Bunge La Tanzania ______
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
INSIDE How Others Reported Countrystat Launch
NEWSLETTER 1 NEWSLETTER April-May, 2010 TANZANIA LAUNCHES AGRO-DATA SYSTEMSTAT Country IN THIS ISSUE INSIDE How others reported CountrySTAT launch.. page 3 Tanzania CountrySTAT web launch short- changed......page4 2 April-May, 2010 NEWSLE T TE R TANZANIA LAUNCHES AGRO-DATA SYSTEM By CountrySTAT Reporter “Through a coredata base, anzania recorded a major stride today policy makers (February 24th 2010) in its effort to con- and researchers quer hunger and reduce poverty when it can group data launched a web-based system that hosts across thematic national statistical data, briefly referred to areas, such as asT CountrySTAT. production, trade, The web system was officially launched by consumption and the Director of Policy and Planning in the Ministry many others in of Agriculture, Food Security and Cooperatives, Mr Emannuel Achayo on behalf of his minister, Mr order to study Stephen Wasira, who had other equally important relationships and commitments outside the country. processes”. Speaking before the launch, Mr Achayo pledged that lead agricultural ministries would sustain Coun- trySTAT Tanzania database system because, in his own words, “we had the financial means to do that”. different sources. “We must place the current Ms Albina who was speaking be- system of CountrySTAT-Tanzania in He paid glowing tribute to the United Nations the context of an on-going process Food and Agricultural Organization (FAO) fore welcoming Mr Achayo to officially launch the CountrySTAT said: of implementation, maintenance and for designing and financing the project respectively. continuous and sustainable develop- “Through a core database, policy ment”. STAT makers and researchers can group “I would like to assure all who spared their time She explained that what this in this initiative that the CountrySTAT database data across thematic areas, such as production, trade, consumption and meant was that in the subsequent system is going to be sustained because the cost for meetings, the technical working group its sustainability is within our reach,” he said. -
Online Document)
NAKALA YA MTANDAO (ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA KUMI NA NANE Kikao cha Sita – Tarehe 4 Februari, 2020 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Najma Murtaza Giga) Alisoma Dua MWENYEKITI: Waheshimiwa tukae. Katibu tunaendelea Waheshimiwa Wabunge na Mkutano wetu wa Kumi na Nane, kikao cha leo ni kikao cha tano, Katibu NDG. RAMADHANI ISSA ABDALLAH – KATIBU MEZANI: HATI ZA KUWASILISHA MEZANI Hati Zifuatazi Ziliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, SERA, BUNGE, KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU: Taarifa ya Matoleo ya Gazeti la Serikali pamoja na Nyongeza zake yaliyochapishwa tangu Mkutano wa Bunge uliopita kama ifuatavyo:- (i) Toleo Namba 46 la tarehe 8 Novemba, 2019 (ii) Toleo Namba 47 la tarehe 15 Novemba, 2019 (iii) Toleo Namba 48 la tarehe 22 Novemba, 2019 (iv) Toleo Namba 49 la tarehe 29 Novemba, 2019 (v) Toleo Namba 51 la tarehe 13 Desemba, 2019 (vi) Toleo Namba 52 la tarehe 20 Desemba, 2019 (vii) Toleo Namba 53 la tarehe 27 Desemba, 2019 (viii) Toleo Namba 1 la tarehe 3 Januari, 2020 (ix) Toleo Namba 2 la terehe 10 Januari, 2020 (x) Toleo Namba 3 la tarehe 17 Januari, 2020 (xi) Toleo Namba 4 la terehe 24 Januari, 2020 MHE. JASSON S. RWEIKIZA – MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA: Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za MItaa kuhuus shughuli za Kamati hii kwa Mwaka 2019. MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA – MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE KATIBA NA SHERIA: Taarifa ya Kmaati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kuhusu shughuli zilizotekelezwa na Kamati hiyo kwa kipindi cha kuanzia Februari, 2019 hadi Januari, 2020. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE _________________ MKUTANO WA KUMI NA NANE Kikao cha Kumi na Tatu – Tarehe 10 Februari, 2010 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI (MHE. OMAR YUSSUF MZEE): Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Benki ya Posta Tanzania, kwa Mwaka 2008 [The Annual Report and Accounts of The Tanzania Postal Bank for the Year 2008]. The Mid-Term Review of the Monetary Policy Statement of The Bank of Tanzania for the Year 2009/2010. MWENYEKITI WA KAMATI YA NISHATI NA MADINI: Taarifa ya Kamati ya Nishati na Madini juu ya Taarifa ya Serikali Kuhusu Ubinafsishwaji wa Mgodi wa Kiwira. Taarifa ya Kamati ya Nishati na Madini Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelezaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Mchakato wa Zabuni ya Kuzalisha Umeme wa Dharura Ulioipa Ushindi Kampuni ya Richmond Development Company LLC. Houston Texas - Marekani Mwaka 2006. MWENYEKITI WA KAMATI YA MIUNDOMBINU: Taarifa ya Kamati ya Miundombinu Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelzaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Uendeshaji Usioridhisha wa Shirika la Reli Tanzania uliofanywa na Kampuni ya RITES ya India. 1 Taarifa ya Kamati ya Miundombinu Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelezaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Utendaji wa Kazi Usioridhisha wa Kampuni ya TICTS. MASWALI NA MAJIBU Na. 145 Usimamizi wa Ukaguzi wa Fedha za Halmashauri MHE. HERBERT J. MNTANGI aliuliza:- Kwa kuwa, kiasi cha fedha kinachopelekwa katika Halmashauri za Wilaya, Manispaa na Jiji ni kikubwa na kinahitaji usimamizi wa ziada:- Kwa kuwa kitengo cha ukaguzi wa ndani kipo chini ya Mkurugenzi Mtendaji. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA NANE Kikao cha Thelathini na Tisa – Tarehe 2 AGOSTI, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) DUA Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013. SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, naomba mzime vipasa sauti vyenu maana naona vinaingiliana. Ahsante Mheshimiwa Naibu Waziri, tunaingia hatua inayofuata. MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Leo ni siku ya Alhamisi lakini tulishatoa taarifa kwamba Waziri Mkuu yuko safarini kwa hiyo kama kawaida hatutakuwa na kipindi cha maswali hayo. Maswali ya kawaida yapo machache na atakayeuliza swali la kwanza ni Mheshimiwa Vita R. M. Kawawa. Na. 310 Fedha za Uendeshaji Shule za Msingi MHE. VITA R. M. KAWAWA aliuliza:- Kumekuwa na makato ya fedha za uendeshaji wa Shule za Msingi - Capitation bila taarifa hali inayofanya Walimu kuwa na hali ngumu ya uendeshaji wa shule hizo. Je, Serikali ina mipango gani ya kuhakikisha kuwa, fedha za Capitation zinatoloewa kama ilivyotarajiwa ili kupunguza matatizo wanayopata wazazi wa wanafunzi kwa kuchangia gharama za uendeshaji shule? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Vita Rashid Kawawa, Mbunge wa Namtumbo, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) imepanga kila mwanafunzi wa Shule ya Msingi kupata shilingi 10,000 kama fedha za uendeshaji wa shule (Capitation Grant) kwa mwaka. -
MKUTANO WA KUMI NA MBILI Kikao Cha Thelathini
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TAZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA KUMI NA MBILI Kikao cha Thelathini – Tarehe 23 Julai, 2008 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU Na. 267 Dhamira ya Kuwasomesha Watoto Yatima MHE. EPHRAIM N. MADEJE aliuliza:- Kwa kuwa, Serikali katika matamshi yake mbalimbali imeonesha dhamira ya kuwasomesha watoto yatima kwa gharama zake yenyewe:- (a) Je, Serikali inachukua hatua gani kupata takwimu sahihi za watoto yatima wanaostahili kupewa msaada huo? (b) Je, ni watoto yatima wangapi wa Wilaya ya Dodoma Mjini walionufaika na msaada huo kwa mwaka 2007? (c) Je, ni watoto yatima wangapi wa Wilaya ya Dodoma Mjini walishindwa kuendelea na masomo ya kidato cha kwanza kutokana na kukosa msaada kama huo? NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI – MHE. GAUDENTIA M. KABAKA Alijibu:- 1 Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Ephraim Madeje, Mbunge wa Dodoma Mjini, lenye sehemu (a), (b) na (c) kama ifuatavyo:- (a) Mheshimiwa Spika, jukumu la kubaini na kuteuwa wanafunzi wanaogharimiwa Elimu ya Sekondari na Wizara, ni la Halmashauri za Wilaya husika. Halmashauri kwa kutumia Uongozi wa Serikali za Vijiji/Mtaa, Kata hadi Wilaya, hubaini watoto wanaotoka katika familia zenye kipato duni wakiwemo watoto yatima ambao hawana njia yoyote mbadala ya kuipata Elimu ya Sekondari bila msaada wa Serikali. Mchakato huu wa kuwapata watoto wanaostahili kulipiwa unawezesha kupata takwimu sahihi za wanafunzi wanaostahili kusaidiwa. (b) Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2007, wanafunzi 215 kutoka familia zenye kipato duni wakiwemo watoto yatima kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma walituma maombi ya kusomeshwa. -
Nakala Ya Mtandao (Online Document) 1 BUNGE LA TANZANIA
Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Thelathini na Tatu - Tarehe 16 Juni, 2014 (Mkutano Ulianza Saa 3.00 Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge tukae. Katibu! HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI: Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na :- MWENYEKITI WA KAMATI YA BAJETI: Taarifa ya Kamati ya Bajeti Juu ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2013 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2014/2015 Pamoja na Tathmini ya Utekelezaji wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2013/2014 na Mapendekezo ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2014/2015. MHE. RAJAB MBAROUK MOHAMMED (K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI WA OFISI YA RAIS, MAHUSIANO NA URATIBU): Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani wa Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Juu ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2013 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2014/2015. MHE. CHRISTINA LISSU MUGHWAI (K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI WA WIZARA YA FEDHA): Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani wa Wizara ya Fedha juu ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2014/2015. Na. 240 Ukosefu wa Hati Miliki MHE. NYAMBARI C. M. NYANGWINE aliuliza:- Ukosefu wa Hatimiliki za Kimila Vijijini unasababisha migogoro mingi ya ardhi baina ya Kaya, Kijiji na Koo na kupelekea kutoweka kwa amani kwa wananchi kama inavyotokea huko Tarime. 1 Nakala ya Mtandao (Online Document) (a) Je, ni kwa nini Serikali haitoi -
Tarehe 12 Aprili, 2011
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA TATU Kikao cha Tano – Tarehe 12 Aprili, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU): Taarifa ya Mwaka ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali za Mitaa kwa Mwaka wa Fedha ulioisha tarehe 30 Juni, 2010 (The Annual General Report of the Controller and Auditor General on the Financial Statements of Local Government Authorities for the Financial Year ended 30th June, 2010). NAIBU WAZIRI WA FEDHA (MHE.GREGORY G. TEU): Taarifa ya Mwaka ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali juu ya Hesabu zilizokaguliwa za Serikali Kuu kwa Mwaka ulioishia tarehe 30 Juni, 2010 (The Annual General Report of the Controller and Auditor General on the Audit of the Financial Statement of the Central Government for the Year ended 30th June, 2010). Taarifa ya Mwaka ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali juu ya Hesabu zilizokaguliwa za Mashirika ya Umma kwa Mwaka 2009/2010 (The Annual General Report of the Controller and Auditor General on the Financial Statement of Public Authorities and other Bodies for the Financial Year 2009/2010). Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali juu ya Ukaguzi wa Ufanisi na Upembuzi kwa kipindi kilichoishia tarehe 31 Machi, 2011 (The General Report of the Controller and Auditor General on the Performance and Forensic Audit Report for the Period ended 31st March, 2011). -
Tarehe 24 Mei, 2021
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA TATU Kikao cha Thelathini na Tano – Tarehe 24 Mei, 2021 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Waheshimiwa Wabunge, Asalam alaykum. WABUNGE FULANI: Waalaykumu s-salam SPIKA: Bwana Yesu Asifiwe. WABUNGE FULANI: Ameen. SPIKA: Kama mnavyojua wiki iliyopita tulipata msiba wa kuondokewa na ndugu yetu, rafiki yetu, Mbunge mwenzetu, Mheshimiwa Khatib Said Haji, Mbunge wa Konde. Tulipata nafasi ya kupumzika siku ile ya msiba kama ambavyo Kanuni zetu zinaelekeza lakini pia tulifanya maandalizi ya mazishi na baadhi yenu mliweza kushiriki kule Pemba, tunawashukuru sana. Kwa niaba ya Bunge, napenda kutoa salamu za pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki na kwa Watanzania 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) kwa msiba huu mkubwa ambao tumeupata wa ndugu yetu. Alikuwa ni Mbunge mahiri sana aliyelichangamsha Bunge na aliyekuwa akiongea hoja zenye mashiko lakini kama ambavyo Bwana alitoa, Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe. WABUNGE FULANI: Ameen. SPIKA: Napenda kutoa taarifa kwa Waheshimiwa Wabunge kwamba Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefanya mabadiliko kama mnavyofahamu tayari na katika mabadiliko kadhaa mojawapo ambalo amelifanya ni la Katibu wa Bunge. Aliyekuwa Katibu wetu wa Bunge Ndg. Stephen Kagaigai sasa ni Mheshimiwa Stephen Kagaigai, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro na badala yake ameteuliwa Ndg. Nenelwa Mwihambi kuwa Katibu mpya wa Bunge. Naomba nimtambulishe mbele yenu sasa Katibu mpya, ahsante sana. (Makofi/Vigelegele) Kama mnavyofahamu Bunge letu lilianza zamani sana. Hivi Makatibu, Bunge lilianza mwaka gani? NDG. NENELWA J. MWIHAMBI, ndc - KATIBU WA BUNGE: Mwaka 1926. -
Majadiliano Ya Bunge ______
NAKALA YA MTANDAO (ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ____________ MKUTANO WA ISHIRINI Kikao cha Thelathini – Tarehe 17 Juni, 2015 (Kikao Kilianza Saa tatu Asubuhi) DUA Mwenyekiti (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, maswali tunaanza na Ofisi ya Waziri Mkuu. Kabla ya kuanza, naomba kwanza kabisa nitoe salamu za rambirambi kwa wananchi wa Njombe na Mafinga ambao juzi walipata ajali kubwa sana. Bahati mbaya sana nilisikia ajali hiyo wakati nikiwa Botswana. Wamepoteza maisha ya watu wengi sana pamoja na Mkurugenzi wetu wa Mipango Miji amepoteza mke wake na watoto wawili na amekwenda kuzika Bukoba, jana ndiyo walipita hapa. Niwaombe wawe wavumilivu katika kipindi hiki, hiyo ni kazi ya Mungu haina makosa. Baada ya hayo, namwita Mheshimiwa Freeman Aikaeli Mbowe kwa niaba yake Mheshimiwa Dkt. Mbassa. MHE. DKT. ANTHONY G. MBASSA: Mheshimiwa Spika, nakushukuru. Nami naomba niungane nawe kuwapa pole waliopoteza maisha na Mwenyezi Mungu awape nafasi ya kuvumilia yaliyojitokeza. Na. 209 Mtandao wa Barabara za Lami, Changarawe na Udongo Wilayani Hai MHE. DKT. ANTHONY G. MBASSA (K.n.y. MHE. FREEMAN A. MBOWE) aliuliza:- (a) Je, Halmashauri ya Wilaya ya Hai ina mtandao wa barabara za lami, changarawe na udongo za kilomita ngapi? 1 NAKALA YA MTANDAO (ONLINE DOCUMENT) (b) Je, Serikali imetoa kiasi gani kwa ujenzi wa barabara hizi kwenye mtandao wa barabara kwa miaka kumi iliyopita na kati ya fedha zilizotolewa, ni kiasi gani kimetumika kwa ajili ya ukodishaji wa mitambo ya ujenzi? (c) Je, Serikali haioni kuwa ni busara kutoa mitambo ya ujenzi kwa Halmashauri za Wilaya kwa utaratibu maalum ili kupunguza kiwango cha fedha kinachotolewa kwa kazi ya ujenzi na ukarabati kila mara? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba niungane na wewe kuwapa pole hao ambao umetupa taarifa yao. -
1 Bunge La Tanzania
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Nane – Tarehe 30 Aprili, 2009 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatazo iliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS: Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira kwa Mwaka wa Fedha ulioishia Juni, 2008 (The Annual Report and Accounts of the National Environment Management Council for the Year Ended June, 2008). MASWALI KWA WAZIRI MKUU MHE. HAMAD RASHID MOHAMED: Mheshimiwa Spika, Serikali katika kutekeleza sera ya Utawala Bora imeviruhusu vyombo vya habari hapa nchini vifanye kazi kwa uhuru mkubwa sana. Na vyombo vya habari vimefanya kazi kwa ufanisi mkubwa sana. Je, Mheshimiwa Waziri Mkuu ni halali kwa mmiliki wa vyombo vya habari kutumia chombo cha habari, kuwahukumu watu kwa chombo chake cha habari, hiyo ni sehemu ya sera za utawala bora? (Makofi) WAZIRI MKUU: Mheshimiwa Spika, nilihisi ataniuliza kitu kama hiki. (Makofi/Kicheko) Niseme kwamba kwa hili ambalo hasa unalizungumzia tunaweza tukalitazama kwa namna mbili; moja, sawa ametumia uhuru ule amesema alichosema. Sasa jukumu ni la yule aliyesemwa katika mazingira yale kama anaona ameonewa, hakutendewa haki 1 vyombo vya sheria vipo anaweza kabisa akaenda mahakamani akafungua kesi kulingana na aina ya matamshi ambayo yeye kayapata. Lakini kwa maana ya yeye kwamba alitumia fursa ile upande mmoja ni sawa kama Hamad Rashid Mohamed ambaye angeweza kutumia chombo kingine chochote. (Makofi) Lakini liko eneo la pili kwamba katika kutoa matamshi haya mimi nasema kwa Mtanzania yeyote ni vizuri sana tukafika mahali tukawa waangalifu sana hasa unapokuwa unagusa jambo ambalo liko mbele ya vyombo vya sheria. -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ______________ MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Hamsini na Tatu - Tarehe 23 Agosti, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tumefanikiwa kuongea na mgonjwa tuliyempeleka Dar es Salaam jana, wamemfanyia huduma zinazostahili na anaendelea vizuri. Pia amepokea msiba wa mke wake kama jambo ambalo haliwezi kuzuilika, kwa hiyo anasema anashukuru sana. Katibu. HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA: Randama ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa Mwaka wa Fedha, 2011/2012. MASWALI NA MAJIBU Na. 470 Ujenzi wa Soko la Kisasa Njiapanda - Himo MHE. DKT. AUGUSTINO L. MREMA aliuliza:- Imefahamika kuwa Serikali ina mpango wa kujenga soko la kisasa kwenye eneo la Njianpanda - Himo kuanzia kipindi cha mwaka wa fedha 2010/2011. (a) Je, maandalizi ya ujenzi wa soko hilo umefikia hatua gani na ujenzi unatarajiwa kukamilika lini? (b) Je, wafanyabiashara wadogo wadogo kwenye eneo la Njiapanda - Himo na maeneo jirani ambao wanaandamwa na mgambo kila mara watanufaika vipi na soko hilo? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Dkt. Augustino Lyatonga Mrema, Mbunge wa Vunjo kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, ni kweli Serikali ina mpango wa kujenga soko la kisasa eneo la Njiapanda - Himo. Katika mwaka wa fedha wa 2010/2011, Halmashauri ilitenga shilingi 92,444,700 kupitia Mpango wa Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP). -
MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao Cha Sita
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE ______________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Sita – Tarehe 15 AprilI, 2008 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI (MHE. OMAR YUSSUF MZEE): Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Tume ya Rais ya Kurekebisha Mashirika ya Umma kwa Mwaka ulioishia tarehe 30 Juni, 2007 (The Annual Report and Accounts of Presidential Parastatal Sector Reform Commission for the year ended 30th June, 2007) MASWALI NA MAJIBU Na. 68 Fedha za Misaada MHE. MGANA I. MSINDAI aliuliza:- Kwa kuwa ni ukweli usiopingika kuwa, fedha nyingi zinazotolewa na TACAIDS, Global Fund na Mashirika mengine kupitia Halmashauri za Wilaya bado haziwafikii walengwa kama waathirika wa UKIMWI, Watoto Yatima hasa wanaoishi vijijini kama ilivyothibitika katika ripoti ya CAG kwa baadhi ya Wilaya hapa nchini; na kwa kuwa fedha hizo bado zinatumika kwa semina, makongamano hasa maeneo ya Wilayani:- (a) Je, Serikali ina mkakati gani kuhakikisha hizo fedha zinawafikia walengwa? 1 (b) Je, Serikali haioni kuwa ni busara kutumia Special Audit Report ya CAG iwe kama mwongozo wa kusahihisha makosa ambayo bado yanaendelea kwenye Halmashauri nyingi za Wilaya hapa nchini? (c) Je, Serikali haioni kuwa umefika wakati ambapo ni lazima watoe mwongozo thabiti kama ule wa Basket Fund ili fedha zisiendelee kutumiwa na Wilaya zaidi kwa kulipana posho, nauli na vitafunwa? WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU – SERA NA URATIBU NA BUNGE alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Mgana I.