisia za mtu wakiwemo wabunge. Ila nzuri sana ya kumuponda bila shaka wako wasomaji 12 Februari, 2012 tukiwa binafsi ambazo sio kashfa niseme kuwa inawezekana Rais Mwinyi. wengine wana mawazo kama sote waalikwa kwenye wala uchochezi. Isipokuwa Waislamu wa Bara walipiga I n a s e m e k a n a k u w a yake. Linalompa taabu sana semina kuhusu Katiba Mpya mtu yeyote anayetembelea kelele kuitetea Zanzibar na Wazanzibari walisikitika na kuwa hapa pana Waislamu iliyoandaliwa na Jopo la wa Zanzibar ambao kwa JAWS CORNER (SOKO kumshutumu Nyerere na sana pale hapakutokea sauti Masheikh na Wanataaluma. sababu za kisiasa wametokea M U H O G O ) h a p o M J I serikali ya Bara ilipoizuiya yeyote ya kutetea hatua ile Jinsi alivyouanzisha mjadala Zanzibar kujiunga na OIC. hata kuwachukia Waislamu MKONGWE na akasikia ya kutaka kujiunga na OIC juu ya yale niliyoyandika yanayozungumzwa hapo Kelele kutoka Bara zilikuwa wenzao wa Bara. Hapo ambayo bila shaka ingeweza katika makala ile, ilikuwa wazi wazi kabisa anaweza kubwa kuliko zile za hapo hawa Wazanzibari dhahiri kuwa yaliyokuewemo kukubaliana na Ustadh visiwani. kuwa ya faida sana kwa h a w a k u m b u k i k u w a yalimkera sana kiasi nadhani Othman Matata. Jinsi gani Wasomaji watakumbuka Tanzania nzima na sio kwa Waislamu wenzao walioko alikuwa na shauku kubwa ya mawazo kama hayo pengine kuwa hatua ya Zanzibar Waislamu wa Zanzibar peke Bara wanapata madhila kukutana na mimi anieleze yamezagaa angalau Zanzibar kutaka kujiunga na OIC yao. Ajabu ni kuwa kulikuwa makubwa na kudhulumiwa mawazo yake. Na mawazo Mjini ni kama ilivyoelezwa (Organisation of Islamic na Waheshimiwa Wabunge haki zao wazi wazi. Kwake yake yalilenga kabisa Conference) ilioleta sokomoko walio Waislamu ambao yeye Sheikh Othman Matata kuwalaumu Wananchi wa katika ile makala kuwa taxi kubwa sana nchini humu. Zanzibar kwa kuukana driver naye alikuwa na yake walipochangia mjadala huo yote hayo yangewafanya Muungano, na Wananchi mara tu alipotambua kuwa Sio tu iliwaudhi wasiokuwa walisikika kabisa wakiponda Waislamu wa Tanzania hao wengi wao wakiwa abiria wake ni wa kutoka Bara. Waislamu ambao walipata hatua ile iliyochukuliwa na (Bara na Visiwani) kuwa Waislamu. Hoja yake ni kuwa Ama wale vijana nyumbani m s a a d a m k u b wa k wa Rais Salmin “Komandoo” kitu kimoja. kwa hali ilivyowalemea kwa shemeji yangu Bw Sali kuungwa mkono na Hayati Amour; kulikuwemo hawa Watawala wa baadhi ya Waislamu wa Bara Muungano Nassor walivyoshambulia Mwalimu Julius Kambarage Wabunge wengine ambao nchi za Kiarabu wamelipa mwandishi huyu takriban Nyerere, hawa walitaka ulikuwa tegemeo lao kubwa hawakutaka kusikilizika na sifa mbaya neno IKHWAAN, si kwa kuongeza idadi tu ya kila lile la Muungano. Hivyo kuchukua hatua kali zaidi walikuwa wakikwepa vikao lakini je tukikiumbuka Waislam Tanzania nzima, bali Ustadh Othman Matata ya kutaka kumshitaki (neno vilivyokuwa vikizungumzia a s i l a u m i we k wa h a yo Surat-il-Anbiyaa 21:92; pia kuwa na utetezi mzito la Kiingereza “impeach” suala hilo la OIC. Ambalo ikitambuliwa kuwa Zanzibar anayoona kuwa ni kweli ni zito zaidi na ni hili ndilo haiwezi kutosha kuwaleta labda lilikuwa la kusikitisha imejiunga na Tanganyika chuki ipo. walilitumia) Rais Ali Hassan Waislamu Wazanzibar na kama nchi kamili iliyo na Lilistaajabisha sana Mwinyi. Hawa wasiokuwa zaidi ni pale ile Kamati wale wa Tanganyika (sio utawala wake wa ndani ya inakuwaje Waislamu wa Waislamu walijua kabisa kuwa ya B u n g e i l i yo u n d wa DANGANYIKA) kuwa kitu Zanzibar. Visiwani wawe na mawazo Rais Mwinyi hakuidhinisha kuchunguza sakata hilo kimoja? MAKALA RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 17 - 23, 2012 AN-NUUR 11 Wananchi Serikali ishatwawa, ishakuwa Bara Inatoka Uk. 7 Leo akitokea kiongozi na akaenda kinyume na Wawakilishi wote ambao agizo hilo, huyo si wa wa l i s i m a m a k i j a s i r i kuwachwa ni kutolewa katika kutetea maslahi katika Uongozi haraka ya nchi yetu dhidi ya iwezekanavyo. Sasa wale wote walioshiriki nyinyi wawakilishi ndio kutaka kusaidia ufisadi mnaoagiza Serikali ifanye wa kupora mipaka zaidi vile mnvyotaka nyinyi ya Bahari kwenye eneo kwa niaba ya Wananchi letu. Heko Mh. Jussa, na Serikali ni watendaji Mh. Ali Mzee, Mh. Hamza wake, ikiwa watendaji Hassan Juma, Mr. Rashid wamefanya hiana na Seif, Mh. Hija Hassan kufanya vingine ya yale Hija, Bibi Asha Bakari, maagizo mliyoyatoa, Mh. Mbarouk Wadi, Mh. b a s i l a z i m a B a r a z a Omar Ali Shehe. liwawajibishe wale wote Wa wa k i l i s h i h a wa walioshiriki hata ikiwa walisimama kwa niaba ya Rais nae alishiriki. wawakilishi wote ndani Ndio pale niliposema ya Baraza la Wawakilishi wachawi wa Visiwa hivi na waliweza kuthibitisha ni watawala. Tumekosa kwamba kazi waliotumwa imani na watawala wa aina na wananchi wanaijua hii sasa imani ya Wananchi vilivyo. Wazanzibari ipo kwa Wawakilishi tukiwa na juhudi ya ni nyinyi mtakaoiokoa pamoja ndio tutaweza Zanzibar si watawala. kufanikisha maendeleo Macho na hisia za yetu. Tukichangia akili Wazanzibari ziko kwenu na nguvu zetu, tunaweza h i v i s a s a , m k i t a k a kwa pamoja tukayafanya k u m c h i n j a n y a n i maisha yetu yakawa bora msimtazame usoni. Hatari huu. Bado Viongozi wa juu Mh. Mansour Yussuf abadani. zaidi. hii imesababishwa na huu wanasema Serikali mbili ni Himidi akaondolewa ( M u n g u i b a r i k i Tunaweza kuishi bila Muungano kuvaa kofia sera ya CCM. Tutahadhari katika Wizara hiyo na Zanzibar, Mungu libariki itikadi, lakini hatuwezi mbili. Tanganyika imevaa nao na tuangalie tuwe kupewa Mh. Shamhuna. Baraza la Wawakilishi- kuishi bila ya muelekeo, kofia ya Muungano bila ya macho katika vitendo vyao Viongozi walikwisha uona basi tutakwenda mwahali na kauli za. I b r a h i m H u s s e i n kuwashauri Wazanzibari msimamo wa Mansour juu Mohammed TEL: 0715- kubaya. Lazima sisi Mambo yaliandaliwa ya nchi yake. Mansour wala haijali haki ya kwa hesabu. Ndio maana 498363) na Wawakilishi wetu Zanzibar. asingelikubali jambo hilo tuwe pamoja kutafuta Ikiwa Tanzania ndiyo muelekeo wa Nchi yetu itakayopewa na umoja uliosahihi. Tutafuteni njia wa Mataifa haki hiyo ya bora ya kujinasua katika masafa hayo ya bahari, kuendeleza Uchumi wa Kuna jambo kubwa Katoliki hawajasema basi ni “Tanzania” ndiyo Nchi yetu. itakayokuwa na haki ya Inatoka Uk. 9 viongozi hao wa makanisa mwaka 2010, mkoa gani Ni makosa kuwafikiria wan a we z a k u k u t a na uliongoza kwa kiwango masafa hayo na si Zanzibar. kufanya vibaya. Labda Wazanzibari ni watu Kufanya ilivyofanya na walioshikilia nafasi cha ufaulu? wa s i o e l e wa m a m b o , w a l i m u h a w a j i t u m i nyeti katika Baraza na B a a d h i ya t a a r i f a Tanganyika kwa jina la kusomesha kwa juhudi m a m b u m b u m b u , Tanzania, huu ni usanii wa kula njama za kuhujumu zinasema kuwa ulikuwa hatutabaki kuwa hivyo na wanafunzi hawajali watoto wa Kiislamu? Unguja. Je, mkoa huo hali juu kabisa. Ni kama masomo. Inawezekana daima, kuna siku tutaamka. kuwaambia Wazanzibari K a t i k a k a d h i a y a ulitajwa? Hakuna maana ya kujiita pia kuna udanganyifu MIDECE na viongozi wa Kama haukutajwa kwa :- mkubwa na ukiukwaji wazalendo huku tukiiacha “ K a m a n y i n y i serikali mkoani Mtwara, nini wakati tunaona fahari Nchi inatutoka mikononi wa kanuni za mitihani t u m e o n a j i n s i R A S , kutaja watoto wa Kikristo Wazanzibari mnaifanyia unaofanywa na walimu na mwetu tukiwa Raia hadi Tanzania/Tanganyika kinyume na maadili ya na shule za Kikristo wakaazi. wanafunzi wa Zanzibar. utumishi wa serikali, zilizoongoza? pingamizi ya kuchimba H a t a h i v yo , k a m a I k i w a B a r a z a l a Petroli na Gesi kwa kudai alivyokuwa akikutana na Mwaka huu je, Mkoa Wawakilishi lilitoa azimio M k u u w a M k o a , viongozi wa makanisa. gani unaongoza kwa Visima hivyo vimo katika anaweza kuapa kwamba la kuitaka SMZ kuacha mamlaka ya Zanzibar ni vya Je, mahusiano kama kiwango cha kufaulu? Kwa Ukanda maalumu wa atatumia madaraka yake haya hayawezi kutumika nini ‘data’ hiyo muhimu Zanzibar, basi Tanzania/ kukwamisha maombi ya kiuchumi (EEZ) katika Tanganyika itakufanyieni katika Baraza la Mitihani haikutajwa hadharani himaya ya Wazanzibari Waislamu kupata ardhi, k u h u j u m u w a s i o wakati wa kutangaza m a z i n g a o m b w e y a je, hatuoni kuwa watu na kusiwepo Ushirika na kuomba mipaka itiwe Wakristo? matokeo? Serikali ya Jamhuri ya wa n a we z a k u wa n a Mtu ambaye ana chuki, Haki inatakiwa itendeke katika jina la “Tanzania” wasiwasi kuwa huenda Muungano. Maagizo ya na hapo tena itakuwa na upendeleo na ubaguzi na ionekane kwamba Baraza la Wawakilishi kwa h a t a k a t i k a B a r a z a dhidi ya Waislamu kama i m e t e n d e k a . K a t i k a haki ya kufanya mikataba wakawepo wakuu ambao Serikali ya Mapinduzi ya na yoyote bila ya kujali wale waliojitokeza katika mazingira kama haya Zanzibar walioyasema nao wanaapa kwamba mtandao wa watumishi wa haki ya Zanzibar. watahakikisha kuwa ya kuwa na mtandao wa yalikua ni haya:- Hii ndio unganganizi serikali katika kadhia ya akina Mwakatobe, Gideon, “Ukanda maalumu h a k u n a M z a n z i b a r i MIDECE, je hata ikitokea wa kutaka tubakie katika (Muislamu) anayeongoza Dr. Ndagala, wakihodhi wa kiuchumi si vyema mfumo wa Serikali mbili kuwa wilaya au mkoa ofisi za serikali, itakuwa kukawepo na ushirika na katika mtihani wa kidato mmoja katika mikoa ya haya ndio madudu ya cha nne na sita? kujidanganya kudhani na Serikali ya Muungano, mfumo huo. Zanzibar umeongoza kwa kwa kuwa eneo hilo ni Kama Waziri anaweza kiwango cha kufaulu, kuamini kwamba hakuna Je! Leo ingalikuwa cha kukutana na viongozi hujuma wanayofanyiwa muhimu katika uchumi Tanganyika kieleweke na atathubutu kutangaza au wa nchi na hasa katika wa makanisa wakala ‘atachakachua’? wasio wa dini ya wale cha Zanzibar kieleweke na njama za kuwahujumu wa l i o t u p a b a r u a ya suala zima la nishati ya cha Muungano kieleweke Labda nimalizie kwa mafuta.” Waislamu, kwa nini swali, katika matokeo ya MIDECE katika kapu la si ungalitokea ubabaishaji kusiwe na wasiwasi kuwa taka. 12 AN-NUUR RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 17 - 23, 2012 Barua/Shairi/Makala

Upofu wa 'mapaparazi' Upofu umekithiri, wa magazeti nchini Rais Shein ashukuru WHO Upofu yaukhitari, yote na kwa moja kani Inatoka Uk. 16 Upofu huu hatari, malongeye hasa nini Mapaparazi kwanini, mnajivika upofu? mafunzo katika Nyanja mbali mbali za udaktari. Upofu wa mambo chanya, ni kweli hamyaoni Upofu wa kukusanya, mambo hasi namba wani Dk. Shein aliyasema Upofu wa kujifanya, kama siyo sasa nini h a y o j u z i I k u l u Mapaparazi kwanini, mnajivika upofu? m j i n i Z a n z i b a r w a k a t i a l i p o k u w a Upofu wa yenu macho, atauagua nani n a m a z u n g u m z o n a Upofu wa ndicho sicho, kuwa sicho kulikoni Dk. Rufaro Chatora Upofu wa wasicho ndicho, kufanywa ndicho kwa nini Mwakilishi Mkaazi wa Mapaparazi kwanini, mnajivika upofu? WHO nchini Tanzania akiwa amefuatana na Afisa Upofu wa makengeza, watanda magazetini Ushirikiano wa Shirika Upofu waufifiza, wa waandishi uoni Upofu waidumaza, kwa hakika yenu fani hilo Dk. Pierre Kahozi Mapaparazi kwanini, mnajivika upofu? Sangwa anaefanyia kazi zake hapa Zanzibar. Upofu ni jambo sui, vyema vyote tambueni Katika mazungumzo Upofu haumkai, ila aliyefatani hayo, Dk. Shein alimueleza Upofu kwenu adui, kwa kasi mkimbieni Mwakilishi huyo wa WHO Mapaparazi kwanini, mnajivika upofu? nchini Tanzania kuwa Zanzibar imekuwa ikipata Upofu wa kujitia, lengo ndarama kazini mashirikiano na misaada Upofu si asilia, wenu sinao imani mbali mbali kutoka Shirika Upofu ni wa bandia, kalamu naweka chini Mapaparazi kwanini, mnajivika upofu? hilo ambayo imeweza kusaidia katika kuimarisha Na Abuu Nyamkomogi sekta ya afya nchini sanjari Mwanza na kuwajengea uwezo wafanyakazi wa sekta hiyo. A l i e l e z a k u w a Udini huo, amka! Zanzibar imeweza kupata Udini huo udini, si siri u hadharani mashirikiano mazuri RAIS wa Zanzibar, Dkt. Udini huo udini, ubara na visiwani, kutoka Shirika hilo kwa Udini huo udini, mijini na vijijini kipaumbele zaidi hivi kuimarisha sekta ya afya Mlolala amkeni, tuukabili udini. miaka mingi ikiwa ni kwa kutambua juhudi pamoja na kuungwa sasa kimewekwa katika k u wa p a t i a m a f u n z o kubwa inazozichukua Udini huo udini, u mwingi serikalini mkono katika Mradi wa madaktari hapa nchini katika kuimarisha sekta Udini huo udini, uko tuli na bungeni mwanzo wa kupambana hivyo uungaji mkono wa hiyo. Udini huo udini, kulikoni na kortini na Malaria na kuweza Shirika hilo katika jambo Dk. Chatora alimueleza Mlolala amkeni, tuukabili udini. kupunguza maradhi hayo hilo kutasaidia kwa kiasi Dk. Shein kuwa WHO kwa kiasi kikubwa. kikubwa kuimarisha sekta i n a t a m b u a j u h u d i Udini huo udini, ‘wimbo- taifa wa dini Alieleza kuwa mafunzo ya afya. z a Z a n z i b a r k a t i k a Udini huo udini, dua bungeni ya udini Dk. Shein alieleza kuwa kupambana na maradhi kwa madaktari kutasaidia mbali mbali na kutoa Udini huo udini, vyote vya teule dini kwa kiasi kikubwa katika wengi waliopata nafasi Mlolala amkeni, tuukabili udini. hizo za masomo kupitia p o n g e z i k wa h a t u a kuimarisha sekta ya afya ilizozichukua katika nchini na kueleza kuwa Shirika hilo wameweza Udini huo udini, chazo cha ‘MoU’ nchini kuisaidia sekta hiyo kwa kupambana na maradhi Udini huo udini tuwe macho katibani Serikali itaweka mipango kiasi kikubwa na kuweza ya Malaria na kupelekea Udini huo udini, usije hodhi maoni madhubuti ya kutoa kutoa huduma ya afya Zanzibar kuwa kigezo Mlolala amkeni, tuukabili udini. mafunzo kwa madaktari katika kada kadhaa ikiwa katika nchini zilizo chini wake. Pia, Dk. Shein alitoa ni pamoja na kupunguza ya jangwa la Sahara. Udini huo udini, sumu ya Kadhi nchini pongezi kwa Shirika hilo vifo vya akina mama na Kutokana na juhudi Udini huo udini ‘OIC’ kapuni pamoja na Serikali ya watoto. hizo Mwakilishi huyo udini huo udini,Tageti ni yetu dini Katika maelezo yake alitoa pongezi kwa Serikali Marekani katika kusaidia ya Mapinduzi Zanzibar Mlolala amkeni, tuukabili udini. kuiunga mkono Zanzibar pia, Dk. Shein alimueleza Mwakilishi huyo kuwa chini ya uongozi wa Dk. Udini huo udini, cha mauaji kiini katika mapambano ya Shein katika kufikia hatua Malaria. wananchi walio wengi Udini huo udini, Mwembetanga msikitini hapa nchini wamepata hiyo na kusifu Sera na Udini huo udini, mwembechai kumbukeni Akimtaja Dk Qobella mwamko wa kupambana Mikakati iliyowekwa Mlolala amkeni, tuukabili udini. ambaye alikuwa Afisa na Malaria na wamekuwa katika kuimarisha sekta Ushirikiano wa mwanzo wakichukua juhudi kubwa ya afya nchini. Udini huo udini, haunenwi redioni wa Shirika hilo hapa za kujikinga licha ya M w a k i l i s h i h u y o Udini huo udini, hauonwi runingani Zanzibar akifuatiwa juhudi zinazochukuliwa alimueleza Dk. Shein Udini huo udini, hautajwi gazetini na Dk. Kimemia na na Wizara. kuwa WHO imeridhishwa Mlolala amkeni, tuukabili udini. Kutokana na hatua hiyo na hatua za Serikali ya wengineo kadhaa ambao Mapinduzi Zanzibar walifanya kazi vizuri na Dk. Shein alisema kuwa Udini huo udini, jana ni Ndanda shuleni Serikali ya Mapinduzi katika kuimarisha sekta Udini huo udini, mwajipofu kwa nini kuweza kutoa mchango hiyo na kusifu mikakati wao mkubwa katika Zanzibar kupitia Wizara Udini huo udini, kesho ni kwenu kazini yake ya Afya itaendelea yake ya kupamaba na Mlolala amkeni, tuukabili udini. kuimarisha sekta ya afya kuthamini na kutambua maradhi sugu nchini. u m h i m u m k u b w a Mapema Katibu Mkuu Udini huo udini, kuweni nao makini Dk. Shein alisema kuwa wa Shirika hilo katika wa Wizara ya Afya, Udini huo udini,u dhidi ya waumini Shirika hilo limeweza kuimarisha sekta ya afya Dk. Mohamed Jidawi Udini huo udini, wa wasokuwa na dini kusaidia katika utoaji wa hapa Zanzibar ikiwa ni akiwatambulisha wageni Mlolala amkeni, tuukabili udini. mafunzo kwa Madaktari pamoja na kuuimarisha hao kwa Rais, alieleza kadhaa wa Zanzibar kwa uwanachama wake ndani kuwa WHO ni miongoni Udini huo udini, wazidi kutufitini kuweza kuwadhamini ya Shirika hilo. mwa Shirika la Umoja wa Udini huo udini, nguvu tuunganisheni Nae Mwakilishi wa Mataifa ambalo limekuwa Udini huo udini, kwa pamoja tutawini k a t i k a m a s o m o ya o ambapo baada ya kurudi Shirika hilo la WHO nchini likitoa mashirikiano Mlolala amkeni, tuukabili udini. Tanzania Dk. Rufaro mazuri katika sekta ya wameweza kufanya kazi Chatora, alimueleza Abuu Nyamkomongi vyema katika kada hiyo afya hapa Zanzibar. Dk. Shein kuwa Shirika (Habari kwa hisani ya Mwanza hapa nchini. hilo litaendelea kuiunga A l i e l e z a k u w a mkono Zanzibar katika Ikulu Zanzibar). Matangazo RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 17 - 23, 2012 AN-NUUR 13

LUQMAN ISLAMIC SEMINARY

INAWATANGAZIA WAISLAMU WOTE KUWA NAFASI ZA MASOMO BADO ZIPO KATIKA SHULE ZETU ZA: Hii ni kuwajulisha kuwa ndugu Abbas Ali Athumani Bantulaki sio tena Naibu Katibu na SEKONDARI (KUJIUNGA FORM ONE) wala sio mjumbe wa kamati ya Hijja ya Tanzania PRIMARY (KUJIUNGA GRADE ONE) Muslim Hajj Trust. CHEKECHEA Pia taasisi inayotumia jina la Zam Zam Haihusiani USAILI KWA WANAFUNZI UNAFANYIKA KILA JUMAMOSI na Tanzania Muslim Hajj Trust wala sio Tawi letu PIA WANAOTAKA KUHAMIA NAFASI BADO ZIPO kama wengime wanavyodhani. Kwa shughuli zozote za Hijjah Au Umrah tunaomba Muwasiliane SHULE IPO MASJID NNUUR SINZA na Ofisi yetu moja kwa Moja. USAFIRI UPO KWA WANAFUNZI WA NURSERY NA PRIMARY. Simu na: + 255 22 2181577/ 0717 000065/ 0786 383820/ 0754 261910 au E- mail: [email protected]. info@ hajjtrusttz.org / www.hajjtrusttz.org KWA MAWASILIANO: 0713-819391 AU 0713-220567 Uongozi Tanzania Muslim Hajj Trust Uandikishwaji wa Umra na Hijja Kwa Mwaka WABILLAHT TAWFIIQ huu 2012 Unaendelea UONGOZI

AL- MAKTOUM COLLEGE OF ENGINEERING AND TECHNOLOGY ( AMCET) NAFASI KWA MASOMO YA CHETI NA STASHAHADA KWA MWAKA WA MASOMO 2012/2013

AL- MAKTOUM COLLEGE OF ENGINEERING Sifa za muombaji AND TECHNOLOGY (AMCET) ni chuo cha ufundi A) Stashahada (NTA Level 4-6) kilichosajiliwa na kinachotambulika na Baraza la Taifa la Muombaji anatakiwa awe amemaliza kidato cha nne na Elimu ya Ufundi (NACTE). Chuo kiko maeneo ya Mbezi awe ana angalau “D” kwenye hisabati, Jiografia na kingereza. Beach Kilomita moja kutoka kituo cha mabasi Tangi Fizikia itaongeza uzito zaidi. bovu na Kilomita tano kutoka kituo cha mabasi Mwenge Muombaji awe ana cheti cha daraja la nne cha kidato cha barabara ya kuelekea Bagamoyo. nne na awe na cheti cha (NVTA II) kwenye nyanja hizo kutoka AMCET inatangaza nafasi za masomo kwa wanafunzi Chuo kinacho tambulika na VETA. wenye sifa,kwa daraja ya stashahada na cheti kwa B) Stashahada (NTA Level 5-6) mwaka wa masomo 2012/2013. Tarehe ya mwisho ya Muombaji anatakiwa awe na cheti cha kidato cha sita kupokea maombi ni 15th March 2012. Fomu za maombi chenye angalau prinsipali moja katika somo la hisabati au zina patikana Chuoni barabara ya Bagamoyo na IBN fizikia na subsidiary pass kwenye somo linguine. Hazm Bookshop kariakoo mkabala na Mskiti wa Kama sifa hizo hapo juu muombaji hajazifikisha, atatakiwa Manyema. Pia zinapatikana kwenye tovuti yetu (www. kujiunga na bridge Up course zinazo andaliwa na chuo ili al-maktoumcollege.com) aweze kujiunga na masomo. Kozi zinazotolea Ada za AMCET ni zenye unafuu kwa masomo ya • INFORMATION TECHNOLOGY stashahada na chet. Udhamini utatolewa kwa wanafunzi • ELECTRICAL ENGINEERING wenye sifa za juu. Malazi pia yapo bure kwa wanafunzi 75 • ELECTRONICS ENGINEERING watakaowahi kujiunga. Fomu za kijiunga zinapatikana kwa • KOZI FUPI ZIPO gharama ya Shilingi 10,000/= Muhula wa kwanza utaanza tarehe 16th /4/2012 Muda wa masomo: Kwa mawasiliano zaidi • Cheti cha ufundi Sanifu (NTA Level 4) mwaka Kwa Mkuu Wa Chuo mmoja Al- Maktoum College of Engineering and Technology • Stashahada (NTA Level 4-6) miaka mitatu P.O.BOX 7206 Dar es Salaam • Stashahada (NTA Level 5-6) miaka miwili kwa Simu: 22 2617703/4 Simu za mkononi: 0713 423 405 Au wanafunzi wenye sifa wa kidato cha sita. 0713 220 304 14 AN-NUUR RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 17 - 23, 2012 Tangazo

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE

NAFASI ZA KIDATO CHA TANO – 2012/2013 Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Tano kwa shule zifuatazo: • KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL – SAME – KILIMANJARO (BWENI TU) • NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL – MWANZA (BWENI TU • UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO L – DAR ES SALAAM (BWENI TU) 1. Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu kwa gharama nafuu. 2. Masomo yanayofundishwa ni Islamic knowledge, michepuo (Combinations) YOTE ya SAYANSI, ARTS, BIASHARA na COMPYUTA. 3. Muombaji awe na Credit 3 au zaidi na angalau daraja ‘D’ katika somo la Elimu ya Dini ya Kiislamu. Ikiwa hakufanya mtihani wa somo hili, basi awe tayari kusoma program maalum ya Maarifa ya Uislamu atakapokuwa kidato cha tano. 4. Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu ni tarehe 01/03/2012 5. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini. • Arusha - Msikiti wa sakina: 0754 96660 • Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha – 0784 277755 - Same: Kirinjiko Islamic Secondary School: 0784 296424 - Juhudi studio/Restaurant-Same Mjini 0757013344 • Tanga - Uongofu Bookshop: 0784 982525 • Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School: 0784 232438 Ofisi ya IPC MWANZA-Mtaa wa Rufiji mwisho: 0754889330 • Musoma - Shule ya Msingi Kamnyonge: 0754 067551 • Kagera - Bukoba: Katoro Islamic Secondary School: 0754 523322 • Shinyanga - Kahama –Ofisi ya Annur -0753993930 • D’Salaam - Ubungo Islamic High School: 0754 260241 - Manzese –Ofisi ya Gazeti la Annur-0713110148/0777777372 - Temeke –Ofisi ya Islamic Ed. Panel-Mkabala na msikiti wa Nurulyakin-0787119531 • Pwani - Ikwiriri Msikiti wa Taqwq:0787393199 • Morogoro - Ofisi ya EKP- Msikiti wa Ijumaa Boma Road. Morogoro mjini-0712689258 • Dodoma - Al-Hijra Nursery School: 0786 386767 • Singida - Msikiti wa Kati – Ofisi ya Jawla – 0786 123246 • Manyara - Babati: 0784406610/0784928039 • Kigoma - Msikiti wa Mwanga mjini Kigoma: 0753 355224/0717317322 - Kibondo – Migano General Service: 0754 738654 • Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566 - Nzega – Lillahi Nursery School: 0754 576922 • Lindi - Wapemba Store: 0784 974041 • Mtwara - Amana Islamic Secondary School: 0784 596707/0785777370 • Songea - M.A. Kawanga mkabala na Msikiti wa Wilaya – 0713 249264 • Mbeya - Msikiti wa Forest: 0713 200209 • Rukwa - Sumbawanga: Semzango Stationary-0786830119 • Iringa - Madrasatun-Najah: 0714677866 • Pemba - Wete: Wete Islamic Education Centre: 0777 432331 • Unguja - Madrasatul-Fallah: 0777 431580

6. Pia Fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa watakaopata fomu kupitia tovuti (download) watatakiwa kuzilipia wakati wa kuzirejesha.

USIKOSE NAFASI HII ADHIMU – WAHI KUCHUKUA FOMU!

Wabillah Tawfiiq

MKURUGENZI Makala RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 17 - 23, 2012 AN-NUUR 15

Na Khatib J Mziray mfumo wa imani ya dini hawasiti, kwa kuwa hakuna ya miungu wa Kirumi; rejea ya mafundisho ya kama Paulo mwenyewe Yesu wanayoyaogopa kuwa KABLA sijaeleza jinsi lile alivyothibitisha:- watakosolewa kwayo. Hayo giza lilivyoingizwa Afrika “Kwanza namshukuru yanafafanuliwa vizuri na bw. kutoka Ulaya kupitia dini ya Mungu wangu katika Yesu Canon H. J. E. Butcher. Kirumi, nioneshe jinsi, Allah Giza la Uroma Kristo kwa ajili yenu nyote, Ukisoma utakuta kuwa S.W. alivyotufahamisha giza kwa kuwa imani yenu kila aliyeitwa kiongozi wa hilo kupitia kwa Mtume inahubiriwa katika dunia dini ya Ukristo alifanya Muhammad S.A.W. kutoka nzima”. (Rumi 1 :8). juhudi ya mbinu za kumfanya katika Qur’an:- Ndiyo maana Warumi au akubalike kwa mfalme, na “Mwenyezi Mungu ni watu wa Ulaya Mashariki kuunda aina ya sera za Mlinzi wa walioamini. na Magharibi walipoona dini zitakazokubaliwa na H u w a t o a g i z a n i n a kuwa Paulo amefanikiwa mfalme, kwa kuwa ile dini kuwaingiza mwangazani. kuanzisha dini ya Ukristo kule iliyoanzishwa na Paulo pamoja lakini waliokufuru, walinzi Antiokia mwaka wa 14 A.D. na kuichanganya na imani ya wao ni Mashetani. Huwatoa Matendo ya Mitume 11:26. na wapagani wa Kirumi. Warumi kwenye mwangaza na kuwaandikia Warumi barua walipomwua waliichakachua kuwaingiza gizani. Hao ndio kati ya A.D. 57 na 58, baada na kuwatesa na kuwaua wale watu wa Motoni, na humo ya kuwakamilishia miongozo waliojaribu kuiendeleza. watadumu”. Qur’an 2:257. ya dini na injili zake, na ibada. Paulo alipoanzisha dini kule Sherehe (ufafanuzi) chini Wagalatia 3:15; 2 Thimoseo Antiokia alijitahidi kuieneza ya aya hiyo:- “Mwenyezi 2:8; rumi 2: 16; 1 Wakorintho Ulaya. Jarida la nchi za Mungu ndiye mwenye 15: 1; Wagalatia 2:7; Matendo Biblia linatuonesha jinsi kuyaangalia mambo ya 24: 14. Paulo alivyoeneza Ukristo, Waumini, na ndiye mwenye Ikumbukwe kuwa kabla alipoanzisha dini Antioch, kuwasaidia na kuwanusuru. Paulo hajaanzisha dini ya alienda Seleucia, akaenda Huwatoa kwenye kiza cha Upakwa mafuta (Ukristo), Cyprus, kwenye mji wa shaka na kudanganyikiwa alishakuwa na dini nyingine Salamis na mji wa Paphos, kuendea kwenye nuru ya mchanganyiko:- Pisidia Pammphilia katika mji Haki na utulivu. Na Makafiri “Paulo akasema, .... Paulo wa Perga, Antioch, Iconium, wenye kumkana Mwenyezi alipotambua ya kuwa sehemu Lystra na Derbe; akarudi Mungu wanashughulikiwa na moja ni Masadukayo na Antioch alipoanzia safari na Mashetani na wanaolingania sehemu ya pili ni Mafarisayo, alipoanzishia Ukristo. shari na upotovu. Wao hao akapaza sauti yake katika Akaanza safari ya pili huwatoa kwenye nuru ya ile baraza, Ndugu zangu, kutokea Antioch, akaenda Imani waliyoumbiwa nayo mimi ni Farisayo, mwana wa Cilicicia mji wa Tarsua, nailiyozagaa kwa dalili farisayo ....Matendo 23:5 - 6”. akaenda mji wa Derbe, lystra, nyingi na ishara, na kuwatia Mafarisayo na Masadukayo ni !conium, Antioch nchi ya kwenye kiza cha ukafiri na baadhi ya dini zilizoanzishwa Phrygia. Akaenda nchi ya ufisadi. Na hawa makafiri na Mayahudi. Mysia mji wa Assos na wa ndio watu wa Motoni na Kutokana na Paulo kuwa Troas, akaenda Samothrace, humo watadumu milele.” kigeugeu na kuvuruga dini Philippi, Thessalonica, Berea Hiyo ni Tarjuma ya vita. meli na atakichoma moto huko ni Macedonia; akaenda Kina Cristopher Columbus kijiji chote. Amir akakubali; mbalimbali zilizokuwepo “Almumtakhab” Qur’an wakati huo, Mayahudi Athens, Corinth, akarudi Asia Tukufu iliyofasiriwa na kutoka Ulaya,ni miongoni Gama akamwambia kuwa kila mji wa Ephesus, akateremka mwa wapelelezi wa kwanza mwaka alipe paund 1,000 kwa walimshitaki Paulo:- Sheikh Ali Muhsin AI- “Kwa maana tumemwona Rhodws mpaka Caesarwa, Barwan. miaka ya 1450 A.D. kina serikali ya Ureno. Samaria hadi Jerusalemu. Barthlomew Diaz 1486 A.D. Vasco da Gama akasubiri mtu huyu (Paulo) mkorofi, M w a k a w a 6 1 0 n a mwanzilishi wa fitina katika Alipotaka kuwafunsisha kuendelea, Allah S.W. kina Vasco Da Gama 1498 miaka ya mwanzo alilipwa Wayahudi wa Yerusalemu A.D. na kina Perdo Cabral kwa dhahabu na mawe ya Wayahudi wote duniani, tena a l i s h a m w e l e z a N a b i i ni kichwa cha madhehebu ya walishangaa, wakamkataa. Muhamad S.A. W. jinsi 1500 A.D. thamani, akakita bendera ya Baada ya Wayahudi kumkataa Wapelelezi hao Wareno nchi ya Ureno yenye msalaba, wananazorayo”. Matendo Wa r u m i wa l i v yo k u wa 24:5. Paulo na dini yake mpya, w a m e w a t o a w a u m i n i Wakatoliki waliolelewa akaiacha Kilwa. aliondoka Yerusalemu kwa vizuri katika dini ya Roma, Kwa kifupi baada ya muda Hata hivyo, katika kesi hiyo katika nuru, na kuwaingiza alieleza wazi kuwa pamoja safari ya kwenda Roma; katika giza, na tukaachiwa n d i o w a l i o a n z a h a s a Sultani wa Kilwa aliacha kulipa baada ya Warumi kutosheka kutia gizaTanganyika na zile paund 1,000. Kilichofatia na kuwa na dini nyingi Kitabu cha Qur’an, ili kiwe ikiwemo hiyo aliyoianzishia na kazi yake kama kawaida ya Mwongozo wa kuirejesha Zanzibar. ni tarehe 22.07.1505 kamanda makafari, walimuwa kunako Vasco Da Gama akiwa wa jeshi la Wareno aliyeitwa Antiokia (Ukristo), ibada jamii ya wanadamu katika alizofundisha waumini wa mwaka wa A.D. 67 / 70. nuru. ni mpelelezi wa serikali D’ Almeida, alifika na jeshi S a s a m b a l i n a h u o ya Ureno na wa kanisa la akateka Sofala, mji wa biashara dini hizo alizieleza katika Zipo habari za Waingereza mahakama hivyo:- uchakachuaji uliofanywa na kuuzwa sokoni Roma Italy, Katoliki, alitoka Portugal, ya dhahabu; Ukatoliki ukaanza wafalme wa Rumi baada ya Ureno, kwanza akaenda kuingizwa kwa njia ya vita. “lla neno hili naungama A.D. 387 604, (Historia ya kwako ya kwamba kwa njia ile kumuuwa Paulo Bw. Canon h. Kanisa uk 74 - 75, cha Bw. m p a k a M o u r i t a n i a , Haya yote yalikuwa ni J. Butcher, anatuambia kuwa, Canon H. J. E. Butcher). akapeleleza akaendelea kupeleleza kuwa vile vita ambayo waiita uzushi, ndivyo A. D. 596 _ 604 kabla Mtume Waingierezawa Scotland mpaka Angola, akapeleleza, vya Msalaba (Crusades) ninavyomwabudu Mungu Muhammad hajapewa utume, na wa Ireland, walikuwa akazunguka Afrika ya Kusini vilivyoanzishwa mwaka wa wa baba zetu, nikiyaamini Kanisa la Rumi lilijitukuza wanauzana na wanunuzi akafika Natal, akapeleleza, 950 - 1350 kuwa vimeumaliza yote yanayopatana na Torati kwa kuifanya Ulaya nchi wakubwa walikuwa ni akapandisha kuelekea Afrika Uislam kwa kiwango gani. Na na yaliyoandikwa katika zote walizotawala kuwa Warumi. ya Mashariki, akafika Sofala taarifa hizo za kuona kuwa vyuo vya manabii”. (Matendo giza katika maana halisi ya Hivyo wale wanaokuja (Msumbiji) akapeleleza, tayari Afrika ya Mashariki 24:14.) dini. Uk 75. kuzaliwa Mtume na Historia za kikoloni ni pamoja na Kilwa, hapo mpaka India kuna Waislamu Kwa maana hiyo tuwaulize Muhammad mwaka wa 570 kuwa Muingereza alikuja alikuta kuna Uislamu wenye wengi kuliibua wapelekezi wafuasi wa Paulo kuwa na kupewa utume mwaka kutukomboa kutoka katika maendeleao, akaendelea wengi walioanzia upelelezi wanamwabudu Mungu kwa 610 A.D. dini ya Amani kwa u t u m wa wa Wa a r a b u , hadi Mombasa na Malindi wao Afrika ya Kaskazini na njia ya uzushi kama Paulo maana yakuwa mwenye kwanza watuambie kuwa akapeleleza, akaenda hadi Magharibi, kama kina Richard au kwa njia ya mtume yupi; kuifuata kwa matendo na utumwa ulioendeshwa Afrika India. Bueton, na Speke miaka ya Maana bw. Canon anatuambia sheria zake zitokazo kwa Allah ya Magharibi, Liberia, Kongo Katika mzunguko huo, 1857. Kina David Livingstone, hivi:- S.W. Dini ambayo mwaka n.k. uliendeshwa na watu Vasco da Gama alifika kina Rocher mwaka 1859 huyo “ H a p o B wa n a Ye s u wa 33 wa kuishi kwake, wa taifa gani, na mnunuzi Kisiwani Mafia siku ya Ijumaa 07. April. 1498. Baada ya ni Mjerumani, kina Von Decken aliposulubiwa, ilidhaniwa mwaka wa 33 Yesu aliwausia wa watumwa hao ni nani, ni miaka ya 1860, kina Charles dini ya Kikristo hapana budi wanafunzi wake kuwa ndiyo wa dini. kurudi Urenona kuwasilisha taarifa ya upelelezi wake, New na kina H. M. Stanley itakoma mara moja. Yeye dini anayowaachia, pale U r o m a u l i t a n g u l i z a mwaka wa 1871. Kristo alikuwa hakuwaachia alipowaambia hivi:- w a p e l e l e z i k w a s i f a kwa Mfalme chini ya Kanisa Hao na wengine upelelezi wa n a f u n z i wa k e c h u o mbalimbali, na kwa malengo la Katoliki; alirejea tena Kilwa wao ndio uliofanya pawe chochote alichokiandika “Aman; nawaachieni; amani mbalimbali, moja ya lengo tarehe 12.07.1502, akiwa na na kile kikao cha kugawana w a l a I m a n i ( C r e e d ) yangu nawapa; niwapayo kuu ni kulileta lile giza huku agizo la mfalme mkatoliki; Afrika mwaka wa 1884 kule yoyote aliyoitengeneza, mimi sivyo kama ulimwengu Afrika baada ya kulieneza nchi agizo la kuitawala Kilwa na Berlin Ujerumani. Ndiyo wala hakuwatengenezea utoavyo. Msifadhaik e za Ulaya; kama alivyoandika Pwani kwa ujumla. Vasco maana yaliundwa mashirika matengenezo ya ibada, mioyoni mwenu, wala msiwe Bw. Canon kuwa Uislamu da Gama alipotia naga mengi huko Ulaya ya kuivamia wa l a a d a n a k a wa i d a na woga”. (Yohana 14:27). ulipokelewa kwa kasi katika Kilwa, alimwagiza Sultani kuwa aende katika meli Afrika kama mashirika ya zilizoaminiwa. Tena, siku ile Msomaji ukipata Biblia ya nchi za Afrika Kaskazini . dini kwa ajili ya huduma aliposalitiwa yeye watu wote lugha ya Kiarabu / Kiswahili Uislamu ulipokelewa yake, lakini Sultani alikuwa hayuko, akaenda kaimu mbalimbali chini ya nguvu ‘walimwacha wakakimbia’ maneno have kwa kiarabu ni kwa kasi katika pwani za dola na nembo ya Ukristo; (Matendo 26:56). hivi:- Salaama atruku lakum, ya nchi za Afrika ya wake akiitwa Amir Ibrahim. na yanaendelea kuundwa N d i yo m a a n a Pa u l o nawapeni amani:- Salaamiya Mashariki, Somalia, Kenya, Alipofika Vasco da Gama mengi kwa ajili ya kuingiza a k a a m u a k u t e n g e n e z a a’twiykum:- Nawapeni amani Zanzibar, Tanganyika na akamwambia kuwa tayari giza la kuufuta ujumbe wa dini zake, na injili zake, na yangu; .... Yohana 14:27. agano Msumbiji; hivyo, wapelelezi yuko chini ya ulinzi, Gama Manabii kutoka kwa Mwenezi ndiyo maana nchi za Ulaya Jipya, Kiswahili / Kiarabu. wa Makanisa (Wakristo) akamwambia, kuwa akubali Mungu. Magharibi na Mashariki Hivyo kufikia mwaka wa A.D. waliingia kupeleleza sehemu Kilwa itawaliwe na mfalme Ukristo wa aina yoyote zilifurahi sana kwa kuwa kila 707 Uislamu uliondoa lile giza hizo kwa kutumia kila aina wa Ureno, au akikataa unaoamini kuwa Paulo ni zinapotaka kutia utamaduni lililowekwa na Warumi ndani ya ghilba na hila na baadaye Gama atamfunga ndani ya Mtume wa Mataifa, ni wa na imani zao katika Ukristo ya Wayunani. 16 AN-NUUR RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 17 - 23, 2012 USIKOSE KUSOMA AN-NUUR

16 AN-NUUR RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 17 - 23, 2012 KILA IJUMAA Shule za Kiislamu Tabora zawa Nusra Na Bakari “Wakati sisi tunaanza shule hiyo inachukua wengi. madarasa ya kuanzia Mwakangwale, Tabora mwaka 2008, hali ilikuwa wanafunzi mchanganyiko, A k a o n g e z a k u wa , na kufikia maamuzi ni ya kusikitisha, lakini sasa ambapo kwa mujibu wa Bi. w a k a t i w a n a h a m i a mwaka huu Shule hiyo Waislamu wanaelewa. Sasa Khadija, mpaka sasa wana waliweka wastani wa kuwa kuhamia huko ili kutanua UANZISHWAJI wa Shule Wazazi wanawatoa katika wanafunzi Wakristo 9. na wanafunzi 140, lakini huduma hiyo ya elimu, za Kiislamu Mjini Tabora, shule za Kikristo, kama Alisema, shule hiyo ipo mpaka sasa wamevuka huku ujenzi ukiendelea, imekuwa ni nusra kwa St. Francis na zinginezo katika Kata ya Mbugani, makadirio yao na kuwa zaidi wanatarajia kuwa watoto wa Kiislamu. na kuwaleta huku, na sisi Mtaa wa Miemba, katika na watoto 170 kwa shule na hosteli kwa Shule ya Hayo yamebainishwa tunawapokea.” Alisema barabara ya Ulyankuru, nzima. awali na msingi. na wasimamizi wa Shule Amir Hajji. ilihamia huko rasmi katika Sheikh Mbaga, alisema Alisema, katika kujizatiti za Msingi za Markazi A l i s e m a , w e n g i majengo yake mapya fikra za kuihamisha Shule zaidi katika kuinusuru na Istiqama, wakiongea wanaowatoa watoto wao Januari 9, 2012, ikitokea hiyo kutoka Msikitini jamii ya Kiislamu, kwa sasa kwa nyakati tofauti katika huku huwaeleza kuwa katika Msikiti wa Ibadhi, zilianza mwaka 2007, wana eneo la ekari 100, Shule hizo na mwandishi. wanahitaji mafunzo ya dini uliopo jirani na stendi ya kwa kutafuta uwanja na maeneo ya Kilimatinde, Katika mazungumzo yao (Uislamu) na wanadai zamani ya mabasi. hatimaye walifanikiwa na kilomita zipatazo 5, kutoka hayo Mwalimu Khadija kuwa kule hawapati Alisema, pamoja na kuanza kuchangishana katikati ya Mji. N a s o r o B u n d u k i mafundisho ya imani yao uchanga wa Shule hiyo Msikini hapo na kusaka L e n g o n i k u j e n g a amebainisha kwamba zaidi ya imani ya Ukristo, baada kuhamia katika wafadhili wa ndani na sekondari kuanzia kidato wamepokea jumla ya wakihofia kuwapoteza majengo mapya, kwa nje. cha kwanza hadi cha sita, wanafunzi sitini na moja, kiimani. muda mfupi imekuwa Alisema, mwaka 2008, ambapo ujenzi wake upo wa Kiislamu kutoka Shule Alisema, kwa sasa ni kimbilio la Waislamu ujenzi ulianza na kupata mbioni. za St. Francis, St. Anthon pamoja na Themi Hill. B i . K h a d i j a , a l i ye Mwalimu wa taaluma katika Shule ya Istiqama, alisema mbali na Shule hizo za Kanisa, lakini pia wamekuwa wakipokea wanafunzi kutoka Shule mbalimbali, wakiwemo Wakristo. Alisema, pamoja na kuwa Shule yao ina darasa la awali mpaka darasa la pili, wana matumaini ya kupokea wanafunzi zaidi kwani Shule hiyo imekuwa kama mkombozi kwa Waislamu na jamii nzima ya wakaazi wa Tabora, kwani hupokea wanafunzi wa imani zote. Alisema, watoto hao waliowapokea kutoka k a t i k a M a s h u l e y a Kanisa, walikuwa hawajui chochote kuhusu dini yao (Uislamu), na moja ya athari ambayo walikuja nayp ni kuomba Kikristo wanapoanza kula, na kuimba nyimbo za kumsifu na kumtukuza Yesu. Mwalimu wa Taaluma Khadija Nasoro Bunduki Alisema, kwa upande wa watoto wa kike, suala la Hijabu kwao linaonekana kuwa ni kero, kwani hawajazoea kuwa katika vazi hilo wakiwa Shuleni. Rais Shein ashukuru WHO Naye kiongozi wa Markazi Mkoa wa Tabora, RAIS wa Zanzibar na duniani (WHO), limekuwa maradhi kadhaa yakiwemo afya, pia imekuwa ni mdau Amir Issa Hajji, alisema Mwenyekiti wa Baraza na mchango mkubwa Malaria. mkubwa wa kuiasaidia awali Waislamu walikuwa la Mapinduzi Mhe. Dk. katika kuimarisha sekta Dk. Shein alisema kuwa Zanzibar katika sekta ya hawakuona athari ya Ali Mohamed Shein, ya afya nchini. mbali ya Shirika hilo afya kwa kuwajengea kupeleka watoto wao amesema kuwa Shirika Amesema, moja ya kuwa na historia ya muda uwezo Madaktari kwa katika shule za kanisa la Umoja wa Mataifa mafanikio hayo ni katika mrefu ya kuiunga mkono k u w e z a k u wa s a i d i a lakini sasa wameshtuka. linaloshughulikia Afya kusaidia kupambana na Zanzibar katika sekta ya Inaendelea Uk. 12 Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.