Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
-
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA KUMI NA MBILI Kikao cha Ishirini na Tano - Tarehe 16 Julai, 2003 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Pius Msekwa) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA ELIMU YA JUU: Hotuba ya Waziri wa Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu kwa Mwaka wa Fedha 2003/2004. MHE. MARGARETH A. MKANGA (k.n.y. MHE. OMAR S. KWAANGW’ - MWENYEKITI WA KAMATI YA HUDUMA ZA JAMII): Taarifa ya Kamati ya Huduma za Jamii kuhusu utekelezaji wa Wizara ya Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu katika mwaka uliopita, pamoja na maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka 2003/2004. MASWALI NA MAJIBU Na. 239 Majimbo ya Uchaguzi MHE. JAMES P. MUSALIKA (k.n.y. MHE. DR. WILLIAM F. SHIJA) aliuliza:- Kwa kuwa baadhi ya Majimbo ya Uchaguzi ni makubwa sana kijiografia na kwa wingi wa watu; je, Serikali itashauriana na Tume ya Uchaguzi ili kuongeza Majimbo ya Uchaguzi katika baadhi ya maeneo nchini katika Uchaguzi wa mwaka 2005? WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (MHE. MUHAMMED SEIF KHATIB) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kabla ya kujibu swali la Mheshimiwa Dr. William Shija, Mbunge wa Sengerema, naomba kutoa maelezo yafuatayo:- Mheshimiwa Spika, lilipokuwa linajibiwa swali la Mheshimiwa Ireneus Ngwatura, Mbunge wa Jimbo la Mbinga Magharibi na pia swali la Mheshimiwa Sophia Simba, Mbunge wa Viti Maalum, CCM 1 katika Mikutano ya Saba na Kumi na Moja sawia ya Bungeni, nilieleza kwamba, kwa mujibu wa Ibara ya 75(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungao wa Tanzania 1977, Jamhuri ya Muungano inaweza kugawanywa katika Majimbo ya Uchaguzi kwa idadi na namna itakavyoamuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi baada ya kupata kibali cha Mheshimiwa Rais. -
TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity?
TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? With Partial Support from a TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? ACKNOWLEDGEMENTS This review was compiled and edited by Tanzania Development Research Group (TADREG) under the supervision of the Steering Group of Policy Forum members, and has been financially supported in part by Water Aid in Tanzania and Policy Forum core funders. The cartoons were drawn by Adam Lutta Published 2013 For more information and to order copies of the review please contact: Policy Forum P.O Box 38486 Dar es Salaam Tel: +255 22 2780200 Website: www.policyforum.or.tz Email: [email protected] ISBN: 978-9987 -708-09-3 © Policy Forum The conclusions drawn and views expressed on the basis of the data and analysis presented in this review do not necessarily reflect those of Policy Forum. Every effort has been made to verify the accuracy of the information contained in this review, including allegations. Nevertheless, Policy Forum cannot guarantee the accuracy and completeness of the contents. Whereas any part of this review may be reproduced providing it is properly sourced, Policy Forum cannot accept responsibility for the consequences of its use for other purposes or in other contexts. Designed by: Jamana Printers b TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2012: Transparency with Impunity? TABLE OF CONTENTS POLICY FORUM’s OBJECTIVES ............................................................................................................. -
Consequences for Women's Leadership
The Politics Behind Gender Quotas: Consequences for Women’s Leadership Equity in African Legislatures by Christie Marie Arendt B.A. in Interdisciplinary Studies in Social Science, May 2004, Michigan State University M.A. in International Affairs, May 2006, The George Washington University A Dissertation submitted to The Faculty of The Columbian College of Arts and Sciences of The George Washington University in partial fulfillment of the requirements for the degree of Doctor of Philosophy January 31, 2017 Dissertation directed by Kimberly J. Morgan Professor of Political Science and International Affairs The Columbian College of Arts and Sciences of The George Washington University certifies that Christie Marie Arendt has passed the Final Examination for the degree of Doctor of Philosophy as of December 16, 2016. This is the final and approved form of the dissertation. The Politics Behind Gender Quotas: Consequences for Women’s Leadership Equity in African Legislatures Christie Marie Arendt Dissertation Research Committee: Kimberly J. Morgan, Professor of Political Science and International Affairs, Dissertation Director Jennifer Brinkerhoff, Professor of International Affairs, International Business, and Public Policy & Public Administration Eric Kramon, Assistant Professor of Political Science and International Affairs, Committee Member ii © Copyright 2017 by Christie Marie Arendt All rights reserved iii Dedication To my parents, Anne and Steve Arendt, none of this was possible without your enduring love and support. iv Acknowledgments This dissertation benefitted from the encouragement and guidance of a number of people. As an alumna of The George Washington University’s Elliott School of International Affairs, I knew that GW would provide a perfect environment to pursue my doctoral studies. -
MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA NANE Kikao Cha
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE ______________ MKUTANO WA NANE Kikao cha Kumi na Tatu – Tarehe 29 Juni, 2007 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kabla sijamwita Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii kwa Kuwasilisha Hati. Naomba niwashukuru nyote jinsi tulivyoshirikiana kwa pamoja kuweza kumsindikiza mwenzetu Marehemu Amina Chifupa Mpakanjia, katika safari yake ya mwisho. Waheshimiwa Wabunge, napenda niwashukuru Kamati ya Uongozi na Tume ya Huduma za Bunge, lakini pia TWPG kwa kushirikiana vizuri sana kuweza kumsindikiza mwenzetu kwa heshima; na kipekee naomba Mheshimiwa Waziri Mkuu atutolee salamu za shukrani kwa Mheshimiwa Rais kwa jinsi ambavyo Mheshimiwa Rais alivyokuwa karibu nasi kila dakika kwa mawasiliano hadi hapo jana kule Njombe. Waheshimiwa Wabunge, narejea tena Mungu ailaze roho ya Marehemu Mheshimiwa Amina Chifupa Mpakanjia, mahali pema peponi. Amin. Hati ifuatayo iliwasilishwa mezani na:- NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII: Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Shirika la Hifadhi ya Taifa (TANAPA) kwa mwaka 2005/2006 (The Annual Report and Accounts of the Tanzania National Parks for the Year 2005/2006). MASWALI NA MAJIBU Na. 106 Ubovu wa Barabara za Jiji la Dar es Salaam MHE. MUSSA A. ZUNGU aliuliza:- 1 Kwa kuwa sura ya nchi yetu iko katika Jimbo la Ilala; na kwa kuwa barabara nyingi za Jiji la Dar es Salaam ni mbovu sana hali inayosababisha msongamano wa magari na -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _____________ MAJADILIANO YA BUNGE ________________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Sita – Tarehe 21 Juni, 2006 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU Na. 48 Upatikanaji wa Maji Vijijini MHE. JUMA SAID OMAR aliuliza:- Kwa kuwa maji ni uhai na kwa kuwa upatikanaji wa maji Vijijini ni mgumu kiasi kwamba wananchi wanatumia maji ambayo si safi na salama kwa matumizi ya binadamu:- (a) Je, Serikali inasema nini kuhusu utumiaji wa maji ambayo yanahatarisha afya na maisha ya wananchi? (b) Je, Serikali inajiandaa vipi au ina mpango gani kuhakikisha kwamba maji safi na salama yanapatikana kwa uhakika Vijijini? NAIBU WAZIRI WA MAJI alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Maji naomba kujibu swali la Mheshimiwa Juma Said Omar, Mbunge wa Jimbo la Mtambwe, lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:- (a) Mheshimiwa Spika, nakubaliana na Mheshimiwa Mbunge kuwa maji ambayo si safi na salama yanahatarisha afya na maisha ya wananchi. Ukosefu wa maji unawafanya wananchi kutafuta na kuchota maji yasiyokuwa salama. Matukio ya magonjwa yanayosababishwa na maji ambayo si salama, ni kielelezo kuwa bado wananchi wanatumia maji hayo. Serikali kwa kushirikiana na wadau wengine imekuwa ikihamasisha wananchi kuzingatia kanuni za afya kuhusu usafi wa mazingira na usafi 1 binafsi ikiwa ni pamoja na kuchemsha maji ya kunywa. Wananchi pia wamekuwa wakihimizwa kutunza vyanzo vya maji ili kuepusha kuchafuliwa au kukauka. Aidha, Serikali itaendelea kuboresha huduma za afya ya jamii na mkazo utawekwa kwenye mipango ya pamoja inayojumuisha utoaji wa huduma za maji, usafi wa mazingira na elimu ya afya. -
1458123576-Hs-15-27
Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________________ MAJADILIANO YA BUNGE _____________________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Ishirini Saba – Tarehe 5 Juni, 2014 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa tukae. Katibu! TAARIFA YA SPIKA SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kama mtakavyoangalia ratiba yetu, zile siku 26 za kujadili Wizara moja moja zimemalizika jana, tulimaliza na Wizara ya Fedha. Sasa ile ndiyo tulikuwa tunajadili sekta moja moja na kama nilivyokuwa nimewaambia siku moja, kwamba hatuwezi kufanya maamuzi ya dhahiri katika zile sekta moja moja, kwa sababu kutatokea na mabadiliko mengi. Kwa hiyo, kuanzia leo tarehe 5 Juni, 2014, mpaka tarehe 11 Juni, 2014 Kamati yetu ya Bajeti na Serikali, wataendelea kujadiliana kwa undani zaidi kuhusu maeneo yale ambayo sisi tulifikiria kwamba ni muhimu zaidi yapewe uzito wa pekee. Kama vile tulivyosema, Wizara ya Maji, Wizara ya Nishati na Madini, Wizara ya Mawasiliano, Sayansi ya Teknolojia na mengine ambayo wataona yanafaa. (Makofi) Yaani pointi hapa ni kwamba, si kwamba kuna fedha zinazotoka mahali pengine, hapana, ni hizo hizo humu ndani tuangalie ni vitu gani tunaweza kuviondoa tukaviingiza katika mambo yale ambayo ni muhimu, si kwamba kuna fedha nyingine zitakazotokea. Kwa hiyo, kazi ambayo itakuwa inafanyika, kuanzia siku ya leo mpaka tarehe 11 Juni, 2014 kwa Bajeti ya Committee na Serikali na kwa kiwango fulani Wenyeviti watahusika, kushirikiana pamoja na Budget Committee kuona kwamba tunashirikiana vizuri. Kwa maana hiyo ni kwamba katika kipindi hiki tofauti na miaka mingine, toka mwaka jana, Bunge linashiriki kunadika ile Bajeti ya Serikali. Kwa hiyo, hiyo ndiyo itakayosaidia Waziri wa Fedha siku ya tarehe 12 kusoma kitu ambacho sisi kwa namna moja au nyingine tumeshiriki. -
MKUTANO WA KUMI NA SITA Kikao Cha Tatu – Tarehe 5 Septemba
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA KUMI NA SITA Kikao cha Tatu – Tarehe 5 Septemba, 2019 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) DUA Mwenyekiti (Mhe. Mussa A. Zungu) Alisoma Dua MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu! NDG. NEEMA MSANGI – KATIBU MEZANI: HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa mezani na:- MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI: Maelezo ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na. 4) wa Mwaka 2019 [The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No. 4), Bill, 2019]. MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA - MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA: Maoni ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) Mbalimbali (Na. 4) wa Mwaka 2019 [The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No. 4), Bill, 2019]. MHE. JOYCE J. MUKYA (K.n.y MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KUHUSU WIZARA YA KATIBA NA SHERIA): Maoni ya Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni juu ya Wizara ya Katiba na Sheria kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na. 4) wa Mwaka 2019 [The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No. 4), Bill, 2019]. MWENYEKITI: Asante, Katibu. NDG. NEEMA MSANGI – KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU Na. 30 Uchaguzi wa Vitongoji, Vijiji na Mitaa – 2019 MHE. JOHN J. MNYIKA aliuliza:- Tume ya Taifa ya Uchaguzi iliwahi kupewa jukumu la nyongeza la kusimamia kura ya maoni ya mabadiliko -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _________________ MAJADILIANO YA BUNGE _________________ MKUTANO WA ISHIRINI Kikao cha Kumi na Tatu - Tarehe 22 Juni, 2010 (Mkutano ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI: Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA: Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika kwa Mwaka wa Fedha 2010/2011. MHE. KIDAWA HAMID SALEHE (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KILIMO, MIFUGO NA MAJI): Taarifa ya Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Kilimo. Chakula na Ushirika kwa Mwaka wa Fedha 2009/2010 pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2010/2011. MHE. SALIM HEMED KHAMIS - MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI KUHUSU WIZARA YA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA: Taarifa ya Msemaji wa Mkuu wa Kambi ya Upinzani kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika kwa Mwaka wa Fedha 2010/2011. NAIBU WAZIRI WA MAJI NA UMWAGILIAJI:- Randama za Makadiro ya Matumizi ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji kwa Mwaka wa Fedha 2010/2011. 1 MASWALI NA MAJIBU Na. 86 Kuhusu Soko la Wamachinga Dar es Salaam MHE. MOHAMMED ALI SAID aliuliza:- Soko la Wamachinga lililopo Ilala Jijini Dar es Salaam lilitegemewa liwe limefunguliwa ndani ya mwaka 2009:- Je, ni sababu ipi iliyokwamisha kufunguliwa na kuanza kufanya kazi? WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu naomba kujibu swali la Mheshimiwa Mohamed Ali Said, Mbunge wa Magogoni, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Naibu Spika, kukwama kufunguliwa kwa soko la Wamachinga Jijini Dar es Salaam kumetokana na kuchelewa kukamilika kwa ujenzi. -
Kitabu Cha Kumbukumbu Za Wabunge
BUNGE LA TANZANIA ____________ KITABU CHA KUMBUKUMBU ZA WABUNGE BUNGE LA KUMI NA MBILI Toleo la Tatu - Aprili, 2021 1 SEHEMU YA KWANZA UTANGULIZI Bunge limekuwepo toka tupate Uhuru mwaka 1961 na kabla ya Uhuru kuanzia mwaka 1926. Wabunge nao wameendelea kuwepo kwa vipindi tofauti na kwa idadi inayobadilika kila wakati wakitekeleza wajibu wao muhimu wa kutunga sheria na kuisimamia Serikali kwa niaba ya wananchi kwa mujibu wa Katiba ya nchi. Bunge lilipoanza mwaka 1926, Wabunge walikuwa ishirini na moja (21) na mwaka 1961 ulipopatikana Uhuru Wabunge waliongezeka kufikia themanini (80) na baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 idadi ya Wabunge iliongezeka na kufikia Wabunge 357. Hata hivyo, baada ya Tume ya Uchaguzi kuona umuhimu wa kuongeza idadi ya majimbo kutokana na sababu mbalimbali sasa hivi idadi ya Wabunge ni 393. Kitabu hiki cha Kumbukumbu za Wabunge kimegawanyika katika Sehemu kuu Kumi na Nne. Katika sehemu hizo, kitabu kimeorodhesha Wabunge wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na anuani zao, namba zao simu za mkononi na majimbo au aina ya uwakilishi wao Bungeni chini ya picha zao ili kurahisisha mawasiliano. Katika mchanganuo wa kila sehemu, Sehemu ya Kwanza ni Utangulizi. Aidha, Wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Bunge ambao ndio wasimamizi wa shughuli za Bunge wameorodheshwa katika Sehemu ya Pili ya kitabu hiki ikifuatiwa na Uongozi wa Ofisi ya Bunge katika Sehemu ya Tatu. 2 Sehemu ya Nne imeorodhesha Wabunge wote wa Majimbo wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Mikoa ikifuatiwa na Sehemu ya Tano ambayo imeorodhesha Wabunge wote wa Viti Maalum kulingana na uwakilishi wa vyama vyao Bungeni ikianzia na Chama cha Mapinduzi (CCM) na ikifuatiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Sehemu ya Sita imeorodhesha Wabunge kupitia nafasi ya Kuteuliwa na Rais na Sehemu ya Saba itaorodhesha Wabunge kutoka Baraza la Wawakilishi. -
Kitabu Cha Kumbukumbu Za Wabunge
BUNGE LA TANZANIA ____________ KITABU CHA KUMBUKUMBU ZA WABUNGE BUNGE LA KUMI NA MOJA Toleo la Pili - Aprili, 2018 1 2 SEHEMU YA KWANZA UTANGULIZI Bunge limekuwepo toka tupate uhuru mwaka 1961 na kabla ya uhuru kuanzia mwaka 1926. Wabunge nao wameendelea kuwepo kwa vipindi tofauti na kwa idadi inayobadilika kila wakati wakitekeleza wajibu wao muhimu wa kutunga sheria na kuisimamia Serikali kwa niaba ya wananchi kwa mujibu wa Katiba ya nchi. Bunge lilipoanza mwaka 1926, Wabunge walikuwa ishirini na moja (21) na tulipopata uhuru mwaka 1961 Wabunge walikuwa wameongezeka kufikia themanini (80) na baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 idadi ya Wabunge iliongezeka na kufikia Wabunge 357. Hata hivyo, baada ya Tume ya Uchaguzi kuona umuhimu wa kuongeza idadi ya Majimbo kutokana na sababu mbalimbali sasa hivi idadi ya Wabunge ni 393. Kitabu hiki cha Kumbukumbu za Wabunge kimegawanyika katika Sehemu kuu Kumi na Nne. Katika sehemu hizo za kitabu kimeorodhesha Wabunge wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na anuani zao, namba zao simu za mkononi na Majimbo yao ya uwakilishi Bungeni chini ya picha zao ili kurahisisha mawasiliano. Katika mchanganuo wa kila sehemu, Sehemu ya Kwanza ni Utangulizi. Aidha, Wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Bunge ambao ndiyo wasimamizi wa shughuli za Bunge wameorodheshwa katika Sehemu ya Pili ya kitabu hiki ikifuatiwa na Uongozi wa Ofisi ya Bunge katika Sehemu ya Tatu. 3 Sehemu ya Nne imeorodhesha Wabunge wote wa Majimbo wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Mikoa ikifuatiwa na Sehemu ya Tano ambayo imeorodhesha Wabunge wote wa Viti Maalum kulingana na uwakilishi wa vyama vyao Bungeni ikianzia na Chama cha Mapinduzi (CCM); ikifuatiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama cha Wananchi (CUF) na Sehemu ya Sita imeorodhesha Wabunge kupitia nafasi ya Kuteuliwa na Rais na Sehemu ya Saba ni Wabunge kutoka Baraza la Wawakilishi. -
1458125225-Hs-6-5-20
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ______________ MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA SITA Kikao cha Tano – Tarehe 6 Februari, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaendelea na kikao chetu cha Tano cha Mkutano wa Sita. Maswali leo tunaanza na Ofisi ya Waziri Mkuu, swali la kwanza linaulizwa na Mheshimiwa Anne Kilango Malecela, Mbunge wa Same Mashariki. Mheshimiwa Anne Kilango. MASWALI NA MAJIBU Na. 53 Suala la Shughuli za Serikali Kuhamia Dodoma MHE. ANNE K. MALECELA aliuliza:- Mara nyingi majibu ya Serikali kuhusu swali la Makao Makuu ya Serikali kuhamia Dodoma yamekuwa ‘tumo mbioni’ au ‘kasungura kadogo’ na wakati huo ujenzi wa majengo ya Wizara na nyumba za Serikali unaendelea Dar es Salaam. Je, Serikali inaweza kuwapa Watanzania ratiba ya uhakika itakayotekelezeka kuliko kuwaweka katika hali ya kutokuelewa hali halisi ya suala hilo muhimu sana na la Kitaifa ? WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, UWEKEZAJI NA UWEZESHAJI alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu naomba kujibu swali la Mheshimiwa Anne Kilango Malecela, Mbunge wa Same Mashariki, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Naibu Spika, wakati nikijibu swali la Bunge Namba 778 la Mheshimiwa Dokta David Mciwa Mallole, Mbunge wa Dodoma Mjini, nilieleza dhamira ya Serikali ya kuhamia Dodoma na umuhimu wa kufanya maandalizi ya msingi ya kukamilisha ujenzi wa miundombinu na huduma nyingine muhimu zinazohitajika kwa ajili ya kuwaweka watu wa ziada Dodoma na kuendesha shughuli za Serikali. Mheshimiwa Naibu Spika, ili kuendeleza zoezi la kujenga miundombinu na huduma nyingine kwa kuzingatia hali ya sasa, Serikali imeamua kuupitia upya mpango kabambe wa Mji Mkuu Dodoma na tayari Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu imepatiwa fedha kiasi cha shilingi bilioni 1.6 kwa kazi hiyo.