Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
-
Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru! Harith Ghassany
Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru! Harith Ghassany [email protected] SOMA HAPA KWANZA Usambazaji wa kitabu hichi kwa mfumo wa Free Electronic Downloading unafanyika chini ya mkataba wa Creative Commons Attribution-NonCommercial-ShareAlike 3.0 ambao uko chini ya Sharia za nchi ya Marekani. Kwa mujibu wa Mkataba na Sharia hii, mtu anayekichukuwa kitabu hichi kupitia mfumo huu ana uhuru pia wa kukigawa, kukirudufu na kukisambaza chini ya masharti yafuatayo: • Kulitaja jina la mwandishi wa kitabu kwa njia isiyohalalisha matumizi binafsi ya kitabu • Kutokitumia kwa makusudi ya kibiashara wakati kinauzwa katika mfumo wa kitabu • Kutokubadilisha, kugeuza, au kuongeza chochote kwenye kitabu hichi Kwa maelezo zaidi, tafadhali tembelea: http://creativecommons.org/licenses/ by-nc-nd/3.0/us/ Kitabu hichi kinatolewa bure katika mfumo huu ili msomaji anufaike na baadaye naye akipendekeze kwa mwenzake ili hatimaye ujumbe wa kusimamisha amani uliomo kitabuni uwafikie walio wengi. Hata hivyo, mwandishi wa kitabu hiki anafahamu kwamba raha hasa ya kitabu ni kuwamo mikononi mwa msomaji, maana kitabu ni miongoni mwa vitu adhimu na vikongwe kabisa katika urathi wa mwanaadamu. Kwa hivyo, licha ya kutolewa fursa hii ya mfumo wa kukisoma bure kitabu hichi kupitia kwenye mtandao, ni matarajio ya mwandishi kuwa wako watakaopendelea wawe nacho mikononi na kukisoma kwa nafasi zao. Kwa vile walengwa wa mfumo huu wa Free Electronic Downloading ni Wazanzibari na Watanganyika wa kawaida, basi ipo haja kwa wale wenye uwezo, wakiwa ndani ama nje ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kutoa mchango wa kuvinunua vitabu ama kupitia mtandao wa kitabu, http://kwaherikwaheri.com, au moja kwa moja kutoka http://lulu.com na kuwafikishia walimu na wanafunzi walioko kwenye skuli na vyuo vya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. -
And National Economy
NORDIC WEEK UNITED REPUBLIC OF TANZANIA VICE PRESIDENT’S OFFICE ENVIRONMENT WEEK HIGH LEVEL SYMPOSIUM ON CLIMATE CHANGE, ENVIRONMENT AND NATIONAL ECONOMY 1 June, 2018 H.E. The Vice President of the Republic of Tanzania, Hon. Samia Suluhu Hassan planting a tree in a natural forest reserve established by the late Father of the Nation Mwl. Julius Kambarage Nyerere. This tree planting ceremony happened during the climax of the World Environment Day nationally commemortated in Butiama, 2017. HIGH LEVEL SYMPOSIUM ON CLIMATE CHANGE, ENVIRONMENT AND NATIONAL ECONOMY STATEMENT OF THE MINISTER OF STATE, UNION AFFAIRS AND ENVIRONMENT On 5th of June 2018, Tanzania will join other countries in the world to mark the World Environment Day (WED). This day was officiated in the first United Nations meeting on environment in Sweden in 1972, where a resolution was passed to mark it as World Environment Day to be globally celebrated each year. This year, the celebrations are being observed at the international level in New Delhi, India guided by the global theme “Beat Plastic Pollution”. The theme aims at promoting initiatives to discourage environmental degradation and pollution caused by plastic waste and plastic by-products. At the National Level, we mark WED in Dar es Salaam where city residents and all Tanzanian will have the opportunity to be informed and sensitized on how to combat the environmental challenges that impact Dar es Salaam and the country in general resulting into catastrophes particularly floods; pollution; coastline erosion along the Indian ocean coast and destruction of marine environment; and forest degradation due to the ever increasing consumption of charcoal particularly by residents in urban centres. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE _________________ MKUTANO WA KUMI NA NANE Kikao cha Kumi na Tatu – Tarehe 10 Februari, 2010 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI (MHE. OMAR YUSSUF MZEE): Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Benki ya Posta Tanzania, kwa Mwaka 2008 [The Annual Report and Accounts of The Tanzania Postal Bank for the Year 2008]. The Mid-Term Review of the Monetary Policy Statement of The Bank of Tanzania for the Year 2009/2010. MWENYEKITI WA KAMATI YA NISHATI NA MADINI: Taarifa ya Kamati ya Nishati na Madini juu ya Taarifa ya Serikali Kuhusu Ubinafsishwaji wa Mgodi wa Kiwira. Taarifa ya Kamati ya Nishati na Madini Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelezaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Mchakato wa Zabuni ya Kuzalisha Umeme wa Dharura Ulioipa Ushindi Kampuni ya Richmond Development Company LLC. Houston Texas - Marekani Mwaka 2006. MWENYEKITI WA KAMATI YA MIUNDOMBINU: Taarifa ya Kamati ya Miundombinu Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelzaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Uendeshaji Usioridhisha wa Shirika la Reli Tanzania uliofanywa na Kampuni ya RITES ya India. 1 Taarifa ya Kamati ya Miundombinu Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelezaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Utendaji wa Kazi Usioridhisha wa Kampuni ya TICTS. MASWALI NA MAJIBU Na. 145 Usimamizi wa Ukaguzi wa Fedha za Halmashauri MHE. HERBERT J. MNTANGI aliuliza:- Kwa kuwa, kiasi cha fedha kinachopelekwa katika Halmashauri za Wilaya, Manispaa na Jiji ni kikubwa na kinahitaji usimamizi wa ziada:- Kwa kuwa kitengo cha ukaguzi wa ndani kipo chini ya Mkurugenzi Mtendaji. -
Pan Africanism and the Challenge of EAC Integration
Pan-Africanism and the Challenge of East African Community Integration By Issa G. Shivji Mwalimu Nyerere University Professor of Pan-African Studies University of Dar es Salaam Dar es Salaam [email protected] Paper to be presented at the EAC 10th Anniversary Symposium, 13-14 November 2009, Arusha, Tanzania. 1 Pan-Africanism and the Challenge of East African Community Integration By Issa G. Shivji Mwalimu Nyerere University Professor of Pan-African Studies University of Dar es Salaam Dar es Salaam [email protected] I. Introductory The purpose of this short paper is to assess the challenge of regional unity like the East African Community (EAC) from the standpoint of pan-Africanism. We use the term ‘regional unity’, or regionalism, to refer to include both economic integration and political association. As we celebrate the 10th anniversary of the second-generation East African Community, it is opportune to stand back from the dominant debates on forms of integration – common market, monetary union, fast-tracking or snail-walking of the East African Federation etc. – and ask certain core questions: What exactly is the vision, the lodestar, so to speak, of the regional project? What is its historical genesis? What are the driving forces of the project, in whose interest and for what purpose? How does the project relate to the larger global forces, and in particular, to the changing world hegemonies? It is only by asking these bigger questions that we can critically assess where we are going and chart the possible way forward. It is not my intention to enter into a debate on the merits or demerits of the forms of economic integration or the speed of political association. -
Tanzania Human Rights Report 2008
Legal and Human Rights Centre Tanzania Human Rights Report 2008: Progress through Human Rights Funded By; Embassy of Finland Embassy of Norway Embassy of Sweden Ford Foundation Oxfam-Novib Trocaire Foundation for Civil Society i Tanzania Human Rights Report 2008 Editorial Board Francis Kiwanga (Adv.) Helen Kijo-Bisimba Prof. Chris Maina Peter Richard Shilamba Harold Sungusia Rodrick Maro Felista Mauya Researchers Godfrey Mpandikizi Stephen Axwesso Laetitia Petro Writers Clarence Kipobota Sarah Louw Publisher Legal and Human Rights Centre LHRC, April 2009 ISBN: 978-9987-432-74-5 ii Acknowledgements We would like to recognize the immense contribution of several individuals, institutions, governmental departments, and non-governmental organisations. The information they provided to us was invaluable to the preparation of this report. We are also grateful for the great work done by LHRC employees Laetitia Petro, Richard Shilamba, Godfrey Mpandikizi, Stephen Axwesso, Mashauri Jeremiah, Ally Mwashongo, Abuu Adballah and Charles Luther who facilitated the distribution, collection and analysis of information gathered from different areas of Tanzania. Our 131 field human rights monitors and paralegals also played an important role in preparing this report by providing us with current information about the human rights’ situation at the grass roots’ level. We greatly appreciate the assistance we received from the members of the editorial board, who are: Helen Kijo-Bisimba, Francis Kiwanga, Rodrick Maro, Felista Mauya, Professor Chris Maina Peter, and Harold Sungusia for their invaluable input on the content and form of this report. Their contributions helped us to create a better report. We would like to recognize the financial support we received from various partners to prepare and publish this report. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA NANE Kikao cha Thelathini na Tisa – Tarehe 2 AGOSTI, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) DUA Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013. SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, naomba mzime vipasa sauti vyenu maana naona vinaingiliana. Ahsante Mheshimiwa Naibu Waziri, tunaingia hatua inayofuata. MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Leo ni siku ya Alhamisi lakini tulishatoa taarifa kwamba Waziri Mkuu yuko safarini kwa hiyo kama kawaida hatutakuwa na kipindi cha maswali hayo. Maswali ya kawaida yapo machache na atakayeuliza swali la kwanza ni Mheshimiwa Vita R. M. Kawawa. Na. 310 Fedha za Uendeshaji Shule za Msingi MHE. VITA R. M. KAWAWA aliuliza:- Kumekuwa na makato ya fedha za uendeshaji wa Shule za Msingi - Capitation bila taarifa hali inayofanya Walimu kuwa na hali ngumu ya uendeshaji wa shule hizo. Je, Serikali ina mipango gani ya kuhakikisha kuwa, fedha za Capitation zinatoloewa kama ilivyotarajiwa ili kupunguza matatizo wanayopata wazazi wa wanafunzi kwa kuchangia gharama za uendeshaji shule? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Vita Rashid Kawawa, Mbunge wa Namtumbo, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) imepanga kila mwanafunzi wa Shule ya Msingi kupata shilingi 10,000 kama fedha za uendeshaji wa shule (Capitation Grant) kwa mwaka. -
Prospects for a Monetary Union in the East Africa Community: Some Empirical Evidence
Department of Economics and Finance Working Paper No. 18-04 , Guglielmo Maria Caporale, Hector Carcel Luis Gil-Alana Prospects for A Monetary Union in the East Africa Community: Some Empirical Evidence May 2018 Economics and Finance Working Paper Series Paper Working Finance and Economics http://www.brunel.ac.uk/economics PROSPECTS FOR A MONETARY UNION IN THE EAST AFRICA COMMUNITY: SOME EMPIRICAL EVIDENCE Guglielmo Maria Caporale Brunel University London Hector Carcel Bank of Lithuania Luis Gil-Alana University of Navarra May 2018 Abstract This paper examines G-PPP and business cycle synchronization in the East Africa Community with the aim of assessing the prospects for a monetary union. The univariate fractional integration analysis shows that the individual series exhibit unit roots and are highly persistent. The fractional bivariate cointegration tests (see Marinucci and Robinson, 2001) suggest that there exist bivariate fractional cointegrating relationships between the exchange rate of the Tanzanian shilling and those of the other EAC countries, and also between the exchange rates of the Rwandan franc, the Burundian franc and the Ugandan shilling. The FCVAR results (see Johansen and Nielsen, 2012) imply the existence of a single cointegrating relationship between the exchange rates of the EAC countries. On the whole, there is evidence in favour of G-PPP. In addition, there appears to be a high degree of business cycle synchronization between these economies. On both grounds, one can argue that a monetary union should be feasible. JEL Classification: C22, C32, F33 Keywords: East Africa Community, monetary union, optimal currency areas, fractional integration and cointegration, business cycle synchronization, Hodrick-Prescott filter Corresponding author: Professor Guglielmo Maria Caporale, Department of Economics and Finance, Brunel University London, Uxbridge, Middlesex UB8 3PH, UK. -
MKUTANO WA 18 TAREHE 3 FEBRUARI, 2015 MREMA 1.Pmd
3 FEBRUARI, 2015 BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________________ MKUTANO WA KUMI NA NANE Kikao cha Saba - Tarehe 3 Februari, 2015 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na:- SPIKA: Hati za kuwasilisha mezani, Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama au kwa niaba yake Mheshimiwa Capt. John Chiligati. MHE. CAPT. JOHN Z. CHILIGATI (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA): Taarifa ya Mwaka ya Shughuli za Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ulinzi na Usalama Katika Kipindi cha Januari, 2014 hadi Januari, 2015. MHE. SELEMANI S. JAFO (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA MAMBO YA NJE YA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA): Taarifa ya Mwaka ya Shughuli za Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Katika kipindi cha Januari, 2014 hadi Januari, 2015. 1 3 FEBRUARI, 2015 MHE. DUNSTAN L. KITANDULA (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA UCHUMI, VIWANDA NA BIASHARA): Taarifa ya Mwaka ya Shughuli za Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara Katika Kipindi cha Januari, 2014 hadi Januari, 2015. MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge tumeletewa taarifa kwamba kwa sababu mgeni tulionao ndani ya nchi hii Rais wa Ujerumani vipindi vya TBC asubuhi hii vitakuwa kwenye TBC 2 na siyo TBC1, kwa sababu kule kuna mapokezi huko uwanja wa Taifa kule. Kwa hiyo, tutarudia tena baada ya mapokezi hayo kumalizika. Lakini pia jioni kwa sababu kutakuwa na dhifa ya kitaifa, pia matangazo hayatakuwa kwenye TBC1 na siyo vinginevyo. -
Support for the Formation of a Federation of East African States: Citizens’ Attitudes in Kenya and Tanzania by Samuel Balongo
Support for the formation of a federation of East African states: Citizens’ attitudes in Kenya and Tanzania By Samuel Balongo Afrobarometer Policy Paper No. 16 | January 2015 Introduction Political leaders in the five countries of the East African Community (EAC) – Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda, and Burundi – have made concerted efforts to promote the benefits of an East African Federation (EAF). The signing of regional integration treaties is covered extensively in national and regional media. Yet many citizens in the two largest member states are not convinced that integration will lead to promised benefits for their countries. In Afrobarometer public-opinion surveys in 2011- 2012, citizens of Kenya and Tanzania were asked about the likely impact of an integrated EAF on the availability of jobs, managing conflict, controlling corruption, strengthening democracy, and controlling prices. On none of these five issues did a majority of Tanzanians say that an EAF would have a positive impact, and on only two issues – availability of jobs and controlling prices – did a majority of Kenyans expect improvement through an EAF. Public opinion on the regional federation is important because formation of the EAF would require a passive referendum vote in each country; if regionalism is supported only by elites and not by common citizens, such a referendum could have a difficult time passing. Moreover, the implementation of integration treaties requires the understanding, conviction, and confidence of citizens. Active involvement of the public is crucial, and its absence has been identified as the greatest impediment to success of regional integration (Aryeetey & Oduro, 1996). After providing background on regional integration in East Africa, this paper uses Afrobarometer data to describe public opinion in Kenya and Tanzania regarding expected effects of an EAF and to analyse the possible influence of lived poverty, patriotism, trust in political institutions, and perceived transparency of political executives on public support for full federation. -
An Investment Guide to the East African Community
UNITED NATIONS International Chamber of Commerce The world business organization AN INVESTMENT GUIDE TO THE EAST AFRICAN COMMUNITY Opportunities and conditions July 2005 UNITED NATIONS New York and Geneva, 2005 ii UNCTAD The United Nations Conference on Trade and Development (UNCTAD) was established in 1964 as a per- manent intergovernmental body. Its main goals are to maximize the trade, investment and development opportunities of developing countries, to help them face challenges arising from globalization, and to help them integrate into the world economy on an equitable basis. UNCTAD’s membership comprises 192 States. Its secretariat is located in Geneva, Switzerland, and forms part of the United Nations Secretariat. ICC The International Chamber of Commerce (ICC) is the world business organization. It is the only body that speaks with authority on behalf of enterprises from all sectors in every part of the world, grouping together thousands of members, companies and associations from 130 countries. ICC promotes an open international trade and investment system and the market economy in the context of sustainable growth and development. It makes rules that govern the conduct of business across borders. Within a year of the creation of the United Nations it was granted consultative status at the highest level (category A) with the United Nations Economic and Social Council. This is now known as General Category consulta- tive status. Notes The term “country” as used in this study also refers, as appropriate, to territories or areas; the designa- tions employed and the presentation of the material do not imply the expression of any opinion whatso- ever on the part of the Secretariat of the United Nations concerning the legal status of any country, territory, city or area or of its authorities, or concerning the delimitation of its frontiers or boundaries. -
(Online Document) 1 BUNGE LA TANZANIA
Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _____________ MAJADILIANO YA BUNGE ______________ MKUTANO WA ISHIRINI Kikao cha Sita – Tarehe 18 Mei, 2015 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe Anne S. Makinda) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kutokana na maagizo yaliyotolewa humu wiki iliyopita kuhusu Hati za kuwasilisha Mezani. Kama kuna kundi lolote, Kamati, Serikali au Upinzani hawajaleta Hati hazisomwi. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais! Mheshimiwa Naibu Waziri! HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa mezani na:- NAIBU WAZIRI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO): Randama za Makadirio ya Matumizi kwa Ofisi ya Makamu wa Rais na Taasisi zake kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA: Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma) pamoja na (Utawala Bora) kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS (MAHUSIANO NA URATIBU): Hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. MHE. JASSON S. RWEIKIZA - MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA: 1 Nakala ya Mtandao (Online Document) Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma), (Utawala Bora na Mahusiano na Uratibu) kwa mwaka wa fedha 2014/2015 pamoja na maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. MHE. ESTHER N. MATIKO - MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI KWA OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA, UTAWALA BORA NA MAHUSIANO NA URATIBU: Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni Kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Fedha kwa Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Utawala Bora na Mahusiano na Uratibu kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016 SPIKA: Waheshimiwa Wabunge tunaanza maswali Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Mheshimiwa Engineer Athumani Mfutakamba.