5 JUNI, 2013 MREMA 1.Pmd
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
The Implementation of Quotas: African Experiences Quota Report Series
The Implementation of Quotas: African Experiences Quota Report Series Edited by Julie Ballington In Collaboration with This report was compiled from the findings and case studies presented at an International IDEA, EISA and SADC Parliamentary Forum Workshop held on 11–12 November 2004, Pretoria, South Africa. © International Institute for Democracy and Electoral Assistance 2004 This is an International IDEA publication. International IDEA publications are independent of specific national or political interests. Views expressed in this publication do not necessarily represent the views of International IDEA, its Board or its Council members. Applications for permission to reproduce or translate all or any part of this publication should be made to: Information Unit International IDEA SE -103 34 Stockholm Sweden International IDEA encourages dissemination of its work and will promptly respond to requests for permission to reproduce or translate its publications. Graphic design by: Magnus Alkmar Cover photos: Anoli Perera, Sri Lanka Printed by: Trydells Tryckeri AB, Sweden ISBN: 91-85391-17-4 Preface The International Institute for Democracy and a global research project on the implementation and Electoral Assistance (IDEA), an intergovernmental use of quotas worldwide in cooperation with the organization with member states across all continents, Department of Political Science, Stockholm University. seeks to support sustainable democracy in both new By comparing the employment of gender quotas in dif- and long-established democracies. Drawing on com- ferent political contexts this project seeks to gauge parative analysis and experience, IDEA works to bolster whether, and under what conditions, quotas can be electoral processes, enhance political equality and par- implemented successfully. It also aims to raise general ticipation and develop democratic institutions and awareness of the use of gender quotas as an instrument practices. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _________________ MAJADILIANO YA BUNGE ________________ MKUTANO WA NANE Kikao cha Ishirini na Tano – Tarehe 17 Julai, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO:- Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kwa mwaka wa Fedha 2012/2013. NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI:- Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa mwaka wa Fedha 2012/2013. MHE. EUGEN E. MWAIPOSA (K.n.y. MHE. EDWARD LOWASSA - MWENYEKITI WA KAMATI YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA):- Taarifa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa Mwaka 2011/2012 Pamoja na Maoni ya Kamati Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013. MHE. VINCENT J. NYERERE – MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI: Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani juu ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013. MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge tunaanza maswali kwa Ofisi ya Waziri Mkuu, atakayeuliza swali letu la kwanza ni Mheshimiwa Beatrice Matumbo Shellukindo kwa niaba yake Mheshimiwa Herbert Mntangi. -
Majadiliano Ya Bunge Mkutano Wa Kumi Na Sita
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ______________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA KUMI NA SITA Kikao cha Tano – Tarehe 15 Juni, 2009 (Mkutano ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa mezani na:- MWENYEKITI WA KAMATI YA FEDHA NA UCHUMI: Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha Mezani Taarifa ya Kamati ya Fedha na Uchumi Kuhusu Utekelezaji wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2008/2009 na Mwelekeo wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2009/2010. MHE. MWADINI ABBAS JECHA K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI WA WIZARA YA FEDHA NA UCHUMI: Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani Wizara ya Fedha na Uchumi, naomba kuwasilisha Mezani Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani wa Wizara ya Fedha na Uchumi juu ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa mwaka 2009/2010. MASWALI NA MAJIBU Na. 33 Athari za Milipuko ya Mabomu - Mbagala MHE. KHADIJA SALUM ALI AL-QASSMY K.n.y. MHE. ANIA S. CHAUREMBO aliuliza:- Kwa kuwa, tukio la tarehe 29 Aprili, 2009 la milipuko ya mabomu kwenye Kambi ya Jeshi la Wananchi – JWTZ, Mbagala Kizuiani, limesababisha hasara kubwa kama vile, watu kupoteza maisha, watu wengi kujeruhiwa, uharibifu mkubwa wa mali na 1 nyumba za wananchi, kuharibika kwa miundombinu na kadhalika. Na kwa kuwa, kuna Kamati maalum inayoshughulikia majanga yanapotokea ambayo iko chini ya Ofisi ya waziri Mkuu:- Je, ni sababu zipi zilizofanya Kamati hiyo isifike kwa haraka kwenye eneo la tukio na kutoa msaada wa haraka uliotakiwa? WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU – SERA, URATIBU NA BUNGE alijibu:- Mheshimiwa Spika, kabla sijajibu swali hili naomba kutoa mkono wa pole sana kwa Mheshimiwa Ania Chaurembo, kwa msiba wa Mama yake Mzazi. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE _________________ MKUTANO WA KUMI NA NANE Kikao cha Kumi na Tatu – Tarehe 10 Februari, 2010 (Kikao Kilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI (MHE. OMAR YUSSUF MZEE): Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Benki ya Posta Tanzania, kwa Mwaka 2008 [The Annual Report and Accounts of The Tanzania Postal Bank for the Year 2008]. The Mid-Term Review of the Monetary Policy Statement of The Bank of Tanzania for the Year 2009/2010. MWENYEKITI WA KAMATI YA NISHATI NA MADINI: Taarifa ya Kamati ya Nishati na Madini juu ya Taarifa ya Serikali Kuhusu Ubinafsishwaji wa Mgodi wa Kiwira. Taarifa ya Kamati ya Nishati na Madini Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelezaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Mchakato wa Zabuni ya Kuzalisha Umeme wa Dharura Ulioipa Ushindi Kampuni ya Richmond Development Company LLC. Houston Texas - Marekani Mwaka 2006. MWENYEKITI WA KAMATI YA MIUNDOMBINU: Taarifa ya Kamati ya Miundombinu Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelzaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Uendeshaji Usioridhisha wa Shirika la Reli Tanzania uliofanywa na Kampuni ya RITES ya India. 1 Taarifa ya Kamati ya Miundombinu Kuhusu Taarifa ya Serikali ya Utekelezaji wa Azimio la Bunge Kuhusu Utendaji wa Kazi Usioridhisha wa Kampuni ya TICTS. MASWALI NA MAJIBU Na. 145 Usimamizi wa Ukaguzi wa Fedha za Halmashauri MHE. HERBERT J. MNTANGI aliuliza:- Kwa kuwa, kiasi cha fedha kinachopelekwa katika Halmashauri za Wilaya, Manispaa na Jiji ni kikubwa na kinahitaji usimamizi wa ziada:- Kwa kuwa kitengo cha ukaguzi wa ndani kipo chini ya Mkurugenzi Mtendaji. -
MAJADILIANO YA BUNGE ___MKUTANO WA NANE Kikao Cha Kumi Na Tano
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA NANE Kikao cha Kumi na Tano – Tarehe 3 Julai, 2007 (Kikao Kilianza Saa 3.00 Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI:- Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, mkiangalia Order Paper yetu ya leo, hati za kuwasilisha Mezani iko, Ofisi ya Makamu wa Rais, yuko Mwenyekiti wa Kamati ya Maliasili na Mazingira, tumemruka Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba na Sheria na Utawala, halafu atakuja Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MAZINGIRA): Hotuba ya Bajeti ya Wizari wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais kwa Mwaka wa Fedha wa 2007/2008. MWENYEKITI WA KAMATI YA MALIASILI NA MAZINGIRA: Taarifa ya Kamati ya Bunge ya Maliasili na Mazingira kuhusu Utekelezaji wa Ofisi ya Makamu wa Rais kwa Mwaka wa Fedha uliopita pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Ofisi hiyo kwa Mwaka 2007/2008. MAKAMU MWENYEKITI WA KAMATI YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA (MHE. RAMADHAN A. MANENO): Tarifa ya Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala kuhusu Utekelezaji wa Ofisi ya Makamu wa Rais – Muungano kwa mwaka wa Fedha 2006/2007 na Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa Fedha 2007/2008. MHE. RIZIKI OMARI JUMA (k.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI BUNGENI): 1 Maoni ya Kambi ya Upinzani kuhusu Utekelezaji wa Ofisi ya Makamu wa Rais kwa Mwaka wa Fedha uliopita pamoja Maoni ya Upinzani kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Ofisi hiyo kwa Mwaka 2007/2008. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ______ MAJADILIANO YA BUNGE ________ MKUTANO WA ISHIRINI KIKAO CHA KUMI NA TATU - TAREHE 23 JUNI, 2005 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Pius Msekwa) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA KILIMO NA CHAKULA: Hotuba ya Bajeti ya Wiziri ya Kilimo na Chakula kwa mwaka wa fedha 2005/2006. MHE. MUSA A. LUPATU ( k.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KILIMO NA ARDHI) : Maoni ya Kamati ya Kilimo na Ardhi kuhusu Utekelezaji wa Wizara ya Kilimo na Chakula, kwa mwaka wa fedha uliopita, pamoja na maoni ya Kamati kuhusu Makadario ya Matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2005/2006. MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI KWA WIZARA YA KILIMO NA CHAKULA (MHE. THOMAS NGAWAIYA ): Maoni ya Kambi ya Upinzani kuhusu Utekelezaji wa Wizara ya Kilimo na Chakula kwa mwaka wa fedha uliopita pamoja na maoni ya upinzani kuhusu Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Kilimo na Chakula kwa mwaka 2005/2006. MASWALI NA MAJIBU Na. 119 Makao Makuu ya Polisi Wilaya ya Muheza MHE. AGGREY D. J. MWANRI (k.n. y. MHE. HERBERT J. MNTANGI) aliuliza:- 1 Kwa kuwa Makao Makuu ya Polisi Wilaya ya Muheza pamoja na nyumba za askari kwa zaidi ya miaka 30 sasa yapo katika majengo ambayo ni mali ya Shiriki la Reli Tanzania (TRC), na kwa kuwa majengo hayo ni chakavu sana na hayajafanyiwa matengenezo ya muhumu kwa miaka mingi; na kwa kuwa Shirika la Reli Tanzania lipo katika mipango ya kubinafsishwa au kukodishwa na hivyo kuandaa kuuza baadhi ya mali zake zikiwemo -
A Profile of Training Opportunities for Women: Tanzania
A Profile of Training Opportunities for Women: Tanzania Prepared for the U..S. Agency for International Development under contract number PDC- 1096--05-8043-00 Barbara Wyckoff-Baird Barbara Howald December 1988 Development Alternatives, Inc. 624 Ninth Street, N.W. Washington, D.C. 20001 i TABLE OF CONTENTS Page EXECUTIVE SUMMARY ...... ............. vii CHAPTER ONE INTRODUCTION ....... ............... 1 OBJECTIVES OF THE STUDY ......... ......................... I DATA COLLECTION METHODOLOGY ......... ..................... 1 BASIC ASSUMPTIONS ................................. 2 GOVERNMENT OF TANZANIA'S SUPPORT OF WOMEN ...... ............ 3 CONCLUSIONS .............. ................................ 4 CHAPTER TWO WOMEN'S PARTICIPATION IN THE TANZANIAN ECONOMY. ....... 5 LEGAL FRAMEWORK ............ ............................ 5 Women and Property Rights ........... ........................ 5 Women and Labor Laws ........... .......................... 6 Findings and Conclusions ........... ......................... 7 POLIT;CS, CIVIL SERVICE AND THE PROFESSIONS ...... .............. 7 Politics Organizations ............ ........................... 7 Civil Service ............. ............................... 10 Other Professions ............ ............................. 11 Findings and Conclusions ......... ......................... ... 14 AGRICULTURAL SECTOR ......... .......................... ... 15 Farming Systems and the Division of Labor ...... ................. ... 15 The Effects of Villagisation on Women ...... .................. -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Ishirini na Nne – Tarehe 18 Julai, 2006 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kabla sijamwita muuliza swali la kwanza nina matangazo kuhusu wageni, kwanza wale vijana wanafunzi kutoka shule ya sekondari, naona tangazo halisomeki vizuri, naomba tu wanafunzi na walimu msimame ili Waheshimiwa Wabunge waweze kuwatambua. Tunafurahi sana walimu na wanafunzi wa shule zetu za hapa nchini Tanzania mnapokuja hapa Bungeni kujionea wenyewe demokrasia ya nchi yetu inavyofanya kazi. Karibuni sana. Wapo Makatibu 26 wa UWT, ambao wamekuja kwenye Semina ya Utetezi na Ushawishi kwa Harakati za Wanawake inayofanyika Dodoma CCT wale pale mkono wangu wakulia karibuni sana kina mama tunawatakia mema katika semina yenu, ili ilete mafanikio na ipige hatua mbele katika kumkomboa mwanamke wa Tanzania, ahsanteni sana. Hawa ni wageni ambao tumetaarifiwa na Mheshimiwa Shamsa Selengia Mwangunga, Naibu Waziri wa Maji. Wageni wengine nitawatamka kadri nitakavyopata taarifa, kwa sababu wamechelewa kuleta taarifa. Na. 223 Barabara Toka KIA – Mererani MHE. DORA H. MUSHI aliuliza:- Kwa kuwa, Mererani ni Controlled Area na ipo kwenye mpango wa Special Economic Zone na kwa kuwa Tanzanite ni madini pekee duniani yanayochimbwa huko Mererani na inajulikana kote ulimwenguni kutokana na madini hayo, lakini barabara inayotoka KIA kwenda Mererani ni mbaya sana -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA KUMI NA TATU Kikao cha Tano - Tarehe 4 Novemba, 2013 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, maswali, tunaanza na Ofisi ya Waziri Mkuu, atakayeuliza swali la kwanza ni Mheshimiwa Gaudence Kayombo, kwa niaba yake naona Mheshimiwa Mwambalaswa unaweza kumwulizia! Na. 53 Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mbinga Kuwa Mamlaka Kamili MHE. VICTOR K. MWAMBALASWA (K.n.y. MHE. GAUDENCE C. KAYOMBO) aliuza:- Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mbinga umekamilisha vigezo vyote kuwa Mamlaka kamili ya Mji:- Je, ni lini Serikali itaridhia na kutekeleza ahadi hiyo ya Mheshimiwa Rais? WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Spika, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Gaudence C. Kayombo, Mbunge wa Mbinga Mashariki, kama ifuatavyo:- 1 Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) [WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (TAMISEMI)] Mheshimiwa Spika, ni kweli kwamba, mwaka 2010, Mheshimiwa Rais, aliahidi kupandisha hadhi Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mbinga kuwa Halmashauri ya Mji. Ahadi hii ilitokana na ukweli kwamba, Mamlaka hii imeonekana kukua kwa kasi, kwa maana ya ongezeko la watu na shughuli za kiuchumi na kijamii na hivyo Serikali inaona ipo haja ya kuipandisha hadhi ili kuingiza dhana ya Mpango Miji kwa lengo la kuzuia ukuaji holela, kuchochea ukuaji wa uchumi na kuboresha huduma za jamii. Mheshimiwa Spika, hata hivyo, mchakato wa kuupandisha hadhi Mji wa Mbinga bado unaendelea na ofisi yangu bado haijapokea maombi kutoka Mkoa wa Ruvuma. -
MKUTANO WA NANE Kikao Cha Sita – Tarehe 20 Juni, 2012 (Mku
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _____________ MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA NANE Kikao cha Sita – Tarehe 20 Juni, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU Na. 44 Miundombinu Mibovu ya Barabara Tarime MHE. NYAMBARI C. M. NYANGWINE aliuliza:- Je, Serikali inatoa kauli gani ya uhakika kuhusu suala la miundombinu ya barabara katika Jimbo la Tarime? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Nyambari Chacha Mariba Nyangwine, Mbunge wa Tarime, kama ifuatavyo:- 1 Mheshimiwa Spika, Wilaya ya Tarime ina mtandao wa barabara wenye urefu wa kilometa 763, ambapo kilometa 218.9 zinahudumiwa na Wakala wa Barabara wa Mkoa wa Mara na kilometa 544.1 zinahudumiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Tarime. Kati ya hizo, kilometa 1.2 zimejengwa kwa kiwango cha lami, kilometa 118.5 zimejengwa kwa kiwango cha changarawe na kilometa 214 zimetengenezwa kwa kiwango cha udongo. Kilometa 406, sawa na aslimia 74 zinapitika kipindi chote cha mwaka. Mheshimiwa Spika, Serikali inatoa kauli kwamba, itaendelea kufanya matengenezo ya miundombinu ya barabara nchini likiwemo Jimbo la Tarime. Hii inathibitishwa na ongezeko la bajeti ya matengenezo ya barabara kila mwaka, kwa lengo la kuzifanya ziweze kupitika mwaka mzima. Kwa mfano, katika Jimbo la Tarime, mwaka 2009/2010, Halmashauri ya Wilaya ya Tarime ilipokea na kutumia jumla ya shilingi 563.4 ambazo zilitumika kutengeneza barabara kilometa 133 na ujenzi wa daraja moja, drift moja na makaravati boksi tano. -
Tanzania Comoros
COUNTRY REPORT Tanzania Comoros May 2000 The Economist Intelligence Unit 15 Regent St, London SW1Y 4LR United Kingdom The Economist Intelligence Unit The Economist Intelligence Unit is a specialist publisher serving companies establishing and managing operations across national borders. For over 50 years it has been a source of information on business developments, economic and political trends, government regulations and corporate practice worldwide. The EIU delivers its information in four ways: through our digital portfolio, where our latest analysis is updated daily; through printed subscription products ranging from newsletters to annual reference works; through research reports; and by organising conferences and roundtables. The firm is a member of The Economist Group. London New York Hong Kong The Economist Intelligence Unit The Economist Intelligence Unit The Economist Intelligence Unit 15 Regent St The Economist Building 25/F, Dah Sing Financial Centre London 111 West 57th Street 108 Gloucester Road SW1Y 4LR New York Wanchai United Kingdom NY 10019, US Hong Kong Tel: (44.20) 7830 1000 Tel: (1.212) 554 0600 Tel: (852) 2802 7288 Fax: (44.20) 7499 9767 Fax: (1.212) 586 1181/2 Fax: (852) 2802 7638 E-mail: [email protected] E-mail: [email protected] E-mail: [email protected] Website: http://www.eiu.com Electronic delivery This publication can be viewed by subscribing online at http://store.eiu.com/brdes.html Reports are also available in various other electronic formats, such as CD-ROM, Lotus Notes, on-line databases and as direct feeds to corporate intranets. For further information, please contact your nearest Economist Intelligence Unit office London: Jan Frost Tel: (44.20) 7830 1183 Fax: (44.20) 7830 1023 New York: Alexander Bateman Tel: (1.212) 554 0643 Fax: (1.212) 586 1181 Hong Kong: Amy Ha Tel: (852) 2802 7288/2585 3888 Fax: (852) 2802 7720/7638 Copyright © 2000 The Economist Intelligence Unit Limited. -
MAJADILIANO YA BUNGE MKUTANO WA NANE Kikao Cha
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE ______________ MKUTANO WA NANE Kikao cha Kumi na Tatu – Tarehe 29 Juni, 2007 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kabla sijamwita Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii kwa Kuwasilisha Hati. Naomba niwashukuru nyote jinsi tulivyoshirikiana kwa pamoja kuweza kumsindikiza mwenzetu Marehemu Amina Chifupa Mpakanjia, katika safari yake ya mwisho. Waheshimiwa Wabunge, napenda niwashukuru Kamati ya Uongozi na Tume ya Huduma za Bunge, lakini pia TWPG kwa kushirikiana vizuri sana kuweza kumsindikiza mwenzetu kwa heshima; na kipekee naomba Mheshimiwa Waziri Mkuu atutolee salamu za shukrani kwa Mheshimiwa Rais kwa jinsi ambavyo Mheshimiwa Rais alivyokuwa karibu nasi kila dakika kwa mawasiliano hadi hapo jana kule Njombe. Waheshimiwa Wabunge, narejea tena Mungu ailaze roho ya Marehemu Mheshimiwa Amina Chifupa Mpakanjia, mahali pema peponi. Amin. Hati ifuatayo iliwasilishwa mezani na:- NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII: Taarifa ya Mwaka na Hesabu za Shirika la Hifadhi ya Taifa (TANAPA) kwa mwaka 2005/2006 (The Annual Report and Accounts of the Tanzania National Parks for the Year 2005/2006). MASWALI NA MAJIBU Na. 106 Ubovu wa Barabara za Jiji la Dar es Salaam MHE. MUSSA A. ZUNGU aliuliza:- 1 Kwa kuwa sura ya nchi yetu iko katika Jimbo la Ilala; na kwa kuwa barabara nyingi za Jiji la Dar es Salaam ni mbovu sana hali inayosababisha msongamano wa magari na