Makinika kuhusu afya na matibabu

A NATION MEDIA GROUP PUBLICATION ‘AFYA JAMII’ 11 - 16

Kiunjuri apigiwa debe kuwa SHINDANO LA UANDISHI naibu wa Ruto 2022 - UK 5 WA INSHA UK 9

Jumanne, Oktoba 8, 2019 KSh30 TSh500 RFr300 taifaleo.nation.co.ke No. 20368

Asema wanasiasa hawasaidii katika vita vya kukabiliana na matumizi ya mihadarati DAWA: MATIANG'I

AKOSOA VIONGOZINA CECIL ODONGO WAZIRI wa Usalama wa Nchi, Fred Matiang'i amewakashifu viongozi wa Mo Technologies kisiasa ambao ni Waislamu kwa tatizo la matumizi ya dawa za kulevya katika maeneo yao. Waziri alisema viongozi hao hawafanyi lolote kupigana na matumizi ya mihadarati akisema wao ndio wa kulaumiwa kwa kukithiri kwa tabia hiyo. “Ni vyema tuambiane ukweli. Viongozi wenu hawajafanya la kutosha kuhakikisha kwamba vita dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya vinafaulu. WAISLAMU ENDELEA Uk 2 SGR: Polisi wanasa waandamanaji MAAFISA wa poli- VIDOKEZO Korti yaagiza si wamnyanyua a sa wa kundi la kutetea haki za MKASA WA LIKONI binadamu la Haki ukaguzi KTDA Afrika alipoka- matwa wakati wa maandamano jiji- Wapiga mbizi baada ya kilio ni Mombasa jana. Maandamano wa Afrika Kusini hayo yaliitish- cha wakulima wa kulalamikia kucheleweshwa wa ka Mombasa NA NDUNGU GACHANE kwa utekelezaji wa agizo la UK 5 MAHAKAMA imeagiza ukaguzi kufa- kukubalia malori nyiwa rekodi za fedha za Mamlaka ya Ust- kubeba mizigo awishaji wa Majani Chai (KTDA) kufuatia kutoka Bandari ya MZOZO kushuka kwa mapato ya wakulima mwaka Mombasa. Picha/ huu. Laban Walloga. JAJI Kanyi Kimondo wa Mahakama ya Waumini Murang'a aliagiza Mkaguzi wa Hesabu za HABARI KAMILI Serikali kukagua mapato ya majani chai, UK 6 bonasi na mazao yaliyowasilishwa KTDA wakataa kutoka

ENDELEA Uk 2 kituo cha polisi UK 3 UHALIFU: KORTI YAELEZWA WAKILI KIMANI NA WENZAKE WALIVYONYONGWA UK 4 2 Jumanne, Oktoba 8, 2019 | TAIFA LEO Anayedaiwa kuua mtoto wa mpenzi kukaa seli Korti yaagiza Na NICHOLAS KOMU akili ili kuthibitisha ikiwa ana akili timamu. mwanaume mwingine. “Mama ya mwendazake alishuku kuwa Muriuki anadaiwa kuua mwanafunzi wa Polisi walimnasa mshukiwa ambaye ba- mpenziwe wa zamani huenda alihusika ka- ukaguzi KTDA MWANAUME anayedaiwa kulipiza kis- darasa la sita, Gideon Kang’ethe ambaye adaye alifichua jinsi alivyomhadaa mwen- tika kutoweka kwa mtoto wake,” akasema asi kwa kuua mvulana wa miaka 10 baada alikuwa ameripotiwa kutoweka kabla ya dazake kwenda katika Msitu wa Mlima Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Mathira ya kutengana na mama yake, atafikishwa maiti yake kupatikana imezikwa ndani ya na kisha akamuua. Mashariki, James Barasa. mahakamani kesho. Msitu wa Mlima Kenya. Kulingana na polisi, Gedion alikuwa shu- Polisi walimkamata Muriuki na kumhoji kufuatia kilio Charles Muriuki, ambaye amekuwa ki- Inashukiwa alikuwa akilipiza kisasa baa- leni Septemba 21, lakini hakurejea nyum- katika Kituo cha Polisi cha Karatina am- zuizini, atafikishwa katika Mahakama ya da ya kuachwa na mama ya mwendazake, bani jioni. bapo alishikilia kuwa hakujujua lolote ku- Karatina, Kaunti ya Nyeri. Felista Waithera, anayedaiwa kuwa mpen- Bi Waithera alipiga ripoti katika kituo husu kutoweka kwa mvulana huyo. cha wakulima Jana alifikishwa kortini lakini Idara ya zi wake. cha polisi huku jamaa zake wakianzisha Polisi walipokuwa wakijiandaa kumwa- Kupeleleza Uhalifu (DCI) ikaomba Hakimu Kulingana na mashahidi, Bi Waith- msako wa kumtafuta kijijini. chilia huru mshukiwa, ushahidi mpya uli- KUTOKA Uk 1 Mkuu Alice Mwangi kuiruhusu imzuilie era aliacha mshukiwa na kupendana na Baada ya kufanya uchunguzi kwa wiki patikana. kwa siku tatu zaidi ili ikamilishe uchungu- mwanaume mwingine. mbili, maafisa wa DCI walibaini kwamba Kamera za CCTV zilizoko katika duka katika mwaka wa 2018 na 2019. zi. Mshukiwa, mashahidi wanasema, alika- mzozo wa kimapenzi baina ya mshukiwa moja lililo nje ya shule ya Msingi ya Kirigu Hii ni baada ya Gavana wa Mu- Mshukiwa ambaye ni mfanyakazi wa sirishwa na hatua ya Bi Waithera kujihu- na Bi Waithera huenda ulichangia katika zilinasa mshukiwa akiwa amebeba mwen- rang’a, kuwasilisha serikali ya Kaunti ya Nyeri pia atapimwa sisha katika uhusiano wa kimapenzi na kutoweka kwa Gideon. dazake kwenye pikipiki. ombi la kuwekwa wazi kwa umma akaunti za KTDA kutokana na ku- pungua kwa mapato ya majani chai. Asema viongozi hawasaidii kumaliza mihadarati Kwenye kesi kati ya serikali ya WIZI: Hutumia sumu kuibia wateja Kaunti ya Murang’a dhidi ya KTDA, utawala wa kaunti unataka akaunti hizo ziwekwe wazi kwa umma ikise- ma kuna tashwishi kuhusu ripoti ya ukaguzi wa hesabu iliyowasilishwa na mamlaka hiyo. Pengo la Sh2.6 bilioni kwenye Dawa: Waziri mapato ya mwaka wa 2018 na 2019, ambayo ni asilimia 36, ndiyo ndilo imechochea kaunti kutaka akaunti hizo zifanyiwe ukaguzi. Kulingana na KTDA, mapato ya majani chai mnamo 2018 yalikuwa akosoa wakuu Sh11.2 bilioni huku yale ya 2019 yaki- wa Sh8.9 bilioni. KUTOKA Uk 1 kisheria,” akasema Dkt Matiang’i. Mapato hayo yamesababisha “Watu wanaofanya biashara hii si watu malalamiko kutoka kwa wakulima Hili suala linahitaji uungwaji mkono wa vi- wa kawaida. Ni watu wenye hadhi ambao katika kaunti zinazokuza majani ongozi wote kwa ushirikiano na serikali,” wana uwezo mkubwa wa kusambaza miha- chai za Murang'a, Nyeri, Kiambu, akasema. darati hiyo," akaongeza. Kirinyaga, Meru, Embu, Nandi, Kisii, Eneo la Pwani, ambalo lina idadi kubwa Kiongozi wa Wengi Bungeni, Aden Duale Kericho, Bomet na Nyamira. ya viongozi Waislamu, ndilo linaloongoza aliomba serikali kuhakikisha marufuku ya Wakili Charles Njenga anaye- kwa idadi kubwa ya watu wanaotumia dawa uvutaji wa Shisha miongoni mwa Waisla- waongoza mawakili sita kwa niaba za kulevya nchini. mu imetekelezwa kikamilifu, akisema dawa ya wakulima, alieleza korti kwamba Miongoni mwa magavana wanne kati ya hiyo imewalemaza vijana hasa Pwani, Kas- suala hilo limevutia hisia za umma sita Pwani ni Waislamu. Hao ni kazini Mashariki na Nairobi. na lisipoangaziwa kwa makini, (Mombasa), (Kwale), Fahim “Ukienda mitaa mbalimbali kwa mfano wakulima watang’oa majani chai Twaha na Dhadho Godana (Tana River). South C utawapata vijana wakivuta Shisha yao na hivyo kuathiri vibaya uchumi Katika kaunti ya Mombasa wabunge wote ambayo sasa ni dawa maarufu sana mion- wa taifa. ni Waislamu. goni mwa Waislamu. Naomba serikali ipige “Hii ni shida kubwa na isipotatuli- Akihutubu alipokutana na viongozi wa marufuku Shisha jinsi ilivyofanya kamari,” wa wakulima watang’oa majani chai Waislamu katika Msikiti wa Jamia jijini Nai- akasema Bw Duale. na hilo litaathiri vibaya uchumi wa robi jana, Dkt Matiang'i alisema hali jijini Akizungumzia suala la mauaji ya nchi,” akasema Bw Njenga. Mombasa ni ya kusikitisha kutokana na ma- washukiwa wa uhalifu Pwani, Dkt Matiang'i Jaji Kimondo alitaja kesi hiyo tumizi ya mihadarati. alisema serikali haihusiki kamwe na visa kama ya dharura na kusema katiba Alisema ziara yake majuzi katika mtaa hivyo. inampa mkaguzi mkuu mamlaka ya wa Kisauni jijini Mombasa ilimpa picha “Hakuna sera ya serikali ya kuwaua raia kukagua akaunti zote kisha kuwasil- halisi ya namna wakazi wametekwa na mi- wake. Kuna mwongozo wa kisheria wa ku- isha ripoti ya shirika lolote linalofa- hadarati, akisema watu mashuhuri wana- waadhibu wahalifu,” akasema. Mo Technologies dhiliwa na fedha za umma. oshiriki ulanguzi wa dawa za kulevya ndio Viongozi wa Waislamu waliohutubu “Nimeridhika kwamba suala hili wa kulaumiwa kwa janga hilo. waliomba serikali kukweza hadhi Chuo Ki- ni la dharura na tukisubiri kusikiz- Dkt Matiang’i alifichua kwamba uchun- kuu cha Umma na kukipa cheti kama vyuo wa kwa kesi hii, namwagiza mkagu- guzi unaendelea dhidi ya watu 30 maarufu vingine, jambo ambalo Dkt Matiang’i aliahi- zi akague vitabu vya KTDA kisha ku- wanaoshukiwa kushiriki biashara ya miha- di kwamba litatimizwa kabla ya kukamilika wasilisha ripoti hapa mahakamani darati katika eneo la Pwani. kwa mwezi huu. Vilevile alitangaza kwamba kabla ya Oktoba 28,” akaamuru. “Tunachunguza watu 30 mashuhuri serikali itafungua afisi za uhamiaji na usajili MSHUKIWA wa kuwapa watu sumu, Doris Kinya baada ya kukamatwa mjini Eldoret Kwa upande wake, KTDA ilisema wanaotoka Pwani ambao wanashiriki bi- mjini Garissa ili kuwazuia Waislamu kukon- jana. Mshukiwa alidaiwa kumtilia mteja wake sumu ndani ya chumba cha malazi na iko tayari kufanyiwa ukaguzi wa ashara chafu ya uuzaji wa mihadarati. gamano katika afisi zilizoko Nairobi kila kumwibia simu na pesa. Kamanda wa polisi wa Eldoret, Joshstone Ipara (kushoto) kifedha na kusisitiza kuwa shughu- Uchunguzi bado unaendelea na kikosi che- mwaka wanaposafiri hadi Saudi Arabia kwa alisema sumu hiyo hupagawisha wanaonyweshwa. Picha/Jared Nyataya li za mamlaka hiyo zinafanyika kwa tu kiko tayari kuhakikisha wanakabiliwa ajiri ya Hajj. uwazi.

Ili kutolea maoni habari hii, nenda kwa taifaleo.nation. Msomi maarufu kimataifa wa dini afariki co.ke PNU kuwa na mwaniaji wa urais Na KITAVI MUTUA eneo la Mulango, Kaunti ya Kitui. Na STEVE NJUGUNA uchaguzi mkuu ujao. ULIMWENGU jana uliomboleza Alikuwa mfasaha wa lugha ya TANGAZO KWA UMMA CHAMA cha Party of National Unity Baada ya kuandaa Kikao cha Wajumbe kifo cha profesa wa masuala ya Kigiriki ambayo ni mojawapo ya Physical and Land Use Planning Act No. kidini, John Samuel Mbiti ambaye lugha za kwanza asili zilizotumiwa 13 of 2019 (PNU) kimezindua mikakati yake itakay- wa Chama (NDC) uwanjani Kasarani Uhalalishaji wa L.R. No. 29254 okiwezesha kupata uungwaji mkono mapema mwaka huu, vuongozi wa alikuwa maarufu kimataifa. kuandika Biblia. Prof Mbiti alifariki akiwa na umri Marehemu alitumia miaka 12 ya Kufuatia tangazo kwenye gazeti la kiserikali nchini kabla ya uchaguzi mkuu wa 2022. chama walikutana Nyahururu wikendi Vol. CXVIII-No. 1 tarehe nne {4} Januari Kulingana na mwenyekiti mpya wa kujadili namna ya kufufua chama hicho. wa miaka 88 mnamo Jumapili uzeeni mwake kuanzia 2003 hadi mwaka wa 2016 la Tume la Kitaifa la Ardhi PNU, David Kamau, chama hicho kili- Bw Kamau alisema chama hicho kina- alipokuwa akitibiwa mjini Bergdorf, 2015 kutafsiri Biblia asili ya Kigiriki Gazette Notice no.1, kwa mujibu wa sheria ya Tume la Kitaifa la Ardhi (No. 5 ya 2012, chotumiwa na Rais Mstaafu Mwai Kibaki tarajia kufungua afisi zake katika kaunti Uswizi ambako alikuwa akiishi kwa kwa Kikamba ambapo alikosoa zaidi kifungu cha 14(1) na (6) kwenye L.R. No. kuingia Ikulu mnamo 2007, kinalenga 28 kote nchini kufikia Juni mwaka ujao. miongo mingi. ya maneno 1,000 aliyosema yalitaf- 29254. Serikali ya Kaunti ya Lamu imepokea ombi la uhalalishaji na ugawaji upya kutoka kujistawisha kwa ajili ya maandalizi ya Wakati huo huo, chama cha PNU kilise- Alipata umaarufu kimataifa siriwa kimakosa katika Biblia. kwa wamiliki wa shamba hili, kulingana 2022. ma kuwa kinaunga mkono mwafaka wa wakati alipoandika kitabu chake cha na mapendekezo ya Tume la Kitaifa la kwanza cha African Religions and Ardhi. Ramani ya maendeleo ya shamba “Tunalenga kuhakikisha kwamba kisiasa baina ya Rais na hili limetayarishwa na liko tayari kwa chama hiki kinabuni serikali baada ya kinara wa ODM, Raila Odinga. Philosophy ambacho kilichapishwa ukaguzi na umma kwenye afisi za Kaunti, uchaguzi ujao," akasema Mhandisi Miongoni mwa viongozi waliohud- mnamo 1969. idara ya ardhi, upangaji na miundo msingi. Walio na pingamizi au maoni kwa ombi Kamau alipokuwa akihutubia wana- huria mkutano huo wa siku tatu wa Katika kitabu hicho, alitilia shaka hili wanahitajika kupeleka malalamishi au habari mjini Nyahururu. viongozi wa PNU ni waziri wa Biashara misimamo ya Kikristo kwamba dini 20684 maoni yao kwa siku zisizozidi 30 kwanzia uchapishaji wa tangazo hili kwa: Mwenyekiti huyo pia alisema chama na Viwanda na Gavana wa na imani za Kiafrika ni za kishetani. Ukitaka kuwasiliana na ‘Taifa CECM hicho kitasimamisha mwaniaji wa urais Laikipia Nderitu Muriithi. Prof Mbiti alikuwa kasisi wa Kan- Leo’ tuma sms kwa nambari hii Ardhi, Miundo Msingi, Maji Na Maliasili isa la Anglikana na alizaliwa katika Serikali ya County ya Lamu na wawaniaji wa viti vinginevyo katika ukianza na neno Taifa. Anwani 74-80500, Lamu. TAIFA LEO | Jumanne, Oktoba 8, 2019 3 Amerika yadai Kenya haijajitolea kukabili makundi hayo Muturi, balozi watofautiana kuhusu ugaidi Na CHARLES WASONGA "Amerika iliunga mkono azimio nambari 751 la Umoja wa Mataifa (UN) ambalo linashikilia kuwa Al SPIKA wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi na Balo- Shabaab ni kundi la kigaidi ambalo ulimwengu mzi- zi wa Amerika nchini Kyle McCater jana walitofautia ma unapasa kupambana nalo kwa kuwa ni tishio la kuhusu suala la kujitolea kwa taifa hilo lenye nguvu usalama," akasema. sana duniani katika vita dhidi ya ugaidi. Wawili hao walikuwa wakiongea wakati wa kon- Kulingana na Bw Muturi kundi hilo limekuwa lik- gamano la kimataifa la wabunge kuhusu mikakati ipokea ufadhili kutoka masharika mbalimbali ya ki- kupambana na uhalifu wa kimataifa. Bw McCater geni kwa sababu kufikia sasa Amerika haijatangaza alisema Amerika imekuwa ikifadhili juhudi za Kenya Al Shabaab kuwa kundi la kigaidi. katika vita dhidi ya ugaidi kwa kima cha zaidi ya dola "Kwa sababu kufikia sasa Amerika haijatoa msima- 100 milioni (Sh10 bilioni) kila mwaka, hatua inay- mo wake rasmi kwamba Al Shabaab ni kundi la kigai- oashiria kujitolea kwake kufanikisha vita hivyo. di ndiposa limeendelea kusawiriwa kama kundi la ki- "Kwa sasa, hamna tashwishi kwamba Amerika iko jamii nchini Somalia. Na hivyo, linapokea misaada ya mstari wa mbele katika suala hili. Na tuna matumaini kifedha kutoka kwa mashirika ya kimataifa," akasema kuwa ulimwengu utashinda vita dhidi ya uhalifu huo," Bw Muturi. akakariri. "Ufadhili kwa kundi hili na makundi mengine ya Hata hivyo, Bw McCater alisema Amerika haijafu- wahalifu unapaswa kuzimwa ili ulimwengu uweze rahishwa na tangazo lilitolewa na serikali ya Kenya BY SYLVESTER MUKELE kushinda vita dhidi ya ugaidi," akaongeza alipohutu- kwamba huenda ikakata misaada ya kibinadamu kwa bu katika ukumbi wa KICC, Nairobi. taifa la Somalia. Lakini dai hilo la Bw Muturi lilipingwa na Bw Mc- "Kenya inapaswa kuweka kando mpango huo kwa Cater aliyejibu kuwa Amerika haijafeli kutangaza Al sababu utahujumu vita dhidi ya ugaidi," akasema. Shabaab kama kundi la kigaidi. Mkutano huo unaoshirikisha wabunge na wataala- mu mbalimbali katika nyanja ya usalama, pia utajadi- li uhalifu wa kimtandao, ulanguzi wa fedha, ulanguzi wa dawa za kulevya, ufisadi miongoni mwa aina ny- ingine za uhalifu. Uhalifu unatotekelezwa mitandaoni au kupitia simu umeongezeka mno nchini, ambapo Wakenya wamepoteza mamilioni ya fedha kupitia hadaa au hata kubadilishwa kwa maelezo ya akaunti zao. Bi Taifa Kwa mfano mwaka jana, kampuni ya Aurtel Kenya NAOMI GATONYE, ilipoteza karibu Sh7 bilioni kupitia wizi uliotekelez- 25, ambaye ni wa kupitia mfumo wake wa kusafirisha pesa kwa njia mwanafunzi wa ya simu. uzamili katika Chuo Wateja wa Safaricom na benki nyingi nchini pia wameathiriwa na wizi unaoendelezwa na wahuni, Kikuu cha Maseno, walio na ujuzi wa kudukua mitandao na kujizoela ma- Kisumu, anasomea milioni bila kutoa jasho. Ushauri na Udadisi Wabunge wanajadili namna wanavyoweza kush- irikiana na asasi husika za serikali kubuni sheria na Nafsia. Anapenda sera kitakazowezesha kupambana na uhalifu. kutazama filamu, Spika wa Bunge Justin Muturi (kulia) asema na Balozi Wajumbe wanaohudhuria mkutano huo, unaomal- kuogelea, kusikiliza wa Amerika nchini Kenya Kyle McCarter wakati wa izika leo, wanatoka mataifa kama vile Amerika, Uin- kikao cha usalama cha bunge ukumbini KICC jana. gereza, Italia, Brazil, Ethiopia, Zimbabwe, Djibuouti muziki na kusafiri. Picha/Lucy Wanjiru miongoni mwa mengine. Picha/Tonny Omondi

MIGORI NAROK Waumini wakwamilia kituo cha Onyo kwa wakazi wakome kupinga polisi wakitaka wenzao waachiliwe miradi vinginevyo wabaki nyuma BAADHI ya waumini wa dhehebu la Legio Maria jana walivamia MAAFISA wa serikali wameonya kuwa Kaunti ya Narok itasalia kituo cha polisi cha Migori wakipigania kuachiliwa kwa wenzao wawili nyuma kimaendeleo iwapo wakazi wataendelea kupinga miradi ya walionyakwa kwa kuzua vurugu katika eneo takatifu la kuabudu la maendeleo. Godwer mwezi uliopita. Kamishna wa Kaunti ya Narok Samuel Kimiti alisema sifa ya eneo Waumini hao walioongozwa na mashemasi, walikita kambi na hilo inaharibika kila uchao licha ya kuwa kitovu cha sekta ya utalii kuandaa maombi nje ya kituo hicho kwa siku nzima kama njia ya nchini. Bw Kimiti alielezea hofu yake alipokuwa akihutubia wana- kushinikiza polisi wawachilie huru wenzao wawili. habari katika mpaka wa Nkararo-Enooretet ambao umekuwa chanzo Kadinali Lawrence Ochieng’ aliyewaongoza alisema kwamba wal- cha mizozo ya mara kwa mara baina ya ukoo wa Siria na Uasin Gishu iokamatwa hawakuvamia eneo hilo la kuabudu na kukabiliana na kun- wilayani Trans Mara Magharibi. di pinzani bali walikuwa wakijilinda dhidi ya kuadhibiwa na wenzao. Alisema mizozo hiyo inachafua sifa nzuri ya eneo hilo iliyoletwa na “Tunataka kujua kwa nini wenzetu wanazuiliwa ilhali hawana Hifadhi ya Kitaifa Maasai Mara. hatia. Kundi letu linalengwa kwa kusimama na Papa wetu Romanus “Hatuwezi kuwa tunapinga kila mradi na kisha tunatarajia kupata Ong’ombe,” akasema. Polisi waliokuwa wakilinda kituo hicho walieleza maendeleo,” akaonya. kushangazwa kwao na tabia ya waumini hao huku duru zikiarifu wali- Alisema jamii zinazozozana zinafaa kushauriana ili kukomesha pata amri ya kutowatimua kutoka juu kama njia ya kuzuia ghasia zaidi. mvutano uliopo. Kamanda wa Polisi Kaunti ya Migori Joseph Nthenge alisema Kamishna alishutumu wanasiasa kwa kugonganisha wakazi wa waumini wengine bado wanaandamwa kutokana na kisa hicho. kaunti hiyo na serikali ya kitaifa. Na Ian Byron Na Ruth Mbula 4 HABARI ZA AFRIKA Jumanne, Oktoba 8, 2019 | TAIFA LEO ‘Wakili Kimani alinyongwa kwa kamba na kutiwa ndani ya gunia’ Na RICHARD MUNGUTI NAIROBi vichwa kwa karatasi ya nailoni.” “Willy Kimani alikuwa wa kwanza WAKILI Willy Kimani, mteja wake Kimani, Mwenda na Muiruri walikuwa kuuawa. Alitolewa ndani ya buti la gari na dereva wa teksi walinyongwa kwa wanatolewa kwa buti la gari la Inspekta la Insp Leliman. Alinyongwa kwa kam- kamba na karatasi ya nailoni na maafisa Fredick Leliman kunyongwa kwa kam- ba na kichwa kufungwa kwa karatasi ya wanne wa polisi wa utawala, kachero al- ba kisha kutiwa ndani ya magunia na Nailoni kisha akatiwa ndani ya gunia,” ifichulia Mahakama Kuu jana. vichwa kutiwa katika mfuko wa nailoni Inspekta Geoffrey Kinyua aliambia Jaji Jaji Jessie Lesiit alifahamishwa wenye chapa cha Duka la Supa la Mulley. Lesiit. kwamba maafisa watano wa polisi wali- Watatu hao walinyongwa mmoja Kwa vile Mwenda alikuwa mrefu husika katika mauaji ya kinyama ya Kim- baada ya mwingine. “Watatu hawa wal- “angetoshea ndani ya gunia moja. Ma- ani, Josephat Mwenda na Joseph Muiru- inyongwa kwa zamu na Leliman, Sajini gunia mawili yalitumiwa; moja kuanzia ri usiku wa Juni 23, 2016 katika eneo la Leonard Maina Mwangi na Kamenchu. miguuni na nyingine kichwani kisha Mlolongo katika Kaunti ya Machakos. Baada ya kutolewa uhai walitiwa kila zikaunganishwa kiunoni kwa kushonwa. Mmoja wa washukiwa wa mauaji ya wakili Willie Kimani Bw Peter Ngugi alipofika kortini Jaji Lesiit aliambiwa watatu hao mmoja ndani ya gunia na kufungwa Alitiwa ndani ya gari la Kamenchu.” wakati wa kusikilizwa kwa kesi hiyo katika Mahakama Kuu hapo jana. Picha/Paul Waweru

Awataka kusoma kwa makini miswada yate inayoletwa kwao ili wasiathiri mfumo wa ugatuzi NAIROBI Shirika sifika Lusaka aonya MCAs dhidi ya duniani kufaa wawekezaji kupapia kurekebisha Katiba wa kigeni Na DENNIS LUBANGA ELDORET Na VALENTINE OBARA SPIKA wa Seneti, Bw Ken Lusaka ame- SHIRIKA kubwa la kisheria lili- onya madiwani dhidi ya kupapia kujihu- lo maarufu ulimwenguni hatimaye sisha na masuala ya kurekebisha Katiba Initiative ambapo hitaji lao kuu ni kwam- limeingia nchini Kenya na kuahidi akisema watakuwa hatarini kuathiriwa ba kaunti iongezewe rasilimali kutoka kutoa huduma bora za kisheria kwa zaidi na marekebisho yanayopendekez- kwa Serikali Kuu. wawekezaji. wa. Bw Lusaka ambaye alikuwa gavana wa Shirika la mawakili la CMS ambalo Akizungumza katika duka la jumla kwanza wa Bungoma alisema madiwani lina makao yake makuu Uingereza, la Rupa mjini Eldoret, Kaunti ya Uasin wakiendelea kujihusisha katika mijadala limeungana na lile la Daly & Inamdar Gishu, aliomba madiwani watafute ushau- ya kurekebisha katiba kiholela, kutakuwa Advocates lililo humu nchini. ri kwa mapana na marefu kabla ya kufanya na hatari ya kuangamiza ugatuzi sawa na Kutokana na ushirikiano huo, maamuzi kuhusu marekebisho hayo. jinsi ilivyofanyika enzi za Majimbo. mawakili wao watakuwa wakiende- "Kuna mijadala inayoendelea kuhusu "Mfumo wa uongozi wa Majimbo ul- leza huduma zao kupitia shirika lin- marekebisho ya Katiba. Ombi langu kwa isambaratika miaka ya sitini kwa sababu alofahamika kama CMS Daly Inam- madiwani ni kwamba, msiharakishe kuji- haukueleweka vyema. Kama hatutaji- dar Advocates. husisha kwa michakato hiyo. Badala yake, hadhari, ugatuzi pia utaangamia vivyo Mkurugenzi Mkuu wa CMS, Bw tuchukue muda, tusome na tuelewe man- hivyo," akasema. Duncan Weston alisema hatua hii ita- ufaa ya marekebisho yanayopendekezwa Aliahidi kwamba seneti itajitolea ku- saidia kutoa ushauri bora wa masua- kwa raia wa kawaida," akasema. saidia mabunge ya kaunti na akataka la ya kisheria kwa wawekezaji, hasa Alikuwa amehudhuria hafla ya kufunga madiwani watekeleze jukumu lao la ku- wa kigeni wanaotazamia kuja humu mashindano ya michezo ya Muungano wa hakikisha magavana wanatumia vyema nchini. Spoti wa Mabunge ya Kaunti (CASA). rasilimali za kaunti. Kampuni hiyo ina umaarufu ulim- Pendekezo la kurekebisha Katiba ku- Vile vile, aliomba kamati za mabunge ya wenguni kwa kutoa huduma za kishe- toka kwa Chama cha Thirdway Alliance kaunti kushirikiana na seneti ili kuimari- ria zinazohusu masuala ya uwekezaji kinachoongozwa na Dkt Ekuru Aukot, sha ugatuzi. katika sekta mbalimbali ikiwemo limekataliwa katika kaunti nyingi ambako Akizungumza katika hafla hiyo, ujenzi wa miundomsingi, kawi, aliwasilisha kwa madiwani bungeni. Mwenyekiti wa Baraza la Magavana, Bw uchimbaji madini, sekta ya kifedha, Ijapokuwa Kiongozi wa ODM Raila alisema kaunti zime- ujenzi wa majumba, bima, mazin- Odinga pia hutaka kuwe na marekebisho onyesha uwezo wa kuleta umoja kitaifa gira, biashara za baharini miongoni ya Katiba, ingali inasubiriwa kuoneka- kupitia kwa maandalizi ya michezo inay- mwa mengine. na iwapo jopokazi la maridhiano (BBI) oleta pamoja kaunti mbalimbali. Kando na Kenya, kampuni hiyo alilounda na Rais Uhuru Kenyatta litap- pia ilitangaza kuingia Afrika Kusini endekeza kura ya maamuzi. Ili kutolea maoni habari hii, nenda kwa Spika wa seneti Ken Lusaka (katikati), akipokea mchongo wa ndovu kutoka kwa gavana wa kupitia kwa ushirikiano na kampuni Kwa upande mwingine, Baraza la Maga- taifaleo.nation.co.ke Uasin Gishu Jackson Mandago akiwa pamoja na spika wa kaunti hiyo David Kiplagat. Hii ili- ya RM Partners iliyo nchini humo na vana pia lilianzisha mchakato wa Ugatuzi kuwa ni baada ya kukamilika kwa michezo baina ya Kaunti mjini Eldoret. Picha/Jared Nyataya kuunda shirika la CMS RM Partners. "Wateja wetu huona Afrika kama bara lililo na uwezo mkubwa wa ust- awi na wengi wao wanatazamia ku- panua biashara zao hadi katika bara hili. Afrika Kusini na Kenya ni matai- fa yaliyokua kwa kiasi kikubwa kiu- Polisi wapata magari yanayoshukiwa kuwa ya wizi chumi na pia ni viingilio kwa mataifa mengine ya kusini mwa jangwa la Sa- TITUS OMINDE NA SETH MOIBEN ELDORET ambayo yako hapa kituoni. Walikamat- zi wa mji wa Eldoret. hara," akasema Bw Weston, kwenye POLISI mjini Eldoret wamenasa wa katika maeneo mbalimbali ya kaun- Wakati wa tukio hilo, polisi walifan- taarifa kwa vyumba vya habari. magari zaidi ya 20 yanayoshukiwa kuib- hayo yalinaswa mwishoni mwa wiki ka- ti za Kericho, Bomet na Uasin Gishu,” ikiwa kupata washukiwa hao na sahani Mataifa mengine ya Afrika am- wa na genge ambalo linajihusisha na tika boma la mshukiwa mmoja eneo la alisema Bw Ipara. ya nambari ya magari pamoja na vipuri bako shirika hilo linapatikana ni An- wizi wa magari mjini humo. Litein kaunti ya Kericho. Kwa muda wa wiki moja, makache- vya magari, ambavyo pia vinashukiwa gola, Algeria na Morocco. Washukiwa zaidi ya kumi walikamat- Bw Ipara alisema kuwa washukiwa ro wamefanikiwa kuyanasa magari kuwa vya wizi. Hatua yake kuingia Kenya na Af- wa kuhusiana na wizi huo. saba walikamatwa katika kaunti za Ker- manane pamoja na washukiwa Eneo la Zion Mall mjini humo lina- rika Kusini imeifanya kuongeza afisi Kamanda wa polisi kaunti ya Uasin icho, Bomet na Uasin Gishu mtawalia. wanaodhaniwa kuwa sehemu ya tambuliwa kama eneo hatari ambapo zake ulimwenguni kufikia 75 katika Gishu, Bw Johnston Ipara alisema kuwa “Leo hii tumekamata washukiwa saba genge la wezi wa magari ambao wizi wa magari hutekelezwa mara kwa jumla ya nchi 43, likihusisha mawak- magari manane miongoni mwa magari kuhusiana na wizi wa magari manane wamekuwa wakiwapa tumbojoto waka- mara. ili 4,800.

Ukiwa na suala lolote ungetaka kuwasilisha kwetu, tuma sms bila malipo kwa 20684 ukianza na neno ‘Taifa’ TAIFA LEO | Jumanne, Oktoba 8, 2019 HABARI ZA KAUNTI 5 Wasema ana ujuzi tosha kuwa mgombea-mwenza na msemaji wa eneo SIAYA Polisi wanasa misokoto ya bangi ya thamani ya Sh2.4m Viongozi wataka Kiunjuri POLISI katika Kaunti-ndogo ya Bondo, Siaya wamenasa misokoto ya bangi inayogharimu Sh2.4 milioni. Kamanda wa polisi katika eneo hilo, Bw Antony Wafula alise- ma washukiwa wawili walikamatwa wakiwa pia na maboksi manne ya pombe ya waragi inayotengenezwa nchini Uganda, pakiti kadhaa za sigara zilizonunuliwa ili kuuzwa nchi za nje, na awe naibu wa Ruto 2022 lita 460 za chang'aa nyumbani kwao usiku wa kuamkia jana. Bw Wafula alisema washukiwa hao watafikishwa ma- Waziri wa hakamani leo. Kilimo Mwangi "Tuliarifiwa kijasusi kwamba kulikuwa na vijana wanaosam- Kiunjuri (kulia) baza bangi mjini Bondo. Upelelezi wetu ulitufikisha katika katika kikao nyumba hiyo,” akasema. na wanahabari Alisema kumekuwa na ongezeko la uvutaji bangi na unywaji jijini Nairobi wa pombe haramu miongoni mwa vijana, hali inayosababisha majuzi. Alian- uhalifu kukithiri. damana na "Tumegundua mtindo ambapo vijana wanajihusisha sana na Zhang Chaob ambaye ni uhalifu, wakati mwingine hadi kusababisha vifo eneo la Bondo mwenyekiti wa kwa sababu ya utumizi wa mihadarati na pombe haramu," Fuzhou Benny akasema. Tea Industry Na Dickens Wasonga Limited. Picha/Maktaba UASIN GISHU Wakfu wa Family kujengea watoto waliodumaa madarasa WAKFU wa Kundi la Family linalojumuisha Benki ya Family utatumia Sh1.5 milioni kujenga madarasa matatu ya watoto wenye matatizo ya kukua polepole kuliko wenzao, katika shule ya msingi ya Sosiani eneo la Eldoret. Meneja wa wakfu huo, Bi Jacqueline Mathaga alisema wata- fadhili vifaa bora katika madarasa ya watoto hao. Akizungumza mjini Eldoret jana, Bi Mathaga alisema pesa hizo ni sehemu ya zilizpatikana kwenye awamu ya 13 ya mbio za Family Bank Marathon mwaka huu, zilizofanyika mjini Na STEVE NJUGUNA LAIKIPIA ajiepushe na siasa za mashinani na badala Eldoret wikendi iliyopita. VIONGOZI kadhaa kutoka Mlima Kenya yake, aelekeze macho yake kwa siasa za “Tunajua kuwa kuna watoto wengi wenye hiyo hali na wamependekeza Waziri wa Kilimo Mwangi kwa eneo hilo, na kuchukua mahali pa Rais kitaifa. kwa wazazi wengi ni vigumu kuwaunganisha watoto hawa Kiunjuri awe mgombea-mwenza wa Naibu Uhuru Kenyatta atakayestaafu urais kikatiba "Tunajua ana kila kinachohitajika kuwa na wengine. Nawasihi wazazi hawa watokeze watoto hao ili Rais William Ruto ifikapo mwaka wa 2022. hapo 2022. Naibu Rais kwa sababu yeye ni kiongozi waweze kusaidiwa badala ya kuwaficha” akasema. Wakizungumza katika uwanja wa michezo Kulingana nao, Bw Kiunjuri ana ujuzi anayetambulika kitaifa," akasema Bw Beatrice Ngetich na Susan Towett wa Nyahururu, Kaunti ya Laikipia, walimtaka mwingi wa kisiasa na hivyo basi anastahili Mariru. waziri huyo aanze kuleta umoja miongoni zaidi kwa jukumu hilo muhimu. Walikuwa wamehudhuria hafla ya kukabi- NAROK mwa viongozi wa eneo hilo kwa maandal- "Kiunjuri amekuwa mbunge kwa zaidi ya dhi wahudumu 200 wa bodaboda leseni kwa izi ya Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa miaka miaka 15. Amewahi pia kuwa waziri katika ufadhili wa Hazina ya Kitaifa ya Kustawisha mitatu ijayo. serikali tofauti kwa hivyo ana uwezo wa Maeneobunge (NG-CDF), ya eneobunge la Moto waunguza mali yenye Viongozi hao wanaojumuisha Seneta wa kuongoza eneo hili na kutupatia mwelekeo Laikipia Magharibi. Laikipia John Kinyua, Mwakilishi Mwan- hata baada ya 2022," akasema Bw Kinyua. Waziri huyo ambaye alikuwa mgeni mkuu thamani kubwa katika soko amke Cate Waruguru, Mbunge wa Laikipia Viongozi hao walisema haifai kuwa na katika hafla hiyo, alikana madai kwamba Magharibi Patrick Makau na Spika wa Bunge mwingine atakayependekezwa kuwa Naibu anapanga kuwania ugavana Laikipia ifikapo MALI ya thamani ya mamilioni ya pesa iliharibiwa kwa moto la Kaunti Patrick Waigwa, walimtangaza wa- Rais isipokuwa Bw Kiunjuri. 2022. Aliomba viongozi wakomeshe siasa za uliochoma maduka na nyumba kadhaa katika soko la Mwisho ziri huyo kuwa mwanasiasa anayestahili ku- "Tunamwomba Naibu Rais William Ruto mapema na badala yake waungane na Rais wa Lami, eneo la Mau Narok usiku wa kuamkia jana. twaa jukumu la kutoa mwelekeo wa kisiasa ambaye tunaamini atapeperusha bendera Kenyatta kutekeleza ahadi za maendeleo Kulingana na wakazi, moto ulianza mwendo wa saa tatu ya Jubilee wakati wa Uchaguzi Mkuu 2022, alizotolea Wakenya. unusu usiku na kusambaa kwa kasi kwa sababu ya upepo ahifadhi nafasi ya mgombea mwenza kwa "Tunafaa kumuunga mkono Rais na naibu uliokuwa ukivuma. Ili kutolea maoni habari hii, nenda wake ili kuwe na maendeleo yanayostahili Hakuna chochote kilichookolewa kutoka kwa maduka yali- kwa taifaleo.nation.co.ke Waziri Kiunjuri," akasema Bi Waruguru. Wakati huo huo, walimwomba Bw Kiunjuri hasa kutekeleza ajenda nne kuu," akasema. yojengwa kwa mbao yaliyokuwa yakitegemewa na wafanyabi- ashara zaidi ya 200 ambao baadhi yao waliishi hapo. Mmoja wao, Bw Jacob Maina alisema walishindwa kuzima moto huo. "Nimepata hasara ya zaidi ya Sh600,000. Wakazi walitumia mchanga kujaribu kuzima moto," akasema Bw Maina. Kaimu spika ataka korti imzuie Oloo kumng’oa enzini Wakazi hao walisema gari la zima-moto la Kaunti ya Nakuru liliwasili dakika 45 baadaye wakati uharibifu ulishafanyika. Na RUSHDIE OUDIA KISUMU la kaunti ya Kisumu lisitatizike," akasema. Kamanda wa Polisi wa Kaunti Ndogo ya Njoro, Bw Moham- KAIMU Spika wa bunge la Kaunti ya Kisu- Alitetea bunge la kaunti na kusema med Huka alisema hakuna mtu aliyejeruhiwa katika kisa hicho, mu, Bw Elisha Oraro ameomba mahakama endapo maombi ya mlalamishi yatakubal- na kuongeza kwamba uchunguzi umeanzishwa kubainisha isikubali majaribio ya mtangulizi wake, Bw Bw Oraro aliambia Mahakama ya Ajira na iwa na mahakama, madiwani watakuwa chanzo cha moto huo. Onyango Oloo kubatilisha uamuzi wa madi- masuala ya Leba kwamba uamuzi wa mad- wamezuiliwa kutekeleza mamlaka wali- Na John Njoroge wani kumng'oa mamlakaini. iwani kumchagua kaimu spika ulitokana na yopewa kisheria kujitatulia mizozo ya ki- Amedai kwamba uhusiano kati ya Bw walivyofasiri sehemu ya katiba inayozung- siasa. Wakazi Oloo na madiwani uliharibika na hawaezi umzia uadilifu katika uongozi. Kwenye nakala iliyowasilishwa kortini wakadiria kupatanishwa upya. Alisema walifanya hivyo kwa kuwa Bw Septemba 27, Bw Oloo alishtaki bunge la hasara Huku akisisitiza walifuata kanuni zina- Oloo anakumbwa na madai ya kuhusika kaunti, bodi ya huduma za bunge la kaunti, katika soko zofaa kumwondoa Bw Oloo mamlakani, kwa sakata ya kwa ujenzi wa jumba la kib- serikali ya kaunti ya Kisumu, Gavana An- la Mwisho wa iashara la Mamlaka ya Maendeleo ya Lake Lami, jana. kaimu spika huyo alisema maelewano ya yang' Nyong'o, kaimu spika na afisa anayes- Picha/John kikazi kati ya Bw Oloo na bunge la kaunti Basin, katika Kaunti ya Kisumu. imamia kituo kikuu cha polisi cha Kisumu. Njoroge yalikatizwa wakati uamuzi ulipopitishwa "Itakuwa kwa manufaa ya umma kama Alilalamika kwamba aliondolewa mam- kumhusu bungeni. maagizo aliyoomba yatakataliwa ili bunge lakani kiharamu mnamo Septemba 18.

Ukiwa na suala lolote ungetaka kuwasilisha kwetu, tuma sms bila malipo kwa 20684 ukianza na neno ‘Taifa’ 6 Jumanne, Oktoba 8, 2019 | TAIFA LEO KURUNZIKURUNZI YA PWANI YA PWANI

TAITA TAVETA Polisi wavamia tena nyumba ya MCA wakisaka dawa Juhudi za upatanishi Na HAMISI NGOWA MOMBASA masharti yoyote baada ya kukosa kini- Alielezea jinsi maafisa wa polisi 15 pata na hatia wakati maafisa wa kiten- kutoka kituo cha polisi cha Inuka wal- zatatizika tena Taita MASAIBU yanayomwandama di- go cha CID walipovamia nyumba yangu ivyovamia nyumba yake mwishoni wani wa Bofu katika eneo bunge la kumhangaisha. kwa tuhuma kama hizo,’’ akasema. mwa wiki usiku wa manane na kufanya HUENDA juhudi za kuleta uwiano Likoni Kaunti ya Mombasa, Bw Ahmed Bw Salama kwa mara nyengine ali- Alidai wapinzani wake wa kisiasa upekuzi kwa zaidi ya saa mbili na nusu baina ya bunge la kaunti ya Taita Taveta Salama kuhusu tuhuma za ulanguzi wa puuzilia mbali tuhuma hizo na kulisaf- ndio wanaohusika na masaibu yake wakidai kuwa walikuwa wakitafuta na gavana Granton Samboja zikatatizika dawa za kulevya yaliendelea kushu- isha jina lake kwa kusema yeye ni safi akisema lengo lao ni kuona akifungi- dawa za kulevya. baada ya mkutano wa mazungumzo kama pamba huku akiyataja masaibu hudiwa mwishoni mwa wiki, baada ya wa nje wakati wa kinyang'anyiro cha Bw Salama alisema ilikuwa ikikar- kutibuka. maafisa wa polisi wapatao 15 kuvamia yake kuwa ya kisiasa yanayotokana na uchaguzi mkuu wa mwaka 2022 kwa ibia saa saba usiku baada ya kumaliza nyumba yake usiku wa manane. wapinzani wake ambao wanajaribu ku- sababu za kimaadili. kutazama mechi ya kandanda iliyoku- Baadhi ya mawaziri walidai kuwa Bw Salama aliambia Taifa Leo kuwa tumia kila aina ya mbinu ili kuzima nia "Najua wanajaribu kutumia mbinu wa ikionyeshwa katika runinga am- wabunge hao wanapanga njama ya licha ya mahakama mjini Mombasa ku- yake ya kuwania kiti cha ubunge cha zozote kuchafua jina langu ili itaka- bapo alisikia mlango wa nyumba yake kuwang'oa mamlakani mawaziri kwa muondolea kesi kwa kukosekana kwa Likoni 2022. pofika 2022 niweze kufungiwa nje ukigongwa na maafisa hao waliodai tuhuma za uzembe na matumizi mabaya ushahidi wa kumhusisha na tuhuma “Mimi sifanyi biashara ya dawa za kwa kigezo cha sheria za uchaguzi za walikuwa wakitekeleza amri kutoka ya mamlaka. za ulanguzi wa dawa za kulevya,poli- kulevya na ndio sababu mahakama kimaadili, lakini napenda kuwaambia juu ya kufanya upekuzi kwenye nyum- Mawaziri hao wakiongozwa na kaimu si katika eneo hilo bado wanaendelea mjini Mombasa iliniachilia bila ya kwamba hawatafaulu,''akasema. ba hiyo. Waziri wa Fedha Bw Davis Mwangoma walishutumu upande wa wawakilishi bunge kwa kutokuwa wazi kuhusu lengo MKASA WA AJALI YA FERI la majadiliano hayo. Bw Mwangoma aliambia Taifa Leo kuwa maswala walioibua katika mku- tano huo yalikuwa ya muhimu. "Tunaunga mkono majadiliano lakini kwa nini tuendelee kufanya majadiliano huku wawakilishi wakipanga njama ya Wapiga mbizi kutufurusha kazini?" akasema. Na Lucy Mkanyika

LAMU kutoka Afrika Dhuluma: MUHURI yatuma maafisa Lamu SHIRIKA la kutetea haki za binadamu la MUHURI limetuma maafisa wake wa Kusini wafika kisheria katika Kaunti ya Lamu ili kukus- anya malalamishi ya wakazi waliopigwa na kudhulumiwa na polisi. Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la MUHURI, Bw Khelef Khalifa, aliambia Taifa Leo Jumatatu kwamba wameafikia kwa uopoaji kutuma maafisa wao ili kukusanya data Na MISHI GONGO MOMBASA kutoka kwa watu zaidi ya 40 waliod- hulumiwa kwa kupigwa na maafisa wa WAPIGA mbizi kutoka Afrika Kusini Wapiga mbizi kutoka Afrika Kusini wakipokea taarifa kuhusu mkasa uliotokea juzi kati- usalama vijijini mwao wakati wakitafuta waliwasili nchini jana ili kusaidia katika Mwenyekiti huyo akihutubia wan- ka kivukio cha Likoni ambapo gari lilitumbukia baharini likiwa na mama na mwanawe. mwili wa afisa wa polisi aliyetoweka uopoaji wa miili ya Bi Mariam Kighenda ahabari katika kivuko cha Likoni Feri Wapiga mbizi hawa wamewasili ili kusaidia katika uopoaji wa miili ya wawili hao Bi tangu Jumatano wiki iliyopita. na mwanawe waliotumbukia baharini Mombasa, alieleza serikali imechukua Mariam Kighenda na mwanawe Amanda Mutheu. Picha/Laban Walloga Mwili wa afisa huyo, Hesbon Okem- katika kivuko cha Likoni feri. hatua hiyo ili kuongeza nguvu na maa- wa Anunda, ambaye ni wa cheo cha Kikosi hicho kilihusisha wapiga mbizi rifa ili kuharakisha zoezi la kutoa miili hatari ya wapiga mbizi kuishiwa na kuzama kwenye vina virefu. konstebo ulipatikana Jumamosi ukiwa watano waliokodishwa na familia ya Bi ya Bi Kighenda na mwanawe Amanda pumzi kisha kufariki, vifaa hivi tutavi- Wiki iliyopita waokoaji wawili waki- umetupwa kwenye kichaka kati ya Kizin- Kighenda na watatu waliokodishwa na Mutheu waliozama baharini Septemba tumia kutambua gari kabla ya kutu- binafsi walijitoa kushiriki katika zoezi gitini na Mbwajumwali, Kaunti Ndogo ya serikali ya Kenya. 29. ma wataalamu wetu kwenda kuopoa hilo. Lamu Mashariki. Raia wa Kiswidi Bw Volker Bassen na Walipigwa jeki na wenzao kutoka Alieleza kuwa wanatarajia vifaa zaidi miili,”alisema Kanali huyo. Aidha bunduki yake iliyokuwa na risasi kikosi cha jeshi cha wanamaji kutoka kuwasili leo vitakavyosaidia katika juhu- Bi Kighenda na mwanawe walizama Musa Sila kutoka humu nchini japo wal- India. da za kutafuta mili. wiki iliyopita baada ya gari lao aina ya iruhusiwa kushiriki katika operesheni 60 bado haijapatikana huku msako Matumaini ya kupata miili ya waw- Siku ya Jumapili Kanali wa jeshi la Toyota ISIS lenye nambari ya usajili KCB ya uopoaji chini ya kikosi cha Jeshi la mkali wa kutafuta bunduki hiyo aina ya ili hao yaliongezeka baada ya serikali wanamaji nchini Lawrence Gituma 289C kuteleza kutoka feri Mv Harambee wanamaji la humu nchini walijitoa kabla G3 ukiendelea kote Lamu Mashariki. kununua vifaa maalum vyenye uwezo alisema vifaa walivyonavyo kwa sasa na kutumbukia ndani ya maji. ya zoezi kukamilika. Na Kalumekazungu wa kuona chini ya bahari. japo ni vizuri havina uwezo wa kuona Zoezi la uopoaji linaendelezwa Bw Bassen alifutilia mbali kauli yake “Tunamatumaini kuwa zoezi hili chini ya bahari. na shirika la utoaji huduma za feri ya kwanza kuwa angeweza kutam- litakamilika hivi karibuni kwani wataal- Bw Gituma alisema vifaa hivyo vina- KFS, mamlaka ya bandari KPA, kikosi bua na kuopoa miili ya Bi Kighenda na amu wenye tajriba ya hali ya juu wata- vyoendeshwa na kitanzambali vitatu- maalum cha ulinzi baharini KCGS na mwanawe kwa muda wa masaa mawili. fanya kazi na wenzao wa hapa nchini mika badala ya wapiga mbizi kutambua taasisi ya utafiti wa baharini. “Naomba familia na Wakenya msama- Kaunti ya Kilifi yadai wakitumia Kamera zenye uwezo mkuu sehemu halisi lilipo gari la mwendazake Zoezi hilo limekuwa likikumbwa na ha, sikutambua hali halisi ya zoezi hili, wa kuona sakafu ya bahari,” alisema Bi Kighenda. changamoto mbali mbali zikiwemo hali sehemu inayoendelezwa operesheni hii kuuziwa dawa feki mwenyekiti wa shirika la huduma za feri “Sehemu ambazo tunatafuta miili mbaya ya hewa,mawimbi makali baha- ina kina kirefu mno, mawimbi makali, SERIKALI ya kaunti ya Kilifi imeilau- Dan Mwazo. wakati huu zina kina kirefu mno,kuna- rini, giza na kukosa vifaa muafaka vya giza na ni makao ya papa,” alisema. mu Halmshauri ya Kusambaza Madawa Nchini (Kemsa) kwa kuagiza dawa ya sumu ya nyoka ambayo haina nguvu kwa nyoka wa Barani Afrika. Vurugu polisi wakiingilia kati kuzuia maandamano ya SGR Kulingana na madaktari wanaotibu au MOHAMED A na MISHI GONGO wakati wa maandamano hayo watu 13 wakiwemo Nyali Simon Thirikwa alisema kuwa waandamanaji kuuguza wagonjwa walioumwa na nyo- watetezi wa haki za binadamu walikamatwa baada hao walikamatwa kwa sababu ya kuhusika katika ka, huko Kilifi, dawa ya sumu ya nyoka FUJO zilizuka mjini Mombasa jana baada ya poli- ya polisi kurusha vitoa machozi katika daraja la maandamano haramu. maarufu bharat haifai. si kuzuia maandamano yanayolenga kushinikiza Nyali ambapo maandamano hayo yalikuwa yakifa- “Wakati unapoumiza haki za mwengine basi “Madaktari wenzangu ambao tunafa- serikali kuruhusu wafanyabiashara kusafirisha nyika. maandamano hayo huwa yamekiuka haki zake. nya kazi katika wodi za hospitali ya Kilifi mizigo sawia na reli ya kisasa ya SGR. Rabsha zilizuka na kutatiza hali ya usafiri wakati Hatuwezi kuruhusu hilo,” akasema Bw Thirikwa. tumegundua kwamba dawa ya kutibu Maandamano hayo yalifanyika licha ya serikali maafisa zaidi ya 20 walipowakabili waandamanaji Hata hivyo, mbunge wa Mvita Abdulswamad sumu ya nyoka haina tena makali na hai- kutangaza kuwa imesitisha amri hiyo ya kutaka hao. Maandamano hayo yaliyoanza katika eneo la Nassir pamoja na waandamanaji hao wakiwemo fai kutumika Barani Afrika. Kuna dawa mizigo yote isisafirishwe na reli ya SGR. Kongowea sokoni yalikatishwa ndani ya dakika 10. madereva wa matrela ya kusafirisha mizigo nzuri za kisasa hususan kutoka AFrika Licha ya tangazo hilo, wafanyabiashara pamoja Wale waliokamatwa walitiwa katika magari walikashifu serikali kwa kuwanyanyasa wale Kusini,” alisema Waziri wa kaunti ya Kilifi na madereva wa mizigo walisema kuwa wamezuili- mawili ya polisi na kupelekwa katika kituo cha wanaopinga usafirishaji wa mizigo kupitia reli ya Bi Anisa Omar. wa kuchukua na kusafirisha mizigo bandarini. Jana, polisi cha Nyali. Kamanda wa polisi eneo bunge la kisasa ya SGR. Na Winnie Atieno TAIFA LEO | Jumanne, Oktoba 8, 2019 HABARI ZA AFRIKA NA DUNIA 7

MEXICO CITY, Mexico Kiongozi wa Mali ahakikishia raia usalama IMANI: Papa aongoza kikao Wanne wapigwa risasi na kufariki Rais apuuza kwenye baa moja WATU wanne waliuawa na wengine watano wakajeruhiwa kwenye kisa cha ufyatulianaji wa risasi katika baa moja mjini Kansas. Kulingana na polisi, kati ya waliouawa uwezekano kwenye baa hilo la Tequilla KC ni raia wawili wa Mexico japo uraia wa wengine bado haujatambuliwa. “Watu wanne walipatikana wameaga dunia ndani ya baa na wengine watano wakajeruhiwa kwa risadi,” ikasema wa serikali taarifa ya polisi. Polisi walifichua kwamba kisa hicho kilisababishwa na ugomvi kati ya walevi na washukiwa wawili waliojihami kwa bunduki ambao walitoroka baada ya kuwapiga risasi na kuwaua watu kadhaa. Maafisa hao walitoa picha ya kupinduliwa washukiwa hao na kuzisambaza ili raia wawasaidie kuwatambua ndipo NA AFP BAMAKO, Mali wakamatwe na kushtakiwa. Na AFP RAIS wa Mali, Ibrahim Boubacar Kei- ta amepuuzilia mbali madai kwamba bulizi hayo kwenye kambi mwili za kuna njama ya kupindua serikali yake. jeshi kwenye kisa ambacho serikali ili- Hii ni baada ya uvamizi wa hivi ma- tangaza kuuawa kwa magaidi 15. Iran yashutumu juzi uliosababisha mauaji ya wanajeshi Magaidi hao walihepa na bunduki 38. kadhaa na zana nyinginezo za kivita Mauaji hayo yalitokea kwenye visa ingawa vyombo vya habari vilitangaza Marekani kwa viwili wiki jana karibu na mpaka wa kwamba jeshi lilifaulu kunasa magari Mali na Burkina Faso. 20 pamoja na silaha nyinginezo hatari maandamano Iraq Hata hivyo, Rais Keita amesisitiza kutoka kwao. kwamba taifa lake limejifunza kutoka- Duru ziliarifu kwamba wanajeshi wa TEHRAN, Iraq na na tukio hilo na linaendelea kuweka Mali walisaidiwa na mataifa ya kigeni mikakati ya kudhibiti hali ya usalama. kama Ufaransa iliyotoa helikopta ya "Hakuna mapinduzi yoyote ya jeshi kivita kusaidia kuwafurusha magaidi ambayo yatatokea Mali. Nawahakik- hao. ishia raia wote wa Mali kwamba usala- Kwingineko, watu sita waliuawa na ma unaendelea kudumishwa. Sidhani wengine watano wakajeruhiwa wakati kwamba kuna hofu kwamba jambo bomu lilipolipuka kwenye eneo lina- kama hilo linaweza kujirudia." akasema loshuhudia machafuko ya mara kwa Rais Keita. mara kaskazini mwa Mali. Baada ya mauaji ya wanajeshi hao Kulingana na taarifa kutoka la Umoja mnamo Jumatatu na Jumanne wiki wa Kimataifa, mjumbe wa amani pia ali- jana katika miji ya Boulkessy na Mon- uawa karibu na mji wa Aguelhok. doro, kiongozi huyo alishikilia kwamba Taarifa hizo zilithibitishwa na Mse- matukio hayo hayafai kulinganishwa na maji wa UN nchini Mali, Olivier Salgado. mapinduzi ya jeshi yaliyotokea 2012. Mnamo Januari mwaka huu, raia 11 WAANDAMANAJI nchini Iraq wakimsaidia "Uvamizi uliotokea Boulkessy kwa kutoka Chad waliokuwa wanahudumia mwenzao aliyejeruhiwa. Picha/AFP bahati mbaya unaweza kutokea tena na UN waliuawa na magaidi katika mji wa PAPA Francis baada ya kuongoza kikao cha maaskofu wa Kanisa Katoliki mjini hilo halimaanishi kwamba kuna mapin- Aguelhok. KIONGOZI Mkuu wa kidini nchini Iran, Vatican jana. Mkutano huo unaohudhuriwa na maaskofu kutoka kote duniani duzi," akaongeza. Kundi la kigaidi la Kiislamu la GSIM Ayatollah Ali Khamenei amedai kwa unaangazia masuala mbalimbali yanayokumba ulimwengu Wahalifu waliojihami walitumia ambalo linadhaminiwa na Al-Qaeda, li- maadui ndio wanafadhili maandamano magari ya kivita kutekeleza masham- likiri kutekeleza shambulizi hilo. yanayoendelea nchini Iraq, akisisitiza kuwa lengo lao kuu ni kuibua taharuki kati ya mataifa hayo mawili. “Iraq na Iran ni mataifa mawili ambayo KIGALI, Rwanda yamekuwa pamoja kwa miaka mingi. Maadui ndio wamekuwa wakijaribu Trump asaliti Wakurdi kwa kuipa kututenganisha lakini wameshindwa Wahalifu 19 na hawatafaulu kamwe,” akasema Khamenei. wauawa baada Uturuki kibali cha kuwashambulia Kauli yake iliungwa mkono na mhubiri maarufu wa Kiislamu nchini Iran, MAREKANI imeipatia Uturuki idhini WASHINGTON, Amerika Ayatollah Mohammad-Kashani ambaye ya kuvamia eneo ya kushambulia Kaskazini mwa Syria. alitaja maandamano yanayoshuhudiwa Eneo hilo linadhibitiwa na kundi la Iraq kama yanayochochewa na Marekani POLISI nchini Rwanda wame- wamekuwa wakizuiliwa kwa muda wa Wakurdi ambao wamelaumiwa kwa kus- ili ziara ya kila mwaka ya Waislamu wa sema wahalifu 19 wameuawa na ababisha mauaji na kueneza itikadi kali. miaka miwili iliyopita. wengine bado wanaandamwa Hii ni baada ya mazungumzo kwa njia Hapo jana wanajeshi wa Marekani am- dhehebu la Washia kwenye makaburi baada ya kuvamia eneo la kitalii ya simu kati ya Rais wa Marekani Donald bao wamekuwa wakiwasaidia Wakurdi nchini humo mwezi Oktoba ivurugike. kwenye wilaya ya Musanze, karibu Trump na mwenzake wa Uturuki, Recep dhidi ya uvamizi kutoka kwa serikali ya Hata hivyo, Kiongozi wa dhehebu la na mpaka wake na Jamhuri ya Tayyip Erdogan. Uturuki walianza kuondoka, ishara tosha Washia wa Iraq, Ayatollah Ali Sistani Kidemokrasia ya Congo (DRC). “Uturuki ipo huru kuendeleza mpango kwamba mashambulizi yangeweza ku- ameunga mkono maandamano ya Zaidi ya watu 14 waliuawa wake wa kushambulia Kaskazini mwa tekelezwa wakati wowote. kulalamikia ufisadi na ukosefu wa kazi Hata hivyo, wabunge wa Democrats na kwenye kisa hicho. Syria. Jeshi la Marekani halitahusika na kuitaka serikali kuhakikisha suluhisho kwenye operesheni hiyo kamwe. Mareka- Republican nchini Marekani wameonya linapatikana. Msemaji wa polisi John Bosco kwamba hatua ya Trump itasababisha ni tayari ilikuwa imewashinda magaidi Huku hayo yakiendelea, waanda- Kabera alisema wavamizi wengine wa ISIS na imewaagiza wanajeshi wake mauaji ya halaiki ya Wakurdi na kutoa watano wamekamatwa kuhusi- kutokaribia eneo la mapigano hayo,” picha mbaya kwa mataifa mengine dun- manaji 12 waliuawa wakati wa machafu- ana na kisa hicho katika mbuga la ikasema taarifa ya Marekani. iani. ko kati ya waandamanaji na maafisa wa kitaifa la wanyama la Volcanoes Serikali ya Trump pia iliipa Uturuki Majeshi ya Syrian yalisema wenzao usalama Jumapili na kuongeza idadi hiyo ambalo ni maarufu kwa watalii. mamlaka ya kuwachukua wanachama kutoka Marekani walikuwa wanaondoka RAIS Donald Trump wa hadi watu 100 katika muda wa majuma maeneo ya mipaka ya Uturuki na Syria. NA AFP wote wa kundi la kigaidi la ISIS ambao Marekani. Picha/AFP mawili yaliyopita. NA AFP

Trump asaliti Wakurdi kwa kuipa 8 Jumanne, Oktoba 8, 2019 | TAIFA LEO DONDOO! Za Hapa Na Pale

KAEWA, MASINGA Wazo Bonzo Ashauri jombi atoroke Polo mlevi anyemelee mke wake aporwa baada SOGOO, NAROK POLO wa hapa alimfokea mwenzake kwa kumhadaa kwamba alikuwa akisakwa ya kujigamba na polisi ili atoroke apate kula uroda na mkewe. MLEVI mmoja kutoka hapa aliangua kilio al- Kulingana na mdaku, polo alizua fujo ipoporwa na makalameni akielekea nyumbani BY KEVIN MWENDWA baada ya kutangaza hela alizokuwa nazo mfu- mangweni juzi kisha akatoroka alipoona koni. Graphic Intern hali si hali. Hofu ya jamaa kuwa angeka- Duru zinasema kuwa polo alishinda kwenye matwa ilizidi mwanachama wa kamati ya kilabu mchana kutwa akinywa pombe na akale- nyumba kumi alipomuonya kuwa wakati wa chakari. wowote angetiwa pingu. Inasemekana baada ya polo kumaliza dozi "Acha nikupe tahadhari ya usalama. aliondoka kwenye kilabu ili kurudi kwake huku Unasakwa na wakati wowote utakesha akipiga kelele na kutangaza alikuwa na kitita ndani. Unafaa kuhepa kwa muda kisha mfukoni. Kabla ya kufika kwake alizidiwa na ulevi kisha akaamua kulala kando ya barabara. urudi mambo yakipoa," jamaa alimwonya Inaelezwa kuwa polo alivamiwa na usingizi polo naye akatetemeka kwa hofu. na kulala fofofo. Alipogutuka kutoka usingizini Hata hivyo, upelelezi wa polo ulimjuza hakuamini macho yake kupata kuwa pesa na kuwa madai hayo yalikuwa ni njama ya simu yake zilikuwa zimeibwa. kalameni huyo kupata nafasi ya kumnye- Polo alianza kulia kama mtoto huku wapita lemea mkewe. Mara moja alimpigia simu njia wakimshangaa tu. na kumzushia vikali. Na Mirriam Mutunga Na Nicholas Cheruiyot

Atishia kumwacha Yaya pabaya kuandalia bosi mnofu mume aso nyumba BROOKE, KERICHO MATENDENI, EMBU MWANADADA wa hapa alimchemkia yaya KIPUSA wa hapa alishangaza watu kwa wake kwa kumwandalia mumewe mapochopo- kutaka kurudi kwa wazazi wake miezi tano cho badala ya ugali kwa sukumawiki alivyoku- baada ya kuolewa akilia kwamba mumewe wa amemwamuru. Mdaku wa makala haya anaarifu kuwa ndoa alikataa kumjengea nyumba ilhali ni fundi. kati ya mwanadada na mumewe inayumbayum- Kulingana na mdokezi, kipusa na ba baada ya kukabiliwa na misukosuko kadhaa. mumewe walioana katika harusi ya kufa- "Mambo yalikuwa shwari hadi alipomfu- na mno kisha wakaanza kuishi. mania jamaa akiwasiliana na kisura kupitia Inaelezwa kuwa polo alimuahidi kipusa mtandao wa kijamii. Kidosho aliwaka kwani kuwa angemjengea nyumba baada ya wawili hawa walikuwa wakibadilishana jumbe mwaka lakini hakutimiza ahadi. zilizojaa maneno ya mahaba," mdaku aliarifu. Kipusa alishindwa kuishi ndani ya Hata hivyo, jamaa alifaulu kumlilia mwana- nyumba ya wazazi na akataka kurudi kwao dada amsamehe na kumpa nafasi ya mwisho katika ndoa. akimlaumu mumewe kwa kumpa ahadi Mwanadada alimsamehe lakini hakusahau za uongo. kamwe kusalitiwa na mumewe. Juzi, alikuwa na safari na akamwagiza yaya “Mgeni alipoingia nilichomoka kukopa "Mume wangu ni fundi lakini hatuna Mambo yalizidi unga kwa polo alipopoteza wake kuwa ikitimia saa sita ya mchana apike nyama kilo moja kwa ahadi kuwa ungelipa nyumba ya kulala.Tangu tulipooana kazi yake kwani kandarasi yake kwenye kam- sembe kwa sukumawiki kisha amwandalie ukirudi," yaya aliungama na mama akachemka aliahidi kunijengea nyumba na hadi sasa puni moja ilifika mwisho na hakupewa nafasi mumewe akisema angerudi usiku. hata zaidi. hajafanya hivyo. tena. Hata hivyo, alirudi mapema mno na kupand- "Nani alikuambia unitie kwenye gharama Siwezi nikaendelea kulala ndani ya "Mkewe alianza kumdharau kwani jamaa al- wa na mori kupata demu akiwa ameandalia kulisha malofa wanaokaa tu kupiga gumzo? nyumba ya wazazi," kipusa alilia. Hata Nitakata mshahara wako mwezi huu kufidia imtegemea kwa kila kitu. Kipusa huyo alinuku- jamaa na rafiki yake aliyekuwa amemtembelea hivyo, wenzake walimsihi atulie na kumpa liwa akisema kuwa mumewe hakustahili heshi- mlo sphesheli. hasara hii," mke wa mtu alimfokea kidosho ma kwa maana alifuja hela zake akiponda raha Kilichoudhi mwanadada hata zaidi ni kwa mumewe na mgeni wakiduwaa tu. mumuwe muda amtimizie ahadi zake. na visura," mdaku alieleza. yaya kusema kwamba alikopa nyama. Na Nicholas Cheruiyot Na Mirriam Mutunga TAIFA LEO | Jumanne, Oktoba 8, 2019 9 Barua zote kwa Mhariri lazima ziwe na jina kamili la mwandishi na anwani yake. Zitumwe kwa: Mhariri, Taifa Leo, S.L.P. 49010, GPO 00100, Nairobi au tumia simu kutuma barua yako isiyopungua maneno 100 kwa nambari 20684 au barua pepe [email protected] BARUA Shule zijukumikie afya ya wanafunzi Ujumbe Mfupi mapema shuleni Inaonekana Bw Odinga ameku- KAMA wazazi, huwa tunakumbwa na wasi- wa na usemi mkubwa ndani ya Raila hana mamlaka katika wasi tunapopata habari kwamba watoto wetu serikali ya Jubilee hadi mawa- serikali ya Jubilee,lakini anape- wameugua haswa wakiwa katika shule za ma- ziri wanamtii. Nini maoni yako wa heshima kama balozi wa bweni. kuhusiana na mamlaka ya Bw miundomsingi katika Umoja Hii ndio hali iliyowafika wazazi wa Shule ya Odinga serikalini? wa Afrika (AU) na ajali ya Likoni Upili ya Wasichana ya Alliance iliporipotiwa inahusu miundomsingi hivyo kuwa wanafunzi 52. anastahili kuheshimiwa. Kwa hivyo, walimu wakuu wa shule za ma- Bw Odinga ana usemi katika Ibrahim, Simba Dishes- Ma- bweni wanafaa kuhakikisha kuwa dalili zozote serikali kwani pia yeye ni kion- lindi za magonjwa miongoni mwa wanafunzi zina- gozi. Akisema jambo litakalo zimwa kabla ya hali hiyo kufikia vyombo vya kuwa la manufaa kwa wote, Raila ni mhandisi anajua kile habari. basi anafaa kusikizwa. anasema, rais alisema Raila Nasema hivyo kwa sababu suala kama hilo Margaret Wandego, Thika anamsaidia kuendesha serikali linapogonga vichwa vya habari, redioni, mag- Uteuzi wa Mwende usipingwe mwenye macho hambiwi taza- azetini na kwenye runinga, wazazi ambao wa- Kufungwa kwa mabohari ya ma! toto wao husomea katika shule husika huingiwa SIO haki kwa wabunge kupinga uteuzi wa kuhifadhi sukari duni kwafaa Bi Mwende Mwinzi kuwa Balozi wa Kenya Bwana Raila Odinga hapaswi Reuben F. Okwemba, Gon- na wasiwasi mkubwa kuhusu usalama wao. kuzungumza kuhusu mambo Hali hii hufanya wazazi wenye wanafunzi nchini Korea Kusini kwa misingi kwam- gowea kwa Karama NAWAPONGEZA wabunge kwa kuamuru ba ana uraia wa mataifa mawili; Kenya na ya kiserikali kwani yeye ni kion- katika shule zinginezo kuanza kuulizia hali ya gozi wa upinzani. watoto, ishara kupoteza imani kwa uwezo wa kufungwa kwa mabohari ambako kumehifadhi Amerika. Lionel A. Vidonyi, Seed's walimu kulinda maisha ya wanafunzi haswa ka- sukari iliyoingizwa nchini kwa njia ya haramu. Nasema hivyo, kwa sababu Katiba ya Nguvu za Raila serikalini zi- tika shule za mabweni. Hii ni kwa sababu kumetokea ripoti kwamba sasa inawaruhusu Wakenya ambao pia High Sch.- Kitale. natokana na handisheki na Kuhusu shule hii ya Wasichana ya Alliance, huenda sukari hiyo ina sumu ambayo ni hatari wana uraia wa mataifa mengine kuchang- agizo lake lizingatiwe bila mas- Mkurugenzi wa Elimu Kaunti ya Nairobi Jared kwa maisha ya mwanadamu. ia maendeleo nchini kando na kushikilia wali. Amri hiyo iliyotolewa na kamati ya bunge la Otieno alisema kuwa ilibainika kwa wanafunzi nyadhifa za umma. Kwa hivyo kwa kuwa Raila hakustahili hata kido- Jackson Kahindi Baya, Mom- kitaifa kuhusu Biashara na Viwanda, inayoon- babake Bi Mwende ni Mkenya kutoka hapa walianza kukohoa, kupiga chafya, kutetemeka go kabisa kutoa amri ya aina basa na kuhisi baridi kwenye miili yao. gozwa na Mbunge wa Kieni Kanini Kega, inapa- kwetu kaunti ya Kitui, ni kinyume cha sheria hiyo. Hii ni kwa sababu yeye sa kuzingatiwa ili kuokoa maisha ya Wakenya. kwa wabunge kumnyima haki ya kuhudu- hana wadhifa wowote serika- Hali kama hii inapasa kudhibitiwa mapema. Raila ndiye mkuu wa kitengo Idara ya Polisi, Shirika la Kutathmini Ubora mia taifa hili kwa misingi kuwa mamake ni lini. Raila anafaa kumuomba KIM MEJA NJUGUNA, cha ujenzi na miundomsingi wa Bidhaa (KEBS) na ile ya kupambana na uu- Mwamerika. mshamaha waziri wa Mazingi- Gachoka, Kiambu. barani Afrika ana mamlaka ya zaji wa bidhaa ghushi (KCO) zinapasa kuhakiki- DOUGLAS MUTINDA, ra Keriako Tobiko kwa kuingilia kuamuru kusitishwa kwa sha kuwa amri hii inazingatiwa. Mwingi Kaskazini, Kitui kazi yake. Lakini la muhimu zaidi ni kwamba sukari hii uchimbaji mchanga baharini. Samuel Plumber Muchiri- Heko Wasta kukuza Kiswahili inafaa kuharibiwa na walioileta humu nchini Kupitia SMS waadhibiwe. Karumandi KWA heshima na taadhima nakipongeza kit- Mnara wa Tom Mboya utunzwe LEONARD MARWA, : Kenya uo cha WASTA kwa mchango wake mkubwa ka- NI jambo la aibu kwamba mnara wa mp- MJADALA WA LEO Changamwe, Mombasa imeibuka katika nafasi ya pili tika makuzi na uendelezaji wa Kiswahili. iganiaji uhuru wa taifa hili Thomas Joseph Raila alikuwa sawa kwa sa- duniani katika mashindano ya Kituo hiki ambacho kiliasisiwa na gunge wa Mboya ulioko katikati mwa jiji la Nairobi, babu familia ya wendazao in- IAAF yaliyofanyika jijini Doha lugha hii Mwalimu Wallah Bi Wallah huandaa umetelekezwa na asasi husika. aumia kumbuka yeye ni waziri baada ya kupata medali 5 za tuzo ya kila aina katika mwezi wa Oktoba kila Mnara huu ambao naambiwa kwamba wa AU kuhusu miundomisingi. dhahabu, 2 za fedha na 4 za mwaka ili kuwatunuku watu waliochangia uen- ujenzi wake uligharimu zaidi ya Sh6 milioni Tangatanga wanaleta siasa il- shaba. Unapendekeza serikali delezaji wa Kiswahili na fani zake. umechakaa baada ya kutelekezwa na Seri- hali hawajakanyaga Mombasa Miili iopolewe kabla ya iwafanyie nini mashujaa hao Katika makongamano hayo wasomi na kali ya Kitaifa na ile ya Kaunti ya Nairobi. kuliwaza familia iliyopoteza walioizolea Kenya sifa tele ka- wataalamu na wapenzi wa lugha hii adhimu sherehe za Mashujaa Dei Majuzi Gavana wa Machakos Alfred Mu- wapendwa wao. tika rubaa za kimataifa? kutoka janibu mbalimba jumuika kujadili mus- tua alitangaza kuwa ametapiga jeki, kifedha, Samuel Oriku, Nairobi takabali wa Kiswahili. SERIKALI ya kitaifa inapasa kuhakik- juhudi za kuufanyia ukarabati mnara huu la- Vile vile, changamoto aina aina zinaisibu isha kuwa miili ya Bi Miriam Kighenda kini kufukia sasa hajatimiza ahadi hiyo. Kwa lugha hii hujadiliwa na masuluhisho kupende- na mwanawe inapatikana kabla ya Rais kuwa Dkt Mutua anakimezea mate kiti cha KUWASILIANA kezwa. Uhuru Kenyatta kuongoza sherehe za urais baada ya Rais Uhuru Kenyatta kustaa- Tutumie maoni yako kuhusu mjadala huu kwa nambari Kongole Mwalimu Wallah Bin Wallah. fu 2022, namhimiza kujitokeza na kuufany- JOSEPH MWANIKI, mwaka huu za Mashujaa Dei, Momba- ya simu 20684 au barua pepe [email protected]. ia ukarabati mnara huu ili uwe wa kuvutia com na tutachapisha kesho baadhi ya maoni tutakay- Shule ya Upili ya Kanarero sa. MSOMAJI, Mombasa kama zamani. FRANCIS NJUGUNA, Nairobi opokea. 10 Jumanne, Oktoba 8, 2019 | TAIFA LEO TSC kuwaajiri walimu NATION CENTRE KIMATHI STREET NAIROBI Shirika la Posta vibarua si suluhu tosha Waziri wa Elimu, Prof George Magoha (kulia) azungumza na A sa Mkuu wa lahitaji uvumbuzi Tume ya Kuajiri ESHO Jumatano Kenya inaungana na ulimwengu kuadhimisha Walimu (TSC), Dkt miaka 145 ya Siku ya Posta Duniani. Nancy Macharia Sherehe hiyo itakayoongozwa na Waziri wa Habari, Teknolojia wakati wa uzinduzi na Mawasiliano, Bw Joe Mucheru, itaangazia nguzo tatu kuu: wa Mafunzo ya K Walimu kuhusu Mta- Uvumbuzi, Ujumuishaji na Ushirikishaji. ala wa Umilisi (CBC) Ni vizuri kwamba serikali kupitia Shirika la Posta nchini inatambua mnamo Aprili katika uvumbuzi kuwa mojawapo ya nguzo kuu za ustawi. shule ya msingi ya Kwa miaka kadhaa sasa, shirika la Posta limekuwa likifunga a si Uhuru Gardens, zake katika maeneo mengi nchini. Hata yale majengo yaliyopo kwa Langata. sasa yamegeuzwa kuwa vituo vya utoaji huduma mbalimbali za Picha/Maktaba serikali, maarufu kama Huduma Centre. Masanduku ya Posta yamesalia kuwa ya kutumiwa mizigo na barua chache, hasa za mashirika ya serikali na kampuni kubwa. Takwimu za Halmashauri ya Mawasiliano nchini (CA) zinaonyesha kuwa barua zinazotumwa nchini zilipungua hadi milioni 47, ambacho ni kiwango cha chini zaidi katika kipindi cha miaka 10 iliyopita. Mwaka wa 2010 barua milioni 109 milioni zilitumwa kupitia shirika la Postal Corporation of Kenya. Kuwepo kwa huduma za mitandao kwa urahisi katika sehemu nyingi za nchi kumefanya Wakenya wengi kuwasiliana kwa njia ya barua-pepe, ujumbe mfupi kwenye simu, na sasa hivi kuna mitandao ya kijamii kama vile Facebook na WhatsApp. Kinyume na miaka 10 iliyopita ambapo Shirika la Posta lilitege- Na LEONARD ONYANGO hizo ndizo atakazotumia kulipa kodi ya Serikali inafaa kutenga fedha za kutos- mewa kupeleka mizigo kutoka eneo moja hadi jingine, sasa hivi kuna ATUA ya Tume ya TSC ya kuwaajiri nyumba, umeme na kusaidia familia yake ha za kuajiri walimu wa kudumu badala ya zaidi ya kampuni 1,000 za kibinafsi zinazotekeleza jukumu hilo, walimu 10,300 wa kibarua inafaa, ila kujikimu! kukimbilia njia za mkato. zikiongozwa na zile za mabasi. Hsi suluhisho la uhaba wa walimu nchi- Je, Sh8,000 zinaweza kumsaidia mtu Serikali inafaa kuipa elimu kipaumbele Kuwekwa soko huru la kusambaza mizigo kunafanya Wakenya ni. vipi kujikimu, kwa mfano, jijini Nairobi, kwa kuajiri walimu wa kutosha. wawe na uhuru wa kuchagua kampuni ya mizigo ya kutumia. Shirika Kuna uhaba wa jumla ya walimu 125,000 Kisumu, Mombasa na maeneo mengineyo Ni kinaya kwamba kila siku tumekuwa la Posta likiwa la serikali, linapaswa kuwa na uwezo mkubwa zaidi wa katika shule za msingi na sekondari. ya nchi? tukihimiza wanafunzi kutia bidii masomo- kusa risha mizigo hiyo. Shule za sekondari ambazo sasa zina Huenda hiyo ndiyo sababu ya TSC kua- ni ilhali hakuna walimu wa kuwafundisha. wanafunzi wasiopungua milioni 2.8 zina mua kuajiri walimu wa kibarua wa umri Ripoti iliyowasilishwa na TSC bungeni Kinacholikosesha biashara ni wafanyakazi wenye uzembe, usiozidi miaka 35 kama njia mojawapo ya mwaka huu pia ilionyesha kuwa hakuna wanaoamini kuwa kwa vile wameajiriwa na serikali, hata wakiwa upungufu wa zaidi ya walimu 95,000 huku shule za msingi zilizo na wanafunzi milio- kuhepa walio na familia! usawa katika ugavi wa walimu katika shule wajeuri au wasipohudumia wateja kwa njia ya haraka na salama, ni 10 zikiwa na uhaba wa walimu 30,000. Gharama ya maisha inaongezeka kila mbalimbali nchini. mishahara yao itaingia tu mwisho wa mwezi. Hivyo, hatua ya TSC kuwaajiri walimu uchao hivyo mshahara huo ni mdogo mno; Ripoti hiyo ilionyesha kuwa baadhi ya Tunapojiandaa kuadhimisha Siku ya Posta Duniani, serikali yapas- wa kibarua 4,300 katika shule za msingi na hautoshi kitu shule zina idadi kubwa ya walimu ilhali wa kuchukua hatua za kufufua shirika la Posta, na kuzuka na mbinu wengine 6,000 katika shule za upili haita- Ili kuwatia motisha walimu hao wa kiba- baadhi hazina walimu. za kisasa za kuvutia wateja ambao wanazidi kuongezeka. Ingawa saidia kumaliza uhaba uliopo. rua, tume ya TSC inafaa kuongeza mshaha- Kwa mfano, ripoti ilionyesha kuwa kuna ushindani mkubwa wa kibiashara, kupitia uvumbuzi, shirika la Kulingana na TSC, walimu wa kibarua ra wao. Kaunti ya Taita Taveta inahitaji walimu Posta inaweza kurejelea umaarufu katika utoaji huduma za mawasi- wa shule ya sekondari watalipwa mshaha- Walimu hao watafanya kazi kwa kipindi 2,151 wa shule ya msingi lakini kwa sasa cha miezi 12 na kisha TSC itaamua ikiwa kuna walimu 2,209. Hiyo inamaanisha liano. ra wa Sh15,000 huku wenzao wa shule za msingi wakipewa Sh10,000. wataajiriwa kuwa walimu wa kudumu au la kuwa kuna walimu 58 zaidi ilhali kaunti Mshahara huo duni utakatwa kodi, kwa kuzingatia utendakazi wao na uwepo kama vile Kakamega, Migori na kadhalika Ni Gazeti la Kampuni ya Nation Media Group kulingana na TSC. Hiyo inamaanisha kuwa wa hela. hazina walimu wa kutosha. Mkurugenzi Mkuu: STEPHEN GITAGAMA mwalimu wa shule ya upili huenda akasalia Iwapo TSC haitakuwa na fedha za ku- TSC inafaa kuhakikisha kuwa kuna uga- Mkurugenzi wa Uhariri: MUTUMA MATHIU na takribani Sh12,000 huku mwenzake wa waajiri kuwa walimu wa kudumu basi vi sawa wa walimu katika maeneo yote ya Mhariri : PETER NGARE shule ya msingi akipokea Sh8,000. Fedha watarejea nyumbani na uhaba wa walimu nchi. utaendelea. Ukosefu wa ufadhili unavuruga ukuaji wa teknolojia Na FAUSTINE NGILA Town kukata kiu ya teknolojia. Yeye ni A sa Mkuu hudi hizi kwa vyovyote. Ingawa kuna KATIKA ziara zangu kwenye vituo msimbaji kwa lugha ya kisasa ya Python. na Mwasisi Wizara ya Teknohama inayosimamia mbalimbali vya teknolojia humu nchini, Nilipofi ka Swahilipot Hub, nilikutana wa E-Kitabu masuala yote ya teknolojia na kila kaun- nimebaini kuwa ukosefu wa ufadhili wa na vijana wengi ambao wanajizatiti CEO Will ti kutenga fedha za kufadhili ubunifu, kutosha unalemaza juhudi za mamia kutimiza ndoto zao katika usimbaji, Clurman wapenzi wa teknolojia wametengwa, ya vijana waliojitolea kubuni suluhu za uundaji wa programu, usanii na uigizaji. azungumza wakatekelezwa na kuachiwa mzigo wa kiteknolojia kuifaa nchi. Nikiwahoji wakuu wa vituo hivi, nili- na wana- kusaka ufadhili wao wenyewe. Nilipozuru kituo cha Sote Hub mjini gundua kuwa wao hujifadhili huku wak- habari kuhu- Kenya inafaa kuwekeza ipasavyo kati- Voi, niliduwaa kuona wavulana wa umri itegemea mno wafadhili wa mataifa ya su ukumbi ka teknolojia maanake uchumi wa usoni wa miaka 20 wameunda mfumo wa ki- kigeni ambayo yametambua uwezo na wa masomo utategemea pakuu ubunifu. pekee wa usalama huku wasichana wa ari yao ya kubuni suluhu kwa matatizo ya mtanda- Ingawa serikali ilipendekeza mpango umri wa miaka 17 nao wakijivunia kuten- ya kiuchumi Pwani. oni maarufu wa kila eneobunge kuwa na kituo cha geneza teknolojia ya kukomesha uhasa- Hali ni sawa katika vituo vya Nailab e-learning. ubunifu hapo 2016, miaka mitatu baa- Picha/Mak- ma baina ya binadamu na ndovu katika cha Nairobi, Mount Kenya Hub na Dehub daye hakuna cha kujivunia, bado serikali taba mbiga ya Tsavo. vya Nyeri, Ubunifu cha Machakos, Lake inajikokota. Hub cha Kisumu, Eldohub na Dlab Hub Hili ni wazo zuri ambalo wakati wake Nilipowatembelea wakali wa kituo wa na CcHub cha Nigeria kutokana na kwa wasimamizi husika wa cha SwahiliBox, jijini Mombasa, niliku- vya Eldoret. wa kutekelezwa ni sasa, la sivyo mus- iHub cha Nairobi kilichokuwa cha ukosefu wa ufadhili. serikali kujitia hamnazo licha ya vijana takabali wa uchumi na ajira kwa jumla tana na Firdaus Salim mwenye miaka 18 Ni aibu kubwa kwa serikali kuu na kujitolea kuonyesha makali yao katika ambaye huamka kila asubuhi na kusafi ri kwanza kupigia debe teknolojia Kenya, humu nchini utazidi kulemazwa na visiki mwezi uliopita kililazimika kununuli- serikali za kaunti kufumbia macho mus- teknolojia. ambavyo vinaweza kuondolewa. kutoka Mariakani hadi Mombasa Old takabali wa uchumi wa nchi. Ni fedheha Inashtua serikali haiungi mkono ju- TAIFA LEO | Jumanne, Oktoba 8, 2019 11

Toleo 011

YALIYOMO

Afua kwa wanaogua kansa ya mapafu UK14

Joto jingi hatari kwa moyo Ugonjwa wa mtoto mchanga wa presha UK15 Ni tatizo ambapo nguvu ya msukumo wa damu katika mishipa ni kubwa kuliko kawaida hivyo husababisha moyo kufanya kazi kupita kiasi ili uzungushe damu katika mishipa ya damu UK 12-13 Maumivu miguuni wakati wa baridi UK16 12 Jumanne, Oktoba 8, 2019 | TAIFA LEO Shina la uhai Tatizo la shinikizo la damu, aina zake na jinsi ya kudhibiti Wataalamu wanasema presha hupimwa kwa kuchunguza nguvu ya msukumo wa damu katika mishipa ya damu wakati moyo Taswira nchini na unadunda au umetulia au kati ya mapigo ya moyo ulimwenguni

NA BENSON MATHEKA

KAWAIDA

arius Kariuki alianza kuhisi kifua JUU chake kikiwa kizito na akaenda hospitalini. Alikuwa na miaka 42 na hakuwa amewahi kupata matatizo CHINI yaD kiafya isipokuwa homa ya hapa na pale au IKIZO 9.4m maumivu ya kichwa. N Idadi ya wanaofariki Baada ya kupimwa, daktari alimweleza I kwamba alikuwa na msukumo wa damu. H “Nilishtuka kwa sababu sikuwa nimeugua ulimwenguni maishani na nilikuwa nikiendelea na shughuli S zangu kama kawaida,” asema. Watu wengi huwa wanashtuka wanap- oenda hospitalini na kufahamishwa kwamba wana tatizo la shinikizo la damu maarufu kama Hypertension. 18.4 - Kulingana na madaktari, shinikizo la damu au presha ya juu ya damu ni ugonjwa ambapo nguvu ya msukumo wa damu katika mishipa 32.6% ni kubwa kuliko kawaida hivyo husababisha moyo kufanya kazi kupita kiasi ili uzungushe Idadi ya Wakenya damu katika mishipa ya damu. Kwa kawaida presha haina dalili ila ikidumu, ina madhara makubwa kwa afya. Mtu huse- wanaofariki kutokana mekana kuwa na presha ikiwa nguvu hizi ni za juu kiasi cha kusababisha matatizo ya kiafya. na matatizo Kulingana na shirika la afya ulimwenguni (WHO), ni ugonjwa ambao unaua kimya kimya. “Presha ya juu yanayosababishwa na Wataalamu wanasema hupimwa kwa ku- huharibu mishipa chunguza nguvu ya msukumo wa damu katika na kusababisha presha mishipa ya damu wakati moyo unadunda au maradhi ya moyo umetulia au kati ya mapigo ya moyo. isipogunduliwa Moyo unapopiga damu kwa wingi na mishi- mapema. Chanzo pa ikiwa myembamba, ndivyo msukumo wa chake huwa ni damu unavyoongezeka. kitendawili na Kipimo cha kawaida cha shinikizo la damu wa daktari na wengi wameishi na hali hii kwa “Ikiwa una umri wa miaka 40 au zaidi, au iki- ni 100–140 mmHg (kipimo cha juu) na 60–90 sawa na maradhi ya miaka mingi,” asema Dkt Kavoi. wa umri wako ni kati ya 18 na 39 na unakabil- mmHg (kipimo cha chini). Shinikizo la juu mtindo wa maisha, Aidha wanaougua hawana dalili zozote hata iwa na hatari ya kukumbwa na hali hii, pimwa la damu hutokea kipimo hiki kikiwa zaidi ya isiposhughulikiwa kama kiwango hicho ni cha juu mno. mara mbili kwa mwaka,” aeleza. 140/90 mmHg kwa muda mrefu. inaweza kusababisha Kulingana na Dkt Kavoi, watu wachache hu- Kufanya hivi huwa kunasaidia hali hii Dkt Sam Kavoi wa hospitali ya St Lukes matatizo mabaya ya weza kupata maumivu ya kichwa, kushindwa kugunduliwa mapema kisha kushauriwa jinsi mjini Machakos, anasema kinachosababisha kiafya. kupumua au kutokwa na damu puani. ya kukabiliana nayo. Kwa kawaida, madaktari hali hii hakijulikani lakini anasema ni hali “Hata hivyo, dalili hizi zinaweza kuwa za huwa wanachunguza kwa muda, kabla ya inayoua watu wengi bila kuonyesha dalili za maradhi mengine na kwa wale walio na presha, kutoa ushauri kuhusu jinsi ya kukabiliana nayo kuugua. -Dkt Sam Kavoi hazitokezi hadi kufikia kiwango cha kutishia endapo itaendelea kutatiza. “Presha ya juu huharibu mishipa na kus- (Hospitali ya St Lukes, maisha yao,” aeleza. “Daktari akigundua kwamba una presha au ababisha maradhi ya moyo isipogunduliwa Kwa sababu ni hali isiyo na dalili na inay- uko katika hatari ya kupata maradhi ya moyo, mapema. Chanzo chake huwa ni kitendawili Machakos) otishia maisha ya wengi, madaktari huwa hupendekeza upimwe mara kwa mara,” asema. na sawa na maradhi ya mtindo wa maisha, wanapima kiwango cha msukumo wa damu Utafiti wa shirika BMC Health kwa ushiriki- isiposhughulikiwa inaweza kusababisha ambacho wanasema kwa kawaida kinapaswa ano na wizara ya Afya, mwaka jana ulionyesha matatizo mabaya ya kiafya,” anasema. kuwa 140 kwa 90. kuwa ni asilimia 15.6 ya Wakenya wanaofaha- Anasema visa vingi vya mshtuko wa moyo Kulingana na Dkt Robert Ngugi wa hospitali mu viwango vyao vya msukumo wa damu na na kiharusi vinatokana na msukumo wa damu. ya Aga Khan, mtu anapaswa kupimwa kiwango kati ya watu hao ni wachache wanaotibiwa. Wataalamu wanasema ni hali inayochukua cha shinikizo la damu kila baada ya miaka Utafiti unasema kwa wanaotibiwa, asilimia muda mrefu kabla ya kugunduliwa na inakum- miwili kuanzia umri wa miaka 18. 51.7 huwa wanapata nafuu. ba karibu kila mtu. Anasema jinsi umri unavyoongezeka, ndivyo Kwa sababu unaua kimya kimya bila “Habari nzuri ni kuwa ni hali ambayo unakabiliwa na hatari ya kupata presha ya juu. kuonyesha dalili kwa wengi, wataalamu wan- inaweza kudhibitiwa mtu akifuata ushauri

Mhariri Mkuu: Mutuma Mathiu Mhariri: Peter Ngare Mhariri wa Makala: Muthoni Kariuki Mhariri Msaidizi: Fatuma Bariki Mhariri wa Picha: Joan Pereruan Msanifu Kurasa Mkuu: Andrew Anini Wasanifu Kurasa: Mutuura Ken Kamau, Alice Othieno, Joy Abisagi, Ken Kusimba, Lisa Wamugunda, Linus Ombetta na Oscar Anaswa Waandishi: Pauline Ongaji, Benson Matheka, Bernadine Mutanu, Leonard Onyango na Mary Wangari. TAIFA LEO | Jumanne, Oktoba 8, 2019 13 Shina la uhai Presha ya chini Tatizo la shinikizo la damu, aina za ke na jinsi ya kudhibiti •Unene kupindukia Jinsi mtu alivyo mnene ndivyo anavyohitaji damu kwa wingi mwilini iweze kusambaza hewa ya oksijeni na virutubishi sehemu zote za mwili. Kiwango cha damu kinapoongezeka kwenye 15.6% mishipa, ndivyo msukumo unavyoongezeka kwenye mishipa. •Kuzembea na kukosa kufanya mazoezi Idadi ya wanaofahamu viwango Watu wasiopenda kufanya kazi huwa na vyao vya presha moyo unaopiga kwa nguvu. Moyo unapopiga kwa nguvu, ndivyo unavyofanya kazi ili kuweza kuongeza damu mishipani. Aidha, kunafanya mtu kuwa na mwili mnene. •Uvutaji wa sigara Matumizi ya tumbako huongeza presha qho 51.7% ya damu ghafla japo kwa muda mfupi lakini kemikali katika tumbako zinaweza kuharibu kuta za mishipa. Hii inafanya mishipa kuwa Idadi ya wanaosaka matibabu myembamba na kuongeza hatari ya kupata maradhi ya moyo. •Kutumia chumvi nyingi Kushuka kwa presha •Kupungua kwa madini ya Potassium mwili Madini ya Potassium (yanayopatikana kwenye matunda kama vile ndizi), husaidia kusawazisha kiwango cha chumvi katika seli. hatari kwa afya yako 2014 •Kubugia pombe kwa wingi Kunywa pombe kwa wingi kwa muda mrefu PRESHA ya damu katika mishipa ya mwili inaweza kupungua kunaweza kuharibu moyo. Wataalamu wanase- au kushuka na kusababisha matatizo ya kiafya ikiwa ni pamoja 9.4m 9.4% 3.0% ma wanawake wanaokunywa zaidi ya chupa na kifo. moja kwa siku na wanaume wanaokunywa zaidi Kulingana na wataalamu, hali hii inafahamika kama Hypo- Idadi ya wanaofariki Wanawake Wanaume ya chupa mbili kwa siku, wanaalika ugonjwa tension na hupata watu ambao kipimo cha mtiririko wa damu huu. mwilini ni chini ya 90/60. ulimwenguni •Mfadhaiko na msongo wa mawazo “Mtiririko wa damu katika mishipa hupimwa kwa sehemu •Baadhi ya maradhi sugu mbili, moja inayofahamika kama systolic ambayo ni waka- Baadhi ya maradhi kama vile ya figo, kisukari ti moyo unapopiga na kujaza mishipa na damu, na ya pili na kukosa usingizi yanaweza kusababisha inafahamika kama diastolic, wakati moyo umetulia au kati 2015 msukumo wa damu. ya mapigo ya moyo (diastole)” aeleza Dkt Lawrence Nderu wa •Mimba hospitali ya Aga Khan. 18.4 - Wajawazito wanapaswa kupimwa mara kwa Anasema kushuka kwa kiwango cha mtiririko wa damu bila 1.3 billion mara wasiathirike. kusababisha dalili zozote sio tishio hasa kwa watu wenye afya •Kula mafuta kwa wingi njema. 32.6% Idadi ya waliopata presha ulimwenguni Mafuta mwilini hufunga mishipa na kufanya “Hata hivyo, kwa kawaida, kushuka kwa presha ya damu damu kupita kwa shida. kunaweza kuwa dalili ya tatizo kubwa hasa kwa watu wa umri mkubwa ambapo kunaweza kufanya ubongo, moyo na viungo Idadi ya Wakenya Kulingana na tovuti ya www.medicanewsto- muhimu kukosa kiwango cha kutosha cha damu,” aeleza. day.com, ingawa ni watu wazima wanaokabiliwa Kulingana na daktari huyu, kushuka ghafla kwa presha wanaofariki kutokana 1 kati 4 na hali hii, watoto wanaweza pia kupatwa na kunaweza kufanya viungo kukosa hewa ya oksijeni. msukumo wa damu hasa walio na matatizo ya “Damu huwa inasafirisha hewa ya oksijeni katika viungo vya na matatizo Mmoja kati ya wanaume 4 hupata presha figo na moyo. Wazazi wanashauriwa kuwapa mwili na kushuka kwa presha kunaweza kufanya viungo hivyo watoto lishe bora kuepuka unene kupindukia na kukosa kufanya kazi ipasavyo,” aeleza. yanayosababishwa na kuwasaidia kufanya mazoezi. Wataalamu wanasema kwamba dalili za hali hii ni kuhisi Mbali na kusababisha matatizo ya moyo. kizunguzungu au kichwa kuhisi kuwa chepesi. presha unaweza kuharibu viungo muhimu vya mwili Kulingana na Dkt Mwali Oscar wa hospitali ya Bristol, 1 kati 5 usiposhughulikiwa. ukiamka au kusimama ghafla unaweza kupatwa na upungufu Matatizo mengine ni kama: wa damu. Mmoja kati ya wanawake 5 hupata presha 1. Kuvimba tezi. “Aina hii hufahamika kama postural hypotension ama 2. Moyo kusita/kufa orthostatic Hypotension. Ni hali ya muda lakini ni muhimu 3. Mishipa ya figo kudhoofika kusaka matibabu ikidumu,” aeleza. apendekeza watu kupimwa mara mwa mara. na sababu nyingine za kiafya. 4. Kuathiri mishipa machoni na kusababisha Anasema kuna aina nyingine inayosababishwa na kusima- Kulingana na utafiti wa kutathmini hali ya “Secondary Hypertension huwa inatokea upofu ma kwa muda mrefu inayofahamika kama neurally mediated afya wa 2014, ni asilimia 9.4 ya wanawake na ghafla na kusababisha msukumo wa juu wa 5. Kuathiri kumbukumbu hypotension. asilimia 3 ya wanaume waliotembelea vituo vya damu kuliko Primary Hypertension,” aeleza Dkt “Ikisababisha kuzirai, inafahamika kama vasovagal synco- afya na kuchunguzwa presha yao. Ngugi. Wataalamu wanasema matatizo mengi ya pe. Hii ndiyo hufanya watu kuanguka na kuzirai wakisimama Takwimu katika ripoti ya WHO, zinaashiria presha ya juu husababisha kifo. kwa muda mrefu,” aeleza. kwamba mwaka wa 2015, watu 1.3 bilioni kote Chanzo cha ‘Secondary Hypertension’: Kulingana na tovuti ya www.webmed.com, postural hypo- ulimwenguni walikuwa na shinikizo la damu. •Matatizo ya figo Udhibiti tension hutokana na mfumo wa neva au moyo kushindwa Ripoti hiyo inasema kwamba mwanamume • Matatizo ya tezi kikoromeo WHO linasema watu wanaweza kupunguza kwenda sawa na mabadiliko ya mwili kama vile kusimama au mmoja kati ya wanaume 4 ana msukumo wa •Matumizi ya dawa kama vile za kupanga hatari kwa mbinu hizi. kuamka ghafla. damu ilhali kati ya wanawake watano, mmoja uzazi, kutibu homa, kupunguza maumivu. •Punguza kiwango cha chumvi mwilini. “Kwa kawaida, mtu anaposimama kuna damu ambayo ana tatizo hilo. •Kukosa kupata usingizi •Kula matunda na mboga kwa wingi inaelekea sehemu ya chini na kumfanya kuhisi kizunguzungu Shirika hilo linalenga kupunguza vifo vina- • Kukumbwa na woga. •Kufanya mazoezi kwa sababu ya damu kupungua ubongoni. Mwili nao hutuma vyosababishwa na msukumo wa damu kwa •Matumizi ya dawa haramu kama kokeni na •Kepuka sigara na pombe jumbe (kupitia neva) kwa moyo kupiga haraka na kwa mishipa asilimia 25 kufikia 2025. amphetamines •Kutokula mafuta kwa wingi. kujiandaa. Hii ikikosa kufanyika au ikichukua muda mrefu, Aidha kulingana na WHO, ni vigumu kukadiria •Dosari za mishipa ya damu ambazo mtu •Kuepuka mzongo wa mawazo postural hypotension husababisha mtu kuzirai,” wataalamu wanaouawa na maradhi haya kwa sababu huzaliwa nazo •Kupimwa kila wakati wa tovuti hiyo wanasema. yanasababisha matatizo mengi yanayoua watu. •Kutumia dawa anazopatiwa na daktari na Dkt Mwali asema sawa na kupanda kwa presha ya damu, Hata hivyo inakadiria kuwa watu 9.4 milioni hu- Walio katika hatari zaidi ya maambukizi: kwa viwango anavyoagizwa. ni watu wa umri mkubwa walio katika hatari ya kukabiliwa na fariki kote ulimwenguni kutokana na matatizo •Watu weusi •Kutibiwa unapougua au kuwa na matatizo kushuka kwa presha. au maradhi yanayosababishwa na msukumo Wataalamu wanasema Wafrika wanaweza viungo vya mwili. Takwimu za Shirika la Afya Ulimwenguni-WHO zinaonyesha wa damu. kupata msukumo wa damu wakiwa na umri kuwa kati ya asilimia 10 na 20 ya watu wenye umri wa zaidi ya Kadhalika inakisiwa kuwa vifo asilimia 18.4 mdogo kuliko wazungu. Matatizo kama vile Kulingana na Dkt Kavoi, watu wakianza ku- miaka 65, hupata postural hypotension. hadi 32.6 nchini Kenya hutokana na matatizo kiharusi, mshtuko wa moyo na figo hutokea kwa tumia dawa za kupunguza msukumo wa damu Watu wanaopoteza damu kwa wingi wakati wa kujifungua yanayosababishwa na shinikizo la damu. wingi miongoni mwa Wafrika. WHO inasema hawawezi kuacha hadi washauriwe na daktari. au wakati wa ajali pia wanaweza kupatwa na hali hii kabla ya asilimia 27 ya watu walio na msukumo wa Vile vile, ni hatari kuongeza au kupunguza kurudia hali yao ya kawaida. Aina za shinikizo la damu damu wako Afrika. kiwango cha ulichopewa na daktari. •Primary Hypertension ambayo huwa ina- • Historia ya familia chukua muda mrefu kujitokeza. Ikiwa unatoka katika familia ambayo kuna NA BENSON MATHEKA •Secondary Hypertension ambayo inatokana watu walio na hali hii, upo hatarini kuugua. 14 Jumanne, Oktoba 8, 2019 | TAIFA LEO

Teknohama NA LEONARD ONYANGO

Vidubwasha

Ulimi sasa kusaidia wasioweza kuona (BrainPort V100)

limi ni kiungo ambacho ni video za mahali mtu anaelekea muhimu katika mazu- halafu taarifa zinatoka na kuele- Ungumzo, kutafuna na kea kwenye ulimi. Kwa kuonja na kumeza chakula. ulimi, mtu anaweza kuona njia Ulimi huwezesha mtu kuonja kupitia hisia ubongoni. ATUMAINI ya wagonjwa wa chakula na kufahamu ikiwa ni Kulingana na majaribio yaliyo- kansa ya mapafu kupata kitamu au kichungu. fanywa na FDA, watu 69 kati ya 74 Mmatibabu yameongezeka baada Lakini sasa ulimi huenda waliojaribiwa waliweza kuona njia ya wanasayansi kuthibitisha kuwa kifaa ukatumiwa kuona. Hii ni baada ya kwa kutumia kifaa hicho. kipya cha kutambua matibabu wanayo- kampuni ya Wicab ya Amerika ku- Waliosalia walisema kuwa hitaji kinatoa matokeo sahihi kwa zaidi Afua kwa tengeneza kifaa kinachowezesha hawakuona chochote. Lakini ya asilimia 80. vipofu kuona kwa kutumia ulimi. FDA iliamua kuwa kifaa hicho Kifaa hicho kinachofahamika kama Tayari BrainPort V100, kimei- kinaweza kuwasaidia watu wengi eNose, yaani ‘pua la kielektroniki’, ‘hunusa’ pumzi ya wagonjwa na ku- dhinishwa na Taasisi ya Kudhibiti walio na changamoto ya kuona. waeleza madaktari ikiwa mwathiriwa wanaougua Matumizi ya Dawa nchini Amerika Kampuni ya Wicab tayari wa kansa ya mapafu anastahili kupewa (FDA). imepata ruhusa ya kukiuza katika dawa ya kupunguza makali ya saratani, Kifaa hicho kinaunganishwa na mataifa ya Ulaya. maarufu immunotherapy au la. simu. Kamera ya simu inanasa Kulingana na matokeo ya utafi ti yali- yochapishwa katika jarida la utafi ti wa kansa ya kansa, Annals of Oncology, kifaa hicho kinatoa matokeo sahihi zaidi ikilingan- ishwa na teknolojia inayotumika sasa. Kitawafaa sana matipwatipwa Profesa Michel van den Heuvel wa Chuo Kikuu cha Radboud cha nchini (NozNoz) Uswizi aliyeongoza utafi ti huo, alisema mapafu kifaa hicho kitaboresha matibabu ya WEWE ni miongoni mwa pua mchana na kuondolewa usiku kansa ya mapafu. “Teknolojia watu ambao wakihisi harufu ya unapolala kwani mtu haruhusiwi “Teknolojia inayotumika sasa kubaini ishirikishwa katika utafi ti huo. mapochopocho wanadondokwa kukitumia kwa zaidi ya saa 12 aina ya dawa ambayo waathiriwa wan- inayotumika sasa “Majaribio yamethibitisha kuwa kifaa na mate na kupata hamu ya kula mfululizo. ahitaji inachukua muda mrefu na mara hiki kinatoa matokeo sahihi na kitasaid- hata kama wameshiba? Hata hivyo, watu walio na nyingi haitoi matokeo sahihi,” akasema. kubaini aina ya ia pakubwa katika matibabu ya kansa ya Usisumbuke. Sasa kuna kidub- shida ya kutokwa na damu puani Immunotherapy ni dawa ambayo mapafu,” akasema. washa cha kutia puani kinachoju- hawaruhusiwi kukitumia. huongeza nguvu kinga za mwili hivyo dawa waathiriwa Kulingana na Shirika la Afya Duniani likana kama NozNoz. Kulingana na Shirika la Afya kuziwezesha kukabiliana na makali ya (WHO), asilimia 80 ya kansa ya mapafu kansa. wanahitaji, inachukua husababishwa na uvutaji wa sigara. Kulingana na kampuni ya Beck Duniani (WHO) zaidi ya watu bil- “Tangu matibabu ya haya yalipoan- Ripoti ya Wizara ya Afya iliyotolewa Medical Ltd ya nchini Israeli, ioni 1.9 ni wazito kupindukia kote zishwa, ukabilianaji na kansa ya mapafu muda mrefu na mara 2016, ilionyesha waraibu huvuta siga- NozNoz kinaweza kusaidia watu ulimwenguni. umeimarika pakubwa. Lakini changamo- ra katika maeneo yenye msongamano wanene kupindukia kwani hawa- NozNoz kinadai kuwa kifaa cha to iliyopo ni kwamba madaktari hawana nyingi haitoi matokeo wa watu hivyo kuwatia hatarini watu takuwa wanakula mara kwa mara. kwanza kutumiwa na binadamu vifaa vya kupima ili kubaini wagonjwa sahihi. -Prof Michel wengine zaidi ya milioni 10 wasiovuta “Kifaa hicho hufanya pua ku- kuzima harufu. wanaofaa kunufaika na matibabu hayo. sigara. tohisi harufu huku mhusika akien- Hii ni kwa sababu si waathiriwa wote wa Sigara huvutwa kwa wingi usiku kati- delea kupumua kama kawaida,” kansa ya mapafu wanaonufaika na dawa van den Heuvel(Chuo ka baa na maeneo ya burudani ambapo ikasema kampuni hiyo. hiyo,” akafafanua Prof Heuvel. Kikuu cha Radboud, huwa na misongamano ya watu. Kulingana naye, baadhi ya wagonjwa “Wazazi wanapovuta sigara nyumba- Waten- wa kansa ya mapafu hawapati nafuu Uswizi) ni pia huwatia watoto katika hatari ya genezaji wa hata wakipewa matibabu haya. “Kifaa kupatwa na kansa ya mapafu,” ikasema kifaa hicho cha eNose kitawezesha madaktari kutoa ripoti hiyo. wanasema matibabu ya Immunotherapy kwa wag- Kulingana na watafi ti, kifaa hiki kinapima kemikali ya VOCs na kuwaeleza Kwa mujibu wa ripoti, zaidi ya Waken- kuwa har- onjwa ambao watapata nafuu pekee,” ya 2.5 milioni huvuta sigara au hutafuna ufu tamu akasema. madaktari ikiwa mgonjwa anahitaji mat- ibabu ya Immunotherapy au la. tumbako hivyo wako hatarini ya kupat- ya chakula eNose ni kifaa kilichoundwa kwa te- wa na kansa ya mapafu. inafanya knolojia inayotambua kemikali inayo- “Mgonjwa anavuta hewa kwa takrib- ani dakika 10 na kisha kupumua hewa Ripoti hiyo pia inaonyesha kuwa ka- wengi julikana kama ‘Volatile Organic Com- ribu asilimia 50 ya waraibu wa sigara pounds’ (VOCs), ambayo hupatikana hiyo ndani ya kifaa cha eNose. Kifaa hiki kuwa na hupima hewa hiyo na kutoa majibu ikiwa walianza kuvuta wakiwa na umri wa kati katika pumzi. ya miaka 18 na 25. njaa gha a. Mbali na VOCs, pumzi pia hujumui- mwathiriwa anahitaji matibabu ya Im- Kinaweza munotherapy au la,” akasema. Kansa ya mapafu huua watu wengi ku- sha hewa aina ya nitrojeni, oksijeni, ka- liko kansa ya pumbu, korodani, sehemu kutiwa kwenye bon-dayoksaidi na maji. Kimekuwa kikifanyiwa majaribio tangu 2016 ambapo wagonjwa 143 wal- ya uzazi na matiti kwa pamoja. TAIFA LEO | Jumanne, Oktoba 8, 2019 15 mazingira & sayansi Ongezeko la joto duniani hatari kwa moyo wa mtoto mchanga

Kulingana na utafi ti uliochapishwa katika jarida la Journal of the American Heart Association, idadi ya watoto wanaozaliwa na tatizo la dosari ya moyo itaongezeka maradufu kati ya 2025 na 2035

ULINGANA na matokeo ya sensa zo la CHD ni kati ya asilimia 2-3. Kinacho- takwimu kuhusu hali ya hewa. ya afya; M&K Health Institute iliyoko ya 2009, watoto wawili huzaliwa sababisha tatizo hilo hakijulikani. Umoja wa Mataifa (UN) unatabiri kuwa mjini Hyogo, Japan pia ulidai kuwa kwa kila dakika nchini Kenya. Lakini wataalamu wanasadiki kwamba joto litakuwa limeongezeka kwa sentigre- mabadiliko ya tabianchi yatasababisha KHiyo inamaanisha kwa saa, ubugiaji wa pombe wakati wa ujauzito di 1.5°C ku kia mwaka 2030 kote duniani. baadhi ya maeneo kuwa na idadi kubwa ya watoto 120 huzaliwa. kunachangia kwa kiasi kikubwa. Ikiwa Hiyo inamaanisha kuwa idadi ya watoto watu wa jinsia moja. Kati ya watoto hao 120, angalau mmoja mama anaugua maradhi ya kisukari, un- wanaozaliwa na dosari ya CHD itaongeze- Kulingana na wata ti hao, maeneo “Joto la juu huwa na dosari katika moyo wake. Dosari ene kupindukia na matatizo mengineyo ya ka. yaliyo na joto jingi yatakuwa na idadi hiyo inafahamika kama Congenital Heart kiafya, mtoto anaweza kupatwa na CHD. Uta ti wa awali uliofanyiwa wanyama, kubwa ya watoto wavulana. Maeneo na mimba Defects (CHD). CHD ni ugonjwa unaoathi- Lakini sasa wata ti wamebaini kisaba- uliashiria kuwa joto la juu linaharibu seli yaliyo na baridi yatashuhudia idadi kubwa hazipatani. ri muundo na ‘kuta’ za moyo. CHD pia bishi kipya cha ugonjwa wa CHD ambacho za protini mwilini. Protini hizo zinahusika ya wasichana. Mabadiliko huathiri mishipa ya damu. ni joto. pakubwa katika ukuaji wa mtoto anap- Wanasayansi hao wanasema kuwa ya tabianchi Mashimo hujitengeneza katika kuta za Ongezeko la joto linasababishwa na okuwa tumboni. watoto wa kike hufariki kwa wingi wakiwa moyo au kwenye mishipa ya damu inay- mabadiliko ya tabianchi. Gesi nyingi aina Mbali na ugonjwa wa CHD kwa watoto, tumboni ikilinganishwa na wenzao wa ki- yatakuwa osambaza damu mwilini kutoka kwenye ya kabon-dayoksaidi ambazo zimejazana uta ti uliofanywa na Chuo Kikuu cha ume hivyo kukiwa na joto jingi, watoto wa na athari moyo. angani zinazuia joto kutoka duniani. Hali Queensland, Australia ulionyesha kuwa kike wataathiriwa zaidi hivyo kusababisha kubwa kwa Mashimo hayo husababisha damu hiyo inasababisha joto kuongezeka hapa joto jingi pia linasababisha akina mama eneo husika kuwa na wavulana wengi. iliyo na oksijeni kuchanganyika na damu duniani na hata baadhi ya barafu iliyoko kupoteza watoto wao kabla ya kujifungua watoto ambao isiyokuwa na oksijeni. Hilo husababisha juu ya milima kuyeyuka. au kuzaa mapema kabla ya wakati unao- Matibabu hawajazaliwa. mishipa kusambaza damu iliyo na oksijeni Kulingana na uta ti uliochapishwa faa kukamilika. Kutokana na kuimarika kwa teknolojia, haba katika sehemu nyinginezo za mwili. katika jarida la Journal of the Ameri- Wata ti walichunguza rekodi za kuji- madaktari sasa wanaweza kutibu watoto -Uta ti Ukosefu wa damu ya kutosha husa- can Heart Association, idadi ya watoto fungua mjini Brisbane za kuanzia 2005. walio na ugonjwa wa CHD. babisha ngozi au kucha za mtoto kuwa wanaozaliwa na tatizo la dosari ya moyo Kati ya rekodi 101,870 zilizochunguzwa, Tatizo la CHD linaweza kutambuliwa na rangi ya bluu. Hali hiyo pia inaweza itaongezeka maradufu kati ya 2025 na 653 zilikuwa kuhusu mimba zilizoharibi- ujauzito unapokuwa na umri wa kati ya kusababisha moyo kushindwa kufanya 2035. ka. 18 na 22. Wengine hupatwa na tatizo hilo kazi. Mashimo hayo yaliyoko kwenye Aidha uta ti huo unadokeza kuwa Waligundua kuwa mimba zilizoharibika mara tu baada ya kuzaliwa. Lakini huwa moyo husababisha moyo kusukuma damu ongezeko la joto litasababisha watoto miezi ambapo joto lilikuwa sentigredi hatari zaidi endapo mtoto atakua bila maradufu ili kui kisha katika sehemu zaidi ya 7,000 kuzaliwa na dosari ya moyo 15°C, zilikuwa 353 kwa kila akina mama kubainisha kuwa anaugua ugonjwa huo nyinginezo za mwili. Kutokana na kufanya ndani ya miaka 11 ijayo nchini Amerika wajawazito 100,000. Idadi ya mimba zili- kwani anaweza kuanza kuzimia mara kwa kazi maradufu, moyo huwa mkubwa na pekee. zoharibika wakati joto lilikuwa sentigredi mara atakapokuwa mkubwa. misuli yake hulegea na baadaye kushind- “Joto la juu na mimba hazipatani. Ma- 23°C, ilikuwa 610 kwa kila akina mama Mtoto anaweza kufanyiwa upasuaji ili wa kusukuma damu. badiliko ya tabianchi yatakuwa na athari wajawazito 100,000. kurekebisha moyo. Upasuaji huo un- Moyo wa mtoto hujitengeneza katika kubwa kwa watoto ambao hawajazaliwa,” “Joto jingi linasababisha kuzaliwa kwa agharimu takribani Sh1.2 milioni. Bima wiki sita za kwanza anapokuwa tumbo- ukasema uta ti huo. watoto mapema kabla ya wakati wao na ya afya ya Kitaifa (NHIF) kwa kawaida ni. Ni wakati huo ambapo tatizo la CHD Wata ti hao walichunguza rekodi za wengi wao huwa na afya mbovu,” unase- hulipa Sh500,000 kwa ajili ya upasuaji wa huanza kujitokeza. Uwezekano wa mama kujifungua zilizohifadhiwa na wizara ya ma uta ti huo. watoto walio na CHD. mjamzito kujifungua mtoto mwenye tati- afya ya Amerika na wakalinganisha na Uta ti mwingine uliofanywa na taasisi 16 Jumanne, Oktoba 8, 2019 | TAIFA LEO Pata ushauri wa Dkt Flo Miguu huuma wakati Kwa kifupi wa baridi, kulikoni? Mpendwa Daktari, kliniki ya afya ya uzazi. Mbinu zingine za kupanga uzazi bado zinafanyiwa utafiti Mamangu ambaye yuko ikiwa ni pamoja na tembe, sindano za katika miaka ya sitini wanaume miongoni mwa zingine. amekuwa akikumb- wa na maumivu Mpendwa Daktari, kwenye miguu Tangu utotoni nime- yake hasa kuwa nikikumbwa nyakati za na masuala ya uza- baridi au baa- ni. Mimi ni mwem- da ya kufa- bamba sana ilhali Anemia mapema katika ujauzito nya kazi zi- marafiki zangu ni nazohusisha wanene. Mbinu imehusishwa na Tawahudi (Autism) matumizi ya zipi salama am- maji baridi. bazo naweza ku- UTAFITI mpya unaonyesha Kwa hivyo, japo upungufu wa madini tumia kuongeza kwamba huenda watoto wanaozal- ya chuma au virutubisho vingine ka- Tatizo laweza iwa na akina mama wanaokumbwa tika kipindi cha muda mrefu wakati unene hasa katika na maradhi ya anemia yanayosaba- wa ujauzito huathiri moja kwa moja kuwa nini? bishwa na upungufu wa virutubisho ukuaji wa ubongo, pia tuliona baadhi Emmy, Mom- sehemu ya makalio vya chuma mwilini mapema katika ya ushahidi kwamba matatizo haya na kifua? ujauzito, wakawa katika hatari yanayohusiana na anemia kama basa kubwa ya kukumbwa na matatizo ya vile kuzaliwa kabla ya kipindi cha Lynn, Nairobi kiakili yanayotokana na ustawi wa ujauzito kukamilika na pre-eclamp- Mpendwa Emmy, ubongo. sia, yaweza kueleza baadhi ya hatari Mabadiliko ya hali ya Mpendwa Lynn, Katika uchambuzi wa data iliyok- zilizotambuliwa,” alisema. hewa yamekuwa yakihusish- Kuwa mwembamba zaidi kwa usanywa kutoka kwa zaidi ya watoto Kama ilivyoripotiwa katika jarida wa na uchungu hasa miongoni matamshi ya kimatibabu kunamaani- laki tano waliozaliwa nchini Sweden, la JAMA Psychiatry, Gardner na sha kwamba kimo chako kikilinganishwa watafiti walitambua kwamba mara- wenzake walichambua data kutoka mwa watu wanaougua ugonjwa dhi haya kwa akina mama kabla ya Stokholm Youth Cohort, usajili wa wa baridi yabisi (arthritis), maumivu na uzani wako (BMI) kiko chini. Kiwango mimba kutimu wiki 30 yalihusishwa watu waliozaliwa kuanzia mwaka wa ya sehemu ya chini ya mgongo, jongo mto- cha BMI cha kawaida ni kati ya 18.5 na 25. na hatari kubwa ya matatizo ya 1984 na 2011 na waliokuwa wakiishi (gout), maumivu ya neva na hali zingine Ikiwa kiwango chako cha BMI kiko chini kiafya ikiwa ni pamoja na Tawahudi, eneo la Stokholm wakati wowote zinazosababisha maumivu. Hakuna ush- to mmoja ya 18.5, basi unasemekana kuwa na uza- tatizo la kutotulia (Attention Deficit kati ya 2001 na 2011. ahidi wa kisayansi kuthibitisha haya, na zaidi lakini baada ya mtoto wa ni wa chini. Huenda hii ikasababishwa Hyperactivity Disorder (ADHD) na Viwango vya matatizo ya kiakili hivyo hakuna tiba. Unaweza kudhibiti na jeni, au kwa sababu mwili wako una- ubwege(Intellectual disability). yanayotokana na ustawi wa ubongo hali hii kwa kuvalia mavazi yanayozuia pili kutimu miaka sita, hata tumia nguvu nyingi kufanya kazi za kila Hata hivyo kulingana na Renee vilikuwa chini kwa wanawake siku. Aidha hali hii yaweza kutokana na Gardner, mwandishi mshiriki wa waliokuwa na maradhi ya anemia na baridi, kudumisha uzani unaofaa, kufa- hivyo mke wangu alishika mim- udadisi huu, utafiti huu hauthibitishi waliokuwa na viwango kawaida vya nya mazoezi, kutumia dawa za kukabil- sababu kwamba hauli chakula cha kuto- ba. Nahisi kana kwamba hajali kwamba anemia husababsiha mata- madini ya chuma. iana na maumivu na kujiepusha na kazi sha, au unajihusisha na shughuli nyingi. tizo haya; unaonyesha uhusiano Kwa mfano, tawahudi iligundu- ngumu zinazofanya neva na misuli yako hasa ikizingatiwa kwamba ni Pia yaweza kuwa ni kutokana na maradhi tu. “Utafiti huu unaashiria kwamba lika miongoni mwa asilimia 4.9 ya kukazika. fulani au unakumbwa na tatizo la kiakili. hata zaidi ya ilivyodhaniwa awali, watoto waliozaliwa na wanawake mimi peke yangu ninayefanya Huku baadhi ya watu wakiongeza au huenda ikawa muhimu kuimarisha waliokuwa na anemia mapema kati- kazi. Kutokana na sababu kuwa kupunguza uzani kuambatana na lishe au viwango vya virutubisho vya madini ka ujauzito, asilimia 3.8 ya waliozal- Mpendwa Daktari, ya chuma miongoni mwa wanawake iwa na akina mama waliogundulika hamakiniki na masuala ya ku- masuala mengine wanayokumbana nayo, Pamoja na mke wangu tume- uzani wa wengine haubadiliki kwa ura- wanaowazia kushika mimba au wale kuugua anemia baadaye, na asilimia panga uzazi, naweza kutumia ambao wako katika awamu za awali 3.5 kwa watoto waliozaliwa na akina jaliwa watoto watatu. Kifungua hisi. Hii mara nyingi ni kutokana na jeni, za ujauzito,” akasema. mama ambao hawakukumbwa na mbinu zipi kama mwanamume, hali ambayo kwa bahati mbaya haiwezi Haimaanishi kwamba wanawake maradhi haya wakati wa ujauzito. mimba wetu alizaliwa miaka kubadilishwa. Ni vyema kuwa na uzani mbali na kutumia kondomu? wanapaswa kuingiwa na hofu. Ni Pia, ADHD iligundulika mion- saba iliyopita, huku mtoto wetu usiobadilika kila mara. Unapozidi ku- muhimu kukumbuka kwamba mara- goni mwa asilimia 9.3 ya watoto Ed, Nairobi komaa kiumri, itakuwa rahisi kuongeza dhi haya huwa yamekithiri wakati waliozaliwa na akina mama wa pili akiwa bado hajatimu mi- uzani huku mfumo wako wa umetaboli wa ujauzito, lakini ni nadra sana kwa waliokumbwa na anemia mapema aka miwili. Mtoto wetu wa tatu Mpendwa Ed, ukipungua kasi. Dhana kwamba unene wanawake wajawazito kupatikana katika ujauzito, asilimia 7.2 miongoni ni ishara ya afya njema ni potovu. Ikiwa na hali hii katika kipindi cha wiki 30 mwa watoto waliozaliwa na akina alizaliwa miezi minne iliyopita, Kwa mwanamume, mbinu za kupan- za ujauzito. mama waliopatikana kuugua anemia ga uzazi ni kuondoa uume ukeni kabla uzani wako ni thabiti hasa katika kiwan- “Anemia kwa kawaida hukithiri baadaye katika kipindi cha ujauzito na kusema kweli sikufurahia. Ku- ya kumwaga manii, kuhasi (vasectomy) go kizuri kiafya, basi haupaswi kuingiwa sana baadaye katika ujauzito am- na asilimia 7.1 miongoni mwa watoto tokana na matatizo ya kifedha, na kondomu. Katika mbinu ya kwanza, na wasiwasi. Dumisha lishe bora, kula bapo kijusi huhitaji zaidi virutubisho waliozaliwa na akina mama ambao wakati wa kushiriki tendo la ndoa un- viwango vidogo vya vyakula kila mara, vya madini ya chuma. Lakini hali hawakuugua anemia wakati wowote tulikuwa tumepanga kumpata apaswa kuondoa uume ukeni kabla ya fanya mazoezi na jiepushe na tabia zi- hii ikigundulika baada ya wiki 30, wa ujauzito. kumwaga manii ili kuzuia yasiingie mle. sizoambatana na afya njema kama vile haihusishwi na ongezeko la hatari ya Dalili za ubwege nazo zilitambu- Hata hivyo viwango vya kufeli ni takriban kuvuta sigara au kulewa kupindukia. matatizo ya kiakili yanayotokana na lika mongoni mwa asilimia 3.1 ya Unaweza kutafuta ushauri kutoka kwa ustawi wa ubongo,” akaongeza. watoto waliozaliwa na akina mama 22%. Katika mbinu ya kuhasi, daktari wa Kulingana na Gardner, madini ya waliokumbwa na maradhi ya anemia upasuaji hukata na kuziba mrija unaosa- mtaalamu wa lishe atakayekushauri ku- chuma ni muhimu sana katika kuota mapema katika ujauzito, ikilingan- firisha manii. Baada ya miezi mitatu ha- husu vyakula vya kula na kwa viwango kwa mfumo wa neva. “Kwa mfano ishwa na asilimia 1.1 miongoni mwa kutakuwa na manii yatakayopita wakati vipi. Hakuna jinsi ya kupima kwamba tunajua kwamba ni muhimu kwa waliokumbwa na anemia baadaye, wa ngono. Utaratibu huu huwa sahili na uzani unaoongeza utaelekea kwa kifua na seli za nyuroni (neurons) zinazounda na asilimia 1.3 miongoni mwa watoto huchukua muda mfupi, hauna maumi- makalio. Umbo la mwili wako hutegemea mwunganisho na zingine kuunda ambao hawakuugua wakati wa vu na kamwe hauathiri nguvu zako za na jeni. Mafuta mengi mwilini yaweza safu ya ulinzi nje ya seli za neva zina- ujauzito. kiume. Hata hivyo, ni vigumu kurejelea kudhibitiwa kwa kuhakikisha lishe bora, zoimarisha usambazaji wa ishara.” Kwa upande mwingine, watoto vile vile mazoezi kupitia ushauri wa mku- Anasema kuna njia zingine am- waliozaliwa na akina mama walio- hali yako ya kawaida kwani inachukuliwa bapo viwango vya chini vya madini kumbwa na anemia mapema katika kuwa mbinu ya kudumu ya kupanga uza- funzi. ya chuma vinaweza kusababisha ujauzito, walikuwa na uwezekano zi. Aidha, unaweza jizuia kushiriki ngono matatizo ya kukua. Watoto wanao- mara 1.44 zaidi wa kukumbwa na na mkeo wakati ambapo hayuko salama. zaliwa na akina mama waliopatikana tawahudi, uwezekano 1.37 zaidi wa Unaweza kufunzwa kufanya hivi katika kuwa na maradhi ya anemia mape- kukumbwa na ADHD na uwezekano ma, walipatikana kuwa wadogo na 2.2 zaidi wa kukumbwa na ubwege, walikuwa na uwezekano wa kuzaliwa wakilinganishwa na watoto ambao kabla ya muda kamili. mama zao walikumbwa na anemia “Aidha, akina mama hawa pia baadaye katika ujauzito. walikuwa na uwezekano mkubwa wa Je, una swali au jambo lolote la kibinafsi ambalo ungependa ushauri wa Daktari? Waweza kututuma ujumbe kwa kukumbwa na matatizo ya ujauzito. barua pepe [email protected] NA PAULINE ONGAJI TAIFA LEO | Jumanne, Oktoba 8, 2019 FUMBO & FALAKI 17

Fumbo Nyota Na Sheikh Khabib KULIA: 1. Kinyume cha utamu KONDOO SIMBA MISHALE 6. Tutangulie. Machi 21 – Aprili 20: Julai 23 – Agosti 22: Un- Novemba 23 – Desemba 21: Utapata 8. Mchoro unaotumika kwa Zingatia kikamilifu aweza kufuatilia masuala msaada na mawaidha kutambulisha. mawaidha utakayopata ya kimapenzi na ukifanya kutoka kwa mtu fulani 9. Isiyo na ugumu. kutoka kwa mwenzio hivyo utavunjika moyo. ndipo uweze kusulu- kwani yeye ni miongoni Ikiwezekana, itumie hisha shida ambazo 10. Kazi ya karani. mwa watu wachache zaidi katika shughuli za kibinafsi zinakusumbua wakati 11. Jibu unapoitwa. ambao wangetaka kuona uki- tu ambazo huenda zikakuweka katika huu. Ni mtu ambaye huja- 13. Tabia va kutoheshimu mtu faulu maishani nafasi nzuri ya kushughulikia mapenzi zoea kujadili siri zako naye na huenda au kitu. vyema zaidi siku zijazo. ukashangaa anatakaje, lakini jua hu- 17. Jambo linalotangazwa. NG'OMBE wezi kuwa mganga ukajiganga. 20. Wingi wa “dau”. Aprili 21 – Mei 20: Un- MASHUKE 21. Atoa onyo. aweza kuanza kufikiria Agosti 23 – Septemba 23: Ahadi MBUZI hatua ya pili baada ya ambayo umekuwa ukisubiri Desemba 22 – Januari 20: Kuna 22. Kazi ya kushikilia madara- kupokea habari ulizota- kwa hamu kwa muda sasa dalili kwamba mwenzio ka wakati mwenye cheo hicho rajia. Usisubiri hadi bahati Itatulia. Tenga wakati wa kimapenzi amekuwa hayuko. iingie mikononi eti ndio uanze ufurahie lakini usijiingize akikuhadaa kwa muda 23. Umalaya. kupanga. Utachanganyikiwa wakati kwenye anasa na watu wote ambao mmekuwa huo na huenda ukavuruga bahati usiojua. Ikiwa ni starehe, basi pamoja. Chukua hatua yenyewe. wa kwanza kuzipata anapaswa kuwa haraka uchunguze mienendo CHINI: mtu wako. yake ili ujue ukweli badala ya kusikiza 1. Ukame. 5. Uzuio. 15. Hali ya nafsi kuridhika na MAPACHA uvumi wa watu. Mei 21 – Juni 21: Kuna MIZANI 2. Unyimivu wa kutotaka 7. Pia huandikwa na kutamk- matendo ya mtu. wa “ofisi”. 16. Hali ya kuwa kitukuu. mambo ambayo yakuan- Septemba 24 – Oktoba 23: Mahusi- NDOO mwingine afaidike na ulicho- dama na itabidi uwe ano yanaweza kuleta balaa. Januari 21 – Februari 19: Marafiki wa- 12. Kila mmoja kumtenga 18. Apendelea upande mmoja. nacho. mwangalifu zaidi ili yasi- Kazi haitakuwa mbaya na takufuata na hata kukupigia 3. Kaa kimya bila kuongea. mwenzake. 19. Kutana uso kwa uso. kupate. Ni heri uitwe muoga ni muhimu ujikaze kabisa simu wakitaka mawaidha. 4. Shughuli za kutalii. 14. Hasira ya ghafla. lakini amani idumu moyoni mwako. kutekeleza majukumu Wasaidie kulingana na Epuka watu ambao tangu zamani ham- yako yanayokupa riziki. uwezo wako na wala patani kwa sababu huenda hii ni fursa Mengine yanaweza kushugh- usifanye kosa la kuahidi yao kukuangamiza. likiwa baadaye hali ikibadilika. makubwa usiyomudu. Ikiwa tatizo ni fedha, waonyeshe jinsi ya KAA NGE kuzitafuta lakini usiwape zozote wasi- Juni 22 – Julai 22: Ishi Oktoba 24 – Novemba 22: Wacha kuzoee vibaya. KULIA: 13. Apokea CHINI: 12. Taarifa 1. Ufunguo l. Upana kwa upendo na amani na kutumia sehemu kubwa ya 17. Kuamuru 14. Pashwa kila mtu na hutakosa wa pesa zako kwa wapenzi SAMAKI 6. Gundua 20. Shaba 2. Ujana 15. Kiatu kukushika mkono ukiwa wako na kupuuza mambo Februari 20 – Machi 20: Mipango ni 8. Agana 21. Ikiwa 3. Gwaride 16. Akataa katika shida. Jua chochote muhimu ya kujijenga ki- mazuri.Unapanga kuwekeza 9. Lenga 22. Mwauza 4. Ogelea 18. Ulime kinaweza kutokea. Ni bora zaidi ku- maisha. Badili mwenendo pesa zako katika biashara 10. Apatiwe 23. Akanena 5. Dukani 19. Uzawa husiana vyema na watu kwa sababu huo lau sivyo ujute baadaye. au shughuli nyingine 11. Atumie 7. Nungu hutawahi kujuta. kumbuka wanakunyemelea kwa saba- yoyote ya kuzizalisha. Taf- FUMBO LAFUMBO JANA bu una nafasi ya hali katika maisha. uta ushauri wa kitaalamu kuhusu jambo hili, lakini hata kabla ya kufanya hivyo, usithubutu kucheza kamari. SHANGAZI AKUJIBU

kuwa anamtaka. Jambo ambalo huna Wasiwasi wako hasa ni kwamba hut- hakika nalo ni iwapo amekubali ombi Alikuwa na nia gani kuniambia tukapimwe? aweza kumuoa mpenzi wako kwa sababu lake au la. Kama bado mko pamoja na Hujambo shangazi? Nina umri wa tayari ndugu yako amemuoa dada yake. hajakwambia kuwa amepata mwingine, miaka 32 na nina uhusiano na mwan- Sina hakika kuhusu iwapo ni makosa ushauri wangu ni kuwa uchukulie kwam- amume ambaye ameoa. Tumekuwa ama mwiko kwa ndugu kuoa kutoka ba hakuna chochote kinachoendelea pamoja kwa miaka miwili sasa. Hivi familia moja. Hilo ni jambo nadra sana kati yao kwa sasa. Mambo yakibadilika majuzi alinishtua sana aliponiambia na ninaamini jamii tofauti zina msi- ni lazima utajua ama yeye mwenyewe kuwa ana virusi na akaniomba twende mamo wake kulihusu. Ushauri wangu akwambie. tukapimwe. Tulienda na tukapatikana ni kwamba uwauliza wazazi wako na tuko sawa. jamaa zako wengine naye mpenzi wako Kufikia sasa sijaelewa alikuwa na nia afanye hivyo hivyo kwa upande wake ili Nimuoe huyu wa gani na bado nina wasiwasi. Tafadhali mjue mwelekeo wa mpango wenu. nishauri. mtoto ama ni- Kupitia SMS achane naye? Namshuku sana Shangazi pokea salamu zangu. Nina Inawezekana kwamba mwanamume mpenzi wangu umri wa miaka 22 na nina mpenzi huyo alitumia madai hayo kama njia ya Shikamoo shangazi. Mpenzi wangu ambaye anataka nimuoe. Tatizo ni kukushawishi mwende mkapimwe. Lakini ambaye tulimaliza pamoja maso- kwamba ana mtoto ambaye alizaa alifanya makosa kwa sababu hilo silo mo ya chuo kikuu mwaka uliopita na mwanamume aliyekuwa mpenzi jambo la kufanyia mzaha. La sivyo, labda amepata kazi katika kampuni fulani. wake na wakaachana. Je, nimuoe ama ana uhusiano na wanawake wengine na Tangu ajiunge na kampuni hiyo, kuna niachane naye? amekuwa akijishuku kwa hivyo alita- mwanamume ambaye amekuwa Kupitia SMS ka kujua hali yake na yako pia. Kama akimpigia simu karibu kila jioni akito- kawaida, mimi suing mkono mipango ya ka kazini na wikendi pia. Nimemuuliza Mtoto hawezi kuwa kikwazo cha wawili kando. Naona wewe bado ni mwanamke mpenzi wangu akaniambia wanafa- wakipendana. Nimeshuhudia wanaume mchanga na ushauri wangu ni kwamba nya kazi pamoja mwanamume huyo. wakioa wanawake walio na watoto uachane na mume wa wenyewe utafute Ninashuku wameanzisha uhusiano hata watano. Kama kweli unampenda wako. Ni kwa kwa njia hiyo pia ambapo wa kimapenzi kwani sioni sababu ny- mwanamke huyo na uko tayari kumuoa, utaondoa wasiwasi ulio nao kutokana na ingine ya mwanamume huyo kupiga basi mkubali mtoto pia. Ukweli ni kuwa kisa hicho. simu kila siku. Nishauri. huwezi kumtenganisha na mtoto wake. Kupitia SMS

Kakangu katwaa Ni jambo la kawaida kwa watu Kama unalo swali lolote unalohitaji kubadili maamuzi kuhusu maisha yao. dada ya kidege ushauri, tuma kwa kwa nambari ya Kwa sababu hiyo, halitakuwa jambo lis- simu ya ukianza na neno pete. Uhusiano wetu umefikia miaka kumuoa katika muda wa miezi miwili ilo la kawaida kwa mpenzi wako kuvutiwa 2O684 changu shangazi. Kila ujumbe unagharimu Kwako shangazi. Nina jambo ambalo mitano sasa na tunaendelea na mipa- pekee. Hatua yake hiyo imenichangan- na mwanamume mwingine na kuvunja sh10. naomba unisaidie kutatua. Nina mpenzi ngo ya ndoa. Lakini ghafla ndugu yangu ya, sijui nitafanya nini. Nishauri. uhusiano wenu. Tabia ya mwanamume ambaye tunapendana kama chanda na amemnyakua dada ya mpenzi wangu na Kupitia SMS huyo ya kumpigia simu kila siku ni dalili 18 Jumanne, Oktoba 8, 2019 | TAIFA LEO Jaribio la KCPE 2019 Kiswahili

B. Maji hufuata mkondo D. Amesomea uigizaji na biashara ya vipodozi katika chuo. JARIBIO LA KCPE KARATASI P C. Mtaka cha mvunguni sharti ainame 32. Kulingana na kifungu hiki ni kweli kuwa: D. Heri nusu shari kuliko shari kamili A. Mhusika alipitia changamoto nyingi japo alijikubali Soma vifungu vifuatavyo.Vina nafasi 1 – 15.Chagua jibu sahihi ili kujaza B. Zeruzeru hawafai kuwa wanamitindo kila nafasi. 26. Chagua neno ambalo ni nomino kundi. C. Zeruzeru hawana changamoto barani Afrika Kila wakati binadamu hukumbwa na magonjwa mbalimbali. 1_____ A. Uwezo B Dhamana C. Robota D.Barua D. Florence Kisombe ni mtoto wa pekee katika familia yao ni ugonjwa wa kuvimba fizi. Kichocho nao ni ugonjwa wa ___2___ 27. Pole pole, kijasiri, ovyoovyo; yote ni: 33. Hamu ya Florence kuwa mwanamitindo ilimjia lini? damu.Magonjwa ___3___husababishwa na tabia __4___ binadamu mwenyewe. Jinsi __5___ binadamu, vyakula anavyokula, na A. Viarifa B. Vielezi C.Nomino D. Vihisishi A. Alipokuwa katika chuo kikuu akisomea uigizaji anavyoweza kutawala hisia __6___ ni muhimu.Mazingira __7___ ni 28. Yakinisha sentensi: Nisingaliimba nisingalituzwa. B. Baada ya kukutana na wanaharakati wanaotetea haki za zeruzeru hatari kwa binadamu. Mtu yeyote yule anafaakujikinga __8___ mambo A. Ningeimba ningetuzwa. B. Nisingeimba nisingetuzwa. C. Aliposhinda tuzo ya kuwa mwanamitindo bora shuleni mwao yanayosababisha maradhi. Tuepuke utumiaji___9__ mihadarati kwa C. Ningaliimba ningalituzwa. D. Nisingaliimba nisingalituzwa. D. Alipokuwa banati wa umri mdogo angali shuleni sababu inaweza kusababisha maradhi ya __10__ mtu akawa mwehu. A. B. C. D. 29. Kitendawili: Mpishi hodari ingawa hali. 34. Lililomvutia Florence zaidi kuwa mwanamitindo ni: 1. Kimeta Surua Tauni Hijabu A. Moto B. Nyuki C.Mwangwi D.Chungu A. mvuto kaika masuala ya vipodozi 2. kuendesha kukojoa kukosa kuvuja 30. Mtu anyetunga mashairi guni huitwa B. hali yake mwenyewe ya uzeruzeru 3. mingi mwingi mengi wengi A. mkwiro B. sogora C.malenga D.mutribu C. malipo ya kuwa mwanamtindo 4. mwa la ya wa D. kuwa mbele ya kamera za wanahabari 5. alikoishi anamoishi anapoishi anavyoishi Soma kifungu hiki kisha ujibu maswali 31 – 40 35. Kujithamini kwa Bi. Florence Kulitokana na: 6. vyake zake lake wake A. Urembo wake wa ajabu 7. machafu masafi chafu safi Amejitwika jukumu la kuwapa matumaini zeruzeru kwa kuwafanya B. Wanafunzi wenzake wajipende na kujikubali katika jamii. Florence Kisombe, msichana wa C. Kupongezwa na walimu shuleni 8. kwa mwa baina ya dhidi ya umri wa miaka ishirini na mitatu ni mwanamitindo zeruzeru anayetumia D. Maneno ya wazazi wake 9. wa ya na za hali yake kushirikiana na wapiga picha na wanaharakati kukabiliana 10. ufizi kichwa akili ngeu na unyanyapaa dhidi ya zeruzeru. Huu ni mwaka wake wa tano tangu 36. Tumaini la Bi. Florence ni kuwa jamii alipoanzisha mradi huu na kutumia fashoni na sekta ya vipodozi A. itakubali kuwa zeruzeru wanastahili kupendwa na kuheshimiwa kuwapa matumaini na kuwezesha vijana kama yeye kujikubali. B. itamtunza siku moja kwa kipawa chake cha uwanamitindo Naikumbuka siku 11____ vizuri. Niliamka 12 _____ tayari kuanza safari Mchango wake umefikia wengi huku picha zake zikitumika katika kutoka kijijni 13_____ hadi Mombasa alikoishi mjomba. Safari yenyewe C. dunia nzima itamtambua kuwa mwanamitindo wa kutambuliwa sehemu mbalimbali za Afrika Mashariki na kwenye vyombo vya habari ilikuwa 14_____ lakini yenye furaha furifuri. Niliwasili jioni baadaya zeruzeru ikiwa ni pamoja na shirika la habari la kimataifa la CNN. “Natumai kupitia kusafiri kwa 15______kumi. mikondo hii jamii itakubali kuwa zeruzeru nikama watu wengine na D. kaka yake pia atakuwa mwanamitindo A. B. C. D. wanastahili kupendwa na kuheshimiwa. Imekuwa heshima kubwa 37. Neno unyanyapaa limetumika katika aya ya kwanza maana yake ni: 11. huo hii hiyo hilo kutumika kama kigezo cha wengi na sasa naelewa kuwa mafanikio haya A. Kuchukiwa B. Kukejeliwa C. Kutengwa D. Kuenziwa sio yangu tu bali ya watu wote wanaoishi na hali hii,”asema. 12. mafungulia adhuhuri alasari alfajiri 38. Kulingana na taarifa hii ni wazi kuwa: Mvuto wake katika masuala ya vipodozi ulimjia akiwa mdogo na hata ng’ombe A. Zeruzeru wote wanajithamani mno alijaribu mara kadhaa kutuma maombi ya kuwa mwanamitindo bila 13. kwao chetu letu mwetu mafanikio. B. Florence hakuvutiwa na masuala ya filamu na upigaji picha 14. mrefu fupi ndefu kirefu Lakini ari kuu ilitokana na sababu kuwa pia yeye ni zeruzeru huku C. Florence ni mtangazaji maarufu 15. masiku saa masaa dakika akiwa kati ya watoto wawili katika familia yake wanaokumbwa na hali D. Baadhi ya zeruzeru hawakutaka kutangamana na watu Kutoka swali la 16 mpaka 30, chagua jibu sahihi hii. Kaka yake pia ni zeruzeru na hivyo alipozaliwa na wazazi wake tayari 39. Gani si sifa ya Florence kulingana na kifungu hiki: walifahamu na kuelewa hali hii huku wakihakikisha kuwa ndugu yake 16. Chagua sentensi sahihi ya kauli ya taaarifa ya, “Anzeni kuandika anashughulikiwa vyema na kupendwa. A. Mwanamitindo mashuhuri insha,”mwalimu aliwaamuru wanafunzi . “Tofauti na watu wengine, zeruzeru wanabaguliwa.Nilibahatika B. Balozi wa kampeni za masuala ya uzeruzeru A. Mwalimu aliamuliwa na wanafunzi kuandika insha. kuishi katika jamii ambamo nilikubaliwa. Wazazi wangu walichangia C. Mkurugenzi aliyejitolea kuhudumu kwa ajiri ya kutatua changamoto B. Mwalimu aliwaamuru wanafunzi kuanza kuandika insha. pakubwa kuhakikisha kwamba walikuwa wakinikumbusha kuwa mimi za zeruzeru C. “ Mlianza kuandika insha” mwalimu aliwaamuru wanafunzi. ni mrembo,” aeleza. D. Mwandishi wa vitabu vya hadithi vinavyohusu uzeruzeru na D. Wanafunzi waliamuru mwalimu kuanza kuandika insha. Lakini mambo yalianza kubadilika akiwa katika shule ya upili kwani changamoto zao hapa ndipo alianza kutambua kuwa alikuwa tofauti. “ Nakumbuka 17. Mimi ni alama ya uakifishaji. Waandishi hupenda kunitumia kutenga 40. Funzo tunalopata kutokana na taarifa hii ni: nikiwa katika umri huo wa kubalehe nilianza kuvutiwa na wavulana maneno halisi yaliyosemwa na mtu fulani. Mimi ni nani? A. Uzeruzeru ni hali inayodunisha mtu ambao hawakunitambua na badala yake walivutiwa na marafiki zangu. A. Nukta pacha C.Kituo B. Koloni D.Vinukuu Ni hapo nilikumbana na ubaguzi kwa mara ya kwanza,” aeleza. B. Zeruzeru wana haki sawa na binadamu wengine 18. Chagua orodha yenye maradhi pekee. Baadaye, baada ya kuhamia jijini Nairobi na kujiunga na chuo kikuu, C. Mtoto zeruzeru hapendwi na jamii A. Choa, Kifaduro, Uyoka,Tauni B. Ukambi, Ukimwi,Tui, Waba mambo yalizidi kuwa mabaya kwani alidharauliwa, kukejeliwa na D. Afrika haiwatambui zeruzeru wavulana C. Safura,Waba,Upele,Saratani D. Witiri,Ukimwi, Kichocho, Dua akaanza kujihisi duni na hana thamani. 19. Taja saa kwa maneno: 6:15 Akiwa hapa anasema alikumbana na zeruzeru waliokuwa wakiishi Soma shairi lifuatalo kisha ujibu swali 41 mpaka 50 mjificho. “ japo wakati huu tayari nilikuwa najihusisha na kampeni A. Saa sita na robo B. Saa moja kasorobo zingine za kusaidia watu wanaokumbwa na hali kama hii, niliyoshuhudia C. Saa kumi na mbili kasorobo D. Saa kumi na mbili na robo yalinifanya nikose uhakika kuhusu nilichotaka kuafikia,” asema. Mwanangu nakushauri, elimu kweli ni ngao 20. Shangazi yangu atamwitaje baba yangu? Hata hivyo mamboyalibadilika alipojiunga na kikundi kimoja Usome bila kiburi, elimu ni ufunguo A. Dada B. Wifi C. Kaka D.Mkwe “Nakumbuka mojawapo ya mafunzo tuliyokuwa tukipokea ni mbinu Nasema na kukariri,kwako iwe kivutio saba za watu wenye uwezo zaidi. Tulifunzwa na Franklin Covey, 21. Tunasema pofu kama: Urithi wako pokea, elimu hazina kubwa mkufunzi wa masuala ya kutumia wakati vyema kutoka Amerika, A. korongo B. jogoo C. konokono D.jongoo ambapo tulihitajika kuandika maoni yetu,” aeleza. Ni baada ya mafunzo 22. Ni jozi ipi iliyoambatanishwa vyema. hayo alipopata mwelekeo na akaamua kuhamasisha jamii kuhusu Soma bila usumbufu, mwanafunzi mwenye nguvu A. Buki – nyongo B. Wengu – damu maishaya zeruzeru. Sifa ziwe ni sufufu, pasi kuonewa wivu C. Pafu – hewa D. Akili – neva Alijitolea kuhudumu kama mkurugenzi na balozi wa kampeni Upambike kwenye safu, bila kuwa mlegevu inayoendeshwa na mwanamuziki Nonini. “Wakati huu tulikuwa 23. Kanusha sentensi ifuatayo : tukijitoleakutemblea shule mbalimbali kote nchini na kusimulia hadithi Urithi wako pokea, elimu hazina kubwa Mvua hunyesha kila jioni zetu kwa wanafunzi,” alieleza . A. Mvua huwa hainyeshi kila jioni Hukuakivutiwa na masuala ya filamu, upigaji picha na utangazaji, wa Soma kwa uadilifu, mwanafunzi msikivu B. Mvua hunyesha kila asubuhi televisheni.”Nahisikana kwamba kwa kutumia jukwaa hilo nitakuwa na Usiwe u mdhaifu, kuzingirwa na uvivu fursa nzuri ya kusimulia hadithi za watu wanaoishi na hali hii,” asema. C. Kila jioni mvua hunyesha Waja kote wakusifu,mchapa kazi shupavu D. Mvua hainyeshi kila jioni Urithi wako pokea, elimu hazina kubwa 31. Florence Kisombe amejitolea kuwa mwanamitindo kwa sababau 24. Ukubwa na wingi wa neno mbwa ni ___ gani? A. Vijibwa B. Majibwa D.Majijibwa C.Jibwa Shuleni uwe tiiifu, mwenye mawazo mapevu A. Anataka kujulikana kote ulimwenguni 25. Ni methali gani inaonyesha kuwa anayepuuza ushauri hupata Uwe mwana mbunifu, upinge utepetevu B. Aliamuriwa kuwa mwanamitindo na wazazi taabu. Kila somo ni faafu, usome uwe mwerevu C. Anahisi kuwa ana jukumu la kuwapa zeruzeru matumaini A. Sikio la kufa halisikii dawa Urithi wako pokea, elimu hazina kubwa TAIFA LEO | Jumanne, Oktoba 8, 2019 19 Kiswahili Jaribio la KCPE 2018

41. Aya moja ya shairi huitwa: C. anayeshauriwa amekataa kwenda shuleni C. Mwanafunzi hoihoi D. Mwanafunzi mwerevu A. Mshororo B. Mizani C.Ubeti D.Kina D. mwandishi ana nia njema kwa mwanawe 49. Shairi hili ni la bahari gani? 42. Mshororo ‘kila somo ni faafu, usome uwe mwerevu” huitwa: 46. Kwa mujibu wa shairi hili elimu ni sawa na: A. Tathlitha B. Takimisa C. Tathnia D.Tarbia A. Mloto B. Mleo C.Mkarara D.Kituo A. mali ya thamani yaliyohifadhiwa 50. Jumla ya mizani katika ubeti wa tatu ni ______43. Ujumbe wa shairi hili unatolewa. B. mtu anayesi wa kwa kufua dafu A. 30 B. 4 C.32 D.24 A. Mwalimu kwa mwenzake B. Mzazi kwa jirani C. kutokuwa dhaifu na legevu C. Mzazi kwa mtoto D. Mwana kwa mzazi D. kupamba mtu kwenye safu 44. Vina vya kati na vya mwisho katika ubeti ni ___ 47. Gani si ushauri wa mwandishi kwa mwanawe katika ubeti wa tatu? A. fu, vu B. o, ri C. ri, uo D. ri, o A. Awe mwana mwadilifu B. Kuwa mwana mwenye bidii INSHA 45. Kulingana na shairi hili ni kweli kusema kuwa: C. Awe mtu anayeweza kubuni D. Asiwe mtu mwenye wivu SWALI: Andika insha ya kuvutia uikamilishe kwa maneno haya: A. mwandishi hapendi usikivu 48. Anayeshauriwa katika shairi hili anatarajiwa kuwa: …Aha! Kumbe ilikuwa ni jinamizi tu. B. mwandishi hana uadilifu A. Asiyeonewa gere B. Mwenye uzembe

Hamasisho la NiE shuleni Wanafunzi wakifurahia nakala zao za St Teresa School Taifa leo wal- izojinunulia wakati wa hamasisho la Tena, Nairobi NiE.

Walimu na wanafunzi walipopigwa picha ya pamoja wakiwa wameng’aa katika mashatitao ya Taifa Leo na nakala za gazeti.

Wanafunzi wa St Teresa School Tena wakisikiliza kwa makini mawasilisho kutoka kwa wafanya- kazi wa Taifa Leo waliozuru shule yao wakati wa hamasho la NiE.

Walimu na wanafunzi walipopigwa picha ya pamoja baada ya kukamilika kwa hamasisho la NiE shuleni Wanafunzi wa St Teresa School Tena wakisikiliza kwa makini mawasilisho kutoka kwa wafanyakazi kwao. wa Taifa Leo waliozuru shule yao wakati wa hamasho la NiE. 20 Mikiki Jumanne, Oktoba 8, 2019 | TAIFA LEO

HEKAHEKA SHULENI Mchongoano

Shule ya Upili ya Hupendo, Kangemi Wewe ni fala uliambiwa ufungue facebook ukaanza kujikuna uso. Kwenu mko wengi mpaka mama yenu anawasalimu kiwholesale Eti mama yenu ni mchoyo ananyima mbwa makombo Nasikia baba yako ni mwoga wezi wakija anapanda kwa paa ya nyumba Wewe ni mfupi unajificha chini ya viatu Manzi yako ako na macho kubwa mpaka akiamka asubuhi kunakuwa na sunshine Nyanya yako amezeeka hadi kifua imeandikwa hapa hakuna kitu. Chali yako amekonda hadi socks zake ziko na Suspender

Tutumie mchongoano wako kwa nam- bari ya simu ya 20684 au barua pepe Wanafunzi hawa wa Shule ya Upili ya Hupendo wakinywa Mwalimu awaelekeza wanafunzi wa Hupendo jinsi ya kutumia tarakilishi. [email protected] uki- chai wakati wa mapumziko anza na jina ‘mchongoano’. Tutachapisha kesho baadhi ya maoni mtakayotutumia.

Chemsha 1.Taja waziri wa elimu wa Kenya

2. Ni gavana wa Kaunti ya Nyeri

3. Mji mkuu wa Japan Wanafunzi wa Hupendo wakidurusu kazi zao wakijiandaa Wanafunzi wa Shule ya Upili ya Hupendo, Kangemi wakipokea maagizo Picha zote/Patrick Kilavuka kwa ajili ya mtihani. kabla kuenda kufanya mazoezi ya michezo. 4.Taja aliyekuwa rais wa tatu wa Kenya

5.Chama cha kisiasa kin- achotawala Tanzania Vitendawili na Methali 6.Taja aliyekuwa rais wa kwanza wa Ghana

MAJIBU ya MAJIBU ya METHALI Nkurumah Kwameh 6.

VITENDAWILI Methali Vitendawili 1.Mtu hakatai mwito,...... Mapinduzi cha 5.Chama

1 Ninao mlima ambao una msitu kileleleni tu. 1.Kichwa 2...... ajipatiapo Kibaki 4.Mwai

2.Nitokeapo kila mmoja asema namtazama 1.hukata aitwalo 2.Jua ama mwezi 3.Mtu huulizwa amevaani ,...... 3.Tokyo

yeye tu. 2.Mtu hujikuna 3.Njia ya jua au mwezi 4.Mtumai cha ndugu ...... Kahiga Mutahi 2.

3.Njia yapitwa siku zote lakini haina alama. 3.haulizwi amekulani angani 5...... haambiwi maana. Magoha George 1.

4.Njoo hapa nije hapo. 4.hufa masikini. 4.Kiraka 6.Mtumikie kafiri ...... MAJIBU 5 Nne nne mapaka pwani. 5.Mtumi wa kunga 5.Matendegu 6.Nusu mfu nusu hai. 6.upate mradi wako. 6.Sungura alalapo

TUMA MCHANGO WAKO KWENYE SEHEMU YOYOTE YA MIKIKI KUPITIA SMS KWA NAMBARI 20684 AU BARUA PEPE KWA [email protected] UKIANZA NA JINA LA SEHEMU UNAYOCHANGIA TAIFA LEO | Jumanne, Oktoba 8, 2019 SPOTI 21

Kwa Ufupi Starlets jicho Olimpiki IOC yampa Tergat NAIROBI kazi kuu kimataifa Bilbao yang’ata Super Gunners wakivaana na Ghana Na MWANDISHI WETU KAMATI ya Kimataifa ya Ol- Na GEOFFREY ANENE KLABU ya Bilbao ililemea vijana impiki (IOC) hapo jana iliteua wa Super Gunners kwa mabao 3-1 KENYA italenga kuweka ndoto yake ya kushiriki Mkenya Paul Tergat kuhudu- kwenye pambano la kirafiki uwan- soka ya wanawake kwenye Olimpiki mwaka 2020 hai mu kama mwanakamati katika wakati Harambee Starlets itakapomenyana na Ghana Tume za kuandaa Michezo ya jani Soweto Grounds mwisho ni uwanjani Kasarani. Olimpiki ya majira ya joto na ile mwa juma. Kikosi cha kocha Vincent Starlets ya kocha David Ouma ililazimisha sare tasa ya baridi katika siku za usoni. Odour kilishuka uwanjani kwa mioto jijini Accra mnamo Oktoba 4 katika mechi ya mkon- Tergat, ambaye ni Rais wa ya hali ya juu, huku nyota Trevor do wa kwanza ya raundi hii ya tatu. Inahitaji ushindi Kamati ya Olimpiki ya Kenya, Omondi akifungua ukurasa wa kusonga mbele. Akizungumzia mechi ya marudiano atawakilisha kamati zote za magoli dakika 10 baada ya mchuano itakayosakatwa kuanzia saa kumi jioni, Ouma alikuwa kitaifa za Olimpiki katika tume kuanza. Super Gunners walijituma mwingi wa matumaini. hizo zitakazokuwa chini ya raia wa Norway, Kloster zaidi na kusawazisha 1-1 dakika tano “Lazima tuendeleze mtindo wa kushinda hapa Aasen. Kazi ya tume hizo itakuwa kushauri na kutoa baadaye ila mabao mawili katika nyumbani. Tulijitahidi sana ugenini na sasa lazima mapendekezo kwa bodi ya juu ya IOC kuhusu wenyeji tufanye vyema zaidi na ninatumai wachezaji wangu wa michezo ya Olimpiki ya siku za usoni. kipindi cha kupitia kwa Freddrick wataweka akili zao zote katika kuzoa ushindi. Nataka Akipongeza Tergat, ambaye pia ni mwanakamati Ochieng yalizima kabisa makali ya waingie mchuano huu wakijiamini wanaweza,” Ouma katika IOC, baada ya kufanya uteuzi huo, Rais wa IOC wapinzani wao. aliambia wanahabari mazoezini jana. Thomas Bach alisema, “Tume ya Michezo ya Olimpiki Na Ignatius Oundo Kenya haijawahi kuwakilishwa katika soka kwenye Vivian Nasaka (kulia) wa Harambee Starlets atam- ya majira ya baridi itaanza kazi mara moja ikipatia ki- Olimpiki. Mechi hii ya marudiano bado ni kibarua bariza mipra mbele ya mwenzake Elizabeth Katungua paaumbele mazungumzo ya michezo ya chipukizi ya MOMBASA kigumu kwa Starlets, ambayo hata hivyo, itatumai katika mazoezi Kasarani jana. Picha/Chris Omollo mwaka 2024 na ile ya watu wazima ya mwaka 2030. kupata msukumo zaidi kutoka kwa mashabiki ambao Tume ya Michezo ya Olimpiki ya majira ya joto ina wameruhusiwa kufika uwanjani Kasarani bila kiingil- Ghana. Itategemea wachezaji wazoefu kama Mwana- muda zaidi kuendesha mazungumzo na miji mbalimba- Bucks wawazidia io. Starlets itaingia raundi ya nne kukutana na mshin- halima Adama, Dorcas Shikobe na Corazone Aquino li, maeneo na mataifa ambayo tuko nayo.” di kati ya Zambia na Botswana ikifaulu kubandua nje kutafuta historia hiyo mpya. KPA Youth ujuzi TIMU ya mpira wa vikapu ya Wanaposta waruka baada ya kuwaadhibu Kisumu All Stars nao K’Ogalo wakizima Zoo kinadada ya Kisumu Lakers Bucks iliinyuka KPA Youth kwa alama Francis Nam- 64-52 katika mchuano wa Ligi ya bute (kushoto) Taifa Daraja ya Kwanza katika ukum- wa Posta bi wa Makande, wikendi. Bucks Rangers awa- iliyowasili Mombasa siku ya mechi, nia mpira na ilishangaza mashabiki kwa mchezo Junior Mukisa wao wa kuvutia kuanzia mwanzo wa wa Western mchezo hadi tamati. Warembo wa Stima katika kocha Collins Omondi walishinda mechi ya Ligi Kuu ya Kenya robo ya kwanza 17-5 na ya tatu 18-6, uwanjani Ken- wakatoka 19-19 katika robo ya pili na yatta, Mach- kulemewa robo ya mwisho 22-18. akos mnamo Na Charles Ongadi Septemba 22, 2019. MACHAKOS Picha/Sila Kiplagat Young Rovers FC yapigwa Kikumbo YOUNG ROVERS FC ilijipata hoi mbele ya mashabiki wake ilipog- aragazwa 2-1 na Kikumbo Wailers FC kwenye mechi safi ya kupimana nguvu katika Shule ya Msingi ya Mutondoni, Jumapili. Mabao ya washindi yalimiminwa wavuni na Bonface Wambua na Fedelis Ndunda dakika ya 33 na 41, mtawalia. Muia Ndeto alifungia Rovers bao la kufutia machozi katika dakika za mwisho. Kwingineko, Black Stars FC ilizaba watani wao wa tangu jadi Joy FC 4-0 katika mechi nyingine ya kirafiki. Rangers wapaa Gor Mahia Na Cornelius Mutisya NAIROBI wakisalia kileleni mwa KPL Bandari yalia refa Na GEOFFREY ANENE Tusker wako juu katika nafasi ya tatu na na Bandari zinazofuatana katika nafasi ya Mathare ilikwamilia nafasi ya 11 ikifua- ‘aliyeidhulumu’ Posta Rangers ndiyo timu iliyoimarika tano baada ya kulima Nzoia Sugar 1-0 na sita na saba mtawalia. Bandari ilizabwa tiwa na Wazito iliyoshuka nafasi mbili. UAMUZI wa refa aliyecheze- zaidi kwenye jedwali la Ligi Kuu ya Kenya Kakamega Homeboyz 3-1, mtawalia. 2-1 na Sofapaka mnamo Jumapili. Mathare na Wazito zilitoka 2-2 wikendi. sha mchuano wa Ligi Kuu kati ya (KPL) baada ya kulipua washiriki wapya KCB sasa inashikilia nafasi ya pili kwa AFC Leopards, ambayo haikuwa na Wazito ina alama sita sawa na nam- Sofapaka na Bandari anastahili ku- Kisumu All Stars 3-0 ugani Machakos ka- alama 10 ikizidia Tusker ubora wa magoli. mechi wikendi, imeteremka kutoka nafa- bari 13 Kariobangi Sharks iliyoandikisha chukuliwa hatua kali za kinidhamu Western Stima, ambayo ilikabwa 0-0 na si ya tatu hadi nambari nane. Klabu hiyo ushindi wake wa kwanza msimu huu il- tika mechi ya raundi ya tano jana na kuru- kutokana na kulikataa bao la wazi la ka juu nafasi saba hadi nambari tano. wanajeshi wa Ulinzi Stars, imepisha KCB maarufu kama Ingwe ina alama saba. In- ipobwaga Chemelil Sugar 2-0 na kuruka na Tusker na kutulia katika nafasi ya tatu atofautiana na Sofapaka, Homeboyz na Nzoia Sugar. Nzoia ina alama nne. Bandari. Huo ni mtazamo wa Mku- Mabingwa watetezi Gor Mahia wana- rugenzi wa Ufundi wa Admiral Youth salia kileleni kwa alama 12 baada ya kuan- kwa alama tisa. Mathare United kwa ubora wa magoli tu. Hakuna mabadiliko katika nafasi nne za dikisha ushindi wa nne mfululizo wal- Rangers, ambayo haikuwa imepata Sofapaka ilisalia katika nafasi ya tisa mwisho zinazoshikiliwa na Zoo na SoNy FC, Aref Baghazally aliyeongeza ipokung’uta Zoo 1-0 Jumapili. ushindi katika mechi tatu, imekalia nafasi nayo Homeboyz imetupwa chini kutoka (alama tatu), Kisumu (alama moja) nayo kuwa ni jambo la kuvunja moyo. Wanabenki wa KCB na wanamvinyo ya tano kwa alama nane, sawa na Ulinzi nafasi ya nne hadi nambari 10. Chemelil inavuta mkia bila alama. Na Abdulrahman Sheriff

Ukiwa na suala lolote ungetaka kuwasilisha kwetu, tuma sms bila malipo kwa 20684 ukianza na neno ‘Taifa’ 22 SPOTI Jumanne, Oktoba 8, 2019 | TAIFA LEO

Kwa Ufupi Baada ya Diamond League alishinda dhahabu jijini Doha NYERI Yego alivyosikitisha Kaiyaba, Tumutumu katika urushaji mkuki ni sare Rigathi Cup Cheruiyot atangazia NA GEOFFREY ANENE KAIYABA FC ilifungua michuano ya Mheshimiwa Rigathi Gachagua MSHIKILIZI wa rekodi ya Bara Afrika ya kurusha mkuki kwa kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Julius Yego alisikitisha kwenye Riadha za Dunia kwa mara mahasimu wao Tumutumu FC, ya pili mfululizo baada ya kukosa kuandikisha alama yoyote Jumapili. Mchuano huu ulitandazwa katika siku ya mwisho ya makala ya 17 jijini Doha nchini Qa- kwenye uwanja wa Kaiyaba viungani Dunia yeye mfalme tar, Jumapili usiku. mwa mji wa Karatina. Matokeo Yego, ambaye Agosti 30 alionesha makali yaliyomfanya awe bingwa wa dunia mwaka 2015 aliporusha mkuki umba- mengine, Tegu Burners ilikwaruza li wa mita 87.73 kwenye michezo ya Afrika nchini Morocco, Rititi FC 1-0 nayo Gatiko ikalaza alifeli katika majaribio yake matatu. Mwanariadha huyu Ngaini 2-0. Kwingineko, Marua anayefahamika kwa jina la utani kama Youtube Man, alis- United iliadhibu Wakamata FC 3-1. hangaza dunia alipoandikisha mtupo wa mita 92.72 akiibu- Michuano hii inadhaminiwa na mbio za mita 1,500 ka bingwa mwaka 2015. Mbunge wa Mathira Rigathi Gacha- Mtupo huo unasalia rekodi ya Afrika. Bingwa huyu mara gua ili kukuza michezo eneo hili. tatu wa Afrika, ambaye pia anajivunia kushinda medali ya Na Duncan Mwere fedha kwenye Olimpiki mwaka 2016, ndiye pekee hakupata alama katika fainali. Alifika fainali kwa kutupa mkuki umbali wa mita 83.86. RABAI Anderson Peters kutoka Grenada (mita 86.89), Magnus Kirt kutoka Estonia (86.21) na Mjerumani Johannes Vetter Highlands FC mlima (85.37) walizoa dhahabu, fedha na shaba, mtawalia. balaa kwa Man City HIGHLANDS FC ilizaba Man City FC 6-2 kwenye michuano ya kuwan- Kenya yaendelea kula ia taji la Kanjwele Cup katika uwanja wa Mwanjama, wikendi. Timu ya Highlands ilipata ushindi kupitia kwa macho taji la mbio kwa mabao ya Daniel Kahindi, Stan- ley Loka na Chengo Kavu. Walifunga mabao mawili kila mmoja. Mabao za mita 10,000 baada ya vijana wa Man City yalifungwa na James Masha na Mwachiro Ndune. Na Hassan Pojjo kulemewa tena Doha

KITALE Elim yafunza 105 (KUANZIA KUSHOTO) mshindi wa fedha kutoka Algeria Taoufik Makhloufi, mshindi wa dhahabu Mkenya Timothy Eldoret soka safi Cheruiyot na mshindi wa shaba kutoka Poland Marcin Lewandowski walipopigwa picha ya pamoja. Picha/AFP NA GEOFFREY ANENE zake akashindwa kustahimili kasi ya juu. Kengele ELIM Youth FC ilicharaza 105 El- ilipolia, Cheruiyot alikuwa amefungua mwanya wa doret 2-1 kwenye mechi ya kuwania TIMOTHY Cheruiyot alithibitishia ulimwengu mita 25 kati yake na wakimbiaji wengine, na ingawa taji la ligi ya Shirikisho la Soka nchini kuwa ufanisi aliopata katika msimu wa kawaida alianza kukaribiwa katika kona ya mwisho, alikwa- (FKF) Daraja ya pili kanda ‘B’ katika kwenye Riadha za Diamond League haukuwa wa milia uongozi na kunyakua medali yake ya kwanza uwanja wa Top Station, juzi. Chini kubahatisha pale aliponyakua medali ya dhahabu kabisa ya dhahabu. ya mkufunzi Kasisi Peter Imo, vijana katika mbio za mita 1,500 jijini Doha, Qatar, Jumapili Katika mashindano makubwa ya awali, Cherui- wa Elim walipata magoli yao kupitia usiku. yot alizoa nishani ya fedha kwenye Riadha za Afrika Cheruiyot, ambaye mwaka huu alijishindia taji la mwaka 2016 na 2018, Riadha za Dunia mwaka 2017 na kwa washambuliaji matata Douglas tatu mfululizo kwenye Diamond League, aliteremka Jumuiya ya Madola mwaka 2018. Ushindi wa Cherui- Okumu dakika ya 10 na Moses Maina Doha akipigiwa upatu kutwaa taji baada ya kutawa- yot uliendeleza utawala wa Kenya katika mbio za mita dakika ya 60. Bao la 105 Eldoret la duru ya Stockholm (Uswidi), Stanford (Marekani), 1,500 kwenye Riadha za Dunia hadi makala matano. lilifungwa na Anthony Mebiero Lausanne (Uswizi), Monaco na Brussels (Ubelgiji) na Asbel Kiprop alishinda makala ya mwaka 2011 (Ko- dakika 44. kuandikisha kasi ya juu ya dakika 3:28.77 mjini Laus- rea Kusini), 2013 (Urusi) na 2015 (Uchina) naye Elijah Na Osborn Manyengo anne. Alidhihirisha uweledi huu alipoongoza kitengo Manangoi akatamba mwaka 2017 nchini Uingereza. hiki cha kuzunguka uwanja mara tatu kutoka mwanzo Manangoi hakutetea taji kutokana na jeraha la kifun- Mshindi wa dhahabu katika mbio za mita 10,000 Mganda Joshua hadi mwisho. do. “Nilihisi niko sawa kabisa mbio zilipoanza kwa Cheptegei (pili kulia) alipopigwa picha na Wakenya Rhonex Kipruto (kushoto) na Rodgers Kwemoi. Picha/Mashirika KAKAMEGA Alitwaa taji kwa dakika 3:29.26, sekunde mbili sababu mimi hufanya mazoezi makali na pia nilitaka mbele ya bingwa wa Olimpiki mwaka 2012 Taou- kuepuka kusukumana na kugongana na mtu. Ulikuwa fik Makhloufi kutoka Algeria (3:31.38). Marcin Le- mpango wangu kukibia jinsi nilivyofanya. Nashukuru NA GEOFFREY ANENE One Acre Fund FC wandowski aliridhika na medali ya shaba kwa rekodi Mungu nilifanya vyema kutoka mwanzo hadi mwisho mpya ya Poland ya dakika 3:31.46. na ninafurahia kuwa mshindi. Msimu wa Olimpiki un- KWA mara ya tisa mfululizo, Kenya ilionea taji la mbio za mita Cheruiyot aliongoza mizunguko miwili ya kwanza akaribia kwa hivyo nitaendelea kuongeza bidii,” alise- 10,000 za wanaume kwa mbali kwenye Riadha za Dunia baada ya jembe hatari ligini akiwa na Ronald Kwemoi, lakini Mkenya huyo mwen- ma Cheruiyot baada ya ushindi. Rhonex Kipruto kukamilisha mizunguko hiyo katika nafasi ya tatu jijini Doha nchini Qatar, Jumapili usiku. ONE Acre Fund (OAF) FC ilirarua Mganda Joshua Cheptegei aliibuka bingwa naye Muethiopia Lugusi Boyz FC 2-1 katika mechi ya Yomif Kejelcha akamaliza katika nafasi ya pili. Ligi ya tawi la Magharibi la Shirikisho Kipruto alikuwa mbele baada ya mizunguko 12 na nusu ya kwan- la Soka nchini (FKF), wikendi. Timu Jaguars yapokea mirapuo ya hoki jijini za katika kundi la watu 11 wakiwemo Mkenya mwenzake Rodgers ya OAF ya mkufunzi Zablon Wamal- Kwemoi na Cheptegei na Kejelcha. wa iliona lango kupitia kwa George NA JOHN KIMWERE kwa kuinyuka mabao 2-1 kwenye nahodha wao, Aaron Kutwa ku- Zikisalia mita 2,000, wakimbiaji katika kundi la kwanza waliku- Osewe na Wycllife Sufuna dakika TIMU ya wanaume ya Western mechi zilizopigiwa uwanjani City nukuliwa kabla ya mechi akisema wa wamesalia watu sita. Kwemoi kisha alitupwa nje ya mduara wa Park jijini Nairobi. hawatarejelea makosa yaliyowa- ya 22 na 67 mtawalia. Bao la Lugusi Jaguars iliona giza baada ya kupo- medali kengele ilipolia, huku vita vya kunyakua dhahabu vikisalia teza alama sita muhimu katika Katika Ligi Kuu ya wanawake, sababishia vichapo katika ziara vya Cheptegei, Kejelcha na Kipruto. Kipruto aliachwa katika kona lilipachikwa wavuni na Kennedy Amira Sailors ilirukia nafasi ya yao iliyopita. ya mwisho. Kejelcha alichukua uongozi wa sentimita 50 hivi, lak- Osundwa dakika ya 88 katika Shule Ligi Kuu ya magongo kutokana na mechi mbili ilizocheza wikendi. tatu kwenye jedwali ilipozaba Wazalendo ilisajili ufanisi wake ini Cheptegei alijibu kwa kuongeza kasi na kutwaa taji kwa daki- ya Kakamega Approved. Kwingineko, Jaguars ilijikuta njiapanda ilipo- timu ya Chuo Kikuu cha Kenyatta kupitia wachezaji Suicliffe Usagi, ka 26:48.36. Kejelcha aliridhika na fedha (26:49.34) naye Kipruto Shaviringa FC ilitandika Rush Legend poteza 3-0 dhidi ya Wazalendo (KU) 2-0 uwanjani City Park. Kennedy Munyalo na John Rioba. akafunga tatu-bora (26:50.32). Mara ya mwisho Kenya ilishinda FC 2-1 katika Shule ya Shaviringa. kabla ya mabingwa wa zamani Jaguars ilishindwa kuhimili Police ya kocha Patrick Mugam- kitengo hiki cha kuzunguka uwanja mara 25 ilikuwa mwaka 2001 Na Titus Maero Kenya Police kuiongezea masaibu makali ya wenyeji wao licha ya bi ilikuwa ya pili kanyaga Jaguars. nchini Canada kupitia kwa Charles Kamathi.

Ukiwa na suala lolote ungetaka kuwasilisha kwetu, tuma sms bila malipo kwa 20684 ukianza na neno ‘Taifa’ TAIFA LEO | Jumanne, Oktoba 8, 2019 SPOTI 23 Asema huu ndio msimu wake mbaya zaidi tangu ajiunge na miamba hawa De Gea atishia kugura Man Utd inayozabwa

KIPA David de Gea wa Man- chester United amefi chua uwezekano wa kubanduka kambini mwa kikosi hicho Fowadi wa Barcelona Lionel Messi (kushoto) akipongezwa na wachezaji wenzake iwapo hakitajinyanyua na baada ya kufunga bao walipochuana na Sevilla FC wikendi. Picha/Mashirika kuanza kusajili matokeo ya kuridhisha katika kampeni za msimu huu. Mlinda-lango huyu mzawa wa Uhispania amekiri kwam- Barcelona yatafuna ba matokeo duni ambayo kwa sasa yanaandikishwa na waa- jiri wake katika kivumbi cha Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) hayakubaliki na huu ndio Sevilla vibaya LaLiga msimu wake mgumu zaidi uwanjani Old Tra ord tangu BARCELONA, UHISPANIA jaribu kuzua fujo na kumzomea refa wa ajiunge na Man-United. mchuano huo wakati wa tukio la kufu- De Gea alisajiliwa na LUIS Suarez aliwasaidia Barcelona rushwa kwa Araujo. Man-United mnamo 2011 baa- kuwaponda Sevilla 4-0 katika mchua- Real ambao wanazidi kushuhudia da ya kuagana rasmi na mi- no wa Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) ufufuo mkubwa chini ya Zidane wal- amba wa soka ya Ligi Kuu ya uliowakutanisha uwanjani Nou Camp iimarisha nafasi yao kileleni mwa jed- Uhispania (La Liga), Atletico mwishoni mwa wiki iliyopita. wali la LaLiga mnamo Jumamosi baada Madrid. Chini ya kocha Ernesto Valverde, ya kuwachabanga Granada 4-2 ugani Mnamo Jumapili, Barcelona waliwafunga Sevilla ambao Santiago Bernabeu. Man-United almaarufu ‘The kwa sasa wananolewa na kocha Julen Mchuano huo ulimpa Eden Hazard Red Devils’ walupokezwa Lopetegui jumla ya mabao matatu chi- jukwaa la kufungua rasmi akaunti yake kichapo cha 1-0 kutoka kwa ni ya dakika nane za kipindi cha kwan- ya mabao kambini mwa Real. Kiungo Newcastle United uwanjani za. huyu mzawa wa Ubelgiji alisajiliwa ku- St James’ Park na hivyo kuen- Suarez aliwafungulia Barcelona toka Chelsea mnamo Juni 2019. deleza matokeo mabovu zaidi ukurasa wa mabao kunako dakika ya Atletico Madrid ambao kwa sasa katika historia yao 1989. 27 kabla ya Arturo Vidal na Ousmane wanafunga orodha ya tatu-bora jedwa- Kichapo kutoka kwa New- Golikipa wa Manchester United David de Gea akifyatua kombora kuondoa mpira katika lango lake kati- Dembele kukizamisha kabisa chombo lini kwa alama 15, walilazimishiwa sare castle wikendi iliyopita kil- ka mchuano wa awali. Nyani huyu mtajika ametishia kuhama klabu hii kwa matokeo duni. Picha/AFP cha wageni wao. tasa na Real Valladolid. Real Mallorca iwasaza Man-United katika Nahodha Lionel Messi aliwafungia waliwapepeta Espanyol 2-0, Celta Vigo nafasi ya 12 jedwalini kwa nafasi zozote za kutatiza ma- dhisha. ashuhudia wakiwachapa Crys- Barcelona bao la nne katika matokeo wakawanyuka Athletic Bilbao 1-0 nao alama tisa sawa na Brighton beki wa Newcastle,” akatan- Kiungo Matty Longsta , 19, tal Palace 3-1 ugani Selhurst yaliyowakweza hadi nafasi ya pili jed- Getafe wakawachabanga Real Socie- na limbukeni She eld United. guliza De Gea. aliwafungia Newcastle bao Park mnamo Februari 27, 2019. walini kwa alama 16, mbili pekee nyu- dad 2-1 ugenini. Ni alama mbili pekee ndizo zi- “Tuna mengi ya kufanya ili la pekee na la ushindi katika Matokeo ya Man-United ndiyo ma ya viongozi Real Madrid. Kwingineko, mfumaji mkongwe nazowatenganisha Man-Unit- kujiimarisha na kuwekea dira mchuano huo uliowashuhudia mabovu zaidi kuwahi kusajili- Chipukizi Ronald Araujo, 20, na Gonzalo Higuain alitokea benchi na ed na vikosi vilivyopo katika kampeni zetu za baadaye. wakitia kapuni alama tatu wa na kikosi hiki cha kocha Ole Dembele wa Barcelona waliondolewa kuwachochea mabingwa watetezi wa mduara wa kuteremshwa da- Ingawa tuna visa vichache muhimu zilizowapaisha hadi Gunnar Solskjaer katika histo- uwanjani kwa kupata kadi nyekundu Ligi Kuu ya Italia (Serie A) kuwatandi- raja. vya majeraha, hatuna sababu nafasi ya 16 jedwalini sawa na ria yao tangu Septemba 1989. mwishoni mwa kipindi cha pili baada ka Inter Milan 2-1 katika kivumbi cha “Masihara haya ya yoyote ya kutofanya vizuri lig- Aston Villa. Baada ya kumenyana na ya Araujo aliyekuwa akiwajibishwa haiba kubwa kilichowakutanisha ugani Man-United hayakubaliki. ini,” akaongeza De Gea huku Man-United kwa sasa ha- Newcastle, Man-United kwa na waajiri wake kwa mara ya kwanza, San Siro mnamo Jumapili. Haiwezekani kabisa kwa kiko- akiwahimiza wenzake wajita- wajasajili ushindi wowote sasa wanajiandaa kuwaalika kumkabili visivyo Javier Hernandez Higuain alimzidi maarifa kipa na na- si kuendelea kucheza kama in- hidi maradufu mazoezini na kutokana na mechi nane ziliz- viongozi wa EPL, Liverpool nje ya kisanduku. Dembele aliyekuwa hodha wa Inter, Samir Handanovic da- avyozidi kushuhudiwa msimu kurejelea ubora utakaoanza opita ugenini. Ushindi wao wa uwanjani Old Tra ord mnamo amelishwa kadi ya manjano awali, al- kika 10 kabla ya kipenga cha kuashiria huu. Timu haikujitengenezea kuwavunia matokeo ya kuri- mwisho ni kivumbi kilichow- Oktoba 20. ionyeshwa kadi ya pili kwa kosa la Ku- mwisho wa mchuano huo kupulizwa. 24 Jumanne, Oktoba 8, 2019 | TAIFA LEO

TAIFA LEO De Gea atishia kuhama iwapo Man Utd itaendelea kuzabwa Uk23 spoti

Mo Technologies

NA GEOFFREY ANENE Cheruiyot (mita 1,500). Obiri na Conseslus walitetea bao mashindano makubwa kwenye ratiba ya dunia ni Washindi wa dhahabu katika MASHUJAAmataji yao, huku Chepng’etich, Chepkoech na Cheruiyot Olimpiki jijini Tokyo nchini Japan. makala yaliyokamilika jijini Doha Conseslus Kipruto (kushoto), Ruth TIMU ya Kenya ilipokelewa kwa shangwe na ndere- wakishinda dhahabu kwa mara yao ya kwanza kabisa. Aidha, mshikilizi wa rekodi ya dunia ya mbio za mita Chepng’etich na Timothy Cheruiy- mo kutoka nchini Qatar jana alasiri baada ya kumaliza Faith Kiyegon Chepng’etich (mita 1,500) na Margaret 3,000 kuruka viunzi na maji Beatrice Chepkoech alifi - ot wakionyesha medali zao baada ya pili kati ya mataifa 209 yaliyoshiriki Riadha za Dunia, Chelimo (mita 5,000) waliridhika na medali za fedha chua kuwa atavizia rekodi ya Olimpiki ya dakika 8:58.81 ya kuwasili nchini jana. lipowasili huku kila mwanariadha akiimba sasa analenga kufanya katika vitengo vyao nao Ferguson Rotich (mita 800), inayoshikiliwa na Mrusi Gulnara Galkina tangu mwaka nchini jana. Picha/Chris Omollo ndivyo katika michezo ya Olimpiki mwaka 2022. Rhonex Kipruto (mita 10,000), Amos Kipruto (mara- 2008. Rekodi ya dunia ya Chepkoech ni 8:44.32 ali- Mabingwa hawa wa mwaka 2015, ambao walipokele- thon) na Agnes Tirop (mita 10,000) wakavuna medali yotimka mjini Monaco mwaka jana. wa na viongozi mbalimbali akiwemo Waziri wa Miche- za shaba katika vitengo hivyo. Marekani ilishinda mashindano haya yanayofanyika zo Amina Mohamed, walizoa medali tano za dhahabu Katika mahojiano baada ya kuwasili jijini Nairobi, kila baada ya miaka miwili kwa mara yake ya 13 kwa kupitia kwa Ruth Chepng’etich (marathon), Conseslus wengi wa wanariadha waliowakilisha Kenya akiwemo jumla na pili mfululizo. Iliambulia medali 14 za dhaha- Kipruto (mita 3,000 kuruka viunzi na maji - wanaume), nahodha wa timu hiyo Julius ‘YouTube man’ Yego, wal- bu, 11 za fedha na nne za shaba. Jamaica ilifunga mdu- Beatrice Chepkoech (mita 3,000 kuruka viunzi na maji ieleza Taifa Leo kuwa wataingia mapumziko ya mwezi ara wa mataifa tatu-bora kwa dhahabu tatu, fedha tano – wanawake), Hellen Obiri (mita 5,000) na Timothy mmoja kabla ya kuanza kujinoa kwa msimu ujao, am- na shaba nne.

Ukiwa na suala lolote ungetaka kuwasilisha kwetu, tuma sms bila malipo kwa 20684 ukianza na neno ‘Taifa’