Tanzania Comoros at a Glance: 2001-02
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA TATU Kikao Cha Thelathini Na Saba
NAKALA YA MTANDAO (ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ______________ MKUTANO WA TATU Kikao cha Thelathini na Saba – Tarehe 6 Juni, 2016 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu! NDG. ZAINAB ISSA - KATIBU MEZANI: Maswali. MASWALI NA MAJIBU Na. 303 Upanuzi wa Hospitali ya Mkoa wa Pwani MHE. SILVESTRY F. KOKA aliuliza:- Upanuzi wa hospitali ya Mkoa ya Pwani ijulikanayo kama Hospitali ya Tumbi umesimama kwa takribani miaka mitatu, sasa nondo na zege la msingi na nguzo zinaoza:- Je, Serikali ina mpango gani wa kukamilisha ujenzi wa hospitali hiyo ili kuondoa hasara na kuleta tija katika huduma ya afya Kibaha? 1 NAKALA YA MTANDAO (ONLINE DOCUMENT) NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA: alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI naomba kujibu swali la Mheshimiwa Silvestry Francis Koka, Mbunge wa Kibaha Mjini, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali inatambua changamoto zinazoikabili hospitali ya rufaa ya Tumbi – Kibaha ambazo zimesababishwa kwa sehemu kubwa na ufinyu wa majengo ya kutolea huduma na uchache wa vifaa tiba. Hadi sasa Serikali imetumia shilingi bilioni 5.98 kwa ajili ya upanuzi wa hospitali hiyo. Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali katika bajeti ya mwaka wa fedha 2016/2017 imetenga shilingi bilioni 1.4 kwa ajili ya kuendeleza upanuzi wa hospitali ya Tumbi Kibaha ili kuboresha huduma za afya kwa wananchi. NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Silvestry Koka, swali la nyongeza. MHE. SILVESTRY F. KOKA: Mheshimiwa Naibu Spika, nashukuru. Pamoja na majibu mazuri ya Serikali na kwa niaba ya wananchi wa Kibaha nishukuru kwa kutupatia hiyo 1.4 bilioni katika upanuzi wa hospitali hii, nina maswali mawili ya nyongeza. -
Country Technical Note on Indigenous Peoples' Issues
Country Technical Note on Indigenous Peoples’ Issues United Republic of Tanzania Country Technical Notes on Indigenous Peoples’ Issues THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA Submitted by: IWGIA Date: June 2012 Disclaimer The opinions expressed in this publication are those of the authors and do not necessarily represent those of the International Fund for Agricultural Development (IFAD). The designations employed and the presentation of material in this publication do not imply the expression of any opinion whatsoever on the part of IFAD concerning the legal status of any country, territory, city or area or of its authorities, or concerning the delimitation of its frontiers or boundaries. The designations ‗developed‘ and ‗developing‘ countries are intended for statistical convenience and do not necessarily express a judgment about the stage reached by a particular country or area in the development process. All rights reserved Acronyms and abbreviations ACHPR African Commission on Human and Peoples‘ Rights ASDS Agricultural Sector Development Strategy AU African Union AWF African Wildlife Fund CBO Community Based Organization CCM Chama Cha Mapinduzi (Party of the Revolution) CELEP Coalition of European Lobbies for Eastern African Pastoralism CPS Country Partnership Strategy (World Bank) COSOP Country Strategic Opportunities Paper (IFAD) CWIP Core Welfare Indicator Questionnaire DDC District Development Corporation FAO Food and Agricultural Organization FBO Faith Based Organization FGM Female Genital Mutilation FYDP Five Year Development Plan -
TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2013: Who Will Benefit from the Gas Economy, If It Happens?
TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2013: Who will benefit from the gas economy, if it happens? TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2013: Who will benefit from the gas economy, if it happens? TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2013 Who will benefit from the gas economy, if it happens? Supported by: 2 TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2013: Who will benefit from the gas economy, if it happens? ACKNOWLEDGEMENTS Policy Forum would like to thank the Foundation for Civil Society for the generous grant that financed Tanzania Governance Review 2013. The review was drafted by Tanzania Development Research Group and edited by Policy Forum. The cartoons were drawn by Adam Lutta (Adamu). Tanzania Governance Reviews for 2006-7, 2008-9, 2010-11, 2012 and 2013 can be downloaded from the Policy Forum website. The views expressed and conclusions drawn on the basis of data and analysis presented in this review do not necessarily reflect those of Policy Forum. TGRs review published and unpublished materials from official sources, civil society and academia, and from the media. Policy Forum has made every effort to verify the accuracy of the information contained in TGR2013, particularly with media sources. However, Policy Forum cannot guarantee the accuracy of all reported claims, statements, and statistics. Whereas any part of this review can be reproduced provided it is duly sourced, Policy Forum cannot accept responsibility for the consequences of its use for other purposes or in other contexts. ISBN:978-9987-708-19-2 For more information and to order copies of the report please contact: Policy Forum P.O. Box 38486 Dar es Salaam Tel +255 22 2780200 Website: www.policyforum.or.tz Email: [email protected] Suggested citation: Policy Forum 2015. -
Globalization, National Economy and the Politics of Plunder in Tanzania's
'Conducive environment' for development?: Globalization, national economy and the politics of plunder in Tanzania's mining industry Author: Tundu Lissu Date Written: 1 January 2004 Primary Category: Resource Extraction Document Origin: Lawyers Environmental Action Team Secondary Category: Eastern Region Source URL: http://www.leat.or.tz INTRODUCTION We live in a world transformed in ways that even the most brilliant of the 19th and early 20th century philosophers and political thinkers would find hard to recognize. The power and mobility of finance capital has created the conditions under which rapid scientific and technological change has taken place. This has in turn augmented this power and made it extremely difficult for the state to direct economic and social policy. Capital and foreign exchange controls have everywhere been scrapped; regulations which protected jobs, consumers and the environment; subsidies which benefited the lowest strata of both the urban and rural masses have all gone, as have trade restrictions meant to protect local industries and increase government revenue. These processes have now attained the sanctity of international law through the instrumentality of such institutions as the World Bank Group and WTO and its trade negotiation rounds that have produced GATS, TRIPs, etc. The frontiers of the state have indeed been rolled back. These processes have produced a massive growth in international trade, foreign direct investment flows and unprecedented wealth. Yet they have not led to general prosperity across the world, particularly in poor countries such as Tanzania. On the contrary, general impoverishment comes as an integral part of a global economic order in which an ever-shrinking arrogant officer class , to use the phrase of an eminent British author, lives in affluency. -
AN ETHNOGRAPHY of DEAF PEOPLE in TANZANIA By
THEY HAVE TO SEE US: AN ETHNOGRAPHY OF DEAF PEOPLE IN TANZANIA by Jessica C. Lee B.A., University of Northern Colorado, 2001 M.A., Gallaudet University, 2004 M.A., University of Colorado, 2006 A thesis submitted to the Faculty of the Graduate School of the University of Colorado in partial fulfillment of the degree requirement for the degree of Doctor of Philosophy Department of Anthropology 2012 ii This thesis entitled: They Have To See Us: an Ethnography of Deaf People in Tanzania written by Jessica Chantelle Lee has been approved for the Department of Anthropology J. Terrence McCabe Dennis McGilvray Paul Shankman --------------------------------------------- Date The final copy of this thesis has been examined by the signatories, and we find that both the content and the form meet acceptable presentation standards of scholarly work in the above mentioned discipline. IRB protocol # 13090619 iii ABSTRACT They Have To See Us: an Ethnography of Deaf People in Tanzania Jessica Lee Department of Anthropology Thesis directed by Professor J. Terrence McCabe This dissertation explores the relationship between Tanzanian deaf people and mainstream society, as well as dynamics within deaf communities. I argue that deaf people who do participate in NGOs and other organizations that provide support to deaf people, do so strategically. In order to access services and improve their own lives and the lives of their families, deaf people in Tanzania move comfortably and fluidly between identity groups that are labeled as disabled or only as deaf. Through intentional use of the interventions provided by various organizations, deaf people are able to carve out deaf spaces that act as places for transmission of information, safe areas to learn and use sign language, and sites of network and community development among other deaf people. -
Masterproef Lies
UNIVERSITEIT GENT FACULTEIT POLITIEKE EN SOCIALE WETENSCHAPPEN Het Primary Education Development Programme in Tanzania: een analyse van de toegankelijkheid en de kwaliteit van het basisonderwijs op lokaal vlak in Mwanza. Wetenschappelijke verhandeling aantal woorden: 21956 LIES GOBYN MASTERPROEF MANAMA CONFLICT AND DEVELOPMENT PROMOTOR : PROF. DR. ANNE WALRAET COMMISSARIS : ELS LECOUTERE COMMISSARIS : KAREN BÜSCHER ACADEMIEJAAR 2009 – 2010 I do not have to earn The right to learn It’s mine. And if because Of faulty laws And errors of design, And far too many places where Still far too many people do not care – If because of all these things, and more, For me, the classroom door, With someone who can teach, Is still beyond my reach, Still out of sight, Those wrongs do not remove my right. 1 1 Uit: My right to learn , Robert Prouty (Unesco/Unicef, 2007, p. 14). Foto: Muurschildering in Mwanza centrum, foto gemaakt op 24 augustus 2009. 2 I. Voorwoord Het is voor mij een aangename plicht hier de mensen te bedanken die me op de één of andere manier geholpen hebben bij het tot stand komen van deze masterproef. In de eerste plaats wil ik mijn promotor, professor Dr. Anne Walraet, en commissaris Els Lecoutere bedanken voor de handige tips en feedback bij het schrijven. Daarnaast ben ik ook Frednand Fredrick bijzonder dankbaar. Hij heeft me in Mwanza met een hoop interessante mensen in contact gebracht, geen enkele moeite was hem te veel. Zonder zijn onvoorwaardelijke hulp was deze masterproef er nooit gekomen. Ook Jolien, mijn steun en toeverlaat in Mwanza, wil ik oprecht bedanken voor haar lieve aanwezigheid en haar luisterend oor. -
TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity?
TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? With Partial Support from a TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? ACKNOWLEDGEMENTS This review was compiled and edited by Tanzania Development Research Group (TADREG) under the supervision of the Steering Group of Policy Forum members, and has been financially supported in part by Water Aid in Tanzania and Policy Forum core funders. The cartoons were drawn by Adam Lutta Published 2013 For more information and to order copies of the review please contact: Policy Forum P.O Box 38486 Dar es Salaam Tel: +255 22 2780200 Website: www.policyforum.or.tz Email: [email protected] ISBN: 978-9987 -708-09-3 © Policy Forum The conclusions drawn and views expressed on the basis of the data and analysis presented in this review do not necessarily reflect those of Policy Forum. Every effort has been made to verify the accuracy of the information contained in this review, including allegations. Nevertheless, Policy Forum cannot guarantee the accuracy and completeness of the contents. Whereas any part of this review may be reproduced providing it is properly sourced, Policy Forum cannot accept responsibility for the consequences of its use for other purposes or in other contexts. Designed by: Jamana Printers b TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? TABLE OF CONTENTS POLICY FORUM’s OBJECTIVES ............................................................................................................. -
Tanzania Human Rights Report 2008
Legal and Human Rights Centre Tanzania Human Rights Report 2008: Progress through Human Rights Funded By; Embassy of Finland Embassy of Norway Embassy of Sweden Ford Foundation Oxfam-Novib Trocaire Foundation for Civil Society i Tanzania Human Rights Report 2008 Editorial Board Francis Kiwanga (Adv.) Helen Kijo-Bisimba Prof. Chris Maina Peter Richard Shilamba Harold Sungusia Rodrick Maro Felista Mauya Researchers Godfrey Mpandikizi Stephen Axwesso Laetitia Petro Writers Clarence Kipobota Sarah Louw Publisher Legal and Human Rights Centre LHRC, April 2009 ISBN: 978-9987-432-74-5 ii Acknowledgements We would like to recognize the immense contribution of several individuals, institutions, governmental departments, and non-governmental organisations. The information they provided to us was invaluable to the preparation of this report. We are also grateful for the great work done by LHRC employees Laetitia Petro, Richard Shilamba, Godfrey Mpandikizi, Stephen Axwesso, Mashauri Jeremiah, Ally Mwashongo, Abuu Adballah and Charles Luther who facilitated the distribution, collection and analysis of information gathered from different areas of Tanzania. Our 131 field human rights monitors and paralegals also played an important role in preparing this report by providing us with current information about the human rights’ situation at the grass roots’ level. We greatly appreciate the assistance we received from the members of the editorial board, who are: Helen Kijo-Bisimba, Francis Kiwanga, Rodrick Maro, Felista Mauya, Professor Chris Maina Peter, and Harold Sungusia for their invaluable input on the content and form of this report. Their contributions helped us to create a better report. We would like to recognize the financial support we received from various partners to prepare and publish this report. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA NANE Kikao cha Thelathini na Tisa – Tarehe 2 AGOSTI, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) DUA Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013. SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, naomba mzime vipasa sauti vyenu maana naona vinaingiliana. Ahsante Mheshimiwa Naibu Waziri, tunaingia hatua inayofuata. MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Leo ni siku ya Alhamisi lakini tulishatoa taarifa kwamba Waziri Mkuu yuko safarini kwa hiyo kama kawaida hatutakuwa na kipindi cha maswali hayo. Maswali ya kawaida yapo machache na atakayeuliza swali la kwanza ni Mheshimiwa Vita R. M. Kawawa. Na. 310 Fedha za Uendeshaji Shule za Msingi MHE. VITA R. M. KAWAWA aliuliza:- Kumekuwa na makato ya fedha za uendeshaji wa Shule za Msingi - Capitation bila taarifa hali inayofanya Walimu kuwa na hali ngumu ya uendeshaji wa shule hizo. Je, Serikali ina mipango gani ya kuhakikisha kuwa, fedha za Capitation zinatoloewa kama ilivyotarajiwa ili kupunguza matatizo wanayopata wazazi wa wanafunzi kwa kuchangia gharama za uendeshaji shule? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Vita Rashid Kawawa, Mbunge wa Namtumbo, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) imepanga kila mwanafunzi wa Shule ya Msingi kupata shilingi 10,000 kama fedha za uendeshaji wa shule (Capitation Grant) kwa mwaka. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _________________ MAJADILIANO YA BUNGE _________________ MKUTANO WA ISHIRINI Kikao cha Ishirini na Tisa - Tarehe 13 Julai, 2010 (Mkutano ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ZifuataZo Ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI (MHE. OMAR YUSSUF MZEE): Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Fedha na Uchumi kwa Mwaka wa Fedha, 2010/2011. Taarifa ya Mwaka na Hesabu zilizikaguliwa za Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wkaguzi Tanzania kwa Mwaka wa Fedha ulioishia tarehe 30 Juni, 2009 [The Annual Report and Audit Accounts of The National Board of Accountants and Auditors (NBAA) Tanzania for the Financial Year ended 30th June, 2009]. MHE. ABDALLAH O. KIGODA, MWENYEKITI WA KAMATI YA FEDHA NA UCHUMI: Taarifa ya Kamati ya Fedha na Uchumi Kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Fedha na Uchumi kwa Mwaka wa Fedha 2009/2010 pamoja na maoni ya Kamati Kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2010/2011. MHE. KABWE ZUBERI ZITTO - MSEMAJI WA UPINZANI KWA WIZARA YA FEDHA NA UCHUMI): Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani kuhusu Makadiro ya Matumizi ya Wizara ya Fedha na Uchumi kwa Mwaka wa Fedha 2010/2011. 1 NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA MIUNDOMBINU: Taarifa ya Mwaka na Hesabu zilizokaguliwa za Bodi ya Mfuko wa Barabara kwa mwaka wa 2006/2007 na 2007/2008 [The Annual Report and Audited Accounts of The Roads Fund Board for the Financial Years 2006/2007 and 2007/2008). MASWALI NA MAJIBU Na. -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Ishirini na Nne – Tarehe 18 Julai, 2006 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kabla sijamwita muuliza swali la kwanza nina matangazo kuhusu wageni, kwanza wale vijana wanafunzi kutoka shule ya sekondari, naona tangazo halisomeki vizuri, naomba tu wanafunzi na walimu msimame ili Waheshimiwa Wabunge waweze kuwatambua. Tunafurahi sana walimu na wanafunzi wa shule zetu za hapa nchini Tanzania mnapokuja hapa Bungeni kujionea wenyewe demokrasia ya nchi yetu inavyofanya kazi. Karibuni sana. Wapo Makatibu 26 wa UWT, ambao wamekuja kwenye Semina ya Utetezi na Ushawishi kwa Harakati za Wanawake inayofanyika Dodoma CCT wale pale mkono wangu wakulia karibuni sana kina mama tunawatakia mema katika semina yenu, ili ilete mafanikio na ipige hatua mbele katika kumkomboa mwanamke wa Tanzania, ahsanteni sana. Hawa ni wageni ambao tumetaarifiwa na Mheshimiwa Shamsa Selengia Mwangunga, Naibu Waziri wa Maji. Wageni wengine nitawatamka kadri nitakavyopata taarifa, kwa sababu wamechelewa kuleta taarifa. Na. 223 Barabara Toka KIA – Mererani MHE. DORA H. MUSHI aliuliza:- Kwa kuwa, Mererani ni Controlled Area na ipo kwenye mpango wa Special Economic Zone na kwa kuwa Tanzanite ni madini pekee duniani yanayochimbwa huko Mererani na inajulikana kote ulimwenguni kutokana na madini hayo, lakini barabara inayotoka KIA kwenda Mererani ni mbaya sana -
MKUTANO WA KUMI Kikao Cha Nne – Tarehe 1 Fe
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE ________________ MKUTANO WA KUMI Kikao cha Nne – Tarehe 1 Februari, 2013 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, Asalaam alleykum! Amani ya Bwana iwe nanyi! Heri ya mwaka mpya! Katibu tuendelee. MASWALI NA MAJIBU Na. 40 Ukamilishaji wa Ujenzi wa Zahanati ya Nalasi MHE. MTUTURA A. MTUTURA aliuliza:- 1 Zahanati ya Nalasi katika kijiji cha Nalasi, Jimbo la Tunduru Kusini, iliishapandishwa hadhi kuwa Kituo cha Afya kuanzia mwaka 2010 kufuatia ahadi aliyoitoa Mheshimiwa Rais kwa wananchi:- (a) Je, Serikali imefikia wapi katika utekelezaji wa ujenzi wa kituo cha afya? (b) Je, Serikali inatoa kauli gani kwa nguvu za wananchi kufyatua matofali zaidi ya 300,000 ilihali utekelezaji wa agizo hilo unachelewa? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Mtutura A. Mtutura, Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kusini, lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:- (a) Mheshimiwa Naibu Spika, ni kweli mnamo tarehe 12 Oktoba, 2010 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa katika ziara wilayani Tunduru aliahidi kufanya upanuzi wa Zahanati ya Nalasi iliyopo katika Kata ya Nalasi, kuwa kituo cha afya. Mheshimiwa Naibu Spika, ili kutekeleza agizo la Mheshimiwa Rais, Halmashauri katika mwaka wa fedha 2012/2013 iliwasilisha maombi maalum kwa Wizara ya Fedha ili kupata shilingi bilioni 2.4 zinazohitajika kujenga 2 majengo 12 na nyumba 14 za Watumishi katika kituo hicho lakini hazikupatikana.