9Aprili,2013

Total Page:16

File Type:pdf, Size:1020Kb

Load more

9 APRILI, 2013

BUNGE LA TANZANIA
________________

MAJADILIANO YA BUNGE
___________________
MKUTANO WA KUMI NA MOJA

Kikao cha Kwanza - Tarehe 9 Aprili, 2013
WIMBO WA TAIFA

(H a pa W a he   s himi w a Wabunge   Wa l ii m ba W i m bo wa T a i f a )
(Mkut a n o Uli a n za S a a 3 .00 Asu b uh i )

D U A

S p i ka ( M he   . Anne S. Mak i n d a) A l is o ma Dua

SPIKA: Wa heshimiwa msima me tena . Mta kumbuka kwa mba wa ka ti wa Vika o vyetu vya Ka ma ti, kwa ba ha ti mba ya sa na tulimpoteza mpenzi wetu Mheshimiwa Sa lim Hemed Kha mis. Kwa hiyo, tumkumbuke kwa da kika moja .

(H a pa W a he   s himi w a Wabunge wa l isi m ama kwa
D a k ika m o j a kumkum b uka Mhe   sh i m i w a S a l im   He m e d
Kh a m i s a l i y e kuwa   Mbunge wa C   hambani

Mwenyezi Mungu a iweke roho ya ke ma ha li pema peponi, Amin. Ahsa nteni sa na na ka ribuni tuka e.

1
9 APRILI, 2013

Wa heshimiwa Wa nbunge, ka tika Mkuta no wa Tisa ,
Bunge lilipitisha Muswa da wa Sheria ya Serika li uitwa o T h e

Pl a n t Bre   e d e r s`   Ri g hts B i ll,   2012, kwa ta a rifa hii na penda

kulia lifu Bunge hili Tukufu kwa mba , Mswa da huo umekwisha pa ta kiba li c ha Mheshimiwa Ra is na kuwa Sheria ya nc hi

iitwa yo: T h e P l a n t Bre   e d e r s`   Ri g hts Ac   t, 2012  Na . 9 ya

mwa ka 2012. Kwa hiyo, ule sa sa ni sheria ya Nc hi.

HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI

Ha ti ifua ta yo iliwa silishwa Meza ni na :-

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, SERA, URATIBU
NA BUNGE:

Mheshimiwa Spika , kwa nia ba ya Mheshimiwa Wa ziri
Mkuu, na omba kuwa silisha meza ni Ta a rifa ya Ma toleo yote ya G a ze ti la Se rika li p a moja na nyonge za za ke zilizoc ha pishwa ta ngu Kika o c ha mwisho c ha Mkuta no wa Bunge uliopita .

Mheshimiwa Spika , na omba kuwa silisha .

MASWALI NA MAJIBU

Na . 1

Kujenga Barabara ya Old Moshi kwa Lami
MHE. GODFREY W. ZAMBI (K.n.y. MHE. DKT. CYRIL A.
CHAMI) a liuliza :-

Je, Serika li ita tekeleza lini a ha di ya kujenga kwa

kiwa ngo c ha la mi Ba ra ba ra ya O l d M o s hi  ina yoa nzia

Kiboriloni kupitia Kika ra ra , Tsuduni ha di Kidia ?

2
9 APRILI, 2013

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA
MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA, (TAMISEMI) a lijibu:-

Mheshimiwa Spika , kwa nia ba ya Mheshimiwa Wa ziri
Mkuu, na omba kujibu swa li la Mheshimiwa Dkt. C yril A. C ha mi, Mbunge wa Moshi Vijijini, ka ma ifua ta vyo:-

Mheshimiwa Spika , ni kweli ka tika ka mpeni ya Ura is ya mwa ka 2010 Mheshimiwa Ra is a lifika eneo la Ka ta ya O l d Mo s hi  Ma sha riki na kufa nya Mkuta no wa Ha dha ra na wa na nc hi wa eneo hilo a mba po a litoa a ha di ya kujenga

Ba ra ba ra ya O l d M o s hi, kwa ma a na ya Kiboriloni ha di

Kika ra ra -Tsuduni mpa ka Kidia yenye urefu wa kilomita 10.3 kwa kiwa ngop c ha la mi.

Ba ra b a ra hii ina p ita kw e nye ma e ne o ye nye mteremko mka li na mvua nyingi kwa mwa ka , hivyo a tha ri za mmomonyoko wa udonhgo ni kubwa kwa wa ka ti wote wa mvua .

Ha lma sha uri ya Wila ya ya Moshi imeendelea kuifa nyia ma tengenezo ba ra ba ra hii ili iendelee kupitika ikisubiri upa tika na ji wa fedha za kuitengeneza kwa kiwa ngo c ha la mi. Ka tika mwa ka wa fe dha wa 2010/2011 ba ra ba ra hiyo ilitengewa kia si c ha shilingi milioni 32.76, na mwa ka wa fedha wa 2011/2012 shilingi milioni 22 na mwa ka wa fedha wa 2012/ 2013 shilingi milioni 22.48 kwa a jili ya ma te nge ne zo ya ka wa ida .

Kwa mwa ka wa fedha 2013/2014 zimetengwa shilingi milioni 48 kwa a jili ya ma tengenezo ya ka wa ida ya ba ra ba ra hiyo. Aidha , Ha lma sha uri ya Wila ya ya Moshi imesha uriwa kua nda a ma ombi ma a lum kwa a jili ya ujenzi wa ba ra ba ra hiyo kwa kiwa ngo c ha la mi.

Mheshimiwa Spika , Serika li ina ta mbua umuhimu wa ba ra ba ra hiyo na hivyo ita e nde le a kute nga fe dha za ma tengenezo kulinga na na upa tika na ji wa fedha .

3
9 APRILI, 2013

MHE. G ODFREY W. ZAMBI: Mhe shimiw a Sp ika ,

na shukuru, na omba niulize ma swa li ma wili ya nyongeza .
Mheshimiwa Spika , Na ibu Wa ziri a mekiri mwenyewe kwa mba ba ra ba ra hiyo ya Kika ra ra -Tsuduni ha di Kidia ina pita kwenye miteremko mika li sa na , na kwa mba kila mwa ka Serika li imekuwa ina tenga pesa kwa kiwa ngo kidogo kidogo kwa a jili ya uka ra ba ti kwa kiwa ngo c ha udogo huo huo.

Moja , Wa ziri ha oni kwa mba kutenga fedha kidogo kidogo kutengeneza ba ra ba ra ya miteremko mika li kwa udongo ni kupoteza fedha za Serika li? (Makof i )

Pili, kwa kuwa Mheshimiwa Ra is a lipita ma eneo mengi sa na na kuweka a ha di ya kutengeneza ba ra ba ra pa moja na Miundombinu ya a ina nyingine, ikiwemo na ba ra ba ra ya kule Kyela Mkoa ni Mbeya ya Kikyusya mpa ka Ma tema ya kilomita 39.2.

Mpa ka leo, ba ra ba ra hiyo ndiyo imetengenezwa kwa kiwa ngo c ha kilomita 2.5. Je, ni lini sa sa Serika li ita ha kikisha kwa mba a ha di zote za Mheshimiwa Ra is ka tika Miundombinu mba limba li ina tengenezwa ma pema ili wa na nc hi kuendelea kuwa na ima ni na Serika li ya o ya C ha ma c ha Ma pinduzi?

(Makof i )

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA
MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA, (TAMISEMI): Mheshimiwa Spika ,

kwa nia ba ya Mheshimiwa Wa ziri Mkuu, na omba kujibu ma swa li ma wili ya nyongeza ya Mheshimiwa G odfrey W. Za mbi ka ma ifua ta vyo:-

Mhe shimiwa Spika , Ba je ti ni mpa ngo wa Se rika li una oonye sha jinsi tuta ka vyop a ta fe d ha na na mna zita ka vyotumika na Ba jeti hii tuna yoizungumza ha pa ina itwa

C a s h   Bu d ge t ,  ukisema hizi ni fedha kwa a jili ya vitumbua ,

una nunua vitumbua ! Hizi ni kwa a jili ya ma a nda zi una nunua ma a nda zi. Hizi ni kwa a jili ya ma ziwa kwa a jili ya wa toto una nunua ma ziwa na fedha hizi tuna zipa nga kufa ta na na uwezo wa nc hi kwa ma a na ya uc humi wenyewe.

4
9 APRILI, 2013

Na ta ka niseme kwa mba fedha hizi zimekuwa zina toka kidogo kidogo kwa sa ba bu ya ha li ha lisi, hizi Ha lma sha uri zetu tuna ziwekea c e ili n g. Mheshimiwa Za mbi yuko ka tika Ka ma ti hii ina yoshughulikia TAMISEMI na w a ka ti w ote tumeta ka tupa ndishe, la kini ha tukuweza kufa nya hivyo kwa sa ba bu ya ufinyu wa Ba jeti wenyewe. (Makof i )

Kw a hiyo, ni kw e li ka b isa ka ma a na vyose ma
Mheshimiwa G odfrey Za mbi, ukitenga fedha hizi kidogo kidogo, una w e za usifikie le ngo a mba lo ume jiw e ke a . Ba ra ba ra ina yozungumzw a ha pa , tume -c h e c k  ka tika mpa ngo wa serika li wa Mkoa wa Kilima nja ro na tumekuta kwa mba ba ra ba ra hii, imetengewa fedha imewekewa ka tika mpa ngo huo huo, la kini nda ni ya ke ina zungumza ha ba ri ya ba ra ba ra ya c ha nga ra we na ndiyo ma a na tumezungumza sisi ha pa na Eng i n e e r wa Wila ya na Mkurugenzi Mtenda ji wa Ha lma sha uri.

Tuka mwa mbia kwa mba a weke mpa ngo a mba o uta omba ma ombi ma a lum kwa Serika li na iletwe ha pa Bungeni, ili Serika li iruhusu fedha hizo ziweze kutumika .

Pili, kule Kyela , Mheshimiwa Za mbi a mezungumza ha ba ri ya kilomita 2.5 na pia a mezungumzia kuhusu a ha di a mba zo zime tole wa na Mhe shimiwa Ra is. Kila wa ka ti tuna pokuja ha pa mbele ya ko Ma wa ziri wote na sa sa kwa nia ba ya Mheshimiwa Wa ziri Mkuu, huwa ha tuna Mda ha lo wa la ha tuna ha ba ri ya kuzungumzia a ha di ya Ra is kwa mba itekelezwe a u isitekelezwe.

Aha di ya Ra is ikisha toka , sisi tuna c hofa nya ha pa ni kute ke le za a ha di ya ke , ha kuna te na kw e nda kuka a tuna zungumza , Ha lma sha uri hii ya Kye la a mb a yo Mheshimiwa a na zungumza ha pa , sisi tuna c hota ka kujua ni kujua ka ma tumeingiza ka tika mpa ngo huu. Sa sa sina d e t a i ls za ke , na mw omb a Mhe shimw a Za mb i a nip e na fa si, nita kwe nda kuka a na wa tu wa ngu tua nga lie kwa mba imepa ngiwa mpa ngo ga ni, la kini na ta ka niseme, a ha di zote za Ra is zilizotolewa ni wa jibu wetu sisi ka ma Serika li kuha kikisha

zina tekelezwa . (Makof i )

5
9 APRILI, 2013

MHE. ALPHAXARD K. N. LUGOLA: Mheshimiwa Spika ,

na shukuru kunipa na fa si. Kwa kuwa a ha di ni deni na kwa kuwa ma deni ha ya tuna yoya zungumzia ni ma deni a mba yo ya na ta kiwa kulipwa na Mheshimiwa Ra is, na kwa kuwa Wa heshimiwa Wa bunge ndiyo wa fua tilia ji wa kuu wa ulipwa ji wa ma deni ha ya .

Je, ni lini serika li ita a nda a ma deni ha yo na ka ma nilivyowa hi kuomba , ili ma deni ha yo ya letwe ha pa Bungeni, ili Wa heshimiwa Wa bunge wa weze kujiridhisha na mna ga ni ma d e ni ha ya ya ta lip w a kw a sa b a b u Wa he shimiw a Wa bunge ndiyo a mba o wa ta ba ki kuda iwa kule kijijini na ma tokeo ya ke ha kuna Mbunge a ta ka yerudi Bungeni ha pa ka ma ma de ni ha ya ha ya ta lipika ! Ha ya ma de ni ni ya Wa bunge, wa ka ti mwingine siyo ya Ra is tena . Na omba Serika li itua mbia e, lini a ha di hizi zita letwa ha pa ili tuone mpa ngo wa ke wa kulipwa ma deni ha ya , ni lini na siyo ma neno ni lini?

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA
MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA, (TAMISEMI): Mheshimiwa Spika ,

kwa nia ba ya Mheshimiwa Wa ziri Mkuu, na omba kujibu swa li la nyongeza la Mheshimiwa Lugola , ka ma ifua ta vyo:-

Ni kweli ka bisa a na vyosema kwa mba a ha di ni deni, kwa ha pa tuna pozungumza ha pa la zima use me kwa ma neno! La zima ujibu kwa ma neno ya a ni la zima useme ma ne no, kwa kule kwe nye fie ld , la zima ione ka ne kwa vitendo, ka ma ni Da ra ja lioneka ne lile pa le.

Mheshimiwa Spika , mimi na elewa , … .hiyo na ielewa ka bisa , la zima uonyeshe ba ra ba ra pa le na kila kitu, la kini tuna pojibu ha pa Bungeni sa sa , tuna ya sema kwa ma neno, tuna eleza kwa nza kwa ma neno ili tukitoka ha pa tuna kwenda vizuri.

Hii orodha a na yoizungumzia Mheshimiwa Lugola na kwa ta a rifa ya Wa heshimiwa Wa bunge, orodha hii ilikwisha kutolewa na Ofisi ya Wa ziri Mkuu. Mikoa yote ilita kiwa ilete ha pa na orodha ile ina fa ha mika na ndiyo ma a na na sima ma

6
9 APRILI, 2013

ha pa w i th c   o nf i d e n c e  kukua mbia ha ya ni ma elekezo ya

Serilka li na Serika li imea giza kwa mba sisi tutekeleze, wa la ha tuna ha ja ya kuka a tuna b isha na ha p a , orod ha

ilisha tengezwa . (Makof i )

SPIKA: Kiongozi wa Ka mbi ya Upinza ni.

MHE. FREEMAN A. MBOWE: Mhe shimiw a Sp ika ,

na shukuru kwa kunipa na fa si ya kuuliza swa li dogo la nyongeza .

Kwa sa ba bu ma zingira ya ba ra ba ra ya Kiboriloni ha di
Kidia kule ka tika Jimbo la Moshi Vijijini ina fa na na sa na na ma zingira ya ba ra ba ra ya Ma ili sita na Rumu Lya mungo Nkuu mpa ka Mkoa ka tika Jimbo la Ha i na kwa sa ba bu ba ra ba ra hii ina pa ta misukosuko hiyo hiyo ya hiyo ba ra ba ra nyingine iliyozungumzwa ma ha li ha pa .

Kwa ma a na kwa mba ina hudumia wa ka zi za idi ya la ki moja na iko ka tika miteremko mika li.

Je, kwa sa ba bu ba ra ba ra hizi vilevile ni fupi, kwa nini
Serika li isiweke mpa ngo ma a lum wa kuhudumia ba ra ba ra hizi za sehemu za milima ni a mba zo zina sa ba bisha a ja li kubwa na wa ka ti huo huo zina hudumia wa na nc hi wengi mno ha sa ikizinga tiwa kwa mba e ne o la ma poromoko ya mlima Kilima nja ro lina ida di kubwa ya wa tu kwa kilomita za mra ba kuliko eneo lingine lolote la nc hi na lina pa ta sifa ya kuwa sehemu ya kijijini la kini ni mjini?

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA
MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA, (TAMISEMI): Mheshimiwa Spika ,

kwa nia ba ya Mheshimiwa Wa ziri Mkuu, na omba kujibu swa li la nyongeza la Mheshimiwa Freema n Mbowe, Mbunge wa Ha i na Kiongozi wa Upinza ni ha pa Bungeni ka ma ifua ta vyo:-

Kwa nza ni-d e c l a r e   i n te re st  kwa mba huyu ni jira ni ya ngu, o nc e   upon a t i m e Siha ilikuwa ni sehemu ya Ha i, hii

ba ra ba ra a na yoizungumzia nina ifa ha mu, ni kweli iko ka tika ha ya ma ta tizo ya na yozungumza ha pa . Mpa ngo ma a lum

7
9 APRILI, 2013

a mba o na ufa ha mu kwa sa sa hivi ni kwa mba , mipa ngo yote hii sa sa , yote tuna ja ribu kuiingiza sa sa ka tika Ba jeti syste m ye tu, kwa ma a na ya kwa mba tuwe ze kuite ke le za kwa kutumia . Mimi na kiri kwa mba ba ra ba ra hii ina ma ta tizo ka ma ile nyingine iliyozungumzwa , uta ra tibu a mba o tumekuwa na o, ni huu wa kuita ka Ha lma sha uri, ilete ma ombi ma a lum.

By m i st a k e ka ma ha ija fa nyika hivyo, it is t o o l a t e , kwa

sa ba bu sa sa ndiyo uko kwenye mc ha ka to wenyewe. La kini mimi na sha uri kwa mba ka ma iko ka tika ha li hiyo na wa le wengine wote wa na ozungumzwa , sa sa tukima liza ha po, Mheshimiwa Spika , na ta ka niseme kwa sa ba bu isije ika ja ha pa wa ka nika ba te na koo, na ta ka nise me kwa mba , tuna p okw e nd a kw e nye mp a ngo ma a lum, ina w e za ika pitishwa pa le, ni sisi na Ha lma sha utri husika tuna ondoka ha pa tuna kwenda Ha zina , Ha zina na Mheshimiwa Mgimwa yuko ha po, tuna fua ta tena .

Sa sa uta ra tibu umegeuka sa sa una kwenda kwenye mipa ngo kule, kwa ma a na ya p ri o r itie s, kwa ma a na ya vipa umbele kulinga na na ha li yenyewe ina yozungumzwa pa le. Na penda kukiri kwa mba ba ra ba ra hii ina ma ta tizo ha yo. Tuta shirikia na na Mhe shimiw a Mbow e ili tuone tuna sa idia je ba ra ba ra hiyo.

SPIKA: Ahsa nte sa na . Ha iwezeka ni kuzidi ma swa li ha yo, kwa hiyo tuna endelea na Wa ziri wa Nc hi, Ofisi ya Ra is, Ma husia no na Ura tibu.

Na . 2

Wananchi Kupewa Hati za Kimila
MHE. MURTAZA A. MANGUNGU (K.n.y. MHE. SHAFFIN
A. SUMAR) a liuliza :-

Recommended publications
  • Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Bunge La Tanzania

    Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Bunge La Tanzania

    JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA KUMI NA SITA NA KUMI NA SABA YATOKANAYO NA KIKAO CHA KUMI (DAILY SUMMARY RECORD OF PROCEEDINGS) 17 NOVEMBA, 2014 MKUTANO WA KUMI NA SITA NA KUMI SABA KIKAO CHA KUMI - 17 NOVEMBA, 2014 I. DUA Saa 3.00 Asubuhi Mhe. Naibu Spika alisoma Dua na kuliongoza Bunge Makatibu Mezani :- 1. Ndg. Charles Mloka 2. Ndg. Neema Msangi 3. Ndg. Joshua Chamwela II. MASWALI: Maswali yafuatayo yaliulizwa na wabunge:- 1. OFISI YA WAZIRI MKUU Swali Na. 114. Mhe. Prof. Peter Mahamudu Msolla Nyongeza ;- i. Mhe. Peter Mahamudu Msolla ii. Mhe. Ally Keissy Mohammad 2. OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MAZINGIRA) Swali Na. 115 – All Khamis Seif, Mb Nyongeza ;- i. Mhe. Ally Khamis Seif, Mb ii. Mhe. James Francis Mbatia, Mb 3. WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI Swali Na. 116. Mhe. Dkt. Mary Machuche Mwanjelwa, Mb Nyongeza:- i. Mhe. Dkt. Mary Machuche Mwanjelwa, Mb ii. Mhe. Selemani Said Jafo, Mb iii.Mhe. Aliko Nikusuma Kibona, Mb 4. WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Swali Na. 117 – Mhe Joseph Roman Selasini, Mb Nyongeza:- i. Mhe Joseph Roman Selasini, Mb 2 ii. Mhe. Moses Machali 5. WIZARA YA MAJI Swali Na. 118. – Mhe. Michael Lekule Laizer [KNY: Dkt. Augustine Lyatonga Mrema]. Nyongeza;- i. Mhe. Michael Lekule Laizer ii. Mhe. James Francis Mbatia, Mb 6. WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO Swali Na. 119 – Mhe. Christowaja Gerson Mtinda Nyongeza:- i. Mhe. Christowaja Gerson Mtinda ii. Mhe. Martha Moses Mlata, Mb iii. Mhe. Grace Sindato Kiwelu, Mb 7. WIZARA YA KILIMO CHAKULA USHIRIKA Swali Na.
  • 10 JUNI, 2013 MREMA 1.Pmd

    10 JUNI, 2013 MREMA 1.Pmd

    10 JUNI, 2013 BUNGE LA TANZANIA ________________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Arobaini na Sita - Tarehe 10 Juni, 2013 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU Na. 367 Mafunzo ya Wajasiriamali Wanawake – Mbeya MHE. GODFREY W. ZAMBI (K.n.y. MHE. CYNTHIA H. NGOYE) aliuliza:- Wanawake wa Mkoa wa Mbeya wameitikia wito wa kuanzishwa kwa vikundi vya uzalishaji mali ikiwemo uanzishwaji wa vyombo vya akiba na mikopo:- (a) Je, ni lini Serikali itawapatia mafunzo ya ujasiriamali Wanawake wa Mkoa Mbeya? (b) Je, Serikali iko tayari kuhamasisha benki mbalimbali kusogeza huduma karibu na wananchi ili kukidhi azma yao ya kupatiwa mikopo na kujiwekea akiba? 1 10 JUNI, 2013 WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, SERA, URATIBU NA BUNGE alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Cynthia Hilda Ngoye, Mbunge wa Viti Maalum, lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) ilifanya utafiti katika mkoa wa Mbeya na kubaini kuwa wananchi wengi wakiwemo wanawake wameanzisha vikundi vya uzalishaji mali ikiwemo uanzishwaji wa vikundi na mikopo. Kutokana na juhudi hizo, Baraza kwa kutumia Mfuko wa Uwezeshaji Mwananchi Kiuchumi yaani “Mwananchi Empowerment Fund” imeanza kutoa udhamini wa mikopo kwa wananchi wa Mbeya hususan Chimala SACCOS. Aidha, utaratibu na mpango wa kutoa mafunzo umeandaliwa na mafunzo yatatolewa mwanzoni mwa mwaka wa fedha 2013/2014. Mafunzo hayo yatawahusisha pia wanaume kwa vile SACCOS ya Chimala ina wanachama ambao ni wanaume.
  • MKUTANO WA PILI Kikao Cha Tisa

    MKUTANO WA PILI Kikao Cha Tisa

    Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA __________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA PILI Kikao cha Tisa - Tarehe 17 Februari, 2006 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA: Taarifa ya mwaka ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali za Mitaa kwa mwaka wa fedha unaoishia tarehe 30 Juni, 2004. Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha. MASWALI NA MAJIBU Na. 94 Uwekaji wa Lami Barabara ya Kigogo - Mabibo - Mandela - Tabata MHE. HALIMA J. MDEE aliuliza:- Je, Serikali ina mpango gani wa kuweka lami kwenye barabara ya Kigogo- Mabibo hadi barabara ya Mandela kuelekea Tabata ili kupunguza msongamano wa magari katika barabara ya Morogoro? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA alijibu:- Mheshimiwa Spika, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Halima Mdee, Mbunge wa Viti Maalum, kama ifuatavyo:- 1 Mheshimiwa Spika, barabara ya Kigogo - Mabibo- Mandela kuelekea Tabata ni barabara ya mjini yaani urban road na inahudumiwa na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Barabara hii ni muungano wa barabara tatu ambazo ni Kigogo - Mabibo, Mabibo - Mandela na Mandela - Tabata. Barabara hii imekuwa ikifanyiwa matengenezo ya mara kwa mara na Manispaa ya Kinondoni. Kwa mwaka 2005/2006 jumla ya shilingi 9,836,000 zilitumika kuweka kifusi kwenye sehemu korofi na kuichonga kwa greda. Mheshimiwa Spika, barabara hii inapitika isipokuwa katika mpaka wa Manispaa za Kinondoni na Ilala eneo la Tabata ambapo pana mkondo wa maji na hakuna daraja.
  • Majadiliano Ya Bunge ______

    Majadiliano Ya Bunge ______

    Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA NANE Kikao cha Thelathini na Tisa – Tarehe 2 AGOSTI, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) DUA Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013. SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, naomba mzime vipasa sauti vyenu maana naona vinaingiliana. Ahsante Mheshimiwa Naibu Waziri, tunaingia hatua inayofuata. MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Leo ni siku ya Alhamisi lakini tulishatoa taarifa kwamba Waziri Mkuu yuko safarini kwa hiyo kama kawaida hatutakuwa na kipindi cha maswali hayo. Maswali ya kawaida yapo machache na atakayeuliza swali la kwanza ni Mheshimiwa Vita R. M. Kawawa. Na. 310 Fedha za Uendeshaji Shule za Msingi MHE. VITA R. M. KAWAWA aliuliza:- Kumekuwa na makato ya fedha za uendeshaji wa Shule za Msingi - Capitation bila taarifa hali inayofanya Walimu kuwa na hali ngumu ya uendeshaji wa shule hizo. Je, Serikali ina mipango gani ya kuhakikisha kuwa, fedha za Capitation zinatoloewa kama ilivyotarajiwa ili kupunguza matatizo wanayopata wazazi wa wanafunzi kwa kuchangia gharama za uendeshaji shule? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Vita Rashid Kawawa, Mbunge wa Namtumbo, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) imepanga kila mwanafunzi wa Shule ya Msingi kupata shilingi 10,000 kama fedha za uendeshaji wa shule (Capitation Grant) kwa mwaka.
  • Did They Perform? Assessing fi Ve Years of Bunge 2005-2010

    Did They Perform? Assessing fi Ve Years of Bunge 2005-2010

    Policy Brief: TZ.11/2010E Did they perform? Assessing fi ve years of Bunge 2005-2010 1. Introducti on On July 16th 2010, following the completi on of the 20th session of the Bunge, the President of Tanzania dissolved the 9th Parliament. This event marked the end of the term for Members of Parliament who were elected during the 2005 general electi ons. Now that the last session has been completed it allows us to look back and to consider how MPs performed during their tenure. Did they parti cipate acti vely and represent their consti tuencies by asking questi ons and making interventi ons, or were they silent backbenchers? The Bunge is the Supreme Legislature of Tanzania. The Bunge grants money for running the administrati on and oversees government programs and plans. The Bunge oversees the acti ons of the Executi ve and serves as watchdog to ensure that government is accountable to its citi zens. To achieve all this, Members of Parliament pass laws, authorize taxati on and scruti nize government policies including proposal for expenditure; and debate major issues of the day. For the Bunge to eff ecti vely carry out its oversight role, acti ve parti cipati on by Members of Parliament is criti cal. MPs can be acti ve by making three kinds of interventi ons: they can ask basic questi ons, they can ask supplementary questi ons and they can make contributi ons during debates. This brief follows earlier briefs, the last of which was released in August 2010. It presents seven facts on the performance of MPs, including rati ng who were the most acti ve and least acti ve MPs.
  • Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)

    Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)

    Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MKUTANO WA TANO ___________________ Kikao cha Saba – Tarehe 16 Novemba, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Jenista J. Mhagama) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU Na. 84 Hali Mbaya ya Hospitali ya Wilaya – Mbozi MHE. GODFREY W. ZAMBI aliuliza:- Majengo ya Hospitali ya Wilaya Mbozi – Vwawa yako kwenye hali mbaya na wodi za kulaza wagonjwa hazitoshelezi hali inayosababisha msongamano katika wodi chache zilizopo:- Je, Serikali itayakarabati lini majengo ya zamani na kujenga mengine kwa ajili ya kulaza wagonjwa? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Godfrey W. Zambi, Mbunge wa Mbozi Mashariki, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Mwenyekiti, Hospitali ya Wilaya ya Mbozi ya Vwawa ilipandishwa hadhi kutoka kituo cha afya mwaka 2002 kwa kuongezewa majengo yafuatayo Wodi ya Mama wajawazito1, wodi 1 ya wanaume, pediatric ward 1, Chumba cha kusubiria mama wajawazito kimoja, chumba cha upasuaji, jengo la mapokezi, isolation ward, jengo la kliniki (RCH), jengo la utawala, chumba cha kuhifadhia maiti, jengo la kufulia nguo, jengo la upasuaji mkubwa na chumba cha X–ray. Aidha, ni kweli kuwa baadhi ya majengo ya hospitali hiyo yameharibika kiasi cha kuhitaji kukarabatiwa. Mheshimiwa Mwenyekiti, katika mwaka 2011/2012 Halmashauri imepanga kutumia shilingi 40,000,000 kwa ajili ya kukarabati jengo la upasuaji, shilingi 28,292,648 kwa ajili ya ukarabati wa jengo la utawala na shilingi 18,968,672 kwa ajili ya ukarabati wa jengo la wodi ya wazazi (Maternity Ward).
  • Tarehe 12 Aprili, 2011

    Tarehe 12 Aprili, 2011

    Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA TATU Kikao cha Tano – Tarehe 12 Aprili, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU): Taarifa ya Mwaka ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali za Mitaa kwa Mwaka wa Fedha ulioisha tarehe 30 Juni, 2010 (The Annual General Report of the Controller and Auditor General on the Financial Statements of Local Government Authorities for the Financial Year ended 30th June, 2010). NAIBU WAZIRI WA FEDHA (MHE.GREGORY G. TEU): Taarifa ya Mwaka ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali juu ya Hesabu zilizokaguliwa za Serikali Kuu kwa Mwaka ulioishia tarehe 30 Juni, 2010 (The Annual General Report of the Controller and Auditor General on the Audit of the Financial Statement of the Central Government for the Year ended 30th June, 2010). Taarifa ya Mwaka ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali juu ya Hesabu zilizokaguliwa za Mashirika ya Umma kwa Mwaka 2009/2010 (The Annual General Report of the Controller and Auditor General on the Financial Statement of Public Authorities and other Bodies for the Financial Year 2009/2010). Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali juu ya Ukaguzi wa Ufanisi na Upembuzi kwa kipindi kilichoishia tarehe 31 Machi, 2011 (The General Report of the Controller and Auditor General on the Performance and Forensic Audit Report for the Period ended 31st March, 2011).
  • Consequences for Women's Leadership

    Consequences for Women's Leadership

    The Politics Behind Gender Quotas: Consequences for Women’s Leadership Equity in African Legislatures by Christie Marie Arendt B.A. in Interdisciplinary Studies in Social Science, May 2004, Michigan State University M.A. in International Affairs, May 2006, The George Washington University A Dissertation submitted to The Faculty of The Columbian College of Arts and Sciences of The George Washington University in partial fulfillment of the requirements for the degree of Doctor of Philosophy January 31, 2017 Dissertation directed by Kimberly J. Morgan Professor of Political Science and International Affairs The Columbian College of Arts and Sciences of The George Washington University certifies that Christie Marie Arendt has passed the Final Examination for the degree of Doctor of Philosophy as of December 16, 2016. This is the final and approved form of the dissertation. The Politics Behind Gender Quotas: Consequences for Women’s Leadership Equity in African Legislatures Christie Marie Arendt Dissertation Research Committee: Kimberly J. Morgan, Professor of Political Science and International Affairs, Dissertation Director Jennifer Brinkerhoff, Professor of International Affairs, International Business, and Public Policy & Public Administration Eric Kramon, Assistant Professor of Political Science and International Affairs, Committee Member ii © Copyright 2017 by Christie Marie Arendt All rights reserved iii Dedication To my parents, Anne and Steve Arendt, none of this was possible without your enduring love and support. iv Acknowledgments This dissertation benefitted from the encouragement and guidance of a number of people. As an alumna of The George Washington University’s Elliott School of International Affairs, I knew that GW would provide a perfect environment to pursue my doctoral studies.
  • MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao Cha Arobaini Na Sita

    MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao Cha Arobaini Na Sita

    NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao cha Arobaini na Sita – Tarehe 15 Juni, 2020 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge tukae, tunaendelea na Mkutano wetu wa 19, Kikao cha 46, bado kimoja tu cha kesho. Katibu! NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE: HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa mezani na: NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO: Maelezo ya Waziri wa Fedha na Mipango kuhusu Muswada wa Sheria ya Fedha wa Mwaka 2020 (The Finance Bill, 2020). Muhtasari wa Tamko la Sera ya Fedha kwa Mwaka wa Fedha 2020/2021 (Monetary Policy Statement for the Financial Year 2020/2021). MHE. ALBERT N. OBAMA - K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA BAJETI:Maoni ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti Kuhusu Muswada wa Sheria ya Fedha wa Mwaka 2020 (The Finance Bill, 2020). 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) MHE. RHODA E. KUNCHELA - K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KWA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO: Maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kuhusu Muswada wa Sheria ya fedha wa mwaka 2020 (The Finance Bill, 2020). MHE. DKT. TULIA ACKSON - MAKAMU MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KANUNI ZA BUNGE: Azimio la Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kanuni za Bunge kuhusu Marekebisho ya Kanuni za Bunge SPIKA: Asante sana Mheshimiwa Naibu Spika, Katibu MASWALI NA MAJIBU (Maswali yafuatayo yameulizwa na kujibiwa kwa njia ya mtandao) Na. 426 Migogoro ya Mipaka MHE.
  • Nakala Ya Mtandao (Online Document) 1 MAJADILIANO YA BUNGE

    Nakala Ya Mtandao (Online Document) 1 MAJADILIANO YA BUNGE

    Nakala ya Mtandao (Online Document) MAJADILIANO YA BUNGE __________ MKUTANO WA ISHIRINI __________ Kikao cha Ishirini na Moja - Tarehe 5 Juni, 2015 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, napenda kuchukua nafasi hii kuwapa pole wote kwa msiba uliotupata, msiba ulitokea wakati nikiwa Geneva ambapo tulikuwa na kikao cha Kamati Ndogo ya maandalizi ya Mkutano Mkuu wa Maspika wote duniani utakaofanyika mwezi wa Nane, sasa kuna Maspika kumi ndiyo tupo kwenye maandalizi ya mkutano huo na kilikuwa ni kikao chetu cha mwisho kabla ya mkutano huo. Kwa hiyo, wakati msiba unatokea nilikuwa huko, nilipewa taarifa na nilisikitika sana. Kwa hiyo, tutatangaza baadaye mchana, ni akina nani watakaokwenda kuzika kesho. Katibu! HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI (MHE. CHARLES M. KITWANGA): Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Nishati na Madini kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. NAIBU WAZIRI WA MAJI: Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa Fedha, 2015/2016. MHE. DAVID H. MWAKYUSA (k.n.y. MHE. PROF. PETER M. MSOLLA - MWENYEKITI WA KAMATI YA KILIMO, MIFUGO NA MAJI): Taarifa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji kuhusu utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Maji kwa Mwaka wa Fedha 2014/2015, pamoja na maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa Fedha 2015/2016. MHE. RAJAB MBAROUK MOHAMMED (k.n.y. MHE. MAGDALENA H. SAKAYA - MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI KWA WIZARA YA MAJI): Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Fedha kwa Wizara ya Maji kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016.
  • MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao Cha Nane – Tarehe 12 Aprili, 2

    MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao Cha Nane – Tarehe 12 Aprili, 2

    NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Nane – Tarehe 12 Aprili, 2018 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tukae. TAARIFA YA SPIKA SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, naomba niwape taarifa. Kama mlivyoona leo tumeingia hapa Bungeni kwa utaratibu mpya tofauti na ilivyozoeleka. Kanuni ya 20(1)(c) ya Kanuni za Bunge inaeleza kwamba Spika ataingia na kutoka ndani ya ukumbi wa Bunge akiongozana na mpambe wa Bunge lakini haitoi maelezo ya mlango gani utumike wakati wa kuingia au kutoka Bungeni. (Makofi/Kicheko) Katika Mabunge mengi ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola (Commonwealth) na nchi nyingine, utamaduni uliozoeleka ni kwa Spika wa Bunge kuingia ndani ya ukumbi wa Bunge akitokea chumba maalum cha Spika (Speaker’s Lounge). Baadhi ya nchi zenye utamaduni huo ambazo mimi na misafara yangu mbalimbali tumewahi kushuhudia ni India na Uingereza, wana utaratibu kama huu tuliotumia leo. Kwa kuwa tumekuwa tukiboresha taratibu zetu kwa kuiga mifano bora ya wenzetu, kuanzia leo tutaanza kutumia utaratibu huu mpya tulioutumia asubuhi ya leo kwa misafara 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) ya Spika, Naibu Spika na Wenyeviti wa Bunge kuingia na kutoka Bungeni kwa kutumia mlango wa kuelekea Speakers Lounge, ni kuingia na kutoka kwa utaratibu huu hapa. Waheshimiwa Wabunge, mlango mkuu wa mbele utaendelea kutumiwa na Waheshimiwa Wabunge kama kawaida yenu na Spika na msafara wake watautumia mlango huu mkuu wakati wa matukio maalum ya Kibunge kama vile wakati wa kufunga au kufungua Bunge au tunapokuwa na ugeni wa Kitaifa kama Mheshimiwa Rais akitutembelea tutaingia kwa lango lile kuu, katika siku za kawaida zote tutafuata utaratibu huu mliouona hapa mbele.
  • Bunge Newsletter

    Bunge Newsletter

    Bungee Newsletter Issue No 005 FEBRUARY, 2013 Speaker of the National Assembly Hon. Anne Makinda points out the Standing Order that gives her power to make changes in the Parliamentary Standing Commitees Bunge overhauls its Standing Committees membership into new committees and appointing new chairpersons to head the new committees. A major transformation to strengthen the work of the Parliament through the Standing Committees The changes are part of routine of Parliament was made during the recently ended 10th reforms as stipulated in the Parliamentary Session of the Parliament in Dodoma this year by Standing Orders 152 (3) which gives mandate to restructuring Parliamentary Standing Committees the Speaker to amend or make changes of this 8th for the second half life of the 10th Parliament. The Annex of the standing orders in consultation with changes were announced by the Speaker of the the Parliamentary Standing Committee depending National Assembly Hon. Anne Makinda on February on the needs of that particular time when he/she 8th 2013 when she called for the dissolution of deemed fit. all Parliamentary Standing Committees and their One of the changes in the upcoming new reconstitution in a new format. committees is the reduction of the watchdog Hon. Makinda announced the changes at the committees from three to two by doing away with conclusion of the Legislature’s 10th Session, the Parastatal Organization Account Committee and invited lawmakers to submit applications for (POAC), whereby by its activities will now be carried out by the Public Accounts Committee 1 (PAC), which will continue with its responsibility of analyzing the Controller and Auditor General (CAG) Apart from this change, the Speaker also formed audited accounts financial reports of ministries and three new committees namely the Budget other government institution and agencies.