9 APRILI, 2013
BUNGE LA TANZANIA
________________
MAJADILIANO YA BUNGE
___________________
MKUTANO WA KUMI NA MOJA
Kikao cha Kwanza - Tarehe 9 Aprili, 2013
WIMBO WA TAIFA
(H a pa W a he s himi w a Wabunge Wa l ii m ba W i m bo wa T a i f a )
(Mkut a n o Uli a n za S a a 3 .00 Asu b uh i )
D U A
S p i ka ( M he . Anne S. Mak i n d a) A l is o ma Dua
SPIKA: Wa heshimiwa msima me tena . Mta kumbuka kwa mba wa ka ti wa Vika o vyetu vya Ka ma ti, kwa ba ha ti mba ya sa na tulimpoteza mpenzi wetu Mheshimiwa Sa lim Hemed Kha mis. Kwa hiyo, tumkumbuke kwa da kika moja .
(H a pa W a he s himi w a Wabunge wa l isi m ama kwa
D a k ika m o j a kumkum b uka Mhe sh i m i w a S a l im He m e d
Kh a m i s a l i y e kuwa Mbunge wa C hambani
Mwenyezi Mungu a iweke roho ya ke ma ha li pema peponi, Amin. Ahsa nteni sa na na ka ribuni tuka e.
1
9 APRILI, 2013
Wa heshimiwa Wa nbunge, ka tika Mkuta no wa Tisa ,
Bunge lilipitisha Muswa da wa Sheria ya Serika li uitwa o T h e
Pl a n t Bre e d e r s` Ri g hts B i ll, 2012, kwa ta a rifa hii na penda
kulia lifu Bunge hili Tukufu kwa mba , Mswa da huo umekwisha pa ta kiba li c ha Mheshimiwa Ra is na kuwa Sheria ya nc hi
iitwa yo: T h e P l a n t Bre e d e r s` Ri g hts Ac t, 2012 Na . 9 ya
mwa ka 2012. Kwa hiyo, ule sa sa ni sheria ya Nc hi.
HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI
Ha ti ifua ta yo iliwa silishwa Meza ni na :-
WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, SERA, URATIBU
NA BUNGE:
Mheshimiwa Spika , kwa nia ba ya Mheshimiwa Wa ziri
Mkuu, na omba kuwa silisha meza ni Ta a rifa ya Ma toleo yote ya G a ze ti la Se rika li p a moja na nyonge za za ke zilizoc ha pishwa ta ngu Kika o c ha mwisho c ha Mkuta no wa Bunge uliopita .
Mheshimiwa Spika , na omba kuwa silisha .
MASWALI NA MAJIBU
Na . 1
Kujenga Barabara ya Old Moshi kwa Lami
MHE. GODFREY W. ZAMBI (K.n.y. MHE. DKT. CYRIL A.
CHAMI) a liuliza :-
Je, Serika li ita tekeleza lini a ha di ya kujenga kwa
kiwa ngo c ha la mi Ba ra ba ra ya O l d M o s hi ina yoa nzia
Kiboriloni kupitia Kika ra ra , Tsuduni ha di Kidia ?
2
9 APRILI, 2013
NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA
MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA, (TAMISEMI) a lijibu:-
Mheshimiwa Spika , kwa nia ba ya Mheshimiwa Wa ziri
Mkuu, na omba kujibu swa li la Mheshimiwa Dkt. C yril A. C ha mi, Mbunge wa Moshi Vijijini, ka ma ifua ta vyo:-
Mheshimiwa Spika , ni kweli ka tika ka mpeni ya Ura is ya mwa ka 2010 Mheshimiwa Ra is a lifika eneo la Ka ta ya O l d Mo s hi Ma sha riki na kufa nya Mkuta no wa Ha dha ra na wa na nc hi wa eneo hilo a mba po a litoa a ha di ya kujenga
Ba ra ba ra ya O l d M o s hi, kwa ma a na ya Kiboriloni ha di
Kika ra ra -Tsuduni mpa ka Kidia yenye urefu wa kilomita 10.3 kwa kiwa ngop c ha la mi.
Ba ra b a ra hii ina p ita kw e nye ma e ne o ye nye mteremko mka li na mvua nyingi kwa mwa ka , hivyo a tha ri za mmomonyoko wa udonhgo ni kubwa kwa wa ka ti wote wa mvua .
Ha lma sha uri ya Wila ya ya Moshi imeendelea kuifa nyia ma tengenezo ba ra ba ra hii ili iendelee kupitika ikisubiri upa tika na ji wa fedha za kuitengeneza kwa kiwa ngo c ha la mi. Ka tika mwa ka wa fe dha wa 2010/2011 ba ra ba ra hiyo ilitengewa kia si c ha shilingi milioni 32.76, na mwa ka wa fedha wa 2011/2012 shilingi milioni 22 na mwa ka wa fedha wa 2012/ 2013 shilingi milioni 22.48 kwa a jili ya ma te nge ne zo ya ka wa ida .
Kwa mwa ka wa fedha 2013/2014 zimetengwa shilingi milioni 48 kwa a jili ya ma tengenezo ya ka wa ida ya ba ra ba ra hiyo. Aidha , Ha lma sha uri ya Wila ya ya Moshi imesha uriwa kua nda a ma ombi ma a lum kwa a jili ya ujenzi wa ba ra ba ra hiyo kwa kiwa ngo c ha la mi.
Mheshimiwa Spika , Serika li ina ta mbua umuhimu wa ba ra ba ra hiyo na hivyo ita e nde le a kute nga fe dha za ma tengenezo kulinga na na upa tika na ji wa fedha .
3
9 APRILI, 2013
MHE. G ODFREY W. ZAMBI: Mhe shimiw a Sp ika ,
na shukuru, na omba niulize ma swa li ma wili ya nyongeza .
Mheshimiwa Spika , Na ibu Wa ziri a mekiri mwenyewe kwa mba ba ra ba ra hiyo ya Kika ra ra -Tsuduni ha di Kidia ina pita kwenye miteremko mika li sa na , na kwa mba kila mwa ka Serika li imekuwa ina tenga pesa kwa kiwa ngo kidogo kidogo kwa a jili ya uka ra ba ti kwa kiwa ngo c ha udogo huo huo.
Moja , Wa ziri ha oni kwa mba kutenga fedha kidogo kidogo kutengeneza ba ra ba ra ya miteremko mika li kwa udongo ni kupoteza fedha za Serika li? (Makof i )
Pili, kwa kuwa Mheshimiwa Ra is a lipita ma eneo mengi sa na na kuweka a ha di ya kutengeneza ba ra ba ra pa moja na Miundombinu ya a ina nyingine, ikiwemo na ba ra ba ra ya kule Kyela Mkoa ni Mbeya ya Kikyusya mpa ka Ma tema ya kilomita 39.2.
Mpa ka leo, ba ra ba ra hiyo ndiyo imetengenezwa kwa kiwa ngo c ha kilomita 2.5. Je, ni lini sa sa Serika li ita ha kikisha kwa mba a ha di zote za Mheshimiwa Ra is ka tika Miundombinu mba limba li ina tengenezwa ma pema ili wa na nc hi kuendelea kuwa na ima ni na Serika li ya o ya C ha ma c ha Ma pinduzi?
(Makof i )
NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA
MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA, (TAMISEMI): Mheshimiwa Spika ,
kwa nia ba ya Mheshimiwa Wa ziri Mkuu, na omba kujibu ma swa li ma wili ya nyongeza ya Mheshimiwa G odfrey W. Za mbi ka ma ifua ta vyo:-
Mhe shimiwa Spika , Ba je ti ni mpa ngo wa Se rika li una oonye sha jinsi tuta ka vyop a ta fe d ha na na mna zita ka vyotumika na Ba jeti hii tuna yoizungumza ha pa ina itwa
C a s h Bu d ge t , ukisema hizi ni fedha kwa a jili ya vitumbua ,
una nunua vitumbua ! Hizi ni kwa a jili ya ma a nda zi una nunua ma a nda zi. Hizi ni kwa a jili ya ma ziwa kwa a jili ya wa toto una nunua ma ziwa na fedha hizi tuna zipa nga kufa ta na na uwezo wa nc hi kwa ma a na ya uc humi wenyewe.
4
9 APRILI, 2013
Na ta ka niseme kwa mba fedha hizi zimekuwa zina toka kidogo kidogo kwa sa ba bu ya ha li ha lisi, hizi Ha lma sha uri zetu tuna ziwekea c e ili n g. Mheshimiwa Za mbi yuko ka tika Ka ma ti hii ina yoshughulikia TAMISEMI na w a ka ti w ote tumeta ka tupa ndishe, la kini ha tukuweza kufa nya hivyo kwa sa ba bu ya ufinyu wa Ba jeti wenyewe. (Makof i )
Kw a hiyo, ni kw e li ka b isa ka ma a na vyose ma
Mheshimiwa G odfrey Za mbi, ukitenga fedha hizi kidogo kidogo, una w e za usifikie le ngo a mba lo ume jiw e ke a . Ba ra ba ra ina yozungumzw a ha pa , tume -c h e c k ka tika mpa ngo wa serika li wa Mkoa wa Kilima nja ro na tumekuta kwa mba ba ra ba ra hii, imetengewa fedha imewekewa ka tika mpa ngo huo huo, la kini nda ni ya ke ina zungumza ha ba ri ya ba ra ba ra ya c ha nga ra we na ndiyo ma a na tumezungumza sisi ha pa na Eng i n e e r wa Wila ya na Mkurugenzi Mtenda ji wa Ha lma sha uri.
Tuka mwa mbia kwa mba a weke mpa ngo a mba o uta omba ma ombi ma a lum kwa Serika li na iletwe ha pa Bungeni, ili Serika li iruhusu fedha hizo ziweze kutumika .
Pili, kule Kyela , Mheshimiwa Za mbi a mezungumza ha ba ri ya kilomita 2.5 na pia a mezungumzia kuhusu a ha di a mba zo zime tole wa na Mhe shimiwa Ra is. Kila wa ka ti tuna pokuja ha pa mbele ya ko Ma wa ziri wote na sa sa kwa nia ba ya Mheshimiwa Wa ziri Mkuu, huwa ha tuna Mda ha lo wa la ha tuna ha ba ri ya kuzungumzia a ha di ya Ra is kwa mba itekelezwe a u isitekelezwe.
Aha di ya Ra is ikisha toka , sisi tuna c hofa nya ha pa ni kute ke le za a ha di ya ke , ha kuna te na kw e nda kuka a tuna zungumza , Ha lma sha uri hii ya Kye la a mb a yo Mheshimiwa a na zungumza ha pa , sisi tuna c hota ka kujua ni kujua ka ma tumeingiza ka tika mpa ngo huu. Sa sa sina d e t a i ls za ke , na mw omb a Mhe shimw a Za mb i a nip e na fa si, nita kwe nda kuka a na wa tu wa ngu tua nga lie kwa mba imepa ngiwa mpa ngo ga ni, la kini na ta ka niseme, a ha di zote za Ra is zilizotolewa ni wa jibu wetu sisi ka ma Serika li kuha kikisha
zina tekelezwa . (Makof i )
5
9 APRILI, 2013
MHE. ALPHAXARD K. N. LUGOLA: Mheshimiwa Spika ,
na shukuru kunipa na fa si. Kwa kuwa a ha di ni deni na kwa kuwa ma deni ha ya tuna yoya zungumzia ni ma deni a mba yo ya na ta kiwa kulipwa na Mheshimiwa Ra is, na kwa kuwa Wa heshimiwa Wa bunge ndiyo wa fua tilia ji wa kuu wa ulipwa ji wa ma deni ha ya .
Je, ni lini serika li ita a nda a ma deni ha yo na ka ma nilivyowa hi kuomba , ili ma deni ha yo ya letwe ha pa Bungeni, ili Wa heshimiwa Wa bunge wa weze kujiridhisha na mna ga ni ma d e ni ha ya ya ta lip w a kw a sa b a b u Wa he shimiw a Wa bunge ndiyo a mba o wa ta ba ki kuda iwa kule kijijini na ma tokeo ya ke ha kuna Mbunge a ta ka yerudi Bungeni ha pa ka ma ma de ni ha ya ha ya ta lipika ! Ha ya ma de ni ni ya Wa bunge, wa ka ti mwingine siyo ya Ra is tena . Na omba Serika li itua mbia e, lini a ha di hizi zita letwa ha pa ili tuone mpa ngo wa ke wa kulipwa ma deni ha ya , ni lini na siyo ma neno ni lini?
NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA
MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA, (TAMISEMI): Mheshimiwa Spika ,
kwa nia ba ya Mheshimiwa Wa ziri Mkuu, na omba kujibu swa li la nyongeza la Mheshimiwa Lugola , ka ma ifua ta vyo:-
Ni kweli ka bisa a na vyosema kwa mba a ha di ni deni, kwa ha pa tuna pozungumza ha pa la zima use me kwa ma neno! La zima ujibu kwa ma neno ya a ni la zima useme ma ne no, kwa kule kwe nye fie ld , la zima ione ka ne kwa vitendo, ka ma ni Da ra ja lioneka ne lile pa le.
Mheshimiwa Spika , mimi na elewa , … .hiyo na ielewa ka bisa , la zima uonyeshe ba ra ba ra pa le na kila kitu, la kini tuna pojibu ha pa Bungeni sa sa , tuna ya sema kwa ma neno, tuna eleza kwa nza kwa ma neno ili tukitoka ha pa tuna kwenda vizuri.
Hii orodha a na yoizungumzia Mheshimiwa Lugola na kwa ta a rifa ya Wa heshimiwa Wa bunge, orodha hii ilikwisha kutolewa na Ofisi ya Wa ziri Mkuu. Mikoa yote ilita kiwa ilete ha pa na orodha ile ina fa ha mika na ndiyo ma a na na sima ma
6
9 APRILI, 2013
ha pa w i th c o nf i d e n c e kukua mbia ha ya ni ma elekezo ya
Serilka li na Serika li imea giza kwa mba sisi tutekeleze, wa la ha tuna ha ja ya kuka a tuna b isha na ha p a , orod ha
ilisha tengezwa . (Makof i )
SPIKA: Kiongozi wa Ka mbi ya Upinza ni.
MHE. FREEMAN A. MBOWE: Mhe shimiw a Sp ika ,
na shukuru kwa kunipa na fa si ya kuuliza swa li dogo la nyongeza .
Kwa sa ba bu ma zingira ya ba ra ba ra ya Kiboriloni ha di
Kidia kule ka tika Jimbo la Moshi Vijijini ina fa na na sa na na ma zingira ya ba ra ba ra ya Ma ili sita na Rumu Lya mungo Nkuu mpa ka Mkoa ka tika Jimbo la Ha i na kwa sa ba bu ba ra ba ra hii ina pa ta misukosuko hiyo hiyo ya hiyo ba ra ba ra nyingine iliyozungumzwa ma ha li ha pa .
Kwa ma a na kwa mba ina hudumia wa ka zi za idi ya la ki moja na iko ka tika miteremko mika li.
Je, kwa sa ba bu ba ra ba ra hizi vilevile ni fupi, kwa nini
Serika li isiweke mpa ngo ma a lum wa kuhudumia ba ra ba ra hizi za sehemu za milima ni a mba zo zina sa ba bisha a ja li kubwa na wa ka ti huo huo zina hudumia wa na nc hi wengi mno ha sa ikizinga tiwa kwa mba e ne o la ma poromoko ya mlima Kilima nja ro lina ida di kubwa ya wa tu kwa kilomita za mra ba kuliko eneo lingine lolote la nc hi na lina pa ta sifa ya kuwa sehemu ya kijijini la kini ni mjini?
NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA
MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA, (TAMISEMI): Mheshimiwa Spika ,
kwa nia ba ya Mheshimiwa Wa ziri Mkuu, na omba kujibu swa li la nyongeza la Mheshimiwa Freema n Mbowe, Mbunge wa Ha i na Kiongozi wa Upinza ni ha pa Bungeni ka ma ifua ta vyo:-
Kwa nza ni-d e c l a r e i n te re st kwa mba huyu ni jira ni ya ngu, o nc e upon a t i m e Siha ilikuwa ni sehemu ya Ha i, hii
ba ra ba ra a na yoizungumzia nina ifa ha mu, ni kweli iko ka tika ha ya ma ta tizo ya na yozungumza ha pa . Mpa ngo ma a lum
7
9 APRILI, 2013
a mba o na ufa ha mu kwa sa sa hivi ni kwa mba , mipa ngo yote hii sa sa , yote tuna ja ribu kuiingiza sa sa ka tika Ba jeti syste m ye tu, kwa ma a na ya kwa mba tuwe ze kuite ke le za kwa kutumia . Mimi na kiri kwa mba ba ra ba ra hii ina ma ta tizo ka ma ile nyingine iliyozungumzwa , uta ra tibu a mba o tumekuwa na o, ni huu wa kuita ka Ha lma sha uri, ilete ma ombi ma a lum.
By m i st a k e ka ma ha ija fa nyika hivyo, it is t o o l a t e , kwa
sa ba bu sa sa ndiyo uko kwenye mc ha ka to wenyewe. La kini mimi na sha uri kwa mba ka ma iko ka tika ha li hiyo na wa le wengine wote wa na ozungumzwa , sa sa tukima liza ha po, Mheshimiwa Spika , na ta ka niseme kwa sa ba bu isije ika ja ha pa wa ka nika ba te na koo, na ta ka nise me kwa mba , tuna p okw e nd a kw e nye mp a ngo ma a lum, ina w e za ika pitishwa pa le, ni sisi na Ha lma sha utri husika tuna ondoka ha pa tuna kwenda Ha zina , Ha zina na Mheshimiwa Mgimwa yuko ha po, tuna fua ta tena .
Sa sa uta ra tibu umegeuka sa sa una kwenda kwenye mipa ngo kule, kwa ma a na ya p ri o r itie s, kwa ma a na ya vipa umbele kulinga na na ha li yenyewe ina yozungumzwa pa le. Na penda kukiri kwa mba ba ra ba ra hii ina ma ta tizo ha yo. Tuta shirikia na na Mhe shimiw a Mbow e ili tuone tuna sa idia je ba ra ba ra hiyo.
SPIKA: Ahsa nte sa na . Ha iwezeka ni kuzidi ma swa li ha yo, kwa hiyo tuna endelea na Wa ziri wa Nc hi, Ofisi ya Ra is, Ma husia no na Ura tibu.
Na . 2
Wananchi Kupewa Hati za Kimila
MHE. MURTAZA A. MANGUNGU (K.n.y. MHE. SHAFFIN
A. SUMAR) a liuliza :-